24 lines
427 B
Markdown
24 lines
427 B
Markdown
|
# Mimi, Hekima, huishi kwa Busara
|
||
|
|
||
|
Busara imeongelewa hapa kama mtu
|
||
|
|
||
|
# Busara
|
||
|
|
||
|
"kuamua vema"
|
||
|
|
||
|
# Mimi humiliki maarifa na busara
|
||
|
|
||
|
"Mimi ni mwenye maarifa na busara" au " Ninajua vitu vingi, na mimi ni mwangalifu"
|
||
|
|
||
|
# busara
|
||
|
|
||
|
kuwa mwangalifu kuhusu kile unachosema na kufanya; kuwa na tahadhari usisababishe maumivu au uharibifu kwa wengine
|
||
|
|
||
|
# kauli za udanganyifu
|
||
|
|
||
|
"maongezi mabaya"
|
||
|
|
||
|
# udanganyifu
|
||
|
|
||
|
iliyogeuka kutoka kwenye haki
|