32 lines
564 B
Markdown
32 lines
564 B
Markdown
|
# kuzaa mtoto mwanaume.
|
||
|
|
||
|
"kuzaa mtoto wa kiume" au "kuwa na mtoto wa kiume"
|
||
|
|
||
|
# chochote kilicho najisi
|
||
|
|
||
|
Kitu ambacho Bwana amesema hakifai kuliwa kinaonekana kuwa ni najisi.
|
||
|
|
||
|
# Tazama
|
||
|
|
||
|
"sikiliza"
|
||
|
|
||
|
# Hakuna wembe itakayotumiwa juu ya kichwa chake
|
||
|
|
||
|
"kichwa" inamaanisha nywele. "Hakuna mtu atakayekata nywele zake"
|
||
|
|
||
|
# Wembe
|
||
|
|
||
|
Ni kisu kikali kitumikacho kukata nywele karibu na ngozi.
|
||
|
|
||
|
# Mnaziri wa Mungu
|
||
|
|
||
|
"alitolewa kwa Mungu kama Mnaziri"
|
||
|
|
||
|
# kutoka tumboni
|
||
|
|
||
|
"kabla hajazaliwa"
|
||
|
|
||
|
# mkono wa Wafilisti
|
||
|
|
||
|
"mkono" inamaanisha utawala. "kuwa chini ya utawala wa Wafilisti"
|