sw_gen_text_reg/19/21.txt

1 line
204 B
Plaintext

\v 21 Akamwambia, "Sawa, nimekubali ombi hili pia, kwamba sitaangamiza mji ambaoumeutaja. \v 22 Harakisha! toroka uende pale, kwa kuwa sitafanya chochote mpaka ufike pale." kwa hiyo mji ule ukaitwa Soari.