sw_tq/1co/15/22.md

291 B

Ni mtu gani ambaye kifo kilikuja duniani kupitia kwake na mtu gani ambaye ufufuo wa wafu ulikuja kupitia kwake?

Adamu alileta kifo katika dunia na kwa kupitia Kristo wote tutafanywa hai; fufuliwa.

Wakati gani wale walio katika Kristo watafanywa hai?

Hii atatokea Kristo atakapokuja.