24 lines
912 B
Markdown
24 lines
912 B
Markdown
|
# nikasikia sauti
|
||
|
|
||
|
Sauti ilinena lakini bila yeyote kujidhihirisha. "Sauti" yawezekana ni Mungu, ingawa inawezekana kuwa ilikuwa sauti ya Malaika.
|
||
|
|
||
|
# Siyo hivyo
|
||
|
|
||
|
"Siwezi kufanya hivyo" linganisha na sura 10:13.
|
||
|
|
||
|
# mdomoni mwangu hakujawahi kuingia kitu chochote kisicho kitakatifu
|
||
|
|
||
|
Wanyama waliokuwa kwenye kitambaa walikuwa ni wanyama ambao sheria ya Wayahudi katika Agano la Kale iliwazuia wasiweze kuwala.
|
||
|
|
||
|
# Kichafu
|
||
|
|
||
|
Katika Agano la Kale Sheria ya Wayahudi, mtu alionekana mchafu katika njia mbalimbali, kama vile kula wanyama waliokuwa hawaruhusiwi kuliwa.
|
||
|
|
||
|
# kile Mungu alichokitangaza kuwa ni safi, usikiite najisi
|
||
|
|
||
|
Sentensi hii inaelezea juu ya wanyama waliokuwa kwenye kitambaa kikubwa cha pembe nne.
|
||
|
|
||
|
# Hii ilitokea mara tatu
|
||
|
|
||
|
Si kila tukio lilirudiwa kuonekana mara tatu, Hata hivyo neno; "Kile Mungu alichokitakasa usikiite najisi" Ni neno lilijirudia mara tatu kwa Petro. Linganisha na sura 10:13.
|