sw_tq/1co/07/27.md

361 B

Nini waumini wanapswa kufanya kama wamefungwa na mwanamke kwa viapo vya ndoa?

Hawapaswi kutafuta uhuru kutoka katika viapo vyao kwa kuoa mwanamke.

Kwa nini Paulo anawaambia walio na uhuru kutoka kwa mke na ambao hawajaolewa,"usitafute mke"?

Alisema hivyo kwa sababu alitaka awatoe katika taabu mbalimbali ambazo watazipata wanaooa katika kuishi kwao.