diff --git a/1co/01/01.md b/1co/01/01.md new file mode 100644 index 0000000..449770d --- /dev/null +++ b/1co/01/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nani aliyemwita Paulo na alimwitwa kuwa nani? + +Yesu Kristo alimwita Paulo kuwa mtume + +# Paulo anatamani kanisa la Korintho lipokee nini kutoka kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo? + +Paulo anatamani wapate neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo + diff --git a/1co/01/04.md b/1co/01/04.md new file mode 100644 index 0000000..1f2b5ba --- /dev/null +++ b/1co/01/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mungu ametajirisha kanisa la Korintho kwa namna gani? + +Mungu amewatajirisha katika namna zote, katika usemi wote na katika maarifa yote. + diff --git a/1co/01/07.md b/1co/01/07.md new file mode 100644 index 0000000..3d0062b --- /dev/null +++ b/1co/01/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kitu gani ambacho Kanisa la Korintho halikupungukiwa? + +Hawatapungukiwa karama za rohoni + +# Kwa nini Mungu ataliimarisha kanisa la Korintho katika nyakati za mwisho? + +Mungu atawaimarisha ili wasiwe na lawama katika siku ya Bwana wetu Yesu Kristo. + diff --git a/1co/01/10.md b/1co/01/10.md new file mode 100644 index 0000000..2bf5a99 --- /dev/null +++ b/1co/01/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo analisihi kanisa la Korintho kufanya nini? + +Paulo anawasihi wakubaliane wote na wasigawanyike katika makundi, waungane katika nia moja na kusudi moja. + +# Watu wa Kloe walimtaarifu nini Paulo? + +Watu wa Kloe walimtaarifu Paulo kuwa kulikuwa na mgawanyiko (ugomvi) miongoni mwa watu wa kanisa la Korintho. + diff --git a/1co/01/12.md b/1co/01/12.md new file mode 100644 index 0000000..5668d62 --- /dev/null +++ b/1co/01/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alimaanisha nini kwa kusema mgawanyiko (ugomvi)? + +Paulo alimanisha hivi: Kila mmoja husema, "Mimi ni wa Paulo," au "Mimi ni wa Apolo," au "Mimi ni wa Kefa," au "Mimi ni wa Kristo." + diff --git a/1co/01/14.md b/1co/01/14.md new file mode 100644 index 0000000..7cdca3c --- /dev/null +++ b/1co/01/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini Paulo anamshukuru Mungu kwamba hakumbatiza yeyote miongoni mwao isipokuwa Krispo na Gayo? + +Paulo anamshukuru Mungu kwa hili kwa sababu hii isengeliwapa nafasi ya kusema walibatizwa katika jina la Paulo. + +# Kwa nini Paulo anamshukuru Mungu kwamba hakumbatiza yeyote miongoni mwao isipokuwa Krispo na Gayo? + +Paulo anamshukuru Mungu kwa hili kwa sababu hii isengeliwapa nafasi ya kusema walibatizwa katika jina la Paulo. + diff --git a/1co/01/17.md b/1co/01/17.md new file mode 100644 index 0000000..1591eef --- /dev/null +++ b/1co/01/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kristo alimtuma Paulo kufanya nini? + +Kristo alimtuma Paulo kuhubiri injili. + diff --git a/1co/01/18.md b/1co/01/18.md new file mode 100644 index 0000000..ba89b84 --- /dev/null +++ b/1co/01/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ujumbe wa msalaba ni nini kwa wote wanaokufa? + +Ujumbe wa msalaba ni kama ujinga(upumbavu) kwa wale wanaokufa. + +# ujumbe wa msalaba ni nini miongoni mwa wale wanaookolewa na Mungu? + +Ni nguvu ya Mungu miongoni mwa wale wanaookolewa na Mungu. + diff --git a/1co/01/20.md b/1co/01/20.md new file mode 100644 index 0000000..b0c1864 --- /dev/null +++ b/1co/01/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mungu ameigeuza hekima ya ulimwengu kuwa nini? + +Mungu ameigeuza hekima ya ulimwengu kuwa ujinga(upumbavu) + +# Kwa nini ilimpendeza Mungu kuwaokoa wale wanaoamini kupitia upumbavu wa kuhubiri? + +Ilimpendeza Mungu kufanya hivi kwa sababu ulimwengu katika hekima yake haukumjua Mungu + diff --git a/1co/01/26.md b/1co/01/26.md new file mode 100644 index 0000000..b82ce82 --- /dev/null +++ b/1co/01/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wanagapi Mungu aliwaita waliokuwa na hekima katika viwango vya kibinadamu, au wenye nguvu au uzao wa kifalme? + +Mungu hakuwaita wengi waliokuwa katika hali hii. + +# Kwa nini Mungu alichagua vitu vijinga na dhaifu vya ulimwengu? + +Mungu alifanya hivyo ili kuwaaibisha wenye hekima na wenye nguvu. + diff --git a/1co/01/28.md b/1co/01/28.md new file mode 100644 index 0000000..bea766e --- /dev/null +++ b/1co/01/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mungu alifanya nini ili asiwepo mtu mwenye sababu ya kujivuna mbele zake? + +Mungu aliwachagua walio chini na waliodharauliwa katika ulimwengu na hata vitu vile vilivyohesabiwa si kitu. + +# Mungu alifanya nini ili asiwepo mtu mwenye sababu ya kujisifu mbele zake? + +Mungu aliwachagua walio chini na waliodharauliwa katika ulimwengu na hata vitu vile vilivyohesabiwa si kitu. + diff --git a/1co/01/30.md b/1co/01/30.md new file mode 100644 index 0000000..7d44fbc --- /dev/null +++ b/1co/01/30.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa nini wakristo walikuwa ndani ya Kristo Yesu? + +Walikuwa ndani ya Kristo Yesu kwa sababu ya kile Mungu alifanya. + +# Kristo Yesu amekuwaje kwa ajili yetu? + +Amekuwa kwetu hekima kutoka kwa Mungu- haki yetu, utakatifu, na ukombozi. + +# Kama tungelijisifu, tungejisifu kwa nani? + +Yeyote anayejisifu, ajisifu katika Bwana. + diff --git a/1co/02/01.md b/1co/02/01.md new file mode 100644 index 0000000..4c885c5 --- /dev/null +++ b/1co/02/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Katika hali ipi Paulo alikuja kwa wakorintho alipohubiri kweli ya Mungu iliyofichika? + +Paulo hakuja na maneno ya ujanja au hekima alipohubiri kweli ya Mungu iliyofichika. + +# Paulo aliamua kujua jambo gani alipokuwa miongoni mwa Wakorintho? + +Paulo aliamua asijue chochote isipokuwa Kristo na kusulubiwa kwake. + diff --git a/1co/02/03.md b/1co/02/03.md new file mode 100644 index 0000000..abf68ab --- /dev/null +++ b/1co/02/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini ujumbe wa Paulo na kuhubiri kwake ulikuwa katika kumdhihirisha Roho na nguvu badala ya maneno ya kushawishi yenye hekima? + +Ilikuwa hivyo ili imani yao isiwe katika hekima ya kibinadamu lakini katika nguvu ya Mungu. + +# Kwa nini ujumbe wa Paulo na kuhubiri kwake ulikuwa katika kumdhihirisha Roho na nguvu badala ya maneno ya kushawishi yenye hekima? + +Ilikuwa hivyo ili imani yao isiwe katika hekima ya kibinadamu lakini katika nguvu ya Mungu. + diff --git a/1co/02/06.md b/1co/02/06.md new file mode 100644 index 0000000..645a5ec --- /dev/null +++ b/1co/02/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo na wenzake walizungumza kuhusu hekima gani? + +Walizungumza kuhusu hekima ya Mungu katika ukweli uliofichika, -hekima ya Mungu iliyofichika ambayo Mungu alitujalia kabla ya nyakati za utukufu wetu. + diff --git a/1co/02/08.md b/1co/02/08.md new file mode 100644 index 0000000..33c3e13 --- /dev/null +++ b/1co/02/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kama watawala wa nyakati za Paulo wangelijua hekima ya Mungu jambo gani wasingefanya? + +Kama wale watawala wangejua hekima ya Mungu wasingemsulubisha Bwana wa Utukufu. + diff --git a/1co/02/10.md b/1co/02/10.md new file mode 100644 index 0000000..71c19c8 --- /dev/null +++ b/1co/02/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo na wale waliokuwa naye walijuaje hekima ya Mungu? + +Mungu aliwafunua mambo hayo kupitia Roho. + +# Nani anayejua mambo yaliyoko ndani ya Mungu? + +Ni Roho wa Mungu ndiye ajuaye mambo yaliyo ndani ya Mungu. + diff --git a/1co/02/12.md b/1co/02/12.md new file mode 100644 index 0000000..db3dc89 --- /dev/null +++ b/1co/02/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sababu mojawapo ni ipi Paulo na wenzake walipokea Roho ambaye anatoka kwa Mungu? + +Walipokea Roho ambaye anatoka kwa Mungu ili kwamba waweza kujua vitu kamili tulivyopewa na Mungu. + diff --git a/1co/02/14.md b/1co/02/14.md new file mode 100644 index 0000000..7883f63 --- /dev/null +++ b/1co/02/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini mtu asiye wa rohoni hawezi kupokea au kujua vitu vile vya Roho wa Mungu? + +Mtu asiye wa rohoni hawezi kuvipokea hivyo kwa sababu ni vya upuuzi kwake na hawezi kujua vyote kwa sababu vinatambuliwa kwa namna ya Kiroho. + +# Paulo alisema ni mawazo(nia) ya namna gani waliyonayo watu wanaoamini katika Yesu? + +Paulo alisema wana mawazo(nia) ya Kristo + diff --git a/1co/03/03.md b/1co/03/03.md new file mode 100644 index 0000000..9999600 --- /dev/null +++ b/1co/03/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini Paulo alisema waumini wa Korintho walikuwa bado wa mwilini? + +Paulo alisema walikuwa bado wa mwilini kwa sababu wivu na majivuno yalionekana miongoni mwao. + +# Paulo na Apolo walikuwa akina nani kwa Wakorintho? + +Walikuwa watumishi ambao kupitia wao Wakorintho walimwamini Kristo. + diff --git a/1co/03/06.md b/1co/03/06.md new file mode 100644 index 0000000..e30ef6c --- /dev/null +++ b/1co/03/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nani anayekuza? + +Mungu ndiye akuzaye. + diff --git a/1co/03/10.md b/1co/03/10.md new file mode 100644 index 0000000..a9e9a45 --- /dev/null +++ b/1co/03/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Msingi ni nini? + +Yesu Kristo ndiye msingi + diff --git a/1co/03/12.md b/1co/03/12.md new file mode 100644 index 0000000..b1e86bd --- /dev/null +++ b/1co/03/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nini kitatokea katika kazi ya mtu anayejenga kwenye msingi wa Yesu Kristo? + +Kazi yake itafunuliwa katika nuru na katika moto. + +# Nini kitatokea katika kazi ya mtu anayejenga kwenye msingi wa Yesu Kristo? + +Kazi yake itafunuliwa katika nuru na katika moto. + +# Moto utaifanya nini kazi ya mtu? + +Moto utathibitisha ubora wa kazi ya kila mtu + diff --git a/1co/03/14.md b/1co/03/14.md new file mode 100644 index 0000000..95095a3 --- /dev/null +++ b/1co/03/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni nini kitatokea kama kitu chochote mtu alijenga kitabaki baada ya moto? + +Mtu huyo atapokea tuzo. + +# Ni nini kitatokea kwa mtu ambaye kazi yake itaungua? + +Mtu huyo atapata hasara, lakini yeye mwenyewe ataokolewa, kama kuopolewa kutoka motoni. + diff --git a/1co/03/16.md b/1co/03/16.md new file mode 100644 index 0000000..54d9d1c --- /dev/null +++ b/1co/03/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sisi ni nani na nini kinaishi ndani yetu kama waumini katika Yesu Kristo? + +Sisi ni Hekalu la Mungu na Roho wa Mungu anaishi ndani yetu. + +# Nini kitatokea kama mtu ataharibu hekalu la Mungu? + +Mungu atamharibu mtu ambaye anaharibu hekalu la Mungu. + diff --git a/1co/03/18.md b/1co/03/18.md new file mode 100644 index 0000000..cbfba5d --- /dev/null +++ b/1co/03/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo anasema nini kwa yule anayefikiri ni mwenye hekima katika nyakati hizi? + +Paulo asema, "...awe "mjinga" ili anaweza kuwa mwenye hekima." + +# Bwana anajua nini kuhusu fikira za wenye hekima? + +Bwana anajua kwamba fikira za wenye hekima ni ubatili. + diff --git a/1co/03/21.md b/1co/03/21.md new file mode 100644 index 0000000..137602c --- /dev/null +++ b/1co/03/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini Paulo anawaambia Waumini wa Korintho waache kujivuna kuhusu watu? + +Aliwaambia kuacha majivuno, "Kwa kuwa vitu vyote ni vyenu," na kwa sababu, "...ninyi ni wa Kristo, and Kristo ni wa Mungu." + +# Kwa nini Paulo anawaambia Waumini wa Korintho waache kujivuna kuhusu watu? + +Aliwaambia kuacha majivuno, "Kwa kuwa vitu vyote ni vyenu," na kwa sababu, "...ninyi ni wa Kristo, and Kristo ni wa Mungu." + diff --git a/1co/04/01.md b/1co/04/01.md new file mode 100644 index 0000000..7a7c794 --- /dev/null +++ b/1co/04/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anawaambia Wakorintho wanapaswa kuwahesabu Paulo na washirika wake kama nani? + +Wakorintho wanapswa kuwahesabu wao kama watumishi wa Kristo na mawakili wa siri za kweli za Mungu. + diff --git a/1co/04/03.md b/1co/04/03.md new file mode 100644 index 0000000..97fa160 --- /dev/null +++ b/1co/04/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anasema hakimu wake ni nani? + +Paulo anasema Bwana ndiye anayemhukumu. + diff --git a/1co/04/05.md b/1co/04/05.md new file mode 100644 index 0000000..bdd828f --- /dev/null +++ b/1co/04/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Bwana atafanya nini atakapokuja? + +Ataweka nuruni vitu vilivyofichika vya gizani na kufunua makusudi ya moyo. + diff --git a/1co/04/06.md b/1co/04/06.md new file mode 100644 index 0000000..fad9cae --- /dev/null +++ b/1co/04/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwanini Paulo anaitumia kanuni hizi kwake yeye mwenyewe na kwa Apolo? + +Paulo alifanya hivyo kwa ajili ya waumini wa Korintho kwamba wanaweza kujifunza maana ya usemi, "Usiende zaidi ya ilivyoandikwa." ili kwamba hakuna kati yao angeweza kufikiri kwa upendeleo kinyume na mwingine. + diff --git a/1co/04/08.md b/1co/04/08.md new file mode 100644 index 0000000..b8d60c1 --- /dev/null +++ b/1co/04/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Paulo awatakia waumini wa Wakorintho kumiliki? + +Paulo awatakia walimiliki ili kwamba Paulo na washirika wake wangeweza kumiliki pamoja nao. + diff --git a/1co/04/10.md b/1co/04/10.md new file mode 100644 index 0000000..f479c3e --- /dev/null +++ b/1co/04/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo na wenzake wanapingana na Waumini wa Korintho katika mambo matatu yapi? + +Paulo asema, "Sisi tu wajinga kwa ajili ya Kristo,lakini mna busara katika Kristo. Sisi tudhaifu,lakini ninyi mna nguvu. Mnaheshimiwa, lakini sisi tunadharauliwa. + +# Paulo alieleza hali ya kimwili ya mitume kuwa ni ya namna gani? + +Paulo alisema walikuwa na njaa na kiu, walivaa mavazi mbaya, walipingwa kikatiri na hawakuwa na makazi. + diff --git a/1co/04/12.md b/1co/04/12.md new file mode 100644 index 0000000..f355ce2 --- /dev/null +++ b/1co/04/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa namna gani Paulo na washirika wenzake wanafanya wanapodharauliwa? + +Wanapodharaliwa, wanabariki. Wanapoteswa, wanavumilia. Wanapotukanwa wanarudisha kwa upole. + diff --git a/1co/04/14.md b/1co/04/14.md new file mode 100644 index 0000000..08b8abe --- /dev/null +++ b/1co/04/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini Paulo aliandika mambo haya kwa waumini wa Korintho? + +Aliawandikia kuwarekebisha kama watoto wake wapendwa. + +# Paulo anawaambia waumini wa Korintho wamuige nani? + +Paulo anawaambia wamuige yeye mwenyewe. + diff --git a/1co/04/17.md b/1co/04/17.md new file mode 100644 index 0000000..2472ee1 --- /dev/null +++ b/1co/04/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo alimtuma Timotheo kufanya kitu gani kwa waumini wa Korintho ili kuwakumbusha? + +Paulo alimtuma Timotheo kwenda Korintho kuwakumbusha waumini juu ya njia za Paulo katika Kristo. + +# Baadhi ya waumini wa Korintho walikuwa waktenda kwa namna gani? + +Baadhi yao walikuwa na majivuno, wakitenda kana kwamba Paulo hatawatembelea. + diff --git a/1co/04/19.md b/1co/04/19.md new file mode 100644 index 0000000..4aac730 --- /dev/null +++ b/1co/04/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ufalme wa Mungu upo katika nini? + +ufalme wa Mungu upo katika nguvu. + diff --git a/1co/05/01.md b/1co/05/01.md new file mode 100644 index 0000000..f1bda06 --- /dev/null +++ b/1co/05/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni habari gani Paulo alisikia kuhusu kanisa katika Korintho? + +Paulo alisikia kwamba kulikuwa na zinaa. Mmoja wao alikuwa amelala na mke wa baba yake. + +# Paulo alisema lazima kifanyike kitu gani kwa mtu aliyefanya dhambi na mke wa baba yake? + +Yule aliyefanya dhambi na mke wa baba yake lazima aondolewe miongoni mwao. + diff --git a/1co/05/03.md b/1co/05/03.md new file mode 100644 index 0000000..b28e5df --- /dev/null +++ b/1co/05/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa namna gani na kwa nini mtu aliyefanya dhambi na mke wa baba yake angeondolewa? + +Wakati kanisa la Korintho lilipokutana pamoja katika jina la Bwana Yesu walitakiwa kumkabidhi kwa shatani mtu aliyetenda dhambi ili mwili wake uharibiwe, na roho yake iweze kuokolewa katika siku ya Bwana. + +# Kwa namna gani na kwa nini mtu aliyefanya dhambi na mke wa baba yake angeondolewa? + +Wakati kanisa la Korintho lilipokutana pamoja katika jina la Bwana Yesu walitakiwa kumkabidhi kwa shatani mtu aliyetenda dhambi ili mwili wake uharibiwe, na roho yake iweze kuokolewa katika siku ya Bwana. + diff --git a/1co/05/06.md b/1co/05/06.md new file mode 100644 index 0000000..08675cf --- /dev/null +++ b/1co/05/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo analinganisha tabia mbaya na udhaifu na kitu gani? + +Paulo anavilinganisha na hamira + +# paulo anatumia kitu gani kama sitiari kuhusu unyenyekevu na kweli + +Anatumia mkate usiotiwa hamira kama sitiari kuhusu unyenyekevu na kweli. + diff --git a/1co/05/09.md b/1co/05/09.md new file mode 100644 index 0000000..7574c1d --- /dev/null +++ b/1co/05/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo aliwaambia waumini wa Korintho wasishirikiane na nani? + +Paulo aliwaandikia wasishirikiane na watu wazinzi. + +# Paulo alimaanisha nini aliposema wasishirikiane na watu wazinzi? + +Paulo hakumaanisha watu wazinzi wa hapa duniani. Kama ni hivyo ilipaswa kuondoka hapa duniani na kukaa mbali. + diff --git a/1co/05/11.md b/1co/05/11.md new file mode 100644 index 0000000..1b1260c --- /dev/null +++ b/1co/05/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Paulo alimaanisha waumini wa Korintho wasishirikiane na nani? + +Anamaanisha kwao wasichangamane na mtu yeyote aitwaye ndugu katika Kristo ambaye ni mzinzi, mwenye tamaa, mlevi, mtukanaji, dhalimu au mwabudu sanamu. + +# Waumini walipaswa kuwahukumu kina nani? + +Walipaswa kuwahukumu waliokuwa ndani ya kanisa. + +# Nani anawahukumu walioko nje ya kanisa? + +Mungu anawahukumu walio nje. + diff --git a/1co/06/01.md b/1co/06/01.md new file mode 100644 index 0000000..0474723 --- /dev/null +++ b/1co/06/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Paulo anasema watakatifu wa Korintho wanaweza kuhukumu kitu gani? + +Paulo asema wanapaswa kuwa tayari kuamua matatizo kati ya watakatifu kuhusu mambo ya maisha haya. + +# Watakatifu watamhukumu nani? + +Watakatifu wataihukumu dunia na malaika. + +# Watakatifu watamhukumu nani? + +Watakatifu wataihukumu dunia na malaika. + +# Paulo anasema watakatifu wa Korintho wanaweza kuhukumu kitu gani? + +Paulo asema wanapaswa kuwa tayari kuamua matatizo kati ya watakatifu kuhusu mambo ya maisha haya. + diff --git a/1co/06/04.md b/1co/06/04.md new file mode 100644 index 0000000..688942d --- /dev/null +++ b/1co/06/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakrito wa Korintho wanakabiliana vipi na migogoro miongoni mwao? + +Muumini mmoja anakwenda kumshitaki mahakamani muumini mwenzake, na kesi yao inasuluhishwa na hakimu asiyeamini. + diff --git a/1co/06/07.md b/1co/06/07.md new file mode 100644 index 0000000..505941e --- /dev/null +++ b/1co/06/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kuwepo migogoro miongoni mwa wakristo wa Korintho hii inaonyesha nini? + +hii inaonesha kwamba wameshindwa. + diff --git a/1co/06/09.md b/1co/06/09.md new file mode 100644 index 0000000..ae640bc --- /dev/null +++ b/1co/06/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nani hataridhi ufalme wa Mungu? + +Wasio haki, waasherati, waabudu sanamu, wazinzi, walawiti, wale wanaofanya ufilaji, wevi, wenye tamaa, walevi, wadhalimu na wanyang'anyi hawatauridhi Ufalme wa Mungu. + +# Nani hataridhi ufalme wa Mungu? + +Wasio haki, waasherati, waabudu sanamu, wazinzi, walawiti, wale wanaofanya ufilaji, wevi, wenye tamaa, walevi, wadhalimu na wanyang'anyi hawatauridhi Ufalme wa Mungu + +# Ilikuwaje kwa waumini Wakorintho ambao hapa kwanza hawakuwa watakatifu? + +Walitakaswa na kufanywa watakatifu; wakafanywa kuwa wenye haki na Mungu katika jina la Bwana Yesu Kristo na kwa Roho wa Mungu. + diff --git a/1co/06/12.md b/1co/06/12.md new file mode 100644 index 0000000..ddefb0b --- /dev/null +++ b/1co/06/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni vitu gani viwili Paulo asema hataviruhusu kumtawala? + +Paulo asema hawezi kutawaliwa na chakula au zinaa. + +# Ni vitu gani viwili Paulo asema hataviruhusu kumtawala? + +Paulo asema hawezi kutawaliwa na chakula au zinaa + diff --git a/1co/06/14.md b/1co/06/14.md new file mode 100644 index 0000000..2b895b8 --- /dev/null +++ b/1co/06/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Miili ya waumini ni viungo vya nini? + +Miili yao ni viungo vya Kristo + +# Je waumini wanapswa kuwa na muunagniko na makahaba? + +Hapana. Kmwe isitokee. + diff --git a/1co/06/16.md b/1co/06/16.md new file mode 100644 index 0000000..abc5a55 --- /dev/null +++ b/1co/06/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kinatokea nini mtu apojiunganisha kwa kahaba? + +Anakuwa mwili mmoja na huyo kahaba. + +# Kinatokea nini mtu apojiunganisha kwa kahaba? + +Anakuwa mwili mmoja na huyo kahaba. + diff --git a/1co/06/18.md b/1co/06/18.md new file mode 100644 index 0000000..f652286 --- /dev/null +++ b/1co/06/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Watu wanafany dhambi dhidi ya nani wanapofanya zinaa? + +Wanafanya dhambi dhidi ya miili yao wenyewe wanapofanya zinaa. + diff --git a/1co/06/19.md b/1co/06/19.md new file mode 100644 index 0000000..a16cce5 --- /dev/null +++ b/1co/06/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwanini waumini wanapaswa kumtukuza Mungu kwa miili yao? + +Wanapaswa kumtukuza Mungu kwa miili yao kwa sababu miili yao ni hekalu la Roho Mtakatifu na kwa sababu walinunuliwa kwa thamani. + +# Kwanini waumini wanapaswa kumtukuza Mungu kwa miili yao? + +Wanapaswa kumtukuza Mungu kwa miili yao kwa sababu miili yao ni hekalu la Roho Mtakatifu na kwa sababu walinunuliwa kwa thamani. + diff --git a/1co/07/01.md b/1co/07/01.md new file mode 100644 index 0000000..a1ea1c9 --- /dev/null +++ b/1co/07/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kwa nini kila mwaume anapaswa kuwa na mke wake na kila mwanamke kuwa na mume wake? + +Kwa sababu ya majaribu, na kuongezeka kwa matendo mengi mabaya kila mwaume anapaswa kuwa na mke wake na kila mwanamke anapaswa kuwa na mume wake. + diff --git a/1co/07/03.md b/1co/07/03.md new file mode 100644 index 0000000..abdf174 --- /dev/null +++ b/1co/07/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je mke au mume anamamlaka juu ya mwili wake? + +Hapana. Mume anamamlaka juu ya mwili wa mke wake na vile vile mke anamamlaka juu ya mwili wa mume wake. + diff --git a/1co/07/05.md b/1co/07/05.md new file mode 100644 index 0000000..3104fba --- /dev/null +++ b/1co/07/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni wakati gani mzuri kwa mume na mke kuacha kushiriki tendo la ndoa? + +Ni vyema kama wote mume na mke watakubaliana na kupanga kipindi, ili kwamba wanaweza kudumu katika maombi. + diff --git a/1co/07/08.md b/1co/07/08.md new file mode 100644 index 0000000..d79fbdd --- /dev/null +++ b/1co/07/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo anasema wajane na watu ambao hawajaolewa ni jambo gani zuri kufanya? + +Paulo asema ni vizuri kwao kubaki bila kuolewa. + +# Watu ambao hawajaolewa na wajane wanaweza kuolewa katika hali hali gani? + +Wanaweza kuolewa kama watapata tamaa na kushindwa kujizuia. + diff --git a/1co/07/10.md b/1co/07/10.md new file mode 100644 index 0000000..1347ff2 --- /dev/null +++ b/1co/07/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Bwana anatoa amri gani kwa wale walioolewa? + +Mke hawapaswi kutengana mume wake.Kama atatengana na mume wake asiolewe au afanye mapatano na mumewe. Pia, mume hapaswi kumpa talaka mke wake. + +# Bwana anatoa amri gani kwa wale walioolewa? + +Mke hawapaswi kutengana mume wake.Kama atatengana na mume wake asiolewe au afanye mapatano na mumewe. Pia, mume hapaswi kumpa talaka mke wake. + diff --git a/1co/07/12.md b/1co/07/12.md new file mode 100644 index 0000000..144a78e --- /dev/null +++ b/1co/07/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Muumini mwanamke au mwanamke anapaswa kumpa talaka mwenzi wake asiyeamini? + +Kama mwanaume au mwamke asiyeamini anaridhika kuishi na wenzi wake, Wenzi mwamini hawapaswi kumpa talaka asiyeamini. + +# Muumini mwanamke au mwanamke anapaswa kumpa talaka mwenzi wake asiyeamini? + +Kama mwanaume au mwamke asiyeamini anaridhika kuishi na wenzi wake, Wenzi mwamini hawapaswi kumpa talaka asiyeamini. + diff --git a/1co/07/15.md b/1co/07/15.md new file mode 100644 index 0000000..860f2f2 --- /dev/null +++ b/1co/07/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Muumini anapaswa kufanya nini kama mwenzi wake asiyeamini akiondoka? + +Muumini atamruhusu mwenzi wake asiyeamini aondoke... + diff --git a/1co/07/17.md b/1co/07/17.md new file mode 100644 index 0000000..e8ccbb5 --- /dev/null +++ b/1co/07/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo aliweka taratibu gani katika makanisa yote? + +Utaratibu ulikuwa: Kila mmoja aishi maisha Bwana alivyomgawia, na namna Mungu alivyomwita. + +# Paulo alitoa ushauri gani kwa waliotahiriwa na wasiotahiriwa? + +Paulo alisema wasiotahiriwa hawapaswi kutahiriwa na waliotahiriwa wasijaribu kuondoa alama za tohara zao. + diff --git a/1co/07/20.md b/1co/07/20.md new file mode 100644 index 0000000..81a5348 --- /dev/null +++ b/1co/07/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo alisema nini juu ya watumwa? + +Kama walikuwa watumwa pale Mungu alipowaita, wasijali juu ya hilo, lakini kama wanaweza kuwa huru, wafanye hivyo. Hata kama walikuwa watumwa, kwa Bwana ni watu waliohuru. Hawapaswi kuwa watumwa wa watu. + +# Paulo alisema nini juu ya watumwa? + +Kama walikuwa watumwa pale Mungu alipowaita, wasijali juu ya hilo, lakini kama wanaweza kuwa huru, wafanye hivyo. Hata kama walikuwa watumwa, kwa Bwana ni watu waliohuru. Hawapaswi kuwa watumwa wa watu. + diff --git a/1co/07/25.md b/1co/07/25.md new file mode 100644 index 0000000..b81c35d --- /dev/null +++ b/1co/07/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Paulo alifikiri ni muhimu kwa mtu ambaye hajaoa abaki bila kuoa kama Paulo alivyokuwa? + +Paulo alifikiri hivy kwa sababu ya hali ya hatari ilikuwa vizuri kwa mwanaume kuacha kuoa. + diff --git a/1co/07/27.md b/1co/07/27.md new file mode 100644 index 0000000..39ab500 --- /dev/null +++ b/1co/07/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini waumini wanapswa kufanya kama wamefungwa na mwanamke kwa viapo vya ndoa? + +Hawapaswi kutafuta uhuru kutoka katika viapo vyao kwa kuoa mwanamke. + +# Kwa nini Paulo anawaambia walio na uhuru kutoka kwa mke na ambao hawajaolewa,"usitafute mke"? + +Alisema hivyo kwa sababu alitaka awatoe katika taabu mbalimbali ambazo watazipata wanaooa katika kuishi kwao. + diff --git a/1co/07/29.md b/1co/07/29.md new file mode 100644 index 0000000..2bbf20b --- /dev/null +++ b/1co/07/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini wanaoshughulika na dunia wanapaswa kuwa kama hawajawhi kushughulika nayo? + +Wanapaswa kufanya hivyo kwa sababu mfumo wa dunia hii unaelekea mwisho. + diff --git a/1co/07/32.md b/1co/07/32.md new file mode 100644 index 0000000..f54c365 --- /dev/null +++ b/1co/07/32.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini ni vigumu wakristo waliooa kutokuwa na mgawanyiko katika kujitoa kwa Bwana? + +Ni vigumu kwa sababu mume mwamini au mke hushughulika kuhusu mambo ya dunia, jinsi ya kumpendeza mke au mume wake. + +# Kwa nini ni vigumu wakristo waliooa kutokuwa na mgawanyiko katika kujitoa kwa Bwana? + +Ni vigumu kwa sababu mume mwamini au mke hushughulika kuhusu mambo ya dunia, jinsi ya kumpendeza mke au mume wake. + diff --git a/1co/07/36.md b/1co/07/36.md new file mode 100644 index 0000000..bca7ccd --- /dev/null +++ b/1co/07/36.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nani anayefanya vizuri kuliko yule mtu anayemuoa mchumba wake? + +Mtu anayechagua kuacha kuoa hufanya jambo nzuri zaidi. + diff --git a/1co/07/39.md b/1co/07/39.md new file mode 100644 index 0000000..577e079 --- /dev/null +++ b/1co/07/39.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa muda gani mwanamke anafungwa kwa mume wake? + +Amefungwa kwa mumewe kwa muda wote anapokuwa hai. + +# Kama mume wa mke muumini akifa, anaweza kuolewa na nani? + +Anaweza kuolewa kwa yule anayetaka, lakini tu awe mtu aliye katika Bwana. + diff --git a/1co/08/01.md b/1co/08/01.md new file mode 100644 index 0000000..1e7fec7 --- /dev/null +++ b/1co/08/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Katika sura hii je Paulo anaanza kuzungumzia swala gani? + +Paulo anazungumzia swala la chakula kilichotolewa sadaka kwa miungu. + +# Nini matokeo ya maarifa na Upendo? + +Maarifa humfanya mtu ajivune, lakini upendo humjenga. + diff --git a/1co/08/04.md b/1co/08/04.md new file mode 100644 index 0000000..d18e084 --- /dev/null +++ b/1co/08/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je miungu(sanamu) ni sawa na Mungu? + +Hapana. Sanamu katika dunia hii si kitu,na hapana Mungu ila mmoja. + +# Mungu mmoja ni yupi? + +Kuna Mungu mmoja tu ambaye ni Mungu Baba.vitu vyote vimetoka kwake, nasi tunaishi kwake. + +# Bwana mmoja ni yupi? + +Bwana mmoja ni Yesu Kristo, ambaye kwake vitu vyote vimekuwapo, na kwa yeye sisi tupo." + diff --git a/1co/08/07.md b/1co/08/07.md new file mode 100644 index 0000000..5bd2a34 --- /dev/null +++ b/1co/08/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini hutokea mtu aliyekuwa mwabudu sanamu akila chakula kana kwamba kilikuwa kimetolewa sadaka kwa sanamu? + +Dhamiri zao hupotoshwa kwa kuwa ni dhaifu. + diff --git a/1co/08/08.md b/1co/08/08.md new file mode 100644 index 0000000..fe8c260 --- /dev/null +++ b/1co/08/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je chakula tunachokula hutufanya kuwa safi zaidi au wabaya zaidi kwa Mungu? + +Chakula hakiwezi kututhibitisha kwa Mungu. Hatuna ubaya kama hatuli, na hatuna uzuri kama tukila. + +# Tufanye nini ili tuwe makini uhuru wetu usiwe sababu ya mtu aliye dhaifu kujikwaa? + +Tunapaswa kuwa makini kwamba uhuru wetu usiwe sababu ya mtu aliye dhaifu katika imani kujikwaa. + diff --git a/1co/08/11.md b/1co/08/11.md new file mode 100644 index 0000000..c94ac71 --- /dev/null +++ b/1co/08/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nini kinaweza kutokea kwa kaka au dada mwenye dhamiri dhaifu ikiwa wale wanaofahamu ukweli kuhusu asili ya sanamu hawatakuwa makini katika kutumia uhuru wao? + +Kaka au dada mwenye dhamiri dhaifu anaweza kuharibiwa. + +# Tunafanya dhambi dhidi ya nani ikiwa tutasababisha kwa makusudi kaka au dada katika Kristo wajikwae kwa sababu ya dhamiri za dhaifu? + +Tunafanya dhambi dhidi ya kaka au dada tunayesababisha ajikwae na tunafanya dhambi dhidi ya Mungu. + +# Tunafanya dhambi dhidi ya nani ikiwa tutasababisha kwa makusudi kaka au dada katika Kristo wajikwae kwa sababu ya dhamiri za dhaifu? + +Tunafanya dhambi dhidi ya kaka au dada tunayesababisha ajikwae na tunafanya dhambi dhidi ya Mungu. + +# Paulo anasema atafanya nini kama chakula kinasababisha kaka au dada yake kujikwaa? + +Paulo anasema kama chakula kinasababisha kaka au dada kujikwaa, hatakula tena nyama. + diff --git a/1co/09/01.md b/1co/09/01.md new file mode 100644 index 0000000..d2e8d0e --- /dev/null +++ b/1co/09/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo alitoa kielelezo gani kuwa yeye ni mtume? + +Paulo anasema kwa sababu waumini wa Wakorintho walikuwa kazi yake katika Bwana, wao wanyewe walikuwa uthibitisho wa utume wake katika Bwana. + +# Paulo alitoa kielelezo gani kuwa yeye ni mtume? + +Paulo anasema kwa sababu waumini wa Wakorintho walikuwa kazi yake katika Bwana, wao wanyewe walikuwa uthibitisho wa utume wake katika Bwana. + diff --git a/1co/09/03.md b/1co/09/03.md new file mode 100644 index 0000000..cec1f87 --- /dev/null +++ b/1co/09/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo aliorodhesha kitu gani kama haki za mitume, ndugu wa Bwana, na Kefa? + +Paulo alisema walikuwa na haki ya kul na kunywa, na haki ya kuambatana na mke ambaye ni muumini. + +# Paulo aliorodhesha kitu gani kama haki za mitume, ndugu wa Bwana, na Kefa? + +Paulo alisema walikuwa na haki ya kula na kunywa, na haki ya kuambatana na mke ambaye ni muumini. + diff --git a/1co/09/07.md b/1co/09/07.md new file mode 100644 index 0000000..37de90a --- /dev/null +++ b/1co/09/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alitoa mifano gani kwa wale wanaopokea faida au malipo kutoka katika kazi zao? + +Paulo anataja maaskari, mtu anayepanda shamba la mizabibu, na mtu chungaye kundi kama mifano ya wale watu wanaopokea faida au malipo kutoka katika kazi zao. + diff --git a/1co/09/09.md b/1co/09/09.md new file mode 100644 index 0000000..d270b5b --- /dev/null +++ b/1co/09/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anatoa mifano gani kutoka katika sheria ya Musa ili kutetea wazo lake la kupokea faida au malipo kutoka katika kazi? + +Paulo ananukuu amri, "usimfunge ng'ombe kinywa apulapo nafaka" kutetea hoja yake. + diff --git a/1co/09/12.md b/1co/09/12.md new file mode 100644 index 0000000..00a98e5 --- /dev/null +++ b/1co/09/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini Paulo na wenzake hawakudai haki ya kupokea vitu kutoka kwa Wakorintho? + +Paulo na wenzake hawakudai haki hii ili kusuwe na kipingamizi kwa injili ya Kristo. + +# Bwana aliagiza nini kwa wale wanaotangaza injili? + +Bwana aliagiza kwamba wale wanaotangaza injili wanapaswa kupata mahitaji yao kulingana na injili. + diff --git a/1co/09/15.md b/1co/09/15.md new file mode 100644 index 0000000..ff0f3b9 --- /dev/null +++ b/1co/09/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alisema hatajivuna kuhusu kitu gani, na kwa nini hakuweza kujivuna? + +Paulo alisema hawezi kujivuna juu ya kuhubiri injili kwa sababu alipaswa kuhubiri injili. + diff --git a/1co/09/19.md b/1co/09/19.md new file mode 100644 index 0000000..bb70154 --- /dev/null +++ b/1co/09/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini Paulo alikuwa mtumishi wa wote? + +Paulo alikuwa mtumishi wa wote ili awalete watu wengi kwa Mungu. + +# Paulo alikuwa kama nani ili kuwapata Wayahudi? + +Paulo alikuwa kama Myahudi ili kuwapata Wayahudi. + diff --git a/1co/09/21.md b/1co/09/21.md new file mode 100644 index 0000000..3a3e8c1 --- /dev/null +++ b/1co/09/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo alikuwaje ili kuwapata wale waliokuwa nje ya sheria? + +Paulo alikuwa kama wale walio nje ya sheria ili kuwapata walio nje ya sheria. + +# Kwa nini Paulo alifanya mambo yote kwa ajili ya injili? + +Alifanya hivi iliaweze kushiriki katika baraka za injili. + diff --git a/1co/09/24.md b/1co/09/24.md new file mode 100644 index 0000000..f106e25 --- /dev/null +++ b/1co/09/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Paulo alisema kukimbia kwa namna gani? + +Paulo alisema kukimbia ili kupata tuzo. + +# Paulo alikuwa akikimbia ili kupata tuzo ya namna gani? + +Paulo alikuwa akikimbia ili kupoke tuzo isiyoharibika. + +# Kwa nini Paulo aliutiish mwili wake na kuufanya kama mtumwa? + +Paulo alifanya hivyo baada ya kuwa amewahubiria wengine, yeye mwenyewe asije kukataliwa. + diff --git a/1co/10/01.md b/1co/10/01.md new file mode 100644 index 0000000..66875cf --- /dev/null +++ b/1co/10/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni mambo gani ya kufanana yaliwapata baba zao wakati wa Musa? + +Wote walikuwa chini ya wingu na wakapita katika bahari. Wote walibatizwa wawe wa Musa ndani ya wingu na ndani ya bahari, na wote walikua chakula cha roho kile kile, wote walikunywa kinywaji kile kile cha roho. + +# Ni mambo gani ya kufanana yaliwapata baba zao wakati wa Musa? + +Wote walikuwa chini ya wingu na wakapita katika bahari. Wote walibatizwa wawe wa Musa ndani ya wingu na ndani ya bahari, na wote walikua chakula cha roho kile kile, wote walikunywa kinywaji kile kile cha roho. + +# Mwamba wa roho uliowafuata baba zao ulikuwa nani? + +Kristo alikuwa ndiyo huo mwamba uliowafuata. + diff --git a/1co/10/05.md b/1co/10/05.md new file mode 100644 index 0000000..ed2aba3 --- /dev/null +++ b/1co/10/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Mungu hakupendezwa na baba zao wakati wa Musa? + +Hakupendezwa nao kwa sababu baba zao walitamani mambo maovu. + diff --git a/1co/10/09.md b/1co/10/09.md new file mode 100644 index 0000000..6bc8c3b --- /dev/null +++ b/1co/10/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mungu aliwaharibu kwa njia gani watu ambao hawakutii? + +Mungu aliwaharibu kwa nyoka, na kwa malaika wa mauti. + +# Mungu aliwaharibu kwa njia gani watu ambao hawakutii? + +Mungu aliwaharibu kwa nyoka, na kwa malaika wa mauti. + diff --git a/1co/10/11.md b/1co/10/11.md new file mode 100644 index 0000000..793bae9 --- /dev/null +++ b/1co/10/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa nini mambo haya yalitokea na kwa nini yaliandikwa? + +Yalitokea kama mifano kwetu na yaliandikwa ili kutuongoza + +# limetokea jaribu lolote ambalo ni la pekee kwetu? + +Hakuna jaribu lilotupata ambalo si la kawaida kwa wanadamu wote. + +# Mungu amefanya nini kutuwezesha kuvumilia majaribu? + +Ametupatia njia ya kutokea kwa hiyo tunaweza kuvumila majaribu. + diff --git a/1co/10/14.md b/1co/10/14.md new file mode 100644 index 0000000..5d393e0 --- /dev/null +++ b/1co/10/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo anawaonya waumini wa Koritho kitu gani wakikimbie? + +Anawaonya wakimbie kutoka katika ibada ya sanamu. + +# Ni kikombe gani cha baraka waumini hukibariki na mkate gani wanaumega? + +Kikombe ni ushirika katika damu ya Kristo. Mkate ni ushirka katika mwili wa Kristo. + diff --git a/1co/10/20.md b/1co/10/20.md new file mode 100644 index 0000000..ed3b203 --- /dev/null +++ b/1co/10/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wapagani wa mataifa hutoa sadaka zao kwa nani? + +Wanatoa vitu vyao kwa mapepo na si kwa Mungu. + +# Kwa kuwa Paulo hakutaka waumini wa Korintho kushirikiana na mapepo, jambo gani anawaambia hawawezi kufanya? + +Paulo anawaambia hawawezi kunywea kikombe cha Bwana na kikombe cha mapepo na hawawezi kuwa na ushirika katika meza ya Bwana na katika meza ya mapepo. + +# Kwa kuwa Paulo hakutaka waumini wa Korintho kushirikiana na mapepo, jambo gani anawaambia hawawezi kufanya? + +Paulo anawaambia hawawezi kunywea kikombe cha Bwana na kikombe cha mapepo na hawawezi kuwa na ushirika katika meza ya Bwana na katika meza ya mapepo. + +# Sisi waumini wa Bwana tunapata hatia gani kama tukishirikiana na mapepo? + +Tunapata hatia kwa kumkasirisha Bwana kwa kumtia wivu. + diff --git a/1co/10/23.md b/1co/10/23.md new file mode 100644 index 0000000..cb9227d --- /dev/null +++ b/1co/10/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je tunapaswa kutafuta mazuri yetu wenyewe? + +Hapana. Badala yake kila mmoja atafute mazuri kwa ajili ya jirani yake. + diff --git a/1co/10/25.md b/1co/10/25.md new file mode 100644 index 0000000..c395b2e --- /dev/null +++ b/1co/10/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je unapaswa kufanya nini kama mtu asiyeamini atakualika kula na unataka kwenda? + +Unapaswa kula chochote akupacho bila kuuliza maswali ya dhamiri. + diff --git a/1co/10/28.md b/1co/10/28.md new file mode 100644 index 0000000..6b5b8ea --- /dev/null +++ b/1co/10/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kama asiyeamini atakupa chakula na unapotaka kula anakuambia kimetolewa kwenye sadaka ya wapagani kwa nini hupaswi kula? + +Hupaswi kula kwa ajili ya mtu aliyekupa taarifa na kwa ajili ya dhimiri za watu wengine wengine. + +# kama asiyeamini atakupa chakula na unapotaka kula anakuambia kimetolewa kwenye sadaka ya wapagani kwa nini hupaswi kula? + +Hupaswi kula kwa ajili ya mtu aliyekupa taarifa na kwa ajili ya dhimiri za watu wengine wengine. + diff --git a/1co/10/31.md b/1co/10/31.md new file mode 100644 index 0000000..cd196ba --- /dev/null +++ b/1co/10/31.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Tunapaswa kufanya nini kwa ajili ya utukufu wa Mungu? + +Tunapaswa kufanya mambo yote, ikiwa pamoja na kula na kunywa, kwa utukufu wa Mungu. + +# Kwa nini hatupaswi kuwa kikwazo kwa Wayahudi au Wayunani au kwa kanisa la Mungu? + +Tunapaswa tusiweke kikwako chochote kwao ili waweze kuokolewa. + +# Kwa nini hatupaswi kuwa kikwazo kwa Wayahudi au Wayunani au kwa kanisa la Mungu? + +Tunapaswa tusiweke kikwako chochote kwao ili waweze kuokolewa. + diff --git a/1co/11/01.md b/1co/11/01.md new file mode 100644 index 0000000..aa378a3 --- /dev/null +++ b/1co/11/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Paulo aliwaambia waumini wa Korintho wamuige nani? + +Paulo aliwaambia kumuiga yeye. + +# Paulo alimuiga nani? + +Paulo alimuiga Kristo + +# Kwa jambo gani Paulo aliwasifu waumini wa Korintho? + +Paulo aliwasifu kwa kumkumbuka katika kila jambo na kwa kushika mapokea kama alivyowafundisha. + +# Kichwa cha Kristo ni nani? + +Mungu ni kichwa cha Kristo + +# Kichwa cha mwanaume ni nani? + +Kristo ni kichwa cha kila mwanaume. + +# Kichwa cha mwanamke ni nani? + +Mwanaume ni kichwa cha mwanamke. + +# Hutokea nini mwanaume anaposali huku amefunika kichwa chake? + +Hukiaibisha kichwa chake, kama anaomba huku amefunika chichwa. + diff --git a/1co/11/05.md b/1co/11/05.md new file mode 100644 index 0000000..9f83f7d --- /dev/null +++ b/1co/11/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hutokea nini mwanamke anaposali huku hajafunika kichwa chake? + +Mwanamke yeyote anayesali bila kufunika kichwa chake hukiaibisha kichwa chake. + diff --git a/1co/11/07.md b/1co/11/07.md new file mode 100644 index 0000000..fe5b8f1 --- /dev/null +++ b/1co/11/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini mwanaume hapaswi kufunika kichwa chake? + +Hapaswi kufunika kichwa chake kwa sababu yeye ni taswira na utukufu wa Mungu + diff --git a/1co/11/09.md b/1co/11/09.md new file mode 100644 index 0000000..7f5bda9 --- /dev/null +++ b/1co/11/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mwanamke aliumbwa kwa ajili ya nani? + +Mwanamke aliumbwa kwa ajili ya mwanaume + +# Kulikuwa na desturi gani kwa Paulo, washirika wake na makanisa ya Mungu kuhusu wanawake wanapoomba? + +Ilikuwa ni desturi kwa wanawake kuomba wakiwa wamefunika vichwa vyao. + diff --git a/1co/11/11.md b/1co/11/11.md new file mode 100644 index 0000000..0ff2cb9 --- /dev/null +++ b/1co/11/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini wanaume na wanawake wanategemeana? + +Mwanamke anatoka kwa mwanaume na mwanaume anatoka kwa mwanamke + +# Kwa nini wanaume na wanawake wanategemeana? + +Mwanamke anatoka kwa mwanaume na mwanaume anatoka kwa mwanamke + diff --git a/1co/11/13.md b/1co/11/13.md new file mode 100644 index 0000000..3d1e0d4 --- /dev/null +++ b/1co/11/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kulikuwa na desturi gani kwa Paulo, washirika wake na makanisa ya Mungu kuhusu wanawake wanapoomba? + +Ilikuwa ni desturi kwa wanawake kuomba wakiwa wamefunika vichwa vyao. + +# Kulikuwa na desturi gani kwa Paulo, washirika wake na makanisa ya Mungu kuhusu wanawake wanapoomba? + +Ilikuwa ni desturi kwa wanawake kuomba wakiwa wamefunika vichwa vyao. + diff --git a/1co/11/17.md b/1co/11/17.md new file mode 100644 index 0000000..0686c7a --- /dev/null +++ b/1co/11/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini lazima iwepo migogoro miongoni mwa Wakristo wa Korintho? + +Lazima iwepo migogoro kati yao ili kwamba wajulikane waliokubaliwa. + diff --git a/1co/11/20.md b/1co/11/20.md new file mode 100644 index 0000000..80950fb --- /dev/null +++ b/1co/11/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilikuwa kikitokea wakati Kanisa la Korintho walipokuja kula pamoja? + +Walipokula pamoja kila mmoja alikula chakula chake mwenyewe kabla wengine hawajala. Mmoja alibaki njaa na mwingine alilewa. + diff --git a/1co/11/23.md b/1co/11/23.md new file mode 100644 index 0000000..7adf436 --- /dev/null +++ b/1co/11/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Usiku ule aliposalitiwa Bwana alisema nini baada ya kuuvunja mkate? + +Alisema, "Huu ndio mwili wangu, ulio kwa ajili yenu. Fanyeni hivi kwa kunikumbuka mimi." + +# siku ule aliposalitiwa Bwana alisema nini baada ya kuuvunja mkate? + +Alisema, "Huu ndio mwili wangu, ulio kwa ajili yenu. Fanyeni hivi kwa kunikumbuka mimi." + diff --git a/1co/11/25.md b/1co/11/25.md new file mode 100644 index 0000000..edc2b55 --- /dev/null +++ b/1co/11/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Bwana alisema nini alipokichukua kikombe baada ya chakula cha jioni? + +Alisema,"Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu. Fanyeni hivi mara nyingi kila mywapo, kwa kunikumbuka mimi." + +# Bwana alisema nini alipokichukua kikombe baada ya chakula cha jioni? + +Alisema, "Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu. Fanyeni hivi mara nyingi kila mywapo, kwa kunikumbuka mimi." + diff --git a/1co/11/27.md b/1co/11/27.md new file mode 100644 index 0000000..544f058 --- /dev/null +++ b/1co/11/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa mtu hapaswi kula mkate na kunywa kikombe cha Bwana kwa namna isiyostahili? + +Kufanya hivy kunaleta hatia ya mwili na damu ya Bwana. Unakula na kunywa hukumu yako mwenyewe. + +# Kilitokea nini kwa watu wengi katika kanisa la Korintho kwa wale waliokula mkate na kunywa kikombe cha Bwana kwa namna isiyostahili? + +Wengi wao walikuwa wagonjwa na dhaifu na baadhi yao walikufa. + diff --git a/1co/11/33.md b/1co/11/33.md new file mode 100644 index 0000000..8137cbf --- /dev/null +++ b/1co/11/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anawaambia waumini Korintho wafanye nini wanapokutanika kula pamoja? + +Anawaambia wasubiliane. + diff --git a/1co/12/01.md b/1co/12/01.md new file mode 100644 index 0000000..e0317b3 --- /dev/null +++ b/1co/12/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Paulo anataka Wakristo wa Korintho wafahamu kitu gani? + +Paulo anataka wafahamu kuhusu karama za rohoni. + +# Mtu anayenena kwa Roho wa Mungu kitu gani hawezi kusema? + +Hawezi kusema, "Yesu amelaaniwa" + +# Mtu anaweza kusema "Yesu ni Bwana" kwa namna gani? + +Mtu anaweza kusema, "Yesu ni Bwana" kwa Roho Mtakatifu. + diff --git a/1co/12/04.md b/1co/12/04.md new file mode 100644 index 0000000..bb48d6c --- /dev/null +++ b/1co/12/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mungu humwezesha kila muumini kufanya nini? + +Mungu humwezesha kila muumini kwa karama tofauti, kwa huduma tofauti na kwa kazi mbalimbali. + +# Mungu humwezesha kila muumini kufanya nini? + +Mungu humwezesha kila muumini kwa karama tofauti, kwa huduma tofauti na kwa kazi mbalimbali. + diff --git a/1co/12/07.md b/1co/12/07.md new file mode 100644 index 0000000..32a84c4 --- /dev/null +++ b/1co/12/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini hupewa ufunuo wa Roho? + +Hupewa ufunuo kwa faida ya wote. + diff --git a/1co/12/09.md b/1co/12/09.md new file mode 100644 index 0000000..543ae66 --- /dev/null +++ b/1co/12/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Baadhi ya karama za Roho zinazotolewa ni zipi? + +Baadhi ya karama ni imani, karama ya uponyaji, matendo ya miujiza, unabii, uwezo wa kutofautisha roho, aina tofauti za lugha na tafasiri za lugha. + +# Baadhi ya karama za Roho zinazotolewa ni zipi? + +Baadhi ya karama ni imani, karama ya uponyaji, matendo ya miujiza, unabii, uwezo wa kutofautisha roho, aina tofauti za lugha na tafasiri za lugha. + +# Ni nani anayechagua karama ambazo kila mmoja hupokea? + +Roho hutoa karama kwa kila mmoja kama apendavyo Yeye. + diff --git a/1co/12/12.md b/1co/12/12.md new file mode 100644 index 0000000..2509062 --- /dev/null +++ b/1co/12/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika ubatizo gani wakristo wote walibatizwa? + +Tulibatizwa katika mwili mmoja na tulinyweshwa katika Roho moja. + diff --git a/1co/12/18.md b/1co/12/18.md new file mode 100644 index 0000000..15c30ad --- /dev/null +++ b/1co/12/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nani alibuni na kupangilia sehemu za mwili? + +Mungu alipangilia kila sehemu za mwili kama alivyo buni. + diff --git a/1co/12/21.md b/1co/12/21.md new file mode 100644 index 0000000..435510b --- /dev/null +++ b/1co/12/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Tunaweza kufanya bila viungo vya mwili vinavyoonekana havuna heshima sana? + +Hapana. Viungo vya mwili vinavyoonekana havina heshima sana ni vya muhimu zaidi. + +# Mungu amefanya nini katika viungo vya mwili ikiwa ni pamoja na vile vyenye heshima kidogo? + +Mungu ameviunganisha kwa pamoja viungo vyote vya mwili, na amevipa heshima zaidi vile visivyo heshimiwa. + diff --git a/1co/12/25.md b/1co/12/25.md new file mode 100644 index 0000000..4713f4a --- /dev/null +++ b/1co/12/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Mungu alivipa heshima zaidi viungo vya mwili visivyo heshimiwa? + +Alifanya hivi ili kusiwe na mugawanyiko katika mwili, lakini viungo vinapaswa kujaliana kila mmoja na mwezie kwa upendo sawa. + diff --git a/1co/12/28.md b/1co/12/28.md new file mode 100644 index 0000000..dccf47b --- /dev/null +++ b/1co/12/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mungu amemweka nani katika kanisa + +Katika kanisa Mungu ameweka kwanza mitume, pili manabii, tatu walimu, wale wenye matendo ya miujiza, karama ya uponyaji, wale wasaidiao, viongozi, na wale wanaonena lugha mbali mbali. + diff --git a/1co/12/30.md b/1co/12/30.md new file mode 100644 index 0000000..2dc1ec5 --- /dev/null +++ b/1co/12/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anawaambi wakristo wa Korintho watafute nini? + +Anawaambia watafute karama zilizo kuu. + diff --git a/1co/13/01.md b/1co/13/01.md new file mode 100644 index 0000000..d369433 --- /dev/null +++ b/1co/13/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Paulo angekuwaje kama atanene kwa lugha za wanadamu na malaika bila kuwa na upendo? + +Anekuwa sahaba iliayo au upatu uvumao. + +# Paulo angekuwaje kama angekuwa na karama ya unabii, kujua siri zote na maarifa na kuwa imani kuu lakini asiwe na upendo? + +Angekuwa si kitu. + +# Paulo angewezaje kutoa mali zake zote kuwalisha masikini na kutoa mwili wake uchomwe moto n bado asipate faida? + +Kama hakuwa na upendo asingepata chochote ingawa angefanya mambo hayo yote. + diff --git a/1co/13/04.md b/1co/13/04.md new file mode 100644 index 0000000..5a2ff87 --- /dev/null +++ b/1co/13/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Baadhi ya sifa za upendo ni zipi? + +Upendo huvumilia na hufadhili. Upendo haujisifu au kujivuna. Hauna kiburi au ukorofi. Hautafuti mambo yake, hauoni uchungu haraka, wala hauhesabu mabaya. Haufurahii udhalimu. Badala yake, hufurahi katika kweli. Upendo huvumilia mambo yote; huamini mambo yote, una ujasiri katika mambo yote, na hustahimili mambo yote. + +# Baadhi ya sifa za upendo ni zipi? + +Upendo huvumilia na hufadhili. Upendo haujisifu au kujivuna. Hauna kiburi au ukorofi. Hautafuti mambo yake, hauoni uchungu haraka, wala hauhesabu mabaya. Haufurahii udhalimu. Badala yake, hufurahi katika kweli. Upendo huvumilia mambo yote; huamini mambo yote, una ujasiri katika mambo yote, na hustahimili mambo yote. + diff --git a/1co/13/08.md b/1co/13/08.md new file mode 100644 index 0000000..c4ca6d1 --- /dev/null +++ b/1co/13/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Baadhi ya mambo yatakayo koma ni yapi? + +Unabii, maarifa na kila kitu kisicho kikamilifu kitakoma na lugha zitakoma. + +# Kitu gani hakitakoma? + +Upendo hautakoma. + +# Baadhi ya mambo yatakayo koma ni yapi? + +Unabii, maarifa na kila kitu kisicho kikamilifu kitakoma na lugha zitakoma. + diff --git a/1co/13/11.md b/1co/13/11.md new file mode 100644 index 0000000..5948007 --- /dev/null +++ b/1co/13/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo anasema alifanya nini alipokuwa mtu mzima? + +Paulo anasema alipokuwa mtu mzima aliachana na mambo ya kitoto. + +# Mambo matatu yatadumu, lipi kati ya matatu ni kuu zaidi? + +Imani, tumaini, na upendo vitadumu. Kuu zaidi katika haya ni upendo. + diff --git a/1co/14/01.md b/1co/14/01.md new file mode 100644 index 0000000..cc2ccae --- /dev/null +++ b/1co/14/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Paulo anasema tunapaswa kutamani karama gani ya kiroho? + +Paulo anasema tunapaswa kutamani sana karama ya kutoa unabii. + +# Mtu akinena kwa lugha hunena kwa nani? + +Huwa haneni na watu bali huzungumza na Mungu. + +# Mtu anayetoa unabii humjenga nani na mtu anayenena kwa lugha humjenga nani? + +Anayetoa unabii huwajenga watu, lakini anenaye kwa lugha hujijenga mwenyewe. + +# Mtu anayetoa unabii humjenga nani na mtu anayenena kwa lugha humjenga nani? + +Anayetoa unabii huwajenga watu, lakini anenaye kwa lugha hujijenga mwenyewe. + diff --git a/1co/14/07.md b/1co/14/07.md new file mode 100644 index 0000000..86691d7 --- /dev/null +++ b/1co/14/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo anailinganish na nini hotu isiyoeleweka? + +Paulo anailinganisha na chombo kama filimbi au kinubi visivyoweza kutoa sauti inatambulika, na anafananisha na tarumbeta inayotoa sauti isiyojulikana. + +# Paulo anailinganish na nini hotu isiyoeleweka? + +Paulo anailinganisha na chombo kama filimbi au kinubi visivyoweza kutoa sauti inatambulika, na anafananisha na tarumbeta inayotoa sauti isiyojulikana. + diff --git a/1co/14/12.md b/1co/14/12.md new file mode 100644 index 0000000..8ffceb9 --- /dev/null +++ b/1co/14/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Paulo anasema wakristo wa Korintho wanapaswa watamani zaidi kufanya nini? + +Anasema wanapaswa kutamani zaidi kulijenga kanisa. + +# Anayenena kwa lugha anapaswa aombe kwa ajili ya nini? + +Anapaswa aombe ili aweze kutafasiri. + +# Paulo anasema apoomba kwa lugha akili na roho yake zilifanya nini? + +Paulo alisema kama angeomba kwa lugha, roho yake iliomba, lakini akili yake haikuwa na matunda. + diff --git a/1co/14/15.md b/1co/14/15.md new file mode 100644 index 0000000..4d7a850 --- /dev/null +++ b/1co/14/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo amasema alitaka kuimba na kuomba kwa namna gani? + +Paulo alisema alitaka kuomba na kuimba kwa roho na kwa akili. + diff --git a/1co/14/17.md b/1co/14/17.md new file mode 100644 index 0000000..eb58905 --- /dev/null +++ b/1co/14/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alisema atafanya nini zaidi kuliko kunena maneno elfu kumi katika lugha? + +Paulo alisema angezungumza maneno matano kwa ufahamu ili kuwafundisha wengine. + diff --git a/1co/14/22.md b/1co/14/22.md new file mode 100644 index 0000000..5aa0c87 --- /dev/null +++ b/1co/14/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kunena kwa lugha na kutoa unabii ni ishara kwa nani? + +Kunena kwa lugha ni ishara kwa wasioamini na kutoa unabii ni ishar kwa waaminiao. + +# Wageni na wasioamini wangesema nini kama watakuja kanisani na kukuta watu wote wananena kwa lugha? + +Wangesema kuwa waumini wanawazimu. + diff --git a/1co/14/24.md b/1co/14/24.md new file mode 100644 index 0000000..00a61f7 --- /dev/null +++ b/1co/14/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo anasema kingetokea nini kama wote kanisani watatoa unabii na asiyeamini au mgeni akaja kanisani? + +Paulo anasema asiyeamini au mgeni atashawishiwa kwa mambo yote anayoyasikia, na atahukumiwa na yote yanayosemwa. + +# Asiyeamini au mgeni angefanya nini kama unabii unaotolewa unafunua siri za moyo wake? + +Angeanguka kufudifudi, na kumwabudu Mungu na kukiri kwamba Mungu yupo miongoni mwao. + diff --git a/1co/14/26.md b/1co/14/26.md new file mode 100644 index 0000000..4d94f23 --- /dev/null +++ b/1co/14/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo anatoa mafundisho gani kwa wale wanaonena kwa lugha katika masanyiko ya waumini? + +Anasema watu wawili au watu tu wanatakiwa kunena, kwa kupeana zamu. Kama hakuna mtu wa kutafasiri kila mmoja wao anatakiwa kukaa kimya ndani ya kanisa. + +# Paulo anatoa mafundisho gani kwa wale wanaonena kwa lugha katika masanyiko ya waumini? + +Anasema watu wawili au watu tu wanatakiwa kunena, kwa kupeana zamu. Kama hakuna mtu wa kutafasiri kila mmoja wao anatakiwa kukaa kimya ndani ya kanisa. + diff --git a/1co/14/29.md b/1co/14/29.md new file mode 100644 index 0000000..9871d24 --- /dev/null +++ b/1co/14/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo anatoa mafundisho gani kwa manabii wakati kanisa linapokutanika pamoja? + +Paulo anasema manabii wawili au watatu wahutubu, na wengine wasikilize kwa kupambanua kinachosemwa. kama nabii mwingine anamaono, yule aliyekuwa akinena anapaswa kunyamaza. + +# Paulo anatoa mafundisho gani kwa manabii wakati kanisa linapokutanika pamoja? + +Paulo anasema manabii wawili au watatu wahutubu, na wengine wasikilize kwa kupambanua kinachosemwa. kama nabii mwingine anamaono, yule aliyekuwa akinena anapaswa kunyamaza. + diff --git a/1co/14/34.md b/1co/14/34.md new file mode 100644 index 0000000..940e38b --- /dev/null +++ b/1co/14/34.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Paulo alisema wanawake hawaruhusiwi kuongea sehemu gani? + +Paulo alisema wanawake hawaruhusiwi kuongea kanisani. + +# Paulo alisema wanawake wafanye nini kama wanatamani kujifunza jambo lolote? + +Paulo aliwaambia wawaulize waume zao nyumbani. + +# Watu walionaje kama mwanamke aliongea kanisani. + +Waliona kuwa ni swala la kuleta aibu. + diff --git a/1co/14/37.md b/1co/14/37.md new file mode 100644 index 0000000..3de4ab0 --- /dev/null +++ b/1co/14/37.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alisema wale wanaofikiri ni manabii au wa tu wa kiroho wanapaswa kukiri nini? + +Paulo alisema wanapaswa kukiri kuwa mambo aliyowaandikia waumini wa Korintho yalikuwa ni amri ya Bwana. + diff --git a/1co/14/39.md b/1co/14/39.md new file mode 100644 index 0000000..5598c4a --- /dev/null +++ b/1co/14/39.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kila kitu kanisani kinapaswa kutendeka kwa namna gani? + +Mambo yote yanapaswa yafanyike kwa uzuri na kaika utaratibu. + diff --git a/1co/15/01.md b/1co/15/01.md new file mode 100644 index 0000000..a5c89c8 --- /dev/null +++ b/1co/15/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo nawakumbusha nini akina kaka na akina dada? + +Anawakumbusha wao kuhusu injli aliyoitangaza kwao. + +# Shariti gani walipaswa kulitimiza watu wa Korintho kama walitaka waokolewe kwa injili ayowahubiri Paulo? + +Paulo aliwaambia wangeokolewa kama walishikilia kwa udhabiti neno alilowahibiria. + diff --git a/1co/15/03.md b/1co/15/03.md new file mode 100644 index 0000000..6cbc755 --- /dev/null +++ b/1co/15/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sehemu gani ya injili amabayo ilikuwa kipaumblele? + +Sehemu ambayo ilikwa ya muhimu kwanza ilikuwa kwamba Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu kulingana na maandiko na kwamba alizikwa, na kwamba alifufuliwa siku ya tatu kulingana na maandiko. + diff --git a/1co/15/08.md b/1co/15/08.md new file mode 100644 index 0000000..cd1344e --- /dev/null +++ b/1co/15/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alimtokea nani baada ya kuwa amefufuliwa kutoka kwa wafu? + +Baada ya kuwa amefufuliwa kutoka kwa wafu, Kristo alimtokea Kefasi, wale kumi na wawili, akina kaka na akina dada zaidi ya miatano kwa mara moja, Yakobo, mitume wote na Paulo. + +# Kwa nini Paulo alisema alikuwa mdogo miongoni mwa mitume wengine? + +Alisema hivyo kwa sababu alilitesa kanisa la Mungu. + diff --git a/1co/15/12.md b/1co/15/12.md new file mode 100644 index 0000000..3731247 --- /dev/null +++ b/1co/15/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Paulo alitoa dokezo gani kwa baadhi ya waumini wa Wakorintho waliokuwa wakisema kuhusu ufufuo? + +Alidokeza kuwa baadhi yao walikuwa wakisema hakuna ufufuo kutoka kwa wafu. + +# Kama hakuna ufufuo wa wafu Paulo anasema jambo gani pia linaweza kuwa la kweli? + +Paulo anasema kama ni hivyo hata Kristo pia hakufufuka katika wafu na mahubiri ya Paulo na wenzake ni ubatili na imani ya Wakorintho ni ya bure. + +# Kama hakuna ufufuo wa wafu Paulo anasema jambo gani pia linaweza kuwa la kweli? + +Paulo anasema kama ni hivyo hata Kristo pia hakufufuka katika wafu na mahubiri ya Paulo na wenzake ni ubatili na imani ya Wakorintho ni ya bure. + diff --git a/1co/15/18.md b/1co/15/18.md new file mode 100644 index 0000000..8c5dd71 --- /dev/null +++ b/1co/15/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kama kristo hajafufuka, nini kilitokea kwa wale waliokufa katika Kristo? + +Wameangamia. + +# Paulo anasema kama tunaujasiri katika maisha haya kwa tumaini lililo katika Kristo jambo gani lingekuwa la kweli? + +Kama ndivyo, Paulo anasema hivyo kwa watu wote, sisi ni wakuhurumiwa zaidi. + diff --git a/1co/15/20.md b/1co/15/20.md new file mode 100644 index 0000000..c1e99c0 --- /dev/null +++ b/1co/15/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anamuitaje Kristo? + +Anamuita Kristo, "tunda la kwanza la wale ambao wamekufa". + diff --git a/1co/15/22.md b/1co/15/22.md new file mode 100644 index 0000000..a7500b2 --- /dev/null +++ b/1co/15/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni mtu gani ambaye kifo kilikuja duniani kupitia kwake na mtu gani ambaye ufufuo wa wafu ulikuja kupitia kwake? + +Adamu alileta kifo katika dunia na kwa kupitia Kristo wote tutafanywa hai; fufuliwa. + +# Wakati gani wale walio katika Kristo watafanywa hai? + +Hii atatokea Kristo atakapokuja. + diff --git a/1co/15/24.md b/1co/15/24.md new file mode 100644 index 0000000..edaf9c8 --- /dev/null +++ b/1co/15/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nini kitatokea mwishoni? + +Kristo atakabidhi ufalme wa mbinguni kwa Mungu Baba, pale atakapo komesha utawala zote na mamlaka na nguvu. + +# Kristo atatawala kwa muda gani? + +Ni lazima atawale ampaka atakapowaweka chini ya miguu yake maadui wake wote. + +# Adui wa mwisho kuharibiwa ni nani? + +Adui wa mwisho kuharibiwa ni kifo + diff --git a/1co/15/27.md b/1co/15/27.md new file mode 100644 index 0000000..48f751d --- /dev/null +++ b/1co/15/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nani ambaye hajajumlishwa pale inaposema, "ameweka kila kitu chini ya miguu yake." + +Ni yule anayeweka kila kitu chini ya Mwana (yeyemwenyewe) hajajumlishwa kama kuwa chini (kwa mwana). + +# Mwana atafanya nini ili Mungu Baba awe yote katika yote? + +Mwana mwenyewe atatiishwa chini yake yeye aviwekaye chini yake vitu vyote. + diff --git a/1co/15/33.md b/1co/15/33.md new file mode 100644 index 0000000..9a705dc --- /dev/null +++ b/1co/15/33.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo anawaagiza Wakorintho kufanya nini? + +Anawaagiza kuwa kiasi, kuishi katika haki, na wasiendelee kutenda dhambi. + +# Kitu gani Paulo alisema ni cha aibu kwa Wakorintho + +Alisema baadhi yao hawakuwa na maarifa ya Mungu. + diff --git a/1co/15/35.md b/1co/15/35.md new file mode 100644 index 0000000..2dcd6af --- /dev/null +++ b/1co/15/35.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Paulo anafananisha ufufuo wa wafu na kitu gani? + +Anafananisha na mbengu iliyo pandwa. + +# Paulo anafananisha ufufuo wa wafu na kitu gani? + +Anafananisha na mbengu iliyo pandwa + +# Nini hutokea kabla ya mbegu kuota? + +Ni lazima ife. + diff --git a/1co/15/37.md b/1co/15/37.md new file mode 100644 index 0000000..e468517 --- /dev/null +++ b/1co/15/37.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je mbegu iliyochipuka iliyopandwa inafanana na mwili (mmea) ambao umetoka katika mbegu? + +Kile ulichopanda hakifanani na vile utakavyo kuwa mwili hapo baadaye. + +# Je miili yote ni sawa? + +Hapana. Miili yote haifanani, mwili wa mwanadamu, wanyama, ndege na samaki vyote vinatofautiana. + diff --git a/1co/15/40.md b/1co/15/40.md new file mode 100644 index 0000000..51ee4b0 --- /dev/null +++ b/1co/15/40.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kuna aina zingine za miili? + +Kuna miili ya mbinguni na miili ya duniani. + +# Je jua,mwezi na nyota vyote viana utukufu sawa? + +Kuna utukufu mmoja wa jua, na utukufu mwingine wa mwezi, na utukufu mwingine wa nyota. Kwa kuwa nyota moja inatofautiana na nyota nyingine katika utukufu. + diff --git a/1co/15/42.md b/1co/15/42.md new file mode 100644 index 0000000..ac271a0 --- /dev/null +++ b/1co/15/42.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwa namna gani miili yetu iliyoharibika inapandwa? + +Inapandwa kama miili ya asili, katika kutoheshimiwa na udhaifu + +# Hali yetu ikoje pale tunapofufuliwa kutoka kwa wafu? + +Kile kinacho fufuliwa ni mwili wa kiroho usioharibika; uliofufuliwa katika utukufu na nguvu. + diff --git a/1co/15/45.md b/1co/15/45.md new file mode 100644 index 0000000..5b935e6 --- /dev/null +++ b/1co/15/45.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mwanadamu wa kwanza Adamu alifanyika nini? + +Alifanyika roho inayoishi. + +# Adamu wa mwisho alifanyika nini? + +alifanyika roho itoayo uhai. + diff --git a/1co/15/47.md b/1co/15/47.md new file mode 100644 index 0000000..7aaaf94 --- /dev/null +++ b/1co/15/47.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mtu wa kwanza na mtu wa pili walitoka wapi? + +Mtu wa kwanza ni wa dunia, alitengenezwa kwa mavumbi. Mtu wa pili ni wa mbinguni. + +# Tumechukua sura ya nani na tutachukua sura ya nani? + +Kama vile tulivyochukua sura ya mtu anayetokana na mavumbi, pia tuatachukua sura ya mtu wa mbinguni. + diff --git a/1co/15/50.md b/1co/15/50.md new file mode 100644 index 0000000..08a36b4 --- /dev/null +++ b/1co/15/50.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kitu gani hakiwezi kuurithi ufalme wa Mungu? + +Mwili na damu haviwezi kuurithi ufalme wa Mungu. + +# Nini kitatokea kwetu sote? + +Wote tutabadilishwa + diff --git a/1co/15/52.md b/1co/15/52.md new file mode 100644 index 0000000..288721d --- /dev/null +++ b/1co/15/52.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni lini na kwa haraka kiasi gani tutabadilishwa? + +Ni pale sauti ya mwisho ya mbiu itakapolia tutabadilishwa hapo hapo, katika kufumba na kufumbua. + diff --git a/1co/15/54.md b/1co/15/54.md new file mode 100644 index 0000000..c192b01 --- /dev/null +++ b/1co/15/54.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kitatokea wakati huu uharibifu umewekwa katika kutokuharibika na huu ubinadamu umewekwa katika milele? + +Kifo kitamezwa na ushindi. + diff --git a/1co/15/56.md b/1co/15/56.md new file mode 100644 index 0000000..fba6926 --- /dev/null +++ b/1co/15/56.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Uchungu wa kifo ni nini na nguvu ya dhambi ni nini? + +Uchungu wa kifo ni dhambi na nguvu ya kifo ni sheria. + +# Mungu anatupa ushindi kupitia kwa nani? + +Mungu anatupatia ushindi kupitia kwa Bwana Yesu Kristo . + diff --git a/1co/15/58.md b/1co/15/58.md new file mode 100644 index 0000000..cbd5131 --- /dev/null +++ b/1co/15/58.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni sababu gani Paulo anawaambia akina kaka na akina dada Wakorintho kusimama imara, wasiyumbe, kila siku kwa wingi katika kazi ya Bwana.? + +Anawaambia kufanya hivi kwa sababu wanajua kuwa kazi yao katika Bwana sio bure. + diff --git a/1co/16/01.md b/1co/16/01.md new file mode 100644 index 0000000..6f9bd81 --- /dev/null +++ b/1co/16/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo alimwelekeza nani kwa njia ileile kama katika Korintho kuhusu michango kwa ajili ya watakatifu? + +Paulo aliyaelekeza makanisa ya Galatia katika njia ileile kama katika kanisa la Koritho. + +# Paulo aliwaelekeza kanisa la Korintho wakusanye michango kwa namna gani? + +Aliwaambia kuwa katika siku ya kwanza ya wiki, kila mmoja wao aweke kitu fulani kando na kukihifadhi, kama muwezavyo, ili kwamba kusiwe na michango Paulo atakapo kuja . + diff --git a/1co/16/03.md b/1co/16/03.md new file mode 100644 index 0000000..ae91376 --- /dev/null +++ b/1co/16/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sadaka ilikuwa inaenda kwa nani? + +Ilikuwa inaenda kwa watakatifu wa Yerusalemu. + diff --git a/1co/16/05.md b/1co/16/05.md new file mode 100644 index 0000000..031fab1 --- /dev/null +++ b/1co/16/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni lini Paulo alikuwa aende katika kanisa la Koritho? + +Alisema atakwenda pale atakapo safiri kupitia Makedonia. + diff --git a/1co/16/07.md b/1co/16/07.md new file mode 100644 index 0000000..591feb2 --- /dev/null +++ b/1co/16/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini Paulo hakutaka kuwaona watakatifu wa Korintho kwa haraka katika muda mfupi? + +Paulo alitaka kuwatembele na kukaa nao kwa muda mrefu, kama Bwana angeruhusu. + +# Kwa nini Paulo alitaka kukaa Efeso hadi Pentekoste? + +Paulo alikaa Efeso kwa sababu kulikulifunguliwa mlango mpana kwa ajili yake, na kulikuwa na maadui wengi. + diff --git a/1co/16/10.md b/1co/16/10.md new file mode 100644 index 0000000..7fcc228 --- /dev/null +++ b/1co/16/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Timotheo alikuwa akifanya nini? + +Alikuwa akifanya kazi ya Bwana kama Paulo. + +# Paulo aliamuru nini katika kanisa la Koritho kuhusu Timotheo? + +Paulo aliliambia kanisa la Koritho lione kwamba Timotheo alikuwa pamoja nao pasipo kuogopa. Paulo aliwaambia wasimdharau Timotheo na pia wamsaidie katika njia yake kwa amani. + +# Paulo alimhimiza Apolo kufanya nini? + +Paulo alimhimiza Apolo kuwatembelea watakatifu wa Korintho> + diff --git a/1co/16/15.md b/1co/16/15.md new file mode 100644 index 0000000..9711b1d --- /dev/null +++ b/1co/16/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wapi kati ya wakoritho walikuwa wamejiweka wenyewe kwenye huduma ya watakatifu? + +Kaya ya Stefana, walijiweka wenyewe kwenye huduma ya watakatifu. + +# Paulo aliwaambi watakatifu wa Wakorintho wafanye nini kwa ajili ya kaya ya Stefana? + +Paulo aliwaambia kuwa wanyenyekevu kwa watu hao. + diff --git a/1co/16/17.md b/1co/16/17.md new file mode 100644 index 0000000..16d015b --- /dev/null +++ b/1co/16/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Stefana, Fortunato, na Akiko walifanya nini kwa Paulo? + +Walisimama kwa niaba ya watakatifu wa Koritho na wakaufurahisha moyo wa Paulo. + diff --git a/1co/16/19.md b/1co/16/19.md new file mode 100644 index 0000000..59fe079 --- /dev/null +++ b/1co/16/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nani alituma salamu zao kwa kanisa? + +Makanisa ya Asia, Akila na Priska, na akina kaka wote na akina dada walituma saalamu zao kwa kanisa la Koritho. + diff --git a/1co/16/21.md b/1co/16/21.md new file mode 100644 index 0000000..593d393 --- /dev/null +++ b/1co/16/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anasema nini kuhusu wale wanaompenda Bwana? + +Paulo alisema, "Kama yeyote hampendi Bwana, basi laana iwe juu yake." + diff --git a/1jn/01/01.md b/1jn/01/01.md new file mode 100644 index 0000000..e009baa --- /dev/null +++ b/1jn/01/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je! Yohana anasema ni nini kilichokuwa tangu mwanzo? + +Yohana anasema Neno la uzima lilikuwako tangu mwanzo + +# Ni jinsi gani Yohana aliweza kujua kuhusu Neno la uzima? + +Ni kwa sababu lile Neno lilifunuliwa + +# Neno la uzima lilikuwa wapi kabla halijafunuliwa kwa Yohana? + +Neno la Uzima lilikuwa pamoja na Baba kabla halijafunuliwa kwa Yohan + diff --git a/1jn/01/03.md b/1jn/01/03.md new file mode 100644 index 0000000..6f4be35 --- /dev/null +++ b/1jn/01/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini Yohana anatangaza alilolisikia na kuliona? + +Yohana anatangaza alilolina na kulisikia Ili kwamba wawe na ushirika pamoja naye. + +# Ni pamoja na nani ambaye tayari Yohana ameshakuwa na ushirika naye? + +Tayari Yohana ameshakuwa na ushirika pamoja na Baba na Mwanawe, Yesu Kristo . + diff --git a/1jn/01/05.md b/1jn/01/05.md new file mode 100644 index 0000000..5c7661e --- /dev/null +++ b/1jn/01/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni ujumbe gani kutoka kwa Mungu ambao Yohana anautanagaza kwa wasomaji wake? + +Yohana anatangaza ujumbe kwamba Mungu ni nuru na ndani yake hakuna giza hata kidogo + +# Yohana ansema nini kuhusu mtu anayesema ana ushirika na Mungu, anatmbelea gizani? + +Yohana anasema kwamba mtu kama huyo ni mwongo na haenendi katika kweli. + +# Kwa wale wanaotembea nuruni, ni kitu gani huwatakasa kutoka dhambi zote? + +Ni damu ya Yesu huwatakaza kutoka dhambi yote. + diff --git a/1jn/01/08.md b/1jn/01/08.md new file mode 100644 index 0000000..e8cbfbe --- /dev/null +++ b/1jn/01/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yohana anasema nini kwa mtu asemaye kwamba hawana dhambi? + +Tukisema kwamba hatuna dhambi twamfanya yeye kuwa mdanganyifu, na neno lake halimo ndani yetu. + diff --git a/1jn/02/01.md b/1jn/02/01.md new file mode 100644 index 0000000..dcf0805 --- /dev/null +++ b/1jn/02/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kristo ni dhabihu kwa dhambi za nani? + +Yesu Kristo ni dhabihu kwa dhambi kwa ajili ya ulimwengu mzima. + +# Tunajuaje kama tunamjua Yesu Kristo? + +Tunajua kama tunamjua Yesu Kristo kama tukizishika sheria zake + diff --git a/1jn/02/04.md b/1jn/02/04.md new file mode 100644 index 0000000..e6cafcd --- /dev/null +++ b/1jn/02/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni aina gani ya mtu yule anayesema wanamjua Mungu, lakini hazishiki amri za Mungu? + +Yule anayesema wanamjua Mungu, lakini hazishiki amri za Mungu, ni mwongo + +# aaminiye yampasa kuenenda namna gani? + +Aaminiye yampasa kuenenda kama vile Yesu Kristo alivyoenenda. + diff --git a/1jn/02/09.md b/1jn/02/09.md new file mode 100644 index 0000000..1ecc868 --- /dev/null +++ b/1jn/02/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hali ya kiroho ya mtu asemaye yuko kwenye nuru, lakini anamchukia nduguye? + +Mtu asemaye yuko nuruni, lakini anamchukia ndugu yake, yumo gizani. + +# Hali ya kiroho ya mtu asemaye yuko kwenye nuru, lakini anamchukia nduguye? + +Mtu asemaye yuko nuruni, lakini anamchukia ndugu yake, yumo gizani. + diff --git a/1jn/02/12.md b/1jn/02/12.md new file mode 100644 index 0000000..88c08b3 --- /dev/null +++ b/1jn/02/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Mungu husamehe dhambi za waaminio? + +Mungu husamehe dhambi za waaminio kwa ajili ya Jina la Kristo + diff --git a/1jn/02/15.md b/1jn/02/15.md new file mode 100644 index 0000000..52f65b4 --- /dev/null +++ b/1jn/02/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yohana anasema tabia ya aaminiye ni lazima iweje upande wa vitu vya duniani? + +Yohana anasema haimpasi mwamini kuipenda duni wala mambo ya dunia. + +# Ni mamb gani matatu yaliyomo dunani ambayo Yohana anataja kuwa hayatokani na Baba? + +Anataja tamaa za mwili, tamaa ya macho na kiburi cha uzima kuwa yamo ulimwenguni na siyo ya Baba. + diff --git a/1jn/02/18.md b/1jn/02/18.md new file mode 100644 index 0000000..1da60c9 --- /dev/null +++ b/1jn/02/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yohana anasemaje kuwa anajua kwamba ni saa ya mwisho? + +Anasema anajua kuwa ni saa ya mwisho kwa sababu wapinga Kristo wamishakuja. + +# Ni nani ambaye Yohana anaseama kwamba anakuna? + +Anasema kwamba mpinga risto anakukuja + diff --git a/1jn/02/22.md b/1jn/02/22.md new file mode 100644 index 0000000..aafaa83 --- /dev/null +++ b/1jn/02/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mpanga Kristo atafanya nini ambao litatuwezesha kumtambua? + +Mpinga Kristo anamkataa Baba na Mwana + +# Je? mtu yeyote nayemkana Mwana ana Baba? + +Hapana, anayemkana Mwana wawezi kuwa Baba + diff --git a/1jn/02/24.md b/1jn/02/24.md new file mode 100644 index 0000000..c05cbdb --- /dev/null +++ b/1jn/02/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yohana anawaambi waaminio wafanye nini ili kubaki ndani ya Mwana na Baba? + +Yahana anawaambia waaminio kukaa ndani ya lile walilolisikia tangu mwanzo. + +# Ni ahadi gani ambayo imeahidiwa na Mungu kwa waaminio? + +Mungu amewaahidi waaminio uzima wa milele. + diff --git a/1jn/02/27.md b/1jn/02/27.md new file mode 100644 index 0000000..1b47d23 --- /dev/null +++ b/1jn/02/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni misimamo gani watakuwa nayo wale wanaodumu ndani ya Mwana Kristo atakapotkea siku ya majilio yake? + +Wale wanaodumu ndani ya Mwana watakua na ujasiri na hawaaibika Kristo atakapotoke siku ya majilio yake. + diff --git a/1jn/03/01.md b/1jn/03/01.md new file mode 100644 index 0000000..3a80483 --- /dev/null +++ b/1jn/03/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni kitu gani Baba amewapa waumini kwa sababu ya pendo lake? + +Baba amewapa waumini jina watoto wa Mungu. + +# Jambo gani litatokea kwa waaminio Kristo atakapotokea? + +Kristo atakoonekana, waaminio watakuwa kama Kristo, na watamwona kama alivyo. + +# Kila aaminiye anayematuaini Kristo anatakiwa kufanya nini kuhusiana na yeye mwenyewe? + +Kila mwamini anayetumaini katika Kristo hujitakasa mwenyewe. + diff --git a/1jn/03/04.md b/1jn/03/04.md new file mode 100644 index 0000000..0451575 --- /dev/null +++ b/1jn/03/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kristo hana nini ndani yake + +Kristo hana dhambi ndani yake. + +# Yule anayeendelea kutenda dhambi anauhusiano gani kwa Mungu? + +Yeyote anayeendelea katika dhambi hata hajamwona Kristo, wala kumfahamu. + diff --git a/1jn/03/07.md b/1jn/03/07.md new file mode 100644 index 0000000..4ca2f89 --- /dev/null +++ b/1jn/03/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwasababu gani Mwana wa Mungu alidhihirishwa? + +Mwana wa Mungu alidhihirishwa kuziharibu kazi za ibilisi. + diff --git a/1jn/03/09.md b/1jn/03/09.md new file mode 100644 index 0000000..67279c6 --- /dev/null +++ b/1jn/03/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa namna gani watoto wa Mungu na watoa wa ibilisi kila mmoja hufunuliwa? + +Watoto wa Mungu hufunuliwa kulingana na wanavyotenda haki, na watoto wa ibilisi hufunuliwa kulingana na wanavyotenda dhambi + diff --git a/1jn/03/11.md b/1jn/03/11.md new file mode 100644 index 0000000..5c5b831 --- /dev/null +++ b/1jn/03/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kaini alionyeshaje kwamba alikuwa mtoto wa yule mwovu? + +Kaini alionyesha kwamba alikuwa mtoto wa yule mwovu alipomuua ndugu yake. + diff --git a/1jn/03/13.md b/1jn/03/13.md new file mode 100644 index 0000000..0ca6fc3 --- /dev/null +++ b/1jn/03/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni katika jambo gani Yohana anasema waumini wasije kushangaa? + +Yohana anasema waumini wasishangae endapo kwamba ulimwengu unawachukia. + +# Ni tabia gani mbele ya waaminio ambayo huonyesha kuwa mtu fulani ni mtoto wa Mungu? + +Tabia ya upendo mbele ya waaminio huonyesha kuwa mtu fulani ni mtoto wa Mungu + diff --git a/1jn/03/16.md b/1jn/03/16.md new file mode 100644 index 0000000..42dea5c --- /dev/null +++ b/1jn/03/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Jinsi gani tunaweza kuujua upendo ulivyo? + +Twajua upendo nini kwa sababu Kristo aliutoa uhai wake kwa ajili yetu. + +# Kama kuna ndugu mwenye mahitaji, aminiye ataulionyeshaje pendo la Mungu? + +Ikiwa kuna ndugu yuko kwenye uhitaj, mwamini hulionyesha pendo la Mungu kwa kumsaidia kwa mali ya duniani. + diff --git a/1jn/03/19.md b/1jn/03/19.md new file mode 100644 index 0000000..139c45b --- /dev/null +++ b/1jn/03/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mwamini anapolionyesha pendo la Mungu katika matendo na kweli, huwa anapokea nini kwa ajili yake mwenyewe? + +Muumini anapolionyesha pendo la Mungu katika matendo na kweli, hupata uhakika na ujasiri mbele za Mungu kwa ajili yake mwenyewe. + diff --git a/1jn/03/23.md b/1jn/03/23.md new file mode 100644 index 0000000..36b5d2d --- /dev/null +++ b/1jn/03/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, Ni amri ipi ya Mungu amboyo Yohana anawakumbusha waaminio? + +Yohana anawakumbusha waaminio amri ya Mungu ya kuamini katika jina la Mwanawe Yesu Kristo na kupendana wao kwa wao. + +# Mungu amewapa nini waaminio ili kujua kwamba Mungu anakaa ndania yao? + +Mungu amewapa waamini Roho wake ili wajue kwamba Mungu anakaa ndani yao. + diff --git a/1jn/04/01.md b/1jn/04/01.md new file mode 100644 index 0000000..249a67a --- /dev/null +++ b/1jn/04/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa nini Yohana aliwaonya waamini kutoamini kila roho? + +Yohana aliwonya waamini kwa sababu kuna manabii wengi wa uongo ambao wametokea duniani. + +# Unawezaje kujua kama Roho wa Mungu anazungumza? + +Kila roho inakayokiri kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili ni ya Mungu, + +# Ni roho gani isiyokrisi kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili? + +roho ya mpinga Kristo hakiri kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili. + diff --git a/1jn/04/04.md b/1jn/04/04.md new file mode 100644 index 0000000..0fbdadd --- /dev/null +++ b/1jn/04/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nani anayesemwa na Yohana kuwa ni Roho Mkuu + +Roho Mkuu ni yule aliye ndani ya waaminio, mkuu kuliko roho zingine za duniani. + diff --git a/1jn/04/07.md b/1jn/04/07.md new file mode 100644 index 0000000..1f1da8d --- /dev/null +++ b/1jn/04/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Waaminio wanafanya nini kinachoonyesha wanamjua Mungu na kuwa kama yeye alivyo? + +Waaminio kupendana wao kwa wao, ndiko kunakoonyesha wanamjua Mungu, kwa sababu Mungu ni pendo. + diff --git a/1jn/04/09.md b/1jn/04/09.md new file mode 100644 index 0000000..2883e29 --- /dev/null +++ b/1jn/04/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwa jinsi gani Mungu amefunua pendo lake kwetu? + +Mungu amefunua pendo lake kwetu kwa kumtuma mwanawe wa pekee duniani. + +# Ni kwa kusudi gani Baba alimutma Mwanawe? + +Baba alimtuma Mwanawe ulimwenguni ili tuishi kupitia yeye. + diff --git a/1jn/04/15.md b/1jn/04/15.md new file mode 100644 index 0000000..dd452af --- /dev/null +++ b/1jn/04/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kipi ambacho mwamini wa kweli hukiri kuhusu Yesu? + +Mwamini wa kweli hukiri kuwa Yesu ni Mwana wa Mungu + diff --git a/1jn/04/17.md b/1jn/04/17.md new file mode 100644 index 0000000..ad734b6 --- /dev/null +++ b/1jn/04/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wanaokaa ndani ya pendo na ndani ya Mungu watakauwa na msimamo gani siku ya hukumu? + +Wanaokaa ndani ya pendo na ndani ya Mungu watakuwa na ujasiri katika siku ya hukumu. + diff --git a/1jn/04/19.md b/1jn/04/19.md new file mode 100644 index 0000000..bcad136 --- /dev/null +++ b/1jn/04/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni kwa jinsi gani tunaweza kupenda? + +Tunapenda kwa sababu Mungu alitupenda kwanza. + +# Anauhusiano gani na Mungu mtu anayemchukia ndugu yake? + +Mtu anayemchukia ndugu yake hawezi kumpenda Mungu. + +# Wale wanaompenda Mungu ni lazima wampende nani pia? + +Wanaompenda Mungu ni lazima wawapende ndugu zao pia. + diff --git a/1jn/05/01.md b/1jn/05/01.md new file mode 100644 index 0000000..7478cbc --- /dev/null +++ b/1jn/05/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Tunaonyeshaje kwamba tunampenda Mungu? + +Tunaonyesha kwamba tunampenda Mungu tunapozishika amri zake. + diff --git a/1jn/05/04.md b/1jn/05/04.md new file mode 100644 index 0000000..e7d385a --- /dev/null +++ b/1jn/05/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni ushindi gani ambao umeushinda ulimwengu? + +Ushindi ambao umeushinda ulimwengu ni imani yetu. + diff --git a/1jn/05/06.md b/1jn/05/06.md new file mode 100644 index 0000000..c34d5cc --- /dev/null +++ b/1jn/05/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kristo alikuja kwa mambo gani mawili? + +Yesu Kristo alikuja kwa maji na kwa damu + +# Ni mambo gani matatu yanayomshudia Jesu Kristo? + +Roho, maji, na damu yote humshuhudia Yesu Kristo. + diff --git a/1jn/05/09.md b/1jn/05/09.md new file mode 100644 index 0000000..69487b8 --- /dev/null +++ b/1jn/05/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je mtu yeyote ambaye haamini ushuhuda wa Mungu juu ya Mwanawe, kufanyia nini Mungu? + +Mtu yeyote ambaye haamini ushuhuda wa Mungu juu ya Mwanawe humfanya Mungu kuwa mwongo. + diff --git a/1jn/05/11.md b/1jn/05/11.md new file mode 100644 index 0000000..aebdc75 --- /dev/null +++ b/1jn/05/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mungu ametupa nini sisi katika mwana wake? + +Mungu ametupa uzima wa milele katika mwana wake. + diff --git a/1jn/05/13.md b/1jn/05/13.md new file mode 100644 index 0000000..eeb82d4 --- /dev/null +++ b/1jn/05/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Waaaminio wanaujasiri gani mbele za Mungu? + +Waaminio wana ujasiri mbele za Mungu kwamba kama wakiomba kitu chochote sawa sawa na mapenzi yake, huwasikia. + diff --git a/1jn/05/16.md b/1jn/05/16.md new file mode 100644 index 0000000..e41ab8c --- /dev/null +++ b/1jn/05/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mwamini anapomwaona ndugu yake natenda dhambi iisiyopelekea mauti ni lazima afanye nini? + +Mwamini anamwona ndugu yake anatenda dhambi isiyopelekea kifo ni lazima kuomba kwamba Mungu atampa uzima ndugu yake. + +# Uasi wote ni nini? + +Uasi wote ni dhambi + diff --git a/1jn/05/18.md b/1jn/05/18.md new file mode 100644 index 0000000..37b9702 --- /dev/null +++ b/1jn/05/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ulimwengu wote uko wapi + +Ulimwengu wote uko chini ya utawala wa yule mwovu. + diff --git a/1jn/05/20.md b/1jn/05/20.md new file mode 100644 index 0000000..4493a14 --- /dev/null +++ b/1jn/05/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mungu wa kweli ni nani? + +Mungu wa kweli ni Baba wa Yesu Kristo. + +# Ni lazima waaminio wajiepushe na nini? + +Ni lazima waaminio wajiepushe na sanamu. + diff --git a/1pe/01/01.md b/1pe/01/01.md new file mode 100644 index 0000000..6d960f0 --- /dev/null +++ b/1pe/01/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni nani ambaye Petro alikuwa mtume? + +Petro alikuwa mtume wa Yesu Kristo. + +# Petro aliandikua kwa nani? + +Petro aliwaandikia wageni wa mgawanyiko, waliochaguliwa, huko Ponto, Galatia, Kapadokia, Asia, na Bithinia. + +# Wageni waliwezaje kuchaguliwa? + +Wageni waliwachaguliwa kulingana na utambuzi wa Mungu Baba, na kwa utakaso wa Roho Mtakatifu. + diff --git a/1pe/01/03.md b/1pe/01/03.md new file mode 100644 index 0000000..b591f5e --- /dev/null +++ b/1pe/01/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Petro aliwataka waumini wawe na nini? + +Petro alitaka wawe na neema na kuongezeka amani. + +# Petro alipenda nani kubarikiwa? + +Petro alitaka Mungu na Baba wa Bwana wao Yesu Kristo kubarikiwa. + +# Mungu aliwapaje kuzaliwa upya? + +Mungu aliwapa kuzaliwa upya kwa huruma yake kubwa. + diff --git a/1pe/01/08.md b/1pe/01/08.md new file mode 100644 index 0000000..642c818 --- /dev/null +++ b/1pe/01/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ingawa waumini hawakuona Yesu, walifanya nini? + +Walimpenda na kumwamini, na walifurahi sana na furaha isiyoonekana ambayo ilikuwa imejaa utukufu. + diff --git a/1pe/01/11.md b/1pe/01/11.md new file mode 100644 index 0000000..1271a0d --- /dev/null +++ b/1pe/01/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Roho wa Kristo aliwaambia kuhusu nini manabii mapema? + +Aliwaambia kuhusu mateso ya Kristo na utukufu ambao ungemfuata. + diff --git a/1pe/01/13.md b/1pe/01/13.md new file mode 100644 index 0000000..def06a7 --- /dev/null +++ b/1pe/01/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Petro aliwaamuru waumini kufanya nini kama watoto watii? + +Aliwaamuru kuandaa akili zao kumtii Mungu, kuwa na kuwa na busara katika kufikilia kwao, na kuwa na ujasiri kamili katika neema ambayo itawaletea, na wasiingiliane na tamaa zao za zamani. + diff --git a/1pe/01/15.md b/1pe/01/15.md new file mode 100644 index 0000000..a6b9008 --- /dev/null +++ b/1pe/01/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Petro alisema waumini wanapaswa kuwa watakatifu? + +kwa sababu yeye aliyewaita ni mtakatifu. + diff --git a/1pe/01/18.md b/1pe/01/18.md new file mode 100644 index 0000000..d4b2521 --- /dev/null +++ b/1pe/01/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Waumini walikombolewa kupitia nini? + +Wala hawakukombolewa kwa fedha au dhahabu, bali kwa damu yenye heshima ya Kristo, kama ya mwana-kondoo asiye na hatia na bila doa. + diff --git a/1pe/01/20.md b/1pe/01/20.md new file mode 100644 index 0000000..e654965 --- /dev/null +++ b/1pe/01/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kristo alichaguliwa lini, na alifunuliwa wakati gani? + +Alichaguliwa kabla ya msingi wa ulimwengu; alifunuliwa kwa wageni, waliochaguliwa, kwa nini ilikuwa wakati wa mwisho. + +# Waumini waliaminije katika Mungu, na kuwa na imani na kujiamini kwa Mungu? + +Kupitia Kristo, ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu na ambaye Mungu alimtukuza. + diff --git a/1pe/01/22.md b/1pe/01/22.md new file mode 100644 index 0000000..be99b9a --- /dev/null +++ b/1pe/01/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Waumini walifanyaje nafsi zao kuwa safi? + +Mmefanya nafsi zenu kuwa safi kwa utii wa ile kweli kwa pendo la kidugu + diff --git a/1pe/01/24.md b/1pe/01/24.md new file mode 100644 index 0000000..8cc1fed --- /dev/null +++ b/1pe/01/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mwili wake ni kama nini, na utukufu wake ni kama nini? + +Mwili ni kama nyasi; utukufu wake ni kama maua ya nyasi. + diff --git a/1pe/02/01.md b/1pe/02/01.md new file mode 100644 index 0000000..ecb65f2 --- /dev/null +++ b/1pe/02/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Waumini waliambiwa kuweka kando nini? + +Waliambiwa kuweka kando uovu wote, udanganyifu, unafiki, wivu, na uzushi. + diff --git a/1pe/02/04.md b/1pe/02/04.md new file mode 100644 index 0000000..62aaa1a --- /dev/null +++ b/1pe/02/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nani aliyekuwa jiwe linaloishi ambaye alikataliwa na watu na kuchaguliwa na Mungu? + +Yesu Kristo alikuwa jiwe linaloishi. + diff --git a/1pe/02/07.md b/1pe/02/07.md new file mode 100644 index 0000000..8144bb6 --- /dev/null +++ b/1pe/02/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini wajenzi walianguka, kutotii neno? + +Wajenzi walianguka kwa sababu waliteuliwa kufanya hivyo. + diff --git a/1pe/02/09.md b/1pe/02/09.md new file mode 100644 index 0000000..f29883d --- /dev/null +++ b/1pe/02/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini waumini ni jamii iliyochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, na watu wa milki ya Mungu? + +Walichaguliwa ili kwamba waweze kutangaza matendo ya ajabu ya Mungu. + diff --git a/1pe/02/11.md b/1pe/02/11.md new file mode 100644 index 0000000..12ac58c --- /dev/null +++ b/1pe/02/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Petro aliwaita wapendwa kujitenga na tamaa za dhambi? + +Aliwaita kujitenga ili kwamba wale watakaosema wametenda ovu watayaona matendo yao mazuri na kumtukuza Mungu. + diff --git a/1pe/02/13.md b/1pe/02/13.md new file mode 100644 index 0000000..a9cb7e8 --- /dev/null +++ b/1pe/02/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini waumini watii kila mamlaka ya kibinadamu? + +Walipaswa kutii kila mamlaka ya kibinadamu kwa sababu Mungu aliwataka kuutumia utii wao kunyamazisha mazungumzo ya ujinga ya watu wapumbavu. + diff --git a/1pe/02/18.md b/1pe/02/18.md new file mode 100644 index 0000000..86308bc --- /dev/null +++ b/1pe/02/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini watumishi walipaswa kuwatii mabwana zao, hata walio waovu? + +Watumishi walipaswa kuwatii hata walio mabwana waovu kwa sababu kufanya mema na halafu kuteseka, kwa kuadhibiwa hivyo ni sifa kwa Mungu + diff --git a/1pe/02/21.md b/1pe/02/21.md new file mode 100644 index 0000000..52dbd68 --- /dev/null +++ b/1pe/02/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini watumishi wameitwa kuteseka kwa kutenda mema? + +Kwa sababu Kristo aliteseka kwa ajili yao, anawaachia mfano kwa ajili yao, na kujitoa mwenyewe kwa mmoja ahukumuye kwa haki. + diff --git a/1pe/02/24.md b/1pe/02/24.md new file mode 100644 index 0000000..2217cce --- /dev/null +++ b/1pe/02/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Kristo alimbeba Petro, waumini, na dhambi za watumishi mwilini mwake kwenye mti? + +Alibeba dhambi zao ili kwamba wasiwe na sehemu dhambini na kuishi kwa haki, na kwa sababu wameponywa kwa maumivu yake. + diff --git a/1pe/03/01.md b/1pe/03/01.md new file mode 100644 index 0000000..610cdf9 --- /dev/null +++ b/1pe/03/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini wanawake wanapaswa kuwasilisha waume zao? + +Wanawake wanapaswa kuwasilisha ili waume hao ambao wasiotii waweze kushinda bila neno. + diff --git a/1pe/03/03.md b/1pe/03/03.md new file mode 100644 index 0000000..d0f2831 --- /dev/null +++ b/1pe/03/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wanawake wanapaswaje kuwashinda waume zao? + +Wanawake wanapaswa kuwashinda na utu wa ndani wa moyo, sio mavazi ya nje. + diff --git a/1pe/03/05.md b/1pe/03/05.md new file mode 100644 index 0000000..7960a97 --- /dev/null +++ b/1pe/03/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni mwanamke gani mtakatifu aliyesema Petro kama mfano wa mke ambaye alikuwa amemwamini Mungu na kumpeleka kwa mumewe? + +Petro alimtaja Sara kama mfano. + diff --git a/1pe/03/07.md b/1pe/03/07.md new file mode 100644 index 0000000..928e710 --- /dev/null +++ b/1pe/03/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini wanaume wanapaswa kuwa na thamani ya wake zao kulingana na ujuzi? + +Wanaume wanapaswa kuishi na wake zao kulingana na maarifa hivyo sala zao hazizuiwi. + diff --git a/1pe/03/08.md b/1pe/03/08.md new file mode 100644 index 0000000..9865880 --- /dev/null +++ b/1pe/03/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Petro aliwafundisha wageni wote, waliochaguliwa, kuwa na sifa na kuendelea kubariki? + +Kwa sababu wote walikuwa wameitwa kufanya hivyo, ili wapate kurithi baraka. + diff --git a/1pe/03/10.md b/1pe/03/10.md new file mode 100644 index 0000000..9ef089c --- /dev/null +++ b/1pe/03/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini yule anayetaka kupenda uzima atazuia ulimi wake kwa uovu, na kuachana na yaliyo mabaya na kufanya mema? + +Kwa sababu macho ya Bwana huwaona wenye haki. + diff --git a/1pe/03/15.md b/1pe/03/15.md new file mode 100644 index 0000000..58120c5 --- /dev/null +++ b/1pe/03/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Badala ya kuogopa wale wanaofanya uovu au kuwa na wasiwasi, wageni walikuwa nini, waliochaguliwa, kufanya? + +Walipaswa kuwatenganisha Kristo Bwana kama thamani katika mioyo yao. + +# Ni jinsi gani waumini wamekua wakimjibu kila mmoja aliyekua akiuliza kuhusu imani yao kwa Mungu. + +Wamepaswa kuwajibu daima kwa upole na heshima. + diff --git a/1pe/03/18.md b/1pe/03/18.md new file mode 100644 index 0000000..a87bb98 --- /dev/null +++ b/1pe/03/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Kristo aliteseka mara moja kwa ajili ya dhambi? + +Kristo aliteseka mara moja ili kwamba angewalete Petro na waumini kwa Mungu. + diff --git a/1pe/03/21.md b/1pe/03/21.md new file mode 100644 index 0000000..4204a5a --- /dev/null +++ b/1pe/03/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mungu aliwaokoa watu wachache kupitia maji? + +Iliashiria ubatizo ambao uliwaokoa waumini kama rufaa ya dhamiri njema kupitia ufufuo wa Yesu Kristo. + diff --git a/1pe/04/01.md b/1pe/04/01.md new file mode 100644 index 0000000..022f52b --- /dev/null +++ b/1pe/04/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Petro aliwaamuru waumini kujiunga wenyewe? + +Aliwaamuru kujiunga wenyewe kwa nia moja ile ambayo Kristo alikuwanayo wakati alipokuwa akipata mateso katika mwili. + diff --git a/1pe/04/03.md b/1pe/04/03.md new file mode 100644 index 0000000..c2437bb --- /dev/null +++ b/1pe/04/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Wamataifa walisema mabaya juu ya waumini? + +Walisema mabaya juu ya wageni, waliochaguliwa, kwa sababu hawakujihusisha na uangalifu, shauku, ulevi, kuchukiza, sherehe za kipagani , na katika ibada mbaya za sanamu kama Wamataifa. + diff --git a/1pe/04/07.md b/1pe/04/07.md new file mode 100644 index 0000000..3ca9845 --- /dev/null +++ b/1pe/04/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini waumini walikuwa na akili nzuri na wana upendo mkubwa kwa kila mmoja? + +Walipaswa kufanya mambo hayo kwa sababu mwisho wa vitu vyote unakuja, na kwa ajili ya sala zao. + diff --git a/1pe/04/10.md b/1pe/04/10.md new file mode 100644 index 0000000..6e819b1 --- /dev/null +++ b/1pe/04/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini kila mmoja wa waumini kutumia zawadi walizopokea ili kutumiana? + +Walipaswa kutumia zawadi zao ili Mungu atukuzwe kupitia Yesu Kristo. + diff --git a/1pe/04/12.md b/1pe/04/12.md new file mode 100644 index 0000000..5d9f027 --- /dev/null +++ b/1pe/04/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini waumini waliambiwa kushangilia kama walipata mateso ya Kristo au walipigwa kwa jina la Kristo? + +Kwa sababu walikuwa wamebarikiwa kama walipigwa. + diff --git a/1pe/04/15.md b/1pe/04/15.md new file mode 100644 index 0000000..fe42462 --- /dev/null +++ b/1pe/04/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini waumini hawakupaswa kuteseka kama mwuaji, mwizi, mwovu, au mchezaji? + +Kwa sababu ilikuwa wakati wa hukumu kuanza na nyumba ya Mungu. + diff --git a/1pe/04/17.md b/1pe/04/17.md new file mode 100644 index 0000000..4a753d7 --- /dev/null +++ b/1pe/04/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini waumini hawakupaswa kuteseka kama mwuaji, mwizi, mwovu, au mchezaji? + +Kwa sababu ilikuwa wakati wa hukumu kuanza na nyumba ya Mungu. + +# Kwanini mtu asiyemcha Mungu na mwenye dhambi huhuiti injili ya Mungu? + +Kwa sababu hata mtu mwenye haki huokolewa kwa shida. + diff --git a/1pe/05/01.md b/1pe/05/01.md new file mode 100644 index 0000000..fa75a2c --- /dev/null +++ b/1pe/05/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Petro ni nani? + +Petro alikuwa mzee mwenzake, shahidi wa mateso ya Kristo, na mshiriki katika utukufu utakao funuliwa. + +# Petro aliwahimiza wazee wenzake kufanya nini? + +Aliwahimiza kutunza kundi la Mungu na kuwafuatilia. + diff --git a/1pe/05/05.md b/1pe/05/05.md new file mode 100644 index 0000000..a57892f --- /dev/null +++ b/1pe/05/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wanaume wadogo waliwasilisha nani? + +Wwalipaswa kuwakilisha kwa wazee. + +# Kwa nini wote walihitaji kuwa na unyenyekevu na kutumiana? + +Kwa sababu Mungu huwapa neema kwa wanyenyekevu, na ili Mungu awaweze kwa wakati unaofaa. + diff --git a/1pe/05/10.md b/1pe/05/10.md new file mode 100644 index 0000000..7155340 --- /dev/null +++ b/1pe/05/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kitatokea kwa watu baada ya kuteseka kwa muda mfupi kama udugu wao ambao walikuwa wakihimili mateso sawa? + +Mungu angekuwa mkamilifu, kuanzisha, na kuwaimarisha. + diff --git a/1pe/05/12.md b/1pe/05/12.md new file mode 100644 index 0000000..aff2f70 --- /dev/null +++ b/1pe/05/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# UDB + +UDB + diff --git a/1th/01/02.md b/1th/01/02.md new file mode 100644 index 0000000..a89d7aa --- /dev/null +++ b/1th/01/02.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anakumbuka nini siku zote mbele za Mungu kuhusu Watheselonike? + +Paulo anakumbuka kazi yao ya imani, kazi yao ya upendo, na matumaini ya uvumilivu + diff --git a/1th/01/04.md b/1th/01/04.md new file mode 100644 index 0000000..bb4f683 --- /dev/null +++ b/1th/01/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Njia zipi nne injili iliwafikia Wathesalonike? + +Injili iliwafikia Wathesalonike kwa neno, nguvu, katika Roho Mtakatifu, na katika uhakika. + diff --git a/1th/01/06.md b/1th/01/06.md new file mode 100644 index 0000000..24016eb --- /dev/null +++ b/1th/01/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini kinatokea kwa Wathesalonike kama walipata neno la Injili? + +Wathesalonike kulipokea neno katika dhiki nyingi. + +# ilikuwa na mtazamo gani Wathesalonike 'kama walipata neno la Injili? + +Wathesalonike kupokea neno kwa furaha katika Roho Mtakatifu. + diff --git a/1th/01/08.md b/1th/01/08.md new file mode 100644 index 0000000..e757508 --- /dev/null +++ b/1th/01/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ni nini kilichotokea kwa neno la Bwana baada Wathesalonike alipokea yake? + +neno la Bwana limeenea kila mahali imani yao kwenda nje. + +# Wathesalonike walikuwa wanaabudu nini kabla awajaja kumwamini Mungu wa kweli? + +Wathesalonike walikuwa wanaabudu miungu kabla ya kuja kumuabudu Mungu wa kweli + +# Paulo na Wathesalonike walikuwa wanasubiri nini? + +Paulo na Wathesalonike walikuwa wanasubiri Yesu arudi kutoka Mbinguni. + +# Yesu utukomboa kutoka wapi? + +Yesu utukomboa na gadhabu ijayo + diff --git a/1th/02/01.md b/1th/02/01.md new file mode 100644 index 0000000..32326a9 --- /dev/null +++ b/1th/02/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo na wenzake walitendewa nini kabla ya kuja kwa Wathesalonike? + +Paulo na wenzake waliteswa na kutendewa vibaya kwa aibu. + diff --git a/1th/02/03.md b/1th/02/03.md new file mode 100644 index 0000000..80b14ef --- /dev/null +++ b/1th/02/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nani Paulo anatamani kumpendeza na kuhubiri kwake injili? + +Paulo anatamani kumpendeza Mungu na kuhubiri kwake injili + diff --git a/1th/02/05.md b/1th/02/05.md new file mode 100644 index 0000000..a888012 --- /dev/null +++ b/1th/02/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo hakufanya nini na kuhubiri kwake injili? + +Pualo hakutumia utamu wa maneno, wala kutafuta utukufu wake. + diff --git a/1th/02/07.md b/1th/02/07.md new file mode 100644 index 0000000..3090a80 --- /dev/null +++ b/1th/02/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo na wenzake walifanya nini ili wasiwe mzigo kwa Wathesalonike? + +Paulo na wenzake walifanya kazi usiku na mchana ili wasiwe mzigo kwa Wathesalonike + diff --git a/1th/02/10.md b/1th/02/10.md new file mode 100644 index 0000000..dd1c5d3 --- /dev/null +++ b/1th/02/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo aliwatendea nini Wathesalonike alivyo kuwa nao? + +Paulo alikuwa mpole na Wathesalonike kama mama au baba na watoto wake + +# Paulo aliwambia Wathesalonike waenendeje? + +Paulo aliwaambia Wathesalonike waenende kwa namna inayo mpendeza Mungu aliye waita katika ufalme wake na utukufu + diff --git a/1th/02/13.md b/1th/02/13.md new file mode 100644 index 0000000..88527ef --- /dev/null +++ b/1th/02/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa aina gani ya neno ambalo Wathessalonike walipokea ujumbe wa Paulo aliowahubiria + +Wathessalonike walipokea ujumbe kama neno la Mungu, si kama neno la mtu. + diff --git a/1th/02/14.md b/1th/02/14.md new file mode 100644 index 0000000..0983f4e --- /dev/null +++ b/1th/02/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini walikuwa Wayahudi wasioamini wamefanya ambavyo havikumpendeza Mungu? + +Wayahudi wasioamini walitesa makanisa huko Yudea, walimuua Yesu na manabii, wakamfukuza nje Paul, na kukataza Paul asiseme na Mataifa. + diff --git a/1th/02/17.md b/1th/02/17.md new file mode 100644 index 0000000..da3d49d --- /dev/null +++ b/1th/02/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini Paulo hakuwa na uwezo wa kuja kwa Wathesalonike ingawa hiyo ilikuwa nia yake? + +Paulo hakuwa na uwezo wa kuja kwa sababu Shetani alimzuia. + +# Wathesalonike watakuwa nini kwa Paulo ajapo Bwana? + +Wathesalonike watakuwa tumaini, furaha, na taji la utukufu arudipo Bwana + diff --git a/1th/03/01.md b/1th/03/01.md new file mode 100644 index 0000000..c4a0499 --- /dev/null +++ b/1th/03/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni nini Paulo alifanya,Ingawaje angeachwa kule Atheni? + +Paulo alimtuma Timotheo kuwapa nguvu na kuwatia moyo wakristo wa Thesalonike, + +# Paulo alisema ameteuliwa kwa lipi? + +Paulo alisema ameteuliwa kwa ajili ya mateso + diff --git a/1th/03/04.md b/1th/03/04.md new file mode 100644 index 0000000..92c95c1 --- /dev/null +++ b/1th/03/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alikuwa anajali nini kuhusu Wathesalonike? + +Paulo alikuwa anajali kuhusu uenda mjaribu akawa amewajaribu na kazi yake ikawa bure + diff --git a/1th/03/06.md b/1th/03/06.md new file mode 100644 index 0000000..2dad96c --- /dev/null +++ b/1th/03/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nini kilimfarifi Paulo wakati Timotheo aliporudi kutoka Thesalonike? + +Paulo alifarijika kusikia habari njema juu ya Imani ya wathesalonike na upendo wao, na jinsi ambavyo walitamani kumuona baada ya kipindi kirefu. + diff --git a/1th/03/08.md b/1th/03/08.md new file mode 100644 index 0000000..61e4fbb --- /dev/null +++ b/1th/03/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo anasema ataishi endapo wathesalonike watafanya nini? + +Paulo anasema ya kuwa ataishi endapo wathesalonike wataishi imara katika Bwana. + +# Kwa lipi ambalo Paulo analiombea usiku na mchana? + +Paulo anaomba usiku na mchana iliawaone Wathesalonike na kuwapa kinacho kosekana katika imani yao + diff --git a/1th/03/11.md b/1th/03/11.md new file mode 100644 index 0000000..4e5aaf9 --- /dev/null +++ b/1th/03/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo anatamani Wathesalonike waongeza na kuzidi katika lipi? + +Paulo anatamani Wathesalonike waongezeke na kuzidi katika upendo kwao wenyewe na kwa watu wote + +# Tukio gani ambalo Paulo anawataka Wathesalonike wajiandae mioyo yao kwa utakatifu na bila lawama? + +Paulo anawataka Wathesalonike wajiandae kwa kurudi kwa Bwana Yesu pamoja na watakatifu wote + diff --git a/1th/04/01.md b/1th/04/01.md new file mode 100644 index 0000000..ca7e143 --- /dev/null +++ b/1th/04/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Paulo waliwataka Wathesalonike wafuate maelekezo waliyopewa juu ya namna wanavyopaswa kuenenda na kumpendeza Mungu? + +Paulo aliwataka Wathesalonike waendelee kuenenda na kumpendeza Mungu na kutenda zaidi. + diff --git a/1th/04/03.md b/1th/04/03.md new file mode 100644 index 0000000..f2541ea --- /dev/null +++ b/1th/04/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa nini Paulo alisema ilikuwa ni mapenzi ya Mungu kwa Wathesalonike? + +Paulo alisema mapenzi ya kwa Mungu Wathesalonike + +# Waume walipaswa kuwa tendeaje wake zao? + +Waume walipaswa kuwa tendea wake zao katika utakatifu na heshima + +# Nini kitatokea kwa ndugu ataye fanya dhambi ya uzinzi? + +Bwana ndiye atakuwa mlipizaji kwa ndugu ataye fanya uzinzi + diff --git a/1th/04/07.md b/1th/04/07.md new file mode 100644 index 0000000..79d3e0a --- /dev/null +++ b/1th/04/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mtu anamkataa nani anaye kataa wito wa utakatifu? + +Mtu anamkataa Mungu anaye kataa wito wa utakatifu + diff --git a/1th/04/09.md b/1th/04/09.md new file mode 100644 index 0000000..cab2170 --- /dev/null +++ b/1th/04/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni tendo gani la Wathesalonike ambalo Paulo alitaka wafanye zaidi? + +Paulo aliwataka Wathesalonike wapendane wao kwa wao zaidi. + +# Wathesalonike walipaswa kuenendaje kwa wasioamini? + +Wathesalonike walipaswa kuwa kimya, kufuata shughuli zao, nakufanya kazi na mikono yao + diff --git a/1th/04/13.md b/1th/04/13.md new file mode 100644 index 0000000..bec9503 --- /dev/null +++ b/1th/04/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni jambo gani ambalo Wathesalonike hawakulielewa? + +Wathesalonike hawakuelewa juu ya nini hutokea kwa wao waliolala mauti. + +# Mungu ata fanya nini kwa wao walio lala katika Yesu? + +Mungu ata waleta na Yesu ao walio lala katika Kristo + diff --git a/1th/04/16.md b/1th/04/16.md new file mode 100644 index 0000000..685bd40 --- /dev/null +++ b/1th/04/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Bwana atashukaje toka mawinguni? + +Bwana atashuka toka mawinguni na sauti kuu na parapanda ya Mungu. + +# Nani atafufuliwa kwanza kisha + +Waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza kisha ambao bado watakua hai wataungana pamoja nao. + +# Waliofufuliwa wata kutana na nani na kwa muda gani? + +Waliofufuka watakutana na Bwana Mawinguni, na watukuwa naye siku zote + +# Paulo aliwambia Wathesalonike wafanye nini kuhusu mafundisho yake ya hao waliolala? + +Paulo aliwambia Wathesalonike wafarijiane kwa maneno yake + diff --git a/1th/05/01.md b/1th/05/01.md new file mode 100644 index 0000000..91cfe1a --- /dev/null +++ b/1th/05/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo anasema siku ya Bwana itakujaje? + +Paulo anasema siku ya Bwana itakuwa kama mwizi ajapo usiku + +# Watu watasemaje uharibifu utakapo wajia ghafla? + +Watu wengine watasema, "amani na usalama" + diff --git a/1th/05/04.md b/1th/05/04.md new file mode 100644 index 0000000..8b96b5d --- /dev/null +++ b/1th/05/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini Paulo alisema siku ya Bwana haipaswi kuwajieni waumini kama mwizi? + +Kwa sababu waamini hawako gizani, lakini ni watu wa mwanga siku ya Bwana lazima wasiwafikie kama mwizi. + +# Paulo anawaambia waamini wafanyeje kuhusu kuja kwake Bwana? + +Paulo anawambia waamini wakeshe na kuwa makini + diff --git a/1th/05/08.md b/1th/05/08.md new file mode 100644 index 0000000..b27f9f3 --- /dev/null +++ b/1th/05/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, Paulo kuwaambia waumini kufanya kuhusu siku ya kuja kwake Bwana? + +Paulo anawaambia waumini kuangalia na kuwa na kiasi, na kuweka kwenye imani, upendo, na matumaini. + diff --git a/1th/05/12.md b/1th/05/12.md new file mode 100644 index 0000000..b5f266b --- /dev/null +++ b/1th/05/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mtazamo gani Paulo anasema waumini wanapaswa kuwa kwa wale ambao ni juu yao katika Bwana + +Paulo anasema kwamba ni lazima kutambua na yenye kuzingatia yao katika upendo. + diff --git a/1th/05/15.md b/1th/05/15.md new file mode 100644 index 0000000..cf974de --- /dev/null +++ b/1th/05/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, Paulo anasema hakuna mtu kulipiza wakati amefanyiwa baya. ? + +Paul anasema kwamba hakuna mtu anapaswa kulipa ovu wakati amefanyiwa baya. + +# Paulo anasema waamini katika mambo yote wafanye nini, na ni kwa sababu gani? + +Paulo anasema waamini watoe shukurani katika mambo yote, kwa kuwa hayo ndio mapenzi ya Mungu + diff --git a/1th/05/19.md b/1th/05/19.md new file mode 100644 index 0000000..cafc1bb --- /dev/null +++ b/1th/05/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelekezo gani Paulo anawapa waamini kuhusu unabii? + +Paulo anawaelekeza waamini wasidharau unabii, na kujaribu mambo yote, washikilie lililo jema + diff --git a/1th/05/23.md b/1th/05/23.md new file mode 100644 index 0000000..44b10b8 --- /dev/null +++ b/1th/05/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, Paulo kumwomba Mungu kufanya kwa ajili ya waumini? + +Paulo anaomba kwamba Mungu utakasa kwa waumini kabisa katika roho, nafsi na mwili. + diff --git a/1th/05/25.md b/1th/05/25.md new file mode 100644 index 0000000..309afe0 --- /dev/null +++ b/1th/05/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anaomba nini iwe na waamini? + +Paulo anaomba kuwa neema ya Bwana Yesu Kristo iwe na waamini + diff --git a/1ti/01/01.md b/1ti/01/01.md new file mode 100644 index 0000000..fb2ade8 --- /dev/null +++ b/1ti/01/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Namna gani Paulo alifanywa kuwa mtume wa Kristo Yesu? + +Paulo alifanywa kuwa mtume kutokana na amri ya Mungu. + +# Kulikuwa na mahusiano gani kati ya Paulo na Timotheo? + +Timotheo alikuwa mtoto wa Paulo katika imani + diff --git a/1ti/01/03.md b/1ti/01/03.md new file mode 100644 index 0000000..1270ba7 --- /dev/null +++ b/1ti/01/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Timotheo alikuwa kabaki wapi? + +Timotheo alikuwa amebaki katika Efeso. + +# Ni kitu gani Timotheo alipaswa kuwa agiza baadhi ya watu kukifanya? + +Alikuwa awaamuru wasifundishe mafundisho tofauti. + diff --git a/1ti/01/05.md b/1ti/01/05.md new file mode 100644 index 0000000..d7931f2 --- /dev/null +++ b/1ti/01/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini ambacho Paulo alisema kilikuwa lengo la amri na mafundisho yake? + +Lengo lake lilikuwa upendo utokao kwenye moyo safi, katika dhamiri njema, na kutoka imani nyoofu. + diff --git a/1ti/01/09.md b/1ti/01/09.md new file mode 100644 index 0000000..2071e6c --- /dev/null +++ b/1ti/01/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwa ajili ya nani sheria imetengenezwa? + +Sheria ni kwa ajili ya wavunja sheria, waasi, watu wasiomcha Mungu, na wenye dhambi. + +# Mifano ipi minne ya dhambi ambazo watu kama hao hutenda? + +Wanaua, wana maadili mabaya ya kingono, watekaji, na wanadanganya. + diff --git a/1ti/01/12.md b/1ti/01/12.md new file mode 100644 index 0000000..d7172a8 --- /dev/null +++ b/1ti/01/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni dhambi gani ambayo Paulo alitenda hapo awali? + +Paulo alikuwa mtesaji wa kanisa, mtu mwenye vurugu, na alimtukana Mungu + +# Nini kilimpata Paulo, kilichomfanya Paulo awe mtume wa Kristo? + +Neema ya Mungu ilimjaa Paulo + diff --git a/1ti/01/15.md b/1ti/01/15.md new file mode 100644 index 0000000..98c67ad --- /dev/null +++ b/1ti/01/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nani ambaye Kristo Yesu alikuja duniani kumwokoa? + +Yesu Kristo alikuja duniani kuokoa wenye dhambi. + +# Kwa nini Paulo anasema kwamba ni mfano wa rehema ya Mungu? + +Paulo anasema yeye ni mfano kwa sababu alikuwa ni mtenda dhambi mbaya zaidi, lakini bado alipokea rehema ya Mungu kwanza. + diff --git a/1ti/01/18.md b/1ti/01/18.md new file mode 100644 index 0000000..d804f77 --- /dev/null +++ b/1ti/01/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mambo gani yalisemwa kuhusu Timotheo ambayo Paulo anayakubali? + +Paulo anakubaliana na unabii uliofanywa kuhusu Timotheo, kutokana na vita vizuri vilivyofanywa na Timotheo kwa imani na dhamiri njema. + diff --git a/1ti/02/01.md b/1ti/02/01.md new file mode 100644 index 0000000..8b16d46 --- /dev/null +++ b/1ti/02/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kwa ajili ya nani Paulo anasisitiza maombi yafanyike? + +Paulo anasihi maombi yafanyike kwa ajili ya watu wote, kwa ajili ya wafalme na wote walio katika mamlaka. + +# Mungu anataka nini kwa ajili ya watu wote? + +Mungu anatamani watu wote waokolewe na kupata maarifa ya kweli + diff --git a/1ti/02/05.md b/1ti/02/05.md new file mode 100644 index 0000000..3a74396 --- /dev/null +++ b/1ti/02/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nini nafasi ya Yesu Kristo kati ya Mungu na Mtu? + +Yesu Kristo ni mjumbe kati ya Mungu na Mtu. + +# Ni kitu gani ambacho Yesu Kristo alikifanya kwa ajili ya wote? + +Yesu Kristo aliyatoa maisha yake kuwa fidia ya wote + +# Mtume Paulo anawafundisha akina nani? + +Paulo ni mwalimu wa watu wa Mataifa. + diff --git a/1ti/02/08.md b/1ti/02/08.md new file mode 100644 index 0000000..181753f --- /dev/null +++ b/1ti/02/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anataka wanaume wafanye nini? + +Paulo anataka wanaume kuomba na kuinua mikono iliyo mitakatifu. + diff --git a/1ti/02/11.md b/1ti/02/11.md new file mode 100644 index 0000000..80eee6f --- /dev/null +++ b/1ti/02/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kitu ambacho Paulo anawakataza wanawake wasifanye? + +Paulo anawazuia wanawake kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya wanaume. + diff --git a/1ti/02/13.md b/1ti/02/13.md new file mode 100644 index 0000000..d2979a4 --- /dev/null +++ b/1ti/02/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anataka wanawake waendelee katika nini? + +Paulo anataka wanawake waendelee katika imani na upendo na utakaso katika akili zote. + diff --git a/1ti/03/01.md b/1ti/03/01.md new file mode 100644 index 0000000..a1a7a34 --- /dev/null +++ b/1ti/03/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kazi ya mwangalizi ni ya namna gani? + +Kazi ya mwangalizi ni kazi njema + +# Mwangalizi anapaswa kuwa na uwezo gani? + +Mwangalizi anapaswa kuwa na uwezo wa kufundisha + +# Mahusiano ya mwanganilizi juu ya fedha na pombe unapaswa kuwaje? + +Mwangalizi hapaswi kuwa mnywaji wa pombe, na asipende fedha. + diff --git a/1ti/03/04.md b/1ti/03/04.md new file mode 100644 index 0000000..5f550bd --- /dev/null +++ b/1ti/03/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni namna gani watoto wa mwangalizi waweza kumchukulia? + +Watoto wa mwangalizi lazima wamtii na kumheshimu + +# Kuna umuhimu gani kwa mwangalizi kuweza kusimamia nyumba yake vizuri? + +Ni muhimu kwa sababu kama hawezi kusimamia nyumba yake vizuri, ni wazi kwamba hawezi kulisimamia kanisa vizuri. + diff --git a/1ti/03/06.md b/1ti/03/06.md new file mode 100644 index 0000000..47f13ec --- /dev/null +++ b/1ti/03/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kuna hatari gani ikiwa mwangalizi ni mwamini mpya? + +Hatari ni kwamba atajivuna na kuanguka katika hukumu. + +# Sifa ya mwangalizi inapaswa iweje kati yake na wale walio nje ya kanisa? + +Mwangalizi anapaswa kuwa na sifa njema kati yake na wale walio nje ya kanisa. + diff --git a/1ti/03/08.md b/1ti/03/08.md new file mode 100644 index 0000000..e17d9e2 --- /dev/null +++ b/1ti/03/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni jambo gani wahudumu wanapaswa kufanyiwa kabla ya kuanza utumishi wao? + +Wahudumu wanapaswa kuidhinishwa kwanza kabla hawajaanza kutumika. + diff --git a/1ti/03/11.md b/1ti/03/11.md new file mode 100644 index 0000000..44faa0f --- /dev/null +++ b/1ti/03/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wanamke mcha Mungu ana sifa zipi? + +Wanawake wacha Mungu ni wakamilifu, wasio wasingiziaji, wenye kiasi, na waaminifu katika kila kitu. + diff --git a/1ti/03/14.md b/1ti/03/14.md new file mode 100644 index 0000000..756eee7 --- /dev/null +++ b/1ti/03/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nyumba ya Mungu ni nini? + +Nyumba ya Mungu ni Kanisa. + diff --git a/1ti/03/16.md b/1ti/03/16.md new file mode 100644 index 0000000..2545e52 --- /dev/null +++ b/1ti/03/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baada ya Yesu kutokea katika mwili, alidhibitishwa na Roho, na akaonekana na malaika, je alifanya nini? + +Yesu alitangazwa kati ya mataifa, akaaminiwa na ulimwengu, na akuchukuliwa juu katika utukufu. + diff --git a/1ti/04/01.md b/1ti/04/01.md new file mode 100644 index 0000000..0af3991 --- /dev/null +++ b/1ti/04/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa mujibu wa Roho Mtakatifu, baadhi ya watu watafanya nini nyakati zijazo? + +Baadhi ya watu wataacha imani na kuwa makini kusikiliza roho zidanganyazo. + diff --git a/1ti/04/03.md b/1ti/04/03.md new file mode 100644 index 0000000..42af9f5 --- /dev/null +++ b/1ti/04/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni uongo gani watu hawa watafundisha? + +Watakataza ndoa na baadhi ya vyakula. + +# Ni jinsi gani kitu chochote tunachokula kimeidhinishwa na kukubaliwa kwa ajili ya matumizi yetu? + +Kila kitu tunachokula kimeidhinishwa na kuruhusiwa kupitia Neno la Mungu na maombi. + diff --git a/1ti/04/06.md b/1ti/04/06.md new file mode 100644 index 0000000..8b57b7b --- /dev/null +++ b/1ti/04/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo anamhimiza Timotheo kujifunza nini? + +Paulo anamhimiza Timotheo kujifunza katika utaua. + +# Ni kwanini kujifunza katika utaua ni muhimu kuliko kujifunza katika mwili? + +Ni muhimu kwa sababu kunatunza ahadi kwa maisha ya sasa na yale yajayo. + diff --git a/1ti/04/11.md b/1ti/04/11.md new file mode 100644 index 0000000..f313421 --- /dev/null +++ b/1ti/04/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo anamhimiza Timotheo kufanya nini kutokana na uzuri wa mafundisho yote aliyoyapokea kutoka kwa Paulo? + +Paulo anamhimiza Timotheo kusema na kufundisha mambo haya kwa wengine. + +# Ni kwa njia zipi Timotheo anapaswa kuwa mfano kwa wengine? + +Timotheo anapaswa kuwa mfano katika kunena, tabia, upendo, imani, na usafi. + diff --git a/1ti/04/14.md b/1ti/04/14.md new file mode 100644 index 0000000..49cd602 --- /dev/null +++ b/1ti/04/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwa namna gani Timotheo alizipokea karama za kiroho alizokuwanazo? + +Karama zilitolewa kwa Timotheo kwa unabii pamoja na kuwekewa mikono ya wazee. + +# Ikiwa Timotheo atandelea kwa uaminifu katika maisha yake na mafundisho, nani ataokolewa? + +Timotheo atajiokoa mwenyewe na wale wanaomsikiliza. + diff --git a/1ti/05/01.md b/1ti/05/01.md new file mode 100644 index 0000000..3e2a104 --- /dev/null +++ b/1ti/05/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alimwambia nini Timotheo kuhusu kumjali mzee kanisani? + +Paulo alimwambia Timotheo amjali kama vile baba yake. + diff --git a/1ti/05/03.md b/1ti/05/03.md new file mode 100644 index 0000000..d9962bb --- /dev/null +++ b/1ti/05/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni mambo gani ambayo watoto na wajukuu wa mjane wanapaswa kumfanyia mjane? + +Watoto na wajukuu wanapaswa kuwalipa wazazi wao na kuwatunza. + diff --git a/1ti/05/07.md b/1ti/05/07.md new file mode 100644 index 0000000..ef10aa6 --- /dev/null +++ b/1ti/05/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mtu ambaye hawezi kuwatunza watu wa nyumbani kwake anafanya jambo gani? + +Anaikataa imani na ni mbaya zaidi kuliko asiyeamini. + diff --git a/1ti/05/09.md b/1ti/05/09.md new file mode 100644 index 0000000..185b4f6 --- /dev/null +++ b/1ti/05/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mjane anapswa kutambulika kwa mambo gani? + +Mjane anapaswa kutambulika katika matendo mema. + diff --git a/1ti/05/11.md b/1ti/05/11.md new file mode 100644 index 0000000..5c8851c --- /dev/null +++ b/1ti/05/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hatari gani ipo pale mjane kijana anapoamua kubakia mjane kwa maisha yake yote? + +Kuna hatari yakwamba baadaye anaweza akataka kuolewa, akavunja makubaliano yake ya mwanzo. + diff --git a/1ti/05/14.md b/1ti/05/14.md new file mode 100644 index 0000000..5d2f41c --- /dev/null +++ b/1ti/05/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anataka wanawake vijana wafanye nini? + +Paulo anataka wanawake vijana waolewe, wazae watoto, na wasimamie nyumba zao. + diff --git a/1ti/05/17.md b/1ti/05/17.md new file mode 100644 index 0000000..656fe2c --- /dev/null +++ b/1ti/05/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kitu gani kifanyike kwa wazee wanaoongoza vyema? + +Wazee wanaoongoza vyema, wanatakiwa watambulike na waheshimiwe zaidi. + diff --git a/1ti/05/19.md b/1ti/05/19.md new file mode 100644 index 0000000..fa0d420 --- /dev/null +++ b/1ti/05/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kitu gani kinapaswa kiwepo kabla ya mashitaka hayajapokelewa dhidi ya wazee? + +Ni lazima kuwe na mashahidi wawili au watatu kabla ya mashitaka hayajapokelewa dhidi ya mzee. + diff --git a/1ti/05/21.md b/1ti/05/21.md new file mode 100644 index 0000000..215585a --- /dev/null +++ b/1ti/05/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alimuamuru Timotheo awe makini kutunza sheria hizi kwa njia gani? + +Paulo alimuamuru Timotheo awe makini kutunza sheria hizi bila ubaguzi. + diff --git a/1ti/05/23.md b/1ti/05/23.md new file mode 100644 index 0000000..5375ce0 --- /dev/null +++ b/1ti/05/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa baadhi ya watu, dhambi hazijulikani mpaka lini? + +dhambi zao hazijulikani mpaka siku ya hukumu + diff --git a/1ti/06/01.md b/1ti/06/01.md new file mode 100644 index 0000000..3340b6f --- /dev/null +++ b/1ti/06/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, Paulo alisema watumwa wawachukulieje mabwana zao? + +Paul alisema kuwa watumwa lazima wawachukulie mabwana zao kama wanaostahili heshima. + diff --git a/1ti/06/03.md b/1ti/06/03.md new file mode 100644 index 0000000..39d0de5 --- /dev/null +++ b/1ti/06/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni aina gani ya mtu anayekataa maneno yenye afya na mafundisho ya Kimungu? + +mtu ambaye anakataa maneno yenye afya na mafundisho ya utauwa ana majivuno na hajui kitu. + diff --git a/1ti/06/06.md b/1ti/06/06.md new file mode 100644 index 0000000..2aa5edc --- /dev/null +++ b/1ti/06/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, ni kitu gani ambacho Paulo anasema ni faida kubwa? + +Paulo anasema kwamba utauwa pamoja na kuridhika ni faida kubwa. + +# Kwa nini tunapaswa kuridhika kwa chakula na mavazi? + +Kwa sababu hatukuja na kitu chochote duniani, na hatuwezi kuchukua chochote. + diff --git a/1ti/06/09.md b/1ti/06/09.md new file mode 100644 index 0000000..7f0b48c --- /dev/null +++ b/1ti/06/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Watu wanaotaka utajiri huanguka katika nini? + +Wale wanaotaka kuwa tajiri huanguka katika majaribu na mtego. + +# Nini kimetajwa kuwa chanzo cha uovu wote? + +Kupenda fedha ni chanzo cha uovu wote. + +# Nini kimetokea kwa baadhi ya watu ambao walipenda fedha? + +Baadhi ya watu waliopenda fedha wameiacha imani. + diff --git a/1ti/06/11.md b/1ti/06/11.md new file mode 100644 index 0000000..43a6437 --- /dev/null +++ b/1ti/06/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni vita gani ambayo Paulo anamwambia Timotheo lazima apigane? + +Paulo anasema kwamba Timotheo lazima apigane vita njema ya imani. + diff --git a/1ti/06/15.md b/1ti/06/15.md new file mode 100644 index 0000000..ee750af --- /dev/null +++ b/1ti/06/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni mahali gani Mbarikiwa na nguvu pekee huishi? + +Mbarikiwa anaishi katika mwanga usiofikika mahali ambapo hakuna mwanadamu awezaye kutazama. + diff --git a/1ti/06/17.md b/1ti/06/17.md new file mode 100644 index 0000000..36c1525 --- /dev/null +++ b/1ti/06/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini matajiri wanapaswa kuweka tumaini katika Mungu na si katika mali isiyojulikana? + +Tajiri lazima awe na matumaini katika Mungu kwa kuwa ndipo unatoka utajiri wote wa kweli. + +# Wale walio na utajiri utokano na kazi nzuri hufanya nini kwa ajili yao? + +wanajiwekea msingi mzuri, na wanapata maisha sahihi. + diff --git a/1ti/06/20.md b/1ti/06/20.md new file mode 100644 index 0000000..8b3c88f --- /dev/null +++ b/1ti/06/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hatimaye, Paulo anamwambia Timotheo afanye nini na vitu alivyopewa? + +Paulo anamwambia timotheo atunze kile alichopewa. + diff --git a/2co/01/01.md b/2co/01/01.md new file mode 100644 index 0000000..07870be --- /dev/null +++ b/2co/01/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni nani aliyeandika barua hii? + +Paulo na Timotheo waliandika barua. + +# Barua illiandikwa kwa nani? + +Iliandikwa kwa kanisa la Mungu lililoko Koritho na kwa watakatifu wote katika kanda nzima ya Akaya. + diff --git a/2co/01/03.md b/2co/01/03.md new file mode 100644 index 0000000..5d0615a --- /dev/null +++ b/2co/01/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo anamuelezeaje Mungu? + +Paulo anamuelezea Mungu kama Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, baba wa huruma na Mungu wa faraja. + +# Kwa nini Mungu hutufariji katika dhiki yetu? + +Anatufariji ili tuweze kuwafariji wale walio katika shida, kwa faraja sawa ambayo sisi wenyewe tunafarijiwa na Mungu. + diff --git a/2co/01/08.md b/2co/01/08.md new file mode 100644 index 0000000..f4d6494 --- /dev/null +++ b/2co/01/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Paulo na rafiki zake walipata shida gani huko Asia? + +Walionewa zaidi ya vile wawezavyo kustahimili. Walikuwa na hukumu ya kifo juu yao. + +# Paulo na rafiki zake walipata shida gani huko Asia? + +Walionewa zaidi ya vile wawezavyo kustahimili. Walikuwa na hukumu ya kifo juu yao. + +# Kwa sababu gani ilipangwa hukumu ya kifo kwa Paulo na wenzake? + +Hukumu ya kifo iliwafanya wasiweke imani yao, badala yake wamwamini Mungu + diff --git a/2co/01/11.md b/2co/01/11.md new file mode 100644 index 0000000..5968102 --- /dev/null +++ b/2co/01/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alisema kwamba kanisa la Korintho lingewasaidiaje? + +Paulo alisema kanisa la Koritho lingewasaidia kwa maombi yao. + diff --git a/2co/01/12.md b/2co/01/12.md new file mode 100644 index 0000000..2ecd9d9 --- /dev/null +++ b/2co/01/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo alisema juu ya nini kwamba yeye na rafiki zake walijivunia? + +Walijivunia ushuhuda wa dhamiri zao, ambayo ni kwamba wamekuwa na mwenendo wao wenyewe katika dunia na hasa katika kushughulika na kanisa la Koritho - pamoja na utakatifu na usafi ambao unatoka kwa Mungu, sio katika hekima ya uliwengu lakini kwa neema ya Mungu. + +# Paulo alikuwa na uhakika nini kitatoke katika siku ya Bwana wetu Yesu? + +Alikuwa na hakika kwamba siku hiyo Paulo na wenzake watakuwa sababu ya kiburi cha watakatifu wa Korintho. + diff --git a/2co/01/15.md b/2co/01/15.md new file mode 100644 index 0000000..70bc4f0 --- /dev/null +++ b/2co/01/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alikuwa anapanga mara ngapi kuwatembelea watakatifu wa Koritho? + +Alikuwa anapanga kuwatembelea mara mbili. + diff --git a/2co/01/21.md b/2co/01/21.md new file mode 100644 index 0000000..5aa1832 --- /dev/null +++ b/2co/01/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni sababu gani mojawapo iliyomfanya Kristo kutupatia Roho Mtakatifu kwenye mioyo yetu? + +Ametupa Roho kama uthibitisho wa kile atakachotupa sisi baadaye. + diff --git a/2co/01/23.md b/2co/01/23.md new file mode 100644 index 0000000..f5114cc --- /dev/null +++ b/2co/01/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini Paulo hakuja Koritho? + +Hakuja Koritho ili kwamba asiwalemee wao + +# Paulo alisema nini yeye na Timotheo nini hawakufanya kwa kanisa la Korintho? + +Paulo alisema hawajaribu kudhibiti kile imani yao inapaswa kuwa, lakini walikuwa wakifanya kazi na kanisa la Korintho kwa furaha yao. + diff --git a/2co/02/01.md b/2co/02/01.md new file mode 100644 index 0000000..f2ba0a4 --- /dev/null +++ b/2co/02/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alikuwa anajaribu kuepuka hali gani kwa kutokuja kanisa la Koritho? + +Paulo alikuwa anakwepa kuja kanisa la Koritho katika hali ya maumivu. + diff --git a/2co/02/03.md b/2co/02/03.md new file mode 100644 index 0000000..77aa161 --- /dev/null +++ b/2co/02/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa nini Paulo anaandika kama alivyofanya katika barua yake iliyopita kwa kanisa la Korintho? + +Aliandika kama alivyofanya ili kwamba atakapokuja kwao asiweze kuumizwa na wale ambao wangemfanya yeye afurahi. + +# Ni wakati gani Paulo aliwaandikia Wakorintho kabla ya kuwa na mawzo mengi? + +Alikuwa katika taabu kubwa na maumivu ya moyo. + +# Kwa nini Paulo aliwaandikia barua kanisa la Korintho + +He wrote to them so that they would know the depth of the love that he had for them. + diff --git a/2co/02/05.md b/2co/02/05.md new file mode 100644 index 0000000..a13e9bf --- /dev/null +++ b/2co/02/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Paulo alisema nini watakatifu wa Korintho wanapaswa sasa kufanya kwa wale waliowaadhibu? + +Paulo alisema wanapaswa kumsamehe na kumfariji mtu huyo. + +# Paulo alisema nini watakatifu wa Korintho wanapaswa sasa kufanya kwa wale waliowaadhibu? + +Paulo alisema wanapaswa kumsamehe na kumfariji mtu huyo. + +# Paulo alisema nini watakatifu wa Korintho wanapaswa sasa kufanya kwa wale waliowaadhibu? + +Paulo alisema wanapaswa kumsamehe na kumfariji mtu huyo. + diff --git a/2co/02/08.md b/2co/02/08.md new file mode 100644 index 0000000..ffaafb4 --- /dev/null +++ b/2co/02/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini sababu nyingine Paulo aliyoandikia kanisa la Korintho? + +Paulo aliwaandikia kuwajaribu na kujua kama walikuwa wakitii katika kila kitu. + diff --git a/2co/02/10.md b/2co/02/10.md new file mode 100644 index 0000000..f1aac2a --- /dev/null +++ b/2co/02/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini ilikuwa muhimu kwa kanisa la Korintho kujua kwamba yeyote ambaye wamesamehewa pia alisamehewa na Paulo na mbele ya Kristo? + +Ilikuwa hivyo kwamba Shetani asiwadanganye. + diff --git a/2co/02/12.md b/2co/02/12.md new file mode 100644 index 0000000..ec3c514 --- /dev/null +++ b/2co/02/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Paulo hakuwa na amani ya moyo alipoenda mji wa Troasi? + +Alikuwa na amani ya moyo kwa sababu hakuweza kumwona ndugu yake Tito huko Troas. + diff --git a/2co/02/14.md b/2co/02/14.md new file mode 100644 index 0000000..9482d5f --- /dev/null +++ b/2co/02/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mungu alifanya nini kupitia Paulo na wenzake? + +Kupitia Paulo na wenzake Mungu alisambaza harufu tamu ya maarifa ya Kristo kila mahali. + +# Mungu alifanya nini kupitia Paulo na wenzake? + +Kupitia Paulo na wenzake Mungu alisambaza harufu tamu ya maarifa ya Kristo kila mahali. + diff --git a/2co/02/16.md b/2co/02/16.md new file mode 100644 index 0000000..706afec --- /dev/null +++ b/2co/02/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alisemaje kwamba yeye na wenzake walikuwa tofauti na watu wengi ambao walinunua neno la Mungu kwa faida? + +Paulo na wenzake walikuwa tofauti kwa kuwa walizungumza kwa usafi wa nia, kama waliotumwa kutoka kwa Mungu, mbele ya Mungu, wakiongea katika Kristo. + diff --git a/2co/03/01.md b/2co/03/01.md new file mode 100644 index 0000000..76fac2b --- /dev/null +++ b/2co/03/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni barua gani ya mapendekezo ambayo Paulo na wenzake walikuwa nayo? + +Watakatifu wa Korintho walikuwa walikua nabarua ya mapendekezo, inayojulikana na kusomwa na watu wote. + diff --git a/2co/03/04.md b/2co/03/04.md new file mode 100644 index 0000000..83eb3e9 --- /dev/null +++ b/2co/03/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni ujasiri gani ambao Paulo na wenzake walikuwa nao katika Mungu kupitia Kristo? + +Ujasiri wao haukuwa katika wao wenyewe bali ni utoshelevu ambao Mungu aliwapa. + +# Ni ujasiri gani ambao Paulo na wenzake walikuwa nao katika Mungu kupitia Kristo? + +Ujasiri wao haukuwa katika wao wenyewe bali ni utoshelevu ambao Mungu aliwapa. + +# Ilikuwa msingi gani wa agano jipya ambalo Mungu alikuwa amewastahili Paulo na wenzake kuwa watumishi? + +Agano jipya lilitokana na roho ambaye hutoa uzima, sio barua inayoua. + diff --git a/2co/03/07.md b/2co/03/07.md new file mode 100644 index 0000000..153c5d6 --- /dev/null +++ b/2co/03/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini watu wa Israeli hawakuuangalia moja kwa moja uso wa Musa? + +Hawakuangalia moja kwa moja kwenye uso wake kwa sababu ya utukufu wa uso wake, utukufu ambao ulikuwa unaishiria. + diff --git a/2co/03/09.md b/2co/03/09.md new file mode 100644 index 0000000..96da4d4 --- /dev/null +++ b/2co/03/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kitakuwa na utukufu zaidi, utumishi ya hukumu au utumishi ya haki? + +Utumishi wa haki huzidi zaidi katika utukufu. + diff --git a/2co/03/14.md b/2co/03/14.md new file mode 100644 index 0000000..2c018fb --- /dev/null +++ b/2co/03/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Jinsi gani ufahamu wa waisraleli ulifunguliwa na utaji kuondolewa katika mioyo yao? + +Pale tu waisraeli wanapomrudia Krito Bwana ufahamu wao unafunguliwa na utaji kuondolewa. + +# Tatizo gani lipo hata leo kwa watu wa Israeli wakati agano la kale la Musa linasoma? + +Tatizo lao ni akili zao zimefungwa na kufunika uongo juu ya mioyo yao. + +# Nini Waisraeli wanaweza kufunguliwa na pazia limeondolewa miyoyoni mwao? + +Wakati tu Waisraeli watakapo mrudia Bwana Kristo mawazo yao yaliyofunguliwa na pazia limeondolewa. + diff --git a/2co/03/17.md b/2co/03/17.md new file mode 100644 index 0000000..0512b67 --- /dev/null +++ b/2co/03/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini kinapatikana palipo na Roho wa Bwana? + +Pale alipo Roho wa Bwana, kuna uhuru. + +# Kwa nini wote wanaouona utukufu wa Bwana wanapaswa kubadilishwa? + +Wanapaswa wanabadilishwa kuwa sawa mfano wa utukufu kutoka kiwango fulani cha utukufu hadi kingine. + diff --git a/2co/04/01.md b/2co/04/01.md new file mode 100644 index 0000000..9fa911f --- /dev/null +++ b/2co/04/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa nini Paulo na wenzake hawakukata tamaa? + +Hawakukata tamaa kwa sababu ndani yao walikuwa wakifanywa upya siku hadi siku. Pia, wakati wao, mwanga wa mateso ulikuwa ukiwandaa kwa ajili ya uzito wa utukufu ambao unazidi vipimo vyote. Mwisho, walikuwa wanatazamia vitu vya milele. + +# Ni njia gani ambazo Paulo na wenzake waliziacha? + +Walikuwa wamekataa njia ambazo ni aibu na za siri. Hawakuishi kwa udanganyifu na hawakutumia vibaya neno la Mungu. + +# Paulo na wengine walijishughulishaje wenyewe kwa dhamiri ya kila mtu mbele ya Mungu? + +Walifanya hivyo kwa kuwasilisha ukweli. + diff --git a/2co/04/03.md b/2co/04/03.md new file mode 100644 index 0000000..3aeb1a2 --- /dev/null +++ b/2co/04/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nani Injili imefichika ? + +Imefichika kwa wale ambao wanaangamia. + +# Kwa nini injili imefunikwa kwa wale ambao wanaangamia? + +Imefunikwa kwa sababu mungu wa ulimwengu huu amewapofusha akili zao zisizoamini ili wasiweze kuona mwanga wa injili. + diff --git a/2co/04/05.md b/2co/04/05.md new file mode 100644 index 0000000..c1f1204 --- /dev/null +++ b/2co/04/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo na wenzake walitangaza nini kuhusu Yesu na kuhusu wao wenyewe? + +Walimtangaza Kristo Yesu kama Bwana na wao wenyewe kama watumishi wa kanisa la Koritho kwa ajili ya Yesu. + diff --git a/2co/04/07.md b/2co/04/07.md new file mode 100644 index 0000000..0162f9c --- /dev/null +++ b/2co/04/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini Paulo na wenzake wana hii hazina kwenye vyombo vya udongo? + +Walikuwa na hii hazina kwenye vyombo vya udongo ili kwamba ieleweke kuwa ile nguvu kubwa inayozidi ni ya Mungu na sio ya kwao. + +# Kwa nini Paulo na wenzake walibeba katika miili yao kifo cha Yesu? + +Walibeba kifo cha Yesu katika miili yao ili uhai wa Yesu uweze pia kuonyeshwa katika miili yao. + diff --git a/2co/04/13.md b/2co/04/13.md new file mode 100644 index 0000000..c736665 --- /dev/null +++ b/2co/04/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni nani atakayefufuliwa na kuletwa mbele ya yeye aliyemfufua Bwana Yesu? + +Paulo na wenzake pamoja na watakatifu wa Korintho wataletwa mbele ya yeye aliyemfufua Bwana Yesu. + +# Nini kitatokea kama matokeo ya neema inayoenea kwa watu wengi? + +Kama neema imeenea kwa watu wengi, shukrani itaongezeka kwa utukufu wa Mungu. + diff --git a/2co/04/16.md b/2co/04/16.md new file mode 100644 index 0000000..38b7173 --- /dev/null +++ b/2co/04/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa nini Paulo na wenzake wana sababu ya kukata tamaa? + +Walikuwa na sababu ya kukata tamaa kwa sababu kwa nje walikuwa wanachakaa. + +# Kwa nini Paulo na wenzake hawakukata tamaa? + +Hawakukata tamaa kwa sababu ndani yao walikuwa wanafanywa upya siku hadi siku. Pia, kwa kipindi hiki kifupi, mateso madogo yalikuwa yanawaandaa wao kwa uzito wa utukufu ambao unazidi vipimo vyote. Mwisho, walikuwa wanatazama kwa ajili ya vitu vya milele visivyo onekana. + +# Kwa nini Paulo na wenzake hawakukata tamaa? + +Hawakukata tamaa kwa sababu ndani yao walikuwa wanafanywa upya siku hadi siku. Pia, kwa kipindi hiki kifupi, mateso madogo yalikuwa yanawaandaa wao kwa uzito wa utukufu ambao unazidi vipimo vyote. Mwisho, walikuwa wanatazama kwa ajili ya vitu vya milele visivyo onekana. + diff --git a/2co/05/01.md b/2co/05/01.md new file mode 100644 index 0000000..e0f0e6f --- /dev/null +++ b/2co/05/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Paulo alisema bado tunayo kama masikani ya duniani imeharibiwa? + +Paulo alisema tunalo jengo kutoka kwa Mungu, nyumba isiyotengenezwa kwa mikono ya wanadamu, bali nyumba ya milele, katika mbingu. + diff --git a/2co/05/04.md b/2co/05/04.md new file mode 100644 index 0000000..702e4e2 --- /dev/null +++ b/2co/05/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini Paulo alisema kwamba wakati tuko katika hema hii, tunaugua? + +Paulo alisema hivi kwa sababu wakati tuko katika hema hii, tunalemewa na tunataka kuvishwa, il kwamba kile kinacho kufa kiweze kumezwa na uzima. + +# Mungu alitupatia nini kama ahadi ya kile kinachokuja? + +Mungu alitupatia Roho kama ahadi ya kile kitakachokuja. + diff --git a/2co/05/06.md b/2co/05/06.md new file mode 100644 index 0000000..0cf1c37 --- /dev/null +++ b/2co/05/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je! Paulo angeweza kuwa katika mwili, au nyumbani na Bwana? + +Paulo alisema, "tungependa kuwa mbali na mwili na nyumbani pamoja na Bwana. + diff --git a/2co/05/09.md b/2co/05/09.md new file mode 100644 index 0000000..5c71cf9 --- /dev/null +++ b/2co/05/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Lengo la Paulo lilikwa ni nini? + +Paulo alilifanya lengo lake kumpendeza Bwana. + +# Kwa nini Paulo alifanya kuwa lengo lake kumpendeza Bwana? + +Paulo alifanya lengo hili kwa sababu sisi sote tupaswa kuonekana mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo kupokea kile kinachofaa kwa mambo yaliyofanyika katika mwili, iwe kwa mema au mabaya. + diff --git a/2co/05/11.md b/2co/05/11.md new file mode 100644 index 0000000..3f45c5f --- /dev/null +++ b/2co/05/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini Paulo na wenzake walishawishi watu? + +Waliwashawishi watu kwa sababu waliijua hofu ya Bwana. + +# Paulo alisema hawakujipendekeza wenyewe kwa watakatifu wa Korintho. Walifanya nini? + +Walikuwa wakiwapa watakatifu wa Korintho sababu ya kujivunia wao, ili watakatifu wa Korintho wawe na jibu kwa wale ambao walijisifu juu ya maonyesho lakini si kuhusu yaliyo ndani ya moyo. + diff --git a/2co/05/13.md b/2co/05/13.md new file mode 100644 index 0000000..36996d5 --- /dev/null +++ b/2co/05/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa kuwa Kristo alikufa kwa ajili ya wote, wanaoishi wanapaswa kufanya nini? + +Hawapaswi kuishi si kwaajiri yao wenyewe, bali kwa ajili ya yeye aliyekufa na aliyefufuliwa. + diff --git a/2co/05/16.md b/2co/05/16.md new file mode 100644 index 0000000..e85c1fe --- /dev/null +++ b/2co/05/16.md @@ -0,0 +1,9 @@ +# Kwa nini Paulo alisema hatuta muhukumu yeyote kulingana na viwango vya wanadamu? + +Hii ni kwa sababu Kristo alikufa kwa ajili ya wote, +na hatuishi tena kwa ajili yetu, bali kwa ajili ya Kristo. + +# Ni nini kinachotokea kwa mtu yeyote aliye ndani ya Kristo? + +Yeye ni kiumbe kipya. Mambo ya kale yamepita. Tazama, yamekuwa mapya. + diff --git a/2co/05/18.md b/2co/05/18.md new file mode 100644 index 0000000..6d5de8a --- /dev/null +++ b/2co/05/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakati Mungu kupitia Kristo huwaunganisha watu yeye mwenyewe Mungu anawatendea nini? + +Mungu hawahesabu makosa yao ya dhambi dhidi yao na anawapa ujumbe wa kuunganishwa. + diff --git a/2co/05/20.md b/2co/05/20.md new file mode 100644 index 0000000..09473d0 --- /dev/null +++ b/2co/05/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kama tulio chaguliwa wawakilishi wa Kristo, nini maombi ya Paulo na wenzake na huruma yake kwa Wakoritho? + +Maombi yao kwa Wakoritho ni kupatanishwe kwa Mungu kwa ajili ya Kristo!. + +# Kwa nini Mungu alimfanya Kristo awe dhabihu kwa ajili ya dhambi zetu? + +Mungu alifanya hivyo ili kwa Kristo tupate kuwa haki kwa Mungu. + diff --git a/2co/06/01.md b/2co/06/01.md new file mode 100644 index 0000000..14336b6 --- /dev/null +++ b/2co/06/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Paulo na wenzake waliwasihi Wakoritho wasifanye nini? + +Waliwasihi Wakoritho wasiipokee neema ya Mungu pasipo faida. + +# Ni wakati gani mzuri? Siku ya wokovu ni lini? + +Sasa ni wakati mzuri. Sasa ni siku ya wokovu. + +# Kwa nini Paulo na wenzake hawakuweka kizuizi mbele ya mtu yeyote? + +Hawakuweka kizuizi mbele ya mtu yeyote, kwa sababu hakutaka huduma yao iletwe kinyume. + diff --git a/2co/06/04.md b/2co/06/04.md new file mode 100644 index 0000000..041156b --- /dev/null +++ b/2co/06/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Tendo gani la Pauo na wenzake lilithibitisha? + +Matendo yao yalithibitisha walikuwa watumishi wa Mungu. + +# Ni baadhi ya mambo gani ambayo Paulo na wenzake waliyapitia? + +Walipitia mateso, dhiki, ugumu wa maisha, kupigwa, vifungo, ghasia, kazi kwa bidii, kukosa usingizi usiku, na njaa. + +# Ni baadhi ya mambo gani ambayo Paulo na wenzake waliyapitia? + +Walipitia mateso, dhiki, ugumu wa maisha, kupigwa, vifungo, ghasia, kazi kwa bidii, kukosa usingizi usiku, na njaa. + diff --git a/2co/06/08.md b/2co/06/08.md new file mode 100644 index 0000000..9e23674 --- /dev/null +++ b/2co/06/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Japokuwa Paulo na wenzake walikuwa wakweli, walituhumiwa kwa ajili gani? + +Walituhumiwa kwa kuwa wadanganyifu. + diff --git a/2co/06/11.md b/2co/06/11.md new file mode 100644 index 0000000..28eb7df --- /dev/null +++ b/2co/06/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Badiliko gani Paulo anatamani kulifanya na kanisa la Koritho? + +Paulo anasema mioyo yao ilikuwa imefunguliwa kwa upana kwa Wakoritho na katika mabadiliko ya haki Paulo alitaka watakatifu wa Koritho kufungua mioyo yao kwa upana, kwa Paulo na wenzake. + diff --git a/2co/06/14.md b/2co/06/14.md new file mode 100644 index 0000000..52c8585 --- /dev/null +++ b/2co/06/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sababu gani Paulo anazitoa kama kwa nini watakatifu wa Koritho wanapaswa kutokufungamana pamoja na wasioamini? + +Paulo anatoa sababu zifuatazo: kuna ushirika gani kati ya haki na uasi? Nuru inaushirika na Giza? Kristo anakubaliana na Beliari? Aaminiye anasehemu gani pamoja na asiyeamini? Kunaweza kuwa na makubaliano kati ya hekaru na sanamu?. + diff --git a/2co/06/17.md b/2co/06/17.md new file mode 100644 index 0000000..059eab4 --- /dev/null +++ b/2co/06/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mungu anasema nini kwamba atafanya kwa ajili ya wale ambao wata, "toka kati yao na kutengwa nao, na msiguse kilicho kichafu...? + +Bwana anasema atawakaribisha wao. Atakuwa baba kwao nao watakuwa watoto wake wa kike na wakiume. + diff --git a/2co/07/01.md b/2co/07/01.md new file mode 100644 index 0000000..b56ba8d --- /dev/null +++ b/2co/07/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nini Paulo anasema tunapaswa kujitakasa wenyewe? + +Tunapaswa kujitakasa wenyewe kwa kila kitu kinachofanya sisi kuwa najisi katika mwili na roho. + diff --git a/2co/07/02.md b/2co/07/02.md new file mode 100644 index 0000000..aee001e --- /dev/null +++ b/2co/07/02.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo alitaka watakatifu wa Korintho kufanya nini kwaajiri yake mwenyewe na wenzake? + +Paulo alitaka wao, "kuweka nafasi kwaajiri yao!" + +# Maneno gani ya kuhimiza aliyonayo Paulo kwa watakatifu wa Korintho? + +Paulo aliwaambia watakatifu wa Korintho walikuwa ndani ya mioyo yao, kufa pamoja na kuishi pamoja. Paulo pia aliwaambia kuwa alikuwa na ujasiri mkubwa ndani yao na alikuwa na ninajivuna kwa ajili yao. + diff --git a/2co/07/05.md b/2co/07/05.md new file mode 100644 index 0000000..a40ec3e --- /dev/null +++ b/2co/07/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni faraja gani ambayo Mungu alimpa Paulo na wenzake wakati walifika Makedonia na walikuwa na wasiwasi kwa kila njia - migogoro ya nje na hofu ndani? + +Mungu aliwafariji kwa kuwasili kwa Tito, kwa ripoti ya faraja ambayo Tito alikuwa amepokea kutoka kwa watakatifu wa Korintho, na kwa upendo mkubwa wa Wakorintho, huzuni zao na wasiwasi mkubwa kwa Paulo. + diff --git a/2co/07/08.md b/2co/07/08.md new file mode 100644 index 0000000..e4fa672 --- /dev/null +++ b/2co/07/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Barua ya Paulo ya awali ili toa nini kwa watakatifu wa Korintho? + +Watakatifu wa Korintho walipata huzuni, huzuni ya Mungu kwa kukabiliana na barua ya Paulo ya awali. + +# Barua ya Paulo ya awali ili toa nini kwa watakatifu wa Korintho? + +Watakatifu wa Korintho walipata huzuni, huzuni ya Mungu kwa kukabiliana na barua ya Paulo ya awali. + +# Uvumilivu wa Mungu ulizalisha nini kwa watakatifu wa Korintho? + +Huzuni ilileta toba ndani yao. + diff --git a/2co/07/11.md b/2co/07/11.md new file mode 100644 index 0000000..3cef2dd --- /dev/null +++ b/2co/07/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Huzuni ya Mungu ilizaa nini katika watakatifu wa Korintho? + +Huzuni ya Mungu iliwaletea toba ndani yao na uamuzi mkubwa wa kuthibitisha kwamba hawakuwa na hatia. + diff --git a/2co/07/13.md b/2co/07/13.md new file mode 100644 index 0000000..d196fba --- /dev/null +++ b/2co/07/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Tito alikuwa na furaha? + +Alifurahi kwa sababu roho yake ilifarijiwa na watakatifu wote wa Korintho. + diff --git a/2co/07/15.md b/2co/07/15.md new file mode 100644 index 0000000..d21dd99 --- /dev/null +++ b/2co/07/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini upendo wa Tito kwa watakatifu wa Korintho ulikua hata zaidi? + +Upendo wa Tito kwa watakatifu wa Korintho ulikua zaidi kama alikumbuka utii wa watakatifu wote wa Korintho kama walivyompokea kwa hofu na kutetemeka. + diff --git a/2co/08/01.md b/2co/08/01.md new file mode 100644 index 0000000..0858f2f --- /dev/null +++ b/2co/08/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo alitaka kaka na dada wa Korintho kujua nini? + +Paulo alitaka wajue kuhusu neema ya Mungu iliyotolewa kwa makanisa ya Makedonia. + +# Makanisa ya Makedonia yalifanya nini wakati wa jaribio kubwa la taabu, na ingawa walikuwa maskini sana? + +Walizalisha utajiri mkubwa wa ukarimu. + diff --git a/2co/08/06.md b/2co/08/06.md new file mode 100644 index 0000000..1b1d3a4 --- /dev/null +++ b/2co/08/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo alimuomba Tito kufanya nini? + +Paulo alimwomba Tito kuleta kukamilisha tendo hili la neema kwa upande wa watakatifu wa Korintho. + +# Kwa nini kingine waumini wa Korintho waliongeza? + +Waliongezeka katika imani, kwa mazungumzo, kwa ujuzi, kwa bidii yote, na kwa upendo wao kwa Paulo + diff --git a/2co/08/10.md b/2co/08/10.md new file mode 100644 index 0000000..fa5adca --- /dev/null +++ b/2co/08/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anasema nini ni zuri na linalokubalika? + +Paulo anasema ni jambo nzuri na linalokubalika kwa watakatifu wa Korintho kuwa na hamu ya kufanya kazi hiyo. + diff --git a/2co/08/13.md b/2co/08/13.md new file mode 100644 index 0000000..0cec82a --- /dev/null +++ b/2co/08/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je! Paulo anataka kazi hii ifanyike ili wengine waweze kuokolewa na watakatifu wa Korintho wanaweza kulemewa? + +Hapana. Paulo alisema wingi Wakorintho wakati huo wa sasa ungewapa kile ambacho wao (watakatifu wengine) walihitaji. Pia ili wingi wao pia utumie mahitaji ya mtakatifu wa Korintho, na ili uweze kuwa na haki. + +# Je! Paulo anataka kazi hii ifanyike ili wengine waweze kuokolewa na watakatifu wa Korintho wanaweza kulemewa? + +Hapana. Paulo alisema wingi Wakorintho wakati huo wa sasa ungewapa kile ambacho wao (watakatifu wengine) walihitaji. Pia ili wingi wao pia utumie mahitaji ya mtakatifu wa Korintho, na ili uweze kuwa na haki. + diff --git a/2co/08/16.md b/2co/08/16.md new file mode 100644 index 0000000..c8b3feb --- /dev/null +++ b/2co/08/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Tito alifanya nini baada ya Mungu kuweka ndani ya moyo yao uangalifu huo ambao Paulo alikuwa nao kwa watakatifu wa Korintho? + +Tito alikubali rufaa ya Paulo, na akiwa na bidii sana juu yake, alikuja kwa watakatifu wa Korintho kwa mapenzi yake mwenyewe. + diff --git a/2co/08/20.md b/2co/08/20.md new file mode 100644 index 0000000..2dd73e2 --- /dev/null +++ b/2co/08/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alikuwa makini kuepuka nini katika vitendo vyake kuhusu tendo hili la ukarimu? + +Paulo alikuwa makini kuepuka kutoa mtu yeyote sababu ya kulalamika kuhusu matendo yake. + diff --git a/2co/08/22.md b/2co/08/22.md new file mode 100644 index 0000000..c5db575 --- /dev/null +++ b/2co/08/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo aliwaambia watakatifu wa Korintho kufanya nini kuhusu ndugu waliotumwa kwao na makanisa mengine? + +Paulo aliwaambia kanisa la Wakorintho kuwaonyesha upendo wao, na kuwaonyesha kwa nini Paulo alijisifu juu ya kanisa la Korintho miongoni mwa makanisa mengine. + diff --git a/2co/09/01.md b/2co/09/01.md new file mode 100644 index 0000000..7c7143d --- /dev/null +++ b/2co/09/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kuhusu nini Paulo anasema si lazima kuwandikia Wtakatifu wa Korintho? + +Paulo anasema si lazima kuandikia kuhusu huduma kwa watakatifu. + diff --git a/2co/09/03.md b/2co/09/03.md new file mode 100644 index 0000000..47871e5 --- /dev/null +++ b/2co/09/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa nini Paulo aliwatuma ndugu huko Korintho? + +Aliwatuma ndugu ili kujivunia kwake juu ya watakatifu wa Korintho isiwe bure, na hivyo kwamba watakatifu wa Korintho watakuwa tayari, kama Paulo alivyosema watakuwa. + +# Kwa nini Paulo alidhani ni muhimu kuwahimiza ndugu kwenda kwa watakatifu Wakorintho na kufanya mipango mapema kwa ajili ya zawadi Wakorintho walikuwa wameahidi? + +Paulo alidhani ni muhimu ili Paulo na wenzake wasiwe na aibu ikiwa watu wa Makedonia walikuja na Paulo na wakaona Wakorintho wasio tayari. Paulo alitaka Wakorintho kuwa tayari na zawadi moja kwa uhuru inayotolewa na si kwa sababu Wakorintho walilazimika kutoa. + +# Kwa nini Paulo alidhani ni muhimu kuwahimiza ndugu kwenda kwa watakatifu Wakorintho na kufanya mipango mapema kwa ajili ya zawadi Wakorintho walikuwa wameahidi? + +Paulo alidhani ni muhimu ili Paulo na wenzake wasiwe na aibu ikiwa watu wa Makedonia walikuja na Paulo na wakaona Wakorintho wasio tayari. Paulo alitaka Wakorintho kuwa tayari na zawadi moja kwa uhuru inayotolewa na si kwa sababu Wakorintho walilazimika kutoa. + diff --git a/2co/09/06.md b/2co/09/06.md new file mode 100644 index 0000000..4934018 --- /dev/null +++ b/2co/09/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo anasema ni nini cha kutoa kwao? + +Paulo anasema jambo hili ni "Mtu anayepanda kidogo atavuna kidogo, na yule anayepanda kwa manufaa atavuna manufaa." + +# Je! Kila mmoja anaweza kutoa nini? + +Kila mmoja atoe kama alivyopanga moyoni mwake-si kwa wajibu wa kulazimisha au kuwa na huzuni wakati anatoa. + diff --git a/2co/09/10.md b/2co/09/10.md new file mode 100644 index 0000000..50dd1f2 --- /dev/null +++ b/2co/09/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni nani ambaye hutoa mbegu kwa mkulima na mkate kwa ajili ya chakula cha kufanya kwa watakatifu wa Korintho? + +Kwamba huyo angeenda kutoa na kuzidisha mbegu zao kwa kupanda na kuongeza mavuno ya haki yao. Walikuwa wakitengenezwa kwa kila njia ili waweze kuwa wenye ukarimu. + +# Ni nani ambaye hutoa mbegu kwa mkulima na mkate kwa ajili ya chakula cha kufanya kwa watakatifu wa Korintho? + +Kwamba huyo angeenda kutoa na kuzidisha mbegu zao kwa kupanda na kuongeza mavuno ya haki yao. Walikuwa wakitengenezwa kwa kila njia ili waweze kuwa wenye ukarimu. + diff --git a/2co/09/12.md b/2co/09/12.md new file mode 100644 index 0000000..08ec032 --- /dev/null +++ b/2co/09/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni jinsi gani Watakatifu wa Korintho walimtukuza Mungu? + +Wakamtukuza Mungu kwa utiifu wa kukiri kwao ya injili ya Kristo, na ukarimu wa zawadi zao. + +# Kwa nini watakatifu waliwatamani watakatifu Wakorintho kama waliwaombea? + +Walitamani kwa sababu ya neema kubwa sana ya Mungu iliyokuwa juu ya Wakorintho. + diff --git a/2co/10/01.md b/2co/10/01.md new file mode 100644 index 0000000..f020489 --- /dev/null +++ b/2co/10/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo aliomba nini kwa watakatifu wa Korintho: + +Paulo aliwaombea kwamba wakati alipokuwapo pamoja nao, hakuwa na ujasiri na kujiamini. + +# Kwa nini Paulo alifikiri angehitaji kuwa na ujasiri na kujiamini? + +Paulo alidhani atakuwa na ujasiri na kujiamini wakati aliwapinga wale ambao walidhani kwamba Paulo na wenzake walikuwa wanaishi kulingana na mwili. + diff --git a/2co/10/03.md b/2co/10/03.md new file mode 100644 index 0000000..38a7cb7 --- /dev/null +++ b/2co/10/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wakati Paulo na wenzake walipigana vita, hawakutumia na silaha za aina gani? + +Paulo na wenzake hawakutumia silaha za mwili wakati wakupigana vita. + +# Silaha ambazo Paulo alitumia zina uwezo wa kufanya nini? + +Silaha ambazo Paulo alitumia zilikuwa na uwezo wa Mungu wa kuharibu ngome + diff --git a/2co/10/07.md b/2co/10/07.md new file mode 100644 index 0000000..97d5d95 --- /dev/null +++ b/2co/10/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa sababu gani Bwana alimpa Paulo na wenzake mamlaka? + +Bwana alimpa Paulo na wenzake mamlaka ili waweze kuwajenga watakatifu wa Korintho na kuwaangamiza. + diff --git a/2co/10/09.md b/2co/10/09.md new file mode 100644 index 0000000..a97cfec --- /dev/null +++ b/2co/10/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Watu wengine walikuwa wanasema nini kuhusu Paulo na Nyaraka zake? + +Wengine walisemaNyaraka za Paulo zilikuwa zenye nguvu na zenye nguvu, lakini kimwili alikuwa dhaifu na hotuba yake haikuwa ya thamani ya kusikiliza. + diff --git a/2co/10/11.md b/2co/10/11.md new file mode 100644 index 0000000..42fe914 --- /dev/null +++ b/2co/10/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo aliwaambia nini wale waliodhani kwamba alikuwa tofauti sana na mtu kuliko Nyaraka zake zilizothibitishwa? + +Paulo alisema kwamba aliyosema kwa barua wakati alipokuwa mbali kingekuwa sawa na atakavyofanya wakati alipokuwapo na watakatifu wa Wakorintho + diff --git a/2co/10/13.md b/2co/10/13.md new file mode 100644 index 0000000..3b4e381 --- /dev/null +++ b/2co/10/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni wapi mipaka ya kujivunia kwa Paulo? + +Paulo alisema kujivunia kwao kungekuwa katika eneo ambalo Mungu alikuwa amewapa, hata kufikia mbali na Wakorintho. Paulo alisema hawatajivunia juu ya kazi ya wengine, kuhusu kazi inayofanyika katika eneo lingine. + diff --git a/2co/10/15.md b/2co/10/15.md new file mode 100644 index 0000000..3134f4d --- /dev/null +++ b/2co/10/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni wapi mipaka ya kujivunia kwa Paulo? + +Paulo alisema kujivunia kwao kungekuwa katika eneo ambalo Mungu alikuwa amewapa, hata kufikia mbali na Wakorintho. Paulo alisema hawatajivunia juu ya kazi ya wengine, kuhusu kazi inayofanyika katika eneo lingine. + diff --git a/2co/10/17.md b/2co/10/17.md new file mode 100644 index 0000000..65995bf --- /dev/null +++ b/2co/10/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yeye aliyethibitishwa ni nani? + +Yeye aliyethibitishwa ni yule ambaye Bwana amemkubali. + diff --git a/2co/11/01.md b/2co/11/01.md new file mode 100644 index 0000000..617231a --- /dev/null +++ b/2co/11/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwanini Paulo alikuwa na wivu wa Kimungu juu ya watakatifu wa Korintho? + +Alikuwa na wivu kwa sababu aliwaahidi kuwa ndoa ya mme mmoja, na kuwahifadhi kama mabinti bikira kwa ajili ya Kristo. + diff --git a/2co/11/03.md b/2co/11/03.md new file mode 100644 index 0000000..4922339 --- /dev/null +++ b/2co/11/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo aliogopa nini kuhusu watakatifu wa Korintho? + +Paulo alikuwa na hofu mawazo yao yanaweza kuongozwa kutoka kwa kujitolea kwa kweli na safi kwa Kristo. + diff --git a/2co/11/07.md b/2co/11/07.md new file mode 100644 index 0000000..d3b13eb --- /dev/null +++ b/2co/11/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alihubirije Injili kwa Wakorintho? + +Paulo alihubiri injili kwa uhuru kwa Wakorintho. + diff --git a/2co/11/14.md b/2co/11/14.md new file mode 100644 index 0000000..c5d254d --- /dev/null +++ b/2co/11/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Shetani hujigeuzaje mwenyewe? + +Hujigeuza mwenyewe kama malaika wa nuru. + diff --git a/2co/11/16.md b/2co/11/16.md new file mode 100644 index 0000000..8e54254 --- /dev/null +++ b/2co/11/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Paulo aliwauliza watakatifu wa Korintho kumpokea kama mpumbavu? + +Paulo aliwaomba wapate kumpokea kama mpumbavu ili aweze kujivunia kidogo. + diff --git a/2co/11/19.md b/2co/11/19.md new file mode 100644 index 0000000..bcb71a4 --- /dev/null +++ b/2co/11/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni mtu gani ambaye Paulo anamtaja kuwa watakatifu wa Korintho walielewana nae kwa furaha. + +Paulo alisema wamesimama kwa furaha na wajinga, na mtu aliyewafanya watumwa, na mtu aliyesababisha mgawanyiko miongoni mwao, na mtu ambaye alitumia faida yao, pamoja na mtu aliyevaa hewa, au mtu aliyewapiga makofi. + diff --git a/2co/11/22.md b/2co/11/22.md new file mode 100644 index 0000000..8742359 --- /dev/null +++ b/2co/11/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anajivunia nini akijilinganisha na wale ambao wanataka kupatikana kuwa sawa na Paulo katika yale waliyojisifia? + +Paulo alijisifu kwamba alikuwa Mhebrania, Muisraeli na uzao wa Ibrahimu kama vile wale waliodai kuwa sawa na Paulo. Paulo alisema alikuwa mtumishi zaidi wa Kristo kuliko walivyokuwa-katika kazi ngumu zaidi, katika magereza mengi zaidi, katika kupigwa zaidi kuliko kipimo, katika kukabiliwa na hatari nyingi za kifo. + diff --git a/2co/11/24.md b/2co/11/24.md new file mode 100644 index 0000000..aa964e7 --- /dev/null +++ b/2co/11/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni baadhi ya hatari gani ambazo Paulo alivumilia? + +Paulo alipokea mara tano "mapigo arobaini toa moja" kutoka kwa Wayahudi. Mara tatu alipigwa kwa fimbo. Mara alipigwa mawe. Mara tatu alivunjika meli. Alikaa usiku na mchana katika bahari ya wazi. Alikuwa katika hatari kutoka mito, kutoka kwa wezi, kutoka kwa watu wake mwenyewe, kutoka kwa Mataifa. Alikuwa katika hatari katika mji, jangwani, baharini na katika hatari kutoka kwa ndugu wa uongo. Paulo pia alikuwa katika hatari kutoka kwa gavana wa Dameski. + diff --git a/2co/11/27.md b/2co/11/27.md new file mode 100644 index 0000000..d58b7b1 --- /dev/null +++ b/2co/11/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa mujibu wa Paulo, nini kilimfanya aumie ndani? + +Watu kuwasababisha wenzao kutenda dhambi kilimfanya Paulo aumie ndani. + diff --git a/2co/11/30.md b/2co/11/30.md new file mode 100644 index 0000000..01a1f80 --- /dev/null +++ b/2co/11/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alisema nini angejivunia, ikiwa alikuwa na kujivunia? + +Paulo alisema angejivunia juu ya kile kilichoonyesha udhaifu wake. + diff --git a/2co/11/32.md b/2co/11/32.md new file mode 100644 index 0000000..aa964e7 --- /dev/null +++ b/2co/11/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni baadhi ya hatari gani ambazo Paulo alivumilia? + +Paulo alipokea mara tano "mapigo arobaini toa moja" kutoka kwa Wayahudi. Mara tatu alipigwa kwa fimbo. Mara alipigwa mawe. Mara tatu alivunjika meli. Alikaa usiku na mchana katika bahari ya wazi. Alikuwa katika hatari kutoka mito, kutoka kwa wezi, kutoka kwa watu wake mwenyewe, kutoka kwa Mataifa. Alikuwa katika hatari katika mji, jangwani, baharini na katika hatari kutoka kwa ndugu wa uongo. Paulo pia alikuwa katika hatari kutoka kwa gavana wa Dameski. + diff --git a/2co/12/01.md b/2co/12/01.md new file mode 100644 index 0000000..13a4305 --- /dev/null +++ b/2co/12/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kuhusu nini Paulo alisema angeweza kujivunia sasa ? + +Paulo alisema angeendelea kujisifu kuhusu maono na mafunuo kutoka kwa Bwana. + diff --git a/2co/12/06.md b/2co/12/06.md new file mode 100644 index 0000000..59951d1 --- /dev/null +++ b/2co/12/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Paulo anasema haiwezi kuwa upumbavu ikiwa alijisifu? + +Paulo alisema haitakuwa upumbavu kwa ajili ya kujivunia kwa sababu angekuwa anasema kweli. + diff --git a/2co/12/08.md b/2co/12/08.md new file mode 100644 index 0000000..e84aacf --- /dev/null +++ b/2co/12/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Bwana alimwambia nini Paulo baada ya Paulo kumwomba amuondolee mwiba uliokuwa mwilini mwake? + +Bwana alimwambia Paulo, "Neema yangu yakutosha, kwa kuwa nguvu inakamilishwa katika udhaifu." + diff --git a/2co/12/11.md b/2co/12/11.md new file mode 100644 index 0000000..37e60b7 --- /dev/null +++ b/2co/12/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni jambo gani lilifanyika kwa uvumilivu wote miongoni mwa Wakorintho? + +Ishara, miujiiza na matendo makuu, ishara sahihi ya mtume vilifanyika kati yao kwa uvumilivu wote. + diff --git a/2co/12/14.md b/2co/12/14.md new file mode 100644 index 0000000..37f7a26 --- /dev/null +++ b/2co/12/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Paulo aliwaambia Wakorintho kuwa hatakuwa mzigo kwao? + +Paulo aliwaambia hivi kuwaonyesha kwamba hakutaka vilivyo yao. Aliwataka wao. + diff --git a/2co/12/19.md b/2co/12/19.md new file mode 100644 index 0000000..0f34bdd --- /dev/null +++ b/2co/12/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alikuwa na kusudi gani kuwaambia watakatifu wa Korintho mambo haya yote? + +Paulo alisema mambo yote haya ili kuwajenga watakatifu wa Korintho. + diff --git a/2co/12/20.md b/2co/12/20.md new file mode 100644 index 0000000..78e910b --- /dev/null +++ b/2co/12/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alikuwa na hofu gani anaweza kupata wakati aliporudi kwa watakatifu wa Korintho? + +Paulo alihofia kwamba kunaweza kuwa na majadiliano, wivu, milipuko ya hasira, tamaa ya ubinafsi, umbeya, kiburi, na ugomvi. + diff --git a/2co/13/01.md b/2co/13/01.md new file mode 100644 index 0000000..777e76a --- /dev/null +++ b/2co/13/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alikuwa amefika mara ngapi kwa watakatifu wa Korintho mpaka kufikia 2 Wakorintho waliandikwa? + +Paulo alikuwa amewajia kufikia 2 Wakorintho waliandikwa. + diff --git a/2co/13/03.md b/2co/13/03.md new file mode 100644 index 0000000..44bd54f --- /dev/null +++ b/2co/13/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Paulo aliwaambia watakatifu Wakorintho ambao walikuwa wametenda dhambi na wengine wote kwamba ikiwa angekuja tena asingewazuia? + +Paulo aliwaambia jambo hili kwa sababu watakatifu wa Korintho walitaka ushahidi kwamba Kristo alikuwa akizungumza kupitia Paulo. + diff --git a/2co/13/05.md b/2co/13/05.md new file mode 100644 index 0000000..2773da1 --- /dev/null +++ b/2co/13/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Paulo aliwaambia watakatifu wa Korintho kuchunguza na kujijaribu wenyewe? + +Paulo aliwaambia wafanye uchunguzi na kujijaribu wenyewe ili kuona kama walikuwa katika imani. + diff --git a/2co/13/07.md b/2co/13/07.md new file mode 100644 index 0000000..e42d363 --- /dev/null +++ b/2co/13/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kitu gani ambacho Paulo alisema kuwa yeye na wenzake hawakuwa na uwezo wa kufanya? + +Paulo alisema kuwa hawakuwa na uwezo wa kufanya chochote kilicho kinyume na kweli. + diff --git a/2co/13/09.md b/2co/13/09.md new file mode 100644 index 0000000..77a8d21 --- /dev/null +++ b/2co/13/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Paulo aliwaandikia watakatifu wa Korintho mambo haya wakati alikuwa mbali nao? + +Paulo alifanya hivi ili kwamba atakapokuwa nao, asionekane mwenye hasira kwao. + diff --git a/2co/13/11.md b/2co/13/11.md new file mode 100644 index 0000000..fec296e --- /dev/null +++ b/2co/13/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa kumalizia, Paulo aliwataka Wakorintho kufanya nini? + +Paulo alitaka waweze kufurahi, kufanya kazi kwa ajili ya kurejeshwa, kukubaliana, kuishi kwa amani, na kusalimiana kila mmoja kwa busu takatifu. + diff --git a/2co/13/13.md b/2co/13/13.md new file mode 100644 index 0000000..045d6ea --- /dev/null +++ b/2co/13/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kitu gani ambacho Paulo alitaka kila mtakatifu wa Korintho awe nacho? + +Paulo alitaka wote wawe na neema ya Bwana Yesu Kristo, upendo wa Mungu, na ushirika wa Roho Mtakatifu. + diff --git a/2jn/01/01.md b/2jn/01/01.md new file mode 100644 index 0000000..bbbd2ea --- /dev/null +++ b/2jn/01/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Katika barua hii Yohana ambaye ni mwandishi anajitamburisha kwa cheo gani? + +Yohana anajitamburisha kama Mzee. + +# Barua hii iliandikwa kwa nani? + +Barua iliandikwa kwa mama mteule na watoto wake. + +# Yohana anasema amani, rehema na neema hutoka kwa nani? + +Yohana anasema amani, rehema na neema zinatoka kwa Mungu Baba na kwa Yesu Kristo mwana wake. + diff --git a/2jn/01/04.md b/2jn/01/04.md new file mode 100644 index 0000000..43da3f4 --- /dev/null +++ b/2jn/01/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa nini Yohana anafurahi? + +Yohana anafurahi kwa sababu amefahamu kuwa baadhi ya watoto wa mwanamke wanatembea nuruni. + +# Yohana anasema ni amri gani wamekuwa nayo tangu mwanzo? + +Yohana anasema kwamba wamekuwa na amri ya kupendana tangu mwanzo. + +# Yohana anasema upendo ni nini? + +Yohana anasema upendo ni kuenenda kulingana na amri za Mungu. + diff --git a/2jn/01/07.md b/2jn/01/07.md new file mode 100644 index 0000000..b311f65 --- /dev/null +++ b/2jn/01/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yohana anawaitaje wale wasio kiri kuwa Yesu Kristo alikuja katika mwili? + +Yohana anawaita wale wasio kiri kuwa Yesu Kristo alikuja katika mwili wadanganyifu na wapinga Kristo. + +# Yohana anawaambia waumini wawe waangalifu kufanya nini? + +ohana anawaambia waumini wawe waangalifu wasipoteze mambo waliyokwisha kuyafanya. + diff --git a/2jn/01/09.md b/2jn/01/09.md new file mode 100644 index 0000000..f541aaa --- /dev/null +++ b/2jn/01/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ohana anawaambia waumini wamfanye nini mtu anayeleta mafundisho yasiyo ya kweli kuhusu Kristo? + +Yohana anawaambia waumini wasimpokee mtu yeyote asiyeleta mafundisho ya kweli kuhusu Kristo. + +# Muumini anahatia gani kama atampokea mtu ambaye haleti mafundisho ya kweli kuhusu Kristo? + +Muumini anahatia ya kushiriki katika matendo maovu ya mtu ambaye haleti mafundisho ya kweli kuhusu Kristo. + diff --git a/2jn/01/12.md b/2jn/01/12.md new file mode 100644 index 0000000..e8c13d6 --- /dev/null +++ b/2jn/01/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yohana anatumaini kufanya nini wakati ujao? + +Yohana anatumaini kuja na kuongea uso kwa uso na mwanamke mteule. + diff --git a/2pe/01/01.md b/2pe/01/01.md new file mode 100644 index 0000000..4c781de --- /dev/null +++ b/2pe/01/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni nani alyeandika warakawa pili wa Petro? + +Ni Simon Petro, mtumwa na mtume wa Yesu Kristo. + +# Petro alimwandikia nani? + +Petro aliwaandikia wale waliokuwa wameipokea ile imani ya thamani + diff --git a/2pe/01/03.md b/2pe/01/03.md new file mode 100644 index 0000000..e8d3b15 --- /dev/null +++ b/2pe/01/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, hali ya nguvu ya Mungu na utauwa ilikuwaje kwa Petro na kwa wale walioipokea imani? + +Wlipew kwa njia ya maarifa ya Mungu + +# Kwa nini Mugu alimpatia Petro na wale walioipokea imani mambo yote ya nguvu ya Mungu katika maisha na utauwa, pamoja na ahadi kubwa na za thamani? + +Alifanya hivyo ili waweze kuwa wamilika wa asili ya Mungu + diff --git a/2pe/01/05.md b/2pe/01/05.md new file mode 100644 index 0000000..4a00e2b --- /dev/null +++ b/2pe/01/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kitu gani kikubwa ambacho wale walioipokea imani walitaiwa kukipata kwa njia ya imani? + +Walikusudiwa kupata upendo kwa njia ya imani yao. + +# Ni kitu gani kikubwa ambacho wale walioipokea imani walitaiwa kukipata kwa njia ya imani? + +Walikusudiwa kupata upendo kwa njia ya imani yao. + diff --git a/2pe/01/08.md b/2pe/01/08.md new file mode 100644 index 0000000..0130113 --- /dev/null +++ b/2pe/01/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kitu gani ambacho kipofu wa rohoni amesahau? + +Amesahau kusafishwa kwa dhambi zake za zamani. + diff --git a/2pe/01/10.md b/2pe/01/10.md new file mode 100644 index 0000000..11da2af --- /dev/null +++ b/2pe/01/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kama ndugu wangefanya juhudi ili kujithibitishia wito na uteule wao kingetokea nini? + +Wasingejikwaa, na wangelipewa lango la kuingia kwenye ufalme wa milele wa Bwana na mwokozi Yesu Kristo. + diff --git a/2pe/01/12.md b/2pe/01/12.md new file mode 100644 index 0000000..e59032b --- /dev/null +++ b/2pe/01/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Petro alifikiri ilikuwa sahihi kuwakumbusha ndugu mambo haya? + +Kwa sababu Bwana wao Yesu Kristo karibu ataondoa hema lake. + diff --git a/2pe/01/16.md b/2pe/01/16.md new file mode 100644 index 0000000..314606f --- /dev/null +++ b/2pe/01/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kitu gani ambacho wale waliokuwa mashahidi wa Yesu kristo waliona? + +Waliona kuwa Yesu alipokea toka kwa Mungu Baba heshima na utukufu + diff --git a/2pe/01/19.md b/2pe/01/19.md new file mode 100644 index 0000000..4c0889b --- /dev/null +++ b/2pe/01/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Twawezaje kuwa na uhakika ya kwamba maneno ya unabii ni ya kweli? + +Kwa sababu unabii ulioandikwa hautokani na uwezo wa manabii wa kufikria, wala hapana unabii uliopatikana kwa utashi wa mtu, isipokuwa wanadamu waliwezeshwa na Roho Mtakatifu aliyeongea toka kwa Mungu. + diff --git a/2pe/02/01.md b/2pe/02/01.md new file mode 100644 index 0000000..b27724e --- /dev/null +++ b/2pe/02/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kitu gani ambacho waalimu wa uongo watakileta kwa waumini kwa siri? + +Walimu wa uongo wataleta mafundisho ya uongo yaharibuyo na kumkana Bwana aliyewanunua. + +# Kitu gani kitatokea kutokana na waalimu wa uongo? + +Kuharibiwa na na hukumu vitakuja haraka kwa sababu ya waalimu wa uongo + +# Walimu wa uongo watayatumiaje maneno ya uongo? + +Watayatumia maneno ya uongo kwa kujipatia faida kutoka kwa wenzao. + diff --git a/2pe/02/04.md b/2pe/02/04.md new file mode 100644 index 0000000..c0d8002 --- /dev/null +++ b/2pe/02/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni viumbe gani ambavyo Mungu hakuviachilia? + +Mungu hakuwaachilia Malaika waliokengeuka, ulimwengu wa zamani na pia Sodoma na Gomora. + +# Mungu alimuokoa nani katika gharika? + +Mungu alimuokoa Nuhu na wengine saba. + diff --git a/2pe/02/07.md b/2pe/02/07.md new file mode 100644 index 0000000..b0ffad2 --- /dev/null +++ b/2pe/02/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mungu alionesha nini kwa kuwaokoa wengine na kuwaangamiza wengine? + +Kitendo hiki cha Mungu kinaonesha kuwa Mungu anajua kuwaokoa watu wake. + diff --git a/2pe/02/10.md b/2pe/02/10.md new file mode 100644 index 0000000..1d1f604 --- /dev/null +++ b/2pe/02/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hao watukufu ni akina nani ambao watu wasiomwabudu Mungu hawaogopi kuwakufuru? + +Hao watukufu ni malaika, ambao hawawezi kuleta hukumu juu ya watu wa Bwana. + diff --git a/2pe/02/12.md b/2pe/02/12.md new file mode 100644 index 0000000..f331286 --- /dev/null +++ b/2pe/02/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Waalimu wa uongo waliwashawishi watu gani. + +Waalimu wa uongo waliwashawishi watu wasio imara kiimani. + diff --git a/2pe/02/15.md b/2pe/02/15.md new file mode 100644 index 0000000..e885f24 --- /dev/null +++ b/2pe/02/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nani aliyezuiua wazimu wa balaam? + +Punda bubu aliongea katika sauti ya binadamu. + diff --git a/2pe/02/17.md b/2pe/02/17.md new file mode 100644 index 0000000..c52f618 --- /dev/null +++ b/2pe/02/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa namna gani mwanadamu anaweza kuwa mtumwa? + +mwanadamu anaweza kuwa mtumwa kwa chochote kinachomtawala. + diff --git a/2pe/02/20.md b/2pe/02/20.md new file mode 100644 index 0000000..38ecc87 --- /dev/null +++ b/2pe/02/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wana uheri upi? wale wajiepushao na uchafu wa ulimwengu kwa kutumia maarifa ya Yesu Kristo na kisha kuyarudia uchafu huo? + +Ingekuwa heri kwao kama wasingeijua njia ya haki. + diff --git a/2pe/03/01.md b/2pe/03/01.md new file mode 100644 index 0000000..a3efa3e --- /dev/null +++ b/2pe/03/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Peter kuandika barua ya pili? + +Aliandika barua hii ili kukumbuka maneno yaliyosemwa na manabii na juu ya amri ya Bwana na Mwokozi wao. + diff --git a/2pe/03/03.md b/2pe/03/03.md new file mode 100644 index 0000000..cd9617f --- /dev/null +++ b/2pe/03/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je wenye mzaha watasema nini katika siku ya mwisho? + +Wenye mzaha watauliza swali juu ya ahadi ya kurudi kwa Yesu na kusema kuwa mambo yote yatabaki kama yalivyokuwa kama mwanzo wa uumbaji. + diff --git a/2pe/03/05.md b/2pe/03/05.md new file mode 100644 index 0000000..0525221 --- /dev/null +++ b/2pe/03/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mbingu na nchi vimetengenezwaje na ni jinsi gani vimewekwa akiba kwa ajili ya moto katika siku ya hukumu na uharibifu wa watu waovu? + +Vilianzishwa na kuwekwa akiba kwa neno la Mungu. + diff --git a/2pe/03/08.md b/2pe/03/08.md new file mode 100644 index 0000000..b47570c --- /dev/null +++ b/2pe/03/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Bwana anawavumilia watu anaowapenda? + +Kwa sababu hawastahili kuangamia na wana muda wakutubu. + diff --git a/2pe/03/10.md b/2pe/03/10.md new file mode 100644 index 0000000..0bc1f79 --- /dev/null +++ b/2pe/03/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Siku ya Bwana itakuja kwa namna gani? + +Siku ya Bwana itakuja kama mwizi. + diff --git a/2pe/03/11.md b/2pe/03/11.md new file mode 100644 index 0000000..f3f886d --- /dev/null +++ b/2pe/03/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Petro aliwauliza wapendwa kuhusu aina ya watu ambao walipaswa kuwa katika mambo yahusuyo maisha matakatifu na utaua? + +Kwa sababi mbingu na nchi zitaharibiwa na kwa sababu wanatarajia haki iwepo katika mbingu mpya na nchi mpya. + diff --git a/2pe/03/14.md b/2pe/03/14.md new file mode 100644 index 0000000..5860e57 --- /dev/null +++ b/2pe/03/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kitatokea kwa watu wasio na nidhamu ambao wameharibu hekima waliyopewa na Paulo? + +Matendo yao yatasababisha kuangamia kwao. + diff --git a/2pe/03/17.md b/2pe/03/17.md new file mode 100644 index 0000000..7dc67ba --- /dev/null +++ b/2pe/03/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Tofauti na suala la kupotoshwa na udanganyifu na kupoteza uaminifu, Petro aliwaamuru wapendwa wafanye nini? + +Aliwaamuru wakue katika neema na ufahamu wa Bwana na Mwokozi Yesu Kristo + diff --git a/2th/01/03.md b/2th/01/03.md new file mode 100644 index 0000000..d0d0c94 --- /dev/null +++ b/2th/01/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni kwa mambo gani mawili ambayo Paulo anamshukuru Mungu kwayo katika kanisa la Thesalonike? + +Paulo anamshukuru Mungu kwa ajili kukua kwa imani yao na kwa upendo wao kati yao. + +# Ni hali gani ambayo waumini wa Thesalonike wanavumilia? + +Waumini wanavumilia mateso na dhiki. + +# Ni matokeo gani chanya/mazuri ambayo waumini watapata kutokana na kuvumilia kwao? + +Waumini watahesabiwa kuwa wanasitahili kwa ufalme wa Mungu. + diff --git a/2th/01/06.md b/2th/01/06.md new file mode 100644 index 0000000..d3336aa --- /dev/null +++ b/2th/01/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mungu atawafanya nini wale wanaowatesa walioamini? + +Mungu atawaadhibu wale wote wanaowatesa walioamini, atawaadhibu kwa mwali wa moto. + +# Je waumini watapumzishwa katika dhiki zao? + +Waumini watafarijiwa wakati Yesu atakapofunuliwa kutoka mbinguni. + +# Mungu atawafanya nini wale ambao wanawatesa waumini? + +Mungu atawatesa wale wanaowatesa waumini, kuwaadhibu katika mwali moto. + diff --git a/2th/01/09.md b/2th/01/09.md new file mode 100644 index 0000000..7c88099 --- /dev/null +++ b/2th/01/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Adhabu wale wote wasiomjua Mungu itakuwa ya muda gani? + +Adhabu kwa wale wote wasiomjua Mungu itakuwa ya milele. + +# Wale wote wasiomjua Mungu wametengwa na nini kama sehemu ya adhabu yao? + +Wale wote wasiomjua Mungu wametegwa na uwepo wa Bwana kama sehemu ya adhabu yao. + +# Waumin watafanya nini wakati watakapomwona Kristo akija siku yake? + +Waumini watamshangaa Yesu atakapokuja katika siku ya ujio wake. + diff --git a/2th/01/11.md b/2th/01/11.md new file mode 100644 index 0000000..a910555 --- /dev/null +++ b/2th/01/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini matokeo ya kazi nzuri ya imani ya waumini iliyofanywa kwa nguvu ya Mungu? + +Matokeo ya kazi zao nzuri ni kwamba jina la Bwana Yesu Kristo linatukuzwa. + diff --git a/2th/02/01.md b/2th/02/01.md new file mode 100644 index 0000000..00acc3d --- /dev/null +++ b/2th/02/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kuhusu tukio gani Paulo anasema sasa anaenda kuandika? + +Paulo anasema sasa anaenda kuandika kuhusu ujio wa Bwana Yesu Kristo. + +# Paulo anawambia wasiamini nini? + +Paulo anawambia kwamba wasiamini kwamba siku ya Bwana imekwisha kuja. + diff --git a/2th/02/03.md b/2th/02/03.md new file mode 100644 index 0000000..0434a34 --- /dev/null +++ b/2th/02/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo anasema nini lazima kije kabla ya siku ya Bwana? + +anguko na kufunuliwa kwa yule mtu wa kuasi lazima vitokee kabla ya siku ya Bwana. + +# Yule mtu wa kuasi anafanya nini? + +Yule mtu wa kuasi anampinga na anajiinua kiyume na Mungu, akikaa ndani ya hekalu na yeye mwenyewe kujifanya kuwa Mungu + diff --git a/2th/02/05.md b/2th/02/05.md new file mode 100644 index 0000000..78f3e37 --- /dev/null +++ b/2th/02/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hamukumbuki...haya mambo? + +Paulo anatumia swali lisilo hitaji kujibiwa kuwa kumbusha fundisho alilowafundisha alipokuwa nao. AT: " Nina hakika mnakumbuka mambo haya." + +# atafunuliwa katika wakati mwafaka + +Hili linaweza kusemwa katika muundo tendaji. AT: "Mungu atamfunua mtu wa kuasi wakati utakapotimilika" + +# siri ya uasi/ kuasi + +Hii ina maanisha siri ya kiungu ambayo Mungu pekee ndiye aliye nayo. + +# Anayemzuia + +kumzuia mtu ni kumshika nyuma au kuwafanya wasifanye kile wanachotaka kufanya. + diff --git a/2th/02/08.md b/2th/02/08.md new file mode 100644 index 0000000..73e4de2 --- /dev/null +++ b/2th/02/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yesu atakapofunuliwa atafanya nini kwa yule mtu wa kuasi? + +Yesu atakapofunuliwa atamuua yule mtu wakuasi. + +# Ni nani anayefanya kazi na kumpa nguvu, ishara, na maajabu ya uongo? + +Shetani anafanya kazi na mtu wa kuasi akimpa nguvu,, ishara na maajabu ya uongo + +# Ni kwa nini wengine wamedanganywa na mtu wa kuasi na wanaangamia? + +wengine wanadanganywa kwa sababu hawakupokea upendo wa kweli ili kwamba waweze kuokolewa. + diff --git a/2th/02/11.md b/2th/02/11.md new file mode 100644 index 0000000..7cd23fa --- /dev/null +++ b/2th/02/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wale wanaodanganywa na kuangamia wabajifurahisha katika kitu gani? + +Wale ambao wamedanganywa na wanaangamia wanajifurahisha katika udhalimu. + diff --git a/2th/02/13.md b/2th/02/13.md new file mode 100644 index 0000000..f25d7f0 --- /dev/null +++ b/2th/02/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mungu aliwachangua Wathesalonike wapate nini kupitia injili? + +Mungu alichagua Wathesalonike wapate utukufu wa Bwana Yesu Kristo kupitia injili. + +# Paulo anawataka Wathesalonike wafanye nini sasa kuwa wamekwisha kuipokea injili? + +Paulo anawtaka Wathesalonike wasimame imara na kuendelea katika desturi waliyofundishwa. + diff --git a/2th/02/16.md b/2th/02/16.md new file mode 100644 index 0000000..80d5234 --- /dev/null +++ b/2th/02/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anatamani Wathesalonike wafanyiwe nini katika mioyo yao? + +Paulo anatamani kwamba Wathesalonike waweze kuimalika kwa kila nzuri na neno. + diff --git a/2th/03/01.md b/2th/03/01.md new file mode 100644 index 0000000..92d7079 --- /dev/null +++ b/2th/03/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo anawataka Wathesalonike waombe nini kuhusu neno la Bwana? + +Paulo anahitaji Wathesalonike waombe ili kwamba neno la Mungu liweze kusambaa kwa haraka na kutukuzwa. + +# Pauo anahamu kuokolewa kutoka kwa nani? + +Paulo anatamani kuokolewa kutoka kwa watu waovu na wandeao dhambi ambao hawana imani. + diff --git a/2th/03/04.md b/2th/03/04.md new file mode 100644 index 0000000..a38f01e --- /dev/null +++ b/2th/03/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anawambia Wathesalonike waendelee kufanya nini? + +Paulo anawambia Wathesalonike waendelee kufanya vitu alivyoawaagiza. + diff --git a/2th/03/06.md b/2th/03/06.md new file mode 100644 index 0000000..a2f877c --- /dev/null +++ b/2th/03/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Waumini waishije na kila ndugu aishie pasipo utaratibu? + +Waumini wanapaswa kutochangamana na kila ngudu aishie pasipo utaratibu. + +# Ni mfano gani Paulo aliuweka kwa Wathesalonike juu ya kazi yake na kujitegemeza? + +Paulo alifanya kazi mchana na usiku, akijilipia chakula chake na kutokuwa mzigo kwa mtu yeyote. + diff --git a/2th/03/10.md b/2th/03/10.md new file mode 100644 index 0000000..04267bc --- /dev/null +++ b/2th/03/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo aliamuru nini kwa kuhusu yeyote asiyetaka kufanya kazi? + +Paulo aliamuru kuwa mtu yeyote asiyetaka kufanya kazi na asile. + +# Badala ya kuwa wavivu Paulo anawaamuru watu wa jinsi hiyo kufanya nini? + +Paulo anawaamuru wavivu kufanya kazi kwa utulivu na kula chakula chao wenyewe. + diff --git a/2th/03/13.md b/2th/03/13.md new file mode 100644 index 0000000..76fa591 --- /dev/null +++ b/2th/03/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# ndugu wanapaswa wafanye nini na mtu yeyote ambaye hatii maelekezo ya Paulo katika barua hii? + +Ndugu wanapaswa kujitenga na mtu yeyote ambaye hatii maelekezo ya Paulo katika barua hii. + diff --git a/2th/03/16.md b/2th/03/16.md new file mode 100644 index 0000000..29da896 --- /dev/null +++ b/2th/03/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo anatamani Bwana awape nini Wathesalonike + +Paulo anatamani kuwa Bwana angewapa Wathesalonike amani muda wote na kwa njia zote. + +# Paulo anaonyeshaje kuwa yeye ni mwandishi wa barua hii? + +Paulo aliandika salamu kwa mikono yake mwenyewe na akasaini kuwa yeye ndiye mwandishi. + diff --git a/2ti/01/01.md b/2ti/01/01.md new file mode 100644 index 0000000..302f50c --- /dev/null +++ b/2ti/01/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwa namna gani Paulo alikuwa mtume wa Kristo? + +Paulo alikuwa mtume wa Kristo kwa mapenzi ya Mungu. + +# Kuna uhusiano gani kati ya Paulo na Timotheo? + +Timotheo ni mtoto wa kiroho wa Paulo. + diff --git a/2ti/01/03.md b/2ti/01/03.md new file mode 100644 index 0000000..b20bdc8 --- /dev/null +++ b/2ti/01/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo alipomkumbuka Timotheo katika maombi, Paulo alipanga kufanya nini? + +Paulo alipanga kwenda kumuona Timotheo. + +# Nani mwingine alikuwa na imani halisi katika familia ya Timotheo kabla ya Timotheo? + +Bibi yake na Timotheo pamoja na mama yake. + diff --git a/2ti/01/06.md b/2ti/01/06.md new file mode 100644 index 0000000..e5cbec2 --- /dev/null +++ b/2ti/01/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni roho gani Mungu alimpa Timotheo? + +Mungu alimpa Timotheo roho ya nguvu na upendo na nidhamu. + diff --git a/2ti/01/08.md b/2ti/01/08.md new file mode 100644 index 0000000..073edd7 --- /dev/null +++ b/2ti/01/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Paulo alimwambia Timotheo asifanye nini? + +Paulo alimwambia Timotheo asiuonee haya ushuhuda wa Bwana + +# Paulo alimwambia Timotheo afanye nini? + +Paulo alimwambia Timotheo ashiriki mateso kwa ajili ya Injili. + +# Ni kipindi gani tulipewa mipango na rehema za Mungu? + +Mipango ya Mungu na rehema zake tulipewa kabla ya nyakati kuanza. + +# Ni kwa namna gani Mungu alithibitisha mpango wake wa ukombozi? + +Mpango wa Mungu wa ukombozi ulidhihirika kwa kuja kwa mkombozi wetu Kristo Yesu. + +# Yesu alipokuja alifanya nini kuhusu mauti na uzima? + +Yesu aliondoa mauti na kuleta uzima usio na mwisho. + diff --git a/2ti/01/12.md b/2ti/01/12.md new file mode 100644 index 0000000..da6f6be --- /dev/null +++ b/2ti/01/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo hakuionea haya injili kwa kuwa alikua na ujasiri kuwa Mungu anaweza kufanya nini kwake? + +Paulo ana ujasiri kuwa Mungu anaweza kuweka yale aliyokabidhi kwa Mungu hata siku ile. + +# Timotheo anapaswa kufanya nini na kitu kizuri alivyopewa na Mungu? + +Timotheo anatakiwa akitunze kitu kizuri alichokabidhiwa na Mungu kupitia roho mtakatifu. + diff --git a/2ti/01/15.md b/2ti/01/15.md new file mode 100644 index 0000000..8da3e48 --- /dev/null +++ b/2ti/01/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni nini ambacho watu wa Asia walimfanyia Paulo? + +Wote waliopo Asia walimuacha. + +# Kwa nini Paulo alimuomba Bwana airehemu nyumba ya Onesiforo? + +Paulo alimuomba Bwana airehemu nyumba ya Onesiforo kwa sababu Onesiforo alimsaidia Paulo kwa njia nyingi. + diff --git a/2ti/02/01.md b/2ti/02/01.md new file mode 100644 index 0000000..f322efb --- /dev/null +++ b/2ti/02/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# nini uhusiano kati ya Paulo na Timotheo? + +Timothy ni mwana wa kiroho wa Paulo. + +# Timotheo anapaswa akabidhi ujumbe aliopewa na Paulo kwa akina nani? + +Timotheo anatakiwa akabidhi ujumbe kwa watu waaminifu watakaokuwa tayari kuwafundisha wengine. + diff --git a/2ti/02/03.md b/2ti/02/03.md new file mode 100644 index 0000000..80a5f3e --- /dev/null +++ b/2ti/02/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alisema askari mzuri hatakiwi kujishughulisha na nini? + +Askari mzuri hajishughulishi na shughuli za kawaida za maisha haya. + diff --git a/2ti/02/08.md b/2ti/02/08.md new file mode 100644 index 0000000..7434dac --- /dev/null +++ b/2ti/02/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Alipokuwa akimwandikia Timotheo, Paulo alikuwa katika hali gani ya mateso katika kuhubiri neno la Mungu? + +Paulo anateseka kwa kufungwa minyororo kama mkosaji. + +# Ni kitu gani Paulo amesema hakifungwi minyororo? + +Neno la Mungu halifungwi minyororo. + +# Kwa nini Paulo alivumilia haya yote? + +Paulo alivumilia haya yote kwa ajili ya waliochaguliwa na Mungu ili wapate wokovi ulio katika Kristo Yesu. + diff --git a/2ti/02/11.md b/2ti/02/11.md new file mode 100644 index 0000000..5034f29 --- /dev/null +++ b/2ti/02/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kristo anaahidi nini kwa watakaovumilia? + +Watakaovumilia watamiliki pamoja na Kristo. + +# Kristo anawaonya nini wale wanaomkataa? + +Wale wanaomkataa Kristo, Kristo atawakataa. + diff --git a/2ti/02/14.md b/2ti/02/14.md new file mode 100644 index 0000000..b833f5a --- /dev/null +++ b/2ti/02/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kuhusu nini kile lazima Timothy kuwaonya watu wasiwe wagomvi? + +Timothy lazima kuwaonya watu wasiwe wagomvi juu ya maneno, ambayo hayana faida yoyote + diff --git a/2ti/02/16.md b/2ti/02/16.md new file mode 100644 index 0000000..70d44bf --- /dev/null +++ b/2ti/02/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Watu wawili waliukosa ukweli, walifundisha mafundisho yapi ya uongo? + +Walifundisha kuwa ufufuo tayari umeshatokea. + diff --git a/2ti/02/19.md b/2ti/02/19.md new file mode 100644 index 0000000..a100b62 --- /dev/null +++ b/2ti/02/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa namna gani waamini wanapaswa kujiandaa kwa kila kazi njema? + +Waamini wanapaswa kujitakasa toka kwenye matumizi yasiyo na heshima, kujiweka wakfu kwa kila kazi njema. + diff --git a/2ti/02/22.md b/2ti/02/22.md new file mode 100644 index 0000000..84fdd91 --- /dev/null +++ b/2ti/02/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kutokana na nini Timotheo kukimbia + +Timotheo ni kukimbia tamaa za ujana. + diff --git a/2ti/02/24.md b/2ti/02/24.md new file mode 100644 index 0000000..9703293 --- /dev/null +++ b/2ti/02/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni aina gani ya tabia lazima mtumishi wa Bwana awenazo + +Mtumishi wa Bwana lazima kuwa mpole, na uwezo wa kufundisha, mvumilivu kwa upole kuwaelimisha wale wanaopinga yake. + +# Ibilisi amewafanya nini wale wasioamini? + +Ibilisi amewafunga na kuwateka wale wasioamini. + diff --git a/2ti/03/01.md b/2ti/03/01.md new file mode 100644 index 0000000..e06bbd8 --- /dev/null +++ b/2ti/03/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini ambacho Paulo anasema kitakuja siku za mwisho? + +Paulo anasema ya kuwa katika siku za mwisho kutakuwa na nyakati hatari. + +# Katika siku za mwisho ni vitu gani vitatu watu watavipenda kuliko kumpenda Mungu? + +Siku za mwisho watu watajipenda wenyewe, kupenda pesa na kupenda anasa kuliko kumpenda Mungu. + diff --git a/2ti/03/05.md b/2ti/03/05.md new file mode 100644 index 0000000..0e7b9c6 --- /dev/null +++ b/2ti/03/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini Paulo anamwambia Timotheo kufanya kwa watu wanaoonekana kama wacha Mungu kumbe sio? + +Paulo anamwambia Timotheo kujitenga mbali na watu wanaoonekana kama wacha Mungu + +# Ni jambo gani ambalo hufanywa na watu wasio na Mungu? + +Baadhi ya watu wasio na Mungu huingia kwenye nyumba za watu na kuwashawishi wanawake wanaoongozwa na tamaa zao. + diff --git a/2ti/03/08.md b/2ti/03/08.md new file mode 100644 index 0000000..96e7bc1 --- /dev/null +++ b/2ti/03/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni watu wa namna gani wasiomcha Mungu kama Yanne na Yambre katika agano la kale? + +Hawa watu wasiomcha Mungu ni Walimu wa uongo wanasimama kuipinga kweri kama Yanne na Yambre. + diff --git a/2ti/03/10.md b/2ti/03/10.md new file mode 100644 index 0000000..7f3ffac --- /dev/null +++ b/2ti/03/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Badala ya Walimu wa uongo ni nani ambaye Timotheo amamfuata? + +Timotheo alimfuata Paulo + +# Bwana alikuokoa Paulo kutoka kwenye nini? + +Bwana alimuokoa Paulo kutoka kwenye mateso yake yote. + +# Ni mambo gani Paulo anasema yatatokea kwa wote walioamua kuishi maisha ya kumcha Mungu? + +Paulo anasema walioamua kuishi maisha ya kumcha Mungu watateswa. + +# Ni mambo gani yatakuwa mabaya zaidi siku za mwisho? + +Watu waovu na wadanganyifu watazidi kuwa waovu zaidi siku za mwisho. + diff --git a/2ti/03/14.md b/2ti/03/14.md new file mode 100644 index 0000000..fc723ae --- /dev/null +++ b/2ti/03/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni katika kipindi gani cha maisha ya Timotheo alifahamu juu ya maandiko matakatifu? + +Timotheo alifahamu juu ya maandiko matakatifu tangu alipokuwa mtoto. + diff --git a/2ti/03/16.md b/2ti/03/16.md new file mode 100644 index 0000000..d4135ad --- /dev/null +++ b/2ti/03/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni kwa namna gani andiko lote limepewa kwa mwanadamu? + +Kila andiko limepewa pumuzi ya uhai na Mungu + +# Ni kwa namna gani andiko lafaa? + +Kila andiko lafaa kwa mafundisho, kuonya, kurekebisha makosa na kufundisha katika haki. + +# Ni nini madhumuni ya kuwafundisha watu mafundisho? + +Mtu anapewa mafundisho ili awe kamili na kupewa nyenzo kwa ajili ya kutenda kazi njema. + diff --git a/2ti/04/01.md b/2ti/04/01.md new file mode 100644 index 0000000..c2b520e --- /dev/null +++ b/2ti/04/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu Kristo atamuhukumu nani? + +Yesu Kristo ni muhukumu wa walio hai na waliokufa. + +# Ni agizo gani lenye uzito Paulo alimpa Timotheo? + +Paulo alimuagizo Timotheo ahubiri neno. + diff --git a/2ti/04/03.md b/2ti/04/03.md new file mode 100644 index 0000000..a4ee866 --- /dev/null +++ b/2ti/04/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo alionya kuwa muda utakuja ambao watu watafanya nini? + +Watu hawatachukuliana na mafundisho ya kweli, badala yake watasikiliza mafundisho yanayokubaliana na tamaa zao. + +# Ni kazi gani na huduma ambayo Timotheo alipewa kufanya? + +Timotheo alipewa kazi na huduma ya uinjilisti. + diff --git a/2ti/04/06.md b/2ti/04/06.md new file mode 100644 index 0000000..33a6f5f --- /dev/null +++ b/2ti/04/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni muda gani katika maisha yake Paulo anasema imewadia? + +Paulo anasema muda wake wa kuondoka imewadia. + +# Ni zawadi gani ambayo Paulo anawaambia watapewa wale wote wanaompenda Kristo? + +Paulo anasema kwamba wote wanaompenda Kristo watapokea taji ya haki. + diff --git a/2ti/04/09.md b/2ti/04/09.md new file mode 100644 index 0000000..4096b08 --- /dev/null +++ b/2ti/04/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Dema alimuacha Paulo? + +Dema alimuacha Paulo kwa sababu aliupenda ulimwengu huu. + diff --git a/2ti/04/11.md b/2ti/04/11.md new file mode 100644 index 0000000..6b1a4e8 --- /dev/null +++ b/2ti/04/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nani aliyekuwa mshirika wa Paulo ambaye yeye peke yake ndiye aliyebaki naye? + +Ni Luka peke yake alikuwa bado yuko pamoja na Paulo. + diff --git a/2ti/04/14.md b/2ti/04/14.md new file mode 100644 index 0000000..dbf2987 --- /dev/null +++ b/2ti/04/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo alisema kuwa mtu yule aliympinga yeye atalipwa kulingana na nini? + +Paulo alisema kwamba mtu yule ambaye aliyekuwa akimpinga atalipwa kwa kadiri ya matendo yake. + +# Nani alisimama na Paulo kwa ule utetezi wake wa kwanza? + +Kwa utetezi wa kwanza wa Paulo, Bwana alisimama pamoja na Paulo. + diff --git a/3jn/01/01.md b/3jn/01/01.md new file mode 100644 index 0000000..ed1b689 --- /dev/null +++ b/3jn/01/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kwa cheo gani mwandishi Yohana anajitambulisha mwenyewe katika barua hii? + +Yohana anajitambulisha mwenyewe kama mzee. + +# Ni uhusiano gano gani aliokuwa nao Yohana kwa Gayo, anayepokea barua hii? + +Yohana anampenda Gayo katika kweli. + +# Kwa ajili ipi Yohana anaomba kumhusu Gayo? + +Yohana anaomba kwamba Gayo afanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya, kama vile roho yake ifanikiwavyo. + +# Nini furaha kuu ya Yohana? + +Furaha kuu ya Yohana ni kusikia kwamba watoto wake wanatembea katika kweli. + diff --git a/3jn/01/05.md b/3jn/01/05.md new file mode 100644 index 0000000..b76da0d --- /dev/null +++ b/3jn/01/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nani aliyekaribishwa na Gayo na kisha kumtuma katika safari yake? + +Gayo alimkaribisha na kisha kumtuma katika safari ya baadhi ya wale waliokuwa wakienda kwa ajili ya Jina. + +# Kwanini Yohana anawaambia waumini kuwakaribisha ndugu kama vile hawa? + +Yohana anasema waumini waweza kuwakaribishaili waweze kuwa watendakazi wenzao kwa ajili ya kweli. + diff --git a/3jn/01/09.md b/3jn/01/09.md new file mode 100644 index 0000000..0163c99 --- /dev/null +++ b/3jn/01/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Diotrofe anapenda nini? + +Diotrofe anapenda kuwa wa kwanza miongoni mwa kusanyiko. + +# Mtazamo wa Diotrofe kwa Yohana ukoje? + +Diotrofe hakumpokea Yohana + +# Yohana atafanya nini akimtembelea Gayo na kanisa lake? + +Yohana akija atakumbuka matendo yake maovu. + +# Diotrofe anafanya nini kwa ndugu wanaoendelea na Jina? + +Diotrofe hataki kuwapokea hao ndugu. + +# Diotrofe anafanya nini kwa wale wanaowapokea ndugu wanaoendelea na Jina? + +Diotrofe anawakataza wasiwapokee hao ndugu, na anawafukuza watoke kwenye kusanyiko. + diff --git a/3jn/01/11.md b/3jn/01/11.md new file mode 100644 index 0000000..69e76e7 --- /dev/null +++ b/3jn/01/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yohana anamwambia Gayo jambo la kuiga? + +Yohana anamwambia Gayo aige wema. + diff --git a/3jn/01/13.md b/3jn/01/13.md new file mode 100644 index 0000000..ab14cdb --- /dev/null +++ b/3jn/01/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yohana anatumaini kufanya kini wakati ujao? + +Yohana anatumaini kuja na kuzungumza na Gayo uso kwa uso. + diff --git a/act/01/01.md b/act/01/01.md new file mode 100644 index 0000000..db8b251 --- /dev/null +++ b/act/01/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwa mtu yupi Luka alimwandikia kitabu hiki? + +Luka alimwandikia kitabu hiki Theofilo. + +# Yesu alifanya nini siku arobaini baada ya mateso yake? + +Yesu alijidhihirisha kwa mitume wake, akisema mambo yahusuyo ufalme wa Mungu. + diff --git a/act/01/04.md b/act/01/04.md new file mode 100644 index 0000000..8d274f6 --- /dev/null +++ b/act/01/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa vipi Yesu aliwaamuru mitume wake wasubiri? + +Yesu aliwaambia mitume wake waisubiri ahadi ya Baba. + +# Kwa kitu gani mitume wangebatizwa katika sdiku chache? + +Mitume wangebatizwa kwa Roho Mtakatifu + diff --git a/act/01/06.md b/act/01/06.md new file mode 100644 index 0000000..8a37c74 --- /dev/null +++ b/act/01/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Lini mitume walitaka kujua muda wa kurudishiwa ufalme wao, na jinsi gani Yesu anawajibu? + +Yesu aliwaambia kwamba si haja ya wao kujua muda. + +# Kitu gani Yesu aliwaambia mitume wangekipokea kutoka kwa Roho Mtakatifu? + +Yesu aliwaambia wangepokea nguvu. + +# Ni wapi Yesu aliwaambia mitume wangekuwa mashahidi? + +Yesu aliwaambia mitume wangekuwa mashahidi katika Yerusalemu, Yudea, Samaria na hata mwisho wa nchi. + diff --git a/act/01/09.md b/act/01/09.md new file mode 100644 index 0000000..2b5fe18 --- /dev/null +++ b/act/01/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alitowekaje kutoka kwa mitume wake? + +Yesu aliinuliwa juu na wingu likamficha machoni pao. + +# Malaika walisemaje, kwamba Yesu angerudi tena ulimwenguni? + +Malaika walisema kwamba Jesu angerudi kwa namna ile alivyonyakuliwa kwenda mbinguni. + diff --git a/act/01/12.md b/act/01/12.md new file mode 100644 index 0000000..a334c13 --- /dev/null +++ b/act/01/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini mitume, wanawake, Mariamu, na ndugu zake na Yesu walikuwa wakifanya katika chumba cha juu? + +Walikuwa wakiomba kwa bidii. + diff --git a/act/01/15.md b/act/01/15.md new file mode 100644 index 0000000..cd3c14c --- /dev/null +++ b/act/01/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilikuwa kimetimizwa katika maisha ya Yuda, aliyemsaliti Yesu? + +Maandiko yalikuwa yametimizwa kupitia Yuda + diff --git a/act/01/17.md b/act/01/17.md new file mode 100644 index 0000000..8d20630 --- /dev/null +++ b/act/01/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilitokea kwa Yuda baada ya kupokea fedha kwa ajili ya kumsaliti Yesu? + +Yuda alinunua shamba, kichwa chake kiliinama, mwili wake ulipasuka, na matumbo yake kumwagika nje. + diff --git a/act/01/20.md b/act/01/20.md new file mode 100644 index 0000000..38eed3c --- /dev/null +++ b/act/01/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika kitabu cha Zaburi, kinasema kitatokea nini kwa nafasi ya Yuda ya uongozi? + +Zaburi yasema kwamba nafasi ya Yuda ya uongozi itajazwa na mtu mwingine. + diff --git a/act/01/21.md b/act/01/21.md new file mode 100644 index 0000000..fbef88b --- /dev/null +++ b/act/01/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yalikuwepo matakwa gani kwaajili ya mtu ambaye angelichukua nafasi ya Yuda ya uongozi? + +Mtu anayechukua nafasi hii lazima awe aliambatana na mitume kutoka wakati wa ubatizo wa Yohana, na lazima awe ameshuhudia kufufuka kwa Yesu. + diff --git a/act/01/24.md b/act/01/24.md new file mode 100644 index 0000000..86bdd7d --- /dev/null +++ b/act/01/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Namna gani mitume walitambua yupi kati ya watahiniwa wawili atakayechukua nafasi ya Yuda? + +Mitume waliomba kwamba Mungu afunue chaguo lake, na ndipo wakapiga kura. + +# Nani aliyejumuishwa na mitume kumi na moja? + +Mathias alijumuishwa na mitume kumi na moja. + diff --git a/act/02/01.md b/act/02/01.md new file mode 100644 index 0000000..8f9b9d9 --- /dev/null +++ b/act/02/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Katika sikukuu ipi ya Kiyahudi wanafunzi walikuwa pamoja? + +Wanafunzi walikuwa pamoja kwenye sikukuu ya Pentekoste. + +# Lini Roho Mtakatifu alikuja ndani ya nyumba, wanafunzi walianza kufanya nini? + +Wanafunzi walianza kusema kwa lugha nyingine. + diff --git a/act/02/05.md b/act/02/05.md new file mode 100644 index 0000000..625842e --- /dev/null +++ b/act/02/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wakati huu Yerusalemu, walikuwepo wayahudi wacha Mungu kutoka wapi? + +Pale walikuwepo Wayahudi wacha Mungu kutoka kila taifa chini ya mbingu. + +# Kwanini makutano ya watu walichanganyikiwa wakati waliposikia wanafunzi wakinena? + +Makutano ya watu walichanganyikiwa kwasababu kila mmoja alisikia wakisema kila mmoja kwa lugha yake. + diff --git a/act/02/08.md b/act/02/08.md new file mode 100644 index 0000000..f10fca4 --- /dev/null +++ b/act/02/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kuhusu nini wanafunzi walikuwa wakinena? + +Wanafunzi walikuwa wakisema habari za matendo makuu ya Mungu. + diff --git a/act/02/12.md b/act/02/12.md new file mode 100644 index 0000000..2432390 --- /dev/null +++ b/act/02/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baadhi ya wale waliokuwa wakiwadhihaki mitume walifikiri nini? + +Baadhi waliwadhihaki wakifikiri wamelewa na mvinyo mpya. + diff --git a/act/02/16.md b/act/02/16.md new file mode 100644 index 0000000..7752482 --- /dev/null +++ b/act/02/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Petro alisema nini kimetimizwa wakati huu? + +Petro alisema unabii wa Yoeli ulikuwa umetimia ambapo Mungu angemwaga Roho wake juu ya miili yote. + diff --git a/act/02/20.md b/act/02/20.md new file mode 100644 index 0000000..bdad2b0 --- /dev/null +++ b/act/02/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika unabii ya Yoeli, Nani ambao wameokolewa? + +Kila mtu aliitiae jina la Bwana ni moja ya waliookolewa + diff --git a/act/02/22.md b/act/02/22.md new file mode 100644 index 0000000..25ae1bd --- /dev/null +++ b/act/02/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Namna gani huduma ya Yesu ilikuwa thabiti kwa Mungu? + +Huduma ya Yesu ilikuwa thabiti kupitia kazi ya uweza na maajabu na ishara ambazo Mungu alifanya kupitia yeye. + +# Mipango wa nani uliomfanya Yesu asulibiwe? + +Yesu alisulibiwa kupitia mpango wa mahususi wa Mungu. + diff --git a/act/02/25.md b/act/02/25.md new file mode 100644 index 0000000..fe4650d --- /dev/null +++ b/act/02/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika Agano la Kale, Mfalme Daudi alitoa unabii gani kuhusu Mungu aliye Mtakatifu? + +Mfalme Daudi alisema kwamba hataruhusu Mtakatifu Wake kuona uharibifu. + diff --git a/act/02/27.md b/act/02/27.md new file mode 100644 index 0000000..ba20e56 --- /dev/null +++ b/act/02/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika Agano la Kale, Mfalme Daudi alitoa unabii gani kuhusu Mungu aliye Mtakatifu? + +Mfalme Daudi alisema kwamba Mungu hageruhusu Mtakatifu Wake kuona uharibifu. + diff --git a/act/02/29.md b/act/02/29.md new file mode 100644 index 0000000..ae1f433 --- /dev/null +++ b/act/02/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni ahadi ipi Mungu aliifanya kwa Mfalme Daudi kuhusu uzao wake? + +Mungu alimwahidi Mfalme Daudi kwamba mmoja wa uzao wake angeketi juu ya kiti cha enzi. + +# Katika Agano la Kale Nini Mfalme Daudi alitabiri kuhusu Mungu mtakatifu? + +Mfalme Daudi alisema kwamba Mungu asingeruhusu Mtakatifu wake kuona uharibifu. + diff --git a/act/02/32.md b/act/02/32.md new file mode 100644 index 0000000..5c9ae2d --- /dev/null +++ b/act/02/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nani aliyekuwa Mtakatifu wa Mungu ambaye hakuona uharibifu na angeketi kwenye kiti cha enzi? + +Yesu alikuwa katabiriwa Aliye Mtakatifu na Mfalme. + diff --git a/act/02/34.md b/act/02/34.md new file mode 100644 index 0000000..9924f06 --- /dev/null +++ b/act/02/34.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Petro alihubiri kwamba Mungu amempa Yetu vyeo gani viwili? + +Mungu alimfanya Yesu kuwa Kristo na Bwana + diff --git a/act/02/37.md b/act/02/37.md new file mode 100644 index 0000000..6c58b16 --- /dev/null +++ b/act/02/37.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mkutano uliposikia mahubiri ya Petro, walipokeaje? + +Mkutano uliuliza kile wanachopaswa kufanya. + +# Petro aliwaambia nini makutano cha kufanya? + +Petro aliwaambia makutano kutubu na kubatizwa katika Jina la Yesu Kristo kwa ajili ya msamaha wa dhambi zao. + +# Kwa ajili ya nani Petro aliwaambia ilikuwa ahadi ya Mungu? + +Petro alisema ahadi ya Mungu ilikuwa kwa ajili ya makutano, watoto wao na wote waliokuwa mbali. + diff --git a/act/02/40.md b/act/02/40.md new file mode 100644 index 0000000..a79660e --- /dev/null +++ b/act/02/40.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Watu wangapi waliobatizwa siku hiyo? + +Ilikuwa yapata watu elfu tatu waliobatizwa siku hiyo. + +# Watu waliobatizwa waliendelea na hatua gani? + +Waliendelea katika mafundisho ya mitume na ushirika, na katika kuumega mkate na katika maombi. + diff --git a/act/02/43.md b/act/02/43.md new file mode 100644 index 0000000..f052a58 --- /dev/null +++ b/act/02/43.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je! Wale walioamini walifanya nini kuwasaidia wale waliokuwa wahitaji? + +Waliuza mali zao na vyote walivyomiliki na kuwagawia kila mmoja aliyekuwa na uhitaji. + diff --git a/act/02/46.md b/act/02/46.md new file mode 100644 index 0000000..a0c5fd8 --- /dev/null +++ b/act/02/46.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Waumini walikuwa wanakutana wapi wakati huu? + +Waumini walikutana kwenye Hekalu. + +# Nani waliokuwa wakiongezeka siku kwa siku kwa kundi la waumini? + +Bwana aliwazidisha siku kwa siku wale waliokuwa wakiokolewa. + diff --git a/act/03/01.md b/act/03/01.md new file mode 100644 index 0000000..17ff849 --- /dev/null +++ b/act/03/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Petro na Yohana walimwona nani wakiwa wanakwenda hekaluni? + +Petro na Yohana walimwona mtu mwenye kupooza toka azaliwe alikuwa akiomba kwenye mlango wa hekalu + diff --git a/act/03/04.md b/act/03/04.md new file mode 100644 index 0000000..2e96334 --- /dev/null +++ b/act/03/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kitu gani Petro hakumpa yule mtu? + +Petro hakumpa mtu yule fedha na dhahabu. + diff --git a/act/03/07.md b/act/03/07.md new file mode 100644 index 0000000..02a35de --- /dev/null +++ b/act/03/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Petro alimpa nini mtu huyu? + +Petro alimpa mtu huyu uwezo wa kutembea. + +# Yule mtu aliitikiaje kwa kile alichopewa na Petro? + +Mtu yule aliingia hekaluni akitembea, kupiga makofi, na kumsifu Mungu. + diff --git a/act/03/09.md b/act/03/09.md new file mode 100644 index 0000000..2545708 --- /dev/null +++ b/act/03/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jinsi gani watu waliitikia walipomwona yule mtu ndani ya hekalu? + +Watu walijawa na hofu na mshangao mkubwa + diff --git a/act/03/15.md b/act/03/15.md new file mode 100644 index 0000000..84b2beb --- /dev/null +++ b/act/03/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Petro aliwakumbusha watu nini ambacho walikifanya kwa Yesu? + +Petro aliwakumbusha watu kwamba walimuua Yesu. + +# Petro alisema nini kutokana na mtu waliyekuwa wamemfanya kuwa mzima? + +Petro waliwaambia ni imani katika jina la Yesu ndilo lililomfanya kuwa mzima. + diff --git a/act/03/19.md b/act/03/19.md new file mode 100644 index 0000000..457acca --- /dev/null +++ b/act/03/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Petro aliwaambia watu wafanye nini? + +Petro aliwaambia watu watubu. + diff --git a/act/03/21.md b/act/03/21.md new file mode 100644 index 0000000..a717ed6 --- /dev/null +++ b/act/03/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Petro alisema mbingu zingempokea Yesu hata wakati gani? + +Petro alisema kwamba mpaka wakati wa urejesho wa vitu vyote, Yesu angelipokelewa mbinguni. + +# Nini Musa alishasema juu ya Yesu? + +Musa alisema kwamaBwana Mungu angemwinua nabii kama yeye mwenyewe, kwa mtu huyu watu wangemsikia + +# Nini kitatokea kwa kila mtu ambaye hataki kumsikia Yesu? + +Mtu ambaye asiyemsikiliza Yesu ataangamizwa kabisa. + diff --git a/act/03/24.md b/act/03/24.md new file mode 100644 index 0000000..4f95920 --- /dev/null +++ b/act/03/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni unabii gani wa Agano la Kale wa agano la ahadi ambao Petro aliwakumbusha watu? + +Petro aliwakumbusha watu kwamba walikuwa watoto wa agano la Mungu uliofanywa na Abrahamu wakati Mungu alisema, "Katika uzao familia zote za duniani zitabarikiwa". + +# Jinsi gani Mungu alitamani kuwabariki Wayahudi? + +Mungu alitamani sana kuwabariki wayahudi kwa kumtuma Yesu kwao ili kuwatoa kwenye uasi. + diff --git a/act/04/01.md b/act/04/01.md new file mode 100644 index 0000000..9610a63 --- /dev/null +++ b/act/04/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Petor na Yohana walikuwa wakifundisha nii kwa watu waliokuwa hekaluni? + +Petro na Yohana walikuwa wakifundisha habari za Yesu na kufufuka kwake kutoka kwa wafu. + +# Kwa jinsi gani wakuu wa hekalu, makuhani na masadukayo waliitikia juu ya mafundisho ya Petro na Yohana? + +Waliwakamata Petro na Yohana na kuwatupa kifungoni. + +# Kwa jinsi gani watu waliitikia juu ya mafundisho ya Petro na Yohana? + +Watu wengi waliamini, yapata watu elfu tano. + diff --git a/act/04/08.md b/act/04/08.md new file mode 100644 index 0000000..af1a9ff --- /dev/null +++ b/act/04/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nguvu gani au kwa Jina lipi ambalo Petro alisema kwamba lilimponya yule mtu katika hekalu? + +Petro alisema kuwa ni katika Jina la Yesu Kristo lilimponya mtu aliyekuwa hekaluni. + diff --git a/act/04/11.md b/act/04/11.md new file mode 100644 index 0000000..a53a9b6 --- /dev/null +++ b/act/04/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Petro alisemaje nini juu ya njia moja ambayo tunaweza kuokolewa? + +Petro alisema kwamba hakuna jina jingine isipokuwa la Yesu ambalo tunaweza kuokolewa + diff --git a/act/04/13.md b/act/04/13.md new file mode 100644 index 0000000..d7e8b3f --- /dev/null +++ b/act/04/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwanini viongozi wa kiyahudi wasingeweza kusema lolote dhidi ya Petro na Yohana? + +Viongozi wasingeweza kusema lolote kwasababu yule mtu aliyekuwa ameponywa alikuwa amesimama pamoja na Petro na Yohana. + diff --git a/act/04/15.md b/act/04/15.md new file mode 100644 index 0000000..11c4f06 --- /dev/null +++ b/act/04/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Viongozi wa kiyahudi waliwaamrisha Petro na Yohana wasifanye nini? + +Viongozi wayahudi waliwaamrisha Petro na Yohana wasinene au kufundisha habari za Yesu. + diff --git a/act/04/19.md b/act/04/19.md new file mode 100644 index 0000000..12472d0 --- /dev/null +++ b/act/04/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jinsi gani Petor na Yohana waliwajibu viongozi wa Kiyahudi? + +Petro na Yohana walisema kuwa haitawasaidia isipokuwa kuzidi kunena habari za mambo waliyokwisha yaona na kuyasikia kutoka kwake. + diff --git a/act/04/29.md b/act/04/29.md new file mode 100644 index 0000000..6f8360a --- /dev/null +++ b/act/04/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je waumini waliomba nini kwa Mungu katika kukabiliana na onyo kutoka kwa viongozi wa Kiyahudi? + +Waumini waliomba ujasiri katika kusema neno, na kwa ishara na maajabu kufanywa katika jina la Yesu. + +# Nini kilitokea baada ya waumini kumaliza maombi yao? + +Baada ya waumini kumaliza maombi yao, mahali walipokuwa wamekusanyika palitikisika, walijazwa na Roho Mtakatifu, na walinena neno kwa ujasiri. + diff --git a/act/04/32.md b/act/04/32.md new file mode 100644 index 0000000..97259cf --- /dev/null +++ b/act/04/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je! Kwa jinsi gani mahitaji ya waumini yaliweza kutimizwa? + +waumini walikuwa na vitu vyote shirika, na wale ambao walimiliki mali waliziuza na kutoa pesa kugawanywa kulingana na uhitaji wa mtu. + diff --git a/act/04/34.md b/act/04/34.md new file mode 100644 index 0000000..97259cf --- /dev/null +++ b/act/04/34.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je! Kwa jinsi gani mahitaji ya waumini yaliweza kutimizwa? + +waumini walikuwa na vitu vyote shirika, na wale ambao walimiliki mali waliziuza na kutoa pesa kugawanywa kulingana na uhitaji wa mtu. + diff --git a/act/04/36.md b/act/04/36.md new file mode 100644 index 0000000..9e70999 --- /dev/null +++ b/act/04/36.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini jina gani jipya, maana yake "mwenye kutia moyo," alilopewa mtu ambaye aliuza shamba lake na kutoa fedha kwa mitume? + +Mtu mmoja aitwaye "mwenye kutia moyo" alikuwa Barnaba. + diff --git a/act/05/01.md b/act/05/01.md new file mode 100644 index 0000000..6e88da0 --- /dev/null +++ b/act/05/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini dhambi gani Anania na Safira Walifanya? + +Anania na Safira walidanganya, wakisema kwamba walikuwa wakitoa thamani yote ya kuuza mali zao, lakini kwa kweli tu walitoa sehemu ya fedha ya thamani iliyouzwa. + diff --git a/act/05/03.md b/act/05/03.md new file mode 100644 index 0000000..5f735de --- /dev/null +++ b/act/05/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nani ambaye Petro alisema Anania na Safira walikuwa wamesema uongo? + +Petro alisema kuwa Anania na Safira walikuwa wamesema uongo kwa Roho Mtakatifu. + +# Hukumu gani ya Mungu iliyompata Anania? + +Mungu alimwua Anania. + diff --git a/act/05/09.md b/act/05/09.md new file mode 100644 index 0000000..ecb0a43 --- /dev/null +++ b/act/05/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hukumu gani ya Mungu iliyompata Safira? + +Mungu alimwua Safira. + +# Ni mwitikio gani kwa kanisa na kwa wote waliosikia habari za Anania na Safira? + +Hofu kuu ilikuja juu ya kanisa na kwa wote kuhusu Anania na Safira. + diff --git a/act/05/14.md b/act/05/14.md new file mode 100644 index 0000000..f7239c5 --- /dev/null +++ b/act/05/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Watu walikuwa wakifanyaje kupelekea wagonjwa kuponywa? + +Baadhi yao walikuwa wakiwabeba wagonjwa na kuwaweka pembeni mwa barabara ili kivuli cha Petro kiweze kuwafikia, na wengine waliwaleta wagonjwa kutoka miji mingine mpaka Yerusalemu. + diff --git a/act/05/17.md b/act/05/17.md new file mode 100644 index 0000000..d6451ed --- /dev/null +++ b/act/05/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mwitikio wa Masadukayo ulikuwaje kwa wale mgonjwa waliokuwa wakiponywa katika Yerusalemu? + +Masadukayo walijaa wivu na kuwatupa mitume gerezani + diff --git a/act/05/19.md b/act/05/19.md new file mode 100644 index 0000000..31a7bfa --- /dev/null +++ b/act/05/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni vipi Mitume walitoka nje ya jela? + +Malaika wakaja na kufungua milango ya gereza na kuwaacha watoke nje. + diff --git a/act/05/22.md b/act/05/22.md new file mode 100644 index 0000000..fafd4c9 --- /dev/null +++ b/act/05/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maafisa wa Kuhani Mkuu waliona nini walipokwenda eneo la jela? + +Maafisa waliona jela imefungwa kwa usalama, lakini hapakuwa na hata mtu mmoja ndani. + diff --git a/act/05/26.md b/act/05/26.md new file mode 100644 index 0000000..2eb633c --- /dev/null +++ b/act/05/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini maafisa waliwaleta Mitume kwa Kuhani Mkuu na baraza bila vurugu? + +Maafisa walihofia kwamba watu watawapiga mawe. + diff --git a/act/05/29.md b/act/05/29.md new file mode 100644 index 0000000..f0f0374 --- /dev/null +++ b/act/05/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Walipoulizwa kwa nini walikuwa wakifundisha kwa jina la Yesu wakati wao walikuwa wamewazuia, Je! mitume wajibu nini? + +Mitume walisema, "Lazima tumtii Mungu kuliko wanadamu". + +# Mitume walisema ni nani alihusika katika kumwua Yesu? + +Mitume walisema Kuhani Mkuu na wajumbe wa baraza walihusika katika kumwua Yesu. + diff --git a/act/05/33.md b/act/05/33.md new file mode 100644 index 0000000..5de6254 --- /dev/null +++ b/act/05/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je wajumbe wa baraza waliitikiaje juu ya taarifa kwamba wao walihusika kumwua Yesu? + +Wajumbe wa baraza walikuwa na hasira na walitaka kuwaua mitume. + diff --git a/act/05/38.md b/act/05/38.md new file mode 100644 index 0000000..1ab4202 --- /dev/null +++ b/act/05/38.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini ambacho Gamalie alitoa ushauri kwa baraza? + +Gamaliel alilishauri baraza kuwaachia mitume pekee. + +# Kitu gani Gamalieli aliwatahadhalisha baraza kuwa kitawapata kama watazidi kuwatesa mitume? + +Gamalieli aliwatahadhalisha baraza kuwa wangeweza kuishia katika kupingana na Mungu. + diff --git a/act/05/40.md b/act/05/40.md new file mode 100644 index 0000000..475f485 --- /dev/null +++ b/act/05/40.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je! Baraza walifanya uamzi gani juu ya Mitume? + +Baraza waliwacharaza viboko na wakawaamuru wasifundishe tena kwa jina la Yesu; kisha wakawaacha waende zao. + +# Je! Mitume waliitikiaje juu ya vitendo walichotendewa kutoka kwa baraza? + +Mitume walifurahi kwamba walikuwa wamehesabiwa wa thamani kwa kudhalilishwa kwa ajili ya Jina la Yesu. + +# Mitume walifanya nini kila siku baada ya mkutano wano na baraza la wazee? + +Mitume walizidi kuhubiri na kufundisha kila siku kwamba Yesu alikuwa ni Kristo. + diff --git a/act/06/01.md b/act/06/01.md new file mode 100644 index 0000000..f7f0a97 --- /dev/null +++ b/act/06/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini malalamiko yaliyozuka kwa Wayunani wa kiyahydi dhidi ya Waebrania? + +Wayunani wa kiyahudi walilalamika kuwa wajane wao walikuwa wanasahauliwa katika ugawaji wa chakula wa kila siku. + diff --git a/act/06/02.md b/act/06/02.md new file mode 100644 index 0000000..ba004e4 --- /dev/null +++ b/act/06/02.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nani waliochagua wanaume saba ili kusimamia huduma ya kugawa chakula? + +Wanafunzi (ndugu) waliwachagua wale wanaume saba. + +# Sifa za wale wanaume saba waliochaguliwa zilikuwa ni zipi? + +Wanaume saba waliochaguliwa walikuwa na sifa nzuri, wamejawa na Roho Mtakatifu na hekima. + +# Je! Mitume waliamua kuendelea na nini? + +Mitume waliendelea na maombi na huduma ya neno. + diff --git a/act/06/05.md b/act/06/05.md new file mode 100644 index 0000000..075fde7 --- /dev/null +++ b/act/06/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mitume walifanya nini pale waumini walipowachagua hao wanaume saba? + +Mitume waliwaombea na kuweka mikono juu yao. + diff --git a/act/06/07.md b/act/06/07.md new file mode 100644 index 0000000..c147449 --- /dev/null +++ b/act/06/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilikuwa kinatokea kwa wanafunzi huko Yerusalemu? + +Idadi ya wanafunzi ilikuwa inazidi kuongezeka sana, ikiwa ni pamoja na kundi kubwa la makuhani. + diff --git a/act/06/10.md b/act/06/10.md new file mode 100644 index 0000000..724f3d2 --- /dev/null +++ b/act/06/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nani ambaye alikuwa mshindi wa mijadala kati ya Wayahudi wasioamini na Stephano? + +Wayahudi wasioamini hawakuweza kusimama dhidi ya hekima na Roho ambayo Stephen alikuwa akinena. + diff --git a/act/06/12.md b/act/06/12.md new file mode 100644 index 0000000..360e80a --- /dev/null +++ b/act/06/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni mashitaka gani ya uongo yaliyoshuhudiwa mbele za baraza dhidi ya Stefano? + +Mashahidi wa uongo walidai kwamba Stefano alisema Yesu angepaharibu mahali hapa na kuzibadili desturi za Musa. + +# Wajumbe wa baraza walipomtazama Stefani, ni kitu gani walikiona kwake? + +Waliuona uso wake ulikuwa kama uso wa malaika. + diff --git a/act/07/01.md b/act/07/01.md new file mode 100644 index 0000000..9e6181e --- /dev/null +++ b/act/07/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Stefano alianzia kwa kina nani kuelezea historia ya ahadi ya Mungu kwa wayahudi? + +Stefano alianza kutoa historia kwa kuzungumzia ahadi ya Mungu kwa Ibrahimu. + diff --git a/act/07/04.md b/act/07/04.md new file mode 100644 index 0000000..b73e6ae --- /dev/null +++ b/act/07/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni ahadi gani Mungu alimwahidi Ibrahimu? + +Mungu alimwahidi Ibrahimu kumpatia nchi yeye na uzao wake. + +# Kwanini ahadi ya Mungu kwa Ibrahimu ilionekana kutotimizwa? + +Ahadi ya Mungu ilionekana kutokuwezekana kwasababu Ibrahimu hakuwa na mtoto. + diff --git a/act/07/06.md b/act/07/06.md new file mode 100644 index 0000000..5f98f1b --- /dev/null +++ b/act/07/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mungu alimwambia Abraham nini kingeweza kutokea kwanza kwa uzao wake kwa miaka mia nne? + +Mungu alimwambia Abraham uzao wake ungekuwa mateka katika nchi ya ugeni kwa miaka mia nne + +# Ni agano lipi ambalo Mungu alimpa Ibrahimu? + +Mungu alimpa Ibrahimu agano la tohara. + diff --git a/act/07/09.md b/act/07/09.md new file mode 100644 index 0000000..981bc10 --- /dev/null +++ b/act/07/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwa namna gani Yusufu alikuwa mtumwa katika nchi ya Misri? + +Ndugu zake walimwonea wivu wakamuuza katika nchi ya Misri + +# Ni kwa namna gani Yusufu alikuwa mkuu nchi ya Misri? + +Mungu alimpa Yusufu neema na hekima mbele ya uso wa Farao + diff --git a/act/07/11.md b/act/07/11.md new file mode 100644 index 0000000..abc5a53 --- /dev/null +++ b/act/07/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yakobo alifanya nini wakati njaa ilipoingia katika nchi ya Kanani? + +Yakobo aliwatuma watoto wake wa kiume kwenda Misri kwasababu alisikia kule kulikuwa na nafaka. + diff --git a/act/07/14.md b/act/07/14.md new file mode 100644 index 0000000..1f03669 --- /dev/null +++ b/act/07/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Yakobo na jamaa yake walikwenda Misri? + +Yusufu aliwatuma ndugu zake kumwambia baba yao kwenda Misri + diff --git a/act/07/17.md b/act/07/17.md new file mode 100644 index 0000000..8533000 --- /dev/null +++ b/act/07/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini kilitokea katika idadi ya Israel huko Misri kama ahadi ya Mungu ilivyokuwa karibu + +Idadi ya Waisraeli huko Misri ilikua na kuongezeka. + +# Kwa jinsi gani mfalme mpya wa Misri alijaribu kupunguza idadi ya Waisraeli. + +Mfalme mpya aliwalazimisha Waisraeli kuwatupa watoto wachanga wa kiume ili wasiweze kuishi. + diff --git a/act/07/20.md b/act/07/20.md new file mode 100644 index 0000000..e1e1c7d --- /dev/null +++ b/act/07/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jinsi gani Musa alipona ali hali naye alitupwa? + +Binti wa Mfalme Farao alimwokota Musa na kumlea kama mtoto wake mwenyewe. + diff --git a/act/07/22.md b/act/07/22.md new file mode 100644 index 0000000..825639a --- /dev/null +++ b/act/07/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Jinsi gani Musa alipata elimu? + +Musa alifundishwa mafunzo yote ya Kimisri + +# Alipofikisha umri wa miaka arobaini, Musa alifanya nini alipowaona wana wa Israeli kutendewa mabaya? + +Musa aliwatetea waisraeli na hata kumpiga na kumwua Mmisri. + diff --git a/act/07/29.md b/act/07/29.md new file mode 100644 index 0000000..a1041fc --- /dev/null +++ b/act/07/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Musa alikimbilia wapi? + +Musa alikimbilia Midiani + +# Wakati Musa alipotimiza umri wa miaka themanini, Je! Musa aliona nini? + +Musa alimwona malaika ndani ya miali ya moto ukiwaka katika kichaka. + diff --git a/act/07/33.md b/act/07/33.md new file mode 100644 index 0000000..7720977 --- /dev/null +++ b/act/07/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Bwana alimwagiza Musa kwenda wapi, na kitu gani Mungu alikuwa anakwenda kufanya kule? + +Bwana alimwagiza Musa kwenda Misri, kwasababu Mungu alikuwa anakwenda kuwaokoa Waisraeli. + diff --git a/act/07/35.md b/act/07/35.md new file mode 100644 index 0000000..ca85656 --- /dev/null +++ b/act/07/35.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwa muda gani Musa aliwaongoza Waisraeli huko nyikani? + +Musa aliwaongoza Waisraeli nyikani kwa muda wa miaka arobaini. + +# Musa alitabiri nini juu ya wana wa Israeli? + +Musa alitabiri kwa Waisraeli kwamba Mungu angemwinua nabii kama yeye miongoni mwa ndugu zao. + diff --git a/act/07/41.md b/act/07/41.md new file mode 100644 index 0000000..7169b2a --- /dev/null +++ b/act/07/41.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwa jinsi gani Waisrael waliigeuza mioyo yao na kutamani kurudi Misri? + +Waisraeli walitengeneza ndama wakaitolea sadaka kwa miungu. + +# Namna gani Mungu aliwajibu Waisraeli juu ya kumwacha Yeye? + +Mungu aliwaacha Waisraeli na kuwaruhusu kutumikia viumbe wa mbinguni. + diff --git a/act/07/43.md b/act/07/43.md new file mode 100644 index 0000000..460e2c6 --- /dev/null +++ b/act/07/43.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni wapi Mungu alisema angewapeleka Waisraeli? + +Mungu alisema angewapeleka Waisraeli utumwani Babeli. + diff --git a/act/07/44.md b/act/07/44.md new file mode 100644 index 0000000..c22129f --- /dev/null +++ b/act/07/44.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Katika jangwa, Mungu aliwaamuru Israeli kujenga nini, ambacho baadaye walikibeba kwenda katika nchi? + +Katika jangwa Waisraeli walijenga hema la ushuhuda. + +# Nani aliyeyafukuza mataifa mbele ya Waisraeli? + +Mungu aliwafukuza mataifa mbele ya Waisraeli. + +# Nani aliuliza kujenga mahali pa makao ya Mungu? + +Daudi aliomba kumjengea Mungu mahali pa kukaa + diff --git a/act/07/47.md b/act/07/47.md new file mode 100644 index 0000000..d496ade --- /dev/null +++ b/act/07/47.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nani hasa aliyemjengea Mungu nyumba? + +Sulemani alimjengea Mungu nyumba. + +# Mahali gani kilipo kiti cha Mungu aliye juu? + +Mungu Mkuu anakiti chake juu mbinguni. + diff --git a/act/07/51.md b/act/07/51.md new file mode 100644 index 0000000..589e946 --- /dev/null +++ b/act/07/51.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwa vipi Stefano aliwashtaki watu kwa yale waliyokuwa wakitenda ,kama baba zao walivyotenda? + +Stefano aliwashtaki watu kwa kuendelea kumpinga Roho Mtakatifu. + +# Je Stefano alisema nini kwa walioasi juu ya mmoja mwenye haki? + +Stefano alisema; watu walimsaliti na kumwua mmoja mwenye haki. + diff --git a/act/07/54.md b/act/07/54.md new file mode 100644 index 0000000..6a0673e --- /dev/null +++ b/act/07/54.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwa namna gani wajumbe wa baraza walliitikia kwa mashtaka ya Stefano? + +Wajumbe wa baraza walichomwa mioyo yao na kumsagia meno Stefano. + +# Stefano alisema nini alipotazama macho yake juu? + +Stefano alisema, alimwona Yesu amesimama mkono wa kuume wa Mungu + diff --git a/act/07/57.md b/act/07/57.md new file mode 100644 index 0000000..4ded395 --- /dev/null +++ b/act/07/57.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wajumbe wa baraza walifanya nini kwa Stefano? + +Wazee wa baraza walimwinukia, wakamtupa nje ya mji na kumpiga kwa mawe. + +# Waliokuwa wakimpiga kwa mawe, mavazi yao ya nje waliyaweka kwa nani aliyekuwa shuhuda wa kifo cha Stefano? + +Walimpiga Stefano kwa mawe mavazi yao ya nje waliyaweka chini ya miguu ya Sauli aliyekuwa shuhuda wa kifo cha Stefano. + diff --git a/act/07/59.md b/act/07/59.md new file mode 100644 index 0000000..22225e1 --- /dev/null +++ b/act/07/59.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jambo gani la mwisho Stefano aliomba kabla hajafa? + +Stefano alimwomba Mungu asiiangalie dhambi ya watu hao kwa kile walichokitenda. + diff --git a/act/08/01.md b/act/08/01.md new file mode 100644 index 0000000..7bb2d92 --- /dev/null +++ b/act/08/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sauli alifikiri nini kuhusu kupigwa mawe kwa Stefano? + +Sauli alikuwa katika makubaliano juu ya kifo cha Stefano. + +# Nini kilianza siku Stefano alipopigwa mawe? + +Siku Stefano alipopigwa mawe mateso makali yaliaanza dhidi ya kanisa la Yeruselemu + +# Waumini wa Yerusalem walifanya nini? + +Waumini wa Yerusalemu walitawanyika katika majimbo ya Yuda na Samaria. + diff --git a/act/08/04.md b/act/08/04.md new file mode 100644 index 0000000..adf6880 --- /dev/null +++ b/act/08/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Waumini wa Yerusalemu walifanya nini? + +Waumini wa Yerusalem walitawanyika katika majimbo ya Yuda na Samariana kwenda kuhubiri injili. + diff --git a/act/08/06.md b/act/08/06.md new file mode 100644 index 0000000..8683d16 --- /dev/null +++ b/act/08/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini watu wa Samaria walikuwa makini kwa kile alichosema Philipo? + +Watu walikuwa makini pale walipoona ishara alizofanya Philipo + diff --git a/act/08/09.md b/act/08/09.md new file mode 100644 index 0000000..434193f --- /dev/null +++ b/act/08/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini watu Samaria walikuwa makini kwa Simoni? + +Watu walikuwa makini walipoona uchawi wake. + diff --git a/act/08/12.md b/act/08/12.md new file mode 100644 index 0000000..607a0ad --- /dev/null +++ b/act/08/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakati Simoni alipousikia ujumbe wa Filipo, Je! Alifanya nini? + +Simoni pia aliamini na akabatizwa. + diff --git a/act/08/14.md b/act/08/14.md new file mode 100644 index 0000000..0c3775e --- /dev/null +++ b/act/08/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilitokea wakati Petro na Yohana walipoweka mikono yao juu ya waumini wa Samaria? + +Waumini wa Samaria walipokea Roho Mtakatifu. + diff --git a/act/08/18.md b/act/08/18.md new file mode 100644 index 0000000..1ca5917 --- /dev/null +++ b/act/08/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni zawadi gani Simoni alifanya kwa mitume? + +Simoni aliwapatia mitume fedha ili wabadilishane na nguvu ya Roho Mtakatifu kwa kuwekewa mikono + diff --git a/act/08/20.md b/act/08/20.md new file mode 100644 index 0000000..c4e0393 --- /dev/null +++ b/act/08/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baada ya Simoni kutoa zawadi hiyo kwa mitume, Petro alisema nini kuhusu maisha yake ya kiroho? + +Petro alimwambia Simoni alikuwa na sumu ya uchungu na kifungo cha dhambi. + diff --git a/act/08/26.md b/act/08/26.md new file mode 100644 index 0000000..632e978 --- /dev/null +++ b/act/08/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Malaika alimwambia Philipo nini cha kufanya? + +Malaika alimwambia Philipo kwenda kusini mwa jangwa barabara iendayo Gaza. + +# Filipo alikutana na nani na mtu yule alikuwa anafanya nini? + +Filipo alikutana na towashi mwenye mamlaka kutoka Ethiopia alikuwa amepanda kwenye mkokoteni akisoma kitabu cha nabii Isaya. + diff --git a/act/08/29.md b/act/08/29.md new file mode 100644 index 0000000..8ebf6a3 --- /dev/null +++ b/act/08/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Filipo alimwuliza swali gani yule mtu? + +Filipo alimwuliza yule mtu, "Je! Unayaelewa yale unayoyasoma?" + +# Mtu yule alimwomba nini Filipo? + +Mtu yule alimwomba Filipo kupanda kwenye mkokoteni na kumwelezea alichokuwa anasoma. + diff --git a/act/08/32.md b/act/08/32.md new file mode 100644 index 0000000..55b5ec7 --- /dev/null +++ b/act/08/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilitokea kwa mtu aliyeelezwa ndani ya maandiko kutoka Isaya ambacho kilikwishasomwa? + +Mtu huyo aliongozwa kama kondoo kwenda machinjoni ,lakini hakufungua kinywa chake. + diff --git a/act/08/34.md b/act/08/34.md new file mode 100644 index 0000000..7f2d52e --- /dev/null +++ b/act/08/34.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni swali gani yule mtu alimwuliza Filipo kuhusu andiko alilosoma? + +Huyo mtu alimwuliza Filipo kama nabii aliongea habari zake mwenyewe au habari za watu wengine. + +# Mtu yupi Filipo alimsema aliyetajwa na Nabii Isaya? + +Filipo alielezea kwamba mtu huyo Isaya alimtaja katika maandiko alikuwa Yesu. + diff --git a/act/08/36.md b/act/08/36.md new file mode 100644 index 0000000..9b8a4da --- /dev/null +++ b/act/08/36.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Filipo alimfanyia nini yule mtu? + +Filipo na Towashi wote walikwenda kwenye maji na Filipo akambatiza. + diff --git a/act/08/39.md b/act/08/39.md new file mode 100644 index 0000000..2e51535 --- /dev/null +++ b/act/08/39.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini kilitokea wakati Filipo alipotoka nje ya maji? + +Wakati Philipo alipotoka nje ya maji ,Roho wa Bwana alimtwaa Filipo. + +# Towashi alifanya nini alipotoka kwenye maji? + +Wakati Towashi alipotoka majini aliendlea na safari yake kwa furaha nyingi. + diff --git a/act/09/01.md b/act/09/01.md new file mode 100644 index 0000000..d867517 --- /dev/null +++ b/act/09/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sauli aliomba kibali cha kufanya nini kwa kuhani mkuu wa Yerusalemu? + +Sauli aliomba barua ili aweze kusafiri kwenda Dameski kumleta na kumfunga yeyote anayeifuata njia hiyo. + diff --git a/act/09/03.md b/act/09/03.md new file mode 100644 index 0000000..b8376a0 --- /dev/null +++ b/act/09/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sauli alipokaribia Dameski,aliona nini? + +Sauli alipokaribia Dameski aliona nuru kutoka mbinguni. + +# Je! Sauti hiyo ilimwambiaje Sauli? + +Sauti ilimwambia, "Sauli, Sauli kwanini unanitesa". + diff --git a/act/09/05.md b/act/09/05.md new file mode 100644 index 0000000..3550cdf --- /dev/null +++ b/act/09/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakati Sauli alipouliza sauti ya nani aliyekuwa akiongea, jibu lilikuwa nini? + +Jibu lilikuwa, "Mimi ni Yesu ambaye ambaye unanitesa." + diff --git a/act/09/08.md b/act/09/08.md new file mode 100644 index 0000000..4427164 --- /dev/null +++ b/act/09/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mara Sauli alipoinuka kutoka katika nchi, kitu gani kilikuwa kimetokea kwake? + +Wakati Sauli alipoinuka hakuweza kuona chochote. + +# Baadaye Sauli alienda wapi, na kufanya nini? + +Sauli alikwenda Dameski na hakuweza kula wala kunywa kwa siku tatu mfurulizo. + diff --git a/act/09/10.md b/act/09/10.md new file mode 100644 index 0000000..179e872 --- /dev/null +++ b/act/09/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mungu alimwambia Anania kufanya nini? + +Mungu alimwambia Anania kwenda na kuweka mikono juu ya Sauli ili Sauli angeweza kupokea kuona tena. + diff --git a/act/09/13.md b/act/09/13.md new file mode 100644 index 0000000..5221a9c --- /dev/null +++ b/act/09/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni wasiwasi gani Anania aliueleza kwa Bwana? + +Anania alikuwa na wasiwasi kwa sababu alimjua Sauli akikuwa amekuja Dameski kumkamata kila mtu aliitiaye jina la Bwana + +# Ni huduma gani ya Bwana aliyokuwa amemjulisha juu ya Sauli kuwa chombo kiteule? + +Bwana alimwambia Sauli angelichukua Jina la Bwana mbele ya mataifa, wafalme, na kwa watoto wa Israeli. + +# Je! Bwana alimwambia Sauli kuwa huduma yake itakuwa nyepesi au itakuwa ngumu? + +Bwana alimwambia Sauli angeteswa kikubwa kwa ajili ya Jina la Bwana. + diff --git a/act/09/17.md b/act/09/17.md new file mode 100644 index 0000000..938fa1d --- /dev/null +++ b/act/09/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baada ya Anania kuweka mikono yake juu ya Sauli, Nini kilitokea? + +Baada ya Anania kuweka mikono juu ya Sauli, Sauli alipokea kuona, alibatizwa, na kula chakula. + diff --git a/act/09/20.md b/act/09/20.md new file mode 100644 index 0000000..abc40d6 --- /dev/null +++ b/act/09/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakati huo huo Sauli alianza kufanya nini? + +Wakati huo huo Sauli alianza kumtangaza Yesu katika masinagogi ,akisema kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu + diff --git a/act/09/23.md b/act/09/23.md new file mode 100644 index 0000000..ad106f6 --- /dev/null +++ b/act/09/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakati wayahudi waliponga na kutaka kumwua Sauli, Sauli alifanya nii? + +Wakati wayahudi walipopanga kumwua Sauli, Sauli aliwakwepa kwa njia ya kushushwa chini kupitia ukutani akuwa ndani ya kikapu. + diff --git a/act/09/26.md b/act/09/26.md new file mode 100644 index 0000000..1989558 --- /dev/null +++ b/act/09/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mara Sauli alipofika Yerusalemu, ni kwa namna gani wanafunzi waliweza kumpokea? + +Huko Yerusalemu, wanafunzi walimwogopa Sauli. + +# Nani aliyemleta Sauli kwa mitume na kuwaelezea kile kilichokuwa kimetokea kwa Sauli huko Dameski? + +Barinaba alimleta Sauli kwa mitume na kuwaelezea kile kilichokuwa kimetokea kwa Sauli huko Dameski. + diff --git a/act/09/28.md b/act/09/28.md new file mode 100644 index 0000000..d40b704 --- /dev/null +++ b/act/09/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sauli alifanya nini akiwa huko Yerusalemu? + +Sauli alinena kwa ujasiri kupitia Jina la Bwana Yesu. + diff --git a/act/09/31.md b/act/09/31.md new file mode 100644 index 0000000..3d583cc --- /dev/null +++ b/act/09/31.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baada ya Sauli kupelekwa Tarso,hali ya kanisa la Uyahudi, Galilaya na Samaria ilikuwaje? + +Hali ya kanisa la Uyahudi, Galilaya na Samaria likawa na amani, na likajengwa na kukua kwa idadi. + diff --git a/act/09/33.md b/act/09/33.md new file mode 100644 index 0000000..41feeab --- /dev/null +++ b/act/09/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilitokea LIda na kusababisha kila mmoja kumgeukia Bwana? + +Huko Lida, Petro aliongea na mtu aliyepooza, mtu yule aliponywa na Yesu, + diff --git a/act/09/40.md b/act/09/40.md new file mode 100644 index 0000000..589fc16 --- /dev/null +++ b/act/09/40.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilitokea Yafa ambacho kilisababisha watu wengi kumwamini Bwana? + +Petro aliomba kwa ajili ya mwanamke aliyefariki jina lake Thabitha,ambaye alifufuka. + diff --git a/act/10/01.md b/act/10/01.md new file mode 100644 index 0000000..0707258 --- /dev/null +++ b/act/10/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kornelio alikuwa mtu wa namna gani? + +Kornelio alikuwa mtu maarufu mwenye hofu ya Mungu, mtoaji sadaka na akimwomba Mungu daima. + diff --git a/act/10/03.md b/act/10/03.md new file mode 100644 index 0000000..8229ee5 --- /dev/null +++ b/act/10/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Malaika alisemaje kilichomfanya Mungu kukumbuka habari za Kornelio? + +Malaika alisema Maombi ya Kornelio, na zawadi kusaidia maskini zilimkumbusha Mungu kuhusu Kornelio. + +# Malaika alimwambia Kornelio mambo gani ya kufanya? + +Malaika alimwambia Kornelio kutuma watu mpaka Yopa kumwita Petro. + diff --git a/act/10/09.md b/act/10/09.md new file mode 100644 index 0000000..949208f --- /dev/null +++ b/act/10/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Siku iliyofuata, Petro aliona nini wakati alipokuwa akiomba kwenye chumba cha juu? + +Petro aliona kitambaa kikubwa kimejaa kila aina ya wanyama, na viumbe vya kutambaa, na ndege. + diff --git a/act/10/13.md b/act/10/13.md new file mode 100644 index 0000000..5aab510 --- /dev/null +++ b/act/10/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wakati Petro alipoona maono, Je! Sauti aliyoisikia ilisema nini kwake? + +Sauti ilimwambia Petro, "Inuka, Petro, chinja na ule." + +# Mwitikio wa Petro juu ya sauti hiyo ulikuwaje? + +Petro alikataa, akisema hajawahi kamwe kula kitu najisi na kichafu + +# Baadaye Petro alisikia sauti ikimwambiaje? + +Sauti ilisikika kusema, "Kile Mungu amekitakasa, usikiite ni najisi". + diff --git a/act/10/19.md b/act/10/19.md new file mode 100644 index 0000000..5973f89 --- /dev/null +++ b/act/10/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Roho alimwambia nini Petro wakati wanaume kutoka kwa Kornelio walipofika kwenye nyumba alimokuwa Petro? + +Roho alimwambia Petro kushuka chini na kwenda pamoja nao. + diff --git a/act/10/22.md b/act/10/22.md new file mode 100644 index 0000000..5d9bc67 --- /dev/null +++ b/act/10/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je! Wanaume kutoka Kornelio walitarajia Petro kuja na kufanya ujumbe katika nyumba ya Kornelio? + +Wanaume kutoka kwa Kornelio walimtarajia Petro kuja na kutoa ujumbe katika nyumba ya Kornelio. + diff --git a/act/10/25.md b/act/10/25.md new file mode 100644 index 0000000..d8c2522 --- /dev/null +++ b/act/10/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Petro alisema nini wakati Kornelio alipoinama chini kwenye miguu ya Petro? + +Petro alimwambia Kornelio kusimama kwa vile yeye naye alikuwa ni mwanadamu. + diff --git a/act/10/27.md b/act/10/27.md new file mode 100644 index 0000000..3974204 --- /dev/null +++ b/act/10/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Petro alianza kufanya mambo gani ambayo tokea nyuma alikuwa hayafanyi? + +Petro alianza kujichanganya na watu kutoka mataifa mengine, kwasababu Mungu alikuwa amemwonyesha kuwa asiwaite watu najisi na wasio safi. + diff --git a/act/10/34.md b/act/10/34.md new file mode 100644 index 0000000..8b049e5 --- /dev/null +++ b/act/10/34.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni mtu yupi Petro anasema anayeweza kukubaliwa na Mungu? + +Petro anasema kuwa kila mmoja aliye na hofu ya Mungu na anayetenda matendo ya haki huyo anakubaliwa na Mungu. + diff --git a/act/10/36.md b/act/10/36.md new file mode 100644 index 0000000..af66469 --- /dev/null +++ b/act/10/36.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni ujumbe upi wa Yesu ambao ulikuwa umesikiwa na watu wa nyumba ya Kornelio? + +Watu walikuwa wameshasikia kwamba Yesu alikuwa ametiwa mafuta na Roho Mtakatifu na kwa nguvu, na kwamba alikuwa akiwaponya wote waliokuwa wameonewa na nguvu za mwovu, kwa kuwa Mungu alikuwa pamoja naye. + diff --git a/act/10/39.md b/act/10/39.md new file mode 100644 index 0000000..da6ea6e --- /dev/null +++ b/act/10/39.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Petro alitamka nini kile ambacho kilikuwa kimetokea kwa Yesu baada ya kifo chake na kwa jinsi gani Petro alijua hili? + +Petro alitamka kwamba Mungu alikuwa amemfufua Yesu katika siku ya tatu, na kwamba Petro alikuwa amekula pamoja naye baada ya ufufuo wake. + diff --git a/act/10/42.md b/act/10/42.md new file mode 100644 index 0000000..3b061c1 --- /dev/null +++ b/act/10/42.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Petro alisema nini juu ya Yesu aliyekuwa amewaamuru kuhubiri kwa watu" + +Yesu aliwaagiza kuhubiri kwamba Yesu ndiye ambaye Mungu alimchagua kuwa mhukumu wa walio hai na waliokufa + +# Petro alisema, kwa yeyote anayemwamini Yesu atapokea kitu gani? + +Petro alisema yeyote amwaminiye Yesu angepokea msamaha wa dhambi zake. + diff --git a/act/10/44.md b/act/10/44.md new file mode 100644 index 0000000..d3eab3f --- /dev/null +++ b/act/10/44.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini kilitokea kwa watu waliokuwa wakimsikiliza Petro wakati akiendelea kuongea? + +Roho Mtakatifu alishuka juu ya wote waliokuwa wakimsikiliza Petro. + +# Kwanini jamii ya waumini wa kundi la tohara walishangaa? + +Maumini wa kungi la tohara walikumbwa na mshangao kwa sababu ile zawadi ya kipawa cha Roho Mtakatifu ilikuwa imemwagwa pia kwa watu wa mataifa. + diff --git a/act/10/46.md b/act/10/46.md new file mode 100644 index 0000000..4fcd53b --- /dev/null +++ b/act/10/46.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Watu walikuwa wakifanya nini kilichoonyesha Roho Mtakatifu ameshuka juu yao? + +Watu walikuwa wanongea kwa Lugha zingine na kumsifu Mungu ndicho kilichoonyesha kuwa Roho Mtakatifu ameshuka kwao. + +# Baada ya kuwaona watu walikuwa wamempokea Roho Mtakatifu, Je! Petro aliamru wafanyiwe nii? + +Petro aliagiza watu wale wabatizwe katika Jina la Yesu Kristo. + diff --git a/act/11/01.md b/act/11/01.md new file mode 100644 index 0000000..f9d19c7 --- /dev/null +++ b/act/11/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Habari gani njema ambayo mitume na ndugu wa Yudea waliisikia? + +Mitume na ndugu wa Yudea walisikia kuwa wamataifa wameokea pia neno la Mungu. + +# Ni upinzani gani uliotokea kwa Petro toka kwenye kundi la waumini wa tohara huko Yerusalemu? + +Wale waumini wa kundi la tohara walimpinga Petro kwa vile alikula pamoja na wamataifa. + diff --git a/act/11/04.md b/act/11/04.md new file mode 100644 index 0000000..e048472 --- /dev/null +++ b/act/11/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jinsi gani Petro alijibu kutokana na upinzani kinyume chake? + +Petro akajibu upinzani kwa kufafanua maono ya nguo na ubatizo wa Roho Mtakatifu wa wamataifa. + diff --git a/act/11/15.md b/act/11/15.md new file mode 100644 index 0000000..0de7f64 --- /dev/null +++ b/act/11/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ushahidi upi Petro aliuonyesha kwamba Mungu alikuwa amewakubali wamataifa? + +Petro aliwasilisha uthibitisho wa hakika kuwa Roho Mtakatifu alikuwa ameshuka kwa mataifa. + diff --git a/act/11/17.md b/act/11/17.md new file mode 100644 index 0000000..d3759ae --- /dev/null +++ b/act/11/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini lilikuwa hitimisho la wale kundi la waumini wa tohara wakati walipomsikia Petro akielezea? + +Walimtukuza Mungu na kuhitimisha kwa kusema Mungu alikuwa amewap wamataifa pia toba kwa ajili ya maisha yao. + diff --git a/act/11/19.md b/act/11/19.md new file mode 100644 index 0000000..ae8fc3e --- /dev/null +++ b/act/11/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini walichokuwa wakifanya baadhi ya waumini waliokuwa wametawanyika baada ya kifo cha Stefano? + +Baadhi ya waumini waliotawanyika walinena ujumbe wa Kristo kwa Wayahudi pekee. + +# Kitu gani kilitokea kwa baadhi wa waumini waliokuwa wametawanyika walipohubiri habari za Yesu kwa Wayunani? + +Wakati walipohubiri habari za Bwana Yesu kwa Wayunani idadi kubwa ya wati waliamini. + diff --git a/act/11/22.md b/act/11/22.md new file mode 100644 index 0000000..1074bbd --- /dev/null +++ b/act/11/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini ambacho Barnaba kutoka Yerusalemu aliwaambia Wagriki walioamini huko Antiokia? + +Barnaba aliwatia Moyo Wagriki kubaki na Bwana kwa mioyo yao wote. + diff --git a/act/11/25.md b/act/11/25.md new file mode 100644 index 0000000..a216f8e --- /dev/null +++ b/act/11/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nani alibaki muda wa mwaka mmoja katika kanisa la Antiokia? + +Barnaba na Sauli walibaki mwaka mzima katika kanisa la Antiokia. + +# Jina gani wanafunzi walilipokea huko Antiokia? + +Kwa mara ya kwanza wanafunzi waliitwa wakristo huko Antiokia. + diff --git a/act/11/27.md b/act/11/27.md new file mode 100644 index 0000000..7610810 --- /dev/null +++ b/act/11/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Agabo Nabii alitabiri nini kilichokuwa kinakwenda kutokea? + +Agabo Nabii alitabiri kutokea kwa njaa kuu ambayo ingetokea ulimwenguni kote. + diff --git a/act/11/29.md b/act/11/29.md new file mode 100644 index 0000000..c67c25d --- /dev/null +++ b/act/11/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mitume waliupokeaje unabii wa Agabo? + +Mitume walituma misaada kwa ndugu wa Yudea kwa mkono wa Barnaba na Sauli. + diff --git a/act/12/01.md b/act/12/01.md new file mode 100644 index 0000000..38e5003 --- /dev/null +++ b/act/12/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Herode Mfalme alimtendea nini Yakobo ndugu yake ya Yohana? + +Herode Mfalme alimwua Yakobo ndugu yake Yohana kwa upanga. + diff --git a/act/12/03.md b/act/12/03.md new file mode 100644 index 0000000..bfe72f1 --- /dev/null +++ b/act/12/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Herode Mfalme alifanya nini kwa Petro? + +Herode alimkamata na kumweka Petro gerezani akitarajia kumpeleka kwa watu baada ya pasaka. + diff --git a/act/12/05.md b/act/12/05.md new file mode 100644 index 0000000..a11b741 --- /dev/null +++ b/act/12/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kusanyiko la wakristo lilikuwa likifanya nini kwa ajili ya Petro? + +Kusanyiko la wakristo lilikuwa likiomba kwa bidii kwa ajili ya Petro. + diff --git a/act/12/07.md b/act/12/07.md new file mode 100644 index 0000000..82118dc --- /dev/null +++ b/act/12/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni namna gani Petro alitoka Gerezani? + +Malaika alijitokeza pembeni mwake, miyororo yake ikamwachia, na akamfuata malaika nje ya Gereza. + diff --git a/act/12/09.md b/act/12/09.md new file mode 100644 index 0000000..0f5a2ec --- /dev/null +++ b/act/12/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jinsi gani Petro aliweza kuvuka lindo la kwanza na la pili la walinzi na kutoka kwenye lango la gereza? + +Petro alimfuata malaika aliyemvusha kwa walinzi, na kisha lango kuu likajifungua lenyewe. + diff --git a/act/12/13.md b/act/12/13.md new file mode 100644 index 0000000..a281691 --- /dev/null +++ b/act/12/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wakati Petro alipofika kwenye nyumba pale waumini walikuwa wanaomba, Ni nani aliyejibu Petro alipogonga mlanga na alifanya nini? + +Mtumishi wa kike Roda alijibu na kutoa taarifa kuwa Petro alikuwa amesimama kwenye mlango, lakini hakufungua mlango. + +# Jinsi gani waumini waliitikia mara tu walipoisikia taarifa ya Rhoda? + +Mwanzoni walidhani Rhoda alikuwa ameehuka. + diff --git a/act/12/16.md b/act/12/16.md new file mode 100644 index 0000000..1fd9bed --- /dev/null +++ b/act/12/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baada ya kuwaambia waumini kile kilichokuwa kimetokea kwake, Je! Petro waliwaagiza wafanye nini? + +Petro aliwaagiza watoe taarifa ya mambo hayo kwa Yakobo na ndugu wote. + diff --git a/act/12/18.md b/act/12/18.md new file mode 100644 index 0000000..ff95c7d --- /dev/null +++ b/act/12/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilitokea kwa wanaume waliokuwa wakimlinda Petro? + +Herode aliwahoji walinzi na kisha aliwachukua na kuwaua. + diff --git a/act/12/22.md b/act/12/22.md new file mode 100644 index 0000000..6cea011 --- /dev/null +++ b/act/12/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Watu walishangilia kitu gani wakati Herode alipokuwa akitoa hotuba? + +Watu walishangilia wakisema , "Hii ni sauti ya mungu, na siyo ya mwanadamu"! + +# Nini kilitokea kwa Herode baada ya hotuba yake, na kwanini? + +Kwasababu Herode hakumpa utukufu Mungu, Malaika alimpiga na akatafunwa na minyoo na kufa. + diff --git a/act/12/24.md b/act/12/24.md new file mode 100644 index 0000000..48afbc2 --- /dev/null +++ b/act/12/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini kilikuwa kinatokea kwa neno la Mungu wakati huu? + +Neno la Mungu likapata nguvu na kusambaa wakati huu. + +# Nani aliambatana na Barnaba na Sauli? + +Barnaba na Sauli walimchukua Yohana Marko pamoja nao. + diff --git a/act/13/01.md b/act/13/01.md new file mode 100644 index 0000000..917b9b0 --- /dev/null +++ b/act/13/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kusanyiko la Antiokia lilikuwa kinafanya nini wakati Roho Mtakatifu alipozungumza nao? + +Kusanyiko la Antiokia lilikuwa likimwabudu Bwana na kufunga wakati Roho Mtakatifu alipozungumza nao. + +# Roho Mtakatifu aliwaambia nini cha kufanya? + +Roho Mtakatifu aliwaambia kuwaweka wakfu Barnaba na Sauli kufanya kazi ambayo Roho alikuwa amewaita kufanya. + +# Kusanyiko walifanya nini baada ya kumsikiliza Roho Mtakatifu? + +Kusanyiko walifunga, waliomba, waliweka mikono juu ya Barnaba na Sauli na kuwatuma kwenda zao. + diff --git a/act/13/04.md b/act/13/04.md new file mode 100644 index 0000000..834ed8c --- /dev/null +++ b/act/13/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakati Barnaba na Sauli walipokwenda Kipro, ni nani aliambatana nao? + +Huko Kipro, Yohana Marko aliambatana nao kama msaidizi wao. + diff --git a/act/13/06.md b/act/13/06.md new file mode 100644 index 0000000..8d57e46 --- /dev/null +++ b/act/13/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Bar-Yesu alikuwa nani? + +Bar-Yesu alikuwa ni nabii wa uongo wa kiyahudi alikuwa na uhusiano na mkuu wa jimbo hilo. + +# Kwanini mkuu wa jimbo aliwaita Barnaba na Sauli? + +Mkuu wa jimbo aliwaita Barnaba na Sauli kwasababu alitaka kusikia neno la Mungu. + diff --git a/act/13/09.md b/act/13/09.md new file mode 100644 index 0000000..8d21a16 --- /dev/null +++ b/act/13/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jina gani jingine ambalo Sauli alijulikana? + +Sauli pia alijulikana kama Paulo. + diff --git a/act/13/11.md b/act/13/11.md new file mode 100644 index 0000000..4bd8d6b --- /dev/null +++ b/act/13/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo alisema nini ambacho kingetokea kwa Bar-Yesu kwasababu ya kujaribu kumgeuza imani mkuu wa jimbo? + +Paulo alimwambia Bar-Yesu kwamba angekuwa kipofu kwa muda. + +# Mwitikio wa Mkuu wa Jimbo ulikuwaje wakati Bar-Yesu alipotokewa na tukio hilo? + +Mkuu wa jimbo aliamini. + diff --git a/act/13/13.md b/act/13/13.md new file mode 100644 index 0000000..04d49e1 --- /dev/null +++ b/act/13/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yohana Marko alifanya nini wakati Paulo na rafiki zake waliposafiri majini kuelekea Perge? + +Yohana Marko alimaacha Paulo na Rafiki zake na kurudi Jerusalem. + +# Ni mahali gani huko Antiokia ya Pisidia Paulo aliomwa kutoa hotuba? + +Katika Antiokia Pisidia Paulo aliombwa kutoa hotuba ndani ya Sinagogi la Wayahudi. + diff --git a/act/13/16.md b/act/13/16.md new file mode 100644 index 0000000..741ba75 --- /dev/null +++ b/act/13/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika hotuba ya Paulo, Ni nani Paulo alimtaja kuwa Mungu alimchagua tangu zamani? + +Katika hotuba ya Paulo, Paulo alisema Mungu alimchagua Israeli. + diff --git a/act/13/23.md b/act/13/23.md new file mode 100644 index 0000000..e45656f --- /dev/null +++ b/act/13/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kutoka kwa nani Mungu aliwaletea Israeli Mkombozi? + +Kutoka kwa Mfalme Daudi Mungu aliwaletea Israeli Mkombozi. + +# Paulo alimsema nani aliyekuwa ameandaliwa kuandaa njia ya ujio wa Mwokozi? + +Paulo alisema kwamba Yohana Mbatizaji alikuwa ameandaa njia kwa ujio wa Mwokozi. + diff --git a/act/13/26.md b/act/13/26.md new file mode 100644 index 0000000..4c0d0e4 --- /dev/null +++ b/act/13/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa jinsi gani watu na watawala katka Yerusalemu walitimiza ujumbe wa unabii? + +Watu na watawala katikaYerusalemu walitimiza ujumbe wa manabii kwa kumhukumu Yesu hadi mauti. + diff --git a/act/13/30.md b/act/13/30.md new file mode 100644 index 0000000..4fa9414 --- /dev/null +++ b/act/13/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nani walikuwa mashahidi wa Yesu kwa watu? + +Watu waliomwona Yesu baada ya kufufuka kwake kutoka wafu hao walikuwa mashahidi wake. + diff --git a/act/13/32.md b/act/13/32.md new file mode 100644 index 0000000..1c4ae49 --- /dev/null +++ b/act/13/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa jinsi gani Mungu alidhihirisha kuwa alikuwa ameitunza ahadi aliyokuwa ameinena kwa Wayahudi? + +Mungu aliidhihirisha kwamba alikuwa ameitunza ahadi kwa Wayahudi kwa njia ya kumfufua Yesu kutoka kwa wafu. + diff --git a/act/13/35.md b/act/13/35.md new file mode 100644 index 0000000..cfd05fa --- /dev/null +++ b/act/13/35.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nini Mungu aliwaahidi Watakatifu katika moja ya zaburi? + +Mungu aliwaahidi kwamba Watakatifu wake wasingeuona uharibifu. + diff --git a/act/13/38.md b/act/13/38.md new file mode 100644 index 0000000..0adbc59 --- /dev/null +++ b/act/13/38.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anahubiri nini kwa kila mmoja anayeamini katika Yesu? + +Paulo alihubiri msamaha wa dhambi kwa kila mmoja aaminiye katika Yesu. + diff --git a/act/13/40.md b/act/13/40.md new file mode 100644 index 0000000..f7fae74 --- /dev/null +++ b/act/13/40.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni onyo gani pia Paulo aliwapa wasikilizaji wake? + +Paulo aliwaonya wasikilizaji wake wasiwe kama walionenwa kwenye unabii waliosikia tangazo la kazi ya Mungu lakini wasiliamini. + diff --git a/act/13/44.md b/act/13/44.md new file mode 100644 index 0000000..b92eb64 --- /dev/null +++ b/act/13/44.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Huko Antiokia, ni nani alikuja kusikia neno la Bwana katika Sabato iliyofuata? + +Karibia mji wote walikuja kusikia neno la Bwana Sabato iliyofuata. + +# Jinsi gani Wayahudi waliitikia walipoliona kundi kubwa likisikiliza? + +Wayahudi walijawa na wivu nawakaanza kunena ujumbe kinyume na Paulo, na kumdhihaki. + diff --git a/act/13/46.md b/act/13/46.md new file mode 100644 index 0000000..59b3244 --- /dev/null +++ b/act/13/46.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alisema nini kuhusu Wayahudi walivyokuwa wakifanya kwa neno lililokuwa limesemwa na Mungu juu yao? + +Paulo aliwaambia Wayahudi kwamba walikuwa wakilisukumia mbali neno la Mungu lililosemwa na Mungu juu yao. + diff --git a/act/13/48.md b/act/13/48.md new file mode 100644 index 0000000..ac186e8 --- /dev/null +++ b/act/13/48.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni nini mwitikio wa Mataifa waliposikia kwamba Paulo anawageukia wao? + +Mataifa walifurahi na kulisifu neno la Bwana. + +# Mataifa wangapi waliamini? + +Wengi kama walivyokuwa wamechaguliwa kupata uzima wa milele waliamini. + diff --git a/act/13/50.md b/act/13/50.md new file mode 100644 index 0000000..4bfc46a --- /dev/null +++ b/act/13/50.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wayahudi waliwafanyia nini kwa Paulo na Barnaba? + +Wayahudi walichochea mateso dhidi ya Paulo na Barnaba na kuwatupa nje ya mji. + +# Paulo na Barnaba walifanya nini kabla ya kwenda mji wa Ikonia? + +Paulo na Barnaba walikung'uta mavumbi ya miguuni mwao dhidi ya waliokuwa kinyume chao katika mji wa Antioki waliokuwa wamewatupa nje. + diff --git a/act/14/01.md b/act/14/01.md new file mode 100644 index 0000000..6f53ef8 --- /dev/null +++ b/act/14/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, Wayahudi wasioamini katika Ikonio walifanya nini baada ya mkutano kuamini mahubiri ya Paulo na Barnaba + +Wayahudi wasioamini walichochea akili za Mataifa na kuwafanya kuwa na uchungu dhidi ya ndugu. + diff --git a/act/14/03.md b/act/14/03.md new file mode 100644 index 0000000..fc72a41 --- /dev/null +++ b/act/14/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa namna gani Mungu anatoa uthibitisho kuhusu ujumbe wa neema yake? + +Mungu alitoa uthibitisho kuhusu ujmbe wa neema yake kwa kutoa ishara na maajabu yaliyofanywa kwa mikono ya Paulo na Barnaba. + diff --git a/act/14/05.md b/act/14/05.md new file mode 100644 index 0000000..7f034ed --- /dev/null +++ b/act/14/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwanini Paulo na Barnaba waliondoka Ikonia? + +Baadhi ya Wamataifa na Wayahudi kulijaribu kuwashawishi watawala wao kuwatenda vibaya na kuwaponda mawe Paulo na Barnaba. + diff --git a/act/14/08.md b/act/14/08.md new file mode 100644 index 0000000..a305f89 --- /dev/null +++ b/act/14/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, ni nini Paulo alifanya kilichosababisha vurugu huko Lystra? + +Paulo alimponya mtu aliyekuwa kiwete kutoka tumboni mwa mama yake. + diff --git a/act/14/14.md b/act/14/14.md new file mode 100644 index 0000000..33a3954 --- /dev/null +++ b/act/14/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jinsi gani Paulo na Barnaba waliitikia kwa kile watu walichotaka kuwafanyia? + +Barnaba na Paulo walirarua mavazi yao, wakaenda kwenye kusanyiko, na kulia wakisema kwamba watu wageuke na kuacha vitu visivyofaa na kumwelekea Mungu. + diff --git a/act/14/17.md b/act/14/17.md new file mode 100644 index 0000000..0e67925 --- /dev/null +++ b/act/14/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni jinsi gani Mungu hakuruhusu asiwepo mtu wa kumshuhudia siku zilizopita? + +Mungu aliwapa mataifa mvua na nyakati za mafanikio, akijaza mioyo yao kwa chakula na furaha. + +# Watu wa Listra walitaka kufanya nini juu ya Paulo na Barnaba? + +Watu walitaka kutoa dhabihu kupitia kuhani wa mungu Zeusi kwa Paulo na Barnaba. + diff --git a/act/14/19.md b/act/14/19.md new file mode 100644 index 0000000..bbe6255 --- /dev/null +++ b/act/14/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Jambo gani baadaye kusanyiko huko Listra walimfanyia kwa Paulo? + +Kusanyiko huko Listra baadae walimponda mawe Paulo na kumvuta nje ya mji. + +# Paulo alifanya nini pale wanafunzi walipokuwa wamesimama wamemzunguka? + +Paulo aliinuka na kuingia ndani ya mji. + diff --git a/act/14/21.md b/act/14/21.md new file mode 100644 index 0000000..28dd891 --- /dev/null +++ b/act/14/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kupitia nini Paulo aliwaambia wanafunzi lazima kuingia katika ufalme wa Mungu? + +Paulo aliwaambia wanafunzi lazima kuingia katika ufalme wa Mungu kwa njia ya mateso mengi. + diff --git a/act/14/23.md b/act/14/23.md new file mode 100644 index 0000000..dde937a --- /dev/null +++ b/act/14/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo na Barnaba walifanya nini katika kila kusanyiko la waamini kabla ya kuondoka kwao? + +Katika kila kusanyiko, Paulo na Barnaba walichagua wazee, waliomba pamoja na kufunga, na kuwakabidhi waamini kwa Bwana. + diff --git a/act/14/27.md b/act/14/27.md new file mode 100644 index 0000000..059ba2f --- /dev/null +++ b/act/14/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo na Barnaba walifanya nini wakati waliporudi Antiokia? + +Waliporudi Antikia , walitoa taarifa kwa mambo yote ambayo Mungu aliwasaidia kuyafanya, na kwa namna alivyofungua mlango wa imani kwa Mataifa. + diff --git a/act/15/01.md b/act/15/01.md new file mode 100644 index 0000000..9a0c046 --- /dev/null +++ b/act/15/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni watu gani walitoka Uyahudi na kwenda kuwafundisha Ndugu? + +Watu fulani kutoka Uyahudi walifundisha kwamba ndugu wasipotahiriwa hawataokolewa. + +# Namna gani ndugu waliamua kuyashughulikia maswali yaliyokuwa yamejitokeza? + +Ndugu waliamua kuwatuma Paulo na Barnaba na kundi jingine waende Yerusalemu wakawaone mitume na wazee wa baraza. + diff --git a/act/15/03.md b/act/15/03.md new file mode 100644 index 0000000..30eefc3 --- /dev/null +++ b/act/15/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa kupitia Foinike na Samaria, ni habari njema zipi Paulo na wenzake walizitangaza? + +Paulo na wenzake walipota miji hiyo wakitangaza kuokolewa kwa Mataifa. + diff --git a/act/15/05.md b/act/15/05.md new file mode 100644 index 0000000..38e0efc --- /dev/null +++ b/act/15/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kundi gani kati ya waamini walidhani kwamba Mataifa lazima watahiriwe na kuitunza sheria ya Musa? + +Kundi la Mafarisayo waliamini kwamba Mataifa lazima watahiriwe na lazima waitunze sheria ya Musa. + diff --git a/act/15/07.md b/act/15/07.md new file mode 100644 index 0000000..223b680 --- /dev/null +++ b/act/15/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Petro alisemaje kuhusu Mungu alichokuwa amefanya kwa ajili ya mataifa? + +Petro aliwaambia, Mungu aliwapa mataifa Roho Mtakatifu na alikuwa ameifanya mioyo yao kuwa safi kwa imani. + diff --git a/act/15/10.md b/act/15/10.md new file mode 100644 index 0000000..c6be80e --- /dev/null +++ b/act/15/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jinsi gani Petro alisema kuwa Wayahudi na Wayunani wote wanaokolewa? + +Petro alisema wote Wayahudi na Wayunani wanaokolewa kupitia neema ya Bwana Yesu. + diff --git a/act/15/12.md b/act/15/12.md new file mode 100644 index 0000000..d7049b2 --- /dev/null +++ b/act/15/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je! Paulo na Barnaba walitoa ripoti kwa Kusanyiko? + +Paulo na Barnaba walitoa taarifa kuwa ishara na maajabu ya Mungu yalikuwa yakitendeka kwa Mataifa. + diff --git a/act/15/13.md b/act/15/13.md new file mode 100644 index 0000000..763902e --- /dev/null +++ b/act/15/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je ni unabii gani Yakobo aliunukuu ukisema kwamba Mungu atajenga, na ni pamoja na nani? + +Unabii ulisema kwamba Mungu atajenga tena hakalu la Daudi lililoanguka, na kwamba itawajumisha Mataifa. + diff --git a/act/15/15.md b/act/15/15.md new file mode 100644 index 0000000..f471af6 --- /dev/null +++ b/act/15/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Unabii ule ambao Yakobo aliounukuu ulisema Mungu atalijenga tena, na angejumuisha nani? + +Unabii ulisema kuwa Mungu angelijenga tena hema lililoanguka la Daudi, na kwamba angewaunganisha wamataifa. + diff --git a/act/15/19.md b/act/15/19.md new file mode 100644 index 0000000..2685246 --- /dev/null +++ b/act/15/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Amri zipi Yakobo alipendekeza wapewe wakristo wamataifa? + +Yakobo alipendendekeza amri kwa wakristo wamataifa kuwa, wajiepusha na sanamu, uasherati, wajiepushe na nyama za kusongolewa na wajiepushe na damu. + diff --git a/act/15/27.md b/act/15/27.md new file mode 100644 index 0000000..e334443 --- /dev/null +++ b/act/15/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Barua iliyoandikwa kwa wamataifa, Nani amenenwa kuwa kwenye makubaliano ya kuwapatia wamataifa machache yaliyo ya muhimu? + +Waandishi wa waraka na Roho Mtakatifu wametajwa kuwa wamepatana kuwaandikia hayo mambo machache muhimu. + diff --git a/act/15/30.md b/act/15/30.md new file mode 100644 index 0000000..56a228f --- /dev/null +++ b/act/15/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mwitikio wa watu wa mataifa ulikuwaje waliposikia maelezo ya waraka kutoka Yerusalemu? + +Watu wa mataifa walifurahi kwasababu ya kutiwa moyo kwao na waraka huo. + diff --git a/act/15/33.md b/act/15/33.md new file mode 100644 index 0000000..661d1fe --- /dev/null +++ b/act/15/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo na Barnaba walifanya nini walipokaa Antiokia? + +Paulo na Barnaba walifundisha na kulihubiri neno la Bwana. + diff --git a/act/15/36.md b/act/15/36.md new file mode 100644 index 0000000..18cb15c --- /dev/null +++ b/act/15/36.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alimwambia nini Barnaba alichotaka kufanya? + +Paulo alimwambia Barnaba kwamba alihitaji kurudi na kuwatembelea ndugu katika kila mji walikokuwa wamehubiri neno la Bwana. + diff --git a/act/15/39.md b/act/15/39.md new file mode 100644 index 0000000..25a58ec --- /dev/null +++ b/act/15/39.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwanini Paulo na Barnaba walitengana na kusafiri katika uelekeo tofauti? + +Kulitokea hali ya kutokukubaliana kati yao, hivyo walitengana kila mmoja na safari yake. + diff --git a/act/16/01.md b/act/16/01.md new file mode 100644 index 0000000..d74c288 --- /dev/null +++ b/act/16/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alifanya nini kabla hawajasafiri na Timotheo na kwa nini? + +Paulo alimtahiri Timotheo kwasababu ya Wayahudi kattika maeneo hayo walimjua baba yake Timotheo alikuwa Mgiriki. + diff --git a/act/16/04.md b/act/16/04.md new file mode 100644 index 0000000..b9b49bc --- /dev/null +++ b/act/16/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni maagizo gani Paulo alitoa kwa Makanisa walipokua wakienda? + +Paulo alitoa maagizo ambayo yaliandikwa na mitumi na wazee huko Yerusalemu. + diff --git a/act/16/09.md b/act/16/09.md new file mode 100644 index 0000000..ace278b --- /dev/null +++ b/act/16/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alijuaje kuwa Mungu alikuwa anamwita kuihubiri injili huko Makedonia? + +Paulo aliona maono ya mtu wa Makedonia akimwita avuke huko na kuwasaidia. + diff --git a/act/16/11.md b/act/16/11.md new file mode 100644 index 0000000..7d64e03 --- /dev/null +++ b/act/16/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Siku ya sabato, Kwanini Paulo alikwenda mtoni nje ya lango la Filipi? + +Paulo alidhani kungekuwa na eneo la utulivu kwa maombi. + diff --git a/act/16/14.md b/act/16/14.md new file mode 100644 index 0000000..822278e --- /dev/null +++ b/act/16/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Bwana alifanya nini kwa Lidia wakati Paulo akiongea? + +Bwana alimfungua moyo wake na kuweka maanani maneno yaliyosemwa na Paulo. + +# Nani aliyebatizwa baada ya Paulo kumaliza hotuba yake huko mtoni? + +Lidia pamoja na watu wa nyumba yake walibatizwa baada ya hotuba ya Paulo. + diff --git a/act/16/16.md b/act/16/16.md new file mode 100644 index 0000000..940293d --- /dev/null +++ b/act/16/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwa namna gani yule msichana mwenye pepo mbaya aliwapatia fedha mabwana zake? + +Aliwapatia fedha mabwana zake kwa kubashiri + +# Paulo alimtendea nini yule msichana baada ya kumfuata fuata kwa siku nyingi? + +Paulo alimgeukia na kumwamru yule roho kwa Jina la Yesu atoke ndani yake. + diff --git a/act/16/19.md b/act/16/19.md new file mode 100644 index 0000000..e199df1 --- /dev/null +++ b/act/16/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni mashitaka gani yaliyoletwa na mabwana wa yule msichana dhidi ya Paulo na Sila? + +Waliwashitaki Paulo na Sila juu ya mambo waliyokuwa wanafundisha kuwa ni kinyume cha sheria kwa warumi kuyapokea au kuyatekeleza. + diff --git a/act/16/22.md b/act/16/22.md new file mode 100644 index 0000000..bd443e5 --- /dev/null +++ b/act/16/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni adhabu gani Paulo na Sila walipata kutoka kwa mahakimu? + +walichapwa kwa viboko, na kutupwa gerezani, na kuwekewa kwenye ulinzi imara. + diff --git a/act/16/25.md b/act/16/25.md new file mode 100644 index 0000000..12af6a4 --- /dev/null +++ b/act/16/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo na Sila walikuwa wakifanya nini wakati wa usiku wa manane? + +Walikuwa wakiomba na kuimba nyimbo za kumsifu Mungu. + +# Nini kilitokea na kumfanya mlizi wa jera atafute kujiua mwenyewe? + +Kulikuwa na tetemeko la ardhi, milango yote ya gereza ilifunguka, na minyororo ya kila mmoja ulilegezwa. + diff --git a/act/16/29.md b/act/16/29.md new file mode 100644 index 0000000..44939a9 --- /dev/null +++ b/act/16/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni swali gani bwana jela aliwauliza Paulo na Sila? + +Aliuliza; "Bwana zangu lazima nifanye nini kupata kuokolewa"? + +# Ni jibu gani Paulo na Sila walimjibu Bwana Jela? + +Paulo na Sila walimjibu, "Mwamini Bwana Yesu, na utaokolewa , wewe na nyumba yako yote". + diff --git a/act/16/32.md b/act/16/32.md new file mode 100644 index 0000000..c6c88ab --- /dev/null +++ b/act/16/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nani aliyebatizwa usiku huo? + +Aliyebatiwa ni bwana Jela na watu wa nyumba yake wote walibatizwa usiku huo. + diff --git a/act/16/35.md b/act/16/35.md new file mode 100644 index 0000000..be52711 --- /dev/null +++ b/act/16/35.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kiliwafanya mahakimu waogope pale walipotuma ujumbe wa kuwaruhusu Pauolo na Sila kuondoka? + +Mahakimu waliogopa kwasababu walijua kuwa waliwapiga hadharani kabla ya kuwahukumu watu ambao ni rai wa Rumi. + diff --git a/act/16/37.md b/act/16/37.md new file mode 100644 index 0000000..1be2d16 --- /dev/null +++ b/act/16/37.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kitu gani kilisababisha mahakimu waogope na kulazimu watume ujumbe kwa Paulo na Sila wa kuwaruhusu waondoke? + +Mahakimu walikumbwa na hofu kwasababu walikuwa wamewaadhibu hadharani raia wawili wa kirumi wasio na hatia. + diff --git a/act/16/40.md b/act/16/40.md new file mode 100644 index 0000000..af3d667 --- /dev/null +++ b/act/16/40.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baada ya Mahakimu kuwaambia waondoke katika mji huo, Paulo na Sila walifanya nini? + +Paulo na Sila walienda nyumbani kwa Lidia, na kuwatia moyo ndugu , na kisha kuondoka Filipi. + diff --git a/act/17/01.md b/act/17/01.md new file mode 100644 index 0000000..0e55e5a --- /dev/null +++ b/act/17/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Alipofika Thesalonike, ni wapi Paulo alikwenda kwanza kuzungumza kutoka kwenye maandiko habari za Yesu? + +Paulo alikwenda kwenye sinagogi la Wayahudi kwanza kuongea kutoka kwenye maandiko habari za Yesu. + diff --git a/act/17/03.md b/act/17/03.md new file mode 100644 index 0000000..28af527 --- /dev/null +++ b/act/17/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alionyesha nini kilicho kuwa muhimu kutoka kwenye maandiko? + +Paulo alionyesha kuwa ilimpasa Kristo ateseke na kufufuka tena kufufuka kutoka kwa wafu. + diff --git a/act/17/05.md b/act/17/05.md new file mode 100644 index 0000000..e3531a1 --- /dev/null +++ b/act/17/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mashitaka gani yaliandaliwa dhidi ya Paulo na Sila mbele ya wakuu wa mji? + +Paulo na Sila walishitakiwa kwa kwenda kinyume na sheria za Kaisari, wakisema kuna mfalme mwingine ambaye ni Yesu + diff --git a/act/17/10.md b/act/17/10.md new file mode 100644 index 0000000..0d43382 --- /dev/null +++ b/act/17/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni wapi Paulo na Sila walikwenda walipofika Beroya? + +Paulo na Sila walikwenda kwenye Sinagogi la Wayahudi. + +# Waberoya walifanya nini wakati waliposikia ujumbe wa Paulo? + +Waberoya walilipokea neno na kuyachunguza maandiko kuona kama Paulo alichofundisha kilikuwa hicho. + diff --git a/act/17/13.md b/act/17/13.md new file mode 100644 index 0000000..a273b94 --- /dev/null +++ b/act/17/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwanini Paulo aliondoka Beroya , na alikwenda wapi? + +Ilimbidi Paulo aondoke Beroya kwasababu Wayahudi wa Thesalonike walisababisha ghasia katika umati huko Beroya, kwahiyo Paulo alikwenda Athene. + diff --git a/act/17/16.md b/act/17/16.md new file mode 100644 index 0000000..09192a2 --- /dev/null +++ b/act/17/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alikwenda wapi wakati alipofika Athene? + +Paulo aliingia kwenye Sinagogi la Wayahudi na eneo la gulio kufanya mahojiano ya maandiko. + diff --git a/act/17/19.md b/act/17/19.md new file mode 100644 index 0000000..f61c681 --- /dev/null +++ b/act/17/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni wapi Paulo aliletwa ili azungumzie zaidi juu ya mafundisho yake? + +Paulo aliletwa Areopago ili aelezee mafundisho yake zaidi. + diff --git a/act/17/22.md b/act/17/22.md new file mode 100644 index 0000000..bd73803 --- /dev/null +++ b/act/17/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Madhabahu ipi katika Athene Paulo aliiona, ambayo alitaka kuelezea kwa watu? + +Paulo aliiona madhabahu yenye maneno, KWA MUNGU ASIYEJULIKANA, ambayo alitaka kutolea ufafanuzi kwa watu. + diff --git a/act/17/24.md b/act/17/24.md new file mode 100644 index 0000000..b528fa3 --- /dev/null +++ b/act/17/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alisemaje juu ya Mungu aliyefanya kila kitu huwapa nini wanadamu? + +Paulo alisema Mungu aliyeumba kila kitu huwapa wanadamu uzima, pumzi na kila kitu pia. + diff --git a/act/17/26.md b/act/17/26.md new file mode 100644 index 0000000..2e7ed31 --- /dev/null +++ b/act/17/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kutokea kwenye nini Mungu alifanya mataifa yote ya watu? + +Kutokea kwa Mtu mmoja Mungu alifanya mataifa yote ye watu. + +# Ni kwa jinsi gani Paulo anasema umbali wa Mungu kutoka kwa kila mmoja? + +Paulo anasema Mungu hayuko mbali na kila mmoja wetu. + diff --git a/act/17/28.md b/act/17/28.md new file mode 100644 index 0000000..d29ce8c --- /dev/null +++ b/act/17/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anasemaje kutokufikiri juu ya Mungu? + +Paulo anasema tusifikiri kuwa Mungu ni mfano wa dhahabu, au mawe, vinavyofanywa na wanadamu. + diff --git a/act/17/30.md b/act/17/30.md new file mode 100644 index 0000000..0ba809b --- /dev/null +++ b/act/17/30.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa sasa Mungu anawaitia nini watu wote kila mahali wafanye? + +Mungu anaita watu wote kila mahali watubu. + +# Mungu ametenga siku maalumu ya nini? + +Mungu ametenga siku maalumu wakati Yesu atauhukumu ulimwengu katika haki. + +# Ni uthibitisho upi aliouweka Mungu kwamba Yesu ndiye aliyemchagua kuuhukumu ulimwengu? + +Mungu amemthibitisha Yesu kuwa ndiye aliyemchagua kuuhukumu ulimwengu kwa kumfufua kutoka kwa wafu. + diff --git a/act/17/32.md b/act/17/32.md new file mode 100644 index 0000000..f37a9ed --- /dev/null +++ b/act/17/32.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Baadhi yao walifanya nini waliposikia habari ya kufufuliwa kwa watu? + +Baadhi yao walimdhihaki Paulo walipomsikia akiongea kuhusu kufufuliwa kwa wafu. + +# Je! Kila mmoja aliamini kile alichosema Paulo? + +Ndiyo, Baadhi ya wanaume walimwamini Paulo, na wengine pamoja nao. + diff --git a/act/18/01.md b/act/18/01.md new file mode 100644 index 0000000..84d4bf6 --- /dev/null +++ b/act/18/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kazi gani Paulo aliyoifanya kuwezesha mahitaji yake mwenyewe? + +Paulo alifanya kazi ya kushona mahema ili kuwezesha kupata mahitaji yake mwenyewe. + diff --git a/act/18/04.md b/act/18/04.md new file mode 100644 index 0000000..14ae041 --- /dev/null +++ b/act/18/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo alishuhudia nini kwa Wayahudi huko Koritho? + +Paulo aliwashuhudia Wayahudi huko Koritho kwamba Yesu ndiye alikuwa Kristo. + +# Wakati Wayahudi walipompinga Paulo, yeye alifanya nini? + +Paulo aliwaambia Wayahudi damu yao ilikuwa juu ya vichwa vyao wenyewe, na kisha alikwenda kwa wamataifa. + diff --git a/act/18/09.md b/act/18/09.md new file mode 100644 index 0000000..8429c2d --- /dev/null +++ b/act/18/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni faraja gani Paulo alipokea kutoka kwa Bwana akiwa Korintho? + +Bwana alimuambia Paulo aendelee kuongea., kwani hakuna atakaye mdhuru huko. + diff --git a/act/18/12.md b/act/18/12.md new file mode 100644 index 0000000..db5aa25 --- /dev/null +++ b/act/18/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni mashtaka gani Wayahudi walimletea mtawala kuhusu Paulo? + +Wayahudi walimshutumu Paulo kwa kuwafundisha watu kuabudu kinyume na sheria,. + diff --git a/act/18/14.md b/act/18/14.md new file mode 100644 index 0000000..4fd5797 --- /dev/null +++ b/act/18/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa jinsi gani mtawala aliyapokea mashtaka ya Wayahudi dhidi ya Paulo? + +Mtawala aliwajibu kuwa asingetamani kuwa mhukumu wa matatizo yahusuyo sheria za Wayahudi. + diff --git a/act/18/18.md b/act/18/18.md new file mode 100644 index 0000000..e6db2ad --- /dev/null +++ b/act/18/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni mme na mke yupi walisafiri pamoja na Paulo kwenda Efeso? + +Akwila na Prisila walisafiri pamoja na Paulo kwenda Efeso. + diff --git a/act/18/22.md b/act/18/22.md new file mode 100644 index 0000000..59f8595 --- /dev/null +++ b/act/18/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni sehemu zipi mbili ambazo Paulo alikwenda kwanza baada ya kuondoka Efeso? + +Baada ya kuondoka Efeso, Paulo alikwenda Yerusalemu na kisha akaenda Antiokia. + diff --git a/act/18/24.md b/act/18/24.md new file mode 100644 index 0000000..1a5460a --- /dev/null +++ b/act/18/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni mafundisho yapi Apolo aliyajua vizuri, na mafundisho yapi aliyokuwa anahitaji maelekezo zaidi? + +Apolo alifahamu mafundisho kuhusu Yesu Kristo vizuri, lakini alijua pekee habari za ubatizo wa Yohana. + +# Prisila na Akwila walimsaidia mambo gani Apolo? + +Prisila na Akwila walikuwa marafiki wa Apolo na wakamfafanulia vema njia ya Mungu kwa usahihi zaidi. + diff --git a/act/18/27.md b/act/18/27.md new file mode 100644 index 0000000..c79a05f --- /dev/null +++ b/act/18/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Uwezo wa Apolo ulikuwa upi katika kunena na katika ujuzi wa maandiko? + +Uwezo wa Apolo ulikuwa katika eneo la kuwavuta Wayahudi huku akiwaonyeshaYesu alikuwa Kristo. + diff --git a/act/19/01.md b/act/19/01.md new file mode 100644 index 0000000..390bf9d --- /dev/null +++ b/act/19/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni fundisho gani wanafunzi waliokuwa wameamini huko Efeso walikuwa hawalijui wakati Paulo alipokutana nao? + +Wanafunzi hao walikuwa hawajawahi kusikia habari za Roho Mtakatifu. + diff --git a/act/19/03.md b/act/19/03.md new file mode 100644 index 0000000..661f0fa --- /dev/null +++ b/act/19/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ubatizo wa Yohana ulikuwa ubatizo wa nini? + +Ubatizo wa Yohana ulikuwa ubatizo wa toba + +# Yohana aliwafundisha watu kumwamini nani? + +Yohana aliwafundisha watu kumwamini mmoja yule angekuja baada yake. + diff --git a/act/19/05.md b/act/19/05.md new file mode 100644 index 0000000..fabb9d7 --- /dev/null +++ b/act/19/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa jina gani Paulo aliwabatiza wale wanafunzi wa Efeso? + +Paul akawabatiza katika jina la Bwana Yesu. + +# Nini kilitokea kwa watu baada ya paulo kuwabatiza na kuwawekea mikono? + +Roho Mtakatifu alishuka kwao na wakaanza kunena kila mtu kwa lugha nyingine na kutoa unabii. + diff --git a/act/19/08.md b/act/19/08.md new file mode 100644 index 0000000..2d625f4 --- /dev/null +++ b/act/19/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alifanya nini wakati Wayahudi huko Efeso walipoanza kunena uovu juu ya njia ya Kristo? + +Paulo aliwatenga waamini na hao na kuanza kuwafundisha waamini katika ukumbi wa Tirano. + diff --git a/act/19/11.md b/act/19/11.md new file mode 100644 index 0000000..f25d3d7 --- /dev/null +++ b/act/19/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Miujiza ipi maalumu aliyoitenda Mungu kupitia mikono ya Paulo? + +Vitambaa na vikoyi vilivyotoka kwa Paulo, viliweza kuponya wagonjwa na kufukuza roho wachafu. + diff --git a/act/19/15.md b/act/19/15.md new file mode 100644 index 0000000..b66bdee --- /dev/null +++ b/act/19/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilitokea wakati wayahudi saba wapunga mapepo walipojaribu kufukuza pepo wachafu kwa jina la Yesu? + +Pepo wachafu waliwashinda wapunga pepo na kukimbia wakiwa uchi na wamejeruhiwa. + diff --git a/act/19/18.md b/act/19/18.md new file mode 100644 index 0000000..f6394fc --- /dev/null +++ b/act/19/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika Efeso, walifanya nini wale awali walikuwa wakifanya mambo ya kichawi? + +Wengi waliokuwa wakifanya kazi za kichawi katika Efeso walivichoma vitabu vyao mbele ya macho ya kila mmoja. + diff --git a/act/19/21.md b/act/19/21.md new file mode 100644 index 0000000..7689d0f --- /dev/null +++ b/act/19/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wapi ambapo Paulo alisema angependa kwenda baada ya kwenda Yerusalemu? + +Paulo alisema angependa kwenda Rumi baada ya kwenda Yerusalemu. + diff --git a/act/19/26.md b/act/19/26.md new file mode 100644 index 0000000..e02fb15 --- /dev/null +++ b/act/19/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wasiwasi gani wa mfua fedha Demetrius alipokuwa akiwaeleza mafundi wengine? + +Demetrio alikuwa na wasiwasi kwamba Paulo alikuwa akiwafundisha watu kuwa hakuna miungu ambayo inaweza kufanya kwa mikono, na kwamba mungu Diana anaweza kuchukuliwa kuwa hafai. + diff --git a/act/19/28.md b/act/19/28.md new file mode 100644 index 0000000..8c33be6 --- /dev/null +++ b/act/19/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jinsi gani watu walikabiliana na kusudio la Demetrio'? + +Watu walijawa na hasira, wakalia kwa sauti wakisema kuwa Diana alikuwa mkuu sana, mji mzima ukajawa na machafuko. + diff --git a/act/19/30.md b/act/19/30.md new file mode 100644 index 0000000..e008d2d --- /dev/null +++ b/act/19/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Paulo hakushughulika na umati, hata kama alitaka? + +Wanafunzi na baadhi ya maafisa wa serikali hawakuruhusu Paulo kuzungumza na umati wa watu. + diff --git a/act/19/38.md b/act/19/38.md new file mode 100644 index 0000000..e2f70ff --- /dev/null +++ b/act/19/38.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je karani wa mji aliwaambia nini watu cha kufanya badala ya maandamano? + +Karani wa mji aliwaambia watu walete mashtaka yao mahakamani. + +# Watu wa mji walikuwa wanakabiliwa na hatari gani karani wa mji aliwaambia? + +Karani wa mji aliwaambia watu walikuwa wanakabiliwa na kushitakiwa kwa kukosa utaratibu, na kwamba kulikuwa hakuna cha kuelezea. + diff --git a/act/20/01.md b/act/20/01.md new file mode 100644 index 0000000..5fe0bee --- /dev/null +++ b/act/20/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilichomfanya Paulo kubadirisha mipango yake na kumlazimu kurudi kupitia Makedonia badala ya kusafiri kwa njia ya baharini kuelekea Shamu? + +Paulo alibadirisha mipango yake kwasababu wWayahudi walikuwa wamepanga njama dhidi yake kama angesafiri kwa njia ya baharini kwenda Shamu. + diff --git a/act/20/07.md b/act/20/07.md new file mode 100644 index 0000000..b863b62 --- /dev/null +++ b/act/20/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni siku ipi ya juma ambayo Paulo na waumini hukusanya kumega mkate? + +Siku ya kwanza ya juma Paulo na waumini walikutana pamoja kwa kumega mkate. + diff --git a/act/20/09.md b/act/20/09.md new file mode 100644 index 0000000..8ad3b96 --- /dev/null +++ b/act/20/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nini kilichotokea kwa kijana ambaye alianguka nje ya dirisha wakati Paulo alikuwa akizungumza? + +Kijana alianguka chini kutoka ghorofa ya tatu na alichukuliwa akiwa amekufa, lakini Paulo alimkumbatia na yeye akawa mzima tena + diff --git a/act/20/15.md b/act/20/15.md new file mode 100644 index 0000000..b1274fe --- /dev/null +++ b/act/20/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwanini Paulo alikuwa akiharakisha kwenda Yerusalemu? + +Paulo alikuwa akiharakisha kwenda Yerusalemu apate kuwa huko katka siku ya Pentekoste. + diff --git a/act/20/17.md b/act/20/17.md new file mode 100644 index 0000000..0cec132 --- /dev/null +++ b/act/20/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alisema nini wakati akiwaonya Wayahudi na Wagiriki tangu alipoingia Asia? + +Paulo aliwaonya wote Wayahudi na Wagiriki kuhusu toba kwa Mungu na Imani katika Bwana Yesu. + diff --git a/act/20/22.md b/act/20/22.md new file mode 100644 index 0000000..a398ca8 --- /dev/null +++ b/act/20/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kitu gani Roho Mtakatifu alikuwa akimshuhudia Paulo katika kila mji wakati akisafiri kwenda Yerusalemu? + +Roho Mtakatifu alikuwa akimshuhudia Paulo kwamba kifungo na mateso yalikuwa yakimngoja. + +# Huduma gani Paulo alikuwa ameipokea kutoka kwa Bwana Yesu? + +Huduma ya Paulo aliyokuwa ameipokea kutoka kwa Bwana Yesu ilikuwa ya kuishuhudia kwa mataifa Injili ya neema ya Mungu. + diff --git a/act/20/25.md b/act/20/25.md new file mode 100644 index 0000000..efaea8a --- /dev/null +++ b/act/20/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwanini Paulo alisema alikuwa hana hatia kwa damu ya kila mtu? + +Paulo alisema hana hatia kwa damu yao kwasababu alikuwa amelitangaza kusudi zima la Mungu kwao. + diff --git a/act/20/28.md b/act/20/28.md new file mode 100644 index 0000000..5ebaf0b --- /dev/null +++ b/act/20/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo aliwaagiza nini wazee wa Efeso kufanya kwa makini baada ya kuondoka kwake? + +Paul aliwaagiza wazee kulichunga kundi kwa makini. + diff --git a/act/20/31.md b/act/20/31.md new file mode 100644 index 0000000..bacf717 --- /dev/null +++ b/act/20/31.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo aliwakabidhi kwa nani wazee wa Efeso? + +Paulo aliwakabidhi wazee wa Efeso kwa Mungu. + diff --git a/act/20/33.md b/act/20/33.md new file mode 100644 index 0000000..5f9f88b --- /dev/null +++ b/act/20/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mfano gani Paulo aliuweka kwa Waefeso kutokana na kazi yake? + +Paulo alifanya kazi kwa mahitaji yake mwenyewe na kwa wale waliokuwa pamoja naye, na kuwasaidia waliokuwa hawana uwezo. + diff --git a/act/20/36.md b/act/20/36.md new file mode 100644 index 0000000..60f58c9 --- /dev/null +++ b/act/20/36.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kitu gani kilishowafanya wengi wa wazee wa Efeso kuonekana wenye huzuni? + +Wazee wa Efeso wengi wao walijawa na huzuni kwasababu Paulo alikuwa amawaambia wasingeweza kumwona uso wake tena. + diff --git a/act/21/03.md b/act/21/03.md new file mode 100644 index 0000000..a1f71b4 --- /dev/null +++ b/act/21/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wanafunzi huko Tiro kupitia Roho walimwambia nini Paulo? + +Wanafunzi walimwambia Paulo wakisema Roho hatamruhusu kwenda Yerusalemu. + diff --git a/act/21/07.md b/act/21/07.md new file mode 100644 index 0000000..c795db7 --- /dev/null +++ b/act/21/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Tunawafahamuje watoto wa mhubiri Filipo? + +Filipo alikuwa na mabinti bikira wanne waliokuwa wakitoa unabii. + diff --git a/act/21/10.md b/act/21/10.md new file mode 100644 index 0000000..aedd9da --- /dev/null +++ b/act/21/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Agabo nabii alisema nini juu ya Paulo? + +Agabo alimwambia Paulo kuwa Wayahudi huko Yerusalemu wangemfunga mikono yake mbele ya wamataifa. + diff --git a/act/21/12.md b/act/21/12.md new file mode 100644 index 0000000..a39adb6 --- /dev/null +++ b/act/21/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alisemaje wakati kila mtu akimwambia asipande kwenda Yerusalemu? + +Paulo alisema, yey e alikuwa tayari kufungwa na hata kufa huko Yerusalemu kwa ajili ya Jina la Bwana Yesu. + diff --git a/act/21/17.md b/act/21/17.md new file mode 100644 index 0000000..bb8f0bf --- /dev/null +++ b/act/21/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alikutana na nani alipowasili huko Yerusalemu? + +Paulo alikutana na Yakobo na wazee wote. + diff --git a/act/21/20.md b/act/21/20.md new file mode 100644 index 0000000..cad4c59 --- /dev/null +++ b/act/21/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mashitaka yapi yaliandaliwa na Wayahudi dhidi ya Paulo? + +Wayahudi walikuwa wakimshitaki Paulo kuwa amewafundisha Wayahudi wanaokaa miongoni mwa wamataifa kuacha kumfuata Musa. + diff --git a/act/21/22.md b/act/21/22.md new file mode 100644 index 0000000..4870de0 --- /dev/null +++ b/act/21/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwanini Yakobo pamoja na Wazee walimtaka Paulo kujitakasa mwenyewe na wanaume wanne waliokuwa wamekula kiapo? + +Walitaka kila mmoja kujua kuwa Paulo kama Myahudi pia aliishi kwa kuzitunza sheria. + diff --git a/act/21/25.md b/act/21/25.md new file mode 100644 index 0000000..8fa55c5 --- /dev/null +++ b/act/21/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, Yakobo alisemaje juu ya mataifa mengine ambao waliamini walipaswa kufanya nini? + +Yakobo alisema watu wa mataifa wangejiepusha na vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu, na damu, na wanyama walionyongwa, na kujiepusha na uasherati. + diff --git a/act/21/27.md b/act/21/27.md new file mode 100644 index 0000000..7096328 --- /dev/null +++ b/act/21/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mashitaka yapi yaliyoletwa na Wayahudi toka Asia dhidi ya Paulo ndani ya hekalu? + +Wayahudi walimshitaki Paulo kwa kufundisha kinyume cha mafundisho ya sheria na kulinajisi hekalu kwa kuwaingiza Wagiriki ndani ya hekalu. + diff --git a/act/21/30.md b/act/21/30.md new file mode 100644 index 0000000..1975c59 --- /dev/null +++ b/act/21/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baada ya kuandaliwa kwa mashitaka hayo , Wayahudi walimfanyia nini Paulo + +Wayahudi walimwondoa Paulo na kumpeleka nje ya hekalu na wakajaribu kumwua. + diff --git a/act/21/32.md b/act/21/32.md new file mode 100644 index 0000000..76beeba --- /dev/null +++ b/act/21/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jemedari wa kikosi cha ulinzi walifanya nini aliposikia kuwa Yerusalemu ilikuwa imemwinukia Paulo? + +Jemedari alimkaribia Paulo na kumshika na akaamuru afungwe minyororo miwili, akiuliza yeye ni nani na amefanya nini. + diff --git a/act/21/34.md b/act/21/34.md new file mode 100644 index 0000000..025ce5b --- /dev/null +++ b/act/21/34.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kelele za umati zilikuwa zikisemaje wakati askari walipomchukua Paulo ndani ya ngome? + +Umati ulikuwa ukipiga kelele, "Mwondoeni huyu!" + diff --git a/act/21/39.md b/act/21/39.md new file mode 100644 index 0000000..355a4c7 --- /dev/null +++ b/act/21/39.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ombi gani Paulo alilolituma kwa jemedari wa jeshi? + +Paul aliomba kuwa aruhusiwe kuzungumza na watu. + diff --git a/act/22/01.md b/act/22/01.md new file mode 100644 index 0000000..400e280 --- /dev/null +++ b/act/22/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakati umati ulipomsikia Paulo akiongea kwa Kiebrania, Je! Walifanya nini? + +Umati uliposikia Paulo akiongea kwa Kiebrania, wote walinyamaza. + diff --git a/act/22/03.md b/act/22/03.md new file mode 100644 index 0000000..0b9d82d --- /dev/null +++ b/act/22/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo alikua amesoma wapi, na nani alikua mwalimu wake? + +Paulo alikua amesoma Jerusalemu, na Gamalieli alikua mwalimu wake. + +# Paulo akuwa akiwatenda vipi wale waliokuwa wakiifuata njia ile? + +Paulo aliwatesa na kuwaua wale wote waliokuwa wakiifuata njia ile, na kuwakokota hadi gerezani. + diff --git a/act/22/06.md b/act/22/06.md new file mode 100644 index 0000000..986ea7a --- /dev/null +++ b/act/22/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sauti kutoka mbinguni ilisemaje wakati Paulo alipokaribia Dameski? + +Sauti kutoka mbinguni ilisema, "Sauli, Sauli, kwanini unanitesa?" + +# Paulo alikuwa akimtesa nani? + +Paulo alikuwa akimtesa Yesu wa Nazareti. + diff --git a/act/22/09.md b/act/22/09.md new file mode 100644 index 0000000..7d7a0f3 --- /dev/null +++ b/act/22/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwanini Paulo hakuweza kuona? + +Paulo hakuweza kuona kwasababu ya ule mwanga wa nuru aliouona alipokaribia Dameski. + diff --git a/act/22/12.md b/act/22/12.md new file mode 100644 index 0000000..b3774eb --- /dev/null +++ b/act/22/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jinsi gani Paulo alirudishiwa uwezo wa kuona? + +Mtu mwema aitwae Anania alikuja na kusimama mbele ya Paulo na kusema, "Ndugu yangu Sauli, pokea kuona kwako". + diff --git a/act/22/14.md b/act/22/14.md new file mode 100644 index 0000000..cd2288e --- /dev/null +++ b/act/22/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Anania alimwambia Paulo asimame na kufanya nini, na kwanini? + +Anania alimwambia Paulo ainuke na kubatizwa ili kuziosha dhambi zake, akiliita jina lake. + diff --git a/act/22/17.md b/act/22/17.md new file mode 100644 index 0000000..441b9a2 --- /dev/null +++ b/act/22/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakati Yesu alipoongea na Paulo hekaluni, alimwambia Wayahudi wataitikiaje juu ya ushuhuda wake? + +Yesu alimwambia Wayahudi hawataukubali ushuhuda wa Paulo. + diff --git a/act/22/19.md b/act/22/19.md new file mode 100644 index 0000000..5e89a99 --- /dev/null +++ b/act/22/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alimtuma Paulo kwa nani? + +Yesu alimtuma Paulo kwa mataifa. + diff --git a/act/22/22.md b/act/22/22.md new file mode 100644 index 0000000..3110172 --- /dev/null +++ b/act/22/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wayahudi waliitikiaje walipomsikia Paulo akizungumzia habari za mataifa? + +Wayahudi walipaza sauti na kuvuaa mavazi yao na kurusha mavumbi hewani. + diff --git a/act/22/25.md b/act/22/25.md new file mode 100644 index 0000000..b4bdc7a --- /dev/null +++ b/act/22/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Swali gani Paulo alimuuliza akida kabla hajapigwa? + +Paulo aliuliza kama ni haki yeye kupigwa kama mtu wakirumi ambae bado hajahukumiwa. + diff --git a/act/22/27.md b/act/22/27.md new file mode 100644 index 0000000..c7788c1 --- /dev/null +++ b/act/22/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# jinsi gani Paulo alikuwa raia wa Kirumi? + +Paulo alikuwa raia wa Kirumi kwa kuzaliwa. + diff --git a/act/22/30.md b/act/22/30.md new file mode 100644 index 0000000..8e4937f --- /dev/null +++ b/act/22/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jemedari mkuu aliamua kufanya nini alipotambua kwamba Paulo alikuwa raia wa Kirumi? + +Jemedari mkuu alimfungua Paulo na kuwaamuru wakuu wa makuhani na baraza lote wakutane, akamweka Paulo mbele yao. + diff --git a/act/23/01.md b/act/23/01.md new file mode 100644 index 0000000..9927c0c --- /dev/null +++ b/act/23/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwanini Kuhani mkuu aliamuru wale waliosimama karibu na Paulo wampige mdomo wake? + +Kuhani mkuu alikua amechukia kwasababu Paulo alisema ameishi mbele za Mungu kwa dhamira nzuri. + diff --git a/act/23/06.md b/act/23/06.md new file mode 100644 index 0000000..dc8b6ba --- /dev/null +++ b/act/23/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwasababu gani Paulo alisema anahukumiwa mbele ya baraza? + +Paulo alisema alikua anahukumiwa kwasababu ya ujasiri wake katika mambo ya ufufuo. + +# Kwanini mabishano yalianza kwenye baraza wakati Paulo alipoeleza sababu ya kuhukumiwa kwake? + +Mabishano yalianza kwasababu Mafarisayo husema kuna uffuo, lakini Masadukayo husema hakuna ufufuo. + diff --git a/act/23/09.md b/act/23/09.md new file mode 100644 index 0000000..4f289c1 --- /dev/null +++ b/act/23/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwanini Jemedari wa jeshi alimchukua Paulo kutoka mbele ya baraza na kumrudisha kwenye ngome? + +Jemedari wa jeshi alihofia kwamba Paulo angekatwa vipande vipande na wajumbe wa baraza. + diff --git a/act/23/11.md b/act/23/11.md new file mode 100644 index 0000000..0fdfd6c --- /dev/null +++ b/act/23/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni ahadi gani Bwana alimpatia Paulo usiku uliofuata? + +Bwana alimwambia Paulo asiogope kwasababu atabeba ushuhuda wake katika Jerusalemu na Rumi. + diff --git a/act/23/12.md b/act/23/12.md new file mode 100644 index 0000000..ad288c7 --- /dev/null +++ b/act/23/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# wanaume wa Kiyahudi waliweka agano gani kuhusiana na Paulo? + +Takribani Wayahudi arobaini waliweka agano kwamba hawatakula wala kunywa mpaka watakapomwua Paulo. + diff --git a/act/23/14.md b/act/23/14.md new file mode 100644 index 0000000..534ecc4 --- /dev/null +++ b/act/23/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni mpango upi wayahudi arobaini waliuwasilisha kwa wakuu wa makuhani na wazee? + +Waliwaomba wakuu wa makuhani na wazee kwamba Paulo aletwe barazani ili wamwue kabla hajafika. + diff --git a/act/23/16.md b/act/23/16.md new file mode 100644 index 0000000..cb17792 --- /dev/null +++ b/act/23/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jemedari mkuu alijuaje kuhusu mpango wa Wayahudi arobaini? + +Mtoto wa dada yake Paulo alisikia mpango huo na kumwambia Paulo. + diff --git a/act/23/22.md b/act/23/22.md new file mode 100644 index 0000000..64fc723 --- /dev/null +++ b/act/23/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jemedari mkuu alifanyaje alipoufahamu mpango wa Wayahudi arobaini kutaka kumwua Paulo? + +Jemedari mkuu aliagiza kundu kubwa la walinzi la kumchukua Paulo kwa usalama mpaka kwa Gavana Feliki katika zamu ya tatu ya usiku. + diff --git a/act/23/28.md b/act/23/28.md new file mode 100644 index 0000000..4734a7f --- /dev/null +++ b/act/23/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwenye barua yake kwa Gavana Feliki Jemedari Mkuu alisemaje juu ya mashitaka dhidi ya Paulo? + +Jemedari Mkuu alimwandikia kuwa Paulo hakutakiwa kuuawa wala kufungwa, bali mashitaka yote yalilenga maswala yahusuyo sheria ya Wayahudi. + diff --git a/act/23/34.md b/act/23/34.md new file mode 100644 index 0000000..dad4280 --- /dev/null +++ b/act/23/34.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nu muda upi Gavana Feliki alipanga kusikiliza kesi ya Paulo? + +Gavana Feliki alisema angeisikiliza kesi ya Paulo baada ya washitaki wake kuwasili. + +# Paulo alitunzwa wapi kusubiri mateso yake? + +Paulo alitunzwa katika makao ya Herode mpaka wakati wa mateso yake. + diff --git a/act/24/04.md b/act/24/04.md new file mode 100644 index 0000000..2b198db --- /dev/null +++ b/act/24/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mashitak gani Tetulo aliyaleta dhidi ya Paulo? + +Tetulo alimshitaki Paulo kwa kusababisha Wayahudi kuasi na kulinajisi hekalu. + diff --git a/act/24/10.md b/act/24/10.md new file mode 100644 index 0000000..ca9cfdc --- /dev/null +++ b/act/24/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini alichokuwa amefanya Paulo hekaluni, Masinagogi na mjini? + +Paulo alisema alikuwa hajawahi kupingana na yeyote na alikuwa hajawahi kuhamasisha kundi lolote. + diff --git a/act/24/14.md b/act/24/14.md new file mode 100644 index 0000000..9d829f3 --- /dev/null +++ b/act/24/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo alisema yeye ni mwaminifu kwa yapi? + +Paulo alisema alikua mwaminifu kwa yote yaliyo katika sheria na maandiko ya manabii. + +# Tumaini lipi alilolishirikisha kwa Wayahudi waliomshitaki Paulo? + +Aliwashirikisha tumaini la Mungu kuja kuwafufua walio haki na wafu wasio haki. + diff --git a/act/24/17.md b/act/24/17.md new file mode 100644 index 0000000..af60f4f --- /dev/null +++ b/act/24/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwanini Paulo alikuwa amekwenda Yerusalemu? + +Paulo alisema amekuja kuleta msaada kwa taifa lake na zawadi ya fedha. + +# Paulo alikuwa anafanya nini hekaluni alipoonekana na Wayahudi toka Asia? + +Paulo alisema alikuwa katika taratibu za utakaso wakati alipoonekana na Wayahudi hao wa Asia. + diff --git a/act/24/22.md b/act/24/22.md new file mode 100644 index 0000000..23bf5c9 --- /dev/null +++ b/act/24/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Liwali Feliki alikuwa ametaarifiwa kuhusu nini? + +Liwali Feliki alikua ametaarifiwa vizuri kuhusu njia. + +# Lini Feliki alisema ataamua kesi ya Paulo? + +Feliki alisema ataamua kesi ya Paulo pindi Lisia jemedari atakapokuja kutoka Yerusalemu. + diff --git a/act/24/24.md b/act/24/24.md new file mode 100644 index 0000000..34fc7a9 --- /dev/null +++ b/act/24/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Baada ya siku kadha, Paulo alimwambia Feliki kuhusu nini? + +Paulo alimwambia Feliki kuhusu imani ndani ya Kristo, utakatifu, kuwa na kiasi na hukumu itakayokuja. + +# Feliki aliitikiaje baada ya kumsikiliza Paulo? + +Feliki alijawa na hofu na alimwomba aondoke mbele yake. + diff --git a/act/24/26.md b/act/24/26.md new file mode 100644 index 0000000..247d6a5 --- /dev/null +++ b/act/24/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baada ya miaka miwili, Kwanini Feliki alimwekea ulinzi Paulo wakati Gavana mpya alipokuja? + +Feliki alimwacha Paulo chini ya ulinzi kwasababu alitaka kupata upendeleo kwa Wayahudi. + diff --git a/act/25/01.md b/act/25/01.md new file mode 100644 index 0000000..27da602 --- /dev/null +++ b/act/25/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni upendeleo gani Kuhani Mkuu na Wayahudi mashuhuri waliuomba kwa Festo? + +Walimwomba Festo kumwita Paulo kwenda Yerusalemu ili waweze kumwua akiwa njiani. + diff --git a/act/25/04.md b/act/25/04.md new file mode 100644 index 0000000..ca95f8a --- /dev/null +++ b/act/25/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Festo aliwaambia nini cha kufasnya Kuhani Mkuu na Wayahudi mashuhuri? + +Festo aliwambie waende kwa Kaisari , kule Festo alikuwa anaenda, ili wakaweze kumshitaki Paulo kule. + diff --git a/act/25/09.md b/act/25/09.md new file mode 100644 index 0000000..1f3481d --- /dev/null +++ b/act/25/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Alipokuwa akihukumu kesi ya Paulo huko Kaesaria ni swali gani Festo alimwuliza Paulo? + +Festo alimwuliza Paulo kama alitaka kwenda Yerusalemu kuhukumiwa huko. + +# Kwa nini Festo alimuuliza Paulo swali hili? + +Festo alimwuliza Paulo swali hilo ili ajipendekeze kwa wayahudi. + +# Jibu la Paulo lilikuwaje kuhusiana na swali la Festo? + +Paulo alijibu alikuwa amesimama mbele ya kiti cha hukumu cha Kaisari mahali ambapo angepaswa kuhukumiwa. + diff --git a/act/25/11.md b/act/25/11.md new file mode 100644 index 0000000..177cb59 --- /dev/null +++ b/act/25/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Festo alikusudia kufanya nini katika kesi ya Paulo? + +Festo alikusudia kwamba kwa vile Paulo alikuwa amemtaja Kaisari hivyo angemtuma kwenda kwa Kaisari + diff --git a/act/25/13.md b/act/25/13.md new file mode 100644 index 0000000..6fd3d58 --- /dev/null +++ b/act/25/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Festo alisema ni kitu gani kilikuwa halali kwa dwsturi ya warumi kwa watu waliotuhumiwa kwa uhalifu? + +Festo alisema Warumi walitoa nafasi kwa mshitakiwa kwenda mbele ya washitaki wake na kujenga utetezi dhidi ya mashitaka yake. + diff --git a/act/25/17.md b/act/25/17.md new file mode 100644 index 0000000..c6671f6 --- /dev/null +++ b/act/25/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni mashitaka yapi aliyoyasema Festo yaliyoletwa na Wayahudi dhidi ya Paulo? + +Festo alisema Mashitaka yalikuwa juu ya dini yao, na yahusuyo madayi ya kusema Yesu aliyekuwa ameuawa, Paulo alidai kuwa alikuwa hai tena. + diff --git a/act/25/25.md b/act/25/25.md new file mode 100644 index 0000000..e05cf5c --- /dev/null +++ b/act/25/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwanini Festo alimpeleka Paulo mbele ya Mfalme Agripa? + +Festo alitaka Mfalme Agripa amsaidie kuandika hoja za msingi kuhusu kesi ya Paulo kwa Mfalme. + +# Kwanini Festo alisema isingefaa kwake kumtuma Paulo kwa Mfalme? + +Festo alisema isingefaa kwake kumtuma Paulo kwa Mfalme bila ya kuelezea mashitaka dhidi ya Paulo. + diff --git a/act/26/01.md b/act/26/01.md new file mode 100644 index 0000000..9c6dac6 --- /dev/null +++ b/act/26/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwanini Paulo alikuwa na furaha kuweza kusimama na kujitetea mbele ya Mfalme Agripa? + +Paulo alikuwa na furaha kuweza kujitetea mbele ya Mfalme Agripa kwasababu Agripa alikuwa na ujuzi wa desturi za Wayahudi na maswali. + diff --git a/act/26/04.md b/act/26/04.md new file mode 100644 index 0000000..9cf2cd7 --- /dev/null +++ b/act/26/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jinsi gani Paulo aliweza kuishi toka ujana wake huko Yerusalemu? + +Paulo aliisha kama Farisayo, Kikundi chenye msimamo mkali katika dini ya kiyahudi. + diff --git a/act/26/06.md b/act/26/06.md new file mode 100644 index 0000000..9a260b4 --- /dev/null +++ b/act/26/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni ahadi gani ya Mungu ambayo Paulo na Wayahudi wanatarajia kuifikia? + +Paulo alisema kuwa yeye na wayahudi wanatarajia kuifikia ahadi ya ufufuo. + diff --git a/act/26/09.md b/act/26/09.md new file mode 100644 index 0000000..a4dcb51 --- /dev/null +++ b/act/26/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kabla ya kuongoka kwake, Paulo alikuwa akifanya nini kulipinga jina la Yesu wa Nazareti? + +Paulo alikuwa akiwafungia Watakatifu wengi gerezani, alikuwa akiidhinisha wakati wakiuawa, na alikuwa anawafukuza kwenda miji ya ugenini. + diff --git a/act/26/12.md b/act/26/12.md new file mode 100644 index 0000000..42cb7dc --- /dev/null +++ b/act/26/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo aliona nini wakati akienda Dameski? + +Paulo aliona mwanga kutoka mbinguni uliong'aa kuliko jua. + +# Paulo alisikia nini wakati akienda Dameski? + +Paulo alisikia sauti ikisema, "Sauli, Sauli, kwanini unanitesa? + diff --git a/act/26/15.md b/act/26/15.md new file mode 100644 index 0000000..3f1ed0e --- /dev/null +++ b/act/26/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nani alikuwa akiongea na Paulo alipokuwa akielekea Damaskasi? + +Yesu alikuwa akiongea na Paulo alipokuwa njiani kuelekea Damaskasi. + +# Yesu alimchagua Paulo kufanya nini? + +Yesu alimchagua Paulo kuwa mtumishi wake na mwenye kupeleka ushuhuda kwa mataifa. + +# Yesu alitaka mataifa wapokee nini kupitia kwa Paulo? + +Yesu alimwambia, alitaka mataifa kupokea msamaha wa dhambi zao na kupokea urithi kutoka kwa Mungu. + diff --git a/act/26/19.md b/act/26/19.md new file mode 100644 index 0000000..7c03b74 --- /dev/null +++ b/act/26/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mambo gani mawili Paulo aliyahubiri kila alipokwenda? + +Paulo anasema, alihubiri watu wapate kutubu na kumgeukia Mungu, na pia watende matendo yakanayo na thamani ya toba yao. + diff --git a/act/26/22.md b/act/26/22.md new file mode 100644 index 0000000..54f533e --- /dev/null +++ b/act/26/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kitu gani manabii na Musa walisema kigetokea? + +Manabii na Musa walisema kwamba Kristo atateseka, atafufuliwa kutoka kwa wafu, na kutangaza nuru kwa Wayahudi na kwa mataifa. + diff --git a/act/26/24.md b/act/26/24.md new file mode 100644 index 0000000..6ec0b61 --- /dev/null +++ b/act/26/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je Festo alimfikiriaje Paulo baada ya kusikiliza utetezi wake? + +Festo alidhani kuwa Paulo alikuwa mwendawazimu. + diff --git a/act/26/27.md b/act/26/27.md new file mode 100644 index 0000000..6c5704c --- /dev/null +++ b/act/26/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Tamaa ya Paulo ulikuwa nini kwa Mfalme Agripa? + +Paulo alitamani Mfalme Agripa angekuwa mkristo. + diff --git a/act/26/30.md b/act/26/30.md new file mode 100644 index 0000000..05b5424 --- /dev/null +++ b/act/26/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni uamzi upi uliotolewa na Mfalme Agripa, Festo na Bernike kuhusu mashitaka dhidi ya Paulo? + +Walikubaliana kusema Paulo hakutenda lolote lenye kustahili kifo ama kifungo, na kwamba angekuwa huru kama asingekuwa amekata rufaa kwa Kaisari. + diff --git a/act/27/03.md b/act/27/03.md new file mode 100644 index 0000000..4fe9ece --- /dev/null +++ b/act/27/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Vipi ambavyo jemadari Julius alimtendea Paul katika mwanzo wa safari kuelekea Roma? + +Julius alimtendea Paulo vizuri na kumruhusu kwenda kwa rafiki zake na kupokea huduma zao. + diff --git a/act/27/07.md b/act/27/07.md new file mode 100644 index 0000000..cc665f6 --- /dev/null +++ b/act/27/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kisiwa kipi meli ya Paulo ilipita kwa kuzunguka kwa shida? + +Meli ilisafiri kuzunguka kisiwa cha Krete kwa shida. + diff --git a/act/27/09.md b/act/27/09.md new file mode 100644 index 0000000..f02fefb --- /dev/null +++ b/act/27/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwanini Julias hakukubali kufuata maonyo ya Paulo kuhusu hatari iliyokuwa inawakabiri wakiendelea na safari? + +Julius hakutaka kufuata maonyo ya Paulo kwasababu alisikiliza zaidi maelekezo ya mmiliki wa meri. + diff --git a/act/27/14.md b/act/27/14.md new file mode 100644 index 0000000..f5f7781 --- /dev/null +++ b/act/27/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baada ya kuanza kwa safari, upepo gani ulianza kupiga chini ya meli? + +Baada ya kuanza safari taratibu , upepo ulioitwa Kaskazi-mashariki ulianza kupiga chini ya meli. + diff --git a/act/27/19.md b/act/27/19.md new file mode 100644 index 0000000..667ab98 --- /dev/null +++ b/act/27/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baada ya siku nyingi, Tumaini lipi lilikuwa limetoweka kwa watumishi wa meli? + +Baada ya siku nyingi watumishi wa meli walikuwa wamepoteza tumaini la kuwa salama tema. + diff --git a/act/27/23.md b/act/27/23.md new file mode 100644 index 0000000..87add71 --- /dev/null +++ b/act/27/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni ujumbe gani Paulo alipewa na malaika juu ya watu waliokuwa wakidsafiri pamoja naye? + +Malaika alimwambia Paulo kwamba yeye na wote waliokuwa wakisafiri wangeweza kupona. + diff --git a/act/27/27.md b/act/27/27.md new file mode 100644 index 0000000..cfed89a --- /dev/null +++ b/act/27/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakati wa usiku wa manane katika usiku wa kumi na nne, mabaharia walifikiri nini kilichokuwa kinakwenda kutokea kwenye meli? + +Mabaharia waliwazo meli ilikuwa inakaribia sehemu ya nchi kavu. + diff --git a/act/27/30.md b/act/27/30.md new file mode 100644 index 0000000..89c3f2e --- /dev/null +++ b/act/27/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mabaharia walikuwa wakitafuta jinsi gani ya kufanya? + +Mabaharia walikawa wanatafuta njia kuiacha meli yao. + +# Paulo alimwambiaje Juluas na maaskari juu ya Mabaharia? + +Paulo aliwaambia Julius na maaskari kuwa mabaharia wasipobaki kwenye meli, wote Julius na maaskari hakuna ambaye angepona. + diff --git a/act/27/33.md b/act/27/33.md new file mode 100644 index 0000000..b596dcb --- /dev/null +++ b/act/27/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakati wa mchana ulikuwa anakuja juu, nini Paulo aliwahimiza kila mmoja cha kufanya? + +Paulo aliwahimiza wote wale chakula. + diff --git a/act/27/39.md b/act/27/39.md new file mode 100644 index 0000000..2721d1a --- /dev/null +++ b/act/27/39.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa vipi wafanyakazi waliamua kuiegesha meli pwani, na nini kilitokea? + +Wafanyakazi waliamua kuegesha meli pwani na kuipitisha moja kwa moja kuelekea pwani, lakini nanga ya meli ikawa imekwama ardhini na usukani ukavunjika . + diff --git a/act/27/42.md b/act/27/42.md new file mode 100644 index 0000000..6c26a87 --- /dev/null +++ b/act/27/42.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Askari walitaka kuwatendea nini wafungwa wakati huu? + +Askari walikuwa wanaenda kuwaua wafungwa ili hakuna hata mmoja ageweza kutoroka. + +# Kwanini askari wa kirumi aliuzuia mpango wa maaskari? + +Askari aliuzuia mpango wa askari kuwaua wafungwa kwasababu alitaka kumwokoa Paulo. + +# Namna gani watu melini waliweza kufika salama katka nchi kavu? + +Walioweza kuogelea waliruka kwanza na waliosalia walifuatia walitumia vipande vya mbao na wengine juu ya vitu vingine kutoka melini. + diff --git a/act/28/01.md b/act/28/01.md new file mode 100644 index 0000000..bfd3bc5 --- /dev/null +++ b/act/28/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wenyeji wa kisiwa cha Malta waliwahuhumiaje Paulo na watumishi wote wa meli? + +Watu wale waliwahudumia kwa ukarimu zaidi + diff --git a/act/28/03.md b/act/28/03.md new file mode 100644 index 0000000..c02c9f5 --- /dev/null +++ b/act/28/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Watuwalifikiri nini walipomwona nyoka amening'inia katika mkono wa Paulo? + +Watu walidhani alikuwa mwuuaji ambaye asingepaswa kuishi kwa haki. + diff --git a/act/28/05.md b/act/28/05.md new file mode 100644 index 0000000..b635fc1 --- /dev/null +++ b/act/28/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Watu walifikiri nini walipomwona Paulo akiendelea kuishi bila kufa baada ya kung'atwa na nyoka? + +Watu walidhani kuwa Paulo alikuwa miungu. + diff --git a/act/28/07.md b/act/28/07.md new file mode 100644 index 0000000..bbe93e2 --- /dev/null +++ b/act/28/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilitokea Baada ya Paulo kumponya baba yake na Pablio mkuu wa kisiwa kile? + +Baadhi ya watu wa kisiwa waliokuwa wagonjwa pia walikuja kwake na wakaponywa. + diff --git a/act/28/13.md b/act/28/13.md new file mode 100644 index 0000000..fe35da6 --- /dev/null +++ b/act/28/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alifanya nini alipowaona ndugu kutoka Rumi kukutana naye? + +Wakati alipowaona ndugu hao , Paulo alimshukuru Mungu na ujasiri ukaongezeka. + diff --git a/act/28/16.md b/act/28/16.md new file mode 100644 index 0000000..c246e75 --- /dev/null +++ b/act/28/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini ilikuwa mipango ya maisha ya Paulo katika Rumi kama mfungwa? + +Paulo aliruhusiwa kukaa peke yake pamoja na askari aliyekuwa mwenye kumlinda. + diff --git a/act/28/19.md b/act/28/19.md new file mode 100644 index 0000000..1c5e45b --- /dev/null +++ b/act/28/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwasababa ipi Paulo aliwaambia Wayahudi viongovi waliokuwa Rumi kuwa amekuwa katika vifungo? + +Paulo aliwaambia Wayahudi viongozi katika Rumi amekuwa kifungoni kwa tumaini la Israeli + diff --git a/act/28/21.md b/act/28/21.md new file mode 100644 index 0000000..9f79449 --- /dev/null +++ b/act/28/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wayahudi viongozi katika Rumi walijuaje ukristo ni dini? + +Wayahudi viongozi katika Rumi walijua ukristo ni dini kwa kuwa ilikuwa ikipingwa kila mahali. + diff --git a/act/28/23.md b/act/28/23.md new file mode 100644 index 0000000..f34e464 --- /dev/null +++ b/act/28/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wakati viongozi wa Kiyahudi alipokuja tena kwa Paul katika makao yake, ni nini Paulo alijaribu kufanya tangu asubuhi hata jioni? + +Paul alijaribu kuwashawishi kuhusu Yesu, kutoka katika sheria ya Musa na kutoka kwa manabii. + +# Mwitikio wa Wayahudi viongozi ulikuwaje katika hoja za Paulo? + +Baadhi ya Wayahudi viongozi walishawishika, wakati wengine hawakuamini. + diff --git a/act/28/25.md b/act/28/25.md new file mode 100644 index 0000000..51a8980 --- /dev/null +++ b/act/28/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini ambacho maandiko ya mwisho yalinukuliwa na Paulo akisema kuhusu viongozi wa Wayahudi ambao hawakuamini? + +Andiko la mwisho Paulo alinukuu aakisema kwamba wale ambao hawakuamini wasingeweza kufahamu walichokisikia wala kuona kwa macho yao. + diff --git a/act/28/28.md b/act/28/28.md new file mode 100644 index 0000000..d4061f7 --- /dev/null +++ b/act/28/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wapi ambapo Paulo alisema ujumbe wa Mungu wa wokovu aliokuwa ametumwa, na nini mwitikio wake? + +Paul alisema kuwa ujumbe wa Mungu wa wokovu ulikuwa umetumwa kwa watu wa mataifa na wangeweza kusikiliza. + diff --git a/act/28/30.md b/act/28/30.md new file mode 100644 index 0000000..a823b7c --- /dev/null +++ b/act/28/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo alifanya nini akiwa mfungwa huko Rumi? + +Paulo alitangaza ufalme wa Mungu na kufundisha habari za Yesu Kristo kwa ujasiri wote. + +# Nani aliyemzuia Paulo kuhubiri na kufundisha wakati akiwa mfungwa huko Rumi kwa miaka miwili? + +Hakuna yeyote aliyamzuia kuihubiri Injili. + diff --git a/col/01/01.md b/col/01/01.md new file mode 100644 index 0000000..edab564 --- /dev/null +++ b/col/01/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa namna gani Paulo alikuwa mtume wa Yesu Kristo? + +Paulo alikuwa mtume wa Yesu Kristo kwa mapenziyaMungu + +# Paulo aliandika hii barua kwa nani? + +Paulo aliwaandikia wale waliotengwa kwa ajili ya Mungu na ndugu waaminifu katika Kolosai. + diff --git a/col/01/04.md b/col/01/04.md new file mode 100644 index 0000000..a3c9618 --- /dev/null +++ b/col/01/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wakolosai walisikia kutoka wapi kuhusu taraja ambalo wanalo? + +Wakolosai walisikia kuhusu taraja lao la ujasiri katika neno la ujasiri, la injili. + +# Paulo anasema injili imekuwa ikifanya nini katika dunia? + +Paulo anasema injili imekuwa ikizaa tunda na kukua katika dunia yote. + diff --git a/col/01/07.md b/col/01/07.md new file mode 100644 index 0000000..1f2c0e4 --- /dev/null +++ b/col/01/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nani alifikisha injili kwa Wakolosai? + +Epafra, mtumishi mwaminifu wa Kristo, alifikisha injili kwa Wakolosai + diff --git a/col/01/09.md b/col/01/09.md new file mode 100644 index 0000000..a2be3ae --- /dev/null +++ b/col/01/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Pamoja na nini Paulo anaomba kwamba Wakolosai wajazwe? + +Paulo anaomba kwamba Wakolosai wawe wamejazwa na ujuzi wa Mapenzi ya Mungu katika hekima yote na ufahamu wa kiroho. + +# Paulo anaombea kwamba Wakolosai waenende vipi katika maisha yao? + +Paulo anasema kwamba Wakolosai waendelee kutembea kwa ustahivu wa Bwana, wakizaa tunda pamoja na matendo mazuri, kukua katika ujuzi wa Mungu. + diff --git a/col/01/11.md b/col/01/11.md new file mode 100644 index 0000000..554de4a --- /dev/null +++ b/col/01/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa namna gani wale waliotengwa kwa ajili ya Mungu wamestahilishwa? + +Wale waliotengwa na Mungu wamestahilishwa kwa kuwa na sehemu katika urithi wa nuru. + diff --git a/col/01/13.md b/col/01/13.md new file mode 100644 index 0000000..7438bad --- /dev/null +++ b/col/01/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kutoka wapi Baba amewaokoa wale ambao wametenga kwa ajili yake? + +Amewaokoa wao kutoka katika utawala wa giza na kuwahamisha kwa ufalme wa mwana wake. + +# Katika Kristo tunaukombozi, ambao ni wa nini? + +Katika Kristo tunao ukombozi, ambao ni msamaha wa dhambi. + diff --git a/col/01/15.md b/col/01/15.md new file mode 100644 index 0000000..062a3fc --- /dev/null +++ b/col/01/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mwana ni mfano wa nani? + +Mwana ni mfano waMungu asiyeonekana. + +# Nini kiliumbwa kupitia Yesu Kristo na kwa ajili yake? + +Vitu vyote viliumbwa kupitia Yesu Kristo na kwa ajili yake. + diff --git a/col/01/18.md b/col/01/18.md new file mode 100644 index 0000000..d1af9fb --- /dev/null +++ b/col/01/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa jinsi gani Mungu amevipatanisha vitu vyote kwake? + +Mungu alivipatanisha vitu vyote kwake wakati alipotengeneza amani kupitia damu ya mwanaye. + diff --git a/col/01/21.md b/col/01/21.md new file mode 100644 index 0000000..6f719a6 --- /dev/null +++ b/col/01/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Uhusiano gani Wakolosai walikuwa nao na Mungu kabla hawajaamini Injili? + +Kabla ya kuamini Injili, Wakolosai walikuwa wageni kwa Mungu na walikuwa maadui zake. + +# Ni kipi Wakolosai wanalazimika kukifanya? + +Wakolosai wanalazimika waendelee kuishi katika imani na ujasiri wa injili. + diff --git a/col/01/24.md b/col/01/24.md new file mode 100644 index 0000000..f6ea6cc --- /dev/null +++ b/col/01/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwa ajili ya nani Paulo anateseka, na nini nia yake? + +Paulo anateseka kwa ajili ya Kanisa, na anafurahia katika hilo. + +# Ni siri gani ilyokuwa imefichwa kwa miaka mingi lakini sasa imefunuliwa? + +Siri iliyokuwa imefichwa kwa miaka mingi lakini sasa imefunuliwa ni Krsito ndani yenu, ujasiri wa heshima + diff --git a/col/01/28.md b/col/01/28.md new file mode 100644 index 0000000..24df75e --- /dev/null +++ b/col/01/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nini lengo la Paulo katika maonyo na mafundisho? + +Lengo la Paulo ni kuwafikisha kila mmoja mkamilifu katka Kristo. + diff --git a/col/02/01.md b/col/02/01.md new file mode 100644 index 0000000..9abb0e7 --- /dev/null +++ b/col/02/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Siri ya Mungu ni nini? + +Siri ya Mungu ni Kristo. + +# Nini kimefichwa katika Kristo? + +Yote yamefichwa hazina ya hekima na ufahamu yamefichwa katika Kristo. + diff --git a/col/02/04.md b/col/02/04.md new file mode 100644 index 0000000..85d58c6 --- /dev/null +++ b/col/02/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni jambo gani ambalo Paulo anahofu kuwa laweza kutokea kwa Wakolosai? + +Paulo anahofu kuwa Wakolosai wanaweza kuharibiwa na hotuba zenye mvuto. + diff --git a/col/02/06.md b/col/02/06.md new file mode 100644 index 0000000..a942215 --- /dev/null +++ b/col/02/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni jambo gani ambalo Paulo anawataka Wakolosai wafanye kwa kuwa wamempokea Kristo? + +Paulo anawataka Wakolosai watembee ndani ya Kristo Yesu kama ambavyo wamempokea. + diff --git a/col/02/08.md b/col/02/08.md new file mode 100644 index 0000000..350c125 --- /dev/null +++ b/col/02/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni katika mambo yapi ambapo Paulo anasema kuna maneno matupu ya udanganyifu? + +Maneno matupu ya udanganyifu yapo katika tamaduni za watu na katika mifumo ya dhambi ya ulimwengu. + +# Nini kinaishi katika Kristo? + +ukamilifu wote wa asili ya Mungu unaishi katika Kristo. + diff --git a/col/02/10.md b/col/02/10.md new file mode 100644 index 0000000..36aae2c --- /dev/null +++ b/col/02/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nani ni kichwa cha utawala wote na mamlaka? + +Kichwa cha utawala wote na mamlaka ni Kristo. + +# Nini kimetolewa kupitia tohara ya Kristo? + +Dhambi ya mwili wa nyama imetolewa kupitia tohara ya Kristo. + +# Nini kinatokea katika ubatizo? + +Mtu huzikwa pamoja na Kristo katika ubatizo. + diff --git a/col/02/13.md b/col/02/13.md new file mode 100644 index 0000000..62766f4 --- /dev/null +++ b/col/02/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hali ya mtu ikoje kabla Kristo hajamfanya kuwa hai? + +Mtu anakuwa amekufa katika dhambi zake kabla Kristo hajamfanya kuwa hai. + +# Nini Kristo alifanya juu ya kumbukumba ya madeni tulikuwa tunadaiwa? + +Kristo alitoa kumbukumbu ya madeni na kuyagongomea msalabani. + +# Kristoalifanya nini juu ya nguvu na mamlaka? + +Kristo alitoa nguvu na mamlaka, kwa uwazi kuwaonyesha, na kuwaongoza katika ushindi wa kumiliki. + diff --git a/col/02/16.md b/col/02/16.md new file mode 100644 index 0000000..07ce97e --- /dev/null +++ b/col/02/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kitu gani Paulo anasema ni ni kivuli cha mambo yajayo? + +Paulo anasema chakula, kinywaji, siku ya sikukuu, na Sabato ni kivuli cha mambo yajayo. + +# Ni katika uhalisia gani unafanya kiini cha kivuli? + +Kiini cha kivuli ni kwa uhalisia wa Kristo. + diff --git a/col/02/18.md b/col/02/18.md new file mode 100644 index 0000000..cc2cdbf --- /dev/null +++ b/col/02/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni jinsi gani mwili wote ulisambaa na kuponya wote? + +Mwili wote ulisambaa na kuponya wote kwa kichwa, Krsito. + diff --git a/col/02/20.md b/col/02/20.md new file mode 100644 index 0000000..86dbe60 --- /dev/null +++ b/col/02/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni aina gani za amri ambazo Paulo anasema ni sehemu ya imani za kidunia? + +Amri za kutoshika, kuonja, na kutokugusa ni sehemu ya imani za kidunia. + +# Ni sheria zipi zilizotengenezwa za kinyume na dini ziwe hazina thamani? + +Sheria zilizotengenezwa kidini hazina thamani kinyume kuendeleza mateso ya mwili. + diff --git a/col/03/01.md b/col/03/01.md new file mode 100644 index 0000000..0a69d98 --- /dev/null +++ b/col/03/01.md @@ -0,0 +1,17 @@ +# Kristo amefufuka wapi? + +Krisro amefufuka kukaa katika mkono wa kuume wa Mungu + +# Ni kipi waumini wanapaswa kukitafuta na kipi hawapaswi kukitafuta? + +Waumini wanapaswa kutafuta mambo yaliyo juu, +na sio mambo ya duniani. + +# Ni wapi Mungu ameweka maisha ya waamini? + +Mungu ameficha maisha ya waamini katika Kristo. + +# Nini kitatokea kwa muumini wakati Kristo atakapoonekana? + +Wakati Kristo atakapoonekana, waamini wataonekana pamoja naye katika utukufu. + diff --git a/col/03/05.md b/col/03/05.md new file mode 100644 index 0000000..5323ecc --- /dev/null +++ b/col/03/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni kitu gani waumini wanatakiwa kufisha? + +Waumini wanatakiwa kufisha hamu ya dhambi ya ulimwengu. + +# Nini kitatokea kwa wale ambao hawamtii Mungu? + +Hasira ya Mungu itakuwa juu yao wale ambao hawamtii Mungu. + +# Ni vitu gani ambavyo Paulo anasema kwa waamini wayaondoe, ni sehemu ya utu wa zamani? + +Waamini lazima waondokane na ghadhabu, hasira, nia mbaya, matusi, na maneno machafu. + diff --git a/col/03/09.md b/col/03/09.md new file mode 100644 index 0000000..69fe110 --- /dev/null +++ b/col/03/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni mambo gani ambayo Paulo anasema waumini lazima wayaondoe, ambayo ni sehemu ya utu wa kale? + +Waumini lazima waondoe gadhabu, hasira, nia mbaya, matusi, lugha chafu, na udanganyifu. + diff --git a/col/03/12.md b/col/03/12.md new file mode 100644 index 0000000..e0041f9 --- /dev/null +++ b/col/03/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni baadhi mabo gani ambayo Paulo anasema waumini lazima wayavae, ambayo ni sehemu ya utu mpya? + +Waumini lazima wavae moyo wa huruma, ukarimu, unyenyekevu, upole, na uvumilivu. + +# Ni kwa njia gani mwamini anaweza kusamehe? + +Mwamini anawezakusamehe katika njia ile ile ambayo Mungu amemsamehe. + +# Kigezo cha ukamilifu miongoni mwa Mkristo ni kipi? + +Upendo ni kigezo cha ukamilifu. + diff --git a/col/03/15.md b/col/03/15.md new file mode 100644 index 0000000..ae4380d --- /dev/null +++ b/col/03/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kipi kinapaswa kutawala katika moyo wa muumini? + +Amani ya Kristo lazima itawale katika moyo wa muumini. + +# Ni nini anachopaswa muumini kutoa kwa Mungu katika mtazamo wake, nyimbo, neno, na matendo? + +Katika mtazamo wake, nyimbo, neno, na matendo muumini lazima ampe Mungu shukurani. + +# Ni kipi kinatakiwa kukaa kwa mwamini kwa utajiri? + +Neno la Kristo likae kwa mwamini kwa utajiri. + diff --git a/col/03/18.md b/col/03/18.md new file mode 100644 index 0000000..d31bc30 --- /dev/null +++ b/col/03/18.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ni jinsi gani mke amjibu mme wake? + +Mke lazima anyenyekee kwa mme wake. + +# Ni jinsi gani mume anatakiwa kumtenda mke wake? + +Mume anatakiwa ampende mke wake na sio kuwa wakali kwake. + +# Ni jinsi gani mtoto anatakiwa kutenda kwa wazazi wake? + +Mtoto anatakiwa awatii wazazi wake katika yote. + +# Ni kipi ambacho baba hatakiwi kufanya kwa watoto? + +Baba hatakiwi kuwachokoza watoto wao. + diff --git a/col/03/22.md b/col/03/22.md new file mode 100644 index 0000000..924b6f5 --- /dev/null +++ b/col/03/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Waamini wafanye kazi kwa nani kwa kila wafanyacho? + +Waamini wafanye kazi kwa Bwana katika kila jambo wafanyalo. + +# Watapokea nini wale ambao wanamtumikia Mungu katika chochote wafanyacho? + +Wale ambao wanaomtumikia Mungu kwa vyovyote watapokea zawadi ya kurithi. + +# Watapokea nini wale ambao watendao yasiyo haki? + +Wale ambao watendao yasiyo haki watapokea hukumu kwa yale waliyoyafanya. + diff --git a/col/04/01.md b/col/04/01.md new file mode 100644 index 0000000..c6a2d21 --- /dev/null +++ b/col/04/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anawakumbusha nini mabwana wa duniani kwamba pia wanaye? + +Paulo anawakumbusha mabwana wa duniani kwamba wana Bwana pia mbinguni. + diff --git a/col/04/02.md b/col/04/02.md new file mode 100644 index 0000000..e707d6d --- /dev/null +++ b/col/04/02.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo anataka Wakolosai waendelee kuwa na subira katika nini? + +Paulo alitaka Wakolosai waendelee kuwa na subira katika maombi. + +# Paulo aliwataka wakolosai waombee nini? + +Paulo aliwataka wakolosai waombe kwamba apate na mlango wa kuongea neno, siri ya Kristo. + diff --git a/col/04/05.md b/col/04/05.md new file mode 100644 index 0000000..b7cd051 --- /dev/null +++ b/col/04/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jinsi gani Paulo anawaelekeza Wakolosai waweje kati yao walio nje? + +Paulo anawaelekeza wao waishi kwa hekima, na neema katika maneno kwa hao walio nje. + diff --git a/col/04/07.md b/col/04/07.md new file mode 100644 index 0000000..5a8e542 --- /dev/null +++ b/col/04/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kazi gani ngumu Paulo aliwapa Tikiko na Onesmo? + +Paulo aliwapa kazi ya kuamua kila jambo linalomhusu yeye kwa Wakolosai. + diff --git a/col/04/10.md b/col/04/10.md new file mode 100644 index 0000000..646ff8f --- /dev/null +++ b/col/04/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni maelekezo gani aliyotoa Paulo kuhusu Marko, binamu yake Barnaba? + +Paulo aliwaambia Wakolosai wampokee Marko atakapofika kwao. + diff --git a/col/04/12.md b/col/04/12.md new file mode 100644 index 0000000..eb14151 --- /dev/null +++ b/col/04/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Epafra aliwaombea nini Wakolosai? + +Aliomba kwamba Wakolosai wasimame kikamilifu na uhakika katika mapenzi yote ya Mungu. + +# Jina la tabibu aliyekuwa na Paulo lilikuwa nani? + +Jina la tabibu ni Luka. + diff --git a/col/04/15.md b/col/04/15.md new file mode 100644 index 0000000..f6a37cd --- /dev/null +++ b/col/04/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni sehemu gani tofauti waliokutania kanisa la Laodekia? + +Kanisa la Laodekia walikuwa wakikutana ndani ya nyumba. + +# Ni kwa kanisa gani Paulo aliandika barua? + +Paulo aliandika pia barua kwa kanisa la Leodekia. + diff --git a/col/04/18.md b/col/04/18.md new file mode 100644 index 0000000..ad405ca --- /dev/null +++ b/col/04/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alionyeshaje kama hii barua ilikuwa yake? + +Paulo aliandika jina lake kwa mkono wake mwenyewe mwishoni mwa barua. + diff --git a/eph/01/01.md b/eph/01/01.md new file mode 100644 index 0000000..7665580 --- /dev/null +++ b/eph/01/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Vipi Paulo anaeleza watu anaandika huu waraka? + +Paulo anaeleza watu anaandika huu waraka kwa waliotengwa na Mungu, na kama waaminifu wanaoaminiwa katika Kristo Yesu. + diff --git a/eph/01/03.md b/eph/01/03.md new file mode 100644 index 0000000..4483229 --- /dev/null +++ b/eph/01/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa vipi Mungu Baba amewabariki waamini? + +Mungu Baba amewabariki waamini kwa kila baraka za rohoni katika maeneo ya mbinguni katika Kristo + +# Lini Mungu baba aliwachagua wale wanao mwamini Kristo? + +Mungu Baba aliwachagua wale wa mwaminio Kristo kabla ya kuumbwa ulimwengu. + +# Kwa kuhusudi lipi Mungu aliwachagua waamini? + +Mungu Baba aliwachagua waamini ili wawe watakatifu na pasipo lawama machoni pake. + diff --git a/eph/01/05.md b/eph/01/05.md new file mode 100644 index 0000000..b4dd51b --- /dev/null +++ b/eph/01/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Mungu huwatangazia waamini ya mbeleni kabla ya kuwarithi? + +Mungu aliwatangazia waamini ya mbeleni kabla ya kuwarithi kwa sababu alifurahishwa kufanya hivyo, na kwamba angetukuzwa na utukufu wa neema yake. + diff --git a/eph/01/07.md b/eph/01/07.md new file mode 100644 index 0000000..4004e36 --- /dev/null +++ b/eph/01/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nini waamini wanapokea kupitia damu ya Kristo,Upendo wa Mungu wa pekee? + +Waamini hupokea ukombozi kupitia damu ya Kristo kwa kusamehewa dhambi. + diff --git a/eph/01/09.md b/eph/01/09.md new file mode 100644 index 0000000..70ec642 --- /dev/null +++ b/eph/01/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini ambacho Mungu ata fanya wakati wa utimilifu wa mpango wake utakapo fika? + +Mungu ata leta pamoja kila kitu mbinguni na duniani chini ya Kristo. + diff --git a/eph/01/13.md b/eph/01/13.md new file mode 100644 index 0000000..d124504 --- /dev/null +++ b/eph/01/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni mhuri wa namna gani waamini walipokea wakati waliposikia neno la kweli? + +Waamini walipokea mhuri wa Roho Mtakatifu walioahidiwa. + +# Roho ni dhamana wa nini? + +Roho ni dhamana wa urithi wa waamini + diff --git a/eph/01/17.md b/eph/01/17.md new file mode 100644 index 0000000..a2d6d99 --- /dev/null +++ b/eph/01/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kipi Paulo anacho ombea waEfeso watiwe nuru kuelewa? + +Paulo anaomba waEfeso watiwe nuru kuelewa ujasiri wa wito wao. + diff --git a/eph/01/19.md b/eph/01/19.md new file mode 100644 index 0000000..40d28c9 --- /dev/null +++ b/eph/01/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa Vipi Paulo anawaombea Waefeso kutiwa nuru na ufahamu? + +Paulo anawaombea kwamba Waefeso watatiwa nuru na ufahamu wa ujasiri wa mwito wao,utajiri wa utukufu wa urithi wao,na ukuu wa nguvu ya Mungu ndani yao + diff --git a/eph/01/22.md b/eph/01/22.md new file mode 100644 index 0000000..f9d6cee --- /dev/null +++ b/eph/01/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni nini Mungu aliweka chini ya miguu Kristo? + +Mungu aliweka vitu vyote chini ya Miguu ya Kristo + +# Ni nafasi ipi ya mamlaka aliyo nayo Kristo ndani ya kanisa? + +Kristo ni kichwa juu ya vitu vyote ndani ya kanisa. + +# Kanisa ni nini? + +Kanisa ni mwili wa Kristo. + diff --git a/eph/02/01.md b/eph/02/01.md new file mode 100644 index 0000000..6f375e4 --- /dev/null +++ b/eph/02/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hali za kiroho za wote wasioamini zikoje? + +Wote wasioamini ni wafu katika makosa na dhambi zao. + +# Nani anafanya kazi ndani ya wana wa kuasi? + +Roho ya wa kuu waanga ina fanya kazi ndani ya wana wa kuasi. + +# kwa asili, wasio waamini ni nani? + +Wasio amini ni wana wa gadhabu. + diff --git a/eph/02/04.md b/eph/02/04.md new file mode 100644 index 0000000..bac1a3f --- /dev/null +++ b/eph/02/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kwanini Mungu aliwaleta baadhi ya watu wasioamini katika maisha mapya ndani ya Kristo? + +Mungu aliwaleta baadhi ya watu wasioamini katika maisha mapya ndani ya Kristo kwa sababu ya rehema zake nyingi na pendo lake kubwa. + +# Kwa nini Mungu aliwaleta wasio amini katika maisha mapya na Kristo + +Mungu aliwaleta wasio amini katika maisha mapya na Kristo sababu ya ukuu wa rehema zake na upendo wake mkubwa + +# waamini wameokolewa na nini? + +waamini wameokolewa kwa neema ya Mungu. + +# waamini wameketishwa wapi? + +waamini wameketishwa katika sehemu za mbingu na Kristo Yesu + +# Kwa kusudi lipi Mungu amewaokoa na kuwa kuza waamini? + +Mungu amewaokoa waamini na kuwa kuza ili katika miaka ijayo awaonyeshe ukuu wa utajiri wa neema yake. + diff --git a/eph/02/08.md b/eph/02/08.md new file mode 100644 index 0000000..d8f0c8e --- /dev/null +++ b/eph/02/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni katika kipi hakuna muumini anayejisifu na ni kwa nini? + +Hakuna muumini anayejisifia kazi zake, kwa sababu ameokolewa kwa neema ambayo ni zawadi ya Mungu. + +# Kwa kusudi lipi ambalo Mungu amewa umba waamini ndani ya Kristo Yesu? + +Kusudi la Mungu ni waamini ndani ya Kristo Yesu watembee katika kutenda mema. + diff --git a/eph/02/11.md b/eph/02/11.md new file mode 100644 index 0000000..72afdbf --- /dev/null +++ b/eph/02/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni hali gani ya kiroho kwa wamataifa wasio amini ? + +Wamataifa wasio amini wametengwa na Kristo na Israeli, wageni wa agano, bila matumaini na bila Mungu. + diff --git a/eph/02/13.md b/eph/02/13.md new file mode 100644 index 0000000..fef34f8 --- /dev/null +++ b/eph/02/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni nini kilichowaleta baadhi ya watu wa mataifa wasioamini karibu na Mungu? + +Baadhi ya watu wa mataifa wasioamini wameletwa karibu na Mungu kwa damu ya Kristo. + +# Jinsi gani Kristo aliyobadili uhusiano kati ya mataifa na waYaudi? + +Kwa mwili wake, Kristo amewafanya mataifa na waYaudi watu wamoja, akiharibu upinzani uliyo watenganisha. + +# Kristo aliondoa ni ilikuweza kufanya amani kati ya waYaudi na wamataifa? + +Kristo aliondoa sheria ya amri na masharti ilikufanya amani kati ya waYaudi na mataifa. + diff --git a/eph/02/17.md b/eph/02/17.md new file mode 100644 index 0000000..534739e --- /dev/null +++ b/eph/02/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa njia gani waamini wote wanaweza kuwasiliana na Baba? + +Waamini wote wanawasiliana na Baba kwa Roho Mtakatifu. + diff --git a/eph/02/19.md b/eph/02/19.md new file mode 100644 index 0000000..336d40a --- /dev/null +++ b/eph/02/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Katika msingi upi familia ya Mungu imejengwa? + +Familia ya Mungu imejengwa katika msingi wa mitume na manabii, Kristo Yesu akiwa kiwe kuu la pembeni. + +# Nguvu ya Yesu inafanyaje na kujengwa kwa familia Yake? + +Nguvu ya Yesu ya tosha na ya ongeza kujengwa kwa familia yake. + +# Kujengwa kwa familia ya Mungu ni namna gani ya ujenzi? + +Kujengwa kwa familia ya Mungu ni hekalu lilo tengwa kwa ajili ya Bwana. + +# Mungu anaishi wapi katika roho? + +Mungu anakaa katika roho ndani ya mwamini. + diff --git a/eph/03/01.md b/eph/03/01.md new file mode 100644 index 0000000..f20450e --- /dev/null +++ b/eph/03/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa faida ya nani Mungu kumpatia Paulo karama yake? + +Mungu alimpatia Paulo karama yake kwa faida ya mataifa. + diff --git a/eph/03/03.md b/eph/03/03.md new file mode 100644 index 0000000..3f58c22 --- /dev/null +++ b/eph/03/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kitu gani ambacho wanadamu wa vizazi vilivyo pita hawakufunuliwa? + +Ukweli uliyo fichwa wa Yesu hauku funuliwa kwa vizazi vilivyo pita + +# Mungu alifunua kwa nani kile ambacho kilifichwa kwa vizazi vilivyo pita? + +Mungu alifunua ukweli uliofichwa kwa mitume wake na manabii. + diff --git a/eph/03/06.md b/eph/03/06.md new file mode 100644 index 0000000..4fddb0d --- /dev/null +++ b/eph/03/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ukweli upi uliofununliwa? + +Ukweli uliofunuliwa ni kwamba mataifa ni warithi pamoja na waumini wa mwili, na washiriki katika ahadi ya Kristo Yesu + +# Paulo alipewa karama gani? + +Karama ya neema ya Mungu alipewa Paulo. + diff --git a/eph/03/08.md b/eph/03/08.md new file mode 100644 index 0000000..908b374 --- /dev/null +++ b/eph/03/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alitumwa kuwasaidia nini mataifa? + +Paulo alitumwa kuwasaidia mataifa kuelewa mpango wa Mungu. + diff --git a/eph/03/10.md b/eph/03/10.md new file mode 100644 index 0000000..45607e8 --- /dev/null +++ b/eph/03/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kupitia nini hekima isioelezeka ya Mungu itadhihirishwa? + +Kupitia kanisa hekima isioelezeka ya Mungu itadhirishwa. + diff --git a/eph/03/12.md b/eph/03/12.md new file mode 100644 index 0000000..318b480 --- /dev/null +++ b/eph/03/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anasema waamini wana nini sababu ya imani kwa Yesu? + +Paulo anasema waamini wana njia ya wazi na wana ujasiri sababu ya imani kwa Kristo. + diff --git a/eph/03/14.md b/eph/03/14.md new file mode 100644 index 0000000..46167d4 --- /dev/null +++ b/eph/03/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini kimetajwa na kuumbwa na Baba? + +Kila familia mbinguni na duniani imetajwa na kuumbwa kwa ajili ya Baba. + +# Paulo anaombaje waamini wa imarishwe? + +Paulo anaomba waamini wa imarishwe kupitia Roho wa Mungu. + diff --git a/eph/03/17.md b/eph/03/17.md new file mode 100644 index 0000000..fb9bf5e --- /dev/null +++ b/eph/03/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anaomba waamini waweze kuelewa nini? + +Pualo anaomba waamini waweze kuelewa jinsi upana na urefu na ukubwa na undani wa upendo wa Kristo + diff --git a/eph/03/20.md b/eph/03/20.md new file mode 100644 index 0000000..72756d6 --- /dev/null +++ b/eph/03/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anaomba Baba apewe nini kwa vizazi vyote? + +Paulo anaomba utukufu wa kanisa na wa Krsito Yesu utapewa Baba kwa vizazi vyote. + diff --git a/eph/04/01.md b/eph/04/01.md new file mode 100644 index 0000000..6509924 --- /dev/null +++ b/eph/04/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anawasihi vipi waamini kuishi? + +Paulo anawasihi waaminini kuishi kwa unyenyekevu, upole, na uvumilivu, wakichukuliana katika upendo. + diff --git a/eph/04/04.md b/eph/04/04.md new file mode 100644 index 0000000..7f1b060 --- /dev/null +++ b/eph/04/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anataja nini katika orodha ya vitu vyake ambayo ina moja tu? + +Paulo anasema kuna mwili mmoja, Roho, uhakika wa taraja, Bwana, imani, ubatizo, na Mungu Baba. + diff --git a/eph/04/07.md b/eph/04/07.md new file mode 100644 index 0000000..3037b46 --- /dev/null +++ b/eph/04/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kristo aliwapa nini kwa kila muamini alipopaa? + +Kristo aliwapa kila muamini karama kwa kadiri ya kipimo cha karama ya Kristo. + diff --git a/eph/04/11.md b/eph/04/11.md new file mode 100644 index 0000000..ac8aa6e --- /dev/null +++ b/eph/04/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Karama zipi tano za Kristo kwa mwili ambazo Paulo anataja? + +Kristo alitoa kwa mwili karama za mitume, manabii, wainjilisti, wachungaji, na waalimu. + +# Hizi karama tano zina kusudi gani? + +Karama tano za paswa kuwa andaa waamini kwa ajili ya kazi ya huduma, kujenga mwili. + diff --git a/eph/04/14.md b/eph/04/14.md new file mode 100644 index 0000000..95959cb --- /dev/null +++ b/eph/04/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo anaelezeaje kuwa waamini wanaweza kuwa kama watoto? + +Waamini wanaweza kuwa kama watoto kwa kurushwarushwa na kuchukuliwa kwa hila za watu katika ujanja wa udanganyifu. + +# Paulo anaelezeaje mwili ulivyo undwa? + +Mwili wa waamini umeunganishwa, kwa pamoja, ili kwamba mwili wote ukue na kujijenga wenyewe katika upendo. + diff --git a/eph/04/17.md b/eph/04/17.md new file mode 100644 index 0000000..55dc681 --- /dev/null +++ b/eph/04/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anasema mataifa wanatembeaje? + +Mataifa wametiwa giza mawazo yao, wametengwa na Mungu, na kukabidhiwa katika matendo machafu. + diff --git a/eph/04/23.md b/eph/04/23.md new file mode 100644 index 0000000..9febf54 --- /dev/null +++ b/eph/04/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anasema waamini wavae nini na wavue nini? + +Waamini lazima wavue utu wa kale, na wavae utu upya. + diff --git a/eph/04/25.md b/eph/04/25.md new file mode 100644 index 0000000..0c856ff --- /dev/null +++ b/eph/04/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mwamini anawezaje kumpa shetani nafasi? + +Mwamini anaweza kumpa shetani nafasi kwa kuruhusu jua lizame katika hasira yake. + diff --git a/eph/04/28.md b/eph/04/28.md new file mode 100644 index 0000000..8470c0c --- /dev/null +++ b/eph/04/28.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Waamini wanaweza kufanya nini badala ya kuiba? + +Waamini lazima wafanye kazi iliwaweze kushiriki pamoja na mwenye hitaji. + +# Kauli gani Paulo anasema itoke vinywani mwawaamini? + +Kauli mbaya haipaswi kutoka kinywani mwamini, bali maneno yenye kujenga wengine. + +# Mwamini hapaswi kumuhuzunisha nani? + +Mwamini hapaswi kumuhuzunisha Roho Mtakatifu. + diff --git a/eph/04/31.md b/eph/04/31.md new file mode 100644 index 0000000..92611c1 --- /dev/null +++ b/eph/04/31.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mwamini anapaswa kufanya nini sababu Mungu kupitia Kristo kamsamehe? + +Mwamini lazima awasemehe wengine sababu Mungu kupitia Kristo kamsamehe. + diff --git a/eph/05/01.md b/eph/05/01.md new file mode 100644 index 0000000..029d532 --- /dev/null +++ b/eph/05/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Waaminio wanapaswa kumuiga nani? + +Waaminio wanapaswa kumuiga Mungu Baba kama watoto wake + diff --git a/eph/05/03.md b/eph/05/03.md new file mode 100644 index 0000000..9a0e0e2 --- /dev/null +++ b/eph/05/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini ambacho lazima kisishuriwe kati ya waumini? + +madili maovu kingono, uchafu, ulafi lazima usitajwe kati ya waumini. + +# Tabia gani ni ya kuonekana kwa waamini? + +Waamini ni wakuonyesha tabia ya shukurani. + diff --git a/eph/05/05.md b/eph/05/05.md new file mode 100644 index 0000000..fd0a7df --- /dev/null +++ b/eph/05/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nani asiye na urithi katika ufalme wa Kristo na Mungu? + +Asiye na maadili katika tendo la ndoa, mchafu, na mlafi hana urithi katika ufalme wa Kristo na Mungu. + +# Nini kinakuja kwa wana wa kuasi? + +Hasira ya Mungu ya juu ya wana wa kuasi. + diff --git a/eph/05/08.md b/eph/05/08.md new file mode 100644 index 0000000..e5bc20c --- /dev/null +++ b/eph/05/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# tunda gani la nuru la mpendeza Bwana? + +Tunda la utu wema, haki, na kweli ya mpendeza Bwana. + +# Waamini watakiwa ku ya fanya nini matendo ya giza? + +Waamini hawapaswi kushiriki, bali ku ya weka wazi. + diff --git a/eph/05/13.md b/eph/05/13.md new file mode 100644 index 0000000..760921f --- /dev/null +++ b/eph/05/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilichofunuliwa na nuru? + +Kila kitu kimefunuliwa na nuru. + diff --git a/eph/05/15.md b/eph/05/15.md new file mode 100644 index 0000000..e0f4044 --- /dev/null +++ b/eph/05/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Waamini wafanye nini kwa kuwa siku ni za uovu? + +Waamini waokoe muda kwa kuwa siku ni za uovu. + diff --git a/eph/05/18.md b/eph/05/18.md new file mode 100644 index 0000000..6361e29 --- /dev/null +++ b/eph/05/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini kinachopeleka kwenye uharibifu? + +Kulewa kwa mvinyo kinapeleka kwenye uangamivu. + +# Kwa kipi waamini wazungume pamoja? + +Waamini wazungumze kwa zaburi, sifa, na nyimbo za rohoni + diff --git a/eph/05/22.md b/eph/05/22.md new file mode 100644 index 0000000..fecb848 --- /dev/null +++ b/eph/05/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Katika njia ipi wake wanapaswa kuwa watii kwa waume zao? + +Wake wanapaswa kuwa watii kwa waume zao kama kwa Bwana. + +# Mume ni kichwa cha nani, na Kristo ni kichwa cha nani? + +Mume ni kichwa cha mke, na Kristo ni kichwa cha kanisa. + diff --git a/eph/05/25.md b/eph/05/25.md new file mode 100644 index 0000000..3385899 --- /dev/null +++ b/eph/05/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kristo analifanyaje kanisa kuwa takatifu? + +Kristo analifanya kanisa kuwa takatifu kwa kuoshwa kwa maji katika neno. + diff --git a/eph/05/28.md b/eph/05/28.md new file mode 100644 index 0000000..b3bca6d --- /dev/null +++ b/eph/05/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Namna gani waume wapende wake zao? + +Waume wanapaswa kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. + +# Mtu anatendeaje mwili wake? + +Mtu anautunza na kuupenda mwili wake. + diff --git a/eph/05/31.md b/eph/05/31.md new file mode 100644 index 0000000..f785bc9 --- /dev/null +++ b/eph/05/31.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini kinatokea mwanaume anaungana kwa mke wake? + +Mwanaume anapoungana na mke wake wanakuwa mwili mmoja. + +# Ukweli upi uliyo sitirika waonyeshwa kwa kuungana kwa mwanaume na mke wake? + +Ukweli uliyo sitirika kuhusu Kristo na Kanisa lake waonyeshwa kwa kuungana kwa mwanamume na mke wake. + diff --git a/eph/06/01.md b/eph/06/01.md new file mode 100644 index 0000000..225fcfb --- /dev/null +++ b/eph/06/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Namna gani watoto wakristo wawatii wazazi wao? + +Watoto wakristo wanapaswa kutii na kuwaheshimu wazazi wao. + diff --git a/eph/06/04.md b/eph/06/04.md new file mode 100644 index 0000000..a9ec661 --- /dev/null +++ b/eph/06/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini wafanye wababa wakristo kwa ajili ya watoto wao? + +Wabab wakristo wanapaswa kuwalea watoto wao katika maonyo na maagizo ya Bwana. + diff --git a/eph/06/05.md b/eph/06/05.md new file mode 100644 index 0000000..3b704ac --- /dev/null +++ b/eph/06/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa Tabia zipi watumwa wakristo wanapaswa kuwatii mabwana zao? + +Watumwa wakristo wanapaswa kuwatii mabwana zao kwa heshima na kwa miyo yao, na kuwahudumia kwa furaha kama kwa ajili ya Bwana. + +# Mwamini akumbuke nini kuhusu jema aliloli tenda? + +Mwamini amini kuwa jema lolote alitendalo ataokea kutoka kwa Bwana thawabu. + diff --git a/eph/06/09.md b/eph/06/09.md new file mode 100644 index 0000000..2b80ad9 --- /dev/null +++ b/eph/06/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini bwana mkubwa ambaye ni mkristo anapaswa kukumbuka kuhusu ubosi wake? + +Bosi ambaye ni Mristo anapaswa kukumbuka kuwa yeye na mtumishi wa bwana wake yuko Mbinguni, na hakuna huruma kwake. + diff --git a/eph/06/10.md b/eph/06/10.md new file mode 100644 index 0000000..af7c6ae --- /dev/null +++ b/eph/06/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini mwamini avae silaha zote za Mungu? + +Mwamini lazima avae silaha zote za Mungu ili kukabiliana na hila za shetani. + diff --git a/eph/06/12.md b/eph/06/12.md new file mode 100644 index 0000000..3df8cbe --- /dev/null +++ b/eph/06/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Vita ya mkristo ni dhidi ya nani? + +Vita vya mkiristo ni dhidi ya falme na mamlaka ya roho na watawala katika ulimwengu wa giza. + diff --git a/eph/06/14.md b/eph/06/14.md new file mode 100644 index 0000000..b9543ef --- /dev/null +++ b/eph/06/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini Mkristo lazima avae silaha zote za Mungu? + +Mkristo lazima avae silaha zote za Mungu ili kusimama kinyume na mipango miouvo ya mwovu. + +# ni vitu gani zilizounganishwa katika silaha za Mungu? + +Silaha za Mungu ni pamoja na mshipi wa kweli, drii ya haki kifuani, Viatu tayari kwa kutangaza Injili, ngao ya Imani, kofia ya wokovu, na upanga wa Roho. + diff --git a/eph/06/17.md b/eph/06/17.md new file mode 100644 index 0000000..a7243b8 --- /dev/null +++ b/eph/06/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Upanga wa Roho ni nini? + +Upanga wa Roho ni neno la Mungu. + +# Ni vitu gani vilivyounganishwa katika silaha za Mungu? + +Silaha za Mungu ni pamoja na mshipi wa kweli, drii ya haki kifuani, viatu tayari kwa kutangaza injili, ngao ya Imani, kofia ya wokovu, na upanga wa Roho. + diff --git a/eph/06/19.md b/eph/06/19.md new file mode 100644 index 0000000..1a3a9be --- /dev/null +++ b/eph/06/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo alikuwa alitaka kupata nini kupitia maombi ya waefeso? + +Paulo alitaka kuwa na neno alilopewa kwa ujasiri wakati anahubiri njili. + +# Paulo yako wapi akiandika hii barua? + +Paulo yupo gerezani akiandika hii barua. + diff --git a/eph/06/23.md b/eph/06/23.md new file mode 100644 index 0000000..3f1ce9e --- /dev/null +++ b/eph/06/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mambo gani matatu Paulo anaomba Mungu Baba na Bwana Yesu Kristo awape waamini? + +Paulo anaomba Mungu awape amani, upendo, na imani, na neema kwa waamini. + diff --git a/gal/01/01.md b/gal/01/01.md new file mode 100644 index 0000000..1c556c7 --- /dev/null +++ b/gal/01/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa jinsi gani Paulo alikuwa ni mtume? + +Paulo alikuwa mtume kupitia kwa Yesu Kristo na Mungu baba. + diff --git a/gal/01/03.md b/gal/01/03.md new file mode 100644 index 0000000..87307f3 --- /dev/null +++ b/gal/01/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Waumini ndani ya Yesu Kristo wameololewa kutoka wapi? + +Waumini ndani ya Yesu Kristo wameokolea kutoka katika nyakati hizi za uovu + diff --git a/gal/01/06.md b/gal/01/06.md new file mode 100644 index 0000000..6c82b58 --- /dev/null +++ b/gal/01/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo anashangazwa na jambo gani katika kanisa la Galatia? + +Paulo anashangazwa na jinsi watu walivyogeukia haraka injili nyingine + +# kuna injili ngapi za kweli? + +kuna injili moja tu ya kweli, ya Yesu Kristo + diff --git a/gal/01/08.md b/gal/01/08.md new file mode 100644 index 0000000..0d32878 --- /dev/null +++ b/gal/01/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo anasema kutatokea nini kwa mtu anayetangaza injili nyingine tofauti na injili ya Kristo? + +Paulo anasema mtu yeyote anayehubiri injili nyingine lazima alaaniwe. + +# Je watumishi wa Mungu wanatakiwa kutafuta uthibitisho kwa nani kwanza? + +Watumishi wa Mungu wanapaswa kutafuta uthibitisho wa Mungu kwanza. + diff --git a/gal/01/11.md b/gal/01/11.md new file mode 100644 index 0000000..67ed793 --- /dev/null +++ b/gal/01/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je ni kwa namna gani Paulo alipokea ufahamu of Injili ya Kristo? + +Paulo aliipokea injili ya Kristo kwa ufunuo kutoka kwa Yesu Kristo moja kwa moja + diff --git a/gal/01/13.md b/gal/01/13.md new file mode 100644 index 0000000..b802b74 --- /dev/null +++ b/gal/01/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alikuwa akifanya nini katika maisha yake kabla ya kuupoke ufunuo wa injili ya Kristo? + +Paulo alikuwa akifuata dini ya Kiyahudi kwa juhudi sana na kulitesa kanisa la Mungu. + diff --git a/gal/01/15.md b/gal/01/15.md new file mode 100644 index 0000000..0257688 --- /dev/null +++ b/gal/01/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mungu alimchagua Paulo lini awe Mtume wake? + +Ilimpendeza Mungu kumchagua Paulo awe mtume wakati akali katika tumbo la mama yake + +# Kwa kusudi gani Mungu alimchagua Paulo awe mtume wake? + +Mungu alimchagua Paulo kama mtume wake ili aweze kumtangaza Kristo kwa watu wa mataifa. + diff --git a/gal/01/18.md b/gal/01/18.md new file mode 100644 index 0000000..dbff72b --- /dev/null +++ b/gal/01/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, hatimaye Paulo alikutana wapi na mitume wengine? + +Hatimaye Paulo alikutana na Petro na Yakobo baada ya kuwa amekwenda Yerusalem + diff --git a/gal/01/21.md b/gal/01/21.md new file mode 100644 index 0000000..cff67a8 --- /dev/null +++ b/gal/01/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je makanisa ya uyahudi yalikuwa yanasikia nini kuhusu Paulo? + +Makanisa ya uyahudi yalikuwa yakisikia kwamba Paulo aliyekuwa akilitesa kanisa hapo mwanzo, sasa anaitangaza imani. + diff --git a/gal/02/01.md b/gal/02/01.md new file mode 100644 index 0000000..48757aa --- /dev/null +++ b/gal/02/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je Paulo alifanya nini alipoenda Yerusalemu baada ya miaka kumi na minne? + +Paulo aliongea na viongozi kwa siri, akiwaeleza injili aliyokuwa akiihubiri/kuitangaza. + diff --git a/gal/02/03.md b/gal/02/03.md new file mode 100644 index 0000000..5a2bf00 --- /dev/null +++ b/gal/02/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kitu gani ambacho Tito, mtu wa mataifa, hakutakiwa kufanya? + +Tito hakutakiwa kutahiriwa + diff --git a/gal/02/06.md b/gal/02/06.md new file mode 100644 index 0000000..8b0026d --- /dev/null +++ b/gal/02/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je viongozi wa kanisa huko Yerusalemu waliubadili ujumbe wa Paulo? + +Hapana, hawakuchangia chochote kwa ujumbe wa Paulo. + +# Je kimsingi Paulo alikuwa ametumwa kwa watu gani kutangaza injili? + +Paulo alikuwa ametumwa kuwatangazia injili watu wasiotahiriwa + +# Je, kimsingi Petro alikuwa ametumwa kutangaza injili kwa watu gani? + +Petro alikuwa ametumwa kutangaza injili kwa watu waliotahiriwa. + diff --git a/gal/02/09.md b/gal/02/09.md new file mode 100644 index 0000000..a806f85 --- /dev/null +++ b/gal/02/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je ni kwa namna gani viongozi wa Yerusalemu walionesha kuikubali huduma ya Paulo? + +Viongozi wa Yerusalemu waliwapa mkono wa kulia Paulo na Barnaba kuonesha kuwapokea na kuwakubali katika ushirika. + diff --git a/gal/02/11.md b/gal/02/11.md new file mode 100644 index 0000000..bc605f8 --- /dev/null +++ b/gal/02/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kosa gani Petro alifanya alipoenda Antiokia? + +Petro alikataa kula na watu wa mataifa kwasababu aliwaogopa watu wale waliotahiriwa. + diff --git a/gal/02/13.md b/gal/02/13.md new file mode 100644 index 0000000..1aba24f --- /dev/null +++ b/gal/02/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alimwuliza nini Kefa ( Petro) mbele za watu? + +Paulo alimwuliza Kefa ni kwa jinsi gani anaweza kuwaamuru watu wa mataifa kuishi kama wayahudi wakati Kefa alikuwa akiishi kama mtu wa mataifa. + diff --git a/gal/02/15.md b/gal/02/15.md new file mode 100644 index 0000000..9fae1a7 --- /dev/null +++ b/gal/02/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo alisema mtu hawezi kuhesabiwa haki kwa kitu gani? + +Paulo alisema kwamba hakuna mtu awezaye kuhesabiwa haki kwa matendo ya sheria. + +# Je mtu anaweza kuhesabiwa haki mbele za Mungu kwa namna gani? + +Mtu huhesabiwa haki kwa njia ya Imani katika Kristo Yesu. + diff --git a/gal/02/17.md b/gal/02/17.md new file mode 100644 index 0000000..d21f2ed --- /dev/null +++ b/gal/02/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anasema atakuwaje mtu yule ambaye amekwisha mwamini Yesu, kisha akarudi na kufuata sheria? + +Paulo anasema kuwa mtu huyo anajionesha kuwa yeye ni mwasi. + diff --git a/gal/02/20.md b/gal/02/20.md new file mode 100644 index 0000000..cb0bb21 --- /dev/null +++ b/gal/02/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo alisema ni nani anayeishi ndani yake? + +Paulo anasema kwamba Kristo anaishi ndani yake sasa. + +# Paulo anasemaje juu ya kile Kristo alichokifanya ndani yake? + +Paulo anasema Mwana wa Mungu anampenda na amejitoa kwa ajili ya Paulo + diff --git a/gal/03/06.md b/gal/03/06.md new file mode 100644 index 0000000..dddc93d --- /dev/null +++ b/gal/03/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Jinsi gani Ibrahimu alihesabiwa haki mbele za Mungu? + +Ibrahimu alimwamini Mungu ikahesabiwa kwake kuwa haki. + +# Watoto wa Ibrahimu ni akina nani? + +Watu wale wanaomwamini Mungu ni watoto wa Ibrahimu. + +# Je maandiko yalitabiri nini juu ya watu wa mataifa wangehesabiwa haki kwa njia gani? + +Maandiko yalitabiri kwamba watu wa mataifa wangehesabiwa haki kwa njia ya imani. + diff --git a/gal/03/10.md b/gal/03/10.md new file mode 100644 index 0000000..16a0f01 --- /dev/null +++ b/gal/03/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je watu wale wanaotegemea matendo ya sheria wapate kuhesabiwa haki wako chini ya nini? + +Wanaotegemea matendo ya sheria wapate kuhesabiwa haki wako chini ya laana. + +# Ni watu wangapi wamehesabiwa haki na Mungu kupitia matendo ya sheria? + +Hakuna mtu yeyote aliyekwisha hesabiwa haki kwa matendo ya sheria. + diff --git a/gal/03/13.md b/gal/03/13.md new file mode 100644 index 0000000..4aadeb6 --- /dev/null +++ b/gal/03/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwanini Kristo alifanyika laana ili alitukomboe? + +Kristo alitukomboa kwa kufanyika laana kwa ajili yetu ili baraka za Ibrahimu ziwe ya watu wa mataifa. + diff --git a/gal/03/15.md b/gal/03/15.md new file mode 100644 index 0000000..37238d9 --- /dev/null +++ b/gal/03/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni "uzao" wa nani unaozungumziwa katika ahadi ya Ibrahimu. + +Uzao unaongelewa katika ahadi ya Ibrahimu ni Kristo + diff --git a/gal/03/17.md b/gal/03/17.md new file mode 100644 index 0000000..cdc4241 --- /dev/null +++ b/gal/03/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je Kuja kwa sheria ya wayahudi miaka 430 baada ya Ibrahimu kunazuia ahadi za Mungu kwa Ibrahimu? + +Hapana, sheria hazikuweza kuzuia ahadi alizofanya Mungu kwa Ibrahimu. + diff --git a/gal/03/19.md b/gal/03/19.md new file mode 100644 index 0000000..76b964e --- /dev/null +++ b/gal/03/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini basi tena kukawa na sheria? + +Sheria ilikuja kwa sababu ya uasi mpaka uzao wa Ibrahimu (Yesu) ulipokuja. + diff --git a/gal/03/21.md b/gal/03/21.md new file mode 100644 index 0000000..5b12857 --- /dev/null +++ b/gal/03/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kitu gani ambacho sheria ya maandiko humfunga mtu nacho? + +Sheria za maandiko humfunga mtu chini ya dhambi. + diff --git a/gal/03/23.md b/gal/03/23.md new file mode 100644 index 0000000..48de3fe --- /dev/null +++ b/gal/03/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jinsi gani tunawekwa huru kutoka katika kifungo cha sheria? + +Tunawekwa huru kutoka kifungo cha sheria kwa imani katika Kristo Yesu. + diff --git a/gal/03/27.md b/gal/03/27.md new file mode 100644 index 0000000..9e227ca --- /dev/null +++ b/gal/03/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nani amekwisha kujivika katika Kristo? + +Wote waliokwisha kubatizwa katika Kristo wamekwisha kujivika katika Kristo. + +# Ni watu wa aina gani waliofanywa kuwa mmoja katika Kristo? + +Wayahudi, Wagriki, watumwa, walio huru, wanaume, na wanawake wote hufanya kuwa mmoja katika Kristo Yesu. + diff --git a/gal/04/01.md b/gal/04/01.md new file mode 100644 index 0000000..fa332cf --- /dev/null +++ b/gal/04/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa jinsi gani mrithi huishi akiwa yungali mtoto mdogo? + +Mrithi huishi chini ya msimamizi na mdhamini akiwa bado mdogo mpaka muda uliokusudiwa na baba yake kutimia wa kupokea uruthi wake. + diff --git a/gal/04/03.md b/gal/04/03.md new file mode 100644 index 0000000..7cea256 --- /dev/null +++ b/gal/04/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mungu alifanya nini ulipofika wakati sahihi katika historia? + +Ulipotimia wakati sahihi Mungu alimmtuma Mwana wake kuja kuwakomboa wale walikuwa chini ya sheria. + +# Je ni kwa namna gani Mungu aliweza kuwatoa watoto walikuwa chini ya sheria na kuwaleta kwenye familia yake? + +Mungu aliwapokea na kuwafanya kuwa wana wale waliokuwa chini ya sheria. + diff --git a/gal/04/06.md b/gal/04/06.md new file mode 100644 index 0000000..434683b --- /dev/null +++ b/gal/04/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kitu gani ambacho Mungu ameweka ndani ya watoto wake? + +Mungu alimtuma Roho wa Mwanawe Yesu Kristo kuingia na kukaa ndani ya mioyo ya wauasi wake (Wakristo). + diff --git a/gal/04/08.md b/gal/04/08.md new file mode 100644 index 0000000..cd84950 --- /dev/null +++ b/gal/04/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kabla ya kumjua Mungu tulikuwa chini ya ya utumwa wa nani? + +Kabla ya kumjua Mungu wa kweli tulikuwa chini ya utumwa wa roho za dunia hii ambazo si miungu kamwe. + +# Ni jambo gani ambalo Wagalatia walikuwa wanalirudia kias cha Paulo kumtatiza Paulo? + +Paulo alishangazwa na kitendo cha Wagalatia kurudi tena kwenye utawala wa roho za dunia hii. + +# Ni kitu gani ambacho Paulo alikiogopa baada ya kuona Wagalatia wakirudi nyuma? + +Paulo aliogopa kuwa Wagalatia wangekuwa watumwa tena, na kwamba kazi yake itakuwa bure juu yao. + diff --git a/gal/04/12.md b/gal/04/12.md new file mode 100644 index 0000000..c1c2176 --- /dev/null +++ b/gal/04/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Tatizo gani alilokutana nalo Paulo baada ya kufika Galatia kwa mara ya kwanza? + +Paulo alipofika Galatia kwa mara ya kwanza aliugua/ alikuwa mgonjwa. + +# Pamoja na tatizo alilokuwa nalo Paulo, Wagalatia walimpokeaje? + +Pamoja na tatizo la Paulo, Wagalatia walimpokea Paulo kama ni malaika wa Mungu, kama Yesu Kristo. + diff --git a/gal/04/17.md b/gal/04/17.md new file mode 100644 index 0000000..d0156fb --- /dev/null +++ b/gal/04/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nani waliokuwa walimu wa uongo waliotaka kuwatenga Wagalatia ? + +Ni wale walimu wa Uongo waliokuwa wakiwafundisha Wagalatia ili kuwatenga na Paulo + diff --git a/gal/04/21.md b/gal/04/21.md new file mode 100644 index 0000000..72c69d0 --- /dev/null +++ b/gal/04/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Walimu wa uongo walikuwa wakitafuta kuwatia Wagalatia chini ya nini? + +Walimu wa uongo walikuwa wakijaribu kuwatia Wagalatia chini ya sheria. + +# Ni aina gani ya wanawake ambao kutoka kwao Ibrahimu alipata wana? + +Ibrahimu alikuwa na wana wawili , mmoja kutoka kwa mtumwa na mmoja kutoka kwa mwanamke huru. + diff --git a/gal/04/26.md b/gal/04/26.md new file mode 100644 index 0000000..05a8639 --- /dev/null +++ b/gal/04/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nani ni Mama wa mfano wa Paulo na waumini wa Galatia? + +Yerusalemu, Mwanamke aliye huru, ndiye mama wa mfano wa Paulo na waumini wa Galatia. + diff --git a/gal/04/28.md b/gal/04/28.md new file mode 100644 index 0000000..85f12ac --- /dev/null +++ b/gal/04/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je! Waumini ndani ya Kristo ni watoto wa mwili ama wa ahadi? + +Wakristo wote katika Kristo ni watoto wa Ahadi. + +# Nani huwatesa watoto wa ahadi? + +Watoto wa mwili huwatesa watoto wa ahadi. + diff --git a/gal/04/30.md b/gal/04/30.md new file mode 100644 index 0000000..05a6a90 --- /dev/null +++ b/gal/04/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kitu gani wanachorithi watoto wa mwanamke mtumwa? + +Watoto wa mwanamke mtumwa hawatarithi pamoja na watoto wa mwanamke huru. + +# Je waumini ndani ya Yesu Kristo ni watoto wa mwanamke mtumwa au wa mwanamke huru? + +Waumini ndani ya Kristo ni watoto wa mwanamke huru. + diff --git a/gal/05/01.md b/gal/05/01.md new file mode 100644 index 0000000..48faef3 --- /dev/null +++ b/gal/05/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kristo ametuweka huru kwa kusudi gani ? + +Kristo ametuweka huru ili tuwe huru + +# Paulo aliwaonya Wagalatia kuwa kitu gani kingetokea kama Wagalatia wangetahiriwa? + +Paulo alisema kwamba kama Wagalatia wangetahiriwa, wasingepata faida yoyote katika Kristo. + diff --git a/gal/05/03.md b/gal/05/03.md new file mode 100644 index 0000000..080fb0a --- /dev/null +++ b/gal/05/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kitu gani ambacho Paulo aliwaonya Wayahudi kuwa kingetokea kama wangetafuta kuhesabiwa haki kwa kushika sheria? + +Paulo aliwaonya Wagalatia ambao kama wangetafuta kuhesabiwa haki kwa kushika sheria wangetengwa na Kristo na wangekatiliwa mbali na neema ya Mungu. + diff --git a/gal/05/05.md b/gal/05/05.md new file mode 100644 index 0000000..f57be09 --- /dev/null +++ b/gal/05/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Tofauti na hali ya kutahiriwa na kutotahiriwa, kuna jambo gani pekee lenye maana ndani ya Yesu? + +Imani inayotenda kazi katika upendo katika Kristo ndiyo kitu chenye maana sana. + diff --git a/gal/05/09.md b/gal/05/09.md new file mode 100644 index 0000000..21b21e7 --- /dev/null +++ b/gal/05/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni jambo gani ambalo Paulo alikuwa nalo uhakika kuhusu mtu yule ambaye angewapotosha Wagalatia kuhusu injili? + +Paulo ana uhakika kuwa mtu yule atakayewapotosha Wagalatia kuhusu injili atahukumiwa na Mungu. + diff --git a/gal/05/11.md b/gal/05/11.md new file mode 100644 index 0000000..d98a0dc --- /dev/null +++ b/gal/05/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anasema kunafanyika nini kama tohara itatangazwa ? + +Paulo anasema kwamba kwa kutangaza tohara kikwazo cha msalaba kingeweza kuharibiwa. + diff --git a/gal/05/13.md b/gal/05/13.md new file mode 100644 index 0000000..f91820c --- /dev/null +++ b/gal/05/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Namna gani waumini hawapaswi kutumia uhuru wao katika Kristo? + +Waumini hawapaswi kutumia uhuru wao katika kama fursa kwa kutimizia matakwa ya mwili. + +# Namna gani waumini wanapaswa kutumia uhuru wao katika Kristo? + +Waumini wanapaswa kutumia uhuru wao katika Kristo kutumikiana kwa upendo wao kwa wao. + +# Ni amri gani ambayo hukamilisha sheria yote? + +Sheria yote hutimilizwa katika amri moja " Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe" + diff --git a/gal/05/16.md b/gal/05/16.md new file mode 100644 index 0000000..8e22430 --- /dev/null +++ b/gal/05/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Namna gani waumini hawawezi kutimiza tamaa mbaya za mwili? + +Waumini wanaweza kuishi kwa Roho ili wasitimize tamaa mbaya za mwili. + +# Ni mambo gani mawili yanayokinzana ndani ya Muumini? + +Roho na mwili hupingana ndani ya muumini. + diff --git a/gal/05/19.md b/gal/05/19.md new file mode 100644 index 0000000..b28bbfd --- /dev/null +++ b/gal/05/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni mifano gani mitatu ya matendo ya mwili? + +Mifano mitatu ya matendo ya mwili ni moja wapo ya yafuatayo: uasherati, tamaa mbaya, kuabudu sanamu, uchawi, wivu, ulevi, ..... + +# Ni kitu gani ambacho watu wanatenda matendo ya mwili hawatakipokea? + +Wale wenye kutenda matendo ya mwili hawataurith ufalme wa Mungu. + diff --git a/gal/05/22.md b/gal/05/22.md new file mode 100644 index 0000000..fc956f9 --- /dev/null +++ b/gal/05/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Tunda la Roho ni nini? + +Tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole na kiasi. + +# Watu walio wa Kristo wamefanya jambo gani katika mwili na tamaa zake? + +Watu wa Yesu Kristo wameusulubisha mwili pamoja na tamaa zake. + diff --git a/gal/06/01.md b/gal/06/01.md new file mode 100644 index 0000000..838992e --- /dev/null +++ b/gal/06/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wale ambao ni wa kiroho wanapaswa kufanya nini ikiwa mtu amenaswa katika baadhi ya maovu? + +Wale ambao ni wa kiroho wanapaswa kumrejesha mtu huyo kwa roho ya upole. + +# Ni hatari gani ambayo wale walio wa kiroho wanapaswa kujihadhari nayo? + +Wale walio wa kiroho lazima wajihadhari kwamba wasije nao wakajaribiwa! + +# Ni kwa jinsi gani waumini wanaweza kutimiza sheria ya Kristo? + +Wakristo wanaweza kutimiza sheria ya Kristo kwa kuchukuliana mizigo. + diff --git a/gal/06/03.md b/gal/06/03.md new file mode 100644 index 0000000..42e0870 --- /dev/null +++ b/gal/06/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa namna gani mtu anaweza akawa na kitu cha kujivunia kuhusu kazi yake? + +Mtu anaweza kuwa na kitu ndani yake cha kujivunia kwa kupima kazi yake mwenyewe bila kujilinganisha na wengine. + diff --git a/gal/06/06.md b/gal/06/06.md new file mode 100644 index 0000000..7520dcb --- /dev/null +++ b/gal/06/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ni nini ambacho mtu ambaye amefundishwa Neno anapaswa kumfanyia mwalimu wake? + +Yule ambaye amefundishwa Neno lazima amshirikishe mwalimu wake vitu vizuri. + +# Kitatokea nini kwa mtu aliyepanda chochote kiroho? + +Chochote anachopanda mtu kiroho atakivuna. + +# Atavuna nini mtu aliyepanda katika mwili ? + +Mtu yule apandaye katika mwili wake atavuna uharibifu katika mwili wake. + +# Atavuna nini mtu apandaye katika Roho? + +Mtu yule apandaye katika Roho atavuna uzima wa milele. + diff --git a/gal/06/09.md b/gal/06/09.md new file mode 100644 index 0000000..6c02502 --- /dev/null +++ b/gal/06/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Muumini atapata nini kama hatakata tamaa na kuendelea kutenda mema? + +Muumini atakayeendelea kutenda mema atavuna mavuno. + +# Waumini wanatakiwa kutenda mema kwa nani? + +Waumini wanatakiwa kutenda mema kwa hao walio wa nyumba ya imani. + diff --git a/gal/06/11.md b/gal/06/11.md new file mode 100644 index 0000000..d766647 --- /dev/null +++ b/gal/06/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni msukumo gani walio nao watu wale wanaoshurutisha waumini kutahiriwa? + +Wale wanaotaka kuwalazimisha waumini kutahiriwa hawaki kuteswa kwa ajili ya msalaba wa Kristo. + diff --git a/gal/06/14.md b/gal/06/14.md new file mode 100644 index 0000000..19368d5 --- /dev/null +++ b/gal/06/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Paulo alikuwa anajivunia nini? + +Paulo alisema kwamba alikuwa anajivunia msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo. + +# Ni gani cha muhimu tofauti na kutahiriwa au kutotahiriwa? + +kitu cha muhimu ni kuwa kiumbe kipya au uzao mpya. + +# Ni watu gani Paulo alikuwa akiwatakia amani na rehema? + +Paulo anawatakia amani na rehema wale wanaoishi kwa kufuata kanuni za utu mpya na pamoja na Israeli ya Mungu. + diff --git a/gal/06/17.md b/gal/06/17.md new file mode 100644 index 0000000..d6c820d --- /dev/null +++ b/gal/06/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo amebeba nini katika mwili wake? + +Paulo amebeba chapa za Yesu katika mwili wake. + diff --git a/heb/01/01.md b/heb/01/01.md new file mode 100644 index 0000000..7a20501 --- /dev/null +++ b/heb/01/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Namna gani Mungu alisema katika nyakati zilizopita? + +Mungu alizungumza katika nyakati zilizopita kupitia manabii mara nyingi na kwa njia nyingi. + +# Ni kwa jinsi gani Mungu amezungumza katika siku hizi za karibuni? + +Mungu amezungumza katika siku hizi za karibu kwa njia ya mwana wake + +# Kwa kupitia nani ulimwengu iliumbwa? + +Ulimwengu uliumbwa kupitia mwana wa Mungu + +# Ni kwa jinsi gani vitu vyote vime tunzwa? + +Vitu vyote vimetunzwa kwa njia ya neno la mwana wa Mungu mwenye uwezo. + +# Ni kwa jinsi gani mwana huonesha utukufu na uhalisia wa Mungu? + +Mwana ni mn'gao wa utukufu wa Mungu, na tabia yake ya Ki Mungu. + diff --git a/heb/01/04.md b/heb/01/04.md new file mode 100644 index 0000000..23ad2f6 --- /dev/null +++ b/heb/01/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mwana wa Mungu analinganishwaje na malaika? + +Mwana wa Mungu ni bora kuliko malaika. + diff --git a/heb/01/06.md b/heb/01/06.md new file mode 100644 index 0000000..8707d91 --- /dev/null +++ b/heb/01/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mungu aliwaamuru malaika kufanya nini wakati Mwana alipoletwa ulimwenguni? + +Mungu aliwaamuru malaika kumwabudu Mwana wakati Mwana alipoletwa katika ulimwengu. + diff --git a/heb/01/08.md b/heb/01/08.md new file mode 100644 index 0000000..1153a25 --- /dev/null +++ b/heb/01/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwa muda gani Mwana atatawala kama mfalme? + +Mwana atatawala kama mfalme milele na milele. + +# Je mwana hupenda nini na huchukia nini? + +Mwana hupenda haki na mwana huchukia kutotii sheria + diff --git a/heb/01/10.md b/heb/01/10.md new file mode 100644 index 0000000..c100b4c --- /dev/null +++ b/heb/01/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini kitatokea kwa nchi na mbingu wakati huo? + +Nchi na mbingu zitachakaa kama vazi na kuangamia. + +# Nini kitatokea kwa nchi na mbingu wakati huo? + +Nchi na mbingu zitachakaa kama vazi na kuangamia. + diff --git a/heb/01/13.md b/heb/01/13.md new file mode 100644 index 0000000..8629b29 --- /dev/null +++ b/heb/01/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni wapi Mungu alimwambia Mwana kuketi, na mpaka hapo nini kilitokea? + +Mungu alimwambia Mwana kukaa mkono wake wa kulia mpaka Mungu atakapowafanya maadui wa Mwana kuwa kiti cha miguu ya Mwana. + +# Ni kwa ajili ya nani malaika wanahudumu? + +Malaika huwahudumia wale amabao wanakaribia kurithi wokovu. + diff --git a/heb/02/01.md b/heb/02/01.md new file mode 100644 index 0000000..0e78830 --- /dev/null +++ b/heb/02/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini lazima waumini waweke kipaumbele zaidi kwa yale ambayo wamesikia? + +Waumini lazima waweke kipaumbele kwa yale waliyosikia ili kwamba wasije wakatengwa mbali nayo. + diff --git a/heb/02/02.md b/heb/02/02.md new file mode 100644 index 0000000..34a0d45 --- /dev/null +++ b/heb/02/02.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kitu gani ambacho kila kosa na uasi hupokea? + +Kila kosa na uasi hupokea adhabu tu. + +# Ni kwajinsi gani Mungu hushuhudia ujumbe wa wokovu uliotangazwa na Bwana? + +Mungu hushuhudia kwa njia ya ishara , maajabu, matendo ya nguvu, na kwa karama ya Roho Mtakatifu. + diff --git a/heb/02/05.md b/heb/02/05.md new file mode 100644 index 0000000..b5ae3e1 --- /dev/null +++ b/heb/02/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, ni kina nani hawatatawala ulimwengu ujao? + +Malaika hawatatawala ulimwenge ujao? + diff --git a/heb/02/07.md b/heb/02/07.md new file mode 100644 index 0000000..f49a991 --- /dev/null +++ b/heb/02/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, ni kina nani watatawala ulimwengu ujao? + +Mwanadamu atatawala ulimwengu ujao. + +# Je, ni kina nani watatawala ulimwengu ujao? + +Mwanadamu atatawala ulimwengu ujao. + diff --git a/heb/02/09.md b/heb/02/09.md new file mode 100644 index 0000000..4167849 --- /dev/null +++ b/heb/02/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa nini Yesu alivikwa taji ya utukufu na heshima? + +Yesu alivikwa taji ya utukufu na heshima kwa sababu ya mateso yake na kifo chake. + +# Je, Yesu alionja kifo kwa ajili ya nani? + +Yesu alionja kifo kwa ajili ya kila mtu. + +# Ni nani Mungu anapanga kufikishia utukufu? + +Mungu hupanga kuwafikishia utukufu watoto wengi. + diff --git a/heb/02/11.md b/heb/02/11.md new file mode 100644 index 0000000..4871642 --- /dev/null +++ b/heb/02/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Akina nani ambao wote wanatoka kwa mwenye asili moja, Mungu? + +Wote wawili, yule anayetakasa na wale wanaotakaswa wanatoka kwenye asili moja, Mungu? + diff --git a/heb/02/13.md b/heb/02/13.md new file mode 100644 index 0000000..a5e1eac --- /dev/null +++ b/heb/02/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nani alifanywa dhaifu kupitia kifo cha Yesu? + +Shetani alifanywa dhaifu kupitia kifo cha Yesu + +# Ni kutoka katika utumwa wa nani watu huwekwa huru kupitia kifo cha Yesu? + +Kwa kupitia kifo cha Yesu watu huwekwa huru kutoka katika hofu ya kifo. + diff --git a/heb/02/16.md b/heb/02/16.md new file mode 100644 index 0000000..24fddab --- /dev/null +++ b/heb/02/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini ilikuwa ni muhimu kwa Yesu kufanyika kama ndugu zake katika njia nyingi? + +Ilikuwa ni laziama ili kwamba afanyike wa Huruma na kuhani mkuu mwaminifu juu ya mambo ya Mungu, na pia ili afanikishe msamaha wa dhambi za watu. + +# Kwa nini Yesu anaweza kuwasaidia wale ambao wanajaribiwa? + +Yesu anaweza kuwasaidia wale wanao jaribiwa kwa sababu alijaribiwa pia. + diff --git a/heb/03/01.md b/heb/03/01.md new file mode 100644 index 0000000..480bd02 --- /dev/null +++ b/heb/03/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni vyeo gani viwili ambavyo mwandishi wa kitabu cha Waebrania anampatia Yesu? + +Mwandishi anampatia Yesu vyeo vya, Mtume na pili Kuhani Mkuu + +# Kwa nini Yesu anahesabiwa kuwa na heshima kubwa ya utukufu kuliko Musa? + +Yesu amehesabiwa kuwa na heshima na utukufu mkubwa kuliko Musa kwa sababuwakati Musa anafanyika mwaminifu katika nyumba yote ya Mungu, Yesu ndiye aliye jenga nyumba. + +# Kwa nini Yesu anahesabiwa kuwa na heshima kubwa ya utukufu kuliko Musa? + +Yesu amehesabiwa kuwa na heshima na utukufu mkubwa kuliko Musa kwa sababuwakati Musa anafanyika mwaminifu katika nyumba yote ya Mungu, Yesu ndiye aliye jenga nyumba. + diff --git a/heb/03/05.md b/heb/03/05.md new file mode 100644 index 0000000..bc908ed --- /dev/null +++ b/heb/03/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nini ilikuwa kazi ya Musa katika nyumba ya Mungu? + +Musa alikuwa mtumishi katika nyumba ya Mungu. + +# Musa alitoa ushuhuda kuhusu nini? + +Musa alitoa ushuhuda kuhusu mambo yaliyopaswa kunenwa kwa baadaye. + +# Nafasi ya Yesu katika nyumba ya Mungu ni ipi? + +Yesu ni mwana mkuu katika nyumba ya Mungu + +# Nani ni nyumba ya Mungu? + +Waamini ni nyumba ya Mungu ikiwa watashikilia sana tumaini kwa ujasiri. + diff --git a/heb/03/07.md b/heb/03/07.md new file mode 100644 index 0000000..9157abe --- /dev/null +++ b/heb/03/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni nini walichokifanya Waisraeli walipokuwa nyikani pale waliposikia sauti ya Mungu? + +Waisraeli waliifanya mioyo yao kuwa migumu. + +# Ni nini walichokifanya Waisraeli walipokuwa nyikani pale waliposikia sauti ya Mungu? + +Waisraeli waliifanya mioyo yao kuwa migumu. + diff --git a/heb/03/09.md b/heb/03/09.md new file mode 100644 index 0000000..833388b --- /dev/null +++ b/heb/03/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mungu aliapa nini kuhusu waisraeli walio asi katika mioyo yao? + +Mungu aliapa kuwa hawata ingia katika pumziko lake. + +# Mungu aliapa nini kuhusu waisraeli walio asi katika mioyo yao? + +Mungu aliapa kuwa hawata ingia katika pumziko lake. + diff --git a/heb/03/12.md b/heb/03/12.md new file mode 100644 index 0000000..e7e5d6e --- /dev/null +++ b/heb/03/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni nini ambacho ndugu walionywa kuwa makini? + +Ndugu walionywa kuwa makini kwamba wasitoke kwenda mbali na Mungu aishie kwa kutoamini. + +# Ndugu wanapaswa kufanya nini kuzuia ugumu unaotokana na udanganyifu wa dhambi? + +Ndugu wanapaswa kutiana moyo kila siku. + diff --git a/heb/03/14.md b/heb/03/14.md new file mode 100644 index 0000000..9139582 --- /dev/null +++ b/heb/03/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kama washirika wa Kristo, ni nini waumini wanapaswa kufanya? + +Kama washirika wa Kristo, waumini lazima wasimame imara ujasiri wao ndani yake kutoka mwanzo hadi mwisho. + diff --git a/heb/03/16.md b/heb/03/16.md new file mode 100644 index 0000000..e8e94fb --- /dev/null +++ b/heb/03/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni kwa ajili ya nani Mungu alikasirika kwa muda wa miaka arobaini? + +Mungu alikasirika kwa ajili ya wale walio fanya dhambi jangwani. + +# Nini kilitokea kwa wale ambao Mungu aliwakasirikia? + +Maiti zao zililala katika jangwa. + +# Kwa nini waisraeli wasio tii hawakuweza kuingia katika pumziko la Mungu? + +Hawakuweza kuingia katika pumziko la Mungu kwa sababu ya kutoamini kwao. + diff --git a/heb/04/01.md b/heb/04/01.md new file mode 100644 index 0000000..5c7801a --- /dev/null +++ b/heb/04/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni habari gani njema waisraeli pamoja na waamini walisikia? + +Waamini na Waisraeli wote walisikia habari njema kuhusu pumziko la Mungu. + +# Kwa ni i habari njema hazikuwanufaisha waisraeli? + +Habari njema hazikuwanufaisha waisrael kwa sababu hawakuiunganisha na imani + diff --git a/heb/04/03.md b/heb/04/03.md new file mode 100644 index 0000000..22421cb --- /dev/null +++ b/heb/04/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ni nani ambaye ataingi katika pumziko la Mungu? + +Wale wanao sikia habari njema na kuiamini ndio wataingia pumziko la Mungu. + +# Ni lini Mungu alimaliza kazi za kuumba na baadae kupumzika? + +Mungu alimaliza uhumbaji wa kazi yake toka mwanzo wa ulimwengu na baadae alipumuzika siku ya saba. + +# Ni lini Mungu alimaliza kazi za kuumba na baadae kupumzika? + +Mungu alimaliza uhumbaji wa kazi yake toka mwanzo wa ulimwengu na baadae alipumuzika siku ya saba. + +# Mungu alisema nini kuhusu waisraeli na pumziko lake? + +Mungu alisema kwamba Waisraeli hawataingia katika pumziko lake + diff --git a/heb/04/06.md b/heb/04/06.md new file mode 100644 index 0000000..7e45b57 --- /dev/null +++ b/heb/04/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni siku gani ambayo Mungu ameipanga kwa ajili ya watu kuingia katika pumziko lake? + +Mungu amepanga " leo" kama siku ya watu kuingia katika pumziko lake. + +# Ni jambo gani mtu anapaswa kufanya ili kuingia katika pumziko lake? + +Mtu lazima asikilize sauti ya Mungu na asifanye moyo wake kuwa mgumu. + diff --git a/heb/04/08.md b/heb/04/08.md new file mode 100644 index 0000000..b31c038 --- /dev/null +++ b/heb/04/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni kitu gani ambacho kimetunzwa kwa ajili ya watu wa Mungu? + +Pumziko la sabato bado limetunzwa kwa ajili ya watu wa Mungu. + +# Mtu anaye ingia katika pumziko la Mungu pia hupumzika katika jambo gani? + +Mtu anaye ingia katika pumziko la Mungu pia hupumzika katika matendo yake. + +# Kwa nini waaminiwanapaswa kupenda kuingia katika pumziko la Mungu? + +Waamini wanapaswa kupenda kuingia katika pumziko la Mungu ili kwamba wasije wakawa kama waisraeli walivyofanya. + diff --git a/heb/04/12.md b/heb/04/12.md new file mode 100644 index 0000000..2c21459 --- /dev/null +++ b/heb/04/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Neno la Mungu lina ukali kuliko nini? + +Neno la Mungu lina ukali kuliko upanga wowote wenye makali kuwili. + +# Neno la Mungu linaweza kugawanya nini? + +Neno la Mungu linaweza kugawanya nafsi na roho, na viungo kutoka kwa mafuta. + +# Neno la Mungu lina uwezo wa kupambanua nini? + +Neno la Mungu linauwezo wa kupambanua fikira za moyo na nia. + +# Nani amefichwa katika uwepo wa Mungu? + +Hakuna kiumbe ambacho kimefichika mbele ya uwepo wa Mungu. + diff --git a/heb/04/14.md b/heb/04/14.md new file mode 100644 index 0000000..8c714bd --- /dev/null +++ b/heb/04/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ni nani anatumika kama kuhani mkuu kwa waumini? + +Yesu Mwana wa Mungu utumika kama kuhani mkuu kwa waumini. + +# Kwa nini Yesu anaona huruma kwa udhaifu wa waamini? + +Yesu anaona huruma kwa udhaifu wa waamini kwa sababu alijaribiwa pia katika njia zote. + +# Ni mara ngapi Yesu alifanya dhambi? + +Yesu hakuwa na dhambi. + +# Katika nyakati za kuhitaji waamini wanapaswa kufanya nini ili wapokee rehema na kuapata neema? + +Katika nyakati za kuhitaji, waamini wanapaswa kutokea kwa ujasiri kwenye kiti cha neema. + diff --git a/heb/05/01.md b/heb/05/01.md new file mode 100644 index 0000000..e833730 --- /dev/null +++ b/heb/05/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini alichokuwa akifanya kuhani mkuu badala ya watu? + +Kwa ajili ya watu , kila kuhani mkuu hutoa zawadi na dhabihu kwa ajili ya dhambi. + +# Zaidi ya watu je ni kwa ajili ya nani pia kuhani mkuu alitoa sadaka? + +Kuhani mkuu pia hutoa sadaka kwa ajili ya dhambi + diff --git a/heb/05/04.md b/heb/05/04.md new file mode 100644 index 0000000..3ea6671 --- /dev/null +++ b/heb/05/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwa jinsi gani mtu hupokea heshima ya kuwa kuhani mkuu wa Mungu? + +Lazima mtu aitwe na Mungu kuwa kuhani mkuu wa Mungu. + +# Nani alimtangaza Yesu kuwa kuhani mkuu + +Mungu alimtangaza Kristo kuwa kuhani mkuu. + diff --git a/heb/05/06.md b/heb/05/06.md new file mode 100644 index 0000000..8e4bb03 --- /dev/null +++ b/heb/05/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwa kipindi gani Kristo ni kuhani mkuu wa Mungu? + +Kristo ni kuhani mkuu wa Mungu milele. + +# Ni kwa zamu ipi Kristo ni kuhani mkuu? + +Kristo ni kuhani mkuu kwa zamu ya Melkizedeki. + diff --git a/heb/05/07.md b/heb/05/07.md new file mode 100644 index 0000000..f80fa00 --- /dev/null +++ b/heb/05/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini Kristo alisikiwa na Mungu wakati alipoomba? + +Kristo alisikiwa na Mungu kwa sababu alimuheshimu Mungu. + +# Ni kwa jinsi gani Kristo alijifunza utii? + +Kristo alijifunza utii kutokana na mabo aliyo teswa nayo. + diff --git a/heb/05/09.md b/heb/05/09.md new file mode 100644 index 0000000..69585f4 --- /dev/null +++ b/heb/05/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwa nani Kristo alifanyika sababu ya wokovu wa milele? + +Ni kwa kila mtu atakayemtii, Kristo amefanyika sababu ya wokovu wao wa milele. + +# Hali ya kiroho ya wasomaji wa kwanza wa waraka huu ilikuwa je? + +Wasomaji wa kwanza walikuwa wavivu wa kusikia + diff --git a/heb/05/12.md b/heb/05/12.md new file mode 100644 index 0000000..1a09ed3 --- /dev/null +++ b/heb/05/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa jinsi gani mwandishi wa waraka anasema kwamba waamini hukua kutoka uchanga wa kiroho na kufikia ukubwa? + +Waamini wanakuwa kiroho kwa kutofautisha kati ya mema na mabaya, kupambanua wema na uovu. + diff --git a/heb/06/01.md b/heb/06/01.md new file mode 100644 index 0000000..829dd74 --- /dev/null +++ b/heb/06/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni nini mwandishi wa Waebrania alitaka waamini waweze kushika? + +Mwandishi wa Waebrania anataka waamini wakue katika imani. + +# Ni mafundisho gani mwandishi ametaja kama msingi wa ujumbe wa Kristo? + +Mafundisho ya msingi ni toba kutoka kwenye kazi zilizo kufa, imani katika Mungu, mabatizo, kuweka mikono juu, ufufuo wa wafu, na hukumu ya milele. + +# Ni mafundisho gani mwandishi ametaja kama msingi wa ujumbe wa Kristo? + +Mafundisho ya msingi ni toba kutoka kwenye kazi zilizo kufa, imani katika Mungu, mabatizo, kuweka mikono juu, ufufuo wa wafu, na hukumu ya milele. + diff --git a/heb/06/04.md b/heb/06/04.md new file mode 100644 index 0000000..91bc2e9 --- /dev/null +++ b/heb/06/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Ni kitu gani hakiwezekani kwa wale ambao walikua washiriki wa Roho Mtakatifu wakaanguka? + +Haiwezekani kwa wale ambao walikuwa washiriki katika Roho Mtakatifu, lakini wakaanguka, kuweza kurejeshwa tena katika toba + +# Ni kitu gani ambacho hawa wlio tiwa nuru wameonja? + +Hawa waliotiwa nuru wameonja kipawa cha mbinguni, neno la Mungu, na uwezo wa ulimwengu ujao. + +# Ni kitu gani ambacho hawa wlio tiwa nuru wameonja? + +Hawa waliotiwa nuru wameonja kipawa cha mbinguni, neno la Mungu, na uwezo wa ulimwengu ujao. + +# Ni kitu gani hakiwezekani kwa wale ambao walikua washiriki wa Roho Mtakatifu wakaanguka? + +Haiwezekani kwa wale ambao walikuwa washiriki katika Roho Mtakatifu, lakini wakaanguka, kuweza kurejeshwa tena katika toba + +# Kwa nini watu hawa hawawezi kurejeshwa katika hali ya toba? + +Hawezi kurejeshwa katika toba kwa sababu wamemsulibisha wao wenyewe mwana wa Mungu. + diff --git a/heb/06/07.md b/heb/06/07.md new file mode 100644 index 0000000..2c84445 --- /dev/null +++ b/heb/06/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Katika ulinganisho wa mwandishi, nini kitatokea kwenye ardhi yenye kupokea mvua lakini huzaa miiba na magugu? + +Ardhi yenye kupokea mvua lakini inazaa miiba na magugu, mwisho wake ni kuchomwa moto. + +# Katika ulinganisho wa mwandishi, nini kitatokea kwenye ardhi yenye kupokea mvua lakini huzaa miiba na magugu? + +Ardhi yenye kupokea mvua lakini inazaa miiba na magugu, mwisho wake ni kuchomwa moto. + diff --git a/heb/06/09.md b/heb/06/09.md new file mode 100644 index 0000000..25ab611 --- /dev/null +++ b/heb/06/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini matarajio ya mwandishi kuhusu waamini aliowaandikia? + +Mwandishi alitarajia mambo bora juu ya waamini hao, juu ya mambo yahusuyo wokovu. + +# Mungu hatasahau nini kuhusu hwa waamini? + +Mungu hatasahau kazi yao, upendo na huduma kwa watakatifu. + diff --git a/heb/06/11.md b/heb/06/11.md new file mode 100644 index 0000000..fd4ae20 --- /dev/null +++ b/heb/06/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Waamini wana paswa kuiga nini kwa wale wanaorithi ahadi za Miungu? + +Waamini lazima waige imani na uvumilivu wa wale ambao wanarithi ahadi za Mungu. + diff --git a/heb/06/13.md b/heb/06/13.md new file mode 100644 index 0000000..68135e8 --- /dev/null +++ b/heb/06/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ibrahimu alifanya nini ili kuweza kupokea ahadi alizohaidiwa na Mungu? + +Ibrahimu alipaswa kusubiri kwa uvumilivu ili kuweza kupokea kile Mungu alichokua amemuahidi. + +# Ibrahimu alifanya nini ili kuweza kupokea ahadi alizohaidiwa na Mungu? + +Ibrahimu alipaswa kusubiri kwa uvumilivu ili kuweza kupokea kile Mungu alichokua amemuahidi. + diff --git a/heb/06/16.md b/heb/06/16.md new file mode 100644 index 0000000..1cf0dfc --- /dev/null +++ b/heb/06/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini Mungu alihakikisha ahadi zake kwa kiapo? + +Mungu alihakikisha ahadi zake kwa kiapo ili kuonesha wazi wazi sifa yake ya kutobadilika katika kusudi lake. + +# Ni jambo gani haiwezekani Mungu kulifanya? + +Haiwezekani Mungu kudanganya. + diff --git a/heb/06/19.md b/heb/06/19.md new file mode 100644 index 0000000..4e286e3 --- /dev/null +++ b/heb/06/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ujasiri wa waamini katika Mungu hufanya nini kwa roho yake? + +Ujasiri wa waamini kwa Mungu ni Usalama na nanga ya kutegemewa ya roho yake. + +# Yesu aliingia wapi kama mtangulizi wa waamini? + +Yesu aliingia katika sehemu za ndani nyuma ya pazia kama mtangulizi wa waamini. + diff --git a/heb/07/01.md b/heb/07/01.md new file mode 100644 index 0000000..e40401f --- /dev/null +++ b/heb/07/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ni vyeo gani viwili ambavyo Melikizedeki alikuwa navyo? + +Melikizedeki alikuwa mfalme wa Salemu na kuhani wa Mungu aliye juu. + +# Ibrahimu alimpatia nini Melkizedeki? + +Ibrahimu alimpatia melkizedi moja kumi ya vitu vyote alivyokuwa amejipatia. + +# Jina ili Melkizedeki lina maana ganai? + +Jina Melkizedeki maana yake ni "Mfalme wa haki" na "Mfalme wa amani. + +# Nani walikuwa wazazi wa Melkizedeki, na alikufa lini? + +Melkizedeki alikuwa hana wazazi na alikuwa hana mwisho wa maisha. + diff --git a/heb/07/04.md b/heb/07/04.md new file mode 100644 index 0000000..5849d53 --- /dev/null +++ b/heb/07/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je ni kwa watu gani makuhani walitokea ambao ni makuhani kwa mijibu wa sheria, na nani alipokea zaka kutoka kwa watu? + +Makuhani wa sheria wanatokea kwa Lawi na Ibrahimu. + diff --git a/heb/07/07.md b/heb/07/07.md new file mode 100644 index 0000000..4f97263 --- /dev/null +++ b/heb/07/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni nani aliyekuwa mtu mkubwa, Ibrahimu au Melikizedeki? + +Melikizedeki alikuwa mtu mkubwa kwa sababu alimbariki Ibrahimu. + +# Ni kwa njia ipi Lawi pia alitoa zaka kwa Melkizedeki? + +Lawi pia alitoa zaka kwa Melkizedeki kwa sababu Lawi alikuwa katika uzao wa Ibrahimu wakati Ibrahimu anatoa zaka kwa Melkizedeki. + +# Ni kwa njia ipi Lawi pia alitoa zaka kwa Melkizedeki? + +Lawi pia alitoa zaka kwa Melkizedeki kwa sababu Lawi alikuwa katika uzao wa Ibrahimu wakati Ibrahimu anatoa zaka kwa Melkizedeki. + diff --git a/heb/07/11.md b/heb/07/11.md new file mode 100644 index 0000000..f4ba208 --- /dev/null +++ b/heb/07/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa ni i ilikuwa ni hitaji kwa kuhani mwingine kuinuka baada ya mpangilio wa Melikizedeki? + +Kulikuwa na hitaji la kuhani mwingine kuinuka baada ya mpangilio wa Melikizedeki kwa sababu ukamilifu haukuwezekana kupitia ukuhani wa Kilawi. + +# Kitu gani ambazcho lazima kibadilike wakati ukuhani unabadilika? + +Sheria lazima ibadilike wakati ukuhani unabadilika + diff --git a/heb/07/13.md b/heb/07/13.md new file mode 100644 index 0000000..e5fdc32 --- /dev/null +++ b/heb/07/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je kutoka kabila ipi Yesu alishuka, na kufanya kabila hii ihudumu katika madhabahu kama makuhani? + +Yesu alishuka kutoka kabila ya Yuda, ambaya haikuwahi kuhudumu madhabahuni kama makuhani. + diff --git a/heb/07/15.md b/heb/07/15.md new file mode 100644 index 0000000..44259ce --- /dev/null +++ b/heb/07/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa kigezo kipi Yesu alifanyika kuhani baada ya mpango wa Melkizedeki? + +Yesu alifanyika kuhani baada ya mpangilio wa Melkizedeki kwa msingi wa uwezo wa maisha yasiyo haribika. + diff --git a/heb/07/18.md b/heb/07/18.md new file mode 100644 index 0000000..3e9c13b --- /dev/null +++ b/heb/07/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni nini kilichowekwa kando kwa sababu kilikuwa dhaifu na hakifai? + +Amri za zamani, sheria, ziliwekwa kando kwa sababu ni dhaifu na hazifai. + +# Ni nini kilichowekwa kando kwa sababu kilikuwa dhaifu na hakifai? + +Amri za zamani, sheria, ziliwekwa kando kwa sababu ni dhaifu na hazifai. + diff --git a/heb/07/20.md b/heb/07/20.md new file mode 100644 index 0000000..1a344ba --- /dev/null +++ b/heb/07/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je ni kiapo gani ambacho Mungu aliapa kuhusiana na Yesu? + +Mungu aliapa kuwa Yesu atakuwa kuhani milele + diff --git a/heb/07/22.md b/heb/07/22.md new file mode 100644 index 0000000..83fb5e3 --- /dev/null +++ b/heb/07/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa jinsi gani Yesu ni dhamana? + +Yesu ni dhamana ya agano bora. + diff --git a/heb/07/25.md b/heb/07/25.md new file mode 100644 index 0000000..815aee8 --- /dev/null +++ b/heb/07/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa nini Yesu anaweza kukamilisha kuwaokoa wale wanaosogea karibu na Mungu kupitia kwake? + +Yesu anaweza kukamilisha kuwaokoa wale wanaosogea karibu na Mungu kupitia kwake kwa sababu siku zote anaishi kuomba kwa ajili yao. + +# Ni sifa gani nne alizo nazo Yesu kuwa kuhani sahihi kwa waamini? + +Yesu hana dhambi, hana lawama, safi, na amejitenganisha na wenye dhambi. + +# Ni matoleo gani Yesu alihitaji kufanya kwa ajili ya dhambi zake + +Yesu hakuhitaji kufanya matoleo yoyote kwa ajili ya dhambi zake kwa sababu hana dhambi. + diff --git a/heb/07/27.md b/heb/07/27.md new file mode 100644 index 0000000..eb905f1 --- /dev/null +++ b/heb/07/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni sadaka gani ambayo Yesu aliifanya kwa ajili dhambi za watu? + +Yesu alijitoa yeye mwenyewe mara moja kwa ajili ya dhambi za watu. + +# Yesu anatofautianaje na makuhani waliochaguliwa kwa mujibu wa sheria? + +Makuhani walio chaguliwa kwa mujibu wa sheria walikuwa dhaifu, lakini Yesu amefanyika mkamilifu milele + diff --git a/heb/08/01.md b/heb/08/01.md new file mode 100644 index 0000000..8d18bf6 --- /dev/null +++ b/heb/08/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kuhani mkuu wa waumini amekaa wapi? + +Kunani mkuu wa waumini amekaa mkono wa kulia wa kiti cha enzi mbinguni. + +# Hema ya kweli iko wapi? + +Hema ya kweli iko mbinguni. + diff --git a/heb/08/03.md b/heb/08/03.md new file mode 100644 index 0000000..2df5686 --- /dev/null +++ b/heb/08/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kwa kila kuhani alipaswa kuwa na nini cha muhimu? + +Kila kuhani ni lazima awe na chochote cha kutoa. + +# Walikuwa wapi makuhani ambao walitoa zawdi kulingana na sheria? + +Makuhani ambao walitoa zawadi kwa mujibu wa sheria wako duniani. + +# Makuhani wa duniani walitumikia nini? + +Makuhani wa duniani walitumikia nakala na kivuli mambo ya mbinguni. + +# Kwa mfumo upi hema ya dunia ilijengwa? + +Hema ya dunia ilijengwa kw amujibu wa mfumo ambao Mungu alimuonesha Musa juu ya mlima. + diff --git a/heb/08/06.md b/heb/08/06.md new file mode 100644 index 0000000..e26f0a4 --- /dev/null +++ b/heb/08/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Kristo alikuwa na huduma ya ukuhani iliyo bora? + +Kristo alikuwa na huduma ya ukuhani bora kwa sababu ni mpatanishi wa agano bora, limeanzishwa na ahadi bora. + diff --git a/heb/08/08.md b/heb/08/08.md new file mode 100644 index 0000000..d5e808a --- /dev/null +++ b/heb/08/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mungu aliahidi nini lilipopatikana kosa kwa watu waliokuwa chini ya agano la kwanza? + +Mungu aliahidi kufanya agano jjipya kwa nyumba ya Israeli na kwa nyumba ya Yuda. + diff --git a/heb/08/10.md b/heb/08/10.md new file mode 100644 index 0000000..73aacdf --- /dev/null +++ b/heb/08/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mungu alisema atafanya nini ndani ya agano jipya? + +Mungu alisema ataweka sheria katika akili za watu, na ataziandika mioyoni mwao. + diff --git a/heb/08/11.md b/heb/08/11.md new file mode 100644 index 0000000..d0cbe84 --- /dev/null +++ b/heb/08/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ndani ya agano jipya, ni nani atakayemjua Bwana? + +Ndani ya agano jipya, wote watamjua Bwana, kutoka mdogo hadi mkubwa zaidi. + +# Mungu alisema atawafanya na dhambi za watu katika agano jipya? + +Mungu alisema hatakumbuka dhambi za watu tena. + diff --git a/heb/08/13.md b/heb/08/13.md new file mode 100644 index 0000000..b12c7ba --- /dev/null +++ b/heb/08/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa kulitangaza agano jipya, Mungu alilifanya nini agano la kwanza? + +Kwa kulitangaza agano jipya, Mungu alilifanya agano la kwanza kuukuu na tayari kupotea. + diff --git a/heb/09/01.md b/heb/09/01.md new file mode 100644 index 0000000..a5bf829 --- /dev/null +++ b/heb/09/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ilikuwa mahali gani pa ibada katika agano la kwanza? + +Sehemu ya ibada katika agano la kwanza ilikuwa katika hema hapa duniani. + +# Ilikuwa mahali gani pa ibada katika agano la kwanza? + +Sehemu ya ibada katika agano la kwanza ilikuwa katika hema hapa duniani. + +# Mahali patakatifu paliwekwa wapi katika hema ya duniani? + +Katika patakatifu kwenye hema kulikuwa na kinara cha taa, meza, na mkate wa wonyesho. + diff --git a/heb/09/03.md b/heb/09/03.md new file mode 100644 index 0000000..5151855 --- /dev/null +++ b/heb/09/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mahali patakatifu paliwekwa nini katika hema ya duniani? + +Paliwekwa madhabahu kwa ajili ya ubani au uvumba sanduku la agano + diff --git a/heb/09/06.md b/heb/09/06.md new file mode 100644 index 0000000..b8cd3e6 --- /dev/null +++ b/heb/09/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni mara ngapi kuhani mkuu aliingia patakatifu pa patakatifu na alifanya nini kabla ya kwenda huko? + +Kuhani mkuu aliingia mara moja kwa mwaka , baada ya kufanya sadaka ya dhambi zake mwenyewe na kwa ajili ya watu. + diff --git a/heb/09/08.md b/heb/09/08.md new file mode 100644 index 0000000..ddce3ee --- /dev/null +++ b/heb/09/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nini kilitumika kama mfano kwa wasomaji wa waraka huu + +Hema ya duniani na sadaka zawadi vilitumika kama mfano wakati huo + +# Matoleo katika hema ya duniani hayakuweza kufanya nini? + +Matoleo hayakuweza kuwatakasa fikra za waabuduo + +# Lini amri ya hema ya kidunia ilitolewa? + +Amri ya hema ya kidunia ilitolewa adi taratibu mpya iwekwe katika sehemu yake. + diff --git a/heb/09/11.md b/heb/09/11.md new file mode 100644 index 0000000..6905373 --- /dev/null +++ b/heb/09/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nini tofauti kuhusu hema takatifu ambalo Kristo alihudumu? + +Hema takatifu ambalo Kristo alihudumu ni kamilifu zaidi, halikutengenezwa kwa mikono ya wanadamu, na halimilikiwi katika ulimwengu huu ulioumbwa. + +# kristo alitoa sadaka gani, ambayo aliingia kwayo katika patakatifu? + +Kristo alitoa sadaka ya mwili wake ambayo kwayo aliingia patakatifu. + +# Sadaka ya Kristo ilikamilisha nini? + +Sadaka ya Kristo ilikamilisha uzima wa milele kwa kila mmoja. + diff --git a/heb/09/13.md b/heb/09/13.md new file mode 100644 index 0000000..079c971 --- /dev/null +++ b/heb/09/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Damu ya Kristo ya fanya nini kwa kila mwamini? + +Damu ya Kristo ya takasa dhamira ya kila mwamini kutoka katika matendo ya liyo kufa ili kumtumikia Mungu aliye hai. + +# Kristo ni mpatanishi wa nini? + +kristo ni mpatanishi wa agano jipya. + diff --git a/heb/09/16.md b/heb/09/16.md new file mode 100644 index 0000000..d10b483 --- /dev/null +++ b/heb/09/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nni kina itajika kwa urithi kuwezeshwa? + +KIfo lazima kitokee kwa urithi kuwezeshwa. + diff --git a/heb/09/18.md b/heb/09/18.md new file mode 100644 index 0000000..8c97319 --- /dev/null +++ b/heb/09/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kifo gani kilikuwa kinatakiwa katika agano la kwanza? + +Kuuawa kwa ndama Mbuzi ni kifo kilichokuwa kinatakiwa katika agano la kwanza. + diff --git a/heb/09/21.md b/heb/09/21.md new file mode 100644 index 0000000..0b2d58b --- /dev/null +++ b/heb/09/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kinweza tokea pasipo kumwaga damu? + +Pasipo kumwaga damu hakuna msamaha wa dhambi. + diff --git a/heb/09/23.md b/heb/09/23.md new file mode 100644 index 0000000..8fa147d --- /dev/null +++ b/heb/09/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kristo anatokea wapi sasa kwa niaba yetu? + +Kristo anatokea mbinguni yenyewe, katika uwepo wa Mungu, kwa niaba yetu. + diff --git a/heb/09/25.md b/heb/09/25.md new file mode 100644 index 0000000..c08c95b --- /dev/null +++ b/heb/09/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kristo anahitaji kujitoa sadaka mara ngapi ili kuondoa dhambi? + +Kristo anaitaji kujitoa sadaka mara moja. + diff --git a/heb/09/27.md b/heb/09/27.md new file mode 100644 index 0000000..315a228 --- /dev/null +++ b/heb/09/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa kila mtu, nini kinatokea baada ya vifo vyao? + +baada ya kila mtu kufa, wanakutana na hukumu. + +# Kwa kusudi lipi Kristo atakuja kwa mara ya pili? + +Kristo atakuja mara ya pili kwa ajili ya wokovu wa wao wanao msubiri kwa subira. + diff --git a/heb/10/01.md b/heb/10/01.md new file mode 100644 index 0000000..7741041 --- /dev/null +++ b/heb/10/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa namna gani sheria inalinganishwa na ukweli katika Kristo? + +Sheria ni kivuli pekee cha ukweli katika Kristo. + +# Sadaka iliyo tolewa tena katika sheria ya wakumbusha nini waabudu? + +Sadaka iliyo tolewa tena katika sheria inawakumbusha waabudu dhambi zao za kila mwaka. + +# Damu ya ng'ombe na mbuzi yaweza fanya nini? + +Damu ya ng'ombe na mbuzi haiwezi kuondoa dhambi. + diff --git a/heb/10/05.md b/heb/10/05.md new file mode 100644 index 0000000..e448e89 --- /dev/null +++ b/heb/10/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mungu alitayarisha nini kwa Kristo wakati Kristo alipokuja duniani? + +Mungu aliandaa mwili kwa ajili ya Kristo. + diff --git a/heb/10/08.md b/heb/10/08.md new file mode 100644 index 0000000..1c88776 --- /dev/null +++ b/heb/10/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni taratibu gani Mungu aliziweka pembeni wakati Kristo alipokuja duniani? + +Mungu aliziweka pembeni zile taratibu za dhabihu zilizokuwa zinatolewa kwa mujibu wa sheria. + diff --git a/heb/10/11.md b/heb/10/11.md new file mode 100644 index 0000000..633f131 --- /dev/null +++ b/heb/10/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kristo anasubiri nini anapoketi mkono wakuume wa Mungu? + +Kristo anasubiri mpaka maadui zake watakapo shushwa na kufanywa stuli ya miguu yake + +# Kristo anasubiri nini anapoketi mkono wakuume wa Mungu? + +Kristo anasubiri mpaka maadui zake watakapo shushwa na kufanywa stuli ya miguu yake + +# Kristo amewafanyia nini wao wanao takaswa kwa sadaka yake? + +Kristo amewakamilisha wao wanao takaswa na damu yake. + diff --git a/heb/10/17.md b/heb/10/17.md new file mode 100644 index 0000000..6731ad0 --- /dev/null +++ b/heb/10/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kisicho itajika palipo na masaha wa dhambi? + +Sadaka za ziada haziitajiki palipo na msamaha wa dhambi. + diff --git a/heb/10/19.md b/heb/10/19.md new file mode 100644 index 0000000..0bc4f42 --- /dev/null +++ b/heb/10/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Katika eneo gani waamini wanaweza sasa kuingia kwa damu ya Yesu? + +Waamini wanaweza sasa kuingia mahali patakatifu zaidi kwa damu ya Yesu. + +# Ni nini imenyunyiziwa na ni nini imeosha kwa mwamini? + +Moyo wa mwamini umenyunyiziwa kutoka katika dhamiri mbaya, na mwili wake umeoshwa na maji safi + diff --git a/heb/10/23.md b/heb/10/23.md new file mode 100644 index 0000000..06d2781 --- /dev/null +++ b/heb/10/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Katika yapi lazima waamini washikilie kwa uimara? + +Waamini lazima washikilie kwa uimara katika ungamo la tumaini lao la uhakika. + +# Ni nini lazima waamini wafanye waonapo siku inakaribia? + +Waamini lazima watiane moyo zaidi na zaidi waonapo siku inakaribia. + diff --git a/heb/10/26.md b/heb/10/26.md new file mode 100644 index 0000000..f8e42ce --- /dev/null +++ b/heb/10/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini matarajio yao ambao kwa kusudi wameendelea kufanya dhambi baada ya kuipokea elimu ya ukweli? + +Tarajio la wale ambao kwa kusudi wanaendelea kutenda dhambi baada ya kuipokea elimu ya ukweli ni hukumu na moto ambao huteketeza maadui wa Mungu. + diff --git a/heb/10/28.md b/heb/10/28.md new file mode 100644 index 0000000..a90f8de --- /dev/null +++ b/heb/10/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Anajitakia nini mtu ambaye anaitendea damu ya Kristo ambayo alitengwa kwayo kama kitu kisicho kitakatifu? + +Mtu anayeitendea damu ya Kristo ambayo kwayo alitengwa kama kitu kisicho kitakatifu ajitakia hukumu bila ya rehema zaidi ya hukumu iliyotolewa chini ya sheria ya Musa. + diff --git a/heb/10/30.md b/heb/10/30.md new file mode 100644 index 0000000..4b83c70 --- /dev/null +++ b/heb/10/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa nani kisasi kinamilikiwa? + +Kisasi kinamilikiwa na Bwana + diff --git a/heb/10/32.md b/heb/10/32.md new file mode 100644 index 0000000..78d1e41 --- /dev/null +++ b/heb/10/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Waamini walio pokea hii barau waliitikaje kitendo kukamatwa kwa malizao? + +Waamini walikubali kwa furaha kukamatwa kwa malizao, wakijua kwamba wanamiliki ya milele. + diff --git a/heb/10/35.md b/heb/10/35.md new file mode 100644 index 0000000..563c8e7 --- /dev/null +++ b/heb/10/35.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Muumini anahitaji nini ili aweze kupokea kile Mungu ameahidi? + +Muumini anahitaji uhakika na uvumilivu ili aweze kupokea kile Mungu ameahidi. + diff --git a/heb/10/38.md b/heb/10/38.md new file mode 100644 index 0000000..5ce2da9 --- /dev/null +++ b/heb/10/38.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Jinsi gani mwenye haki waishi? + +Mwenye haki ataishi kwa imani. + +# Mungu anawaza nini kwa wao ambao hurudi nyuma? + +Mungu hapendezwi na hao ambao hurudi nyuma. + +# Ni nini matarajio ya mwandishi kwa walio pokea hii barua? + +Matarijio ya mwanidshi ni kwamba hao walio pokea hii barau watakuwa na imani ya kuhifadhi roho zao. + diff --git a/heb/11/01.md b/heb/11/01.md new file mode 100644 index 0000000..68d293b --- /dev/null +++ b/heb/11/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni mtazamo gani ambao mtu wa imani huwa nao juu ya ahadi za Mungu ambazo hazijatimilika? + +Mtu wa imani hutegemea kwa hakika na ana uhakika juu ya ahadi za Mungu ambazo bado hazijatimilika. + +# Vitu vinavyo onekana vya ulimwengu viliumbwa na nini? + +Vitu vinavyo onekana vya ulimwengu havikuumbwa na vitu vinavyo onekana. + diff --git a/heb/11/04.md b/heb/11/04.md new file mode 100644 index 0000000..2282a9d --- /dev/null +++ b/heb/11/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Mungu alimsifu Habili kuwa mwenye haki? + +Mungu alimsifu Habili kwa sababu kwa njia ya imani Habili alitoa sadaka iliyokubalika zaidi ya ile ya Kaini. + diff --git a/heb/11/05.md b/heb/11/05.md new file mode 100644 index 0000000..a9f639d --- /dev/null +++ b/heb/11/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mtu anaye kuja kwa Mungu anatakiwa kuamini nini kuhusu Mungu? + +Mtu anaye kuja kwa Mungu ana paswa kuamini Mungu yupo na kuwa anatoa thawabu kwa wanao mtafuta. + diff --git a/heb/11/07.md b/heb/11/07.md new file mode 100644 index 0000000..3714c8a --- /dev/null +++ b/heb/11/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa namnagani Nuhu alionesha imani yake? + +Nuhu alionesha imani yake kwa kujenga safina ya kuokolea familia yake kama onyo la Mungu lilivyokuwa. + diff --git a/heb/11/11.md b/heb/11/11.md new file mode 100644 index 0000000..ad687ea --- /dev/null +++ b/heb/11/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni ahadi zipi ambazo Ibrahim na Sara walipokea kwa njia ya imani? + +Ibrahim na Sara walipokea kwa imani uwezo wa kubeba mimba ingawa walikuwa wazee sana. + diff --git a/heb/11/13.md b/heb/11/13.md new file mode 100644 index 0000000..0ab77a3 --- /dev/null +++ b/heb/11/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je mababu wa imani waliona nini tokea mbali? + +Mababu wa imani waliona na kuzikaribisha ahadi za Mungu kutokea mbali. + +# Je mababu wa imani walijionaje wenyewe katika dunia? + +Mababu wa imani walijiona kuwa wageni na wapitaji katika dunia. + diff --git a/heb/11/15.md b/heb/11/15.md new file mode 100644 index 0000000..42da711 --- /dev/null +++ b/heb/11/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mungu ameandaa nini kwa wao wa imani? + +Mungu ameandaa mji wa kimbingu kwa wao wa imani. + diff --git a/heb/11/17.md b/heb/11/17.md new file mode 100644 index 0000000..8bc4d01 --- /dev/null +++ b/heb/11/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je Ibrahimu aliamini nini ambacho Mungu anaweza kufanya hata alipo mtoa mwanawe wa pekee Isaka? + +Ibrahimu aliamini kuwa Mungu angeweza kumfufua Isaka. + diff --git a/heb/11/20.md b/heb/11/20.md new file mode 100644 index 0000000..16e838d --- /dev/null +++ b/heb/11/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yusufu alitabiri nini kwa imani mwisho wake ulipo fika? + +Yusufu alitabiri kuondoka kwa wana wa Israeli kutoka Misri mwisho wake ulipo fika. + diff --git a/heb/11/23.md b/heb/11/23.md new file mode 100644 index 0000000..4f5fec0 --- /dev/null +++ b/heb/11/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Musa alichagua kufanya nini kwa imani alipo kuwa mtu mzima? + +Musa alichagua kushiriki mateso na watu wa Mungu, akiona aibu ya kumfuata Kristo kuwa utajiri mkuu. + diff --git a/heb/11/27.md b/heb/11/27.md new file mode 100644 index 0000000..ae4acdc --- /dev/null +++ b/heb/11/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nini Musa alishika nini kwa imani ili kuwaokoa wazaliwa wa kwanza? + +Musa alishika pasaka na kwa imani akanyunyiza damu ili kuwaokoa wazaliwa wa kwanza. + diff --git a/heb/11/29.md b/heb/11/29.md new file mode 100644 index 0000000..ecf0999 --- /dev/null +++ b/heb/11/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Rahabu alifanya nini kwa imani ili kujiepusha na kuangamia? + +Rahabu kwa imani aliwapokea wapelelezi kwa usalama jambo ambalo lilimuondolea kuangamia. + diff --git a/heb/11/32.md b/heb/11/32.md new file mode 100644 index 0000000..5bf6f45 --- /dev/null +++ b/heb/11/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baadhi ya mababu wa imani walikamilisha nini katika vita? + +Baadhi ya mababu wa imani walizishinda falme, walikwepa ncha ya upanga, walikuwa mashujaa vitani, na walisabisha majeshi wageni kukimbia. + diff --git a/heb/11/35.md b/heb/11/35.md new file mode 100644 index 0000000..7f9f516 --- /dev/null +++ b/heb/11/35.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je mababu wa imani walipitia mateso gani? + +Baadhi ya mababu wa imani walipitia mateso ya maumivu, dhihaka, mapigo , minyororo, vifungo, kupondwa mawe, kukatwa na misumeno vipande viwili, vifo, kupungukiwa. + diff --git a/heb/11/39.md b/heb/11/39.md new file mode 100644 index 0000000..28d3ed5 --- /dev/null +++ b/heb/11/39.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Licha ya imani ya hawa mababu wa imani, je ni mambo gani hawakuyapokea katika dunia? + +Licha ya imani ya hawa mababu wa imani, katika maisha yao ya duniani hawakupokea kile ambacho Mungu aliwaahidia. + +# pamoja na kina nani mababu wa imani watapokea ahadi ya Mungu na kukamilishwa? + +Mababu wa imani watapokea ahadi za Mungu na kukamilishwa pamoja na waamini wa agano jipya katika Kristo. + diff --git a/heb/12/01.md b/heb/12/01.md new file mode 100644 index 0000000..70e0a8e --- /dev/null +++ b/heb/12/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa nini mwamini anapaswa kutupa mbali dhambi inayo mzingira? + +Kwa sababu ya kuzungukwa na kundi kubwa la mashahidi, mwamini anapaswa kutupa mbali dhambi imzingayo. + +# Kwa nini Yesu alivumilia msalaba na kudharau aibu ya msalaba? + +Yesu alivumilia msalaba na kudharau aibu yake kwa sababu ya furaha iliyokuwa imewekwa mbele yake + +# Ni kwa namna gani mwamini anaweza kuzuia kuchoka au kukata tamaa? + +Kwa kutazama Yesu ambaye alivumilia hotuba za chuki kutoka kwa wenye dhambi, mwamini anaweza kuzuia kuchoka au kukata tamaa. + diff --git a/heb/12/07.md b/heb/12/07.md new file mode 100644 index 0000000..02c25d1 --- /dev/null +++ b/heb/12/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mtu asiye na marudi ya Bwana ni mtu wa namna gani? + +Mtu asiye na marudi ya Bwana ni mtoto haramu na si mtoto wa Mungu. + diff --git a/heb/12/09.md b/heb/12/09.md new file mode 100644 index 0000000..2bc79af --- /dev/null +++ b/heb/12/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nidhamu huzaa nini? + +Nidhamu huzaa tunda la amani ya haki. + diff --git a/heb/12/14.md b/heb/12/14.md new file mode 100644 index 0000000..1cdcba7 --- /dev/null +++ b/heb/12/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je wamini Wanapaswa kufanya nini pamoja na watu wote? + +Waamini wanapaswa kutafuta amani na watu wote. + +# Ni kitu gani kisicho stahili kukua na kusababisha matatizo na kunajisi wengi? + +Shina la uchungu halipaswi kukua na kusababisha matatizo na kunajisi wengi + +# Nini kilitokea kwa Hesau alipotamani kurithi baraka kwa machozi baada ya kuuza haki yake ya kuzaliwa? + +Hesau alikataliwa alipotamani kurithi barakakwa machozi baada ya kuuza haki yake ya kuzaliwa. + diff --git a/heb/12/18.md b/heb/12/18.md new file mode 100644 index 0000000..65d90f9 --- /dev/null +++ b/heb/12/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa ajili gani waisraeli waliomba mlimani ambapo Mungu alizungumza? + +Waisraeli waliomba kwamba neno lingine lisizungumzwe kwao. + diff --git a/heb/12/22.md b/heb/12/22.md new file mode 100644 index 0000000..e0d2034 --- /dev/null +++ b/heb/12/22.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Je waamini wa Kristo huenda wapi badala ya kwenda mlimani mahali ambapo waisraeli walienda kusikia sauti ya Mungu? + +Waamini katika Kristo waje mlima Sayuni na katika mji wa Mungu aliye hai. + +# Ni katika kusanyiko gani waamini wa Kristo huja? + +Waamini katika Kristo huja katika kusanyiko la wazaliwawa kwanza wote waliosajiliwa mbinguni. + +# Ni kwa nani waamini katika Kristo huja? + +Waamini katika Kristo huja kwa Mungu muhukumu wa wote, kwa roho za haki na kwa Yesu. + +# Ni kwa nani waamini katika Kristo huja? + +Waamini katika Kristo huja kwa Mungu muhukumu wa wote, kwa roho za haki na kwa Yesu. + diff --git a/heb/12/25.md b/heb/12/25.md new file mode 100644 index 0000000..fe117f9 --- /dev/null +++ b/heb/12/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je kitatokea nini kwa wale ambao wanageuka kutoka kwa yule awaonyae toka mbinguni? + +Wale wanao geuka hawatamuepuka Mungu. + +# Mungu ameahidi kutikisa nini? + +Mungu ameahidi kutikisa dunia pamoja na mbingu. + diff --git a/heb/12/27.md b/heb/12/27.md new file mode 100644 index 0000000..d3fa094 --- /dev/null +++ b/heb/12/27.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Waamini watapokea nini badala ya vitu ambavyo vitatikiswa? + +Waamini watapokea ufalme ambao hautatikiswa. + +# Ni kwa namna gani waamini watamwabudu Mungu? + +Waamini wanapaswa kumwabudu Mugu kwa kunyenyekea na katika kicho. + +# Kwa nini waamini wanapaswa kumwabudu Mungu kwa jinsi hii? + +Waamini wanapaswa kumwabidu Mungu kwa jinsi hii kwa sababu ni moto ulao. + diff --git a/heb/13/01.md b/heb/13/01.md new file mode 100644 index 0000000..228536a --- /dev/null +++ b/heb/13/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je wengine wamefanya nini kwa kuwakaribisha wageni? + +Wengine wamewakaribisha malaika bila kufahamu + diff --git a/heb/13/03.md b/heb/13/03.md new file mode 100644 index 0000000..fd18708 --- /dev/null +++ b/heb/13/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni kwa namna gani waamini wanaweza kuwakumbuka walioko gerezani? + +Waumini wanapaswa kuwakumba kana kwamba walikuwa nao gerezani pia, na kama miili yenu ilitendewa kama wao pia. + +# Nini kinapaswa kupatiwa utii na wote? + +Ndoa lazima ieshimiwe na watu wote. + +# Mungu hufanya nini na waasherati na wazinzi + +Mungu huwahukumu waasherati na wazinzi. + diff --git a/heb/13/05.md b/heb/13/05.md new file mode 100644 index 0000000..7bea725 --- /dev/null +++ b/heb/13/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa namna gani mwamini anaweza kushinda tamaa ya kupenda pesa? + +Mwamini anaweza kuwa huru kushinda tamaa ya kupenda fedha kwa sabaubu Mungu aliisha sema sitamuacha wala kumtelekeza mtu. + diff --git a/heb/13/07.md b/heb/13/07.md new file mode 100644 index 0000000..8f624cb --- /dev/null +++ b/heb/13/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni imani ya nani waamini wanapaswa kuiga? + +Waumini wanapaswa kuiga imani ya wale walio waongoza na walioongea neno la Mungu kwao. + diff --git a/heb/13/09.md b/heb/13/09.md new file mode 100644 index 0000000..21dbbc6 --- /dev/null +++ b/heb/13/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kuhusu aina gani ya mafundisho ya kigeni ambayo mwandishi anawaonya waamini? + +Mwandishi anawaonya waumini kuhusu mafundisho ya kigeni yanayo husisha sheria ihusuyo chakula. + +# Miili ya wanyama iliyotumika kutoa sadaka katika mahali patakatifu ilichomewa wapi? + +Miili ya wanyama ilichomewanje ya kambi. + diff --git a/heb/13/12.md b/heb/13/12.md new file mode 100644 index 0000000..638be05 --- /dev/null +++ b/heb/13/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yesu aliteseka wapi? + +Yesu aliteseka nje ya mlango wa mji. + +# Waamini wanapaswa kwenda wapi na kwa nini? + +Waamini wanapaswa kwenda kwa Yesu nje ya kambi wakibeba fedheha yake. + +# Je ni mji gani wa kudumu ambao waamini wanao hapa duniani? + +Waamini hawana mji wa kudumu hapa duniani. + +# Ni mji gani waamini hutafuta badala yake? + +Badala yake waamini hutafuta mji ujao. + diff --git a/heb/13/15.md b/heb/13/15.md new file mode 100644 index 0000000..caefaef --- /dev/null +++ b/heb/13/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni sadaka ya aina gani waamini wanatakiwa kuitoa mara kwa mara kwa Mungu? + +Waamini wanapaswa mara kwa mara kumutolea Mungu sadaka ya kumutukuza. + +# Je ni mtazamo gani waamini wanapaswa kuwa nao juu ya viongozi wao? + +Waamini wanapaswa kuwatii na kunyenyekea kwa viongozi wao. + diff --git a/heb/13/20.md b/heb/13/20.md new file mode 100644 index 0000000..18bd008 --- /dev/null +++ b/heb/13/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini ambacho Mungu hufanya katika maisha ya mwamini? + +Mungu hufanya mema yanayofaa machoni pa Mungu katika maisha ya mwamini. + diff --git a/heb/13/22.md b/heb/13/22.md new file mode 100644 index 0000000..34beb62 --- /dev/null +++ b/heb/13/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mwandishi atakuja na nani atakapo watembelea waamini? + +Mwandishi atakuja na Timotheo wakati atakapo watembelea waamini. + diff --git a/jas/01/01.md b/jas/01/01.md new file mode 100644 index 0000000..c34dee9 --- /dev/null +++ b/jas/01/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yakobo aliandika Waraka huu kwa nani? + +Yakobo aliandika Waraka huu kwa makabila kumi na mbili waliotawanyika. + +# Wanapopitia magumu, ni tabia gani Yakobo amewaambia wanaposwa kuwa nayo? + +Yakobo amewaambia wanapaswa kuwa na furaha wanapopitia matatizo. + +# Kujaribiwa kwa imani kunaleta matunda gani? + +Kujaribiwa kwa imani yetu kunasababisha kuvumilia. + diff --git a/jas/01/04.md b/jas/01/04.md new file mode 100644 index 0000000..30ae53f --- /dev/null +++ b/jas/01/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kujaribiwa kwa imani yetu kunaweza kuleta matokeo gani? + +Kujaribiwa kwa imani yetu huleta matokeo ya uvumilivu na kukomaa. + diff --git a/jas/01/06.md b/jas/01/06.md new file mode 100644 index 0000000..8ee7d21 --- /dev/null +++ b/jas/01/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni jambo gani ambalo mtu anayeomba kwa mashaka hutegemea kupokea? + +Yule anayeomba kwa mashaka, asitegemee kupokea cho chote kutoka kwa Bwana. + diff --git a/jas/01/09.md b/jas/01/09.md new file mode 100644 index 0000000..cd23d26 --- /dev/null +++ b/jas/01/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini mtu tajiri anatakiwa ajinyenyekeze? + +Mtu tajiri anapaswa ajinyenyekeze kwa sababu atatoweka kama maua. + diff --git a/jas/01/12.md b/jas/01/12.md new file mode 100644 index 0000000..1ce0831 --- /dev/null +++ b/jas/01/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wale wanaopita mtihani wa imani watapokea nini? + +Wale watakaopita mtihani wa imani watapokea taji ya uzima. + diff --git a/jas/01/14.md b/jas/01/14.md new file mode 100644 index 0000000..66ba944 --- /dev/null +++ b/jas/01/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kitu gani kinasababisha mtu kujaribiwa na uovu? + +Tamaa mbaya ya mtu ndiyo humsababisha kujaribiwa na uovu. + +# Ni nini matokeo ya dhambi iliyokomaa? + +Matokeo ya kukomaa kwa dhambi ni mauti. + diff --git a/jas/01/17.md b/jas/01/17.md new file mode 100644 index 0000000..17c8491 --- /dev/null +++ b/jas/01/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kitu gani hushuka kutoka kwa Baba wa mianga? + +Kila zawadi iliyo njema, kila zawadi iliyo kamili hushuka kutoka kwa Baba wa mianga. + +# Kwa njia gani Mungu alitumia kutupa maisha? + +Mungu alitupa maisha kwa kyumia neno la kweli. + diff --git a/jas/01/19.md b/jas/01/19.md new file mode 100644 index 0000000..719ab1f --- /dev/null +++ b/jas/01/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini Yakobo anatuambia kufanya juu ya kusikia, kuongea na hisia zetu? + +Yakobo anatuambia tuwe wepesi wa kusikia, siyo wepesi wa kuongea wala kukasirika. + diff --git a/jas/01/22.md b/jas/01/22.md new file mode 100644 index 0000000..c4e3142 --- /dev/null +++ b/jas/01/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa namna gani Yakobo anasema tunaweza kujidanganya wenyewe? + +Yakobo anasema tunaweza kujidanganya wenyewe kwa kuwa wasikiaji wa Neno na si watendaji. + diff --git a/jas/01/26.md b/jas/01/26.md new file mode 100644 index 0000000..3e02696 --- /dev/null +++ b/jas/01/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kitu gani kinapaswa kutawaliwa ili tupate kuwa wenye dini wa kweli? + +Ulimi unapaswa kutawaliwa ili tupate kuwa watu wa dini wa kweli. + +# Dini iliyosafi na isiyoharibiwa mbele za Mungu ni ipi? + +Dini iliyo safi na isiyoharibiwa mbele za Mungu ni kuwasaidia yatima na wajane na kujilinda wenyewe na ufisadi wa dunia. + diff --git a/jas/02/01.md b/jas/02/01.md new file mode 100644 index 0000000..2eeb6db --- /dev/null +++ b/jas/02/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je Yakobo anawaambia ndugu wasifanye nini wakati wanapomwona mtu akiingia katika mkutano? + +Anawambia ndugu wasimpendelee mtu kwa sababu ya muonekano wake. + diff --git a/jas/02/05.md b/jas/02/05.md new file mode 100644 index 0000000..d491b50 --- /dev/null +++ b/jas/02/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je Yakobo anasema nini kuhusuuchaguzi wa Mungu kwa masikini? + +Yakobo anasema Mungu aliwachagua masikini wa dunia ili wawe matajiri katika imani na kurithi ufalme aliowaahidia wampendao. + +# Yakobo anasema matajiri walikuwa wanafanya nini? + +Yakobo anasema matajiri walikuwa wanawadharau ndugu zao na kulitukana jina la Mungu. + diff --git a/jas/02/08.md b/jas/02/08.md new file mode 100644 index 0000000..19d506e --- /dev/null +++ b/jas/02/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni sheria gani ya kifalme ya maandiko? + +Mpende jirani yako kama unavyojipenda + diff --git a/jas/02/10.md b/jas/02/10.md new file mode 100644 index 0000000..8a2c7f4 --- /dev/null +++ b/jas/02/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kila avunjae sheria ya Mungu anahatia kwa kitu gani? + +Kila avunjae sheria moja anahatia ya kuvunja zote. + diff --git a/jas/02/12.md b/jas/02/12.md new file mode 100644 index 0000000..8b27a29 --- /dev/null +++ b/jas/02/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kitu gani kinakuja kwa wale wasioonesha huruma? + +Hukumu isiyo na huruma inakuja kwa wale wasio na huruma. + diff --git a/jas/02/14.md b/jas/02/14.md new file mode 100644 index 0000000..7f1daa3 --- /dev/null +++ b/jas/02/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je Yakobo anasema nini kwa wale wanaosema wanayo imani, lakini hawawasaidii wahitaji? + +Yakobo anasema kuwa wale wanaosema wana imani lakini hawawasaidii wenye uhitaji, wana imani ambayo haitawasaidia. + +# Imani ni nini isipokuwa na matendo? + +Imani pekee bila matendo imekufa. + diff --git a/jas/02/18.md b/jas/02/18.md new file mode 100644 index 0000000..5bff07c --- /dev/null +++ b/jas/02/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yakobo ansema tunapaswa kuonyesha imani yetu kwa jinsi gani? + +Yakobo anasema imani yetu inapaswa iendane na matendo. + +# Ni kitu gani ambacho wanaamini watu wenye imani na mapepo? + +Mapepo na watu wenye imani wote wanaamini kuwa kuna Mungu mmoja. + diff --git a/jas/02/21.md b/jas/02/21.md new file mode 100644 index 0000000..e4db02b --- /dev/null +++ b/jas/02/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je Ibrahimu alionyesha imani yake kwa jinsi gani? + +Ibrahimu alionyesha imani yake kwa kumtoa mwanawe Isaka. + +# Ni maandiko gani yalitimia kutokana na imani ya Abrahamu na matendo? + +Maandiko yaliyotimia yalikuwa yanasema "Abrahamu alimwamini Munguna alionekana kuwa mwenye haki." + diff --git a/jas/02/25.md b/jas/02/25.md new file mode 100644 index 0000000..6432017 --- /dev/null +++ b/jas/02/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je Rahabu alionyesha imani yake kwa jinsi gani? + +Rahabu alionyesha imani yake kwa kuwakaribisha wajumbe walikwenda kuwapeleka kwa kutumia barabara nyingine. + +# Jei mwili ni nini bila roho? + +Mwili bila roho umekufa. + diff --git a/jas/03/01.md b/jas/03/01.md new file mode 100644 index 0000000..fd5931f --- /dev/null +++ b/jas/03/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa nini Yakobo husema kwamba walimu hawapaswi kuwa wengi? + +Walimu hawapaswi kuwa wengi kwa sababu watapokea hukumu iliyo kuu. + +# Nani hujikwaa, na mara ngapi? + +Wote tunajikwaa mara nyingi. + +# Ni mtu gani anayeweza kuudhibiti mwili wake wote? + +Mtu mkamilifu anaweza kuudhibiti mwili wake wote. + diff --git a/jas/03/03.md b/jas/03/03.md new file mode 100644 index 0000000..1d01930 --- /dev/null +++ b/jas/03/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni mifano gani miwili ambao Yakobo anatumia ili kufafanua jinsi kitu kidogo kinavyoweza kuongoza kitu kikubwa? + +Yakobo anatumia mifano ya rijamu ya farasi na usukani wa meli. + +# Ni mifano gani miwili ambao Yakobo anatumia ili kufafanua jinsi kitu kidogo kinavyoweza kuongoza kitu kikubwa? + +Yakobo anatumia mifano ya rijamu ya farasi na usukani wa meli. + diff --git a/jas/03/05.md b/jas/03/05.md new file mode 100644 index 0000000..81ff90e --- /dev/null +++ b/jas/03/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kitu gani ambacho ulimi wenye dhambi unaweza kufanya kwa mwili mzima? + +Ulimi wenye dhambi unaweza kuunajisi mwili wote. + diff --git a/jas/03/07.md b/jas/03/07.md new file mode 100644 index 0000000..3082b34 --- /dev/null +++ b/jas/03/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kitu gani ambacho binadamu hawezi kukudhibiti? + +Ulimi ni kitu ambacho hamna mtu anayeweza kudhibiti. + diff --git a/jas/03/09.md b/jas/03/09.md new file mode 100644 index 0000000..f088e09 --- /dev/null +++ b/jas/03/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Vitu gani viwili vinaweza kutoka katika kinywa kimoja? + +Baraka na laana vyote viwili vyatoka katika kinywa kimoja. + diff --git a/jas/03/13.md b/jas/03/13.md new file mode 100644 index 0000000..cc0363b --- /dev/null +++ b/jas/03/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jinsi gani mtu anaweza kufafanua hekima na ufahamu? + +Mtu hufafanua hekima na ufahamu kwa kazi anazofanya katika unyenyekevu. + diff --git a/jas/03/15.md b/jas/03/15.md new file mode 100644 index 0000000..197021c --- /dev/null +++ b/jas/03/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni mtazamo gani unafanana na hekima ya duniani, isiyo ya kiroho na ya kipepo? + +Mtu mwenye wivu na ubinafsi ana hekima ya duniani, isiyo ya kiroho na ya kipepo. + +# Ni mtazamo gani unafanana na hekima kutoka juu. + +Mtu anayependa amani, mkarimu na mwenye matunda mema, asiye na upendeleo na mkweli huyo ana hekima kutoka juu. + diff --git a/jas/04/01.md b/jas/04/01.md new file mode 100644 index 0000000..78ea5df --- /dev/null +++ b/jas/04/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yakobo anasema ni nini chanzo cha ugonvi na migogoro? + +Chanzo ni tamaa mbaya iliyopo ndani yao. + +# Kwa nini waamini hawapokei mahitaji yao toka kwa Mungu? + +Kwa sababu wanaomba vitu vibaya ili vitumike kwa tamaa zao mbaya. + diff --git a/jas/04/04.md b/jas/04/04.md new file mode 100644 index 0000000..ae5ef0c --- /dev/null +++ b/jas/04/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kama mtu akiamua kuwa na urafiki na dunia hii, nini mahusiano ya mtu huyo na Mungu? + +Mtu analiyeamua kuwa na urafiki na dunia amekuwa adui wa Mungu. + diff --git a/jas/04/06.md b/jas/04/06.md new file mode 100644 index 0000000..314be88 --- /dev/null +++ b/jas/04/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mungu anawapinga watu gani na watu gani anawapa neema? + +Mungu anawapinga wenye kiburi na kuwapa wanyenyekevu neema. + +# Ibilisi atafanya nini mtu anapojitoa kwa Mungu na kumpinga shetani. + +Ibilisi atakimbia. + diff --git a/jas/04/08.md b/jas/04/08.md new file mode 100644 index 0000000..cd98b11 --- /dev/null +++ b/jas/04/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mungu atawafanya nini wale wanaomkaribia? + +Mungu atawkaribia wale wanaomkaribia. + diff --git a/jas/04/11.md b/jas/04/11.md new file mode 100644 index 0000000..42ac115 --- /dev/null +++ b/jas/04/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yakobo aliwaambia waamini wasifanye nini? + +Yakobo aliwaambia waamini wasisemane wao kwa wao. + diff --git a/jas/04/15.md b/jas/04/15.md new file mode 100644 index 0000000..9deff68 --- /dev/null +++ b/jas/04/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yakobo aliwaambia waamini waseme nini juu ya mambo yatakayotokea baadae. + +Yakobo aliwaambia waseme kuwa kama Mungu akiruhusu tuishi tutafanya hiki na kile. + +# Yakobo alisema nini juu ya wale wanaojivuna kuhusu mipango yao? + +Yakobo anasema wale wanaojivuna juu ya mipango yao wanafanya uovu. + +# Mtu anapojua kufanya matendo mema na asifanye nini hutokea? + +Mtu anapofahamu matendo mema na asifanye anakuwa ametenda dhambi. + diff --git a/jas/05/01.md b/jas/05/01.md new file mode 100644 index 0000000..e1a7141 --- /dev/null +++ b/jas/05/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kitu gani ambacho Yakobo anakizungumzia kwa matajiri ambacho kitakuwa ushuhuda dhidi yao? + +Matajiri wamekusanya hazina zao. + diff --git a/jas/05/04.md b/jas/05/04.md new file mode 100644 index 0000000..f6e0816 --- /dev/null +++ b/jas/05/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Matajiri wamewatendeaje watendakazi wao? + +Matajiri hawa hawajawalipa watendakazi wao. + +# Ni kwa namna gani matajiri wanawatendea wenye haki? + +Matajiri wanawahukumu na kuwauwa wenye haki. + diff --git a/jas/05/07.md b/jas/05/07.md new file mode 100644 index 0000000..0614edc --- /dev/null +++ b/jas/05/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yakobo anasema nini kuhusu mtazamo wa muumini unavyo paswa kuwa kuhusiana na ujio wa Bwana? + +Waumini wanapaswa kuungoja ujio wa Bwana kwa uvumilivu. + diff --git a/jas/05/09.md b/jas/05/09.md new file mode 100644 index 0000000..de728c1 --- /dev/null +++ b/jas/05/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni tabia gani ambayo Yakobo anaisema tunapaswa kuiiga toka kwa manabii wa agano la kale? + +Tunapaswa kuiga uvumilivu na uimara katika mateso. + diff --git a/jas/05/12.md b/jas/05/12.md new file mode 100644 index 0000000..b08f53a --- /dev/null +++ b/jas/05/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yakobo anasema nini juu ya uaminifu wa "ndiyo"na "hapana" ya muumini? + +"Ndiyo" ya muumini inapaswa kumaanisha "ndiyo" na hapana yake inapaswa kumaanisha "hapana." + diff --git a/jas/05/13.md b/jas/05/13.md new file mode 100644 index 0000000..4283710 --- /dev/null +++ b/jas/05/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Waginjwa wanapaswa kufanya nini? + +Wagonjwa wanapaswa kuwaita wazee wawaombee na kuwapaka mafuta. + diff --git a/jas/05/16.md b/jas/05/16.md new file mode 100644 index 0000000..15685ae --- /dev/null +++ b/jas/05/16.md @@ -0,0 +1,5 @@ +# Mambo gani mawili Yakobo anasema waumini wanapaswa kufanyiana ili wapate kuponywa?Yakobo anasema nini mfano wa Eliya unao tuonesha sisi juu ya maombi? + +Waumini wanapaswa kuungama dhambi wao kwa wao na kuombeana. +Mfano wa Eliya hutuonesha sisi kwamba maombi ya mtu mwenye haki huleta matokeo makubwa. + diff --git a/jas/05/19.md b/jas/05/19.md new file mode 100644 index 0000000..27cf68d --- /dev/null +++ b/jas/05/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kitu gani mtu atapata baada ya kumuongoza mwenye dhambi kutoka kwenye njia zake mbaya? + +Mtu anayemuongoza mwenye dhambi toka kwenye njia zake mbaya na kumuokoa roho yake na mauti atafunika wingi wa dhambi. + diff --git a/jhn/01/01.md b/jhn/01/01.md new file mode 100644 index 0000000..b67dda3 --- /dev/null +++ b/jhn/01/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hapo mwanzo kulikuwa na nini? + +Hapo mwanzo kulikuwa na neno. + +# Neno alikuwa na nani? + +Neno alikuwa pamoja na Mungu. + +# Neno alikuwa na nani? + +Neno alikuwa Mungu. + +# Je kuna chochote kilichofanyika bila Neno? + +Vitu vyote vilifanywa kupitia yeye, na bila yeye hakuna hata kitu kimoja kingengefanyika ambacho kimefanyika. + diff --git a/jhn/01/04.md b/jhn/01/04.md new file mode 100644 index 0000000..f902a17 --- /dev/null +++ b/jhn/01/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kulikuwa na nini ndani ya neno? + +Ndani yake kulikuwa uzima + diff --git a/jhn/01/06.md b/jhn/01/06.md new file mode 100644 index 0000000..f499f9b --- /dev/null +++ b/jhn/01/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Jina la mtu aliyetumwa kutka kwa Mungu lilikuwa nani? + +Jina lake lilikua Yohana + +# Yohana alikuja Kufanya nini? + +Alikuja kuwa shahidi wa kushuhudia kuhusu nuru, ili kwamba wote waweze kuamini kupitia yeye. + diff --git a/jhn/01/10.md b/jhn/01/10.md new file mode 100644 index 0000000..b91fd45 --- /dev/null +++ b/jhn/01/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je ulimwengu ulijua au kupokea nuru ambayo Yohana alikuja kuishuhudia? + +Ulimwengu haukuijua ile nuru ambayo Yohana alikuja kuishuhudia. na kwamba watu wenyewe wa huyo nuru hawakumpokea yeye. + diff --git a/jhn/01/12.md b/jhn/01/12.md new file mode 100644 index 0000000..70778d2 --- /dev/null +++ b/jhn/01/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nuru ilifanya nini kwa wale walioamini juu ya jina lake? + +Wale walioamini juuwa ya jina lake aliwapahaki ya kuitwa watoto wa Mungu. + +# Wale walioamini juu ya jina lake wangeweaje kuwa watoto wa Mungu? + +Wangeweza kufanyika watoto wa Mungu kwa kuzaliwa na Mungu + diff --git a/jhn/01/14.md b/jhn/01/14.md new file mode 100644 index 0000000..28a7056 --- /dev/null +++ b/jhn/01/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# J e kuna mtu au kumewahi kuwa na mtu yeyote kama neno ambaye alikuja kutoka kwa Mungu? + +Hapana! Neno pekee ndiye mtu maalum kutoka kwa Baba. + diff --git a/jhn/01/16.md b/jhn/01/16.md new file mode 100644 index 0000000..3f0f444 --- /dev/null +++ b/jhn/01/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Tumepokea nini kutokana kwa ukamilifu wa yule ambaye Yohana alishuhudia habari zake? + +Kutoka katika utimilifu wake, sisi sote tumepokea bure kipawa baada ya kipawa cha bure. + +# Kutoka katika Yesu Kristo nini kilikuja? + +Neema na kweli zilikuja kupitia kwa Yesu Kristo. + +# Ni nani aliyemwona Mungu wakati wowote? + +Hakuna mtu aliyemwaona Mungu wakati wowote. + +# Ni nani aliyefanya Mungu ajulikane? + +Aliye katika kifua cha Baba, amemfanya yeye ajulikane kwetu. + diff --git a/jhn/01/22.md b/jhn/01/22.md new file mode 100644 index 0000000..49805f2 --- /dev/null +++ b/jhn/01/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yohana alisema kuwa yye ni nani alipoulizwa na makuhani na Walawi kutoka Yerusallemu? + +Alisema, "Mimi ni sauti yake aliaye nyikani: 'Inyosheni njia ya Bwana,' kama tu vile nabii Isaya alivyosema." + diff --git a/jhn/01/29.md b/jhn/01/29.md new file mode 100644 index 0000000..2a3779b --- /dev/null +++ b/jhn/01/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yohana alisema nini alipomwona Yesu akija kwake? + +Alisema "Tazama Mwana-Kondoo wa Mungu aichukuae dhambi ya ulimwengu!" + +# Ni kwa nini Yohana alikuja akibatiza kwa maji? + +Alikuja akibatiza kwa maji ili kwamba Yesu, Mwana - Kondoo wa Mungu aichukuaye dhambi ya ulimwengu, angeweza kufunuliwa kwa Israeli. + diff --git a/jhn/01/32.md b/jhn/01/32.md new file mode 100644 index 0000000..89b0016 --- /dev/null +++ b/jhn/01/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni ishara gani iliyomdhihirisha Yesu kuwa ni Mwana wa Mungu kwa Yohana? + +Ishara ilikuwa kwamba kwa yeyote yule ambaye utaona Roho akishuka na kukaa juu yake, Huyo ndiye abatizaye kwa Roho Mtakatifu.' + diff --git a/jhn/01/37.md b/jhn/01/37.md new file mode 100644 index 0000000..6ef49ab --- /dev/null +++ b/jhn/01/37.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wanafunzi wawili wa Yohana walifanya niniwaliposikia Yohana akimwita Yesu "Mwana kondoo wa Mungu"? + +Walimfuata Yesu + diff --git a/jhn/01/40.md b/jhn/01/40.md new file mode 100644 index 0000000..61b61cf --- /dev/null +++ b/jhn/01/40.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Jina la mmoja wa wawili waliomsikia Yohana akiongea na kisha kumfuata Yesu alikuwa nani? + +Jina la mmoja wapo kati ya wale wawili ni Andrea + +# Andrea alimwambia nini Simoni nduguye kuhusu Yesu? + +Andrea alimwambia Simoni, "Tumempata Masihi" + +# Je! Yesu alisema Simoni angeitwa nani? + +Yesu alisema Simoni anegitwa "Kefa," (maana yake 'Petro'). + diff --git a/jhn/01/43.md b/jhn/01/43.md new file mode 100644 index 0000000..ead58a9 --- /dev/null +++ b/jhn/01/43.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mji wa andrea na Petro uliitwaje? + +Mji wa Andrea na Petro ulikuwa Bethsaida + diff --git a/jhn/01/49.md b/jhn/01/49.md new file mode 100644 index 0000000..1d58a92 --- /dev/null +++ b/jhn/01/49.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nathanaeli alisema nini kuhusu Yesu? + +Nathanaeli akasema, "Rabi, wewe ni mwana wa Mungu! Wewe ni Mfalme wa Iziraeli". + +# Yesu alisema Nathanieli angeona nini? + +Yesu alimwambia Andrea angeziona mbingu zikifunguka, na kuwaona malaika wakipanda na kushuka juu ya Mwana wa Adamu." + diff --git a/jhn/02/01.md b/jhn/02/01.md new file mode 100644 index 0000000..bc5d20c --- /dev/null +++ b/jhn/02/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nani alikuwa katika harusi huko Kana ya Galilaya? + +Yesu, mama yake, na wanafunzi wake walikuwa kwenye harusi katika Kana ya Galilaya. + diff --git a/jhn/02/03.md b/jhn/02/03.md new file mode 100644 index 0000000..f852c63 --- /dev/null +++ b/jhn/02/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini mama wa Yesu alimwambia Yesu, "Hawana divai?." + +Alimwambi hivyo kwa sababu alitarajia kuwa angefanya kitu fulani kuhusu mazingira husika + diff --git a/jhn/02/06.md b/jhn/02/06.md new file mode 100644 index 0000000..1ccc0c6 --- /dev/null +++ b/jhn/02/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu aliwaambia watumishi kufanya mambo gani mawili? + +Kwanza aliwambia kuijaza maji mitungi. Kisha aliwambia hao watumishi kupeleka kiasi cha "maji" kwa mhudumu mkuu wa meza. + diff --git a/jhn/02/09.md b/jhn/02/09.md new file mode 100644 index 0000000..81bd697 --- /dev/null +++ b/jhn/02/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je! Mhudumu mkuu wa meza alisema nini alipoyaonja maji aliyokuwa yamebadilika kuwa divai? + +Mhudumu mkuu wa meza alisema, "Kila mmoja huanza kuwahudumia watu divai nzuri na wakiishalewa huwapa divai isiyo nzuri. Lakini wewe umeitunza divai nzuri mpaka sasa" + diff --git a/jhn/02/11.md b/jhn/02/11.md new file mode 100644 index 0000000..7b4f254 --- /dev/null +++ b/jhn/02/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mwitikio wa wanafunzi wa Yesu walipoona ishara hii? + +Yesu' wanafunzi wanaamini katika Yesu. + diff --git a/jhn/02/13.md b/jhn/02/13.md new file mode 100644 index 0000000..a07fe8b --- /dev/null +++ b/jhn/02/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu aliona nini alipokwenda hekkaluni huko Yerusalemu? + +Aliwakuta wabadili fedha na waliokuwa wakiuza ng'ombe, kondoo, na njiwa + diff --git a/jhn/02/15.md b/jhn/02/15.md new file mode 100644 index 0000000..faf8c57 --- /dev/null +++ b/jhn/02/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alifanya nini kwa wauzaji na wabadilisha fedha? + +Akatengeneza mjeledi wa kamba akawafukuza wote waende nje ya Hekalu pamoja na kondoo na ng'ombe. Pia akamwaga fedha za wanavunja fedha, na kupindua meza zao. + +# Yesu aliwaambia nini wauza njiwa? + +Akawambia, "Toeni hapa vitu hivi, acheni kuifanya nyumba ya Baba yangu kuwa mahali pa soko." + diff --git a/jhn/02/17.md b/jhn/02/17.md new file mode 100644 index 0000000..78ec861 --- /dev/null +++ b/jhn/02/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je! Wakuu wa Kiyahudi waliitikiaje kwa vitendo vya Yesu hekaluni? + +Wakamuuliza Yesu, "Ni ishara ipi utakayoionyesha kwa sababu unayafanya mambo haya?" + +# Yesu aliwajibuje Wakuu wa Kiyahudi? + +Akawajibu, "libomoeni Hekalu hili, na katika siku tatu nitaliinua." + diff --git a/jhn/02/20.md b/jhn/02/20.md new file mode 100644 index 0000000..8a46aa3 --- /dev/null +++ b/jhn/02/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alikuwa akimaanisha hekalu gani? + +Yesu alikuwa akiongea hekalu la mwili wake. + diff --git a/jhn/02/23.md b/jhn/02/23.md new file mode 100644 index 0000000..b8ec6ea --- /dev/null +++ b/jhn/02/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini wengi waliamini katika jina la Yesu? + +Wao waliamini kwa sababu waliona dalili zote za miujiza aliyofanya. + +# Kwanini Yesu asingejiaminisha mwenyewe kwa watu? + +Asingejiaminisha mwenyewe kwa watu kwa sababu aliwajua wanadamu wote, na hakuhitaji mtu yeyote kuthibitisha kuhusu walivyo wanadamu. + diff --git a/jhn/03/01.md b/jhn/03/01.md new file mode 100644 index 0000000..58a3ffc --- /dev/null +++ b/jhn/03/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nikodemo alikuwa nani? + +Nikodemo alikuwa Mfarisayo, mjumbe wa Baraza la Wayahudi. + +# Nicodemo alishudia nini kwa Yesu? + +Nikodemo alimwambia Yesu,"Rabi, tunajua ya kuwa u mwalimu kutoka kwa Mungu, kwa maana hakuna mtu awezaye kutenda ishara hizi zote Mungu asipokuwa pamoja naye." + diff --git a/jhn/03/03.md b/jhn/03/03.md new file mode 100644 index 0000000..8e3897c --- /dev/null +++ b/jhn/03/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alimwambia nini Nikodemo hata kumtatanisha na kumchanganya? + +Yesu alimwambia Nikodemo kwamba ilimpasa mtu kuzaliwa upya ndipo auingie ufalme wa Mungu + +# Nikodemo aliuliza swali gani linalotufanya tujue kwamba kauli ya Yesu ilimchanganya na kumtatanisha Nikodemo? + +Nikodemo alisema," Mtu anawezaje kuzaliwa akiwa mzee? Hawezi kuingia tumboni mwa mama yake mara ya pili na kuzaliwa, Je! Anaweza?" + diff --git a/jhn/03/07.md b/jhn/03/07.md new file mode 100644 index 0000000..f3c9046 --- /dev/null +++ b/jhn/03/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alimwambia nini Nikodemo kilichomshangaza na kumchanganya? + +Yesu alimwambia Nikodemo kwamba mmoja alikuwa na kuzaliwa tena, kwa asipozaliwa kwa maji na kwa roho ili kuingia ufalme wa Mungu. + diff --git a/jhn/03/09.md b/jhn/03/09.md new file mode 100644 index 0000000..673b81e --- /dev/null +++ b/jhn/03/09.md @@ -0,0 +1,5 @@ +# Yesu alimkemeaje Nikodemo? + +Alimkemea Nikodemo kwa kumwambia, + "Wewe u mwalimu wa Israeli, hata huyaelewi mambo haya? + diff --git a/jhn/03/12.md b/jhn/03/12.md new file mode 100644 index 0000000..7f8a15d --- /dev/null +++ b/jhn/03/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nani alipanda mbinguni? + +Hakuna aliyepanda mbinguni isipokuwa yeye aliyeshuka kutoka mbinguni, Mwana wa Adamu. + diff --git a/jhn/03/14.md b/jhn/03/14.md new file mode 100644 index 0000000..e25b3d2 --- /dev/null +++ b/jhn/03/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini ni lazima Mwana wa Adamu ainuliwe juu? + +Ni lazima Ainuliwa ili kwamba wote wanaoamini katika yeye wapate uzima wa milele. + diff --git a/jhn/03/16.md b/jhn/03/16.md new file mode 100644 index 0000000..17f7e21 --- /dev/null +++ b/jhn/03/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni jinsi gani Mungu lionyesha kwamba aliupenda ulimwengu? + +Alionyesha pendo Lake kwa kumtoa Mwanawe wa pekee ili kila mtu amwaminiye asipotee bali awe na uzima wa milele. + +# Je! Mungu alimtuma Mwanawe kuuhukumu ulimwengu? + +Hapana.Mungu alimtuma Mwanawe ili kwamba ulimwengu uokolewa kwa kupitia Mwanawe. + diff --git a/jhn/03/19.md b/jhn/03/19.md new file mode 100644 index 0000000..394854c --- /dev/null +++ b/jhn/03/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa nini watu huangukia hukumuni? + +Watu kuanguka chini ya hukumu kwa sababu nuru imekuja ulimwenguni, na watu wakapenda giza kuliko kuipenda nuru, kwa sababu matendo yao ni maovu. + +# Kwani ni wale wanaofanya maovu hawataki kuja kwenye nuru? + +Wanaofanya maovu huichukia nuru na hawataki kuja ndani yake kwa sababu hawataki matando yao yawekwe wazi. + +# Kwa nini waitendao kweli huja kwenye nuru? + +Wanakuja kwenye nuru ili kwamba matendo yao yaonekane wazi na kuweka wazi kwamba matendo yao yametokana na utii kwa Mungu + diff --git a/jhn/03/29.md b/jhn/03/29.md new file mode 100644 index 0000000..fef1b1f --- /dev/null +++ b/jhn/03/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yohana alisema kingetokea nini kwa huduma ya Yesu, ukilinaganisha na huduma ya Yohana? + +Yohana alisema, "Anapaswa kuzidi, nami napaswa kupungua." + diff --git a/jhn/03/31.md b/jhn/03/31.md new file mode 100644 index 0000000..ae6447e --- /dev/null +++ b/jhn/03/31.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wale walioukubali ushuhuda wa Yeye atokaye juu, atokaye mbinguni, walithibitisha nini? + +Walithibitisha kwamba Mungu ni mkweli. + diff --git a/jhn/03/34.md b/jhn/03/34.md new file mode 100644 index 0000000..713d58b --- /dev/null +++ b/jhn/03/34.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Baba ameweka nini mkanoni mwa Mwana? + +Ameweka vitu vyote mkononi mwa Mwana. + +# Wale wanaomini katika Mwana wana nini? + +Wanauzima wa Milele. + +# Huwa kunatoea nini kwa wale wanaomwasi Mwana? + +Hawatauona uzima, bali ghadhabu ya Mungu nashikamana juu yao. + diff --git a/jhn/04/01.md b/jhn/04/01.md new file mode 100644 index 0000000..44cfd25 --- /dev/null +++ b/jhn/04/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni wakati gani Yesua alitoka Yudea na kwenda Galilaya? + +Yesu alitoka Yudea kwa Galilaya baada ya yeye kujua Mafarisayo wamesikia ya kwamba yeye alikuwa anabatiza na kuwapata wanafunzi wengi kuliko Yohana. + diff --git a/jhn/04/04.md b/jhn/04/04.md new file mode 100644 index 0000000..2720c44 --- /dev/null +++ b/jhn/04/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alifika wapi alipokuwa njiani kwenda Galilaya? + +alifika kwenye mji wa Samaria, unaoitwa Sikari, + diff --git a/jhn/04/06.md b/jhn/04/06.md new file mode 100644 index 0000000..df32d31 --- /dev/null +++ b/jhn/04/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni nani alikuja kwenye kisima cha Yakobo Yesu alipokuwa hapo? + +Mwanamke Msamaria alikuja hapo kuteka maji, + +# Yesu alisema nini kwanza kwa mwanamke Msamaria? + +alimwambia, "Nipe ya kunywe." + +# Wanafunzi wa Yesu walikuwa wapi? + +Walikuwa wamekwenda zao mjini kununua chakula. + diff --git a/jhn/04/09.md b/jhn/04/09.md new file mode 100644 index 0000000..b26ff71 --- /dev/null +++ b/jhn/04/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini mwanamke Msamaria alishangaa kumwona Yesu anaongea naye? + +Alishangazaa kwa sababu Wayahudi hawakujishughulisha na Wasamaria. + +# Yesu alisemaje ili kuulekaza mjadala kwa mambo ya Mungu? + +Yesu anamwambia kwamba kama angelijua karama ya Mungu, na yule aliyekuwa akiongea naye ni nani agelimwomba maji na angekuwa amamishampa maji ya uzima." + diff --git a/jhn/04/11.md b/jhn/04/11.md new file mode 100644 index 0000000..b1c1cb0 --- /dev/null +++ b/jhn/04/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kauli gani ambayo mwanake anatoa kuashria kuwa hayaelewi asili ya kiroho ya maoni ya Yesu? + +mwanamke akajibu, `Mheshimiwa, wewe huna ndoo, na kisima ni kirefu. ungeyapata wapi hayo maji yaliyo hai? ' + diff --git a/jhn/04/15.md b/jhn/04/15.md new file mode 100644 index 0000000..9725e78 --- /dev/null +++ b/jhn/04/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yesu anamwambia nini mwanamke kuhusu maji atakayompa? + +Yesu anamwambia mwanamke wale wanaokunywa maji anatoa yeye wahataona kiu tena na kwamba maji hayo yatakuwa chemchemi ya maji, yakibubujikia uzima wa milele. + +# Kwa nini mwanamke anayataka maji ambayo Yesu anatoa? + +Yeye anataka maji hayo ili asione kiu na asije tena kisimani kuteka maji. + +# Yesu anabadili somo la mazungumzo. Anamwambia nini Mwanamke? + +Yesu anamwambia, "Nenda ukamwite mumeo, kisha urudi hapa." + diff --git a/jhn/04/17.md b/jhn/04/17.md new file mode 100644 index 0000000..8a6beed --- /dev/null +++ b/jhn/04/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni namna gani mwanamke anamjibu Yesu anapomwambia kumwita mume wake? + +mwanamke anamwambia Yesu kuwa hana mume. + +# Yesu anamwambia nini mwanamkwa ambaye hakumjua asili ya maisha yake. + +Anamwambia amekuwa na waume watano na mwanaume aliyenaye sasa siyo mumewe. + diff --git a/jhn/04/19.md b/jhn/04/19.md new file mode 100644 index 0000000..3a02084 --- /dev/null +++ b/jhn/04/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mwanamke analeta mjadala gani kwa Yesu kuhusu ibada? + +Anaibua mjadala juu ya mahali sahihi pa kuabudia. + diff --git a/jhn/04/23.md b/jhn/04/23.md new file mode 100644 index 0000000..8eeb063 --- /dev/null +++ b/jhn/04/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu anamwambia nini mwanamke kuhusu aina ya waabuduo ambao Baba anawatafuta? + +Yesu anawaambia Mungu wake ni Roho na wale waabuduo kweli lazima wamwabudu Mungu katika roho na kweli. + diff --git a/jhn/04/25.md b/jhn/04/25.md new file mode 100644 index 0000000..5fd3d25 --- /dev/null +++ b/jhn/04/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu anamwambia nini mwanamke alipomwambia kwamba wakati Masihi (Kristo), atakapokuja atawambia mambo yote? + +Yesu anamwambia kwamba yeye ni Masihi (Kristo). + diff --git a/jhn/04/28.md b/jhn/04/28.md new file mode 100644 index 0000000..a056f24 --- /dev/null +++ b/jhn/04/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mwanamke alifanya nini baada ya mazungumzo yake na Yesu? + +mwanamke akauacha mtungi wake pale, akaenda mjini na kuwaambia watu, 'Njoo kuona mtu aliyeniambia mambo yote niliyotenda. Hii inaweza kuwa Kristo, au sivyo? ' + diff --git a/jhn/04/34.md b/jhn/04/34.md new file mode 100644 index 0000000..f6f8388 --- /dev/null +++ b/jhn/04/34.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu anasema chakula chake ni nini? + +Yesu alisema chakula chake ni kufanya mapenzi ya yule aliyemtuma, na kukamilisha kazi yake. + +# Ni nini faida ya mavuna? + +Wavunaji hupokea ujira wao na kukusanya matunda kwa ajili ya uzima wa milele, ili kwamba yule anayepanda na anayevuna waweze kufurahi pamoja. + diff --git a/jhn/04/39.md b/jhn/04/39.md new file mode 100644 index 0000000..32387a2 --- /dev/null +++ b/jhn/04/39.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa nini Wamaria wengi katika mji huo walimwamini katika Ysu? + +Taarifa ya mwanamke ilisababisha Wasamaria wengi kumawamini Yesu katika mji huo + diff --git a/jhn/04/41.md b/jhn/04/41.md new file mode 100644 index 0000000..11eac96 --- /dev/null +++ b/jhn/04/41.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wengi wa Wasamaria hao waliamini nini kuhusu Yesu? + +Walisema kwamba sasa walijua kwamba Yesu alikuwa Mwokozi wa ulimwengu hasa. + diff --git a/jhn/04/43.md b/jhn/04/43.md new file mode 100644 index 0000000..86ac881 --- /dev/null +++ b/jhn/04/43.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alipoingia Galilaya, kwa nini Wagalilaya walimkaribisha? + +walimkaribisha kwa sababu walikuwa wameona mambo aliyokuwa ametenda huko Yerusalemu kwenye sikukuu + diff --git a/jhn/04/46.md b/jhn/04/46.md new file mode 100644 index 0000000..955240d --- /dev/null +++ b/jhn/04/46.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baada ya Yesu kutoka Yudea na kurudi Galilaya, nani alikuja kwa Yesu na alitaka nini? + +ofisa aliyekuwa na mtoto mgonjwa alikuja kwa Yesu, kumwomba ashuke na kumponya mwanawe. + diff --git a/jhn/04/48.md b/jhn/04/48.md new file mode 100644 index 0000000..5c3c56f --- /dev/null +++ b/jhn/04/48.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alimwambia nini yule ofisa kuhusu ishara na maajabu? + +esu akamwambia, "Watu wasingeliamini mpaka waone ishara na miujiza. + +# Yule ofisa alifanya nini wakti Yesu hakwenda naye bali alimwambia,"Nenda; mwanao ni mzima? + +Mtu huyo aliyaamini maneno ambayo Yesu alimwambia, na akaenda zake. + diff --git a/jhn/04/53.md b/jhn/04/53.md new file mode 100644 index 0000000..04124f7 --- /dev/null +++ b/jhn/04/53.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nini kilichotokea baada ya baba wa mtoto wa mgonjwa alipoambiwa mtoto wake alikuwa mzima na kwamba homa ilimwacha saa saba siku moja kabla, na kwamba ni wakati ule ule alipoambiwa na Ysu, 'Mwana ni mzima"? + +Matokeo yalikuwa kwamba yule ofisa pamoja na wa nyumbani mwake wote waliamini. + diff --git a/jhn/05/01.md b/jhn/05/01.md new file mode 100644 index 0000000..837f613 --- /dev/null +++ b/jhn/05/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Bwawa katika mji wa Yeruslemu kwenye lango la kondoo ambalo lilikuwa na kumbi tano liliitwaje + +Bwawa hilo liliitwa Bethesda + +# Nani alikuwako huko Bethesda? + +Idadi kubwa ya wasiojiweza ilikuwemo, yaani vipofu, viwete, au waliopooza walikuwa wamelala katika kumbi hizo + diff --git a/jhn/05/05.md b/jhn/05/05.md new file mode 100644 index 0000000..249a1c8 --- /dev/null +++ b/jhn/05/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Pale Bethesda ni nani aliyeambiwa naYesu , "Unataka kuwa mzima? + +Yesu alimuuliza mtu fulani aliyekuwa mgonjwa kwa muda wa miaka thelathini na minane na ambaye alikuwa amelazwa huko kwa muda mrefu + diff --git a/jhn/05/07.md b/jhn/05/07.md new file mode 100644 index 0000000..d9e9e8e --- /dev/null +++ b/jhn/05/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jibu la yule mtu lilikuwa lipi alipoulizwa, "Unataka kuwa mzima"? + +mtu mgonjwa akajibu, `Mheshimiwa, mimi sina mtu yeyote wa kunitumbukiza bwawani maji yanapotibuliwa. Wakati Ninapojaribu kuingia, mtu mwingine hunitangulia kuingia. + diff --git a/jhn/05/09.md b/jhn/05/09.md new file mode 100644 index 0000000..65cb15a --- /dev/null +++ b/jhn/05/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nini kilitokea wakati Yesu alipomwambia yule mtu mgonjwa, "Simama, chukua kitanda chako, na uende? + +'Mara hiyo mtu huyo aliponywa, alichukua kitanda chake na kutembea' + diff --git a/jhn/05/10.md b/jhn/05/10.md new file mode 100644 index 0000000..e002057 --- /dev/null +++ b/jhn/05/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini liliwahuzunisha viongozi wa Kiyahudi walipomwona yule mtu aliyekuwa mgonjwa akitambea akiwa kitanda chake? + +Liliwahuzunisha kwa sababu ilikuwa ni Sabato na wakasema mtu mtu huyo hakuruhusiwa kubeba kitanda chake siku ya Sabato. + diff --git a/jhn/05/14.md b/jhn/05/14.md new file mode 100644 index 0000000..4ed2f8d --- /dev/null +++ b/jhn/05/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema nini kwa yule mtu aliyemponya baada ya Yesu kumwaona hekaluni ? + +Yesu alimwambia, "Tazama, umepona! "Usitende dhambi tena usije ukapatwa na jambo baya zaidi." + +# Yule mgonjwa aliyeponywa alifanya nini baada ya Yesu kumwambia kuacha kutenda dhambi? + +Yule mtu alienda akawaambia viongozi wa Wayahudi kwamba alikuwa ni Yesu aliyemponya. + diff --git a/jhn/05/16.md b/jhn/05/16.md new file mode 100644 index 0000000..8b124fa --- /dev/null +++ b/jhn/05/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# YEsu aliwajibuje viongozi wa Wayahudi ambao wamtesa kwa basababu alikuwa akifanya mambo haya (kupojanya) kwenye Sabato? + +Yesu aliwaambia, " Baba yangu anafanya kazi hata sasa, na Mimi, pia, nafanya kazi." + +# Kwanini kauli ya Yesu kwa vingozi wa Wayahudi iliwafanya watake kumuua Yesu? + +Ilitokea hivi kwa sababu yesu hakuwa tu anavunja Sabato (akilini mwao), bali pia alimwita Mungu Baba yake, akijifanya mwenyewe kuwa sawa na Mungu + diff --git a/jhn/05/19.md b/jhn/05/19.md new file mode 100644 index 0000000..85138d7 --- /dev/null +++ b/jhn/05/19.md @@ -0,0 +1,9 @@ +# Yesu alifanya nini? + +Aliifanya kile alichomwona Baba akifanya. + +# Ni kitu gani Baba angefanya ili kwamba viongozi wa Wayahudi wangeshangazwa? + +Baba angemwonyesha Mwana mambo +makubwa zaidi ya haya hivyo viongozi wa Wayahudi wangeshangazwa. + diff --git a/jhn/05/21.md b/jhn/05/21.md new file mode 100644 index 0000000..af2a1e9 --- /dev/null +++ b/jhn/05/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwa nini Baba alimempa mwana hukumu yote? + +Baba amempa Mwana hukumu yote ili kwamba wote wamuheshimu Mwana kama vile Mwana anavyomuheshimu Baba + +# HUtokea nini kama humheshi Mwana? + +Kama humheshimu Mwana humheshimu Baba aliyemtuma. + diff --git a/jhn/05/24.md b/jhn/05/24.md new file mode 100644 index 0000000..f13b3b0 --- /dev/null +++ b/jhn/05/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nini kinatokea kama ukiamini neno la Yesu na kumwamini Baba aliyemtuma? + +Kama hivyo, una uzima wa milele na hutahukumiwa lakini utakuwa umepita mautini kuingia uzima. + diff --git a/jhn/05/26.md b/jhn/05/26.md new file mode 100644 index 0000000..4117790 --- /dev/null +++ b/jhn/05/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baba amempa nini Mwana kuhusu uzima? + +Baba amempa Mwana kuwa na uzima ndani yake. + diff --git a/jhn/05/28.md b/jhn/05/28.md new file mode 100644 index 0000000..966083a --- /dev/null +++ b/jhn/05/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kitatokea wote walio makaburini watakaposikia sauti ya Baba? + +Nao watoka nje. Wale waliotenda mema kwa ufufuo wa uzima, na wale waliotenda maovu kwa fufuo wa hukumu. + diff --git a/jhn/05/30.md b/jhn/05/30.md new file mode 100644 index 0000000..6c366eb --- /dev/null +++ b/jhn/05/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini hukumu ya Yesu ni ya haki? + +Hukumu yake ni ya haki kwa sababu yeye hatafuti mapenzi yake mwenyewe bali mapenzi ya Baba aliyemtuma. + diff --git a/jhn/05/36.md b/jhn/05/36.md new file mode 100644 index 0000000..0fc236d --- /dev/null +++ b/jhn/05/36.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni ushuhuda gani mkuu kuliko wa Yohana alionao Yesu kuthibitisha kwamba alitumwa kutoka kwa Baba? + +Kazi alizofanya Yesu zilishuhudia kuwa alitumwa kutoaka kwa Baba. + +# Ni nani ambaye alikuwa hata hajawahi kuisikia sauti ya Baba wala kuona umbo lake wakati wowote? + +Viongozi wa Wayahudi hawakuahi hata kusikia sauti wala kuona umbo lake wakati wowote. + diff --git a/jhn/05/39.md b/jhn/05/39.md new file mode 100644 index 0000000..ab2daa5 --- /dev/null +++ b/jhn/05/39.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini Wayahudi waliyachunguza maandiko? + +Waliyachunguza kwa sababu walidhani kwamba ndani yake kulikuwa na uzima wa milele. + +# Maandiko yanamshuhudia nani? + +Maandiko hushuhudia kuhusu Yesu. + diff --git a/jhn/05/43.md b/jhn/05/43.md new file mode 100644 index 0000000..454ce0f --- /dev/null +++ b/jhn/05/43.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Viongozi wa Wayahudi hawakutafuta sifa kutoka kwa nini? + +Walikuwa hawatafuti sifa ambayo ilitoka kwa Mungu pekee. + diff --git a/jhn/05/45.md b/jhn/05/45.md new file mode 100644 index 0000000..17436fe --- /dev/null +++ b/jhn/05/45.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema vinNi nani aliyekuwa akiwashitaki viongozi wa Wayahudi mbele za Baba? + +Musa alikuwa anaenda kuwashitaki viongozi wa Wayahudi mbele ya Baba. + +# Yesu anasema viongozi wa Wayahudi wangefanya nini kama walimwamini Musa? + +Anasema viongozi wa Wayahudi wangeamili katika Yesu kwama kweli alimwamini Musa kwa sababu Musa aliandika kuhusu Yesu. + diff --git a/jhn/06/01.md b/jhn/06/01.md new file mode 100644 index 0000000..e486ddb --- /dev/null +++ b/jhn/06/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Jina lingine la Bahari ya Galilaya iliitwaje? + +Bahari ya Galilaya pia aliitwa bahari ya Tiberia. + +# Kwa nini kundi mkutano mkubwa ulimfuata Yesu? + +Walimfuata kwa sababu walikuwa wakiziona ishara ambazo Yesu alikuwa akizifanya juu ya wale waliokuwa wagonjwa. + diff --git a/jhn/06/04.md b/jhn/06/04.md new file mode 100644 index 0000000..5f726c6 --- /dev/null +++ b/jhn/06/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu aliona nini baada ya kukaa mlimani akiwa na wanafunzi wake na kutazama juu? + +Yeye akaona mkutano mkuu wanakuja kwake. + +# Kwa nini Yesu alimwuliza Filipo, "Tutakwenda wapi kununua mikate ili hawa waweze kula?" + +Yesu alisema hili kumjaei Filipo. + diff --git a/jhn/06/07.md b/jhn/06/07.md new file mode 100644 index 0000000..1cad186 --- /dev/null +++ b/jhn/06/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mwitikio wa Filipo ulikuwa ni upi kwa swali la Yesu, "Ni wapi tutakaponunua mikate ili watu hawa wote wale?" + +Philipo alisema, "Hata mikate ya dinarimia mbili isingekuwa kutosha kwa ajili ya kila mmoja kuwa na hata kidogo." + +# Mwitikio wa Andrea kwa swali la Yesu, "Ni wapi tutakaponunua mikate ili watu hawa wote wale? + +Andrea alisema,"Kuna mvulana hapa ana mikate mitano na samaki wawili, lakini hivi kitu gani kwa watu wengi namna hii?" + diff --git a/jhn/06/10.md b/jhn/06/10.md new file mode 100644 index 0000000..283f1b5 --- /dev/null +++ b/jhn/06/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni wanaume wangapi waliokuwepo katika sehemu ile? + +Kulikuwa na wanaume wapatao elfu tano huko. + +# Yesu alifanya aliifanyia nini mikate na hao samaki? + +"Yesu alichukua ile mikate mitano akashukuru akawagawia wale waliokuwa wamekaa. Vivyo hivyo akawagawia samaki kwa kadiri ya vile walivyohitaji. + +# Watu walikula kiasia gani? + +Walipata vingi kulingana na walivyotaka kula. + diff --git a/jhn/06/13.md b/jhn/06/13.md new file mode 100644 index 0000000..8b8bb46 --- /dev/null +++ b/jhn/06/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kiasi gani cha mikate kilichookotwa baada ya kula mikate? + +Wanafunzi wakajaza vikapu kumi na viwili vipande kutoka mikate mitano ya shayiri na vipande vya kushoto juu kutoka kwa wale waliokula. + +# Kwa nini Yesu alijitenga tena peke yake kwenda mlimani? + +Yesu alijitenga kwa sababu aligundua kwamba , baada ya watu kuona muujiza alifanya (kuwalisha watu elfu tano), walikuwa karibu kuja na kumkata kwa nguvu na kumfanya mfalme. + diff --git a/jhn/06/16.md b/jhn/06/16.md new file mode 100644 index 0000000..c14b22b --- /dev/null +++ b/jhn/06/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kulitokea nini kwa hali ya hewa baada ya wanafunzi kuingia kwenye mtumbwi na kuanza safari ya kwenda Kaprnaumu? + +Upepo mkali ulianza kuvuma na Bahari ilianza kuchafuka. + diff --git a/jhn/06/19.md b/jhn/06/19.md new file mode 100644 index 0000000..06dc4b0 --- /dev/null +++ b/jhn/06/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini wanafunzi wa Ysu walianza kuogopa? + +Walikuwa na hofu kwa sababu walimwona Yesu akitembea juu ya maji anakaribia mashua. + +# Yesu aliwaambia nini wanafunzi wake ambacho kilichowafanya wakubali kumpokea kwenye mtubwi? + +Yesu aliwaambia, "kawambia, "Ni mimi! Msiogope." + diff --git a/jhn/06/26.md b/jhn/06/26.md new file mode 100644 index 0000000..92cce78 --- /dev/null +++ b/jhn/06/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema sababu ya makutano kumtafuta ilikuwa ni ipi? + +Yesu alisema walikuwa wanamtafuta Yeye si kwa sababu waliziona ishara, bali kwa sababu walikula baadhi ya mikate wakashiba. + +# Yesu aliwaambia makutano wafanye nini na wasifanye nini? + +Yesu aliwambiaa waache kukifanyia kazi chakula chenye kuharibika, bali wafanyie kazi chakula kidumcho hata milele + diff --git a/jhn/06/30.md b/jhn/06/30.md new file mode 100644 index 0000000..1cf2fde --- /dev/null +++ b/jhn/06/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mkutano ulianza kumwomba Yesu kwa ajili ya ishara kama Manna, mkate kutoka mbinguni, baba zao waliapa ili wale, Ni mkate gani tena Yesu anauonglea? + +Yesu anazungumza kuhusu mkate wa kweli kutoka mbinguni kwa Mungu ambao ni uhai kwa ulimwengu. kisha Yesu anawaambia yeye ni mkate wa uzima. + diff --git a/jhn/06/35.md b/jhn/06/35.md new file mode 100644 index 0000000..e49e110 --- /dev/null +++ b/jhn/06/35.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni mikate gani ambao Yesu anauongelea? + +Yesu anasema kwamba yeye ndiye wmkate wa uzima. + +# Ni nani atakayekuja kwa Yesu? + +Wote ambao Yesu amepewa na Baba watakuja kwake. + diff --git a/jhn/06/38.md b/jhn/06/38.md new file mode 100644 index 0000000..edeb371 --- /dev/null +++ b/jhn/06/38.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mapenzi ya Baba aliyemtuma Yesu nini? + +Mapenzi ya Baba ni kwamba Yesu asimpoteze hata mmoja wa wale wa aliompa Yeye na kwamba yeyote amtazamaye Mwana na kumwamini apate uzima wa milele; na Yesu atamfufua siku ya mwisho. + diff --git a/jhn/06/46.md b/jhn/06/46.md new file mode 100644 index 0000000..4d95f50 --- /dev/null +++ b/jhn/06/46.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nani aliyemwona Baba? + +Ni yule tu aliyetoka kwa Mungu ndiye aliyemwona Baba. + diff --git a/jhn/06/50.md b/jhn/06/50.md new file mode 100644 index 0000000..f06733d --- /dev/null +++ b/jhn/06/50.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni mkate gani Yesu ambao Yesu atautoa kwa ajili ya uzima wa ulimwengu? + +Mkate atakaoutoa Yesu kwa ajili ya uzima wa ulimwangu ni mwili wake." + diff --git a/jhn/06/52.md b/jhn/06/52.md new file mode 100644 index 0000000..e6aa049 --- /dev/null +++ b/jhn/06/52.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Unatakiwa kufamya nini ili kupata uzima ndani yako? + +Ili kupata uzima ndani yako ni lasima uule mwili wa Mwana wa Adamu na kuinywa damu yake. + diff --git a/jhn/06/54.md b/jhn/06/54.md new file mode 100644 index 0000000..b4b6686 --- /dev/null +++ b/jhn/06/54.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Tnawezaje kukaa ndani ya Yesu na Yesu kukaa ndani Yestu? + +Kama tutakula mwili wake na kunywa damu yake tutakaa ndani ya Yesu na yeye ndani Yetu. + diff --git a/jhn/06/57.md b/jhn/06/57.md new file mode 100644 index 0000000..e6fe6b7 --- /dev/null +++ b/jhn/06/57.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa nini Yesu anaishi? + +Yesu anaishi kwa sababu Baba. + diff --git a/jhn/06/60.md b/jhn/06/60.md new file mode 100644 index 0000000..7d597fa --- /dev/null +++ b/jhn/06/60.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# wanafunzi wengi wa Yesu waliitikia namna gani baada ya kusikia mafundisho ya Yesu juu ya kula mwili wake na kuinywa damu yake? + +Wanafunzi waliposikia haya mafundisho wengi wao wakasema, 'Hili fundisho gumu ni nani awezaye kulipokea?" Baada ya hayo, wengi wa wanafunzi wake walirudi nyuma wasiandamane naye. + diff --git a/jhn/06/64.md b/jhn/06/64.md new file mode 100644 index 0000000..5487612 --- /dev/null +++ b/jhn/06/64.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alifahamu nini kuhusu watu tangu mwanzo? + +"Yesu alijua tangu mwanzo yule ambaye asiyeweza kuamini na yeye ambaye angemsaliti". + diff --git a/jhn/06/66.md b/jhn/06/66.md new file mode 100644 index 0000000..5384d81 --- /dev/null +++ b/jhn/06/66.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alipowauliza wale kumi na wawili, "Ninyi hamtaki kuniacho pia, sivyo?, ni nani alijibu na alisema nini? + +Simoni Petro alimjibu na alisema, Bwana, wende kwa nani kwani wewe unayo maneno ya uzima wa milele, na tumeamini na kujua kuwa wewe ni Mtakatifu wa Mungu." + diff --git a/jhn/06/70.md b/jhn/06/70.md new file mode 100644 index 0000000..b9d1cec --- /dev/null +++ b/jhn/06/70.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alimaanisha nani aliposema mmoja wa wanafunzi wake, kumi na wawili alikuwa shetani? + +Yesu alizumngumzia Yuda, mwana wa Simoni Iskarioti; maana yeye ingawaje alikuwa miongoni mwa wale kumi na wawili, alikuwa ndiye ambaye angemsaliti Yesu. + diff --git a/jhn/07/01.md b/jhn/07/01.md new file mode 100644 index 0000000..170c3df --- /dev/null +++ b/jhn/07/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Yesu hakuwa tayari kwenda Uyahudi + +Hakuwa tayari kwenda kule kwa sababu watu Wayahudi walitaka kumuua. + diff --git a/jhn/07/03.md b/jhn/07/03.md new file mode 100644 index 0000000..d768625 --- /dev/null +++ b/jhn/07/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini ndugu zake Yesu walimsihi aende Uyahudi kwenye Sikukuu ya Vibanda? + +Walimsihi Yesu kwenda ili kwamba, wanafunzi wa wake wangeweza kuyaona matendo aliyokuwa akiyafanya na ili kwamba ulimwengu ungeweza kujua. + diff --git a/jhn/07/05.md b/jhn/07/05.md new file mode 100644 index 0000000..d8ae69b --- /dev/null +++ b/jhn/07/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni sababu gani aliyoitoa Yesu kwa kutotaka kwenda kwenye sikukuu? + +Yesu aliwaambia ndugu zake wakati wake ulikuwa haujafika bado na majira yake hayajatimiza bado. + +# Ni kwa nini ulimwengu humchukia Yesu. + +Yesu alisema ulimwengu ulimchukia yeye kwa sababu huushuhudia ulimwengu kuwa matendo yake ni maovu. + diff --git a/jhn/07/10.md b/jhn/07/10.md new file mode 100644 index 0000000..810076d --- /dev/null +++ b/jhn/07/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Lini na jinsi gani Yesu alikwenda kwenye sikukuu? + +Yesu alikwenda baada ya ndugu zake kuwa wamekwenda kwenye sikukuu lakini alienda kwa siri na sio hadharani. + diff --git a/jhn/07/12.md b/jhn/07/12.md new file mode 100644 index 0000000..e125094 --- /dev/null +++ b/jhn/07/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Makutano ya watu walisemaje kumuhusu Yesu? + +Baadhi yao walisema, "Ni mtu mzuri."Wengine walisema, "Hapana, anawapotosha makutano." + +# Kwa nini hakukuwa na yeyote aliyezungumza juu yake hadharani + +Ilikuwa ni kutokana na hofu ya Wayahudi kwamba hakukuwa na mtu aliyezungumza hadhdrani kuhusu Yesu. + diff --git a/jhn/07/14.md b/jhn/07/14.md new file mode 100644 index 0000000..79f0f8d --- /dev/null +++ b/jhn/07/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni lini Yesu alipanda kwenda hekaluni na kuanza kufundisha? + +Wakati sikukuu ilipofika katikati, Yesu alipanda kwenda hekaluni na kuanza kufundisha + diff --git a/jhn/07/17.md b/jhn/07/17.md new file mode 100644 index 0000000..7d0907e --- /dev/null +++ b/jhn/07/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisemaje ikiwa mmoja angelitaka kujua kama mafundisho yake yanatoka kwa Mungu, au kama Yesu alikuwa anaongea ya kwake mwenyewe? + +Yesu alisema kama yeyote anapenda kufanya mapenzi ya mtu aliye mtuma Yesu, angelijua kuhusu mafundisho haya, kama yanatoka kwa Mungu au la. + +# Yesu alisemaje kuhusu mtu anayetafuta utukufu wa Yeye aliyemtuma? + +Yesu alisema kwamba mtu huyo ni mkweli, na ndani yake hakuna kutotenda haki. + diff --git a/jhn/07/19.md b/jhn/07/19.md new file mode 100644 index 0000000..59498c4 --- /dev/null +++ b/jhn/07/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kulingana na Yesu, nani anatenda shelia? + +Yesu alisema hakuna atendaye sheria. + diff --git a/jhn/07/23.md b/jhn/07/23.md new file mode 100644 index 0000000..a774264 --- /dev/null +++ b/jhn/07/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hoja ya Yesu kwa kuponya katika Sabato ikoje? + +Hoja ya Yesu ilikuwa: Nyinyi mtatahiri mtu katika Sabato ili kwamba sheria ya Musa isivujwe. Hivyo kwa nini mnanikasirikia kwa sababu nilimfanya mtu kuwa mzima kabisa katika Sabato. + +# Yesu aliwaambia watu namna gani? + +Yesu aliwaambia wasihukumu kwa kuangalia mwonekano, bali wahukumu kwa haki. + diff --git a/jhn/07/25.md b/jhn/07/25.md new file mode 100644 index 0000000..fc95ff0 --- /dev/null +++ b/jhn/07/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni ipi mojawapo ya hoja walizozitoa watu kwa kutomwamini Yesu kwamba alikuwa Kristo + +Watu walisema walijua Yesu anakotoka, lakini walisema Kristo atakapokuja, walisema hakuna atakayejua. + diff --git a/jhn/07/30.md b/jhn/07/30.md new file mode 100644 index 0000000..6e2504a --- /dev/null +++ b/jhn/07/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nani aliyetuma maafisa kumkamata Yesu? + +Wakuu wa Makuhani na Mafarisayo walituma maafisa kumkata Yesu. + diff --git a/jhn/07/35.md b/jhn/07/35.md new file mode 100644 index 0000000..88dd8d3 --- /dev/null +++ b/jhn/07/35.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je Wayahudi walielewa kile Yesu alimaanisha aliposema, "Bado muda kidogo niko na ninyi, na kisha nitakwenda kwake aliyenituma. Mtanitafuta lakini hamtaniona; kule niendako hamuwezi kuja."? + +Kwa mazungumzo kati yao wenyewe yalionesha kuwa hawakuielewa kauli ya Yesu. + diff --git a/jhn/07/39.md b/jhn/07/39.md new file mode 100644 index 0000000..d62fbd7 --- /dev/null +++ b/jhn/07/39.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alikuwa akirejea nini aliposema, ikiwa yeyote ana kiu, na aje kwangu na kunywa. Yeyote aniaminiye mimi, kama maadiko yalivyosema, ndani yake kutatoka mito ya maji ya uzima." + +Yesu alisema hivi kuhusu Roho, ambaye wale walioamini katika Yeye wangempokea. + diff --git a/jhn/07/45.md b/jhn/07/45.md new file mode 100644 index 0000000..8eb773b --- /dev/null +++ b/jhn/07/45.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maafisa waliwajibuje Makuhani wakuu na Mafarisayo ambao walisema kwao, "kwa nini hamkumleta(Yesu)?" + +Maafisa walijibu, "Hakuna mtu ambaye amewahi kuzungumza kama huyu kabla." + diff --git a/jhn/07/50.md b/jhn/07/50.md new file mode 100644 index 0000000..8825bb4 --- /dev/null +++ b/jhn/07/50.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nikodemo aliwajibuje Mafarisayo wakati mafarisayo walipoagiza maafisa waliotumwa kumkamata Yesu, "Je ninyi pia mmepotoshwa? Je kuna mmoja kati yenu viongozi aliyemuamini, au mmoja wa Mafarisayo?" + +Nikodemo akawaambia Mafarisayo, "Je sheria yetu humhukumu mtu isipokuwa imesikia kwanza kutoka kwake na imejua alichotenda?" + diff --git a/jhn/08/01.md b/jhn/08/01.md new file mode 100644 index 0000000..c4fb24b --- /dev/null +++ b/jhn/08/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alipokuwa akifundisha watu hekalu kilitokea Waalimu wa Sheria na Mafarisayo walifanya nini? + +Walimletea mwanamke aliyekamatwa katika kitendo cha kuzini. Wakamweka katikati yao na wakamuuliza Yesu alikuwa ana nini cha kusema kuhusu mwanamke huyo (kumhukumu yeye). + diff --git a/jhn/08/04.md b/jhn/08/04.md new file mode 100644 index 0000000..afa826c --- /dev/null +++ b/jhn/08/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Waandishi na Mafarisayo hasa walimleta mwanamke huyu kwa Yesu? + +Kwa kweli walimleta mwanamke huyu kwa Yesu ili kumtega Yesu ili kwamba wangeweza kuwa na jambo la kumshtaki. + diff --git a/jhn/08/07.md b/jhn/08/07.md new file mode 100644 index 0000000..82dd470 --- /dev/null +++ b/jhn/08/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu aliwaambia nini Waandishi na Mafarisayo baada ya kuendelea kumuuliza kuhusu mwanamke aliyekamatwa katika uasherati? + +Yesu aliwaambia, "Yeye ambaye hana dhambi kati yenu, na awe wa kwanza kutupa jiwe kwa mwanamke." + diff --git a/jhn/08/09.md b/jhn/08/09.md new file mode 100644 index 0000000..7da9769 --- /dev/null +++ b/jhn/08/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Watu walifanya nini baada ya Yesu kuongea nao kuhusu ambaye anapaswa kuwa wa kwanza kutupa jiwe kwa wanamke aliekamatwa katika uasherati? + +Baada ya Yesu kuongea waliondoka mmoja baada ya mwingine, kuanzia mzee na kumalizia na yule wa mwisho. + +# Yesu alimwambia afane nini yule Mwanamke (aliyekamatwa katika uzinzi)> + +Yesu alimwambia kwenda zake na kisha kutotenda dhambi kamwe. + diff --git a/jhn/08/12.md b/jhn/08/12.md new file mode 100644 index 0000000..f839b9b --- /dev/null +++ b/jhn/08/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Malalamiko ya Mafarisayo yalikuwa nini baada ya Yesu kusema,"Mimi ni nuru ya ulimwengu; yeye anifuataye mimi hatatembe gizani bali atakuwa na uru ya uzima? + +Mafarisyo walilalamika kwamba Yesu alikuwa akijishuhudia mwenyewe na kwamba ushuhuda wake haukuwa wa kweli. + diff --git a/jhn/08/17.md b/jhn/08/17.md new file mode 100644 index 0000000..8276392 --- /dev/null +++ b/jhn/08/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu aliteteaje ushahidi wake kama kuwa ni mkweli? + +Yesu alisema kwamba katika sheria zao imeandikwa kwamba ushuhuda wa watu waili ni kweli. Ndipo akaeleza kwamba yeye na Baba aliye mtuma wote wanashuhudia kuhusu Yesu + diff --git a/jhn/08/23.md b/jhn/08/23.md new file mode 100644 index 0000000..5a4108f --- /dev/null +++ b/jhn/08/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni katika msingi upi Yesu alijenga kauli yake kwamba Mafarisayo wangekufa katika dhambi zao? + +Yesu alijenga kauli hiyo juu ya ufahamu wao, kwamba walitoka chini, yeye ametoka juu. walikuwa wa duniani na yeye hakuwa wa dunia hii. + +# Ni kwa jinsi gani Mafarisayo wangeweza kuepuka kufa katika dambi zao? + +Yesu alisema kama hawataamini kuwa MIMI NDIYE wangekufa katika dhambi zao. + diff --git a/jhn/08/25.md b/jhn/08/25.md new file mode 100644 index 0000000..13263e2 --- /dev/null +++ b/jhn/08/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema nini kwa ulimwengu? + +Yesu alima kwa ulimwengu mambo aliyoyasikia kutoka kwa Baba. + diff --git a/jhn/08/28.md b/jhn/08/28.md new file mode 100644 index 0000000..9f91b0f --- /dev/null +++ b/jhn/08/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Baba aliyemtuma Yesu alikaa pamoja naye na asimwache peke yake? + +Baba alikaa pamoja na Yesu na hakumwacha peke yake kwa sababu siku zote Yesu alifanya mambo yalikuwa yakimpendeza Baba. + diff --git a/jhn/08/31.md b/jhn/08/31.md new file mode 100644 index 0000000..9b3043f --- /dev/null +++ b/jhn/08/31.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisemaje Wayahudi ambao waliokuwa wamemwamini wangejuaje walikuwa kweli wanafunzi wake? + +Wangejua walikuwa wanafunzi wa Yesu kweli kwa kukaa katika neno lake. + diff --git a/jhn/08/34.md b/jhn/08/34.md new file mode 100644 index 0000000..bb95a59 --- /dev/null +++ b/jhn/08/34.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alikuwa anamaanisha nini aliposema, "...na mtaijua kweli na hiyo kweli itawaweka huru? + +Yesu alikuwa anamaanish kuwekwa huru kutoka katika kuwa watumwa wa dhambi. + diff --git a/jhn/08/37.md b/jhn/08/37.md new file mode 100644 index 0000000..c5de199 --- /dev/null +++ b/jhn/08/37.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sababu ni ipi, kulingana na Yesu, iliyofanya Wayahudi watake kumuua Yesu? + +Walitaka kumuua Yesu kwa kuwa hakuwa na nafasi ndani yao. + diff --git a/jhn/08/39.md b/jhn/08/39.md new file mode 100644 index 0000000..08b1200 --- /dev/null +++ b/jhn/08/39.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Yesu alisema hivi Wayahudi walikuwa sio watoto wa Abrahamu? + +Yesu alisema walikuwa sio watoto wa Abrahamu kwa sababu hawakufanya kazi za Abrahamu. Badala yake walitaka kumuua Yesu. + diff --git a/jhn/08/42.md b/jhn/08/42.md new file mode 100644 index 0000000..bc0082f --- /dev/null +++ b/jhn/08/42.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wakati hawa Wayahudi wanasema wana Baba mmoja, Mungu, Yesu aliwakanushaje? + +Yesu aliwaambia, "Kama Mungu angekuwa Baba yenu, mngenipenda mimi, kwa kuwa nilikuja k na nimetoka kwa Mungu; kwa kuwa sikuja kwa ajili yangu mwenywe, bali alinituma." + +# Ni nani anayesemwa na Yesu kuwa ni baba wa Wayahudi hawa? + +Yesu anasema baba yao ni shetani. + +# Yesualisema nini kuhusu shetani? + +Yesu alisema shetani alikuwa mwuaji tangu mwanzo na hawezi kusimama katika kweli kwa sababu kweli haimo ndani yake. Anapoongea uongo, anaongea kutoka kwenye asili yake kwa sababu ni mwongo na baba wa uongo. + diff --git a/jhn/08/45.md b/jhn/08/45.md new file mode 100644 index 0000000..cc2e4b2 --- /dev/null +++ b/jhn/08/45.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nani husikia maneno Ya Mungu? + +Yeye aliye wa Mungu husikia maneno ya Mungu. + diff --git a/jhn/08/50.md b/jhn/08/50.md new file mode 100644 index 0000000..60d029b --- /dev/null +++ b/jhn/08/50.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu nasema hutokea nini mtu anapoyashika neno la Yesu? + +Iwapo yeyote anayshika maneno ya Yesu, hataona mauti. + diff --git a/jhn/08/52.md b/jhn/08/52.md new file mode 100644 index 0000000..c75422b --- /dev/null +++ b/jhn/08/52.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini Wayahudi walisema Yesu alikuwa na pepo? + +Walisema hivi kwa sababu Yesu alisema, "Amini, amini, Nawaambia, kama yeyote anashika neno langu, hataonja mauti. + +# Kwa nini walifikiri kauli ya Yasu juu ya kutoonja mauti kabisa haikuwa ya kawaida? + +Walifikiri hivi kwa sababu walifikiri juu ya mauti ya mwili. Hata Abrahanu na manabii walikufa (miili yao inayoonekana) + diff --git a/jhn/08/57.md b/jhn/08/57.md new file mode 100644 index 0000000..198859c --- /dev/null +++ b/jhn/08/57.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alieleza nini kusema kwamba alikuwako kabla ya Abrahamu? + +Yesu alisema, "Amini, amini, nawaambia, kabla Abrahamu hajazaliwa, MIMI NIKO. + diff --git a/jhn/09/01.md b/jhn/09/01.md new file mode 100644 index 0000000..f77d5fe --- /dev/null +++ b/jhn/09/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni dhana gani linaletwa na wanafunzi kwa swali la kwa nini mtu huyu alizaliwa kipofu? + +Wanafunzi walikuwa wakisadi kwamba sababu ya mtu huyo kuzaliwa kipofu in kwa sababu ama mtu huo au wazazi wake walitenda dhambi. + diff --git a/jhn/09/03.md b/jhn/09/03.md new file mode 100644 index 0000000..3df230a --- /dev/null +++ b/jhn/09/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema ni nini ilikuwa sababu ya mtu huyo kuzaliwa kipofu? + +Yesu alisema mtu huyu alizaliwa kipofu ili kwamba kazi za Mungu ziweze kufunuliwa katika yeye. + diff --git a/jhn/09/06.md b/jhn/09/06.md new file mode 100644 index 0000000..6861ae2 --- /dev/null +++ b/jhn/09/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alifanya nini na alisema nini kwa mtu kipofu? + +Yesu alitema mate aridhini, akafinyanga tope kiasi na akayapaka macho ya mtu huyo kwa udongo. Ndipo Yesu akamwambia yule kipofu nenda ukanawe katika bwawa la Siloamu. + diff --git a/jhn/09/08.md b/jhn/09/08.md new file mode 100644 index 0000000..88166c5 --- /dev/null +++ b/jhn/09/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Alishuhudiaje yule mtu mabishano yalipozuka juu ya kama alizaliwa kipofu kweli au siyo yeye aliyezowea kuketi chini na kuomba? + +Yule mtu alishuhuia ya kuwa alikuwa kipofu mwombaji. + +# Kilitokea nini baada ya yule mwanaume kipofu kunawa katika bwawa la Siloamu? + +Alirudi akiona. + diff --git a/jhn/09/13.md b/jhn/09/13.md new file mode 100644 index 0000000..c04c67e --- /dev/null +++ b/jhn/09/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Watu waliokuwa na yule aliyakuwa kipofu mwaombaji walifanya nini? + +Walimpeleka mtu huyo kwa mafarisayo.. + +# Uponyaji ulitoka lini? + +Upaonyaji huyo kipofu ulitokea kwenye Sabato. + +# Mafarisayo walimuuliza nini yule aliyekuwa kipofu? + +Walimuuliza alivyopata kuona. + diff --git a/jhn/09/16.md b/jhn/09/16.md new file mode 100644 index 0000000..8d6c957 --- /dev/null +++ b/jhn/09/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mgawanyiko gani ambao ulitokea miongoni mwa Mafarisayo? + +Baadhi ya Mafarisayo walisema, Yesu hakutoka kwa Mungu kwa sababu hakuitunza Sabato (aliponya siku ya Sabato) na baadhi ya Mafarisayo walisema inawezekanaje mtu ambaye ni mwenye dhambi kufanya ishara ya namna hiyo. + +# Je! Yule aliyekuwa kipofu alipoulizwa kuhusu Yesu alisemaje? + +Mtu aliyekuwa kipofu alisema, "Ni nabii" + +# Kwa nini Wayahudi waliwaita wazazi wa kipofu ambaye alikuwa amepokea uponyaji? + +Waliwaita wazazi wa kipofu kwa sababu bado walikuwa hawajamwamini kuwa yeye kwaeli alikuwa ni yule mtu aliyekuwa kipofu. + diff --git a/jhn/09/19.md b/jhn/09/19.md new file mode 100644 index 0000000..1f84471 --- /dev/null +++ b/jhn/09/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wazazi wa yule aliyekuwa kipofu walishuhudiaje kuhusu mtoto wao? + +Walishuhudia kwamba mtu huyo alikuwa mtoto wao kweli na kwamba alikuwa amezaliwa kipofu. + +# wazazi wa yule mtu, walisema hawakujua kitu gani? + +Walima hawakujua jinsi gani sasa liweza kuona au macho yake yalifumbuliwaje. + diff --git a/jhn/09/22.md b/jhn/09/22.md new file mode 100644 index 0000000..f6de454 --- /dev/null +++ b/jhn/09/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini wazazi wa mtu huyu walisema, "Yeye ni mtu mzima. Muulizeni." + +Walisema hivi kwa sababu walikuwa wanawaogopa Wayahudi. Kwa kuwa Wayahudi walikuwa tayari wamekubaliana kuwa ikiwa mtu yeyote amtakiri Yesu kuwa ni Kristo, atatengwa na synagoge. + diff --git a/jhn/09/24.md b/jhn/09/24.md new file mode 100644 index 0000000..02f8faf --- /dev/null +++ b/jhn/09/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mafarisayo walisema nini kwa mtu aliyekuwa kipofu walipomwita mara ya pili? + +Walisema, "Mpe Mungu utukufu. Tunamjua mtu huyu (Yesu) ni mwenye dhambi." + +# Jibu la aliyekuwa kipofu kwa Mafarisaya walipomwita Yesu mwenye dhambi lilikuwaje? + +Alijibu akasema, "Awe ni mwenye dhambi, mimi sijui. Kitu kimoja ninachokijua: nilikuwa kipofu, na sasa ninaona." + diff --git a/jhn/09/26.md b/jhn/09/26.md new file mode 100644 index 0000000..810780a --- /dev/null +++ b/jhn/09/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yule aliyekuwa kipofu aliwauliza swali gani Mafarisayo? + +Ayeyekuwa kipofu aliwauliza, "Kwa nini mnataka kusikia tena? Hamtaki kuwa wanafunzi wake pia, sivyo?" + diff --git a/jhn/09/30.md b/jhn/09/30.md new file mode 100644 index 0000000..aac7792 --- /dev/null +++ b/jhn/09/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mafarisayo walipomtukana yule aliyekuwa kipofu, huyo aliyekuwa kipofu alisema nini ambacho kila mmoja alikijua? + +Mtu aliyekuwa kipofu alisema kwamba kila mmoja alijua yakuwa Mungu hamsikilizi mwenye dhambi + diff --git a/jhn/09/32.md b/jhn/09/32.md new file mode 100644 index 0000000..925742e --- /dev/null +++ b/jhn/09/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mafarisayo waliitikiaje kwa jibu la ukali l aliyekuwa kipo? + +Walimwambia alizaliwa katika dhambi kabisa, na wewe unathubutu kutufundisha sisi. Ndipo walimwamru kutoka ndani ya sinagogi. + diff --git a/jhn/09/35.md b/jhn/09/35.md new file mode 100644 index 0000000..9e408da --- /dev/null +++ b/jhn/09/35.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yesu alifanya nini aliposikia aliyekuwa kipofu amefukuzwa kutoka kwenye sinagogi? + +Yesu alikwenda kumtafuta mtu huyo na akampata. + +# Yesu alisema nini kwa aliyekuwa kipofu baada ya kumpata? + +Yesu alimwambia mtu huyo kama amemwamini Mwana wa Mtu na kisha akamwambia aliyekuwa kipofu kuwa yeye (Yesu) ndiye Mwana wa Mtu. + +# Yule aliykuwa kipofu aliitikiaje kwa taarifa kwamba Yesu alikuwa Mwana wa Mtu? + +Aliyekuwa kipofu alimwambia Yesu, "Naamini," ndipo akamwabudu Yesu. + diff --git a/jhn/09/39.md b/jhn/09/39.md new file mode 100644 index 0000000..a44e978 --- /dev/null +++ b/jhn/09/39.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema nini kuhusu dhambi za Mafarisayo? + +Yesu aliwaambia, Kama mngelikuwa vipofu, msingelikuwa na dhambi. Hata hivyo, sasa mnasema, 'Tunaona,' dhambi yenu inakaa." + diff --git a/jhn/10/01.md b/jhn/10/01.md new file mode 100644 index 0000000..c4f2118 --- /dev/null +++ b/jhn/10/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa mjibu wa Yesu mwizi na mnyang'anyi ni nani? + +Yeye asiyeingia kwenye nzizi la kondoo, bali anapanda juu kwa njia nyingine, mtu huyo ni mwizi na mnyang'anyi. + +# Ni nani anayeingia kwaenye zizi la Kondoo kwa kupitia langoni? + +Yeye aingiaye mlangoni ni mchungaji wa kondoo. + diff --git a/jhn/10/03.md b/jhn/10/03.md new file mode 100644 index 0000000..d2d3818 --- /dev/null +++ b/jhn/10/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini kondoo wanamfuata mchungaji anapo waita? + +Wanamfuata mchungaji kwa sababu wanaijua sauti yake. + diff --git a/jhn/10/05.md b/jhn/10/05.md new file mode 100644 index 0000000..79b2a24 --- /dev/null +++ b/jhn/10/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je! Kondoo watamfuata mgeni? + +Hapana. Kondoo hawatamfuata mgeni. + diff --git a/jhn/10/07.md b/jhn/10/07.md new file mode 100644 index 0000000..f588885 --- /dev/null +++ b/jhn/10/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nani wale waliomtangulia Yesu? + +Wale wote waliomtangulia walikuwa wezi na wanyang'anyi, na kondoo hawakuwasikiliza wao. + diff --git a/jhn/10/09.md b/jhn/10/09.md new file mode 100644 index 0000000..fda4175 --- /dev/null +++ b/jhn/10/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema alikuwa mlango. Nini hutokea kwa wale waingiao kwa kupitia huo mlango? + +Wale waingiao kwa kupitia Yesu, ambaye ni mlango, wataokolewa; wataingia ndani na kutoka na watapata malisho. + diff --git a/jhn/10/11.md b/jhn/10/11.md new file mode 100644 index 0000000..64611e4 --- /dev/null +++ b/jhn/10/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nini ambacho Yesu, mchungaji mwema, alikuwa tayari kufanya na alifanya nini kwa ajili ya kondoo? + +Yesu, mchungaji mwema alikuwa tayari na aliutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo. + diff --git a/jhn/10/14.md b/jhn/10/14.md new file mode 100644 index 0000000..92da87a --- /dev/null +++ b/jhn/10/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je! Yesu analo kundi jingine Kondoo divyo kutokee nini kwao. + +Yesu alisema anao kondoo wengine ambao si wa zizi hilo. Hao pia, Alisema nilazima kuwaleta, nao wangesikia sauti yake ili kwamba pawepo na kundi moja na mchungaji mmoja. + diff --git a/jhn/10/17.md b/jhn/10/17.md new file mode 100644 index 0000000..21a5b0c --- /dev/null +++ b/jhn/10/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa nini Baba anampenda Yesu? + +Baba anampenda Yesu kwa sababu aliutoa uhai wake kwamba aweze kuutwaa tena. + +# Kuna yeyote anayeweza kuutwaa uhai wa Yesu + +Hapana. kama ni kuutoa huutoa mwenyewe. + +# Yesu alipata wapi mamlaka ya kuyatoa maisha yake na kuyatwaa tena + +Yesu alilipokea agizo hilo kutoka kwa Baba yake. + diff --git a/jhn/10/19.md b/jhn/10/19.md new file mode 100644 index 0000000..84de27d --- /dev/null +++ b/jhn/10/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wayahudi walisema nini kwa sababu ya maneno ya Yesu? + +Wengi walisema, "Ana pepo na amechanganyikiwa. Kwa nini mnamsikiliza? Wengine walisema, "Haya sio maelezo ya mtu aliyepagawa na pepo. Pepo anaweza kufumbua macho ya kipofu?" + diff --git a/jhn/10/22.md b/jhn/10/22.md new file mode 100644 index 0000000..e5bd8cc --- /dev/null +++ b/jhn/10/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wayahudi walisemaje kwa Yesu walipomzunguka mle hekaluni katika ukumbi wa Selemani? + +"Mpaka lini utatuweka katika mashaka? kama wewe ni Kristo, tuambie wazi. + diff --git a/jhn/10/25.md b/jhn/10/25.md new file mode 100644 index 0000000..ec991ba --- /dev/null +++ b/jhn/10/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu aliwajibuje Wayahudi ndani ya ukumbi wa Sulemani? + +Yesu alisema amekwisha waambia (kuwa alikuwa ni Kristo) na hawakumwamini kwa sababu hawakuwa kondoo wake. + diff --git a/jhn/10/27.md b/jhn/10/27.md new file mode 100644 index 0000000..84ec73b --- /dev/null +++ b/jhn/10/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu anasemaje kuhusu uangalizi wake na ulinzi kwa Kondoo wake? + +Yesu alisema huwapa Kondoo wake uzima wa milele; hawataangamia kamwe, na hakuna hata mmoja atakayewanyakuwa kutoka mkononi mwangu. + +# Kuana yeyote aliyekuu kuliko Baba? + +Baba ni Mkuu kuliko wengine wote. + diff --git a/jhn/10/29.md b/jhn/10/29.md new file mode 100644 index 0000000..406cb0b --- /dev/null +++ b/jhn/10/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni nani aliyempa Yesu kondoo? + +Baba alimpa Yesu kondoo. + +# Kuna yeyote aliye mkuu kuliko Baba? + +Baba ni mkuu kuliko wengine wote. + diff --git a/jhn/10/32.md b/jhn/10/32.md new file mode 100644 index 0000000..a62d3f1 --- /dev/null +++ b/jhn/10/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Wayahudi waliokota mawe kumponda Yesu? + +Ni kwa sababu waliamini kuwa Yesu alikuwa anakufuru na kujifanya mwenyewe Mungu ingawaje alikuwa mwanadamu. + diff --git a/jhn/10/34.md b/jhn/10/34.md new file mode 100644 index 0000000..af35f5c --- /dev/null +++ b/jhn/10/34.md @@ -0,0 +1,5 @@ +# Yesu alijiteteaje kuhusiana na tuhuma ya kukufuru? + +Yesu anajitetea mwenyewe kwa kusema, "Je haikuandikwa katika sheria zenu, 'Nilisema "Ninyi +ni miungu"'? Kama aliwaita wao miungu, kwa yeye neno la Mungu lilikuja (na maandiko hayawezi kuvunjwa), Je mnasema kumuhusu yeye ambaye Baba alimtakasa na kumtuma katika ulimwengu, 'unakufuru,' kwa sababu nilisema, 'Mimi ni mwana wa Mungu'?. + diff --git a/jhn/10/37.md b/jhn/10/37.md new file mode 100644 index 0000000..cecd687 --- /dev/null +++ b/jhn/10/37.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yesu anawaambia Wayahudi wafanye nini ili waweze kuamua kumwamini yeye au kutomwamini? + +Yesu anawaambia Wayahudi kuziangalia kazi zake. Ikiwa Yesu hafanyi kazi ya Baba yake, wasimwamini. Ikiwa anafanya kazi ya Baba yake, wamini yeye. + +# Yesu anawaambia Wayahudi wangeliweza kujua na kuelewa nini kama wangeliiamini kazi aliyofanya Yesu? + +Yalisema wangejua na kuelewa kwamba Baba yuko ndani ya Yesu na kwamba Yesu yuko ya Baba. + +# Itikio la Wayahudi kwa kauli ya Yesu juu ya Baba kuwa ndani ya Yesu na Yesu kuwa ndani Ya Baba lilikuwaje? + +Wayahudi walijaribu tena kumkamata Yesu. + diff --git a/jhn/10/40.md b/jhn/10/40.md new file mode 100644 index 0000000..03fb7f2 --- /dev/null +++ b/jhn/10/40.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alienda wapi baada ya tukio hili? + +Yesu alienda tena ng'ambo ya Yordani sehemu ambayo awali Yohana alikuwa akibatiza. + +# Wale watu wenu waliokuja kwa Yesu walisema nini na kufanya nini? + +Waliendelea kusema , "Yohana kweli hakufanya ishara yoyote, lakini mambo yote aliyoyasema Yohana juu ya huyu mtu ni ya kweli." Watu wengi wakamwamini Yesu hapo. + diff --git a/jhn/11/01.md b/jhn/11/01.md new file mode 100644 index 0000000..5e53f76 --- /dev/null +++ b/jhn/11/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Huyu Lazaro alikuwa ni nani? + +Lazaro alikuwa mtu kutoka Bethania. Dada zake walikuwa Mariamu na Martha. Ni Mariamu yule yule atakayempaka Bwana Marhamu na kumfuta kwa nywele zake. + diff --git a/jhn/11/03.md b/jhn/11/03.md new file mode 100644 index 0000000..5d5af06 --- /dev/null +++ b/jhn/11/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu aliposikia kwamba Lazaro ni Mgonjwa alisema nini kuhusu Lazaro na ugonjwa wake? + +Yesu alisema , "Ugonjwa huu si wa mauti, lakini, badala yake ni kwa ajili ya utukufu wa Mungu ili kwamba Mwana wa Mungu apate kutukuzwa katika huo Ugonjwa." + diff --git a/jhn/11/05.md b/jhn/11/05.md new file mode 100644 index 0000000..2f514ab --- /dev/null +++ b/jhn/11/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu aliposikia kwamba Lazaro ni mgonjwa alifanya nini? + +Yesu alibaki siku mbili zaidi mahali alipokuwa + diff --git a/jhn/11/08.md b/jhn/11/08.md new file mode 100644 index 0000000..3b1e982 --- /dev/null +++ b/jhn/11/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wanafunzi wa Yesu walisema nini alipowaambia, "twendeni Uyahudi tena?" + +Wanafunzi walimwambia Yesu "Rabi, Wayahudi sasa walijaribu kukuponda mawe, na wewe unarudi tena huko?" + +# Yesu aliseama nini kuhusu kutembea katika nuru? + +Yesu alisema kama mtu anatembea mchana hawezi kujikwaa, kwa sababu anaona kwa nuru ya mchana. + diff --git a/jhn/11/10.md b/jhn/11/10.md new file mode 100644 index 0000000..6a38330 --- /dev/null +++ b/jhn/11/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisemaje kuhusu kutembea mchana na kutembea usiku? + +Yesu alisema ikiwa mtu atatembea mchana hatajikwaa kwa sababu anaona kwa nuru ya mchana. Hata hivyo, ikiwa atatebea usiku, atajikwaa kwa sababu nuru haimo ndani yake. + diff --git a/jhn/11/12.md b/jhn/11/12.md new file mode 100644 index 0000000..05cbdf0 --- /dev/null +++ b/jhn/11/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwa namna gani wanafunzi walifikiri kwamba Lazaro amelala? + +Wanafunzi wadhani anazungumza juu ya kulala usingizi. + +# Yesu alimaanisha nini aliposema Lazaro amelala? + +Yesu aliposema Lazaro amelala alikuwa akiongelea kifo cha Lazaro. + diff --git a/jhn/11/15.md b/jhn/11/15.md new file mode 100644 index 0000000..6f0e51d --- /dev/null +++ b/jhn/11/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Yesu alifurahi kwamba hakuwepo wakati Lazaro anakufa? + +Yesu alisema, " Nina furaha kwa ajili yenu, kwamba sikuwepo pale ili kwamba mpate kuamini. + diff --git a/jhn/11/17.md b/jhn/11/17.md new file mode 100644 index 0000000..5640141 --- /dev/null +++ b/jhn/11/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Lazaro alikuwa amekaa kaburini kwa muda gani Yesu alipokuja? + +Lazaro alikuwa kaburini kwa siku nne. + +# Martha alifannya nini aliposikia kwamba Yesu alikuwa anakua? + +Martha aliposikia Yesua anakuja alikwenda na kukutana naye. + diff --git a/jhn/11/21.md b/jhn/11/21.md new file mode 100644 index 0000000..9ac86b4 --- /dev/null +++ b/jhn/11/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Marthaalifikiri Mungu angefanya kwa ajili ya Yesu? + +Martha alisema, "Hata sasa, najua ya kuwa lolote utakaloomba kutoka kwa Mungu, atakupatia". + diff --git a/jhn/11/24.md b/jhn/11/24.md new file mode 100644 index 0000000..39512aa --- /dev/null +++ b/jhn/11/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu aliposema kwa Martha, "Kaka yako atafufuka tena," jibu lake lilikuwaje kwa Yesu? + +Alisema kwa Yesu, "Najua atafufuka tena wakati wa ufufuo siku ya mwisho." + +# Yesu alisema kungotokea nini kwa wale waaminio katika yeye? + +Yesu alisema kwamba yeye aniaminiye katika Yseu, ingawa atakufa, hata hivyo atakuwa anaishi; na yeye aishiye na mwamini Yesu hatakufa + diff --git a/jhn/11/27.md b/jhn/11/27.md new file mode 100644 index 0000000..0c7fb8a --- /dev/null +++ b/jhn/11/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ushuhuda wa Martha ni upi kuhusu Yesu ni nani? + +Martha alimwambia Yesu, "Ndiyo, Bwana, naamini kwamba wewe ni Kristo, Mwana wa Mungu, yeye ajaye ulimwenguni" + +# Mariamu alikuwa anakwenda wapi? + +Mariamu alikuwa anakwenda kukutana nna Yesu + diff --git a/jhn/11/30.md b/jhn/11/30.md new file mode 100644 index 0000000..4325ef8 --- /dev/null +++ b/jhn/11/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mariamu alipoinuka harakka na kwenda nje, Wayahudi aliokuwapo pale pamoja naye walifikiri nini na kufanya nini? + +Wale Wayahudi waliokuwa na Mariamu nyumbani walidhani kuwa anaenda kaburini ili akalie huko kwa hiyo walimfuata. + diff --git a/jhn/11/33.md b/jhn/11/33.md new file mode 100644 index 0000000..70a2f68 --- /dev/null +++ b/jhn/11/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kinaonekana kilimsukuma Yesu kuhuzunika rohoni na kuhangaika na kulia? + +Yesu alihuzunika rohoni na kuhangaika na kulia kwa sababu alimwona Mariamu pamoja na Wayahudi wakilia. + diff --git a/jhn/11/36.md b/jhn/11/36.md new file mode 100644 index 0000000..faca248 --- /dev/null +++ b/jhn/11/36.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wayahudi walisema nini cha mwisho walipomuona Yesu analia? + +Walisema kuwa Yesu alimpenda Lazaro + diff --git a/jhn/11/38.md b/jhn/11/38.md new file mode 100644 index 0000000..73116eb --- /dev/null +++ b/jhn/11/38.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Pingamili la Martht kwa Amri ya Yesu kulitoa jiwe kinywani mwa kaburi ambamo Lazaro alikuwa amelazwa lilikuwaje? + +" Martha alisema, "Bwana, kwa muda huu, mwili utakuwa umeoza, kwa sababu amekwishakuwa maiti kwa siku nne." + +# Jibu la Yesu kwa pingamizi la Yesu kulitoa jiwe likoje? + +Yesu alimwambia Martha, "Mimi sikukuwaambia ya kwamba, kama ukiamini, utauona utukufu wa Mungu?" + diff --git a/jhn/11/41.md b/jhn/11/41.md new file mode 100644 index 0000000..2ca25f7 --- /dev/null +++ b/jhn/11/41.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alifanya nini kwa haraka baada ya jiwe kuwa limeondolewa kutoka kwenye kaburi? + +Yesu aliinua juu macho yake na kuomba kwa sauti kwa Baba yake. + diff --git a/jhn/11/45.md b/jhn/11/45.md new file mode 100644 index 0000000..016e548 --- /dev/null +++ b/jhn/11/45.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini jibu la Wayahudi walipomwona Lazaro akitoka kaburini? + +Wengi miongoni mwa Wayahudi walipoona alichokifanya Yesu walimwamini, lakini wengine wakaenda kwa Mafarisayo na kuwaambia kile alichokifanya Yesu. + diff --git a/jhn/11/49.md b/jhn/11/49.md new file mode 100644 index 0000000..cc7f49f --- /dev/null +++ b/jhn/11/49.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwenye kikao cha Halmashari ya Kuhani Mkuu na Mafarisayo Kayafa alitabiri nini? + +Kayafa alisema kwamba yafaa kwa ajili yao kwamba mtu mmoja yapasa kufa kwa ajili ya watu kuliko taifa lote kuangamia." + diff --git a/jhn/11/51.md b/jhn/11/51.md new file mode 100644 index 0000000..507d288 --- /dev/null +++ b/jhn/11/51.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Tangu siku hiyo na kuendelea baraza lilipanga kufanya nini? + +Walipanga jinsi ya kumuua Yesu + diff --git a/jhn/11/54.md b/jhn/11/54.md new file mode 100644 index 0000000..df68230 --- /dev/null +++ b/jhn/11/54.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alifanya nini baada ya kumfufua Lazaro? + +Hakutembea tena wazi wazi kati ya Wayahudi, bli aliondoka kutoka Bethania kwenda nchi iliyokuwa karibu na jangwa katika mji uitwao Efraimu. Huko alikaa na wanafunzi wake. + diff --git a/jhn/11/56.md b/jhn/11/56.md new file mode 100644 index 0000000..8e530af --- /dev/null +++ b/jhn/11/56.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je! Wakuu wa Makuhani na Mafarisyo walitoa amri gani? + +Walitoa aamri kwamba mtu yeyote alipajua mahali alipokuwa Yesu, ilimpasa kutoa taarifa ili kwamba wangemkamata. + diff --git a/jhn/12/01.md b/jhn/12/01.md new file mode 100644 index 0000000..50a2847 --- /dev/null +++ b/jhn/12/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni lini Yesu alirudi Bethania? + +Alikuja Bethania siku sita kabla ya Pasaka. + +# Mariamu alifanya nini kwenye chakula cha jioni kilichokuwa kimeandaliwa kwa ajili Yesu> + +Mariamu alichukua ratli ya manukato yaliyotengenezwa kwa nardo safi, yenye thamani kubwa, akampaka Yesu miguuni, na kumfuta miguu kwa nywele zake; + diff --git a/jhn/12/04.md b/jhn/12/04.md new file mode 100644 index 0000000..070e337 --- /dev/null +++ b/jhn/12/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwanini Yuda Iskariote alilalamika kwamba manukato yangeuzwa na fedha kupewa maskini? + +Yuda alisema haya, sio kwasababu aliwahurumia maskini, bali kwasababu mwizi: Yeye ndiye aliyeshika mfuko wa fedha na alikuwa akichukua baadhi kwa ajili yake mwenyewe. + diff --git a/jhn/12/07.md b/jhn/12/07.md new file mode 100644 index 0000000..2aa80d7 --- /dev/null +++ b/jhn/12/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jinsi gani Yesu amlitetea Mariamu alipotumia manukato ya Nardo? + +Yesu alisema, "Mwache aweke alicho nancho kwa ajili ya siku ya maziko yangu. Maskini mnao siku zote; lakini hamtakuwa nami siku zote." + diff --git a/jhn/12/09.md b/jhn/12/09.md new file mode 100644 index 0000000..6e24d6c --- /dev/null +++ b/jhn/12/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwanini umati mkubwa wa watu ulikusanyika kule Bethania? + +Walikuja kwa ajili ya Yesu na pia kumuona Lazaro, ambaye Yesu alimfufua kutoka kwa wafu. + diff --git a/jhn/12/12.md b/jhn/12/12.md new file mode 100644 index 0000000..db5839f --- /dev/null +++ b/jhn/12/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Makutano walifanya nini waliposikia kwamba Yesu alikuwa nakuja? + +Walichukua matawi ya miti ya mitende na kutoka nje kwenda kumlaki na wakapiga kelele, "Hosana! Amebarikiwa yeye ajaye kwa jina la Bwana, Mfalme wa Israeli." + diff --git a/jhn/12/14.md b/jhn/12/14.md new file mode 100644 index 0000000..f6894f3 --- /dev/null +++ b/jhn/12/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni unabii gani kumhusu Yesu ulitimizwa Yesu alipoingi mjini akiwajuu ya Punda? + +Unabii kwamba usiogope, binti Sayuni; tazama, Mfalme wako anakuja, amepanda mwana-punda ulitimizwa." + diff --git a/jhn/12/16.md b/jhn/12/16.md new file mode 100644 index 0000000..3e0bbc5 --- /dev/null +++ b/jhn/12/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni mambo gani ambayo wanafunzi wa Yesu hawakuyaelewa hapo awali lakini baada ya Yesu kutukuzwa walikumbuka ya kuwa walimtendea hayo? + +Wanafunzi walikumbuka kuwa aliandikiwa Yesu, "Usiogope ewe binti Sayuni, tazama, mfalme wako anakuja, amekaa juu ya mwana punda." + diff --git a/jhn/12/17.md b/jhn/12/17.md new file mode 100644 index 0000000..4c60b7b --- /dev/null +++ b/jhn/12/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwanini mkutano ule katika sikukuu ulitoka kwenda kumlaki Yesu? + +Walienda kumlaki Yesu kwasababu walikuwa wamesikia kutoka kwa mashahidi wa macho kuwa Yesu alimuita Lazaro kutoka kaburini na ya kuwa alimfufua kutoka katika wafu. + diff --git a/jhn/12/23.md b/jhn/12/23.md new file mode 100644 index 0000000..11f8113 --- /dev/null +++ b/jhn/12/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema nini baada ya Andrea na Filipo kumwambia kuwa baadhi ya Wayunani wanataka kumuona? + +Yesu aliwajibu na kusema, "Saa imefika kwa ajili ya Mwana wa Mtu kutukuzwa..." + +# Yesu alisema kungetokea nini kwa chembe ya ngani kama ikianguka katika nchi na kufa? + +YEsu aalisema kwamba kama ikifa, ingezaa matunda mengi. + diff --git a/jhn/12/25.md b/jhn/12/25.md new file mode 100644 index 0000000..348e57d --- /dev/null +++ b/jhn/12/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kitu gani Yesu alisema kingetokea kwa mtu anayependa maisha yake hapa duniani na kwa yule ambaye anayachukia maisha yake? + +Yseu alisema kuwa yule apendaye maisha yake atayapoteza, bali yeye achukiaye maisha yake hapa duniani atayasalimisha hata uzima wa milele. + +# Hutekea nini iwapo yeyote ananmtumikia Yesu? + +Baba atamheshi yeye. + diff --git a/jhn/12/27.md b/jhn/12/27.md new file mode 100644 index 0000000..d6a42c3 --- /dev/null +++ b/jhn/12/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kilitokea ni Yesu aliposema, Baba, ulitukuze lako? + +Sauti ikaja kutoka mbinguni na kusema, "Nimelitukuza nami nitalitukuza tena." + diff --git a/jhn/12/30.md b/jhn/12/30.md new file mode 100644 index 0000000..71ce709 --- /dev/null +++ b/jhn/12/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema sauti kutoka mbinguni ilikuwa na sababu gani? + +Yesu alisema, "Sauti haikuja kwa ajili yangu bali kwa ajili yenu (Wayahudi)." + +# Yesu alisema kulikuwa kunakwenda kutokea nini? + +Yesu alijibu na kusema, "Sauti hii haikuja kwa ajili yangu, bali kwa ajili yenu. Sasa hukumu ya ulimwengu huu ipo: Sasa mkuu wa ulimwngu huu atatupwa nje. + diff --git a/jhn/12/32.md b/jhn/12/32.md new file mode 100644 index 0000000..d88efc3 --- /dev/null +++ b/jhn/12/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Yesu alisema, Nami nikiinuliwa juu ya nchi, nitawavuta wote kwangu." + +Aliyanena hayo akionesha ni mauti gani atakayokufa. + diff --git a/jhn/12/34.md b/jhn/12/34.md new file mode 100644 index 0000000..0c916c7 --- /dev/null +++ b/jhn/12/34.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Makutano walipouliza, "Utaseamaje, ni lazima Mwana wa Mtu ainuliwe juu?" , Je! aliwajibu moja kwa moja? + +Hapana halijibu swali lao moja kwa moja. + +# Yesu alisemaji kuhusu nuru? + +Yesu alisema, "Nuru ingalipo pamoja nanyi muda kidogo. Enendeni maadamu mnayo nuru, ili kwamba giza lisije likawaweza. Yeye aendaye gizani hajui aendako. Mngali mnayo nuru, Iaminini nuru hiyo ili mpate kuwa wana wa nuru." + diff --git a/jhn/12/37.md b/jhn/12/37.md new file mode 100644 index 0000000..baa8312 --- /dev/null +++ b/jhn/12/37.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwanini watu hawakumwamini Yesu? + +Hawakumwamini ili kwamba neno la nabii Isaya iliweze kutimizwa, linalosema: "Bwana, ni nani aliyesadiki habari zetu? Na mkono wa Bwana amefunuliwa nani?" + diff --git a/jhn/12/39.md b/jhn/12/39.md new file mode 100644 index 0000000..8309171 --- /dev/null +++ b/jhn/12/39.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwanini watu wasingemwamini Yesu? + +Wasingemwamini kwasababu kama Isaya alivyosema, "Amewapofusha macho yao, na ameifanya migumu mioyo yao; wasije wakaona kwa macho yao na wakafahamu kwa mioyo yao, na wakaongoka nami nikawaponya." + diff --git a/jhn/12/41.md b/jhn/12/41.md new file mode 100644 index 0000000..0b52d74 --- /dev/null +++ b/jhn/12/41.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwanini Isaya aliyasema mambo haya? + +Aliyasema mambo haya kwasababu aliuona utukufu wa Yesu. + +# Ni kwanini wakuu walioamini hamkiri + +Hawakukiri ili wasije wakatengwa na sinagogi. Walipenda sifa za wanadamu kuliko sifa zitokazo kwa Mungu. + diff --git a/jhn/12/44.md b/jhn/12/44.md new file mode 100644 index 0000000..33100a1 --- /dev/null +++ b/jhn/12/44.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema maneno gani juu yake na Baba yake? + +Yesu alisema, "Yeye aniaminiye mimi, haniamini mimi tu bali na yeye aliyenituma mimi, naye anionaye mimi anamuona yeye aliyenituma." + diff --git a/jhn/12/46.md b/jhn/12/46.md new file mode 100644 index 0000000..35d5393 --- /dev/null +++ b/jhn/12/46.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema alikuwaja ulimwenguni kufanya nini? + +Yesu alisema alikuja kuuokoa ulimwengu + diff --git a/jhn/12/48.md b/jhn/12/48.md new file mode 100644 index 0000000..e21e351 --- /dev/null +++ b/jhn/12/48.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni nini kitawahukumu wale wote wanaomkataa Yesu na wasiopokea maneno yake? + +Neno ambalo Yesu amelisema litawahukumu wale wote waliomkataa siku ya mwisho. + +# Je, Yesu alinena kwa nafsi yake mwenyewe? + +Hapana. Baba aliyemtuma Yesu alimwagiza kuhusu yale atakayoyanena na atakayosema. + +# Ni kwanini Yesua aliwaambia watu "kama Baba alivyoniambia, ndivyo ninenavyo kwao?" + +Yesu alisema hivi kwa sababu agizo la Baba yake ni uzima wa milele. + diff --git a/jhn/13/01.md b/jhn/13/01.md new file mode 100644 index 0000000..dd4e295 --- /dev/null +++ b/jhn/13/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwa urefu gani Yesu aliwapenda watu wake? + +Aliwapenda hata upeo. + +# Ibilisi alifanya nini kwa Yuda Iskariote? + +Na ibilisi alikuwa ameweka katika moyo wa Yuda Isikariote, mwana wa simoni, kumsaliti Yesu. + diff --git a/jhn/13/03.md b/jhn/13/03.md new file mode 100644 index 0000000..2c83ab4 --- /dev/null +++ b/jhn/13/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Baba ameweka nini kwa Yesu? + +Baba aliweka vitu vyote mikononi mwa Yesu. + +# Yesu alitok wapi na wapi alikokuwa anakwenda? + +Yesu alikuwa alitoka kwa Mungu na likuwa nanakwenda Mungu. + +# Yesu alifanya nini alipoamka chakulani? + +alikaweka chini vazi lake la nje. Kisha alichukua taulo na akajifunga mwenyewe. + diff --git a/jhn/13/06.md b/jhn/13/06.md new file mode 100644 index 0000000..b3037b6 --- /dev/null +++ b/jhn/13/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema nini Petro alipokataa kuoshwa miguuu yake? + +." Yesu alisema, "Ikiwa sitakuosha, hutakuwa na sehemu pamoja nami." + diff --git a/jhn/13/10.md b/jhn/13/10.md new file mode 100644 index 0000000..0ec5e56 --- /dev/null +++ b/jhn/13/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa nini Yesu alisema kwa wanafunzi wake, "Mmekuwa safi, lakini si nyote." + +Yesu aalisema hivi kwa sababu alijua ni nani angemsaliti yeye + diff --git a/jhn/13/12.md b/jhn/13/12.md new file mode 100644 index 0000000..c4ccf87 --- /dev/null +++ b/jhn/13/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Yesu alionysha miguu ya wanafunzu ? + +Yesu aliosha miguu ya wanafunzi kwa sababu alitaka kuwapa mfano ili kwamba nao wafanye kama yeye alivyofanya kwao. + diff --git a/jhn/13/16.md b/jhn/13/16.md new file mode 100644 index 0000000..26fa1e7 --- /dev/null +++ b/jhn/13/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je mtumwa ni mkuu kuliko bwana wake au yule aliyetumwa ni kuu kuliko yule aliyemtuma? + +Mtumwa si mkuu kuliko bwana wake; wala yule ambaye ametumwa ni mkuu kuliko yule aliye mtuma. + +# Ni nani aliyeinua kisigino chale dhidi yake. + +'Yeye aliyekula mkate wa Yesu aliinulia kisigino chake dhidi Yake. + diff --git a/jhn/13/19.md b/jhn/13/19.md new file mode 100644 index 0000000..ddac6c0 --- /dev/null +++ b/jhn/13/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini Yesu aliwaambia wanafunzi wake, "Si wote mliosafi" na "Yeye alaye mkate wangu ameniinulia kisigino chake.' + +Yesu aliwambia hili kabla halijatokea ili kwamba litakapotokea, wangeweze kuamini kuwa yeye ndiye yule MIMI NDIYE. + +# Ukimpokea Yesu kama utampokea Yesu? + +KIpokea Yesu tampokea yeyote anayemtuma, na ukimpoke Yesu pia utampokea yule aliyemtuma Yesu." + diff --git a/jhn/13/23.md b/jhn/13/23.md new file mode 100644 index 0000000..741315f --- /dev/null +++ b/jhn/13/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alipowaambia wanafunzi wake kwamba mmoja wao angemsaliti yeye, Simoni Petro alifanya nini? + +Simoni Petro alimuuliza mwanafunzi yule amabaye Yesu alimpenda na alisema, "Twambie ni yupi ambaye anazungumzia." + diff --git a/jhn/13/26.md b/jhn/13/26.md new file mode 100644 index 0000000..17a2e90 --- /dev/null +++ b/jhn/13/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alijibuje mwanafunzi aliyempenda Yesu alipomuuliza Yesu ni nani aliyekuwa anataka kumsaliti Yesu? + +Yesu alijibu, "Ni yule nitakaye chovya kipande cha mkate na kumpatia." Kisha Yesu alichovya mkate na alimpa Yuda mwana wa Simon Iskariote. + diff --git a/jhn/13/28.md b/jhn/13/28.md new file mode 100644 index 0000000..4e21a1f --- /dev/null +++ b/jhn/13/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kulitokea nini kwa Yuda na alifanya nini baada ya Yesu kumpa Yuda mkate? + +Baada ya Yuda kuupokea mkate, alitoka nje haraka + diff --git a/jhn/13/31.md b/jhn/13/31.md new file mode 100644 index 0000000..ad7ea73 --- /dev/null +++ b/jhn/13/31.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mungu alikuwa atukuzwaje? + +Mungu alikuwa alikuwa anakwenda kutukzwa ndani ya Mwana wa Adamu. Mwana wa Adamu alipotukuzwa hilo lilimtukuza Mungu. + +# Je! Simoni Petro alielewa mahali Yesu alipokuwa akienda wakati Yesu alipowaambi. "Niendako Mimi hamwezi kuja?" + +Hapana. Simoni hakuelewa kwa sababu alimwuliza Ysu, "Bwana,unakwenda wapi?" + diff --git a/jhn/13/34.md b/jhn/13/34.md new file mode 100644 index 0000000..9dea950 --- /dev/null +++ b/jhn/13/34.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni amri gani mpya Yesu aliyowapa wanafunzi wake? + +Amri mpya ilikuwa kwamba wapate kupendana wao kwa wao kama vile Yesu amewapenda wao. + +# Yesu alisema kungetokea nini kama wanafunzi wangetii amri ya kupendana wao kwa wao? + +Yesu alisema kwamba kutokana na kuitii amri hii, watu wote wangetambua ya kwamba walikuwa wanafunzi wake. + diff --git a/jhn/13/36.md b/jhn/13/36.md new file mode 100644 index 0000000..0671326 --- /dev/null +++ b/jhn/13/36.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alimjibuje Simoni Petro aliposema, "Nitayatoa maisha yangu kwa ajili yako? + +Yesu alijibu, "Je utayatoa maisha yako kwa ajili yangu? Amini amini nakwambia, jogoo hatawika kabla hujanikana mara tatu." + diff --git a/jhn/14/01.md b/jhn/14/01.md new file mode 100644 index 0000000..32d037a --- /dev/null +++ b/jhn/14/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni kwa nini myoyo ya wanafunzi isiwe na mahangaiko? + +Myoyo yawanafunzi isihangaike kwa sababu Yesu anakwenda kuwaandalia mahali na Yesu atakuja tena kuwakaribisha kwake mwenyewe ili kwamba Yesu alipo na wao wawepo pia. + +# Nyumbani kwa Baba kuna nini? + +Nyumbani mwa Baba mna makazi mengi. + +# Yesu alikuwa anakwenda kufanya nini kwa ajili ya wanafuzi? + +Yesu alikuwa anakwenda kuandaa mahali kwa ajili yao. + diff --git a/jhn/14/04.md b/jhn/14/04.md new file mode 100644 index 0000000..3f92a40 --- /dev/null +++ b/jhn/14/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Njia pekee ya kuja kwa Baba ni ipi + +Njia pekee ya kuja kwa Baba ni kwa kupitia Yesu. + diff --git a/jhn/14/08.md b/jhn/14/08.md new file mode 100644 index 0000000..95b98a8 --- /dev/null +++ b/jhn/14/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Filipo alimwambia Yesu afanye nini ambacho kingetosha kwa ajili ya wanafunzi? + +Filipo anamwambia Yesu, "Bwana, tuonyeshe Baba, na hivyo itakuwa imetutosha." + diff --git a/jhn/14/10.md b/jhn/14/10.md new file mode 100644 index 0000000..cc23709 --- /dev/null +++ b/jhn/14/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je! Yesu anasema kwa wanafunzi juu yake mwenyewe? + +Hapana Yesu hazungumzii habari zake mwenyewe, badala yake, ni Baba akaaye ndani Yake anayeifanya kazi ya Baba. + +# Kama siyo kwa sababu nyingine, kwa nini Yesu anawaambia wanafunzi yawapasa kuamini kwamba Yesu yumo ndani ya Baba na Baba yumo ndani ya Yesu? + +Yesu alisema ni lazima waamini hivi kama siyo kwa sababu nyingine basi ni kwa sababuya kazi za Yseu hasa. + diff --git a/jhn/14/12.md b/jhn/14/12.md new file mode 100644 index 0000000..4914b27 --- /dev/null +++ b/jhn/14/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwa nini Yesu alisema wanafunzi wataweza kufanya hata kazi kuliko zile alizofanya yeye? + +Yesu anasema wanafunzi watafanya kazi kubwa kwa sababu Yesu anakwenda kwa Baba> + +# Kwa nini Yesu atafanya lolote watakaloomba wanafunzi katika jina lake? + +Yesu atafanya ili kwamba Baba aweze kutukuzwa katika Mwana. + diff --git a/jhn/14/15.md b/jhn/14/15.md new file mode 100644 index 0000000..54b0d89 --- /dev/null +++ b/jhn/14/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yesu anasema utafanya nini kama utazipenda amri zake? + +Yesu anasema utazishika amri zake kama unampenda Yeye. + +# Ni nani Yesu anamwita mfariji mwingine ambaye Baba atawapa wanafunzi ili kuwa nao milele? + +Yesu anamwita Roho wa Kweli + +# Kwani nini ulimwengu hauwezi kumpokea Roho wa Kweli? + +Ulimwengu hauwezi kumpokea Roho wa Kweli kwa sababu haumwoni au kumjua yeye. + +# Ni wapi Yesu alisema atakuwa huyo Roho wa Kweli? + +Yesu alisema Roho wa Kweli angekaa ndani ya wanafunzi. + diff --git a/jhn/14/21.md b/jhn/14/21.md new file mode 100644 index 0000000..cba9808 --- /dev/null +++ b/jhn/14/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kutatokea nini kwa yeyote aliye na amari za Yesu na kuzishika? + +Watu wale watapendwa na Yesu na Baba yake na Yesu mwanyewe atajifunua kwa watu hao. + diff --git a/jhn/14/25.md b/jhn/14/25.md new file mode 100644 index 0000000..dc5ba25 --- /dev/null +++ b/jhn/14/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yule mfariji,Roho Mtakatifu atafanya nini atakapotumwa na Baba? + +Mfariji, Roho Mtakatifu atawafundisha wanafunzi mambo yote na atawafanya wakumbuke yote ambayo Yesu aliyasema kwao. + diff --git a/jhn/14/28.md b/jhn/14/28.md new file mode 100644 index 0000000..b02da69 --- /dev/null +++ b/jhn/14/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini ni lazima wafuzi wengefurahi kwamba Yesu alikuwa anaondoka? + +Yesu alisema ilipasa wafurahi kwa sababu Yesu alikuwa anakwenda kwa Baba na kwamba Baba ni mkuu kuliko Yesu. + +# Ni sababu gani Yesu anatoa kwa kusema hatasema mengi na wanafunzi wake? + +Sababu anayoita Ysu ni kwamba mkuu wa dunia hii anakuja. + diff --git a/jhn/15/01.md b/jhn/15/01.md new file mode 100644 index 0000000..e2668a5 --- /dev/null +++ b/jhn/15/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mzabibu wa kweli ni nini? + +Yesu ndiye mzabibu wa kweli + +# Mkulima wa mzabibu ni nani? + +Baba ndiye mkulima wa mzabibu. + +# Baba hufanya nini kwa matawi walio katika Yesu? + +Baba huyaondoa matawi yasiyozaa matatunda na husafisha kila tawi lizaalo matunda ili lizidi kuzaa matunda zaidi. + diff --git a/jhn/15/03.md b/jhn/15/03.md new file mode 100644 index 0000000..f7bc0df --- /dev/null +++ b/jhn/15/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa nini wanafunzi wako safi? + +Wako safi kwa sababu kwa sababu ya ujumbe ambao Yesu aliwaambia + diff --git a/jhn/15/05.md b/jhn/15/05.md new file mode 100644 index 0000000..7167ee7 --- /dev/null +++ b/jhn/15/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Matawi ni nani? + +Sisi tu matawi + +# Ni lazima tufanyanye nini ili kuzaa matunda? + +Ili kuzaa matunda ni lazima ukae ndani ya Yesu. + +# Hutokea nini kama hukai ndani ya Yesu. + +ikiwa yeyote hakai ndani ya yesu, huyo hutupwa kama tawi na hunyauka. + +# Ni lazima tufanye nini ili kwamba kila tuombalo lifanyike kwa ajili yetu? + +inatupasa kukaa ndani ya Yesu na neno lake lazima likae ndani yetu. Baadaye tunaweza kuomba lolote tupendalo nalo litafanyika kwa ajili yetu. + diff --git a/jhn/15/08.md b/jhn/15/08.md new file mode 100644 index 0000000..069ebaa --- /dev/null +++ b/jhn/15/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni katika njia gani mbili amabazo Baba hutukuzwa? + +Baba hutukuzwa tunapozaa matunda mengi na tupofnyika wanafunzi wa Yesu. + diff --git a/jhn/15/10.md b/jhn/15/10.md new file mode 100644 index 0000000..8540944 --- /dev/null +++ b/jhn/15/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ili tubaki katika pendo la Yesu itatupasa tufanyaje? + +Ni lazima tuzishike amri zake. + diff --git a/jhn/15/12.md b/jhn/15/12.md new file mode 100644 index 0000000..34a34bb --- /dev/null +++ b/jhn/15/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni pendo gani kuu analoweza kuwa nalo mtu? + +Hakuna mtu aliye na upendo mkuu kuliko huu, kwamba ayatoe maisha yake kwa ajiliya rafiki zake. + diff --git a/jhn/15/14.md b/jhn/15/14.md new file mode 100644 index 0000000..83a090b --- /dev/null +++ b/jhn/15/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Tunapataje kutambua kama tu marafiki wa Yesu au la? + +Sisi tu mafariki za Yesu kama tunafanya mambo aliyotuamru. + +# Kwa nini Yesu aliwaita wanafua rafiki zake? + +Aliwaita rafiki, kwa sababu kwa sababu alifunua kwao mambo yote aliyoyasikia kutoka kwa Baba. + diff --git a/jhn/15/18.md b/jhn/15/18.md new file mode 100644 index 0000000..f65b202 --- /dev/null +++ b/jhn/15/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa nini ulimwengu huwachukia wale wanaomfuata Yesu kwasababu? + +Ulimwengu huwachukia wanaomfuata Yesu kwasababu wao sio wa ulimwengu huu na kwa sababu aliwachagua kutoka ulimwenguni. + diff --git a/jhn/15/23.md b/jhn/15/23.md new file mode 100644 index 0000000..0880e21 --- /dev/null +++ b/jhn/15/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alifanya nini kiasi kwamba ulimwengu hauna udhuru? + +Ulimwengu hauna udhuru kwa dhambi yao kwa sababu Yesu alikuja na kuteda akazi miongoni mwao amabayo hapana hata mmoja wao aliyefanya pia. + diff --git a/jhn/15/26.md b/jhn/15/26.md new file mode 100644 index 0000000..471df4f --- /dev/null +++ b/jhn/15/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nani atakayemshuhudia Yesu? + +Yule Mfariji, ambaye ni Roho wa Kwali, na wanafunzi wa Yesu watamshuhudia Yesu. + +# Kwa nini wanafunzi watamshuhudia Yesu? + +Wangemshuhudia Yesu kwa sababu wamkuwa pamoja naye tangu mwanzo. + diff --git a/jhn/16/01.md b/jhn/16/01.md new file mode 100644 index 0000000..b5e9124 --- /dev/null +++ b/jhn/16/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Yesu aliongea haya kwa wanafunzi wake? + +Yesu aliongea haya kwao ili wasiwe na mashaka. + diff --git a/jhn/16/03.md b/jhn/16/03.md new file mode 100644 index 0000000..2c57ce3 --- /dev/null +++ b/jhn/16/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa sababu gani watu watawato wanafunzi wa Yesu ndani ya masinagogi na kuwaua baadhi yao? + +Watawafanyia haya kwa sababu hawamfahamu Baba wala Yesu. + +# Kwa nini basi Ysu hakuwaambia haya tangu mwanzo? + +Yesu hakuwambia mwanzoni kwa sababu alikuwa pamoja nao. + diff --git a/jhn/16/05.md b/jhn/16/05.md new file mode 100644 index 0000000..75fcd0d --- /dev/null +++ b/jhn/16/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini ni vema Yesu aondoke? + +Ni vema Yesu aondoke kwa sababu Mfariji hatakuja kwao isipokuwa Yesu Yesu ameondoka. Yesu atamtuma Mafariji kwao. + diff --git a/jhn/16/08.md b/jhn/16/08.md new file mode 100644 index 0000000..4e61ce3 --- /dev/null +++ b/jhn/16/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kuhusu jambo gani mfariji atauhukumu ulimwengu? + +Mfariji atauhukumu ulimwengu kutokana na dhambi, haki na hukumu. + diff --git a/jhn/16/12.md b/jhn/16/12.md new file mode 100644 index 0000000..e1822ca --- /dev/null +++ b/jhn/16/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mfariji atakapokuja atafanya nini kwa wanafunzi? + +Atawaongoza wanafunzi katiak kweli yote, kwa sababu hatanena kwa ajili yake; lakini yoyote atakayoyasikia, atayasema mambo hayo; na atayadhihirisha kwao mambo yatakayokuja. + +# Huyo Roha wa Kweli atamtukuza nani? + +Atamtukuza Yesu kwa kuyachukua mambo ya Yesu na kuyatangaza kwa wanafunzi. + diff --git a/jhn/16/15.md b/jhn/16/15.md new file mode 100644 index 0000000..94f8e20 --- /dev/null +++ b/jhn/16/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni mambo gani ya Yesu ambayo Roho wa kweli atayachukua? + +Roho wa kweli atachukua mambo ya Baba. Yote aliyonayo Baba ni ya Yesu pia. + diff --git a/jhn/16/17.md b/jhn/16/17.md new file mode 100644 index 0000000..b9ab81f --- /dev/null +++ b/jhn/16/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni misemo gani ya Yesu ambayo wanafunzi hawakuielewa + +Hawakuelewa Yesu aliposema, "Bado muda mfupi, hamtaniona tena; na baada ya muda mfupi tena, mtaniona." Na aliposema, "kwa sababu naenda kwa Baba?" + diff --git a/jhn/16/19.md b/jhn/16/19.md new file mode 100644 index 0000000..62d93ad --- /dev/null +++ b/jhn/16/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kitatokea nini kwa huzuni ya Wanafunzi? + +Itageuzwa kuwa furaha + diff --git a/jhn/16/22.md b/jhn/16/22.md new file mode 100644 index 0000000..855ec7f --- /dev/null +++ b/jhn/16/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kipi kitatokea na kuwasababisha wanafunzi wafurahie? + +Watamuona tena Yesu na mioyo yao itafurahi. + diff --git a/jhn/16/26.md b/jhn/16/26.md new file mode 100644 index 0000000..3034341 --- /dev/null +++ b/jhn/16/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwa sababu gani Baba aliwapenda wanafunzi wa Yesu? + +Baba anawapenda wanafunzi wa Yesu kwa sababu wanafunzi walimpenda Yesu na waliamini kwamba ametoka kwa Baba. + +# Yesu alitoka wapi na alikuwa anakwenda wapi? + +Yesu alikuja ulimwenguni kutka kwa Baba na alikuwa anaondoka ulimwenguni na kurudi kwa Baba. + diff --git a/jhn/16/32.md b/jhn/16/32.md new file mode 100644 index 0000000..5284489 --- /dev/null +++ b/jhn/16/32.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni kitu gani Yesu aliwaambia wanafunzi wanapaswa kufanya kwa wakati huo? + +Yesu aliwaambia wanafunzi wake kuwa watatawanyija, kila mtu na kwao, na watamuacha Yesu peke yake. + +# Nani atabaki na Yesu baada ya wanafunzi wake kumuacha? + +Baba ataendelea kuwa na Yesu. + +# Kwa nini Yesu aliwaambia wanafunzi wake kujipa moyo hata kama wangekuwa na matatizo? + +yesu aliwaambia wajipe moyo kwa sababu yeye ameushinda ulimwengu. + diff --git a/jhn/17/01.md b/jhn/17/01.md new file mode 100644 index 0000000..5af4647 --- /dev/null +++ b/jhn/17/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nin Baba alimpa Yesu mamlaka yote juu ya wot wenye mwili? + +Baba alifanya hivi kwa ili kwamba awape uzima wa milele wale wote ambao umenipa. + diff --git a/jhn/17/03.md b/jhn/17/03.md new file mode 100644 index 0000000..13fddb4 --- /dev/null +++ b/jhn/17/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Uzima wa milele ni nini? + +Uzima wa milele ni kumjua Baba, Mungu pekee wa Kweli, na yeye uliye mtuma, Yesu Kristo. + +# Ni jinsi gani Jesu alimtukuza Mungu duniani? + +Alifanya hivi kwa kukamilisha kazi ambayo Baba alimpa kuifanya. + +# Ni utukufu gani Yesu anaoutaka? + +Hule utkufu anaoutaka ni ule ambao alikuwa nao alipokuwa na Baba kabla ya ulimwangu kuumbwa. + diff --git a/jhn/17/06.md b/jhn/17/06.md new file mode 100644 index 0000000..389465a --- /dev/null +++ b/jhn/17/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alaimfunulia nani jina la Baba? + +Yesu aliwafunulia jina la Baba watu aliopewa na Mungu toka Ulimwenguni. + +# Wale watu ambao Baba amewabidhi kwa Yesu waliyaitikiaje maneno ya Yesu? + +Waliyapokea maneno ya Yesu na habari za kweli kwamba Yesu alikuja kutoka kwa Baba na waliami kwamba Baba alimtuma Yesu. + diff --git a/jhn/17/09.md b/jhn/17/09.md new file mode 100644 index 0000000..1ed90ac --- /dev/null +++ b/jhn/17/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema hawaombei watu gani? + +Yesu alisema hauombei ulimwengu + +# Kwa kifupi Yesu anamwomba nini Baba kwa ajili ya wale ambao Baba alimkabidhi Yesu? + +Yesu anamwomba Baba kuwatunza hao katika jina la Baba ili wawe mmoja, kuwalinda kutokana na yule mwovu, awaweke katika kweli, na kisha wawe katika Yesu na Baba na kuwa nao wale ambo Baba amempa kuwa nao mahali atakapokuwa. + diff --git a/jhn/17/12.md b/jhn/17/12.md new file mode 100644 index 0000000..92315a2 --- /dev/null +++ b/jhn/17/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alipokuwa ulimwenguni, aliwafanyia nini watu ambao baba alikuwa amempa? + +Yesu aliwalinda + diff --git a/jhn/17/15.md b/jhn/17/15.md new file mode 100644 index 0000000..7745344 --- /dev/null +++ b/jhn/17/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa kifupi Yesu anamwomba nini Baba kwa ajili ya wale ambao Baba alimkabidhi Yesu? + +Yesu anamwomba Baba kuwatunza hao katika jina la Baba ili wawe mmoja, kuwalinda kutokana na yule mwovu, awaweke katika kweli, na kisha wawe katika Yesu na Baba na kuwa nao wale ambo Baba amempa kuwa nao mahali atakapokuwa. + diff --git a/jhn/17/18.md b/jhn/17/18.md new file mode 100644 index 0000000..7c1e5ed --- /dev/null +++ b/jhn/17/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Yesu anajitoa kwa Mungu? + +Yesu anajito mwenyewe ili kwamba wale ambao Baba ampa nao waweze kujitoa kwa kweli. + diff --git a/jhn/17/20.md b/jhn/17/20.md new file mode 100644 index 0000000..9ccd8f8 --- /dev/null +++ b/jhn/17/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu anawaombia watu gani tena? + +Yesu anawaombea watu watakaomwamini kupitia neno la wale waliokuwa wamemfuata wakati huo. + +# Kwa kifupi Yesu anamwomba nini Baba kwa ajili ya wale ambao Baba alimkabidhi Yesu? + +Yesu anamwomba Baba kuwatunza hao katika jina la Baba ili wawe mmoja, kuwalinda kutokana na yule mwovu, awaweke katika kweli, na kisha wawe katika Yesu na Baba na kuwa nao wale ambo Baba amempa kuwa nao mahali atakapokuwa. + diff --git a/jhn/17/24.md b/jhn/17/24.md new file mode 100644 index 0000000..7745344 --- /dev/null +++ b/jhn/17/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa kifupi Yesu anamwomba nini Baba kwa ajili ya wale ambao Baba alimkabidhi Yesu? + +Yesu anamwomba Baba kuwatunza hao katika jina la Baba ili wawe mmoja, kuwalinda kutokana na yule mwovu, awaweke katika kweli, na kisha wawe katika Yesu na Baba na kuwa nao wale ambo Baba amempa kuwa nao mahali atakapokuwa. + diff --git a/jhn/17/25.md b/jhn/17/25.md new file mode 100644 index 0000000..3676671 --- /dev/null +++ b/jhn/17/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa nini Yesu alilifanya la Baba kujulikana na ataendele kulifanya lijulikane kwa wale ambao Baba amempa yeye? + +Yesu alifanya hivyo na ataendelea kulifanya lijulikane ili kwamba lile pendo ambalo kwalo alimpenda Yesu liweze kuwa ndani yao, na Yesu aweze kuwa ndani yao. + diff --git a/jhn/18/01.md b/jhn/18/01.md new file mode 100644 index 0000000..da3e4b6 --- /dev/null +++ b/jhn/18/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Baada ya Yesu kusema maneno haya alikwenda wapi? + +Aliondoka na wanafunzi wake kueleke Kidroni kwenye ile bustani na akaingia ndani yake. + +# Yuda alijuaje kuhusu bustani? + +Alilijua eneo hilo, kwani Yesu alikuwa akienda hili eneo mara kadhaa akiwa na wanafunzi wake. + +# Nani mwingine alikuja pamoja na Yuda bustanini wakiwa na taa, mienge na silaha? + +Yuda, kundi la maaskari na maofisa kutoka kwa wakuu wa makuhani wakuu, walikuja bustanini wakiwa na taa, mienge na silaha. + diff --git a/jhn/18/04.md b/jhn/18/04.md new file mode 100644 index 0000000..0e21945 --- /dev/null +++ b/jhn/18/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu aliwaulizaje wale kundi la watu waliokuwa bustanini? + +Ni nani mnayemtafuta? + diff --git a/jhn/18/06.md b/jhn/18/06.md new file mode 100644 index 0000000..673b915 --- /dev/null +++ b/jhn/18/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kilitokea nini wakati lile kundi la watu liliposema kuwa walikuwa wakimtafuta Yesu wa Nazareth na Yesu alipojibu, " Mimi ndiye."? + +Wale askari na wale waliokuwa pamoja nao wlirudi kinyume na kuanguka chini. + diff --git a/jhn/18/08.md b/jhn/18/08.md new file mode 100644 index 0000000..b5ed26d --- /dev/null +++ b/jhn/18/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Yesu alisema, "Nimewaambieni kuwa mimi ndiye; kwa hiyo kama mnanitafuta mimi waacheni hawa waende."? + +Yesu alisema hivyo ili kwamba neno litimilike, lile neno lisemalo; "katika wale ulionipa, sikumpoteza hata mmoja," + diff --git a/jhn/18/10.md b/jhn/18/10.md new file mode 100644 index 0000000..b7fde98 --- /dev/null +++ b/jhn/18/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alimwambia nini Petro baada ya Petro kumkata sikio Malikusi, mtumish wa Kuhani Mkuu? + +Yesu alimwambia Petro. "Rudisha upanga wako kwenye ala yake. Kwa nini nisikinywee kikombe kile alichonipa Baba?" + diff --git a/jhn/18/12.md b/jhn/18/12.md new file mode 100644 index 0000000..464c770 --- /dev/null +++ b/jhn/18/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Baada ya lile kundi la askari na jemedari, na watumishi wa Wayahudi kukamata Yesu na kumfunga na walimpeleka wapi? + +kwanza walimpeleka kwa Anasi + +# Anasi allikuwa nani? + +Anasi alikuwa mkwewe Kayafa, ambaye alikuwa kuhani mwaka huo. + diff --git a/jhn/18/15.md b/jhn/18/15.md new file mode 100644 index 0000000..9ec895b --- /dev/null +++ b/jhn/18/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, Petro aliwezaje kuingia kwenye ukumbi wa Kuhani Mkuu? + +Mwanafunzi aliyekuwa akifahamika kwa kuhani mkuu, alitoka nje akaenda kuongea na yule mwanamke mtumishi aliyekuwa akilinda mlango na kumwingiza Petro ndani. + diff --git a/jhn/18/17.md b/jhn/18/17.md new file mode 100644 index 0000000..66b6357 --- /dev/null +++ b/jhn/18/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nani aliyemwuliza Petro kama naye alikuwa mwanafunzi wa Yesu au naye alikuwa na Yesu? + +Yule mwanake kijakazi aliyekuwa akilinda mlango wa ukumbi, mmoja wa wale watu waliokuwa wamesimama kuuzunguka moto wa mkaa na mmoja wa watumishi wa kuhani mkuu, aliyekuwa ndugu wa yule mtu ambaye Petro alimkata sikio, wote walimwuliza Petro kama yeye naye alikuwa mwanafunzi wa Yesu au alikuwa na Yesu. + diff --git a/jhn/18/19.md b/jhn/18/19.md new file mode 100644 index 0000000..3f260c7 --- /dev/null +++ b/jhn/18/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa kifupi, Yesu alijibuje wakati Kuhani mkuu alipomwuliza Yesu juu ya wanafunzi wake na mafundisho yake? + +Yesu alimjibu kuwa yeye aliufundisha ulimwengu waziwazi hadharani. Akamwambia Kuhani mkuu awaulize wale waliomsikia yeye juu ya kile alichosema + diff --git a/jhn/18/22.md b/jhn/18/22.md new file mode 100644 index 0000000..2716b76 --- /dev/null +++ b/jhn/18/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baada ya Anasi kumuuliza Yesu maswali alimpeleka wapi + +Anasi alimpeleka Yesu kwa Kayafa Kuhani Mkuu. + diff --git a/jhn/18/25.md b/jhn/18/25.md new file mode 100644 index 0000000..89bcd93 --- /dev/null +++ b/jhn/18/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baada ya Petro kukana kuhusishwa na Kristo mara tatu mara kukatokea nini? + +Mara Jogoo akawika baada ya Petro kukana kuhusishwa na Kristo mara ya tatu . + diff --git a/jhn/18/28.md b/jhn/18/28.md new file mode 100644 index 0000000..18e7ab1 --- /dev/null +++ b/jhn/18/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini wale waliompeleka Yesu kwenye Praitorio hawakuingia nadani yake? + +Hawakuingia ndani ya Praitorio ili wasije wakanajisika kiasi cha kutoila Pasaka. + diff --git a/jhn/18/31.md b/jhn/18/31.md new file mode 100644 index 0000000..c06035a --- /dev/null +++ b/jhn/18/31.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Wayahudi walimpeleka Yesu kwa Pilato badala ya wao wenyewe kumwadhibu? + +Ni kwa sababu Wayahudi walitaka kumwua Yesu na wao hawakurusiwa kisheria kumuua mtu yeyote bila ruhusa toka mamlaka ya Kirumi + diff --git a/jhn/18/33.md b/jhn/18/33.md new file mode 100644 index 0000000..94a290b --- /dev/null +++ b/jhn/18/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Pilato alimwuliza nini Yesu? + +Pilato alimwuliza Yesu kama yeye alikuwa mfalme wa Wayahudi, pia alimwuliza Yesu alichokuwa amekifanya. + diff --git a/jhn/18/36.md b/jhn/18/36.md new file mode 100644 index 0000000..dcc1511 --- /dev/null +++ b/jhn/18/36.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alimwambiaje Pilato juu ya Ufalme wa Yesu? + +Yesu alimwambia Pilato kuwa Ufalme wake si sehemu ya ulimwengu huu na hautokani na Ulimwengu huu. + +# Ni kwa kusudi gani Yesu alizaliwa? + +Yesu alizaliwa kuwa Mfalme + diff --git a/jhn/18/38.md b/jhn/18/38.md new file mode 100644 index 0000000..222ebd5 --- /dev/null +++ b/jhn/18/38.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hukumu ya Pilato juu ya Yesu baada ya kuongea naye ilikuwaje? + +Pilato aliwaambia Wayahudi kuwa, "Sijaona Kosa lolote kwa mtu huyu" + +# Pilato alipopendekeza kumfungulia Yesu, Wayahudi walipiga kelele kusemaje kwa Pilato? + +Wayahudi walipiga kelele tena wakisema, siyo huyu, tufungulie Baraba." + diff --git a/jhn/19/01.md b/jhn/19/01.md new file mode 100644 index 0000000..323dd2d --- /dev/null +++ b/jhn/19/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Askari walimtendea nini Yesu baada ya Pilato kumchapa mijeredi Yesu? + +Wale maaskari walisokota miiba na kutengeneza taji. Wakaiweka juu ya kichwa cha Yesu na kumvalisha vazi la rangi ya zambarau. Wakamjia na kusema, "Wewe mfalme wa Wayahudi! na kisha kumpiga kwa mikono yao. + diff --git a/jhn/19/04.md b/jhn/19/04.md new file mode 100644 index 0000000..36f06e2 --- /dev/null +++ b/jhn/19/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa nini Pilato alimtoa Yesu nje kwa Wayahudi tena? + +Pilato alimtoa Yesu nje kwa watu ili wajue kuwa Pilato hajaona kosa kwa Yesu. + +# Yesu alikuwa amevaa nini Palato alimrusha tena nje kwa watu? + +Yesu alikuwa amevaa taji ya miiba na vazi la zambarau + +# Wakuu wa Makuhani wa Maofisa walisema nini Yesu? + +Wlipiga kelele na wakasema., "Msurlibishe, Msulibishe!" + diff --git a/jhn/19/07.md b/jhn/19/07.md new file mode 100644 index 0000000..5eccbb7 --- /dev/null +++ b/jhn/19/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wayahudi walisema kitu gani ambacho kilimfanya Pilato aogope zaidi? + +Wayahudi walimwambia Pilato kuwa, "Sisi tunayo sheria, na kwa sheria hiyo inampas kufa kwa sababu yeye alijifanya mwenyewe Mwana wa Mungu." + +# Pilato alipomuuliza Yesu, "Wewe unatoka wapi?", Yesu alisemaje? + +Yesu hakumjibu Pilato. + diff --git a/jhn/19/10.md b/jhn/19/10.md new file mode 100644 index 0000000..b4a0143 --- /dev/null +++ b/jhn/19/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema ni nani yaliyempa Pilato mamlaka juu ya Yesu? + +Yesu alisema, "Usingekuwa na uwezo dhidi yangu kama usingepewa toka juu. + diff --git a/jhn/19/12.md b/jhn/19/12.md new file mode 100644 index 0000000..9189c82 --- /dev/null +++ b/jhn/19/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ijapokuwa Pilato alitaka kumwacha Yesu huru, Wayahudi walisema kitu gani kilchomzuia Pilato? + +Wayahudi walipiga kelele wakisema, "Kama utamwacha huru, basi wewe si rafiki wa Kaisari: Kila ajifanyaye kuwa mfalme humnenea kinyume Kaisari." + diff --git a/jhn/19/14.md b/jhn/19/14.md new file mode 100644 index 0000000..f97f552 --- /dev/null +++ b/jhn/19/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni jambo gani la mwisho wakuu wa makuahani walisema kabla Pilato hamkabidhi kwao Yesu ili asulibiwe? + +Makuu wa Makuhani walisema, "Sisi hatuna mfalme isipokuwa Kaisari." + diff --git a/jhn/19/17.md b/jhn/19/17.md new file mode 100644 index 0000000..e032f79 --- /dev/null +++ b/jhn/19/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu walimsulibisha Wapi? + +Yesu walimsulibisha Golgotha, maana yake fuvu la kichwa + +# Je! Ni yesu peke yake aliyesulibiwa siku hiyo? + +Hapana. Kuna wanaume wengine wawili waliosulibiwa pamoja naye, mmoja upande huu na mwingine upande huu. + diff --git a/jhn/19/19.md b/jhn/19/19.md new file mode 100644 index 0000000..ecf73a5 --- /dev/null +++ b/jhn/19/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Pilato aliandika nini kwenye bango ambalo liliwekwa kwenye msalaba wa Yesu + +Kwenye lile bango paliandikwa, "YESU MNAZARETI, MFALME WA WAYAHUDI." + +# Ni katika lugha gani lile bango kwenye Msalaba wa Yesu lilindikwa? + +Bano lilikuwa limeandkwa katika Kiebrania, Kilatini na Kiyunani. + diff --git a/jhn/19/23.md b/jhn/19/23.md new file mode 100644 index 0000000..cb6ea45 --- /dev/null +++ b/jhn/19/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, askari walifanya nini juu ya mavazi ya Yesu + +Askari waliyagawa mavazi ya Yesu katika mafungu manne, fungu moja kwa kila askari. Lakini walipigia kura ili kupata nani atachukua kanzu ya Yesu ambayo ilikuwa imefumwa pamoja bila mikunjo. + +# Kwa nini askari walifanya walivyofanya juu ya mavazi ya Yesu? + +Hii lilitokea ili kwamba Maandiko yatimie yale yanayosema, "Waligawanya mavazi yangu na nguo yangu wakaipigia kura." + diff --git a/jhn/19/25.md b/jhn/19/25.md new file mode 100644 index 0000000..1243ff3 --- /dev/null +++ b/jhn/19/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni nani alioyekuwa amesima karibu na msalaba wa Yesu? + +Mama yake na Yesu, dada yake na mariamu mama wa Yesu, Mariam mke wa Kleopa, Mariamu Magdalene na mwanafunzi yule aliyependwa na Yesu. Hawa wote walikuwa wamesimama karibu na msalaba wa Yesu. + +# Yesu alimwambia nini mama yake alipomwona mama yake na mwanafunzi aliyempenda wamesima kariribu naye? + +Yesu alimwambi "Mwanamke, tazama, huyu hapa ni mwanao!" + +# Yule mwanafunzi aliyependwa na Yesu alifanya nini baada ya kuambiwa na Yesu, "Huyu hapa ni mama yako?" + +Tokea saa hiyo yule mwanafunzi akamchukua mama yake Yesu nyumbani kwake. + diff --git a/jhn/19/28.md b/jhn/19/28.md new file mode 100644 index 0000000..dd6a2fc --- /dev/null +++ b/jhn/19/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini Yesu alisema, "naona kiu." + +Yesu alisema hivyo ili kuuthibitisha ukweli wa Maandiko. + +# Yesu alifanya nini baada ya kuwa amekuywa siki kutoka kwenye sifongo iliyowekwa juu ya ufito na kuwekwa mdomoni mwake? + +Naye Yesu alipoionja hiyo, akasema, "Imekwisha." Kisha akainamisha kichwa chake, akaikabidhi roho yake. + diff --git a/jhn/19/31.md b/jhn/19/31.md new file mode 100644 index 0000000..1089556 --- /dev/null +++ b/jhn/19/31.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini Wayahudi walimtaka Pilato avunje miguu ya wale wnume wliokuwa wamesulibishwa? + +Kwa sababu ilikuwa ni maandalio, na kwa sababu miili haikutakiwa kubaki msalabani wakati wa Sabato ( na kwa sababu Sabato ilikuwa siku muhimu sana kwa Wayahudi), Wayahudi walimwomba Pilato kuwa miguu ya wahalifu ivunjwe na miili yao ishushwe. + +# Kwa nini Askari hawakuivunga miguu ya Yesu? + +Hawakuivunja miguu ya Yesu kwa sababu walimwona tayari amekwisha kufa + diff --git a/jhn/19/34.md b/jhn/19/34.md new file mode 100644 index 0000000..43e7966 --- /dev/null +++ b/jhn/19/34.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Asakari walifanya nini baada ya kumkut Yesu kuwa tayari alikuwa amekufa? + +Mmoja wa wale askari alimchoma Yesu ubavuni kwa mkuki. + +# Kwa nini aliyeona mambo haya yote kuhusiana na kusulibiwa kwa Yesu alitoa ushuhuda kwao? + +Naye aliyeona matukio haya ametoa ushuhuda ili nanyi pia mweze kuamini. + diff --git a/jhn/19/36.md b/jhn/19/36.md new file mode 100644 index 0000000..77f73c9 --- /dev/null +++ b/jhn/19/36.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nin miguu ya Yesu haikuvunjwa na kwa nini Yesu alichomwa kwa mkuki? + +Haya mambo yalitokea ili kwamba maandiko yaweze kutimilika, "Hapana mfupa wake utakaovunjwa." na tena, "watamtazama yeye waliyemchoma." + diff --git a/jhn/19/38.md b/jhn/19/38.md new file mode 100644 index 0000000..15d8eef --- /dev/null +++ b/jhn/19/38.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nani aliyekuja kuuomba mwili wa Yesu? + +Yusufu wa Arimathaya alimwomba Pilato ili auchukue mwili wa Yesu + +# Ni nani aliyekuja pamoja na Yusufu wa Arimathea kuuchukua mwili wa Yesu + +Nikodemo ndiye aliyekuja pamoja na Yusufu wa Arithea. + diff --git a/jhn/19/40.md b/jhn/19/40.md new file mode 100644 index 0000000..3c13c41 --- /dev/null +++ b/jhn/19/40.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yusufu wa Arimathea na Nikodemo waliufanyia nini mwili wa Yesu? + +Waliufanga mwaili wa Yesu kwenye sanda ya kitani na pamoja na yale manukato. Kisha waliulaza mwili wa Yesu katika kaburi jipya ambalo lilikuwa bustanii + diff --git a/jhn/20/01.md b/jhn/20/01.md new file mode 100644 index 0000000..ff893a9 --- /dev/null +++ b/jhn/20/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni wakati gani Mriamu Magdalena alikuja Kaburini? + +Alikuja kaburini mapema siku ya kwanza ya juma + +# Mariamu Magdalena aliona nini alipofika kaburini? + +Aliliona lile jiwe likiwa limevingirishwa toka kaburini + +# Mariamu alisema nini kwa wanafunzi wale wawili? + +Aliwaambi, "wamemchukua Bwana kaburini, nasi hatujui kule walikomlaza." + diff --git a/jhn/20/03.md b/jhn/20/03.md new file mode 100644 index 0000000..0bdb448 --- /dev/null +++ b/jhn/20/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Simon Petro na wanafunzi wengine walifanya nini waliposikia kile alichosema Mariamu Magdalena? + +Wote walikimbia kuelekea kaburini. + diff --git a/jhn/20/06.md b/jhn/20/06.md new file mode 100644 index 0000000..733e101 --- /dev/null +++ b/jhn/20/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mle Kaburini, Petro aliona nini? + +Petro aliiona ile sanda ya kitani imelala pale na ile leso iliyokuwa kichwani pake haikuwa imewekwa pamoja na zile sanda za kitani bali ilikuwa imewekwa pembeni peke yake. + diff --git a/jhn/20/08.md b/jhn/20/08.md new file mode 100644 index 0000000..0dad2d7 --- /dev/null +++ b/jhn/20/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, Mwitikio wa Yule mwanafunzi mwingine ulikuwaje juu ya kile alichokiona mle kaburini? + +Aliona na kuamini + diff --git a/jhn/20/11.md b/jhn/20/11.md new file mode 100644 index 0000000..8f44e32 --- /dev/null +++ b/jhn/20/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mariamu aliona nini alipokuwa amesimmama na kutazama kaburuni? + +Aliona malaika wawili wenye sura nyeupe wamekaa mmoja kichwani na mwingine miguuni mahali ambapo Yesu alikuwa amelala. + +# Malaika walimwambuia nini Mariamu? + +Walimuuliza, "Mwanamke, kwa nini unalia? + diff --git a/jhn/20/14.md b/jhn/20/14.md new file mode 100644 index 0000000..73d2f2f --- /dev/null +++ b/jhn/20/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mariamu alipogeuka aliona nini'? + +Alimwona Yesu akiwa amesimama pale, lakini hakujua kama huyo alikuwa Yesu. + +# Mariamu alifikiri Yesu alikuwa nani? + +Alifikiri alikuwa mtunza bustani? + diff --git a/jhn/20/16.md b/jhn/20/16.md new file mode 100644 index 0000000..388663b --- /dev/null +++ b/jhn/20/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni wakati gani Mariamu alimtambua Yesu? + +Alimtambua Yesu pale alipolimka jina lake, "Mariamu." + +# Ni kwa nini Yesu alimwambia Mariamu asimguse? + +Yesu alimwambia asimguse kwa sababu bado alikuwa hajapaa kwenda kwa Baba. + +# Yesu alimwambia akawaambie nini ndugu Zake? + +Yesu alimwambia akwambie ndugu Zake, kuwa Nitapaa kwa Baba na Baba yenu, na Mungu wangu na Mungu wenu. + diff --git a/jhn/20/19.md b/jhn/20/19.md new file mode 100644 index 0000000..d4a1256 --- /dev/null +++ b/jhn/20/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kilitokea nini kwa wanafunzi wakati wa jioni ya kwanza ya siku ya kwanza ya juma? + +Yesu alikuja na kusimama katkati yao. + diff --git a/jhn/20/21.md b/jhn/20/21.md new file mode 100644 index 0000000..8ad1f9b --- /dev/null +++ b/jhn/20/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema alikuwa anafanya nini kwa wanafunzi? + +Yesu alisema alikuwa akiwatuma wanafunzi kama vile Baba yake alivyomtuma yeye. + +# Yesu alisema nini kwa wanafunzi wake baada ya kuwavuvia? + +Aliwaambia, "Pokeeni Roho Mtakatifu. Dhambi za yeyote mkizisamehewa, zitakuwa zimesamehewa kwa ajili yao, na dhambi za yeyote mtakazozifungia watakuwa zimefungiwa." + diff --git a/jhn/20/24.md b/jhn/20/24.md new file mode 100644 index 0000000..e9e25ea --- /dev/null +++ b/jhn/20/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni mwanfunzi yupi ambaye hakuwa pamoja na wenzake walipomwona Yesu? + +Thomaso, mmoja wa wale thenashara, aitwaye Pacha, hakuwa pamoja na wanafunzi wenzake wakati Yesu alipokuja. + +# Thomaso aliseaama ingemagharimu nini kuamini kwamba alikua hai? + +Thomaso alisema, "Kama sitaona alama za misumari katika mikono yake, na kutia vidole vyangu kwenye hizo alama, na pia kutia mkono wangu kwenye ubavu wake sitaamini." + diff --git a/jhn/20/26.md b/jhn/20/26.md new file mode 100644 index 0000000..c1db499 --- /dev/null +++ b/jhn/20/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Thomaso alimwona Yesu wakati gani? + +Baada ya siku nane, Thomaso alikuwa na wanafunzi wenzake na milango ilikuwa imefungwa na Yesu akasimama kati kati yao. + +# Yesu alimwambia nini Thomaso? + +Yesu alimwambia Thomaso kumgusa kwa kidole chake na kuona tazama mikono ya Yesu na amgese kwa mkono wake kuutia ubavuni Mwake. Kisha Yesu alimwambia asiwe mwenye kupungukiwa na imani, bali mwenye kuamini. + diff --git a/jhn/20/28.md b/jhn/20/28.md new file mode 100644 index 0000000..e3f615c --- /dev/null +++ b/jhn/20/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Thomaso alimwambia nini Yesu? + +Thomaso alimwambia, "Bwana wangu na Mungu wangu" + +# Yesu alimwambia nini Thomaso? + +Yesu alisema, "Wamebarikiwa wao wanaoamini, pasipokuona." + diff --git a/jhn/20/30.md b/jhn/20/30.md new file mode 100644 index 0000000..7b3c470 --- /dev/null +++ b/jhn/20/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, Yesu alifanya ishara nyingine ambazo hazikuandikwa kwenye kitabu? + +Ndiyo, Yesu alifanya ishara nyingi mbele ya wanafunzi ambazo hazikuandikwa kwenye kitabu cha Yohana. + +# Ni kwa nini ishara ziliandikwa kitabuni? + +Zimeandikwa ili kwamba muweze kuamini kwamba Yesu ndiye Kristo, mwana wa Mungu, na kwamba muaminipo muwe na uzima katika jina lake. + diff --git a/jhn/21/01.md b/jhn/21/01.md new file mode 100644 index 0000000..8944713 --- /dev/null +++ b/jhn/21/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wanafunzi walikuwa wapi wakati Yesu alipojionyesha kwao tena? + +Wanafunzi walikuwa kwenye bahari ya Tiberia + +# Ni wanafunzi gani walikuwa kwenye bahari ya Tiberia? + +Simon Petro, Thomaso aitwaye Didimo, Nathanaeli wa kana ya Galilaya, wana wa Zebedayo na wanafunzi wengine wawili wa Yesu walikuwa kwenye bahari ya Tiberia. + +# Wanafunzi walikuwa wakifanya nini? + +Wanafunzi hawa walikuwa wamekwenda kuvua samaki lakini hawakupata cho chote usiku kucha. + diff --git a/jhn/21/04.md b/jhn/21/04.md new file mode 100644 index 0000000..2646572 --- /dev/null +++ b/jhn/21/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu aliwaambia wanafunzi kufanya nini? + +Yesu aliwaambia wanafunzi kutupa nyavu zao upande wa kulia wa mtumbwi wao na wangeliweza kuvua sameki kiasi. + +# Kulitokea nini wanafunzi walipotupa nyavu zao? + +Nao hawakuweza kuzivuta tena kwa sababu ya kulikuwa na samaki wengi ndani yake. + diff --git a/jhn/21/07.md b/jhn/21/07.md new file mode 100644 index 0000000..42061bd --- /dev/null +++ b/jhn/21/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, Simon Petro alifanya nini pale mwanafunzi aliyependwa na Yesu aliposema, "Ndiye Bwana" + +alaijifunga vazi lake kisha akajitupa baharini + +# Wale wanafunzi wengine walifanya nini? + +Wale wanafunzi wengine walikuja kwenye mtumbwi wakikokota nyavu zikiwa zimejaa samaki. + diff --git a/jhn/21/10.md b/jhn/21/10.md new file mode 100644 index 0000000..24c1218 --- /dev/null +++ b/jhn/21/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu aliwaambia kufanya nini na baadhi ya samaki waliokuwa wamewavua? + +Yesu aliwaambia wanafunzi kuleta baadhi ya samaki waliokuwa wamewavua sasa hivi. + diff --git a/jhn/21/12.md b/jhn/21/12.md new file mode 100644 index 0000000..4ba17fc --- /dev/null +++ b/jhn/21/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hii ni mara ya ngapi sasa kwa Yesu kujidhihirisha kwa wanafunzi wake? + +Hii ilikuwa mara ya tatu kwa Yesu kujidhihirisha kwa wanafunzi wake baada ya kufufuka toka wafu. + diff --git a/jhn/21/15.md b/jhn/21/15.md new file mode 100644 index 0000000..8fd5f0a --- /dev/null +++ b/jhn/21/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baada ya kifungua kinywa Yesu alimuuliza Simon Petro jambo gani la kwanza? + +Yesu alimuuliza Simoni Petro kama alimpenda Yesu kuliko hawa. + diff --git a/jhn/21/17.md b/jhn/21/17.md new file mode 100644 index 0000000..fa743cc --- /dev/null +++ b/jhn/21/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je! Mara ya tatu Simon Petro alimjibu nini Yesu alipomwuliza Petro kama alimpenda Yesu? + +Mara ya tatu Petro alipoulizwa alijibu, Bwana; wewe wajua yote, unajua kuwa nakupenda." + +# Mara ya tatu Petro anamjibu swali la Yesu. "Je!" Wanipenda?" Yesu alimwambia Petro kufanya nini? + +Mara ya tatu Yesu alimwambia Petro, "Lisha wanakondoo wangu." + +# Yesu alimwambia nini Simoni Petro ambacho kilichokuwa kinakwenda kumtokea Simoni yatakapokuwa mzee? + +Yesu alimwambia limwambia simoni Petrokuwa atakapokuwa mzee angenyosha mikono yake na mwingine angemfunga nguo na kumpeleka asikotaka kwenda. + diff --git a/jhn/21/19.md b/jhn/21/19.md new file mode 100644 index 0000000..ad7eea1 --- /dev/null +++ b/jhn/21/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Yesu alimwambia Petro kile kitakachompata Petro katika uzee wake? + +Yesu aliyasema haya ili kuonyesha ni aina gani ya kifo ambacho Petro atakufa kwa ajili ya utukufu wa Mungu + diff --git a/jhn/21/22.md b/jhn/21/22.md new file mode 100644 index 0000000..69d1cae --- /dev/null +++ b/jhn/21/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alilijibuje swali la Petro, la, "Huyu mtu atafanya nini?" + +Yesu alimwambia Petro. "nifuate" + diff --git a/jhn/21/24.md b/jhn/21/24.md new file mode 100644 index 0000000..feeb114 --- /dev/null +++ b/jhn/21/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nani aliandika kitabu hiki na anatolea ushuhuda kwa jambo gani> + +Mwanafunzi aliyependwa na Yesu ndiye aliyeandika kitabu na ndiye anayeshuhudia na ushuhudia kwamba kwamaba yanayoelezewa katika kitabu hiki ni kweli. + diff --git a/jud/01/01.md b/jud/01/01.md new file mode 100644 index 0000000..9e0e36a --- /dev/null +++ b/jud/01/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yuda alikuwa mtumishi wa nani? + +Yuda alikuwa mtumishi wa Yesu Kristo + +# Ni nani aliyekuwa kaka yake na Yuda? + +Yuda alikuwa kaka wa Yakobo + +# Yuda aliwaandikia akina nani? + +aliandika kwa wale waliokuwa wameitwa, wapendwao katika Mungu Baba, na kutunzwa kwa ajili a Kristo. + +# Yuda alitaka ao aliowandikia waongezewe nini? + +Yuda alitaka rehema, amani, na upendo uzidishwe. + diff --git a/jud/01/03.md b/jud/01/03.md new file mode 100644 index 0000000..8f6a388 --- /dev/null +++ b/jud/01/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yuda alitaka kuandika kuhusu nini kwanza? + +Yuda alitaka kuandika kwanza kuhusu wokovu wao wa kawaida. + +# Kweli Yuda aliandika kuhusu nini? + +Kweli Yuda aliandika kuhusu uhitaji wa kupambana kwa ajili ya imani ya watakatifu. + +# Watu walio hukumiwa na wasio wa utaua walikujaje? + +Walibadili neema ya Mungu kuwa ufisadi na kumkana Yesu Kristo. + diff --git a/jud/01/05.md b/jud/01/05.md new file mode 100644 index 0000000..0d299ac --- /dev/null +++ b/jud/01/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kutoka wapi Bwana aliwaokoa watu mara moja? + +Bwana aliwaokoa kutoka nchi ya Misri. + +# Bwana alifanya nini kwa wale watu ambao hawakuamini? + +Bwana aliwaangamiza wale watu ambao hawakuamini. + +# Bwana aliwafanya nini wale malaika walio acha makao yao maalum? + +Bwana aliwaweka katika minyororo ndani ya giza kwa ajili ya hukumu. + diff --git a/jud/01/07.md b/jud/01/07.md new file mode 100644 index 0000000..e84969b --- /dev/null +++ b/jud/01/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sodoma, Gomora na miji inayozunguka walifanya nini? + +walifanya uasherati na kuchochea tamaa zisizo za asili. + +# Kama Sodoma, Gomora, na miji iliyowazunguka, watu walio hukumiwa na waasi wanafanya nini? + +Wanachafua miili yao, na hukataa mamlaka, na wananena uongo. + diff --git a/jud/01/09.md b/jud/01/09.md new file mode 100644 index 0000000..7e00738 --- /dev/null +++ b/jud/01/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Malaika mkuu Mikaeli alisema nini kwa Shetani + +Malaika mkuu Mikaeli alisema, "Bwana na akukemee." + diff --git a/jud/01/12.md b/jud/01/12.md new file mode 100644 index 0000000..eaae744 --- /dev/null +++ b/jud/01/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa nani watu waliohukumiwa adhabu na wasio na mungu hujali pasipo aibu? + +Hujijali wenyewe pasipo aibu. + diff --git a/jud/01/14.md b/jud/01/14.md new file mode 100644 index 0000000..7a95e01 --- /dev/null +++ b/jud/01/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Enoka alikuwa nafasi gani katika ukoo wa Adamu? + +Enoka alikuwa wa saba katika ukoo wa Adamu. + +# Bwana atafanya hukumu kwa nani? + +Bwana atafanya hukumu kwa watu wote. + +# Waasi gani ambao watahukumiwa? + +Wanung'unikao, walalamikao ambao hufauata tamaa zao za uovu, wajivunao mno, ambao kwa faida yao hudanganya wengine. + diff --git a/jud/01/17.md b/jud/01/17.md new file mode 100644 index 0000000..6c0f647 --- /dev/null +++ b/jud/01/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nani aliongea maneno hapo zamani kuhusu wenye dharau? + +Mitume wa Bwana Yesu Kristo waliongea maneno hapo zamani kuhusu wenye dharau. + +# Nini ni cha kweli kuhusu wadhihaki wanao fuata tamaa zao, wasababisha utengano na utawaliwa na tamaa za asili? + +Hawana Roho Mtakatifu. + diff --git a/jud/01/20.md b/jud/01/20.md new file mode 100644 index 0000000..d17a36b --- /dev/null +++ b/jud/01/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni jinsi gani wapendwa walikuwa wakijijenga wenyewe na kuomba? + +Wapendwa walikuwa wakijijenga wenyewe zaidi katika imani yao takatifu, na kuomba katika Roho Mtakatifu. + +# Wapenzi walitakiwa kujitunza katika nini nakutazamia nini? + +Wapenzi walipaswa kujihifadhi na kuutazama upendo wa Mungu, na rehema za Bwana wetu Yesu Kristo. + diff --git a/jud/01/22.md b/jud/01/22.md new file mode 100644 index 0000000..11da5e5 --- /dev/null +++ b/jud/01/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni akina nani ambao wapendwa walipaswa kuwa na huruma juu yao na kuwaokoa? + +Wapendwa walipaswa kuwa na huruma juu yao na kuwaokoa wale waliokuwa katika mashaka au wenye vazi lililo kwenye mwili, na wote walio kwenye moto. + diff --git a/jud/01/24.md b/jud/01/24.md new file mode 100644 index 0000000..e57cb53 --- /dev/null +++ b/jud/01/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mungu Baba Mwokozi wao, kupitia Yesu Kristo aliweza kuwafanyia nini? + +Mungu aliweza kuwalinda wasijikwae na kuwasababisha wasimame mbele ya utufu wake bila mawaa. + +# Mungu alikuwa lini na utufu? + +Mungu alikuwa na utukufu kabla ya nyakati zote, sasa, na hata milele. + diff --git a/luk/01/01.md b/luk/01/01.md new file mode 100644 index 0000000..cada788 --- /dev/null +++ b/luk/01/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nani walikuwa "mashahidi wa macho" ambao anawataja Luka? + +"Mashahidi wenye kuyaona" ndio waliokuwa pamoja na Yesu tangu mwanzo wa huduma yake. + +# Baadhi ya mashahidi wa macho walifanya nini baada ya kuona Yesu alichofanya? + +Waliandika kazi au habari ya alichofanya Yesu. + +# Kwanini Luka aliamua kuandika kazi yake ya kile ambacho Yesu alisema na kufanay? + +Alitaka Theofilo ajue ukweli wa mambo aliyofundisha. + diff --git a/luk/01/05.md b/luk/01/05.md new file mode 100644 index 0000000..4b8cfba --- /dev/null +++ b/luk/01/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwanini Mungu alitazama Zakaria na Elizabeth kuwa wenye haki? + +Mungu aliwatazama hao kuwa wenye haki sababu walitii amri yake. + +# Kwanini Zakaria na Elizabeth hawakuwa na watoto? + +Hawakuwa na watoto kwasababu Elizabethi alikuwa hawezi kuzaa watoto. Kwasasa yeye na Zakaria walikuwa wazee. + diff --git a/luk/01/08.md b/luk/01/08.md new file mode 100644 index 0000000..087c94c --- /dev/null +++ b/luk/01/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kazi gani ambayo Zakaria alikuwa akifanya katika hekalu la Yerusalemu? + +Zakaria alikuwa akitumika kama kuhani. + +# Zakaria alifanya nini hekaluni? + +Alichoma ubani kwa Mungu. + +# Watu walifanyaje wakati zakaria alikuwa hekaluni? + +Watu walibaki nje katika kiwanja na walikuwa wanaomba. + diff --git a/luk/01/11.md b/luk/01/11.md new file mode 100644 index 0000000..40c1356 --- /dev/null +++ b/luk/01/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ambaye alionekana kwa Zakaria alipokuwa katika hekalu? + +Malaika wa Bwana akamtokea Zakaria hekaluni. + +# Zakaria alifanya tendo gani alipomwona Malaika? + +Zakaria alipomwona Malaika, aliogopo sana. + +# Nini alichosema Malaika kwa Zakaria? + +Malaika alimwambia Zakaria asiogope na mke wake Elizabethi atakuwa na mtoto. Jina la mtoto litakuwa Yohana. + diff --git a/luk/01/16.md b/luk/01/16.md new file mode 100644 index 0000000..c0e4c19 --- /dev/null +++ b/luk/01/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je malaika alisemaje ambacho Yohana atakifanya kwa ajili ya wana wa Israeli? + +malaika alisema John atawageuza tena wana wa Israeli wamwelekee Bwana Mungu wao. + +# Matendo yote ya Yohana yatawafanya tayari watu wa aina gani? + +Watu walioandaliwa kwaajili ya Bwana watafanywa tayari. + diff --git a/luk/01/18.md b/luk/01/18.md new file mode 100644 index 0000000..f587cd2 --- /dev/null +++ b/luk/01/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jina la Malaika lilikuwa nani na kwa kawaida alikaa wapi? + +Jina la malaika lilikuwa Gabrieli na kwa kawaida alisimama katika uwepo wa Mungu. + diff --git a/luk/01/21.md b/luk/01/21.md new file mode 100644 index 0000000..609087a --- /dev/null +++ b/luk/01/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je nini malaika alisema kitatokea kwa Zakaria kwa sababu hakuamini maneno ya malaika? + +Zakaria hatakuwa na uwezo wa kuzungumza mpaka mtoto atakapozaliwa. + diff --git a/luk/01/26.md b/luk/01/26.md new file mode 100644 index 0000000..bd8f8dc --- /dev/null +++ b/luk/01/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Miezi sita baada ya ujauzito wa Elizabeth, nani Gabrieli alitumwa na Mungu kumwona? + +Bikra aitwye Mariamu, aliyekuwa amechumbiwa na Yusufu, ukoo wa Daudi. + diff --git a/luk/01/30.md b/luk/01/30.md new file mode 100644 index 0000000..49aca46 --- /dev/null +++ b/luk/01/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini alichokisema malaika kitatokea kwa Mariamu? + +Malaika alisema kwamba Mariamu atakuwa mimba. + +# mtoto ataitwa jina gani na atafanya nini? + +Mtoto ilikuwa aitwe Yesu na atatawala uzao wa Yakobo milele ufalme usio na mwisho + diff --git a/luk/01/34.md b/luk/01/34.md new file mode 100644 index 0000000..52dea14 --- /dev/null +++ b/luk/01/34.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Malaika alisema haya yatatokeaje sababu sababu Mariamu alikuwa bikra? + +Malaika alisema kwamba Roho Mtakatifu atakuja kwa Mariamu na nguvu zake aliye juu zitakuwa juu yake. + +# Malaika alisema kwamba huyu mtoto mtakatifu angekuwa mtoto wa nani? + +Malaika alisema kwamba mtoto angeitwa Mwana wa Mungu. + +# Malaika alisema nini ambacho akiwezekani kwa kwa Mungu? + +Hakuna. + diff --git a/luk/01/39.md b/luk/01/39.md new file mode 100644 index 0000000..15a3604 --- /dev/null +++ b/luk/01/39.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mariamu alipo msalimia Elizabethi, nini ambacho mtoto wa Elizabethi alifanya? + +mtoto aliruka tumboni kwa furaha. + diff --git a/luk/01/42.md b/luk/01/42.md new file mode 100644 index 0000000..67119d0 --- /dev/null +++ b/luk/01/42.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nani Elizabeth alisema alikuwa amebarikiwa? + +Elizabeth alisema kuwa Maria na mtoto wake walikuwa wamebarikiwa. + diff --git a/luk/01/54.md b/luk/01/54.md new file mode 100644 index 0000000..97074a8 --- /dev/null +++ b/luk/01/54.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kisha Mariamu alisema kuwa matendo ya nguvu ya Mungu yatatimiza ahadi ambayo imetengenezwa na Mungu? + +Wangeweza kutimiza ahadi za Mungu kwa Abrahamu na kizazi chake kuwa na huruma kwao na kuwasaidia. + diff --git a/luk/01/59.md b/luk/01/59.md new file mode 100644 index 0000000..7ad9242 --- /dev/null +++ b/luk/01/59.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika siku ya tohara, kwa kawaida wangemwitaje mwana wa Elizabeth? + +Zacharia. + diff --git a/luk/01/62.md b/luk/01/62.md new file mode 100644 index 0000000..a79d2da --- /dev/null +++ b/luk/01/62.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini alichoandika Zakaria alipoulizwa jina la mtoto atakuwa nani? + +Zakaria aliandika "Jina lake Yohana." + diff --git a/luk/01/64.md b/luk/01/64.md new file mode 100644 index 0000000..fcb70e9 --- /dev/null +++ b/luk/01/64.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini kilitokea kwa Zakaria gafla baada ya kuandika jina la mtoto? + +ghafla baada ya kuandika jina la mtoto, Zakaria akazungumza na kusifu Mungu? + +# Sababu ya mtukio haya ninin ambacho kila mmoja alitambua kuhusu mtoto? + +Walitambua kwamba mkono wa Bwana ulikuwa pamoja naye. + diff --git a/luk/01/67.md b/luk/01/67.md new file mode 100644 index 0000000..1bc892f --- /dev/null +++ b/luk/01/67.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Zakaria alimsifu Mungu kwa sababu Mungu amekuja kufanya njia kwa kitakachotokea? + +Mungu sasa amefanya njia kuwaweka watu wake huru + diff --git a/luk/01/76.md b/luk/01/76.md new file mode 100644 index 0000000..1e2fe0d --- /dev/null +++ b/luk/01/76.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Zakaria alitoa unabii kwamba mtoto wake atasaidia watu kujua nini? + +Yohana atasaidia watu kujua jinsi watakavyo okoka kupitia msamaha wa dhambi zao. + diff --git a/luk/01/80.md b/luk/01/80.md new file mode 100644 index 0000000..7e29a76 --- /dev/null +++ b/luk/01/80.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wapi Yohana alikulia na kuishi mpaka yeye kuanza kuonekana hadharani? + +Yohana alikulia na kuishi katika maeneo ya jangwa. + diff --git a/luk/02/01.md b/luk/02/01.md new file mode 100644 index 0000000..f0a0045 --- /dev/null +++ b/luk/02/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# watu walikwenda wapi kusajiliwa kwaajili ya sensa? + +Watu walienda kwenye miji yao kusajiliwa. + diff --git a/luk/02/04.md b/luk/02/04.md new file mode 100644 index 0000000..661b28d --- /dev/null +++ b/luk/02/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yusufu akaenda Bethlehemu na Mariamu kwa sababu alikuwa ukoo wa nani? + +Yosefu na Maria walienda Bethlehemu kwa kuwa Yusufu alikuwa mwana wa Daudi. + diff --git a/luk/02/06.md b/luk/02/06.md new file mode 100644 index 0000000..30746e4 --- /dev/null +++ b/luk/02/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mariamu alipozaa mwana, alimweka wapi? + +mtoto alipozaliwa, Mariamu alimweka kwenye kihori cha kulishia wanyama. + diff --git a/luk/02/08.md b/luk/02/08.md new file mode 100644 index 0000000..0f8ef45 --- /dev/null +++ b/luk/02/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Malaika alioneka kwa nani? + +Malaika alionekana kwa wachungaji waliokuwa wakichunga makundi yao. + +# Wachungaji waliitikiaje walipomona malaika? + +Malaika waliogopa sana. + diff --git a/luk/02/10.md b/luk/02/10.md new file mode 100644 index 0000000..d211b6c --- /dev/null +++ b/luk/02/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# habari gani njema malaika aliwapa wachungaji? + +Malaika waliwaambia wachungaji mwokozi amezaliwa, ambaye ndiye Kristo Bwana. + diff --git a/luk/02/15.md b/luk/02/15.md new file mode 100644 index 0000000..84fee07 --- /dev/null +++ b/luk/02/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# wachungaji walifanyaje baada ya malaika kuwaacha? + +wachungaji wakaenda Bethelememu kumwona mtoto ambaye alikua amezaliwa. + diff --git a/luk/02/21.md b/luk/02/21.md new file mode 100644 index 0000000..5fe3b3b --- /dev/null +++ b/luk/02/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Lini Yesu alitahiriwa? + +Yesu alitahiriwa siku ya nane baada ya kuzaliwa kwake. + diff --git a/luk/02/22.md b/luk/02/22.md new file mode 100644 index 0000000..4a1d32a --- /dev/null +++ b/luk/02/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Yusufu na Mariamu kumleta mtoto Yesu hekaluni Yerusalemu? + +Walimpeleka Yesu mpaka hekaluni ili wamweke mbele ya Bwana ili watoe sadaka, ndivyo walivyoamriwa katika sheria ya Musa. + diff --git a/luk/02/25.md b/luk/02/25.md new file mode 100644 index 0000000..f27c8b7 --- /dev/null +++ b/luk/02/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini alichokidhihirisha Roho Mtakatifu kwa Simeoni? + +Roho Mtakatifu alijidhihirisha kwa Simeoni kwamba hatakufa kabla hajamwona Bwana Kristo. + diff --git a/luk/02/30.md b/luk/02/30.md new file mode 100644 index 0000000..851744e --- /dev/null +++ b/luk/02/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini Simeoni alisema ambavyo Yesu atakuwa? + +Simeoni alisema kwamba Yesu atakuwa nuru kudhihirisha ukweli kwa wamataifa na utukufu wa watu wa Mungu Israeli. + diff --git a/luk/02/33.md b/luk/02/33.md new file mode 100644 index 0000000..2f16373 --- /dev/null +++ b/luk/02/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini alikisema Simeoni kitatokea kwa Mariamu ikiwa matokeao ya Yesu? + +Simeoni alisema kwamba upanga utachoma nafsi yake. + diff --git a/luk/02/36.md b/luk/02/36.md new file mode 100644 index 0000000..1beab6e --- /dev/null +++ b/luk/02/36.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nabii mke Ana alifanyaje alipokuja kwa Mariamu, Yusufu na Yesu? + +Ana alianza kumshukuru Mungu na kuzungumza kuhusu mtoto kwa kila mmoja. + diff --git a/luk/02/39.md b/luk/02/39.md new file mode 100644 index 0000000..d76b298 --- /dev/null +++ b/luk/02/39.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilitokea kwa mtoto Yesu baada ya kurudi Nazarethi? + +Yesu alikua na akawa na nguvu, hekima ikaongezeka, na neema ya Mungu ilikuwa juu yake. + diff --git a/luk/02/41.md b/luk/02/41.md new file mode 100644 index 0000000..868fea7 --- /dev/null +++ b/luk/02/41.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kwa nini wazazi wa Yesu hawakutabua alikuwa amebaki nyuma Yerusalemu wakati wa sikukuu ya Pasaka? + +Hawakutambua kwa sababu walihisi kwamba yumo kwenye kundi lililokuwa likisafiri pamoja nao. + diff --git a/luk/02/45.md b/luk/02/45.md new file mode 100644 index 0000000..3dbbed9 --- /dev/null +++ b/luk/02/45.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wazazi walimpata wapi Yesu na alikuwa anafanya nini? + +Wazazi wake walimpata hekaluni amekaa katikati ya waalimu, akiwasikiliza na kuwauliza maswali. + diff --git a/luk/02/48.md b/luk/02/48.md new file mode 100644 index 0000000..e526249 --- /dev/null +++ b/luk/02/48.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alijibu nini Mariamu alipomuuliza kwamba wamekuwa na wasiwasi wakimtafuta? + +"Hamkujua lazima niwe kwenye nyumba ya Baba yangu?" + diff --git a/luk/02/51.md b/luk/02/51.md new file mode 100644 index 0000000..cf8af37 --- /dev/null +++ b/luk/02/51.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini ulikua mtazamo wa Yesu kuelekea wazazi wake walipo rejea Nazareti? + +Alikuwa mtiifu kwao. + +# Yesu akiwa anakua, alikuwa kijana wa namna gani? + +Alikuwa katika hekima na kimo na aliongezeka katika fadhila kwa Mungu na watu. + diff --git a/luk/03/03.md b/luk/03/03.md new file mode 100644 index 0000000..9a2eef6 --- /dev/null +++ b/luk/03/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni ujumbe gani Yohana alihubiri katika maeneo ya ukanda wa mto Yordani? + +Yohana alihubiri ubatizo wa toba kwa msamaha wa dhambi. + diff --git a/luk/03/04.md b/luk/03/04.md new file mode 100644 index 0000000..baf34b5 --- /dev/null +++ b/luk/03/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwaajili ya nani Yohana alisema anatayarisha njia? + +Yohana alisema alikuwa akiweka tayari njia ya Bwana. + diff --git a/luk/03/08.md b/luk/03/08.md new file mode 100644 index 0000000..7ba0bec --- /dev/null +++ b/luk/03/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yohana aliwaambia watu wasimani ukweli kwamba Ibrahimu alikuwa baba yao, lakini kufanya nini badala yake? + +Yohana aliwaambia kuzaa matunda kwamba yatokane na toba. + diff --git a/luk/03/09.md b/luk/03/09.md new file mode 100644 index 0000000..80c2ffc --- /dev/null +++ b/luk/03/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yohana alisema nini kinatokea kwa mti usiozaa matunda mazuri? + +Yohana alisema kuwa ulikatwa na kutupwa motoni. + diff --git a/luk/03/12.md b/luk/03/12.md new file mode 100644 index 0000000..feceaf6 --- /dev/null +++ b/luk/03/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nini Yohana aliwaambia watoza ushuru lazima wafanye kuonesha toba? + +Yohana alisema kwamba lazima wasitoze pesa zaidi ya zile wanazopaswa. + diff --git a/luk/03/15.md b/luk/03/15.md new file mode 100644 index 0000000..646b01c --- /dev/null +++ b/luk/03/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yohana aliwaambia watu kwamba anabatiza kwa maji, lakini kwamba mtu fulani alikuwa anakuja ambaye angebatiza kwa nini? + +Yohana alisema mtu mmoja alikuw anakuja ambaye atabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto. + diff --git a/luk/03/18.md b/luk/03/18.md new file mode 100644 index 0000000..434834b --- /dev/null +++ b/luk/03/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini Yohana alimkemea Herode? + +Yohana alimkemea Herode kwa sababu alikuwa amemwoa mke wa kaka yake, na kwa kufanya maovu mengi. + +# Nani alimweka Yohana gerezani? + +Herode alimweka Yohana Gerezani. + diff --git a/luk/03/21.md b/luk/03/21.md new file mode 100644 index 0000000..6c4404a --- /dev/null +++ b/luk/03/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni nini kilichotokea mara moja baada ya Yohana alimbatiza Yesu? + +Baada ya Yohana kumbatiza Yesu, mbingu zikafunguka na Roho Mtakatifu alishuka juu yake kama njiwa. + +# Nini ilichosema sauti iliyotoka mbinguni? + +Sauti toka mbinguni ilisema, "wewe ni mwanangu mpendwa." Ninafurahishwa na wewe." + diff --git a/luk/03/23.md b/luk/03/23.md new file mode 100644 index 0000000..d0671ea --- /dev/null +++ b/luk/03/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Pengine Yesu alikuwa na umri gani alipoanza kufundisha? + +Yesu alikuwa na umri upatao miaka thelathini alipoanza kufundisha. + diff --git a/luk/03/25.md b/luk/03/25.md new file mode 100644 index 0000000..65ea83f --- /dev/null +++ b/luk/03/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mwana wa Mathatia, mwana wa Amosi ... Yoda + +Huu ni mwendelezo wa orodha ya wahenga wa Yesu. Tumia mfumo ule ule uliotumia kwenye mstari uliopita. + diff --git a/luk/04/01.md b/luk/04/01.md new file mode 100644 index 0000000..9c61d81 --- /dev/null +++ b/luk/04/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nani alimuongoza Yesu nyikani? + +Roho Mtakatifu alimwongoza Yesu nyikani. + +# Kwa muda gani mwovu alimjaribu Yesu kule nyikani? + +Shetani alimjaribu Yesu nyikani kwa siku arobaini (40). + diff --git a/luk/04/03.md b/luk/04/03.md new file mode 100644 index 0000000..0fb0a5a --- /dev/null +++ b/luk/04/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mwovu alimpa Yesu changamoto gani kuyafanya mawe juu ya ardhi? + +shetani alimwambia Yesu kugeuza mawe kuwa mkate. + +# Mwitikio wa Yesu ulikuwa nini kwa shetani? + +mtu hataishi kwa mkate pekee. + diff --git a/luk/04/05.md b/luk/04/05.md new file mode 100644 index 0000000..da04362 --- /dev/null +++ b/luk/04/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# shetani alimwonesha nini Yesu kutoka mahali pa juu? + +shetani alimwonesha Yesu falme zote za dunia. + +# Shetani alitaka Yesu afanye nini? + +Ibilisi alitaka Yesu kuinama amwabudu. + diff --git a/luk/04/08.md b/luk/04/08.md new file mode 100644 index 0000000..35ce041 --- /dev/null +++ b/luk/04/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini Yesu alimjibu shetani? + +Ni lazima umwabudu Bwana Mungu wako, na umtumikie yeye tu. + diff --git a/luk/04/09.md b/luk/04/09.md new file mode 100644 index 0000000..0982619 --- /dev/null +++ b/luk/04/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# nini ambacho shetani alimwambia Yesu kufanya wakati alipompeleka juu ya kilele cha mnara wa hekalu? + +Aliwaambia Yesu kuruka chini kutoka huko. + diff --git a/luk/04/12.md b/luk/04/12.md new file mode 100644 index 0000000..ee18724 --- /dev/null +++ b/luk/04/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini mwitikio wa Yesu kwa shetani? + +Usimjaribu Bwana Mungu wako. + +# Shetani alifanya nini baada ya Yesu kukataa kuruka kutoka hekaluni? + +Ibilisi alimwacha Yesu mpaka wakati mwingine. + diff --git a/luk/04/16.md b/luk/04/16.md new file mode 100644 index 0000000..dc145ec --- /dev/null +++ b/luk/04/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kutoka kitabu gani cha maandiko alichosoma Yesu aliposimama ndani ya sinagogi? + +Yesu alisoma kutoka kwa nabii Isaya + diff --git a/luk/04/20.md b/luk/04/20.md new file mode 100644 index 0000000..5050c5e --- /dev/null +++ b/luk/04/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema nini kilichokuwa kitimie siku hiyo? + +Yesu alisema kwamba maandiko aliyoyasoma kutoka Isaya yalikuwa yametimia siku hiyo + diff --git a/luk/04/23.md b/luk/04/23.md new file mode 100644 index 0000000..5cf7dac --- /dev/null +++ b/luk/04/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kupokelewa kupi ambako Yesu anazungumzia nabii anapata katika nchi yake? + +Yesu anasema kwamba hakuna nabii anayekubaliwa katika nchi yake. + diff --git a/luk/04/25.md b/luk/04/25.md new file mode 100644 index 0000000..b8e2cb0 --- /dev/null +++ b/luk/04/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Katika mfano wa kwanza wa Yesu kwa watu katika sinagogi, ni wapi Mungu alimtuma Eliya kumsaidia mtu fulani? + +Mungu alimtuma Eliya Sarepta, karibu na mji wa Sidoni. + +# Katika mfano wa pili wa Yesu kwa watu katika Sinagogi, Mungu anamtaka Elisha amsaidie mtu fulani kutoka nchi gani? + +Mungu anataka Elisha amsaidie Naamani wa Siria. + diff --git a/luk/04/28.md b/luk/04/28.md new file mode 100644 index 0000000..c089a3a --- /dev/null +++ b/luk/04/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Watu katika sinagogi walifanya nini waliposikia mifano hii kutoka kwa Yesu? + +Walijawa na hasira na walitaka kumtupa juu ya mwamba. + +# Yesu aliepukaje kuuawa na watu katika sinagogi? + +Yesu alitembea kupitia katikati yao. + diff --git a/luk/04/33.md b/luk/04/33.md new file mode 100644 index 0000000..cfd5f20 --- /dev/null +++ b/luk/04/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika Sinagogi, pepo linazungumza nini kupitia mtu anayemjua Yesu? + +Pepo lilisema kwamba alimjua Yesu alikuwa Mtakatifu wa Mungu. + diff --git a/luk/04/35.md b/luk/04/35.md new file mode 100644 index 0000000..f11e403 --- /dev/null +++ b/luk/04/35.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Watu waliitikiaje baada ya Yesu kutoa pepo? + +Watu walishangazwa na wakaendelea kusema hilo mmoja na mwingine + diff --git a/luk/04/40.md b/luk/04/40.md new file mode 100644 index 0000000..a313613 --- /dev/null +++ b/luk/04/40.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alifanya nini kwa wagonjwa ambao waliletwa kwake? + +Yesu akaweka mikono yake juu ya kila mmoja wao, akawaponya. + +# Mapepo yalisema nini baada ya kufukuzwa, na kwa nini Yesu hayakuruhusu kusema? + +Pepo walisema kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu, na Yesu hakuruhusu waseme sababu walijua kuwa yeye ni Kristo. + diff --git a/luk/04/42.md b/luk/04/42.md new file mode 100644 index 0000000..e456ab3 --- /dev/null +++ b/luk/04/42.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema sababu gani yeye alitumwa? + +Yesu alisema alitumwa kuhubiri habari njema kuhusu ufalme wa Mungu katika miji mingine mingi. + diff --git a/luk/05/04.md b/luk/05/04.md new file mode 100644 index 0000000..cef9da7 --- /dev/null +++ b/luk/05/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Baada ya kutumia mashua ya Simoni kama eneo la kufundishia watu, Yesu alimwambia Simon afanye nini na mashua yake? + +Chukua mashua uipeleke kwenye kilindi kirefu cha maji na ushushe nyavu kwenye maji kuvua samaki. + +# Ingawa Petro hakupata kitu usiku uliopita, alifanya nini? + +Alitii na alitupa nyavu. + +# Kilitokea nini walipoweka chini nyavu? + +Walikusanya idadi kubwa ya samaki, nyingi sana kiasi kwamba nyavu zao zilikuwa zikikatika. + diff --git a/luk/05/08.md b/luk/05/08.md new file mode 100644 index 0000000..91dd434 --- /dev/null +++ b/luk/05/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Simoni alitaka Yesu afanye nini?kwa nini? + +Simoni alitaka Yesu aende mbali naye kwa sababu Simoni alijua kwamba (Simoni)alikuwa mtu mwenye dhambi + +# Yesu alisema nini kwa Simoni kuhusu kazi yake ya baadaye? + +Yesu alisema kwamba tokea sasa nakuendelea atakuwa akivua watu. + diff --git a/luk/05/15.md b/luk/05/15.md new file mode 100644 index 0000000..4e00a91 --- /dev/null +++ b/luk/05/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa wakati huu, watu wangapi walikwa wanakuja kusikia mafundisho ya Yesu na kuponywa magonjwa yao? + +Umati mkubwa wa watu ilikuwa unakuja kwa Yesu + diff --git a/luk/05/20.md b/luk/05/20.md new file mode 100644 index 0000000..f04b7aa --- /dev/null +++ b/luk/05/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema nini kwa mtu aliyepooza ambaye rafiki zake walimshusha kupitia paa la nyumba? + +Mwanaume, dhambi zako zimesamehewa. + +# Kwanini waandishi na Mafarisayo walifikiri kwamba kauli hii ilikuwa kufuru? + +Kwasababu Mungu pekee anaweza kusamehe dhambi. + diff --git a/luk/05/22.md b/luk/05/22.md new file mode 100644 index 0000000..8266c66 --- /dev/null +++ b/luk/05/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alimponya aliyepooza kwa namna hiyo kueleleza kwamba alikuwa na mamlaka juu ya nchi kufanya nini? + +Yesu alimponya mtu ikiwa kielelezo kwamba alikuwa na mamlaka juu ya nchi kusamehe dhambi. + diff --git a/luk/05/29.md b/luk/05/29.md new file mode 100644 index 0000000..3cdf612 --- /dev/null +++ b/luk/05/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alipokuwa anakula na kunywa katika nyumba ya Lawi, Yesu alisema ni nini ambacho amekuja kufanya? + +amekuja kuwaita wenye dhambi kutubu. + diff --git a/luk/05/33.md b/luk/05/33.md new file mode 100644 index 0000000..d07a8ee --- /dev/null +++ b/luk/05/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema ni lini ambapo wanafunzi wake wangefunga? + +Wanafunzi wake wangefunga baada ya Yesu kuondolewa kutoka kwao. + diff --git a/luk/05/36.md b/luk/05/36.md new file mode 100644 index 0000000..9beb066 --- /dev/null +++ b/luk/05/36.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa mfano wa Yesu, nini kingetokea ikiwa kipande cha vazi jipya kingetumika kurekebisha vazi la zamani? + +Nguo mpya ingechanika, na kisingefaa kwa nguo ya zamani. + diff --git a/luk/05/37.md b/luk/05/37.md new file mode 100644 index 0000000..2e797b4 --- /dev/null +++ b/luk/05/37.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa mfano wa pili wa Yesu, nini kingetokea ikiwa divai mpya ingewekwa kwenye kiriba cha zamani? + +Kiriba cha zamani kingepasuka na divai ingemwagika. + +# Yesu alisema nini lazima kifanyike kutunza divai mpya kwa usahihi? + +Divai mpya lazima iwekwe katika kiriba kipya. + diff --git a/luk/06/01.md b/luk/06/01.md new file mode 100644 index 0000000..68a834e --- /dev/null +++ b/luk/06/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wanafunzi wa Yesu walifanya nini siku ya sabato ambapo Mafarisayo walisema ni kinyume cha sheria? + +walichuma masuke, waliyafikicha katikati ya mikono (viganja) yao, na kula nafaka. + diff --git a/luk/06/03.md b/luk/06/03.md new file mode 100644 index 0000000..f7b8d54 --- /dev/null +++ b/luk/06/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Cheo gani Yesu alikikiri kwaajili yake mwenyewe kwamba kilimpa mamlaka ya kusema ambacho ni kinyume na sheria kufanyika kwenye sabato? + +Cheo alichokiri Yesu, Bwana wa Sabato. + diff --git a/luk/06/09.md b/luk/06/09.md new file mode 100644 index 0000000..545f912 --- /dev/null +++ b/luk/06/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alipomponya mtu mwenye mkono wa makunyanzi siku ya sabato, jinsi gani waandishi na mafarisayo walionesha hisia zao? + +Walikuwa wamejaa hasira, na walizungumzia kuhusu ambacho wangefanya kwa Yesu. + diff --git a/luk/06/12.md b/luk/06/12.md new file mode 100644 index 0000000..e685a04 --- /dev/null +++ b/luk/06/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Lilikuwa jina gani walilopewa wanaume kumi na wawili ambao Yesu aliwachagua juu mlimani? + +Yesu aliwaita hao "mitume." + diff --git a/luk/06/20.md b/luk/06/20.md new file mode 100644 index 0000000..1f2bd4c --- /dev/null +++ b/luk/06/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni watu wa namna gani Yesu alisema wamebarikiwa? + +Wote ambao ni maskini, wenye njaa, waliao, na wachukiwao kwa ajili ya Mwana wa Adamu watabarikiwa. + diff --git a/luk/06/22.md b/luk/06/22.md new file mode 100644 index 0000000..8d5d798 --- /dev/null +++ b/luk/06/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kutokana na Yesu, kwa nini watu hao wafurahi na waruke kwa furaha? + +Sababu watakuwa na zawadi kubwa mbinguni. + diff --git a/luk/06/27.md b/luk/06/27.md new file mode 100644 index 0000000..63edd30 --- /dev/null +++ b/luk/06/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa namna gani Yesu alisema wanafunzi wake wataweza kuwatendea adui zao na ambao waliwachukia? + +Wataweza kuwapenda adui zao na kufanya mema kwa wote wawachukiao. + diff --git a/luk/06/35.md b/luk/06/35.md new file mode 100644 index 0000000..8747707 --- /dev/null +++ b/luk/06/35.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini mtazamo wa Baba aliye juu sana juu ya watu wasio na shukrani na waovu? + +Yeye ni mkarimu na rehema juu yao. + diff --git a/luk/06/41.md b/luk/06/41.md new file mode 100644 index 0000000..e3aa9d3 --- /dev/null +++ b/luk/06/41.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kabla ya kuondoa doa kutoka kwa ndugu yetu, Yesu alisema nini kifanyike kwanza? + +Kwanza, lazima ukiondoe kipande cha mti kitoke jichoni mwako kwamba sisi si wanafiki. + diff --git a/luk/06/45.md b/luk/06/45.md new file mode 100644 index 0000000..1070dfe --- /dev/null +++ b/luk/06/45.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni nini kitokacho chema kutoka hazina njema moyoni mwa mtu mwema? + +Kijacho kwenye moyo wa mtu mwema ni hazina njema + +# Nini kitokacho kwenye hazina mbovu ya moyo wa mtu mwovu? + +Kitu ambacho kinatoka kwenye moyo wa mtu mwovu ni uovu + diff --git a/luk/06/46.md b/luk/06/46.md new file mode 100644 index 0000000..815882f --- /dev/null +++ b/luk/06/46.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mtu anayejenga nyumba juu ya mwamba mgumu nini anachokifanya na maneno ya Yesu? + +Anayasikia maneno ya Yesu na kuyatii. + diff --git a/luk/06/49.md b/luk/06/49.md new file mode 100644 index 0000000..959fb01 --- /dev/null +++ b/luk/06/49.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mtu ambaye hujenga nyumba yake bila msingi hufanyaje na maneno ya Yesu? + +Husikia maneno ya Yesu na hayatii. + diff --git a/luk/07/02.md b/luk/07/02.md new file mode 100644 index 0000000..e63ce36 --- /dev/null +++ b/luk/07/02.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini ambacho Akida anamwomba Yesu kufanya alipowatumwa wazee wa Kiyahudi kwa Yesu? + +Alimwomba Yesu kuja nyumbani kwake na kumponya mtumwa wake. + diff --git a/luk/07/06.md b/luk/07/06.md new file mode 100644 index 0000000..82d38c4 --- /dev/null +++ b/luk/07/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini akida sasa anatuma marafiki kumwambia Yesu kwamba yeye hakuwa anakuja nyumbani? + +Huyo ofisa alisema Yesu hakuwa anastahili aje nyumbani kwake. + +# Namna gani akida sasa anakwenda kwa Yesu kumponya mtumwa wake? + +baadaye akida alikwenda kwa Yesu kumponya mtumwa kwa kusema neno tu. + diff --git a/luk/07/09.md b/luk/07/09.md new file mode 100644 index 0000000..09eb517 --- /dev/null +++ b/luk/07/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema nini kuhusu imani ya akida? + +Yesu alisema kwamba hakuna hata katika Israeli hawakuona mtu yeyote mwenye hiyo imani sana. + diff --git a/luk/07/11.md b/luk/07/11.md new file mode 100644 index 0000000..29e580e --- /dev/null +++ b/luk/07/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mtazamo wa Yesu nini kumwelekea mjane ambaye mtoto wake alishakufa? + +Yeye kwa kina alisukumwa na huruma. + diff --git a/luk/07/16.md b/luk/07/16.md new file mode 100644 index 0000000..dd11ddc --- /dev/null +++ b/luk/07/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini watu walisema kuhusu Yesu baada ya kumfufua mwana wa mjane kutoka kwa wafu? + +Walisema kuwa nabii mkubwa ametokea kati yao, na kwamba Mungu ameangalia watu wake. + diff --git a/luk/07/21.md b/luk/07/21.md new file mode 100644 index 0000000..b32395d --- /dev/null +++ b/luk/07/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Namna gani Yesu alithibitisha kwa wanafunzi wa Yohana kwamba yeye ndiye alikuwa anakuja? + +Yesu aliponya vipofu, viwete, wakoma, viziwi na alifufua wafu. + diff --git a/luk/07/24.md b/luk/07/24.md new file mode 100644 index 0000000..b34df3e --- /dev/null +++ b/luk/07/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema kwamba Yohana alikuwa nani? + +Yesu alisema Yohana alikuwa zaidi kuliko nabii + diff --git a/luk/07/29.md b/luk/07/29.md new file mode 100644 index 0000000..6ef0db8 --- /dev/null +++ b/luk/07/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mafarisayo na mabingwa katika sheria ya Kiyahudi walijifanyia nini walipokataa kubatizwa na Yohana? + +Waliukataa ushauri wa Mungu kwao wenyewe. + diff --git a/luk/07/33.md b/luk/07/33.md new file mode 100644 index 0000000..81335ad --- /dev/null +++ b/luk/07/33.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni mashtaka gani yalifanywa dhidi ya Yohana Mbatizaji kwa sababu hakuwa anakula mkate au kunywa mvinyo? + +Walisema, "Ana roho pepo." + +# Mashtaka gani yalifanywa dhidi ya Yesu kwa sababu alikuja akila na kunywa? + +Walisema, "Yeye ni mtu mlafi na mlevi." + diff --git a/luk/07/36.md b/luk/07/36.md new file mode 100644 index 0000000..becaeab --- /dev/null +++ b/luk/07/36.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini alichofanya mwanamke wa mji kwa Yesu katika nyumba ya mfarisayo? + +Alilowanisha miguu ya Yesu kwa machozi yake, aliyafuta kwa nywele zake, akiibusu miguu yake na aliipaka miguu yake manukato. + diff --git a/luk/07/46.md b/luk/07/46.md new file mode 100644 index 0000000..6eb14f6 --- /dev/null +++ b/luk/07/46.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema kwamba kwa sababu alisamehewa dhambi nyingi, angefanya nini? + +Angependa sana. + diff --git a/luk/07/48.md b/luk/07/48.md new file mode 100644 index 0000000..de772b5 --- /dev/null +++ b/luk/07/48.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# wale waliokuwa wamejinyoosha mezani walionesha hisia gani pale Yesu alipomwambia mwanamke kwamba dhambi zake zimesamehewa? + +Waliuliza, "Nani huyu ambaye anasamehe hata dhambi?" + diff --git a/luk/08/01.md b/luk/08/01.md new file mode 100644 index 0000000..83cd739 --- /dev/null +++ b/luk/08/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kundi kubwa la wanawake lilifanya nini kwaajili ya Yesu na wanafunzi wake? + +Wanawake waliwaandalia toka katika mapato yao wenyewe. + diff --git a/luk/08/11.md b/luk/08/11.md new file mode 100644 index 0000000..52815e1 --- /dev/null +++ b/luk/08/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Katika mifano ya Yesu, kuna mbegu gani ambayo inapandwa? + +Mbegu hii ni neno la Mungu. + +# Mbegu zipi ambazo ziliaguka pembeni mwa njia, na nini kilitokea kwa hizo? + +Ni watu ambao wanasikia neno, lakini mwovu huja na kulichukua, hivyo wasiweze kuamini na kuokoka. + +# Nani ambao ni mbegu zilizoanguka eneo la mwamba, na hutokea nini kwao? + +Ni watu ambao hupokea neno kwa furaha, lakini huacha kuamini wakati wa majaribu. + diff --git a/luk/08/14.md b/luk/08/14.md new file mode 100644 index 0000000..ebfcca0 --- /dev/null +++ b/luk/08/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nani ni mbegu ambazo huanguka kati ya miiba, na nini kinatokea kwao? + +Ni watu ambao husikia neno, lakini ni hukabiliwa na utajiri na anasa za maisha haya, nao hawazai matunda makamilifu. + +# Akina nani ni mbegu zilizoanguka kwenye eneo zuri, na nini kinatokea kwao? + +Ni watu ambao husikia neno, hulishika na kuzaa matunda kwa ustahimilivu. + diff --git a/luk/08/19.md b/luk/08/19.md new file mode 100644 index 0000000..bae3d5a --- /dev/null +++ b/luk/08/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nani ambao Yesu alisema ni mama yake na ndugu zake? + +Ni wale watu ambao hulisikia neno la Mungu na kulitii. + diff --git a/luk/08/24.md b/luk/08/24.md new file mode 100644 index 0000000..653c4cd --- /dev/null +++ b/luk/08/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# wanafunzi walisema nini Yesu alipotuliza upepo na maji? + +Walisema, "Nani huyu amabaye anaamuru hata upepo na maji, na vinamtii yeye?" + diff --git a/luk/08/28.md b/luk/08/28.md new file mode 100644 index 0000000..dc4e87c --- /dev/null +++ b/luk/08/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# pepo walimsababisha mtu kutoka mkoa wa Geneserini afanye nini? + +Walimfanya aishi bila nguo kwenye makaburi, walimfanya akate minyororo na pingu na daima walimwongoza jangwani. + diff --git a/luk/08/32.md b/luk/08/32.md new file mode 100644 index 0000000..4c20cf5 --- /dev/null +++ b/luk/08/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Pepo walienda wapi baada ya Yesu kuwaamuru kumwacha yule mtu? + +Pepo waliingia kwenye kundi la nguruwe, ambao walikimbilia kwenye ziwa na wakaza majini. + diff --git a/luk/08/38.md b/luk/08/38.md new file mode 100644 index 0000000..c475474 --- /dev/null +++ b/luk/08/38.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alimwambia nini yule mtu aende na kufanya? + +Yesu alimwambia aende nyumbani kwake na akasimulie makuu yote Mungu aliyomfanya kwaajili yake. + diff --git a/luk/08/47.md b/luk/08/47.md new file mode 100644 index 0000000..aed5dbf --- /dev/null +++ b/luk/08/47.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kutokana na Yesu, nini kilichosababisha mwanamke aliyetokwa damu kuponywa? + +Yeye aliponywa kwasababu ya imani yake. + diff --git a/luk/08/54.md b/luk/08/54.md new file mode 100644 index 0000000..7f94c1b --- /dev/null +++ b/luk/08/54.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alifanya nini nyumbani kwa Yairo? + +Yesu alimfufua binti Yairo kutoka kifoni. + diff --git a/luk/09/01.md b/luk/09/01.md new file mode 100644 index 0000000..49e8465 --- /dev/null +++ b/luk/09/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu aliwatuma wale kumi na wawili waende kufanya nini? + +Yesu aliwatuma waende kuhubiri ufalme wa Mungu na kuponya wagonjwa. + diff --git a/luk/09/07.md b/luk/09/07.md new file mode 100644 index 0000000..4b5a7c4 --- /dev/null +++ b/luk/09/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Herode alisikia kutoka kwa baadhi ya watu yawezekana maelezo matatu yahusuyo Yesu alikuwa nani. Yapi hayo? + +Baadhi yao walisema Yesu alikuwa Yohana Mbatizaji amefufuka kutoka wafu, baadhi alisema Eliya ametokea na wengine walisema nabii wa kale amefufuka. + diff --git a/luk/09/12.md b/luk/09/12.md new file mode 100644 index 0000000..d2a804b --- /dev/null +++ b/luk/09/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Chakula gani wanafunzi wawalishe makutano? + +Walikuwa na mikate mitano na samaki wawili. + +# wanaume wangapi walimfuata Yesu katika kundi ambapo ilikuwa jangwani? + +kama wanaume elfu tano walikuwa pale. + diff --git a/luk/09/15.md b/luk/09/15.md new file mode 100644 index 0000000..d2ffb1d --- /dev/null +++ b/luk/09/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alifanya nini na mikate mitano na samaki wawili? + +Alitazama mbinguni, akavibariki, akamega katika vipande, na akawapa wanafunzi kuwapa makutano. + +# Vikapu vingapi vya mabaki ya chakula vilikuwa pale? + +Vilikuwa vikapu kumi na viwili vya mabaki ya chakula. + diff --git a/luk/09/20.md b/luk/09/20.md new file mode 100644 index 0000000..8e5c51a --- /dev/null +++ b/luk/09/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakati Yesu aliwauliza wanafunzi yeye ni nani, Peter kujibu nini? + +Alisema, "Kristo kutoka kwa Mungu." + diff --git a/luk/09/23.md b/luk/09/23.md new file mode 100644 index 0000000..efc6fa6 --- /dev/null +++ b/luk/09/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema kwamba kama kuna mtu anataka kuja baada yake, ni lazima kufanya nini? + +Lazima ajikane mwenyewe, ajitwike msalaba wake kila siku, na kumfuata Yesu. + diff --git a/luk/09/28.md b/luk/09/28.md new file mode 100644 index 0000000..5cae1a2 --- /dev/null +++ b/luk/09/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilitokea katika mwonekano wa Yesu kwenye mlima? + +Mwenekano wa uso wake ulibadilika na mavazi yake yakawa meupe na kung'aa. + diff --git a/luk/09/30.md b/luk/09/30.md new file mode 100644 index 0000000..0d59b0a --- /dev/null +++ b/luk/09/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Akina nani walitokea pamoja naYesu? + +Musa na Elia walitokea wakiwa Yesu + diff --git a/luk/09/34.md b/luk/09/34.md new file mode 100644 index 0000000..c56f950 --- /dev/null +++ b/luk/09/34.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sauti iliyotokea kwenye wingu lililowatia kivuli ilisema nini? + +Sauti ilisema, "Huyu ni mwanangu mteule; msikilizeni yeye." + diff --git a/luk/09/37.md b/luk/09/37.md new file mode 100644 index 0000000..a6df9a5 --- /dev/null +++ b/luk/09/37.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kabla Yesu hajafukuza mapepo, yalimsababisha mtoto wa mtu kufanya nini? + +Mapepo yalimsababisha kupiga yowe na kicheko cha kutoa povu mdomoni. + diff --git a/luk/09/43.md b/luk/09/43.md new file mode 100644 index 0000000..73b41c0 --- /dev/null +++ b/luk/09/43.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kauli gani Yesu aliitoa kwa wanafunzi ambao hawakuelewa? + +Yeye alisema, Mwana wa mtu atatolewa kwenda mikononi mwa watu." + diff --git a/luk/09/46.md b/luk/09/46.md new file mode 100644 index 0000000..2587763 --- /dev/null +++ b/luk/09/46.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nani ambaye Yesu alisema ni mtu mkuu kati ya wanafunzi? + +Ni yule aliye mdogo kati yao ambaye ndiye mkuu. + diff --git a/luk/09/51.md b/luk/09/51.md new file mode 100644 index 0000000..5b8c16b --- /dev/null +++ b/luk/09/51.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakati siku zilikuwa zinakaribia ambapo Yesu angelikwenda juu mbinguni, yeye alifanya nini? + +Yeye aliamua kuelekeza uso wake kuelekea Yerusalemu. + diff --git a/luk/09/61.md b/luk/09/61.md new file mode 100644 index 0000000..2ab8abb --- /dev/null +++ b/luk/09/61.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kuwa sawa kwaajili ya ufalme wa Mungu, ni lazima mtu asifanye nini mara anapokuwa "kaweka mikono yake kulima" + +Mtu lazima asitazame nyuma. + diff --git a/luk/10/03.md b/luk/10/03.md new file mode 100644 index 0000000..a0be621 --- /dev/null +++ b/luk/10/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu aliwaambia wasibebe nini wale sabini? + +Lazima wasibebe mkoba wowote wa fedha, mfuko wowote wa safari, au malapa yoyote. + diff --git a/luk/10/08.md b/luk/10/08.md new file mode 100644 index 0000000..8df16ec --- /dev/null +++ b/luk/10/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu aliwaambia wale sabini wafanye nini katika kila mji? + +Aliwaambia kuponya wagonjwa na kuwaambia watu, "Ufalme wa Mungu umekaribia kwenu." + diff --git a/luk/10/10.md b/luk/10/10.md new file mode 100644 index 0000000..6353f19 --- /dev/null +++ b/luk/10/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kama mji haukuwapokea wale waliotumwa na Yesu kwao, hukumu itafananaje kwa mji huo? + +Itakuwa mbaya sana kuliko ile ya Sodoma. + diff --git a/luk/10/17.md b/luk/10/17.md new file mode 100644 index 0000000..31e77bc --- /dev/null +++ b/luk/10/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Waliporudi wale sabini na kutoa taarifa kwa furaha kwamba waliweza kukemea pepo, Yesu aliwaambia nini? + +Yeye alisema, "Furahini hata zaidi kwamba majina yenu yamewekwa katika kumbukumbu mbinguni." + diff --git a/luk/10/21.md b/luk/10/21.md new file mode 100644 index 0000000..0c711ff --- /dev/null +++ b/luk/10/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema ilikuwa inampendeza Baba kuudhihirisha ufalme wa Mungu kwa nani? + +Ilikuwa inampendeza Baba kuudhihirisha ufalme wa Mungu kwa wale wasiofunzwa, kama watoto wadogo. + diff --git a/luk/10/25.md b/luk/10/25.md new file mode 100644 index 0000000..f1ba82b --- /dev/null +++ b/luk/10/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kutokana na Yesu, sheria ya kiyahudi inasema nini kilicho lazima mtu akifanye ili aurithi uzima wa milele? + +Lazima umpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa nafsi yako yote, na kwa nguvu zako zote, na kwa akili yako yote na jirani yako kama wewe mwenyewe. + diff --git a/luk/10/31.md b/luk/10/31.md new file mode 100644 index 0000000..57b92ff --- /dev/null +++ b/luk/10/31.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Katika mfano wa Yesu, nini kuhani Myahudi alikifanya alipoona mtu yu karibu kufa katika njia? + +Alipita pembeni upande mwingine. + +# Malawi alifanya ninialipomwona yule mtu? + +alipita pembeni upande mwingine. + diff --git a/luk/10/33.md b/luk/10/33.md new file mode 100644 index 0000000..e19bb36 --- /dev/null +++ b/luk/10/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Msamaria alifanya nini alipomuona yule mtu? + +aliyafunga majeraha yake, akamweka juu ya mnyama wake, akamleta kwenye hoteli na akamtunza. + diff --git a/luk/10/36.md b/luk/10/36.md new file mode 100644 index 0000000..24c90e9 --- /dev/null +++ b/luk/10/36.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# aliposema mfano huo, Yesu alimwambia nini yule mwalimu wa wayahudi aende akakifanye? + +Nenda na ukajioneshe huruma kama ya Msamaria kwenye huu mhano. + diff --git a/luk/10/38.md b/luk/10/38.md new file mode 100644 index 0000000..7367599 --- /dev/null +++ b/luk/10/38.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakati ule ule Mariamu alifanya nini? + +Aliketi kwenye miguu ya Yesu na akamsikiliza. + diff --git a/luk/10/40.md b/luk/10/40.md new file mode 100644 index 0000000..23d7a1d --- /dev/null +++ b/luk/10/40.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Martha alifanya nini Yesu alipokuja nyumbani kwake? + +Alikuwa anahangaika kuandaa kuhudumia chakula. + +# Yesu alisema nani kachagua kufanya kitu kizuri zaidi? + +Alisema kwamba Mariamu kachagua kufanya kitu kizuri zaidi. + diff --git a/luk/11/02.md b/luk/11/02.md new file mode 100644 index 0000000..6dbfe64 --- /dev/null +++ b/luk/11/02.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni aina gani ya maombi Yesu aliwafundisha wanafunzi wake kuomba? + +Aliomba, 'Baba, Jina lako litakaswe. Ufalme wako na uje. Utupe mkate wetu wa kila siku. Utusamehe dhambi zetu, Kama nasi tunavyo wasamehe wote waliotukosea. Na wala usitutie katika majaribu. + diff --git a/luk/11/03.md b/luk/11/03.md new file mode 100644 index 0000000..ee30802 --- /dev/null +++ b/luk/11/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maombi gani ambayo Yesun aliwafundisha wanafunzi wake kuomba? + +Yeye alioma, "Baba, takasa jina lako. Ruhusu ufalme wako uje. Tupe sisi kila siku mkate wetu na tusamehe sisi makosa yetu, kwa sababu sisi husamehe kila mtu ambaye ametukosea. Na usitupeleke sisi katika majaribu." + diff --git a/luk/11/05.md b/luk/11/05.md new file mode 100644 index 0000000..62dffab --- /dev/null +++ b/luk/11/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika mfano wa Yesu, kwa nini yule mtu aliinuka na kumpa rafiki yake mkate usiku wa manane? + +Kwa sababu ya huyu rafiki asiyeona aibu kung'ang'ania. + diff --git a/luk/11/11.md b/luk/11/11.md new file mode 100644 index 0000000..52721c8 --- /dev/null +++ b/luk/11/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baba aliye mbinguni atawapa nini wale wanaomuomba yeye. + +Atawapa Roho Mtakatifu. + diff --git a/luk/11/14.md b/luk/11/14.md new file mode 100644 index 0000000..9d43673 --- /dev/null +++ b/luk/11/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Walipomwona akifukuza mapepo, baadhi walimtuhumu Yesu anafanya nini? + +Walimtuhumu anatoa mapepo kwa Beelzebuli, mkuu wa mapepo + diff --git a/luk/11/18.md b/luk/11/18.md new file mode 100644 index 0000000..f093d36 --- /dev/null +++ b/luk/11/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alijibu anatoa pepo kwa nguvu gani? + +Anatoa mapepo kwa kidole cha Mungu. + diff --git a/luk/11/24.md b/luk/11/24.md new file mode 100644 index 0000000..ae21f80 --- /dev/null +++ b/luk/11/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kama roho chafu inamtoka mtu lakini badaye inarudi, hali ya mtu mwishowe itakuwaje? + +Hali ya mtu mwishoni itakuwa mbaya sana huliko hali ya mwanzoni. + diff --git a/luk/11/27.md b/luk/11/27.md new file mode 100644 index 0000000..f39d600 --- /dev/null +++ b/luk/11/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakati mwanamke akipaza sauti, akimbariki mama wa Yesu, Yesu alisema nani aliye barikiwa? + +Wale ambao wanasikia neno la Mungu na kulitunza. + diff --git a/luk/11/31.md b/luk/11/31.md new file mode 100644 index 0000000..ea3bf6a --- /dev/null +++ b/luk/11/31.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema yeye ni mkuu kuliko watu gani wawili wa Agano la kale? + +Sulemani naYona + diff --git a/luk/11/32.md b/luk/11/32.md new file mode 100644 index 0000000..3f41979 --- /dev/null +++ b/luk/11/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema kwamba yeye ni mkubwa kuliko watu gani wawili wa Agano la kale? + +Sulemani naYona. + diff --git a/luk/11/39.md b/luk/11/39.md new file mode 100644 index 0000000..eb969ea --- /dev/null +++ b/luk/11/39.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema Mafarisayo walijawa na nini ndani yao? + +Alisema wamejaa tamaa na uovu. + diff --git a/luk/11/42.md b/luk/11/42.md new file mode 100644 index 0000000..8b3d934 --- /dev/null +++ b/luk/11/42.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema Mafarisayo walipuuza nini? + +Walipuuza haki na kumpenda Mungu. + diff --git a/luk/11/45.md b/luk/11/45.md new file mode 100644 index 0000000..0f1c169 --- /dev/null +++ b/luk/11/45.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema nini wale waalimu wa sheria walikuwa wakikifanya kwa watu wengine + +Walikuwa wakiwabebesha watu mizigo migumu kuibeba, lakini bila wao wenyewe kuigusa mizigo ile. + diff --git a/luk/11/49.md b/luk/11/49.md new file mode 100644 index 0000000..ec038b3 --- /dev/null +++ b/luk/11/49.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema kizazi hiki kingewajibika kwaajili ya nini? + +Wangewajibika kwa damu yote iliyomwagika ya manabii tangu ulimwengu ulipoanza. + diff --git a/luk/11/53.md b/luk/11/53.md new file mode 100644 index 0000000..65a9ed4 --- /dev/null +++ b/luk/11/53.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Waandishi na mafarisayo walifanya nini baada ya kusikia maneno ya Yesu? + +Walimpinga na kubishana naye, wakijaribu kumtega kwa maneno yake mwenyewe. + diff --git a/luk/12/02.md b/luk/12/02.md new file mode 100644 index 0000000..dfd7a04 --- /dev/null +++ b/luk/12/02.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kutokana na Yesu, Kitatokea nini kwa kila kitu unachosema gizani? + +Hicho kitasikika kwenye nuru. + diff --git a/luk/12/04.md b/luk/12/04.md new file mode 100644 index 0000000..e2e9e4c --- /dev/null +++ b/luk/12/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema nani ambaye umwogope? + +Unapaswa umwogope ambaye anamamlaka kukutupa jehanamu. + diff --git a/luk/12/08.md b/luk/12/08.md new file mode 100644 index 0000000..f1b29d7 --- /dev/null +++ b/luk/12/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu atafanya nini kwa yeyote atakaye mkiri Yesu mbele za watu? + +Yesu atalikiri jina la mtu huyo mbele ya malaika wa Mungu. + diff --git a/luk/12/13.md b/luk/12/13.md new file mode 100644 index 0000000..c61fea5 --- /dev/null +++ b/luk/12/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kutokana na Yesu, maisha yetu hayategemei nini? + +Maisha yetu hayategemei katika utajiri wa mali zetu. + diff --git a/luk/12/16.md b/luk/12/16.md new file mode 100644 index 0000000..63c8943 --- /dev/null +++ b/luk/12/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika mfano wa Yesu, nini ambacho mtu tajiri alikuwa anakwenda kufanya kwa sababu mashamba yake yalizaa kwa wingi? + +Alikuwa anakwenda kuyaangusha chini maghala yake na kujenga makubwa zaidi, ndipo apumzike kwa urahisi, ale, anywe na afurahi. + diff --git a/luk/12/20.md b/luk/12/20.md new file mode 100644 index 0000000..ce0af4f --- /dev/null +++ b/luk/12/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mungu alimuambia nini mtu tajiri? + +ewe mtu mpumbavu, usiku wa leo wanahitaji roho ya kwako, na vitu vyote ulivyoviandaa vitakuwa vya nini? + diff --git a/luk/12/31.md b/luk/12/31.md new file mode 100644 index 0000000..42b7777 --- /dev/null +++ b/luk/12/31.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Badala ya kusumbukia kuhusu mambo ya maisha haya, Yesu alisema tufanye nini? + +Tuutafute ufalme wa Mungu. + diff --git a/luk/12/33.md b/luk/12/33.md new file mode 100644 index 0000000..8982d90 --- /dev/null +++ b/luk/12/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni wapi Yesu amesema tuhifadhi mali zetu, na kwa nini? + +Tuhifadhi mali zetu mbinguni, kwa sababu hapo wezi hawataingia na nondo haitaweza kuharibu. + diff --git a/luk/12/37.md b/luk/12/37.md new file mode 100644 index 0000000..de719ee --- /dev/null +++ b/luk/12/37.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kulingana na Yesu, ni watumishi wapi wa Mungu wamebarikiwa? + +Wamebarikiwa wale watakaokutwa wakikesha na wako tayari Yesu atakaporudi. + diff --git a/luk/12/39.md b/luk/12/39.md new file mode 100644 index 0000000..515ebf7 --- /dev/null +++ b/luk/12/39.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Tunajua saa ya ambayo Yesu atakuja? + +Hapana. + diff --git a/luk/12/45.md b/luk/12/45.md new file mode 100644 index 0000000..c83e6c4 --- /dev/null +++ b/luk/12/45.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kinatokea nini kwa mtumishi ambaye anawaonea watumishi wengine na hayuko tayari kwa ujio wa bwana wake? + +Bwana atamkata vipande vipande na kuteua mahali kwaajili yake pamoja na wasio waaminifu. + diff --git a/luk/12/47.md b/luk/12/47.md new file mode 100644 index 0000000..5cce47a --- /dev/null +++ b/luk/12/47.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kinahitajika nini kwa wale ambao wamepewa vingi? + +Kwao vitahitajika vingi. + diff --git a/luk/12/51.md b/luk/12/51.md new file mode 100644 index 0000000..de0a6da --- /dev/null +++ b/luk/12/51.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kutokana na Yesu, aina gani ya mgawanyiko ataleta duniani? + +Pale patakuwa na watu katika nyumba moja lakini watagawanyika kila mmoja dhidi ya mwenzake + diff --git a/luk/12/57.md b/luk/12/57.md new file mode 100644 index 0000000..6878797 --- /dev/null +++ b/luk/12/57.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kutokana na Yesu, tutafanya nini kabla sisi hatujaenda pamoja na adui wetu mbele ya hakimu? + +Sisi tuwe na juhudi kuweka mambo sawa mapema. + diff --git a/luk/13/01.md b/luk/13/01.md new file mode 100644 index 0000000..3019643 --- /dev/null +++ b/luk/13/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wagalilaya waliouawa na Pilato waliteseka kwa njia hii sababu walikuwa wenye dhambi zaidi ya wagalilaya wengine? + +Hapana. + diff --git a/luk/13/08.md b/luk/13/08.md new file mode 100644 index 0000000..7019170 --- /dev/null +++ b/luk/13/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika mfano wa Yesu, ni nini kilifanyika kwa mtini ambao haukuzaa matunda baada ya miaka mitatu? + +uliwekewa mbolea kama kirutubisho na mwaka mmoja zaidi uzae matunda, kama hakuna, ingekuwa kukatwa. + diff --git a/luk/13/10.md b/luk/13/10.md new file mode 100644 index 0000000..3410a50 --- /dev/null +++ b/luk/13/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika Sinagogi, nini kilisababisha yule mwanamke kupindana kwa miaka kumi na nane? + +Ni roho mchafu wa udhaifu kutoka kwa shetani alimpinda. + diff --git a/luk/13/12.md b/luk/13/12.md new file mode 100644 index 0000000..2da8516 --- /dev/null +++ b/luk/13/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini viongozi wa sinagogi waliudhika Yesu alipomponya yule mwanamke? + +Sababu Yesu alimponya siku ya sabato. + diff --git a/luk/13/15.md b/luk/13/15.md new file mode 100644 index 0000000..7e37299 --- /dev/null +++ b/luk/13/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alionesha kwa namna gani kwamba kiongozi wa sinagogi alikuwa mnafiki? + +Yesu alimkumbusha kwamba angemfungua myama siku ya sabato, bado yeye alikuwa kaudhika Yesu alipomfungua yule mwanamke siku ya sabato. + diff --git a/luk/13/18.md b/luk/13/18.md new file mode 100644 index 0000000..949302a --- /dev/null +++ b/luk/13/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Namna gani ufalme wa Mungu unafanana mbegu ya haradali? + +Kwa sababu inaanza ndogo kama mbegu, lakini ndipo inakua nakuwa kitu kikubwa mpaka kuwa eneo la makao. + diff --git a/luk/13/22.md b/luk/13/22.md new file mode 100644 index 0000000..938bd0d --- /dev/null +++ b/luk/13/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakati akiuliza kama wengi wangeokolewa, Yesu alijibu nini? + +Yeye alisema, "Jitahidi kuingia kupitia mlango mwembamba, kwa sababu wengi watajaribu na hawataweza kuingia." + diff --git a/luk/13/28.md b/luk/13/28.md new file mode 100644 index 0000000..d20467e --- /dev/null +++ b/luk/13/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Watu watafanya nini ambao watatupwa nje, na hawawezi kuingia ufalme wa Mungu? + +Watalia na kusaga meno. + +# Nani watakusanyanyika kupumzika wakati chakula cha jioni katika Ufalme wa Mungu? + +Ibrahimu, Isaka, Yakobo, na manabii, na wengi kutoka mashariki na magharibi, kutoka kaskazini na kusini. + diff --git a/luk/13/31.md b/luk/13/31.md new file mode 100644 index 0000000..65e4775 --- /dev/null +++ b/luk/13/31.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wapi Yesu alisema kwamba lazima atauawa? + +Lazima auawe katika Yerusalemu. + diff --git a/luk/13/34.md b/luk/13/34.md new file mode 100644 index 0000000..0cb32a8 --- /dev/null +++ b/luk/13/34.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je, Yesu alitamani kufanya nini na watu wa Yerusalemu? + +Alitamani kuwakusanya kama vile kuku anavyokusanya vifaranga vyake. + +# Mlejesho wa watu wa Yerusalemu ulikuwaje katika nia ya Yesu kwa ajili yao? + +Walikataa. + +# Walakini, Yesu alitabiri nini kuhusu Yerusalemu na watu wake? + +Nyuma yao iliachwa, na wasingalimuona Yesu tena mpaka walisema, "alibarikiwa anayekuja katika jina la Bwana." + diff --git a/luk/14/01.md b/luk/14/01.md new file mode 100644 index 0000000..74f2755 --- /dev/null +++ b/luk/14/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa mtu aliyesumbuliwa uvimbe akisimama mbele zake, Yesu aliwauliza nini wataalamu wa sheria wa Kiyahudi na Mafarisayo? + +Ni kisheria kuponya siku ya sabato, au hapana? + diff --git a/luk/14/04.md b/luk/14/04.md new file mode 100644 index 0000000..fbbd64c --- /dev/null +++ b/luk/14/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wataalam na Mafarisayo walijibu nini? + +Walikaa kimya. + +# Alipomponya yule mtu, Yesu aliwaoneshaje wataalamu na Mafarisayo kwamba walikuwa wanafiki? + +Yesu aliwakumbusha wao kwamba wangesaidia mtoto au ng'ombe wao ambaye aliangukia kwenye shimo siku ya sabato. + diff --git a/luk/14/10.md b/luk/14/10.md new file mode 100644 index 0000000..ed2cc1d --- /dev/null +++ b/luk/14/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema kitatokea nini kwa yeyote anayejiinua mwenyewe? + +Atanyenyekezwa. + +# Yesu alisema nini kitatokea kwa yeyote anayenyenyekea mwenyewe? + +Atainuliwa. + diff --git a/luk/14/13.md b/luk/14/13.md new file mode 100644 index 0000000..bdde944 --- /dev/null +++ b/luk/14/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kutokana na Yesu, namna gani atazawadiwa mtu anayemkaribisha nyumbani kwake masikini, kiwete, mlemavu na kipofu? + +Watalipwa siku ya ufufuo wa haki + diff --git a/luk/14/18.md b/luk/14/18.md new file mode 100644 index 0000000..b6dea76 --- /dev/null +++ b/luk/14/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika mfano wa Yesu wa chakula cha jioni, watu walifanya nini na nani ambao walikuwa amealikwa awali? + +Wao walianza kutoa udhuru kuhusu kwa nini hawakuweza kuhudhuria kwenye chakula cha jioni. + diff --git a/luk/14/21.md b/luk/14/21.md new file mode 100644 index 0000000..a8fc125 --- /dev/null +++ b/luk/14/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nani ambao yule bwana badaye akawakaribisha kwenye chakula cha jioni yake? + +maskini, viwete, vipofu na walemavu. + diff --git a/luk/14/23.md b/luk/14/23.md new file mode 100644 index 0000000..02f982b --- /dev/null +++ b/luk/14/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yule bwana alisema nini badaye kuhusu wale waliokuwa wamealikwa kwanza katika chakula chake cha jioni? + +Hakuna kati yao atakionja chakula chake cha jioni. + diff --git a/luk/14/28.md b/luk/14/28.md new file mode 100644 index 0000000..b1f17c4 --- /dev/null +++ b/luk/14/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika mfano wa Yesu kuhusu nini kinahitajika kumfuata yeye, nini lazima afanye kwanza mtu ambaye anataka kujenga mnara? + +mtu lazima ahesabu gharama. + diff --git a/luk/14/31.md b/luk/14/31.md new file mode 100644 index 0000000..ed76437 --- /dev/null +++ b/luk/14/31.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kutokana na Yesu, lazima wanafunzi wake wafanye nini? + +Lazima wachukie maisha na familia zao, wabebe msalaba wao, wamfuate yeye, na waachane na vyote walivyo navyo. + diff --git a/luk/14/34.md b/luk/14/34.md new file mode 100644 index 0000000..b963caa --- /dev/null +++ b/luk/14/34.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kama chumvi ikipoteza radha yake, inafanywa nini? + +Inatupwa mbali. + diff --git a/luk/15/03.md b/luk/15/03.md new file mode 100644 index 0000000..2be495d --- /dev/null +++ b/luk/15/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika mfano wa Yesu, mchungaji aliye poteza mmoja katika kondoo wake mia alifanya nini? + +Huacha wengine tisini na tisa na kwenda kumtafuta kondoo aliyepotea, na kumleta, akifurahi. + diff --git a/luk/15/08.md b/luk/15/08.md new file mode 100644 index 0000000..12e74a0 --- /dev/null +++ b/luk/15/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Katika mfano wa Yesu, Mwanamke aliyepoteza sarafu moja kati ya shilingi zake kumi alifanya nini? + +Alitafuta kwa bidii hadi alipoipata, kisha akafurahi pamoja na rafiki rafiki na majirani zake. + +# Nini kinatokea mbinguni mdhambi mmoja anapotubu? + +Kule kunafuraha mbele ya malaika wa Mungu. + diff --git a/luk/15/11.md b/luk/15/11.md new file mode 100644 index 0000000..4a27659 --- /dev/null +++ b/luk/15/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika mfano wa Yesu, mwana mdogo alifanya ombi gani kwa baba yake? + +Nipe mimi sasa mali ambazo ni halali yangu kuzirithi. + diff --git a/luk/15/13.md b/luk/15/13.md new file mode 100644 index 0000000..ab33709 --- /dev/null +++ b/luk/15/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mwana mdogo alifanya nini na urithi wake? + +Alitapanya fedha zake kwa maisha ya uasherati. + diff --git a/luk/15/15.md b/luk/15/15.md new file mode 100644 index 0000000..00f6ae9 --- /dev/null +++ b/luk/15/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baada ya fedha zake kuisha, mwana mdogo alifanya nini ili aweze kuishi? + +Yeye mwenyewe alijiajiri kulisha nguruwe wa mtu mwingine. + diff --git a/luk/15/17.md b/luk/15/17.md new file mode 100644 index 0000000..5123d5f --- /dev/null +++ b/luk/15/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# alipoanza kufikiri kwa makini, mwana mdogo aliamua kufanya nini? + +Aliamua kwenda na kukiri dhambi yake kwa baba yake, na kuomba kuajiriwa kama mmoja wa watumishi. + diff --git a/luk/15/20.md b/luk/15/20.md new file mode 100644 index 0000000..2d49062 --- /dev/null +++ b/luk/15/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baba alifanya nini alipomwona mwana mdogo akirudi nyumbani? + +Alimkimbilia akamkumbatia na kumbusu. + diff --git a/luk/15/22.md b/luk/15/22.md new file mode 100644 index 0000000..61ed48c --- /dev/null +++ b/luk/15/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baba alifanya nini kwa haraka kwa ajili mwana mdogo? + +Baba alimpa vazi, pete, viatu, na kuandaa karamu. + diff --git a/luk/15/28.md b/luk/15/28.md new file mode 100644 index 0000000..9f7de4b --- /dev/null +++ b/luk/15/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mwana mkubwa alijisikiaje alipoambiwa kuhusu karamu ya mwana mdogo? + +Alikuwa na hasira na hakutaka kwenda kwenye karamu. + +# Lawama ya mwana mkubwa kwa baba ilikuwa ni nini? + +Mwana mkubwa alilaumu kwamba alifuata maelekezo ya baba yake, lakini hajawahi kupewa mbuzi kusherekea na rafiki zake. + diff --git a/luk/15/31.md b/luk/15/31.md new file mode 100644 index 0000000..259ddfc --- /dev/null +++ b/luk/15/31.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mwitikio wa baba kwa mwana wake mkubwa ulikuwa ni nini? + +Alisema, "Mwanangu, wewe uko pamoja nami siku zote, na vyote vya kwangu ni vyako." + +# Kwa nini baba alisema ilikuwa sawa kufanya sherehe kwaajili ya mwana mdogo? + +Kwa sababu mwana mdogo alikuwa amepotea na sasa amepatikana. + diff --git a/luk/16/01.md b/luk/16/01.md new file mode 100644 index 0000000..57dc52e --- /dev/null +++ b/luk/16/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa gani tajiri aliipokea kuhusu msimamizi wake? + +Alisikia kwamba msimamizi alikuwa anafuja mali zake. + diff --git a/luk/16/05.md b/luk/16/05.md new file mode 100644 index 0000000..7ceea7d --- /dev/null +++ b/luk/16/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Msimamizi alifanya nini kabla hajalazimishwa kuacha kazi yake? + +Alimwita kila mdaiwa wa tajiri na kuwapunguzia madeni yao. + diff --git a/luk/16/08.md b/luk/16/08.md new file mode 100644 index 0000000..785ecd6 --- /dev/null +++ b/luk/16/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mwitikio gani tajiri alikua nao baada ya vitendo vya msimamizi wake? + +Yeye alimsifu msimamizi kwa sababu yeye alitenda kwa werevu. + +# Yesu aliwaambia wengine kufanya nini kuzingatia habari hii? + +Alisema, "fanya marafiki kwaajili yako kwa nia ya utajiri wa duniani, ili kwamba zikishatoweka, watakukaribisha wewe kwenye makao ya milele." + diff --git a/luk/16/10.md b/luk/16/10.md new file mode 100644 index 0000000..fb8372f --- /dev/null +++ b/luk/16/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema kwamba mtu ambaye ni mwaminifu kwenye kidogo pia atakuwa mwaminifu kwa kipi kingine? + +Mtu huyu pia atakuwa mwaminifu katika kwa vingi. + diff --git a/luk/16/13.md b/luk/16/13.md new file mode 100644 index 0000000..7b37625 --- /dev/null +++ b/luk/16/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema ni mabwana wawili wapi ambao ni lazima kuchagua kati yao kutumikia? + +Ni lazima tuchagua kati ya Mungu na mali. + diff --git a/luk/16/16.md b/luk/16/16.md new file mode 100644 index 0000000..3b15d87 --- /dev/null +++ b/luk/16/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kulingana na Yesu, ni nini kilikuwa katika athari mpaka Yohana Mbatizaji alipokuja? + +Torati na manabii vilikuwapo katika athari. + +# Kulingana na Yesu, ni nini sasa huwa kinahubiriwa? + +injili ya ufalme wa Mungu sasa huwa inahubiriwa. + diff --git a/luk/16/18.md b/luk/16/18.md new file mode 100644 index 0000000..aef1762 --- /dev/null +++ b/luk/16/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kulingana na Yesu, mtu wa aina gani yule ambaye anamwacha mke wake na kuoa mwingine? + +Mtu huyu ni mzinifu. + diff --git a/luk/16/22.md b/luk/16/22.md new file mode 100644 index 0000000..3f2dc53 --- /dev/null +++ b/luk/16/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Katika kisa cha Yesu, ombaomba Lazaro alienda wapi baada ya alipokufa? + +Ombaoma Lazaro akachukuliwa na malaika mpaka upande wa Abrahamu. + +# Tajiri alikwenda wapi baada ya kufa? + +Kuteseka kuzimu. + diff --git a/luk/16/24.md b/luk/16/24.md new file mode 100644 index 0000000..21240ef --- /dev/null +++ b/luk/16/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini lilikua ombi la kwanza kutoka kwa tajiri kwa Abrahamu? + +Alisema, "Tafadhali mruhusu Lazaro aje aniletee maji kidogo kwa sababu ninateswa katika moto huu." + diff --git a/luk/16/25.md b/luk/16/25.md new file mode 100644 index 0000000..8a2f977 --- /dev/null +++ b/luk/16/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jibu la Abrahamu lilikuwa nini kwa tajiri? + +Alisema, "Pale kuna shimo kubwa kati yetu kwamba hakuna anayeweza kuvuka." + diff --git a/luk/16/27.md b/luk/16/27.md new file mode 100644 index 0000000..7f02aca --- /dev/null +++ b/luk/16/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ombi la pili ambalo tajiri aliliomba kwa Abrahamu ni lipi? + +Alisema, "Tafadhali mtume Lazaro kuwaonya ndugu zangu kuhusu mahali hapa." + diff --git a/luk/16/29.md b/luk/16/29.md new file mode 100644 index 0000000..eeb6513 --- /dev/null +++ b/luk/16/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Jibu la Abrahamu lilikuwaje kwa yule tajiri? + +Alisema, "wanao Musa na manabii; waache wawasikilize hao." + +# Abrahamu alisema kama hangesikiliza kwa Musa na manabii, kipi kingine kisingewashwishi? + +Wasingeweza kushawishiwa hata na mtu fulani aliyefufuka kutoka kwa wafu. + diff --git a/luk/17/03.md b/luk/17/03.md new file mode 100644 index 0000000..e7f57fa --- /dev/null +++ b/luk/17/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema lazima tufanye nini kama ndugu yetu anatenda dhambi dhidi yetu anarudi akisema "ninatubu?" + +Lazima tumsamehe. + diff --git a/luk/17/09.md b/luk/17/09.md new file mode 100644 index 0000000..b50a7df --- /dev/null +++ b/luk/17/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kama watumishi, tusemeje baada ya kufanya kila kitu tulichoamriwa na Bwana wetu? + +Tuseme, "Sisi ni watumishi tusio na faida; tumefanya kile tulichotakiwa kufanya." + diff --git a/luk/17/11.md b/luk/17/11.md new file mode 100644 index 0000000..6ac77c5 --- /dev/null +++ b/luk/17/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alikutana na nani alipokuwa akiingia katika kijiji kilicho nchi za mipaka ya Samaria na Galilaya? + +Alikutana na wakoma kumi. + +# Walisema nini kwa Yesu? + +Walisema, "Yesu, Bwana, tuhurumie sisi." + diff --git a/luk/17/14.md b/luk/17/14.md new file mode 100644 index 0000000..f609d78 --- /dev/null +++ b/luk/17/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yesu aliwaambia wafanye nini? + +Aliwaambia waenda na kujionyesha wenyewe kwa makuhani. + +# Ni nini kilichotokea kwa wenye ukoma walipokuwa wakienda? + +Walitakasika. + +# Wakoma wangapi katika kumi walirudi kumshukuru Yesu? + +Alirudi mmoja tu. + +# Mkoma ambaye alirudi kumshukuru Yesu alikuwa anatokea wapi? + +Alikuwa anatokea Samaria. + diff --git a/luk/17/20.md b/luk/17/20.md new file mode 100644 index 0000000..01ac047 --- /dev/null +++ b/luk/17/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Alipoulizwa kuhusu ujio wa ufalme, Yesu alisema ufalme wa Mungu uko wapi? + +Ufalme wa Mungu uko ndani yako. + diff --git a/luk/17/22.md b/luk/17/22.md new file mode 100644 index 0000000..de25f65 --- /dev/null +++ b/luk/17/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema itakuwa inafanana na nini siku yake, atakapo dhihirika tena? + +Itakuwa kama mwako wa mwanga ghafla tokea sehemu moja ya anga kwenda nyingine. + diff --git a/luk/17/25.md b/luk/17/25.md new file mode 100644 index 0000000..f6c5899 --- /dev/null +++ b/luk/17/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema nini lazima kitokee kwanza? + +Lazima ateseke mambo mengi na kukataliwa na kizazi hicho. + +# Kwa vipi siku za Mwana wa mtu zifanane na siku za Nuhu na siku za Lutu? + +Wengi watakula, kunywa, Kuoana, kuuza, kupanda na kujenga wasielewe kwamba siku ya uharibifu imekuja. + diff --git a/luk/17/32.md b/luk/17/32.md new file mode 100644 index 0000000..a408ac4 --- /dev/null +++ b/luk/17/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa jinsi gani hatupaswi kufanana na mke wa lutu? + +Ni lazima tusirudi nyuma kujaribu kuweka maisha yetu hapa duniani katika siku hiyo. + diff --git a/luk/17/34.md b/luk/17/34.md new file mode 100644 index 0000000..89dc37e --- /dev/null +++ b/luk/17/34.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taswira ipi kwa asili Yesu aliitumia kujibu swali kwa wanafunzi wake, "Wapi, Bwana?" + +Pale palipo mzoga, ndipo tai wanapokusanyika. + diff --git a/luk/17/37.md b/luk/17/37.md new file mode 100644 index 0000000..83c2a28 --- /dev/null +++ b/luk/17/37.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni picha ipi kutoka asili Yesu alitumia kujibu swali wanafunzi wake ', "Ni wapi Bwana?" + +Ambapo kuna mwili, kuna mkusanyiko wa tai pamoja. + diff --git a/luk/18/01.md b/luk/18/01.md new file mode 100644 index 0000000..62bb7b6 --- /dev/null +++ b/luk/18/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alitaka kuwafundisha nini wanafunzi wake kuhusu maombi kwenye simulizi hii? + +Alitaka kuwafundisha kwamba wanatakiwa kuomba daima na wasikate tamaa. + diff --git a/luk/18/03.md b/luk/18/03.md new file mode 100644 index 0000000..25037f7 --- /dev/null +++ b/luk/18/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini ambacho mjane alikuwa akiendelea kukiomba kwa hakimu dhalimu? + +Aliomba kupatiwa haki dhidi ya mpinzani wake. + +# Baada ya muda, hakimu asiyetenda haki alisema nini kwake mwenyewe? + +Alisema, "Kwa sababu mjane huyu anasababisha matatizo na hakomi kuja kwangu, nitamsaidia apate haki yake." + diff --git a/luk/18/06.md b/luk/18/06.md new file mode 100644 index 0000000..a85c1ca --- /dev/null +++ b/luk/18/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alitaka kufundisha nini kwa wanafunzi wake kuhusu jinsi Mungu ajibuvyo maombi? + +Alitaka kuwafundisha kwamba Mungu ataleta haki kwa wale ambao wanamlilia. + diff --git a/luk/18/09.md b/luk/18/09.md new file mode 100644 index 0000000..0ac8108 --- /dev/null +++ b/luk/18/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mfarisayo alifikiri vipi kuhusu haki yake mwenyewe na kuhusu watu wengine? + +Alidhani kuwa na haki zaidi ya watu wengine. + +# Katika simulizi ya Yesu, watu gani wawili walikwenda hekaluni kuomba? + +Mfarisayo na mtoza ushuru walikwenda hekaluni kuomba. + diff --git a/luk/18/11.md b/luk/18/11.md new file mode 100644 index 0000000..0f763f0 --- /dev/null +++ b/luk/18/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mfarisayo alifikiri vipi kuhusu haki yake mwenyewe na kuhusu watu wengine? + +Alidhani kuwa alikuwa na haki zaidi ya watu wengine. + diff --git a/luk/18/13.md b/luk/18/13.md new file mode 100644 index 0000000..a9c8906 --- /dev/null +++ b/luk/18/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mtoza ushuru alimwomba Mungu nini alipokuwa hekaluni? + +Aliomba, "Mungu nirehemu mimi, mwenye dhambi? + +# Yupi alirudi nyumbani kwake anahaki mbele za Mungu? + +Mtoza ushuru alihesabiwa haki mbele za Mungu. + diff --git a/luk/18/15.md b/luk/18/15.md new file mode 100644 index 0000000..ea195d9 --- /dev/null +++ b/luk/18/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema kwamba ufalme wa Mungu unamilikiwa na nani? + +Ni mali ya wale ambao ni kama watoto. + diff --git a/luk/18/22.md b/luk/18/22.md new file mode 100644 index 0000000..3eb9aa1 --- /dev/null +++ b/luk/18/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kitu gani kimoja ambacho Yesu alimuomba yule kiongozi (aliyekuwa anatii amri za Mungu toka akiwa kijana) afanye? + +Yesu alimuomba auze vitu vyote alivyo kuwa navyo na avigawe kwa masikini. + +# Mwitikio wa kiongozi ulikuwaje kwa kauli ya Yesu na kwa nini? + +Alihuzunika sana, sababu alikuwa tajiri sana. + diff --git a/luk/18/28.md b/luk/18/28.md new file mode 100644 index 0000000..b7f3c36 --- /dev/null +++ b/luk/18/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu aliahidi nini kwa wale ambao walioacha mambo ya dunia kwa faida ya ufalme wa Mungu? + +Yesu aliwaahidi vingi zaidi katika ulimwengu huu, na uzima wa milele katika ulimwengu ujao. + diff --git a/luk/18/31.md b/luk/18/31.md new file mode 100644 index 0000000..50f8d06 --- /dev/null +++ b/luk/18/31.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kutokana na Yesu, nini ambacho manabii wa agano la kale wameandika kuhusu Mwana wa mtu? + +Kwamba angetolewa kwa wamataifa, alidhihakiwa na alitendewa aibu, alichapwa na alikufa lakini siku ya tatu angelifufuka tena. + diff --git a/luk/18/38.md b/luk/18/38.md new file mode 100644 index 0000000..cf67929 --- /dev/null +++ b/luk/18/38.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yule kipofu aliyekuwa njiani alilia kwa sauti akisemaje kwa Yesu? + +Alisema, "Mwana wa Daudi, nihurumie." + diff --git a/luk/18/42.md b/luk/18/42.md new file mode 100644 index 0000000..2e61d4f --- /dev/null +++ b/luk/18/42.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mwitikio wa watu ulikuwa namna gani baada kuona kipofu kaponywa? + +Walimtukuza na kumpa utukufu Mungu. + diff --git a/luk/19/01.md b/luk/19/01.md new file mode 100644 index 0000000..c2abffd --- /dev/null +++ b/luk/19/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nani alipanda juu ya mti kumwona Yesu, na kazi yake ilikuwa ni nini na nafasi yake katika jamii? + +Alikuwa Zakayo, mtoza ushuru tajiri. + diff --git a/luk/19/05.md b/luk/19/05.md new file mode 100644 index 0000000..5338344 --- /dev/null +++ b/luk/19/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Lawama zipi ambazo kila mtu alitoa alipomwona Yesu amekwenda nyumbani kwa Zakayo? + +Walisema, "Yesu amekwenda kumtembelea mtu ambaye ni mwenye dhambi." + diff --git a/luk/19/08.md b/luk/19/08.md new file mode 100644 index 0000000..33a8f3e --- /dev/null +++ b/luk/19/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema nini juu ya zakayo baada ya Zakayo kutangaza zawadi zake kwa masikini? + +Alisema, "Leo wokovu umekuja kwenye nyumba hii." + diff --git a/luk/19/11.md b/luk/19/11.md new file mode 100644 index 0000000..de45515 --- /dev/null +++ b/luk/19/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Watu walitegemea nini kitatokea Yesu akifika Yerusalemu. + +Walidhani kuwa ufalme wa Mungu utaonekana mara moja. + +# Katika mfano wa Yesu, Muungwana alikuwa anasafiri kuelekea wapi? + +Alikuwa anakwenda nchi ya mbali kupokea ufalme, na ndipo angerudi. + diff --git a/luk/19/16.md b/luk/19/16.md new file mode 100644 index 0000000..182277e --- /dev/null +++ b/luk/19/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alifanya nini kwaajili ya mtumishi ambaye amekuwa mwaminifu na ametengeneza mafungu kumi zaidi? + +Aliwapa mamlaka juu ya miji kumi. + diff --git a/luk/19/18.md b/luk/19/18.md new file mode 100644 index 0000000..a7b8750 --- /dev/null +++ b/luk/19/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alifanya nini na mtumishi ambaye amekuwa mwaminifu na ametengeneza mafungu matano zaidi? + +Aliwapa mamlaka juu ya miji mitano zaidi. + diff --git a/luk/19/20.md b/luk/19/20.md new file mode 100644 index 0000000..e1549cb --- /dev/null +++ b/luk/19/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Aina gani ya mtu ambaye yule mtuishi mwovu alifikiri alikuwa muungwana? + +Alifikiri muungwana alikuwa hana huruma. + diff --git a/luk/19/24.md b/luk/19/24.md new file mode 100644 index 0000000..cc06500 --- /dev/null +++ b/luk/19/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Afisa alimfanya nini yule mtumishi mbaya? + +Alimnyang'anya yule mtumishi mbaya fungu lake. + diff --git a/luk/19/26.md b/luk/19/26.md new file mode 100644 index 0000000..2148573 --- /dev/null +++ b/luk/19/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Muungwana alifanya nini na wale ambao hawakutaka atawale juu yao? + +Muungwana aliwauwa mbele yeake. + diff --git a/luk/19/29.md b/luk/19/29.md new file mode 100644 index 0000000..2855cb0 --- /dev/null +++ b/luk/19/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Aina gani ya mnyama ambaye Yesu alipanda juu yake akiwa anaingia Yerusalemu? + +Mwanapunda ambaye hajapandwa bado. + diff --git a/luk/19/37.md b/luk/19/37.md new file mode 100644 index 0000000..379bab2 --- /dev/null +++ b/luk/19/37.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mkutano ulipaza sauti vipi wakati Yesu anashuka mlima wa mizeituni? + +Walisema, "Kabarikiwa mfalme ajaye katika jina la Bwana!" + diff --git a/luk/19/39.md b/luk/19/39.md new file mode 100644 index 0000000..975bd87 --- /dev/null +++ b/luk/19/39.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu anasema kingetokea nini kama watu hawatapaza sauti wakifurahi? + +Alisema mawe yatapaza sauti. + diff --git a/luk/19/41.md b/luk/19/41.md new file mode 100644 index 0000000..5ba7884 --- /dev/null +++ b/luk/19/41.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alifanya nini alipoukaribia mji? + +Alilia. + diff --git a/luk/19/43.md b/luk/19/43.md new file mode 100644 index 0000000..b574a1c --- /dev/null +++ b/luk/19/43.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ndipo Yesu akatoa unabii gani ungetokea kwa watu na mji? + +Alisema kwamba watu watapigwa na kwamba hakuna jiwe ilitaachwa juu ya jingine. + diff --git a/luk/19/47.md b/luk/19/47.md new file mode 100644 index 0000000..dda9dce --- /dev/null +++ b/luk/19/47.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nani walitaka kumuua Yesu alipokuwa akifundisha hekaluni? + +Makuhani wakuu na waandishi na viongozi wa watu walitaka kumuua Yesu. + +# Kwa nini hawakuweza kumuua wakati huu? + +Kwa sababu watu walikuwa wanamsikiliza kwa makini. + diff --git a/luk/20/03.md b/luk/20/03.md new file mode 100644 index 0000000..43069db --- /dev/null +++ b/luk/20/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Viongozi wa kiyahudi walipomuuliza Yesu kwa mamlaka gani alifundisha, swali gani Yesu aliwauliza? + +Aliwauliza, "Ubatizo wa Yohana ni kutoka mbinguni au kwa watu?" + diff --git a/luk/20/05.md b/luk/20/05.md new file mode 100644 index 0000000..8abde1b --- /dev/null +++ b/luk/20/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kama wangejibu "ilitoka mbinguni", viongozi wa Kiyahudi walidhani ni nini Yesu angesema kwao? + +Viongozi wa Kiyahudi walidhani Yesu angewajibu, "sasa kwa nini hamkumwamini?" + +# Kama wangejibu, "kutoka kwa watu," walifikiri watu wangewafanyia nini? + +Walifikiri kwamba watu wangewapiga mawe. + diff --git a/luk/20/11.md b/luk/20/11.md new file mode 100644 index 0000000..e6c0cb2 --- /dev/null +++ b/luk/20/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika mfano wa Yesu, watunza mizabibu walifanya nini bwana alipowatuma watumishi wake kuchukua matunda ya shamba la mzababu? + +waliwapiga watumishi, waliwatendea vibaya, na kuwarudisha mikono mitupu. + diff --git a/luk/20/13.md b/luk/20/13.md new file mode 100644 index 0000000..38a0c92 --- /dev/null +++ b/luk/20/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hatimaye, nani alitumwa na bwana kwenda kwa watunza mizabibu? + +Alimtumwa mwanaye mpendwa. + diff --git a/luk/20/15.md b/luk/20/15.md new file mode 100644 index 0000000..39fe3ff --- /dev/null +++ b/luk/20/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Watunza mizabibu walimfanya nini yule mwana alipokuja kwenye shambani mizabibu? + +Walimtupa nje ya shamba la mizabibu na kumuua. + +# Bwana mwenye shamba la mizabibu atafanya nini kwa watunza mizabibu? + +Atawaharibu hao watunza mizabibu na kuwapa wengine shamba la mizabibu. + diff --git a/luk/20/19.md b/luk/20/19.md new file mode 100644 index 0000000..5e9eb71 --- /dev/null +++ b/luk/20/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu aliusema mfano huu dhidi ya nani? + +Yeye aliwaambia mfano huu waandishi na wakuu wa makuhani. + diff --git a/luk/20/25.md b/luk/20/25.md new file mode 100644 index 0000000..f994708 --- /dev/null +++ b/luk/20/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa namna gani Yesu alijibu swali la ni halali kulipa kodi kwa Kaisari au la? + +Alisema kumpa Kaisari vitu vya kaisari, na kumpa Mungu vitu vya Mungu. + diff --git a/luk/20/27.md b/luk/20/27.md new file mode 100644 index 0000000..47c1989 --- /dev/null +++ b/luk/20/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Tukio gani ambalo Masadukayo hawaamini? + +Hawaamini ufufuo wa wafu. + diff --git a/luk/20/34.md b/luk/20/34.md new file mode 100644 index 0000000..c09e877 --- /dev/null +++ b/luk/20/34.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema nini kuhusu ndoa katika ulimwengu huu na katika umilele? + +Katika ulimwengu huu kuna kuoana, lakini katika uzima wa milele hamna kuoana. + diff --git a/luk/20/37.md b/luk/20/37.md new file mode 100644 index 0000000..353aa2b --- /dev/null +++ b/luk/20/37.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Simulizi gani ya agano la kale ambayo Yesu alirejea ili kuthibitisha ukweli kuhusu ufufuo? + +Alirejea simulizi ya Musa na kichaka, ambacho Musa alimwita Bwana kuwa Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo. + diff --git a/luk/20/41.md b/luk/20/41.md new file mode 100644 index 0000000..77d71d0 --- /dev/null +++ b/luk/20/41.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kauli ipi ya Daudi kutoka Zabari aliyo nukuu Yesu katika swali kwa waandishi? + +Alinukuu, "Bwana alisema kwa Bwana wangu, kaa kulia kwangu, mpaka niwafanye adui zako pakuwekea miguu" + diff --git a/luk/20/45.md b/luk/20/45.md new file mode 100644 index 0000000..632ba39 --- /dev/null +++ b/luk/20/45.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nyuma ya matendo yao kwa nje, mambo gano mabaya waandishi walikuwa wakifanya? + +Walikuwa wakiteketeza nyumba za wajane, na kujifanya wanafanya maombi marefu. + +# Yesu alisema namna gani hawa waandishi watahukumiwa? + +Watapokea laana kubwa sana. + diff --git a/luk/21/01.md b/luk/21/01.md new file mode 100644 index 0000000..d044b2d --- /dev/null +++ b/luk/21/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Yesu alisema kwamba yule mjane maskini aliweka zaidi kwenye hazina kuliko zote za wengine? + +Kwa sababu alitoa katika umasikini wake na wengine walitoa katika utajiri wao. + diff --git a/luk/21/05.md b/luk/21/05.md new file mode 100644 index 0000000..ff99102 --- /dev/null +++ b/luk/21/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema nini kitatokea kwenye hekalu Yerusalemu? + +Yeye alisema litaangushwa chini na hakuna jiwe moja litabaki juu ya lingine. + diff --git a/luk/21/07.md b/luk/21/07.md new file mode 100644 index 0000000..e52af1f --- /dev/null +++ b/luk/21/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maswali gani mawili ambayo watu walimuuliza Yesu kuhusu hekalu? + +Waliuliza, "Mambo haya yatatokea lini, na nini itakuwa ni ishara kwamba haya mambo yako tayari kutokea?" + +# Yesu alionya kwamba waongo wengi watakuja. Waongo hawa watasema nini? + +Watasema, "Mimi ni yeye" na "wakati umekaribia." + diff --git a/luk/21/10.md b/luk/21/10.md new file mode 100644 index 0000000..a6e8bca --- /dev/null +++ b/luk/21/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Matukio gani ya kutisha Yesu alisema yatatokea kabla ya mwisho? + +Patakuwepo na vita, matetemeko ya nchi, njaa, tauni na ishara kubwa kutoka mbinguni. + diff --git a/luk/21/12.md b/luk/21/12.md new file mode 100644 index 0000000..f6c0868 --- /dev/null +++ b/luk/21/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mateso ya waamini yatatengeneza fursa gani? + +Yatatengeneza fursa kwaajili ya ushuhuda wao. + diff --git a/luk/21/16.md b/luk/21/16.md new file mode 100644 index 0000000..493d7b0 --- /dev/null +++ b/luk/21/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nani atawachukia wafuasi wa Yesu? + +Wazazi, ndugu, jamaa, marafiki, na "kila mtu" atawachukia. + diff --git a/luk/21/20.md b/luk/21/20.md new file mode 100644 index 0000000..0cf7c1c --- /dev/null +++ b/luk/21/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Tukio gani ambalo litaashira kwamba uharibu wa Yerusalemu uko karibu? + +Wakati Yerusalemu itakapozungukwa na majeshi, uharibifu wake unakaribia. + +# Yesu aliwaambia watu wafanye nini walioona kwamba uharibifu wa Yerusalemu upo karibu? + +Aliwaambia wakimbilie milimani, kuuacha mji, na kutoingia mjini. + +# Yesu aliziitaje siku za kuharibiwa Yerusalemu? + +aliziita ni siku za kisasi, kutimiza mambo yote yaliyoandikwa. + diff --git a/luk/21/23.md b/luk/21/23.md new file mode 100644 index 0000000..754d57e --- /dev/null +++ b/luk/21/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mpaka lini Yerusalemu itakandamizwa na mataifa? + +Yerusalemu itakandamizwa na mataifa hadi wakati mataifa yamekamilisha. + diff --git a/luk/21/25.md b/luk/21/25.md new file mode 100644 index 0000000..0f076eb --- /dev/null +++ b/luk/21/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni ishara gani ambayo Yesu alisema itatangulia ujio wake wa nguvu na utukufu mkuu? + +Alisema kutakuwa na ishara katika jua, mwezi, na nyota, na dhiki ya mataifa juu ya nchi. + diff --git a/luk/21/29.md b/luk/21/29.md new file mode 100644 index 0000000..a14d1ef --- /dev/null +++ b/luk/21/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mfano gani Yesu alitoa wa jinsi wasikilizaji wake wavyojua lini majira yamekuja? + +Alirejea kwenye mtini - unapoanza kumea machipukizi walijua kwamba majira ya joto yamekaribia. + diff --git a/luk/21/32.md b/luk/21/32.md new file mode 100644 index 0000000..bfa6e7d --- /dev/null +++ b/luk/21/32.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema nini kitapita? + +Mbingu na nchi zitapita. + +# Nini ambacho hakitapita kamwe? + +Maneno ya Yesu hayatapita kamwe. + diff --git a/luk/21/34.md b/luk/21/34.md new file mode 100644 index 0000000..d46b526 --- /dev/null +++ b/luk/21/34.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nini ambacho Yesu aliwaonya wasikilizaji wake kutokufanya kwa sababu siku hiyo itakuja ghafula? + +Aliwaonya wasiiache mioyo yao ikalemewa na ufisadi, ulevi na mahangaiko ya maisha haya. + diff --git a/luk/21/36.md b/luk/21/36.md new file mode 100644 index 0000000..913fe12 --- /dev/null +++ b/luk/21/36.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nini ambacho Yesu aliwaonya wasikilizaji wake kufanya kwa sababu siku hiyo itakuja ghafula? + +Aliwaonya wawe tayari wakati wote na kuomba. + diff --git a/luk/22/01.md b/luk/22/01.md new file mode 100644 index 0000000..d169f82 --- /dev/null +++ b/luk/22/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika wakati huu, ni sikukuu gani ya Kiyahudi iliyokuwa inakaribia? + +Sikukuu ya mkate usiyotiwa chachu, iliyoitwa Pasaka. + diff --git a/luk/22/05.md b/luk/22/05.md new file mode 100644 index 0000000..1684172 --- /dev/null +++ b/luk/22/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika hali gani Yuda alikuwa anaangalia kwaajili nafasi ya kumtoa Yesu kuhani wakuu? + +Alikuwa anaangalia kwenye nafasi Yesu alipokuwa mbali na mkutano. + diff --git a/luk/22/10.md b/luk/22/10.md new file mode 100644 index 0000000..2c9a4d0 --- /dev/null +++ b/luk/22/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni wapi Yesu na wanafunzi wake walikula mlo wa Pasaka? + +Walikula katika chumba cha wageni Yerusalemu. + diff --git a/luk/22/12.md b/luk/22/12.md new file mode 100644 index 0000000..ef84ede --- /dev/null +++ b/luk/22/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni wapi Yesu na wanafunzi wake walikula mlo wa Pasaka? + +Walikula katika chumba kikubwa cha ghorofani cha wageni ambacho kilikuwa tayari kimeandaliwa huko Yerusalemu. + diff --git a/luk/22/14.md b/luk/22/14.md new file mode 100644 index 0000000..574d873 --- /dev/null +++ b/luk/22/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema lini tena atakula mlo wa Pasaka? + +Atakuala mlo wa Pasaka tena pale itakapokamilika katika ufalme wa Mungu. + diff --git a/luk/22/19.md b/luk/22/19.md new file mode 100644 index 0000000..0f6537c --- /dev/null +++ b/luk/22/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema nini alipoumega mkate na kuwapa wanafunzi wake? + +Alisema, "Huu ni mwili wangu ambao umetolewa kwa ajili yenu. Fanyeni hivi kwa kunikumbuka mimi." + +# Yesu alisema nini alipowapa wanafunzi kikombe? + +Alisema, "Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu, iliyomwagika kwaajili yenu." + diff --git a/luk/22/21.md b/luk/22/21.md new file mode 100644 index 0000000..e60a6cc --- /dev/null +++ b/luk/22/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ilikuwa mpango wa Mungu kwamba asalitiwe? + +Ndiyo. + +# Wanafunzi walijua ambaye alikuwa anaelekea kumsaliti Yesu? + +Hapana. + diff --git a/luk/22/26.md b/luk/22/26.md new file mode 100644 index 0000000..5b4f1b6 --- /dev/null +++ b/luk/22/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nani ambaye Yesu alisema alikuwa mkubwa kati ya wanafunzi wake? + +Mkubwa ni yule ambaye anatumika. + +# Namna gani Yesu aliishi kati ya wanafunzi wake? + +Aliisha kama mtu anayetumika. + diff --git a/luk/22/28.md b/luk/22/28.md new file mode 100644 index 0000000..50ac946 --- /dev/null +++ b/luk/22/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu aliwaahidi wanafunzi wake wataketi wapi? + +Alisema wataketi juu ya kiti cha enzi, wakiwahukumu wale kabila kumi na mbili za Israeli. + diff --git a/luk/22/33.md b/luk/22/33.md new file mode 100644 index 0000000..b121259 --- /dev/null +++ b/luk/22/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alitabiri nini ambacho Petro atafanya? + +Alisema kwamba mara tatu Petro atakataa kuwa anamjua Yesu kabala jogoo hajawika. + diff --git a/luk/22/37.md b/luk/22/37.md new file mode 100644 index 0000000..7a8a320 --- /dev/null +++ b/luk/22/37.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Utabiri upi ulioandikwa kuhusu Yesu ambao ulitimizwa katika matukio haya? + +Utabiri katika maandiko usemao, "Na alifikiriwa kama mtu ambaye anavunja sheria." + diff --git a/luk/22/39.md b/luk/22/39.md new file mode 100644 index 0000000..25bc688 --- /dev/null +++ b/luk/22/39.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika mlima wa mizeituni, kwaajili ya nini Yesu aliwaambia wanafunzi wake kuomba? + +Ailitaka waombe kwamba wasiweze kuingia katika majaribu. + diff --git a/luk/22/41.md b/luk/22/41.md new file mode 100644 index 0000000..bb25701 --- /dev/null +++ b/luk/22/41.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Juu ya mlima wa mzaituni, Yesu aliomba nini? + +Aliomba, "Baba, kama uko tayari, ondoa kikombe hiki kwangu. Walakini siyo mapenzi yangu, bali ya kwako yafanyike." + diff --git a/luk/22/45.md b/luk/22/45.md new file mode 100644 index 0000000..caf7d70 --- /dev/null +++ b/luk/22/45.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wale Wanafunzi walikuwa wakifanya nini Yesu aliporudi kutoka kuomba? + +Walikuwa wakilala. + diff --git a/luk/22/47.md b/luk/22/47.md new file mode 100644 index 0000000..9e438cf --- /dev/null +++ b/luk/22/47.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Namna gani Yuda alimsaliti Yesu mbele ya makutano? + +Alimsaliti Yesu kwa busu. + diff --git a/luk/22/49.md b/luk/22/49.md new file mode 100644 index 0000000..24d1b99 --- /dev/null +++ b/luk/22/49.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alifanya nini na mtu ambaye sikio lake lilikatwa + +Aliligusa sikio lake, akamponya. + diff --git a/luk/22/52.md b/luk/22/52.md new file mode 100644 index 0000000..1892a17 --- /dev/null +++ b/luk/22/52.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema alikuwa wapi kila siku na wakuu wa makuhani? + +Alikuwa hekaluni. + diff --git a/luk/22/54.md b/luk/22/54.md new file mode 100644 index 0000000..4e17f57 --- /dev/null +++ b/luk/22/54.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baada ya kumkamata, walimpeleka wapi Yesu? + +Walimpeleka nyumbani kwa kuhani mkuu. + diff --git a/luk/22/56.md b/luk/22/56.md new file mode 100644 index 0000000..201bef3 --- /dev/null +++ b/luk/22/56.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Petro alisema nini wakati mtumishi fulani wa kike aliposema kwamba Petro alikuwa pamoja na Yesu? + +Yeye alisema, "Mwanamke, mimi simjui." + diff --git a/luk/22/59.md b/luk/22/59.md new file mode 100644 index 0000000..263dd01 --- /dev/null +++ b/luk/22/59.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilitokea gafla baada ya Petro kukataa hamjui Yesu kwa safari ya tatu? + +Jogoo akawika. + diff --git a/luk/22/61.md b/luk/22/61.md new file mode 100644 index 0000000..ed26962 --- /dev/null +++ b/luk/22/61.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Petro alifanya nini baada ya Yesu kumwangalia? + +alikwenda nje na akalia kwa uchungu. + diff --git a/luk/22/63.md b/luk/22/63.md new file mode 100644 index 0000000..d03ff56 --- /dev/null +++ b/luk/22/63.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Watu waliokuwa wakimlinda Yesu walimfanyia nini? + +Walimdhihaki na kumpiga, na walimkufuru. + diff --git a/luk/22/66.md b/luk/22/66.md new file mode 100644 index 0000000..6019f72 --- /dev/null +++ b/luk/22/66.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baraza lilipotaka kwamba Yesu awaambie kama ni Kristo, Yesu alisema kwamba kama aliwaambia, wasingelifanya nini? + +Wasingeliamini. + diff --git a/luk/22/69.md b/luk/22/69.md new file mode 100644 index 0000000..76ec236 --- /dev/null +++ b/luk/22/69.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini baraza lilisema kwamba halihitaji mashahidi kuthibitisha kwamba Yesu amekiri kuwa Kristo? + +Kwa sababu hilo walishasikia kutoka mdomoni mwa Yesu mwenyewe. + diff --git a/luk/23/01.md b/luk/23/01.md new file mode 100644 index 0000000..438725f --- /dev/null +++ b/luk/23/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mashitaka gani dhidi ya Yesu viongozi wa kiyahudi waliyafanya kwa Pilato? + +Walisema Yesu alikuwa anapotosha taifa, anazuia kutoa kodi kwa kaisari, na anasema kwamba alikuwa Kristo, mfalme. + diff --git a/luk/23/03.md b/luk/23/03.md new file mode 100644 index 0000000..bf28347 --- /dev/null +++ b/luk/23/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baada ya kumuuliza Yesu, Pilato alisema nini kuhusu yeye? + +Alisema, "Sioni kosa kwa mtu huyu." + diff --git a/luk/23/08.md b/luk/23/08.md new file mode 100644 index 0000000..3fcf5af --- /dev/null +++ b/luk/23/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwanini Herode alitaka kumuona Yesu? + +Herode alitaka kumuona Yesu akifanya muujiza. + +# Yesu alijibuje swali la Herode? + +Hakuna alichomjibu. + diff --git a/luk/23/13.md b/luk/23/13.md new file mode 100644 index 0000000..6198c18 --- /dev/null +++ b/luk/23/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu aliporudishwa kwa Pilato, Pilato alisema nini kuhusu Yesu kwa umma. + +Alisema, "Sioni kosa kwa mtu huyu." + diff --git a/luk/23/18.md b/luk/23/18.md new file mode 100644 index 0000000..126c8a1 --- /dev/null +++ b/luk/23/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nani umati walitaka afunguliwe gerezani kwa ajili ya sherehe ya pasaka? + +Walimtaka Barnaba, mwahalifu. + diff --git a/luk/23/20.md b/luk/23/20.md new file mode 100644 index 0000000..762e694 --- /dev/null +++ b/luk/23/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Umati ulipiga kelele nini kifanyike kwa Yesu? + +Walipiga kelele, Msulibishe, msulubishe. + +# Kwa mara tatu, Pilato aliuambia nini umati kuhusu Yesu? + +Pialato alisema, "Hakuna ninachoona kinachostahili adhabu ya kifo kwake" + diff --git a/luk/23/23.md b/luk/23/23.md new file mode 100644 index 0000000..5da4164 --- /dev/null +++ b/luk/23/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini hatimaye Pilato anaridhia matakwa ya umma kumsulibisha Yesu? + +Kwa sababu walisisitiza kwa sauti za juu. + diff --git a/luk/23/26.md b/luk/23/26.md new file mode 100644 index 0000000..8a66b9f --- /dev/null +++ b/luk/23/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nani aliubeba msalaba wa Yesu, na akafuata nyuma ya Yesu. + +Simoni wa Mkirene aliubeba msalaba wa Yesu. + diff --git a/luk/23/27.md b/luk/23/27.md new file mode 100644 index 0000000..a031a0f --- /dev/null +++ b/luk/23/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nani Yesu aliwaambia wanawake wa Yerusalemu wamlilie badala ya yeye? + +Walie kwaajili yao wenyewe na watoto wao. + diff --git a/luk/23/32.md b/luk/23/32.md new file mode 100644 index 0000000..40add8a --- /dev/null +++ b/luk/23/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nani alisulubiwa pamoja na Yesu? + +Wahalifu wawili walisulubiwa pamoja na Yesu. + diff --git a/luk/23/33.md b/luk/23/33.md new file mode 100644 index 0000000..9983176 --- /dev/null +++ b/luk/23/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kutoka msalabani, Yesu aliomba nini kwaajili ya wale wanaomsulibisha? + +Yeye aliomba, "Baba, wasamehe, sababu hawajui wanachotenda" + diff --git a/luk/23/35.md b/luk/23/35.md new file mode 100644 index 0000000..7fed56e --- /dev/null +++ b/luk/23/35.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Watu, Maaskari na mmoja wa wahalifu walimwambie Yesu afanye nini kwani Yesu alidai kuwa ni Kristo? + +Walimuambia ajiokoe mwenyewe + diff --git a/luk/23/36.md b/luk/23/36.md new file mode 100644 index 0000000..92bd571 --- /dev/null +++ b/luk/23/36.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Watu, Askari na yule mmoja wa wahalifu walimpa changamoto gani Yesu, kwa kuwa Yesu alikiri kuwa Kristo? + +Walimkosoa ajiokoe mwenywe. + +# Nini kulikuwa kimeandikwa kwenye ubao juu ya Yesu? + +Iliandikwa, "HUYU NI MFALME WA WAYAHUDI." + diff --git a/luk/23/39.md b/luk/23/39.md new file mode 100644 index 0000000..1f74274 --- /dev/null +++ b/luk/23/39.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Watu, Maaskari, na mmoja wa wahalifu walimuambie Yesu afanye nini kwani Yesu alidai kuwa ni Kristo? + +Walimwambia ajiokoe mwenyewe. + diff --git a/luk/23/42.md b/luk/23/42.md new file mode 100644 index 0000000..d6e7cda --- /dev/null +++ b/luk/23/42.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni maombi gani yule muhalifu wa pili alifanya kwa Yesu? + +Alimuambia, "nikumbuke utakapoingia katika ufalme wako" + +# Yesu aliahidi nini kwa mhalifu wa pili? + +Alisema, "Leo utakuwa na paradiso." + diff --git a/luk/23/44.md b/luk/23/44.md new file mode 100644 index 0000000..6bb12aa --- /dev/null +++ b/luk/23/44.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Tukio gani la kimuujiza lilitokea mara kabla ya kifo cha Yesu? + +Lilitokea giza juu ya nchi yote na pazia la hekalu likapasuka katikati. + diff --git a/luk/23/46.md b/luk/23/46.md new file mode 100644 index 0000000..4eb1dc1 --- /dev/null +++ b/luk/23/46.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Akida alisema nini kuhusu Yesu baada ya kifo cha Yesu? + +Yeye alisema, "Hakika huyu alikuwa mtu wa haki." + diff --git a/luk/23/52.md b/luk/23/52.md new file mode 100644 index 0000000..12ba1fa --- /dev/null +++ b/luk/23/52.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yusufu wa Arimathaya alifanya nini baada ya kifo cha Yesu? + +"Alimuomba Pilato mwili na kuulaza katika kaburi." + diff --git a/luk/23/54.md b/luk/23/54.md new file mode 100644 index 0000000..7c434c7 --- /dev/null +++ b/luk/23/54.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Siku ipi ilikuwa inakaribia kuanza wakati Yesu alikuwa anazikwa? + +Siku ya Sabato ilikuwa karibu kuanza. + +# Wanawake waliokuwa na Yesu walifanya nini siku ya sabato? + +Walipumzika, kulingana na amri ya Mungu. + diff --git a/luk/24/01.md b/luk/24/01.md new file mode 100644 index 0000000..5124b94 --- /dev/null +++ b/luk/24/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wanawake walikuja lini kaburini kwa Yesu? + +Walikuja mapema sana siku ya kwanza ya juma. + +# Wanawake walikuta nini pale kaburini? + +Walikuta kwamba lile jiwe limeshavingirishwa kando, na kwamba mwili wa Yesu haukuwepo pale + diff --git a/luk/24/06.md b/luk/24/06.md new file mode 100644 index 0000000..d2058db --- /dev/null +++ b/luk/24/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wale watu wawili wenye mavazi ya kung'aa (malaika) walisema kimetokea nini kwa Yesu? + +Walisema kwamba amefufuka. + diff --git a/luk/24/11.md b/luk/24/11.md new file mode 100644 index 0000000..00ecad2 --- /dev/null +++ b/luk/24/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini ulikuwa mwitikio wa mitume wakati wale wanawake walipowaambia uzoefu wao pale kaburini? + +Waliitupilia mbali taarifa kana kwamba ni maneno ya mzaha. + +# Petro aliona nini alipoangalia katika kaburi? + +Aliona nguo za kitani peke yake. + diff --git a/luk/24/15.md b/luk/24/15.md new file mode 100644 index 0000000..a70d559 --- /dev/null +++ b/luk/24/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini wanafunzi waliokuwa wakienda Emau hawakumtambua Yesu alipojiunga nao? + +Macho yao yalifungwa wasiweze kumtambua. + diff --git a/luk/24/21.md b/luk/24/21.md new file mode 100644 index 0000000..f488790 --- /dev/null +++ b/luk/24/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakati Yesu alipokuwa hai, mitume walitumaini angefanya nini? + +Walitumaini kwamba angewaweka huru Israeli mbali na adui zake. + diff --git a/luk/24/25.md b/luk/24/25.md new file mode 100644 index 0000000..dabfad4 --- /dev/null +++ b/luk/24/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alielezea nini kwa wale watu wawili kutoka kwenye maandiko? + +Alieleza kile maandiko yalisema kumhusu yeye. + diff --git a/luk/24/30.md b/luk/24/30.md new file mode 100644 index 0000000..47fc617 --- /dev/null +++ b/luk/24/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alifanya nini walipomtambua? + +Alitoweka mbele ya macho yao. + diff --git a/luk/24/33.md b/luk/24/33.md new file mode 100644 index 0000000..84f878d --- /dev/null +++ b/luk/24/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakati gani wale watu wawili hatimaye walimtambua? + +Walimtambua alipobariki mkate, akaumega, na akawapa. + diff --git a/luk/24/36.md b/luk/24/36.md new file mode 100644 index 0000000..09fcf57 --- /dev/null +++ b/luk/24/36.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema nini kwanza alipowatokea wanafunzi wake huko Yerusalemu? + +Alisema, "Amani iwe kwenu." + diff --git a/luk/24/38.md b/luk/24/38.md new file mode 100644 index 0000000..19c8fa8 --- /dev/null +++ b/luk/24/38.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alithibitisha namna gani kwamba yeye siyo roho tu? + +Aliwaita wanafunzi wake wamguse, na aliwaonesha mikono na miguu yake? + diff --git a/luk/24/45.md b/luk/24/45.md new file mode 100644 index 0000000..9b51f64 --- /dev/null +++ b/luk/24/45.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Jinsi gani wanafunzi walikuwa wanaweza kuyaelewa maandiko? + +Yesu alifungua akili zao ili kwamba waweze kuelewa. + +# Yesu alisema nini kihubiriwe kwa mataifa yote? + +Toba na msamaha wa dhambi vihubiriwe kwa mataifa yote. + diff --git a/luk/24/48.md b/luk/24/48.md new file mode 100644 index 0000000..359b09e --- /dev/null +++ b/luk/24/48.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu aliwaambia kusubiri kwaajili nini wale wanafunzi? + +Aliwaambia wasubiri hadi watakapo vikwa nguvu kutoka juu. + diff --git a/luk/24/50.md b/luk/24/50.md new file mode 100644 index 0000000..5db84f7 --- /dev/null +++ b/luk/24/50.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kilitokea nini kwa Yesu alipowabariki wanafunzi karibu na Bethania? + +Alichukuliwa juu mbinguni. + diff --git a/luk/24/52.md b/luk/24/52.md new file mode 100644 index 0000000..8bf9718 --- /dev/null +++ b/luk/24/52.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wanafunzi walitumia wapi muda wao, na walifanyaje? + +Walikuwa wakiendelea katika hekalu, kumbariki Mungu. + diff --git a/manifest.yaml b/manifest.yaml new file mode 100644 index 0000000..a648638 --- /dev/null +++ b/manifest.yaml @@ -0,0 +1,281 @@ +dublin_core: + conformsto: 'rc0.2' + contributor: + - "Rev. Alex Nyuri" + - "GS. Andrew Gewe" + - "Bariki Malisa" + - "Rev. Catherin D. Matia" + - "Rev. Charles Mabisa" + - "Christina Abraham Kileo" + - "Ev. Cloud Roman" + - "Daniel Marura Chacha" + - "Rev. Dr. David Magoke" + - "Daudi Nungwana" + - "Dina Roman" + - "Rev. Donald Shadarck Dutuyi" + - "Rev. Elias Ndema" + - "Rev. Elisande Mhanga" + - "Emmanuel Masanja Mbaaga" + - "Emmanuel Nyamalya" + - "Rev. Erasmus Peter Malelo" + - "Ev. Ezekiel Daudi" + - "Ezekiel Manala" + - "Gabriel Gidale Merus" + - "Gabriel Lwitakubi Mazige" + - "Rev. Gungutu Elias" + - "Pst. Isack A. Gomugo" + - "Ev. James A. Makula" + - "James Semnkai" + - "Jeremiah Masasi" + - "Jesse Katabi Masolwa" + - "Pst. John Kerim" + - "Rev. John Ndaluka" + - "Pst. Jordan" + - "Joyce Gilbert Masasi" + - "Karen Riecks" + - "Kazwanomo" + - "Rev. Lameck Yakobo Tobotobo" + - "Laurent Petro Malelo" + - "Ev. Lazarus David Chalomhola" + - "Majama, Musa Isaya" + - "Makene Mafwele" + - "Marco Luma Mahushi" + - "Ev. Mathew Kazimoto" + - "Pst. Mathias William" + - "Ev. Moses Malugu" + - "Rev. Moses Eliakim Ndege" + - "Musa Luzali" + - "Rev. Philipo Mussa Kanwelle" + - "Raphael Musa" + - "Robert Ndalahwa" + - "Romantts" + - "Sadiki Kulwa" + - "Samson Nungwana" + - "Thobias Kazwanomo" + - "Rev. Yekonia M. Koko" + - "Rev. Yohana Batano" + - "Rev. Yohana S. Dutuyi" + - "Zelote Loilang'akaki Lukumay" + creator: 'Door43 World Missions Community' + description: 'Comprehension and theological questions for each chapter of the Bible. It enables translators and translation checkers to confirm that the intended meaning of their translations is clearly communicated to the speakers of that language.' + format: 'text/markdown' + identifier: 'tq' + issued: '2018-04-09' + language: + identifier: sw + title: 'Kiswahili' + direction: ltr + modified: '2018-04-09' + publisher: 'unfoldingWord' + relation: + - 'sw/obs' + - 'sw/obs-tn' + - 'sw/obs-tq' + - 'sw/tn' + - 'sw/tw' + - 'sw/ulb' + rights: 'CC BY-SA 4.0' + source: + - identifier: 'tn' + language: 'en' + version: '7' + subject: 'Bible translation comprehension questions' + title: 'translationQuestions' + type: 'help' + version: '7.1' + +checking: + checking_entity: + - "Rev. Erasmus Peter Malelo" + checking_level: '3' + +projects: + - + title: '1 Corinthians translationQuestions' + versification: '' + identifier: '1co' + sort: 46 + path: './1co' + categories: [] + - + title: '1 John translationQuestions' + versification: '' + identifier: '1jn' + sort: 62 + path: './1jn' + categories: [] + - + title: '1 Peter translationQuestions' + versification: '' + identifier: '1pe' + sort: 60 + path: './1pe' + categories: [] + - + title: '1 Thessalonians translationQuestions' + versification: '' + identifier: '1th' + sort: 52 + path: './1th' + categories: [] + - + title: '1 Timothy translationQuestions' + versification: '' + identifier: '1ti' + sort: 54 + path: './1ti' + categories: [] + - + title: '2 Corinthians translationQuestions' + versification: '' + identifier: '2co' + sort: 47 + path: './2co' + categories: [] + - + title: '2 John translationQuestions' + versification: '' + identifier: '2jn' + sort: 63 + path: './2jn' + categories: [] + - + title: '2 Peter translationQuestions' + versification: '' + identifier: '2pe' + sort: 61 + path: './2pe' + categories: [] + - + title: '2 Thessalonians translationQuestions' + versification: '' + identifier: '2th' + sort: 53 + path: './2th' + categories: [] + - + title: '2 Timothy translationQuestions' + versification: '' + identifier: '2ti' + sort: 55 + path: './2ti' + categories: [] + - + title: '3 John translationQuestions' + versification: '' + identifier: '3jn' + sort: 64 + path: './3jn' + categories: [] + - + title: 'Acts translationQuestions' + versification: '' + identifier: 'act' + sort: 44 + path: './act' + categories: [] + - + title: 'Colossians translationQuestions' + versification: '' + identifier: 'col' + sort: 51 + path: './col' + categories: [] + - + title: 'Ephesians translationQuestions' + versification: '' + identifier: 'eph' + sort: 49 + path: './eph' + categories: [] + - + title: 'Galatians translationQuestions' + versification: '' + identifier: 'gal' + sort: 48 + path: './gal' + categories: [] + - + title: 'Hebrews translationQuestions' + versification: '' + identifier: 'heb' + sort: 58 + path: './heb' + categories: [] + - + title: 'James translationQuestions' + versification: '' + identifier: 'jas' + sort: 59 + path: './jas' + categories: [] + - + title: 'John translationQuestions' + versification: '' + identifier: 'jhn' + sort: 43 + path: './jhn' + categories: [] + - + title: 'Jude translationQuestions' + versification: '' + identifier: 'jud' + sort: 65 + path: './jud' + categories: [] + - + title: 'Luke translationQuestions' + versification: '' + identifier: 'luk' + sort: 42 + path: './luk' + categories: [] + - + title: 'Matthew translationQuestions' + versification: '' + identifier: 'mat' + sort: 40 + path: './mat' + categories: [] + - + title: 'Mark translationQuestions' + versification: '' + identifier: 'mrk' + sort: 41 + path: './mrk' + categories: [] + - + title: 'Philemon translationQuestions' + versification: '' + identifier: 'phm' + sort: 57 + path: './phm' + categories: [] + - + title: 'Philippians translationQuestions' + versification: '' + identifier: 'php' + sort: 50 + path: './php' + categories: [] + - + title: 'Revelation translationQuestions' + versification: '' + identifier: 'rev' + sort: 66 + path: './rev' + categories: [] + - + title: 'Romans translationQuestions' + versification: '' + identifier: 'rom' + sort: 45 + path: './rom' + categories: [] + - + title: 'Titus translationQuestions' + versification: '' + identifier: 'tit' + sort: 56 + path: './tit' + categories: [] diff --git a/mat/01/01.md b/mat/01/01.md new file mode 100644 index 0000000..f20527b --- /dev/null +++ b/mat/01/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika ukoo wa Yesu Kristo, ni mababu wapi wameorodheshwa wa kwanza, kuonesha umuhimu wao? + +Mababu wawili walioorodheshwa wa kwanza ni Daudi na Ibrahimu. + diff --git a/mat/01/15.md b/mat/01/15.md new file mode 100644 index 0000000..3e56db1 --- /dev/null +++ b/mat/01/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mwishoni mwa orodha ya uzao, mke gani aliyetajwa na kwa nini ametajwa? + +Mariam, mke wa Yusufu ametajwa, kwasababu yeye ndiye alimzaa yesu. + diff --git a/mat/01/18.md b/mat/01/18.md new file mode 100644 index 0000000..626a282 --- /dev/null +++ b/mat/01/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nini kilitokea kwa Mariamu kabla hajawa pamoja na Yusufu? + +Mariamu alipata mimba kwa Roho Mtakatifu kabla hajawa pamoja na Yusufu. + +# Yusufu alikuwa mtu wa namna gani? + +Yusufu alikuwa mtu wa haki. + +# Yusufu aliamua kufanya nini alipogundua kuwa Mariamu alikuwa na mimba? + +Yusufu aliamua kuvunja uchumba na Mariamu kwa siri. + diff --git a/mat/01/20.md b/mat/01/20.md new file mode 100644 index 0000000..fa8ff61 --- /dev/null +++ b/mat/01/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini kilitokea kwa Yusufu kilichomfanya kubaki mchumba wa Mariamu? + +Malaika alimwambia Yusufu katika ndoto kumchukua Mariamu kama mke wake kwa sababu mtoto alichukuliwa mimba kwa Roho Mtakatifu. + +# Kwa nini Yusufu aliambiwa mtoto amwite jina Yesu? + +Yusufu aliambiwa amwite mtoto Yesu kwa sababau atawaokoa watu wake na dhambi zao. + diff --git a/mat/01/22.md b/mat/01/22.md new file mode 100644 index 0000000..2623453 --- /dev/null +++ b/mat/01/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini ambacho unabii wa Agano la Kale ulisema kilitimia katika matukio haya? + +Unabii wa Agano la Kale ulisema kuwa bikira atazaa mtoto wa kiume, na kwamba watamwita jina lake Emanueli, ambalo maana yake "Mungu pamoja nasi". + diff --git a/mat/01/24.md b/mat/01/24.md new file mode 100644 index 0000000..e634bca --- /dev/null +++ b/mat/01/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jambo gani ambalo Yusufu alikuwa mwangalifu asilifanye hadi pale Mariamu alipomzaa Yesu? + +Yusufu alikuwa mwangalifu kulala na Mariamu hadi pale alipomzaa Yesu. + diff --git a/mat/02/01.md b/mat/02/01.md new file mode 100644 index 0000000..c0aee58 --- /dev/null +++ b/mat/02/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yesu alizaliwa wapi? + +Yesu alizaliwa Bethlehemu ya Uyahudi. + +# Wenye hekima(mamajusi) kutoka mashariki walimpa cheo gani Yesu? + +Wenye hekima(mamajusi) kutoka mashariki walimpa Yesu cheo cha " Mfalme wa Wayahudi" + +# Wenye hekima(mamajusi) walifahamje kwamba Mfalme wa Wayahudi alikuwa amezaliwa? + +Wenye hekima(mamajusi) walikuwa wameona nyota ya Mfalme wa Wayahudi huko mashariki. + +# Mfalme Herode alikuwa na mwitikio gani juu ya habari kutoka kwa Wenye hekima(mamajusi)? + +Mfalme Herode aliposikia habari kutoka kwa Wenye hekima(mamajusi), alifadhaika. + diff --git a/mat/02/04.md b/mat/02/04.md new file mode 100644 index 0000000..13af9c7 --- /dev/null +++ b/mat/02/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wakuu wa makuhani na waandishi walifahamuje sehemu ambako Yesu angezaliwa? + +Walifahamu juu ya unabii uliosema Kristo angezaliwa katika Bethelehemu. + +# Wakuu wa makuhani na waandishi walifahamuje sehemu ambako Yesu angezaliwa? + +Walifahamu juu ya unabii uliosema Kristo angezaliwa katika Bethelehemu. + diff --git a/mat/02/09.md b/mat/02/09.md new file mode 100644 index 0000000..23c8c25 --- /dev/null +++ b/mat/02/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mamajusi waliwezaje kupata mahali penyewe Yesu alipozaliwa? + +Nyota kutoka mashariki iliwatangulia hadi ilisimama juu mahali alipozaliwa Yesu. + diff --git a/mat/02/11.md b/mat/02/11.md new file mode 100644 index 0000000..5c1ca38 --- /dev/null +++ b/mat/02/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yesu alikuwa wa umri gani wakati mamajusi walipo kuja kumwona? + +Yesu alikuwa mtoto mdogo wakati mamajusi walipo kuja kumwona. + +# Mamajusi walitoa zawadi gani kwa Yesu? + +Mamajusi walitoa zawadi ya dhahabu, manemane na uvumba kwa Yesu. + +# Mamajusi walirudi nyumbani kwa njia gani na kwanini walirudi kwa njia hii? + +Mamajusi walirudi nyumbani kwa njia nyingine kwa sababu Mungu aliwaonya katika ndoto kwamba wasirudi kwa Herode. + diff --git a/mat/02/13.md b/mat/02/13.md new file mode 100644 index 0000000..db3269b --- /dev/null +++ b/mat/02/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni maelekezo gani Yusufu aliyapokea katika ndoto? + +Yusufu alielekezwa katika ndoto kumchukua Yesu na Mariamu na kukimbilia Misri, kwa sababu Herode alikuwa anaelekea kujaribu kumuua Yesu. + +# Ni unabii gani ulitimia baadaye Yesu aliporudi kutoka Misri? + +Unabii wa " kutoka Misri nimemwita mwangu" ulitimizwa wakati Yesu aliporudi kutoka Misri? + diff --git a/mat/02/16.md b/mat/02/16.md new file mode 100644 index 0000000..269aa42 --- /dev/null +++ b/mat/02/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Herode alifanya nini wakati mamajusi walipoacha kurudi kwake? + +Herode aliwaua watoto wote wa kiume katika mkoa wa Bethlehemu waliokuwa wa umri wa miaka miwili au chini yake. + diff --git a/mat/02/19.md b/mat/02/19.md new file mode 100644 index 0000000..5c3b73a --- /dev/null +++ b/mat/02/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni maelekezo gani Yusufu aliyapokea katika ndoto baada ya Herode kufa? + +Yusufu alielekezwa katika ndoto kurudi katika nchi ya Israeli. + +# Ni maelekezo gani Yusufu aliyapokea katika ndoto baada ya Herode kufa? + +Yusufu alielekezwa katika ndoto kurudi katika nchi ya Israeli. + diff --git a/mat/02/22.md b/mat/02/22.md new file mode 100644 index 0000000..65d958b --- /dev/null +++ b/mat/02/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yusufu alifanya makazi wapi ya kuishi pamoja na Mariamu na Yesu? + +Yusufu alifanya makazi ya kuishi pamoja na Mariamu na Yesu Nazareti ya Galilaya. + +# Yusufu alifanya makazi wapi ya kuishi pamoja na Mariamu na Yesu? + +Yusufu alifanya makazi ya kuishi pamoja na Mariamu na Yesu Nazareti ya Galilaya. + +# Ni unabii gani ulitimia wakati Yusufu alipohamia kwenya makazi yao mapya? + +Unabii kuwa Kristo ataitwa Mnazorayo ulitimizwa. + diff --git a/mat/03/01.md b/mat/03/01.md new file mode 100644 index 0000000..6634542 --- /dev/null +++ b/mat/03/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yohana mbatiza alihubiri ujumbe gani nyikani? + +Yohana alihubiri "Tubuni kwa maana ufalme wa mbinguni u karibu". + +# Unabii wa Isaya ulisema Yohana mbatizaji angelikuja kufanya? + +Unabii ulisema kuwa Yohana Mbatizaji angetayarisha njia ya Bwana. + diff --git a/mat/03/04.md b/mat/03/04.md new file mode 100644 index 0000000..20ceb31 --- /dev/null +++ b/mat/03/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Watu walifanya nini baada ya kuwa wamebatizwa na Yohana? + +Walipokwisha kubatizwa, watu walitubu dhambi zao. + diff --git a/mat/03/07.md b/mat/03/07.md new file mode 100644 index 0000000..d44dcb4 --- /dev/null +++ b/mat/03/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yohana mbatizaji aliwaambia nini Masadukayo na Mafarisayo? + +Yohana mbatizaji aliwaambia Masadukayo na Mafarisayo wazae matunda kulingana na toba. + +# Yohana mbatizaji aliwaonya Masadukayo na Mafarisayo wasifikiri jambo gani miongoni mwao? + +Yohana mbatizaji aliwaonya Masadukayo na Mafarisayo wasifikiri miongoni mwao kuwa wanaye Ibrahimu kama baba yao. + diff --git a/mat/03/10.md b/mat/03/10.md new file mode 100644 index 0000000..b24c18c --- /dev/null +++ b/mat/03/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa mujibu wa Yohana, hutokea nini kwa kila mti usiozaa matunda mazuri? + +Yohana anasema kwamba kila mti usiozaa matunda mazuri hukutwa na kuanguka chini na kutupwa motoni. + +# Aliyekuwa anakuja baada ya Yohana angebatiza kwa namna gani? + +Aliyekuwa anakuja baada ya Yohana angebatiza kwa Roho Mtakatifu na moto. + diff --git a/mat/03/13.md b/mat/03/13.md new file mode 100644 index 0000000..174b99e --- /dev/null +++ b/mat/03/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alimwambia nini Yohana kichomshawishi ambatize? + +Yesu alimwambia kwamba ilikuwa haki kwa Yohana kumbatiza Yesu ili kutimiza haki yote. + diff --git a/mat/03/16.md b/mat/03/16.md new file mode 100644 index 0000000..409f588 --- /dev/null +++ b/mat/03/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu aliona nini alipotoka majini? + +Alipotoka majini, Yesu alimwona Roho wa Mungu akishuka kama njiwa na kuwa juu yake. + +# Sauti kutoka mbinguni ilisema nini baada ya Yesu kubatizwa? + +Sauti kutoka mbinguni ilisema, "huyu ni Mwanangu mpendwa, ninayependezwa naye". + diff --git a/mat/04/01.md b/mat/04/01.md new file mode 100644 index 0000000..15ce500 --- /dev/null +++ b/mat/04/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nani alimwongoza Yesu kwenda nyikani kujaribiwa na mwovu? + +Roho Mtakatifu alimwongoza Yesu kwenda nyikani kujaribiwa na mwovu. + +# Yesu alifunga kwa muda gani huko nyikani? + +Yesu alifunga siku arobaini mchana na usiku huko nyikani. + +# Jaribu gani la kwanza alilotoa mwovu kwa Yesu? + +Mwovu alimjaribu Yesu kugeuza jiwe liwe mkate. + +# Jibu la Yesu lilikuwaje katika jaribu la kwanza? + +Yesu alisema kwamba mtu hataishi kwa mkate peke yake, bali kwa kila neno litokalo kinywani mwa Mungu. + diff --git a/mat/04/05.md b/mat/04/05.md new file mode 100644 index 0000000..ef153fa --- /dev/null +++ b/mat/04/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni jaribu gani la pili ambalo mwovu alilitoa kwa Yesu? + +Mwovu alimjaribu Yesu kujitupa mwenyewe chini kutoka kwenye hekalu. + +# Ni jaribu gani la pili ambalo mwovu alilitoa kwa Yesu? + +Mwovu alimjaribu Yesu kujitupa mwenyewe chini kutoka kwenye hekalu. + diff --git a/mat/04/07.md b/mat/04/07.md new file mode 100644 index 0000000..89ed2a0 --- /dev/null +++ b/mat/04/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Jibu la Yesu lilikuwa nini kwa jaribu la pili? + +Yesu alisema kwamba usimjaribu Bwana Mungu wako. + +# Jaribu gani la tatu alilotoa mwovu kwa Yesu? + +Mwovu alimjaribu Yesu kumwabudu ili ampe falme zote za ulimwengu. + diff --git a/mat/04/10.md b/mat/04/10.md new file mode 100644 index 0000000..712a3af --- /dev/null +++ b/mat/04/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jibu la Yesu lilikuwa nini kwa jaribu la tatu? + +Yesu alisema kwamba yakupasa kumwabudu Bwana Mungu wako na kumtumikia yeye peke yake. + diff --git a/mat/04/14.md b/mat/04/14.md new file mode 100644 index 0000000..c1afc18 --- /dev/null +++ b/mat/04/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jambo gani lilitizwa Yesu alipokwenda Kaperanaumu ya Galilaya? + +Unabii wa Isaya ulitimizwa ambao uliosema kwmba watu wa Galilaya wangeona mwanga mkuu. + diff --git a/mat/04/17.md b/mat/04/17.md new file mode 100644 index 0000000..b10c6b6 --- /dev/null +++ b/mat/04/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni ujumbe gani hivyo Yesu alianza kuhubiri? + +Yesu alihubiri, "tubuni, kwa kuwa ufalme wa mbinguni umekaribia." + diff --git a/mat/04/18.md b/mat/04/18.md new file mode 100644 index 0000000..8f951ba --- /dev/null +++ b/mat/04/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Petro na Andrea waliishi kwa njia gani? + +Petro na Andrea walikuwa wavuvi. + +# Yesu aliwaambia Petro na Andrea atawafanya kuwa nani? + +Yesu aliwaambia Petro na Andrea atawafanya kuwa wavuvi wa watu. + diff --git a/mat/04/21.md b/mat/04/21.md new file mode 100644 index 0000000..1a2e589 --- /dev/null +++ b/mat/04/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yakobo na Yohana waliishi kwa namna gani? + +Yakobo na Yohana walikuwa wavuvi. + diff --git a/mat/04/23.md b/mat/04/23.md new file mode 100644 index 0000000..5599cd9 --- /dev/null +++ b/mat/04/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa wakati huu Yesu alienda wapi kufundisha? + +Yesu alifundisha katika masinagogi ya Galilaya. + +# Watu gani waliletwa kwa kwa Yesu na Yesu aliwafanyia nini? + +Wote waliokuwa wagonjwa na kupagawa na mapepo waliletwa kwa Yesu na Yesu aliwaponya. + +# Watu wangapi walikuwa wanafuatana na Yesu kwa kipindi hiki? + +Umati makubwa ulikuwa ulikuwa ukimfuata Yesu kwa wakati huu. + diff --git a/mat/05/01.md b/mat/05/01.md new file mode 100644 index 0000000..51e7d74 --- /dev/null +++ b/mat/05/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini walio masikini wa roho wamebarikiwa? + +Walio masikini wa roho wamebarikiwa kwa kuwa ufalme wa mbinguni ni wao. + +# Kwa nini wanohuzunika sasa wamebarikiwa? + +Wale ambao wanahuzunika wamebarikiwa kwa sababu watafarijiwa. + diff --git a/mat/05/05.md b/mat/05/05.md new file mode 100644 index 0000000..2e6baba --- /dev/null +++ b/mat/05/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini wanyenyekevu wamebarikiwa? + +Wanyenyekevu wamebarikiwa kwa sababu watarithi nchi. + +# kwa nini wenye kiu na njaa ya haki wamebarikiwa? + +Wenye kiu na njaa ya haki wamebarikiwa kwa sababu watashibishwa. + diff --git a/mat/05/11.md b/mat/05/11.md new file mode 100644 index 0000000..abec6dc --- /dev/null +++ b/mat/05/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini wale ambao wanatukanwa na kuteswa kwa ajili ya Yesu wamebarikiwa? + +Wale ambao wanatukanwa na kuteswa kwa ajili ya Yesu wamebarikiwa kwa sababu thawabu yao mbinguni ni kubwa. + diff --git a/mat/05/15.md b/mat/05/15.md new file mode 100644 index 0000000..0a9c387 --- /dev/null +++ b/mat/05/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nuru ya waumini huangazaje mbele ya watu? + +Nuru ya waumini huangaza mbele ya watu kwa kufanya matendo mema. + diff --git a/mat/05/17.md b/mat/05/17.md new file mode 100644 index 0000000..512e0fc --- /dev/null +++ b/mat/05/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alikuja kufanya nini na sheria na manabii wa Agano la Kale? + +Yesu alikuja kutimiza sheria na manabii wa Agano la Kale. + diff --git a/mat/05/19.md b/mat/05/19.md new file mode 100644 index 0000000..e93ce9f --- /dev/null +++ b/mat/05/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nani ataitwa mkubwa katika ufalme wa mbinguni? + +Wale ambao wazishikao amri na kuzifundisha kwa wengine wataitwa wakubwa katika ufalme wa mbinguni. + diff --git a/mat/05/21.md b/mat/05/21.md new file mode 100644 index 0000000..8e08209 --- /dev/null +++ b/mat/05/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alifundisha kwamba si tu wale ambao wanaua wako katika hatari ya hukumu, bali pia ambao hufanya nini? + +Yesu alifundisha kwamba si tu wale ambao wanaua, bali pia wale wanaowachukia ndugu zao wako katika hatari ya hukumu. + diff --git a/mat/05/23.md b/mat/05/23.md new file mode 100644 index 0000000..efaedbe --- /dev/null +++ b/mat/05/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alifundisha tunapaswa kufanya nini kama ndugu yetu ana jambo lolote dhidi yetu? + +Yesu alifundisha kwamba tunapaswa kumwendea na kupatanishwa na ndugu yetu kama ana jambo lolote dhidi yetu. + diff --git a/mat/05/25.md b/mat/05/25.md new file mode 100644 index 0000000..650831a --- /dev/null +++ b/mat/05/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alifundisha tunapaswa kufanya nini na mshtaki wetu kabla ya kufika mahakamani? + +Yesu alifundisha kwamba tunapaswa kukubaliana na mshtaki wetu kabla ya kufika mahakamani. + diff --git a/mat/05/27.md b/mat/05/27.md new file mode 100644 index 0000000..de499e0 --- /dev/null +++ b/mat/05/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alifundisha kwamba haikuwa tu sahihi kuzini, bali pia kufanya nini? + +Yesu alifundisha kuwa haikuwa tu sahhi kuzini, bali pia kumtamani mwanamke. + diff --git a/mat/05/29.md b/mat/05/29.md new file mode 100644 index 0000000..7514ee4 --- /dev/null +++ b/mat/05/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema yatulazimu kufanya nini na kitu chochote ambacho hutusababisha kutenda dhambi? + +Yesu alisema kwamba yatulazimu kukiondoa kitu chochote kile kinacho tusababisha kutenda dhambi. + diff --git a/mat/05/31.md b/mat/05/31.md new file mode 100644 index 0000000..c1a43db --- /dev/null +++ b/mat/05/31.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa swala gani Yesu aliruhusu talaka? + +Kwa swala la zinaa aliruhusu talaka. + +# Mume akimwacha mke wake isivyo sitahili na kuolewa tena anamsababisha kuwa? + +Mume anamsababisha mke wake kuwa mzinzi kama atamwacha isivyo sitahili na kuolewa tena. + diff --git a/mat/05/33.md b/mat/05/33.md new file mode 100644 index 0000000..0e00833 --- /dev/null +++ b/mat/05/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu anasema tunapaswa kufanya nini badala ya kuapa viapo kwa mbingu, kwa nchi, kwa Yerusalemu, au kwa kichwa? + +Yesu anasema kwamba badala ya kuapa viapo kwa vitu hivi vyote tunapaswa kusema ndio kuwa ni ndio au hapana kuwa ni hapana. + diff --git a/mat/05/36.md b/mat/05/36.md new file mode 100644 index 0000000..b98dd56 --- /dev/null +++ b/mat/05/36.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Badala ya kuapa kwa vitu mbalimbali vya kidunia Yesu anasema maneno yetu yawe ya namna gani? + +Yesu anasema badala ya kuapa kwa vitu tunapaswa maneno yetu yawe "Ndiyo, ndiyo" au "Hapana, hapana" + diff --git a/mat/05/38.md b/mat/05/38.md new file mode 100644 index 0000000..29dd9b5 --- /dev/null +++ b/mat/05/38.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alifundisha tunapaswa kufanya nini na yule aliye mbaya kwetu? + +Yesu alifundisha kwamba hatupaswi kumpinga yule ambaye ni mbaya kwetu. + diff --git a/mat/05/43.md b/mat/05/43.md new file mode 100644 index 0000000..f93d747 --- /dev/null +++ b/mat/05/43.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alifundisha tunapaswa kufanya nini na maadui wetu na wale ambao wanatutesa? + +Yesu alifundisha kwamba tunapaswa kuwapenda na kuwaombea maadui wetu na wale wanao tutesa. + diff --git a/mat/05/46.md b/mat/05/46.md new file mode 100644 index 0000000..5e71671 --- /dev/null +++ b/mat/05/46.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Yesu alisema haitulazimu kuwapenda tu wale ambao wanatupenda sisi, bali pia kuwapenda maadui wetu? + +Yesu lisema kwamba kama tunawapenda tu wale ambao wanatupenda sisi, hatupokei thawabu kwa sababu tunafanya tu kile Wamataifa tayari wanafanya. + diff --git a/mat/06/01.md b/mat/06/01.md new file mode 100644 index 0000000..03d04e5 --- /dev/null +++ b/mat/06/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Thawabu yao ni nini wale wanaofanya matendo ya haki ili watazamwe na watu? + +Wale wanaofanya matendo ya haki ili watazamwe na watu wanapokea sifa kutoka kwa watu kama thawabu yao. + diff --git a/mat/06/03.md b/mat/06/03.md new file mode 100644 index 0000000..c06fe33 --- /dev/null +++ b/mat/06/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Tufanye matendo ya haki kwa namna gani ili tupate thawabu toka kwa Baba? + +Tuapaswa kufanya matendo yetu ya haki katika faragha. + diff --git a/mat/06/05.md b/mat/06/05.md new file mode 100644 index 0000000..96359b6 --- /dev/null +++ b/mat/06/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Thawabu gani wanapata wale wanaoomba kinafiki ili watu wawaone? + +Wale wanaoomba kinafiki ili watu wawaone wanapokea thawabu yao kutoka kwa watu. + +# Wale wanaoomba katika faragha wanapokea thawabu toka kwa nani? + +Wale waombao katika faragha wanapokea thawabu kutoka kwa Baba. + +# Kwa nini Yesu anasema tusiombe kwa kurudia maneno yasiyo na maana? + +Yesu anasema tusiombe kwa kurudia maneno yasiyo na maana kwa sababu Baba anajua kitu gani tunahitaji hata kabla hatujamwomba yeye. + diff --git a/mat/06/08.md b/mat/06/08.md new file mode 100644 index 0000000..b3d0361 --- /dev/null +++ b/mat/06/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wapi tumwombe Baba ili mapenzi yake yafanyike? + +Tumwombe Baba ili mapenzi yake yafanyike hapa duniani kama yanavyofanyika mbinguni. + diff --git a/mat/06/14.md b/mat/06/14.md new file mode 100644 index 0000000..97c808b --- /dev/null +++ b/mat/06/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kama hatutawasemehe wengine makosa yao, Baba yetu atafanya nini? + +Kama hatutawasemehe wengine makosa yao, Baba yetu hatusamehe makosa yetu. + diff --git a/mat/06/16.md b/mat/06/16.md new file mode 100644 index 0000000..a335ff5 --- /dev/null +++ b/mat/06/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Tufunge kwa njia gani ili tupate thawabu kutoka kwa Baba? + +Tunapaswa kufunga bila kuonyesha watu kama tumefunga na ndipo Baba atatupatia thawabu. + diff --git a/mat/06/19.md b/mat/06/19.md new file mode 100644 index 0000000..3c0a431 --- /dev/null +++ b/mat/06/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Tunapaswa kutunaza wapi hazina zetu na kwa sababu gani? + +tunapaswa kutunza hazina zetu mbinguni kwa sababu haziwezi kuharibiwa au kuibiwa. + +# Nini kitakuwepo mahali pa hazina zetu? + +Mioyo yetu itakuwepo mahali zilipo hazina zetu. + diff --git a/mat/06/22.md b/mat/06/22.md new file mode 100644 index 0000000..db9f75c --- /dev/null +++ b/mat/06/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni mabwana gani wawili tunaopaswa kuchagua mmoja kati yao? + +Lazima tuchague kati ya Mungu na utajiri kama mabwana zetu. + diff --git a/mat/06/25.md b/mat/06/25.md new file mode 100644 index 0000000..eadbe62 --- /dev/null +++ b/mat/06/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini tusiwe na hofu kuhusu chakula,vinywaji na mavazi? + +Hatupaswi kuwa na hofu kuhusu chakula,vinywaji na mavazi kwa vile Baba anawalinda na kuwatunza ndege, na nasi tuna thamani zaidi kuliko wao. + diff --git a/mat/06/27.md b/mat/06/27.md new file mode 100644 index 0000000..f6a6bbb --- /dev/null +++ b/mat/06/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu anatukumbusha nini amabcho hatuwezi kufanya kwa kuwa na wasiwasi? + +Yesu anatukumbusha sisi kwamba hatuwezi kuongeza kipimo kimoja cha maisha ya kuishi kwa kuwa na wasiwasi + diff --git a/mat/06/32.md b/mat/06/32.md new file mode 100644 index 0000000..99bb1c7 --- /dev/null +++ b/mat/06/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kitu gani tunapaswa kutafuta kwanza na mahitaji yetu yote ya kimwili tutapatiwa? + +Ni lazima tutafute kwanza ufalme na haki ya Baba na baada ya hapo mahitajiyetu yote ya mwilini tutapatiwa. + diff --git a/mat/07/01.md b/mat/07/01.md new file mode 100644 index 0000000..f63c248 --- /dev/null +++ b/mat/07/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini cha lazima cha kufanya kwanza kabla yya kuona vizuri na kuwasaidia ndugu? + +Ni lazima kwanza kujihukumu wenyewe na kutoa gogo kwenye macho yako kabla ya kusaidia ndugu zetu. + diff --git a/mat/07/03.md b/mat/07/03.md new file mode 100644 index 0000000..28d5ca1 --- /dev/null +++ b/mat/07/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Tunapaswa kufanya nini kwanza kabla yakutaka kumsaidia ndugu yetu? + +Tunapaswa kwanza kujihukumu wenyewe na kuondoa gogo kutoka kwenye macho yetu ndipo tuweze kumsaidia ndugu yetu. + diff --git a/mat/07/06.md b/mat/07/06.md new file mode 100644 index 0000000..f222929 --- /dev/null +++ b/mat/07/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kitatokea endapo utawapa kitu kitakatifu mbwa? + +Endapo utawapa kitu kitakatifu mbwa, watakivuruga hicho na tena kukugeukia na kukularua vipande. + diff --git a/mat/07/07.md b/mat/07/07.md new file mode 100644 index 0000000..6433419 --- /dev/null +++ b/mat/07/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Tunapaswa kufanya nini ili tupokee kutoka kwa Baba? + +Lazima tuombe, tutafute na kubisha ili kupokea kutoka kwa Baba. + diff --git a/mat/07/11.md b/mat/07/11.md new file mode 100644 index 0000000..428c4c0 --- /dev/null +++ b/mat/07/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mungu anawapa nini kwa wale wanaomwomba yeye? + +Mungu anawapa vitu wale wanaomwomba. + +# Sheria na manabii inatufundisha nini juu ya matendo yetu kwa wengine? + +Sheria na manabii inatufundisha kuwatendea wengine matendo ambayo nasisi tunapenda watu tutendewe + diff --git a/mat/07/13.md b/mat/07/13.md new file mode 100644 index 0000000..d8f8a58 --- /dev/null +++ b/mat/07/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Njia pana inaongoza kwenda wapi? + +Njia pana inaongoza kwenye uharibifu + diff --git a/mat/07/15.md b/mat/07/15.md new file mode 100644 index 0000000..12fc8f5 --- /dev/null +++ b/mat/07/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Tunawezaje kuwatambua manabii wa uongo? + +Tunaweza kuwatambua manabii wa uongo kwa matunda ya maisha yao. + diff --git a/mat/07/21.md b/mat/07/21.md new file mode 100644 index 0000000..5619efa --- /dev/null +++ b/mat/07/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nani ataingia katika ufalme wa mbinguni? + +Wale wanaofanya mapenzi ya Baba wataingia katika ufalme wa mbinguni. + +# Yesu atawaambia nini wengi ambao walitoa utabiri, kufukuza pepo na kufanya miujiza kwa jina la Yesu? + +Yesu atawaambia " sikuwatambua ninyi! Ondokeni kwangu , ninyi watenda mabaya"! + diff --git a/mat/07/24.md b/mat/07/24.md new file mode 100644 index 0000000..21ac62c --- /dev/null +++ b/mat/07/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nani ni kama mtu mwenye hekima katika mfano waYesu wa nyumba mbili? + +Yule anayesikia maneno ya Yesu na kuyatii ni kama mtu mwenye hekima. + diff --git a/mat/07/26.md b/mat/07/26.md new file mode 100644 index 0000000..19d76df --- /dev/null +++ b/mat/07/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nani ni kama mtu mpumbavu katika mfano wa Yesu wa nyumba mbili? + +Yule anayesikia maneno ya Yesu na asiyatii ni kama mtu mpumbavu. + diff --git a/mat/07/28.md b/mat/07/28.md new file mode 100644 index 0000000..84db23c --- /dev/null +++ b/mat/07/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu aliwafundishaje watu ikilinganishwa na waandishi walivyofundisha? + +Yesu aliwafundihsa watu kama mtu mwenye mamlaka , si kama waandishi. + diff --git a/mat/08/04.md b/mat/08/04.md new file mode 100644 index 0000000..3e1667d --- /dev/null +++ b/mat/08/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Yesu alimwambia aliyeponywa ukoma aende kwa kuhani na kutoa zawadi ambayo Musa aliagiza? + +Yesu alimwambia mkoma aliyeponywa kwenda kwa kuhani kwa ushuhuda wao. + diff --git a/mat/08/05.md b/mat/08/05.md new file mode 100644 index 0000000..09522dd --- /dev/null +++ b/mat/08/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema atafanya nini alipoambiwa na Jemedari kuhusu mtumishi wake aliyepooza? + +Yesu alisema angeenda kwenye nyumba ya jemedari na kumponya mtumishi wake. + diff --git a/mat/08/08.md b/mat/08/08.md new file mode 100644 index 0000000..8f5694a --- /dev/null +++ b/mat/08/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini jemedari alisema kwamba Yesu hakuwa na sababu ya kwenda nyumbani kwake? + +Jemedari alisema kwamba yeye hanakuwa na thamani kwa Yesu kuingia katika nyumba yake na kwamba Yesu angeweza kusema neno tu na kumponya mtumishi. + +# Yesu alitoa sifa gani kwa jemedari? + +Yesu alisema kwamba hata katika Israeli hajawahi kuona mtu mwenye imani kuu kama jemedari. + diff --git a/mat/08/11.md b/mat/08/11.md new file mode 100644 index 0000000..d70ad8c --- /dev/null +++ b/mat/08/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema nani atakuja na kuketi katika meza katika ufalme wa Mbinguni? + +Yesu alisema kwamba wengi watakuja kutoka mashariki na magharibi na kuketi katika meza katika ufalme wa Mungu. + +# Yesu alisema nani watatupwa katika giza la nje ambapo kuna kilio na kusaga meno? + +Yesu alisema kuwa wana wa ufalme wangetupwa katika giza la nje. + diff --git a/mat/08/14.md b/mat/08/14.md new file mode 100644 index 0000000..ebecf8b --- /dev/null +++ b/mat/08/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alimponya nani alipoingia katika nyumba ya Petro? + +Yesu alimponya mama mkwe wa Petro alipoingia kwenye nyumba ya Petro. + diff --git a/mat/08/16.md b/mat/08/16.md new file mode 100644 index 0000000..1d332de --- /dev/null +++ b/mat/08/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni unabii gani kutoka kwa Isaya ulitimia pale Yesu alipowaponya wote waliopagawa na mapepo na wagonjwa? + +Unabii wa Isaya,"Yeye mwenyewe alichukua magonjwa yetu na alibeba maradhi yetu" ulitimia. + diff --git a/mat/08/18.md b/mat/08/18.md new file mode 100644 index 0000000..e124b12 --- /dev/null +++ b/mat/08/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema alikuwa anaishi kwa njia gani pale mwandishi alipomwomba amfuate? + +Yesu alisema hakuwa na nyumba ya kudumu. + diff --git a/mat/08/21.md b/mat/08/21.md new file mode 100644 index 0000000..bc2ab9d --- /dev/null +++ b/mat/08/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kipindi mwanafunzi anaomba kwenda kumzika baba yake kabla ya kumfuata yesu, Yesu alimwambia nini? + +Yesu alimwambia mwanafunzi kumfuata yeye na kuacha wafu kuzika wafu wenzao + diff --git a/mat/08/23.md b/mat/08/23.md new file mode 100644 index 0000000..8a45e03 --- /dev/null +++ b/mat/08/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alikuwa anafanya nini kwenye mtumbwi yalipotokea dhoruba baharini? + +Yesu alikuwa amelala wakati dhiruba kuu inatokea juu ya bahari. + diff --git a/mat/08/26.md b/mat/08/26.md new file mode 100644 index 0000000..70cb630 --- /dev/null +++ b/mat/08/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kipindi wanafunzi wanamwamsha Yesu kwa sababu waliogopa kuangamia, Yesu alisema nini kwao? + +Yesu aliwaambia wanafunzi, "Kwa nini mnaogopa, ninyi wenye imani ndogo"? + +# Kwa nini wanafunzi walimshangaa Yesu baada ya kuwa na utulivu? + +Wanafunzi walimshangaa Yesu kwa sababu upepo na bahari vilimtii. + diff --git a/mat/08/28.md b/mat/08/28.md new file mode 100644 index 0000000..ff31ad9 --- /dev/null +++ b/mat/08/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mtu wa aina gani Yesu alikutana naye wakati alipokuja kwenye nchi ya Wagerasi + +Yesu alikutana na watu wawili waliopagawa na pepo ambao walikuwa wasumbufu + +# Pepo walioonge nini kupitia yule mtu kwa Yesu? + +Pepo waliongea kuhusu kuja kwa Yesu kuwatesa kabla ya wakati kufika. + diff --git a/mat/08/30.md b/mat/08/30.md new file mode 100644 index 0000000..b649ae9 --- /dev/null +++ b/mat/08/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilitokea wakati Yesu alipofukuza pepo? + +Wakati Yesu alipowafukuza pepo, waliingia katika kundi la nguruwe na wale nguruwe wakakimbilia majini na kuangamia. + diff --git a/mat/08/33.md b/mat/08/33.md new file mode 100644 index 0000000..8006cb3 --- /dev/null +++ b/mat/08/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Watu walimsihi Yesu afanye nini walipotoka mjini kuja kuonana naye? + +Watu walimsihi Yesu aondoke katika mkoa wao. + diff --git a/mat/09/03.md b/mat/09/03.md new file mode 100644 index 0000000..ccaf4ea --- /dev/null +++ b/mat/09/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini baadhi ya walimu wa sheria walifikiri kwamba Yesu alimkufuru Mungu? + +Baadhi ya walimu wa sheria walifikiri kwamba Yesu alimkufuru Mungu kwa sababu Yesu alimwambia mtu aliyepooza kwamba dhambi zako zimesamehewa. + +# Kwa nini Yesu alikuwa amemwambia aliyepooza kwamba dhambi zako zimesamehewa badala ya kumwambia simama na utembee? + +Yesu alimwambia aliyepooza dhambi zako zimesamehewa ili kuonyesha kuwa anayo mamlaka duniani kusamehe dhambi. + diff --git a/mat/09/07.md b/mat/09/07.md new file mode 100644 index 0000000..ceff1b0 --- /dev/null +++ b/mat/09/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini watu walimsifu Mungu walipoona mtu aliyepooza amesamehewa dhambi na kuponywa? + +Walishangaa na kumsifu Mungu aliyewapa mamlaka kama hayo kwa watu. + +# Mathayo alikuwa na kazi gani kabla ya kumfuata Yesu? + +Mathayo alikuwa mtoza ushuru kabla ya kumfuata Yesu. + diff --git a/mat/09/10.md b/mat/09/10.md new file mode 100644 index 0000000..ac31830 --- /dev/null +++ b/mat/09/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu pamoja na wanafunzi wake walikula na nani? + +Yesu na wanafunzi wake walikula pamoja na watoza ushuru na watu wenye dhambi. + diff --git a/mat/09/12.md b/mat/09/12.md new file mode 100644 index 0000000..1f56d2a --- /dev/null +++ b/mat/09/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema ni akina nani alikuja kuwaita ili watubu? + +Yesu alisema alikuja kuwaita mwenye dhambi ili watubu + diff --git a/mat/09/14.md b/mat/09/14.md new file mode 100644 index 0000000..600b68c --- /dev/null +++ b/mat/09/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema ni kwa nini wanafunzi wake walikuwa hawafungi? + +Yesu alisema wanafunzi wake walikuwa hawafungi kwa sababu awakuwa bado yupo pamoja nao. + +# Ni wakati gani Yesu alisema wanafunzi wake wangeweza kufunga? + +Yesu alisema wangeweza kufunga wakati atakapokuwa amechukuliwa kutoka kwao. + diff --git a/mat/09/20.md b/mat/09/20.md new file mode 100644 index 0000000..8c51c17 --- /dev/null +++ b/mat/09/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mwanamke aliyetokwa na damu kwa wingi alifanya nini na kwa nini? + +Mwanamke aliyetokwa na damu kwa wingi aligusa sehemu la nguo ya Yesu akifikiri kwamba endapo atagusa nguo yake tu, atapata uponya na kuwa mzima. + +# Yesu alisema kitu gani kilimponya mwanamke mwenye kutokwa damu kwa wingi? + +Yesu alisema mwanamke mwenye kutokwa damu nyingi alinywa kwa imani yake. + diff --git a/mat/09/23.md b/mat/09/23.md new file mode 100644 index 0000000..62fab59 --- /dev/null +++ b/mat/09/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini watu walimcheka Yesu alipoingia kwenye nyumba ya afisa wa kiyahudi? + +Watu walimcheka Yesu kwa sababu alisema binti alikuwa hajafa bali amelala. + diff --git a/mat/09/25.md b/mat/09/25.md new file mode 100644 index 0000000..488010c --- /dev/null +++ b/mat/09/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilitikea baada ya Yesu kumfufua binti? + +Habari kuhusu Yesu kumfufua binti zilienea katika mji wote. + diff --git a/mat/09/27.md b/mat/09/27.md new file mode 100644 index 0000000..bdcd0df --- /dev/null +++ b/mat/09/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wale vipofu wawili walipiga kelele gani kwa Yesu? + +Vipofu wawili waliendelea kupiga kelele, "utuhurumie sisi, mwana wa Daudi + diff --git a/mat/09/29.md b/mat/09/29.md new file mode 100644 index 0000000..1fded2d --- /dev/null +++ b/mat/09/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu aliwaponya vipofu wawili kutokana na nini? + +Yesu aliwaponya vipofu wawili kutokana na imani yao. + diff --git a/mat/09/32.md b/mat/09/32.md new file mode 100644 index 0000000..1df4033 --- /dev/null +++ b/mat/09/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baada ya Yesu kumponya bubu, Mafarisayo walitoa shutuma gani dhidi yake? + +Mafarisayo walimshutumu Yesu kuwa alitoa mapepo kwa nguvu ya mkuu wa mapepo? + diff --git a/mat/09/35.md b/mat/09/35.md new file mode 100644 index 0000000..ca7aad9 --- /dev/null +++ b/mat/09/35.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Yesu aliuhurumia umati? + +Yesu aliwaonea huruma umati kwa sababu kwa sababu walisumbuka na kuvunjika moyo, na walikuwa kama kondoo wasio na mchungaji. + diff --git a/mat/09/37.md b/mat/09/37.md new file mode 100644 index 0000000..b0fcf63 --- /dev/null +++ b/mat/09/37.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu aliwaambia wanafunzi wake ni muhimu waombee nini? + +Yesu aliwaambia wanafunzi wake ni muhimu waombe kwamba Bwana wa mavuno atume wafanyakazi katika mavuno. + diff --git a/mat/10/01.md b/mat/10/01.md new file mode 100644 index 0000000..b516902 --- /dev/null +++ b/mat/10/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mamlaka gani Yesu aliwapa wanafunzi wake kumi na wawili? + +Yesu aliwapa wanafunzi wake kumi na wawili mamlaka ya kutoa pepo wachafu, na kuponya magonjwa ya kila namna. + diff --git a/mat/10/02.md b/mat/10/02.md new file mode 100644 index 0000000..d52b981 --- /dev/null +++ b/mat/10/02.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni jina gani la mwanafunzi ambaye angemsaliti Yesu? + +Jina la mwanafunzi ambaye angemsaliti Yesu alikuwa Yuda Iskariote. + diff --git a/mat/10/05.md b/mat/10/05.md new file mode 100644 index 0000000..bce6b80 --- /dev/null +++ b/mat/10/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu aliwatuma wapi wanafunzi wake kwa wakati huu? + +Yesu aliwatuma wanafunzi wake kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli tu. + diff --git a/mat/10/08.md b/mat/10/08.md new file mode 100644 index 0000000..9d6a1ea --- /dev/null +++ b/mat/10/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wanafunzi walipaswa kubeba pesa yoyote au mavazi ya ziada? + +Hapana, wanafunzi hawakupaswa kubeba pesa yoyote au mavazi ya ziada. + diff --git a/mat/10/11.md b/mat/10/11.md new file mode 100644 index 0000000..e277c69 --- /dev/null +++ b/mat/10/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wanafunzi wa Yesu walipaswa kukaa wapi walipokwenda kijiji kwa kijiji? + +Wanafunzi walipasa kutafuta mtu ambaye ni anayestahili katika kijiji na kukaa mpaka walipoondoka. + diff --git a/mat/10/14.md b/mat/10/14.md new file mode 100644 index 0000000..7d6b72a --- /dev/null +++ b/mat/10/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kutakuwa na hukumu gani katika miji ambayo haikuwakaribisha wanafunzi au kuwasikiliza maneno yao? + +Hukumu katika miji ambayo haikuwapokea wanafunzi au kusikiliza maneno yao itakuwa mbaya zaidi kuliko hukumu ya Sodoma na Gomora. + diff --git a/mat/10/16.md b/mat/10/16.md new file mode 100644 index 0000000..083ab56 --- /dev/null +++ b/mat/10/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema watu wangeliwatendea nini wanafunzi? + +Yesu alisema watu wangewapeleka wanafunzi kwenye mabaraza, watawapiga na kuwapeleka mbele ya wakuu na wafalme. + diff --git a/mat/10/19.md b/mat/10/19.md new file mode 100644 index 0000000..3948720 --- /dev/null +++ b/mat/10/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nani ataongea ndani ya wanafunzi watakapokuwa wamekamatwa? + +Roho wa Baba ataongea ndani ya wanafunzi watakapokuwa wamekamatwa + diff --git a/mat/10/21.md b/mat/10/21.md new file mode 100644 index 0000000..a9cc376 --- /dev/null +++ b/mat/10/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema ni kina nani hatimaye wataokolewa? + +Yesu alisema wataokolewa wale watakaovumilia hadi mwisho. + diff --git a/mat/10/24.md b/mat/10/24.md new file mode 100644 index 0000000..a7783b3 --- /dev/null +++ b/mat/10/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa namna gani wale waliomchukia Yesu wangewatendea wanafunzi wa Yesu? + +Wale waliomchukia Yesu pia wangewachukia wanafunzi wake. + diff --git a/mat/10/28.md b/mat/10/28.md new file mode 100644 index 0000000..bef7f63 --- /dev/null +++ b/mat/10/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je ni nani Yesu alisema tusiwaogope? + +Tusiwaogope wale wauao mwili lakini hawawezi kuua roho. + +# Je ni nani Yesu alisema tumwogope? + +Tunapaswa kumwogopa yeye awezaye kuangamiza mwili na roho katika jehanamu + diff --git a/mat/10/32.md b/mat/10/32.md new file mode 100644 index 0000000..425d11b --- /dev/null +++ b/mat/10/32.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je Yesu atafanya nini kwa kila mtu anaye mkiri mbele za watu? + +Yesu atamkiri yeye mbele za Baba yake wa mbinguni + +# Je Yesu atafanya nini kwa kila mtu anaye mkana mbele za watu? + +Yesu pia atamkana mtu huyo mbele Baba wa mbinguni + diff --git a/mat/10/34.md b/mat/10/34.md new file mode 100644 index 0000000..32b8665 --- /dev/null +++ b/mat/10/34.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni migawanyiko ya aina gani Yesu alisema alikuja kuileta? + +Yesu alisema kwamba alikuja kuleta mgawanyiko hata ndani ya familia. + diff --git a/mat/10/37.md b/mat/10/37.md new file mode 100644 index 0000000..48f0284 --- /dev/null +++ b/mat/10/37.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mtu anayepoteza maisha yake kwa ajili ya Yesu atapata nini? + +Mtu anayepoteza maisha yake kwa ajili ya Yesu atayapata maisha yake. + diff --git a/mat/10/42.md b/mat/10/42.md new file mode 100644 index 0000000..9d1f190 --- /dev/null +++ b/mat/10/42.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini atakachopokea yule anaye toa hata kikombe cha maji baridi kwa mwanafunzi asiye na umuhimu ? + +Mtu ambaye humpatia hata kikombe cha maji baridi kwa mwanafunzi asiye na umuhimu atapokea zawadi yake. + diff --git a/mat/11/01.md b/mat/11/01.md new file mode 100644 index 0000000..000ab82 --- /dev/null +++ b/mat/11/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alikamilisha jambo gani kabla ya kuondoka kwenda kufundisha na kuhubiri kwenye miji? + +Kabla ya kuondoka Yesu akamilisha kuwapa maelekezo wanafunzi wake kumi na wawili. + +# Yohana Mbatizaji alituma ujumbe gani kwa Yesu? + +Yohana Mbatizaji alituma ujumbe, "Wewe ni yule ajaye, au kuna mwingine tunapaswa kumtazamia?" + diff --git a/mat/11/04.md b/mat/11/04.md new file mode 100644 index 0000000..67d634c --- /dev/null +++ b/mat/11/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema kitu gani kilikuwa kinatokea kama ushahidi kwa yule ajaye? + +Yesu alisema wagonjwa walikuwa wanaponywa, wafu wanafufufliwa, na wahitaji kuhubiriwa habari njema. + +# Yesu aliahidi nini kwa kwa wale wasiojikwaa dhidi yake? + +Yesu aliahidi baraka kwa wale wasiojikwaa dhidi yake. + diff --git a/mat/11/09.md b/mat/11/09.md new file mode 100644 index 0000000..2ea0f70 --- /dev/null +++ b/mat/11/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema Yohana Mbatizaji alikuwa na wajibu gani katika maisha yake? + +Yesu alisema Yohana Mbatizaji alikuwa ni mjumbe aliyetabiliwa ambaye angeandaa njia kabla ya kuja yule ajaye. + diff --git a/mat/11/13.md b/mat/11/13.md new file mode 100644 index 0000000..d727706 --- /dev/null +++ b/mat/11/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema Yohana Mbatizaji alikuwa ni nani? + +Yesu alisema kuwa Yohana Mbatizaji alikuwa Eliya. + diff --git a/mat/11/18.md b/mat/11/18.md new file mode 100644 index 0000000..06e60ee --- /dev/null +++ b/mat/11/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Watu wa kizazi kile walisema nini kuhusu Yohana Mbatizaji aliyekuja hali mkate wala kunywa divai? + +Watu wa kizazi kile walisema Yohana alikuwa na pepo + +# Watu wa kizazi kile walisema nini kuhusu Yesu aliyekuja akila na kunywa? + +KWatu wa kizazi kile walisema mrafi na mlevi, na rafiki wa watoza ushuru na wenye dhambi. + diff --git a/mat/11/20.md b/mat/11/20.md new file mode 100644 index 0000000..cac001a --- /dev/null +++ b/mat/11/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alitamka ninki kuhusu miji ambayo alifanya matendo makuu lakini bado walikuwa hawajatubu? + +Yesu aliikemea miji ile ambayo alifanya matendo makuu lakini walikuwa bado hawajatubu. + diff --git a/mat/11/25.md b/mat/11/25.md new file mode 100644 index 0000000..4bceb65 --- /dev/null +++ b/mat/11/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yesu alimtukuza Baba kwa kumficha nani ufalme wa mbinguni? + +Yesu alimtukuza Baba kwa kuwaficha wenye hekima na akili habari za ufalme wa mbinguni. + +# Yesu alimtukuza Baba kwa kumfunulia nani ufalme wa mbinguni? + +Yesu alimtukuza Baba kwa kuwafunua habari za ufalme wa mbinguni wasio na elimu, na ambao wapo kama watoto wadogo + +# Yesu alisema ni nani anayemjua Baba? + +Yesu alisema yeye ndiye anayemjua Baba na yeyote ambaye anapenda kumfunulia. + diff --git a/mat/11/28.md b/mat/11/28.md new file mode 100644 index 0000000..5ab7a79 --- /dev/null +++ b/mat/11/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu aliahidi pumziko kwa nani? + +Yesua aliahidi pumziko kwa wote wanaosumbuka na wenye mizigo mizito. + diff --git a/mat/12/01.md b/mat/12/01.md new file mode 100644 index 0000000..7491310 --- /dev/null +++ b/mat/12/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wanafunzi wa Yesu walikuwa wanafanya nini walipolalamikiwa na mafarisayo? + +Mafarisayo walilalamika kuwa wanafunzi wa Yesu walikuwa wakivunja na suke ya ngano na kula, jambo ambalo Mafarisayo waliamini halikuwa halali kufanyika siku ya sabato. + diff --git a/mat/12/05.md b/mat/12/05.md new file mode 100644 index 0000000..289aa78 --- /dev/null +++ b/mat/12/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema ni nani alikuwa mkuu kuliko hekalu? + +Yesu alisema alikuwa mkuu kuliko hekalu. + diff --git a/mat/12/07.md b/mat/12/07.md new file mode 100644 index 0000000..9c5d177 --- /dev/null +++ b/mat/12/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu mwana wa Adamu anamamlaka gani? + +Yesu, mwana wa Adamu ni Bwana wa sabato + diff --git a/mat/12/09.md b/mat/12/09.md new file mode 100644 index 0000000..34eb32a --- /dev/null +++ b/mat/12/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mafarisayo walimuuliza swali gani Yesu ndani ya sinagogi mbele ya mtu ya mwenye mkono uliopooza? + +Mafarisayo walimuuliza Yesu "Je, ni halali kuponya siku ya Sabato?" + diff --git a/mat/12/11.md b/mat/12/11.md new file mode 100644 index 0000000..e96fc46 --- /dev/null +++ b/mat/12/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema ilikuwa halali kufanya nini siku ya sabato? + +Yesu alisema likuwa ni halali kutenda mema siku ya Sabato. + diff --git a/mat/12/13.md b/mat/12/13.md new file mode 100644 index 0000000..ce71050 --- /dev/null +++ b/mat/12/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mafarisayo walipoona Yesu amemponya mwenye mkono uliopooza walifanya nini? + +Mafarisayo walitoka nje na na kupanga njama dhidi yake na kutafuta jinsi ya kumwangamiza. + diff --git a/mat/12/18.md b/mat/12/18.md new file mode 100644 index 0000000..3d151e0 --- /dev/null +++ b/mat/12/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika unabii wa Isaya kuhusu Yesu, nani angesikia hukumu ya Mungu na kuwa na matumaini kwa Yesu? + +Watu wa mataifa wangesikia hukumu ya Mungu na kumtumaini Yesu. + diff --git a/mat/12/19.md b/mat/12/19.md new file mode 100644 index 0000000..8ed467b --- /dev/null +++ b/mat/12/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika unabii wa Isaya kuhusu Yesu, jambo gani Yesu asingelifanya? + +Yesu hatalia kwa nguvu, hatavunja tete lilichubuka, au kuuzima utambi unaotoa moshi. + diff --git a/mat/12/26.md b/mat/12/26.md new file mode 100644 index 0000000..5bac1b5 --- /dev/null +++ b/mat/12/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema nini juu ya tuhuma kwamba alitoa mapepo kwa nguvu ya Belizabuli? + +Yesu alisema kuwa kama shetani anampinga Shetani, basi je ufalme wa Shatani utasimama? + diff --git a/mat/12/28.md b/mat/12/28.md new file mode 100644 index 0000000..e01e711 --- /dev/null +++ b/mat/12/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema jambo gani lilikuwa likitokea kama alikuwa anatoa pepo kwa Roho wa Mungu? + +Yesu alisema kwamba ufalme wa Mungu umekuja juu yao kama alikuwa anatoa mapepo kwa Roho wa Mungu. + diff --git a/mat/12/31.md b/mat/12/31.md new file mode 100644 index 0000000..c2a444e --- /dev/null +++ b/mat/12/31.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema ni dhambi gani haina hatasamehewa? + +Yesu alisema kufuru dhidi ya Roho haitasamehewa. + diff --git a/mat/12/33.md b/mat/12/33.md new file mode 100644 index 0000000..4c19ff5 --- /dev/null +++ b/mat/12/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mtu hujulikana kwa namna gani? + +Mtu hujulikana kwa matunda yake. + diff --git a/mat/12/36.md b/mat/12/36.md new file mode 100644 index 0000000..01673c8 --- /dev/null +++ b/mat/12/36.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema kwa jambo gani Mafarisayo wangepata hukumu na haki? + +Yesu alisema kuwa Mafarisayo wangepata hukumu na haki kwa maneno yao. + diff --git a/mat/12/38.md b/mat/12/38.md new file mode 100644 index 0000000..f71e020 --- /dev/null +++ b/mat/12/38.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema ni ishara gani angetoa katika kizazi chache? + +Yesu alisema katika kizazi chake angetoa ishara ya Yona, kuwa ndani ya moyo wa nchi kwa siku tatu mchana na usiku. + diff --git a/mat/12/41.md b/mat/12/41.md new file mode 100644 index 0000000..3468b56 --- /dev/null +++ b/mat/12/41.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema ni nani alikuwa mkuu kuliko Yona? + +Yesu alisema Yeye alikuwa mkuu kuliko Yona. + +# Kwa nini watu wa Ninawi watawahukumu wa kizazi cha Yesu? + +Watu wa Ninawi watakihukumu kizazi cha Yesu kwa sababu walisikia ujumbe wa Mungu kwa Yona lakini kizazi cha Yesu hakikusikiliza ujumbe wa Mwana wa Adamu ambaye ni mkuu kuliko Yona. + diff --git a/mat/12/42.md b/mat/12/42.md new file mode 100644 index 0000000..b168154 --- /dev/null +++ b/mat/12/42.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema ni nani alikuwa mkuu kuliko Selemani? + +Yesu alisema kuwa Yeye alikuwa mkuu kuliko Sulemani. + diff --git a/mat/12/43.md b/mat/12/43.md new file mode 100644 index 0000000..39206ce --- /dev/null +++ b/mat/12/43.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kizazi cha Yesu kitamwacha na kufanana na mtu mwenye pepo mchafu kwa namna gani? + +Kizazi cha Yesu kitamwacha na kufanana na mtu mwenye roho mchafu kwa sababu roho mchafu hurudi na roho wachafu wengine saba na hali mwisho ya mtu huwa mbaya zaidi kuliko ya kwanza. + diff --git a/mat/12/48.md b/mat/12/48.md new file mode 100644 index 0000000..f05cdc6 --- /dev/null +++ b/mat/12/48.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema ni nani walikuwa ndugu zake na mama yake? + +Yesu alisema wale wanaofanya mapenzi ya Baba ni ndugu zake na ni mama yake. + diff --git a/mat/13/03.md b/mat/13/03.md new file mode 100644 index 0000000..b2ce2b3 --- /dev/null +++ b/mat/13/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Katika mfano wa Yesu wa mpanzi, kilitokea nini kwenye mbegu zilizoanguka kando ya njia? + +Mbegu zilizoanguka kando ya njia zililiwa na ndege. + +# Katika mfano wa Yesu wa mpanzi, kilitokea nini kwenye mbegu zilizoanguka juu ya mwamba? + +Mbegu zilizoanguka juu ya mwamba ghafla zilichipuka lakini zilichomwa na jua na zilikauka. + diff --git a/mat/13/07.md b/mat/13/07.md new file mode 100644 index 0000000..54714b0 --- /dev/null +++ b/mat/13/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Katika mfano wa Yesu wa mpanzi, kilitokea nini kwenye mbegu zilizoanguka katika miti yenye miiba? + +wenye mbegu zilizoanguka katika miti yenye miiba zilisongwa na miti yenye miiba. + +# Katika mfano wa Yesu wa mpanzi, kilitokea nini kwenye mbegu zilizoanguka katika udongo mzuri? + +Mbegu zilizoanguka katika udongo mzuri zilizaa, zingine mar mia, zingine mara sitini na zingine thelathini. + diff --git a/mat/13/13.md b/mat/13/13.md new file mode 100644 index 0000000..71030ab --- /dev/null +++ b/mat/13/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Unabii wa Isaya ulisema watu wangesikia lakini wasiweze kufanya nini? + +Unabii wa Isaya ulisema watu wangesikia lakini wasiweze kuelewa na wangeona lakini wasiweze kutambua. + diff --git a/mat/13/15.md b/mat/13/15.md new file mode 100644 index 0000000..48696c4 --- /dev/null +++ b/mat/13/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Watu waliomsikia Yesu bila kumwelewa walikuwa na tatizo gani? + +Watu waliomsikia Yesu wasiweze kumwelewa walikuwa na mioyo yenge giza na wagumu kusikia na walifumba macho yao. + diff --git a/mat/13/18.md b/mat/13/18.md new file mode 100644 index 0000000..d75402c --- /dev/null +++ b/mat/13/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika mfano wa mpanzi ni aina gani ya mtu ambaye ni kama mbegu iliyopandwa kando ya njia? + +Mbegu iliyopandwa kando ya njia ni yule ambaye husikia neno la ufalme lakini na halielewi, ndipo mwovu huja na kukinyakua kilichokwisha kupandwa ndani ya moyo wake. + diff --git a/mat/13/20.md b/mat/13/20.md new file mode 100644 index 0000000..1ded773 --- /dev/null +++ b/mat/13/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika mfano wa mpanzi ni aina gani ya mtu ambaye ni kama mbegu iliyopandwa kwenye ardhi yenye mwamba? + +Mbegu iliyopandwa kwenye ardhi yenye mwamba ni yule asikiaye neno na kulipokea haraka kwa furaha, lakini hujikwaa ghafla wakati mateso yanapotokea. + diff --git a/mat/13/22.md b/mat/13/22.md new file mode 100644 index 0000000..55e70fc --- /dev/null +++ b/mat/13/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Katika mfano wa mpanzi ni aina gani ya mtu ambaye ni kama mbegu iliyopandwa kwenye miiba? + +Mbegu iliyopandwa kwenye miiba ni yule mtu anayesikia neno la Mungu, lakini masumbufu ya dunia na udanganyifu wa utajiri hulisonga neno. + +# Katika mfano wa mpanzi ni aina gani ya mtu ambaye ni kama mbegu iliyopandwa kwenye udongo mzuri? + +Mbegu iliyopandwa kwenye udongo mzuri ni yule mtu anayesikia neno la Mungu na kulielewa na kisha huzaa matunda. + diff --git a/mat/13/27.md b/mat/13/27.md new file mode 100644 index 0000000..1f60b61 --- /dev/null +++ b/mat/13/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika mfano wa magugu ni nani aliyepanda magugu shambani? + +Adui alipanda magugu katika shamba. + diff --git a/mat/13/29.md b/mat/13/29.md new file mode 100644 index 0000000..7062cae --- /dev/null +++ b/mat/13/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mwenye shamba aliwapa maelekezo gani watumishi juu ya ngano na magugu? + +Mwenye shamba aliwaambia watumishi kuviacha vyote vikue pamoja hadi wakati wa mavuno, kisha kuyakusanya magugu na kuyachaoma na ngano kuikusanya kwenye ghala. + diff --git a/mat/13/31.md b/mat/13/31.md new file mode 100644 index 0000000..8497a12 --- /dev/null +++ b/mat/13/31.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika mfano wa Yesu juu ya mbegu ya haradari, nini kilitokea kwenye mbegu ndogo ya haradari? + +Mbegu ya haradari ilistawi kuwa mti mkubwa kuliko mimea ya bustani hivyo ndege hujenga viota vyao katika matawi yake. + diff --git a/mat/13/33.md b/mat/13/33.md new file mode 100644 index 0000000..b89d01f --- /dev/null +++ b/mat/13/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema ni kwa jinsi gani ufalme wa mbinguni ni kama hamira? + +Yesu alisema kuwa ufalme wa mbinguni ulikuwa kama hamira iliyochanganywa kwa vipimo vitatu vya unga hadi ilipoumuka. + diff --git a/mat/13/36.md b/mat/13/36.md new file mode 100644 index 0000000..38077ec --- /dev/null +++ b/mat/13/36.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Katika mfano wa magugu, ni nani alipanda mbegu njema, shamba ni nini, mbegu njema ni nini, na ni nani aliyepanda magugu? + +Aliyepanda mbegu ni mwana wa Adamu, shamba ni ulimwengu, mbegu njema ni wana wa ufalme, magugu ni wana wa yule mwovu, na aliyepanda magugu ni mwovu. + +# Katika mfano wa magugu wavunaji ni nani na mavuno yanawakilisha nini? + +Wavunaji ni malaika, na mavuno ni mwisho wa ulimwengu. + diff --git a/mat/13/40.md b/mat/13/40.md new file mode 100644 index 0000000..8c635bc --- /dev/null +++ b/mat/13/40.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mwisho wa dunia kitatokea kitu gani kwa watenda maasi? + +Katika mwisho wa dunia wale wanaofanya maovu watatupwa katika tanuru ya moto. + +# Mwisho wa dunia kitatokea kitu gani kwa watenda haki? + +Katika mwisho wa dunia watendao haki watang'aa kama jua. + diff --git a/mat/13/44.md b/mat/13/44.md new file mode 100644 index 0000000..5fd7d7a --- /dev/null +++ b/mat/13/44.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Katika mfano wa Yesu yule mtu alifanya nini ili kupata hazina kwenye shamba ambacho kinawakisha ufalme wa mbinguni? + +Mtu aliyepata hazina aliuza kila kitu alichakuwa nacho na kununua lile shamba. + +# Katika mfano wa Yesu yule mtu alifanya nini ili kupata lulu ya thamani kuu inawakilisha ufalme wa mbinguni? + +Mtu yule aliyepata lulu ya thamani kuu aliuza kila kitu alichokuwa nacho na kuinunua. + diff --git a/mat/13/47.md b/mat/13/47.md new file mode 100644 index 0000000..4f6f5a0 --- /dev/null +++ b/mat/13/47.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Namna gani mfano wa nyavu ya kuvulia samaki unafanaishwa na tukio la mwisho wa dunia? + +Kama vile vitu vitu vibaya vilivyotengenishwa na vitu vizuri kutoka kwenye nyavu na vibaya vikatupwa, mwisho wa dunia watu waovu watatenganishwa kutoka miongoni mwa wenye haki na kutupwa katika tanuru ya moto. + diff --git a/mat/13/54.md b/mat/13/54.md new file mode 100644 index 0000000..67efa9a --- /dev/null +++ b/mat/13/54.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Watu wa mkoa wa Yesu waliuliza swali gani waliposikia habari za mafundisho ya Yesu? + +Watu waliuliza, "Ni wapi mtu huyu alipopata hekima hii na miujiza hii? + diff --git a/mat/13/57.md b/mat/13/57.md new file mode 100644 index 0000000..f020331 --- /dev/null +++ b/mat/13/57.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema kitu gani huwa kinatokea kwa nabii katika nchi yake? + +Yesu aliisema nabii hapati heshima katika nchi yake. + +# Nini kilitokea katika mkoa wa Yesu kwa sababu watu hawakuamini? + +Kwa sababu watu hawakuamini, Yesu hakufanya miujiza mingi katika mko wake. + diff --git a/mat/14/01.md b/mat/14/01.md new file mode 100644 index 0000000..ede063d --- /dev/null +++ b/mat/14/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Herode alifikiri Yesu kuwa ni nani? + +Herode alifikiri kuwa Yesu ni Yohana Mbatizaji amefufuka kutoka katika wafu. + diff --git a/mat/14/03.md b/mat/14/03.md new file mode 100644 index 0000000..6c6e9ea --- /dev/null +++ b/mat/14/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Herode alikuwa anafanya kosa gani ambalo lilimfanya Yohana mbatizaji amkemee? + +Herodealikuwa amemwoa mke wa ndugu yake + +# Kwa nini Herode hakumwuaYohana Mbatizaji mara moja? + +Herode hakumwua Yohana mbatizaji mara moja kwa sababu aliwahofia watu ambao walimtambua Yohana kuwa ni nabii + diff --git a/mat/14/06.md b/mat/14/06.md new file mode 100644 index 0000000..3a9f62a --- /dev/null +++ b/mat/14/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Herode alifanya nini baada ya Herodia kucheza katika siku ya kuzaliwa kwake? + +Herode aliahidi kwa kiapo kumpa Herodia chochote ambacho angeomba. + diff --git a/mat/14/08.md b/mat/14/08.md new file mode 100644 index 0000000..6c2d180 --- /dev/null +++ b/mat/14/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Binti wa Herodia aliomba kitu gani? + +Binti wa Herodia aliomba kichwa cha Yohana Mbatizaji kiletwe kwenye sahani + +# Kwa nini Herode alimpatia binti wa Herodia kama ombi lake lilivyokuwa? + +Herode alimpatia Binti wa Herodia kwa sababu ya kiapo chake na kwa sababu ya watu waaliokuwapo kwenya sherehe hiyo. + diff --git a/mat/14/13.md b/mat/14/13.md new file mode 100644 index 0000000..bc140fc --- /dev/null +++ b/mat/14/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alifanya nini alipoona umati mkubwa ukimfuata? + +Yesu aliwahurumia na kuwaponya wagonjwa wao. + diff --git a/mat/14/16.md b/mat/14/16.md new file mode 100644 index 0000000..46ca107 --- /dev/null +++ b/mat/14/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu aliwaambia wanafunzi wake wafanye nini kwa umati? + +Yesu aliwaambia wanafunzi wake kuwapa umati chakula. + diff --git a/mat/14/19.md b/mat/14/19.md new file mode 100644 index 0000000..63ab5c5 --- /dev/null +++ b/mat/14/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alifanya nini kwa mikate mitano na samaki wawili alipoletewa na wanafunzi? + +Yesu alitazama juu mbinguni, akabariki na kumega mikate na akawapa wanafunzi wake, nao wakawapa umati. + +# Watu wangapi walikula na chakula kiasi gani kilibaki? + +Waliokula walikuwa wanaume elfu tano bila ya kuwahesabu wanawake na watoto, na vilibaki vikapu kumi na mbili. + diff --git a/mat/14/22.md b/mat/14/22.md new file mode 100644 index 0000000..f375f57 --- /dev/null +++ b/mat/14/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alifanya nini baada ya kuwatawanya makutano? + +Yesu alipanda yeye mwenyewe mlimani kuomba. + +# Kilikuwa kinatokea nini kwa wanafunzi walipokuwa katikati ya bahari? + +Ile mashua ya wanafunzi ilikuwa ikiyumbayumba kwa sababu y a upepo na mawimbi. + diff --git a/mat/14/25.md b/mat/14/25.md new file mode 100644 index 0000000..a23372c --- /dev/null +++ b/mat/14/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alikwenda kwa wanafunzi wake kwa namna gani? + +Yesu alikwenda kwa wanafunzi kwa kutembea juu ya maji. + +# Wanafunzi walipomwona Yesu aliwaambia nini? + +Yesu aliwaambia wanafunzi wake wajipe moyo na wasiogope. + diff --git a/mat/14/28.md b/mat/14/28.md new file mode 100644 index 0000000..d647c65 --- /dev/null +++ b/mat/14/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alimwambia Petro aje na afanye nini? + +Yesu alimwambia Petro aje na atembee juu ya maji. + +# Kwa nini Petro alianza kuzama ndani ya maji? + +Petro alianza kuzama ndani ya maji alipoogopa. + diff --git a/mat/14/31.md b/mat/14/31.md new file mode 100644 index 0000000..4943278 --- /dev/null +++ b/mat/14/31.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini kilitokea wakati Yesu na Petro walipoingia kwenye mashua? + +Wakati Yesu na Petro walipoingia kwenye mashua upepo ulikoma kuvuma. + +# Wanafuzi wakifanya nini walipoona jambo hili? + +Wanafunzi walipoona jambo hili walimwabudu Yesu na kusema kweli alikuwa ni Mwana wa Mungu. + diff --git a/mat/14/34.md b/mat/14/34.md new file mode 100644 index 0000000..35db859 --- /dev/null +++ b/mat/14/34.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Watu walifanya nini wakati Yesu na wanafunzi walipokwenda upande mwingine wa bahari? + +Wakati Yesu na wanafunzi walipokwenda upande mwingine wa bahari, watu walimletea Yesu wagonjwa wote. + diff --git a/mat/15/04.md b/mat/15/04.md new file mode 100644 index 0000000..826b0af --- /dev/null +++ b/mat/15/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, Yesu alitoa mfano gani wa jinsi Mafarisayo walivyolifanya neno la Mungu kuwa halina thamani mbele ya mapokeo yao ? + +Mafarisayo waliwazuia watoto kuwasaidia wazazi wao kwa kuchukua fedha kuwa "ni zawadi kutoka kwa Mungu" + +# Je, Yesu alitumia mfano gani unoonesha kuwa Mafarisayo walilifanya neno la Mungu kuwa si kitu mbele ya mapokeo yao. + +Mafarisayo waliwazuia watoto kuwasaidia wazazi wao kwa kuchukua pesa na kuzifanya kuwa ni "zawadi toka kwa Mungu" + diff --git a/mat/15/07.md b/mat/15/07.md new file mode 100644 index 0000000..f0cb653 --- /dev/null +++ b/mat/15/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je, Isaya alitoa unabii gani juu ya midomo na mioyo ya mafalisayo + +Isaya alitabiri kuwa mafarisyo watmheshimu Mungu kwa midomo yao, bali mioyo yao itakuwa mbali na Mungu + +# Je, Isaya alitabiri nini juu ya midomo ya Mfaisayo na mioyo yao? + +Isaya alitabiri kuwa Mafarisayo watamuheshimu Mungu kwa midomo y ao, lakini mioyo yao itakuwa mbali. + +# Badala ya kufundisha neno la Mungu, Mafarisayo walifundisha nini badala yake kuwa ndiyo mafundisho + +Mafarisayo walifundisha maagizo ya wanadamu kuwa ndiyo mafundisho + diff --git a/mat/15/10.md b/mat/15/10.md new file mode 100644 index 0000000..e27c489 --- /dev/null +++ b/mat/15/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, Yesu alisema ni kitu gani ambacho hakimtii mtu unajisi? + +Yesu alisema kuwa kiingiacho mdomoni hakimtii mtu unajisi + +# Je, Yesu alisema ni kitu gani ambacho humtia mtu unajisi? + +Yesu alisema kile kitokachokinywani, ndicho kimfanyacho mtu kuwa najisi. + diff --git a/mat/15/12.md b/mat/15/12.md new file mode 100644 index 0000000..ba101af --- /dev/null +++ b/mat/15/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, Yesu aliwaitaje Mafarisyo, na alisema kitatokea nini kwao? + +Yesu aliwaita Mafarisayo kuwa ni viongozi vipofu, na kwamba alisema kuwa watatumbukia shimoni. + diff --git a/mat/15/18.md b/mat/15/18.md new file mode 100644 index 0000000..0f188d0 --- /dev/null +++ b/mat/15/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nivitu gani vikaavyo moyoniambavyo humtia mtu unajisi? + +Kutoka moyoni hukaa mawazo machafu, uuaji, uasherati, tamaa mbaya, wizi, ushuhuda wa uongo, na matusi + diff --git a/mat/15/21.md b/mat/15/21.md new file mode 100644 index 0000000..59b2e5f --- /dev/null +++ b/mat/15/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, Yesu alifanya nini kwanza wakati yule mwanamke Mkananayo alipomwaomba Yesu msaada? + +Yesu hakumjibu neno lolte + diff --git a/mat/15/24.md b/mat/15/24.md new file mode 100644 index 0000000..474c505 --- /dev/null +++ b/mat/15/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, maelezo ya Yesu yalikuwaje juu ya kutokumsaidia yule mwanamke Mkanani? + +Yesu alieleza kuwa Yeye alikua ametumwa kwa kondoo wa nyumba Israeli waliokuwa waliopotea. + diff --git a/mat/15/27.md b/mat/15/27.md new file mode 100644 index 0000000..3f3fae2 --- /dev/null +++ b/mat/15/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yle mwanamke Mkananayo aliponyinyekeza, Yesu alimwabia nini na kumfanyia nini? + +Yesu alisema kuwa yule mwanamke ana imani kubwa. + diff --git a/mat/15/29.md b/mat/15/29.md new file mode 100644 index 0000000..9466287 --- /dev/null +++ b/mat/15/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, Yesu aliwanyia nini wale makutano waliokuja kwake kule galilaya? + +Yesu aliwaponya mabubu, viwete, vilema, na vipofu + +# Yesua aliwafanyia nini wale makutano waliokuja kwake kule Galilaya? + +Yesu aliwaponya mabubu, viwete, vilema, na vipofu + diff --git a/mat/15/32.md b/mat/15/32.md new file mode 100644 index 0000000..54d8c5d --- /dev/null +++ b/mat/15/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wale wanafunzi walikuwa na mikate mingapi na samaki wangapi ya kuwalisha makutano? + +Wanafunzi walikuwa na mikate saba na samaki wadogo wachache? + diff --git a/mat/15/36.md b/mat/15/36.md new file mode 100644 index 0000000..4302efc --- /dev/null +++ b/mat/15/36.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yesu alifanya nini kwa ile mikate na samaki? + +Yesu aliichukua ile mikate na samaki halafu akashukuru, akaivunja ile mikate na akawapa wanafunzi. + +# Ni kiasi gani cha chakula kilibaki baada ya wote kula? + +Kulikuwa na vikapu saba vilivyojaa vilibaki baada ya kila mmoja kula. + +# Ni watu wangapi waliokula na kutosheka kutokana na ile mikate na wale samaki? + +Wanaume elfu nne, pamoja na wanawake na watoto walikula na walitosheka. + diff --git a/mat/16/01.md b/mat/16/01.md new file mode 100644 index 0000000..84facf2 --- /dev/null +++ b/mat/16/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mafarisayo na Masukayo walitaka kuona nini kwa Yesu? + +Walitaka awaonyeshe Ishara + diff --git a/mat/16/03.md b/mat/16/03.md new file mode 100644 index 0000000..308f9b8 --- /dev/null +++ b/mat/16/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema angewapatia nini Mafarisayo na Masdukayo? + +Yesu alisema angewapatia Mafarisayo na Masadukayo ishara ya Yona. + diff --git a/mat/16/05.md b/mat/16/05.md new file mode 100644 index 0000000..4779d62 --- /dev/null +++ b/mat/16/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, Yesu aliwaambia wanafunzi wajitaharishe na nini? + +Yesu aliwaambia wanafunzi wake wajitahadharishe na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo. + diff --git a/mat/16/11.md b/mat/16/11.md new file mode 100644 index 0000000..eaf08be --- /dev/null +++ b/mat/16/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alikuwa anaongelea nini wakati alipokuwa akiwaambia wnafunzi wajitahadharishe nacho? + +Yesu alikuwa akiwaambia juu ya mafundisho ya Mafarisayo na Masadukayo + diff --git a/mat/16/13.md b/mat/16/13.md new file mode 100644 index 0000000..63febd2 --- /dev/null +++ b/mat/16/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni swali gani ambalo Yesu aliwauliza wanafunzi wake wakati walipokuwa wakitoka Kaisaria ya Filipi? + +Watu wanasema kuwa Mwana wa Adamu ni nani? + +# Je, watu wengine walidhani kuwa Yesu alikuwa nani? + +Watu wengine walidhani kuwa Yesu alikuwaYohana Mbatizaji + +# Ni jibu gani ambalo Petro alimjibu Yesu kkwa swali lake? + +Jibu la Petro lilikuwa hivi, "Wewe ni Kristo, mwana wa Mungu aliye hai". + diff --git a/mat/16/17.md b/mat/16/17.md new file mode 100644 index 0000000..41f78d5 --- /dev/null +++ b/mat/16/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Petro alijuwaje jibu la swali la Yesu? + +Alifunuliwa na Baba wa mbiguni + diff --git a/mat/16/19.md b/mat/16/19.md new file mode 100644 index 0000000..f4b7ff4 --- /dev/null +++ b/mat/16/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni mamlaka gani ambayo Yesu alimpa Petro hapa duniani? + +Alipewa mamlaka ya kufunga chochote duniani, na kitakuwa kimefungwa mbinguni, na chochote atachokifungua duniani kitafunguliwa na mbinguni. + diff --git a/mat/16/21.md b/mat/16/21.md new file mode 100644 index 0000000..904910c --- /dev/null +++ b/mat/16/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# katika kipindi hiki, ni kitu gani Yesu alianza kuwaambia wanafunzi kwa uwazi? + +Ni lazima aende Yerusalemu, kuteswa kwa mambo mengi katika mikono ya wazee na wakuu wa makuhani na waandishi, kuuawa na kufufuka siku ya tatu. + +# Je, Yesu alimwambia niniPetro wakati Petro alipopinga kile ambacho Yesu alikuwa akieleza kuwa kitampata? + +Yesu alimwambia Petro, "Rudi nyuma yangu shetani" + diff --git a/mat/16/24.md b/mat/16/24.md new file mode 100644 index 0000000..edf06b0 --- /dev/null +++ b/mat/16/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni jambo gani ambalo kila mmoja anayetaka kumfuata Yesu ni lazima alifanye? + +Ni lazima ajikane yeye mwenyewe, auchukue msalaba wake, na amfuate Yesu. + +# Yesu alisema kitu gani ambacho hakimpi faida mwanadamu? + +Yesu alisema kuwa haimpii faida mwanadamu kuupata ulimwengu wote. + diff --git a/mat/16/27.md b/mat/16/27.md new file mode 100644 index 0000000..a9f60a2 --- /dev/null +++ b/mat/16/27.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yesu alisema Mwana wa Adamu atakuja kwa namna gani? + +Yesu alisema kuwa Mwana Adamu atakuja katika utukufu wa baba yake na malaika wake. + +# Mwana wa Adamu atamlipaje kila mtu atakapokuja? + +Mwana wa Adamu atamlipa kila mtu kutokana na matendo yake atakapokuja + +# Yesu alisema ni nani atakayemwona mwana wa Adamu akija katika ufalme wake? + +Yesu alisema kuwa baadhi yao waliokuwa wamesimama naye watamwona mwana wa Adamu akija katika ufalme wake. + diff --git a/mat/17/01.md b/mat/17/01.md new file mode 100644 index 0000000..5a819a4 --- /dev/null +++ b/mat/17/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni akina nani walioienda na Yesu juu ya mlima mrefu? + +Petro, na Yakobo na Yohana kaka yake. + +# Kilitokea kitu gani katika muonekano wa Yesu kule mlimani? + +Yesu alibalishwasura kiasI kwamba sura yake iling'aa kama jua, na mavazi yake yaling'aa kama nuru. + diff --git a/mat/17/03.md b/mat/17/03.md new file mode 100644 index 0000000..b55be3d --- /dev/null +++ b/mat/17/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni akina nani waliomtokea Yesu na kuongea naye? + +Akawatokea Musa na Eliya wakaongea naye + +# Je, Petro alisema wafanye nini? + +Yesu alisema wajenge vibanda vitatu kwa ajili ya wale wanaume watatu. + diff --git a/mat/17/05.md b/mat/17/05.md new file mode 100644 index 0000000..e87b57f --- /dev/null +++ b/mat/17/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sauti iliyosikika kutoka katika wingu ilisema nini? + +Huyu ni mwanangu mpedwa, niliyependezwa naye. + diff --git a/mat/17/09.md b/mat/17/09.md new file mode 100644 index 0000000..9e22764 --- /dev/null +++ b/mat/17/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu aliwaagiza nini wanafunzi wake walipokuwa wakishuka chini ya mlima? + +Wasitoe habari ya maono hayo mpaka Mwana wa Adamu atakapofufuka kutoka kwa wafu. + diff --git a/mat/17/11.md b/mat/17/11.md new file mode 100644 index 0000000..b99a1ab --- /dev/null +++ b/mat/17/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yesu alisema nini juu ya mafundisho ya waandishi kuwa Eliya atakuja kwanza? + +Yesu akawajibu na kusema, Eliya atakuja kweli na atarudisha vitu vyote. + +# Yesu alisema Yohana Mbatizaji ndiye aliyekuwa Eliya ambaye tayari alikuwa amekwisha kuja, na kile alichofanyiwa. + +Yesu alisema kuwa Yohana Mbatizaji ndiye aliyekuwa Eliya ambaye tayari alikuwa amekwisha kuja, na walimfanyia kile walichotaka kumfanyia. + +# Yesu alisema kuwa Eliya alikuwa amekwisha kuja alikuwa nani, na kile alichofanyiwa? + +Yesu alisema Yohana Mbatizaji alikuwa Eliya ambaye tayari alikuwa amekwisha kuja, na walimfanyia chochote walichotaka kumfanyia. + diff --git a/mat/17/14.md b/mat/17/14.md new file mode 100644 index 0000000..be16490 --- /dev/null +++ b/mat/17/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kitu gani wanafunzi walikuwa wakikiweza kukifanya kwa mvulana aliyekuwa na kifafa? + +Walikuwa wakiweza kumponya kijana mwenye kifafa. + +# Wanafunzi wa Yesu waliweza kufanya nini kwa yule mgonjwa wa kifafa? + +Wanafunzi hawakuwa na uwezo wa kumponya yule mgonjwa wa kifafa. + diff --git a/mat/17/17.md b/mat/17/17.md new file mode 100644 index 0000000..8ad0c92 --- /dev/null +++ b/mat/17/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alifanya nini kwa yule mgonjwa kifafa? + +Yesu alilikemea lile pepo, na yule kijana alipona tangu saa ile + diff --git a/mat/17/19.md b/mat/17/19.md new file mode 100644 index 0000000..7c4b265 --- /dev/null +++ b/mat/17/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini wale wanafunzi hawakuweza kumponya yule kijana? + +Yesu alisema kuwa ni kwa sababu ya imani yao ndogo kwa hiyo wasingeweza kumponya yule kijana mwenye kifafa. + diff --git a/mat/17/22.md b/mat/17/22.md new file mode 100644 index 0000000..a069ad1 --- /dev/null +++ b/mat/17/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu aliwaambia nini wanafunzi wake kilichowafanya wawe na huzuni? + +Kuwa Mwana wa Mtu atatiwa mikononi mwa watu, watamwua, na siku ya tatu atafufuka. + +# Yesu aliwaambia kitu gani wanafunzi wake kilichowafanya kuwa na huzuni? + +Yesu aliwaambia wanafunzi wake kuwa atatiwa mikononi watu ambao watamwua, na kwamba siku ya tatu atafufuliwa. + diff --git a/mat/17/26.md b/mat/17/26.md new file mode 100644 index 0000000..1abbf7b --- /dev/null +++ b/mat/17/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu na Petro walilipaje ile kodiya nusu shekeli? + +alimwambia Petro kwenda baharini, akatupe ndoano na kuchuku yule samaki wa kwanza, naye atakuwa na shekeli mdomoni mwake kwa ajili ya kodi. + diff --git a/mat/18/01.md b/mat/18/01.md new file mode 100644 index 0000000..50f6224 --- /dev/null +++ b/mat/18/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema kitu gani ambacho ni lazima tukifanye ili kuingia mbinguni? + +Yesu alisema lazima tutubu na kuwa kama watoto wadogo. + diff --git a/mat/18/04.md b/mat/18/04.md new file mode 100644 index 0000000..a9e8ba5 --- /dev/null +++ b/mat/18/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema mkuu katika ufalme wa mbinguni ni nani? + +Yeye ajishushaye kama mtoto mdogo, mtu kama huyo ni mkuu katika ufalme wa mbinguni. + +# kInatokea nini kwa mtu yule anayemkosesha mtoto mdogo amwaminiye Yesu kufanya dhambi? + +Yeyote anayemkosesha mtoto mdogo amwaminiye Yesu kufanya dhami, ni vizuri mtu huyo kufungiwa jiwe la kusagia shingono mwake na kutupwa baharini. + diff --git a/mat/18/07.md b/mat/18/07.md new file mode 100644 index 0000000..36f0881 --- /dev/null +++ b/mat/18/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, Yesu alisema tufanye nini juu ya kitu kile kinachokwaza? + +Yesu alisema lazima tukitupe kila kitu ambacho kinatukwaza. + diff --git a/mat/18/10.md b/mat/18/10.md new file mode 100644 index 0000000..4feeb8e --- /dev/null +++ b/mat/18/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kwa nini Yesu alisema tusiwadharau walio wadogo? + +Kwa maana huko mbinguni malaika wao huutazama uso wa Baba siku zote. + diff --git a/mat/18/12.md b/mat/18/12.md new file mode 100644 index 0000000..856e2dc --- /dev/null +++ b/mat/18/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwa namna gani mtu amtafutaye kondoo aliyepotea ni kama Baba wa mbinguni? + +Ni kwa sababu si mapenzi ya Baba kwamba mmoja wa wadogo hawa kupotea + +# Ni kwa nanmna gani mtu amtafutaye kondoo aliyepotea ni kama Baba wa mbinguni? + +Ni kwa sababu kuwa si mapenzi ya Baba kwamba mmoja wa wadogo hawa kupotea + diff --git a/mat/18/15.md b/mat/18/15.md new file mode 100644 index 0000000..27c2352 --- /dev/null +++ b/mat/18/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kama ndugu yako akikukosea, ni kitu gani cha kwanza unatakiwa kufanya? + +Nenda ukwamwonyeshe kosa lililopo kati yako na yeye mwenyewe. + +# Kama ndugu yako hakusikilizi, ni kitu gani cha pili unachotakiwa kufanya? + +Kitu cha pili, ni kumchukua mtu mmoja au wawili kwa ajili ya ushahidi. + diff --git a/mat/18/17.md b/mat/18/17.md new file mode 100644 index 0000000..41cc8ba --- /dev/null +++ b/mat/18/17.md @@ -0,0 +1,9 @@ +# Kama ndugu yako bado hakusikilizi, ni jambo gani la tatu unalotakiwa kufanya? + +Kama akipuuza kuwasikiliza, liambie kanisa jambo hilo. + kwenu kama mtu wa mataifa na mtoza ushuru. + +# Kama akipuuza kukusikiliza ni nini unachotakiwa kufanya? + +Mwisho, kama hatalisikiliza kanisa, anataikwa umchukulie kama mtu wa mataifa au mtoza ushuru. + diff --git a/mat/18/18.md b/mat/18/18.md new file mode 100644 index 0000000..a12f83e --- /dev/null +++ b/mat/18/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu anaahidi kitu gani kitataokea pale ambapo wawili au watatu wamekusanyika kwa jina lake + +Yesu anaahidi kuwepo pamoja nao wawili au watatu waliokusanyika kwa jina lake. + diff --git a/mat/18/21.md b/mat/18/21.md new file mode 100644 index 0000000..7dcd94b --- /dev/null +++ b/mat/18/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema tunatakiwa tuwasamehe ndugu zetu mara ngapi? + +Yesu alisema hata saba mara sabini. + +# Yesu alisema tunatakiwa tuwasamamehe ndugu zetu mara ngapi? + +Yesu alisema tunatakiwa kuwasamehe saba mara sabini. + diff --git a/mat/18/23.md b/mat/18/23.md new file mode 100644 index 0000000..2111f4e --- /dev/null +++ b/mat/18/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, yule mtumishi alikuwa anadaiwa nini na bwana wake, alichotakiwa kulipa? + +Yule mtumwa alikuwa anadaiwa talanta kumi, ambazo hakuweza kuzilipa. + +# Je, yule mtumishi alikuwa anadaiwa nini na bwana wake, alichotakiwa kulipa? + +Yule mtumwa alikuwa anadaiwa talanta kumi, ambazo hakuweza kuzilipa. + diff --git a/mat/18/26.md b/mat/18/26.md new file mode 100644 index 0000000..9af3cf2 --- /dev/null +++ b/mat/18/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Yule Bwana alimsamehe mtumishi wake? + +Yule Bwana alimhurumia mtumwa wake na kumsamehe deni lake + diff --git a/mat/18/30.md b/mat/18/30.md new file mode 100644 index 0000000..4190506 --- /dev/null +++ b/mat/18/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je mtumwa alifanya nini kwa mtumwa mwenzie aliyekuwa anamdai dinari mia moja? + +Alienda akamtupa gerezani mpaka atakapomlipa kile anachomdai. + diff --git a/mat/18/32.md b/mat/18/32.md new file mode 100644 index 0000000..e4e3b75 --- /dev/null +++ b/mat/18/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yuele Bwana alimwambia nini yule mtumishi ambacho alichopaswa kumnyia mtumishi mwenzake? + +Yule Bwana alimwambia yule mtumishi kuwa alipaswa kumhurumia mtumishi mwenzake. + diff --git a/mat/18/34.md b/mat/18/34.md new file mode 100644 index 0000000..fe12b32 --- /dev/null +++ b/mat/18/34.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Bwana wao alifanya nini kwa mtumwa? + +Alimkasirikia na akamkabidhi kwa wale watesaji mpaka atakapolipa yote aliyokuwa anadaiwa. + +# Je, Yesu alisema Baba atafanya nini, kama hatutawasamehe ndugu zetu kutoka moyoni? + +Yesu alisema kuwa Baba atatufanya kama yule Bwana alivyomfanyia mtumishi wake kama hatutawasamehe ndugu zetu kutoka mioyoni mwetu. + diff --git a/mat/19/03.md b/mat/19/03.md new file mode 100644 index 0000000..566437e --- /dev/null +++ b/mat/19/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni swali gani Mafarisayo walimwuuliza Yesu ili kumjaribu? + +Je ni halali kwa mtu kumwacha mke wake kwa sababu yoyote? + +# Yesu alisema ukweli ulikuwaje tokea mwanzo? + +Yesu alisema kuwa tokea mwanzo wa kuumbwa, Mungu aliwaumba mume na mke. + diff --git a/mat/19/05.md b/mat/19/05.md new file mode 100644 index 0000000..ad78302 --- /dev/null +++ b/mat/19/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa kuwa Mungu aliwaumba mtu mume na mke, Yesu alisema mume anatakiwa afanye nini? + +Yesu alisema kuwa mume atawaacha babana mama yake na kushikamana na mke wake. + +# Je, Yesu alisema kuwa huwa kinatokea nini pale mume anaposhikaman na mke wake? + +Yesu alisema kuwa, mume anaposhikamana na mke wake wale wawili huwa mwili mmoja. + +# Je, Yesu alisema mwanmume asifanye nini juu ya kile alichokiunganisha Mungu? + +Yesu alisema kuwa alichokiunganisha Mungu mtu asikitenganishe. + diff --git a/mat/19/07.md b/mat/19/07.md new file mode 100644 index 0000000..b98f96a --- /dev/null +++ b/mat/19/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yesu alitoa sababu gani ya Musa kuruhusu talaka? + +Ni kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao + +# Yesu alitoa sababu gani ya Musa kuruhusa=u talaka? + +Ni kwa sababu y a ugumu wa mioyo yao + +# Yesu alisema ni mtu gani anayefanya uzinzi? + +Yesu alisemayeyote amwachaye mke wake isipokuwa kwa uzinzi, na kuoa mwanake mwingine huyo afanya uzinzi, na kwamba mwanamumeanyeoa mwanamke aliyeachwa afanya uzinzi. + diff --git a/mat/19/10.md b/mat/19/10.md new file mode 100644 index 0000000..754e6ea --- /dev/null +++ b/mat/19/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema ni nani awezaye kuwa towashi? + +Ni kwa wale walioruhusiwa na Mungu kuipokea hali hiyo. + +# Yesu alisema ni nani awezaye kuwa towashi? + +Ni kwa wale walioruhusiwa na Munga kuipokea hali hiyo. + diff --git a/mat/19/13.md b/mat/19/13.md new file mode 100644 index 0000000..1557ac3 --- /dev/null +++ b/mat/19/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wanafunzi walifanya nini walipowaona watoto wadogo wameletwa kwa Yesu? + +Wanafunzi wake waliwakemea + +# Yesu alisema nini alipowaona watoto wadogo + +Yesu aliseamawaacheni watoto wadogo waje, kwa kuwa ufalme wa mbinguni ni wa watoto kama hawa. + diff --git a/mat/19/16.md b/mat/19/16.md new file mode 100644 index 0000000..4219f25 --- /dev/null +++ b/mat/19/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alimwambia kijana afanye nini ili kuuingia katika uzima wa milele? + +Alimwambia ashike sheria za Mungu + +# Yesu alimwambia kijana anapaswa kufanya nini ili kuingia kwenye uzima wa milele? + +Yesu alimwambia yule kijana kuzishika amri ili kuingia kwenye uzima wa milele + diff --git a/mat/19/20.md b/mat/19/20.md new file mode 100644 index 0000000..4cbbe3c --- /dev/null +++ b/mat/19/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Baadaya kijana kusema kuwa anazishika amri, Yesu alimwambia nini? + +Nenda ukauze ulivyo navyo, na uwape maskini, na utakuwa na hazina mbinguni. + +# Baada ya lkijana kusema anazishika amri, Yesu alimwambia nini? + +Nenda ukauze ulivyo navyo, na uwape masikini, na utakuwa na hazina mbinguni + +# Mwitikio a yule kijana ulikuwaje kwa amri ya Yesu ya kuuza vyote alivyokuwa navyo? + +Yule kijana aliondoka akiwa amehuzunika sana kwa sababu alikuwa na mali nyingi. + diff --git a/mat/19/23.md b/mat/19/23.md new file mode 100644 index 0000000..0124d9e --- /dev/null +++ b/mat/19/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema nini juu ya matajiri kuuingia ufalme wa Mbinguni? + +Ni rahisi kwa ngamia kupita katika tundu la sindano, kuliko kwa mtu tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu. + diff --git a/mat/19/25.md b/mat/19/25.md new file mode 100644 index 0000000..2b4d684 --- /dev/null +++ b/mat/19/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, Yesu alisemaje juu ya uwezekano wa mtu tajiri kuurithi ufalme wa mbinguni? + +Yesu alisema kuwa kwa wanadamu hilo haliwezekani, lakini kwa Mungu yote yanawezekana. + diff --git a/mat/19/28.md b/mat/19/28.md new file mode 100644 index 0000000..a8bb606 --- /dev/null +++ b/mat/19/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu aliwaahidi nini wanafunzi wake waliokuwa wakimfuata? + +Katika uzao mpya wakati Mwana wa Adamu atakapoketi katika kiti cha enzi, wanafunzi nao wataketi naye wakiyahukumu makabila kumi na mbili ya Israel. + diff --git a/mat/19/29.md b/mat/19/29.md new file mode 100644 index 0000000..fe27046 --- /dev/null +++ b/mat/19/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, Yesu alisemaje juu ya wale ambao ni wa kwanza kwa sasa na wale ambao ni wa mwisho sasa? + +Yesu alisema kwamba ambao ni wa kwanza sasa watakuwa wa mwisho na wale ambao ni wa mwisho sasa watakuwa wa kwanza. + diff --git a/mat/20/01.md b/mat/20/01.md new file mode 100644 index 0000000..306ba18 --- /dev/null +++ b/mat/20/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kiwango gani cha malipo, mwenye shamba alikubali kuwalipa wale aliokuwa amewaajiri asubuhi na mapema? + +Dinari moja kwa kutwa + +# Ni kiwango gani cha malipo, mwenye shamba alikubali kuwalipa wale aliokuwa amewaajiri asubuhi na mapema? + +Dinari moja kwa kutwa + diff --git a/mat/20/03.md b/mat/20/03.md new file mode 100644 index 0000000..bc28d46 --- /dev/null +++ b/mat/20/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kiasi gani mwenye shamba alisema atawalipa wale aliowaajiri mara ya tatu? + +Atawalipa chochote kilicho halali + diff --git a/mat/20/08.md b/mat/20/08.md new file mode 100644 index 0000000..587c381 --- /dev/null +++ b/mat/20/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kiasi gani walicholipwa wale wafanya kazi walioajiriwa saa kumi na moja? + +Dinari moja + diff --git a/mat/20/11.md b/mat/20/11.md new file mode 100644 index 0000000..bb90ba7 --- /dev/null +++ b/mat/20/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni malalamiko gani waliyokuwa nayo wafanyakazi walioajiriwa asubuhi na mapema? + +Walilalamika kuwa wao walikuwa wamefanya kazi kwa siku nzima, lakini wamepokea kiasi sawa na wale waliofanya kazi kwa saa moja. + +# Ni malalamiko gani waliokuwa nayo wafanyakazi walioajiriwa asubuhi namapema? + +Walilalamika kuwa wao walikuwa wamefanya kazi kwa siku nzima, Lakini wa,epokes kiasi sawa na wale waliofanya kazi kwa saa moja. + diff --git a/mat/20/13.md b/mat/20/13.md new file mode 100644 index 0000000..bedb4b9 --- /dev/null +++ b/mat/20/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mwenye shamba alijibuje kwa malalamiko ya wafanyakazi? + +Mwenye shamba aliwaambia kuwa hajawakosea chochote wafanyakazi na amewalipa kile walichostahili. + +# Mwenye shamba alijibuje malalmiko ya wawafanyakazi? + +Mwenye shamba aliwaambia kuwa hajawakosea chochote wafanya kazi na amewalipa kile waliochostahili. + diff --git a/mat/20/17.md b/mat/20/17.md new file mode 100644 index 0000000..52501dd --- /dev/null +++ b/mat/20/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni tukio gani Yesu aliwaambia wanafunzi wake mapema walipokuwa wakienda Yerusalemu? + +Yesu aliwaambia wanafunzi wake kuwa atatolewa kwa makuhani wakuu na waandishi, na kuhukumiwa kifo, atasulibiwa, na siku ya tatu atafufuka. + +# Ni tukio gani amabloYesu aliwaambia wanafunzi wake mapema walipokuwa wakienda Yerusalemu + +Yesu aliwaambia wanafunzi wake kuwa atatolewa kwa makuhani wakuu na waandishi, na kuhukumiwa kifo, atasulibiwa na siku ya tatu atafufuka. + diff --git a/mat/20/20.md b/mat/20/20.md new file mode 100644 index 0000000..fdcc37e --- /dev/null +++ b/mat/20/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni ombi gani alilokuwa nalo mama wa watoto wa Zebedayo? + +Alimtaka Yesu aamuru kuwa watoto wake wawili wakae, mmoja mkono wake wa kushoto na mmoja mkono wake wa kuume. + +# Ni ombi gani alilokuwa nalo mama wa watoto wa Zebedayo? + +Alimtaka Yesu aamuru kuwa watoto wake wawili wakae mmoja mkono wake wa kushoto na mmoja mko wake wa kuume + diff --git a/mat/20/22.md b/mat/20/22.md new file mode 100644 index 0000000..bb0be72 --- /dev/null +++ b/mat/20/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, Yesu alisema ni nani mwenye kuamua nani akae mkono wake wa kushoto na nani akae mkono wake wa kuume kataka ufalme wake? + +Yesu alisema kuwa Baba ameyaandaa maeneo hayo kwa ajili y a wale aliowachagua. + diff --git a/mat/20/25.md b/mat/20/25.md new file mode 100644 index 0000000..0f59ec7 --- /dev/null +++ b/mat/20/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisemaje juu ya yule anayetaka kuwa mkuu kati ya wanafunzi wake + +Yesu aliseam kuwa anayetaka kuwa mkuu lazima awe mtumwa. + +# Kwa nini Yesu alisema kuwa alikuja? + +Yesu alisema kuwa alikuja kutumika na kuyatoa maisha yake kuwa ukombozi kwa wengi. + diff --git a/mat/20/29.md b/mat/20/29.md new file mode 100644 index 0000000..fba339e --- /dev/null +++ b/mat/20/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, wale vipofu wawili waliokuwa wakikaa kando ya nija walifanya nini? + +Wale vipofu wawili walipiga kelele, "Bwana, Mwana wa Daudi, uturehemu." + diff --git a/mat/20/32.md b/mat/20/32.md new file mode 100644 index 0000000..0f6c6c2 --- /dev/null +++ b/mat/20/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, kwa nini Yesu aliwapnya wale vipofu wawili? + +Yesu aliwaponya wale vipofu wawili kwa sababu aliwaonea huruma. + diff --git a/mat/21/01.md b/mat/21/01.md new file mode 100644 index 0000000..f2a0346 --- /dev/null +++ b/mat/21/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, Yesu alisema wanafunzi wake wawili wataona nini kwenye kile kijiji kinachowakabili? + +Yesu aliseama watamwona punda amefunwa, na mwanapunda pamoja naye. + diff --git a/mat/21/04.md b/mat/21/04.md new file mode 100644 index 0000000..9434cd2 --- /dev/null +++ b/mat/21/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nabii alikuwa ametabiri nini juu ya hili tukio? + +Nabii alitabri kuwa mfalme anawaijieni, akiwa amempanda punda na mwanapunda. + +# Nabii alikuwa ametabiri nini juu ya hili tukio? + +Nabii alikuwa ametabiri kuwa Mfalme anawaijieni, akiwa amempanda punda na mwanapunda. + diff --git a/mat/21/06.md b/mat/21/06.md new file mode 100644 index 0000000..6c2a4a2 --- /dev/null +++ b/mat/21/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, makutano walifanya nini njiani wakati wanaingia Yerusalemu? + +Makutano walitandika mavazi yao juu yake na waliweka matawi ya miti njiani + diff --git a/mat/21/09.md b/mat/21/09.md new file mode 100644 index 0000000..ffdeefc --- /dev/null +++ b/mat/21/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Umati ulikuwa ukisema nini wakati Yesu alikuwa akiingia Yerusalemu? + +walisema Hosana kwa mwana wa Daudi! Ni mbarikiwa ajaye kwa jina la Bwana. Hosana juu!! + diff --git a/mat/21/12.md b/mat/21/12.md new file mode 100644 index 0000000..cf42dd9 --- /dev/null +++ b/mat/21/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alifanya nini alipoingia katika hekalu la Mungu huko Yerusalemu? + +Aliwavurumisha nje wote waliokuwa wakinunua na kuuza hekaluni. Pia alipindua meza za wabadilisha fedha na viti vya wauza njiwa. + diff --git a/mat/21/15.md b/mat/21/15.md new file mode 100644 index 0000000..4e33e08 --- /dev/null +++ b/mat/21/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakati wakuu wa makuhani na waandishi walipopinga kile watoto walichokuwa wakipiga kelele juu ya Yesu, Yesu aliwaambia nini? + +Yesu aliwaambia, "Ndiyo!" Hajasoma ilivyoaandikwa kuwa katika midomo ya watoto kuna sifa kamili? + diff --git a/mat/21/18.md b/mat/21/18.md new file mode 100644 index 0000000..28a01c4 --- /dev/null +++ b/mat/21/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alifanya nini kwa mtini na ni kwa nini? + +Aliulaani mtini, ukakauka, kwasababu haukuwa na matunda. + diff --git a/mat/21/20.md b/mat/21/20.md new file mode 100644 index 0000000..124ff9f --- /dev/null +++ b/mat/21/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu aliwafundisha nini wanafunzi wake kuhusu maombi kupitia kukauka kwa mtini? + +Kweli nawaambieni kama mkiwa na imanin na hamna wasiwasi yoyote, hamtafanya kile kilichofanyika kwa huo mtini tu, lakini mtasema hata kwa huo mlima, uchukuliwe na utupwe bahrini, na itafanyika hivyo. + diff --git a/mat/21/23.md b/mat/21/23.md new file mode 100644 index 0000000..dccc725 --- /dev/null +++ b/mat/21/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakati Yesu alipokuwa akifundisha, wakuu wa makuhani na wazee walimuuliza juu ya nini? + +walimuuliza juu ya mamlaka gani alikuwa anayafanya hayo? + diff --git a/mat/21/25.md b/mat/21/25.md new file mode 100644 index 0000000..058d007 --- /dev/null +++ b/mat/21/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni swali gani Yesu aliwauliza wakuu wa makuhani na wazee? + +Ubatizo wa Yohana ulitoka wapi? mbinguni au kwa wanadamu? + diff --git a/mat/21/28.md b/mat/21/28.md new file mode 100644 index 0000000..57b0d92 --- /dev/null +++ b/mat/21/28.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Katika mfano wa Yesu wa wana wawili, Yule mtoto wa kwanza alifanya nini alipoambiwa kufanya kazi kwenya shamba la mizabibu? + +Yule wa kwanza alisema hataweza kufka, lakini baadaye akaenda. + +# Katika mfano wa Yesuwa wan wawili, Yule mtoto wa kwanza alifanya nini alipoambiwa kufanya kwenye shamba la mizabiu? + +Yule mtoto wa kwanza alisema hataenda lakini baadaye akaenda + +# Yule mtoto wa pili alifanya nini alipoambiwa kwenda kufanya kazi kwenye shamba la mizabibu? + +Yule mtoto wa pili alisema atakwenda, halafu hakwenda. + diff --git a/mat/21/31.md b/mat/21/31.md new file mode 100644 index 0000000..c4a30cf --- /dev/null +++ b/mat/21/31.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni mtoto yupi aliyefanya mapenzi ya Mungu? + +Mtoto wa kwanza + +# Kwanini Yesu alisema kuwa watoza ushuru na makahaba watauingia ufalme wa Mungu kabla ya makuhani wakuu na waandishi? + +Ni kwasababu watoza ushuru na makahaba walimwamini Yohana, lakini Wakuu wa Makuhani na waandishi hawakumwamini Yohana. + diff --git a/mat/21/35.md b/mat/21/35.md new file mode 100644 index 0000000..7c3ed4e --- /dev/null +++ b/mat/21/35.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# wakulima wa mizabibu walifanya nini kwa watumishi ambao mwenye shamba alikuwa amewatuma? + +Waliwachukua wake, wakawapiga, na kuwaua. + diff --git a/mat/21/38.md b/mat/21/38.md new file mode 100644 index 0000000..bb1b9b9 --- /dev/null +++ b/mat/21/38.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wakukima wa mizabibu walimfanya nini yule mtu aliyetumwa na mwenye shamba kwa mara ya mwisho? + +Wakulima wa mizabibu walimwua mtoto wa mwenye shamba. + +# Wakulima wa mizabibu walimfanya nini yule mtu aliyetumwa kwa maraa ya mwisho na mwenye shamba? + +wakulima wa mizabibu walimwua mtoto wa mwenye shamba. + diff --git a/mat/21/40.md b/mat/21/40.md new file mode 100644 index 0000000..42a52e7 --- /dev/null +++ b/mat/21/40.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Watu walisema nini alichotakiwa kufanya mmliki wa shamba? + +Watu walisema kuwa mmiliki anapaswa kuwaangamiza wale wakulima wa kwanza wa mizabibu na kulipangasha shamba kwa wakulima wengine + +# Watu walisema nin alichotakiwa kufanya mmiliki wa shamba? + +Watu walisema kuwa mmiliki anapaswa kuwaangamiza wale wakulima wa kwanza wa mizabibu na kulipangasha shamba kwa wakulima wengine + diff --git a/mat/21/42.md b/mat/21/42.md new file mode 100644 index 0000000..970ab31 --- /dev/null +++ b/mat/21/42.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# katika maandiko ambayo Yesu aliyanukuuu, ni nini kilitokea kwa jiwe lililokataliwa na waashi? + +Jiwe lililokataliwa na waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni/msingi + diff --git a/mat/21/43.md b/mat/21/43.md new file mode 100644 index 0000000..9381e20 --- /dev/null +++ b/mat/21/43.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kwa kuzingatia maandiko ambayo Yesu aliyanukuu, Yesu alisema kutatokea nini? + +Ufalme wa Mungu utatwaliwa kutoka kwa wakuu wa Makuhani na Mafarisayo na wapea taifa linalojali matunda yake. + diff --git a/mat/21/45.md b/mat/21/45.md new file mode 100644 index 0000000..c062c0d --- /dev/null +++ b/mat/21/45.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Wkuu wa makuhani na Mfarisayo hawakumnyoshea mikono Yesu mapema? + +Waliwaogopa makutano, kwa sababu makutano walimwona Yesu kuwa ni nabii. + diff --git a/mat/22/05.md b/mat/22/05.md new file mode 100644 index 0000000..2dbd3e6 --- /dev/null +++ b/mat/22/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je wale waliokuwa wamealikwa kwenye harausi ya mwana wa mfalme walifanya nini walipoletewa mialiko na watumishi wa mfalme? + +Baadhi yao hawakuizingatia ile mialiko na kuendelea na shughuli zao, na wengine waliwanyoshea mikono wale watumishi wa mfalme na kuwaua. + +# Je, wale waliokuwa wamealikwa kwenye harusi ya mwana wa mfalme walifanya nini walipoletewa mialiko na watumishi wa mfalme? + +Baadhiyao hawakuzingatia hiyo mialiko na kuendelea na shughuli zao, na wengine waliwanyoshea mikono hao watumishi wa mfalme na kuwaua. + +# Mfalme alifanya nini kwa wale waliokuwa wa kwanza kukaribishwa kwenye hiyo Harusi? + +Mfalme alituma jeshi, na kuwaua wale wauuaji, na kuichoma miji yao + diff --git a/mat/22/08.md b/mat/22/08.md new file mode 100644 index 0000000..7eeddb2 --- /dev/null +++ b/mat/22/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, ni watu gani basi ambao mfalme aliwakaribisha kwenye hiyo harusi? + +Basi, malme alikarisha watu wengi kadri watumishi wake walivyoweza kuwapata. wote wema na wabaya. + +# Je, ni watu gani basi ambao mfalme aliwajkaribisha kwenye hiyo harusi? + +Basi, mfalme aliwakaribisha watu wengi kadri watumishi wake walivyoweza kuwapata. Wote wema na wabaya. + diff --git a/mat/22/13.md b/mat/22/13.md new file mode 100644 index 0000000..3595d4e --- /dev/null +++ b/mat/22/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mfalme alimfanyia nini mtu yule aliyekuja katika sherehe bila vazi la harusi? + +Mfalme aliamuru afungwe na atupwe nje kwenye giza. + diff --git a/mat/22/15.md b/mat/22/15.md new file mode 100644 index 0000000..d85d7ae --- /dev/null +++ b/mat/22/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mafarisayo walijaribu kumfanyia nini Yesu? + +Mafarisayo walijaribu kumnasa Yesu katika mazungumzo yake. + +# Ni swali gani ambalo wanafunzi wa Mfarisayo walimwuliza Yesu? + +Walimwuliza Yesu kama ilikuwa halali kulpa kodi kwa Kaisari. + diff --git a/mat/22/20.md b/mat/22/20.md new file mode 100644 index 0000000..b82f69b --- /dev/null +++ b/mat/22/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alilijibuje swali la wanafunzi wa Mfarisayo? + +Yesu aliseam kumpa Kaosari kilicho chake, na kumpa Mungu kilicho cha Mungu. + diff --git a/mat/22/23.md b/mat/22/23.md new file mode 100644 index 0000000..e97a4c5 --- /dev/null +++ b/mat/22/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, Masadukayo walikuwa na imani ya gani kuhusu ufufuo wa wafu? + +Masadukayo waliamini kwamba hakutakuwaepo na ufufuo wa wafu. + diff --git a/mat/22/25.md b/mat/22/25.md new file mode 100644 index 0000000..fe62d65 --- /dev/null +++ b/mat/22/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Katika habari ya Masadukayo, yule mwanamke alikuwa na waume wangapi? + +Yule mwanamke alikuwa na waume saba + +# Katika habari ya Masadukayo, yule mwanamke alikuwa na waume wangapi? + +Yule mwanamke alikuwa na waume saba + diff --git a/mat/22/29.md b/mat/22/29.md new file mode 100644 index 0000000..7e3a357 --- /dev/null +++ b/mat/22/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, Yesu alisema vitu gani viwili ambavyo Masadukayo hawakuvifahamu? + +Yesu alisema kwamba Mafarisayo hawakujua Maandiko Matakatifu wala nguvu za Mungu. + +# Je, Yesu alisemaje juu ya kuoa na kuolewa katika ufufuo? + +Yesu alisema katika ufufuo hakuna kuolewa wala kuoa + diff --git a/mat/22/31.md b/mat/22/31.md new file mode 100644 index 0000000..bd8b21a --- /dev/null +++ b/mat/22/31.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, Yesu aliyatumiaje aandiko kuonesha kuwa kutakuwa na ufufuo? + +Yesu alinukuu maandiko ambayo Mungu anasema kuwa yeye ni Mungu wa Ibrahimu, wa Isaka, na Mungu wa Yakobo - Mungu wa walio hai. + diff --git a/mat/22/34.md b/mat/22/34.md new file mode 100644 index 0000000..2a0b365 --- /dev/null +++ b/mat/22/34.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni swali gani ambalo farisayo mwansheria alimwuliza Yesu? + +Yule mwanasheria alimwuliza Yesu kuwa sheria iliyo kuu ni ipi? + diff --git a/mat/22/37.md b/mat/22/37.md new file mode 100644 index 0000000..6d93dc5 --- /dev/null +++ b/mat/22/37.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, Yesu alisema amri kuu na ya kwanza ni ipi? + +Yesu alisema lazima, kumpenda Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote na kwa akili zako zote, na kumpenda jirani yako kama nafsi yako, hizo ndizo amri kuu mbili. + +# Je, Yesu alisema amri kuu na ya kwanza katika amri ni ipi? + +Yesu alisema lazima, umpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote, na kumpenda jirani yako kama nafsi yako, hii ndiyo amri iliyo kuu na ya kwanza. + diff --git a/mat/22/39.md b/mat/22/39.md new file mode 100644 index 0000000..7835d42 --- /dev/null +++ b/mat/22/39.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je Yesu alisema amri ya pili ni ipi? + +Yesu alisema kumpenda jirani yako kama nafsi yako, hiyo ndiyo amri ya pili. + diff --git a/mat/22/41.md b/mat/22/41.md new file mode 100644 index 0000000..85fdb27 --- /dev/null +++ b/mat/22/41.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, Yesu aliwauliza swali gani wale Mafarisayo? + +Yesu aliwauliza kuwa, Kristo ni mwana wa nani? + +# Wale Mafarisayo walimjibuje Yesu? + +Mafarisayo walimjibu Yesu kuwa Kristo alikuwa Mwana wa Daudi. + diff --git a/mat/22/45.md b/mat/22/45.md new file mode 100644 index 0000000..e873cda --- /dev/null +++ b/mat/22/45.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Swali lipi la pili ambalo baadaye Yesu aliwauliza Mafarisayo? + +Baadaye Yesu aliwauliza jinsi gani Daudi angeweza kumwita mwana wake, Kristo, Bwana, + +# Mafarisayo walimjibuje Yesu? + +Mafarisayo hawakuweza kumjibu Yesu neno lolote. + diff --git a/mat/23/01.md b/mat/23/01.md new file mode 100644 index 0000000..2fa22fe --- /dev/null +++ b/mat/23/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa kuwa Mafarisayo walikaa kwenye kiti cha Musa, Yesu aliwaambiaje watu juu ya mafundisho yao? + +Yesu aliwaambia watu kufanya na kuyasikiliza mafundisho ya Mafarisayo waliyofundisho toka kwenye kiti cha Musa. + +# Kwa kuwa Mafarisayo walikaa kwenye kti cha Musa, Yesu aliwaambiaje watu juu ya mafundisho yao? + +Yesu aliwaaambia watu kufanya na kuyasikiliza mafundisho ya Mafarisayo waliyofundisha toka kwenye kti cha Musa. + +# Kwa nini Yesu alisema kwamba watu wasiyafuate matendo ya waandishi na Mafarisayo? + +Yesu alisema wasiyafuate matendo yao kwa sababu walikuwa wakisema vitu ambavyo wao wenyewe hawavifanyi. + diff --git a/mat/23/04.md b/mat/23/04.md new file mode 100644 index 0000000..8a7a025 --- /dev/null +++ b/mat/23/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, Mafarisayo na waandishi walifanya matendo yao kwa lengo gani? + +Walifanya matendo yao kusudi watazamwe na watu. + diff --git a/mat/23/08.md b/mat/23/08.md new file mode 100644 index 0000000..116eceb --- /dev/null +++ b/mat/23/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, Yesu alimsema nani aliye Baba yetu na mwalimu wetu pekee? + +Yesu alisema kwamba, Baba yetu aliye mmoja ni Yeye Mwenyewe aliye mbinguni, na mwalimu wetu pekee ni Kristo. + +# Je, Yesu alimsema ni nani aliye baba yetu na mwalimu wetu pekee? + +Yesu alisema kwamba, Baba yetu aliye mmoja ni yeye mwenyewe aliye mbinguni, na mwalimu wetu pekee ni Kristo. + diff --git a/mat/23/11.md b/mat/23/11.md new file mode 100644 index 0000000..5a21f4b --- /dev/null +++ b/mat/23/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, Mungu atamfanya nini mtu yule ajikwezaye, na mtu yule ajinyenyekezaye mwenyewe? + +Mungu atamshusha mtu yule ajikwezaye mwenyewe na kumwinua mtu yule ajishushaye. + diff --git a/mat/23/13.md b/mat/23/13.md new file mode 100644 index 0000000..11e3aad --- /dev/null +++ b/mat/23/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je, ni jina gani ambalo Yesu mara kwa mara aliwaita waandishi na Mafarisayo lililoeleza tabia yao? + +Mara kwa mara Yesu aliwaita waandishi na Mafarisayo wanafiki. + +# Waandishi na Mafarisayo walipopata mfuasi mpya, alikuwa mwana wa nani? + +Mafarisayo na waandishi walipopata mfuasi mpya alikuwa mwana wa kuzimu mara mbili. + +# Je, ni jina gani ambalo Yesu aliwaita mara kwa mara waandishi na Mafarisayo lilieleza tabia yao? + +Mara kwa mara Yesu aliwaita waandishi na Mafarisayo wanafiki + diff --git a/mat/23/16.md b/mat/23/16.md new file mode 100644 index 0000000..3c58c78 --- /dev/null +++ b/mat/23/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Juu ya kufungwa na viapo, je, Yesu alisema nini kuhusu mafundisho ya waandishi na Mafarisayo? + +Yesu alisema kwamba waandishi na Mafarisayo walikuwa viongozi vipofu na vipofu wapumbavu. + +# Juuya kufungwa na viapo, Yesu alisema nini kuhusu mafundisho ya waandishi na Mafarisayo? + +Yesu alisema kwamba waandishi na Mafarisayo walikuwa viongozi vipofu na vipofu wapumbavu. + diff --git a/mat/23/23.md b/mat/23/23.md new file mode 100644 index 0000000..46160d1 --- /dev/null +++ b/mat/23/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Japokuwa walilipa zaka zao za mnanaa, bizali na mchicha, waandishi na Mafarisayo walishindwa kufanya nini? + +Waandishi na Mafarisayo walishindwa kufanya mambo makubwa ya sheria haki, rehema, na imani. + diff --git a/mat/23/25.md b/mat/23/25.md new file mode 100644 index 0000000..134d0e2 --- /dev/null +++ b/mat/23/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, waandishi na Mafarisayo walishindwa kusafisha nini? + +Waandishi na Mafarisayo walishindwa kusafisha ndani ya kikombe chao, ili upande wa nje pia uwe safi. + +# Je, waandishi na Mafarisayo walishindwa kusafisha nini? + +Waandishi na Mafarisayo walishiindwa kusafisha ndani ya kikombe chao, ili upande wa nje pia uwe safi. + diff --git a/mat/23/27.md b/mat/23/27.md new file mode 100644 index 0000000..d48a793 --- /dev/null +++ b/mat/23/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mafarisayo na waandishi walikuwa wamejaa nini ndani? + +Waandishi na Mfarisayo ndani yao walikuwa wamejaa majivuno, udhalimu, unafiki na uovu. + diff --git a/mat/23/29.md b/mat/23/29.md new file mode 100644 index 0000000..9e9c36e --- /dev/null +++ b/mat/23/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mababa wa Mafarisayo na wa Waandishi waliwafnyia nini manabii? + +Waliwaua manabii + +# Je, wazazi wa waandishi na Mafarisayo waliwafanyia nini manabii wa Mungu? + +Wazazi wa waandishi na Mafarisayo waliwaua manabii wa Mungu. + diff --git a/mat/23/32.md b/mat/23/32.md new file mode 100644 index 0000000..d5c1248 --- /dev/null +++ b/mat/23/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni hukumu gani ambayo waandishi na Mafarisayo wataipata? + +Hukumu ya Jehanamu + diff --git a/mat/23/34.md b/mat/23/34.md new file mode 100644 index 0000000..ccc0b6f --- /dev/null +++ b/mat/23/34.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je, Yesu alisema waandishi na Mafarisayo wangefanya nini juu manabii, watu wenye hekima na waandishi ambao angewatuma Yeye? + +Yesu alisema watawaua na kuwasulibisha baadhi yao, kuwapiga baadhi yao, na wengine kuwafukuza kutoka mji mmoja hadi mwingine. + +# Kama matokeo ya tabia yao, Mafarisayo na Waandishi watapata hatia gani? + +Hatia ya kumwagika kwa damu ya wenye haki katika duniani itakuja juu ya waandishi na Mafarisayo. + +# Ni kwa kizazi gani ambacho Yesu alisema kuwa haya yote yangetokea? + +Yesu alisema kuwa haya yote yatatokea kwenye kizazi hiki. + diff --git a/mat/23/37.md b/mat/23/37.md new file mode 100644 index 0000000..81f3ba2 --- /dev/null +++ b/mat/23/37.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alikuwa na haja gani kwa ajili ya watoto wa Yerusalemu, na kwa nini haikutimizwa? + +Yesu alitamani kuwakusanya watoto wa Yerusalemu pamoja, lakini hawakukubali. + +# Ni kwa namna gani nyumba za Yerusalemu zitabaki ukiwa? + +Nyumba za Yerusalemu zitabaki ukiwa. + diff --git a/mat/24/01.md b/mat/24/01.md new file mode 100644 index 0000000..1d80c4a --- /dev/null +++ b/mat/24/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, Yesu alitabiri nini juu ya hekalu huko Yerusalemu? + +Yesu alitabiri kuwa haltabakijiwe juu ya jiwe ambalo halitabomolewa. + diff --git a/mat/24/03.md b/mat/24/03.md new file mode 100644 index 0000000..cf13668 --- /dev/null +++ b/mat/24/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Baada ya kusikia unabii kuhusu Hekalu, wanafunzi walimuuliza nini Bwana Yesu? + +Wanafunzi walimuuliza ni lini mambo haya yangetokea, na ni nini dalili za kuja kwake na mwisho wa ulimwengu? + +# Ni aina gani ya watu ambao Yesu alisema kuwa watawapotosha wengi? + +Yesu alisema kuwa wengi watakuja wakisema wao ni makristo, watawapotosha wengi. + diff --git a/mat/24/06.md b/mat/24/06.md new file mode 100644 index 0000000..f254cb0 --- /dev/null +++ b/mat/24/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni matukio gani ambayo yesu alisema yatakuwa mwanzo wa utungu? + +Yesu alisema kwamba vita, njaa, na matetemeko yatakuwa mwanzo wa utungu. + +# Ni matukio gani ambayo Yesu alisema kuwa yatakuwa mwanzo wa utungu? + +Yesu alisema kuwa vita njaa, na matetemeko yatakuwa mwanzo wa utungu + diff --git a/mat/24/09.md b/mat/24/09.md new file mode 100644 index 0000000..a986c64 --- /dev/null +++ b/mat/24/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema kungetokea nini kati ya wanafunzi katika majira hayo? + +Yesu alisema kwamba wanafunzi watapata mateso ya dhiki kuu, baadhi watajikwaa na kusalitiana, na mioyo ya watu wengi itapoa. + +# Yesu alisema kungetokea nini kati ya wanafunzi katika majira hayo? + +Yesu alisema kuwa wanafunzi wangepata mateso ya dhiki kuu, baadhi watajikwaa na kusalitiana,na mioyo ya watu wengi itapoa + diff --git a/mat/24/12.md b/mat/24/12.md new file mode 100644 index 0000000..2af341b --- /dev/null +++ b/mat/24/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema ni nani atakaye okoka? + +Yesu alisema kwamba atakayevumilia mpaka mwisho ndiyo atakayeokoka? + +# Kitatokea ni juu ya injili kabla ya mwisho kufika? + +Injil ya ufalme itahubiriwa duniani kote kabla mwisho kuja. + diff --git a/mat/24/15.md b/mat/24/15.md new file mode 100644 index 0000000..c875ec6 --- /dev/null +++ b/mat/24/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema waumini wanapaswa kufanya nini watakapoona chukizo la uharibifu limesimama mahali patakatifu? (24:15) + +Yesu alisema waumini watakimibilia milimani. + +# Yesu alisema waumini wanapaswa kufanya niiwatapoona chukizo la uharibifu limesimama mahali patakatifu? + +Yesu alisema waumini watakimblia milimani. + diff --git a/mat/24/19.md b/mat/24/19.md new file mode 100644 index 0000000..badac5c --- /dev/null +++ b/mat/24/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ile dhiki itakuwa kubwa kiasi gani siku zile? + +Katika siku zile, ile dhiki itakuwa kubwa sana kuliko ambavyo ilishawahi kutokea tangu kuumbwa kwa dunia. + diff --git a/mat/24/23.md b/mat/24/23.md new file mode 100644 index 0000000..09b6553 --- /dev/null +++ b/mat/24/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa jinsi gani makristo wa uongo na manabii wa uongo watawapotosha watu? + +Makristo wa uongo na manabii wa uongo watawapotosha watu kwa kufanya ishara na maajabu. + diff --git a/mat/24/26.md b/mat/24/26.md new file mode 100644 index 0000000..8fb2bc0 --- /dev/null +++ b/mat/24/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kuja kwa Mwana wa Adamu kutakuwaje? + +Kuja kwa Mwana wa Adamu kutakuwa kama radi inavyomulika kutokea mashariki na kuangaza hadi magharibi. + diff --git a/mat/24/29.md b/mat/24/29.md new file mode 100644 index 0000000..895059d --- /dev/null +++ b/mat/24/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kitu gani kitalitokea jua, mwezi, na nyota baada dhiki kuu ya siku hizo? + +Jua na mwezi vitatiwa giza, na nyota zitaanguka kutoka mbinguni. + diff --git a/mat/24/30.md b/mat/24/30.md new file mode 100644 index 0000000..388e82f --- /dev/null +++ b/mat/24/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, makabila yote duniani yatafanya nini watakapomwona Mwana wa Adamu akija katka nguvu na utukufu mkuu? + +Makabila ya duniani watapigapiga vifua vyao. + +# Ni sauti gani itakayosikika Mwana wa Adamu atakapotuma malaika wake kuwakusanya wateule? + +Sauti kuu ya tarumbeta itasikika malaika watakapowakusanya wataeule. + diff --git a/mat/24/34.md b/mat/24/34.md new file mode 100644 index 0000000..9d4250e --- /dev/null +++ b/mat/24/34.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema kitu gani hakitapita hadi mambo haya yote yatimie? + +Yesu alisema kwamba kizazi hiki hakitapita mpaka mambo haya yote yatimie. + +# Yesu alisema kitu gani kitapita, na kitu gani hakitapita kamwe? + +Yesu alisema kuwa mbingu na dunia zitapita, lakini neno lake halitapita kamwe. + diff --git a/mat/24/36.md b/mat/24/36.md new file mode 100644 index 0000000..9b9bdd2 --- /dev/null +++ b/mat/24/36.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nani ajuae wakati gani mambo haya yatatokea? + +Ni Baba peke yake ajuae lini matukio haya yatatokea. + diff --git a/mat/24/37.md b/mat/24/37.md new file mode 100644 index 0000000..dbf09a4 --- /dev/null +++ b/mat/24/37.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Jinsi gani kuja kwa Mwana wa Adamu kuna fanana na siku za Nuhu kabla ya Gharika? + +Watu watakuwa wakila na kunywa, wakioa na kuolewa, bila kujua hukumu itawajilia kuwaangamiza. + +# Jinsi gani kuja kwa mwana wa Adamu kunafanana na siku za Nuhu kabla ya Gahrika? + +Watu watkuwa wakila na kunywa, wakioa na kuolewa, bila kujua hukumu itawajilia kuwaangamiza. + diff --git a/mat/24/40.md b/mat/24/40.md new file mode 100644 index 0000000..cb80ca0 --- /dev/null +++ b/mat/24/40.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni tabia gani ambayo Yesu alisema waumini wake lazima waendelee kuwa nayo juu ya ujio wake, na kwa nini? + +Yesu alisema kuwa waumini wake lazima wawe tayari, kwa sababu hawajui ni siku gani Bwana atakapokuja. + diff --git a/mat/24/45.md b/mat/24/45.md new file mode 100644 index 0000000..90491c5 --- /dev/null +++ b/mat/24/45.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kitu gani mtumwa mwaminifu na mwenye busara alifanya kipindi bwana wake alipokuwa ameondoka? + +Mtumwa mwaminifu na mwenye busara alitunza mali yote ya bwana wake wakati bwana wake alipokuwa amesafiri. + +# Kitugani mtumwa mwaminifu na mwenye busara alifanya kipindi bwana wake alipokuwa ameondoka? + +Mtumwa mwaminifu na mwenye busara alitunza mali yote ya bwana wake wakati bwana wake aliokuwa amesafiri + +# Kitu gani bwana wake atafanya kwa mtumwa mwaminifu na mwenye busara wakati bwana wake atakaporudi? + +Takapokuja, bwana wake atamweka mtumwa mwaminnifu na mwenye busara juu ya kila kitu anachokimiliki. + diff --git a/mat/24/48.md b/mat/24/48.md new file mode 100644 index 0000000..a387e32 --- /dev/null +++ b/mat/24/48.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je, yule mtumwa mwovu alifanya nini wakati bwana wake alipokuwa amesafiri? + +Mtumwa mwovu aliwapiga wafanyakazi wake na akala na kunywa pamoja na walevi wakati bwana hajarudi. + +# Je, yule mtumwa mwovu alifanya nini wakati bwana wake alipokuwa amesafiri? + +Mtumwa mwovu aliwapiga wafnyakazi wake na akala na kunywa pamoja na walevi wakati bwana hajarudi. + +# Bwana atamfanya nini yule mtumwa mwovu atakaporudi? + +Bwana atakaporudi, atamkata yule mtumwa mwovu katika vipande viwili na kumpeleka mahali ambapo kutakuwa na kilo na kusaga meno. + diff --git a/mat/25/01.md b/mat/25/01.md new file mode 100644 index 0000000..3ded79f --- /dev/null +++ b/mat/25/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, wale wanawali wapumbuvu hawakufanya nini walipoenda kumwona bwana harusi? + +Wale wanawali wapumbavu walipochukua taa zao hawakuchukua mafuta. + +# Je, wale wanawali wenye busara walifanya nini walipoenda kumpokea bwana harusi? + +Wale wanawali wenye busara walichukua vyombo vyenye mafuta pamoja na taa zao. + diff --git a/mat/25/05.md b/mat/25/05.md new file mode 100644 index 0000000..7a1e313 --- /dev/null +++ b/mat/25/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Bwana arusi alifika saa ngapi, na je, huu ndio muda uliotarajiwa? + +Bwana arusi alifika usiku wa manane, baada ya muda uliotarajiwa. + +# Bwana Harusi alifika saa ngapi, na je huu ndio muda uliotarajiwa? + +Bwana Harusi alifika usiku wa manane, baada ya muda uliotarajiwa. + diff --git a/mat/25/10.md b/mat/25/10.md new file mode 100644 index 0000000..0625c82 --- /dev/null +++ b/mat/25/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kitu gani kiliwatokea wale wanawali welevu alipokuja bwana arusi? + +Wanawali welevu walienda pamoja na bwana arusi katika sherehe ya harusi. + +# Kilitokea kitu gani kwa wale wanawali wapumbavu bwana harusi alipokuja? + +Wale wanawali wapumbavu walienda kununua mafuta, na walipokuja ule mlango wa kuingia kwenye sherehe ulikuwa umefungwa. + +# Kilitokea kitu gani kwa wanawali wapumavu bwana harusi alipokuja? + +Wale wanawali wapumbavu walienda kunua mafuta, na walipokuja ule mlango wa kuingia kwenye sherehe ulikuwa umefungwa. + +# Je, Yesu alisema alitaka waumini wajifunze nini kutokana na mfano wa wanawali? + +Yesu alisema kuwa waumii wanapaswa kuwa tayari kwa kuwa hawajui siku wala saa. + diff --git a/mat/25/14.md b/mat/25/14.md new file mode 100644 index 0000000..cdf169a --- /dev/null +++ b/mat/25/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, yule watumishi wenye talanta tano, na mwenye talanta mbili walizifanyia nini zile talanta wakati bwana wao alipokuwa safarini? + +Yule mtumishi mwenye talanta tano alizalisha talanta zingine tano na yule mwenye talanta mbili alizalisha zingine mbili. + diff --git a/mat/25/17.md b/mat/25/17.md new file mode 100644 index 0000000..c0a0003 --- /dev/null +++ b/mat/25/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yule mtumwa, mwenye taranta moja na alifanya nini ile talanta wakati bwana wake alipokuwa safarini? + +Yule mwenye moja alichimba shimo na kuifukia ile talanta ya bwana wake . + diff --git a/mat/25/19.md b/mat/25/19.md new file mode 100644 index 0000000..7c7243a --- /dev/null +++ b/mat/25/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Huyu bwana alikaa muda gani akiwa huko safarini. + +Huyo bwana alikaa huko safarini kwa muda mrefu. + +# Huyo bwana aliporudi, alifanya nini kwa mtumwa aliyekuwa amepewa talanta tano na yule aliye kuwa amepewa talanta mbili? + +Yule bwana alisema, "hongera, watumwa wazuri na waamiinifu" na aliwaweka kuwa wasimamizi wa mambo mengi. + +# Huyo bwana aliporudi, alifanya nini kwa mtumwa aliyekuwa amepewa talanta tano na yule aliye kuwa amepewa talanta mbili? + +Yule bwana alisema, "hongera, watumwa wazuri na waamiinifu" na aliwaweka kuwa wasimamizi wa mambo mengi. + diff --git a/mat/25/26.md b/mat/25/26.md new file mode 100644 index 0000000..3b44795 --- /dev/null +++ b/mat/25/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yule bwana aliporudi alimfanya nini yule mtumwa aliyekuwa amepewa talanta moja + +Tule bwana alisema, "wewe mtumwa mwovu na mzembe," alimnyanga'nya ile talanta moja, na kumtupa katika giza la nje. + diff --git a/mat/25/31.md b/mat/25/31.md new file mode 100644 index 0000000..0c9ac92 --- /dev/null +++ b/mat/25/31.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mwana wa Adamu atafanya nini atakapokuja na kukaa juu ya kiti chake cha utukufu? + +Mwana Adamu atayakusanya mataifa yote na atawatenganisha watu kundi moja kutoka kundi jingine. + +# Mwana wa Adamu atafanya nini atakapokuja na kukaa juu ya kiti chake cha utukufu? + +Mwana Adamu atayakusanya mataifa yote na atawatenganisha watu kundi moja kutoka kundi jingine. + diff --git a/mat/25/34.md b/mat/25/34.md new file mode 100644 index 0000000..ceb2afd --- /dev/null +++ b/mat/25/34.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wale watakaokuwa upande wa kulia wa Mfalme watapokea nini? + +Wale wa upande wa kulia wa Mfalme kupokea ufalme ulioandaliwa kwa ajili yao tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu. + diff --git a/mat/25/41.md b/mat/25/41.md new file mode 100644 index 0000000..b7a84cc --- /dev/null +++ b/mat/25/41.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wale watakaokuwa upande wa kushoto wa Mfalme watapokea nini? + +Wale wa upande kushoto wa Mfalme watapokea moto wa milele ulioandaliwa kwa ajili ya shetani na malaika zake. + +# Je, walewa upande wa kushoto kwa mfalme hawakufanya nini maishani mwao? + +Wale wa upande wa kushoto wa mfalme hawakuwapa chakula wenye njaa, wala kinywaji wenye kiu, hawakuwakaribisha wageni, hawakuwapa nguo walio uchi, hawakuwajali wagonjwa, wala kuwatembelea wafungwa. + +# Je, walewa upande wa kushoto kwa mfalme hawakufanya nini maishani mwao? + +Wale wa upande wa kushoto wa mfalme hawakuwapa chakula wenye njaa, wala kinywaji wenye kiu, hawakuwakaribisha wageni, hawakuwapa nguo walio uchi, hawakuwajali wagonjwa, wala kuwatembelea wafungwa. + diff --git a/mat/26/01.md b/mat/26/01.md new file mode 100644 index 0000000..2bbc36d --- /dev/null +++ b/mat/26/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni sikukuu gani ya Wayahudi ambayo yesu alisema ingetokea baada ya siku mbili. + +Yesu alisema Pasaka ilikuwa inawadia baada ya siku mbili. + diff --git a/mat/26/03.md b/mat/26/03.md new file mode 100644 index 0000000..b285540 --- /dev/null +++ b/mat/26/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wale wakuu wa Makuhani na wazee walikuwa wanapanga njama gani katika makao makuu ya kuhani mkuu? + +Walikuwa wanapanga kumkamata Yesu kwa siri na kumuua. + +# Wale wakuu wa makuhani na wazee walikuwa wanaogopa nini? + +Walikuwa wanaogopa kumwua Yesu wakati wa Pasaka kwa hofu ya watu wasije kuzua ghasia. + diff --git a/mat/26/06.md b/mat/26/06.md new file mode 100644 index 0000000..482ad0c --- /dev/null +++ b/mat/26/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mwanamke alipomimina mafuta yenye thamani juu ya kichwa cha Yesu mwitikio wa wanafunzi wake ulikuwaje? + +Wanafunzi walikasirika na walitaka kujua kwa nini mafuta yasingeuzwa na pesa zake wakapewa maskini. + +# Mwanamke alipomimina mafuta yenye thamani juu ya kichwa cha Yesu mwitikio wa wanafunzi wake ulikuwaje? + +Wanafunzi walikasirika na walitaka kujua kwa nini mafuta yasingeuzwa na pesa zake wakapewa maskini. + diff --git a/mat/26/12.md b/mat/26/12.md new file mode 100644 index 0000000..7129dcc --- /dev/null +++ b/mat/26/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema sababu gani ilimfanya mwanamke amimine mafuta juu yake? + +Yesu alisema mwanamke alimimina mafuta juu yake kwa ajili ya maziko yake. + diff --git a/mat/26/14.md b/mat/26/14.md new file mode 100644 index 0000000..c1151e7 --- /dev/null +++ b/mat/26/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yuda Iskariote alilipwa nini ili kumkabidhi Yesu katika mikono ya wakuu wa makuhani? + +Yuda alilipwa vipande thelathini vya fedha ili kumkabidhi Yesu katika mikono ya wakuu wa makuhani. + +# Yuda Iskariote alilipwa nini ili kumkabidhi Yesu katika mikono ya wakuu wa makuhani? + +Yuda alilipwa vipande thelathini vya fedha ili kumkabidhi Yesu katika mikono ya wakuu wa makuhani. + diff --git a/mat/26/20.md b/mat/26/20.md new file mode 100644 index 0000000..4a4fe00 --- /dev/null +++ b/mat/26/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema nini kwenye chakula cha jionni juu mwanafunzi wake mmoja? + +Yesu alisema kuwa mmoja wa wanafunzi wake angemsaliti. + diff --git a/mat/26/23.md b/mat/26/23.md new file mode 100644 index 0000000..8ab6f04 --- /dev/null +++ b/mat/26/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisemaje juu ya maisha ya baadaye ya yule ambaye atamsaliti? + +Yesu alisema kuwa ingekuwaafadhali kwa mtu atakayemasaliti kama asingezaliwa. + +# Je, Yesu alimjibuje Yuda alipomwuliza kuwa kama ni yeye ambaye atamsaliti.? + +Yesu alisema "wewe wasema" + diff --git a/mat/26/26.md b/mat/26/26.md new file mode 100644 index 0000000..a52a9e6 --- /dev/null +++ b/mat/26/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema nini alipochukua mkate, akaubariki,akauvunja, na kuwapa wanafunzi? + +Yesu alisema, "Twaeni, mle. Huu ni mwili wangu." + diff --git a/mat/26/27.md b/mat/26/27.md new file mode 100644 index 0000000..e47ff53 --- /dev/null +++ b/mat/26/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema nini juu ya kikombe na kisha kuwapa wanafunzi? + +Yesu alisema kuwa kile kikombe ni damu yake ya agano ambayo inamwagwa kwa ajili ya wengi kwamsamaha wa dhambi. + diff --git a/mat/26/30.md b/mat/26/30.md new file mode 100644 index 0000000..a28e322 --- /dev/null +++ b/mat/26/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu aliwaambia wanafunzi wake wote kuwa wangefanya nini usiku ule katika Mlima wa Mizeituni? + +Yesu aliwaambia wanafunzi wake kwamba wote wangetawanyika usiku ule kwa sababu yake. + +# Yesu aliwaambia wanafunzi wake wote kuwa wangefanya nini usiku ule katika Mlima wa Mizeituni? + +Yesu aliwote wangetawanyika usiku ule kwa sababu yake.waambia wanafunzi wake kwamba + diff --git a/mat/26/33.md b/mat/26/33.md new file mode 100644 index 0000000..f44ac54 --- /dev/null +++ b/mat/26/33.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Petro alisema asingemuacha kamwe, je, Yesu alimwambia angefanya nini usiku ule? + +Yesu alisema kwamba Petro angemkana Yesu usiku ule mara tatu kabla jogoo hajawika. + +# Petro alisema asingemuacha kamwe, je, Yesu alimwambia angefanya nini usiku ule? + +Yesu alisema kwamba Petro angemkana Yesu usiku ule mara tatu kabla jogoo hajawika. + diff --git a/mat/26/36.md b/mat/26/36.md new file mode 100644 index 0000000..01b6e29 --- /dev/null +++ b/mat/26/36.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesua limwambia nini Petro na wale wawili wa Zebedayo wakati anaomba? + +Yesu aliwaambia kaeni hapa na kukusha naye. + +# Yesua limwambia nini Petro na wale wawili wa Zebedayo wakati anaomba? + +Yesu aliwaambia kaeni hapa na kukusha naye. + diff --git a/mat/26/39.md b/mat/26/39.md new file mode 100644 index 0000000..97de8e6 --- /dev/null +++ b/mat/26/39.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni ombi gani alilofanya Yesu kwa Baba katika sala yake? + +Yesu aliomba kwamba, kama ingewezekana kikombe hiki kimwepuke. + +# Yesu aliporudi toka kwenye maombi aliwakuta wanafunzi wanafanya nini? + +Wanafunzi walikuwa wamesinzia Yesu aliporudi toka kwenye maombi + diff --git a/mat/26/42.md b/mat/26/42.md new file mode 100644 index 0000000..5113707 --- /dev/null +++ b/mat/26/42.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yesu aliomba nini kitimia, ambacho si kwa mapenzi yake? + +Yesu aliomba kwamba mapenzi ya Baba yatimie, kuliko mapenzi yake mwenyewe. + +# Ni mara ngapi Yesu aliwaacha wanafunzi wake akaenda kuomba? + +Yesu aliwaacha wanafunzi wake mara tatu naye akaenda kuomba + +# Ni mara ngapi Yesu aliwaacha wanafunzi wake akaenda kuomba? + +Yesu aliwaacha wanafunzi wake mara tatu naye akaenda kuomba + diff --git a/mat/26/45.md b/mat/26/45.md new file mode 100644 index 0000000..b82dfba --- /dev/null +++ b/mat/26/45.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wanafunzi walikuwa wakifanya nini wakati Yesu akirudi kutoka maombini? + +Wanafunzi walikuwa wamesinzia wakati Yesu akirudi kutoka maombini. + diff --git a/mat/26/47.md b/mat/26/47.md new file mode 100644 index 0000000..80ff355 --- /dev/null +++ b/mat/26/47.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yuda aliwapa kikosi ishara gani ya kumtambua Yesu kuwa ndiye wa kukamatwa? + +Yuda alimbusu kama ishara kwa kikosi kwamba Yesu ndiye wa kukamatwa. + +# Yuda aliwapa kikosi ishara gani ya kumtambua Yesu kuwa ndiye wa kukamatwa? + +Yuda alimbusu kama ishara kwa kikosi kwamba Yesu ndiye wa kukamatwa. + diff --git a/mat/26/51.md b/mat/26/51.md new file mode 100644 index 0000000..cd10098 --- /dev/null +++ b/mat/26/51.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je, mmoja wa wanafunziwa wa Yesu alifanya nini Yesu alipokamatwa? + +Mmoja wa wanafunzi wa Yesu alichomoa upanga wake na kumkata sikio mtumishi wa Kuhani Mkuu. + +# Yesu aliseam angefanya nini kama angetaka kujihami? + +Mmoja wa wanafunzi wa Yesu alifuta upanga wake na kumkata sikio mtumishi wa kuhani mkuu. + +# Yesu alisema kitu gani kilichokuwa kinatimilika kutokana na matukio hayo? + +Yesu alisema kuwa maandiko yalikuwa yanatimizwa kwa matukio hayo + diff --git a/mat/26/55.md b/mat/26/55.md new file mode 100644 index 0000000..afa2deb --- /dev/null +++ b/mat/26/55.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, wanafunzi wote walifanya nini? + +Wanafunzi wote walimwacha na kukimbia + diff --git a/mat/26/59.md b/mat/26/59.md new file mode 100644 index 0000000..5ea47ec --- /dev/null +++ b/mat/26/59.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa sababu gani wakuu wa makuhani na baraza zima walitafuta ili kumuua Yesu? + +Walikuwa wakitafuta ushahidi wa uongo dhidi ya yake ili kumuua Yesu. + diff --git a/mat/26/62.md b/mat/26/62.md new file mode 100644 index 0000000..157be7f --- /dev/null +++ b/mat/26/62.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni amri gani ambayo kuhani mkuu alimwamuru Yesu kama Mungu aishivyo? + +Kuhani mkuu alimwamuru Yesu asema kama yeye ndiye Kristo, Mwana wa Mungu + +# Yesu alimjibuje kuhani mkuu kwa amri yake? + +Yesu alisema "wewe wasema" + +# Yesu alisema nini ambacho kuhan mkuui atakiona? + +Yesu alimwambia kuhani mkuu atamwona Mwana wa Adamu amekaa mkono wa kuume wa mamlaka, na akija katika mawingu ya mbinguni. + diff --git a/mat/26/65.md b/mat/26/65.md new file mode 100644 index 0000000..992eb0c --- /dev/null +++ b/mat/26/65.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni mashitaka gani ambayo Kuhani Mkuu aliyafanya dhidi ya Yesu? + +Kuhani Mkuu alimshitaki Yesu kwa kosa la kukufuru. + diff --git a/mat/26/67.md b/mat/26/67.md new file mode 100644 index 0000000..2a172c9 --- /dev/null +++ b/mat/26/67.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Walimfanyia nini Yesu baada ya kuwa wamemkamta? + +Walimtemea Yesu usoni, wakampiga, na kumchapa makofi kwa mikono yao. + diff --git a/mat/26/73.md b/mat/26/73.md new file mode 100644 index 0000000..0a35222 --- /dev/null +++ b/mat/26/73.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Petro alijibu mara tatu jibu gani kwa swali amabalo mtu alimwuliza kama na yeye alikuwa na Yesu? + +Petro alijibu kuwa hakumfahamu Yesu + +# Kilitokea nini baada ya Petro kujibu ile mara ya tutu? + +Baada tu ya Petro kujibu mara ya tatu, jogoo aliwika. + +# Petro alijibu mara tatu jibu gani kwa swali amabalo mtu alimwuliza kama na yeye alikuwa na Yesu? + +Petro alijibu kuwa hakumfahamu Yesu + +# Je, Petro alikumbuka nini baada ya jibu lake la tatu? + +Petro alikumbuka kuwa Yesu alikuwa amesema kuwa, kabala jogoo hajawika atakuwa amemkana mara tatu.. + diff --git a/mat/27/01.md b/mat/27/01.md new file mode 100644 index 0000000..420affe --- /dev/null +++ b/mat/27/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, asubuhi wakuu wa makuhani na wazee walimpeleka wapi Yesu? + +Asubuhi walimpeleka Yesu kwa Liwali Pilato + diff --git a/mat/27/03.md b/mat/27/03.md new file mode 100644 index 0000000..c9abf62 --- /dev/null +++ b/mat/27/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, Yuda alifanya nini alipoona kuwa Yesu amehukumiwa? + +Yesu alikiri kuisaliti damu isiyo hatia, akazirudisha zile fedha, akatoka nje, akajinyonga. + +# Je, Yuda alifanya nini alipoona kuwa Yesu amehukumiwa? + +Yesu alikiri kuisaliti damu isiyo hatia, akazirudisha zile fedha, akatoka nje, akajinyonga. + diff --git a/mat/27/06.md b/mat/27/06.md new file mode 100644 index 0000000..d0f177b --- /dev/null +++ b/mat/27/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, wakuu wa makuhani walifanya nini na vile viapende thelathini vya fedha? + +Walinunua shamba la mfinyanzi kwa ajili ya maziko ya wageni. + +# Je, wakuu wa makuhani walifanya nini na vile viapende thelathini vya fedha? + +Walinunua shamba la mfinyanzi kwa ajili ya maziko ya wageni + diff --git a/mat/27/09.md b/mat/27/09.md new file mode 100644 index 0000000..afd6d42 --- /dev/null +++ b/mat/27/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni unabii gani ambao unatimiza matukio haya? + +Matukio haya yanatimiza unabii wa Yeremia. + +# Ni unabii gani ambao unatimiza matukio haya? + +Matukio haya yanatimiza unabii wa Yeremia. + diff --git a/mat/27/11.md b/mat/27/11.md new file mode 100644 index 0000000..d645b86 --- /dev/null +++ b/mat/27/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni swali gani ambalo Pilato alimwuliza Yesu, na jibu la Yesu lilikuwaje? + +Pilato alimwuliza Yesu kama yeye alikuwa ni maflme wa Wayahudi, na Yesu alimjibu, "wewe wasema". + +# Yesu alijibu nini kwa mashitaka yote ya wazee na wakuu wa Makuhani? + +Yesu hakujibu hata neno moja. + +# Yesu alijibu nini kwa mashitaka yote ya wazee na wakuu wa Makuhani? + +Yesu hakujibu hata neno moja. + diff --git a/mat/27/15.md b/mat/27/15.md new file mode 100644 index 0000000..1851733 --- /dev/null +++ b/mat/27/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, Pilato alitamani kufanya nini kwa Yesu, kwa mjibu wa tamaduni za Wayahudi? + +Pilato alitamani kumwachia huru Yesu. kwa mjibu watamaduni za Wayahudi. + +# Je, Pilato alitamani kufanya nini kwa Yesu, kwa mjibu wa tamaduni za Wayahudi? + +Pilato alitamani kumwachia huru Yesu. kwa mjibu watamaduni za Wayahudi. + diff --git a/mat/27/17.md b/mat/27/17.md new file mode 100644 index 0000000..ee5f5ea --- /dev/null +++ b/mat/27/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni ujumbe gani ambao mke wa Pilato alimtumia mume wake alipokuwa ameketi kwenye kiti chake cha hukumu? + +Alimwambia Pilato kuwa asimfanyechochote huyo mtu asiyekuwa na hatia. + diff --git a/mat/27/20.md b/mat/27/20.md new file mode 100644 index 0000000..9535007 --- /dev/null +++ b/mat/27/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini Baraba aliachiwa huru na wala siyo Yesu kwa mjibu wa tamaduni za siku kuu? + +Wkuu wa makuhani nawazee waliwashawishi makutano wamwombe baraba afunguliwe badala ya Yesu. + +# Je, makutanao walipiga kelele wakiomba Yesu afanywe nini? + +Makutano walipiga kelele wakiomba Yesu asulibiwe. + diff --git a/mat/27/23.md b/mat/27/23.md new file mode 100644 index 0000000..5a02687 --- /dev/null +++ b/mat/27/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Pilato alipoona makutano wameanza kupiga kelele alifanya nini? + +Pilato alinawa mikona yake, alikuwa hana hatia kwa damu ya mtu asiyekuwa na hatia, na kisha akamtoa Yesu kwa makutano. + diff --git a/mat/27/25.md b/mat/27/25.md new file mode 100644 index 0000000..47cabd1 --- /dev/null +++ b/mat/27/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, watu walisemaje Pilato alipomtoa Yesu kwao? + +Watu waalisema hivi, "damu yake na iwe juu yetu na watoto wetu". + diff --git a/mat/27/27.md b/mat/27/27.md new file mode 100644 index 0000000..ab473fe --- /dev/null +++ b/mat/27/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, wale maaskari wa Liwali walimwekea nini Yesu? + +Wale maaskari walimvalisha kanzu ya rangi nyekundu, na taji ya miiba kichwani mwake. + +# Je, wale maaskari wa Liwali walimwekea nini Yesu? + +Wale maaskari walimvalisha kanzu ya rangi nyekundu, na taji ya miiba kichwani mwake. + diff --git a/mat/27/32.md b/mat/27/32.md new file mode 100644 index 0000000..36ab604 --- /dev/null +++ b/mat/27/32.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Simoni wa Krene alilazimishwa kufanya nini? + +Simon alilazimishwa kubeba msalaba wa Yesu. + +# Walimpeleka wapi Yesu kwa ajili ya kumsulubisha? + +Walimpeleka Golgotha, maana yake "fuvu la kichwa". + diff --git a/mat/27/35.md b/mat/27/35.md new file mode 100644 index 0000000..f2eee08 --- /dev/null +++ b/mat/27/35.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je, wale maaskari walifanya nii baada ya kumsulibisha Yesu? + +Maaskari walipiga kura ili kugawana mavazi yake na waliketi na kumwangalia". + +# Je, wale maaskari walifanya nii baada ya kumsulibisha Yesu? + +Maaskari walipiga kura ili kugawana mavazi yake na waliketi na kumwangalia". + +# Waliweka maandisjhi gani juu ya kichwa cha Yesu? + +Waliandika, "HUYU NDIYE YESU MFALME WA WAYAHUDI". + diff --git a/mat/27/38.md b/mat/27/38.md new file mode 100644 index 0000000..e6df7a6 --- /dev/null +++ b/mat/27/38.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nani ambao walisulibishwa pamoja na Yesu" + +Wanyang'anyi wawili walisulibuwa pamoja na Yesu, mmoja upande wa kushoto na mwingine upande wa kulia. + diff --git a/mat/27/41.md b/mat/27/41.md new file mode 100644 index 0000000..0abe7ff --- /dev/null +++ b/mat/27/41.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, watu, wakuu wa makuhani, wazee, na waandishi walimtaka Yesu kufanya nini? + +Wote walimtaka Yesu ajiokoe nakushuka msalabani? + diff --git a/mat/27/45.md b/mat/27/45.md new file mode 100644 index 0000000..c3eb378 --- /dev/null +++ b/mat/27/45.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kilitokea nini kuanzia saa sita mpaka saa tisa? + +Giza lilikuja juuya dunia kuanzia saa sita mpaka saa tisa. + +# Yesu aliliaje ilipofika saa tisa? + +"Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?" + diff --git a/mat/27/48.md b/mat/27/48.md new file mode 100644 index 0000000..e1756c5 --- /dev/null +++ b/mat/27/48.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kilitokea nini baad ya Yesu kulia tena kwasauti kuu? + +Yesu aliitoa nafsi yake. + diff --git a/mat/27/51.md b/mat/27/51.md new file mode 100644 index 0000000..bb711b9 --- /dev/null +++ b/mat/27/51.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kilitokea nini hekaluni Yesu alipokufa? + +Lile pazia la hekalu lilipasuka sehemu mbili kutoka juu hadi chini baada ya Yesu kufa. + +# Kilitokea nini makaburini Yesu alipokufa? + +Watakatifu wengi aliokuwa wamelala usingizi walifufuka nao wakawatokea wengi baada ya Yesu kufa. + +# Kilitokea nini makaburini Yesu alipokufa? + +Watakatifu wengi aliokuwa wamelala usingizi walifufuka nao wakawatokea wengi baada ya Yesu kufa. + diff --git a/mat/27/54.md b/mat/27/54.md new file mode 100644 index 0000000..f114459 --- /dev/null +++ b/mat/27/54.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baada ya kushuhudia matukio haya yote, yule akida alitoa ushuhuda gani? + +Yule akida alishuhudia kuwa, "Hakika huyu alikuwa mwana wa Mungu". + diff --git a/mat/27/57.md b/mat/27/57.md new file mode 100644 index 0000000..afce0b2 --- /dev/null +++ b/mat/27/57.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Baada ya kuwa amesulibishwa kilitokea nini kwenye mwili wa Yesu? + +Mwanafunzi tajiri wa Yesu, Yusufu, alimwomba Yesu mwili wa Yesu, aliufunga sanda ya sufi, na kuulaza kwenye kaburi lake jipya. + +# Baada ya kuwa amesulibishwa kilitokea nini kwenye mwili wa Yesu? + +Mwanafunzi tajirialimwomba Yesu mwili wa Yesu, aliuzonga kwenye sanda ya kitani, na kuulaza kwenye kaburi lake jipya. wa Yesu, Yusufu, + diff --git a/mat/27/59.md b/mat/27/59.md new file mode 100644 index 0000000..1f8180e --- /dev/null +++ b/mat/27/59.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kiliwekwa nini kwenye mlango wa kaburi ambaplo Yesu alikuwa amelazwa? + +Jiwe kubwa liliwekwa kwenye mlango wa lile kaburi ambamo mwili wa Yesu ulikuwa umelazwa. + diff --git a/mat/27/62.md b/mat/27/62.md new file mode 100644 index 0000000..a16f182 --- /dev/null +++ b/mat/27/62.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwsa nini wakuu wamakuhani na Mafarisayo waliktana na Pilato siku iliyofuata? + +Wakuuwa makuhani na Mafarisayo walitaka kuhakikisha kuwa kaburi la Yesu liko salama ili mtu asije akauiba mwili wa Yesu. + +# Kwsa nini wakuu wamakuhani na Mafarisayo waliktana na Pilato siku iliyofuata? + +Wakuuwa makuhani na Mafarisayo walitaka kuhakikisha kuwa kaburi la Yesu liko salama ili mtu asije akauiba mwili wa Yesu. + diff --git a/mat/27/65.md b/mat/27/65.md new file mode 100644 index 0000000..a68967e --- /dev/null +++ b/mat/27/65.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, ni kitu gani ambacho Pilato aliwaruhusu kuweka kaburini? + +Pilato aliwaruhusu waweke mhuri kaburini na kulilinda. + +# Je, ni kitu gani ambacho Pilato aliwaruhusu kuweka kaburini? + +Pilato aliwaruhusu waweke mhuri kaburini na kulilinda. + diff --git a/mat/28/01.md b/mat/28/01.md new file mode 100644 index 0000000..0830be5 --- /dev/null +++ b/mat/28/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni siku gani na wakati gani ambapo Mariam Magadalena na yule Mariamu wa pilli walipoende kwenye kabiri la Yesu? + +Jua lilipokuwa likichwa kuelekea siku ya kwanza ya Juma, walienda kwenye kaburi la Yesu. + +# Lile jiwe lilivingirishwaje kutoka kwenye kaburi la Yesu? + +Malaika wa Bwana alishuka na kulivingirisha lile jiwe. + diff --git a/mat/28/03.md b/mat/28/03.md new file mode 100644 index 0000000..933f269 --- /dev/null +++ b/mat/28/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, wale walinzi walifanya nii walipomwona malaika? + +Wale walinzi waloishikwa na hofu wakawa kama wafu walipomwona malaika. + diff --git a/mat/28/05.md b/mat/28/05.md new file mode 100644 index 0000000..aa627c8 --- /dev/null +++ b/mat/28/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yule malaika aliwaambia nini wale wanawake wawili juu ya Yesu? + +Malaika alisema kuwa Yesu alikuwa amefufuka naye alikuwa anawatangulia kwenda Galilaya + +# Yule malaika aliwaambia nini wale wanawake wawili juu ya Yesu? + +Malaika alisema kuwa Yesu alikuwa amefufuka naye alikuwa anawatangulia kwenda Galilaya + diff --git a/mat/28/08.md b/mat/28/08.md new file mode 100644 index 0000000..7443b93 --- /dev/null +++ b/mat/28/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kiliwatokea nini wale wanawake wawili walipokuwa njiani kwenda kuwaambia wanafunzi? + +Wale wanawake walikutana na Yesu na kumshikilia miguu yake na kisha kumwabudu. + +# Kiliwatokea nini wale wanawake wawili walipokuwa njiani kwenda kuwaambia wanafunzi? + +Wale wanawake walikutana na Yesu na kumshikilia miguu yake na kisha kumwabudu. + diff --git a/mat/28/11.md b/mat/28/11.md new file mode 100644 index 0000000..f9ad79b --- /dev/null +++ b/mat/28/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wakati wale walizi walipowaambia wale wakuu Makuhani kilichokuwa kimetokea pale kaburini, wale wakuu wa Makuhani walifanya nini? + +Wakuu wa Makuhani waliwalipa wale askari kiasi kikubwa cha pesa na kuwaambia waseme kuwa wanafunzi wa Yesu waliuiba mwili wa Yesu + +# Wakati wale walizi walipowaambia wale wakuu Makuhani kilichokuwa kimetokea pale kaburini, wale wakuu wa Makuhani walifanya nini? + +Wakuu wa Makuhani waliwalipa wale askari kiasi kikubwa cha pesa na kuwaambia waseme kuwa wanafunzi wa Yesu waliuiba mwili wa Yesu + diff --git a/mat/28/16.md b/mat/28/16.md new file mode 100644 index 0000000..84f09f3 --- /dev/null +++ b/mat/28/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, wanafunzi walifanya nii walipomwona Yesu kule Galilaya? + +Wale wanafunzi walimwabudu Yesu, japo wengine waliona shaka. + diff --git a/mat/28/18.md b/mat/28/18.md new file mode 100644 index 0000000..455cb6b --- /dev/null +++ b/mat/28/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni mamlaka gsni ambayo Yesu alisema kuwa alikuwa amepewa? + +Yesu alisema kuwa alikuwa amepewa mamlka yote yaliyo mbinguni na duniani. + +# Je,Yesu aliwaamuru wanafunzi wake kufanya nini? + +Yesu aliwaamuru wanafunzi wake kwenda na kuwafanya watu kuwa wanafunzi wake na kuwabatiza. + +# Ni katika jina gani ambalo Yesu aliwaamuru wanafunzi wake kubatiza? + +Yesu aliwaambia wanafunzi wake kubatiza katika jina la Baba na la mwana na la Roho mtakatifu. + diff --git a/mat/28/20.md b/mat/28/20.md new file mode 100644 index 0000000..01f32b0 --- /dev/null +++ b/mat/28/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, Yesu aliwaamuru wanafunzi wake kufundisha nini? + +Yesu aliwaamuru wanafunzi wake kuwafundisha mataifa kutii mambo yote aliyoamuru. + +# Je, Yesu aliwapa ahadi gani ya mwisho wanafunzi. + +Yesu aliahidi kuwa nao mpaka mwisho wa Ulimwengu + diff --git a/mrk/01/01.md b/mrk/01/01.md new file mode 100644 index 0000000..ab03868 --- /dev/null +++ b/mrk/01/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je nini ambacho nabii isaya alitabiri kingetokea kabla Bwana hajarudi? + +Isaya alitabiri kuwa Mungu angeleta mtumishi, sauti ya mtu aitaye jangwani, kuandaa njia ya Bwana. + +# Je nini ambacho nabii isaya alitabiri kingetokea kabla Bwana hajarudi? + +Isaya alitabiri kuwa Mungu angeleta mtumishi, sauti ya mtu aitaye jangwani, kuandaa njia ya Bwana. + diff --git a/mrk/01/04.md b/mrk/01/04.md new file mode 100644 index 0000000..2713fe0 --- /dev/null +++ b/mrk/01/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kitu gani Yohana alikuja akihubiri? + +Yohana alikuja kuhubiri ubatizo wa toba kwa ajili ya msamaha wa dhambi. + +# Je watu walifanya nini wakati wanabatizwa na Yohana? + +Watu walikili dhambi zao wakati wanabatizwa na Yohana. + +# Je Yohana alikula nini? + +Yohana alikula nzige na asali ya mwituni. + diff --git a/mrk/01/07.md b/mrk/01/07.md new file mode 100644 index 0000000..89b181d --- /dev/null +++ b/mrk/01/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je Yohana alisema ajaye nyuma yake atabatiza kwa kitu gani? + +Yohana alisema ajaye nyuma yake atabatiza kwa Roho Mtakatifu. + diff --git a/mrk/01/09.md b/mrk/01/09.md new file mode 100644 index 0000000..aacf858 --- /dev/null +++ b/mrk/01/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je Yesu aliona nini alipotoka ndani ya maji baada ya kubatizwa na Yohana? + +Baada ya kbatizwa, Yesu aliona mbingu zikigawanyika na kufunguka na Roho Mtakatifu akishuka juu yake kama njiwa. + +# Je sauti kutoka mbinguni ilisema nini baada ya Yesu kubatizwa? + +Sauti kutoka binguni ilisema; "wewe ni mwanangu mpendwa nimependezwa na nawe." + diff --git a/mrk/01/12.md b/mrk/01/12.md new file mode 100644 index 0000000..39cc19a --- /dev/null +++ b/mrk/01/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nani alimwongoza Yesu kwenda nyikani? + +Roho alimwongoza Yesu hadi nyikani. + +# Je Yesu alikaa muda gani jangwani, na ni nii kilimtokea kule? + +Yesu alikuwa jangwani kwa siku arobaini, na kule alijaribiwa na shetani. + diff --git a/mrk/01/14.md b/mrk/01/14.md new file mode 100644 index 0000000..901b5de --- /dev/null +++ b/mrk/01/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je ni ujumbe gani ambao Yesu alihubiri? + +Yesu alihubiri kuwa ufalme wa Mungu umekaribia, na kwmaba watu lazima watubu na kuamini injili. + diff --git a/mrk/01/16.md b/mrk/01/16.md new file mode 100644 index 0000000..86ed785 --- /dev/null +++ b/mrk/01/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je kazi ya Simoni na Andrea ilikuwa ni ipi? + +Simoni na Andrea walikuwa wavuvi wa Samaki. + +# Je Yesu alisema atawafanya Simoni na Andrea kuwa watu wa namna gani? + +Yesu alisema atawafanya Simoni na Andrea kuwa wavuvi wa watu. + diff --git a/mrk/01/19.md b/mrk/01/19.md new file mode 100644 index 0000000..faffecf --- /dev/null +++ b/mrk/01/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kazi ya Yakobo na Yohana ilikuwa ipi? + +Yakobo na Yohana walikuwa wavuvi + diff --git a/mrk/01/21.md b/mrk/01/21.md new file mode 100644 index 0000000..c66f8c2 --- /dev/null +++ b/mrk/01/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini mafundisho ya Yesu yaliwashangaza watu katika sinagogi? + +Mafundisho ya Yesu yaliwashangaza watu kwa sababu Yesu alifundisha kama mtu mwenye mamlaka. + diff --git a/mrk/01/23.md b/mrk/01/23.md new file mode 100644 index 0000000..e2e918f --- /dev/null +++ b/mrk/01/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je ni jina gani ambalo Yesu alipewa na yule roho mchafu katika sinagogi? + +Yule roho mchafu alimpatia Yesu jina au cheo cha mtakatifu wa Mungu ndani ya sinagogi. + diff --git a/mrk/01/27.md b/mrk/01/27.md new file mode 100644 index 0000000..f9de8ec --- /dev/null +++ b/mrk/01/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je ni ni kilitokea juu ya habari za Yesu? + +Habari za Yesu zilisambaa kila mahali. + diff --git a/mrk/01/29.md b/mrk/01/29.md new file mode 100644 index 0000000..2091249 --- /dev/null +++ b/mrk/01/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je walipo kwenda kwenye nyumba ya Simoni , Yesu alimponya nani? + +Walipokwenda kwenye nyumba ya Simoni, Yesu alimponya mama mkwe wa Simon. + diff --git a/mrk/01/32.md b/mrk/01/32.md new file mode 100644 index 0000000..9069df7 --- /dev/null +++ b/mrk/01/32.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini kilitokea wakati wa ilipokuwa jioni? + +Wakati ilipofika jioni, watu walileta wote waliokuwa wagonjwa au waliopagawa na mapepo, na Yesu aliwaponya wote. + +# Nini kilitokea wakati wa ilipokuwa jioni? + +Wakati ilipofika jioni, watu walileta wote waliokuwa wagonjwa au waliopagawa na mapepo, na Yesu aliwaponya wote. + diff --git a/mrk/01/35.md b/mrk/01/35.md new file mode 100644 index 0000000..113ef75 --- /dev/null +++ b/mrk/01/35.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alifanya nini kabla ya jua kuchomoza? + +Kabla ya jua kuchomoza, Yesu alikwenda mahali pa faragha na aliomba huko. + diff --git a/mrk/01/38.md b/mrk/01/38.md new file mode 100644 index 0000000..10fc43e --- /dev/null +++ b/mrk/01/38.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alimwambia nini Simoni juu ya kusudi lililomleta? + +Yesu alimwambia kuwa alikuja kuhubiri katika miji iliyomzunguka. + +# Yesu alimwambia nini Simoni juu ya kusudi lililomleta? + +Yesu alimwambia kuwa alikuja kuhubiri katika miji iliyomzunguka. + diff --git a/mrk/01/40.md b/mrk/01/40.md new file mode 100644 index 0000000..07e58e8 --- /dev/null +++ b/mrk/01/40.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alikuwa na mtazamo upi juu ya mwenye ukoma aliyemwomba apate kumponya? + +Yesu alikuwa amejawa na huruma kwa mwenye ukoma na alimponya. + +# Yesu alikuwa na mtazamo upi juu ya mwenye ukoma aliyemwomba apate kumponya? + +Yesu alikuwa amejawa na huruma kwa mwenye ukoma na alimponya. + diff --git a/mrk/01/43.md b/mrk/01/43.md new file mode 100644 index 0000000..c1d03eb --- /dev/null +++ b/mrk/01/43.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je ni jambo gani Yesu alimwambia mkoma kulifanya na kwa nini? + +Yesu alimwambia mkoma kwendakutoa sadaka kama musa alivyo agiza kama ushuhuda. + diff --git a/mrk/02/01.md b/mrk/02/01.md new file mode 100644 index 0000000..c15ca10 --- /dev/null +++ b/mrk/02/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, watu wanne waliokuwa wamembeba mtu aliyepooza walifanya nini? + +"Watu waliondoa paa la nyumba nao wakamshusha mtu aliyepooza kwa Yesu. + diff --git a/mrk/02/03.md b/mrk/02/03.md new file mode 100644 index 0000000..69512dc --- /dev/null +++ b/mrk/02/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je ni jmbo gani wale watu wanne walifanya wale waliombeba yule mwenye kupooza? + +Wale watu waliondoa paa la nyumba na kumshusha yule mwenye kupooza hadi kwa Yesu. + diff --git a/mrk/02/05.md b/mrk/02/05.md new file mode 100644 index 0000000..eee8b36 --- /dev/null +++ b/mrk/02/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yesu alimwambia nini yule mtu aliyepooza? + +Yesu alisema, "Mtoto, dhambi zako zimesamehewa." + +# Kwa nini baadhi ya waandishi walikataa kile alichosema Yesu? + +Baadhi ya waandishi walifikiri kwamba Yesu amekufuru kwa sababu ni Mungu pekeyake anaweza kusamehe dhambi. + +# Kwa nini baadhi ya waandishi walikataa kile alichosema Yesu? + +Baadhi ya waandishi walifikiri kwamba Yesu amekufuru kwa sababu ni Mungu pekeyake anaweza kusamehe dhambi. + diff --git a/mrk/02/10.md b/mrk/02/10.md new file mode 100644 index 0000000..eccac0e --- /dev/null +++ b/mrk/02/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Namna gani Yesu alionesha kwamba alikuwa na mamlaka ya kusamehe dhambi duniani? + +Yesu alimwambia mtu aliyepooza kuchukua kitanda chake na kwenda kwenye nyumba yake, naye alifanya hivyo. + +# Namna gani Yesu alionesha kwamba alikuwa na mamlaka ya kusamehe dhambi duniani? + +Yesu alimwambia mtu aliyepooza kuchukua kitanda chake na kwenda kwenye nyumba yake, naye alifanya hivyo. + diff --git a/mrk/02/13.md b/mrk/02/13.md new file mode 100644 index 0000000..1308501 --- /dev/null +++ b/mrk/02/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Lawi alikuwa anafanya nini wakati Yesu alipomwambia Lawi amfuate? + +Lawi alikuwa anakaa katika sehemu ya kukusanyia kodi wakati Yesu alipomwita. + +# Lawi alikuwa anafanya nini wakati Yesu alipomwambia Lawi amfuate? + +Lawi alikuwa anakaa katika sehemu ya kukusanyia kodi wakati Yesu alipomwita. + diff --git a/mrk/02/15.md b/mrk/02/15.md new file mode 100644 index 0000000..293f943 --- /dev/null +++ b/mrk/02/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Katika nyumba ya Lawi, Yesu alikuwa anafanya nini kilichowakasirisha Mafarisayo? + +Yesu likuwa akila na watu wenye dhambi pamoja na wakusanya kodi. + +# Katika nyumba ya Lawi, Yesu alikuwa anafanya nini kilichowakasirisha Mafarisayo? + +Yesu likuwa akila na watu wenye dhambi pamoja na wakusanya kodi. + diff --git a/mrk/02/17.md b/mrk/02/17.md new file mode 100644 index 0000000..fdc72b2 --- /dev/null +++ b/mrk/02/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema alikuja kuwaita akina nani? + +Yesu alisema kwamba alikuja kuwaita watu wenye dhambi. + diff --git a/mrk/02/18.md b/mrk/02/18.md new file mode 100644 index 0000000..77a5081 --- /dev/null +++ b/mrk/02/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni swali gani ambalo baadhi ya watu walimuuliza Yesu kuhusu kufunga? + +Walimuuliza Yesu kwa nini wanafunzi wake hawafungi wakati wanafunzi wa Yohana na wa Mafarisayo walikuwa wakifunga. + +# Jinsi gani Yesu alieleza kwa nini wanafunzi wake walikuwa hawafungi? + +Yesu alisema kwamba wakati bwana harusi akiwa bado pamoja na wahudumu wa harusi hawawezi kufunga. + diff --git a/mrk/02/23.md b/mrk/02/23.md new file mode 100644 index 0000000..11e3caf --- /dev/null +++ b/mrk/02/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wanafunzi wa Yesu walifanya nini katika baadhi ya mashamba siku ya sabato kilichowaudhi Mafarisayo? + +Wanafunzi wa Yesu walichukua baadhi ya masuke ya ngano na kuyala siku ya Sabato. + +# Wanafunzi wa Yesu walifanya nini katika baadhi ya mashamba siku ya sabato kilichowaudhi Mafarisayo? + +Wanafunzi wa Yesu walichukua baadhi ya masuke ya ngano na kuyala siku ya Sabato. + diff --git a/mrk/02/25.md b/mrk/02/25.md new file mode 100644 index 0000000..ef923ae --- /dev/null +++ b/mrk/02/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni mfano gani aliotoa Yesu wa mtu ambaye alihitaji na kula mkate ambao kwa kawaida ulikuwa umekatazwa kwao + +Yesu alitoa mfano wa Daudi ambaye alipohitaji alikula mkate wa hekaluni ambao kikawaida ulikuwa umehifadhiwa kwa ajili ya makuhani. + +# Ni mfano gani aliotoa Yesu wa mtu ambaye alihitaji na kula mkate ambao kwa kawaida ulikuwa umekatazwa kwao + +Yesu alitoa mfano wa Daudi ambaye alipohitaji alikula mkate wa hekaluni ambao kikawaida ulikuwa umehifadhiwa kwa ajili ya makuhani. + diff --git a/mrk/02/27.md b/mrk/02/27.md new file mode 100644 index 0000000..00a6783 --- /dev/null +++ b/mrk/02/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema sabato ilifanywa kwa ajili ya kina nani? + +Yesu alisema sabato ilifanywa kwa ajili ya watu. + +# Yesu alisema anatumia mamlaka ya nani? + +Yesu alisema kwamba alikuwa Bwana na Bwana wa sabato pia + diff --git a/mrk/03/01.md b/mrk/03/01.md new file mode 100644 index 0000000..7fe7ab0 --- /dev/null +++ b/mrk/03/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini walikuwa wanamtazama Yesu siku ya sabato ndani ya sinagogi? + +Walikuwa wanamtazama Yesu kuona nini angelifanya siku ya sabato, ili waweze kumshitaki. + +# Kwa nini walikuwa wanamtazama Yesu siku ya sabato ndani ya sinagogi? + +Walikuwa wanamtazama Yesu kuona nini angelifanya siku ya sabato, ili waweze kumshitaki. + diff --git a/mrk/03/03.md b/mrk/03/03.md new file mode 100644 index 0000000..ea344aa --- /dev/null +++ b/mrk/03/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je ni swali gani Yesu aliwauliza watu juu ya sabato? + +Yesu aliwauliza watu kama ilikuwa vema kufanya jambo jema au baya siku ya sabato. + +# Je ni jinsi gani walijibu swali la Yesu? + +Watu walinyamaza. + diff --git a/mrk/03/05.md b/mrk/03/05.md new file mode 100644 index 0000000..ad2d80c --- /dev/null +++ b/mrk/03/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je Yesu alikuwa na mtazamo gani juu yao? + +Yesu aliwakasirikia + +# Je Mafarisayo walifanya nini baada ya Yesu kumponya yule mtu? + +Mafarisayo walitoka nje na wakapanga kumuua Yesu. + diff --git a/mrk/03/07.md b/mrk/03/07.md new file mode 100644 index 0000000..d4bd907 --- /dev/null +++ b/mrk/03/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je ni watu wangapi walimfuata Yesu alipokwenda baharini? + +Kundi kubwa walimfuata Yesu + +# Je ni watu wangapi walimfuata Yesu alipokwenda baharini? + +Kundi kubwa walimfuata Yesu + diff --git a/mrk/03/11.md b/mrk/03/11.md new file mode 100644 index 0000000..fb2f5cd --- /dev/null +++ b/mrk/03/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je pepo walipiga kelele wakisema nini wakati walipo muona Yesu? + +Pepo walipiga kelele wakisema Yesu alikuwa mwana wa Mungu. + diff --git a/mrk/03/13.md b/mrk/03/13.md new file mode 100644 index 0000000..33c1a25 --- /dev/null +++ b/mrk/03/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je ni watu wangapi Yesu aliwachagua kuwa mitume, na walipaswa kufanya nini? + +Yesu alichagua mitume kumi na wawili ambao wangelikuwa pamoja naye, wakihubiri, na kuwa na mamlaka ya kutoa pepo. + +# Je ni watu wangapi Yesu aliwachagua kuwa mitume, na walipaswa kufanya nini? + +Yesu alichagua mitume kumi na wawili ambao wangelikuwa pamoja naye, wakihubiri, na kuwa na mamlaka ya kutoa pepo. + diff --git a/mrk/03/17.md b/mrk/03/17.md new file mode 100644 index 0000000..76e6b8a --- /dev/null +++ b/mrk/03/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je ni mtume gani ambaye angelimsaliti Yesu + +Mtume ambaye angelimsaliti Yesu alikuwa ni Yuda Iskariote. + diff --git a/mrk/03/20.md b/mrk/03/20.md new file mode 100644 index 0000000..d65c280 --- /dev/null +++ b/mrk/03/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je familia ya Yesu walifikiri nini kuhusu umati wa watu na matukio yaliyo mzunguka Yesu? + +Familia ilifikiri kuwa amerukwa na akili. + +# Je ni mashtaka gani ambayo waandishi walimshtaki Yesu? + +Waandishi walimshtaki Yesu kwa kutoa pepo kwa nguvu za pepo mkuu au pepo kiongozi. + diff --git a/mrk/03/23.md b/mrk/03/23.md new file mode 100644 index 0000000..f9d1c36 --- /dev/null +++ b/mrk/03/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je nini ulikuwa mwitikio wa Yesu kwa mashitaka ya waandishi? + +Yesu alijibu kwamba hakuna ufalme unaogawanyika na kubaki umesimama. + +# Je nini ulikuwa mwitikio wa Yesu kwa mashitaka ya waandishi? + +Yesu alijibu kwamba hakuna ufalme unaogawanyika na kubaki umesimama. + diff --git a/mrk/03/28.md b/mrk/03/28.md new file mode 100644 index 0000000..c51a07b --- /dev/null +++ b/mrk/03/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je ni dhambi gani Yesu alisema haisameheki + +Yesu alisema kwamba Kumkufuru Roho Mtakatifu hakusameheki. + +# Je ni dhambi gani Yesu alisema haisameheki + +Yesu alisema kwamba Kumkufuru Roho Mtakatifu hakusameheki. + diff --git a/mrk/03/33.md b/mrk/03/33.md new file mode 100644 index 0000000..f48a88f --- /dev/null +++ b/mrk/03/33.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je Yesu alisema Mama yake na ndugu zake walikuwa ni wakina nani? + +Yesu alisema mama yake na ndugu zake walikuwa ni wale wanaofanya mapenziya Mungu. + +# Je Yesu alisema Mama yake na ndugu zake walikuwa ni wakina nani? + +Yesu alisema mama yake na ndugu zake walikuwa ni wale wanaofanya mapenziya Mungu. + diff --git a/mrk/04/01.md b/mrk/04/01.md new file mode 100644 index 0000000..a935f95 --- /dev/null +++ b/mrk/04/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Yesu aliingia mtumbwini kufundisha? + +Yesu aliingia mtumbwini kufundisha kwa sababu kila kundi kubwa walikusanyika kumzunguka. + diff --git a/mrk/04/03.md b/mrk/04/03.md new file mode 100644 index 0000000..584c3ff --- /dev/null +++ b/mrk/04/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je nini kilitokea kwa mbegu zilizo pandwa njiani? + +Ndege walikuja na kuzila. + diff --git a/mrk/04/06.md b/mrk/04/06.md new file mode 100644 index 0000000..d0d4e13 --- /dev/null +++ b/mrk/04/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je nini kilitokea kwa mbegu zilizo pandwa kwenye mwamba baada ya jua kutokea? + +Zilinyauka kwa sababau hazikuwa na mizizi. + +# Je nini kilitokea kwa mbegu zilizo pandwa katikati ya miba? + +Mimea ya miba ili zisonga + diff --git a/mrk/04/08.md b/mrk/04/08.md new file mode 100644 index 0000000..72a408c --- /dev/null +++ b/mrk/04/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilitoa kwa mbegu zilizo pandwa kwenye udongo mzuri? + +Mbegu zilizaa, mara thelathini, sitini, na zingine mara mia zaidi ya zile zilizopandwa. + diff --git a/mrk/04/10.md b/mrk/04/10.md new file mode 100644 index 0000000..ae696ba --- /dev/null +++ b/mrk/04/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je Yesu alisema kuwa wale kumi na wawili walipewa nini, ambacho wale wa nje hawakupewa? + +Yesu alisema siri ya ufalme wa Mungu walipatiwa wale kumi na wawili, na si wale wa nje. + diff --git a/mrk/04/13.md b/mrk/04/13.md new file mode 100644 index 0000000..782a7d3 --- /dev/null +++ b/mrk/04/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Katika mfano wa Yesu nini kinasimama badala ya mbegu? + +Mbegu ni neno la Mungu + +# Je mbegu iliyopandwa njiani inasimama badala ya nini? + +Inamaanisha wale wanao sikia neno la Mungu, lakini ghafla shetani huja na kulichukua. + diff --git a/mrk/04/16.md b/mrk/04/16.md new file mode 100644 index 0000000..a3863f4 --- /dev/null +++ b/mrk/04/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mbedu iliyopandwa kwenye mwamba inawakilisha nini? + +Inawakilisha wale ambao husikia neno kwa furaha, lakini mateso yanapokuja wanajikwaa. + +# Mbedu iliyopandwa kwenye mwamba inawakilisha nini? + +Inawakilisha wale ambao husikia neno kwa furaha, lakini mateso yanapokuja wanajikwaa. + diff --git a/mrk/04/18.md b/mrk/04/18.md new file mode 100644 index 0000000..cb81c65 --- /dev/null +++ b/mrk/04/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mbegu iliyopandwa kwenye mimea ya miiba inawakilisha nini? + +Inawakilisha wale ambao wanasikia neno, lakini masumbufu ya dunia yanapotokea yanalisonga lile neno. + +# Mbegu iliyopandwa kwenye mimea ya miiba inawakilisha nini? + +Inawakilisha wale ambao wanasikia neno, lakini masumbufu ya dunia yanapotokea yanalisonga lile neno + +# Je mbegu iliyopandwa katika udongo mzuri inawakisha nini? + +Inawakilisha wale wanao lisikia neno, wanalipokea, na kuzaa matunda. + diff --git a/mrk/04/21.md b/mrk/04/21.md new file mode 100644 index 0000000..be77387 --- /dev/null +++ b/mrk/04/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je Yesu alisema nini kitatokea kwa mambo yaliyo fichika na mambo ya siri? + +Yesu alisema mambo yaliyofichika na ya siri yataletwa katika mwanga. + diff --git a/mrk/04/26.md b/mrk/04/26.md new file mode 100644 index 0000000..36521ce --- /dev/null +++ b/mrk/04/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwa njia gani ufalme wa Mungu unafanana na mtu anaye mwaga mbegu katika ardhi? + +Mtu anaye mwaga mbegu na inamea lakini hajui ni kwajinsi gani, kisha mavuno yakifika anakwenda kukusanya. + +# Ni kwa njia gani ufalme wa Mungu unafanana na mtu anaye mwaga mbegu katika ardhi? + +Mtu anaye mwaga mbegu na inamea lakini hajui ni kwajinsi gani, kisha mavuno yakifika anakwenda kukusanya. + diff --git a/mrk/04/30.md b/mrk/04/30.md new file mode 100644 index 0000000..34e180a --- /dev/null +++ b/mrk/04/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwa njia gani ufalme wa Mungu ni kama mbegu ya haradari? + +Mbegu ya haradali huanza kama mbegu iliyo ndogo sana, lakini hukua na kufanyika mmea mkubwa sana ambapo ndege wegi wanaweza kutengeneza viota. + +# Ni kwa njia gani ufalme wa Mungu ni kama mbegu ya haradari? + +Mbegu ya haradali huanza kama mbegu iliyo ndogo sana, lakini hukua na kufanyika mmea mkubwa sana ambapo ndege wegi wanaweza kutengeneza viota. + diff --git a/mrk/04/35.md b/mrk/04/35.md new file mode 100644 index 0000000..dd35891 --- /dev/null +++ b/mrk/04/35.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini kilitokea wakati Yesu na wanafunzi wake wakivuka ng'ambo ya ziwa? + +Upepo mkali ulianza, ukitishi kujaza maji ndani ya mtumbwi. + +# Nini kilitokea wakati Yesu na wanafunzi wake wakivuka ng'ambo ya ziwa? + +Upepo mkali ulianza, ukitishi kujaza maji ndani ya mtumbwi. + diff --git a/mrk/04/38.md b/mrk/04/38.md new file mode 100644 index 0000000..726ca7d --- /dev/null +++ b/mrk/04/38.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yesu alikuwa anafanya nini katika mtumbwi wakati huo? + +Yesu alikuwa amelala + +# Je ni swali gani ambalo wanafunzi walimuuliza Yesu? + +Wanafunzi walimuuliza Yesu ikiwa kama alikuwa anajali wakati wanapokarikbia kufa. + +# Kisha Yesu alifanya nini? + +Yesu aliukemea upepo. + diff --git a/mrk/04/40.md b/mrk/04/40.md new file mode 100644 index 0000000..e92d98e --- /dev/null +++ b/mrk/04/40.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baada ya Yesu kufanya hivi, nini ulikuwa ni mwitikio wa wanafunzi? + +Wanafunzi walijawa na hofu kuu na walishangaa Yesu alikuwa mtu gani ambaye upepo na bahari vinamtii. + diff --git a/mrk/05/01.md b/mrk/05/01.md new file mode 100644 index 0000000..f04740a --- /dev/null +++ b/mrk/05/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alikutana na nani wakati walipokuja katika mkoa wa Genesareti? + +Yesu alikutana na mtu mwenye pepo chafu. + +# Yesu alikutana na nani wakati walipokuja katika mkoa wa Genesareti? + +Yesu alikutana na mtu mwenye pepo chafu. + diff --git a/mrk/05/03.md b/mrk/05/03.md new file mode 100644 index 0000000..2d4fa83 --- /dev/null +++ b/mrk/05/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mtu huyu alifanya vitu gani? + +Mtu huyu aliishi makaburini, alikata minyororo na kuzivunja pingu, alilia na kujikata usiku na mchana. + diff --git a/mrk/05/07.md b/mrk/05/07.md new file mode 100644 index 0000000..2e3c872 --- /dev/null +++ b/mrk/05/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Roho mchafu alimpa Yesu cheo gani? + +Roho mchafu alimwita Yesu Mwana wa Mungu aliye juu. + +# Yesu alimwambia nini yule mtu? + +Yesu alimwambia yule mtu, " mtoke mtu huyu wewe pepo mchafu." + diff --git a/mrk/05/09.md b/mrk/05/09.md new file mode 100644 index 0000000..5728582 --- /dev/null +++ b/mrk/05/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jina la roho mchafu lilikuwa lipi? + +Jina la roho mchafu lilikuwa Jeshi, kwa sababu walikuwa wengi. + diff --git a/mrk/05/11.md b/mrk/05/11.md new file mode 100644 index 0000000..808d136 --- /dev/null +++ b/mrk/05/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini ilitokea wakati Yesu alipo mtoa pepo mchafu ndani ya mtu huyu? + +Pepo wachafu walimtoka mtu huyu na wakawaingi kundi la nguruwe, ambao walishuka mlimani na kuzama katika ziwa. + diff --git a/mrk/05/14.md b/mrk/05/14.md new file mode 100644 index 0000000..4270b1a --- /dev/null +++ b/mrk/05/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baada ya pepo mchafu ametolewa, hali ya yule mtu ilikuwa je? + +Mtu huyu alikaa na Yesu, amevikwa na akiwa na akili timamu. + diff --git a/mrk/05/16.md b/mrk/05/16.md new file mode 100644 index 0000000..e4bae1e --- /dev/null +++ b/mrk/05/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je nii watu wa mkoa ule walimuomba Yesu afanye? + +Watu walimuomba Yesu aondoke katika mkoa wao. + diff --git a/mrk/05/18.md b/mrk/05/18.md new file mode 100644 index 0000000..59ffa94 --- /dev/null +++ b/mrk/05/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alimwambia mtu aliye ishi makaburini afanye nini sasa? + +Yesu alimwambia awajulishe watu wake nini Bwana amemfanyia. + diff --git a/mrk/05/21.md b/mrk/05/21.md new file mode 100644 index 0000000..d9b2e2a --- /dev/null +++ b/mrk/05/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je ni ombi gani ambalo Yairo kiongozi wa sinagogi alimuomba Yesu? + +Yairo alimuomba Yesu aende naye nyumbani kwake akaweke mikono yake juu ya binti yake ambaye alikuwa karibu kufa. + +# Je ni ombi gani ambalo Yairo kiongozi wa sinagogi alimuomba Yesu? + +Yairo alimuomba Yesu aende naye nyumbani kwake akaweke mikono yake juu ya binti yake ambaye alikuwa karibu kufa. + diff --git a/mrk/05/25.md b/mrk/05/25.md new file mode 100644 index 0000000..291e7c7 --- /dev/null +++ b/mrk/05/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Tatizo la mwanamke aliyegusa vazi la Yesu lilkuwa lipi? + +Mwanamke aliteseka kwa kutokwa na damu kwa miaka kumi na mbili. + diff --git a/mrk/05/28.md b/mrk/05/28.md new file mode 100644 index 0000000..792f087 --- /dev/null +++ b/mrk/05/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini mwanamke aligusa vazi la Yesu? + +Mwanamke alifikiri kwamba kama akiligusa tu vazi la Yesu, atapona. + diff --git a/mrk/05/30.md b/mrk/05/30.md new file mode 100644 index 0000000..a4918e7 --- /dev/null +++ b/mrk/05/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alifanya nini mwanamke alipoligusa vazi lake? + +Yesu alijua kwamba nguvu zimemtoka na akatazama huku na huku kuona aliyemgusa. + +# Yesu alifanya nini mwanamke alipoligusa vazi lake? + +Yesu alijua kwamba nguvu zimemtoka na akatazama huku na huku kuona aliyemgusa. + diff --git a/mrk/05/33.md b/mrk/05/33.md new file mode 100644 index 0000000..f9221e8 --- /dev/null +++ b/mrk/05/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakati mwanamke alipomwambia Yesu ukweli wote je Yesu alimwambia nini? + +Yesu alimwambia kwamba imani yake imemfanya apone na kwenda kwaamani. + diff --git a/mrk/05/35.md b/mrk/05/35.md new file mode 100644 index 0000000..470a376 --- /dev/null +++ b/mrk/05/35.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Binti wa Yairo alikuwa na hali gani wakati Yesu alipofika nyumbani kwake? + +Binti wa Yairo alikuwa amekufa. + diff --git a/mrk/05/36.md b/mrk/05/36.md new file mode 100644 index 0000000..1ff2ac9 --- /dev/null +++ b/mrk/05/36.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alimwambia nini Yairo? + +Yesu alimwambia Yairo asiwe na hofu, lakini aamini tu. + +# Ni mwanafunzi yupi alikwenda chumbani pamoja na Yesu mahali alipokuwapo yulebinti? + +Petro, Yakobo na Yohana walienda na Yesu chumbani. + diff --git a/mrk/05/39.md b/mrk/05/39.md new file mode 100644 index 0000000..8ae2125 --- /dev/null +++ b/mrk/05/39.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini mnasikitika na kwa nini mnalia? + +"Hampaswi kusikitika na kuendelea kulia + diff --git a/mrk/05/41.md b/mrk/05/41.md new file mode 100644 index 0000000..b4c2ad0 --- /dev/null +++ b/mrk/05/41.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakati binti alipo amka na kutembea ni jinsi gani watu waliitikia? + +Watu walipata mshangao mkuu + diff --git a/mrk/06/01.md b/mrk/06/01.md new file mode 100644 index 0000000..f7a7115 --- /dev/null +++ b/mrk/06/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwanini watu wa mji wa Yesu walistushwa naye? + +Watu hawakujua ni wapi alipata mafundisho yake, hekima yake, na miujiza yake. + diff --git a/mrk/06/04.md b/mrk/06/04.md new file mode 100644 index 0000000..26520c3 --- /dev/null +++ b/mrk/06/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni mahali gani Yesu alisema nabii hana heshima? + +Yesu alisema nabii hana heshima katika mji wa nyumbani wake, katikati ya ndugu zake, na katika kaya yake. + +# Ni jambo gani lilimshangaza Yesu kuhusu watu wake kwenye mji aliotoka? + +Yesu alishangazwa na kutoamini kwa watu wa mjini kwake + diff --git a/mrk/06/07.md b/mrk/06/07.md new file mode 100644 index 0000000..0fcf982 --- /dev/null +++ b/mrk/06/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je ni mamlaka gani Yesu aliwapatia wanafunzi wake alipowatuma? + +Yesu aliwapa wale kumi na mbili mamlaka juu ya pepo wachafu. + +# Je wale kumi na wawili walichukua nini katika safari yao? + +Wale kumi na wawili walichukua fimbo, viatu, na kanzu. + +# Je wale kumi na wawili walichukua nini katika safari yao? + +Wale kumi na wawili walichukua fimbo, viatu, na kanzu. + diff --git a/mrk/06/10.md b/mrk/06/10.md new file mode 100644 index 0000000..281d095 --- /dev/null +++ b/mrk/06/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini ambacho Yesu aliwaambia wale kumi na wawili kufanya ikiwa hawatapokelewa mahali? + +Yesu aliwaambia wakung'ute mavumbi katika miguu yao kama ushuhuda dhidi yao. + diff --git a/mrk/06/14.md b/mrk/06/14.md new file mode 100644 index 0000000..3d568e2 --- /dev/null +++ b/mrk/06/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Watu walifikiri Yesu ni nani? + +Watu walifikiri Yesu alikuwa Yohana mbatizaji, au Eliya, au nabii. + +# Watu walifikiri Yesu ni nani? + +Watu walifikiri Yesu alikuwa Yohana mbatizaji, au Eliya, au nabii. + diff --git a/mrk/06/18.md b/mrk/06/18.md new file mode 100644 index 0000000..7c30ac7 --- /dev/null +++ b/mrk/06/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yohana mbatizaji alimwambia nini Herode kuwa anafanya kinyume na sheria? + +Yohana alimwambia Herode haikuwa sheria kuoa mke wa ndugu yake. + +# Herode aliitikiaje wakati aliposikia Yohana akihubiri? + +Herode alikasirika aliposikia Yohana anahubiri, ingawa alikuwa bado akifurahi kumsikia. + diff --git a/mrk/06/23.md b/mrk/06/23.md new file mode 100644 index 0000000..09e2133 --- /dev/null +++ b/mrk/06/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je ni kiapo gani Herode aliapa kwa Herodia? + +Herode aliapakwamba atampatia chochote atakacho mwomba, hata nusu ya ufalme wake. + +# Herodia alimwomba nini? + +Herodia aliomba kichwa cha Yohana mbatizaji kwenye sahani. + diff --git a/mrk/06/26.md b/mrk/06/26.md new file mode 100644 index 0000000..0479c61 --- /dev/null +++ b/mrk/06/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je Herode aliitikiaje ombi la Herodia? + +Herode alihuzunika sana, lakini hakumkatalia ombi lake kwa sababu ya kiapo alichokuwa amekitoa mbele ya wageni wake. + diff --git a/mrk/06/33.md b/mrk/06/33.md new file mode 100644 index 0000000..50fb309 --- /dev/null +++ b/mrk/06/33.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kulitokea nini wakati ambapo Yesu pamoja na mitume walipokuwa wakijaribu kuondoka wao wenyewe kwenda kupumzika? + +Watu wengi waliwatambua na wakakimbia kwenda ili wafike mapema kabla ya Yesu na mitume. + +# Nini ilikuwa mtazamo wa Yesu juu ya makutano waliokuwa wakiwasubiri? + +Yesu aliwahurumia kwa sababu walikuwa kama kondoo wasio na mchungaji. + diff --git a/mrk/06/37.md b/mrk/06/37.md new file mode 100644 index 0000000..97b3a3b --- /dev/null +++ b/mrk/06/37.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Walipo ulizwa na Yesu, wanafunzi walifikiri wangefanya nini kuwalisha watu? + +Wanafunzi walifikiri kwenda kununua mikate ya thamani ya dinari mia mbili. + +# Ni chakula gai ambacho wanafunzi walikuwa nacho tayari? + +Wanafunzi walikuwa tayari wana mikate mitano na samaki wawili. + diff --git a/mrk/06/39.md b/mrk/06/39.md new file mode 100644 index 0000000..f097df0 --- /dev/null +++ b/mrk/06/39.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je Yesu alifanya nini alipochukua mikate na samaki wawili? + +Alipochukua mikate na samaki, Yesu alitazama juu mbinguni, akabariki na kuvunja mikate, na kuwagawia wanafunzi wake. + diff --git a/mrk/06/48.md b/mrk/06/48.md new file mode 100644 index 0000000..abdb439 --- /dev/null +++ b/mrk/06/48.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa jinsi gani Yesu alikuja kwa wanafunzi wake pale ziwani? + +Yesu alikuja kwa wanafunzi wake akitembea juu ya ziwa au juu ya maji. + +# Yesu aliwambia nini wanafunzi wake walipo mwona? + +Yesu aliwaambia wanafunzi wake kuwa jasiri na wasiogope. + diff --git a/mrk/06/51.md b/mrk/06/51.md new file mode 100644 index 0000000..3cab87e --- /dev/null +++ b/mrk/06/51.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini wanafunzi wake hawakuelewa kuhusu ule muujiza wa mikate? + +Wanafunzi wake hawakuelewa muujiza wa mikate kwa sababu fikra zao zilikuwa nzito kuelewa. + diff --git a/mrk/06/53.md b/mrk/06/53.md new file mode 100644 index 0000000..e128b28 --- /dev/null +++ b/mrk/06/53.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Watu wa mkoa ule walifanya nini walipo mtambua Yesu? + +Watu walimletea wagonjwa kwenye machela kila mahali waliposikia anakuja. + diff --git a/mrk/06/56.md b/mrk/06/56.md new file mode 100644 index 0000000..15f6dad --- /dev/null +++ b/mrk/06/56.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ilitokea nini kwa wale walio shika pindo la vazi la Yesu? + +Wale ambao walishika pindo la vazi la Yesu awlipona. + diff --git a/mrk/07/02.md b/mrk/07/02.md new file mode 100644 index 0000000..3684434 --- /dev/null +++ b/mrk/07/02.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni mambo gani waliyoyafanya baadhi ya wanafunzi wa Yesu ambayo hayakuwafurahisha Mafarisayo na Waandishi? + +Baadhi ya wanafaunzi walikuwa wanakula kwa mikono isiyo oshwa. + +# Ilikuwa nai desturi ya watu gani kwamba mikono, masufuria, vikombe, vyombo vya shaba na viti vinavyotumika wakati wa kula vioshwe kabla ya kula? + +Ilikuwa ni desturi ya wazee kwmba mikono, vikombe, masufuria, vyombo vya shaba na viti vya kukalia wakati wa chakula vioshwe kabla ya kula. + +# Ilikuwa nai desturi ya watu gani kwamba mikono, masufuria, vikombe, vyombo vya shaba na viti vinavyotumika wakati wa kula vioshwe kabla ya kula? + +Ilikuwa nai desturi ya watu gani kwamba mikono, masufuria, vikombe, vyombo vya shaba na viti vinavyotumika wakati wa kula vioshwe kabla ya kula? + diff --git a/mrk/07/05.md b/mrk/07/05.md new file mode 100644 index 0000000..a3da1b3 --- /dev/null +++ b/mrk/07/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni mambo gani waliyofanya baadhi ya wanafunzi wa Yesu ambyo hayakuwafurahisha Mafarisayo na Waandishi. + +Baadhi ya wanafunzi walikuwa wanakula bila kuosha mikono yao + diff --git a/mrk/07/08.md b/mrk/07/08.md new file mode 100644 index 0000000..4d6a038 --- /dev/null +++ b/mrk/07/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema nini kwa Mafarisayo na Waandishi kuhusu mafundisho yao juu ya jambo la kunawa? + +Yesu alisema kwamba Mafarisayo na Waandishi walikuwa wanafiki, wakifundisha sheria za wanadamu huku wakiziacha amri za Mungu. + +# Yesu alisema nini kwa Mafarisayo na Waandishi kuhusu mafundisho yao juu ya jambo la kunawa? + +Yesu alisema kwamba Mafarisayo na Waandishi walikuwa wanafiki, wakifundisha sheria za wanadamu huku wakiziacha amri za Mungu. + diff --git a/mrk/07/11.md b/mrk/07/11.md new file mode 100644 index 0000000..ab3fed1 --- /dev/null +++ b/mrk/07/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwa jinsi gani mafarisayo na waandishi walibatilisha amri ya Mungu inayo sema waheshimu baba na mama yako? + +Walibatilisha amri ya Mungu kwa kuwambia watu wawapatie sadaka fedha ambazo zingeweza kuwasaidia baba zao na mama zao. + +# Ni kwa jinsi gani mafarisayo na waandishi walibatilisha amri ya Mungu inayo sema waheshimu baba na mama yako? + +Walibatilisha amri ya Mungu kwa kuwambia watu wawapatie sadaka fedha ambazo zingeweza kuwasaidia baba zao na mama zao. + diff --git a/mrk/07/14.md b/mrk/07/14.md new file mode 100644 index 0000000..e36a290 --- /dev/null +++ b/mrk/07/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema nini ambacho hakiwezi kumtia mtu unajisi? + +Yesu alisema kuwa hakuna kitu cha nje ya mtu kinaweza kumtia unajisi mtu wakati kinapoingia. + +# Yesu alisema ni kitu gani ambacho humtia mtu unajisi? + +Yesu alisema kuwa kile kimtokacho mtu ndicho kinacho mtia mtu unajisi. + diff --git a/mrk/07/17.md b/mrk/07/17.md new file mode 100644 index 0000000..8ff76c7 --- /dev/null +++ b/mrk/07/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je ni vyakula gani ambavyo Yesu alivitangaza kuwa ni safi? + +Yesu alitangaza kuwa vyakula vyote ni safi. + diff --git a/mrk/07/20.md b/mrk/07/20.md new file mode 100644 index 0000000..25c5033 --- /dev/null +++ b/mrk/07/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni vitu gani vitatu ambavyo ambavyo Yesu alisema vinapomtoka vinamtia mtu unajisi? + +Yesu alisema mawazo maovu, zinaa, wizi, uuaji, uasherati, tamaa mbaya, uongo, majivuno vinaweza kumtoka mtu na kumnajisi. + +# Ni vitu gani vitatu ambavyo ambavyo Yesu alisema vinapomtoka vinamtia mtu unajisi? + +Yesu alisema mawazo maovu, zinaa, wizi, uuaji, uasherati, tamaa mbaya, uongo, majivuno vinaweza kumtoka mtu na kumnajisi. + diff --git a/mrk/07/24.md b/mrk/07/24.md new file mode 100644 index 0000000..3c283dc --- /dev/null +++ b/mrk/07/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je mwanamke aliye kuwa na binti mwenye roho mchafu alikuwa myahudi au myunani? + +Mwanamke ambaye alikuwa na binti mwenye roho mchafu alikuwa myunani. + +# Je mwanamke aliye kuwa na binti mwenye roho mchafu alikuwa myahudi au myunani? + +Mwanamke ambaye alikuwa na binti mwenye roho mchafu alikuwa myunani. + diff --git a/mrk/07/27.md b/mrk/07/27.md new file mode 100644 index 0000000..eb02996 --- /dev/null +++ b/mrk/07/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni jinsigani yule mwanamke aliitikia alipoambiwa na Yesu kuwa si vema kukitwaa chakula caha watoto na kuwatupia mbwa? + +Mwanamke alisema hata mbwa chini ya meza hula mabaki ya chakula cha watoto + diff --git a/mrk/07/29.md b/mrk/07/29.md new file mode 100644 index 0000000..930b0cc --- /dev/null +++ b/mrk/07/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alifanya nini kwa mwanamke? + +Yesu alimfukuza pepo atoke nje ya binti yake mwanamke. + +# Yesu alifanya nini kwa mwanamke? + +Yesu alimfukuza pepo atoke nje ya binti yake mwanamke. + diff --git a/mrk/07/33.md b/mrk/07/33.md new file mode 100644 index 0000000..11376da --- /dev/null +++ b/mrk/07/33.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wakati mwanamume aliyekuwa kiziwi na hakuweza kuzungumza aliletwa kwa Yesu, alifanya nini kumponya? + +Yesu aliweka vidole vyake katika masikio ya mwanamume, alitema na aligusa ulimi wake, ndipo aliangalia mbinguni na kusema, "fungua!" + +# Wakati mwanamume aliyekuwa kiziwi na hakuweza kuzungumza aliletwa kwa Yesu, alifanya nini kumponya? + +Yesu aliweka vidole vyake katika masikio ya mwanamume, alitema na aligusa ulimi wake, ndipo aliangalia mbinguni na kusema, "fungua!" + diff --git a/mrk/07/36.md b/mrk/07/36.md new file mode 100644 index 0000000..8df7759 --- /dev/null +++ b/mrk/07/36.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Watu walifanya nini wakati Yesu alipowaambia wasimwambie mtu yeyote kuhusu uponyaji wake? + +Kadri Yesu alivyo waamuru wakae kimya, ndivyo walivyozidi kuzungumza kuhusu jamo hilo. + diff --git a/mrk/08/01.md b/mrk/08/01.md new file mode 100644 index 0000000..774efb4 --- /dev/null +++ b/mrk/08/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema anahusikaje kwa kundi kubwa ambalo lilikuwa likimfuata? + +Yesu alisema kuwa ilikuwa inamuhusu kuwa kundi kubwa walikuwa hawana chakula. + +# Yesu alisema anahusikaje kwa kundi kubwa ambalo lilikuwa likimfuata? + +Yesu alisema kuwa ilikuwa inamuhusu kuwa kundi kubwa walikuwa hawana chakula. + diff --git a/mrk/08/05.md b/mrk/08/05.md new file mode 100644 index 0000000..ff03bfa --- /dev/null +++ b/mrk/08/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wanafunzi walikuwa na mikate mingapi? + +Wanafunzi walikuwa na mikate mitano. + +# Je Yesu alifanya nini na ile mikate mitano? + +Yesu alishukuru, akamega vipande, na kuwapatia wanafunzi wake wawagawie watu. + diff --git a/mrk/08/07.md b/mrk/08/07.md new file mode 100644 index 0000000..532845f --- /dev/null +++ b/mrk/08/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nchakula kiasi gani kilibaki baada ya kuwa watu wote walipokuwa wamekula? + +Kulikuwa na vikapu saba vya vyakula vilivyo baki baada ya watu wote kula. + +# Je ni watu wangapi walikula na kushiba? + +Walikuwa wanakaribia elfu nne wanaume ambao walishiba. + diff --git a/mrk/08/11.md b/mrk/08/11.md new file mode 100644 index 0000000..7227b96 --- /dev/null +++ b/mrk/08/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kumjaribu, je nini ambacho mafarisayo walitaka Yesu afanye? + +Mafarisayo walitaka Yesu awapatie ishara kutoka mbinguni. + diff --git a/mrk/08/14.md b/mrk/08/14.md new file mode 100644 index 0000000..f62f384 --- /dev/null +++ b/mrk/08/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kuhusu nini , Yesu aliwaonya wanafunzi wake kuhusiana na mafarisayo? + +Yesu aliwatahadharisha wanafunzi wake kujilinda na chachu ya mafarisayo + diff --git a/mrk/08/16.md b/mrk/08/16.md new file mode 100644 index 0000000..c7f4d27 --- /dev/null +++ b/mrk/08/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wanafunzi wake walifikiri anawambia nini? + +Wanafunzi wake walidhania anawambia kuhusu ukweli kwamba wamesahau kuchukua mikate. + diff --git a/mrk/08/18.md b/mrk/08/18.md new file mode 100644 index 0000000..ba7255b --- /dev/null +++ b/mrk/08/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu aliwakumbusha juu ya nini kilitokea wakati anavunja ile mikate mitano? + +Yesu aliwakumbusha kwamba wakati alipokuwa amevunja ile mikate mitano, watu elfu tano walikula na vikapu kumi na viwili vilivyo jaa vipande vipande viliokotwa. + diff --git a/mrk/08/22.md b/mrk/08/22.md new file mode 100644 index 0000000..8f0bf5f --- /dev/null +++ b/mrk/08/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni mambo gani mawili ambayo Yesu alifanya kwanza ili kurudisha kuona kwake? + +Yesu kwanza alimtemea mate juu ya macho yake na akaweka mikono yake juu yake. + diff --git a/mrk/08/24.md b/mrk/08/24.md new file mode 100644 index 0000000..244cf1c --- /dev/null +++ b/mrk/08/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jambo gani la tatu ambalo Yesu alifanya ili kurudisha kuona kwake? + +Yesu aliweka mikono yake juu ya macho yake + diff --git a/mrk/08/27.md b/mrk/08/27.md new file mode 100644 index 0000000..63696e0 --- /dev/null +++ b/mrk/08/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Watu walisema kuwa Yesu ni nani? + +Watu walikuwa wanasema kuwa Yesu alikuwa ni Yohana mbatizaji, Eliya, au mmoja kati ya manabii. + diff --git a/mrk/08/29.md b/mrk/08/29.md new file mode 100644 index 0000000..33c9c3e --- /dev/null +++ b/mrk/08/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Petro alisema Yesu ni nani? + +Petro alisema kwamba Yesu ni Kristo. + diff --git a/mrk/08/31.md b/mrk/08/31.md new file mode 100644 index 0000000..757298a --- /dev/null +++ b/mrk/08/31.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kuhusu matukio gani ya wakati ujao ambayo Yesu alianza kuwafundisha vema wanafunzi wake? + +Yesu aliwafundisha wanafunzi wake kwamba mwana wa Adamiu lazima ateseke, akataliwe, auwawe na kufufuka baada ya siku tatu. + diff --git a/mrk/08/33.md b/mrk/08/33.md new file mode 100644 index 0000000..d2b57b8 --- /dev/null +++ b/mrk/08/33.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je yesu alisema nini wakati Petro alipoanza kumkemea? + +Yesu aimwambia Petro, "kaa nyuma yangu shetani haujali mabo ya Mungu, isipokuwa mambo ya watu. + +# Yesu alisema nini kwa yeyote anaye taka kumfuata lazima afanye nini? + +Yesu alisema kwamba yeyote anaye taka kumfuata lazima lazima ajikane mwenyewe na achukuwe msalaba wake. + diff --git a/mrk/08/35.md b/mrk/08/35.md new file mode 100644 index 0000000..5d1c009 --- /dev/null +++ b/mrk/08/35.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema nini kuhusu watu wanaotamani kupata mambo ya dunia? + +Yesu alisema itamfaidia nini mtu akipata ulimwengu wote na baadaye kupoteza maisha yake? + diff --git a/mrk/08/38.md b/mrk/08/38.md new file mode 100644 index 0000000..91dce6d --- /dev/null +++ b/mrk/08/38.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema nini kuhusiana na wale ambao wanamuonea haya na neno lake? + +Yesu alisema wakati wa kurudi kwake atawaonea haya wale ambao walimuonea haya na neno lake + diff --git a/mrk/09/01.md b/mrk/09/01.md new file mode 100644 index 0000000..9b6ece9 --- /dev/null +++ b/mrk/09/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nani Yesu alisema atauona ufamle wa Mungu unakuja kwa nguvu? + +Yesu alisema kwamba baadhi wamesimama hapa pamoja naye wasingekufa kabla ya kuuona ufalme wa Mungu ukija kwa nguvu. + +# Nini kilitokea kwa Yesu wakati Petro, Yakobo, na Yohana walipokwenda mlimani pamoja naye? + +Yesu alibadilika na mavazi yake yakawa na mng'ao mkali. + +# Nini kilitokea kwa Yesu wakati Petro, Yakobo, na Yohana walipokwenda mlimani pamoja naye? + +Yesu alibadilika na mavazi yake yakawa na mng'ao mkali. + diff --git a/mrk/09/04.md b/mrk/09/04.md new file mode 100644 index 0000000..c2b5e21 --- /dev/null +++ b/mrk/09/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nani walikuwa wakizungumza na Yesu pale mlimani? + +Eliya na Musa walikuwa wanazungumza naYesu. + diff --git a/mrk/09/07.md b/mrk/09/07.md new file mode 100644 index 0000000..0c14d67 --- /dev/null +++ b/mrk/09/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mlimani, sauti kutoka mawinguni ilisema nini? + +Sauti ilisema, "Huyu ni Mwanangu mpendwa. Msikieni yeye." + diff --git a/mrk/09/09.md b/mrk/09/09.md new file mode 100644 index 0000000..2e08759 --- /dev/null +++ b/mrk/09/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu aliwaamuru nini wanafunzi kuhusu kile walichokiona mlimani? + +Yesu aliwaamuru kutomwambia mtu yeyote kile walichokiona, mpaka Mwana wa Mtu afufuliwe kutoka kwa wafu. + diff --git a/mrk/09/11.md b/mrk/09/11.md new file mode 100644 index 0000000..41db66e --- /dev/null +++ b/mrk/09/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema nini kuhusu kuja kwa Eliya? + +Yesu alisema kwamba, Eliya aja kwanza kuokoa vitu vyote, na Eliya amekwisha kuja tayari. + +# Yesu alisema nini kuhusu kuja kwa Eliya? + +Yesu alisema kwamba, Eliya aja kwanza kuokoa vitu vyote, na Eliya amekwisha kuja tayari. + diff --git a/mrk/09/17.md b/mrk/09/17.md new file mode 100644 index 0000000..e3eecef --- /dev/null +++ b/mrk/09/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni nini wanafunzi hawakuweza kufanya kwa baba na mwanae? + +Wanafunzi hawakuweza kufukuza roho chafu kutoka kwa mtoto. + +# Ni nini wanafunzi hawakuweza kufanya kwa baba na mwanae? + +Wanafunzi hawakuweza kufukuza roho chafu kutoka kwa mtoto. + diff --git a/mrk/09/20.md b/mrk/09/20.md new file mode 100644 index 0000000..a771107 --- /dev/null +++ b/mrk/09/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni katika nini roho yule mchafu alimtupa kijana katika kujaribu kumharibu + +Roho mchafu alimtupa kijana katika moto au katika maji katika kujaribu kumharibu. + diff --git a/mrk/09/23.md b/mrk/09/23.md new file mode 100644 index 0000000..73f43c3 --- /dev/null +++ b/mrk/09/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Baba alijibu nini wakati Yesu aliposema kila kitu kinawezekana kwa yeye aaminiye? + +Baba alijibu, "Ninaamini! Nisaidie kutokuamini kwangu!" + +# Baba alijibu nini wakati Yesu aliposema kila kitu kinawezekana kwa yeye aaminiye? + +Baba alijibu, "Ninaamini! Nisaidie kutokuamini kwangu!" + diff --git a/mrk/09/28.md b/mrk/09/28.md new file mode 100644 index 0000000..19d9da3 --- /dev/null +++ b/mrk/09/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwanini wanafunzi hawakuweza kufukuza roho bubu na roho kiziwi kwa mvulana? + +Wanafunzi hawakuweza kufukuza roho chafu kwasababu haiwezekani kufukuza isipokuwa kwa maombi. + +# Kwanini wanafunzi hawakuweza kufukuza roho bubu na roho kiziwi kwa mvulana? + +Wanafunzi hawakuweza kufukuza roho chafu kwasababu haiwezekani kufukuza isipokuwa kwa maombi. + diff --git a/mrk/09/30.md b/mrk/09/30.md new file mode 100644 index 0000000..a6c7777 --- /dev/null +++ b/mrk/09/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni jambo gani Yesu aliwaambia wanafunzi wake kuwa lingemtokea? + +Yesu aliwaambia kuwa atauawa, kisha baada ya siku tatu atafufuka tena. + diff --git a/mrk/09/33.md b/mrk/09/33.md new file mode 100644 index 0000000..f71ab3d --- /dev/null +++ b/mrk/09/33.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wanafunzi walibishana kuhusu nini walipokuwa njiani? + +Wanafunzi walibishana juu ya nani kati yao alikuwa mkubwa. + +# Wanafunzi walibishana kuhusu nini walipokuwa njiani? + +Wanafunzi walibishana juu ya nani kati yao alikuwa mkubwa. + +# Yesu alisema kuwa wa kwanza ni yupi? + +Yesu alisema wa kwanza ni yule ambaye ni mtumishi wa wote. + diff --git a/mrk/09/36.md b/mrk/09/36.md new file mode 100644 index 0000000..389d513 --- /dev/null +++ b/mrk/09/36.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mmoja wao anapompokea mtoto mdogo kwa jin la Yesu, watakuwa piawamempokea nani? + +Mmoja wao anapopokea mtoto mdogo katika jina la Yesu, pia wanampokea Yesu nayule aliyemtuma Yesu. + +# Mmoja wao anapompokea mtoto mdogo kwa jin la Yesu, watakuwa piawamempokea nani? + +Mmoja wao anapopokea mtoto mdogo katika jina la Yesu, pia wanampokea Yesu nayule aliyemtuma Yesu. + diff --git a/mrk/09/42.md b/mrk/09/42.md new file mode 100644 index 0000000..97b104a --- /dev/null +++ b/mrk/09/42.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nini itakuwa bora kwa yeyote anayemkwaza mdogo ambaye aamini katika Yesu ? + +Itakuwa bora kwa yule kama atafungiwa shingoni jiwe la kusagia na kutupwa baharini. + diff --git a/mrk/09/47.md b/mrk/09/47.md new file mode 100644 index 0000000..53c3392 --- /dev/null +++ b/mrk/09/47.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema nini kufanyiwa chochote yule anayewakosesha? + +Yesu alisema kuondoa chochote kile kinasababisha kukukwaza. + +# Yesu alisema nini kinatokea kuzimu? + +Yesu alisema kuzimu , funza hawafi na moto hauzimi + diff --git a/mrk/10/01.md b/mrk/10/01.md new file mode 100644 index 0000000..cf105ed --- /dev/null +++ b/mrk/10/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je ni swali gani mafarisayo walimuuliza Yesu kwa kumjaribu? + +Mafarisayo walimuuliza Yesu kama ilikuwa halali kwa mume kumpa talaka mke wake. + +# Je ni amri gani ambayo Musa aliwapa wayahudi kuhusiana na talaka? + +Musa alikuwa ameruhusu mume amuandikie cheti cha talaka na kumuacha mke wake. + diff --git a/mrk/10/05.md b/mrk/10/05.md new file mode 100644 index 0000000..ab342c0 --- /dev/null +++ b/mrk/10/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini Musa aliwapa wayahudi amri hii kuhusu kuachana? + +Musa aliitoa amri hii kwa Wayahudi kwa sababu ya mioyo yao migumu. + +# Je ni katika tukio gani katika historia ambalo Yesu alirejea alipokuwa anawambia mafarisayo kuhusu mpango wa awali wa Mungu juu ya ndoa? + +Yesu alirejea kwenye mwanzo wa uumbaji wa mwanamume na mwanamke wakati alipoeleza kuhusu mpango wa awali wa Mungu juu ya ndoa. + diff --git a/mrk/10/07.md b/mrk/10/07.md new file mode 100644 index 0000000..abb945e --- /dev/null +++ b/mrk/10/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yesu alisema watu wawili, mume na mke wake, wanakuwaje wanapokuwa wameoana? + +Yesu alisema kwamba wawili wanakuwa mwili mmoja. + +# Yesu alisema watu wawili, mume na mke wake, wanakuwaje wanapokuwa wameoana? + +Yesu alisema kwamba wawili wanakuwa mwili mmoja. + +# Je Yesu alisema nini kuhusu kile ambacho Mungu amekiunganisha katika ndoa? + +Yesu alisema kwamba kile ambacho Mungu amekiunganisha pamoja, mtu asikitenganishe. + diff --git a/mrk/10/13.md b/mrk/10/13.md new file mode 100644 index 0000000..9881fdf --- /dev/null +++ b/mrk/10/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alionyesha hisia gani wakati wanafunzi walipowakemea waliokuwa wanawaleta watoto wadogo kwa Yesu? + +Yesu aliwakasirikia wanafunzi na kuwaambia wawaruhusu watoto wadogo waje kwake. + +# Yesu alionyesha hisia gani wakati wanafunzi walipowakemea waliokuwa wanawaleta watoto wadogo kwa Yesu? + +Yesu aliwakasirikia wanafunzi na kuwaambia wawaruhusu watoto wadogo waje kwake. + diff --git a/mrk/10/15.md b/mrk/10/15.md new file mode 100644 index 0000000..f94c703 --- /dev/null +++ b/mrk/10/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni jinsi gani Yesu alisema ufalme wa Mnungu lazima upokelewe ili kuweza kuingia? + +Yesu alisema ufalme wa Mungu lazima upokelewe kama mtoto mdogo ili kuweza kuingia. + diff --git a/mrk/10/17.md b/mrk/10/17.md new file mode 100644 index 0000000..8ac1050 --- /dev/null +++ b/mrk/10/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je Yesu alimwambia ninimtu yule kwanza afanye nini kuurithi uzima wa milele? + +Yesu alimwambia mtu yule kwamba lazima asiue, asizini, asiibe, asishuhudie uongo, asidhurumu na lazima awaheshimu baba na mama yake. + diff --git a/mrk/10/20.md b/mrk/10/20.md new file mode 100644 index 0000000..ed98e47 --- /dev/null +++ b/mrk/10/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je ni amri gani zaidi Yesu alimwambia yule mtu? + +Yesu alimwamuru auze vyote alivyo kuwa navyo na kumfuata. + +# Je yule mtu aliitikiaje wakati Yesu alipo toa amri hii na kwa nini? + +Yule mtu alihuzunika na alikwenda zake kwa kuwa alikuwa na mali nyingi. + diff --git a/mrk/10/23.md b/mrk/10/23.md new file mode 100644 index 0000000..d56f4a4 --- /dev/null +++ b/mrk/10/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni nani ambaye Yesu alisema ni vigumu sana kwake kuingia ufalme wa Mungu? + +Yesu alisema kwamba ni vigumu sana kwa tajiri kuingia ufalme wa Mungu. + +# Ni nani ambaye Yesu alisema ni vigumu sana kwake kuingia ufalme wa Mungu? + +Yesu alisema kwamba ni vigumu sana kwa tajiri kuingia ufalme wa Mungu. + diff --git a/mrk/10/26.md b/mrk/10/26.md new file mode 100644 index 0000000..295626e --- /dev/null +++ b/mrk/10/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni jinsi gani Yesu alisema hata mtu tajiri anaweza kuokolewa? + +Yesu alisema kwamba kwa watu haiwezekani, lakini kwa Mungu mambo yote yanawezekana. + +# Ni jinsi gani Yesu alisema hata mtu tajiri anaweza kuokolewa? + +Yesu alisema kwamba kwa watu haiwezekani, lakini kwa Mungu mambo yote yanawezekana. + diff --git a/mrk/10/29.md b/mrk/10/29.md new file mode 100644 index 0000000..a946adc --- /dev/null +++ b/mrk/10/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kitu gani ambacho Yesu alisema kuwa mtu yeyote aliyeacha nyumba yake, familia yake, na aridhi kwa ajili ya Yesu atapokea? + +Yesu alisema wangepokea mara mia zaidi ya yaliyo katika dunia yenye mateso, na maisha ya milele katika dunia ijayo. + +# Ni kitu gani ambacho Yesu alisema kuwa mtu yeyote aliyeacha nyumba yake, familia yake, na aridhi kwa ajili ya Yesu atapokea? + +Yesu alisema wangepokea mara mia zaidi ya yaliyo katika dunia yenye mateso, na maisha ya milele katika dunia ijayo. + diff --git a/mrk/10/32.md b/mrk/10/32.md new file mode 100644 index 0000000..105ba1f --- /dev/null +++ b/mrk/10/32.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yesu na wanafunzi wake walisafiri kupitia njia gani? + +Yesu na wanafunzi wake walisafiri kwenye njia iendayo mpaka Yerusalemu. + +# Yesu aliwambia wanafunzi wake nini kingemtokea awapo Yerusalemu? + +Yesu aliwambia wanafunzi wake kuwa atahukumiwa kufa na baada ya siku tatu atafufuka + +# Yesu aliwambia wanafunzi wake nini kingemtokea awapo Yerusalemu? + +Yesu aliwambia wanafunzi wake kuwa atahukumiwa kufa na baada ya siku tatu atafufuka + diff --git a/mrk/10/35.md b/mrk/10/35.md new file mode 100644 index 0000000..abe8a42 --- /dev/null +++ b/mrk/10/35.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yakobo na Yohana waliomba nini kwa yesu? + +Yakobo na Yohana waliomba kukaa mkono wa kuume wa Yesu na wa kushoto pamoja naye katika utukufu + +# Yakobo na Yohana waliomba nini kwa yesu? + +Yakobo na Yohana waliomba kukaa mkono wa kuume wa Yesu na wa kushoto pamoja naye katika utukufu + diff --git a/mrk/10/38.md b/mrk/10/38.md new file mode 100644 index 0000000..a5deacb --- /dev/null +++ b/mrk/10/38.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu aliwaambia Yakobo na Yohana kuwa wataweza watastahimili nini + +Yesu aliwambia Yakobo na Yohana kuwa watastahimili kikombe ambacho yesu angekinywea pamoja na ubatizo atakao batizwa + +# Je Yesu aliwapatia Yakobo na Yohana kile walichoomba? + +Hapana, Yesu alisema viti katika upande wake wa kulia na kushoto si vyake kuwapatia. + diff --git a/mrk/10/41.md b/mrk/10/41.md new file mode 100644 index 0000000..5bccf28 --- /dev/null +++ b/mrk/10/41.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa namna gani Yesu alisema watawala wa mataifa wanawatendea wanao watawala? + +Yesu alisema kwamba watawala wa mataifa huwakandamiza wanaowatawala. + diff --git a/mrk/10/43.md b/mrk/10/43.md new file mode 100644 index 0000000..bf81756 --- /dev/null +++ b/mrk/10/43.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema lazima waishi vipi wale wanaotamani kuwa wakubwa kati ya wanafunzi? + +Yesu aliwaambia wale wanaotamani kuwa wakubwa kati ya wanafunzi lazima wawe watumwa wa wote. + +# Yesu alisema lazima waishi vipi wale wanaotamani kuwa wakubwa kati ya wanafunzi? + +Yesu aliwaambia wale wanaotamani kuwa wakubwa kati ya wanafunzi lazima wawe watumwa wa wote. + diff --git a/mrk/10/46.md b/mrk/10/46.md new file mode 100644 index 0000000..0cf0a5e --- /dev/null +++ b/mrk/10/46.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kipofu Batimayo alifanya nini wakati walipokuwa wakimzuia na kumwambia anyamaze? + +Batimayo alipiga kelele zaidi , "Mwana wa Daudi, nihurumie!." + diff --git a/mrk/10/51.md b/mrk/10/51.md new file mode 100644 index 0000000..52be14f --- /dev/null +++ b/mrk/10/51.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema nini kimemponya Batimayo upofu wake? + +Yesu alisema kuwa imani ilimponya batimayo + diff --git a/mrk/11/01.md b/mrk/11/01.md new file mode 100644 index 0000000..8d81903 --- /dev/null +++ b/mrk/11/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu aliwatuma wanafunzi wake wawili kufanya nini katika kijiji kilichokuwa kinawakabili? + +Yesu aliwatuma kwenda kumletea mwanapunda ambaye hajapandwa. + diff --git a/mrk/11/04.md b/mrk/11/04.md new file mode 100644 index 0000000..c3f795e --- /dev/null +++ b/mrk/11/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kulitokea nini wakati wanafunzi wanamfungua mwanapunda? + +Baadhi ya watu waliwauliza wanafunzi kuwa , walikuwa wanafanya nini,kwa hiyo wakawambia kama Yesu alivyo kuw amewaambia na watu wakawaacha wakaenda. + +# Kulitokea nini wakati wanafunzi wanamfungua mwanapunda? + +Baadhi ya watu waliwauliza wanafunzi kuwa , walikuwa wanafanya nini,kwa hiyo wakawambia kama Yesu alivyo kuw amewaambia na watu wakawaacha wakaenda. + diff --git a/mrk/11/07.md b/mrk/11/07.md new file mode 100644 index 0000000..405f7db --- /dev/null +++ b/mrk/11/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je watu walitandaza nini njiani wakati Yesu anakwenda juu ya mwanapunda? + +Watu walitandika ngua, pamoja na matawi ya miti waliyo yakata mashambani. + +# Je ni ufalme gani ujao ambao watu walikuwa wakuuzungumza na kupiga kelele wakati Yesu alipokuwa anakwenda Yesrusalemu? + +Watu walipiga kelele kuwa ufalme wa Daudi babayao umekuja. + diff --git a/mrk/11/11.md b/mrk/11/11.md new file mode 100644 index 0000000..b25ea56 --- /dev/null +++ b/mrk/11/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alifanya nini alipoingia hekaluni? + +Aliangalia huku na huku na ndipo akaenda Bethania. + diff --git a/mrk/11/13.md b/mrk/11/13.md new file mode 100644 index 0000000..7b755b3 --- /dev/null +++ b/mrk/11/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alifanya nini alipona mtini usio na matunda juu yake. + +Yesu aliuambia mtini, hapatakuwa na mtu atakaye kula tunda kutoka kwako." + diff --git a/mrk/11/15.md b/mrk/11/15.md new file mode 100644 index 0000000..ef09066 --- /dev/null +++ b/mrk/11/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alifanya nini alipoingia hekaluni? + +Yesu aliwafukuza wauzaji na wanunuaji, na hakumruhusu yeyote kubeba bidhaa kutoka hekaluni. + +# Yesu alifanya nini alipoingia hekaluni? + +Yesu aliwafukuza wauzaji na wanunuaji, na hakumruhusu yeyote kubeba bidhaa kutoka hekaluni. + diff --git a/mrk/11/17.md b/mrk/11/17.md new file mode 100644 index 0000000..5ed870a --- /dev/null +++ b/mrk/11/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yesu alisema hekalu lilipaswa kuwaje, kulingana na maandiko? + +Yesu alisema kwamba hekalu lilipaswa kuwa nyumba ya sala kwa mataifa yote. + +# Yesu aliwaambia makuhani wakuu nawaandishi wamelifanya hekalu kuwa nini? + +Yesu alisema wamelifanya hekalu pango la wezi. + +# Makuhani wakuu pamoja na waandishi walijaribu kufanya nini? + +Makuhani wakuu na waandishi walikuwa wanajaribu kumuua Yesu. + diff --git a/mrk/11/20.md b/mrk/11/20.md new file mode 100644 index 0000000..7b7e96e --- /dev/null +++ b/mrk/11/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kulitokea nini kwenye mti mtini ambao Yesu aliusema? + +Mti mtini ambao Yesu aliusema ulikauka mpaka kwenye mizizi yake. + diff --git a/mrk/11/24.md b/mrk/11/24.md new file mode 100644 index 0000000..c5b6476 --- /dev/null +++ b/mrk/11/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema nini kuhusu yote tuyaombayo? + +Yesu alisema kwamba chochote tunachoomb, tuamini kwamba tumekwisha kupokea, na vitakuwa vyetu. + +# Yesu alisema tunapaswa kufanya nini ili kwamba baba yetu wa mbinguni aweze kutusamehe sisi pia? + +Yesu alisema tunapaswa kusamehe chochote kilichopo kati yetu na mwingine yeyote, ili kwamba Baba pia atusamehe sisi. + diff --git a/mrk/11/27.md b/mrk/11/27.md new file mode 100644 index 0000000..898ad7d --- /dev/null +++ b/mrk/11/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ndani ya hekalu, makuhani wakuu, waandishi, na wazee walitaka kujua nini kutoka kwa Yesu? + +Walitaka kujua ni kwa mamlaka gani alifanya vitu alivyokuwa akivifanya. + +# Ndani ya hekalu, makuhani wakuu, waandishi, na wazee walitaka kujua nini kutoka kwa Yesu? + +Walitaka kujua ni kwa mamlaka gani alifanya vitu alivyokuwa akivifanya. + diff --git a/mrk/11/29.md b/mrk/11/29.md new file mode 100644 index 0000000..9fb9a1a --- /dev/null +++ b/mrk/11/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je ni swali gani ambalo Yesu aliwauliza makuhani wakuu, waandishi na wazee? + +Yesu aliwauliza ikiwa ubatizo wa Yohana ulitoka mbinguni au ulitoka kwa watu. + diff --git a/mrk/11/31.md b/mrk/11/31.md new file mode 100644 index 0000000..2aa0183 --- /dev/null +++ b/mrk/11/31.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini makuhani wakuu, waandishi, na wazee hawakutaka kujibu kwamba ubatizo wa Yohana ulitoka mbinguni? + +Hawakutaka kumpa jibu hili kwa sababu Yesu angewauliza kwa nini hawakumwamini Yohana. + +# Kwa nini makuhani wakuu, waandishi, na wazee hawakutaka kujibu kwamba ubatizo wa Yohana ulitoka kwa watu? + +Hakutaka kutoa jibu hili kwa sababu waliwaogopa watu, ambao wote waliamini kuwa Yohana alikuwa nabii + diff --git a/mrk/12/01.md b/mrk/12/01.md new file mode 100644 index 0000000..eae7c78 --- /dev/null +++ b/mrk/12/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baada ya kujenga na kupangisha shamba la mizabibu, mmiliki wake alifanya nini? + +Baada ya kujenga na kupangisha shamba la mizabibu mwenye shamba alikwenda safari ya mbali. + diff --git a/mrk/12/04.md b/mrk/12/04.md new file mode 100644 index 0000000..46c0e75 --- /dev/null +++ b/mrk/12/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mtunzaji wa shamba la mzabibu aliwatendea nini watumwa ambao mwenye shamba aliwatuma kupokea matunda ya shamba la mzabibu? + +Mtunzaji wa shamaba la mzabibu aliwapiga na kuwaua miongoni mwa watumishi. + diff --git a/mrk/12/06.md b/mrk/12/06.md new file mode 100644 index 0000000..259c341 --- /dev/null +++ b/mrk/12/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mwenye shamba alimtuma nami wa mwisho kwa watunza shamba la mizabibu? + +Mwenye shamba alimtuma wa mwisho kwa watunza shamba alikuwa ni mwanawe mpendwa. + diff --git a/mrk/12/08.md b/mrk/12/08.md new file mode 100644 index 0000000..8c52013 --- /dev/null +++ b/mrk/12/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Watunza shamba la mizabibu walimtendea nini yule mmoja aliyetumwa wa mwisho na mwenye shamba? + +Watunza shamba la mizabibu walimvamia, wakamwua na kumtupa nje ya shamba la mizabibu. + +# Je mwenye shamba atamfanya nini yule mtunzaji wa shamba? + +Mwenye shamba atakuja na kumharibu mtunzaji na kuwapatia wengine. + diff --git a/mrk/12/10.md b/mrk/12/10.md new file mode 100644 index 0000000..5ec13ba --- /dev/null +++ b/mrk/12/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika maandiko. Nini kilitokea kwa lile jiwe ambalo wajenzi walilikataa? + +Jiwe ambalo wajenzi walilikataa limefanywa kuwa jiwe la pembeni + diff --git a/mrk/12/13.md b/mrk/12/13.md new file mode 100644 index 0000000..4c91048 --- /dev/null +++ b/mrk/12/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je ni swali gani mafarisayo pamoja na baadhi ya maherodia walimuuliza Yesu? + +Walimuuliza kama ilikuwa ni halali kulipa ushuru/ kodi kwa kaisari. + diff --git a/mrk/12/16.md b/mrk/12/16.md new file mode 100644 index 0000000..ef62fb3 --- /dev/null +++ b/mrk/12/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa jinsi gani Yesu aliwajibu swali lao + +Yesu aisema wanapaswa kumpa kaisari vitu ambavyo ni vya kaisari, na kumpatia Mungu vilivyo vya Mugu. + diff --git a/mrk/12/18.md b/mrk/12/18.md new file mode 100644 index 0000000..6f13037 --- /dev/null +++ b/mrk/12/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika eneo gani Masadukayo hawaamini? + +Masadukayo hawaamini katika suala la ufufuo. + diff --git a/mrk/12/20.md b/mrk/12/20.md new file mode 100644 index 0000000..98ecd0e --- /dev/null +++ b/mrk/12/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Katika simulizi iliyo simuliwa na masadukayo, ni waume wangapi aliokuwa nao yule mwanamke? + +Mwanamke alikuwa na waume saba + +# Je ni swali gani amabalo masadukayo walimuuliza Yesu kuhusu yule mwanamke? + +Walimuuliza kuwa je ni mume yupi ambaye angekuwa mume wa yule mwanamke wakati wa ufufuo + diff --git a/mrk/12/24.md b/mrk/12/24.md new file mode 100644 index 0000000..50757c9 --- /dev/null +++ b/mrk/12/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni sababu ipi Yesu aliwapa masadukayo juu ya makosa yao? + +Yesu aliwaambia masadukayo hawayajui maandiko wala nguvu za Mungu. + +# Jibu la Yesu kwamasadukayo lilikuwa ni lipi kuhusu mwanamke? + +Yesu alisema kuwa katika ufufuo, wanaume na wanawake hawataoa, bali watakuwa kama malaika. + diff --git a/mrk/12/26.md b/mrk/12/26.md new file mode 100644 index 0000000..bd86156 --- /dev/null +++ b/mrk/12/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Jinsi gani Yesu alionyesha kupitia maandiko kuwa kuna ufufuo? + +Yesu alinukuu kutoka katika torati ya Musa pale Mungu aliposema, yeye ni Mungu wa Ibrahimu,Isaka, Yakobo - wote ambao lazima wabakie hai. + +# Jinsi gani Yesu alionyesha kupitia maandiko kuwa kuna ufufuo? + +Yesu alinukuu kutoka katika torati ya Musa pale Mungu aliposema, yeye ni Mungu wa Ibrahimu,Isaka, Yakobo - wote ambao lazima wabakie hai. + diff --git a/mrk/12/28.md b/mrk/12/28.md new file mode 100644 index 0000000..72b8e5c --- /dev/null +++ b/mrk/12/28.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je ni amri ipi ambayo Yesu alisema ni ya muhimu? + +Yesu alisema kwamba kumpenda Mungu wako kwamoyo wako, kwa roho yako, na kwa akili zako na kwa nguvu zako ni amri ya muhimu sana. + +# Je ni amri ipi ambayo Yesu alisema ni ya muhimu? + +Yesu alisema kwamba kumpenda Mungu wako kwamoyo wako, kwa roho yako, na kwa akili zako na kwa nguvu zako ni amri ya muhimu sana. + +# Je ni amri ipi Yesu alisema ni ya pili + +Yesu alisema kuwa kumpenda jirani yako kama wewe mwenyewe ni amri ya pili + diff --git a/mrk/12/35.md b/mrk/12/35.md new file mode 100644 index 0000000..4d5a2b9 --- /dev/null +++ b/mrk/12/35.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Swali gani Yesu aliwauliza waandishi kuhusu Daudi? + +Yesu aliwauliza jinsi gani Daudi aliweza kumwita Kristo Bwana wakati Kristo ni mwana wa Daudi. + +# Swali gani Yesu aliwauliza waandishi kuhusu Daudi? + +Yesu aliwauliza jinsi gani Daudi aliweza kumwita Kristo Bwana wakati Kristo ni mwana wa Daudi. + diff --git a/mrk/12/38.md b/mrk/12/38.md new file mode 100644 index 0000000..f3236c8 --- /dev/null +++ b/mrk/12/38.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu aliwaambia nini watu katika kuwa waangalifu juu ya waandishi? + +Yesu aliwaanbia waandishi wanatamani kuheshimiwa na watu, lakini wanameza nyumba za wajane na kuomba sala ndefu ili waonekane na watu. + +# Yesu aliwaambia nini watu katika kuwa waangalifu juu ya waandishi? + +Yesu aliwaanbia waandishi wanatamani kuheshimiwa na watu, lakini wanameza nyumba za wajane na kuomba sala ndefu ili waonekane na watu. + diff --git a/mrk/12/43.md b/mrk/12/43.md new file mode 100644 index 0000000..1233df7 --- /dev/null +++ b/mrk/12/43.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Yesu alisema mjane masikini ameweka au ametoa zaidi kuliko wote walio changa katika sanduku la matoleo? + +Yesu alisema amechangia zaidi kwa sababu alitoa katika umasikini wake wakati wengine walitoa katika wingi wa vitu walivyo navyo. + diff --git a/mrk/13/01.md b/mrk/13/01.md new file mode 100644 index 0000000..d8678c4 --- /dev/null +++ b/mrk/13/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema nini kingetokea katika mawe mazuri na majengo ya hekalu? + +Yesu alisema kwamba hapata salia jiwe juu ya jiwe lingie ambalo halita angushwa chini. + diff --git a/mrk/13/03.md b/mrk/13/03.md new file mode 100644 index 0000000..5c22d08 --- /dev/null +++ b/mrk/13/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je ni swali gani baadaye wanafunzi walimuuliza Yesu? + +Wanafunzi walimuuliza Yesu , niwakati gani mambo haya yatatokea na kutakuwa na ishara gani. + diff --git a/mrk/13/05.md b/mrk/13/05.md new file mode 100644 index 0000000..f1f7aca --- /dev/null +++ b/mrk/13/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kuhusiana na nii Yesu aliwambia wanafunzi wanapaswa kuwa waangalifu? + +Yesu alisema wanafunzi wanapaswa kuwa waangalifu mtu asiwapotoshe. + +# Ni kuhusiana na nii Yesu aliwambia wanafunzi wanapaswa kuwa waangalifu? + +Yesu alisema wanafunzi wanapaswa kuwa waangalifu mtu asiwapotoshe. + diff --git a/mrk/13/07.md b/mrk/13/07.md new file mode 100644 index 0000000..057ddf0 --- /dev/null +++ b/mrk/13/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# JeYesu alisema ni ni itakuwa mwanzo wa utungu + +Yesua alisema mwanzo wa utungu itakua ni vita, tetesi za vita, matetemeko, na njaa. + +# JeYesu alisema ni ni itakuwa mwanzo wa utungu + +Yesua alisema mwanzo wa utungu itakua ni vita, tetesi za vita, matetemeko, na njaa. + diff --git a/mrk/13/09.md b/mrk/13/09.md new file mode 100644 index 0000000..f8cbb7e --- /dev/null +++ b/mrk/13/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema nini kingetokea kwa wanafunzi? + +Yesu alisema wanafunzi watafikishwa kwenye mabaraza, watapigwa katika masinagogi, nawatasimama mbele ya watawala na wafalme kama ushuhuda. + +# Yesu alisema nini lazima kitokee kwanza? + +Yesu alisema injili lazima ihubiriwe kwa mataifa yote kwanza. + diff --git a/mrk/13/11.md b/mrk/13/11.md new file mode 100644 index 0000000..408fff1 --- /dev/null +++ b/mrk/13/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alisema nini kitatokea kati ya ndugu wa familia? + +Yesu alisema kwamba ndugu wa familia watauana. + +# Yesua alisema ni nani atakaye okoka? + +Yesua alisema yeye atakaye vumilia mpaka mwisho ndiye atakaye okoka + diff --git a/mrk/13/14.md b/mrk/13/14.md new file mode 100644 index 0000000..8eae527 --- /dev/null +++ b/mrk/13/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema wale wa Yuda wafanye nini watakapoliona lile chukizo la uharibifu? + +Yesua alisema wale wa Yuda wakimbie milimani watakapoliona chukizo la uharibifu + diff --git a/mrk/13/17.md b/mrk/13/17.md new file mode 100644 index 0000000..73010ae --- /dev/null +++ b/mrk/13/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema Bwana atafanya nini kwa ajili ya wateule, ili kwamba waweze kuokolewa? + +Yesu alisema Bwana atafupisha siku za dhiki kuu kwa ajili ya wateule. + diff --git a/mrk/13/21.md b/mrk/13/21.md new file mode 100644 index 0000000..dc4b8ba --- /dev/null +++ b/mrk/13/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema nani atatokea kudanganya watu? + +Yesu alisema kwamba makristo na manabii wa uongo watatokea kuwadanganya watu. + diff --git a/mrk/13/24.md b/mrk/13/24.md new file mode 100644 index 0000000..508f69f --- /dev/null +++ b/mrk/13/24.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nini kitatokea kwenye mamlakaya ya mbingu baada ya ile dhiki ya siku zile? + +Jua na mwezi vitatiwa giza, nyota zitaanguka kutoka angani, na nguvu katika mbingu zitatikisika + +# Nini kitatokea kwenye mamlakaya ya mbingu baada ya ile dhiki ya siku zile? + +Jua na mwezi vitatiwa giza, nyota zitaanguka kutoka angani, na nguvu katika mbingu zitatikisika + +# Kitu gani watu watakiona mawinguni? + +Watamwona mwana wa Adam akija mawinguni na nguvu kubwa na utukufu. + +# Mwana wa Adamu atafanya nini atakapo kuja? + +Mwana wa Adamu atawakusanya wateule wake kutoka katika miisho ya dunia na anga. + diff --git a/mrk/13/30.md b/mrk/13/30.md new file mode 100644 index 0000000..2b44e6c --- /dev/null +++ b/mrk/13/30.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yesu alisema kitu ganihakitapita hadi mambo yote haya yatimie? + +Yesu alisema kuwa kizazi hiki hakitapita mpaka yote haya yawe yametimia. + +# Ni jambo gani Yesu alisema halitapita? + +Yesu alisema kwamba neno lake halitapita. + +# Yesu alisema haya yote yatatokea wakati gani? + +Yesu alisema hakuna ajuaye siku wala saa, isipokuwa Baba. + diff --git a/mrk/13/33.md b/mrk/13/33.md new file mode 100644 index 0000000..4534412 --- /dev/null +++ b/mrk/13/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni amri gai Yesu aliwapa wanafunzi kuhusiana na ujio wake? + +Yesu aliwambia wanafunzi kuwa wawe tayari. + diff --git a/mrk/13/35.md b/mrk/13/35.md new file mode 100644 index 0000000..a3833b0 --- /dev/null +++ b/mrk/13/35.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni amri gai Yesu aliwapa wanafunzi kuhusiana na ujio wake? + +Yesu aliwambia wanafunzi kuwa wawe tayari + +# Ni amri gai Yesu aliwapa wanafunzi kuhusiana na ujio wake? + +Yesu aliwambia wanafunzi kuwa wawe tayari + diff --git a/mrk/14/01.md b/mrk/14/01.md new file mode 100644 index 0000000..2a6bbaa --- /dev/null +++ b/mrk/14/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Makuhani wakuu na waandishi walikuwa wakifanya nini? + +Walikuwa wakitafuta njia ya kumkamata Yesu kwa siri na kisha wamuue. + +# Kwa nini makuhani wakuu na waandishi hawakutaka kutimiza haya wakati wa sherehe ya mikate isiyotiwa chachu? + +Walikuwa wanaogopa kuwa ghasia itatokea miongoni mwa watu + diff --git a/mrk/14/03.md b/mrk/14/03.md new file mode 100644 index 0000000..b70e4e0 --- /dev/null +++ b/mrk/14/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni nini Yesu alicho fanyiwa na mwanamke katika nyumba ya Simoni mwenye ukoma? + +Mwanamke alivunja chupa ya marashi nakuyamimina juu ya kichwa cha Yesu. + +# Ni kwa ajili gani watu walikuwa wanamkemea yule mwanamke? + +Baadhi walikuwa wanamkemea mwanamke kwamba ange uza yale manikato na kutoa fedha ile kwa maskini. + diff --git a/mrk/14/06.md b/mrk/14/06.md new file mode 100644 index 0000000..c116465 --- /dev/null +++ b/mrk/14/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni jambo gani Yesu alisema mwanamke amemfanyia Yesu? + +Yesu alisema mwanamke amempaka mafuta kwenye mwili wake kwa ajili ya maziko. + +# Je ni ahadi gani Yesu aliitoa kuhusu kile alicho fanya mwanamke? + +Yesu alitabiri kwamba popote ambapo injili ilihubiriwa katika ulimwengu wote, kile alicho fanya mwanamke kitazungumzwa kwa kumbukumbu yake. + diff --git a/mrk/14/10.md b/mrk/14/10.md new file mode 100644 index 0000000..a41e790 --- /dev/null +++ b/mrk/14/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa nini yuda Iskariote aliondoka na kwenda kwa makuhani wakuu? + +Yuda Iskariote aliondoka nakwenda kwa makuhani wakuu ili aweze kumuweka Yesu mikononi mwao. + diff --git a/mrk/14/12.md b/mrk/14/12.md new file mode 100644 index 0000000..007a6d1 --- /dev/null +++ b/mrk/14/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni jinsi gani Yesu alitafuta sehemu ambapo wangeweza kula mlo wa Pasaka? + +Yesu aliwaambia kwenda mjini na wamfuate mwanamume ambaye amebeba mtungiwa maji na kisha mumuulize mahali nyumba ya wageni ilipo ambayo mtatumia kulia Pasaka. + +# Ni jinsi gani Yesu alitafuta sehemu ambapo wangeweza kula mlo wa Pasaka? + +Yesu aliwaambia kwenda mjini na wamfuate mwanamume ambaye amebeba mtungiwa maji na kisha mumuulize mahali nyumba ya wageni ilipo ambayo mtatumia kulia Pasaka. + diff --git a/mrk/14/17.md b/mrk/14/17.md new file mode 100644 index 0000000..564abca --- /dev/null +++ b/mrk/14/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alisema nini wakati walipokuwa wameketi mezani na kula? + +Yesu alisema kuwa mmoja kati ya wanafunzi anayekula pamoja naye atamsaliti. + diff --git a/mrk/14/20.md b/mrk/14/20.md new file mode 100644 index 0000000..473e0c2 --- /dev/null +++ b/mrk/14/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni mwanafunzi gani ambaye Yesu alisema atamsariti? + +Yesu aliwambia ni mmoja wenu ambaye anachova tonge sasa kwenye bakuli pamoja nami ndiye atakaye nisaliti. + +# Yesu alisema nini kuhusu hatima ya yule atakaye msaliti? + +Yesu alisema ingelikuwa vema kwake kama asingelizaliwa. + diff --git a/mrk/14/22.md b/mrk/14/22.md new file mode 100644 index 0000000..499f331 --- /dev/null +++ b/mrk/14/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yesu alisema nini alipowapa wanafunzi mkate uliokatwa? + +Yesu alisema, ''Chukueni. Huu ni mwili wangu''. + +# Yesu alisema nini alipokuwa anawapa wanafunzi wake kikombe? + +Yesu alisema, Hii ni damu yangu ya agano, damu ambayo imetolewa kwa ajili ya wengi. + +# Ni wakati gani Yesu alisema ange kunywa tena tunda la mdhabibu? + +Yesu alisema atakunywa tena tunda hili la mzabibu katika siku ambayo atakunywa divai mpya katika ufalme wa mbinguni. + diff --git a/mrk/14/26.md b/mrk/14/26.md new file mode 100644 index 0000000..819577b --- /dev/null +++ b/mrk/14/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika mlima wa mizeituni, Yesu alitabiri nini kuhusu wanafunzi wake? + +Yesu alitabiri kuwa wanafunzi wake wote watajitenga kwa sababu yake. + diff --git a/mrk/14/30.md b/mrk/14/30.md new file mode 100644 index 0000000..363b300 --- /dev/null +++ b/mrk/14/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alimwambia nini Petro baada ya Petro kusema itanilazimu kufa pamoja nawe? + +Yesuakamwambia Petro kwamba kabla jogoo hajawika mara mbili , utakuwa umenikana mara tatu. + diff --git a/mrk/14/32.md b/mrk/14/32.md new file mode 100644 index 0000000..928f8ec --- /dev/null +++ b/mrk/14/32.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu aliwaambia kufanya nini wanafunzi wake watatu wakati akiomba? + +Yesu aliwaambia kwmba kaeni hapa muangalie. + +# Yesu aliwaambia kufanya nini wanafunzi wake watatu wakati akiomba? + +Yesu aliwaambia kwmba kaeni hapa muangalie. + diff --git a/mrk/14/35.md b/mrk/14/35.md new file mode 100644 index 0000000..987a350 --- /dev/null +++ b/mrk/14/35.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu aliombea nini? + +Yesu aliomba kuwa saa hii iondoke kwake. + +# Yesu alikuwa tayari kupokea jibu lipi katika maombi yake kwa baba? + +Yesu alikuwa tayari kupokea chochote ambacho ni mapenzi ya baba kwake. + diff --git a/mrk/14/37.md b/mrk/14/37.md new file mode 100644 index 0000000..426ccca --- /dev/null +++ b/mrk/14/37.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu alikuta nini alipo rudi kwa wanafunzi wake watatu? + +Yesu alikuta wanafunzi wake watatu wamelala. + diff --git a/mrk/14/40.md b/mrk/14/40.md new file mode 100644 index 0000000..9ebfc80 --- /dev/null +++ b/mrk/14/40.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alikuta nini tena aliporudikutoka kuomba mara ya pili? + +Yesu aliwakuta wanafuzi wake watatu wamelala. + +# Yesu alikuta nini tena aliporudikutoka kuomba mara ya tatu? + +Yesu aliwakuta wanafuzi wake watatu wamelala. + diff --git a/mrk/14/43.md b/mrk/14/43.md new file mode 100644 index 0000000..64574e8 --- /dev/null +++ b/mrk/14/43.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni ishara gani ambayo Yuda alitoa kuwaonesha walinzi ni mtu yupi alikuwa Yesu? + +Yuda alimbusu Yesu kuonesha ni mtu yupi alikuwa Yesu. + +# Ni ishara gani ambayo Yuda alitoa kuwaonesha walinzi ni mtu yupi alikuwa Yesu? + +Yuda alimbusu Yesu kuonesha ni mtu yupi alikuwa Yesu. + diff --git a/mrk/14/47.md b/mrk/14/47.md new file mode 100644 index 0000000..d391f0b --- /dev/null +++ b/mrk/14/47.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yesu alisema ni kinafanyika wakati wanamkamata kilichokuwa kinatimiza maandiko? + +Yesu alisema kwamba Maandiko yalikuwa yanatimizwa kwasababu walikuja kumkamata kama mwizi, kwa mapanga na marungu. + +# Yesu alisema ni kinafanyika wakati wanamkamata kilichokuwa kinatimiza maandiko? + +Yesu alisema kwamba Maandiko yalikuwa yanatimizwa kwasababu walikuja kumkamata kama mwizi, kwa mapanga na marungu. + +# Wale waliokuwa na Yesu walifanya nini wakati Yesu alipokamatwa? + +Wale waliokuwa na Yesu walimwacha na kukimbia. + diff --git a/mrk/14/51.md b/mrk/14/51.md new file mode 100644 index 0000000..5b76067 --- /dev/null +++ b/mrk/14/51.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kijana mdogo aliye kuwa aki mfuata Yesu alifanya nini yesu alipo kamatwa? + +Kijana aliachia shuka pale akakimbia uchi. + +# Kijana mdogo aliye kuwa aki mfuata Yesu alifanya nini yesu alipo kamatwa? + +Kijana aliachia shuka pale akakimbia uchi. + diff --git a/mrk/14/53.md b/mrk/14/53.md new file mode 100644 index 0000000..d89bec6 --- /dev/null +++ b/mrk/14/53.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Petro alikuwa wapi wakati Yesu alipochukuliwa kwenda kwa makuhani wakuu? + +Petro aliketi pamoja na walinzi, waliokuwa wameketi karibu na moto wakiota ili kupata joto. + +# Petro alikuwa wapi wakati Yesu alipochukuliwa kwenda kwa makuhani wakuu? + +Petro aliketi pamoja na walinzi, waliokuwa wameketi karibu na moto wakiota ili kupata joto. + diff --git a/mrk/14/55.md b/mrk/14/55.md new file mode 100644 index 0000000..6ae08eb --- /dev/null +++ b/mrk/14/55.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini likuwa kosa na ushaidi uliotolewa kuhusu Yesu kwenye Baraza? + +Ushuhuda dhidi ya Yesu ulikuwa ni wa uongo na haukupatana. + +# Nini likuwa kosa na ushaidi uliotolewa kuhusu Yesu kwenye Baraza? + +Ushuhuda dhidi ya Yesu ulikuwa ni wa uongo na haukupatana. + diff --git a/mrk/14/60.md b/mrk/14/60.md new file mode 100644 index 0000000..eb83102 --- /dev/null +++ b/mrk/14/60.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni swali gani kuhani mkuu alimuuliza Yesu kuhusu yeye alikuwa ni nani? + +Kuhani mkuu alimuuliza Yesu ikiwa yeye ni Kristo, mwana wa mbarikiwa. + +# Jibu la Yesu lilikuwa lipi kwa swali la kuhani mkuu? + +Yesu alijibu kuwa alikuwa ndiye Kristo mwana wa mbarikiwa. + diff --git a/mrk/14/63.md b/mrk/14/63.md new file mode 100644 index 0000000..baeeb42 --- /dev/null +++ b/mrk/14/63.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Aliposikia jibu la Yesu, kuhani mkuu alisema Yesu anahatia gani? + +Kuhani mkuu alisema Yesu alikuwa na hatia ya kukufuru. + +# Walimfanyia nini baada ya kumuhukumu kuwa anastahili kifo? + +Walimtemea mate, wakampiga, na kumchapa + diff --git a/mrk/14/66.md b/mrk/14/66.md new file mode 100644 index 0000000..738c90b --- /dev/null +++ b/mrk/14/66.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Jibu la Petro lilikuwa ni lipi kwa mmoja wapo wawatumishi wasichanawa kuhani aliye mwambia Petro kuwa alikuwa pamoja na Yesu? + +Petro alikana kuwa hajui wala aelewi kile msichana anacho sema. + +# Jibu la Petro lilikuwa ni lipi kwa mmoja wapo wawatumishi wasichanawa kuhani aliye mwambia Petro kuwa alikuwa pamoja na Yesu? + +Petro alikana kuwa hajui wala aelewi kile msichana anacho sema. + diff --git a/mrk/14/71.md b/mrk/14/71.md new file mode 100644 index 0000000..8655e16 --- /dev/null +++ b/mrk/14/71.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Petro alijibu nini alipo ulizwa mara ya tatu kuwa alikuwa moja ya wanafunzi wa Yesu? + +Petro alianza kujilaani mwenyewe na kuapa kuwa amujui Yesu. + diff --git a/mrk/15/01.md b/mrk/15/01.md new file mode 100644 index 0000000..f24b579 --- /dev/null +++ b/mrk/15/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Asubuhi na mapema ni kitu gani kuhani mkuu alifanya kwa Yesu? + +Asubuhi na mapema walimfunga Yesu na kumpeleka kwa Pilato + diff --git a/mrk/15/04.md b/mrk/15/04.md new file mode 100644 index 0000000..80bf824 --- /dev/null +++ b/mrk/15/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakati kuhani mkuu akieleza mashitaka mengi dhidi ya Yesu ni jambo gani lilimshangaza Pilato kuhusu Yesu? + +Pilato alishangaa kuwa Yesu alikuwa hamjibu. + diff --git a/mrk/15/06.md b/mrk/15/06.md new file mode 100644 index 0000000..ac0064c --- /dev/null +++ b/mrk/15/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Pilato alikuwa akifanya nini marakwa mara kwa ajili ya makutano wakati wa sherehe. + +Pilato mara kwa mara alikuwa akiwafungulia mfungwa mmoja wakati wa sherehe + diff --git a/mrk/15/09.md b/mrk/15/09.md new file mode 100644 index 0000000..521f681 --- /dev/null +++ b/mrk/15/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini Pilato alitaka kumkabidhi Yesu kwa makutano? + +Pilato alijua kuwa ni kwasababu ya wivu , kuhani mkuu alimleta Yesu kwake + +# Makutano walimlilia nani afunguliwe? + +Makutano walimlilia baraba afunguliwe + diff --git a/mrk/15/12.md b/mrk/15/12.md new file mode 100644 index 0000000..13d1a96 --- /dev/null +++ b/mrk/15/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini ambacho makutano walisema kifanyike kwa mfalme wa wayahudi? + +Makutano walisema , mfalme wa wayahudi asulibiwe. + +# Nini ambacho makutano walisema kifanyike kwa mfalme wa wayahudi? + +Makutano walisema , mfalme wa wayahudi asulibiwe. + diff --git a/mrk/15/16.md b/mrk/15/16.md new file mode 100644 index 0000000..1d69667 --- /dev/null +++ b/mrk/15/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kikosi cha maaskari walimvika nini Yesu? + +Maaskari walimvika Yesu kanzu ya rangi ya zambarawe, na kumvika taji ya miba iliyogeuzwa + diff --git a/mrk/15/19.md b/mrk/15/19.md new file mode 100644 index 0000000..788e826 --- /dev/null +++ b/mrk/15/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nani alibeba msalaba wa Yesu? + +Mptaji, Simon mkirene, alilazimishwa kubeba msalaba wa Yesu. + diff --git a/mrk/15/22.md b/mrk/15/22.md new file mode 100644 index 0000000..9e7faa6 --- /dev/null +++ b/mrk/15/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Jina la mahali ambapo maaskari walimpeleka Yesu asulibiwe paliitwaje? + +Jina la mahali ni goligotha, ambayo inamaanisha Fuvu lakichwa. + +# Maaskaari walizifanyia nini nguo za Yesu? + +Maaskari walizipigia kura ngua za Yesu. + diff --git a/mrk/15/25.md b/mrk/15/25.md new file mode 100644 index 0000000..9635558 --- /dev/null +++ b/mrk/15/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je ni shitaa gani ambalo maaskari waliandika kwenye tangazo juu ya ubao? + +Maaskari waliandika, "Mfalme wa wayahudi" juu ya ubao. + diff --git a/mrk/15/29.md b/mrk/15/29.md new file mode 100644 index 0000000..8d8c5c9 --- /dev/null +++ b/mrk/15/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wale wapitaji walikuwa wanamwambia Yesu afanye nini? + +Wale waliokuwa wanapita walimwambia Yesu ajiokoe na ashuke kutoka msalabani. + +# Wale wapitaji walikuwa wanamwambia Yesu afanye nini? + +Wale waliokuwa wanapita walimwambia Yesu ajiokoe na ashuke kutoka msalabani. + diff --git a/mrk/15/31.md b/mrk/15/31.md new file mode 100644 index 0000000..657fae7 --- /dev/null +++ b/mrk/15/31.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je kuhani mkuu alisema Yesu afanye nini ili waweze kuamini? + +Kuhani mkuu alisema Yesu ashuke chini ili waeweze kuamini. + +# Je kuhani mkuu alisema Yesu afanye nini ili waweze kuamini? + +Kuhani mkuu alisema Yesu ashuke chini ili waeweze kuamini. + +# N vyeo gani kuhani mkuualimpatia Yesu wakati wanamdhihaki? + +Kuhani mkuu alimuita Yesu "Kristo" na "mfalme wa Israel" + diff --git a/mrk/15/33.md b/mrk/15/33.md new file mode 100644 index 0000000..169c8c0 --- /dev/null +++ b/mrk/15/33.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kulitokea nini katika saa ya sita? + +Katika saa ya sita giza lilitanda juu ya nchi yote + +# Yesu alilia namna gani wakati wa saa tisa? + +Yesu alilia , Mungu wangu Mungu wangu, kwa nini umeniacha? + diff --git a/mrk/15/36.md b/mrk/15/36.md new file mode 100644 index 0000000..30ffb19 --- /dev/null +++ b/mrk/15/36.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alifanya nini kabla ya kufa + +Yesu alilia kwa sauti kuu kabla hajafa. + +# Nini kilitokea hekaluni wakati Yesu alipokufa. + +Pazia la hekalu lilipasuka mara mbili kutoka juu kwenda chini wakati Yesu alipokufa. + diff --git a/mrk/15/39.md b/mrk/15/39.md new file mode 100644 index 0000000..8cee0b4 --- /dev/null +++ b/mrk/15/39.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Afisa alishuhudia nini wakati alipoona Yesu akikata roho + +Afisa alisema, kweli mtu huyu alikuwa mwana wa Mungu." + diff --git a/mrk/15/42.md b/mrk/15/42.md new file mode 100644 index 0000000..1970e26 --- /dev/null +++ b/mrk/15/42.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni siku gani ambayo Yesu alikufa? + +Yesu alikufa siku moja kabla ya sabato + diff --git a/mrk/15/45.md b/mrk/15/45.md new file mode 100644 index 0000000..2555f19 --- /dev/null +++ b/mrk/15/45.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yusufu wa almataya alifanya nini baada ya Yesu kufa + +Yusufu wa almataya aliushusha mwili wa Yesu msalabani, akufunga sanda na kuulaza ndani ya kaburi, akivingilisha jiwe kuziba mlango wa kuingilia kaburini. + diff --git a/mrk/16/01.md b/mrk/16/01.md new file mode 100644 index 0000000..63c10bb --- /dev/null +++ b/mrk/16/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je wanawake walikwenda wakati gani kaburini kupaka mafuta mwili wa Yesu? + +Wanawake walikwenda kaburini siku ya kwanza ya juma asubuhi jua lilipochomoza. + diff --git a/mrk/16/03.md b/mrk/16/03.md new file mode 100644 index 0000000..1114813 --- /dev/null +++ b/mrk/16/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni jinsi gani wanawake waliingia kaburini wakati kulikuwa na jiwe kubwa kwenye mlango wa kuingilia kaburini? + +Mtu mmoja alikuwa amelivingilisha jiwe lile kubwa mbali kutoka pale kaburini. + diff --git a/mrk/16/05.md b/mrk/16/05.md new file mode 100644 index 0000000..281d904 --- /dev/null +++ b/mrk/16/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wanawake waliona nini wakati walipoingia kaburini? + +Wanawake waliona kijana aliye vaa kanzu amekaa upande wa kulia. + +# Kijana alisema nini kuhusu Yesu + +Kijana alisema Yesu amefufuka hayupo hapa + +# Kijana alisema wanafunzi wake waende wapi kukutana na Yesu? + +Kijana alise wanafunzi wake waende Galillaya ndiko watakutana na Yesu + diff --git a/mrk/16/09.md b/mrk/16/09.md new file mode 100644 index 0000000..af3ab96 --- /dev/null +++ b/mrk/16/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu alionekana na nani kwa mara ya kwanza baada ya kufufuka? + +Yesu alionekana kwa Mariam Magdalena + +# Wanafunzi wa Yesu waliitikiaje wakati Mariam alipowaambia amemuona Yesu akiwa hai? + +Wanafunzi wake hawakuamini + diff --git a/mrk/16/12.md b/mrk/16/12.md new file mode 100644 index 0000000..1d42161 --- /dev/null +++ b/mrk/16/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wanafunzi wa Yesu waliitikiaje wakati Mariam alipowaambia amemuona Yesu akiwa hai + +Wanafunzi wake hawakuamini + diff --git a/mrk/16/14.md b/mrk/16/14.md new file mode 100644 index 0000000..a1489c4 --- /dev/null +++ b/mrk/16/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wakati alipoonekana na wanafunzi Yesu aliwambia nini kuhusu kutoamini kwao? + +Yesu alikemea kutoamini kwao + +# Ni amri gani Yesu aliwapa wanafunzi? + +Yesu aliwapa amri ya kwenda ulimwenguni pote na kuhubiri injili. + +# Ni nani Yesu alisema wataokoka? + +Yesua alisema waaminio ndio watakao okoka. + +# Ni wakina nani ambao Yesu alisema watahukumiwa? + +Yesu alisema wale ambaohawakuamini ndio watakao hukumiwa + diff --git a/mrk/16/17.md b/mrk/16/17.md new file mode 100644 index 0000000..02a54fa --- /dev/null +++ b/mrk/16/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je ni ishara gani zitaambatana na waaminio? + +Yesu alisema waaminio watafukuza pepo, watazungumza lugha mpya, hawatadhuliwa na kitu cha kufisha, na watawaponya wengine. + +# Je ni ishara gani zitaambatana na waaminio? + +Yesu alisema waaminio watafukuza pepo, watazungumza lugha mpya, hawatadhuliwa na kitu cha kufisha, na watawaponya wengine. + diff --git a/mrk/16/19.md b/mrk/16/19.md new file mode 100644 index 0000000..d8d1288 --- /dev/null +++ b/mrk/16/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nini kilitokea baada ya Yesu kuzungumza na wanafunzi wake? + +Baada ya kuzungumza na wanafunzi wake, Yesu alichukuliwa juu mbinguni na kukaa mkono wa kulia wa Mungu. + +# Baadaye wanafunzi walifanya nini? + +Wanafunzi baadaye waliondoka na wakahubiri kila mahali. + +# Bwana alifanya nini baadaye? + +Bwana baadaye alitembea paoja na wanafunzi wake na kulithibitisha neno kwa miujiza na ishara. + diff --git a/phm/01/01.md b/phm/01/01.md new file mode 100644 index 0000000..3e5951a --- /dev/null +++ b/phm/01/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Paulo alikuwa wapi alipokuwa akiandika barua hii? + +Alipokuwa akiandika barua hii Paulo alikuwa kifungoni. + +# Nani aliandikiwa barua hii ? + +arua hii aliandikiwa Filemoni, ndugu mpendwa wake Paulo na mtenda kazi mwenzake. + +# Ni mahali gani Wakristo walikutana kama kanisa? + +Kanisa lilikutana nyumbani. + diff --git a/phm/01/04.md b/phm/01/04.md new file mode 100644 index 0000000..d455dfa --- /dev/null +++ b/phm/01/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni tabia zipi nzuri za Filemoni ambazo Paulo alizisikia? + +Paulo alisikia juu ya upendo, Imani kwa Bwana na uaminifu kwa watakatifu wote alivyokuwa navyo Filemoni. + +# Kwa mujibu wa Paulo, Filemoni aliwafanyia nini watakatifu? + +Filemoni amekuwa akiburudisha mioyo ya watakatifu. + diff --git a/phm/01/08.md b/phm/01/08.md new file mode 100644 index 0000000..fcbf0bb --- /dev/null +++ b/phm/01/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo alikuwa wapi wakati anaandika barua yake? + +Paulo alikuwa gerezani wakati anaandika barua yake. + +# Kwa nini Paulo anamuomba jambo Filemoni badala ya kumuamuru? + +Paulo anamuomba Filemoni jambo kwa sababu ya upendo. + diff --git a/phm/01/10.md b/phm/01/10.md new file mode 100644 index 0000000..21dbe66 --- /dev/null +++ b/phm/01/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wakati gani Paulo alimzaa Onesmo? + +Paulo alimzaa Onesmo wakati akiwa kifungoni. + +# Paulo alimfanya nini Onesmo? + +Paulo alimrudisha Onesmo kwa Filemoni. + +# Paulo alikuwa wapi wakati anaandika barua yake? + +Paulo alikuwa gerezani wakati anaandika barua yake. + +# Paulo alitamani Onesmo afanye nini? + +Paulo alitamani Onesmo amsaidie. + diff --git a/phm/01/14.md b/phm/01/14.md new file mode 100644 index 0000000..0da9ec1 --- /dev/null +++ b/phm/01/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo alitaka Filemoni amfanyie nini Onesmo? + +Paulo alitaka Filemoni asimfanye Onesmo kama mtumwa na akakubali kumrudisha Onesmo. + +# Paulo sasa anataka Filemoni amchukulie vipi Onesmo? + +Paulo anataka Filemoni amchukulie Onesmo kama ndugu apendwaye. + diff --git a/phm/01/17.md b/phm/01/17.md new file mode 100644 index 0000000..17be03a --- /dev/null +++ b/phm/01/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo anataka Filemoni afanye nini kuhusu chochote ambacho Filemoni anamdai Onesmo? + +Paulo anataka Filemoni abadilishe madai yote ya Onesmo yawe ya Paulo. + +# Paulo anamdai nini Filemoni? + +Paulo anamdai Filemoni maisha yake. + diff --git a/phm/01/21.md b/phm/01/21.md new file mode 100644 index 0000000..6255b90 --- /dev/null +++ b/phm/01/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, Paulo alikuwa anategemea kuwa Filemon atamtuma Onesmo arudi? + +Naam, Paulo alikuwa na ujasiri ya kwamba Filemoni atamtuma Onesmo amrudie. + +# Paulo ataenda wapi mara baada ya kuachiwa toka gerezani? + +Paulo ataenda kumsalimia Filemoni baada ya kuachiwa toka gerezani. + diff --git a/php/01/01.md b/php/01/01.md new file mode 100644 index 0000000..d986e78 --- /dev/null +++ b/php/01/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni akina Paulo aliwaandikia waraka huu ? + +Paulo aliwaaandikia watu wote waliotengwa katika Kristo wanaoishi Filipi, kujumuisha na waangalizi na wahudumu. + diff --git a/php/01/03.md b/php/01/03.md new file mode 100644 index 0000000..b9fab0e --- /dev/null +++ b/php/01/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini Paulo anamshukuru Mungu kwa ajili ya ya Wafilipi? + +Paulo alimshukuru Mungu kwa ajili ya waumini wa Wafilipi kwenye injili tangu siku ya kwanza hadi sasa. + +# Paulo alikuwa na uhakika gani juu ya Wafilipi? + +Paulo alikuwa na uhakika kwamba aliyeanzisha kazi nzuri ndani yao ndiye atakaye hitimisha. + diff --git a/php/01/07.md b/php/01/07.md new file mode 100644 index 0000000..b72b79f --- /dev/null +++ b/php/01/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa mambo gani Wafilipi walikuwa washirika wenza wa Paulo? + +Wafilipi walishiriki na Paulo katika kifungo chake, na katika kuitetea na kuithibitisha injili. + diff --git a/php/01/09.md b/php/01/09.md new file mode 100644 index 0000000..b549e6d --- /dev/null +++ b/php/01/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo aliomba kitu gani ambacho kingeongezeka zaidi na zaidi miongoni mwa Wafilipi? + +Paulo aliomba kwamba upendo uongezeke zaidi na zaidi miongoni mwa Wafilipi. + +# Paulo alitamani Wafilipi wajazwe kwa nini? + +Paulo alitamani Wafilipi wajazwe na matunda ya haki. + diff --git a/php/01/12.md b/php/01/12.md new file mode 100644 index 0000000..a5c9427 --- /dev/null +++ b/php/01/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwa njia gani kifungo cha Paulo kiliifanya injili ienee zaidi? + +kifungo cha Paulo kwa ajili ya Kristo kilifahamika sana kwa sehemu kubwa, na ndugu wengi walikuwa sasa wakiongea kwa ujasiri habari za Yesu. + +# kifungo cha Paulo kiliimarishaje injili? + +kifungo cha Paulo kwa ajili ya Kristo kujulikana zaidi, na ndugu wengi walianza kuhubiri kwa ujasiri. + diff --git a/php/01/15.md b/php/01/15.md new file mode 100644 index 0000000..5aabd9c --- /dev/null +++ b/php/01/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini baadhi wanamuhubiri Krsto kwa yao na fitina? + +Baadhi walimhubiri Kristo kwa faida yao na fitina walidhani wangweza kumuongezea huzuni gerezani. + diff --git a/php/01/18.md b/php/01/18.md new file mode 100644 index 0000000..a8cbe47 --- /dev/null +++ b/php/01/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alijibu nini juu ya wale walikuwa wakihubiri kwa nia nzuri na wale walikuwa na nia mbaya? + +Paulo alifurahia kwamba kwa njia yoyote ile Kristo anahubiriwa. + diff --git a/php/01/20.md b/php/01/20.md new file mode 100644 index 0000000..5712e68 --- /dev/null +++ b/php/01/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kitu gani Paulo alitamani kukifanya akiwa hai au akiwa amekufa? + +Paulo alitamani sana kumpa Kristo utukufu akiwa hai au akiwa amekufa. + +# Paulo alisema kuishi ni nini na kufa ni nini? + +Paulo alisema kuishi ni Krsto, na kufa ni faida. + diff --git a/php/01/22.md b/php/01/22.md new file mode 100644 index 0000000..34d9ce3 --- /dev/null +++ b/php/01/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni mawazo gani ambayo yalimsukuma Paulo katika mielekeo miwili tofauti? + +Paulo alikuwa akisukumwa na mawazo mawili, kuwa pamoja na Kristo katika kifo au kubaki katika mwili ili aendelee na kazi yake. + +# Ni uchaguzi gani zilimvuta Paulo katika mwelekeo tofauti? + +Paulo alivutwa na uchaguzi wa na Kristo katika kifo, au kubakia kwenye mwili kuendelea na kazi yake ngumu yenye ujira. + diff --git a/php/01/25.md b/php/01/25.md new file mode 100644 index 0000000..daf8c35 --- /dev/null +++ b/php/01/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kwa kusudi gani Paulo alikuwa na uhakika wa kubaki katika mwili pamoja na Wafilipi? + +Paulo alikuwa na uhakika kwamba angeweza kubaki na Wafilipi kwa ajili ya maendeleo na furaha katika imani. + +# kwa vyovyote Wafilipi au mbali na wao, Paulo alitaka kusikia nini kuhusu Wafilipi? + +Paulo alitaka kusikia kwamba Wafilipi wamesimama imara katika roho moja, nia moja wakishindania imani ya injili kwa pamoja. + diff --git a/php/01/28.md b/php/01/28.md new file mode 100644 index 0000000..8a8ca18 --- /dev/null +++ b/php/01/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wafilipi hawakuwaogopa watu waliokuwa wakiwapinga, jambo hili liliashiria nini? + +Wafilipi hawakuogopa maadui, ilikuwa ni ishara ya uharibifu wa maadui zao, lakini ilikuwa ni ishara ya wokovu kwao. + +# Ni mambo gani mawili Wafilipi walipewa na Mungu? + +Wafilipi walipewa na Mungu wamwamini Kristo, lakini pia kwamba kuteswa badala yake. + diff --git a/php/02/01.md b/php/02/01.md new file mode 100644 index 0000000..bc58e76 --- /dev/null +++ b/php/02/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni jambo gani Paulo aliwaambia Wafilipi ni lazima wafanye kukamilisha furaha yake? + +Wafilipi ni lazima kuwa na fikra moja, upendo mmoja, na kuwa na kuwa wamoja katika roho na fikra. + diff --git a/php/02/03.md b/php/02/03.md new file mode 100644 index 0000000..3ca91ab --- /dev/null +++ b/php/02/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anawaelezeaje wafilipi kutenda kwa watu wengine? + +Wafilipi waweze kujali watu wengine kuwa bora zaidi yao. + diff --git a/php/02/05.md b/php/02/05.md new file mode 100644 index 0000000..5484e78 --- /dev/null +++ b/php/02/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Paulo anasema tuwe na nia kama ya nani? + +Paulo anasema tuwe na nia kama ya Yesu + +# Kristo Yesu alijifunua katika umbo gani? + +Kristo Yesu alijifunua katika umbo la Mungu + +# Kristo Yesu alichukua umbo gani? + +Kristo Yesu alichukua umbo la mtumishi, katika mwonekano wa mwanadamu. + +# Ni jinsi gani Yesu alijinyenyekeza? + +Yesu alijinyenyekeza kwa kutii hadi kufa msalabani. + diff --git a/php/02/09.md b/php/02/09.md new file mode 100644 index 0000000..f3d5a47 --- /dev/null +++ b/php/02/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mungu alifanya nini kwa Yesu? + +Amemtukuza na kumpa jina kubwa lipitalo majina yote + +# Kila ulimi utakiri nini? + +Kila ulimi utakiri kwamba Yesu ni Bwana. + diff --git a/php/02/12.md b/php/02/12.md new file mode 100644 index 0000000..cc86739 --- /dev/null +++ b/php/02/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa jinsi gani wafilipi wawajibike kwa wokovu? + +Wafilipi wawajibike katika wokovu kwa Kuwa na hofu na kutetemeka. + +# Mungu anatendaje kazi na waumini? + +Mungu hutenda kazi na waumini wote ili kunia na kutenda yampendendezayo. + diff --git a/php/02/14.md b/php/02/14.md new file mode 100644 index 0000000..50970d3 --- /dev/null +++ b/php/02/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kila jambo lifanyike bila nini? + +Kila jambo lazima lifanyike bila Malalmiko na mabishano + diff --git a/php/02/17.md b/php/02/17.md new file mode 100644 index 0000000..3a05c57 --- /dev/null +++ b/php/02/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwa lengo gani Paulo anajitoa maisha yake? + +Paulo anajitoa maisha yake kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa na huduma ya imani ya Wafilipi + +# Ni jambo gani Paulo analo, pia anataka Wafilipi wawe nalo? + +Paulo anawataka Wafilipi wawe na furaha kubwa kama yeye. + diff --git a/php/02/19.md b/php/02/19.md new file mode 100644 index 0000000..19c02c3 --- /dev/null +++ b/php/02/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Timotheo ni msaidizi wa pekee kwa Paulo? + +Timotheo ni msaidizi wa pekee wa Paulo kwa sababu alikuwa na nia ya kweli kwa Wafilipi na sio kwa ajili ya mapenzi yake. + diff --git a/php/02/22.md b/php/02/22.md new file mode 100644 index 0000000..6646909 --- /dev/null +++ b/php/02/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anatajia kuwaona Wafilipi? + +Ndio, Paulo anatarajia kuwaona Wafilipi baada ya mda mfupi + diff --git a/php/02/28.md b/php/02/28.md new file mode 100644 index 0000000..1771e56 --- /dev/null +++ b/php/02/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Epafradito alikaribia kufa? + +Epafratido alikaribia kufa kwa kufanya kazi ya Kristo, kumhudumia Paulo na kumpatia Paulo mahitaji. + diff --git a/php/03/01.md b/php/03/01.md new file mode 100644 index 0000000..f5d1be6 --- /dev/null +++ b/php/03/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo aliwaonya waumini wajihadhari? + +Paulo aliwaonya waamini wajihadhari na mbwa, watenda kazi wabaya, na wale wakatao miili yao. + +# Ni waatahiriwa wa namna gani wa kweli ambao Paulo anawasema? + +Paulo anasema watahiriwa wa kweli ni wale wanaoabudu Roho wa Mungu, kumtukuza Kristo Yesu na kutokuwa na ujasiri katika mwili. + diff --git a/php/03/06.md b/php/03/06.md new file mode 100644 index 0000000..0e8ac6a --- /dev/null +++ b/php/03/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo anelezeaje mwenendo wake wa nyuma kwa kulinganisha na haki ya sheria? + +Paulo anaelezea tabia yake ya kwanza kuwa hakuwa na hatia katika kuifuata sheria. + +# je, sasa Paulo analichukuliaje tumaini lake katika mwili aliokuwa nao siku za nyuma? + +Sasa Paulo anahesabu yote yaliyopita katika mwili wake kama hayana maana kwa sababu ya Kristo. + diff --git a/php/03/08.md b/php/03/08.md new file mode 100644 index 0000000..0ae852f --- /dev/null +++ b/php/03/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni kwa kusudi gani Paulo anayafikiria mambo yote kuwa uchafu sasa? + +Paulo anafikiria mambo yote kama uchafu ili ampate Kristo. + +# Ni haki gani ambayo Paulo anayo? + +Sasa Paulo anahaki kutoka kwa Mungu ipatikanayo katika Kristo, + +# Paulo anaushirika katika Kristo katika nini? + +Paulo anaushirika katika mateso ya Kristo + diff --git a/php/03/12.md b/php/03/12.md new file mode 100644 index 0000000..bae51cd --- /dev/null +++ b/php/03/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ingawa bado hajawa kamili, Paulo anaendelea kufanya nini? + +Paulo anaendelea kusonga mbele. + +# Ni lengo gani Paulo analotaka kufikia mbele? + +Paulo anataka kufikia lengo ili apate tuzo ya juu ya wito wa Mungu katika Kristo Yesu. + diff --git a/php/03/17.md b/php/03/17.md new file mode 100644 index 0000000..98cb798 --- /dev/null +++ b/php/03/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo anawaambia Wafilipi wafanye nini kulingana na mfano wa mwenendo wake? + +Paulo anawaambia Wafilipi kuungana naye na wamuige yeye katika mwenendo wake. + +# Nini mwisho wa wale wanaofikiri mungu wao ni tumbo lao na kufikiria kuhusu mambo ya duniani? + +Wale ambao mungu wao ni tumbo lao na wanafikiria kuhusu mambo ya duniani mwisho wao ni uharibifu. + diff --git a/php/03/20.md b/php/03/20.md new file mode 100644 index 0000000..0e11eac --- /dev/null +++ b/php/03/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo anasema wenyeji au uraia wa waumini utakuwa wapi? + +Paulo asema wenyeji wa waumini utakuwa kule mbinguni. + +# Kristo atafanya nini kwenye miili ya waamini atakapokuja kutoka mbinguni? + +Kristo atabadilisha miili dhaifu ya waamini kuwa kama mwili wake wa utukufu. + diff --git a/php/04/01.md b/php/04/01.md new file mode 100644 index 0000000..6aeaaa6 --- /dev/null +++ b/php/04/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo anataka wapendwa wake huko Fiilipi wafanye nini? + +Paulo anawataka Wafilipi kusimama imara katika Bwana. + +# Paulo anatarajia kuona nini kinatokea kwa Eudia na Sentike? + +Paulo anarajia kuona Eudia na Sentike waungane katika Bwana. + diff --git a/php/04/04.md b/php/04/04.md new file mode 100644 index 0000000..ccc6b3f --- /dev/null +++ b/php/04/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Paulo anawambia Wafilipi wafanye jambo gani siku zote?? + +Paulo anawataka kufurahi katika Bwana kila siku zote. + +# Badala ya kujisumbua, Paulo anasema kufanya nini? + +Paulo anasema badala ya kujisumbua, mwambie Mungu kwa maombi tunachohitaji, na kumshukuru. + +# Kama tukifanya hivi, nini kitalinda mioyo yetu na mawazo yetu? + +Kama tukifanya hivyo, amani ya Mungu italinda moyo wetu na mawazo yetu + diff --git a/php/04/08.md b/php/04/08.md new file mode 100644 index 0000000..54e0b94 --- /dev/null +++ b/php/04/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anawaambia Wafilipi kufikiria mambo gani? + +Paulo anasema kufikiri mambo ambayo ni ya heshima, haki, safi yenye upendo, yenye taarifa njema, yenye busara pamoja na yale yanayohitaji sifa. + diff --git a/php/04/10.md b/php/04/10.md new file mode 100644 index 0000000..14d719a --- /dev/null +++ b/php/04/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni mambo gani ambayo wafilipi walikuwa tayari kuyafanya upya? + +Wafilipi walikuwa tayari kuhuisha mambo ya yakumjali Paulo. + +# Ni siri gani ambayo Paulo amejifunza kuishi katika hali tofauti tofauti? + +Paulo amejifunza siri ya namna ya kuridhika katika mazingira yote yaani vingi na kuwa mhitaji. + +# Kwa nguvu ipi Paulo anaishi kwa kuridhika? + +Paulo anaweza kuishi kwa kuridhika katika hali zote kupitia Kristo amtiaye nguvu + diff --git a/php/04/14.md b/php/04/14.md new file mode 100644 index 0000000..292a320 --- /dev/null +++ b/php/04/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anatafuta nini kwa Wafilipi katika kutoa kwa ajili ya mahitaji yake? + +Paulo anatafuta matunda yaletayo faida kkwa wafilipi. + diff --git a/php/04/18.md b/php/04/18.md new file mode 100644 index 0000000..321f60b --- /dev/null +++ b/php/04/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo anavionaje vitu ambavyo wafilipi wametoa kwa ajili yake? + +Mungu amaependezwa na sadaka za Wafilipi ambazo zimetolewa kwa ajili ya Paulo. + +# Paulo anasema nini Mungu atafanya kwa ajili ya Wafilipi? + +Paulo anasema kwamba Mungu atawapa Wafilipi mahitaji kulingana na utajiri wake wa utukufu katika KristoYesu. + diff --git a/php/04/21.md b/php/04/21.md new file mode 100644 index 0000000..63ef1ff --- /dev/null +++ b/php/04/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, Paulo anasema watu wa familia ipi wawasalimie Wafilipi? + +Ni wale wa familia ya Kaisari wawasalimie Wafilipi. + diff --git a/rev/01/01.md b/rev/01/01.md new file mode 100644 index 0000000..a27f99b --- /dev/null +++ b/rev/01/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ufunuo huu umetoka kwa nani kwanza, na ni kwa nani huu ufunuo unaonyeshwa? + +Ufunuo wa Yesu Kristo umekuja kutoka kwa Mungu, na unaonyeshwa kwa watumishi wake. + +# Ni wakati gani matukio ya ufunuo yatatokea? + +Matukio ya ufunuo yatatokea hivi karibuni. + +# Nani atabarikiwa na kitabu hiki? + +Wale wasomao kwa sauti, kusikiliza, na kutii kitabu hiki watabarikiwa. + diff --git a/rev/01/04.md b/rev/01/04.md new file mode 100644 index 0000000..7dd0c66 --- /dev/null +++ b/rev/01/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nani aliandika kitabu hiki, na aliandika kwa ajili ya nani? + +Yohana aliandika kitabu hiki, na aliandika kwa makanisa saba ya Asia. + +# Yohana anampatia Yesu majina yapi matatu? + +Yohana anampatia Yesu majina ya shahidi mwaminifu, mzaliwa wa kwanza wa wafu, na mtawala wa wafalme wa nchi. + +# Yesu amewafanya nini waumini? + +Yesu amewafanya ufalme na ukuhani kwa Mungu Baba waumini. + diff --git a/rev/01/07.md b/rev/01/07.md new file mode 100644 index 0000000..d6c0eac --- /dev/null +++ b/rev/01/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yesu ataonwa na nai atakaporudi? + +Kila jicho litamwona Yesu atakaporudi, wakiwemo wale waliomchoma. + +# Kwa jinsi gani Mungu Bwana anajielezaje? + +Mungu Bwana anajieleza kama Alfa na Omega, yule aliye, yule aliyekuwepo, na yule atakayekuwepo, Mwenye Nguvu. + diff --git a/rev/01/09.md b/rev/01/09.md new file mode 100644 index 0000000..6650ef5 --- /dev/null +++ b/rev/01/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini Yohana alikuwa katika kisiwa cha Patmo? + +Yohana alikuwa katika kisiwa cha Patmo kwa sababu ya neno la Mungu na ushuhuda wa Yesu. + +# Sauti kubwa nyuma ya Yohana ilimwambia afanye nini? + +Sauti kubwa ilimwambia Yohana aandike kwenye kitabu kile alichokiona na kukituma kwa makanisa saba. + diff --git a/rev/01/14.md b/rev/01/14.md new file mode 100644 index 0000000..919fc07 --- /dev/null +++ b/rev/01/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mtu ambaye Yohana alimuona alikuwa na nywele na macho ya aina gani? + +Mtu ambaye Yohana alimuona alikuwa na nywele kama sufi, na macho kama mwale mkali wa moto. + +# Nini kilikuwa katika mkono wa kuume wa yule mtu, na nini kilikuwa kikitoka kinywani mwake? + +Yule mtu alikuwa na nyota saba katika mkono wake wa kuume, na kinywani mwake kulikuwa na panga lenye makali pande mbili likimtoka. + diff --git a/rev/01/17.md b/rev/01/17.md new file mode 100644 index 0000000..3898bbc --- /dev/null +++ b/rev/01/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yohana alifanya nini alipomwona yule mtu? + +Yohana alianguka miguuni mwa yule mtu kama mfu. + +# Mtu yule alisema ana funguo zipi? + +Mtu yule alisema ana funguo za Mauti na Kuzimu. + diff --git a/rev/01/19.md b/rev/01/19.md new file mode 100644 index 0000000..4a8a7f2 --- /dev/null +++ b/rev/01/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maana ya nyota saba pamoja na vinara saba vya dhahabu ilikuwa ni nini? + +Nyota saba walikuwa malaika wa makanisa saba, na vinara saba vya dhahabu vilikuwa ni makanisa saba. + diff --git a/rev/02/01.md b/rev/02/01.md new file mode 100644 index 0000000..c48e468 --- /dev/null +++ b/rev/02/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kifungu kinachofuata cha kitabu kimeandikwa kwa malaika yupi? + +Kifungu kinachofuata cha kitabu kimeandikwa kwa malaika wa kanisa la Efeso. + +# Kanisa la Efeso limefanya nini kuhusu wale walio waovu na kuhusu manabii wa uongo? + +Kanisa la Efeso halijawavumilia wale walio waovu na limewapima manabii wa uongo. + diff --git a/rev/02/03.md b/rev/02/03.md new file mode 100644 index 0000000..61bd448 --- /dev/null +++ b/rev/02/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kristo ana jambo gani dhidi ya kanisa la Efeso? + +Jambo alilonalo Kristo dhidi ya kanisa la Efeso ni kwamba wameuacha upendo wao wa kwanza. + +# Kristo anasema atafanya nini iwapo hawatatubu? + +Kristo anasema atarudi na kuondoa kinara chao kutoka pahali pake iwapo hawatatubu. + diff --git a/rev/02/06.md b/rev/02/06.md new file mode 100644 index 0000000..317bf47 --- /dev/null +++ b/rev/02/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kristo anaahidi nini kwa wale watakaoshinda? + +Kristo anaahidi ya kwamba wale watakaoshinda watakula kutoka kwenye mti wa uzima katika paradiso ya Mungu. + diff --git a/rev/02/08.md b/rev/02/08.md new file mode 100644 index 0000000..9cf38a2 --- /dev/null +++ b/rev/02/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kifungu kinachofuata cha kitabu kimeandikwa kwa malaika yupi? + +Kifungu kinachofuata cha kitabu kimeandikwa kwa malaika wa kanisa la Smirna. + +# Kanisa la Smirna limepitia nini? + +Kanisa la Smirna limepitia mateso, umaskini na kashfa. + diff --git a/rev/02/10.md b/rev/02/10.md new file mode 100644 index 0000000..2e61121 --- /dev/null +++ b/rev/02/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kristo anaahidi nini kwa wale walio waaminifu hadi kifo na wanaoshinda? + +Kristo anaahidi kwa wale walio waaminifu hadi kifo na wanaoshinda kuwa watapata taji za uzima na hawataumizwa na kifo cha pili. + diff --git a/rev/02/12.md b/rev/02/12.md new file mode 100644 index 0000000..105734a --- /dev/null +++ b/rev/02/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kifungu kinachofuata cha kitabu kimeandikwa kwa malaika yupi? + +Kifungu kinachofuata cha kitabu kimeandikwa kwa malaika wa kanisa la Pergamo. + +# Kanisa la Pergamo linaishi wapi? + +Kanisa la Pergamo linaishi pale ambapo kiti cha enzi cha shetani kilipo. + +# Kanisa la Pergamo lilifanya nini katika siku ambazo Antipa aliuawa? + +Kanisa la Pergamo lilishika kwa nguvu jina la Kristo na halikukana Imani katika siku ambazo Antipa aliuawa. + diff --git a/rev/02/14.md b/rev/02/14.md new file mode 100644 index 0000000..53d665f --- /dev/null +++ b/rev/02/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni mafundisho yapi mawili ambayo baadhi ya watu wa kanisa la Pergamo walishikilia? + +Baadhi ya watu wa kanisa la Pergamo walishikilia mafundisho ya Balaamu na mafundisho ya Wanikolai. + diff --git a/rev/02/16.md b/rev/02/16.md new file mode 100644 index 0000000..ac0907e --- /dev/null +++ b/rev/02/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kristo anaonya atafanya nini iwapo wale wanaoshikilia mafundisho haya ya uongo wasipotubu? + +Kristo anaonya atakuja na kufanya vita dhidi ya wale wanaoshikilia mafundisho haya ya uongo. + +# Kristo anaahidi nini kwa wale watakaoshinda? + +Kristo anawaahidi wale watakaoshinda kuwa watakula mana iliyofichwa na watapata jiwe jeupe lenye jina jipya. + diff --git a/rev/02/18.md b/rev/02/18.md new file mode 100644 index 0000000..5d9b682 --- /dev/null +++ b/rev/02/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kifungu kinachofuata cha kitabu kimeandikwa kwa malaika yupi? + +Kifungu kinachofuata cha kitabu kimeandikwa kwa malaika wa kanisa la Thiatira. + +# Kristo anafahamu mambo gani mema ambayo kanisa la Thiatira limeyafanya? + +Kristo anafahamu ya kwamba kanisa la Thiatira limeonyosha upendo, imani, huduma, na ustahimilivu. + diff --git a/rev/02/20.md b/rev/02/20.md new file mode 100644 index 0000000..f36d10b --- /dev/null +++ b/rev/02/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kristo ana jambo gani dhidi ya kanisa la Thiatira? + +Kristo ana jambo dhidi ya kanisa la Thiatira ya kwamba wamemvumilia yule mwanamke muovu nabii wa uongo Yezebeli. + diff --git a/rev/02/22.md b/rev/02/22.md new file mode 100644 index 0000000..6ad6f6a --- /dev/null +++ b/rev/02/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kristo anaonya nini iwapo Yezebeli hatatubu? + +Kristo anaonya ya kuwa atamtupa Yezebeli katika kitanda cha maradhi na kuwapiga watoto wake wafe iwapo hatatubu. + diff --git a/rev/02/24.md b/rev/02/24.md new file mode 100644 index 0000000..a41c96f --- /dev/null +++ b/rev/02/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kristo anawaambia nini wale ambao hawajashikilia mafundisho ya Yezebeli? + +Kristo anawaambia washikilie kwa nguvu hadi atakaporudi. + diff --git a/rev/02/26.md b/rev/02/26.md new file mode 100644 index 0000000..7d2dfc5 --- /dev/null +++ b/rev/02/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kristo anaahidi nini kwa wale watakaoshinda? + +Kristo anawaahidi wale watakaoshinda mamlaka juu ya mataifa na nyota ya asubuhi. + +# Ni kwa lipi ambalo Kristo anasema kwa msomaji wa kitabu hiki asikilize? + +Kristo anasema kwa msomaji wa kitabu hiki kuwa anapaswa asikilize kile ambacho Roho anasema kwa makanisa. + diff --git a/rev/03/01.md b/rev/03/01.md new file mode 100644 index 0000000..2169483 --- /dev/null +++ b/rev/03/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kifungu kifuatacho cha kitabu kimeandikwa kwa malaika yupi? + +Kifungu kifuatacho cha kitabu kimeandikwa kwa malaika wa kanisa la Sardi. + +# Kanisa la Sardi lina sifa gani, lakini ukweli juu yao ni upi? + +Sifa ya kanisa la Sardi ni kwamba wako hai, lakini ukweli ni kwamba wamekufa. + +# Kristo anaonya nini kwa kanisa la Sardi kufanya? + +Kristo anawaonya waamke na kuimarisha kile kilichobaki. + diff --git a/rev/03/05.md b/rev/03/05.md new file mode 100644 index 0000000..b98dbb6 --- /dev/null +++ b/rev/03/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kristo anaahidi nini kwa wale watakaoshinda? + +Wale watakaoshinda watavishwa mavazi meupe, watabaki katika kitabu cha uzima, na majina yao yatatajwa mbele ya Mungu Baba. + diff --git a/rev/03/07.md b/rev/03/07.md new file mode 100644 index 0000000..819b7cb --- /dev/null +++ b/rev/03/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kifungu kifuatacho cha kitabu kimeandikwa kwa malaika yupi? + +Kifungu kifuatacho cha kitabu kimeandikwa kwa malaika wa kanisa la Filadelfia. + +# Kanisa la Filadelfia limefanya nini ingawa lina nguvu kidogo? + +Kanisa la Filadelfia limetii neno la Kristo na halijalikana jina lake. + diff --git a/rev/03/09.md b/rev/03/09.md new file mode 100644 index 0000000..1c14c64 --- /dev/null +++ b/rev/03/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kristo atawafanya wale wa sinagogi la Shetani wafanye nini? + +Kristo atawafanya wale wa sinagogi la Shetani wasujudu mbele ya miguu ya watakatifu. + +# Kristo anawaambia kanisa la Filadelfia kufanya nini maana anarudi upesi? + +Kristo anawaambia kushikilia sana kile walichonacho ili asiwepo mtu wa kuitwaa taji yao. + diff --git a/rev/03/12.md b/rev/03/12.md new file mode 100644 index 0000000..9db2206 --- /dev/null +++ b/rev/03/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kristo anaahidi nini kwa wale watakaoshinda? + +Wale watakaoshinda watakuwa nguzo katika hekalu la Mungu, watakuwa na jina la Mungu, jina la mji wa Mungu, na jina jipya la Kristo litakaloandikwa kwao. + diff --git a/rev/03/14.md b/rev/03/14.md new file mode 100644 index 0000000..11da165 --- /dev/null +++ b/rev/03/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kifungu kifuatacho cha kitabu kimeandikwa kwa malaika yupi? + +Kifungu kifuatacho cha kitabu kimeandikwa kwa malaika wa kanisa la Laodikia. + +# Kristo anatamani kanisa la Laodikia liweje? + +Kristo anatamani kanisa la Laodikia lingekuwa baridi au moto. + +# Kristo anataka kufanya nini kwa kanisa la Laodikia, na kwa nini? + +Kristo anataka kulitapika kanisa la Laodikia kutoka kinywani mwake kwa sababu wana uvuguvugu. + diff --git a/rev/03/17.md b/rev/03/17.md new file mode 100644 index 0000000..dc219e0 --- /dev/null +++ b/rev/03/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kanisa la Laodikia linajisemaje lenyewe? + +Kanisa la Laodikia linasema kuwa lina utajiri na halihitaji chochote. + +# Kristo anasema nini kuhusu kanisa la Laodikia? + +Kristo anasema ya kwamba kanisa la Laodikia ni duni sana, lakuhuzunikiwa, maskini, kipofu na uchi. + diff --git a/rev/03/19.md b/rev/03/19.md new file mode 100644 index 0000000..f205216 --- /dev/null +++ b/rev/03/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kristo anafanya nini kwa wote awapendaye? + +Kristo huwaelekeza na kuwafundisha kila ampendaye. + diff --git a/rev/03/21.md b/rev/03/21.md new file mode 100644 index 0000000..0f091c1 --- /dev/null +++ b/rev/03/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kristo anaahidi nini kwa wale watakaoshinda? + +Wale watakaoshinda watakaa na Kristo katika kiti chake cha enzi. + +# Ni kwa nani Kristo anasema msomaji wa kitabu hiki anapaswa kumsikiliza? + +Kristo anasema msomaji anapaswa kusikiliza kile ambacho Roho anayaambia makanisa. + diff --git a/rev/04/01.md b/rev/04/01.md new file mode 100644 index 0000000..0130f16 --- /dev/null +++ b/rev/04/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yohana aliona nini kikifunguliwa? + +Yohana aliona mlango ukifunguliwa mbinguni. + +# Sauti ilisema itamuonyesha nini Yohana? + +Sauti ilisema ya kwamba itamuonyesha Yohana yatakayotokea baada ya mambo haya. + +# Ni kitu gani alichokalia mmoja mbinguni? + +Mmoja alikuwa amekalia kiti cha enzi. + diff --git a/rev/04/04.md b/rev/04/04.md new file mode 100644 index 0000000..8d7de16 --- /dev/null +++ b/rev/04/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini kilizunguka kiti cha enzi mbinguni? + +Kulikuwa na viti vya enzi ishirini na nne na wazee ishirini na wanne waliovikalia kulizunguka kile kiti cha enzi. + +# Zile taa saba zilizokuwa zikiwaka mbele ya kiti cha enzi zilikuwa nini? + +Zile taa saba zilikuwa ni Roho saba za Mungu. + diff --git a/rev/04/06.md b/rev/04/06.md new file mode 100644 index 0000000..46f1f38 --- /dev/null +++ b/rev/04/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Vitu gani vinne vilikuwa vikizunguka kiti cha enzi? + +Kulikuwa na wenye uhai wanne waliozunguka kiti cha enzi. + diff --git a/rev/04/07.md b/rev/04/07.md new file mode 100644 index 0000000..fad0147 --- /dev/null +++ b/rev/04/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni maneno yapi matatu viumbe wenye uhai wanne hurudia usiku na mchana? + +Usiku na mchana viumbe wenye uhai wanne hawakukoma kusema, "Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu." + diff --git a/rev/04/09.md b/rev/04/09.md new file mode 100644 index 0000000..f55024f --- /dev/null +++ b/rev/04/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wazee ishirini na wanne hufanya nini pale viumbe wenye uhai wanapotoa utukufu kwa Mungu? + +Wale wazee ishirini na wanne huanguka mbele ya kiti cha enzi na kusujudu, wakitupa chini taji zao. + +# Wazee wanasema nini juu ya wajibu wa Mungu katika uumbaji? + +Wazee wanasema ya kwamba Mungu aliumba vitu vyote na kwa mapenzi yake vitu vyote vilikuwepo na viliumbwa. + diff --git a/rev/05/01.md b/rev/05/01.md new file mode 100644 index 0000000..1005e16 --- /dev/null +++ b/rev/05/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yohana aliona nini katika mkono wa kuume wa yule aliyekaa katika kiti cha enzi? + +Yohana aliona gombo iliyotiwa mihuri saba. + diff --git a/rev/05/03.md b/rev/05/03.md new file mode 100644 index 0000000..f2b11b5 --- /dev/null +++ b/rev/05/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nani duniani aliyestahili kufungua gombo au kuisoma? + +Hakuna aliyestahili kuifungua wala kuisoma gombo. + +# Nani aliweza kuifungua gombo pamoja na mihuri yake saba? + +Simba wa kabila la Yuda, Shina la Daudi, aliweza gombo. + diff --git a/rev/05/06.md b/rev/05/06.md new file mode 100644 index 0000000..afe8e50 --- /dev/null +++ b/rev/05/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nani alikuwa amesimama miungoni mwa wazee mbele ya kiti cha enzi? + +Mwanakondoo, ambaye alionenekana kama alikuwa ameuliwa, alisimama miungoni mwa wazee mbele za kiti cha enzi. + +# Pembe saba na macho saba ya Mwanakondoo vilikuwa ni nini? + +Pembe saba na macho saba ni Roho saba za Mungu zilizotumwa duniani kote. + diff --git a/rev/05/08.md b/rev/05/08.md new file mode 100644 index 0000000..b792b68 --- /dev/null +++ b/rev/05/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mabakuli ya dhahabu yaliyojaa uvumba ambayo wazee walikuwa nayo yalikuwa ni nini? + +Mabakuli ya dhahabu yaliyojaa uvumba ambayo wazee walikuwa nayo yalikuwa ni maombi ya watakatifu. + diff --git a/rev/05/09.md b/rev/05/09.md new file mode 100644 index 0000000..027570d --- /dev/null +++ b/rev/05/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini Mwanakondoo alistahili kufungua gombo? + +Mwanakondoo alistahili kwa sababu aliwanunua watu wa Mungu kutoka kila kabila, lugha, watu na taifa kwa damu yake. + +# Makuhani wa Mungu watatawala wapi? + +Makuhani wa Mungu watatawala duniani. + diff --git a/rev/05/11.md b/rev/05/11.md new file mode 100644 index 0000000..3275263 --- /dev/null +++ b/rev/05/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Malaika walisema nini kuwa Mwanakondoo alistahili kupokea? + +Malaika walisema kuwa Mwanakondoo alistahili kupoka uwezo, utajiri, hekima, nguvu, heshima, utukufu, na sifa. + diff --git a/rev/05/13.md b/rev/05/13.md new file mode 100644 index 0000000..2c70deb --- /dev/null +++ b/rev/05/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni nani aliyesema kuwa yule aliye katika kiti cha enzi anapaswa kusifiwa milele na milele. + +Kila kitu kilichoumbwa kilisema kuwa yule aliye katika kiti cha enzi anapaswa kusifiwa milele na milele. + +# Wazee walifanya nini waliposikia viumbe wenye uhai wanne wakisema "Amina!"? + +Wazee walilala chini na kuabudu. + diff --git a/rev/06/01.md b/rev/06/01.md new file mode 100644 index 0000000..104d38d --- /dev/null +++ b/rev/06/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mwanakondoo alifanya nini na gombo? + +Mwanakondoo alifungua muhuri mmoja kati ya saba katika gombo. + +# Yohana aliona nini baada ya muhuri wa kwanza kufunguliwa? + +Yohana aliona farasi mweupe na mpandaji akienda kushinda. + diff --git a/rev/06/03.md b/rev/06/03.md new file mode 100644 index 0000000..27d3d68 --- /dev/null +++ b/rev/06/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yohana aliona nini baada ya muhuri wa pili kufunguliwa? + +Yohana aliona farasi mwekundu kama moto ambaye mpandaji wake alichukua amani kutoka duniani. + diff --git a/rev/06/05.md b/rev/06/05.md new file mode 100644 index 0000000..040ac89 --- /dev/null +++ b/rev/06/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yohana aliona nini baada ya muhuri wa tatu kufunguliwa? + +Yohana aliona farasi mweusi ambaye mpandaji wake alikuwa na mizani mikononi mwake. + diff --git a/rev/06/07.md b/rev/06/07.md new file mode 100644 index 0000000..f055363 --- /dev/null +++ b/rev/06/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yohana aliona nini baada ya muhuri wa nne kufunguliwa? + +Yohana aliona farasi wa kijivu, ambaye mpandaji wake aliitwa Mauti. + diff --git a/rev/06/09.md b/rev/06/09.md new file mode 100644 index 0000000..0e5f22c --- /dev/null +++ b/rev/06/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yohana aliona nini baada ya muhuri wa tano kufunguliwa? + +Yohana aliona roho za wale ambao waliuliwa kwa sababu ya neno la Mungu. + +# Roho zilikuwa chini ya madhabahu zilitaka kujua nini kutoka kwa Mungu? + +Roho zilitaka kujua ni muda gani hadi pale Mungu atakapolipiza kisasi cha damu zao. + +# Roho ziliambiwa zitapaswa kusubri kwa muda gani? + +Roho ziliambiwa zitapaswa kusubiri mpaka idadi kamili ya watumishi wenzao wauwawe. + diff --git a/rev/06/12.md b/rev/06/12.md new file mode 100644 index 0000000..1806f9f --- /dev/null +++ b/rev/06/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yohana aliona nini baada ya muhuri wa sita kufunguliwa? + +Yohana aliona tetemeko, jua kuwa jeusi, mwezi kuwa kama damu, na nyota kuanguka duniani. + diff --git a/rev/06/15.md b/rev/06/15.md new file mode 100644 index 0000000..3f37343 --- /dev/null +++ b/rev/06/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yohana aliona wafalme, majemadari, matajiri, wenye nguvu, na wengine wote wakifanya nini? + +Yohana aliwaona wakijificha kwenye mapango na kuomba mawe yawaangukie na kuwaficha. + +# Wafalme, majemadari, matajiri, wenye nguvu, na wengine wote walitaka kufichwa dhidi ya nini? + +Walitaka kufichwa dhidi ya yule aketiye kwenye kiti cha enzi na kutoka kwa hasira ya Mwanakondoo. + +# Ni siku gani imewadia? + +Siku kuu ya ghadhabu ya yule aketiye kwenye kiti cha enzi na ya Mwanakondoo alikuwa imewadia. + diff --git a/rev/07/01.md b/rev/07/01.md new file mode 100644 index 0000000..95811d9 --- /dev/null +++ b/rev/07/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Malaika wanne waliokuwa wamesimama kwenye kona nne za dunia walikuwa wanafanya nini Yohana alipowaona? + +Malaika wanne walikuwa wanazuia pepo nne za nchi. + +# Malaika wa mashariki alisema ni nini lazima kifanyike kabla dunia haijadhuriwa? + +Malaika alisema kuwa muhuri lazime uwekwe kwenye vipaji vya nyuso za watumishi wa Mungu kabla dunia haijadhuriwa. + diff --git a/rev/07/04.md b/rev/07/04.md new file mode 100644 index 0000000..e9598eb --- /dev/null +++ b/rev/07/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Watu wangapi wa kabila gani waliwekwa muhuri? + +Idadi ya watu waliowekwa muhuri ni 144,000 kutoka katika kila kabila la watu wa Israeli. + diff --git a/rev/07/09.md b/rev/07/09.md new file mode 100644 index 0000000..1089d1f --- /dev/null +++ b/rev/07/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yohana aliona nini mbele za kiti cha enzi na mbele za Mwanakondoo? + +Yohana aliona umati mkuwa kutoka kila taifa, kabila, watu, na lugha mbele ya kiti cha enzi. + +# Kulingana na wale walio mbele ya kiti cha enzi, wokuvu ni wa nani? + +Wale walio mbele ya kiti cha enzi walisema wokovu ni wa Mungu na wa Mwanakondoo. + diff --git a/rev/07/11.md b/rev/07/11.md new file mode 100644 index 0000000..b02350a --- /dev/null +++ b/rev/07/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Malaika, wazee na wenye uhai wanne walikuwa katika nafasi gani ya mwili walipomuabudu Mungu. + +Walilala chini ardhini na kuweka nyuso zao juu ya ardhi wakimuabudu Mungu. + diff --git a/rev/07/13.md b/rev/07/13.md new file mode 100644 index 0000000..8d2676b --- /dev/null +++ b/rev/07/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mzee alisema ni kina nani wale waliovaa kanzu nyeupe mbele ya kiti cha enzi? + +Mzee alisema kuwa ni wale waliotoka kwenye dhiki kuu. + +# Waliokuwa mbele ya kiti cha enzi walizifanyaje kanzu zao kuwa nyeupe? + +walizifanya kanzu zao kuwa nyeupe kwa kuziosha katika damu ya Mwanakondoo. + diff --git a/rev/07/15.md b/rev/07/15.md new file mode 100644 index 0000000..58e6f57 --- /dev/null +++ b/rev/07/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mzee alisema Mungu atawafanyia nini wale waliovaa kanzu nyeupe? + +Mungu atasambaza hema lake juu yao ili wasiteseke tena. + +# Mzee alisema Mwanakondoo atawafanyia nini waliovaa kanzu nyeupe? + +Mwanakondoo atawachunga na kuwaongoza kwenye chemichemi za maji ya uzima. + diff --git a/rev/08/01.md b/rev/08/01.md new file mode 100644 index 0000000..bfbc41b --- /dev/null +++ b/rev/08/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini kilisababisha kuwepo na ukimya mbinguni? + +Mwanakondoo alipofungua muhuri wa saba, kulikuwa na ukimya mbinguni. + +# Nini kilipewa kwa malaika saba wanaosimama mbele za Mungu. + +Tarumbeta saba zilipewa kwa malaika saba wanaosimama mbele za Mungu. + diff --git a/rev/08/03.md b/rev/08/03.md new file mode 100644 index 0000000..f60109d --- /dev/null +++ b/rev/08/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini kiliinuka mbele za Mungu? + +Moshi wa uvumba wa maombi ya watakatifu uliinuka mbele za Mungu. + +# Nini kilitokea malaika alipotupa chini duniani moto kutoka madhabahuni? + +Malaika alipotupa chini moto, zilitokea ngurumo, radi na tetemeko. + diff --git a/rev/08/06.md b/rev/08/06.md new file mode 100644 index 0000000..b997686 --- /dev/null +++ b/rev/08/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilitokea baada ya tarumbeta ya kwanza kupulizwa? + +Tarumbeta ya kwanza ilipopulizwa, theluthi moja ya nchi iliunguzwa, na theluthi moja ya miti na nyasi zote. + diff --git a/rev/08/08.md b/rev/08/08.md new file mode 100644 index 0000000..94e1f34 --- /dev/null +++ b/rev/08/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilitokea baada ya tarumbeta ya pili kupulizwa? + +Tarumbeta ya pili ilipopulizwa, theluthi moja ya bahari ikawa damu, theluthi moja ya viumbe wa baharini wakafa, na theluthi moja ya meli ziliharibiwa. + diff --git a/rev/08/10.md b/rev/08/10.md new file mode 100644 index 0000000..328069d --- /dev/null +++ b/rev/08/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilitokea baada ya tarumbeta ya tatu kupulizwa? + +Tarumbeata ya tatu ilipopulizwa, theluthi moja ya maji yakawa pakanga, na watu wengi wakafa. + diff --git a/rev/08/12.md b/rev/08/12.md new file mode 100644 index 0000000..c86eeca --- /dev/null +++ b/rev/08/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilitokea baada ya tarumbeta ya nne kupulizwa? + +Tarumbeta ya nne ilipopulizwa, theluthi moja ya siku na theluthi moja ya usiku hazikuwa na mwanga. + diff --git a/rev/08/13.md b/rev/08/13.md new file mode 100644 index 0000000..6609faf --- /dev/null +++ b/rev/08/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini tai alisema "Ole, ole, ole" kwa wale wa duniani? + +Tai aslisema "Ole, ole, ole" kwa wale wa duniani kwa sababu ya milipuko ya tarumbeta tatu zilizosalia. + diff --git a/rev/09/01.md b/rev/09/01.md new file mode 100644 index 0000000..6bd9712 --- /dev/null +++ b/rev/09/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yohana aliona nyota ya aina gani tarumbeta ya tano ilipopulizwa? + +Tarumbeta ya tano ilipopulizwa, Yohana aliona nyota kutoka mbinguni iliyoanguka duniani. + +# Nyota ilifanya nini? + +Nyota ilifungua shimo lisilo na mwisho. + diff --git a/rev/09/03.md b/rev/09/03.md new file mode 100644 index 0000000..41d46d5 --- /dev/null +++ b/rev/09/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nzige kutoka shimoni waliambiwa wafanye nini? + +Nzige waliambiwa kutodhuru ardhi, bali watu wale ambao hawakuwa na muhuri wa Mungu. + diff --git a/rev/09/05.md b/rev/09/05.md new file mode 100644 index 0000000..db67ab6 --- /dev/null +++ b/rev/09/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Watu walioteswa na nzige watatafuta nini lakini wasikione? + +Watu walioteswa na nzige watatafuta kifo lakini hawataipata. + diff --git a/rev/09/07.md b/rev/09/07.md new file mode 100644 index 0000000..94f2fcf --- /dev/null +++ b/rev/09/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mabawa ya nzige yalipiga sauti ipi? + +Sauti ya mabawa ya nzige ilikuwa kama sauti ya magari mengi ya vibandawazi na farasi wakimbiao kwenda vitani. + diff --git a/rev/09/10.md b/rev/09/10.md new file mode 100644 index 0000000..e3b94ae --- /dev/null +++ b/rev/09/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nani alikuwa mfalme juu ya nzige? + +Abadoni ndiye aliyekuwa mfalme juu ya nzige, au kwa Kiyunani, Apolioni, malaika wa shimoni. + +# Nini kilipita baada ya tarumbeta ya tano kupulizwa? + +Ole ya kwanza ilipita baada ya tarumbeta kupulizwa. + diff --git a/rev/09/13.md b/rev/09/13.md new file mode 100644 index 0000000..d305a57 --- /dev/null +++ b/rev/09/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yohana alisikia sauti gani baada ya tarumbeta ya sita kupulizwa? + +Tarumbeta ya sita ilipopulizwa, Yohana alisikia sauti ikitoka kwenye madhabahu ya dhahabu iliyokuwa mbele za Mungu. + +# Malaika wanne walifanya nini waliposikia sauti? + +Malaika wanne waliachiwa kuwauwa theluthi moja ya wanadamu waliposikia sauti. + diff --git a/rev/09/16.md b/rev/09/16.md new file mode 100644 index 0000000..c4f9a35 --- /dev/null +++ b/rev/09/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yohana aliona maaskari wangapi kwenye migongo ya farasi? + +Yohana aliona maaskari 200,000,000 kwenye migongo ya farasi. + diff --git a/rev/09/18.md b/rev/09/18.md new file mode 100644 index 0000000..1956ee8 --- /dev/null +++ b/rev/09/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mapigo yapi yaliwauwa theluthi moja ya watu? + +Mapigo ya moto, moshi, na salfa kutoka kwenye vinywa vya farasi viliwauwa theluthi moja ya watu. + diff --git a/rev/09/20.md b/rev/09/20.md new file mode 100644 index 0000000..c806677 --- /dev/null +++ b/rev/09/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Watu ambao hawakuuwawa na mapigo walijibuje? + +Watu ambao hawakuuwawa na mapigo hawakutubu kwa matendo yao, wala hawakuacha kuabudu mapepo. + diff --git a/rev/10/01.md b/rev/10/01.md new file mode 100644 index 0000000..4cb5dfc --- /dev/null +++ b/rev/10/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Uso na miguu ya malaika mkuu ambaye Yohana alimuona ilikuaje? + +Malaika alikuwa na uso kama jua na miguu kama nguzo za moto. + +# Malaika alisimama wapi? + +Malaika alisimama na mguu wake wa kulia baharini na wa kushoto kwenye ardhi. + diff --git a/rev/10/03.md b/rev/10/03.md new file mode 100644 index 0000000..f5a5938 --- /dev/null +++ b/rev/10/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yohana aliaambiwa asiandike kitu gani? + +Yohana aliambiwa asiandike miungurumo ya radi saba zilivyosema. + diff --git a/rev/10/05.md b/rev/10/05.md new file mode 100644 index 0000000..2fe0e9b --- /dev/null +++ b/rev/10/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Malaika mkuu aliapa kwa nani? + +Malaika mkuu aliapa kwa yule anayeishi milele na milele, aliyeumba mbingu, nchi, na bahari. + +# Malaika mkuu alisema ni nini ambacho hakitakawizwa tena? + +Malaika alisema kuwa tarumbeta ya saba itakapopulizwa, hakukuwepo kuchelewa tena, bali siri ya Mungu itatimizwa. + diff --git a/rev/10/08.md b/rev/10/08.md new file mode 100644 index 0000000..32a6324 --- /dev/null +++ b/rev/10/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yohana aliaambiwa kuchukua nini kutoka kwa malaika mkuu? + +Yohana aliambiwa kuchukua gombo lililofunuliwa kutoka kwa malaika. + +# Malaika alisema nini kitatokea Yohana atakapokula lile gombo? + +Malaika alisema gombo litakuwa tamu mdomoni mwa Yohana lakini chungu tumboni. + diff --git a/rev/10/10.md b/rev/10/10.md new file mode 100644 index 0000000..495fcf1 --- /dev/null +++ b/rev/10/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yohana aliambiwa kutabiri kuhusu nini baada ya kula gombo? + +Yohana aliambiwa kutabiri kuhusu watu wengi, mataifa, lugha na wafalme. + diff --git a/rev/11/01.md b/rev/11/01.md new file mode 100644 index 0000000..15391d5 --- /dev/null +++ b/rev/11/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yohana aliambiwa kupima nini? + +Yohana aliambiwa kupima hekalu la Mungu na madhabahu, na wale wanaoabudu ndani yake. + +# Mataifa watakanyaga mji mtakatifu kwa muda gani? + +Mataifa watakanyaga mji mtakatifu kwa miezi arobaini na mbili. + diff --git a/rev/11/03.md b/rev/11/03.md new file mode 100644 index 0000000..a815fc5 --- /dev/null +++ b/rev/11/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mashahidi wawili walipewa mamlaka ya kufanya nini kwa wale waliochagua kuwadhuru? + +Mashahidi wawili walipewa mamlaka kuwaua maadui zao kwa moto. + diff --git a/rev/11/08.md b/rev/11/08.md new file mode 100644 index 0000000..7153140 --- /dev/null +++ b/rev/11/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Miili ya mashahidi wawili italala wapi? + +Miili yao italala kwenye mtaa wa mji ambao kimfano unaitwa Sodoma na Misri, ambapo Bwana alisulubiwa. + diff --git a/rev/11/10.md b/rev/11/10.md new file mode 100644 index 0000000..9c08760 --- /dev/null +++ b/rev/11/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Watu wa duniani watachukuliaje pale mashahidi wawili watakapouwawa? + +Watu wa duniani watafurahi na kusherehekea pale amabapo mashahidi wawili wakiuwawa. + +# Nini kitatokea kwa mashahidi wawili baada ya siku tatu na nusu? + +Baada ya siku tatu na nusu, mashahidi wawili watasimama kwaa miguu yao na kwenda juu mbinguni. + diff --git a/rev/11/13.md b/rev/11/13.md new file mode 100644 index 0000000..7856e5d --- /dev/null +++ b/rev/11/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baada ya mashahidi wawili na tetemeko kuisha, nini kimepita? + +Baada ya mashahidi wawili na tetemeko, ole ya pili imepita. + diff --git a/rev/11/15.md b/rev/11/15.md new file mode 100644 index 0000000..521774e --- /dev/null +++ b/rev/11/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilizungumzwa mbinguni baada ya tarumbeta ya saba kupulizwa? + +Tarumbeta ya saba ilipopulizwa, ilisemwa kuwa ufalme wa dunia umekuwa ufalme wa Bwana wetu na Kristo wake. + diff --git a/rev/11/16.md b/rev/11/16.md new file mode 100644 index 0000000..eed4894 --- /dev/null +++ b/rev/11/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wazee walisema kuwa Bwana Mungu ameanza kufanya nini sasa? + +Waze walisema kuwa Mungu ameanza kutawala sasa. + diff --git a/rev/11/18.md b/rev/11/18.md new file mode 100644 index 0000000..abef9e1 --- /dev/null +++ b/rev/11/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kulingana na wazee, ni muda gani ulikuwa umewasili? + +Muda uliwasili wa wafu kuhukumiwa, kwa watumishi wa Mungu kupewa dhawabu, na kwa Mungu kuangamiza wale waliokuwa wakiangamiza dunia. + diff --git a/rev/11/19.md b/rev/11/19.md new file mode 100644 index 0000000..12e8748 --- /dev/null +++ b/rev/11/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilifunguliwa sasa mbinguni? + +Hekalu la Mungu lilifunguliwa sasa mbinguni. + diff --git a/rev/12/01.md b/rev/12/01.md new file mode 100644 index 0000000..afd30dc --- /dev/null +++ b/rev/12/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni ishara gani kuu ilionekana mbinguni? + +Mbinguni alionekana mwanamke mjamzito aliyefunikwa jua, na mwezi chini ya miguu yake, na nyota saba kichwani mwake akilia kwa maumivi ya kuzaa. + diff --git a/rev/12/03.md b/rev/12/03.md new file mode 100644 index 0000000..fe0f623 --- /dev/null +++ b/rev/12/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni ishara gani kuu nyingine ilionekana mbinguni? + +Mbinguni alionekana joka mwekundu mkubwa mwenye vichwa saba na pembe kumi, na taji saba kwenye vichwa vyake. + +# Joka alifanya nini na mkia wake? + +Joka alifyeka theluthi moja ya nyota za mbinguni na kuzitupa chini duniani. + +# Joka alitamani kufanya nini? + +Joka alitamani kumeza mtoto wa mwanamke. + diff --git a/rev/12/05.md b/rev/12/05.md new file mode 100644 index 0000000..4a8ab85 --- /dev/null +++ b/rev/12/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mtoto wa kiume alikwenda kufanya nini? + +Mtoto wa kiume alikwenda kutawala mataifa yote kwa fimbo ya chuma. + +# Mtoto wa kiume alikwenda wapi? + +Mtoto wa kiume alinyakuliwa juu kwa Mungu na kwenye kiti chake cha enzi. + +# Mwanamke alikwenda wapi? + +Mwanamke alikimbilia nyikani. + diff --git a/rev/12/07.md b/rev/12/07.md new file mode 100644 index 0000000..e1a9dc9 --- /dev/null +++ b/rev/12/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nani alipigana mbinguni? + +Mikaeli na malaika wake walipigana na joka na malaika zake. + +# Baada ya mapigano, nini kilitokea kwa joka na malaika zake? + +Joka na malaika zake walitupwa chini duniani. + +# Joka ni nani? + +Joka ni yule nyoka wa zamani, ibilisi, au Shetani. + diff --git a/rev/12/11.md b/rev/12/11.md new file mode 100644 index 0000000..39bc1c8 --- /dev/null +++ b/rev/12/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ndugu walimshindaje joka? + +Ndugu walimshinda joka kwa damu ya Mwanakondoo na kwa neno la ushuhuda wao. + +# Ni muda kiasi gani joka anafahamu amebakiza? + +Joka anafahamu ya kuwa ana muda mchache. + diff --git a/rev/12/13.md b/rev/12/13.md new file mode 100644 index 0000000..577232a --- /dev/null +++ b/rev/12/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilifanyika kwa mwanamke pale joka alipomfuata? + +Mwanamke alipewa mabawa ya kuruka hadi mahali alipoandaliwa ambapo angeweza kutunzwa. + diff --git a/rev/12/15.md b/rev/12/15.md new file mode 100644 index 0000000..96a9d45 --- /dev/null +++ b/rev/12/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Joka aliposhindwa kumgharikisha mwanamke, joka alifanya nini? + +Joka aliondoka na kufanya vita na wale wanaotii amri za Mungu na kushikilia ushuhuda kuhusu Yesu. + diff --git a/rev/13/01.md b/rev/13/01.md new file mode 100644 index 0000000..48b9dc9 --- /dev/null +++ b/rev/13/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mnyama aliyemuona Yohana alitoka wapi? + +Mnyama alitokeza kwenye bahari. + +# Joka alimpatia nini mnyama? + +Joka alimpa mnyama nguvu zake, kiti cha enzi, na mamlaka ya kutawala. + diff --git a/rev/13/03.md b/rev/13/03.md new file mode 100644 index 0000000..806eb1a --- /dev/null +++ b/rev/13/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini dunia nzima ilishangaa na kumfuata mnyama? + +Dunia nzima ilishangaa na kumfuata mnyama kwa sababu alikuwa na jeraha kali lililokuwa limeponywa. + diff --git a/rev/13/05.md b/rev/13/05.md new file mode 100644 index 0000000..79ab975 --- /dev/null +++ b/rev/13/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mnyama alizungumza maneno yapi kwa kinywa chake? + +Mnyama alizungumza maneno ya kujisifu na yenye matusi dhidi ya Mungu, jina lake, na mahali anapoishi, na kwa wale wanaoishi mbinguni. + diff --git a/rev/13/07.md b/rev/13/07.md new file mode 100644 index 0000000..0ad77c6 --- /dev/null +++ b/rev/13/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mnyama aliruhusiwa kufanya nini kwa watakatifu? + +Mnyama aliruhusiwa kufanya vita na watakatifu na kuwashinda. + +# Ni watu gani hawatamuabudu mnyama? + +Wale ambao majina yao yameandikwa katika kitabu cha uzima hawatamuabudu mnyama. + diff --git a/rev/13/09.md b/rev/13/09.md new file mode 100644 index 0000000..54f3c2d --- /dev/null +++ b/rev/13/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wito gani unatolewa kwa wale walio watakatifu? + +Wale walio watakatifu wanapewa wito wa kuwa na subira ya uvumilivu na imani. + diff --git a/rev/13/11.md b/rev/13/11.md new file mode 100644 index 0000000..6502027 --- /dev/null +++ b/rev/13/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mnyama yule mwingine aliyemwona Yohana alitoka wapi? + +Mnyama yule mwingine alitokeza katika nchi. + +# Ni pembe za aina gani na matamshi yapi mnyama mwingine alikuwa nayo? + +Mnyama mwingine alikuwa na pembe kama ya kondoo na alizungumza kama joka. + +# Mnyama mwingine alisababisha wale wanaoishi duniani kufanya nini? + +Mnyama mwingine alisababisha wale wanaoishi duniani kumuabudu mnyama wa kwanza. + diff --git a/rev/13/15.md b/rev/13/15.md new file mode 100644 index 0000000..8a53f1f --- /dev/null +++ b/rev/13/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini kilifanyika kwa wale waliokataa kumuabudu mnyama? + +Wale waliokataa kumuabudu mnyama waliuawa. + +# Ni jambo gani kila mtu alipokea kutoka kwa mnyama? + +Kila mtu alipokea alama katika mkono wake wa kuume au katika paji la uso. + diff --git a/rev/13/18.md b/rev/13/18.md new file mode 100644 index 0000000..8745852 --- /dev/null +++ b/rev/13/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Namba ya mnyama ilikuwa ipi? + +Namba ya mnyama ilikuwa 666. + diff --git a/rev/14/01.md b/rev/14/01.md new file mode 100644 index 0000000..d04d8ac --- /dev/null +++ b/rev/14/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yohana alimuona nani amesimama mbele yake? + +Yohana alimuona Mwana Kondoo kasimama mbele yake juu ya Mlima Sayuni. + diff --git a/rev/14/03.md b/rev/14/03.md new file mode 100644 index 0000000..0f8db41 --- /dev/null +++ b/rev/14/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nani aliweza kujifunza wimbo mpya ulioimbwa mbele ya kiti cha enzi? + +Ni wale 144,000 pekee waliokombolewa kutoka duniani ndio waliweza kujifunza wimbo mpya. + +# Nani alikombolewa kama mzawa wa kwanza kwa Mungu na kwa Mwana Kondoo? + +Wale 144,000 ambao hawana hatia walikombolewa kama wazawa wa kwanza kwa Mungu na kwa Mwana Kondoo. + diff --git a/rev/14/06.md b/rev/14/06.md new file mode 100644 index 0000000..07d7ded --- /dev/null +++ b/rev/14/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni kwa nani malaika alitoa ujumbe wa milele wa habari njema? + +Malaika alitoa ujumbe wa milele wa habari njema kwa kila taifa, kabila, lugha, na watu wa duniani. + +# Malaika aliwaambia kitu gani wale wanaoishi duniani kufanya? + +Malaika aliwaambia wamuogope Mungu na kumpa utukufu. + +# Muda gani malaika alisema umekaribia? + +Malaika alisema ya kwamba muda wa hukumu ya Mungu umekaribia. + diff --git a/rev/14/08.md b/rev/14/08.md new file mode 100644 index 0000000..a7602fa --- /dev/null +++ b/rev/14/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Malaika wa pili alitangaza nini? + +Malaika wa pili alitangaza ya kwamba Babeli kuu imeanguka. + diff --git a/rev/14/09.md b/rev/14/09.md new file mode 100644 index 0000000..9b81192 --- /dev/null +++ b/rev/14/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Malaika wa tatu alisema kitu gani kitatokea kwa wale waliopokea alama ya mnyama? + +Wale waliopokea alama ya mnyama watateswa kwa moto na salfa. + diff --git a/rev/14/11.md b/rev/14/11.md new file mode 100644 index 0000000..9251198 --- /dev/null +++ b/rev/14/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wito gani unapewa kwa watakatifu? + +Watakatifu wanapewa wito wa subira na uvumilivu. + diff --git a/rev/14/14.md b/rev/14/14.md new file mode 100644 index 0000000..2e4b972 --- /dev/null +++ b/rev/14/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yohana alimwona nani kaketi juu ya wingu? + +Yohana alimwona mmoja mfano wa Mwana wa Mtu kaketi juu ya wingu. + +# Aliyeketi juu ya wingu alifanya nini? + +Aliyeketi juu ya wingu aliinua mundu yake kuvuna dunia. + diff --git a/rev/14/19.md b/rev/14/19.md new file mode 100644 index 0000000..5e5be0c --- /dev/null +++ b/rev/14/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Malaika aliyekuwa na mundu alifanya nini? + +Malaika aliyekuwa na mundu alikusanya mavuno ya zabibu ya dunia na kuyarusha katika pipa la divai ya ghadhabu ya Mungu. + +# Nini kilitokea kwa chujio la divai la Mungu? + +Chuji la divai lilipondwapondwa na damu ikamwagika kutoka kwake. + diff --git a/rev/15/01.md b/rev/15/01.md new file mode 100644 index 0000000..98a7b36 --- /dev/null +++ b/rev/15/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Malaika saba ambao Yohana aliwaona walikuwa na nini? + +Malaika saba walikuwa na mapigo saba, ambayo ni mapigo ya mwisho. + diff --git a/rev/15/02.md b/rev/15/02.md new file mode 100644 index 0000000..8f0eae7 --- /dev/null +++ b/rev/15/02.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nani alikuwa akisimama pembeni mwa bahari? + +Wale waliokuwa washindi dhidi ya mnyama na sanamu yake walikuwa wamesimama pembeni mwa bahari + diff --git a/rev/15/03.md b/rev/15/03.md new file mode 100644 index 0000000..63e17d5 --- /dev/null +++ b/rev/15/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Waliokuwa wamesimama pembeni mwa bahari walikuwa wakiimba wimbo wa nani? + +Waliokuwa wamesimama pembeni mwaa bahari walikuwa wakiimba wimbo wa Musa na wimbo wa Mwana Kondoo. + +# Njia za Mungu zilielezwaje katika wimbo? + +Njia za Mungu zilielezwa kuwa za haki na za kweli. + +# Katika wimbo, nani atakuja na kumuabudu Mungu? + +Mataifa yote yatakuja na kumuabudu Mungu. + diff --git a/rev/15/05.md b/rev/15/05.md new file mode 100644 index 0000000..7d1949e --- /dev/null +++ b/rev/15/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kitu gani basi kilitokea katika mahali patakatifu sana? + +Malaika saba wenye mapigo saba walitoka katika mahali patakatifu sana. + diff --git a/rev/15/07.md b/rev/15/07.md new file mode 100644 index 0000000..f774e15 --- /dev/null +++ b/rev/15/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini kilipewa kwa malaika saba? + +Malaika saba walipewa mabakuli saba yaliyojaa ghadhabu ya Mungu. + +# Mpaka lini ambapo hakuna yeyote awezaye kuingia katika mahali patakatifu sana? + +Hadi pale mapigo saba yatakapokamilika, hakuna mtu awezaye kuingia katika mahali patakatifu sana. + diff --git a/rev/16/01.md b/rev/16/01.md new file mode 100644 index 0000000..984ec26 --- /dev/null +++ b/rev/16/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Malaika saba waliambiwa kufanya nini? + +Malaika saba waliambiwa kwenda na kumwaga juu ya dunia mabakuli saba ya ghadhabu ya Mungu. + diff --git a/rev/16/02.md b/rev/16/02.md new file mode 100644 index 0000000..4c36dca --- /dev/null +++ b/rev/16/02.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilitokea baada ya bakuli la kwanza la gadhabu ya Mungu kumwagwa? + +Vidonda vibaya na venye maumivu viliwajia watu waliokuwa na alama ya mnyama. + diff --git a/rev/16/03.md b/rev/16/03.md new file mode 100644 index 0000000..70363ee --- /dev/null +++ b/rev/16/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilitokea baada ya bakuli la pili la ghadhabu ya Mungu kumwagwa? + +Bahari lilikuwa kama damu ya mtu aliyekufa. + diff --git a/rev/16/04.md b/rev/16/04.md new file mode 100644 index 0000000..01ddfb8 --- /dev/null +++ b/rev/16/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini kilitokea baada ya bakuli la tatu la ghadhabu ya Mungu kumwagwa? + +Mito na chemichemi za maji zilikuwa damu. + +# Kwa nini ilikuwa kweli na haki kwa Mungu kuwapa watu hawa damu kunywa? + +Ilikuwa kweli na haki kwa sababu watu hawa walimwaga damu za watakatifu wa Mungu na manabii. + diff --git a/rev/16/08.md b/rev/16/08.md new file mode 100644 index 0000000..9ac543f --- /dev/null +++ b/rev/16/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini kilitokea baada ya bakuli la nne la ghadhabu ya Mungu kumwagwa? + +Jua liliwachoma watu kwa moto. + +# Watu waliitikiaje kwa mapigo haya? + +Watu hawakutubu wala kumpa Mungu utukufu. + diff --git a/rev/16/10.md b/rev/16/10.md new file mode 100644 index 0000000..04412fe --- /dev/null +++ b/rev/16/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilitokea baada ya bakuli la tano la ghadhabu ya Mungu kumwagwa? + +Giza lilifunika ufalme wa mnyama. + diff --git a/rev/16/12.md b/rev/16/12.md new file mode 100644 index 0000000..216b0ae --- /dev/null +++ b/rev/16/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini kilitokea baada ya bakuli la sita la ghadhabu ya Mungu kumwagwa? + +Ziwa la Frati lilikauka kuandaa njia kwa ajili ya wafalme wa mashariki. + +# Roho chafu zilikuwa zinaenda nje kufanya nini? + +Roho chafu zilikuwa zinaenda nje kuwakusanya wafalme wa dunia kwa ajili ya vita ya siku kuu ya Mungu. + diff --git a/rev/16/15.md b/rev/16/15.md new file mode 100644 index 0000000..44d348e --- /dev/null +++ b/rev/16/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sehemu ambapo wafalme wa dunia waliletwa pamoja paliitwaje? + +Jina la sehemu hiyo ni Amagedoni. + diff --git a/rev/16/17.md b/rev/16/17.md new file mode 100644 index 0000000..f675e0e --- /dev/null +++ b/rev/16/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini kilitokea baada ya bakuli la saba la ghadhabu ya Mungu kumwagwa? + +Sauti kubwa ilisema, "Imekwisha!" na kulikuwa na mwanga wa radi, ngurumo, na tetemeko. + +# Wakati huo, Mungu alikumbuka na kufanya nini? + +Wakati huo, Mungu alikumbuka Babeli na kumpa Babeli kikombe kilichojaa ghadhabu yake. + diff --git a/rev/16/20.md b/rev/16/20.md new file mode 100644 index 0000000..89646b3 --- /dev/null +++ b/rev/16/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Watu waliitikiaje mapigo haya? + +Watu walimlaani Mungu. + diff --git a/rev/17/01.md b/rev/17/01.md new file mode 100644 index 0000000..1984d8d --- /dev/null +++ b/rev/17/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Malaika alisema atamuonesha nini Yohana? + +Malaika alisema atamuonesha Yohana hukumu ya kahaba mkuu. + diff --git a/rev/17/03.md b/rev/17/03.md new file mode 100644 index 0000000..390e761 --- /dev/null +++ b/rev/17/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mwanamke alikuwa amekalia nini? + +Mwanamke alikuwa amekalia mnyama mwenye vichwa saba na pembe kumi. + +# Nini kilikuwa kwenye kikombe ambacho mwanamke alikuwa ameshika mkononi mwake? + +Kikombe kilikuwa kimejaa vitu vya kuchukiza na uchafu wa uasherati wake. + +# Jina la mwanamke ni nani? + +Jina la mwanamke ni "Babeli Mkuu, Mama wa Makahaba na Vitu vya Kuchukiza Duniani" + diff --git a/rev/17/06.md b/rev/17/06.md new file mode 100644 index 0000000..a7445f1 --- /dev/null +++ b/rev/17/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mwanamke alikuwa amelewa nini? + +Mwanamke alikuwa amelewa damu ya wakatifu na waliokufa kwa ajili ya Yesu. + diff --git a/rev/17/08.md b/rev/17/08.md new file mode 100644 index 0000000..33af59e --- /dev/null +++ b/rev/17/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mnyama aliyekuwa amekaliwa na mwanamke alitoka wapi? + +Mnyama alitoka kwenye shimo refu lisilo na mwisho. + +# Mnyama alikuwa akienda wapi? + +Mnyama alikuwa akienda kwenye maangamizo. + diff --git a/rev/17/09.md b/rev/17/09.md new file mode 100644 index 0000000..42c63c0 --- /dev/null +++ b/rev/17/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Vichwa saba vya mnyama vilikuwa nini? + +Vichwa saba vilikuwa ni milima saba ambapo mwanamke alikuwa ameketi, na pia vilikuwa ni wafalme saba. + diff --git a/rev/17/11.md b/rev/17/11.md new file mode 100644 index 0000000..7194e76 --- /dev/null +++ b/rev/17/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mnyama alikuwa akienda wapi? + +Mnyama alikuwa akienda kwenye maangamizo. + diff --git a/rev/17/12.md b/rev/17/12.md new file mode 100644 index 0000000..3eb4c5b --- /dev/null +++ b/rev/17/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Pembe kumi za mnyama zilikuwa ni nini? + +Pembe kumi ni wafalme kumi. + +# Wafalme na mnyama watafanya nini wakiwa wa shauri moja. + +Wakiwa wa shauri moja, watafanya vita dhidi ya Mwana kondoo. + diff --git a/rev/17/15.md b/rev/17/15.md new file mode 100644 index 0000000..20ed5ee --- /dev/null +++ b/rev/17/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maji ambayo kahaba aliyekalia yalikuwa nini? + +Maji yalikuwa watu, makutano, mataifa, na lugha. + diff --git a/rev/17/16.md b/rev/17/16.md new file mode 100644 index 0000000..3bbcab7 --- /dev/null +++ b/rev/17/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wafalme na mnyama watamfanya nini mwanamke? + +Watamfanya kuwa mpweke na uchi, watamlaa mwili wake, na kumchoma kwa moto. + diff --git a/rev/17/18.md b/rev/17/18.md new file mode 100644 index 0000000..aa2ee7a --- /dev/null +++ b/rev/17/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mwanamke aliyeonwa na Yohana ni nini? + +Mwanamke aliyeonwa na Yohana ni mji mkuu unaotawala juu ya wafalme wa ulimwenguni. + diff --git a/rev/18/01.md b/rev/18/01.md new file mode 100644 index 0000000..35c631c --- /dev/null +++ b/rev/18/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Malaika mwenye mamlaka makubwa alitoa tangazo gani? + +Malaika alitangaza kuwa Babeli mkuu ameanguka. + diff --git a/rev/18/04.md b/rev/18/04.md new file mode 100644 index 0000000..d366daf --- /dev/null +++ b/rev/18/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sauti kutoka mbinguni iliwaambia watu wa Mungu kufanya nini? + +Sauti iliwaambia watu wa Mungu kutoka Babeli na kutokushiriki katika dhambi zake. + +# Mungu alimrudishia Babeli kiasi gani cha malipo kwa kile alichokifanya? + +Mungu alimlipa Babeli mara mbili kwa kile alichokifanya. + diff --git a/rev/18/07.md b/rev/18/07.md new file mode 100644 index 0000000..62dcaa3 --- /dev/null +++ b/rev/18/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mapigo gani yalimpata Babeli ndani ya siku moja? + +Kifo, maombolezo, na njaa vilimpata Babeli ndani ya siku moja na aliteketezwa kwa moto. + diff --git a/rev/18/09.md b/rev/18/09.md new file mode 100644 index 0000000..b66a4c3 --- /dev/null +++ b/rev/18/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wafalme na wafanyabiashara wa duniani waliitikiaje baada ya kuona hukumu ya Babeli? + +Walipoona hukumu ya Babeli, wafalme na wafanyabiashara wa duniani walilia na kuomboleza juu yake. + diff --git a/rev/18/14.md b/rev/18/14.md new file mode 100644 index 0000000..c0d47f0 --- /dev/null +++ b/rev/18/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Babeli alitamani nini kilichopotea ndani ya saa moja? + +Babeli alitamani starehe na fahari, zilizopotea ndani ya saa moja. + diff --git a/rev/18/15.md b/rev/18/15.md new file mode 100644 index 0000000..49c073b --- /dev/null +++ b/rev/18/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini wafalme, wafanyabiashara manahodha wa meli walisimama mbali wakati wa hukumu ya Babeli? + +Walisimama mbali kwa sababu waliogopa mateso yake? + diff --git a/rev/18/18.md b/rev/18/18.md new file mode 100644 index 0000000..a3cd533 --- /dev/null +++ b/rev/18/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Manahodha wa meli waliuliza swali gani kuhusu Babeli? + +Manahodha wa meli waliuliza, "Ni mji gani kama mji mkuu?" + +# Watakatifu, watume na manabii waliambiwa kufanya nini wakati Babeli alipohukumiwa na Mungu? + +Watakatifu, watume na manabii waliambiwa kufurahi wakati Babeli ikihukumiwa na Mungu. + diff --git a/rev/18/21.md b/rev/18/21.md new file mode 100644 index 0000000..0647f12 --- /dev/null +++ b/rev/18/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Babeli itaonekana lini tena baada ya hukumu yake? + +Baada ya hukumu yake, Babeli hataonekana tena. + diff --git a/rev/18/23.md b/rev/18/23.md new file mode 100644 index 0000000..bd7624d --- /dev/null +++ b/rev/18/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilikutwa ndani ya mji mkuu Babeli ambacho alihukumiwa nacho? + +Damu ya manabii, watakatifu na wote waliouliwa duniani ilikutwa. + diff --git a/rev/19/01.md b/rev/19/01.md new file mode 100644 index 0000000..0a101b2 --- /dev/null +++ b/rev/19/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sauti kuu kutoka mbinguni ilisema nini kuhusu hukumu ya Mungu? + +Sauti kuu kutoka mbinguni ilisema kwamba hukumu za Mungu ni kweli na haki. + +# Kwa nini Mungu alimhukumu kahaba mkuu? + +Mungu alimhukumu kahaba mkuu kwa sababu aliharibu ulimwengu kwa uasherati wake na kumwaga damu za watumishi wa Mungu. + diff --git a/rev/19/03.md b/rev/19/03.md new file mode 100644 index 0000000..f13e0ad --- /dev/null +++ b/rev/19/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kitatokea kwa kahaba mkuu milele na milele? + +Moshi utainuka kutoka kwa kahaba mkuu milele na milele. + diff --git a/rev/19/05.md b/rev/19/05.md new file mode 100644 index 0000000..f85fb27 --- /dev/null +++ b/rev/19/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Watumishi wa Mungu wanaomcha waliambiwa kufanya nini? + +Watumishi waliambiwa kumsifu yeye. + diff --git a/rev/19/07.md b/rev/19/07.md new file mode 100644 index 0000000..c31bf51 --- /dev/null +++ b/rev/19/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini sauti ilisema watumishi wa Mungu wanapaswa kushangilia na kufurahi sana? + +Watumishi waliambiwa kushangilia kwa sababu sherehe ya harusi ya Mwanakondoo ilikuwa imefika. + +# Bibi harusi wa Mwanakondoo alivikwa nini? + +Bibi harusi alivikwa kitani safi, ambayo ni matendo safi ya watakatifu wa Mungu. + diff --git a/rev/19/09.md b/rev/19/09.md new file mode 100644 index 0000000..ded0362 --- /dev/null +++ b/rev/19/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Malaika alisema kuwa ushuhuda wa Yesu unahusu nini? + +Malaika alisema kuwa ushuhuda wa Yesu ilikuwa ni roho ya unabii. + diff --git a/rev/19/11.md b/rev/19/11.md new file mode 100644 index 0000000..e861d84 --- /dev/null +++ b/rev/19/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nani jina la yule ambaye Yohana alimuona akipanda farasi mweupe? + +Yohana aliona Neno la Mungu akipanda farasi mweupe. + diff --git a/rev/19/14.md b/rev/19/14.md new file mode 100644 index 0000000..4633d07 --- /dev/null +++ b/rev/19/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Neno la Mungu linawapigaje mataifa? + +Kutoka katika kinywa cha Neno la Mungu kuna upanga mkali unaowapiga mataifa. + +# Nini kimeandikwa kwenye kanzu na paja la Neno la Mungu? + +Kwenye kanzu na paja lake imeandikwa, "Mfalme wa Wafalme na Bwana wa Mabwana". + diff --git a/rev/19/17.md b/rev/19/17.md new file mode 100644 index 0000000..3715c4d --- /dev/null +++ b/rev/19/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ndege zilizokuwa zikipaa juu ziliitwa kula nini kwenye chakula kikuu? + +Ndege waliitwa kula nyama za wafalme, majemedari, watu wakubwa, farasi na wapanda farasi, na watu wote. + diff --git a/rev/19/19.md b/rev/19/19.md new file mode 100644 index 0000000..e99abe2 --- /dev/null +++ b/rev/19/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mnyama na wafalme walipanga kufanya nini? + +Walipanga kufanya vita na Neno la Mungu na jeshi lake. + +# Nini kilitokea kwa mnyama na nabii wa uongo? + +Mnyama na nabii wa uongo wote walitupwa wakiwa hai kwenye ziwa la moto liwakalo salfa. + diff --git a/rev/19/21.md b/rev/19/21.md new file mode 100644 index 0000000..510e6bd --- /dev/null +++ b/rev/19/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilitokea kwa wale waliobaki waliopigana dhidi ya Neno la Mungu? + +Waliobaki waliuliwa na upanga utokao kwenye kinywa cha Neno la Mungu. + diff --git a/rev/20/01.md b/rev/20/01.md new file mode 100644 index 0000000..bff0df7 --- /dev/null +++ b/rev/20/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Malaika aliyeshuka kutoka mbinguni alikuwa na kitu gani? + +Malaika alikuwa na ufunguo wa shimo lisilo na mwisho na mnyororo mkubwa mkononi mwake. + +# Shetani atabaki kifungoni kwa muda gani? + +Shetani atabaki kifungoni kwa miaka elfu moja. + +# Malaika alifanya nini na Shetani? + +Malaika alimtupa Shetani katika shimo lisilo na mwisho. + +# Shetani anapokuwa kifungoni hataweza kufanya nini? + +Shetani hataweza kuwadanganya mataifa anapokuwa kifungoni. + diff --git a/rev/20/04.md b/rev/20/04.md new file mode 100644 index 0000000..860afed --- /dev/null +++ b/rev/20/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilitokea kwa wale waliokataa kupokea alama ya mnyama? + +Wale waliokataa kupokea alama ya mnyama walikuja uzimani na kutawala pamoja na Kristo kwa miaka elfu moja. + diff --git a/rev/20/05.md b/rev/20/05.md new file mode 100644 index 0000000..943d991 --- /dev/null +++ b/rev/20/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wafu waliobaki watakuja uzimani wakati gani? + +Wafu waliobaki watakuja uzimani baada ya miaka elfu moja kukamilika. + +# Wale walioshiriki katika ufufuo wa kwanza watafanya nini? + +Wale walioshiriki katika ufufuo wa kwanza watakuwa makuhani wa Mungu na Kristo na watatawala pamoja naye kwa miaka elfu moja. + diff --git a/rev/20/07.md b/rev/20/07.md new file mode 100644 index 0000000..d7f1ee3 --- /dev/null +++ b/rev/20/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mwisho mwa miaka elfu moja Shetani atafanya nini? + +Mwisho mwa miaka elfu moja, Shetani ataachiwa huru kwenda kuwadanganya mataifa. + diff --git a/rev/20/09.md b/rev/20/09.md new file mode 100644 index 0000000..4cd76bd --- /dev/null +++ b/rev/20/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini kilitokea pale kambi ya waumini ilipozingirwa? + +Kambi ya waumini ilipozingirwa, moto ulikuja kutoka mbinguni na kuwaangamiza Gogu na Magogu. + +# Nini kilifanywa kwa ibilisi katika kipindi hiki? + +Ibilisi alitupwa katika ziwa liwakalo moto ili ateswe milele. + diff --git a/rev/20/11.md b/rev/20/11.md new file mode 100644 index 0000000..ce06ff3 --- /dev/null +++ b/rev/20/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wafu walihukumiwa na kitu gani mbele ya kiti kikubwa cha enzi? + +Wafu walihukumiwa kwa kile kilichoandikwa ndani ya vitabu, matokeo ya kile walichofanya. + diff --git a/rev/20/13.md b/rev/20/13.md new file mode 100644 index 0000000..2d51bb8 --- /dev/null +++ b/rev/20/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kifo cha pili ni kipi? + +Kifo cha pili ni ziwa la moto + +# Nini kilitokea kwa wale wote ambao hawakuandikwa katika Kitabu cha Uzima? + +Wote ambao hawakupatikana wameandikwa katika Kitabu cha Uzima walitupwa katika ziwa la moto. + diff --git a/rev/21/01.md b/rev/21/01.md new file mode 100644 index 0000000..1ea47dc --- /dev/null +++ b/rev/21/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yohana aliona nini kimetokea kwa mbingu na dunia ya kwanza? + +Yohana aliona mbingu na dunia ya kwanza vimekwishapita. + +# Kitu gani kilichukua nafasi kwa mbingu na dunia ya kwanza? + +Mbingu mpya na dunia mpya ilichukua nafasi ya mbingu na dunia ya kwanza. + +# Kitu gani kilishuka kutoka mbinguni? + +Mji mtakatifu, Yerusalemu mpya, vilishuka kutoka mbinguni. + diff --git a/rev/21/03.md b/rev/21/03.md new file mode 100644 index 0000000..eb63e93 --- /dev/null +++ b/rev/21/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sauti kutoka kiti cha enzi kilisema ya kwamba Mungu ataishi wapi? + +Sauti ilisema ya kwamba Mungu ataishi na wanadamu. + +# Kitu gani kimekwisha pita? + +Kifo, maombolezo, kulia, na maumivu yamekwisha pita sasa. + diff --git a/rev/21/05.md b/rev/21/05.md new file mode 100644 index 0000000..c257c04 --- /dev/null +++ b/rev/21/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Aliyeketi juu ya kiti cha enzi alijiita jina gani? + +Yule aliyeketi juu ya kiti cha enzi alijiita Alfa na Omega, mwanzo na mwisho. + diff --git a/rev/21/07.md b/rev/21/07.md new file mode 100644 index 0000000..702389b --- /dev/null +++ b/rev/21/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kinatokea kwa wasioamini, wazinzi na waabudu sanamu? + +Wasioamini, wazinzi na waabudu sanamu wana sehemu yao katika ziwa kali liwakalo salfa. + diff --git a/rev/21/09.md b/rev/21/09.md new file mode 100644 index 0000000..f506b57 --- /dev/null +++ b/rev/21/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Bibi harusi, mke wa Mwana Kondoo ndiye nani? + +Bibi harusi, mke wa Mwana kondoo, ni mji mtakatifu, Yerusalemu, unaoshuka kutoka mbinguni kwa Mungu. + diff --git a/rev/21/11.md b/rev/21/11.md new file mode 100644 index 0000000..d0f1257 --- /dev/null +++ b/rev/21/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kiliandikwa katika milango ya Yerusalemu mpya? + +Majina ya makabila kumi na mawili ya wana wa Israeli yaliandikwa kwenye milango ya Yerusalemu mpya. + diff --git a/rev/21/14.md b/rev/21/14.md new file mode 100644 index 0000000..4967022 --- /dev/null +++ b/rev/21/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kiliandikwa juu ya misingi ya Yerusalemu mpya? + +Majina ya mitume kumi na wawili wa Mwana Kondoo yaliandikwa juu ya misingi ya Yerusalemu mpya. + diff --git a/rev/21/16.md b/rev/21/16.md new file mode 100644 index 0000000..45d6818 --- /dev/null +++ b/rev/21/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yerusalemu mpya uliwekwa katika umbo gani? + +Yerusalemu mpya uliwekwa kama mraba. + diff --git a/rev/21/18.md b/rev/21/18.md new file mode 100644 index 0000000..9d50e5c --- /dev/null +++ b/rev/21/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mji ulijengwa na kitu gani? + +Mji ulijengwa na dhahabu safi, kama kioo safi. + diff --git a/rev/21/21.md b/rev/21/21.md new file mode 100644 index 0000000..2ceb275 --- /dev/null +++ b/rev/21/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hekalu ni nini katika Yerusalemu mpya? + +Hekalu katika Yerusalemu mpya ni Bwana Mungu na Mwana Kondoo. + diff --git a/rev/21/23.md b/rev/21/23.md new file mode 100644 index 0000000..113a4b7 --- /dev/null +++ b/rev/21/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Chanzo cha taa katika Yerusalemu mpya ni nini? + +Chanzo cha taa katika Yerusalemu mpya ni utukufu wa Mungu na Mwana Kondoo. + diff --git a/rev/21/26.md b/rev/21/26.md new file mode 100644 index 0000000..ed7d698 --- /dev/null +++ b/rev/21/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kitu gani hakitaingia ndani ya Yerusalemu mpya? + +Hakuna kichafu kitakachoingia ndani ya Yerusalemu mpya. + diff --git a/rev/22/01.md b/rev/22/01.md new file mode 100644 index 0000000..58f2bd8 --- /dev/null +++ b/rev/22/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yohana aliona kitu gani kikitiririka kutoka katika kiti cha enzi? + +Yohana aliona mto wa maji ya uzima ukitiririka kutoka katika kiti cha enzi cha Mungu. + +# Majani ya mti wa uzima yalikuwa kwa ajili gani? + +Majani ya mti wa uzima yalikuwa kwa ajili ya uponyaji wa mataifa. + diff --git a/rev/22/03.md b/rev/22/03.md new file mode 100644 index 0000000..7a97ad1 --- /dev/null +++ b/rev/22/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hakutakuwa na nini tena katika mji? + +Hakutakuwa na laana yoyote tena, na hapatakuwa na usiku tena. + +# Kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwana Kondoo vitakuwa wapi? + +Kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwana Kondoo vitakuwa ndani ya mji. + diff --git a/rev/22/06.md b/rev/22/06.md new file mode 100644 index 0000000..684543d --- /dev/null +++ b/rev/22/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mtu anatakiwa kufanya kitu gani ili abarikiwe na kitabu hiki? + +Mtu anatakiwa kutii maneno ya unabii wa kitabu hiki ili abarikiwe. + diff --git a/rev/22/08.md b/rev/22/08.md new file mode 100644 index 0000000..e5c02ce --- /dev/null +++ b/rev/22/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Malaika alimwambia Yohana afanye kitu gani alipojiangusha katika miguu ya malaika? + +Malaika alimwambia Yohana kumwabudu Mungu. + diff --git a/rev/22/10.md b/rev/22/10.md new file mode 100644 index 0000000..1859024 --- /dev/null +++ b/rev/22/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Yohana aliambiwa asiyatie muhuri maneno ya unabii wa kitabu hiki? + +Yohana aliambiwa asiyatie muhuri maneno ya unabii wa kitabu hiki kwa sababu wakati ulikaribia. + diff --git a/rev/22/12.md b/rev/22/12.md new file mode 100644 index 0000000..a5f77f7 --- /dev/null +++ b/rev/22/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Bwana alisema atakuja pamoja na kitu gani atakaporudi? + +Bwana alisema atakuja pamoja na ujira wake atakaporudi. + diff --git a/rev/22/14.md b/rev/22/14.md new file mode 100644 index 0000000..a9dc30b --- /dev/null +++ b/rev/22/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wanaotaka haki ya kula kutoka katika mti wa uzima wanapaswa kufanya kitu gani? + +Wale wanaotaka haki ya kula kutoka katika mti wa uzima wanapaswa kuosha mavazi yao + diff --git a/rev/22/16.md b/rev/22/16.md new file mode 100644 index 0000000..b3d449a --- /dev/null +++ b/rev/22/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu anasema ana uhusiano gani na Mfalme Daudi? + +Yesu anasema yeye ni mzizi na uzao Mfalme Daudi. + diff --git a/rev/22/18.md b/rev/22/18.md new file mode 100644 index 0000000..e96c2e4 --- /dev/null +++ b/rev/22/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini kitatokea kwa yeyote atakayeongeza katika unabii wa kitabu hiki? + +Yeyote atakayeongeza katika unabii wa kitabu hiki atapokea mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki. + +# Nini kitatokea kwa yeyote atakayeondoa sehemu ya unabii wa kitabu hiki? + +Yeyote atakayeondoa sehemu ya unabii wa kitabu hiki sehemu yake ya mti uzima utaondolewa. + diff --git a/rev/22/20.md b/rev/22/20.md new file mode 100644 index 0000000..63c0c46 --- /dev/null +++ b/rev/22/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maneno ya mwisho ya Yesu ni yapi katika kitabu hiki? + +Maneno ya mwisho ya Yesu ni, "Ndiyo! naja upesi." + +# Neno la mwisho katika kitabu hiki ni lipi? + +Neno la mwisho katika kitabu hiki ni "Amina". + diff --git a/rom/01/01.md b/rom/01/01.md new file mode 100644 index 0000000..86860a2 --- /dev/null +++ b/rom/01/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa jinsi gani Mungu alikua ameahidi injili kabla ya wakati Paulo? + +Mungu aliahidi injili zamani kwa manabii wake katika maandiko matakatifu. + +# Mwana wa Mungu alizaliwa katika ukoo gani kwa jinsi ya mwili? + +Mwana wa Mungu alizaliwa katika ukoo wa Daudi kwa jinsi ya mwili. + diff --git a/rom/01/04.md b/rom/01/04.md new file mode 100644 index 0000000..ea4fcbb --- /dev/null +++ b/rom/01/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa tukio gani Yesu Kristo alitangazwa kuwa Mwana wa Mungu? + +Yesu Kristo alitangazwa kuwa Mwana wa Mungu kwa ufufuo kutoka kwa wafu. + +# Paulo alipokea neema na utume kutoka kwa Kristo kwa lengo gani? + +Paulo alipokea neema na utume kutokana na utii wa imani kati ya mataifa yote. + diff --git a/rom/01/08.md b/rom/01/08.md new file mode 100644 index 0000000..0125732 --- /dev/null +++ b/rom/01/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anamshukuru Mungu, kwa habari ya waumini walioko Rumi kwa sababu zipi? + +Paulo anamshukuru Mungu kwa sababu ya imani yao inayohubiriwa katika dunia nzima. + diff --git a/rom/01/11.md b/rom/01/11.md new file mode 100644 index 0000000..3848bba --- /dev/null +++ b/rom/01/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Paulo anahamu ya kuwaona waumini walioko Rumi? + +Paul anatamani kuwaona ili awape baadhi ya vipawa vya kiroho ili waimarishwe. + diff --git a/rom/01/13.md b/rom/01/13.md new file mode 100644 index 0000000..0eb780d --- /dev/null +++ b/rom/01/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Paulo alikuwa ameshindwa kuwatembelea waumini walioko Rumi mpaka sasa? + +Paulo alikuwa hajaweza kuwatembelea kwa sababu alikuwa amezuiliwa. + diff --git a/rom/01/16.md b/rom/01/16.md new file mode 100644 index 0000000..837b4a8 --- /dev/null +++ b/rom/01/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anasema injili ni nini? + +Paulo anasema injili ni nguvu ya Mungu kwa ajili ya wokovu kwa kila mtu aaminie. + diff --git a/rom/01/18.md b/rom/01/18.md new file mode 100644 index 0000000..30b456d --- /dev/null +++ b/rom/01/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kitu gani waovu na wasio waadilifu hufanya ingawa yote yanayojulikana juu ya Mungu yako wazi kwao? + +waovu na wasio waadilifu hukataa ukweli ingawa yote yanayojulikana juu ya Mungu yako wazi kwao. + diff --git a/rom/01/20.md b/rom/01/20.md new file mode 100644 index 0000000..78fe2a7 --- /dev/null +++ b/rom/01/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Jinsi gani mambo yasiyoonekana kuhusu Mungu yanaonekana wazi? + +Mambo yasiyoonekana kuhusu Mungu yanaonekana wazi kupitia uumbwaji wa vitu. + +# Ni tabia gani za Mungu zinaonekana wazi? + +uwezo wa milele wa Mungu na asili ya Mungu vipo wazi. + diff --git a/rom/01/24.md b/rom/01/24.md new file mode 100644 index 0000000..3a0fbae --- /dev/null +++ b/rom/01/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mungu huwafanya nini kwa wale ambao hubadilisha utukufu wake kwa sanamu za wanaume na wanyama waharibikao? + +Mungu huwaacha wafuate tamaa za mioyo yao kwa uchafu, kwa miili yao kufedheheshwa baina yao. + diff --git a/rom/01/26.md b/rom/01/26.md new file mode 100644 index 0000000..5f5a405 --- /dev/null +++ b/rom/01/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa tamaa zipi mbaya wanawake na wanaume huchoma katika hamu zao? + +wanawake huona tamaa juu yao kwa wao, na wanaume huona tamaa juu yao wenyewe. + diff --git a/rom/01/28.md b/rom/01/28.md new file mode 100644 index 0000000..4ee37b5 --- /dev/null +++ b/rom/01/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mungu huwafanya nini wale ambao hawakubali kuwa nae katika ufahamu wao? + +Mungu anawapa nia zao za upotovu, kufanya mambo yale ambayo si sahihi. + diff --git a/rom/01/29.md b/rom/01/29.md new file mode 100644 index 0000000..9f301ee --- /dev/null +++ b/rom/01/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, wale ambao wanania ya upotovu wana tabia gani? + +Wale ambao wana nia zao za upotovu wamejawa na wivu, uuaji, ugomvi, udanganyifu, na nia mbaya. + diff --git a/rom/01/32.md b/rom/01/32.md new file mode 100644 index 0000000..be01a82 --- /dev/null +++ b/rom/01/32.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, wale walio na nia za upotovu huelewa nini kuhusu matakwa ya Mungu? + +Wale walio na nia za upotovu huelewa kwamba wale wanaotenda mambo hayo wamestahili mauti. + +# Japokuwa wale walio na nia za upotovu huelewa matakwa ya Mungu, bali huwa wanafanya nini? + +Wao hufanya mambo yao wasio haki , na huwapongeza wale wanayoyatenda. + diff --git a/rom/02/01.md b/rom/02/01.md new file mode 100644 index 0000000..0f952e3 --- /dev/null +++ b/rom/02/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini baadhi ya watu wasiwe na udhuru katika hukumu zao? + +Baadhi ya watu wasiwe na udhuru katika hukumu zao kwa sababu hayo wanayo yahukumu kwa wengine waopia wanayafanya. + +# Ni kwa jinsi gani Mungu huwahukumu wale wafanyao matendo yasiyo haki? + +Mungu anahukumu kulingana na kweli + diff --git a/rom/02/03.md b/rom/02/03.md new file mode 100644 index 0000000..f029200 --- /dev/null +++ b/rom/02/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Subira na wema wa Mungu vina manufaa gani? + +vinapaswa kuwaongoza watu katika toba. + diff --git a/rom/02/05.md b/rom/02/05.md new file mode 100644 index 0000000..d0a2436 --- /dev/null +++ b/rom/02/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, wale wenye mioyo migumu na isiyotubu kwa Mungu wanajiwekea akiba gani ya wenyewe? + +Wale walio mioyo migumu na isiyotubu hujihifadhia wenyewe ghadhabu kwa siku ile ya hukumu ya uadilifu ya Mungu. + diff --git a/rom/02/08.md b/rom/02/08.md new file mode 100644 index 0000000..77209b7 --- /dev/null +++ b/rom/02/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je wale wanaotii isiyo haki hupata nini? + +hupokea ghadhabu, hasira kali, na dhiki. + diff --git a/rom/02/10.md b/rom/02/10.md new file mode 100644 index 0000000..436f66f --- /dev/null +++ b/rom/02/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa jinsi gani Mungu haoneshi upendeleo kati ya Myahudi na Myunani katika hukumu yake? + +Mungu hana upendeleo kwa sababu wote watendao dhambi wataangamia, Myahudi kwa Myunani. + diff --git a/rom/02/13.md b/rom/02/13.md new file mode 100644 index 0000000..aa023cb --- /dev/null +++ b/rom/02/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nani anahaki mbele za Mungu? + +watendaji wa sheria ndo wana haki mbele ya Mungu. + +# Ni jinsi gani watu wa mataifa huonesha ya kuwa wanayo sheria juu yao? + +hufanya hivyo kwa wafanyapo kwa asili matendo ya sheria. + diff --git a/rom/02/21.md b/rom/02/21.md new file mode 100644 index 0000000..6374b9b --- /dev/null +++ b/rom/02/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo anawapa changamoto gani Wayahudi ambao wanakaa katika sheria na kuwafundisha wengine? + +Paulo anawapa changamoto kwamba kama wakiwafundisha wengine sheria, wanapaswa wajifundishe wenyewe pia. + +# Paulo anataja dhambi gani walimu wa sheria za Kiyahudi wanapaswa kuacha kufanya? + +Paulo anataja dhambi za wizi, uzinzi, na wizi wa mahekalu. + diff --git a/rom/02/23.md b/rom/02/23.md new file mode 100644 index 0000000..11e97b5 --- /dev/null +++ b/rom/02/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini jina la Mungu hufedheheshwa kati ya watu wa mataifa kwa sababu ya walimu Wayahudi wa Sheria? + +jina la Mungu linafedheheshwa kwa sababu walimu wa sheria za Kiyahudi wanazivunja sheria. + diff --git a/rom/02/25.md b/rom/02/25.md new file mode 100644 index 0000000..16a1fc8 --- /dev/null +++ b/rom/02/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo asema nini mtu wa kiyahudi alietairiwa anaweza kuwa hajatairiwa? + +Paulo anasema kwamba mtu wa Kiyahudi alietairiwa anaweza awe hajatairiwa kama mtu huyo ni mkiukaji wa sheria. + diff --git a/rom/02/28.md b/rom/02/28.md new file mode 100644 index 0000000..414b717 --- /dev/null +++ b/rom/02/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nani Paulo anasema ni Myahudi wa kweli? + +Paulo anasema kwamba Myahudi wa kweli ni Myahudi wa ndani, mwenye tohara ya moyo. + diff --git a/rom/03/01.md b/rom/03/01.md new file mode 100644 index 0000000..6c6494d --- /dev/null +++ b/rom/03/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Faida ya kwanza ya Myahudi ni ipi? + +Faida ya kwanza ya Wayahudi ni kwamba walikabidhiwa ufunuo kutoka kwa Mungu. + diff --git a/rom/03/03.md b/rom/03/03.md new file mode 100644 index 0000000..653a651 --- /dev/null +++ b/rom/03/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Japokuwa kila mtu ni mwongo, Mungu yeye yukoje? + +Mungu yeye anabaki kuwa mkweli + diff --git a/rom/03/05.md b/rom/03/05.md new file mode 100644 index 0000000..4e13706 --- /dev/null +++ b/rom/03/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa sababu Mungu ni mwenye haki, yeye anaweza kufanya nini? + +Kwa sababu Mungu ni mwenye haki, yeye ni mwenye uwezo wa kuhukumu ulimwengu. + diff --git a/rom/03/07.md b/rom/03/07.md new file mode 100644 index 0000000..7a99feb --- /dev/null +++ b/rom/03/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kitu gani huwapata wale ambao husema, "Acha tufanye maovu, ili uzuri uje? + +Hukumu huja juu ya wote wasemao hivyo. + diff --git a/rom/03/09.md b/rom/03/09.md new file mode 100644 index 0000000..62872f1 --- /dev/null +++ b/rom/03/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Imeandikwa nini katika maandiko kuhusu haki ya wote, Wayahudi kwa Wayunani? + +Imeandikwa kwamba hakuna mwenye haki hata mmoja. + diff --git a/rom/03/11.md b/rom/03/11.md new file mode 100644 index 0000000..1eb96fc --- /dev/null +++ b/rom/03/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa mujibu wa yale yaliyoandikwa, ni nani anaelewa na kumtafuta Mungu? + +Kwa mujibu wa yale yaliyoandikwa, hakuna anayelewa na hakuna anayemtafuta Mungu. + diff --git a/rom/03/19.md b/rom/03/19.md new file mode 100644 index 0000000..687b281 --- /dev/null +++ b/rom/03/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni nani atakayehesabiwa haki kwa matendo ya sheria? + +Hakuna atakayehesabiwa haki kwa matendo ya sheria. + +# Ni kitu gani huja kwa njia ya sheria? + +Ujuzi wa dhambi unakuja kwa njia ya sheria + diff --git a/rom/03/21.md b/rom/03/21.md new file mode 100644 index 0000000..5bd7b42 --- /dev/null +++ b/rom/03/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa ushahidi gani haki pasipo sheria sasa imewekwa wazi? + +Kwa ushahidi wa Sheria na Manabii haki pasipo sheria imefunuliwa. + diff --git a/rom/03/23.md b/rom/03/23.md new file mode 100644 index 0000000..6956550 --- /dev/null +++ b/rom/03/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni jinsi gani mtu huhesabiwa haki mbele za Mungu? + +Mtu huhesabiwa haki mbele za Mungu bure kwa neema kupitia ukombozi ulio katika Kristo Yesu. + diff --git a/rom/03/25.md b/rom/03/25.md new file mode 100644 index 0000000..ffa125c --- /dev/null +++ b/rom/03/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa kusudi gani Mungu alimtoa Kristo Yesu? + +Mungu alimtoa Kristo Yesu kuwa patanisho kwa imani katika damu yake. + +# Mungu alionesha nini kupitia yote yaliyotokea kupitia Yesu Kristo? + +Mungu alionesha kuwa ni yeye peke yake anayemhesabia mtu haki kwa njia ya imani katika Yesu. + diff --git a/rom/03/27.md b/rom/03/27.md new file mode 100644 index 0000000..576cbc6 --- /dev/null +++ b/rom/03/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Matendo ya sheria yana nafasi gani katika kuhesabiwa haki? + +Mtu anahesabiwa haki kwa imani pasipo matendo ya sheria. + diff --git a/rom/03/29.md b/rom/03/29.md new file mode 100644 index 0000000..10f8f39 --- /dev/null +++ b/rom/03/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa jinsi gani Mungu humhesabia haki Myahudi aliyetahiriwa na mtu wa Mataifa asiyetahiriwa? + +Mungu huwahesabia haki wote kwa njia ya imani. + diff --git a/rom/03/31.md b/rom/03/31.md new file mode 100644 index 0000000..3a79ad9 --- /dev/null +++ b/rom/03/31.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Tufanye nini juu ya sheria tukiwa na imani? + +Tutimize sheria kwa imani. + diff --git a/rom/04/01.md b/rom/04/01.md new file mode 100644 index 0000000..0918082 --- /dev/null +++ b/rom/04/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kitu gani kingemfanya Abrahamu ajivune? + +Abrahamu angekuwa na sababu ya kujivuna kama angehesabiwa haki kwa sababu ya matendo yake. + diff --git a/rom/04/04.md b/rom/04/04.md new file mode 100644 index 0000000..e6e187a --- /dev/null +++ b/rom/04/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni aina gani ya watu ambao Mungu huwahesabia haki? + +Mungu huwahesabia haki watu waovu + diff --git a/rom/04/06.md b/rom/04/06.md new file mode 100644 index 0000000..ca8c32f --- /dev/null +++ b/rom/04/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa mujibu wa Daudi, ni kwa njia gani mtu hubarikiwa na Mungu? + +Kwa mujibu wa Daudi, heri ni mtu ambaye dhambi zake zimesamehewa na ambaye dhambi zake hazikuhesabiwa na Bwana. + diff --git a/rom/04/09.md b/rom/04/09.md new file mode 100644 index 0000000..d65c6e3 --- /dev/null +++ b/rom/04/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ilikuwa imani ya Ibrahimu kuhesabiwa kuwa ni haki kabla au baada ya kutahiriwa? + +Imani ya Ibrahimu ilihesabiwa kuwa ni haki kabla ya kutahiriwa. + diff --git a/rom/04/11.md b/rom/04/11.md new file mode 100644 index 0000000..af1f02d --- /dev/null +++ b/rom/04/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ibrahimu ni baba wa makundi gani ya watu? + +Ibrahimu ni baba wa wote wanaoamini, wote wasiotahiriwa na waliotahiriwa. + diff --git a/rom/04/13.md b/rom/04/13.md new file mode 100644 index 0000000..eb507d1 --- /dev/null +++ b/rom/04/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni ahadi gani ilitolewa kwa Abrahamu na kizazi chake kupitia haki ya imani? + +Abrahamu na kizazi chake waliahidiwa kwamba wangekuwa warithi wa dunia. + diff --git a/rom/04/16.md b/rom/04/16.md new file mode 100644 index 0000000..5d98889 --- /dev/null +++ b/rom/04/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa sababu gani ahadi ilitolewa kwa imani? + +Ahadi imetolewa kwa imani ili kwamba iwe ni kwa neema, na hivyo kuwa ni uhakika. + diff --git a/rom/04/18.md b/rom/04/18.md new file mode 100644 index 0000000..3c53603 --- /dev/null +++ b/rom/04/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni mazingira gani ya nje yalifanya iwe vigumu kwa Abrahamu kuamini ahadi ya Mungu kwamba atakuwa baba wa mataifa mengi? + +Mungu alipompa Abrahamu ahadi, Abrahamu alikuwa na umri karibu miaka mia moja na tumbo la Sara lilikuwa haliwezi kuzaa tena. + +# Jinsi gani Abrahamu alipokea ahadi ya Mungu hata kwa mazingira haya ya nje? + +Abrahamu kwa ujasiri alimwamini Mungu na hakusita katika kutoamini. + diff --git a/rom/04/20.md b/rom/04/20.md new file mode 100644 index 0000000..4d1854b --- /dev/null +++ b/rom/04/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jinsi gani Abrahamu alipokea ahadi ya Mungu hata pamoja na mazingira haya ya nje? + +Abrahamu kwa ujasiri alimwamini Mungu na hakusita kuamini. + diff --git a/rom/04/23.md b/rom/04/23.md new file mode 100644 index 0000000..b125c44 --- /dev/null +++ b/rom/04/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Habari za Abrahamu ziliandikwa kwa ajili ya nani? + +Habari za Abrahamu ziliandikwa kwa manufaa yake, na kwa faida yetu. + +# Tunaamini kwamba amefanya nini kwa ajili yetu? + +Tunaamini kuwa Mungu alimfufua Yesu kutoka katika wafu, ambaye aliinuliwa kwa sababu ya dhambi zetu na upatanisho wetu. + diff --git a/rom/05/01.md b/rom/05/01.md new file mode 100644 index 0000000..5085cb7 --- /dev/null +++ b/rom/05/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je waamini wana nini kutokana na kuhesabiwa haki kwa imani? + +Kwa sababau wamehesabiwa haki, waamini wana amani na Mungu kwa njia ya Yesu Kristo. + diff --git a/rom/05/03.md b/rom/05/03.md new file mode 100644 index 0000000..15073fc --- /dev/null +++ b/rom/05/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je ni mambo gani matatu ambayo yanaletwa na mateso? + +Mateso huleta uvumilivu, kukubalika, na ujasiri. + diff --git a/rom/05/08.md b/rom/05/08.md new file mode 100644 index 0000000..0aff026 --- /dev/null +++ b/rom/05/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je ni jinsi gani Mungu hutuhakikishia upendo kwetu? + +Mungu hutuhakikishia upendo kwetu, kwa sababu wakati tulipokuwa bado wenye dhambi, Kristo alikufa kwa ajili yetu. + diff --git a/rom/05/10.md b/rom/05/10.md new file mode 100644 index 0000000..7b7cd01 --- /dev/null +++ b/rom/05/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je ni uhusiano wa namna gani wasio amini wanao pamoja na Mungu kabla hawajapatanishwa na Mungu kwa njia ya Yesu? + +Wasio amini ni maadui wa Mungu kabla hawaja patanishwa na Mungu kwa njia ya Yesu. + diff --git a/rom/05/12.md b/rom/05/12.md new file mode 100644 index 0000000..104c0ca --- /dev/null +++ b/rom/05/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je nini kilitokea kwa sababu ya dhambi ya mtu mmoja? + +Kwa sababu ya dhambi ya mtu mmoja, dhambi iliingia duniani,kifo kiliingia kwa sababu ya dhambi, na kifo kikasambaa kwa watu wote. + diff --git a/rom/05/14.md b/rom/05/14.md new file mode 100644 index 0000000..f118368 --- /dev/null +++ b/rom/05/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je ni mtu gani ambaye kupitia yeye dhambi iliingia duniani. + +Adam alikuwa ni mtu ambaye kupitia yeye dhambi iliingia duniani. + diff --git a/rom/05/16.md b/rom/05/16.md new file mode 100644 index 0000000..d906e7e --- /dev/null +++ b/rom/05/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kilitokea kwa sababu ya dhambi ya Adamu na nini kilitokea kutoka kwa zawadi ya bure ya Mungu? + +Hukumu ya hukumu ilitokana na dhambi ya Adam, lakini haki ilipatikana kutoka kwa zawadi ya bure ya Mungu. + diff --git a/rom/05/18.md b/rom/05/18.md new file mode 100644 index 0000000..c0682d6 --- /dev/null +++ b/rom/05/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kitu gani waatu wengi walifanyiwa kupitia uasi wa Adam, na ni kitu gani watu wengi watafanyiwa kupitia utii wa Kristo? + +Wengi walifanywa kuwa wenye dhambi kupitia uasi wa Adam, na wengi watafanywa kuwa wenye haki kupitia utii wa Kristo. + diff --git a/rom/05/20.md b/rom/05/20.md new file mode 100644 index 0000000..bd30ed8 --- /dev/null +++ b/rom/05/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini sheria iliingia? + +Sheria iliingia ili kwamba makosa liongezeke. + +# Nini kilizidi zaidi kuliko makosa? + +Neema ya Mungu ilizidi zaidi kuliko makosa. + diff --git a/rom/06/01.md b/rom/06/01.md new file mode 100644 index 0000000..b935456 --- /dev/null +++ b/rom/06/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je waamini wanapaswa kuendelea kufanya dhambi ili kwamba neema izidi? + +La hasha! isifanyike hivyo. + +# Watu waliobatizwa ndani ya Kristo walibatizwa katika nini? + +Walibatizwa katika mauti ya Kristo + diff --git a/rom/06/04.md b/rom/06/04.md new file mode 100644 index 0000000..e63794a --- /dev/null +++ b/rom/06/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je waamini wafanye nini ikiwa Kristo alifufuliwa kutoka wafu? + +Waamini wanapswa kutembea katika upya wa maisha. + +# Ni kwa njia zipi mbili waamini wameunganishwa na Kristo kupitia ubatizo? + +Waumini wameunganishwa na Kristo katika mauti na ufufuo. + diff --git a/rom/06/06.md b/rom/06/06.md new file mode 100644 index 0000000..b94fd0b --- /dev/null +++ b/rom/06/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je nini kilifanyika kwetu ili kwamba tusiwe tena watumwa wa dhambi? + +Utu wetu wa zamani ulisulibiwa pamoja na kristo, ili kwamba tusiwe tena watumwa wa dhambi. + diff --git a/rom/06/08.md b/rom/06/08.md new file mode 100644 index 0000000..f055058 --- /dev/null +++ b/rom/06/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Tunajuaje kwamba mauti haimtawali Kristo tena? + +Tunajua hivyo kwa sababu Kristo alifufuliwa kutoka katika wafu. + diff --git a/rom/06/10.md b/rom/06/10.md new file mode 100644 index 0000000..932e2a8 --- /dev/null +++ b/rom/06/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je ni mara ngapi Kristo alikufa kwa dhambi na alikufa kwa ajili ya watu wangapi? + +Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi mara moja kwa ajili ya wote. + +# Ni namna gani mwamini anapaswa kufikiri juu yake mwenyewe kuhusiana na dhambi? + +Mwamini anapaswa kutambua mwenyewe kwamba ni mfu kwa dhambi. + +# Je ni kwa ajili ya nani mwamini huishi maisha yake? + +Mwamini huishi maisha yake kwa ajili ya Mungu. + diff --git a/rom/06/12.md b/rom/06/12.md new file mode 100644 index 0000000..36e09f0 --- /dev/null +++ b/rom/06/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mwamini anapaswa kuvitoa viungo vyake vya mwili kwa nani, na kwa lengo lipi? + +Anapaswa kuvitoa viungo vyake kwa Mungu kama vyombo vya haki. + +# Aliye amini anaishi chini ya nini ambacho pia humwezesha kuitawala dhambi? + +Aliye amini anaishi chini ya neema ambayo humwezesha kuitawaa dhambi. + diff --git a/rom/06/15.md b/rom/06/15.md new file mode 100644 index 0000000..8ba9532 --- /dev/null +++ b/rom/06/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mwisho wa mtu anayeitumikia dhambi ni nini? + +Mwisho wake ni mauti. + diff --git a/rom/06/19.md b/rom/06/19.md new file mode 100644 index 0000000..8ba9532 --- /dev/null +++ b/rom/06/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mwisho wa mtu anayeitumikia dhambi ni nini? + +Mwisho wake ni mauti. + diff --git a/rom/06/22.md b/rom/06/22.md new file mode 100644 index 0000000..104af7f --- /dev/null +++ b/rom/06/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Watumwa wa Mungu wana dhawabu yao kwa ajili gani? + +Watumwa wa Mungu wana dhawabu yao kwa ajili ya utakaso. + +# Mshahara wa dhambi ni nini? + +Mshahara wa dhambi ni mauti + +# Zawadi ya bure ya Mungu ni nini? + +Ni uzima wa milele. + diff --git a/rom/07/01.md b/rom/07/01.md new file mode 100644 index 0000000..75a3bbd --- /dev/null +++ b/rom/07/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa muda gani sheria humtawala mtu? + +Sheria humtawala mtu kwa kipindi chote anachoishi. + diff --git a/rom/07/02.md b/rom/07/02.md new file mode 100644 index 0000000..ffb0dfc --- /dev/null +++ b/rom/07/02.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwa muda gani mwanamke aliyeolewa hufungwa katika sheria ya ndoa? + +Mwanamke aliyeolewa amefungwa na sheria ya mpaka mme wake akifariki. + +# Mwanamke anaweza kufanya nini akisha kuwa huru dhidi ya kifungo cha ndoa? + +Anaweza kuolewa na mwanamme mwingine. + diff --git a/rom/07/04.md b/rom/07/04.md new file mode 100644 index 0000000..86cca28 --- /dev/null +++ b/rom/07/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwa jinsi gani walioamini wamefanywa kuwa wafu kwa sheria? + +Walioamini wamefanywa kuwa wafu kwa sheria kwa njia ya mwili wa Kristo. + +# Baada ya kufanywa kuwa wafu kwa sheria, walioamini wanaweza kufanya nini? + +Baada ya kufanywa wafu kwa sheria, Walioamini wanaweza kuunganishwa na Kristo. + diff --git a/rom/07/07.md b/rom/07/07.md new file mode 100644 index 0000000..d218919 --- /dev/null +++ b/rom/07/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni jambo gani ambalo sheria hufanya? + +Sheria hufanya dhambi ijulikane. + +# Je sheria ni dhambi au takatifu? + +Sheria ni takatifu, na amri ni takatifu, ya haki, na njema. + diff --git a/rom/07/11.md b/rom/07/11.md new file mode 100644 index 0000000..f138305 --- /dev/null +++ b/rom/07/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je sheria ni takatifu? + +Ndiyo, sheria ni takatifu, na amri ni takatifu, ya haki na nzuri. + diff --git a/rom/07/13.md b/rom/07/13.md new file mode 100644 index 0000000..22f33c6 --- /dev/null +++ b/rom/07/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anasema dhambi inafanya nini kwake? + +Paulo anasema kwamba, dhambi kupitia sheria, inaleta mauti kwake. + diff --git a/rom/07/15.md b/rom/07/15.md new file mode 100644 index 0000000..7c59ba8 --- /dev/null +++ b/rom/07/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini kinamfanya Paulo asikubaliane na sheria ya kwamba ni njema? + +Ni pale Paulo anafanya kile ambacho hataki kukifanya, ndipo hukubaliana ya kwamba sheria ni njema. + diff --git a/rom/07/17.md b/rom/07/17.md new file mode 100644 index 0000000..ee9d282 --- /dev/null +++ b/rom/07/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni nani afanyae mambo ambayo Paulo anafanya, lakini hapendi kuyafanya? + +Dhambi iishiyo ndani ya Paulo hufanya mambo ambayo hapendi kuyafanya. + +# Ni kitu gani kinaishi ndani ya mwili wa Paulo? + +Hakuna kilicho chema kinaishi ndani ya mwili wa Paulo. + diff --git a/rom/07/19.md b/rom/07/19.md new file mode 100644 index 0000000..cf7518e --- /dev/null +++ b/rom/07/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kanuni ipi ambayo Paulo anaona inatenda kazi ndani yake? + +Paulo anaona ya kwamba anatamani kufanya mema, lakini uovu upo ndani yake. + diff --git a/rom/07/22.md b/rom/07/22.md new file mode 100644 index 0000000..941950c --- /dev/null +++ b/rom/07/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Utu wa ndani wa Paulo una mtazamo gani juu ya sheria ya Mungu? + +Utu wa ndani wa Paulo unafurahia katika sheria ya Mungu. + +# Ni kanuni gani Paulo anaiona katika viungo vyake vya mwili? + +Paulo anaona katika viungo vyake vya mwili kuwa kanuni ya dhambi inamlemea. + diff --git a/rom/07/24.md b/rom/07/24.md new file mode 100644 index 0000000..08d02b0 --- /dev/null +++ b/rom/07/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nani atakayemwokoa Paulo kutoka katika mwili wake wa mauti? + +Paulo anamshukuru Mungu kwa ajili ukombozi wake kupitia Yesu Kristo. + diff --git a/rom/08/01.md b/rom/08/01.md new file mode 100644 index 0000000..cdb38e3 --- /dev/null +++ b/rom/08/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kitu gani kimemweka Paulo kuwa huru dhidi ya dhambi na mauti? + +Roho wa uzima aliye katika Kristo yesu ndiye alimweka Paulo kuwa huru dhidi ya dhambi na mauti. + diff --git a/rom/08/03.md b/rom/08/03.md new file mode 100644 index 0000000..f9ba3a4 --- /dev/null +++ b/rom/08/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwanini sheria haikuwa na uwezo wa kuwaweka watu huru kutokana na kanuni ya dhambi na kifo? + +Sheria haiukuwa na uwezo kwa sababu ilikuwa dhaifu katika mwili. + +# Wote wanaoenenda kulingana na Roho hufuata nini? + +Huwa makini na kufuata mambo ya Roho. + diff --git a/rom/08/06.md b/rom/08/06.md new file mode 100644 index 0000000..36b0372 --- /dev/null +++ b/rom/08/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Uhusiano wa mwili na Mungu na sheria ni nini? + +Mwili hukaidi mambo ya Mungu na hautii sheria. + diff --git a/rom/08/09.md b/rom/08/09.md new file mode 100644 index 0000000..86974c3 --- /dev/null +++ b/rom/08/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kitu gani watu ambao sio wa Mungu wanakikosa? + +Watu ambao sio wa Mungu hawana Roho wa Kristo + diff --git a/rom/08/11.md b/rom/08/11.md new file mode 100644 index 0000000..c3ccf4f --- /dev/null +++ b/rom/08/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa jinsi gani Mungu huupa uhai mwili wa mauti wa aliyeamini? + +Mungu huupa uhai mwili wa mauti wa aliyeamini kwa njia ya Roho, anayeishi ndani ya muumini. + diff --git a/rom/08/14.md b/rom/08/14.md new file mode 100644 index 0000000..a9f0f9d --- /dev/null +++ b/rom/08/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni jinsi gani wana wa Mungu wanaongozwa kuishi? + +Wana wa Mungu wanaongozwa na Roho wa Mungu. + diff --git a/rom/08/16.md b/rom/08/16.md new file mode 100644 index 0000000..be60775 --- /dev/null +++ b/rom/08/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kama watoto wa Mungu, ni faida gani nyingine ambazo walioamini hupokea katika familia ya Mungu? + +Katika familia ya Mungu, walio amini pia ni warithi pamoja na Kristo. + diff --git a/rom/08/18.md b/rom/08/18.md new file mode 100644 index 0000000..7b207f6 --- /dev/null +++ b/rom/08/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwanini walio amini wakati huu wavumilie mateso ya wakati huu? + +Ili kwamba walio amini watukuzwe pamoja na Kristo wakati wana wa Mungu watakapodhihiriswa. + diff --git a/rom/08/20.md b/rom/08/20.md new file mode 100644 index 0000000..73ccfd5 --- /dev/null +++ b/rom/08/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa kipindi hiki, uumbaji upo chini ya utumwa wa namna gani? + +Uumbaji upo katika utumwa wa uharibifu + +# Uumbaji utaokolewa katika nini? + +Uumbaji utaokolewa katika uhuru wa utukufu wa wana wa Mungu. + diff --git a/rom/08/23.md b/rom/08/23.md new file mode 100644 index 0000000..eb81937 --- /dev/null +++ b/rom/08/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jinsi gani walioamini watangoja ukombozi wa mwili? + +Walioamini wanapaswa kuongoja ukombozi wa mwili kwa kutumaini. + diff --git a/rom/08/26.md b/rom/08/26.md new file mode 100644 index 0000000..8b93996 --- /dev/null +++ b/rom/08/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nini Roho mwenyewe hufanya kuwasaidia watakatifu udhaifu wao? + +Roho mwenyewe huomba kwa kuugua kwa niaba ya watakatifu kulingana na mapenzi ya Mungu. + diff --git a/rom/08/28.md b/rom/08/28.md new file mode 100644 index 0000000..a26e968 --- /dev/null +++ b/rom/08/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni jinsi gani Mungu hufanya mambo yote pamoja na wale wampendao Mungu na walioitwa kulingana na kusudi lake? + +Mungu hufanya mambo yote pamoja kwa wema kwa ajili ya wote wampendao Mungu na walioitwa kulingana na kusudi lake. + diff --git a/rom/08/31.md b/rom/08/31.md new file mode 100644 index 0000000..80baea7 --- /dev/null +++ b/rom/08/31.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wali amini wanajuaje kuwa Mungu atawapa vitu vyote bure? + +Kwa sababu Mungu alimtoa bure mwana wake wa pekee kwa niaba ya wote walio amini. + diff --git a/rom/08/33.md b/rom/08/33.md new file mode 100644 index 0000000..7df5db9 --- /dev/null +++ b/rom/08/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yesu Kristo anafanya nini katika mkono wa kuume wa Mungu? + +Kristo Yesu anawaombea watakatifu katika mkono wa kuume wa Mungu. + diff --git a/rom/08/37.md b/rom/08/37.md new file mode 100644 index 0000000..b7fb586 --- /dev/null +++ b/rom/08/37.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jinsi gani walioamini ni zaidi ya washindi juu ya dhiki, mateso, au hata kifo? + +Walioamini ni zaidi ya washindi kupitia yeye aliyewapenda. + diff --git a/rom/09/01.md b/rom/09/01.md new file mode 100644 index 0000000..ec5c336 --- /dev/null +++ b/rom/09/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwanini Paulo alikuwa na masikitiko makubwa pamoja na maumivu yasiyo koma katika moyo wake? + +Paulo alikuwa na masikitiko pamoja na maumivu kwa ajili ya ndugu zake kwa mujibu wa mwili, waisrael. + diff --git a/rom/09/03.md b/rom/09/03.md new file mode 100644 index 0000000..7a4d83a --- /dev/null +++ b/rom/09/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Waisraeli wana kitu gani katika historia yao? + +Waisraeli wameasiliwa, wana utukufu, wana agano, wana sheria, wana ibada ya Mungu, na ahadi. + diff --git a/rom/09/06.md b/rom/09/06.md new file mode 100644 index 0000000..ecfc46f --- /dev/null +++ b/rom/09/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kitu gani Paulo anasema si cha kweli kuhusu kila mmoja katika Israel, na wote ambao ni uzao wa Abrahamu? + +Paulo anasema siyo kila mtu katika Israeli ni Muisraeli halisi na siyo uzao wote wa Abrahamu ni watoto wake halisi. + diff --git a/rom/09/08.md b/rom/09/08.md new file mode 100644 index 0000000..f6a1389 --- /dev/null +++ b/rom/09/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je ni watu gani wasiohesabika kama wana wa Mungu? + +Wana wa mwili hawahesabiki kama watoto wa Mungu. + +# Nii akina nani wanahesabika kama watoto wa Mungu? + +Wana wa ahadi wanahesabika kama watoto wa Mungu. + diff --git a/rom/09/10.md b/rom/09/10.md new file mode 100644 index 0000000..e535139 --- /dev/null +++ b/rom/09/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni sababu gani iliyo nyuma ya kauli iliyotolewa kwa Rebeka, "Mkubwa atamtumikia mdogo," kabla ya watoto wake hawajazaliwa? + +Kusudi la Mungu kuli ngana na uchaguzi ilikuwa ni sababu ya kauli iliyotolewa kwa Rebeca. + diff --git a/rom/09/14.md b/rom/09/14.md new file mode 100644 index 0000000..ab0ab9c --- /dev/null +++ b/rom/09/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini ilikuwa sababu ya zawadi za Mungu za rehema na huruma? + +Sababu iliyokuwa nyuma ya zawadi za Mungu ambazo ni rehema na huruma ilikuwa ni uchaguzi wa Mungu. + diff --git a/rom/09/19.md b/rom/09/19.md new file mode 100644 index 0000000..0b1e2be --- /dev/null +++ b/rom/09/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Majibu ya Paulo ni yapi dhidi ya wote ambao wangehoji haki ya mungu kwa sababu anaona makosa kwa wanadamu? + +Paulo alisema, "Ninyi ni akina nani mpaka mumhoji Mungu?" + diff --git a/rom/09/22.md b/rom/09/22.md new file mode 100644 index 0000000..1d47b4c --- /dev/null +++ b/rom/09/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je Mungu alifanya nini kwa wale walioandaliwa kwa ajili ya uharibifu? + +Mungu aliwavumilia kwa subira kuu wale walioandaliwa kwa ajili ya uharibifu. + diff --git a/rom/09/27.md b/rom/09/27.md new file mode 100644 index 0000000..db0bf6c --- /dev/null +++ b/rom/09/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je ni wangapi wataokolewa kutoka kwa wana wote wa Israeli? + +Kutoka kwa wana wote wa Israeli, aliyesalia ataokolewa. + diff --git a/rom/09/30.md b/rom/09/30.md new file mode 100644 index 0000000..1d6819d --- /dev/null +++ b/rom/09/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa jinsi gani watu wa mataifa ambao walikuwa hawatafuti haki, waliipata? + +Watu wa mataifa waliipata haki kutokana na imani + diff --git a/rom/09/32.md b/rom/09/32.md new file mode 100644 index 0000000..5bf995d --- /dev/null +++ b/rom/09/32.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini Israeli ingawa walitafuta sheria ya haki, hawakuifikia? + +Israeli hawakuifikia haki kwa sababu waliitafuta kwa njia ya matendo, na si kwa imani + +# Je Waisrael walijikwaa kwa kitu gani? + +Waisrael walijikwaa katika jiwe la kujikwaa na katika mwamba wa makosa. + diff --git a/rom/10/01.md b/rom/10/01.md new file mode 100644 index 0000000..e3b7a4c --- /dev/null +++ b/rom/10/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je haja ya Paulo kwa ndugu zake Waisrael ni nini? + +Haja ya Paulo kwa Waisraeli ni wokovu. + +# Waisraeli wanalenga kujijengea nini? + +Waisraeli wanataka kujijengea haki yao wenyewe. + diff --git a/rom/10/04.md b/rom/10/04.md new file mode 100644 index 0000000..a9b3fd0 --- /dev/null +++ b/rom/10/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je Kristo amefanya nini kwa habari ya sheria? + +Kristo ni utimilifu wa sheria kwa ajili ya haki kwa kila mtu aaminiye. + diff --git a/rom/10/08.md b/rom/10/08.md new file mode 100644 index 0000000..c196087 --- /dev/null +++ b/rom/10/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je neno la imani ambalo Paulo anahubiri liko wapi? + +Neno la imani liko karibu, katika kinywa na katika moyo. + diff --git a/rom/10/11.md b/rom/10/11.md new file mode 100644 index 0000000..f8ce534 --- /dev/null +++ b/rom/10/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kila mtu afanyae nini ataokolewa? + +Kila mtu aliitiaye jina la Bwana ataokolewa. + diff --git a/rom/10/14.md b/rom/10/14.md new file mode 100644 index 0000000..6045fc7 --- /dev/null +++ b/rom/10/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je Paulo anasema ni nini mfululizo wa hatua ambazo zinaleta habari njema kwa mtu, ili aweze kuliitia jina la Bwana? + +Paulo anasema kuwa, kwanza muhubiri anapelekwa, na habari njema zinasikika na kuaminiwa, ili kwamba mtu aweze kuliitia jina la Bwana. + diff --git a/rom/10/16.md b/rom/10/16.md new file mode 100644 index 0000000..2f4dbf1 --- /dev/null +++ b/rom/10/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kitu gani ambacho kwa kukisikia huleta imani? + +Neno la Kristo huleta imani + diff --git a/rom/10/18.md b/rom/10/18.md new file mode 100644 index 0000000..df12b0f --- /dev/null +++ b/rom/10/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je Israeli alisikia injili? + +Ndiyo, Israeli alisikia injili. + diff --git a/rom/10/19.md b/rom/10/19.md new file mode 100644 index 0000000..543867d --- /dev/null +++ b/rom/10/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa namna gani Mungu alisema atachochea wivu kwa Israeli? + +Mungu alisema angeweza kuchochea wivu kwa Israeli kwa kupatikana kwa wale ambao hawakumuomba. + diff --git a/rom/10/20.md b/rom/10/20.md new file mode 100644 index 0000000..6636d1d --- /dev/null +++ b/rom/10/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mungu alipata nini alipowaita Israeli? + +Mungu alipomwita Isaraeli, alikutana na watu wasiotii. + diff --git a/rom/11/01.md b/rom/11/01.md new file mode 100644 index 0000000..4b61a04 --- /dev/null +++ b/rom/11/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je Mungu aliwakataa Waisraeli? + +Hapana + diff --git a/rom/11/04.md b/rom/11/04.md new file mode 100644 index 0000000..39effb3 --- /dev/null +++ b/rom/11/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je Paulo anasema kuna waaminifu katika Waisraeli wamebaki, na kama wapo, ni kwa jinsi gani wamesalia? + +Paulo anasema kuna masalia waliobakizwa kwa uchaguzi wa neema. + diff --git a/rom/11/06.md b/rom/11/06.md new file mode 100644 index 0000000..fd28456 --- /dev/null +++ b/rom/11/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni akina nani katika Israeli walipata wokovu, na nini kilitokea kwa wengine? + +Waliochaguliwa katika Israeli walipata wokovu, na wengine walipewa ugumu wa moyo. + diff --git a/rom/11/11.md b/rom/11/11.md new file mode 100644 index 0000000..a593a69 --- /dev/null +++ b/rom/11/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni jambo gani jema litatokea ikiwa Waisraeli wakikataa kuipokea injili? + +Wokovu utakuja juu ya Mataifa. + +# Ni madhara gani yatatokea baada ya Mataifa kupata wokovu wa Waisraeli? + +Wokovu wa Mataifa utawafanya Waisraeli wawe na wivi. + diff --git a/rom/11/13.md b/rom/11/13.md new file mode 100644 index 0000000..989718d --- /dev/null +++ b/rom/11/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwenye maelezo ya Paulo juu ya mti wa mzeituni na matawi ya porini, nani ni mzizi na nani ni matawi ya porini? + +Mzizi ni Israeli, na matawi ya porini ni Mataifa. + diff --git a/rom/11/17.md b/rom/11/17.md new file mode 100644 index 0000000..989718d --- /dev/null +++ b/rom/11/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwenye maelezo ya Paulo juu ya mti wa mzeituni na matawi ya porini, nani ni mzizi na nani ni matawi ya porini? + +Mzizi ni Israeli, na matawi ya porini ni Mataifa. + diff --git a/rom/11/19.md b/rom/11/19.md new file mode 100644 index 0000000..65b91c1 --- /dev/null +++ b/rom/11/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni onyo gani Paulo anayapa matawi yasiyo ya asili? + +Paulo anaonya kwamba kama Mungu hakuyabakiza matawi ya asili, vivyo hivyo hatayaacha matawi yasiyo ya asili. + diff --git a/rom/11/22.md b/rom/11/22.md new file mode 100644 index 0000000..5e36032 --- /dev/null +++ b/rom/11/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni onyo gani Paulo anawapa matawi ya porini. + +Paulo anayaonya matawi ya porini kuwa kama Mungu hakuwaonea huruma matawi ya asili pia hatawaacha matawi ya porini ikiwa hawataamini. + diff --git a/rom/11/23.md b/rom/11/23.md new file mode 100644 index 0000000..7e35a95 --- /dev/null +++ b/rom/11/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mungu atafanya nini kwa matawi ya asili kama yasipoendelea katika kutokuamini kwao? + +Mungu atawapandikizia kwenye mti wa mzeitumi wenye matawi ya asili ikiwa hawataendelea katika kutokuamini kwao. + diff --git a/rom/11/25.md b/rom/11/25.md new file mode 100644 index 0000000..dbe2441 --- /dev/null +++ b/rom/11/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa mda gani ubaguzi mgumu wa Israeli utadumu? + +Ubaguzi mgumu wa Israeli utaendelea mpaka ukamilifu wa Mataifa utakapokuja. + diff --git a/rom/11/28.md b/rom/11/28.md new file mode 100644 index 0000000..882c90d --- /dev/null +++ b/rom/11/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Pamoja na kuasi kwao, kwa nini Waisraeli waliendelea kupendwa na Mungu? + +Waisraeli waliendelea kupendwa na Mungu kwa sababu ya mababu, na kwa sababu wito wa Mungu haubadiliki. + diff --git a/rom/11/30.md b/rom/11/30.md new file mode 100644 index 0000000..5668f7e --- /dev/null +++ b/rom/11/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni nini ambacho wote Wayahudi na Mataifa walionyeshwa wafanye na Mungu? + +Wote Wayahudi na Mataifa walionyeshwa + +# Ni nini Mungu aliwaonyesha wale wasiomtii? + +Mungu aliwaonyesha rehema kwa sasiomtii, wote wWayahudi na Mataifa. + diff --git a/rom/11/33.md b/rom/11/33.md new file mode 100644 index 0000000..8473c0e --- /dev/null +++ b/rom/11/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nani anaweza kutafuta hukumu ya Mungu na kumpa ushauri? + +Hamna mtu anayeweza kutafuta hukumu ya Mungu na kumpa ushauri. + diff --git a/rom/11/35.md b/rom/11/35.md new file mode 100644 index 0000000..e506425 --- /dev/null +++ b/rom/11/35.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa njia zipi tatu kwamba vitu vyote vina ushirika na Mungu? + +Vitu vyote hutoka kwa Mungu, katika Mungu, na kwa ajili ya Mungu. + diff --git a/rom/12/01.md b/rom/12/01.md new file mode 100644 index 0000000..16244e1 --- /dev/null +++ b/rom/12/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ipi ni huduma ya kiroho ya Mungu kwa mwamini? + +Huduma ya kiroho ya mwamini ni kujitia mwenyewe kuwa dhabihu iliyohai kwa Mungu. + +# Akili iliyogeuzwa inamsaidia aliye amini kufanya nini? + +Akili iliyogeuzwa inamsaidia aliye amini kujua kilicho chema, kinachokubalika, na mapenzi ya Mungu yaliyo kamili. + diff --git a/rom/12/03.md b/rom/12/03.md new file mode 100644 index 0000000..43d461d --- /dev/null +++ b/rom/12/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa jinsi gani mwamini hapaswi kufikiri juu yake mwenyewe? + +Mwamini hapaswi kufikiri zaidi sana kuliko anavyopaswa kufikiri. + diff --git a/rom/12/04.md b/rom/12/04.md new file mode 100644 index 0000000..2efde36 --- /dev/null +++ b/rom/12/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa jinsi gani waamini wengi wanahusiana wenyewe kwa wenyewe ndani ya Kristo. + +Waamini wengi ni mwili mmoja ndani ya Kristo na mmoja mmoja kwa kila mmoja. + diff --git a/rom/12/06.md b/rom/12/06.md new file mode 100644 index 0000000..5599d2a --- /dev/null +++ b/rom/12/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kitu gani ambacho kila mwamini anatakiwa kufanya kutokana na kipawa alichopewa na Mungu? + +Kila mwamini anapaswa kufanyia kazi kipawa alichopewa kwa kadri ya kiwango cha imani yake. + diff --git a/rom/12/09.md b/rom/12/09.md new file mode 100644 index 0000000..5f97888 --- /dev/null +++ b/rom/12/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni jinsi gani walio amini wanapaswa kuchukuliana? + +Walio amini wanapaswa kupendana na kuheshimiana. + diff --git a/rom/12/11.md b/rom/12/11.md new file mode 100644 index 0000000..8e4dc20 --- /dev/null +++ b/rom/12/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni jinsi gani walio amini wanapaswa kuhusika katika mahitaji ya watakatifu? + +walio amini wanapaswa kushiriki katika mahitaji ya watakatifu. + diff --git a/rom/12/14.md b/rom/12/14.md new file mode 100644 index 0000000..f19f3a9 --- /dev/null +++ b/rom/12/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa jinsi gani waamini wanapaswa kufanya juu ya wale wanaowatesa? + +Waamini wanatakiwa kuwabariki na sio kuwalaani wale wanaowatesa. + diff --git a/rom/12/17.md b/rom/12/17.md new file mode 100644 index 0000000..afcd10e --- /dev/null +++ b/rom/12/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Walio amini wanapaswa kutafuta nini kwa hali na mali na watu wote? + +Walio amini wanapaswa kutafuta amani na watu wote. + diff --git a/rom/12/19.md b/rom/12/19.md new file mode 100644 index 0000000..cae2602 --- /dev/null +++ b/rom/12/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini waamini waliambiwa wasijilipize kisasi wenyewe? + +Waamini hawatakiwi kujilipiza wenyewe maana kisasi ni cha Bwana. + +# Ni kwa jinsi gani walio amini wanapaswa kuushinda uovu? + +Wanapaswa kuushinda uovu kwa wema. + diff --git a/rom/13/01.md b/rom/13/01.md new file mode 100644 index 0000000..79382e7 --- /dev/null +++ b/rom/13/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je ni kutoka wapi wenye mamlaka ya duniani hupata mamlaka? + +Mamlaka ya duniani yanatolewa na Mungu, na wanapata mamlaka kutoka kwa Mungu. + diff --git a/rom/13/03.md b/rom/13/03.md new file mode 100644 index 0000000..e65f8c3 --- /dev/null +++ b/rom/13/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je Paulo anawambia nini waamini wafanye ili wasiweze kuogopa mamlaka inayotawala? + +Paulo anawambia waamini wafanye mema ili wasiogope mamlaka itawalayo. + diff --git a/rom/13/06.md b/rom/13/06.md new file mode 100644 index 0000000..7538d89 --- /dev/null +++ b/rom/13/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je ni mamlaka gani ambayo Mungu ameitoa kwa watawala kuhusiana na fedha? + +Mungu amewapatia watawala mamlaka kuhitaji malipo ya kodi. + diff --git a/rom/13/08.md b/rom/13/08.md new file mode 100644 index 0000000..29fe385 --- /dev/null +++ b/rom/13/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je ni jambo gani moja ambalo Paulo anasema lazima wadaiwe na wengine? + +Paulo anasema waamini lazima wadaiwe upendo na waamini wengine. + +# Je ni kwa namna gani waamini wanatimiliza sheria? + +Mwamini hutimiza sheria kwa kumpenda jirani yake. + diff --git a/rom/13/11.md b/rom/13/11.md new file mode 100644 index 0000000..026b22c --- /dev/null +++ b/rom/13/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kitu ambacho Paulo anasema walio amini wanapaswa kukiweka kando, na kuvaa kitu gani? + +Waweke kando matendo ya giza, na kuvaa silaha za nuruni + diff --git a/rom/13/13.md b/rom/13/13.md new file mode 100644 index 0000000..8f85e3c --- /dev/null +++ b/rom/13/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je ni katika shuguli gani waamini hawapaswi kutembea? + +Waamini hawapaswi kutembea katika sherehe za kidunia, ulevi, zinaa, Tamaa izidiyo, ugomvi, au wivu. + diff --git a/rom/14/01.md b/rom/14/01.md new file mode 100644 index 0000000..5d26f05 --- /dev/null +++ b/rom/14/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni chakula cha aina gani ambacho wenye imani imara hula, na mtu mwenye imani haba hula? + +Mtu aliye imara katika imani anakula kila kitu, lakini mtu asiye na imani imara anakula mboga za majani tu. + diff --git a/rom/14/03.md b/rom/14/03.md new file mode 100644 index 0000000..1808a72 --- /dev/null +++ b/rom/14/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je ni mtazamo gani ambao waamini wanapaswa kuwa nao juu ya wale wanaotofautiana katika kile wanachokula? + +Waamini wanaotofautioana juu ya kile wanachokula hawapaswi kudharau au kuhukumiana. + +# Je ni nani amempokea yule alaye chochote na yule ambaye anakula mboga za majani tu? + +Mungu amewapokea wote yule anayekula chochotr na yule anayekula mboga za majani pekeyake. + diff --git a/rom/14/05.md b/rom/14/05.md new file mode 100644 index 0000000..25b4c56 --- /dev/null +++ b/rom/14/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je ni mambo gani mengine ambayo Paulo anayataja kama mambo ambayo ni ya binafsi? + +Paulo anataja mambo kama vile siku moja kuwa ni bora kuliko siku zingine au anasema siku zote zina uthamani ulio sawa + diff --git a/rom/14/07.md b/rom/14/07.md new file mode 100644 index 0000000..ecc45e9 --- /dev/null +++ b/rom/14/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je ni kwa ajili gani waamini wanaisha na kufa? + +Waamini wanaishi na kufa kwa ajili ya Bwana. + diff --git a/rom/14/10.md b/rom/14/10.md new file mode 100644 index 0000000..744e1fa --- /dev/null +++ b/rom/14/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je ni mahali gani ambapo waamini wote mwishowe watasimama? + +Waamini wote mwishowe watasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu, wakitoa hesabu yao wenyewe kwa Mungu. + diff --git a/rom/14/12.md b/rom/14/12.md new file mode 100644 index 0000000..8a80e44 --- /dev/null +++ b/rom/14/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je ni mahali gani ambapo mwishowe waamini wote watasimama, na watakuwa wanafanya nini pale? + +Waamini wote mwishowe watasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu, wakitoa hesabu yao wenyewe kwa Mungu. + diff --git a/rom/14/14.md b/rom/14/14.md new file mode 100644 index 0000000..1672cfe --- /dev/null +++ b/rom/14/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo ameshawishika katika Bwana Yesu ya kuwa ni chakula gani ambacho si safi? + +Paulo ameshawishika kuwa hakuna chakula ambacho si safi. + diff --git a/rom/14/16.md b/rom/14/16.md new file mode 100644 index 0000000..984a687 --- /dev/null +++ b/rom/14/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ufalme wa mbinguni ni kwa ajili ya nini? + +Ufalme wa mbinguni ni kwa ajili ya haki, amani, na furaha katika Roho Mtakatifu. + diff --git a/rom/14/20.md b/rom/14/20.md new file mode 100644 index 0000000..fa80763 --- /dev/null +++ b/rom/14/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anasema mtu afanye nini mbele ya mwenzake asiyekula nyama au kunywa mvinyo? + +Paulo anasema ni vyema ndugu huyo asile nyama wala kunywa mvinyo mbele ya ndugu huyo. + diff --git a/rom/14/22.md b/rom/14/22.md new file mode 100644 index 0000000..4f5a909 --- /dev/null +++ b/rom/14/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini matokeo ya mtu afanyae mambo pasipo imani? + +Matendo yote yasiyotokana na imani ni dhambi. + diff --git a/rom/15/01.md b/rom/15/01.md new file mode 100644 index 0000000..893ed1b --- /dev/null +++ b/rom/15/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni mwenendo upi ambao waumini wenye imani imara wauonyeshe mbele ya waumini wenye imani dhaifu? + +Waumini wenye imani imara wanaweza kuchukuliana na wenye imani dhaifu ili kujengana wao kwa wao. + diff --git a/rom/15/03.md b/rom/15/03.md new file mode 100644 index 0000000..0be4c4e --- /dev/null +++ b/rom/15/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anatumia mfano wa nani ambaye hakuishi kwa kujipendeza mwenyewe, bali alitumikia wengine? + +Kristo hakuishi maisha ya kujipendeza mwenyewe , bali aliwatumikia wengine. + diff --git a/rom/15/05.md b/rom/15/05.md new file mode 100644 index 0000000..32a2f2c --- /dev/null +++ b/rom/15/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anatamani kuona nini kwa waumini kupitia uvumilivu wao na kutiana moyo kwa kila mmoja wao? + +Paulo anatamani kwamba waumini wawe na nia moja kwa kila mmoja. + diff --git a/rom/15/10.md b/rom/15/10.md new file mode 100644 index 0000000..06f60a5 --- /dev/null +++ b/rom/15/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maandiko yanasema nini kuhusu mataifa watakachofanya kwasababu ya rehema ya Mungu kwao? + +Maandiko yanasema mataifa watafurahi na kusifu kwa Bwana, wakiwa na tumaini kwake. + diff --git a/rom/15/13.md b/rom/15/13.md new file mode 100644 index 0000000..a1a0a35 --- /dev/null +++ b/rom/15/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anasema nini kwa waumini watakachofanya kwa nguvu za Roho Mtakatifu? + +Waumini watajazwa na furaha na amani, na watabaki katika tumaini. + diff --git a/rom/15/15.md b/rom/15/15.md new file mode 100644 index 0000000..0c098bc --- /dev/null +++ b/rom/15/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mungu alimpa Paulo kipawa gani, ambacho pia ndio utumishi wake? + +Utumishi wa Paulo ni kuwa mtumishi wa Kristo Yesu aliyetumwa kwa watu wa Mataifa. + diff --git a/rom/15/17.md b/rom/15/17.md new file mode 100644 index 0000000..1675a9b --- /dev/null +++ b/rom/15/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa njia zipi Kristo amemtumia Paulo kuleta utii kwa watu wa Mataifa? + +Kristo amemtumia Paulo kwa Neno na matendo, kwa nguvu ya ishara na miujiza, na kwa nguvu ya Roho Mtakatifu. + diff --git a/rom/15/20.md b/rom/15/20.md new file mode 100644 index 0000000..9b599c9 --- /dev/null +++ b/rom/15/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mahali gani Paulo anatamani kuitangaza injili? + +Paulo anatamani kuitangaza injili mahali Kristo hajajulikana jina lake. + diff --git a/rom/15/24.md b/rom/15/24.md new file mode 100644 index 0000000..daf778d --- /dev/null +++ b/rom/15/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo anatazamia kwenda wapi ambapo pia itamruhusu kwenda Rumi? + +Paulo anataraji kwenda Hispania ambako pia patamfanya kwenda Rumi. + +# Kwa nini Paulo anaenda Yerusalemu? + +Paulo anaenda Yerusalemu kuwatumikia walio amini huko. + diff --git a/rom/15/26.md b/rom/15/26.md new file mode 100644 index 0000000..b137d83 --- /dev/null +++ b/rom/15/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini Paulo anasema ya kuwa waumini wa Mataifa wanawadai vitu waumini wa Kiyahudi? + +Kwa sababu waumini wa Mataifa wameshiriki katika vitu vya rohoni vya waumini wa Kiyahudi. + diff --git a/rom/15/30.md b/rom/15/30.md new file mode 100644 index 0000000..8957d0b --- /dev/null +++ b/rom/15/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo anatarajia kupelekwa kwa nani? + +Paulo anatamani kupelekwa kwa waasi wote wasiotii kule Yudea. + diff --git a/rom/16/01.md b/rom/16/01.md new file mode 100644 index 0000000..9dc42f1 --- /dev/null +++ b/rom/16/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Dada Fibi alifanyika nini kwa Paulo? + +Dada Fibi alikuwa mhudumu wa Paulo na kwa wengine wengi? + diff --git a/rom/16/03.md b/rom/16/03.md new file mode 100644 index 0000000..53424e6 --- /dev/null +++ b/rom/16/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Priska na Akila walimfanyia nini Paulo hapo awali? + +Walihatarisha maisha yao kwa ajili ya Paulo + +# Ni sehemu gani walio amini kule Rumi wanakutana? + +Wanakutana nyumbani mwa Priska na Akila. + diff --git a/rom/16/06.md b/rom/16/06.md new file mode 100644 index 0000000..f09fafb --- /dev/null +++ b/rom/16/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni hali gani ambayo Androniko na Yunia walishiriki pamoja na Paulo hapo zamani? + +Walikuwa wafungwa pamoja na Paulo + diff --git a/rom/16/15.md b/rom/16/15.md new file mode 100644 index 0000000..38634f5 --- /dev/null +++ b/rom/16/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Walio amini wanasalimianaje? + +Kwa busu takatifu + diff --git a/rom/16/17.md b/rom/16/17.md new file mode 100644 index 0000000..a3b0bb5 --- /dev/null +++ b/rom/16/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Baadhi yao wanafanya nini ambacho husababisha mgawanyiko na vipingamizi? + +Wengine wanaenenda kinyume na mafundisho ya waliyojifunza, wakidanganya mioyo ya wasio na hatia. + +# Paulo anawaambia nini cha kufanya kwa wale wanaosababisha mgawangiko na vipingamizi? + +Paulo anawaambia waumini kugeuka kutoka kwao wanaosababisha mgawanyiko na vipingamizi. + diff --git a/rom/16/19.md b/rom/16/19.md new file mode 100644 index 0000000..dab48df --- /dev/null +++ b/rom/16/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paulo anawataka waumini wawe na mtazamo gani juu ya mema na maovu? + +Paulo anawataka waumini wawe na hekima kwa mema na kutokuwa na hatia kwa uovu. + +# Je Mungu wa amani anaenda kufanya nini hivi karibuni? + +Mungu wa amani atamkanyaga Shetani chini ya miguu ya walio amini. + diff --git a/rom/16/21.md b/rom/16/21.md new file mode 100644 index 0000000..5e39dfa --- /dev/null +++ b/rom/16/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nani kweli aliyeandika waraka huu? + +Tertio ndiye aliyeandika waraka huu. + diff --git a/rom/16/23.md b/rom/16/23.md new file mode 100644 index 0000000..cf630ff --- /dev/null +++ b/rom/16/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kazi ya muumini Erasto ilikuwa nini? + +Erasto alikuwa mtunza hazina wa Mji. + diff --git a/rom/16/25.md b/rom/16/25.md new file mode 100644 index 0000000..0d19a84 --- /dev/null +++ b/rom/16/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ufunuo upi wa siri iliyokuwa imefichwa muda mrefu ambayo Paulo anaihubiri? + +Paulo sasa anaihubiri siri ya ufunuo wa injili wa Yesu Kristo. + +# Paulo anahubiri kwa lengo gani? + +Paulo anahubiri ili kuleta utii kati ya watu wa Mataifa. + diff --git a/tit/01/01.md b/tit/01/01.md new file mode 100644 index 0000000..dccf69c --- /dev/null +++ b/tit/01/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Paulo alikuwa na kusudi gani katika huduma yake kwa Mungu? + +Kusudi lake lilikuwa kuanzisha na kueneza imani ya wateule wa Mungu na kueneza elimu na maarifa ya kweli. + +# Mungu aliwaahidi lini wateule wake uzima wa milele? + +Mungu aliwaahidi uzima wa milele kabla ya nyakati zote au tangu milele iliyopita + +# Je Mungu anaweza kusema uongo? + +Hapana. + +# Mungu alimtumia nani kuudhihirisha ujumbe wake kwa wakati muafaka? + +Mungu alimtumia mtume Paulo. + diff --git a/tit/01/04.md b/tit/01/04.md new file mode 100644 index 0000000..6184635 --- /dev/null +++ b/tit/01/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kulikuwa na mahusiano gani kati ya Tito na Paulo? + +Tito alikuwa mwana wa kweli wa Paulo katika imani yao. + diff --git a/tit/01/06.md b/tit/01/06.md new file mode 100644 index 0000000..87bc193 --- /dev/null +++ b/tit/01/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni mambo gani ya lazima yalitakiwa katika maisha ya kifamilia ya mzee wa kanisa? + +Ni lazima awe mme wa mke mmoja, awe na watoto waaminifu wenye maadili mazuri. + +# Ni tabia gani ambazo mzee lazima aziepuke ili asiwe na lawama? + +Ni lazima asiwe mtu mwenye kelele, asiyejizuia, asiwe mlevi, asiwe mgomvi na asiwe mchoyo. + +# Mwangalizi ana nafasi na wajibu gani katika nyumba ya Mungu? + +Mwangalizi ni msimamizi ya nyumba ya Mungu. + diff --git a/tit/01/08.md b/tit/01/08.md new file mode 100644 index 0000000..e9361fd --- /dev/null +++ b/tit/01/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mzee wa kanisa anapaswa kuwa na sifa gani? + +Mzee anapaswa kuwa mkaribishaji/mkarimu, mtu anayependa kufanya yaliyo mema, mwenye busara, mwenye haki, mchaji, na mwenye kiasi. + +# Mzee anatakiwa awe na mtazamo na msimamo gani juu ya mafundisho ya imani? + +Anapaswa kushikilia (kuyasimamia) kwa nguvu mafundisho na kuyatumia katika kuwatia moyo na kuwakemea wengine. + diff --git a/tit/01/10.md b/tit/01/10.md new file mode 100644 index 0000000..bf29b4d --- /dev/null +++ b/tit/01/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Waalimu wa uongo walikuwa wanafanya nini kwa kutumia maneno yao? + +Walikuwa wanadanganya watu na kuharibu familia + +# NI kitu gani kilikuwa kinawahamasisha Walimu wa uongo? + +Walimu wa uongo walihamasishwa na faida za aibu. + diff --git a/tit/01/12.md b/tit/01/12.md new file mode 100644 index 0000000..7298002 --- /dev/null +++ b/tit/01/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kwa namna gani Mzee anapaswa kushughulika na watu wasio na maadili ambao wanaliharibu kanisa? + +Mzee anapaswa kuwasahihisha na kuwazuia kwa nguvu ili wawe katika imani ya kweli. + diff --git a/tit/01/14.md b/tit/01/14.md new file mode 100644 index 0000000..5d79b93 --- /dev/null +++ b/tit/01/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Paulo alisema hawapaswi kupoteza muda katika mambo gani? + +Hawapaswi kuoteza muda katika hadithi za kiyahudi na maagizo ya wanadamu. + diff --git a/tit/01/15.md b/tit/01/15.md new file mode 100644 index 0000000..dcb549c --- /dev/null +++ b/tit/01/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kitu gani kilichochafuliwa katika maisha ya mtu asiyeamini? + +Akili na dhamira zimeharibiwa + +# Ni kwa namna gani mtu mchafu/mbaya humkana Mungu ingawa hukiri kuwa anamjua? + +Humkana Mungu kwa matendo yake. + diff --git a/tit/02/01.md b/tit/02/01.md new file mode 100644 index 0000000..8576506 --- /dev/null +++ b/tit/02/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni tabia zipi ambazo wazee hupaswa kuzionesha katika kanisa? + +Wazee wanapaswa kuwa na kiasi, heshima, busara, usafi katika imani, katika upendo na katika uvumilivu. + diff --git a/tit/02/03.md b/tit/02/03.md new file mode 100644 index 0000000..de278a3 --- /dev/null +++ b/tit/02/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni tabia kama zipi ambazo wanawake wazee wanapaswa kuzionesha katika kanisa? + +Wanapaswa kuonesha heshima, sio usengenyaji; wanapaswa kuwa watulivu na wenye kufundisha yaliyo mazuri/mema. + +# Ni mambo gani wanawake wazee wanapaswa kuwafundisha wasichana? + +Wanapaswa kuwafundisha kuwapenda na kuwatii waume zao, kuwapenda watoto, kuwa wenye busara, wasafi, na kuwa watunzaji wazuri wa nyumba. + diff --git a/tit/02/06.md b/tit/02/06.md new file mode 100644 index 0000000..f54bb92 --- /dev/null +++ b/tit/02/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Tito alitakiwa kufanya nini ili awe mfano kwa waumini? + +Tito alitakiwa kufundisha, kuonesha usafi na heshima, na kutumia maneno yanayofaa na ya kweli yasiyohitaji kusahihishwa. + diff --git a/tit/02/09.md b/tit/02/09.md new file mode 100644 index 0000000..bb7a5cf --- /dev/null +++ b/tit/02/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwa jinsi gani watumwa ambao ni waamini wanapaswa kuenenda? + +Wanapaswa kuwatii mabwana zao, wasiwaibie, na wanapaswa kuonesha imani safi. + +# Ni athari gani itatokea kwa wengine wakati watumwa watakapoenenda kama Paulo alivyowaagiza? + +Itayafanya mafundisho juu Mungu mwokozi wetu yawavutie watu wengine. + diff --git a/tit/02/11.md b/tit/02/11.md new file mode 100644 index 0000000..6d612c1 --- /dev/null +++ b/tit/02/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni nani atakayeokolewa na neema ya Mungu? + +Neema ya Mungu inaweza kumuokoa kila mtu. + +# Neena ya Mungu inatufundisha kukataa nini? + +Neema ya Mungu inatufundisha kukataa mambo yasiyo ya Kimungu na tamaa za kidunia. + +# Je waumini wanatarajia kupokea tendo gani kwa wakati ujao? + +Waumini wanatarajia kupokea tumaini la mwonanekano wa utukufu wa Mungu wetu mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo. + diff --git a/tit/02/14.md b/tit/02/14.md new file mode 100644 index 0000000..f33a061 --- /dev/null +++ b/tit/02/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwanini Yesu alijitoa kwa ajili yetu? + +Yesu alijitoa mwenyewe kwa ajili ya kulipa gharama ili kutuweka sisi huru kutoka katika dhambi (uasi) zetu, na kutufanya sisi kuwa watu wasafi wenye shauku ya kufanya mema. + diff --git a/tit/03/01.md b/tit/03/01.md new file mode 100644 index 0000000..7fe2f74 --- /dev/null +++ b/tit/03/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Muumini anapaswa kuwa na mtazamo gani kwa watawala na wenye mamlaka? + +Muumini anapaswa kuwa myenyekevu na mtiifu, kuwa tayari kwa kila kazi njema. + diff --git a/tit/03/03.md b/tit/03/03.md new file mode 100644 index 0000000..bab7392 --- /dev/null +++ b/tit/03/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kitu gani kinawapotosha na kuwatumikisha watu wasioaamini? + +Wanapotoshwa na tamaa na anasa/starehe zao + diff --git a/tit/03/04.md b/tit/03/04.md new file mode 100644 index 0000000..96a3851 --- /dev/null +++ b/tit/03/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mungu hutuokoa kwa njia gani? + +Mungu hutuokoa kwa kutuosha kwa kuzaliwa upya na kufanya upya kwa njia ya Roho Mtakatifu. + +# Je tumeokolewa kwasababu ya matendo mazuri tuliyokwisha kufanya au kwasababu ya huruma ya Mungu? + +Tumeokolea tu kwa huruma ya Mungu. + diff --git a/tit/03/06.md b/tit/03/06.md new file mode 100644 index 0000000..5f232ea --- /dev/null +++ b/tit/03/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni kitu gani Mungu alikifanya kwetu baada ya kuwa ametuhesabia haki? + +Mungu alitufanya kuwa warithi wake. + diff --git a/tit/03/08.md b/tit/03/08.md new file mode 100644 index 0000000..6e924d4 --- /dev/null +++ b/tit/03/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je waumini wanapaswa kuweka akili zao juu ya nini? + +Waumini wanapaswa kuweka akili zao juu ya kazi nzuri ambazo Mungu ameziweka mbele yao ili wazifanye. + diff --git a/tit/03/09.md b/tit/03/09.md new file mode 100644 index 0000000..2d1b6c2 --- /dev/null +++ b/tit/03/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Waumini wanapaswa kuepuka nini? + +Waumini wanapaswa kuepuka mijadala ya kipumbavu. + +# Ni nani anapaswa kukataliwa baada ya onyo moja au maonyo mawili? + +Mtu yeyote anayesababisha matengano miongoni mwa waumini lazima akataliwe baada ya kuwa ameonywa mara moja au mara mbili. + diff --git a/tit/03/14.md b/tit/03/14.md new file mode 100644 index 0000000..3edcffd --- /dev/null +++ b/tit/03/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je waumini wanalazimika kushiriki katika jambo gani ili waweze kuzaa matunda? + +Waumini wanalazimika kujifunza kushiriki wenyewe katika kufanya kazi nzuri ambazo zinagusa mahitaji ya muhimu. +