12 lines
297 B
Markdown
12 lines
297 B
Markdown
|
# Watawatendea haya kwa sababu hawamfahamu Baba wala mimi.
|
||
|
|
||
|
Baadhi ya waamini wanaweza kuuawa kwa sababu wasiomjua Mungu Baba pia hawamjui wala kumuelewa Mungu Mwana, Yesu Kristo.
|
||
|
|
||
|
# Baba
|
||
|
|
||
|
Hiki ni cheo cha Muhimu cha Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Hapo mwanzo
|
||
|
|
||
|
Angalia ulivyotafsiri "tangu mwanzo" kwenye Yohana 15:26
|