sw_gen_text_reg/11/16.txt

1 line
180 B
Plaintext

\v 16 Wakati Eberi alipokuwa ameishi miaka thelathini na minne, akamzaa Pelegi. \v 17 Eberi aliishi miaka 430 baada ya kumzaa Pelegi. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike.