40 lines
1001 B
Markdown
40 lines
1001 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.
|
||
|
|
||
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Huu ni wimbo kuhusu uaminifu wa Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Kwa mwanamuziki mkuu
|
||
|
|
||
|
"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu"
|
||
|
|
||
|
# kwenye vyombo vya nyuzi
|
||
|
|
||
|
"watu wanapaswa kucheza vyombo vya nyuzi na wimbo huu"
|
||
|
|
||
|
# Zaburi ya Daudi
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi.
|
||
|
|
||
|
# Sikia kulia kwangu; jali ombi langu
|
||
|
|
||
|
Vishazi hivi viwili vinamaana sawa. "Mungu, nisikilize na ujibu ombi langu"
|
||
|
|
||
|
# umezidiwa
|
||
|
|
||
|
"umeshindwa"
|
||
|
|
||
|
# niongoze kwenye jiwe lililo juu zaidi yangu
|
||
|
|
||
|
Hapa mwandishi anamzungumzia Mungu kana kwamba ni mwamba mkubwa anaoweza kupanda kwa ajili ya ulinzi.
|
||
|
|
||
|
# mnara imara kutoka kwa adui
|
||
|
|
||
|
Maneno yanayodokezwa "unaonilinda" yanaweza kuongezwa. "umekuwa kama mwamba imara unaonilinda dhidi ya adui wangu"
|
||
|
|
||
|
# mnara imara
|
||
|
|
||
|
Hapa mwandishi anamzungumzia Mungu kana kwamba ni "mnara imara" unaotoa ulinzi dhidi ya adui zake.
|