32 lines
919 B
Markdown
32 lines
919 B
Markdown
# Maneno kwa Ujumla:
|
|
|
|
hili ni tukio linalofuata katika simulizi,ambalo Yesu anapanda kwenda Yerusalemu na anamponya mtu.Mistari hii inatoa mambo ya nyuma kuhusu mwanzoni mwa simulizi.
|
|
|
|
# Baada ya hili
|
|
|
|
ina maanisha baada Yesu kumponya mwana wa afisa. ona namna ambavo unaweza kufasiri hili.
|
|
|
|
# kulikuwa na sikukuu ya Wayahudi
|
|
|
|
"Wayahudi walikuwa wakisherehekea sikukuu"
|
|
|
|
# alipanda kwenda Yerusalemu
|
|
|
|
Yerusalemu iko juu ya kilima. Mabarabara ya Yerusalemu yalipanda juu na kutelemka katika vilima vidogo . Kama lugha yako ina neno tofauti kwa kupanda juu ya kilima kuliko kuliko kutembea katika tambarare unaweza kuitumia hapa.
|
|
|
|
# dimbwi
|
|
|
|
hili lilikuwa ni shimo chini ambalo watu walijaza maji. Wakati mwingine walilizungushia kwa vigae na mawe.
|
|
|
|
# Bethzatha
|
|
|
|
"Bethzatha" maana yake ni nyumba ya huruma.
|
|
|
|
# matao
|
|
|
|
muundo ulioezekwa angalau pasipo kuwa ukuta mwingine katika jengo.
|
|
|
|
# Idadi kubwa ya watu
|
|
|
|
"watu wengi"
|