sw_gen_text_reg/05/12.txt

1 line
219 B
Plaintext

\v 12 Wakati Kanani alipokuwa ameishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli. \v 13 Baada ya kumzaa Mahalaleli, Kenani aliishi miaka 840. Akawazaa wana wengi wa ume na wake. \v 14 Kenani aliishi miaka 910, na kisha akafariki.