sw_gen_text_reg/09/03.txt

1 line
193 B
Plaintext

\v 3 Kila kitu kiendacho kilicho hai kitakuwa chakula kwa ajili yenu. Kama nilivyo wapa mimea, sasa nawapa kila kitu. \v 4 Lakini msile nyama pamoja na uhai wake - yaani damu yake - ndani yake.