24 lines
508 B
Markdown
24 lines
508 B
Markdown
# Bwana ameuchana ufalme wa Israeli
|
|
|
|
"Kama ulivyochana kanzu yangu vivyo hivyo Bwana ameuchana ufalme wa Israeli"
|
|
|
|
# amempa jirani yako, aliye bora kuliko wewe.
|
|
|
|
Mungu ameshaamua ni nani atakuwa mfalme baada ya Sauli.
|
|
|
|
# Uwezo wa Israeli
|
|
|
|
Hii inamuelezea Mungu ambaye huwapa nguvu Waisraeli.
|
|
|
|
# hatasema uongo wala kubadili nia yake
|
|
|
|
Hii inasisitiza kuwa Mungu hasemi uongo.
|
|
|
|
# nia yake
|
|
|
|
"alichoamua kukifanya"
|
|
|
|
# si mwanadamu, kwamba abadili nia yake
|
|
|
|
"Yeye ni Mungu na atafanya alichosema kuwa atakifanya"
|