sw_tn/jdg/20/31.md

12 lines
224 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# kupigana na watu
"Kupigana dhidi ya watu wa Israeli"
# wakachukuliwa mbali na mji
"Watu wa Israeli wakawachukua nje ya mji"
# Walianza kuua baadhi ya watu
"Watu wa Benyamini wakaanza kuwaua baadhi ya watu wa Israeli"