sw_gen_text_reg/37/29.txt

1 line
178 B
Plaintext

\v 29 Rubeni akarudi kwenye shimo, na, tazama, Yusufu hakuwemo shimoni. Akararua mavazi yake. \v 30 Akarudi kwa ndugu zake na kusema, "Kijana yuko wapi? Na mimi, je niende wapi?"