20 lines
520 B
Markdown
20 lines
520 B
Markdown
|
# mali yako yote pamoja na hazina zako zote
|
||
|
|
||
|
Maneno "mali" na "hazina" yanamaanisha kitu kimoja na kutaja kitu chochote ambacho wanaona kuwa cha thamani.
|
||
|
|
||
|
# nyara
|
||
|
|
||
|
Hii inahusu mambo ambayo watu huiba au kuchukua kwa nguvu.
|
||
|
|
||
|
# dhambi iliyo katika maeneo yako yote
|
||
|
|
||
|
"umetenda kila mahali"
|
||
|
|
||
|
# urithi
|
||
|
|
||
|
Hii inahusu nchi ya Israeli.
|
||
|
|
||
|
# umewasha moto katika ghadhabu yangu, ambao utakawaka milele
|
||
|
|
||
|
Bwana anafananisha hukumu yake na moto unaoharibu. AT "kwa kunifanya niwe mwenye hasira, ni kama umeanza moto ambao utakuunguza"
|