sw_tq/1co/09/12.md

320 B

Kwa nini Paulo na wenzake hawakudai haki ya kupokea vitu kutoka kwa Wakorintho?

Paulo na wenzake hawakudai haki hii ili kusuwe na kipingamizi kwa injili ya Kristo.

Bwana aliagiza nini kwa wale wanaotangaza injili?

Bwana aliagiza kwamba wale wanaotangaza injili wanapaswa kupata mahitaji yao kulingana na injili.