sw_tq/1co/15/58.md

223 B

Ni sababu gani Paulo anawaambia akina kaka na akina dada Wakorintho kusimama imara, wasiyumbe, kila siku kwa wingi katika kazi ya Bwana.?

Anawaambia kufanya hivi kwa sababu wanajua kuwa kazi yao katika Bwana sio bure.