dav_reg/44-JHN.usfm

1140 lines
98 KiB
Plaintext

\id JHN
\ide UTF-8
\h Yohana
\toc1 Yohana
\toc2 Yohana
\toc3 jhn
\mt Yohana
\c 1
\cl Sura 1
\p
\v 1 Mwanzonyi kwarikogo na idedo, na Idedo warikogo na Mlungu, na Idedo wakogo ni Mlungu.
\v 2 Uyu, idedo, mwanzonyi warikogo na mlungu.
\v 3 Vilambo vose vabonyekie kudi ye, na pasipo ye ndakudae hata kilambo chimweri chikogo chabonyeka.
\v 4 Ndenyi yake kurikogo na binana, na iyo banana yarikogo nuru ya wanadamu wose.
\v 5 Nuru yang'araga kirenyi, wala kira ndaichi rimishie.
\p
\v 6 Kwarokogo na mundu adumiwe kufuma kwa Mlungu, ambae irina jaka aliitwa Yohana.
\v 7 Wachee kama shahidi kushuhudia kuhusu ija nuru, ili kurumba wose wadime kuamini kuidia ye.
\v 8 Yohana ndakogo ija nuru, bali wachee ihi ashuhudie kuhusu ija nuru
\v 9 Iyo yakogo nuru ya loli ambayo yakogo idacha katika duwa yamkumba nuru kila umweri.
\p
\v 10 Wakogo katika dunia yaumbigwe kuwadia ye, na dunia ndaimanyie.
\v 11 Wachee kwa vilambo vake, na wandu waka ndawamwokerie.
\v 12 Bali kwa waja wengi wamwokerie, ambawo waaminie irina jake, kwa mapenzi ga mundu, bali kwa Mlungu,
\v 13 Ambawo wavalwe, siyo kwa baga, wala kwa mapenzi ga muwi, wala kwa mapenzi ga mundu, bali kwa Mlungu mweni.
\p
\v 14 Naye Idedo wabonyikie muwi na akaishi miongonyi mwedu, diworie utukufu wake, utukufu kama mundu pekee wa kipekee achee kufuma kwa Aba, wachua neema na loli.
\p
\v 15 Yohana washuhudie kuhusu ye, na wapaazie sauti akideda, "Uyu niye ambae nadedie habari rake nikideda, "Uja achaga baada yapwa ni mbaha kuliko nyi, kwa sababu warikogo kabla yapwa."
\v 16 Kwa kuwa kufuma katika utimilifu gwake, isi wose dawokera dueri kipawa baada ya kipawa.
\v 17 Kwa kuwa sheria yaredigwe kuidia Musa. Neema na loli vachee kuidia Jesu Kristo.
\v 18 Ndakudae mwanadamu amwonie Mlungu wakati gogose. Mundu pekee ambae ni Mlungu, eko katika laga ya Aba, wambonyie ye amanyikane.
\p
\v 19 Na ugu nigo ushuhuda gwa Yohana wakati makuhani na walawi wadumigwe kwake na wayahudi kumkotia, We nani?"
\v 20 Bila kusita sita na ndakania, bali wajibie, "Nyi siyo Kristo."
\v 21 Huwo wakamkotia, "Kwa huwo we wani idana? We wa Eliya? Akadeda, "Nyi siye." Wakadeda, We nani? Akajibu," Hapana."
\v 22 Kisha wakamzera, "We nani? ili kwamba diwaneke ijibu wadiduma"? ukishuhudiaga we mweni?"
\v 23 Akadeda, "Nyi na sauti yake alilaga kireti; Inyoosheni chia ya Mzuri, kama lodi Isaya adedie."
\p
\v 24 Basi kwarikogo na wandu wadumwa aja kufuma kwa mafarisayo, wakamkotia na kudeda,
\v 25 "Kwa indoi udabatiza kumbe we siyo Kristo wala Eliya wala walodi?"
\v 26 Yohana akawajibu akideda, "Nabatiza kwa machi. Hata huwo, miongonyi mwenyu adasimama mundu msamwichi.
\v 27 Uyu niye achaga baada yapwa. Nyi sistahili kulegeza chuga ra vandu vake."
\p
\v 28 Malago aga gatendekie uko Bethania, kimonu cha Yohani, andu amboko Yohana wakogo akibatiza.
\p
\v 29 Ituku jinugirie Yohana wamwonie Jesu akicha kwake akadeda, "Ngowa mwana ng'ondi wa Mlungu aiwusaga zambi ya urumwengu!
\v 30 Uyu niye nidedie habari rake nikideda, ye achaga nyuma yapwa ni mbaha kuliko nyi, kwa kugora warikogo kabla yapwa.'
\v 31 Simmanyie ye, ela yabonyikie huwo ilikwamba afunuliwe katika Israeli, kwamba nachee nikibatiza kwa machi."
\p
\v 32 Yohana washuhudie, "Niwonie Ngolo akishuka kufuma mbingunyi mfano gwa njiwa, na yabakie igu yake.
\v 33 Nyi simmanyie ela ye anidumie ili nibatize kwa machi wanigorie, 'Uja ambae awonaga Ngolo akishuka na kukaia igu yake, uyo ni ye abatizae kwa Ngolo mtakatifu.'
\v 34 Nawona na nashuhudia kwamba uyu ni mwana wa Mlungu."
\p
\v 35 Sena ituku jinugirie Yohana wakogo wasimama andukumweri na wanafunzi wake wawi."
\v 36 Wamwonie Jesu akisela na Yohana akadeda, "Ngowa, mwana ng'ondi wa Mlungu!"
\v 37 Wanafunzi wawi wamsikire Yohana akideda aga wakamnuga Jesu.
\v 38 Sena Jesu wagukie na kuwawona wanafunzi waja wakimnuga, na akawazera, mwakundi indoi?" wakajibu, "Rabbi, (maana yake "mwalimu; waishi hao?"
\v 39 Akawazera, choonyi na mwone." kisha wagendie na kuwona andu akogo akiishi wakee andu kumweri nae ituku ijo, kwa kugora yakogo yapata kama saa ikumi huwu.
\p
\v 40 Umweri wa waja wawi wamsikirie Yohana akideda na kisha kumnuga Jesu wakogo ni Andrea, mbari wake simoni Petro.
\v 41 Akamwona mbari wake simoni na akamzera, "Dapata masihi" (ambae yatafsiri waga kuwa ni Kristo).
\v 42 Akamreda kwa Jesu. Jesu akamngwa na akadeda, "We ni simoni mwana wa Yohana" uwangwa wa kefa," (maana yake 'Petro').
\p
\v 43 Ituku jinugirie wakati Jesu kuinga kugenda Galilaya, wampatie filipo na akamzera, "Nimnuge Nyi."
\v 44 Filipo wakogo ni mwenyezi wa Bethaida, muzi gwa Andrea na Petro.
\v 45 Filipo wampatie Nathanieli na kumzera, Dampata uja ambae Musa raandikie habari rake katika sheria na walodi. Jesu mwana wa Yusufu, kufuma Nazareti.
\v 46 Nathanieli akamzera, "Je kilambo chiboie cha dima kufuma Nazareti?" Filipo akamzera, choo na uwone,"
\v 47 Jesu akamwona Nathanieli akicdha kwake akadeda, "Ngowa, mwasraeli loli loli, asadae wutee ndenyi yake."
\v 48 Nathaniel, akamzera, "Wanimanya wadenyi."
\v 49 Nathanieli akajibu "Rabi we wa mwana wa Mlungu! We wa mzuri wa Israeli!"
\v 50 Jesu akajibu akamzera, kwa kwa sababu nikugorie "nakuonie ndonyi ya mtini' je waamini? wonaga matendo mabaha kuliko aga."
\v 51 Jesu akadeda, Amini amini namizera mriwonaga mbingu rikifunguka na kuwaona malaika wa kijoka na kusea igu ya mwana wa Adamu."
\c 2
\cl Sura 2
\p
\v 1 Baada ya matuku adadu, kwarikogo na harusi uko kana ya Galilaya na mae wa Jesu warikogo uko.
\v 2 Jesu na wananfunzi wake warikogo walikuwa katika harusi.
\v 3 Wakati wasiriwa divai, mae wa Jesu akamzera, ndawadae divai."
\v 4 Jesu akajibu, "Muka iyo inihusuki nyi? Muda gwapwa nyi bado ndagutimie."
\v 5 Mae akawazera watumishi, "Chochose awazeraga bonyenyi."
\v 6 Basi kwarikogo na ziro sita ra magwe aja iwikiwe kwa ajili ya kunawa katika sikukuu ra wayahudi, kila jimweri jarikogo na ujazo nzio uwi idadu.
\v 7 Jesu akawazera, Richurenyi machi ziro ra magwe." Wakachura hadi igu.
\v 8 Kisha akawazera waja watumishi, "Wusenyi kiasi cha ijaha na mgeje kwa muhudumu mbaha wa meza." Wawabonya kama wandu walagizwa.
\v 9 Muhudumu mbaha wagaonjie gaja machi ga kogo gabadilika na kuwa divai, ila ndawaichi uko gafuma (Ela watumishi wadaya machi wamanyie ukogafuma). Kisha akawamwanga bwana harusi na
\v 10 kumzera, "kila umweri waanzaa kuwahudumia wandu divai isaboie na wakameria kulewa wawaneka divai isaboie. Ela we waitunza divai iboie hadi ijiaha"
\v 11 Miujiza ugu gwa kana ya Galilaya, gwakogo niyo mwanzo wa ishara ra miujiza aibonye Jesu, akifunua utukufu gwake, huwo wanafunzi wake wakamwamini.
\p
\v 12 Baada ya ihi, Jesu, mae, wambari wake na wanafunzi wagendie katika muzi gwa kaprenaumu na wakakaia uko kwa matuku matineri.
\p
\v 13 Basi pasaka ya wayahudi yakogo yafika avui, huwa Jesu akagenda Yerusalemu.
\v 14 Akawadoka ring'ombe, na njiwa ndenyi ya ihekelu. Pia na wabadilisha magome warikogo waka ndenyi ya ihekelu.
\v 15 Jesu akaboia mjeledi kugoka vifundo, akawafunya wose wakogo katika ihekalu, ikifumisha ng'ombe na ng'ondi. Akadia magome ga wabadilisha magome na kupindua meza rawe.
\v 16 Kwa wadagaji wa njiwa akawazera, "Funyenyi vilambo iwi kula na andu aha, sigenyi kuibonya nyumba ya Aba wapwa kwakaia andu kwa soko."
\v 17 Wanafunzi wake wakakumbuka kuwa yakogo yaandikwa, "Wivu gwa nyumba yako gunijaga."
\p
\v 18 Wabaha wa kiyahudi wakajibu, wakamzera, Ni ishara ki uibonyeraga kwa sabababu dagabonya malago aga?"
\v 19 Jesu akawajibu, jibomowenyi Ihekalu iji nanyi nijiaga ga baada ya matuku idadu."
\v 20 Kisha wabaha wa wayahudi wakadeda, "Yagarimie miaka arobaini na sita kuijiaga ihekalu iji nawe wadadeda ujigaga kwa matuku adadu?"
\v 21 Ingawa, ye adedie ihekalu akimaanisha muwi gwake.
\v 22 Huwo baadae baada ya kufufuka kwake kufuma kwa wafu, wanafunzi wake wakakumbuka kuwa wadedie huwo, wakaamini maandiko na kauli ihi ambayo Jesu warikogo wameria kudeda.
\p
\v 23 Basi akogo Yerusalemu wakati gwa Pasaka, wakati gwa sikukuu wandu wengi waaminie irina jake, kuwaona ishara ya miujiza aibonyie.
\v 24 Ela Jesu ndakogo na imani nawo kwa sababu wawamenyie wanadamu wose.
\v 25 Ndahitajie mundu wowose kumzera kuhusu andu weko wanadamu kwa sababu wamanyie chiko ndenyi yawe.
\c 3
\cl Sura 3
\p
\v 1 Basi kwarikogo na farisayo ambae irina jake Nikodemo, umweri wa wajumbe wa ibaraza ja wayahudi.
\v 2 Mundu uyu wamnugie Mzuri Jesu nakio na akamzera, "Rabi, daichi ya kugora we wa mwalimu kufuma kwa Mlungu, kwa maana ndakudae mundu adimanya kutenda ishara iri rose Mlungu akalemwa kukaia anduku mweri nae."
\v 3 Jesu akajibu, "Amini amini, mundu ndadima ga kuinga katika wuzuri gwa Mlungu akalemwa valwa mara ya kawi."
\v 4 Nikodemo akadeda, "mundu adimaga kuvalwa akika mgosi? Ndadimaga kungia kifunyi kwa mae mara ya kawi na kuvalwa, je adimaga wada?"
\v 5 Jesu akajibu, "{Amini, amini mundu akalemwa valwa kwa maci na kwa ngolo, ndadimaga kungia katika wuzuri gwa Mlungu.
\v 6 Chavalwa kwa muwi ni muwi, na chavalwa kwa ngolo na ngolo.
\v 7 Usashangae kwa sababu nakuzerie, 'ni lazima kuvalwa mara ya kawi.'
\v 8 Upepo gwa uvumaga kokose gukundi na sauti yake mwaisikira, ela ndamwichi gufumaga nako wala gugendaga nako. Niko iko hali ya kila wavalwa na ngolo.
\v 9 Nikodemo akajibu, kwa kudeda, "Malago aga gadimika wada?"
\v 10 Jesu akajibu, "We wa mwalimu wa Israeli, hata nduichi malago aga?
\v 11 Amini, amini, nakugoria, chija dichiichi dachishuhudia kwa chija dachiwona. Ela ndamwokeraga ushuhuda gwedu.
\v 12 Kama nawagoria malago ga aha dunienyi na ndamwamini, mdimaga wada kuamini kama nikawagoria malago ga mbingunyi?
\v 13 Mara ndakudae wajiko igu kufuma mbingunyi isipokuwa ye washuka, mwana wa Mlungu.
\v 14 Kama wuja Musa andu wamwiinua choka ijangwenyi, huwo huwo mwana wa Adamu ela ainuliwe,
\v 15 Ili kwamba wose wamwamini wapate binana ya kala na kala.
\p
\v 16 Kwa maana jinsi ihi Mlungu wagundie urumwengu, kwamba akamfunya mwanake wa pekee, ili kwamba mundu wowose amwaminie asaangamie bali ake na binana ya kala na kala.
\v 17 Kwa sababu Mlungu ndamdumie Mwanake dunienyi ili aguhukumu ulumwengu, bali kwamba urumwengu guokolewa katika ye.
\v 18 Amwamini ye ndahukumiwaga. Ye asamwamini tayari wahukumiwa kwa sababu ndajiamini irina ja mwana pekee wa Mlungu.
\v 19 Ihi niyo sababu ya hukumu, ya kwamba nuru yacha urumwengunyi, ela wanadamu wakakunda kira nanganyi kuliko kwa sababu matendo gawe gako go mawiwi.
\v 20 Kila mundu atendaga gazamie waichukiaga nuru wala ndachaga nurunyi ili matendo gake gasache wikwa wzi.
\v 21 Ela, ye atende loli wachaga nurunyi ili matendo gake gawonekane kwamba gatendwa kwa utiifu gwa Mlungu.
\p
\v 22 Bada ya aga, Jesu andukumweri na wanafunzi wagendie katika isanga ya Yuduea. Uko wafumie muda andukumweri nawo na wakogo akibatizwa.
\p
\v 23 Idana Yohana pia warikogo akibatiza uko Ainea avui. Wandu wakogo wakicha kwake na kubatizwa,
\v 24 Kwa kugora Yohana wakogo wadagiwe igerezanyi.
\v 25 Kisha kwafumirie mabishano kati ya wanafunzi wa Yohana ba Myahudi kuhusu sikukuu ra utakaso.
\v 26 Wakagenda kwa Yohana wakamzera, "Rabi, ye ukogoo nae kimono cha mweda Yordani, ye ushuhudie habari rake, ngowa, adabatiza na wose wadagenda wadamnuga."
\v 27 Yohana akajibu mundu ndadimaga kuwokera kilambo chochose isipokuwa kama wanekwa kufuma mbingunyi.
\v 28 Inyo weni mwashuhudie kugora nadedie kuwa, 'nyi siya Kristo', baada yake nadedie, 'nadumwa imbiri yake.'
\v 29 Ye eko na bibi harusi ni mzuri harusi. Idana mwaamwawe wa mzuri harusi, asimamaga na kusikira waboirwa nanganyi kwa sababu ya sauti ya mzuri arusi. Ihi idana ni kuboirwa wapwa kwatimilika.
\v 30 Adapaswa kuzidi, nanyi napaswa kupungua.
\p
\v 31 Ye afumaga igu, ako igu ya gose. Ye eko wa urumwengu wafumaga urumwengunyi na waarikogo malago ga ki urumwengu. Ye afumaga mbingunyi weko igu ga gose.
\v 32 Ye washuhudia gaja wagawona kugasikira, ela ndakudae awokeraga ushuhuda gwake.
\v 33 Ye wakona ushuhuda gwake wahakikisha kuwa Mlungu ni mloli.
\v 34 Kwa sababu ye mwaduma ni Mlungu waaviaga madedo ga Mlungu. Kwa kugora ndamnekaga Ngolo kwa kipimo.
\v 35 Aba wamkundi mwana na wamneka vilambo vose mikonunyi kwake.
\v 36 Ye amwaminie mwana akonayo binana ya kala na kala, ela kwa ye aseko nitii mwana ndawonaga binana, bali ghadhabu ya Mlungu yashikamana igu yake.
\c 4
\cl Sura 4
\p
\v 1 Basi Jesu kumanya kugora Mafarisayo wasikira kugora Jesu warikogo awanuga na kuwabatiza zaidi ya Yohana,
\v 2 (Ingawa Jesu mweni warikogo ndabatizaga ila wanafunzi wake).
\v 3 Wafumie judea na akagenda Galilaya.
\v 4 Huwo yarikogo muhimu kuidia samaria.
\v 5 Na akafika katika muzi gwa samaria, guwangwaga sikari, avui na ieneo ambajo Yakobo wamnekie mwanake Yusufu.
\v 6 Na kisima cha Yakobo chakogo aho. Jesu wakogo wakola kwa ajili ya charo na akakaia avui na kisima. Yakogo muda gwa dime.
\v 7 Muka msamaria wachee kudaya machi, na Jesu akamzera, "Nineke machi ninywe."
\v 8 Kwa sababu wanafunzi wake warikogo wagenda rawe mjini kugua vindo.
\v 9 Uja muka akamzera, "Ikaia wada we Myahudi, kunilomba nyi muka msamaria, kilambo cha kunywa?
\v 10 Jesu akamjibu, "kama wamanyige karama ya Mlungu, na uja akugoria 'Nineke machi, 'Wamlombaga, na wakunekaga machi ga binana."
\v 11 Muka akajibu, "Mzuri ndudae ndoo ya kudaia, na kisima ni kilacha. Ugapataga hao machi ga binana?
\v 12 Je we nimbaha, kuliko aba wedu Yakobo, ambae wadinekie kisima ichi, na ye mweni na wana wake andukumweri na mifugo yake wanywaga machi ga kisima ichi?"
\v 13 Je akijibu, "Wowose anywaga machi aga apataga kou sena,
\v 14 Ela ye anywaga machi nimnekaga ndapataga kau sena. Badala yake machi nimnekaga ndapataga kau sena. Badala yake machi nimnekaga gakaia chemi chemi ibubujikaga hata kala na kala."
\v 15 Uja muka akamzera, "Mzuri, nagalomba machi ago ili nisapate kau, "Mzuri, nagamba macji ago ili nisapate kau, na nisagae kucha aha kudaya machi."
\p
\v 16 Jesu akamzera, "Genda mwanage migo kisha uwuie."
\v 17 Muka akamzera, "Sidae mndu wa womi." Jesu akamjibu, "Wadeda nicha, "Sidae mndu wa womi;
\v 18 Kwa maana wakaia na womi wasanu, na umweri ambae ukonae ijiaha siyo mndu wa womi wako. Katika iji wadeda loli!"
\p
\v 19 Muka akamzera, "Mzuri wawona ya kugora we walodi.
\v 20 Aba wedu waabudie katika lugongo ulu. Ela inyo mwadeda ya kugora Yerusalemu niyo mwadeda ya kugora Yerusalemu niyo sehemu ambayo wandu wapaswa kuabudu."
\v 21 Jesu akamjibu, "Muka, niamini, wakati gudacha ambapo ndamuabudu Aba katika lugongo ulu au Yerusalemu.
\v 22 Inyo wandu mwaabudu chija msakiichi, ela isi daabudu dichi ichi, kwa sababu wokovu kufuma kwa wayahudi."
\v 23 Hata huwo, wakati udacha, na idana uko aha, wakati waabudu uwo loli wadima mwabudu Aba katika ngolo na loli, kwa sababu Aba awalola wandu wa namna iyo kuwa wandu wake namwabudu.
\v 24 Mungu ni Ngolo, na waja wamwabudu wapaswa kumuabudu kwa ngolo na loli."
\v 25 Muka akamgora, "Naichi kugora masihi adacha, (awangwaga Kristo). Uyo akacha wadima digoria gose."
\v 26 Jesu akamgoria, "Nyi udedaga nae niye."
\p
\v 27 Wakati ugo gweni wanafunzi wake wakawuya. Nawo washangaie kwa indoi wakogo akagoria na muka, ela ndakudae athubutue kumkotia, "wakundi indoi?" kwa indoi udaaria nae?"
\p
\v 28 Huwo muka akasiga ziro yake na akagenda mjini na akawazera wandu,
\v 29 Choonyi mumwone mundu wakigoria malago gapwa gose nigabonyie, je yadimika akawa nie Kristo?"
\v 30 Wakafuma mjini wakacha kwake.
\p
\v 31 Wakati wadime wanafunzi wake wamsihie wakideda, "Rabi ja vindo."
\v 32 Ela ye wawagorie, "Nyi nikonavo vindo msaichi inyo."
\v 33 Wanafunzi wakagoriana, ndakudae wamredia kilambo chochose cha kuja, "Je, waredie?"
\v 34 Jesu akawazera, "vindo vapwa nikibonya makundo gake ye waniduma na kutimiza kazi yake.
\v 35 Je, ndamdedaga, 'Bado mieri isanu na mavuno gakaiga tayari?' Nawagorienyi ngowenyio mbuwa niko tayari kwa mavuno!
\v 36 Ye akwashaga wabonyekera mishahara na kukusanya matunda kwa ajili ya binana ya kala na kala, ili kwamba ye awaga nae akwashaga waboiriwe andukumweri.
\v 37 Kwa kugora msemo ugu ni gwa loli, 'umweri wadima wa na umwi akakwashe.'
\v 38 Nawadumie kukwasha ambacho ndamsigaie, wamwi wabonyie kazi na inyo mwangia katika kuboiwa kwa kazi yake."
\p
\v 39 Wasamaria wengi katika muzi guja wamwaminie kwa sababu ya taarifa ya uja muka arikogo akishuhudia, 'Anigorie malago gose nigabonyie."
\v 40 Huwo wasamaria kucha wakamsihi akaie andukumweri nawo na akakaia kwawo kwa matuku awi.
\v 41 Na wengi nanganyi wakamwamini kwa sababu ya idedo jake.
\v 42 Wakamzera uja muka, "Daamini siyo tu kwa madedo gako, kwa sababu isi weni dasikira, na idana daichi kugora hakika ye ni mwokozi wa urumwengu."
\p
\v 43 Baada, ya matuku ago awi, akainga na kuelekea Galilaya.
\v 44 Kwa sababu ye mweni warikogo watangaza kugora nasi ndadae heshima katika isanga jawe mweni.
\v 45 Kucha kufuma Galilaya, wagalilaya wamkaribishie, Warikogo wawona malago gose agabonyie Yerusalemu sikukuunyi, kwa sababu na wo pia wakogo wahudhuria sikukuuunyi.
\v 46 Wachee sena kana ya Galilaya uko abadilishie machi kuka divai. Kwarikogo na ofisa ambae mwana wake warikogo ni mkongo uko kapernaumu.
\v 47 Kusikira kuwa Jesu wafumie Judea na kugenda Galilaya, wagendie kwa Jesu na kumsihi asee amboise mwanake, ambae warikogo avui kufwa.
\v 48 Niko Jesu akamzera, "Inyo mkalemwa ni kuwona ishara na maajabu ndamdimaga kuamini.
\v 49 Kilongozi akadeda, "Mzuri sea ndonyi kabla mwanapwa ndaligisire kufwa."
\v 50 Jesu akamzera, "Genda kwanako ni mlazi." Uja mundu akaamini idedo ajidedie Jesu na akagenda chia rake.
\v 51 Akogo akisea, watumishi wake wambokerie na kumzera mwanako eko banana.
\v 52 Huwo akawakotia ni muda ki wapatie nafuu. Wakajibu, "Inyo muda gwa sea saba homa ikamsigiria."
\v 53 Niko ndee akammanya kugora ni muda guja gweni Jesu adedie, "mwanake eko banana." Huwo ye na familia yake wakaamini.
\p
\v 54 Ihi yarikogo ni ishara ya kawi aibonyie, Jesu kufuma Yudea kugenda Galilaya.
\c 5
\cl Sura 5
\p
\v 1 Baada ya aha kwarikogo na sikukuu ya Wayahudi na Jesu wajokie kugenda Yerusalemu.
\v 2 Na kuja Yerusalemu kwarikogo na birika mjangoji na ng'ondi, jikogo jiki wangwa kwa lugha ya kiebrania Bethzatha, najo jikona matao asanu.
\v 3 Idadi mbaha ya wakogo yarikogo, vipofu, viwete, au waolola wakogo watungura katika matao ago, \f + \ft Zingatia: madedo ga mshalolo gwa 3 ndagawonekanaga katika nakala iboie ra kala." Wakiwesaria machi kutibuliwa." \f* kwa hakika wakati fulani malaika washukie ndenyi ya Mzuri na kugatibue machi.
\v 4 Kwa huwo, uja ambae warikogo wa kwanza kungia ndenyi baada ya machi kutibuliwa akabonyigwa mlazi kufumana na chochose chikogo cha mwada kwa wakati ugo.
\v 5 Na mundu umweri wakogo wawawa kwa muda gwa miaka thelathini na nane wakogo ndenyi ya matao.
\v 6 Jesu kumwona watungura ndenyi ya matao na baada ya kumanya kugora watungura aja kwa mtacha Jesu akamzera, "Je wakundi kukaia mzali?"
\v 7 Uja mkongo akamjibu, "Mzuri sidae mundu, wa kuniwika katika birika wakati machi gatibuliwa. Wakati nidageria kungia mundu umwi adanikiria."
\v 8 Jesu akamzera, "Wukia na uwuse igodoro jako na ugende."
\v 9 Mara uja mundu aboisiwa, akawusa kutanda chake na akagenda. Na ituku ijo yarikogo ituku ja sababto.
\v 10 Huwo wayahudi wakamzera uja mundu waboisiwa, "Linu ni ituku ja sababto, na nduhusiga kudwa igodoro jako."
\v 11 Akajibu, ye waniboisa nie wanizera "wusa igodoro jako na ugende?"
\v 12 Wakakotia, "Ni ani wakuzera "uwusa igodoro jako na udende?"
\v 13 Ingawa, uja waboiswa ndammanyie, kwa sababu Jesu warikogo wainga kwa siri kwa kuwa kwarikogo na wandu wengi katika sehemu iyo.
\p
\v 14 Baada ya aho Jesu wamdokie uja mundu ihekalunyi na akamzera, "Ngowa wabowa! usabonye zambi sena usachepatwa ni ilago jizamie nanganyi.
\v 15 Uja mundu akagenda na kuwagoria wayahudi kugora Jesu nie waniboisa.
\v 16 Huwo, kwa sababu ya malago ago wayahudi wamtesie Jesu, kwa sababu waponyie malago aga ituku ja sababto.
\v 17 Jesu akawazera, "Aba wapwa wabonyaga kazi hata ijiaha nanyi nabonya kazi."
\v 18 Kwa sababu iyo wayahudi wakazidi kumlola ili wabwage siyo tu kwa sababu ya kuchukanya sabato, bali kwa kunga Mlungu Aba wake, akikibonya kuwa sawa na Mlungu.
\p
\v 19 Jesu akawajibu, 'Amini, amini, mwana ndadimaga kilambo chochose isipokuwa chija ambacho wamwona Aba wake achibonya, kwa kugora chochose Aba akibonyaga nicho na mwana achibonyaga.
\v 20 Kwa kugora Aba wamkundi mwana, na ambonyere kila kilambo achibonyaga na wadima mbonyera malago mabaha kuliko aga ili kwamba mzidi kushangaa."
\v 21 Kwa kugora kama wuja ambavyo Aba kandu awafufuaga wafu na kuwaneka binana, halikadhalika misana pia wamnekaga wowose amkundi.
\v 22 Kwa kugora Aba ndamuhukumu wowose, bali wamneka mwana hukumu yose.
\v 23 Ili kwamba wose wamheshimu mwana kama wuja mwana andu amheshimu Aba. Ye amheshimu mwana ndamheshimu Aba wamnduma.
\v 24 Amini, amini ye asikiraga idedo japwa na kumwamini ye waniduma akonayo banana ya kala na kala na ndahukumiwaga. Badala yake waida kufuma mautinyi na kungia binanenyi.
\p
\v 25 Amini, amini nawagoria wakati gadacha na ijiaha gweko ambago wafu wadima sikira sauti ya mwana wa Mlungu, na wose wasikiraga waduma wasihi.
\v 26 Kwa kugora kama wuja Aba eko na banana ndenyi yake mweni.
\v 27 Kadhalika wamneka mwana kuwa na binana ndenyi yake, na Aba wamneka mwana mamlaka ili kwamba ahukumu kwa kuwa ni mwana wa Adamu.
\v 28 Mshangazwe ni iji, kwa kuwa wakati gadacha ambawo wafu wose weko makaburinyi wadima isikira sauti yake
\v 29 nao wadima fuma shigadi; kwa wabonyie gaboie kwa ufufuo gwa binana, na watenda gazamie kwa ufufuo gwa hukumu.
\v 30 Sidimaga kubonya kilambo chochose kufuma kwapwa mweni. Kama andu nisikiraga, niko mhukumu na hukumu yapwa ni ya haki kwa kuwa silolaga makundo gapwa, bali makundo gake waniduma.
\p
\v 31 Kama nikakishuhudia nyi mweni, ushuhuda gwapwa ndagwakaga gwa loli.
\v 32 Kuko umwi ashuhudiaga kuhusu nyi na naichi kwa hakika ushuhuda anishuhudiaga ni gwa loli.
\v 33 Mwaduma kwa Yohana nae wanishuhudia loli.
\v 34 Hata huwo, ushuhuda niguwokeraga ndagufumaga kwa mwanadamu. Nadeda aga iliu kwamba mdime kuokolea.
\v 35 Yohana wakogo ni taa ikogo ikiwaka na kumeremeta, na mwakogo tayari kuboirwa kwa muda mlacha nuru yake.
\v 36 Ushuhuda nikonago ni mbaha kuliko guja gwa Yohana, kwa kazi ambaro Aba waninekie kurikamilisha, iro kazi niribonyaga rashuhudia kugora Aba waniduma.
\v 37 Aba waniduma ye mweni washuhudia kuhusu nyi. Ndamuwakie kusikira sauti yake wala kuwona umbo jake wakati gogose.
\v 38 Ndakudae idedo jake jikakakaia ndenyi yenyu kwa kugora ndamumwamini ye wadumwa.
\v 39 Mwagachunguza maandiko mkadhani ndenyi yake kuko binana ya kala na kala, na ago maandiko ga shuhudia habari rapwa na
\v 40 ndamkundi kucha kwapwa ili mpate binana ya kala na kala
\p
\v 41 Siwokeraga togolo kufuma kwa wandu.
\v 42 Ela naichi kugora ndamdae lukundo lwa Mlungu ndenyi yenyu inyo weni.
\v 43 Nacha kwa irina ja Aba wapwa, ndadimie kuniwokera kama umwi akacha kwa irina jake mwabokeraga.
\v 44 Je, mdimaga kuamini inyo ambawo mwawokera togolo kufuma kwa kila umweri wenyu ela ndamlolaga togolo ifumaga kwa Mlungu wa pekee?
\p
\v 45 Msadhani nyi nadima washitaki imbiri ra Aba. Awashitaki inyo ni Musa, ambae inyo mwawika matumaini genyu kwake.
\v 46 Kama mwakogo mwamini Musa, mwaniamini nyi kwa sababu waandikie kuhusu habari rapwa.
\v 47 Kama ndamuamini maandiko gake, mdimaga kuamini madedo gapwa?
\c 6
\cl Sura 6
\p
\v 1 Baada ya malago aga, Jesu wagendie chuwandera Bahari ya Galilaya, pia yawangwaga Bahari ya Tiberia.
\v 2 Mkutano mbaha gwakogo gukimnuga kwa sababu wawonie ishara aribonbonyie kwa wakogo wakongo.
\v 3 Jesu wajokie igu hadi luwande lwa lugongo na akakaia uko na wanafunzi wake.
\v 4 Na pasaka, sikukuu ya Wayahudi yakogo yafika avui).
\v 5 Jesu kuwusira meso gake igu na kuwona umati mbaha gwacha kwake, akamzera Filipo, "Digendaga hao kugua mikate ili awa wadime kuja?"
\v 6 (Ela Jesu wagadedie aga kwa Filipo kwa kumgeria kwa ye mweni wamanyie achibonyaga).
\v 7 Filipo akamjibu, "Hata mikate ya thamani ya dinari mia mbili ndayatoshaga hata kilaumweri kupata hata kipande kitini."
\v 8 Andrea, umweri wa wanafunzi wake mbari wake simoni Petro akamzera
\v 9 Jesu, "kuko ndawana aha akona mikate isanu na samaki wawi, ela ihi ifaaga indoi kwa wandu wengi namna ihi?"
\v 10 Jesu akamzera, "wakarishenyi wandu ndonyi" (kwarikogo na nyasi nyingi andu aja). Huwo wami wafika elfu isanu wakakaia ndonyi.
\v 11 Kisha Jesu akawusa ija mikate isanu akashukuru akawagia waja wakogo wakandonyi. Huwo huwo akawawagia samaki kwa kadiri ya uja wahitaji.
\v 12 Wandu kumeria kuguda, akawazera wanafunzi wake, "vikusanye vipande va samaki, na bakia ili kwamba chisalagae chochose."
\v 13 Basi wakakwanya na kuchura vikau ikumi na viwi, vipande va mikate isanu ya shayi vipande vasazwa ni waja wajie.
\p
\v 14 Kisha wandu kuwona ishara ihi waibonya wakadeda, "Loli uyu nie uja nabii achaga urumwengunyi."
\v 15 Jesu kumanya kugora wakogo wakundi kumwada ili wabonye kuwa mzuri wao, akakitenga, sena akagenda lugongonyi ye mwenikeri.
\p
\v 16 Kufikia na wenyi, wanafunzi wake wakosea kugenda iriwinyi.
\v 17 Wakaijoka mtumnbwinyi na wakogo wakinuwuka kuelekea kapernaumu. (Kia chakogo changia na Jesu wakogo bado ndaligisire kucha kwawo.
\v 18 Wakati ugo upepo gubirie gwakogo gukuvuma, na bahari yakogo ikiendelea kuchafuka.
\v 19 Sena wanafunzi wake wakogo wakaba makasia kama ishirini na asanu au thelathini, wakamwona Jesu akisela igu ya bahari gukufikia mtumbwi, na wakaboa.
\v 20 Ela akawazera, "Ni nyi! msaboe."
\v 21 Sena wakogo tayari kumdwa mtumbwinyi, na mara mtumbwi gwafikie isangenyi andu wakogo wakigenda.
\p
\v 22 Ituku jinugirie, mkutano gukogo gwasimama luwande lwa bahari wawonie kuwa ndadae mtumbwi gumwi isipokuwa guja ambago Jesu na wanafunzi wake wakogondawaujokie ela wanafunzi wake wakogo wagenda rawe weni.
\v 23 (Ingawa, kwarikogo na baadhi ya mtumbwi yafuma tiberia avui na andu waja mikate baada ya Mzuri kufunya shukrani).
\v 24 Wakati makutano kumanya kuwa siyo Jesu wala wanafunzi wake wakogo kija, wo weni wajokie ndenyi ya mtumbwi wakagenda kapernaumu wakimlola Jesu.
\p
\v 25 Baada ya kumpata luwande lumwi lwa iriwa wakamkotia, "Rabi wachee kunu?"
\v 26 Jesu akawajibu, akawazera, Amini, amini, mdanilola nyi, siyo kwa sababu namwonie ishara, bali kwa sababu mwajie mikate na kuguda.
\v 27 Sigenyi kuvibonyia vazi vindo vidumu hata kala na kala. Vija ambavo mwana wa Adamu adima waneka, kwa kugora Mlungu Aba wawika mhuri igu yake."
\p
\v 28 Kisha wakamzera, "Ni ndoi dapaswa kubonya ili kuribonya kazi ra Mlungu?"
\v 29 Jesu akajibu, "Ihi niyo kazi ya Mlungu: kwamba mwamini ye wadumwa."
\v 30 Basi wakamzera, "Ni ishara ki uribonyaga, kwamba dadima kuriwona na kukuamini? wadima bonya indoi?
\v 31 Aba wedu wajie manna ijangwenyi, kama yaandikwa, "Wawanekie mikate kufuma mbingunyi ili waje."
\p
\v 32 Kisha Jesu akawajibu, Amini, amini siyo Musa wanekie mkate kufuma mbingunyi, bali Aba wapwa nie awanekaga mkate gwa loli kufuma mbingunyti.
\v 33 Kwa kugora mkate gwa Mlungu ni guja gushukaga kufuma mbingunyi na kugupatia binana urumwengu.
\p
\v 34 Basi wakamzera, "Mzuri dipate ugu mkate wakati wose."
\v 35 Jesu akawazera, Nyi nie mkate gwa binana, ye achaga kwapwa ndapataaga njala na ye aniaminie ndahisi kau kamwe."
\v 36 Ingawa wawagorie kwamba, mwaniwona nabado ndamwamini.
\v 37 Wose ambawo Aba aninekaga wachaga kwapwa, na wowose achaga kwapwa simdagaa shigadi kabisa.
\v 38 Kwa kugora nashuka kufuma mbingunyi, siyo kwa ajili ya kubonya makundo gapwa, bali makundo gake wanichuma.
\v 39 Na aga niyo makundo gake waniduma, kwamba nisamlagashe hata umweri wa waja wanineka, bali niwafufuaga ituku ja mwisho.
\v 40 Kwa kugora aga nigo makundo ga Aba wapwa, kwamba wowose amngowaga mwana na kumwamini apate binana ja kala na kala, nanyi nimfufuaga ituku ja mwisho.
\p
\v 41 Kisha wayahudi wakanung'unikia kumhusu ye kwa sababu wadedie, "Nyi na mkate gushukie kufuma mbingunyi."
\v 42 Wakadedaga, "Uyu siyo Jesu mwana wa Yusufu, ambae ndee na mae dawaichi? Ikaia wada ijaha adede, 'Nashuka kufuma mbingunyi?"
\v 43 Jesu akajibu, akawazera "Msanung'unika miongonyi mwenyu weni.
\v 44 Ndakudae mundu achaga kwapwa akalemwa rudwa ni Aba wapwa waniduma, nanyi nadima mfufua ituku ja mwisho.
\v 45 Kwa kugora yaandikwa katika walodi; wadimafundisha ni Mlungu; kila wasikira na wakifunza kufuma kwa Aba, wachaa kwapwa.
\v 46 Sio kwamba kuko mundu wamwona Aba, isipokuwa ye afumie kwa Mlungu- wamwona Aba.
\v 47 Amini, amini ye aaminie akona binana ya kala na kala.
\v 48 Nyi na mkate gwa binana.
\v 49 Wakaba redu wajie manna ijangwenyi na wakafwa.
\v 50 Ugu nigo mkate gushukaga kufuma mbingunyi, ili kwamba mundu aguje sehemu yake ili asafwe.
\v 51 Nyi na mkate guishi ambago gwashuka kufuma mbingunyi. Kama mundu wowose akaja sehemu ya mkate ugu, wadima ishi kala na kala, mkate nigufunyaga ni muwi gwapwa kwa ajili ya banana ya urumwengu."
\p
\v 52 Wayahudi wakasirika weni kwa weni na wakaanza kubishana wakideda, "Mundu uyu adimaga wada kudineka muwi gwake diguje?"
\v 53 Kisha Jesu akawazera, "Amini, amini mkalemwa ni kuguja muwi mwana wa Adamu na kuinywa baga yake, ndamkaga na binana ndenyi yenyu.
\v 54 Wowose agujaga muwi gwapwa na kuinywa baga yapwa wadima wakaia na binana ya kala na kala, nanyi nadima mfufua ituku ja mwisho.
\v 55 Kwa kugora muwi gwapwa ni vindo va loli, na baga yapwa ni kinywaji cha loli.
\v 56 Ye ajaga muwi gwapwa na kuinywa baga yapwa akaiga ndenyi yapwa, nanyi ndenyi yake.
\v 57 Kama Aba akona banana andu waniduma, na andu niishi kwa sababu ya Aba, na ye pia wadima ishi kwa sababu yapwa.
\v 58 Ugu nigo mkate gushukaga kufuma mbingunyi, sio kama wuja wakaaba wajie na kufwa. Ye agujaga mkate ugu wadima ishi kala na kala.
\v 59 Jesu wagadekie malago aga ndenyi ya isinagogi akogo akifundisha uko kapernaumu.
\p
\v 60 Niko wengi wa wanafunzi wake kusikira aga, wakadeda, "Iji ni ifundisho igumu nani adima ga kujiwokera?"
\v 61 Jesu kwa sababu wamanyie ya kugora wanafunzi wake wakogo wakijinung'unukia ilago iji, akawazera je ilago iji jakwanza?
\v 62 Bsi akaiga wada mkamwona mwana wa Adamu akishuka kufuma ukoarikogo kabla?
\v 63 Ni Ngolo nie afunyaga banana. Muwi ndagufaidii kilambo chochose. Madedo nagadeda kwenyu ni ngolo na ni binana.
\v 64 Basi kuko wandu kati yenyu wasaamini, "kwa sababu Jesu wamanyie tangu mwanzo uja ambae asadimaga kuamini na ye ambae wamsaliti.
\p
\v 65 Akawazera, ni kwa sababu ihi nawazerie kwa ndakudae mundu adimaga kucha kwapwa isipokuwa waanekwa ni Aba.
\p
\v 66 Baada ya aga wanafunzi wake wengi wawukie nyuma na ndawaambatane nae sena.
\v 67 Jesu akawazera waja ikumi na wawi, "Je na inyo mwakundi kuinga?"
\v 68 Simoni Petro akamjibu, "Mzuri digende kwani, we ukona madedo ga binana ya kala na kala,
\v 69 na haamini na kumanya kuwa we ni mtakatifu wa Mlungu."
\v 70 Jesu akawazera, "Je nyi siwasague inyo, na umweri wenyu ni ibilisi?
\v 71 Idana wakogo akiaria kuhusu Yuda, mwana wa Simoni iskariote, kwa kugora wakogo ni ye akikaia umweri wa waja ikumi na wawi, ambae nie wamsaliti Jesu.
\c 7
\cl Sura 7
\p
\v 1 Na baada ya malago aga Jesu wadambie huwu katika Galilaya, kwa sababu ndakudae kugenda Uyahudi kwa sababu wayahudi wakogo wakibonya mipango ya kum-bwaga.
\v 2 Idana sikukuu ya wayahudi, sikukuu ya viwanda, yarikogo avui.
\v 3 Niko wambari wake wakamzera, "Inga andu aha ugende Uyahudi, ili kwamba wanafunzi wakowagawone matendo ugabonyaga.
\v 4 Ndakudae abonyaga jojose kwa siri iwapo ye mweni wakundi amanyikane wazi. Iwapo wabonyaga malago aga, kibonyere we mweni kwa urumwengu."
\v 5 Hata wambari wake pia ndawamuaminie.
\v 6 Niko Jesu akawazera, "Wakati gwapwa ndaguligisire kufika bado, ela wakati gwenyu kila mara guko tayari.
\v 7 Urumwengu ndagudimaga kumichukia inyo, bali gumichukiaga nyi kwa sababu nagushuhudia kugora matendo gake ni maovu.
\v 8 Jokenyi kugenda sikukuunyi; nyi sigendaga sikukuunyi ihi kwa sababu muda gwapwa ndaguligisire bado."
\v 9 Baada ya kudeda malago aga kwawo, wabakie Galilaya.
\p
\v 10 Hata huwo, wambari wake wakogo wagenda sikukuunyi, niko nae akagenda, siyo kwa wazi bali kwa siri.
\v 11 Wayahudi wakogo wakimlola sikukuunyi na kudeda, "Eko hawo?"
\v 12 Kwarikogo na majadiliano mengi miongonyi mwa makutano igu yake wamwi wadedie, 'Ni mundu aboie." Wamwi wadedie," Hapana, wawapotoshaga makutano."
\v 13 Hata huwo ndakudae waariya wazi igu yake kwa kuwaboa wayahudi.
\p
\v 14 Wakati sikukuu kufika gadigadi, Jesu wajokie kugenda ihekelunyi na kuanza kufuyndisha.
\v 15 Wayahudi warikogo wakishangaa na kudeda kwa jinsi ki mundu uyu waichi malago mengi? Ndasomie kamwe."
\v 16 Jesu akawajibu na kuwazera, 'Mafundisho gapwa siyo gapwa, bali ni gake waniduma.
\v 17 Iwapo wowose akundaga kubonya makundo gake ye, amanyaga kuhusu mafundisho aga, kama gafumaga kwa Mlungu, au kama nadeda kufuma kwapwa mweni.
\v 18 Kila adedaga gafumaga kwake mweni walolaga utukufu gwake, bali kila alolaga utukufu gwake ye wamduma, mundu uyo niwa loli, na ndenyi yake ndakudae kulemwatenda hachi.
\v 19 Musa ndawanekie inyo sheria? Ela ndakudae hata umweri kati yenyu atendaga sheria kwa indoi mwakundi kunibwaga?
\p
\v 20 Makutano wakajibu, "Ukona pepo. Nani akundi kukubwaga?"
\v 21 Jesu akajibu na akawazera, "Natenda kazi imweri, na inyo wose mwashangazwa kwa sababu yake.
\v 22 Musa awawanekie tohara (SIyo kwamba yafumie kwa Musa, bali ija jamie kwa wakaaba), na katika sabato mwamtahiri mundu.
\v 23 Iwapo mundu awokeraga tohara katika ituku ja sabato ili kwamba sheria ya Musa isachukanywe, kwa indoi mdanikasirikia nyi kwa sababu nam-bonya mundu kuwa binana kabisa katika sabato?
\v 24 Msahukumu kulingana n mwonekano, bali hukumunyi kwa hachi.
\p
\v 25 Baadhi yawe kufuma Yerusalemu wakadeda, "siye uyu wamlolaga kum-bwaga?
\v 26 Na ngowa, adeda wazi wazi, na ndawadedaga chochose igu yake. Ndaidimikaga ikiwa kwamba vilongozi waichi loli kugora uyu ni Kristo, yadimika kuwa?
\v 27 Daichi uyu mundu wafumie huwo. Kristo akacha, hata huwo, ndakudae amanyaga hawo wafuma nako."
\p
\v 28 Jesu wakogo akipaza sauti yake ihekelunyi, akifundisha na kudeda, "Inyo wose mwaichi nyi na mwaichi uko nafuma nako. Sichee kwa nafasi yapwa, bali ye waniduma ni wa loli, na ndamumwiichi ye.
\v 29 Na muichi ye kua sababu nafuma kwake na wanidumie."
\p
\v 30 Warikogo wadaageria kumwa-da ela ndakudae hata umweri awusirie mkonu gwake igu yake kwa sababu saa yake yakogo bado kufika.
\v 31 Hata huwo, wengi katika makutano wamwaminie. Wadedie, "Kristo akacha, abonyaga ishara nyingi kuliko waribonya mundu uyu?"
\v 32 Mafarisayo wawasikire makutano wakinong'onezana malago aga kuhusu Jesu, na wabaha wa makuhani na mafarisayo wakaduma maafisa ili kumwa-da.
\p
\v 33 Niko Jesu akadeda, "Bado kuko muda kitambo nikaia andukumweri na inyo, na baadae nigendaga kwake ye waniduma.
\v 34 Mwadima nilola wala ndamnionaga, kuja nigenda nako, ndamdimaga kucha."
\v 35 Kwa huwo Wayahudi wakadedanya weni kwa weni, "Mundu wadima genda huwo kwamba disadime kumwona? Agendaga kwa watawanyikie kati ya wayunani na kuwafundisha wayunani?
\v 36 Ni idedo ki iji wajideda; Mnilolaga wala ndamniwonaga; kuja nigendaga ndamdimaga kucha'?"
\p
\v 37 Idana katika ituku ja mwisho, ituku ibaha ja sikukuu, Jesu wasimamie akapaza sauti, akideda, "Ikiwa wowose akona kau, na acha kwapwa anywe.
\v 38 Ye aniaminie nyi, kama maandiko gadedie, kufuma ndenyi yake itiririkaga mieda ya machi ga binana."
\v 39 Ela wadedie aga kuhusu Ngolo, ambae wo wamwamini wadima m-bokera; Ngolo wakogo bado kufunyigwa kwa sababu Jesu wakogo ndaligisire kutukuzwa bado.
\p
\v 40 Baadhi ya makutano, kusikira madedo aga, wadedie, "Loli uyu ni mlodi."
\v 41 Wamwi wadedie, "Uyu ni Kristo." Ela wamwi wadedie, "indoi, Kristo adima kufuma Galilaya?
\v 42 Maandiko ndagadedie kugora Kristo afumaga katika ukoo gwa Daudi na kufuma Bethlehemu, kijiji ambacho Daudi wakogo?
\v 43 Huwo, aja gukafumiria mgawanyiko katikati ya makutano kwa ajili yake.
\v 44 Wamwi kati yawe wam-bwadaga, ela ni ndakudae wanyosha mikonu yake igu yake.
\p
\v 45 Niko waja maofisa wakawuya kwa wabaha wa makuhani na mafarisayo, nawo wawazera, "kwa indoi ndamwu-redie?"
\v 46 Maafisa wakajibu, "Ndakudae mundu wawahi kuaria kama uyu kabla."
\v 47 Niko mafarisayo wakawajibu, "Na inyo pia mwapotoshwa?
\v 48 Kuko wowose kati ya watawala amwamini, au wowose wa mafarisayo?
\v 49 Bali awa makutano wasaichi sheria wakalaniwe."
\p
\v 50 Nikodemu akawazera (ye amgendie Jesu aho kala, akika umweri wa mafarisayo),
\v 51 "Je sheria yedu yamhukumu mundu isipokuwa wasikiriwa kwanza na kumanya achibonyaga?"
\v 52 Wajibie na kumzera, "Na we pia wafumie Galilaya? Lola na uwone kwamba ndakudae mlodi wafuma Galilaya."
\p
\v 53 \f + \ft Zingatia: Baadhi ya madedo ga Yohana 7: 53 - 8:11 ndageko katika nakala bora ra kala. \f* Kisha kila mundu wagendie nyumbenyi kwake.
\c 8
\cl Sura 8
\p
\v 1 \f + \ft Zingatia: Ngowa ufafanuzi gwa Yohana 7: 53 - 8: 11 aho igu. \f* Jesu wagendie lugongo lwa mizeituni.
\v 2 Mapem asubuhi akacha sena ihekelunyi, na wandu wose wakamgendia; akaka na kuwafundisha.
\v 3 Waandishi na mafarisayo wakamreda muka awadigwe katika kitendo cha kuzini. Wakamwika gadi gadi.
\v 4 \f + \ft Zingatia: Ngowa ufafanuzi gwa Yohana 7: 53 - 8: 11 aho igu. \f* Niko wakamzera Jesu, "Mwalimu, muka uyu wawa-diwa katika uzinzi, katika kitendo kabisa.
\v 5 Idana, katika sheria, Musa wadiamuru kuwaponda magwe wandu kama awa, ugora wada igu yake?
\v 6 Wadedie aga ili kumtega ili kwamba wapate ilago ja kumshtaki, ela Jesu akagogoma ndonyi akaandika katika ardhi kwa chala chake.
\v 7 \f + \ft Zingatia: Ngowa ufafanuzi gwa Yohana 7: 53 - 8: 11 aho igu. \f* Waendelee kumkotia, wasimamie na kuwazera, "Ye asadae zambi miongonyi wenyu, awe wa kwanza lauponda magwe.
\v 8 Akagora seana ndonyi akaandika katika ardhi kwa chala chake.
\v 9 \f + \ft Zingatia: Ngowa ufafanuzi gwa Yohana 7: 53 - 8: 11 aho igu. \f* kusikira ago, wakainga umweri baada ya umweri, kuanzia eko mgosi mwishonyi Jesu wasigiwe mweni keri, andukumweri na uja muka akogo gadi gadi yawe.
\v 10 Jesu wasimamie na kumzera, "muka, wakogo wakushitaki wako hawo? Ndakudae hata umweri wakuhukumu?"
\v 11 Akadeda, "Ndakudae hata umweri Mzuri." Jesu akadeda, "Hata nyi sikuhukumu. Genda chia rako, kuanzia ijiaha na kuendelea usatende zambi sena."
\p
\v 12 Sena Jesu akaria na wandu akideda, "Nyi na nuru ya urumwengu; ye aninuga ndaselaga kirenyi bali akaia na nuru ya binana."
\v 13 Mafarisayo wakamzera, "Udakishuhudia mweni." ushuhuda gwako siyo gwa loli."
\v 14 Jesu wawajibie akawazera, "Hata kama nikishuhudia mweni, ushuhuda gwapwa ni loli. Naichi andu nifumie na kuja nigendaga, ela inyo ndamuichi andu uko nifumie au kuja nigendaga.
\v 15 Inyo mwahukumu ki-muwi, nyi simhukumu wowose.
\v 16 Nyi hata nikahukumu, hukumu yapwa ni loli kwa sababu siko nyimweni, bali niko andukumweri na Aba waniduma.
\v 17 Niko, katika sheria yenyu yaandikwa kwamba ushuhuda gwa wandu wawi ni loli.
\v 18 Nyi nie nikishuhudia, na Aba anidumie anishuhudia."
\p
\v 19 Wakamzera, "Aba wako ako hao?" Jesu akajibu, "Nyi ndemniichi wala Aba wapwa ndamuiichi, kama mwakogo mwaniichi nyi, mwammanyaga na Aba wapwa pia."
\v 20 Wadedie madedo aga akika avui na hazina akogo akifundisha ihekelunyi, na ndakudae hata umweri wam-mwada kwa sababu saa yake yakogo bado kufika.
\p
\v 21 Basi akawazera sena, "Nagenda chia rapwa, mnilolaga na mfwaga katika zambi renyu. Kuja nigenda, ndamdimaga kucha."
\v 22 Wayahudi wakadeda "Akibwaga mweni, ye ambae wadedie, 'kuja nigendaga ndamdimaga kucha'?"
\v 23 Jesu akawazera, "Mwafuma ndonyi, nyi nafuma igu. Inyo ni wa urumwengu ugu; nyi siyo wa urumwengu ugu.
\v 24 Kwa huwo, mfwaga katika zambi renyu. Vinginevyo muamini kugora NYI NIYE, mfwaga katika zambi renyu."
\p
\v 25 Kwa huwo wakamzera, "we wani? Jesu akawazera, Gaja niwagorie tangu mwanzo.
\v 26 Nikonago mengi ga kuaria na kuhukumu igu yenyu. Hata huwo, ye anidumie ni wa loli, na malago wagasikire kufuma kwake, malago aga nagadeda kwa urumwengu."
\p
\v 27 Ndawamwelewe kwamba wakogo akiaria nawo kuhusu Aba.
\v 28 Jesu akadeda, "Mkamwinua igu mwana wa mundu, niko mmanyaga kuwa NYI NIE, na kwamba sibonyaga jojose kwa nafsi yapwa. kama Aba awafundishie, na ndeda malago aga.
\v 29 Ye anidumie eko andukumweri nanyi, na ye ndamsigie nyi mwenikeri, kwani kila mara nabonyaga gaja gampendezaga."
\v 30 Wakati Jesu akideda malago aga, wengi wamwaminie.
\p
\v 31 Jesu akadeda kwa waja wayahudi wamwaminie, "Ikiwa mkaia katika idedo japwa, niko mkaia wanafunzi wapwa loli.
\v 32 na inyo mwadima imanya loli, na loli yadima wawika huru."
\v 33 Wakamjibu, "Isi na kivazi cha Ibrahimu na kamwe ndadigisire kuka indoi ndonyi ya utumwa gwa wowose; udedaga wada, "Diwikwaga huru?"
\v 34 Jesu akawajibu, "Amini, amini namigoria, kila abonyaga zambi ni mtumwa wa zambi.
\v 35 Mtumwa ndakaga nyumbenyi wakati gose, mwana wadumu matuku gose.
\v 36 Kwa huwo, ikakai mwana akawawika huru, mkaia huru loli kabisa."
\v 37 Naichi kugora inyo ni kivazi cha Ibrahimu; mdalola kuuibwa-ga kwa sababu idedo japwa ndajidae nafasi ndenyi yenyu.
\v 38 Nadeda malago ambago nagawona andukumweri na Aba wapwa, na inyo wuja mdabonya malago ambago mwagasikire kufuma kwa waka ndeo wenyu."
\p
\v 39 Wajibie na kumzera, mwabonyaga kazi ra Ibrahimu.
\v 40 Hata ijiaha mwalola kunibwaga, mundu wawagoria loli kugora nasikire kufuma Mlungu. Abrahamu ndabonyie huwu.
\v 41 Mdabonya kazi ra aba wenyu." wakamzera, "Ndadivalwe katika uzinzi, dikanae Aba umweri, Mlungu."
\v 42 Jesu akawazera, "Kwa kugora Mlungu ni Aba wenyu, mwakundaga nyi, kwa maana nafuma kwa Mlungu; wala si chee kwa nafasi yapwa, bali ye waniduma.
\v 43 Kwa indoi ndamgaelewaga madedo gapwa? kwa sababu ndamdimaga kurumagia kugasikira madedo gapwa.
\v 44 Inyo niwa wenyu, shetani, na mwakundi kunitenda tamaa ra aba wenyu Wakogo m-bwagaji tangu mwanzo na ndadimaga kusimama katika loli kwa sababu loli ndaiko ndenyi yake. Akadede tee, adadeda kufuma asilinyi kwake kwasababu ni mtee na aba wa tee:
\v 45 Hata ijiaha, kwa sababu nadeda iko loli, ndamniamini.
\v 46 Nani kati yenyu anishuhudiaga kugora ni kona zambi? ikakaia nadeda iko loli, kwa indoi ndamniamini?
\v 47 Ye eko wa Mlungu wagasikiraga madedo ga Mlungu, inyo ndamgasikiraga kwa sababu inyo ndwa wa Mlungu."
\p
\v 48 Wayahudi wakamjibu na kumzera, ndadidedie loli kugora we ni msamaria na ukona pepo?"
\v 49 Jesu akajibu, si dae pepo; ela namheshimu Aba wapwa, inyo ndamniheshimu.
\v 50 Silolaga utukufu gwapwa; kuko na umweri alolaga na kuhukumu.
\v 51 Amini, amini nawaambia, iwapo wowose ajiwadaga idedo japwa, ndawonaga mauti kamwe."
\p
\v 52 Wayahudi wakamzera, "Idana damanya kugora pepo. Abrahamuy na walodi wafuye, ela udadeda, 'Ikiwa mundu ajiwadaga idedo japwa, ndajaga mauti."
\v 53 We ndwa mbaha kuliko aba wedu Abrahamu afuye, sinyo? walodi pia wafuye We wakibonya kuwa wani?"
\v 54 Jesu aakajibu, "Ikiwa nikimtukuzaga nyi mweni, utukufu gwapwa ni dueri.
\v 55 Inyo ndammanyege ye, ela nyi namwaichi ye. Ikiwa nidedaga simuichi nikaia kama inyo, na mtee. Hata huwo, namwichi na madedo gake nagwada.
\v 56 Aba wenyu Abrahamu washangilie andu awonaga ituku japwa, wawonie na akaboiwa.
\p
\v 57 Wayahudi wakamzera, "Ndufikishie umwi gwa miaka hamsini bado, nawe wamwona Ibrahimu?"
\v 58 Jesu akawazera, "Amini, amini, nawagoria, kabla Abrahamu ndajisire valwa, NYI NEKO."
\v 59 Niko wakashowa magwe wapate kumkaba, ela Jesu akakivisa na akafuma shigadi ya ihekalu.
\c 9
\cl Sura 9
\p
\v 1 Wakati, Jesu akogo akideda, wamwonie mundu kipofu tangu kuvalwa kwake.
\v 2 Wanafunzi wake wakamkotia, "Rabi, nani atendie zambi, mundu uyu au wavazi wake, hata avalwe?"
\v 3 Jesu akajibu, "Sinyo uyu mundu wala wavazi wake watendie zambi, bali kazi ra Mlungu nipate kufunuliwa kuidia kwake.
\v 4 Dapaswa kubonya kazi rake ye anidumie wakati bado ni dime kio chidacha wakati ambapo ndakudae adimaga kubonya kazi.
\v 5 Wakati niko urumwengunyi, nyi na nuru ya urumwengu."
\p
\v 6 Baada ya Jesu kudeda malago aga, akachuya ardhinyi, akabonya itope kwa mada, na akamvia uja mundu mesonyi na jija itope.
\v 7 Akamzera, genda- kisimamenyi cha siloam (yatafsiriwa kama wadumwa')."kwa huwo uyo mundu akagenda, nawa, na akawua adawona.
\v 8 Majirani wa uja mundu na waja wamwona mwanzo kama mlombaji wadedie, Je! uyu siyo siyo uja mundu akogo akikaia na kulomba?" wami wadedie, "Ni ye."
\v 9 Na wamwi wadedie, "Hapana, bali wafwanane nae." Ela warikogo akideda." Ni nyi."
\v 10 Wakamzera." Idana meso gako gafunguliwe wada?"
\v 11 Wajibie, mundu awangwaga Jesu wabonyie itope na kuvivia meso gapwa na kunizera, 'Genda siloam ugende nawa. Kwa huwo nikagenda, na nikanawa, na nikapata kuwona sena."
\v 12 Wakamzera," Ako huwo?" Akajibu, "siichi."
\p
\v 13 Wakamgenja uja mundu awahie kukaia kipofu kwa mafarisayo.
\v 14 Nayo yakogo ituku ja sabato wakati Jesu akabaisa itope na kugafumbua meso gake.
\v 15 Niko sena mafarisayo wakamkotia wa wawawada. Akawazera, "Wawikie itope mesonyi kwapwa, nikanawa na idana nadima kuwona."
\v 16 Baadhi ya mafarisayo wakideda, "mundu uyu ndafumie kwa Mlungu kwa sababu ndaiwadaga sabato." Wamwi wakadeda," Idimikaga wada mundu ekona zambi kubonya mgawanyiko kati yawo.
\v 17 Niko wakamkotia uja kipofu sena, "Udedaga wada igu yake kwa sababu wagafungue meso gako?" kipofu akadeda, "Ni mlodi."
\p
\v 18 Hata wakati ugu wayahudi ndawamuaminie kwamba warikogo kipofu nae wapata kuwona mpaka wakawawanga wavazi wake ye arikogo kipofu.
\v 19 Wawakotie wavazi, Je, uyu ni mwana wenyu mdadega warikogo kipofu? wadima wada Idana kuwona?"
\v 20 Huwo wavazi wake wakamjibu "Daichi kugora uyu ni mwana wenyu na kwamba wavalwe kipofu.
\v 21 Jinsi ki idana adawona, ndadiichi, na ye wamfumbua meso gake, ndadimuiichi. Mkotienyi ye ni mundu mlazi. Adima kukieleza mweni."
\v 22 Wavazi wake wadedie malago aga, kwa sababu warikogo wadawaboa wayahudi. Kwa wuja wayahudi warikogo wakubaliana tayari kuwa, ikiwa wowose wadima- wakiri kuwa Jesu ni Kristo, wadima tengwa na isinagogi."
\v 23 Kwa sababu ihi, wavazi wake wadiadie, "Ni mundu mlazi, mkotienyi ye mweni."
\p
\v 24 Kwa huwo kwa mara ya kawi, wam-bangie uja mundu awabireje kukaia kipofu na kumzera, "Mneke Mlungu utukufu. Daichi kugora mundu uyu ni mundu ako na zambi."
\v 25 Niko uja mundu akajibu." Ake ni akona zambi nyi siichi. Kilambo chimweri ni chichi: narikogo kipofu, na ijiaha nawona."
\v 26 Niko wakamzera, "Wakubonyia indoi? Wagafumbue wada meso gako?"
\v 27 Akajibu, "Nameria kuwagoria tayari, na inyo wasikirie! kwa indoi mwakundi kusikira sena? Nainyo ndamkundi kuwa wanafunzi wake pia, sivyo?
\v 28 Wakamwanyira na kudeda, "We ni mwanafunzi wake, ela isi da wanafunzi wa Musa.
\v 29 Daichi kugora Mlungu waarie na Musa, ela kwa uyu mundu, ndadiichi kuja afumie nako."
\v 30 Uja mundu akajibu na kuwazera, "kwa indoi, iji ni ilago ja kushangaza, kwamba ndamuichi afumie nako, na bado wafumbue meso gapwa.
\v 31 Daichi kugora Mlungu ndawasikiraga wekona zambi, ela ikakaia mundu wowose mwabudu Mlungu na kubonya makundo gake, Mlungu wamsikiraga.
\v 32 Tangu kuanza kwa urumwengu ndailigisire kamwe kusikirwa kwamba wowose wagafumbua meso ga mundu wavalwa kipofu.
\v 33 Ikiwa mundu uyu ndafumie kwa Mlungu, ndabonyaga chochose."
\v 34 Wajibie na kumzera, "Wavalwe katika zambi kabisa, na we udadifundisha isi?" Niko wamwingisa kufuma isinagoginyi.
\p
\v 35 Jesu wasikire kugora wamwinja isinagoginyi. wampatie na kumzera, "kumwamini mwana wa mundu?"
\v 36 Wajibie na kudeda, "Nani, Mzuri, ili nanyi nipate kumwamini?"
\v 37 Jesu akamzera, "Wamwona, naye uariaga nae niye."
\v 38 Uja mundu akadeda, "Mzuri, Naamini." Niko akamsujudia.
\p
\v 39 Jesu akadeda, "Kwa hukumu nacha katika urumwengu ugu ili kwamba waja wasaonaga wapate kuona nawaja wawonaga wake vipofu.
\v 40 Baadhi ya mafarisayo warikogo andukumweri nae wakasikira madedo ago na kumkotia, "Na isi pia da vipofu?"
\v 41 Jesu akawazera, "Kama mwakogo vipofu, ndamwakaga na zambi. Hata huwo, ijiaha mdadeda, 'Dawona, zambi yenyu idakaia."
\c 10
\cl Sura 10
\p
\v 1 Amini, amini, nawazera uja asangiaga kwa kuidia mjango gwa izzi ja ng'ondi, ela adajoka kwa chia imwi, mundu uyu ni mting'a na mnyang'anyi.
\v 2 Ye angiaga mjangonyi ni mlisha wa ng'ondi.
\v 3 Kwake mlindiri wa mjango wamruguliaga. Ng'ondi ra sikiraga sauti yaake na wariwangaga ng'ondi rake kwa marina gawe na kuwafunya shigadi.
\v 4 Akawafunya shigadi awo weko wake, wawanega, na ng'ondi kumnuga, kwa sababu waichi sauti yake.
\v 5 Ndawamnuga mgenyi ela badala yake wadima mwepuka, kwa sababu ndawaniichi sauti ra wagenyi."
\p
\v 6 Jesu wadedie mfano ugu mzawe, ela ndawagaelewe malago aga ambago warikogo akideda kwawo.
\v 7 Jesu akadeda nawo sena, "Amini, amini, nawazera, Nyi na mjango gwa ng'ondi.
\v 8 Wose wanikirie ni wating'a na ni wanyang'anyi, ela ng'ondi ndawasikire.
\v 9 Nyi na mjango. Wowose angiaga kuidia kwapwa, wadima okolewa, angiaga ndenyi na kufuma, nae wadima wakipatia malisho.
\v 10 Mting'a ndadacha isipokuwa kuiwa, kubwaga na kuangamiza. Nacha ili kwamba wapate binnana na wakaie nayo tele.
\p
\v 11 Nyi na mlisha mwema. Mlisha mwema wagufunyaga uhai gwake kwa ajili ya ng'ondi.
\v 12 Mtumishi waajiriwa, na siyo mlisha, ambae ng'ondi siyo mali yake, wawaona makoshi ga kireti wadacha na kuwakimbia ng'ondi.
\v 13 Na makoshi ga kireti wawa-da na kuwatawanya. Wakimbiga kwa sababu ni mtumishi wa kuajiriwa wa na ndawajali ng'ondi.
\v 14 Nyi na mlisha mwema, na nawaichi weko wapwa, nawo weko wapwa waniichi nyi.
\v 15 Aba waniichi, nanyi namwiichi Aba, nanyi nagufunya uhai gwapwa kwa ajili ya ng'ondi.
\v 16 Nikona ng'ondi wamwi ambawo siyo wa iziz iji. Awo pia, yanipasa kuwareda, nawo wadimasikira sauti yapwa ili kwamba kukaie na ikundi jimweri na mlisha umweri.
\v 17 Ihi niyo sababu Aba wanikundi: Ni gufunye yhai gwapwa halafu niguwuse sena.
\v 18 Ndakudae aguwusaga kufuma kwapwa, ela nyi nagufunya nyimweni. Nikona mamlaka ga kugufunya, na nikonago mamlaka ga kuguwusa pia. Najiwokera ilagizo iji kufuma kwa Aba."
\p
\v 19 Mgawanyiko sena gukafumiria kati ya wayahudi kwa sababu ja madedo aga.
\v 20 Wengi wao wakadeda, "Akona pepo na ni mkilalu. Kwa indoi mwamsikira?"
\v 21 Wamwi wakadeda, "Aga siyo madedo ga mundu wapagawa ni pepo. Pepo jadima kufungua meso ga kipofu?"
\p
\v 22 Niko ikacha sikukuu ya kuwikwa wakfu jerusalemu.
\v 23 Wakogo wakati gwa mbeo, na Jesu wakogo akisela ihekelunyi katika ukumbi gwa selemani.
\v 24 Niko wayahudi wakamzunguluka na kumzera, "Mpaka li wadima wadiwika katika mashaka? kama we wa Kristo, digorie wazi.
\v 25 Jesu akawajibu, "Nameria kuwagoria ela ndamwamini: kazi niribonyaga kwa irina ja Aba wapwa, iro ra shuhudia igu yapwa.
\v 26 Hata huwo ndawaamini kwa sababu inyo siyo ng'ondi wapwa.
\v 27 Ng'ondi wapwa waisikiraga sauti yapwa, nawaichi nawo waninuga nyi.
\v 28 Nawaneka binana ya kala na kala, ndawaangamia kamwe, na ndakudae hata umweri adimaga kuwanyakua kufuma mikonunyi kwapwa.
\v 29 Aba wapwa, aninekie awo, ni mbaha kuliko wamwi wose, na ndakudae hata umweri ekona uwezo wa kuwanyakua kufuma mkonunyi kwa Aba.
\v 30 Nyi na Aba da umweri."
\p
\v 31 Wakadwa magwe ili wamponde sena.
\v 32 Jesu akawajibu, "Nawabonyera kazi nyingi riboie kufuma kwa Aba. Kwa kazi riao katiga iro mwakundi kuniponda magwe?"
\v 33 Wayahudi wakamjibu, "Ndadikupondaga magwe kwa kazi yoyose iko iboie, ela kwa kukufuru, kwa sababu we, uko mundu, wakibonya kuwa Mlungu."
\v 34 Jesu akajibu, "Ndaiandikiwe katika sheria yenyu, "Nadedie, "Inyo ni Mlungu?"
\v 35 Ikiwa wa-wa-wangie Mlungu, kwa waja ambawo idedo ja Mlungu jawachee (na maandiko ndagadimaga kuchukanyigwa),
\v 36 Mwadeda igu ya uja ambae Aba wamfunyie na kumduma katika urumwengu, 'Udakufuru,' kwa sababu nadedie, 'Nyi na mwana wa Mlungu?'
\v 37 "Ikiwa sibonyaga kazi ra Aba wapwa, msaniamini.
\v 38 Hata huwo, ikiwa naribonya, hata kama ndamiamini, riamininyi kazi ili kwamba mdime kumanya na kumanya kwamba Aba weko ndenyi yapwa nanyi neko ndenyi ya Aba."
\p
\v 39 Wakageria sena kumwada Jesu, ela wagendie chia rake kufuma mikonunyi kwawe.
\p
\v 40 Jesu akagenda chia rake sena kimonu cha Yordani sehemu ambayo Yohana awakogo akibatiza kwanza, na akakaia uko.
\v 41 Wandu wengi wakacha kwa Jesu. Waendelee kudeda, "Yohana loli ndabonyie ishara yoyose, ela malago gose wagadeda Yohana igu ya uyu mundu ni ga loli."
\v 42 Wandu wengi dimamwamini Jesu apo.
\c 11
\cl Sura 11
\p
\v 1 Basi mundu umweri irina jake ni Lazaro wakogo mkonago. Wafumie Bethania, kijiji cha Mariamu na dadae Mrtha.
\v 2 Wakogo ni Mariamu uja amvirie Mzuri Marhamu na kumfuta magu gake kwa njwi rake, ambae mbari wake ni Lazaro akogo ni mkongo.
\v 3 Niko wakadeda awa wadumie ujumbe kwa Jesu na kudeda, "Mzuri, ngowa uja umkundi adawa-wa."
\v 4 Jesu kusikira akadeda, "Ukongo ugu siyo gwa mauti, ela, badala yake ni kwa ajili ya utukufu gwa Mlungu ili kwamba mwana wa Mlungu apate kutukuzwa katika ugo ukongo."
\v 5 Jesu wamkundie martha na dadie na Lazaro.
\v 6 Kusikira kuwa Lazaro ni mkongo, Jesu wakaie matuku awi zaidi andu arikogo.
\p
\v 7 Niko baada ya iji wawagorie wanafunzi wake. "Digendenyi uyahudi sena."
\v 8 Wanafunzi wakamzera, "Rabi, wayahudi wagerie kukuponda magwe, na we wakundi kuwua uko sena?
\v 9 Jesu akawajibu, "Saa ra dime ni ikumi na iwi? mundu akasela na dime ndadimaga kukuwa, kwa sababu adawona kwa nuru ya dime.
\v 10 Hata huwo, ikiwa wadime sela na kio, akuwaa kwa sababu nuru ndaiko ndenyi yake."
\p
\v 11 Jesu akadeda malago aga, na baada ya malago aga, akawazera, "Mwaawedu wedu Lazaro watungura, ela nidagenda ili kwamba mpate kumwusira kufuma dilonyi."
\v 12 Niko wanafunzi wakamzera, "Mzuri, kama watungura, wadima wukia.
\v 13 Wakati ugu Jesu wakogo akiaria habari ra kifwa cha Lazaro, ela wo wadhanie wazungumzia igu ya kutungura dilo.
\v 14 Niko Jesu akazungumza nawo wazi wazi, "Lazaro wafwa.
\v 15 Nikona kuboirwa kwa ajili yenyu, kwamba sikogo kuja ili kwamba mpate kuamini. Digendenyi kwake."
\v 16 Basi Tomaso, awawingiwe pacha, wawagorie wanafunzi wambwawe, "Na isi digendenyi pia digende fwa andu kumweri na Jesu."
\p
\v 17 Wakati Jesu kucha, wadokie kwamba Lazaro tayari wakogo kaburinyi matuku ana.
\v 18 Nayo Bethania yarikogo avui na Yerusalemu kama kilometa arobaini na isanu huwu.
\v 19 Niko Martha akasikira kuwa Jesu adacha, akagenda kuwona nae, ela Mariamu waendelee kukaia nyumbenyi.
\v 20 Niko Martha ndasikire kuwa Jesu adacha, waendelee kukutana na ye, ela Mariamu waendelee kuka nyumbenyi.
\v 21 Niko martha akamzera Jesu, "Mzuri, kama warikogo aha, kaka wapwa ndarifwaga.
\v 22 Hata ijiaha, naichi ya kuwa jojose ujilombaga kufuma kwa Mlungu, wadimakupatia."
\v 23 Jesu akamzera, kakio wadima fufuka sena."
\v 24 Martha akamzera, naichi kwamba wadima fufuka katika ufufuo ituku ja mwisho."
\v 25 Jesu akamzera, "Nyi na ufufo na binana, ye aniaminie, ingawa afwaga, hata huwo akaia adaishi,
\v 26 na ye aishie na kuamini nyi ndafwaga. Udaamini iji?"
\v 27 Akamzera, "Ndiyo, Mzuri naamini kwamba wa wakristo, mwana wa Mlungu, ye achaga katika urumwengu."
\p
\v 28 Kumeria kudeda iji, akagenda chia rake na kumwa-nga dadie wa mariamu faraghanyi.
\v 29 Mariamu kusikira aga, akawikira shwashwa na kugenda kwa Jesu.
\v 30 Naye Jesu warikogo bado kucha ndenyi ya kijiji, bali wakogobado andu wakwana na Martha.
\v 31 Niko Wayahudi wakogo na Mariamu katika nyumba na waja wakogo wakimfariji, kumwona akiwukia shwashwa na kufuma shigadi, wakamnuga, wadhanie kuwa adagenda kaburinyi ili agende lila uko.
\p
\v 32 Niko Mariamu, akafika aja Jesu akogo wamwona na, akagwa ndonyi ya magu gake na kumzera, "Mzuri, kama wakogo aha, mbari wapwa ndafwaga."
\v 33 Jesu kumwona adalila, na Wayahudi wachee andukumwei nae wakogo wakilila pia. Waombolezie katika ngolo na kufadhaika,
\v 34 akadeda, "Mwamtungurisha hawo? wakamzera, Mzuri, choo unguwe."
\v 35 Jesu akalila.
\v 36 Niko Wayahudi wakadeda, "Ngowa andu amkundie Lazaro!"
\v 37 Ela wamwi kati yawe wakadeda, "Siyo uyuy, mundu agafumbue meso ga uja akogo kipofu, ndadimie kum-bonya uyu mundu asafwe?"
\p
\v 38 Niko Jesu, hali akiomboleza nafsinyi kwake sena, wagendie kaburinyi. Iji aha yakogo mbaga, na igwe jawikwa igu yake.
\v 39 Jesu akadeda, "Jinyenyi igwe." Martha, dadadie wa Lazaro, ye afuye, akamzera Jesu, "Mzuri, kwa muda ugu, muwi gukaga gwavunda, kwa sababu wakaia maiti kwa matuku ana."
\v 40 Jesu akamzera, "Nyi sikogorie ya kwamba kama ukawini, uguwonaga utukufu gwa Mlungu?"
\p
\v 41 Kwa huwo wakajiinja igwe. Jesu akainua meso gake igu na kudeda, "Aba, nashukuru kwa kugora wanisikiraga.
\v 42 Naichi kwamba wanisikira mara rose, ela ni kwasababu ya ikusanyiko ambajo jasimama kumzunguluka kwamba nadedaga, ili kwamba wapate kuamini kuwa we waniduma."
\v 43 Baada ya kudeda aga, wakemie kwa sauti mbaha, "Lazaro, fuma shigadi."
\v 44 Mfu akafuma shigadi wafungwa mikonu na magu kwa sahanda ra kurikia, na wushu gwake gwafungiwe na kitambaa." Jesu akawazera, "Mfunguenyi mumsige agende."
\p
\v 45 Niko wayahudi wengi wachee kwa mariamu na kuwona Jesu wachibonya, wakamwamini.
\v 46 Ela baadhi yao wakagenda kwa mafarisayo na kuwagoria malago wagabonya Jesu.
\v 47 Niko wabaha wa makuhani na mafarisayo wakakusanyika andu kumweri katika ibaraza na kudeda, "Dibonyaga indoi? mundu uyu adabonya ishara nyingi.
\v 48 Ikiwa dimsigaa uyu mwenikeri, wose wadima mwamini, Warumi wachaga na kuwusa vose andu kwedu na isanga jedu."
\p
\v 49 Hata huwo, mundu umweri kati yawe, kayafa, akogo kuhani mbaha mwaka ugo, akawazera, "Ndamuichi chochose kabisa.
\v 50 Ndamfikiria kwamba yafua kwa ajili yenyu kwamba mundu umweri yapasa kufwa kwa ajili ya wandu kuliko isanga jose kuangamia."
\v 51 Aga ndagadie kwa sababu yake mweni, badala yake, kwa kugora warikogo kuhani mbaha mwaka guja, watabirie kwamba Jesu afwaga kwa ajili ya isanga;
\v 52 na siyo kwa isanga jinekeri, bali Jesu apate kuwakusanya wana wa Mlungu ambawo watawanyika sehemu ya isanga.
\v 53 Kwa huwo kuanzia ituku ijo na kuendelea wakapanga namna ya kumwa-ga Jesu.
\p
\v 54 Jesu ndaselie sena wazi wazi kati ya Wayahudi, bali waingie aho na kugenda isanga jiko avui na ijangwa katika muzi guwangwa ga Efrahim, u. Aho wakee na wanafunzi.
\p
\v 55 Basi pasaka ya Wayahudi yarikogo avui, na wengi wakajoka kugenda Yerusalemu shigadi ya muzi kabla ya pasaka ili wapate kukitakasa weni.
\v 56 Warikogo wakimlola Jesu, na kuaria kila umweri wakogo wasimama ihekalunyi, "Mfikiri indoi? kwamba ndachaga sikukuunyi?"
\v 57 Wakati ugu wabaha wa makuhani na mafarisayo wakogo wafunya amri kwamba ikiwa umweri akamanya Jesu andu eko, apaswa kufunya taarifa ili kwamba wapate kumwa-da.
\c 12
\cl Sura 12
\p
\v 1 Matuku sita kabla ya pasaka, Jesu wagendie Bethania ukoeko Lazaro, ye ambae wamfufue kufuma wafu.
\v 2 Basi wakamwandalia vindo va kwenyi uko, na Martha akamtumikia, wakati ugo Lazaro wakogo umweri wawe na waja wakaia vindonyi andu kumweri na Jesu.
\v 3 Kisha Mariamu akawusa rati ya manukato gaboisiwe kwa nardo safi, gekona samani mbaha, akamvia Jesu magunyi, na kumfuta magu kwa njwi rake; nyumba yose ikachua harufu ya manukato.
\p
\v 4 Yuda Iskarote, umweri wa waja wanafunzi wake, ambae nie amsaliti Jesu, akadeda,
\v 5 "Kwa indoi manukato aga gasadagwe kwa dinari miaidadu na wakanekwa wakiwa?"
\v 6 Naye wagadedie ago, siyo kwa kuwa-wonia mbazi wakiwa, bali kwa sababu warikogo mting'a: ye nie awadie mfuko gwa magome na wakogo awusa baadhi ya viwikwa aho kwa ajili yake mweni.
\v 7 Jesu wadedie, "Msige awike eko nacho kwa ajili ya ituku ja mariko gapwa.
\v 8 Wakiwa mkaia nawo matuku gose, ela ndamkaia nanyi matuku gose."
\p
\v 9 Basi umati mbaha gwa wayahudi wapatie kumanya ya kuwa Jesu ako uko, nawo wakacha, siyo kwa ajili ya Jesu tu, ila wamwone na Lazaro ambae Jesu wamfufue kufuma kwa wafu.
\v 10 Nawo wabaha wa makuhani wakabonya shauri ili wamwage Lazaro,
\v 11 Maana kwa ajili yake wengi katika wayahudi wagendie rawe na wakamwamini Jesu.
\p
\v 12 Na ituku ja kawi yake umati mbaha wachee sikukuunyi. Kusikira ya kuwa Jesu adacha Jerusalemu,
\v 13 Wawusie matawi ga midi ya mitende na kufuma shigadi kugenda kumlaki na wakaba jogo, "Hosana! Wabarikiwa ye achaga kwa irina ja Mzuri, Mzuri wa Israeli."
\v 14 Jesu wampatie mwana- punda akamjoka, kama wuja iandikiwe,
\q
\v 15 "Usaboe, binti sayuni, ngowa, Mzuri wako adacha wajoka mwana punda."
\p
\v 16 Wanafunzi wake ndawagaelewe malago aga aha kwanza, ela Jesu kutukuzwa, niko wakakumbuka ya kuwa malago aga waandikiwe ye na yakugora watendie malago aga kwake.
\p
\v 17 Basi jija ikundi ja wandu wakogo andukumweri na Jesu wakati akimwa-nga Lazaro kufuma kaburinyi, wakashuhudia kwa wamwi.
\v 18 Na yakogo kwa sababu ihi pia kwamba ikundi ja wandu wagendie kumlaki kwa sababu wasikire ya kugora waibonyie ishara iyo.
\v 19 Mafarisayo wakadedanya wo kwa wo, "Ngowa, iji aha ndamdimaga kubonya jojose, ngowa, urumwengu gwgenda kwake."
\p
\v 20 Idana baadhi ya wayahudi wakogo miongonyi mwa waja wakogo wakigenda abudu sikukuunyi.
\v 21 Awa wagendie kwa Filipo, ambae wafumie, "Mzuri, isi datamani kuwona Jesu."
\v 22 Filipo akagenda akamzera Andrea, Andrea na Filipo wakagenda na kumgoria Jesu.
\v 23 Jesu akawajibu, akadeda, "Saa yafika kwa ajili ya mwana wa Adamu kutukuzwa.
\v 24 Amini, amini nawagoria, chembe ya ngano ikalemweni kugwa katika isanga ikafwa, yakaia hali inyo yeni, bali ikafwa, ivaga matunda mengi.
\v 25 Ye akundi uhai gwake wadima- gulagasha, bali ye angu zamiwaga uhai gwake katika urumwengu ugu wadimagusalimisha hata binana ya kala na kala.
\v 26 Mundu wowose akamtumikia nyi, na aninuge, nanyi niko, niko na mtumishi wapwa andu akaiga. Mundu wowose akanitumikia, Aba wadima- mheshimu.
\p
\v 27 Idana ngolo yapwa yafadhaika: nanyi nidedie? Aba, uniokoe katika saa ihi? Ela ni kwa kusudi ihi naifikia saa ihi.
\v 28 "Aba, ujitukuze irina jako." Kisha sauti ikacha kufuma mbingunyi na kudeda." Najitukuza nanyi nijitukuzaa sena."
\v 29 Basi mkutano gwasimama avui nae wakasikira, wakadeda kugora kwakaia na ngurumo. Wamwi wadedie, "Malaika wadeda nae."
\v 30 Jesu akajibu na kudeda, "sauti ihi ndaichee kwa ajili yapwa, bali kwa ajili yenyu.
\v 31 Idana hukumu ya urumwengu ugu yeko: Idana mbaha wa urumwengu ugu adagwaa shigadi.
\v 32 Nanyi nikainuliwa igu ya isanga, niwarudaga wose kwapwa."
\v 33 Wagadidie aga akibonyera ni mauti ki afwaga.
\p
\v 34 Mkutano wakamjibu, "Isi nasikire katika sheria ya kugora Kristo wadima dumu kala na kala. Nawe udadedaga wada, 'mwana wa Adamu lazima ainuliwe igu? Uyu mwana wa mundu nani?"
\v 35 Basi Jesu akawazera, "Nuru yaduaga andukumweri na inyo muda kidogo. Gendenyi maadamu mkonayo nuru, ili kira chisache kudima. Ye agenda kirenyi ndaichi ukaagendaga nako.
\v 36 Mwadugu nayo nuru, iamininyi nuru iyo ili mpate kuwa wana wa nuru." Jesu wadedie aga nakisha akagenda chia rake akakiwisha wasamwone.
\v 37 Ingawa Jesu wabonyie ishara nyingi namna iyo imbiri yawe, bado ndawamwaminie.
\v 38 Ili jitimie idedo ja mlodi Isaya, ajidedie: "Mzuri, nani arisadikie habari redu? Na mkonu gwa Mzuri wafunuliwa ani?"
\v 39 Niyo sababu wo ndawaaminie, maana Isaya wadedie sena,
\v 40 "Wawapofisha meso, na waribonya rikurie ngolo rawe; wasache wakawona kwa meso gawe na wakamanya kwa ngolo rawe, na wakaongoka nanyi nikawabisa."
\p
\v 41 Isaya wadedie madedo ago kwa kugora waguwonie utukufu gwa Jesu na habari rake.
\p
\v 42 Walakini, hata wabaha wengi wamwaminie Jesu, ela kwa sababu ya mafarisayo, ndawandikie ili wasache wanatengwa na isinagogi.
\v 43 Wakundie togolo ra wanadamu kuliko togolo rafumaga kwa Mlungu.
\p
\v 44 Jesu akapaza sauti na kudeda, "Ye aniaminie nyi, ndaniaminie nyi tu bali ye waniduma nyi,
\v 45 nae aniwonaga nyi amwona ye waniduma.
\v 46 Nyi nacha kama nuru urumwengunyi ili kila mundu aniaminie nyi asakaie kirenyi.
\p
\v 47 Ikiwa mundu wowose wadima gasikira madedo gapwa ela asagawade, nyi simhukumu, maana sichee ili niuhukumu urumwengu, bali niguokoe urumwengu.
\v 48 Ye anilegaa nyi asagubali madedo gapwa akonae amhukumue: Idedo ijo najinena nijo jihukumu ituku ja mwisho.
\v 49 Maana nyi sinenie kwa nafsi yapwa tu. Bali ni Aba anigenjie, ye mweni wanilagiza nigane naga na nigadedaga.
\v 50 Nanyi naichi ya kugora ilagizo jake ni binana ya kala na kala, basi ago ninenaga nyi kama Aba wanigoria, niko ninenaga kwawo."
\c 13
\cl Sura 13
\p
\v 1 Idana kabla ya sikukuu ya Pasaka, kwa sababu Jesu, wamanyie kugora saa yake yafika ambayo afumaga katika dunia ihi kugenda kwa Aba, akiwa wawakunda wandu wake ambawo warikogo dunienyi, wawakundie kuchumba.
\v 2 Na ibilisi warikogo wawikwa tayari katika ngolo ya Yuda Iskariote, mwana wa Simoni, kumsaliti Jesu.
\v 3 Jesu wamanyie kugora Aba wawika vilambo vose katika mkonu yake na kwamba wafuma kwa Mlungu na warikogo adagenda sena kwa Mlungu.
\v 4 Wawikie vindonyi na akaala ndonyi ivazi jake ja shigadi, kisha awusa itaulo akakifunga mweni.
\v 5 Kisha akakumba machi katika ikabuli na akaanza kuwaogesha magu wanafunzi wake na kuwafuta na itaulo mbijo wakifungie ye mweni.
\p
\v 6 Akacha kwa simoni Petro, na Petro akamzera, "Mzuri, wakundi kuniogesha magu gapwa?"
\v 7 Jesu akajibu na kumzera, "Nijhibonyaga ndujiichi ijiaha, ela wadima elewa baadae."
\v 8 Ptro akamzera, "Ndunioneshaga magu gapwa kamwe." Jesu akajibu. "Ikiwa sikuogeshaga, ndukalaga na sehemu andukumweri nanyi."
\v 9 Simoni Petro akamzera, "Mzuri, usaniogeshe magu gapwa tuu, bali pia na mikonu na chongo chapwa."
\v 10 Jesu akamzera, "Wowose ambae wameria kuoga ndahitaji kuoga isipokuwa magu gake, na wakaia safi muwi gake gose, inyo mwakaia safi, ela siyo wose."
\v 11 Kwa kugora Jesu wamanyie uja amsaliti, ili niyo sababu wadedie, siyo wose mwakaia safi."
\p
\v 12 Wakati Jesu akogo wa-waogesha magu gawe na akawusa ivazi jake na kukaia sena, wa-wazerie, "Je mwaelewa chija ambacho nawabonyia?
\v 13 Mwanitii nyi "Mwalimu" na Mzuri ihi mwaeleda loli, maana niko niko.
\v 14 Ikiwa nyi Mzuri na mwalimu, na waogesha magu genyu, inyo pia yawapasa kuwaogesha wambenyu magu.
\v 15 Kwa kugora nawaneka mfano ili kwamba inyo pia mbonye kama nyi andu mbonya kwenyu.
\v 16 Amini, amini, nawazera, mtumwa siyo mbaha kuliko mzuri wake, wala uja ambae wadumwa himbaha kuliko uja eko mtumwa.
\v 17 Ikiwa waichi malago aga, wabarikiwa ukaga tenda.
\v 18 Sidedaga kuhusu inyo wose, kwa kugora nawaichi waja ambawo nawasegua bali nadeda aga ili kwamba maandiko gadime kutimizwa: "Ye ajaga mkate gwapwa waniinulia gumbe yake.'
\p
\v 19 Nawagoria iji ijiaha kabla ndajiligisire kufumiria ili kwamba jikafumiria, mdime kuamini kuwa nyi NIYE.
\v 20 "Amini, amini nawagoria aniwokeraga nyi wam-bokera ambae amduma, na uja aniwokeraga nyi wam-bokera uja anidumie nyi."
\p
\v 21 Wakati Jesu kugadeda aga, wasumbukie ngolonyi, washuhudie na kudeda, "Amini, amini, nawagoria kwamba umweri wenyu wadima wanisaliti."
\v 22 Wanafunzi wake wakaguwana, wakishangaa ni kwa ajili yaniwa-wazerie.
\v 23 Kwarikogo katika meza, umweri wa wanafunzi wake waegama lagenyi kwa Jesu uja ambae Jesu wam-kundie.
\v 24 Simoni Petro wamkotie mwanafunzi uyu na kudeda, "Digoria ni uyao ambae kwake adaaria."
\v 25 Mwanafunzi uja waegama lagenyi kwa Jesu na akamzera, "Mzuri, nani?"
\v 26 Kisha Jesu akajibu, "Ni kwake uja nichovyaa kipande cha mkate na kumneka." Huwo kuchovya mkate, wanekiwe Yuda mwana wa Simoni Iskariote.
\v 27 Na baada ya mkate, shetani wamgirie. Kisha Jesu akamzera, "Chija ambacho wakundi uchibonye chibonye shwa shwa."
\v 28 Idana ndakudae mundu katika meza amanyie sababu ya Jesu kudedda ilago iji kwake.
\v 29 Baadhi yawe wadhanie kugora, kwa sababu Yuda wa-wadie mfuko gwa magome, Jesu wamgorie Gua vilambo divihitaji kwa ajili ya sikukuu." au kugora adapaswa kufunya kilambo kwa waki-wa.
\v 30 Baada ya Yuda kuwokera mkate, wafumie shigadi shwa shwa na yarikogo na kio.
\p
\v 31 Wakati Yuda wakogo wainga, Jesu wadedie "Idana mwana wa Adam watogolwa, na Mlungu wa togolwa kuidia ye.
\v 32 Mlungu wadima mtogola ye mweni, na wadima mtogola shwa.
\p
\v 33 Wana wakoho, niko andukumweri nanyi kitambo kidogo. Mwadima nilola, na andu nawagoria wayahudi, "Niko nigendaga, ndam-dimaga kucha, idana nawagoria inyo, pia.
\v 34 Nawaneka amri mpya, kwamba mkundane, kama nyi andu niwakundie inyo, huwo na inyo yamipasa kukundana inyo kwa inyo.
\v 35 Kwa ajili ya iji wandu wadima manya kwa inyo ni wanafunzi wapwa, ikiwa mkona lukundo kwa kila umweri na umwi."
\p
\v 36 Simoni Petro wa mzera, "Mzuri, udagenda hawo?" Jesu akajibu, "Andu nigendaga kwa ijiaha ndudimaga kuninuga, ela uninuga baadae."
\v 37 Petro akamzera, "Mzuri, kwa indoi nisakunuge hata ijiaha? Nyi nigafunyaga maisha gapwa kwa ajili yako."
\v 38 Jesu akajibu, "Je, ugafunyaga maisha gako kwa ajili yapwa? Amini, amini na kugoria, ijogolo ndajikemaga kabla ndunikanie mara kadadu."
\c 14
\cl Sura 14
\p
\v 1 "Usaruhusu ngolo yako kuwa katika mahangaiko. Udamwamini Mlungu niamini pia na nyi.
\v 2 Katika nyumba ya Aba wapwa kuko makazi mengi ga kukeia, kama ndaya kaga huwo, nakogo nakugoria, kwa huja nidagenda kukuandalia andu kwa ajili yako.
\v 3 Kama nikagenda na kuwaandalia andu niko pia na inyo mkaie.
\v 4 Mwaichi chia andu nigendaga."
\p
\v 5 Tomaso akamzera Jesu, "Mzuri, ndadiichi andu ugendaga, Je! Didamaga kuimanya wadachia?
\v 6 Jesu akamzera, "Nyi niyo chia, loli, na binana; ndakudae adimaga kucha kwa Aba isipokuwa kuidia kwapwa.
\v 7 Kama mwanimanyaga nyi, mangu mwammanye na Aba wapwa pia, kuanzia ijia na kuendelea mwa-mwiichi na mwamwona ye."
\p
\v 8 Filipo akamzera Jesu, "Mzuri, diwonyere Aba, na huwo ikakaia yatosha."
\v 9 Jesu akamzera, "Nakogo andu kumweri na inyo kwa muda mlacha, na bado nduniichi nyi Filipo? wowose waniwona nyi wamwona Aba; Jinsi ki udadeda, 'Diwonyere Aba?
\v 10 Ndamwamini kuwa nyi niko ndenyi ya Aba, na Aba eko ndenyi yapwa? madedo nigadedaga kwenyu sidedaga kwa ikusudi japwa mweni, badala yake, ni Aba aishi ndenyi yapwa atendaga kazi yake.
\v 11 Niamini nyi, kwamba niko ndenyi ya Aba, na Aba eko ndenyi yapwa; kadhalika niamini nyi kwa sababu ya kazi rapwa hasa.
\v 12 Amini, amini, nawagoria, ye aniamini, nyi kazi rija niriwonyaga, ariwonyaga kazi iri pia; na awonyaga hata kazi mbaha kwa sababu na genda kwa Aba.
\v 13 Chochose mkalomba katika irina japwa, niwonyaga ili kwamba Aba adima kutukuzwa katika mwana.
\v 14 Kama mkalomba kilambo chochose katika irina japwa, ijo niwonaga.
\p
\v 15 Kama mkanikunda, mriwadaga amri rapwa.
\v 16 Na nimlombaga Aba, Nae wadima waneka msaidizi umwi ili kwamba udime kuwa andukumweri nanyi kala na kala,
\v 17 Ngolo wa loli. Urumwengu ndagudimaga kumwokera ye kwa sababu ndamwonaga, au kummanya ye, hata huwo inyo, mwa-muichi ye, kwani wakaia andukumweri nanyi na akaga ndenyi yenyu.
\v 18 SImsigaa inyo wenikeri, Niwuiya kwenyu.
\v 19 Kwa muda kilambo, urumwengu ndauniwonaga sena, ela inyo mwaniwona. Kwa sababu naishi, na inyo mwadima ishi pia.
\v 20 Katika ituku ijo mmanya kwamba nyi neko ndenyi ya Aba, na kwamba inyo niko ndenyi yapwa, na kwamba nyi neko ndenyi yenyu.
\v 21 Wowose ariwadaga amri rapwa na kuritenda, nie umweri ambae wanikundi nyi, na ambae wanikundi nyi wadimakundwa ni Aba wapwa, na nimkundaga na nikiwonyeraga nyi mweni kwake."
\p
\v 22 Yuda (Siye Iskariote) akamzera Jesu, "Mzuri, Je! Ni ndoi kwedu na siyo kwa urumwengu?
\v 23 Jesu akajibu akamzera, "kama wowose anikundi ajiwadaga idedo japwa. Aba wapwa wadima mkunda, na dichaga kwake na dibonyaga makao gedu andu kumweri nae.
\v 24 Wowose ambae ndanikundi nyi, ndawadaga madedo gapwa. Idedo ambajo mkasikira sijo japwa bali ja Aba ambae wanidumie.
\v 25 Nagadedaga malago aga kwenyu, wakati bado naishi miongonyi mwenyu.
\v 26 Hata huwo, mfariji, Ngolo mtakatifu, Aba wadima mduma kwa irina japwa, adima wafundisha malago gose na awawonyaga mkumbuke gose ambago nagadeda kwenyu.
\v 27 Amani nawaneka amani yapwa inyo. Siwanekaga ihi kama urumwengu gufunyaga. Msaiwonye ngolo renyu kuwa na mahangaiko, na wowa.
\p
\v 28 Mwasikire wuja niwagorie, 'Nagendaga chia rapwa, na nimwiga kwenyu; kama mwanikundiege nyi, mwakaiga na kuboiwa kwa sababu nidegenda kwa Aba, kwa kugora Aba ni mbaha kuliko nyi.
\v 29 Idana nameria kuwagoria kabla ndailigisire kufumiria ili kwamba, wakati ikafumiria, mdime kuamini.
\v 30 Sidedaga na inyo madedo mengi, kwa kugora mbaha wa dunia ihi adacha. Ye akona ndigi igu yapwa,
\v 31 Ela ili kwamba urumwengu gupate kumanya kwamba namkundi Aba, nabonya ambacho Aba wanilagiza nyui, na diinge andu aha.
\c 15
\cl Sura 15
\p
\v 1 Nyi na mzabibu gwa ugu loli, na Aba wapwa ni mkulima wa mzabibu.
\v 2 Kila itawi ndenyi yapwa ambajo ndajivaga itunda, nawasafisha kila tawi ambajo java itunda wajiinjaga ili kwamba jidime kwa nanganyi.
\v 3 Inyo tayari mwakaia safi kwa sababu ya ujumbe ambago nameria kuwagoria.
\v 4 Mke ndenyi yapwa, na nyi ndenyi yenyu kama itawi jisadimaga kuwa jinekeri jikalemwa kaia mzabibunyi, kadhalika na inyo, mkalemwa kaia ndenyi yapwa.
\p
\v 5 Nyi na mzabibu, inyo ni matawi. Adumuye ndenyi yapwa nanyi ndenyi yake, mundu uyu wavaa matunda mengi, kwa kugora pasipo nyi ndamdimaga kubonya ilago jojose.
\v 6 Ikiwa mundu wowose ndasali ndenyi yapwa, adagwaa, kama itawi na kuoma; Wandu wakusanyaga matawi na kuya-daga modonyi, na kuteketea.
\v 7 Ikiwa mwadima dumu ndenyi yapwa, na kama madedo gapwa gakadumu ndenyi yenyu, lombenyi jojose mjikundi, na inyo mwadima-bonya.
\v 8 Katika iji Aba wapwa watukuzwa, kwamba mdava matunda mengi na kwamba ni wanafunzi wapwa.
\p
\v 9 Kama Aba wapwa anikundie nyi, nyi pia wanakunda inyo; dumunyi katika lukundo lwapwa.
\v 10 Ikiwa mwadima-wada amri rapwa, mwadima dumu katika lukundo lwapwa-kama andu dawada amri na Aba rapwa na kudumu katika lukundo lwake.
\v 11 Nadeda malago aga kwenyu ili kwamba kuboiwa kwapwa ikaie ndenyi yenyu na ili kwamba kuboiwa kwenyu kuwonyeke kuwa timilifu.
\v 12 Ihi niyo amri yapwa, mkundane inyo kwa inyo kama andu niwakundie inyo.
\v 13 Ndakudae mundu akona lukundo mbaha kuliko ugu, kwamba agafunye maisha gake kwa ajili ya wambuya wake.
\v 14 Inyo mwa wambuya wapwa ikiwa mgawonyaga gaja niwalagiza.
\v 15 Siwwangaga watumwa, kwa kuwa mtumwa ndaichi chija achiwonyaga mzuri wake. Nawa-wanga inyo wambuya, kwa sababu nawajulishenyi malago gose ambago nagasikira kufuma kwa Aba.
\v 16 Ndamnisague nyi nawasague inyo na kuwawika mgende vaa matunda, na itunda jenyu jipate kuykaia. Ihi iko huru ili kwamba chochose mbonyaga kwa Aba kwa irina japwa, awanekaga.
\v 17 Malago aga nawalagiza, kwamba mkundane kila mundu na mbawe.
\p
\v 18 Kama urumwengu, gwawakundaga mmanye kwamba nyi kabla ndauwachukie inyo.
\v 19 Kama mkogo wa urumwengu, urumwengu gwawakundaga kama wa kwawe, Ela kwa sababu inyo nawasague kufuma katika urumwengu, na kwa ajili ihi urumwengu gwa chukiaga.
\v 20 Kumbukenyi idedo ambajo nawagorie, 'Mtumwa sio mbaha kuliko mzuri wake; Ikiwa wamtesie idedo japwa, wajiwadaga ja kwenyu pia.
\v 21 Wadima watendea malago aga gose kwa ajili ya irina japwa kwa sababau ndawamuichi uja waniduma.
\v 22 Kama sichege na kuwazera, ndawawonyaga zambi; ela ijiaha ndawadae udhuru kwa zambi yawe.
\v 23 Anichukiaga nyi wamchukiaga Aba pia.
\v 24 Ikiwa siwabonyie kazi miongonyi mwawo ambawo ndakudae umweri waniwona, ndawakaga na zambi; ela idana wawonya gose awiwawona na wanichukia nyi na Aba wapwa.
\v 25 Iji jafumiria ili kwamba idedo jitimie ambajo jaandikwa katika sheria yawe: Wanichukia nyi bila sababu.'
\p
\v 26 Wakati mfariji wacha, ambae nimdumaga kwenyu kufuma kwa Aba, uyu nie Ngolo wa loli, ambae wafuma kwa Aba, wadima nishuhudia.
\v 27 Inyo pia mwanishuhudia kwa sababu mwakogo andu kumweri nanyi tangu mwanzo.
\c 16
\cl Sura 16
\p
\v 1 Nawagoria malago aga ili msadime kukwazwa.
\v 2 Wawafunyaga shigadi ya masinagogi; hakika saa idacha ambajo kila awabwa-gaa wadima fikiri kuwa adawonya kazi iboie kwa ajili ya Mlungu.
\v 3 Wadima watendea malago aga kwa sababu ndawamuichi Aba wala ndawaniichi nyi.
\v 4 Nawagoria malago aga ili kwamba wakati gukafika wa aga kufumiria, mwadima kugakumbwa na najisi nawadogoria mdime wo. Siwagorie kuhusu malago aga tangu mwanzo kwa sababu nakogo andukumweri na inyo.
\p
\v 5 Japokuwa, idana nagenda kwa uja waniduma, ela ndakudae hati yenyu anikotiaga, "Udagenda hawo?"
\v 6 Kwa sababu nadeda madedo aga kwenyu, huzuni yachua ngolonyi kwenyu.
\v 7 Hata huwo, nawagoria loli: ni nicha kwenyu nikainga; kwa maana nikalemwa inga, mfariji ndachaga kwenyu, ela nikagenda ni mdumaga kwenyu.
\v 8 Akacha, uyo mfariji wadima guthibitisha urumwengu kuhusiana na zambi, kuhusiana na hachi na kuhusiana na hukumu.
\v 9 Kuhusiana na zambi, kwa sababu ndawaniaminie nyi,
\v 10 kuhusiana na hachi, kwa sababu ngenda kwa Aba, na ndamniwonaga sena;
\v 11 na kuhusiana na hukumu kwa sabababu mbaha wa urumwengu ugu wahukumiwa.
\p
\v 12 Niko nago mengi aga kuwagoria, ela ndamgaelewaga iji aha.
\v 13 Ela, ye, Ngolo wa loli, akacha wadima walongoza katika loli yose; kwa kuwa ndadedaga kwa ajili yake mweni, ela gogose agusikiraga, agadedaga malago aga, na wadimagadhihirisha kwenyu malago ga chaga.
\v 14 Ye wadima anitukuzaga nyi, kwa sababu agawusaga malago gapwa na wadima gatangaza kwenyu.
\v 15 Vilambo vose akonavyo Aba ni vapwa; kwa huwo, nadeda kwamba Ngolo awusaga malago gapwa na wadima gadhihirisha kwenyu.
\p
\v 16 Bado muda mvui ndamniwonaga sena na baada ya muda mvui sena, mniwonaga."
\v 17 Baadhi ya wanafunzi wake wakagoriana, "Nindoi adigoriaga, "muda mvui, na ndamniwona sena; na, kisha, muda mvui mniwonaga, na sababu nage kwa Aba?"
\v 18 Kwa huwo wakadeda, "Ni kilambo ki achidedaga, "Bado muda mvui? Ndaichi vo adedaga."
\p
\v 19 Jesu wawonie kuwa watamanie kumkotia, nae akawazera, "Mwakikotia inyo weni kuhusu iji, andu na deda, 'Bado muda mvui, ndamdiwonaga sena, na baada ya ya muda mvui mniwonaga'?
\v 20 Amini, amini, nawagoria, mlilaga na kuomboleza, ela urumwengu gwadima shangilia, mwadima kaia na huzuni ela yenyu yadima geuka kukaia kuiboirwa.
\v 21 Muka wakaga na huzuni wakati akona uchungu kwa sababu wakati gwa kuva gwafika; ela akava mwana, ndakukumbukaga sena maumivu kwa sababu ya kuboiwa kwake kwamba mwana wavalwa dunienyi.
\v 22 Inyo pia mkona huzuni ijiaha, ela niwawonaga sena, na ngolo redu riboiwaga na ndakudae adimaga kuinja kuboiwa kwenyu.
\v 23 Ituku ijo ndamnitiaga maswali. Amini, amini, nawagoria, mkalomba jojose kwa Aba, aminekag kwa irina japwa.
\v 24 Mpaka iji aha ndamlombie jojose kwa irina japwa, lombenyi, na inyo mwokeraga ili kwamba kuboiwa kwenyu kukamilika.
\p
\v 25 Naaria na inyo kwa luga isaelekaga, ela saa idacha ambapo sidedaga kwa luga isaelewekaga ela badala yake niwagoria wazi wazi kuhusu Aba.
\v 26 Ituku ijo mlombaga kwa irina japwa, na siwagoriga kwamba mlombaga kwa Aba kwa ajili yenyu;
\v 27 Kwa kugora Aba mweni wawakundi kwa sababu mwaniamini kuwa nafuma kwa Aba.
\v 28 Nafumie kwa Aba na nacha urumwengunyi na nagenda kwa Aba."
\p
\v 29 Wanafunzi wake wakamzera, "wawona, ijiaha udadeda wazi wazi na ndumiaga mafumbo.
\v 30 Idana, daichi kwamba waichi malago gose, na nduhitaji mundu wowose akukotie maswali kwa sababu ihi daamini kuwa wafuma kwa Mlungu.
\p
\v 31 Jesu akawajibu, "idana mwaamini?"
\v 32 Ngowa, saa idacha, na hakika yafika, ambapo mtawanyikaga kila umweri na kwa wa kwawe mnisigaa mweni. Ela siko nyi mweni kwa sababu Aba weko nanyi.
\v 33 Nawagoria malago aga ili kwamba ndenyi yapwa mkaie na amani. Dunienyi kuko na matatizo, ela kinekenyi ngolo, nagushinda urumwengu.
\c 17
\cl Sura 17
\p
\v 1 Jesu wagadedie malago aga; kisha akainua meso gake kuelekea mbingunyi na akadeda, "Aba, saa yawadia, mtukuze mwanako ili na mwana nae akutukuze we -
\v 2 Kama wuja andu umpate mamlaka igu ya vose vikona muwi ili awaneke binana ya kala na kala wajiwose wampatie.
\v 3 Ugu nio binnana ya kala na kala: kwamba wakumanye we, Mlungu wa loli na wa pekee, na ye umdumie, Jesu Kristo.
\v 4 Nakutukuza aha dunienyi, na kuikamilisha kazi uninekie niwabonye.
\v 5 Idana, Aba, unitukuze nyi andukumweri na we mweni kwa utukufu guja nirikogo nago andukumweri na we kabla ya urumwengu kuumbwa.
\p
\v 6 Najifunue irina jako kwa wandu uninekie aha dunienyi. Warikogo wandu wake; ela wanikabidhie nyi. nawo wajiwadie idedo jako.
\v 7 Iji aha wamanya kwa kila kilambo wanineka nyi chafuma kwako,
\v 8 Kwa madedo gaja unipatie nyi-- nameria kuwaneka wo, madedo ago. Wagawokerie na loli wakamanya ya kugora nyi nafuma kwako, na wakaamini kuwa we nie waniduma.
\v 9 Nawalombia wo. Sigulombiaga urumwengu bali waja wanineka kwa kugora wo ni wako.
\v 10 Vilambo vose ambavo ni vapwa ni vako, na vija ukonavo we ni vapwa; nanyi natukuzwa katika ivo.
\v 11 Nyi siko sena urumwengunyi, bali wo weko urumwengunyi, nanyi ijiaha nacha kwako. Aba mtakatifu, watunze kwa irina jako jija wanineka isi ili wo nawo wake na umoja, kama wuja nyi na we diko na umoja.
\v 12 Nirikogo nawo, nawalindirie kwa irina uninekie, nawalindirie, na ndakudae hata umweri wawe walagaya isipokuwa mwana wa upotevu, ili kwamba maandiko gatimie.
\p
\v 13 Idana nidacha kwako, ela nidadedaga urumwengunyi ili kwamba kuboiwa kwapwa kukamilishwe ndenyi yawo weni.
\v 14 Na waneke idedo jako; urumwengu gwawachukia kwa sababu wo siyo wa urumwengu, kama wuja nyi niseko wa urumwengu.
\v 15 Siwalombiaga kwamba uwafunye urumwengunyi bali uwalindie na uja mwovu.
\v 16 Wo siwo wadunia kama wuja nyi niseko wa urumwengu.
\v 17 Uwawike wakfu kwako mweni katika loli, idedo jako niyo loli.
\v 18 Wanidumie urumwengunyi, nanyi nawaduma urumwengunyi.
\v 19 Kwa ajili yawo nyi mweni wakifunya kwako ili kwamba na wo wakifunye kwako kwa ija loli.
\p
\v 20 Siyo awa tu niwalombia, bali na waja waamini kuidia idedo jawo.
\v 21 ili kwamba wo nawo wawe na umoja, kama wuja we Aba, andu uko ndenyi yapwa nanyi ndenyi yako. Nawalombia ili kwamba wo pia wadime kuwa ndenyi yedu ili ili urumwengu gudime kuamini kuwa we nie waniduma.
\v 22 Utukufu guja wanineka nyi nawaneka wo, ili kwamba wadime kuwa na umoja, kama wuja isi diko na umoja -
\v 23 Nyi ndenyi yawe, nawe ndenyi yedu, ili wadime kukamilishwa katika umoja; ili urumwengu gumanye kuwa hakika we nie waniduma, na kuwa kunda, kama wuja we andu wanikunda, nyi.
\p
\v 24 Aba, chija wanineka nyi- Natamani kwamba wo pia wadima kuwa andukumweri nanyi andu niko ili wadime kuwona utukufu wapwa, guja wanineka: Kwa kugora we wanikundie nyi kabla ya kuumbwa kwa msingi ya urumwengu.
\p
\v 25 Aba ekona hachi, urumwengu ndaguguichi we, ela nyi nakuichi we, na waichi kwamba wanidumie.
\v 26 Najiwonyie irina jako jimanyikane kwawo na nijibonya jimanyikane ili kwamba jija ikundo ambajo kwa ijo wanikundie nyi jidime kuwa ndenyi yawo, na nyi nidime kuwa ndenyi yawo."
\c 18
\cl Sura 18
\p
\v 1 Baada ya Jesu kudeda madedo aga, waingie na wanafunzi wake kuielekea ivwasi ja kidron, ambako kwarikogo na bustani, ambako ye na wanafunzi wake wakangia ndenyi yake.
\p
\v 2 Idana uja Yuda, akundie kumsaliti, nae wajimanyie ineno ijo, kwani Jesu wakogo akigenda iji ieneo mara kadhaa akika na wanafunzi wake.
\v 3 Nae Yuda, baada ya kuwa wapata ikundi ja maskari na maafisa kufuma kwa wabaha wa makuhani, wakacha wakiwa na taa, kurunzi na silaha.
\v 4 Nae Jesu, hali akimanya kila kilambo chikogo chikiwonyeka dhidi yake, wakifunyirie imbiri akawakotia, "Nani amlombaga?"
\v 5 Nawo wakamjibu, "Jesu wanazareti." Jesu akamzera, "Nyi nie" Nae Yuda amsalitie, warikogo wasimama andukumweri na waja askari.
\v 6 Kwa huwo kuwagoria, "Nyi nie" wawurie kinyume na kugwa ndonyi.
\v 7 Halafu akawakotia sena, "Nnai mumlombaga? Nawo wakamjibu sena "Jesu mnazareti."
\v 8 Jesu akawajibu, "Nameria kuwagoria kuwa Nyi nie, kwa huwo kama ndanilola nyi, wasigenyi awa wami wagende."
\v 9 Aga garikogo huwo ili jija ededo jitimilike; aja akideda, "katika waja wanineka, simlagashie hata umweri."
\p
\v 10 Niko simoni Petro, akogo na upanga, akafuata na kumdema kudu kwa kujo mtumishi wa kuhani mbaha. Na irina jake mtumishi uja jarikogo malko.
\v 11 Jesu akamzera Petro, "Wuja upanga gwako alenyi kwake. Kwa indoi nisakinywee kikombe chija wanineka Aba?"
\p
\v 12 Basi jija ikundi ja askari na jemedari, na watumishi wa wayahudi, wamwadie Jesu na kumfunga.
\v 13 Nawo wakamlongoza kwanza mpaka kwa Anasi, kwani ye wakogo mwa-mwana wa kayafa, ambae nie akogo kuhani mbaha wa mwaka ugo.
\v 14 Idana kayafa nie akogo wanineka ushauri Wayahudi yampasie mundu umweri afwe kwa ajili ya wandu.
\p
\v 15 Simoni Petro wamnugie Jesu, na huwo huwo mwanafunzi umwi. Na uja mwanafunzi wakogo akimanyikana kwa kuhani mbaha, nae akangia andu kumweri na Jesu katika ibehewa ja kuhani mbaha;
\v 16 Ela Petro wakogo wasimama shigadi ya mjango. Basi uja mwanafunzi akogo akimanyika kwa kuhani mbaha wafumie shigadi. akagenda kuaria na uja muka mtumishi akogo akilindia mjango na kumngira Petro ndenyi.
\v 17 Basi uja kijakazi akogo akilindia mjango, wamzerie Petro, "Je we siyo umweri wa waja wafuasi wa uyu mundu?" Nae akadeda, nyi sie."
\v 18 Na waja watumishi na wabaha wakogo wakisimama andu aja, wakora modo kwa maana, wadogo na mbewo, na huwo wakogo wakioda modo ili kupata kiruke. Nae Petro wakogo nawo, akioda modo akika wasimama.
\p
\v 19 Kuhani mbahawamjibie Jesu igu ya wanafunzi wake na mafundisho gake.
\v 20 Jesu akamjibu, "Nagugoria wazi wazi urumwengu, Nyi nafundishie mara kwa mara masinagoginyi na ihekalu andu ambapo Wayahudi wakusanyikaga. Nanyi sidedie jojose katika siri.
\v 21 Kwa indoi wanikotie? wakotienyi wanisikira igu ya chija nachideda. Awa wandu waichi malago gaja nigadedaga.
\v 22 Jesu kumeria kudeda huwo, umweri wa wabaha akogo wasimama akamkaba Jesu kwa mkonu gwake na kisha akadeda "Je, huwo niko ikupasaga kumjibu kuhani mbaha?"
\v 23 Nae Jesu akamjibu, "Kama nadeda ilago jojose jizamiebasi uke shahidi kwa indoi wanikaba?
\v 24 Niko Anasi kumgenja Jesu kwa kuyafa kuhani mbaha akikaia wafungwa.
\p
\v 25 Idana simoni Petro wakogo wasimama akijipashaa josto mweni. Halafu waja wandu wakamzera, "Je, we pia si umweri wa wanafunzi wake?" Akakana akideda "Nyi sie."
\v 26 Umweri wa watumishi wa kuhani mbaha, ambae wakogo m-mbari wa uja mdumwa womi ambae Petro wamdemie kudu wadedie, "Je si we nkuwonie nae kuja bustaninyi?"
\v 27 Petro akakana sena, na mara ijogolo jikakama.
\p
\v 28 Kisha wakamwusa Jesu kufuma kwa keyefa mpaka praitorio. Yakogo asubuhi na mapema. Wo weni ndawagirie ija praitorio ili wasache wakanajisika na kuija pasaka.
\v 29 Kwa huwo Pilato akawagendia. Ni ishitaka ki jimuhusu uyu mundu?"
\v 30 Wakamjibu na kumzera, "Kama uyu mundu ndakogo mtenda maovu, ndadamredaga kwako."
\v 31 Pilato akawazera, "mwusenyi inyo weni, mgende mhukumu kulingana na sheria yenyu." Nawo wayahudi wakamzera, "Sheria ndaidiruhusu isi kumwa-ga mundu wowose."
\v 32 Wadedie aga ili idedo ja Jesu jitimilike, idedo ambajo wakogo wameria kudeda igu ya aina ya kifwa chake.
\p
\v 33 Basi Pilato akangia sena Praitorio amwanga Jesu, akamzera, "Je, we wamzuri wa wayahudi?"
\v 34 Jesu akamjibu, "Je, we wanikotia iswali iji kwa sababu wakundi kumanya au kwa sababu wamwi wakudima ili unikotie nyi?"
\v 35 Nae Pilato akamjibu, "Nyi si myahudi, au sivyo?" Isanga jako na kuhani mbaha niwo wakureda kwapwa; we wabonya indoi?
\v 36 Jesu akamjibu, "Uzuri gwapwa siyo gwa urumwengu ugu, kama uzuri gwapwa gwakogo na sehemu katika urumwengu ugu watumwa wapwa wanikabaniaga ili nisafunyigwe kwa wayahudi kwa loli uzuri gwapwa ndafumie aha" Basi
\v 37 Pilato akamzera, "Je, we basi wa-mzuri?" Jesu akajibu, "we niko udedaga kuwa nyi na mzuri, kwa sababu ihi nyi nyi navalwe na nikaie shahidi wa ija loli. Wowose wa iyo loli wasikiriaga sauti yapwa.
\v 38 Pilato akamzera, "Loli ni ndoi?" Nae kunena kudedaga aga akagenda kwa wayahudi na kumzera siwonaga ki jojose mundu uyu.
\v 39 Inyo mkona utamaduni gunibonyaga nimfungulie mfungwa umweri wakati wa Pasaka. Je, mwakunda nimfungulie mzuri wa wayahudi."
\v 40 Kisha wakabei jogo wakideda, siyo uyu, difungulie Baraba." Nae Baraba wakogo mnyang'anyi.
\c 19
\cl Sura 19
\p
\v 1 Basi Pilato wamchuwa Jesu na kumchapa.
\v 2 Wale maaskari wsokotie miiba na kutengeneza taji. Wawika juu ya kichwa cha Jesu na kumvada ivazi la rangi ja zambarau.
\v 3 Wamjia na kudeda, "We mfalme wa wayahudi! na kisha kumbonya kwa mikono yao.
\p
\v 4 Kisha Pilato watoka nje na kuwagoria wandu, "Lolenyi nawaleteenyi huyu mundu kwenyu ili mmanye kwamba nyi sikulola hatia jojose ndani jake."
\v 5 Kwa huwo Jesu akafuma nje; alikuwa amevaa itaji ya miiba na ivazi ja zambarau. Niko Pilato akawagoria, "Lolenyi mundu huyu apa!"
\p
\v 6 kwa huvo makati kuhani mbaha wa wambaha wamwonie Jesu, wakakaba jogo wakideda, "Msulubishe." Pilato akawagoria, "Mwusenyi nyi wenyewe mkamsulubishe, kwa kuwa nyi siona hatia ndani yake."
\v 7 Wayahudi wakamjibu Pilato, "Nyi tunayo sheria, na kwa sheria hiyo inampasa kufwa kwa sababu wo wajifanyie kuwa mvalwa wa Mlungu."
\p
\v 8 Pilato wasikie madedo gaja alizidi kuogopa,
\v 9 akainga Praitorio tena na kuwagoria Jesu, "Nyi watokie unwapi? Hata huvo, Jesu hakudedaga.
\v 10 Kisha Pilato akawagoria, "Je, wewe hudedaga na nyi? Je, wo hujui kuwa nyi nina mamlaka ja kukufungua na mamlaka ja kukusulubisha?"
\q
\v 11 Jesu akamjibu, "Usingekuwa na ndigi zidi yangu kama usingepewa toka juu. Kwa huwo, mundu aliyenitoa juu. Kwa huwo, mtu aliye nitoa kwako ana zambi mbaha."
\p
\v 12 Kutokana na jibu hili, Pilato akataka kumwacha huwu, ela wayahudi wakakaba jogo wakideda, "Kama wamwachie huwu basi nyi si amwedu wa Kaisari."
\p
\v 13 Pilato wasigiaga madedo aga, akamleta Jesu nje kisha akakaa kwenye kifumbi cha hukumu mahali pale wamanyikana kama sakafu, ela kwa Kiebrania, Gabatha.
\p
\v 14 Siku ya maandalizi ya Pasaka ilipo fika, panapo taimu wa saa sita. Pilato akawagoria wayahudi, "Lolenyi mfalme wenu uyu hapa!"
\p
\v 15 Wakakaba jogo, "Muinje, muinje, msulubishe!" Pilato akawagoria, "Je, nimsulubishe mfalme wenyu?" Naye kuhani mkuu akajibu, "nyi hatuna mfalme isipokuwa kaisari."
\p
\v 16 Niko Pilato wamwuse Jesu kwao ili asulubiwe.
\p
\v 17 Nawo wamwusie Jesu, nae akatoka, hali ameubeba msalaba wake mweni mpaka kwenye ieneo liitwalo fuvu la chongo, kwa kihebrania huitwa Golgotha.
\v 18 Niko walipo msulubisha Jesu, pamoja naye wandumumi wawi, imwi upande ugu na mwingine upande ugu, na Jesu katika yao.
\p
\v 19 Kisha Pilato waandikia alama na kuiweka ugu ya msalaba. Hapo paandikiwe: JESU MNAZARETI, MFALME WA WAYAHUDI.
\v 20 Wengi wa wayahudi wasomie alama iyo kwani mahali pale alisulubishigwa Jesu palikuwa karibu na mji. Alama inyo waandikiwe kwa kiebrania, kwa kirumi na kwa kiyunani.
\p
\v 21 Kisha wambaha wa makuhani wa wayahudi wakamwambia Pilato, "Usaandike, 'Mfalme wa wayahudi; bali ye alisema nyi ni mfalme wa wayahudi."
\p
\v 22 Naye Pilato akawajibu, "Niliyoandika niandikie."
\p
\v 23 Baada ya askari kumsulubisha Jesu, wamwusiye ivazi jake na kugawaga katika mafungu manne, kila askari fungu imwi, huvo huvo na kanzo, idana ile kazu haikuwa imeshonwa bali ilikuwa imefumwa yote tokea juu.
\v 24 Kisha wakadedanya wo kwa wo, "Tuirashue, bali tukabe ikura ili kuona itakuwa ya ani." Ihi lilitokea ili lile iandiko jitimizwe, lile isemajo waligawanya nguo jangu, na ivazi jangu wakalikaba ikura."
\p
\v 25 Askari wafanyie mambo aga. Mawe gake Jesu, dada wa mawe gake, mariamu mke wa kleopa na mariamu Magdalena - wandu waka hawa walikuwa wachasimama karibu na msalaba wa Jesu.
\v 26 Jesu wamwonie mawe yake pamoja na yule mwanafunzi aliyenipenda wachasimama karibu, akawagoria mawe yake, "Mwanake, lolenyi, ona mwano ugu hapa!"
\q
\v 27 Kisha akawaambia yule mwanafunzi. "Lolenyi, ugu hapa mawe yako. "Tokea saa ijo yule mwanafunzi akamwusiye kwenda nyumbani kwawe.
\p
\v 28 Baada ya hilo, Hali Jesu akijua kuwa yote yadua kudua ili kutimiza imaandiko, akadeda, "Nawona kau."
\v 29 Chombo chakogo chachua siki kilikuwa kiwekiwe pale, kwa huvo wawekie sifongo iliyojaa siki juu ya ufito wa hisopo, wakamwekea momunyi mwake.
\v 30 Naye Jesu alipoionja ijo, akadeda, "Yadua." kisha akagogomesha chongo chake, akaikabidhi ngolo lake.
\p
\v 31 Kwa vile ilikuwa ni wakati wa maandalio, na kwa sababu miili haikutakiwa iwe juu wakati wa sabato (kwa kuwa sabato ilikuwa siku yakogo), wayahudi walimwomba pilato kuwa magu yao wale waliokuwa wasulubishiwe ichukanywe, na kwamba miili yao iseriwe.
\v 32 Niko askari walipokuja na kuchukanya magu ya mundu wa kwanza na wapili aliyekuwa amesulubiwa pamoja na Jesu.
\v 33 wafikie Jesu, wamkutie tayari alikuwa wafwa, kwa huvo waichukanywe magu gake.
\v 34 Hata huvo, umweri wa askari wamkoriwa Jesu ruvarunyi kwa mkuki, na mara yakafuma mai na baga.
\v 35 Naye amwonie ili ametoa ushuhuda, na ushuhuda wake ni loli, Ye wachua kuwa wanenaga ni cha loli ili pia muamini.
\p
\v 36 Mambo haya yalikuwa ili lija ineno lanenwaga lipate kutimia, "Hakuna hata umweri utakaovunjwa."
\v 37 Tena andiko lingine hudeda, "Wadamlola ye wakoriwa"
\p
\v 38 Baada ya mambo haya Yusufu wa Arimathaya, kwa vile alikuwa mwanafunzi wa Jesu, ela kwa siri kwa kuwaogopa wayahudi, wamwomba pilato kwamba achukue mwili wa Jesu. Na ye pilato akampa ruhusa. kwahiyo Yusufu akaja kuondoa mwili wa Jesu.
\v 39 Na ye Nikodemo ambaye alileta mranganyiko wa mane mane na udi, yapata uzito wa ratili mia imwi.
\v 40 Kwa huvo wachukua mwili wa Jesu wakaufanga kwenye shanda ya ya kitani na pamoja na yale manukato, kama ilivyokuwa desturi ya wayahudi wakati wa kuzika.
\v 41 Mahali ambapo Jesu wasulubiwe kulikuwa na bustanyi; ndani ya ilja bustanyi kulikuwa na ikaburi ipya ambalo hakuna mundu alikuwa amawahi kuzikwa humo.
\v 42 Basi, kwa kuwa ilikuwa siku ya maandalia kwa wayahudi, na kwa vile lile kaburi lilikuwa karibu, basi wamzungurushie Jesu ndenyi yake.
\c 20
\cl Sura 20
\p
\v 1 Mapema siku ya wosi ya juma, waduaga bado chira, mariamu magdalena alikuja kaburini; akalola lile igwe jangiwa kaburini.
\v 2 Kwa hiyo wakimbia mbio kwenda kwa simoni petro na kwa yuja mwanafunzi mwingine ambae Jesu wambonyie, kisha akawaambia, "wamwusa Mzuri kaburini, nasi hatujui kuja wamzungulushie."
\p
\v 3 Kisha petro na yuja mwanafunzi mwingine wakafuma kuelekea kaburini.
\v 4 Wose wakabiwe kwa pamoja; yule mwanafunzi mwingine wakimbirie kwa nanganyi ya petro na kufika kaburini wa wosi.
\v 5 Akasimama na kisha kuguwa kaburini; akaiona ile shsnda.
\p
\v 6 Kisha simoni petro na ye akafika akainga ndenyi ya kaburi. Akaiona ile shanda ya kitana yatungura pale
\v 7 na ija leso iliyokuwa chongonyi pake dimayatungura mbarimwenikeri.
\v 8 Niko yule mwanafunzi mwingine na ye wadimainga ndenyi ya ikaburi; wakawonia na kuamini.
\v 9 Kwa kuwa hadi awakati huo walikuwa bado ndawagamanyie mandiko kwamba yamlazimie Jesu wadimafufuka katika wafu.
\p
\v 10 Kisha wanafunzi wadimaenda tena nyumbemyi kwa wo.
\v 11 Hata huvo, mariamu alikuwa amesimama kaburini akilia, alivyokuwa waendelee kulia alisimama kisha akaguwa kaburini.
\v 12 Akona malaika wawi wenye sura ya chiru wakaie umweri chongoni na mwingine maguunyi andu ambapo Jesu alikuwa wadimatungura.
\p
\v 13 Nawo akawagoria, "Muka, kwanini wadima lila?" Naye akawagoria, "Ni kwa sababu wamwusie Mzuri wangu, njami simanyie anduwamwike."
\v 14 Aguriwa deda hayo, wadimageuka na kumwonie Jesu amesimama. Ela gamanyie kama likuwa Jesu.
\q
\v 15 Naye Jesu akamgoria, "Mawe, kwa nini ulilaga? umlola anyi?" na ye huku akizani kuwa mtunza ibustani akamgoria, "Mzuri, kama nyi wamwusa, nivorie ukowamvika, na nyi wadimamwusa."
\p
\v 16 Jesu akamgoria, "Mariamu." Naye akageuka mweni na kumgoria kwa kiaramu, "Raboni; yaani ihi ni kudeda, "Mwalimu."
\q
\v 17 Jesu akawagoria, "Usaniguse, kwani bado sirapaa wadimakwenda kwa Aba; bali ugende kwa ndugu zangu ukadimawagorie kuwa nadimapaa kwenda kwa Aba wapwa ambae pia ni Aba wapwa, Mlungu wangu na Mlungu wapwa."
\q
\v 18 Mariamu magdalena akaja kuwagoria wanafunzi, "Nimwonie Mzuri," na kwamba amewaambia mambo gaja.
\p
\v 19 Na irikogo jioni, siku ya imwi ya juma, na mijango ikiwa jarugu mahali wanafunzi wakogorio kwa kuwahofia wayahudi, Jesu wadimakuja na kusimama katikati yao na kuwagoria, "Amani igwe kwenyu."
\v 20 Alipokwisha deda gaja akawaonyera mikonu gake na ruvaru rake. Nawo wanafunzi wamwonie Mzuri wavuriwe.
\p
\v 21 Kisha Jesu akawagoria tena, "Amani iwe na inyo. kama vile Aba waniduma nyi, nikougo na mi nawadumie nyi."
\v 22 Jesu wadimakwisha deda ago, akawavuvia akawagoria, pokeenyi Ngolo Mtakatifu.
\v 23 Jojose wadima samehewa; na waja wadimagawafungie wadima fungwa."
\p
\v 24 Tomaso, umweri wa waja kumi na iwi, aliye itwa Dismas, hakuwa na wanafunzi wenzake Jesu wadimakuja."
\v 25 Waja wanafunzi wengine wamgoria baadaye, "Wadima mwona Mzuri." Na ye akawagoria, "kama siwonie alama za misumari katika mikonu jake, na kuwika vidole vangu kwenye hizo alama, napia kuwika mkonu wangu kwenye ruvaru wake sidima amini."
\p
\v 26 Baada ya siku nane wanafunzi walikuwa chumbenyi tena, na ye Tomaso alikuwa pamoja nawo. Wakati mijango ilipokuwa yafungiwe Jesu alisimama katikati ya wo. na akadeda, "Amini na igwe nanyi."
\q
\v 27 Kisha akawagoria Tomaso, leta kidole chako na uone mikonu yapwa; Leta hapa mikonu yapwa na uwike kwenye ruvaru wapwa; wala usiwe asiyeamini bali aamini."
\q
\v 28 Naye Tomaso akajibu na kumgoria, "Mzuri wangu na Mlungu wangu.
\q
\v 29 Jesu akamgoria, kwa kuwa waniwona, waamini. Wabarikiwa wo waamini pasipo kuwona."
\p
\v 30 Kisha Jesu wafanya ishara nyingi mbele ya wanafunzi, ambajo hazijawahi andikiwe katika kitabu iki,
\v 31 bali hizi yaandikwa ili kwamba muweze kuamini kwamba Jesu ndiye Kristo, mvalwa wa Mlungu, na kwamba dimaamini muwe na binana katika jina jake.
\c 21
\cl Sura 21
\p
\v 1 Baada ya mambo haya Jesu alijidhihilisha sena kwa wanafunzi katika Bahari ya Tiberia; hivi ndivo alivyojizihirisha mweni:
\v 2 Simon petro arikogo pamoja na Tomaso aitwae Dismas, Nathanaeli wa kana ya Galilaya, wavalwa wa Zebedayo na wanafunzi wengine wawi wa Jesu.
\v 3 Simon Petro akawagoria, "Nyi nadimaenda kuvua samaki." Na wo wakamgoria, "Sisi, pia dadimagenda nawe." Wadimagenda wakainga kwenye mashua, ela usiku huo wote wadima pata chochose.
\p
\v 4 Na asubuhi kwadima kucha, Jesu alisimama ufukweni, na wo wanafunzi hawakutambua kuwa alikuwa Jesu.
\q
\v 5 Kisha Jesu akawagoria, "Wadawana, mna chochose cha kuja?" nawo wakamjibu, "Hapana."
\q
\v 6 Akawagoria, "Sherenyi nyavu upande wa kujo wa mashua, nanyi mtapata kiasi." Kwa huvo wadima sherenyi wavu nawo ndawadimie kujivuda sena kwa sababu ya wingi wa cha samaki.
\v 7 Basi yuja mwanafunzi ambae Jesu alimpenda akamwambia petro, "Ni Mzuri." Naye simon Petro aliposikia kuwa ni Mzuri, wakogo ivazi jake (ndakogondarikuwa recha), kisha akajidaga baharinyi.
\v 8 Wale wanafunzi wengine wakacha kwenye mashua (kwani ndawakogo avui na pwani), nao warikogo wakiruda zija nyavu zilizokuwa rachuwa samaki.
\v 9 Walipofika ufukweni, wawonie modo wa mkaa pale na juu jake kulikuwa na samaki na mkate.
\p
\v 10 Jesu akawagoria, "Leteni baadhi ya samaki mwavuaijiaha."
\v 11 Basi Simoni Petro akajoka na wakakokota uja wavu ndadimachua samaki wabaha, kiasi cha samaki 153; japo wakogowengi, uja wavu ndaurashukie.
\p
\v 12 Jesu akawagoria, "Choonyi mpate kufungua momu." Hakuna hata umweri wa wanafunzi aliethubutu wadima uliza, "Wewe ni ani?" Walijuwa kuwaalikuwa ni Mzuri.
\v 13 Jesu akacha, akachukua uja mkate, kisha akawapa, ndadimafanya nikohugo na kwa waja samaki.
\v 14 Ihi ilikuwa mara ya kadadu kwa Jesu kujidhihirisha kwa wanafunzi wake baada ya kufufuka toka wafu.
\p
\v 15 Baada ya kuwa ndadimafungua momu, Jesu akamgoria Simoni petro, "Simon mvalwa wa Yohana je, wanikunda imi kuliko awa?" Petro akajibu, "Ndio, Mzuri, "Wewe wachua kuwa nakukunda. "Jesu akamgoria, "Lisha wana ng'ondi wapwa."
\p
\v 16 Akamgoria mara ya iwi, "Simon mvalwa wa Yohana, je, wanikunda?" Petro akamgoria, "Ndiyo, Mzuri; wewe wachua kuwa nakukunda. "Jesu akamgoria, "Chunga ng'ondi wapwa."
\p
\v 17 Akamagoria tena mara ya kadadu, "Simon, mvalwa wa Yohana, Je wanikunda?" Naye Petro wahuzunikie kwa vile anduamgorie mara ya kadadu, "Mzuri waichi gose; unamanya kuwa nakukunda." Jesu akamgoria, Lisha ng'ondi wapwa.
\p
\v 18 Amini, amini, nakuambia, ndadima wadawana wavarie kuvanguwo mweni na kugenda kokose ukukundi; Ela nikakaia mgosi, wadimanyosha mikonu yapwa, na mwingine wadimakuvisha nguwo na kukugenda kokose wadimagenda kwenda.
\v 19 Jesu akadeda aya ili ndadimaonyesha ni aina ki ya kifwa ambacho Petro angemtukuza Mlungu. Baada ya kuwa wadedie haja, akamgoria Petro, "Ninuge."
\p
\v 20 Petro wageukie na kumwona yuja mwanafunzi ambae Jesu alimpenda akawanuga- yuja ndie anakiegemeza lageni kwa Jesu wakati wa vindo va kweni na kumkotia, "Mzuri, ni ani adimagakukusaliti?"
\v 21 Petro wamwonie na kisha akamkotia Jesu, "Mzuri, Huyu mundu wadimabonya nini?"
\p
\v 22 Jesu akamjibu, "Kama nagenda abaki mpaka ukacha, ilo idakuhusu nini?" Nifuate."
\v 23 kwa huvo habari ihi iwonekanaga miongonyi mwa waja ndugu, kwawanafunzi huyo hakufwa. Ela Jesu ndamgorie petro kuwa, mwanafunzi hugo ndafwaga, "Kama nataka ye abaki mpaka ntakapokuja idakuhusu?"
\p
\v 24 Huyu ndie mwanafunzi dimatoa ushuhuda gwa mabo aja, na ndiye alieandika mambo aja, wamanyie yakuwa ushuhuda wake ni loli.
\p
\v 25 Kuna mambo mengine gamusi ambajo Jesu alifanya. kama kila umweri jaandikwaga, nadhani kwamba urumwengu wenywe ndwatoshaga kuviwika vitabu ambavo raandikwaga.