Ni mtu gani ambaye kifo kilikuja duniani kupitia kwake na mtu gani ambaye ufufuo wa wafu ulikuja kupitia kwake?
Adamu alileta kifo katika dunia na kwa kupitia Kristo wote tutafanywa hai; fufuliwa.
Wakati gani wale walio katika Kristo watafanywa hai?
Hii atatokea Kristo atakapokuja.