sw_gen_text_reg/02/24.txt

1 line
187 B
Plaintext

\v 24 Kwa hiyo mwanaume atawaacha baba yake na mama yake, ataungamanika na mke wake, na watakuwa mwili mmoja. \v 25 Wote wawili walikuwa uchi, mwanaume na mke wake, lakini hawakuona aibu.