sw_gen_text_reg/30/27.txt

1 line
208 B
Plaintext

\v 27 Labani akamwambia, "Ikiwa nimepata kibali machoni pako, subiri, kwa sababu nimejifunza kwa kutumia uaguzi kwamba Yahwe amenibariki kwa ajili yako." \v 28 Kisha akasema, "Taja ujira wako, nami nitalipa."