forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
603 B
Markdown
25 lines
603 B
Markdown
|
# Rundo hili ni shahidi kati yangu nawe leo
|
||
|
|
||
|
Mawe hayawi mashahidi halisi kwa ajili ya mtu. "Rundo hili litakuwa ukumbusho kati yangu na wewe"
|
||
|
|
||
|
# Galedi
|
||
|
|
||
|
"Jina la Galedi lina maana ya "fungu la mashahidi" kwa lugha ya Yakobo.
|
||
|
|
||
|
# Mispa
|
||
|
|
||
|
"Jina la Mispa lina maana ya "mnara".
|
||
|
|
||
|
# tunapokuwa hatuonani
|
||
|
|
||
|
Hapa "nje ya macho" ina maana ya kutokuwa machoni pa mwenzako. "tutakapokuwa hatupo machoni mwetu sisi wawili"
|
||
|
|
||
|
# japokuwa hakuna mwingine yupo nasi
|
||
|
|
||
|
Hapa "nasi" ina maana ya Labani na Yakobo. "hata kama hakuna mtu wa kutuona"
|
||
|
|
||
|
# tazama
|
||
|
|
||
|
"kumbuka". Hii inaongeza msisitizo kwa kile kinachosemwa baadae.
|
||
|
|