20 lines
366 B
Markdown
20 lines
366 B
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla:
|
||
|
|
||
|
Habakuki anazungumza kwa Yahwe kuhusu Wakaldayo.
|
||
|
|
||
|
# Wewe si kutoka nyakati za kale, Yahwe Mungu wangu, Mtakatifu wangu?
|
||
|
|
||
|
NI: "Wewe ni wa milelel, Yahwe Mungu wangu, Mtakatifu wangu."
|
||
|
|
||
|
# wao ... wao
|
||
|
|
||
|
Wakaldayo
|
||
|
|
||
|
# Mwamba
|
||
|
|
||
|
kinga ya Israeli
|
||
|
|
||
|
# Waliwekwa kwaajili ya lengo la kuisahihisha Israeli
|
||
|
|
||
|
"Wao waliwekwa kwa lengo la kuisahihisha Israeli"
|