sw_gen_text_reg/31/22.txt

1 line
188 B
Plaintext

\v 22 Siku ya tatu Labani akaambiwa kwamba Yakobo amekimbia. \v 23 Hivyo akawachukua ndugu zake pamoja naye na kumfuatia kwa safari ya siku saba. Akampata katika nchi ya vilima ya Gileadi.