16 lines
449 B
Markdown
16 lines
449 B
Markdown
|
# Shangilia na ufurahi
|
||
|
|
||
|
Haya maneno mawili yana maana moja na yana kazia uzito wa furaha. Mwandishi anatumia haya maneno kwa kejeli.
|
||
|
|
||
|
# Binti wa Sayuni ... binti wa Edomu
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya kishairi ya watu wa Yerusalemu na nchi ya Edomu, ambapo hapa yana zungumziwa kama mwanamke.
|
||
|
|
||
|
# kwako pia kikombe kitapitishwa
|
||
|
|
||
|
Mvinyo watu wanao kunywa kutoka kwenye kikombe ni hishara ya hasira ya Yahweh.
|
||
|
|
||
|
# ata funua dhambi zako
|
||
|
|
||
|
"kuweka wazi dhambi zako"
|