sw_gen_text_reg/05/21.txt

1 line
290 B
Plaintext

\v 21 Henoko alipokuwa ameishi miaka sitini na tano, akamzaa Methusela. \v 22 Henoko akaenenda na Mungu miaka miatatu baada ya kumzaa Methusela. Aliwazaa wana wengi wa ume na wake. \v 23 Henoko aliishi miaka 365. \v 24 Henoko alienenda na Mungu, na kisha alitoweka, kwa kuwa Mungu alimtwaa.