sw_gen_text_reg/36/04.txt

1 line
182 B
Plaintext

\v 4 Ada akamzaa Elifazi kwa Esau, na Basemathi akamzaa Reueli. \v 5 Oholibama akamzaa Yeushi, Yalamu, na Kora. Hawa walikuwa wana wa Esau waliozaliwa kwake katika nchi ya Kananaani.