28 lines
931 B
Markdown
28 lines
931 B
Markdown
|
# Senensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Elifazi anaendelea kuongoa kwa Ayubu
|
||
|
|
||
|
# utajengwa
|
||
|
|
||
|
KTN: "atakuponya na kukufanikisha tena"
|
||
|
|
||
|
# kama udhalimu utauweka mbali kutoka katika hema yako
|
||
|
|
||
|
picha ya udhalimu inaonyeshwa kana kwamba ni mtu anayeishi katika nyumba ya Ayubu ambaye anatakiwa kuondolewa. KTN: "ikiwa wewe na kila mtu katika nyumba yako mtakoma kutenda dhambi"
|
||
|
|
||
|
# Hazina zako ziweke chini kwenye mavumbi
|
||
|
|
||
|
hazina kuiweka kwenye mavumbi ni kuitazama kama kitu ambacho hakina thamani.KTN: ufikirie utajiri wako kama ni kitu ambacho siyo cha muhimu kama vile mavumbi"
|
||
|
|
||
|
# dhahabu ya ofiri miongo mwa mawe ya vijito.
|
||
|
|
||
|
kuiweka dhahabu katika mfereji ni kuiona kitu kisicho na thamani kama mawe. KTN: " dhahabu yako isiwe na thamani kama mawe kwenye kijito"
|
||
|
|
||
|
# Ofiri
|
||
|
|
||
|
hili ni jina la ukanda maarufu kwa dhahabu yake.
|
||
|
|
||
|
# Mwenyezi atakuwa hazina, fedha ya thamani kwako
|
||
|
|
||
|
hii inamaana Mungu atakuwa wa thamani zaidi kwa Ayubu kuliko hazina yoyote.
|