20 lines
401 B
Markdown
20 lines
401 B
Markdown
|
# Kauli Unganisha
|
||
|
|
||
|
Elizabethi anajifungua mtoto wake na Zakaria anamwita jina mtoto wao.
|
||
|
|
||
|
# alirudi nyumbani kwake
|
||
|
|
||
|
"Mariamu alirudi nyumbani kwake" au "Mariamu alirudi kwenye nyumba yake"
|
||
|
|
||
|
# Sasa
|
||
|
|
||
|
Neno hili linaonesha mwanzo wa tukio linalofuata katika historia.
|
||
|
|
||
|
# Jirani zake na ndugu zake
|
||
|
|
||
|
"majirani na ndugu wa Elizabethi"
|
||
|
|
||
|
# alizidisha rehema yake kwaajili yake
|
||
|
|
||
|
""amekuwa mwema sana kwake" UDB
|