sw_gen_text_reg/01/01.txt

1 line
191 B
Plaintext

\v 1 Hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na nchi. \v 2 Nayo nchi haikuwa na umbo na ilikuwa tupu. Giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji. Roho wa Mungu alikuwa akielea juu ya uso wa maji.