16 lines
312 B
Markdown
16 lines
312 B
Markdown
|
# siku ya tano ya kusanyiko
|
||
|
|
||
|
"siku ya 5 ya sikukuu." Neno kusanyiko linamaanisha sikukuu za majuma."
|
||
|
|
||
|
# wanakondoo waume kumi na nne
|
||
|
|
||
|
"wanakondoo waume 14"
|
||
|
|
||
|
# kama ilivyoamriwa
|
||
|
|
||
|
"Kama BWANA alivyoamuru"
|
||
|
|
||
|
# sadaka zake za unga, na za vinywaji
|
||
|
|
||
|
"pamoja na sadaka zake za unga na za vinywaji zinazozambatana nazo."
|