sw_tn/dan/08/18.md

12 lines
235 B
Markdown
Raw Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# usiingizi mzito
Hii ni aina ya usingizi ambao mtu hulala fofo na hawezi kuamka kiurahisi.
# kipindi cha ghadhabu
Hii inarejelea wakati ambapo Mungu atahukumu.
# wakati wa mwisho uliopangwa
"wakati ambapo dunia itafikia mwisho"