sw_gen_text_reg/07/19.txt

1 line
184 B
Plaintext

\v 19 Maji yakaongezeka zaidi juu ya nchi kiasi kwamba milima yote mirefu ambayo ilikuwa chini ya anga ikafunikwa. \v 20 Maji yakaongezeka dhiraa kumi na tano juu ya vilele vya milima.