12 lines
345 B
Markdown
12 lines
345 B
Markdown
# Je, wewe huongei na mimi?
|
|
|
|
Pilato anaonyesha kushangazwa na Yesu kwa kutokuitumia nafasi hiyo ya kujiteteta. "Nijibu"
|
|
|
|
# Usingekuwa na nguvu kama usingepewa toka juu
|
|
|
|
"Una mamalaka kinyume changu kwa sababu tu umepewa"
|
|
|
|
# aliyenitoa
|
|
|
|
Neno "kutoa" linamaanisha kumkabidhi Yesu kwa adui, kama vile Yuda alivyomtoa Yesu kwa viongozi wa Kiyahudi
|