forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
535 B
Markdown
13 lines
535 B
Markdown
|
# Setensi Unganishi
|
||
|
|
||
|
Ayubu anaendelea kuzungumza kwa rafiki zake.
|
||
|
|
||
|
# Je hamjawaliza watu wasafirio? Je hamjui viashiria wavyoweza kuwaambia ... kwa siku ya ghadhabu?
|
||
|
|
||
|
Ayubu anawakemea rafiki zake kwa kutumia maswali haya kuwa hawajajifunza kwa watu wasafirio. KTN: "Ninyi mnapaswa kuwasikiliza wale waliosafiri hadi sehemu za mbali. watawaambia ... kwa siku ya ghadhabu."
|
||
|
|
||
|
# mtu mwovu huindwa kwa siku ya msiba ... huongozwa kwa siku ya ghadhabu
|
||
|
|
||
|
virai hivi vina maana sawa: KTN: "Mungu humhifadhi mtu mwovu wakati anapoleta maafa"
|
||
|
|