sw_gen_text_reg/27/01.txt

1 line
221 B
Plaintext

\v 1 Isaka alipozeeka na macho yake kuwa mazito kiasi cha kutokuona, alimwita Esau, mwanawe mkubwa, na akamwambia, "Mwanangu. Yeye akasema, "Mimi hapa." \v 2 Akamwambia, "Tazama, mimi nimezeeka. Sijui siku ya kufa kwangu.