sw_gen_text_reg/07/06.txt

1 line
209 B
Plaintext

\v 6 Nuhu alikuwa na umri wa miaka mia sita wakati gharika ilipokuja juu ya nchi. \v 7 Nuhu, watoto wake wa kiume, mke wake, na wake za watoto wake waliingia katika safina pamoja kwa sababu ya maji ya gharika.