sw_gen_text_reg/11/01.txt

1 line
181 B
Plaintext

\v 1 Sasa nchi yote ilikuwa inatumia lugha moja na ilikua na usemi mmoja. \v 2 Ikawa waliposafiri upande wa mashariki, wakaona eneo tambarare katika nchi ya Shinari na wakakaa pale.