sw_gen_text_reg/36/01.txt

1 line
251 B
Plaintext

\v 1 Hivi ndivyo vizazi vya Esau (aliyeitwa pia Edom). \v 2 Esau akachukua wakeze kutoka kwa Wakanaani. Hawa walikuwa wake zake: Ada binti Eloni Mhiti; Oholibama binti Ana, mjukuu wa Zibeoni Mhivi; na \v 3 Basemathi, binti Ishmaeli, dada wa Nebayothi.