sw_gen_text_reg/23/05.txt

1 line
253 B
Plaintext

\v 5 Wana wa Hethi wakamjibu Abraham, wakasema, \v 6 "Tusikilize, bwana wangu. Wewe ni mwana wa Mungu miongoni mwetu. Zika wafu wako katika makaburi yetu utakayochagua. Hakuna miongoni mwetu atakaye kuzuilia kaburi lake, kwa ajili ya kuzikia wafu wako."