sw_gen_text_reg/01/09.txt

1 line
224 B
Plaintext

\v 9 Mungu akasema, "maji yaliyo chini ya mbingu yakusanyike pamoja mahali pamoja, na ardhi kavu ionekane." Ikawa hivyo. \v 10 Mungu aliita ardhi kavu "nchi," na maji yaliyo kusanyika akayaita "bahari." Akaona kuwa ni vyema.