16 lines
387 B
Markdown
16 lines
387 B
Markdown
|
# Baba...ulinipenda mimi kabla y kuumbwa kwa isingi ya ulimwengu
|
||
|
|
||
|
Mungu Baba amempenda Mungu mwana. Kabla Mungu hajauumba ulimwengu, nafsi za Mungu hupendana, na zitaendelea kupendana milele yote.
|
||
|
|
||
|
# Nilipo mimi
|
||
|
|
||
|
hii inamaanisha mbinguni
|
||
|
|
||
|
# ili waweze kuona utukufu wangu
|
||
|
|
||
|
ili waweze kujua ukuu wangu
|
||
|
|
||
|
# kabla ya kuumbwa kwa ulimwengu
|
||
|
|
||
|
Hapa Yesu anamaanisha wakati wa kabla ya uumbaji
|