9 lines
256 B
Markdown
9 lines
256 B
Markdown
|
# Samweli aliogopa kitu gani ikiwa Sauli atasikia kuwa anasafiri kwenda Bethlehemu?
|
||
|
|
||
|
Aliogopa kuwa Sauli atamuua.
|
||
|
|
||
|
# Bwana alimwambia kuwa Samweli atamfahamu vipi mtu wa kumtia mafuta?
|
||
|
|
||
|
Alimwambia Samweli kuwa atampaka mafuta mtu ambaye Bwana atamwambia.
|
||
|
|