forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
950 B
Markdown
29 lines
950 B
Markdown
|
# Lakini Yahwe alikuwa pamoja na Yusufu
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya namna Yahwe alivyomtunza Yusufu na kuwa mema kwake. "Lakini Yahwe alikuwa mwema kwa Yusufu" au "Lakini Yahwe alimtunza Yusufu"
|
||
|
|
||
|
# Akampa kibali mbele ya mlinzi wa gereza
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana Yahwe alisababisha mlinzi wa gereza kumkubali Yusufu na kumtendea wema. "Yahwe alisababisha mlinzi wa gereza kufurahishwa na Yusufu"
|
||
|
|
||
|
# mlinzi wa gereza
|
||
|
|
||
|
"msimamizi wa gereza" au "mtu mwenye usamamizi na gereza"
|
||
|
|
||
|
# akawaweka mikononi mwa Yusufu
|
||
|
|
||
|
Hapa "mkononi" unawakilisha nguvu ya Yusufu au uaminifu. "kumweka Yusufu juu ya"
|
||
|
|
||
|
# Chochote walichokifanya, kilikuwa chini ya uangalizi wa Yusufu
|
||
|
|
||
|
"Yusufu alikuwa mwanaglizi wa kila kitu walichofanya pale"
|
||
|
|
||
|
# kwa sababu Yahwe alikuwa pamoja naye
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya jinsi Yahwe alivyomsaidia Yusufu na kumuongoza. "kwa sababu Yahwe alimuongoza Yusufu"
|
||
|
|
||
|
# Yahwe akafanikisha kila alichokifanya.
|
||
|
|
||
|
"Yahwe alisababisha kila kitu ambacho Yusufu alifanya kufanikiwa"
|
||
|
|