dav_reg/41-MAT.usfm

1537 lines
124 KiB
Plaintext

\id MAT
\ide UTF-8
\h Matayo
\toc1 Matayo
\toc2 Matayo
\toc3 mat
\mt Matayo
\c 1
\cl Sura 1
\p
\v 1 Chuo cha mbari ya Jesu Kristo mvalwa wa Daudi, mvalwa wa Ibrahimu.
\v 2 Ibrahimu warikogho Aba wa isaka, na Isaka Aba wa Yakobo Aba wa YUda na wambari wake.
\v 3 Yuda warikogho Aba wa peresi na sera kwa Tamari, Peresi Aba wa Hezeroni, na Hezeroni Aba wa Ramu.
\v 4 Ramu warikogho Aba wa Aminadabu, Aminadabu Aba wa Nashoni, na Nashoni Aba wa Salimoni.
\v 5 Salimoni warikogho Aba wa Boazi kwa Rahabu, Boazi aba wa Obedi kwa Ruthu, Obedi aba wa Jese.
\v 6 Jese warikogho aba wa Mgimbikwa Daudi. Daudi warikogho aba wa Sulemani kwa mka wa uria.
\v 7 Sulemani warikogho aba wa Rehoboamu, Rehoboamu aba wa Abiya, aba wa Asa.
\v 8 Asa warikogho aba wa Yehoshafati, Yehoshafati aba wa Yoramu, Yoramu aba wa Uzia.
\v 9 Uzia warikogho aba wa Yothamu, Yothamu aba wa Ahazi, Ahazi aba wa Hezekia.
\v 10 Hezekia warikogho aba wa Manase, Manase aba wa Amoni na Amoni mwana wa Yosia.
\v 11 Yosia warikogho aba wa Yekonia na wambari wake makati gha kuwusighwa kughenda Babeli.
\p
\v 12 Wawusighwe kughenda Babeli, uko Yekonia warikogho aba wa Shatiel, Shatieli warikogho ndee na Zerubabeli.
\v 13 Zerubabeli warikogho aba wa Abiudi, Abiudi aba wa Eliakimu, na Eliakimu aba wa Azori.
\v 14 Azori wariogho aba wa Zadoki, aba wa Akimu, na Akimu aba wa Eliudi.
\v 15 Eliudi warikogho aba wa Elieza, Elieza aba wa matani na matani aba wa Yakobo.
\v 16 Yakobo warikogho aba wa Yusufu mumi wa Mariamu, ambaye kwaye Jesu wavalwe, awangwagha Kristo.
\p
\v 17 Vizazi vose tangu Ibrahimu hata Daudi varikogho vizazi kumi na vina, na kufuma kuwusigwa kughenda Babeli hata Kristo ni vizazi kumi na vina.
\p
\v 18 Kuvalwa kwa Jesu Kristo kurikogho huwu, mae Mariamu, washushighwa ni Yusufu, kabla ndawaisire kumwana, akawokneka akona inda kwa uwezo gwa roho wa kuela.
\v 19 Mndumni wake Yusufu, warikogho mndu wa hachi ndakudie kumfunya whaya kuelie. Wateganyie kuusigha uchumba gwake nae kwa kiviso.
\v 20 Makati akogho akitenganya ighu ya malagho agha, Malaika wa Mzuri wamfumirie nddonyi, akideda, "Yusufu mvalwa wa Daudi, usaboe kumwusa Mariamu kama mkako, inda ako nayo ni kwa uweza gwa Roho wa kuela.
\v 21 Ima wava mwana wa kiwomi irina jake ima wamwanga Jesu, hoyu ima awaelesha wandu wake na zambi rawhe.
\v 22 Agha ghose ghafumirie kutimira chija chidediwe ni Mzuri kwa chia ya mlodi, akideda,
\v 23 Guwa, mwai ima wadwa inda na kuva mwana wa kiwomi, ima wamwanga irina jake imanueli--idamaanisha, "Mlungu amweri na isi."
\v 24 Yusufu wawukie dilonyi na kubonya kama andu waghoriwe ni malaika wa Mzuri na wamwusie kama mkake.
\v 25 Hata huwo, ndatungure nae mpaka akava mwana wa kiwomi na wamwangie irina jake Jesu.
\c 2
\cl Sura 2
\p
\v 1 Jesu achavalwa Bethelehemu ya uyahudi maruwa gha mgimbikwa Herode, wandu wasomi kufuma mashariki ya kula wafikie Yerusalemu wakideda."
\v 2 Ako ahoavalwe mgimbikwa wa wayahudi? daiwonie nyenyeri yake mashariki naisi dacha kumtasa"
\p
\v 3 Huyo mgimbikwa Herode achasikira agha wafadhaika, na Yerusalemu yose andu amweri nae.
\v 4 Herode akawawika ndu amweri vilongozi wa kuasa wabaha wose na waandishi wa wandu, akawakotia, "Kristo ima wavalwa hao?
\v 5 Wakaghoria, "Aha Betheleemu ya uyahudi, uwu ndiko iandikigwe ni mlodi.
\v 6 Nawe Bethelehemu, isangenyi ja Yuda, sio mtinyi imbiri mwa vilongozi wa Yuda, kufuma kwako ima wacha mtawala awa lishaa wandu wapwa Isreli."
\p
\v 7 Huwo Herode awawangie waja wasomi kwa kisivo akawakotia ni makati ki hasa nyenyeri irikogho yawoneka.
\v 8 Akawaduma Bethelehemu, akideda, "ghendenyi kwa uangalifu mkamlole mwana wavalwe. Mkamwona, nredienyi habari ili nanyi pia niche na kumtsa.
\p
\v 9 Wachmsikira mgimbikwa, waendelee na charo chawhe, na nyenyeri ija warikogho waiwona mashariki yawakarie hata ikaka kimsighu andu avalwe mwana.
\v 10 Wachaiwona ija nyenyeri, wakaboiwa kwa furaha mbaha nanganyi.
\v 11 Wangirie nyumbenyi na kumwona mwana wavalwe ni mae Mariamu. Wamsujudie na kumtasa. Wafunguie hazina rawhe na kumfunyia zawadi ra dhahabu, uvumba na manemane.
\v 12 Mlungu awakashie ndodonyi wasawuye kwa Herode, huwo, waingie kuwuya katika isanga jawhe kwa chia imwe.
\p
\v 13 Warikogho wainga, malaika wa Mzuri wamfumirie Yusufu ndodonyi na kughora, "Wukia, mwuse mwana na mae mkimbie Misri. Kenyi uko kweni mpaka niwaghorie, kwani Herode ima wamlola mwana ili ambwaghe.
\v 14 Kio icho Yusufu wawukie akaamwusa mwana na mae na kukimbia Misri.
\v 15 Wakee uko mpaka Herode akafwa. Ihi yatimirie chija Mzuri adedie kuidia mlodi, kufuma Misri na mwanga mwanapwa."
\v 16 Huyo Herode, wachawona wazihakiwa ni wandu wasomi, wowonie virea nanganyi. Walagizie kubagwa kwa wana wose wa kiwomi waikogho Bethelehemu na wose warikogho isanga jija ambajo warikogho na umri gwa miaka miwi nandonyi yake kufwana na maghadi ambagho waghathibitisha kabisa kufuma kwa waja wandu wasomi.
\v 17 Niko jikatimirwa jija ilagho jidediwe kwa momu gwa mlodi Yeremia.
\q
\v 18 Sauti yasikiriwe Ramah, kifwa na kulila kubaha, Raheli akiwalilia wanake, na wale ghie kufarijiwa, kwani wanake ndaweko sena.
\p
\v 19 Herode akafwa, niko malaika wa Mzuri akamfumiria Yusufu ndodonyi uko Misri na kudeda,
\v 20 "Wukia mwuse mwana na mae, mghende katrika isanga ja Israeli waja ambawo warikogho wakilola banana ya mwana wafwie.
\v 21 Yusufu wawukie, akamwusa mwana andu amweri na mae, wakacha katika isanga ja Israeli.
\p
\v 22 Lakini achasikira kuwa Arikelau ada tawala Yuda andu kwa ndee Herode, akaboa kughenda uko. Baada ya Mlungu kumkasha katika ndodo, waingie kughenda mkoa gwa Galilaya.
\v 23 Na waghendie kuka katika mzi uwangwaa Nazareti. Iji jatimirie kija chidediwe kwa chia ya wolodi, kwamba ima wawangwa Mnazareti.
\c 3
\cl Sura 3
\p
\v 1 Maruwa ghaja Yohana mbatizaji wachee akihubiri katika kireti cha Yda akidedea,
\v 2 "Tesiwenyi zambi kwa maana ugimbikwa gwa mbingunyi u avui."
\v 3 Kwani niye adediwe ni mlodi Isaya akideda, "Sauti ya mundu awangaye kufuma jangwenyi, wikenyi nicha chia ya Mzuri, ghaghoenyi maidio ghake.
\p
\v 4 Idana Yohana warwae mafuri gha ngamila na mkanda gwa mrongo kiwonyi mwake. Vindo vake virikogho nzige na wuki gwa choki ya isakenyi.
\v 5 Niko Yerusalemu, Yuda yose, na andu kose kuzulukagha mweda gwa Yordani wa kaghenda kwake.
\v 6 Warikogho wakibatizigwa ni ye katika mweda gwa Yorrdani kunu wakitesiwa zambi rawhe.
\p
\v 7 Ye achawawona wengi wa mafarisayo na masadukayo wakicha kwake kubatizigwa, akawaghoria, "Inyo wuvazi gwa choka wako na sumu ani wawaonya kukimbia ghazabu ichagha?
\v 8 Venyi matunda gha kutesiwa zambi.
\v 9 Na inyo msategaye na kudediana imbiri yenyu. Deko nae Ibrahimu kama Aba wedu. Nanyi ndawaghoria Mlungu wadimagha kumnulia Ibrahimu wana kufuma katika magwe agha.
\v 10 Isoka jawikwa kala murinyi gwa midi. kwaa huwo kila mdi ghusawagha matunda ghaboie hudemwagha na kudagwa modonyi.
\p
\v 11 Ndawabatiza kwa machi kwa ajili ya kutesi wa zambi. Ye achagha imbiri yapwa ni mbaha kuliko nyi nanyi sistaili kuvinua vadu vake. Ye ima awabatiza kwa Ngolo wa kuela na kwa modo.
\v 12 Na ipepeto jake jeko mkonunyi mwake kueleshakabisa uwanda gwake na kuiwika andu amweri ngo yake kainyi. Ye aghakoraa mawewe ka modo ghusarimikaa.
\p
\v 13 Niko Jesu akacha kufuma Galilaya atamwedagha gwa Yordani kubatizigwa ni Yohana.
\v 14 Ye Yohana wakundieghe kumghiria akideda, "Nyi ndakundi kubatizigwa ni we, nawe wacha kwapwa?"
\v 15 Jesu wamjibu akadeda, "Ruhusu ike iji aha, huwu diko yadipasa kuitimira hachi yose." Niko Yohana akamruhusu.
\p
\v 16 Andu wameria kubatizigwa, Jesu wafumie machinyi na guwa, mbingu rikafunulwa kwake. Na waamwonie Ngolo wa Mlungu akisea kwa mfano gwa njiwa na kunyama kima ighu yake.
\v 17 Guwa, sauti yafumie mbingunyi ikideda, "Huyu ni mwanapwa mkundwa nimkundi nanganyi.
\c 4
\cl Sura 4
\p
\v 1 Niko Jesu wkirishiwe ni ngolo mbaka ijangwenyi ili agheriwe ni ibilisi.
\v 2 Warikogho wafunga kwa maruwa arobaini dime na kio mwisho wapatie njala.
\v 3 Mgheria akacha na akamzera, "kama we ni mvalwa wa Mlungu, amuru magwe agha ghake mkate."
\v 4 Ila Jesu wamjibu na kumghoria, "yaandikiwe mndu ndakaa banana kwa mkate tu, bali kwa kila ilagho jifumaa momunyi mwa Mlungu."
\v 5 Niko ibilisi akamghenja mzi mtakatifu na kumwika andu kwa ighu kwa ijengo ja hekalu.
\v 6 Na kumghoria, "kama we ni mvala wa Mlungu kiburuse ndonyi, kwa maana yaandikiwe, ima walagiza malaika wake wakudake na ima wakunua kwa mikonu yawhe, ili usakikuwe kughu kwako katika igwe.
\v 7 Jesu akamghoria, "sena yaandikiwe, usagherie Mlungu wako."
\p
\v 8 Niko ibilisi akamwusa na kumghenja andu kwa ighu zaidi akambonyera falme rose ra urumwengu na fahari ya hiro rose.
\v 9 Akamzera, "Ima nakuneka vilambo vose hivi ukanisujudia na kunitasa."
\v 10 Niko Jesu akamghoria, "ghenda chia rako ufume aha, shetani! yaandikiwe, umtase Mlungu wako, na umtumikie ye mweni."
\v 11 Niko ibilisi akamsigha, guwa, malaika wakacha wakamtumikia.
\p
\v 12 Basi Jesu achasikira Yohana wawhadigwa, waingie akaghenda Galilaya.
\v 13 Waingie Nazareti akaghenda kuka kapernaumu, yeko mbaimbai na bahari ya Galilaya, mpakenyi mwa majimbo gha zabuloni na Naftali.
\v 14 Ihi yafumirie kutimira chija chidediwe ni mlodi Isaya,
\q
\v 15 Katika mzigwa Naftali, kughenda baharinyi, kimonu cha Yordani, Galilaya ya wa wamatifa!
\q
\v 16 Wandu wakee kirenyi wawonie mwanga mbaha, na waja wakee masanga gha kiju cha kifwa, ighu yawhe nuru yawa lumikia."
\p
\v 17 Kwa makati agho Jesu waanzie kuhubiri na kudeda, "Tesi wenyi zambi kwa maana ugimbikwa gwa mbingunyi gwafika."
\p
\v 18 Warikogho akighenda mbaimbai ya bahari ya Galilaya, wawawonie wambari wawi, Simoni awangiwe Petro, na Andrea mbaha wake, wakiwika ngavu baharinyi, ambawo warikogho wavuvi wa samaki.
\v 19 Jesu akawaghoria, "chonyi mninughirie, ima namibonyakuka wavuvi wa wandu."
\v 20 Wakasigha ngavu rawhe wakamnughiria.
\p
\v 21 Na ye Jesu warikogho akiendelea kufuma aho wawawonie wambari wawi wamwe, Yakobo mvalwa wa Zebedayo, na Yohana mbaha wake. Warikogho katika mtumbwi andu amweri ni Zebedayo ndee wawhe wakishona ngavu rawhe akawawanga.
\v 22 Wakasigha mtumbwi na ndee wawhe nawo wakamnughuria.
\p
\v 23 Jesu wawaghendie karibia Galilaya yose, akifundisha masinagoginyi kwawhe, akihubiri injili ya ugimbikwa, na akikira mrazi gha aina rose na makongo imbiri ya wandu.
\v 24 Habari rake raenee siria yose, na wandu wakaredigwa kwake waja wose warikogho wakiwha, wakika na mrazi tofauti luwawo, wakona mapepo, na wagwagha chongo na waolole. Jesu akawakira.
\v 25 Umati mbaha gwa wandu wamnughirie kufuma Galilaya, na Dekapoli, na Yerusalemu na Uyahudi na kufuma kimonu cha Yordani.
\c 5
\cl Sura 5
\p
\v 1 Jesu wacha uwona umati, akaingia na kughenda lighongonyi wachaka ndonyi, wanafunzi wake wakacha kwake.
\v 2 Akawusira momu gwake akawafundisha, akideda,
\q
\v 3 "Heri weko masikini wa ngolo maana ufalme wa mbingunyi ni gwahwe.
\q
\v 4 Heri weko na huzuni, maana imafarijiwa.
\q
\v 5 Heri waorie, ima wapala isanga.
\q
\v 6 Heri wanjala na kau ya hachi, maana ima waghudishigwa.
\q
\v 7 Heri wako na wughoma awo ima wapata wughoma.
\q
\v 8 Heri wekona ngolo itakate maana ima wamwona Mlungu.
\q
\v 9 Heri wapatanishi, maana awo ima wawangwa wa Mlunggu.
\q
\v 10 Heri waja watesigwa kwa ajili ya hachi, maana ufalme wa mbingunyi ni wawhe.
\q
\v 11 Heri inyo ambawo wandu ima wamianyira na kuwatesa angu kuwadedia kila aina ya ubaya kwa utee kwa ajili yapwa.
\v 12 Boiwenyi na kushangilia, maana thawabu yenyu ni mbaha ighu mbingunyi. Na huwu niko wandu wawtesie walodi wakee kabla ya inyo.
\p
\v 13 Inyo ni munyu gwa urumwengu. Idana kama munyu gwa laghasha ladha yake, ima yakawada kubonyika munyu ghuja gweni sena? kamwe ndaidimaa kuboa kwa kilambo chimwe chocho sena, bali ni kudagwa shighadi na kuwhadigwa shighadi na kuwhadigwa ni maghu gha wandu.
\v 14 Inyo ni nuru ya ulumwengu. Mzi gwaaghigwa ighu ya chughongo ndauvisikaa.
\v 15 Wala wandu ndawawasha taa na kuriwika ndonyi ya ngau, bali kinarenyi, nayo idawamulika wose wekoondenyi ya nyumba.
\v 16 Sigha nuru yenyu imulike imbiri ya wandu ili kwamba, waghawone matendo ghenyu ghaboie na kumtukuza Aba wenyu akoo mbingunyi.
\p
\v 17 Msatenganye nachee kuinona sheria wala walodi. Sichee kunona ila kutimira.
\v 18 Kwa loli ndawaghoria kwamba hadi mbingunyi dunia rose riide ndakudae yodi imweri wala nukta imweri ya sheria iinjigwagha katika sheria hadi aho kila kilambo chikaka chatimizigwa.
\v 19 Huwo wowose achukaanyaye amri ndinyi mojawapo ya amri iri na kuwafundisha wamwe kubonya uwo ima wawangwa mtinyi katika ufalme gwa mbingunyi. Lakini wowose ariwhadagha na kurifundisha ima wawangwa mbaha katika ufalme gwa mbingunyi.
\v 20 Kwa maana ndawaghoria hachi ya waandishi na mafarisayo, kwa vovose wuja ndamngiaa katika ufalme gwa mbingunyi.
\p
\v 21 Mwaskira yadediwe aho kala kuwa, "Usabawghe" na wowose abwaghae ako katika hatari ya hukumu.
\v 22 Lakini ndawghoria wowose amzamiwagha mbari wake kuwa, We ni mndu usaboie! ima waka katika hatari ya ibaraza. Na wowose adedae, 'We wakelie!' ima waka katika hatari ya madogwa Jehanamu.
\v 23 Huwo `kama udafanya sadaka yako madhabahunyi na udakumbuka kuwa mbari wako akona ilagho jojose kuhusu we,
\v 24 Isighe sadaka imbiri ya madhabahu, kishawada chia rako. Ghendapatana kwanza ni mbari wako, niko uche kuifunya sadaka yako.
\v 25 Patana ni mkisa wako karuwaruwa, ukika andu amweri nae chienyi kughenda mahakamenyi, bila huwo mkisa wako adimagha mikonunyi mwa hakimu, na hakimu akusighe mikonunyi mwa askari, na we ima wadagwa gerezenyi.
\v 26 Amin ndawaghoria, kamwe nduwikigwa huru hadi walipa senti ya mwisho ya pesa udaiwaa.
\p
\v 27 Mwasikikra yadediwe kuwa, 'Usazini.'
\v 28 Lakini ndawaghoria wowose amguwaa mndumka kwa kumtamani wazini nae kala ngolonyi mwake.
\v 29 Na kama iriso jako ja kujo jidakubonya kukikuwa jikue na ujidaghe mbai nawe. Ni afadhali kiungo chimweri katika muwi gwako kinoneke kuliko muwi mlanzi kudagwa Jehanamu.
\v 30 Na kama mkonu gwako gwa kujo udakubonya kukikuwa, udeme kisha uudange mbai nawe afadhali kimweri katika muwi gwako kinoneke kuliko muwi mlanzi kudagwa Jehanamu.
\p
\v 31 Yadediwe pi, wowose ambingisaa mkake, na amneke kati ya talaka,'
\v 32 Lakinyi ndawaghoria, wowose amsighaa mkake, ila tu kwa sababu ya zinaa, ambaya kuka mzinzi. Na wowose wamlowuwaa baada ya kunekwa talaka adabonya uzinzi.
\p
\v 33 Sena, mwasikira yadediwe kwa waja wa kala 'Msalawe kwa tee, bali ghenyenyi virawo vyenyu kwa Mzuri.
\v 34 Lakini ndawaghoria, msalawe hata kugheria ama kwa mbingu, kwa sababu ni enzi ya Mlungu,'
\p
\v 35 Wala kwa Dunia, maana ni andu kwa kuwika kifumbi cha kuwhadia chwao rake, ama kwa Jerusalemu, maana ni mzi wa mgimbikwa mbaha.
\p
\v 36 Wala usalawe kwa chongo chako, maana ndudimaa kubonya ivunga jimweri kuka jachokwa angu jadilu.
\v 37 Bali malagho ghenyu ghake, 'Hee, hee, mm, mm kwa kuwa ghazidii agho ghafumaa kwa yuja azamie.
\p
\v 38 Mwasikira yadediwe kuwa,' Iriso kwa iriso, na ighegho kwa ighegho.'
\v 39 Lakini nyi ndawaghoria, mashindane ni mundu wazamie, 'lakini mndu akikukaba indumbu ja kujo mwaghusie na jimwe pia.
\v 40 Na kama wowose adamani kughenda ni we mahakamenyi na akakukosa kazu yako, msighie n ijoho jako pia.
\v 41 Na wowose akulazimishaye kughenda nae maili imweri, ghenda nae maili iwi.
\v 42 Kwa wowose akulombaa mneke, na usamleghe wowose akundii kukopa.
\p
\v 43 Mwasikira yadediwe, 'umkunde jiranyi yako, na umzamiwe mlaghe laghe wako.
\v 44 Lakini ndawaghoria, wakundenyi walaghe laghe wenyu, watasienyi wamizamiwaa,
\v 45 Ili kwamba mke wana wa Aba wenyu ako mbingunyi kwakuwa adabonya iruwa jiwamulike wazamie na waboie, na awanyeshea vua wazamie na waboie.
\v 46 Kama mkawakunda wamikundi inyo, mkdapata thawabu ki?
\v 47 Na kama mkawasalimu wambari wenyu tu mdapata indoi zaidi ya wamwe? Je! wandu wa mataifa ndawabonyaa waruwa huwo?
\v 48 Huwo basi idawapasa kuka wakamilifu, kama Aba wenyu wa mbingunyi ako mkamilifu.
\c 6
\cl Sura 6
\p
\v 1 Maziria kutobonya matendo gha hachi imbiri ya wadu ili kukibonyiria, bila huwo ndupataa thawabu kufuma kwa Aba ako mbingunyi.
\v 2 Huwo basi andu ufunyaa usakabe igunda na kusifu mweni kama wanafiki andu wabonyagha katika masinagogi na mitaenyi, ili kwamba wandu wawasifu. Loli ndawaghoria, wameria kuwokera thawabu yawhe.
\v 3 Lakini waandu ufunyaa, mkonu gwako gwa kumoshu ghusaichi kibonyikagha ni mkonu gwa kujo,
\v 4 Ili kwamba zawadi yako ifunyigwe kwa kiviso. Niko Aba wako awaonye kivisioni ima wakuneka thawabu yako.
\p
\v 5 Na wakati ukitasa, usake kama wanafiki, kwakuwa wadakundi kukakimsi na kutasa masinagoginyi na kuko kona ra mitaenyi, ili kwamba wandu wawaguwe. Loli ndawaghoria, wameria kuwokera thawabu yawhe.
\v 6 Lakini we andu utasaa, ngia chumbenyi. Rugha mjango, na utase kwa Aba wako ako kivisoni. Niko Aba wako awonaye kivisoni ima wakuneka thawabu yako.
\v 7 Na wakati ukitasa, usaburie madedo gha sadae maana kama mataifa andu wabonyaa, kwa kuwa wateganyaa kwamba ima wakasikirwa kwa madedo mengi wadedaa.
\v 8 Kwa huwo, usake kama awo, kwa kuwa Aba wako waichi mahitaji ghako hata kabla ndutasie kwake.
\v 9 Huwo basi tasa huwu: Aba wedu uko mbingunyi, ujitukuze irina jako.
\q2
\v 10 Ufalme gwako uche, mapenzi ghako ghabonyeke aha dunienyi kama uko mbingunyi.
\q2
\v 11 Udinekagha linu mkate gwedu gwa kila siku.
\q2
\v 12 Udisamehe deni redu, kama na isi andu dawasamehe wasile wedu.
\q2
\v 13 Na usadirede katika kugheriwa, lakini udiepushe kufuma kwa yuja uzamie.
\p
\v 14 Kama imamwawasamehe wandu makosa ghawhe, Aba wako ako mbingunyi ima awsamehe inyo.
\v 15 Kama ndamwasamehe makosa ghawhe, wala Aba wenyu ndawasamehe makosa ghenyu.
\p
\v 16 Zaidi ya yose, andu ukaka wafunga, usabonyerie wushu gwa huzuni kama wanafiki andu wabonyaa, kwa kuwa wadakucha sura rawhe ili kwamba wandu wawamanye wafunga. Loli ndawaghoria, wameria kuwokera thawabu yawhe.
\v 17 Lakini we, wandu ukaka wafunga, via mavunda chango chako na uoghe wushu gwako.
\v 18 Huwo ndaibonyiriagha imbiri ya wandu kuwa wafunga, lakini tu imayaka kwa Aba wako ako kivisioni. Na Aba wako awonagha kivisioni, ima wakuneka thawabu yako.
\p
\v 19 Usakiwie hazina yako mweni aha dunienyi, ambawo nondo na kutu hunona, ambawo wating'a huchukanya na kuiwa.
\v 20 Badala yake, kiwikie hazina yako mweni mbingunyi, ambako wala nondo wala kutu ndadimaa kunona, na ambako wating'a ndawadimaa kuchukanya na kuiwa.
\v 21 Kwa wuja hazina yako andu iko, niko na ngolo yako iko pia.
\p
\v 22 Iriso ni taa ya muwi. Kwa huwo, ikaka iriso jako ni ilanzi muwi gwose imawachurigwa.
\v 23 Lakini ikaka iriso jako ni ibovu, muwi gwako gwose gwachua kira kibaha. Kwa huwo, ikaka nuru ambayo yeko ndenyi yako ni kira kabisa, ni kira kibaha ni wada!
\p
\v 24 Ndakudae hata umweri adimagha kuwatumikia wamwi wawi. Kwa kuwa ima wazamiwa ni umweri na kumkunda umwi, angu la sivyo ima wakaifunya kwa umweri na kumdharau umwi. Ndandimaa kumtumikia Mlungu na mali.
\p
\v 25 Kwa huwo ndakughoria, usake na mashaka kuhusu maisha ghako, kuwa ima waja indoiau ima wanywa indoi, angu kuhusu muwi gwako, ima warwai. Je! maisha si zaidi ya vindo n muwi zaidi ya kurwa?
\v 26 Guwa wanyonyi wekoo angenyi. Ndawawaa na ndawa kwashaa na ndawa kusanyaa na kuwika koinyi, lakini Aba wenyu wa mbingunyi huwajisa awo. Je inyo si wathamani kuliko wo?
\v 27 Na ni ani imbiri yenyu kwa kukigaisha adimaa kuchuria dhiraa imweri kuko banana ya maisha ghake?
\p
\v 28 Na kwa indoi mdaka na wasiwasi kuhusu kurwa? tenganya kuhusu maruwa? kuko mbuwa, andu ghazoghuaa. Ndaghabonyaa kazi na ndaghadimaa kukirusha.
\v 29 Bado ndawaghoria, hata sulemani katika utukufu gwake gwose ndarushiwe kama moja wapo ya agha.
\v 30 Kama Mlungu agharushaa manyasi katika mbuwa, ambagho ghadumu iruwa jimweri na kesho ghadadagwa katika modo, je ni kwa kiasi kiwarushagha inyo mko na imani ndini?
\v 31 Kwa huwo msake na wasiwaasi na kuded, 'Je imadaja indoi?' angu je imadagwa indoi? angu "Je! ima darwa nguwo ki?"
\v 32 Kwa kuwa mataifa wadalola malagho agha, na Aba wenyu wa mbingunyi adaichi kuwa kuwa mdakundi agho.
\v 33 Lakini kwanza lolenyi ufalme gwake na hachi yake na agha ghose ima ghakazigwa kwako.
\v 34 Kwa huwo usawone shaka kwa ajili ya kesho, kwa kuwa kesho ima yakishuhulikia yeni. Kila siku idatosha kuka na itatizo jake yeni.
\c 7
\cl Sura 7
\p
\v 1 Usahukumu, nawe usache kuhumiwa.
\v 2 Kwa hukumu ijayenyi, nawe ima wahukumiwa. Na kwa kiasi upimagha na we ima wapiwa icho cheni.
\v 3 Na kwa indoi udaguwa kipande cha mdi chiko irisonyi ja mmbari wako, lakini nduelewagha kipande cha igogo ambajo jeko katika iriso jako?
\v 4 Udima wada kudeda kwa mbari wako, sighaniku funyie kipande chiko irisonyi kwako, wa kati kipande cha igogo cheko ndenyi ya iriso jako?
\v 5 Mnafiki we; kwanza funya igogo jiko irisonyi kwako, na niko udima kuwona nicha na kukifunya kipande cha mdi chiko irisonyi ja mmbari wako.
\p
\v 6 Usawaneke makoshi cheko kitakatifu, na usawadaghie nguwe lulu imbiri yawhe. Kama siko imawavinona na kuviwhadia kwa maghu, na sena ima wakughukia we na kukurarua vipande vipande.
\p
\v 7 Tasa, nawe ima wanekwa. Lola, nawe ima wapata. Kaba hodi, na we ima warughuriwa.
\v 8 Kwa wowose atasaa, ima wawokera. Na kwa wowose alolaa, ima wapata. Na kwa mndu ambae akaba hodi, dima warughuriwa.
\p
\v 9 Angu kuko mndu imbiri yenyu ambae, ikaka mwanake amlomba kipande cha mkate ima wamneka igwe?
\v 10 Angu ikaka amlombagha samaki, na ye ima wamneka choka?
\v 11 Kwa huwo, ikika inyo mwawazamie mdaichi kuwaneka wana wenyu zawadi riboie, Je! ni kiasi ki zaidi Aba ako mbingunyi awanekagha vilambo viboie waja wamlombagha ye?
\p
\v 12 Kwa sababu hiyo, ukakunda kubonyiwa kilambo chochose ni wandu wamwe, na we pia imayakubonya kuwabonyia woruwo huwo nawhe. Kwa wuja hiyo ni sheria na walodi.
\p
\v 13 Ngienyi kwa kuidia geti ifunyu. Kwa kuwa getini ishabwa na chia ni shabwa iongozaa kuzamie, na kuko wandu wengi waidagha chia iyo.
\v 14 Geti ni ifunyu ni chia iongozagha katika banana nani watineri wadima kuiwona.
\p
\v 15 Kihazari na walodi wa tee, wachagha warwa mrongo gwa ng'ondi, lakini loli ni makoshi gha isakenyi ghabirie.
\v 16 Kwa matunda ghawhe ima mwawamanya. Je wandu wadimagha kuwahaya matunda injwenyi, angu mtini kuko mbeu ya mbaruti.
\v 17 Kwa huwo, kila mdi ghuboie gwa vagha matunda ghaboie, lakini mdi ghuzamie gwavagha matunda ghazamie.
\v 18 Mdi ghuboie ndaudimagha kuva matunda ghazamie, wala mdi ghuzamie ndaudimagha kuva matunda ghaboie.
\v 19 Kila mdi ghusavagha matunda ghaboie ima wademwa na kudagwa modonyi.
\v 20 Huwo basi, ima mwawamanya kufumana na matunda ghawhe.
\p
\v 21 Si kila mndu anighiriagha n, 'Mzuri, Mzuri; angiagha katika ufalme gwa mbingunyi, bali ni yuja mweni keri abonyaye mapenzi gha Aba wapwa ako mbingunyi.
\v 22 Wandu wengi imawanighoria maruwa agho, 'Mzuri, Mzuri, ndadifunyie wulodi kwa iri na jako, ndadifunyie mapepo, kwa irina jako, na kwa irina jako dabonyie matendo mengi mabaha?
\v 23 Niko imawaghoria mwari, siwachi inyo! ingenyi kwapwa, inyo mbonyaa ghazamie.
\p
\v 24 Kwa huwo, kila umweri asikiragha madedo ghapwa na kutii ima wafwanana na mndu akona hekima aaghiye nyumba yake ighu lwalenyi.
\v 25 Vua ikanya, mafuriko ghakacha, na upepo ghukacha na ghukaikaba nyumba iyo, lakini ndaidimie kugwa ndonyi, kwa kuwa yakogho yuagwa ighu lwalenyi.
\v 26 Lakini kila mndu asikaragha ilagho japwa na asajitii, ima wafwananishwa na mndu mpumbavu aaghie nyumbayake ighu ya ndoe.
\v 27 Vua ikacha, mafuriko ghakacha, na upepo ghukacha na kuikaba nyumba iyo. Na ikagwa na kunoneka kwake kukakamilika."
\p
\v 28 Gha fikie maruwa Jesu achameria kudeda malogho agha, makutano washangaie mafundisho ghake,
\v 29 Kwa wuja wafundishie kama mndu akona mamlaka, na si kama waandishi wawhe.
\c 8
\cl Sura 8
\p
\v 1 Wakati Jesu achasea ndonyi kufuma chughoghonyi, umati mbha wamnughie.
\v 2 Guwa, mkoma wachee na kusujudu imbiri yake, akadeda, "Mzuri, ikaka uko tayari, wadima kanibonya nike aelie."
\p
\v 3 Jesu akaghunyoosha mkonu gwake na kumwhada, akadeda, "Neko tayari. Uke aelie." Aweni watakasiwe ukoma gwake.
\v 4 Jesu akamghoria, "Usadede kwa mndu wowose. Whada chia rako, na ghenda kibonyirie mweni kwa kuhani na ufunye zawadi ambayo Musa walagiza, ili ike ushuhuda kwawhe.
\p
\v 5 Wakati Jesu achafika kaprenaumu, Jemedari wachee kwake akamkotia
\v 6 Akideda, "Mzuri mtumishi wapwa watungura nyumbenyi waolola na ako namaumivu gha kutisha."
\p
\v 7 Jesu akamghoria, "Ima nacha na kumkira."
\p
\v 8 Jemedari wajibie na kumghoria, Mzuri, Nyisi wa thamani hata uche na kungia ndenyi ya dari yapwa, deda ilagho tu na mtumishi wapwa ima wakirwa.
\v 9 Kwa kuwa nyi pia mndu niko na mamlaka, na niko nawo askari weko ndenyi yapwa. Nikideda kwa huyo, "Adaghenda, na kwa umwi choo na ye hucha, na kwa mtumishi wapwa, 'bonya huwu,' na ye adabonya huwo"
\p
\v 10 Wakati Jesu achasikira agha, washangazigwa na kuwaghoria waja warikogho wakimnughiria, "Loli ndawaghorie, sipatie kuwoona mndu ako na imani kama huyu katika Israeli.
\v 11 Ndawagoria, wengi iwawacha kufuma mashariki na magharibi, imawaka katika meza andu amweri na Ibrahimu, Isaka na Yakobo, katika ufalme gwa mbingunyi.
\v 12 Lakinyi wana wa ufalme imawadagwa katiaka kira cha shighadi, ambako ima kwaka na kifwa na kusaga maghegho.
\v 13 Jesu akamghoria Jemedari, "Ghenda! kama andu waamini, na ibonyeke huwo kwako" na mtumishi wakiriwe katika saa hiyo yeni.
\p
\v 14 Wakati Jesu wachafika nyumbenyi kwa petro, wamwona mkeku wake na Petro watungura akika mkongo wa homa.
\v 15 Jesu akamwhada mkonu gwake, na ihoma jke jikamsigha. Kisha akawukia akaanza kumuhudumia.
\p
\v 16 Ichafika kwenyi, wndu wakamredia Jesu wengi watawaliwe ni pepo. Akawawabingisa pepo na waja weko wakongo akawakira.
\v 17 Kwa kubonya huwu yatimia yaja yamerie kudedigwa ni Isaya Mlodi, "Ye mweni wawusie makongo ghedu na wadwae marazi ghedu"
\p
\v 18 Kisha Jesu wachajiwona kusanyiko jamzunguruka, wafunyie maelezo gha kughenda luwande lumwi lwa bahari ya Galilaya.
\v 19 Kisha mwandishi akacha kwake na kumghoria, "Mwalimu, ima nakughoria kokose ughendaa."
\p
\v 20 Jesu akamghoria, "Makoshi gha isakenyi ghako na mashimo, na wanyonyi wa angenyi wako na vichungu, lakini mvalwa waAdamu ndadae andu kwa kutungurisha chongo chake."
\p
\v 21 Mwanafunzi umwi akamghoria, Mzuri, niruhusu kwanza nighende mrika Aba."
\p
\v 22 Lakini Jesu akamghoria, "Ninughirie, na uwasighe wafu warike wafu wawhe."
\p
\v 23 Jesu wachangia mtumbwinyi, wanafunzi wake wakamnugha mtumbwinyi.
\v 24 Guwa, ikawukia zaruba mbaha ighu ya bahari, hata ikaka mtumbwi wafunikiwe ni mawimbi. Lakini Jesu warikogho watungura.
\v 25 Wanafunzi wakacha kwake na kumwusira wakideda, "Mzuri, ditesie isi, didaghenda kufwa"
\p
\v 26 Jesu akawaghoria, "kwa indoi mdaboa, inyo mko na imani ndini? niko akawukia na kughukemea upepo na bahari. Kisha kukaka na utulivu mbaha,
\p
\v 27 Womi wakawhadigwa ni mshangao wakadeda, "Huyu mundu ni wa wada? kwamba hata pepo na bahari vidamtii ye?"
\p
\v 28 Wakati Jesu wakogho akicha luwande lumwi lwa isanga ja magadala, womi wawi warikogho watawaligwa ni mapepo wakwana nae. Warikogho wakifuma na makaburinyi na warikogho wakibonya vurugu sana, kiasi kwamba ndakudae mcharo adimaa kuida chia ija.
\v 29 Guwa, wapazie sauti na kudeda, "Niko na indoi cha kubonya kwako, mvalwa wa Mlungu? wacha aha kuditesa kabla ya wakati ndauseefika?
\v 30 Idana kundi ibaha ja nguwe jirikogho jikilisha, ndakukee kula sana na aja andu weko.
\p
\v 31 Pepo waendelee kulalamika kwa Jesu na kudeda, "ikaka ima wadiamuru kufuma, dighenje ikundinyi ja nguwe."
\p
\v 32 Jesu akawaghoria, "ghendenyi" pepo wakawafuma na kughenda kwa nguwe. Na guwa, ikundi joise jikasea kufuma chughonyi kusea baharinyi na jose jikafwa machinyi.
\v 33 Womi warikogho wakilisha nguwe wakimbirie na waghendie Mzinyi wakaghora kila kilambo, hususani chifumirie kwa womi warikogho watawaligwa ni mapepo.
\v 34 Guwa, mzi mlanzi ukacha kukwana na Jesu. Wachamwona, wakamsihi ainge mkoenyi kwa whe.
\c 9
\cl Sura 9
\p
\v 1 Jesu akangia botinyi, akavuka na akafika kuko mzi warikogho adaka.
\v 2 Guwa, wakamredia mndu waolole watungurishigwa itandikonyi wachaiwona imani yawhe, Jesu akamgheria mndu waolole, "mwanapwa, uke na furaha, zambi rako rasamehewa"
\p
\v 3 Guwa, baadhi ya walimu washeria wakadeda weni kwa weni, "Huyu mndu ako na kufuru"
\v 4 Jesu akamanya mawazo ghawhe na kudeda, kwa indoi mdawaza ghazamie ngolonyi kwenyu?
\v 5 Chiao chiko rahisi kudeda, 'zambi rako rasamehewa' angu kudeda, 'kakimsi na ughende?'
\v 6 Lakini mmanye ya kwamba mvalwa wa Adamu ako na uwezo gwa kusamehe zambi... "waghadedie agha kwa yuja waolole, "kakimsi," wusa igodoro jako, na ughende nyumbenyi kwako"
\v 7 Niko yuja mundu akakimsi na kuinga kughenda nyumbani kwake.
\v 8 Makutano wachawona agho, washangae na kumsifu Mlungu, ambae wawaneka uwezo agho wandu.
\p
\v 9 Na Jesu warikogho akiida kufuma aho, wamwanie mundu ambae wawangie kwa irina ja mathayo, aambae waarikogho waka andu kwa wawhada ushuru. Na ye akamghoria, "Ninughe nyi" na ye akakamsi na kumnughiria.
\v 10 Na Jesu wakee ili aje vindo ndenyi ya nyumba, wakacha wawhada ushuru wengi na wandu wazamie wakaja vindo andu amweri na Jesu na wandu wanafunzi wake.
\p
\v 11 Niko mafarisayo wakayawona agho, wakawaghoria wanafunzi kwa indoi mwalimu wenyu adaja vindo andu amweri na wawhada ushuru na wandu wazamie?"
\p
\v 12 Jesu wachasikira agho nae akadeda wandu weko na afya iboie ndawahitaji mganga, isipokuwa waja weko wakongo.
\v 13 Idawapasa mghende mkakifunze maana yake, "Ndakundi wughoma na sio zabihu" kwa wuja nachee, si kwa wekona hachi kutesiwa zambi, lakini kwa wenona zambi.
\p
\v 14 Niko wanafunzi wa Yohana wakancha kwake na kudeda, "kwaindoi isi na mafarisayo didafunga, lakini wanafunzi wako ndawafungaa?"
\p
\v 15 Jesu akawaghoria, Je wasindikizaji wa arusi wadimaa kuka na huzuni pindi Bwana arusi akika anduamweri nawo? lakini maruwa ghadacha ambako Bwana arusi ima wawusigwa kufuma kwawhe, na niko wafungaa.
\p
\v 16 Ndakudae mundu awikagha kipande cha nguwo mbishi andu kuko nguwo ya kala, kiraka ima charashulwa kufuma andu kuko nguwo na mrashulo mbaha ima wafuma.
\v 17 Ndakudae wandu wawikagha chofi mbishi andu kuko chombo cha chofi ya kala, ikaka wabonya, mrongo imagwarashulwa, chofi imayalaghaya na mrongo ima gwaoneka. Badala yake, huwika chofi mbishi katika mrongo mwishi na vose imavaka nicha.
\p
\v 18 Wakati Jesu wakogho akiwaghoria malagho agho, guwa Afisa akacha akasujudu imbiri yake, naye akadeda, "Mwanapwa wa waka wafwa demkweniji, lakini cho na uwike mkonu gwako ighu yake na ye ima waishi sena.
\v 19 Niko Jesu akakamsi na kumnugha na wanafunzi wake pia.
\v 20 Guwa, mka ambae warikogho akifuma bagha wa makati gha miaka kumi na iwi, akacha karibu na Jesu na akawhada andu kuko ipindo ja ivazi jake.
\p
\v 21 Kwa wuja wadedie, "kama ni kawhada ivazi jake, nami ima naboia."
\p
\v 22 Jesu akaaghuka na kumguwa na kumghoria. "Mwai, whda ngolo, imani yako ya kubonya uboe," Na makati agho gheni mkaakaboa makati agho.
\p
\v 23 Na jesu wachafika nyumbenyi kwa Afisa, na ye wawonie wakaba magunda na umati gwa wandu urikogho ukikaba jogho.
\v 24 Na ye akadeda, "Inyeni aha, kwa waja mwaindafwie, bali watungura. Lakini wo wakamseka na kumkebehi.
\v 25 Na waja wandu wachafunyigwa shighadi, akangia chumbenyi na kumwhada mkonu na mwai akawukia.
\v 26 Na habari iri rikae na katika mzi mlanzi.
\p
\v 27 Niko Jesu warikogho akiida kufuma aja, womi wawi vipofu wakamnugha waendelee kukaba jogho wakideda, daomba udirehemu, mvalwa wa Daudi.
\v 28 Pindi Jesu warikogho wafika nyumbenyi, waja vipofu wakacha kwake. Jesu akawaghoria, "Mdaamini kwamba nadimagha kubonya?" Nawo wakamghoria "Hee, Mzuri"
\p
\v 29 Niko Jesu akawhada meso ghawhe na kudeda, "Na ibonyeke huwo kwenyu kama andu imani yenyu yamiduma"
\v 30 Na meso ghawhe ghakafumbuka. Niko Jesu akasisitiza akawamuru na kudeda "Guwenyi mundu wowose asamanye kuhusu ilagho iji."
\v 31 Lakini wandu awawi wakainga na kudeda habari iri andu kase mzi mlanzi.
\p
\v 32 Noko waja womi wawi warikogho wakighenda chia rawhe, ni ipepo akaredigwa kwa Jesu.
\v 33 Na pepo wachamfuma, yuja mndu bubu akaanza kudeda "Ihi ndaisere kufumiria katika Israeli.
\p
\v 34 Lakini mafarisayo warikogho wakideda "kwa wakuu wa pepo, adawabighisa mapepo"
\p
\v 35 Jesu akaghenda kuko mizi yose na vijiji. Amaendelea kufundisha masinagoginyi, akihubiri injili ya ufalme, na kukira makongo gha kila aina na ghuzaifu gwaaina rose.
\v 36 Wakati achaghuwona umati, akawawania mbazi kwa sababu wagawie na kuvarika ngolo. Warikogho kwa ng'ondi wasadae mlisha.
\v 37 Na ye akawaghoria wanafunzi wake. "Mavuno ni mengi, lakini wabonyakazi ni watineri.
\v 38 Huwo basi kuruwaruwa mtesienyi Mzuri wa mavuno, ili adume wabonyakazi katika mavuno ghake."
\c 10
\cl Sura 10
\p
\v 1 Jesu akawawanga wanafunzi wake kumi na iwi na kuwaneka mamlaka ighu ya pepo wachafu, kuwakemea na kuwabingisa na kukira aina rose ra malazi na aina rose ra makongo.
\v 2 Mari na gha mitume kumi na iwi ni agha. Ja kwanza simeoni (ambaye pia adawagwa Petro), na Andrea mmbari wake, Yakobo mvalwa wa Zebedayo, na Yohana mmbari wake:
\v 3 Philipo, na Barthomayo, tomaso, na Mathayo mwhada ushuru, Yakobo mvalwa wa Alfayo, na Tadeo.
\v 4 Simoni mkananayo, na Yuda Iskariote, ambae wamsaliti.
\p
\v 5 Awa kumi na iwi Jesu awadumie. Na ye wawaelekezie akideda "Msaghende andu weko wa wamataifa na msangie mizinyi kwa wasamaria.
\v 6 Badala yake, mghende kwa ng'ondi walagharie wa nyumba ya Israeli.
\v 7 Naandu mghendaa, hubirinyi na kudeda, ufalme gwa mbingunyi gwakaribia.
\v 8 Kirenyi wakongo, fufuenyi wafu, takasenyi wekona ukoma na bingisenyi pepo. Mwawokera utu, funyeni utu.
\v 9 Msawuse zahabu, almasi angushaba andu kuko pochi renyu.
\v 10 Usawuse mkoba katika charo chenyu, angu nguwo ra ziada, vadu angu changu, kwa wuja mbonyakazi adastahili vindo vake.
\v 11 Mzi gwogwose angu kijiji mngiagha lolonyi ambaye ndastahili na mke aja mpaka andu muingagha,
\v 12 Mkangia nyumbenyi, lamsenyi.
\v 13 Kama nyumba idastahili, amani yenyu iaki aja, lakini ngelo nyumba ndaistahili, amani yenyu iinge andu amweri na inyo.
\v 14 Na kwa waja wasawawokeagha inyo angu kusikira madedo ghenyu, wakati mdainga andu kuko nyumba angu mzi uo, aghienyi lavumbi lwa chwao renyu andu aho.
\v 15 Loli ndawagheria, ima yaka ya kustahimili karuwaruwa mizi ya Sodoma na Gomora maruwa gha hukumu kulikomzi ugho.
\p
\v 16 Guwa, ndawaduma kama ng'ondi ghadi ghadi, ya makoshi gha isakenyi, kwa huwo kenyi na werevu kama choka na warie sa njiwa.
\v 17 Mke waangalifu na wandu, ima wamighenja mabarazenyi, na ima wamikaba masinagoginyi.
\v 18 Na ima mwarediagwa imbiri ya wabaha na wagimbikwa kwa ajili yapwa, sa ushuhuda kwawhe na kwa mataifa.
\v 19 Pindi wakashutumu, msake na wasiwasi cha kubonya angu indoi cha kudeda, kwa wuja kilambo cha kudeda ima mwanekwa kwa makati agho.
\v 20 Kwa wuja na siyo inyo ima mwadeda, lakini Ngolo wa Aba wenyu ima wadeda ndenyi yenyu.
\v 21 MMBari ima wamnukia mmbari wake kumbwagha, na aba kwa mwanako, wana ima wawawukia wazazi wawhe, na kuwasababishia kifwa.
\v 22 Na inyo ima mwazamiwa na kila mundu kwa sababu ya irina japwa. Lakini wowose arumaghia gha mpaka mwisho mndu uyo ima watesiwa.
\v 23 Andu wamitesaa katika mzi ughu, kimbienyi mzi kunughiriagha, kwa loli ndawaghoria, ndamkagha mkighenda kuko mizi yose ya Israeli kabla ya mvalwa wa Adamu ndaisire kuwuya.
\p
\v 24 Mwanafunzi sio mbaha kuliko mwalimu wakke, wala mtumwa akoo ighu ya Mzuri wake.
\v 25 Idatosha kwa mwanafunzi kwamba ake sa mwalimu wake, na mtumishi sa Mzuri wake. Ikaka wamwanga Mzuri wa nyumba Belzabuli, ni kwa kiasi ki karuwaruwa ima wawakakashifu wa nyumba yake.
\p
\v 26 Huwa basi, msawahofu wo, kwa wuja ndakudae ilagho jisafunuliwa, na ndakudae jibisigwe jisamanyikane.
\v 27 Chija nchidedagha kirenyi, chidedenyi nurunyi na mkisikiraa kwa ulaini madunyi ghenyu, mchitangaze mkika ighu ya nyumba.
\v 28 Msawaboe waja ambawo wadabwagha muwi lakini ndawadae uwezo gwa kubwagha ngolo. Badala yake, mbaenyi yuja ambae adimagha kuangamiza muwi na ngolo kuja kuzimu.
\v 29 Je kasuku wawi ndawadagwaa kwa senti ndini? hata huwo ndakudae adimagha kugwa ndonyi bila Aba wenyu kumanya.
\v 30 Ela hata idadi ya njwi renyu rahesabiwa.
\v 31 Msake na hofu, kwa wuja mkona thamani karuwarwa kuliko kasuku wengi.
\v 32 Huwo basi kila umweri anikiri ya wandu, nanyi pia ima namkiri imbiri ya Aba wapwa ako mbingunyi.
\v 33 Ela ye anileghagha imbiri ya wandu, na nyi pia imanamlegha imbiri ya Aba wapwa ako mbingunyi.
\p
\v 34 Msatenganye kwamba nachee kureda amani, dunikenyi. Sichee kureda amani, ela luwamba.
\v 35 Kwa wuja nachee kumwika mundu abishane na ndee, na mwai dhidi ya mae, na mghosi dhidi ya mkeku wake.
\v 36 Mlaghelaghe wa mundu imawaka waja wa nyumbenyi wake.
\v 37 Ye ambae adamkunda aba angu mawe karuwaruwa kuliko nyi huyo ndanistahili. Na ye amkundagha mdawa na angu mwai karuwaruwa kuliko nyi huyo ndanistahili.
\v 38 Ye ambae ndadukagha msalaba na kuninugha nyi ndanistahili.
\v 39 Ye alalaa maisha imaghashaa. Elaye alaghashaa maisha kwa ajili yapwa ima aghapata.
\p
\v 40 Ye awakaribishagha wanikaribisha nyi, na ye anikaribishagha nyi wamkaribisha ye waniduma nyi.
\v 41 Na ye amkaribishagha mlodi kwa sababu ni mlodi ima wawawokera thawabu ya mlodi. Na ye amkaribishagha ako na hachi kwa sababu ni mundu wa hachi ima wawawokera thawabu ya mundu wa hachi.
\v 42 Wowose ampatiagha umweri wa watini awa, hata kikombe cha machi gha kunywa ghambeo, kwa sababu ye ni mwanafunzi loli ndawaghoria, ye ndadimaa kuwosa kwa chia yoyose thawabu yake.
\c 11
\cl Sura 11
\p
\v 1 Ikaka baada ya Jesu kumeria kuwaeleza wanafunzi wake kumi na iwi waingie aja kughenda kufundisha na kuhubiri katika mzi yawhe.
\p
\v 2 Na Yohana akika gerezanyi achasikira akika ighu gha matendo gha Kristo, wadumie ujumbe kuidia wanafunzi wake.
\v 3 Na wakamkotia, We ni yuja achagha, angu kuko umwi didapaswa kumguwa.
\p
\v 4 Jesu wajibie na kudeda wawhe, "ghendenyi mkamtaarifu Yohana ghaja mghawonaa na ghaja mghasikira.
\v 5 Wandu wasawonaa wadapata kuwona, viwete wadaghenda, wakoma wadatakaswa, wandu wasasikira wandasikira sena, wandu wafwie wadafufuliwa kupata banana, wandu wahitaji wadahubiriwa habari riboie.
\v 6 Na wabarikiwa yuja asawona shaka ighu yapwa.
\p
\v 7 Pindi wandu awa wachainga, Jesu waanzie kudeda na umati ighu ya Yohana, "Ni indoi mwaghendie kuwaona ijangwenyi__tete jikitikiswa ni upepo?
\v 8 Ela indoi mwaghendie kuwona__mundu warwae mavazi ghaboie? hakika, waja warwagha mavazi ghaboie huka nyumbenyi ra wagimbikwa.
\v 9 Ela mwainga kuwona indoi-Mlodi? Hee, ndawaghoria, na zaidi ya Mlodi.
\v 10 Uyu nie waandikiwa, 'Guwa namduma mjumbe wapwa imbiri ya wushu gwako, ambae ima aandaagha chia yako imbiri yako.
\p
\v 11 Nyi ndawaghoria loli, kati ya wavalwe ni waka ndakudae ako mbaha sa Yohana mbatizaji. Ela ako mtini katika ufalme gwa mbingunyi ni mbaha kuliko ye.
\v 12 Toka maruwa gha Yohana mbatizaji hata ijiaha, ufalme gha mbingunyi ni gwa ndighi, na wandu wekona ndighi, huuwusa kwa ndighi.
\v 13 Kwa wuja walodi na sheria waka wakitabiri mpaka kwa yihana.
\v 14 Na ngolo mko tayari kukunda, uyu ni Eliya, uja achagha.
\v 15 Ako na madu gha kusikira na asikire.
\p
\v 16 Nikifwananishe na indoi kivazi hichi? ni mfano wawana wasarighaa gasi ra chetenyi, waja wakagha na kuwangana.
\v 17 Na kudeda, 'Dawakabia zumari ndamvinie daomboleza, ndamlilie.
\v 18 Kwa wuja Yohana wachee bila kuja mkate angu kunywa chofi, na wakaka wakideda, ako na pepo.'
\v 19 Mvalwa wa Adamu wachee akija na kunywa na wakadeda Guwa, ni mndu malaji na mting'a, amwedu wa wawhada ushuru na akona zambi ela hekima idadhihirishwa kwa matendo ghake."
\p
\v 20 Jesu waanzie kuikemia mizi ambako baadhi ya matendo ghake gha ajabu ghabonyeka, kwa sababu warikogho ndawatesiwe zambi,
\v 21 Ole wako kolazini, olewako Bethsaida! ngelo matendo mabaha ghabonyekie Tiro na Sidoni ghaja ghabonyeka aha, ngera watesiwa zambi rawhe aho kala kwa kurwa magunia na kukivia maivu.
\v 22 Ela imayaka kuririmira kwa Tiro na Sidoni maruwa gha hukumu kuliko kwako.
\v 23 We kapernaumu, udadhani ima wawanuliwa hata mbingunyi? Aa imawaserigwa hata ndonyi kuzimu. Ngelo kwa sodoma kwa bonyekieghe matendo mabaha, kumacha ghabonyeka kwako, amacha ikogho mpaka linu.
\v 24 Bali ndadeda kwako kwamba imayaka rahisi kwa isanga ja sodoma kukamsi maruwa gha hukumu kuliko we.
\p
\v 25 Katika makati agho Jesu wadedie, "Ndakusifu we, Aba, Mzuri wa mbingu na isanga, kwa sababu wawabisie malagho agha weko na hekima na ufahamu, na kughafunukula kwa wasadae elimu, sa wana watini.
\v 26 Aba kwa wuja yakupendeza huwo mesonyi pako.
\p
\v 27 Malagho ghose ghakabiziwa kwapwa kufuma Aba. Na ndakudae ammanyagha Aba ila mvalwa, na wowose ambae mvalwa ako na tunu ya kumfunukula.
\v 28 Chonyi kwapwa, inyo wose mgayagha na mremeriwagha ni mzigho mbaha, na nyi dima namisoghosha.
\v 29 Kikumbenyi nira yapwa na mkifunze kufuma kwapwa, kwa wuja nyi na mnyenyekevu na nariboe ngolo na ima mwapata kusoghoka nafsi renyu.
\v 30 Kwa wuja nira yapwa ni laini na mzigho gwapwa gwwaanguye.
\c 12
\cl Sura 12
\p
\v 1 Wakati ugho Jesu waghendie maruwa gha sabato kuidia kuo mbuwa. Wanafunzi wake warikogho na njala na waanzie kuchukanya masuke na kuyaja.
\v 2 Ela mafarisayo wacha wona agho, wakamghoria Jesu "Guwa wanafunzi wako wadanona sheria wadabonya ghasaruhusiwagha maruwa gha sabato"
\p
\v 3 Ela Jesu akawaghoria, "Ndamsomie andu Daudi wabonya, makati warikogho na njala, amweri na wandu akogho nawo?
\v 4 Namna wangirie ndenyi ya nyumba ya Mlingu na kuja mikate ya wonyesho, ambayo irikogho sio halali kwake kuija na waja akogho nawo, ila ndatungura kwa makuhani?
\v 5 Ndamuisire somakatika sheria, kwamba katika maruwa gha sabato makuhani ndenyi ya hekalu wainajisi sabato, ela ndawadae hatia?
\v 6 Ela nadeda kwenyu kuwa ako mbnaha kuliko hekalu ako aha.
\v 7 Ngelo mwamanyie ihi idamaanisha indoi, na kundi wughoma na sio zabihu; kumachandam wahukumu wasadae hatia,
\v 8 Kwa wuja mvalwa wa Adamu nie Mzuri wa sabato."
\p
\v 9 Kisha Jesu akafuma aja akaghenda isinagoginyi kwawhe.
\v 10 Guwa kurikogho na mundu waolole mkonu. Mafarisayo wakamkotia Jesu, wakideda. "Je, ni halali kukira maruwa gha sabato? ili kwamba wadime kushitaki kwa kubony zambi.
\p
\v 11 Jesu akawaghoria, "Nani kati yenyu, ambae ikaka ako na ng'ondi akagwa ndenyi ya ishimo maruwa gha sabato, ndamwhadaa na kumfunya kwa ndighi ndenyi ya ishimo.
\v 12 Je, chao chiko na thamani, zaidi kwani si zaidi ya ng'ondi! kwa huwo ni halali kubonya ghaboie maruwa gha sabato."
\v 13 Kisha Jesu akamghoria uja mundu, "ghorua mkonu gwako" akaghughorua, na kupata ndighi, sa uja umwi.
\v 14 Ela mafarisayo wakafuma shighadi na wakapanga jinsi ya kumwangamiza waghendie shighadi kupanga kinyume chake. Wakogho wakilola jinsi ya kubwagha.
\p
\v 15 Jesu achamanya iji wangie aho. Wandu wengi wanughie na akawakira wose.
\v 16 Wawalagiza wasache mbonya akamanyikana kwa wamwe,
\v 17 Kwamba itimie ija loli, irikogho yadedigwa ni mlodi Isaya, akideda,
\q
\v 18 Guwa, mtumishi wapwa yuja nimsaghuie, mkundwa wapwa, katika ye nafsi yapwa yapendezwa. Ima nawika ngolo yapwa ighu yake, na imawatangaza hukumu kwa mataifa.
\q
\v 19 Ndagagha wala katika kwa ndighi, wala awaye yose kusikira sauti yake mitaenyi.
\q
\v 20 Ndajichukanya itete jakonolwa. Ndabwaghagha utambi gwogwose ufunyagha mosi, ye mpaka akareda hukumu kwa mataifa.
\q
\v 21 Na mataifa imawaka na ujasiri katika irina jake.
\p
\v 22 Munu fulani kipofu na ibubu, wapagawe ni pepo warediwe imbiri ya Jesu.
\v 23 Makutano wose washangaie na kudeda, "Yadima wada mundu uyu kaka mvalwa wa Daudi?"
\p
\v 24 Ela pindi mafarisayo wachasikira muujiza ughu, wadedie, "Uyu mundu ndafunyagha pepo kwa ndighi rake mweni isipokuwa kwa ndighi ra Belzebuli, mbaha wa pepo.
\p
\v 25 "Ela Jesu wamanyie fikra rawhe na kuwaghoria," kila ugimbikwa gwawaghanyikie gweni hunoneka na kila mzi angu nyumba iwaghanyikagha yeni ndaikakimsi.
\v 26 Ikaka shetsni, dima wamuinja shetani, basi adakipinga katika nafsi yake mweni.
\v 27 Ni wada ugimbikwa gwake ukakimsi? na ngelo ndafunya pepo kwa ndighi ra Belzebuli, wafuasi wenyu huwafunya kwa chia ya ani? kwa ajili ya iji imawaka mahakimu wenyu.
\v 28 Na ngelo ndafunya pepo kwa ndighi ra ngolo wa Mlungu, basi ufalme gwa Mlungu wacha kwenyu.
\p
\v 29 Na mundu adima wada kungia ndenyio ya nyumba ya akona ndighi na kuiwa, bila kumfunga ako na ndighi kwanza? niko aiwagha mali yake kufuma ndenyi ya nyumba.
\p
\v 30 Wowose aseko amweeri na nyi ako kinyume chapwa, na ye asakusanyagha amweri nayi uyo adawaghanya.
\p
\v 31 Kwa huwo nadeda kwenyu, kila zambi na kufuru wandu imawasamehewa, ila kumkufuru Roho wa kuela ndawasamehewa.
\v 32 Na wowose adedagha ilagho kinytume cha mvalwa wa Adamu, ijo imawasamehewa. Ngelo wowose adedagha kinyume na roho wa kuela, uyo ndasamehewa, katika urumwengu uhu, na wala uja uchagha.
\p
\v 33 Angu ubonye mdi kuka uboie na itunda jake jiboie, angu ughunone mdi na itunda jake, kwa wuja mdi humanyikana kwa itunda jake.
\v 34 Inyo kivazi cha choka, inyo ni wazamie, mwadima wada kudeda malagho ghaboie? kwa wuja momu hudeda kufuma katika akiba ya ghaja ghakogho ngolonyi.
\v 35 Mundu aboie katika akiba iboie ya ngolo yake kufuma ghaboie, na mundu wazamie katika akiba izamie ya ngolo yake, hufunya kizamie.
\v 36 Ndawaghoria huwo katika maruwa gha hukumu wandu imawafunya hesabu ya kila ilagho jisadae maana wajidedie.
\v 37 Kwa wuja kwa madedo ghako imawahesabiwa hachi na kwa madedo ghako imawahukumiwa."
\p
\v 38 Niko baadhi ya waandishi na mafarisayo wamjibie Jesu wakideda "Mwalimu, dakundieghe kuwona ishara kufuma kwako."
\p
\v 39 Ela Jesu wajibie na kuwaghoria, "kivazi kizamie na cha zinaa kidalola ishara. Ela ndakudae ishara ifunyigwagha kwawhe isipokuwa ija ishara ya Yona Mlodi.
\v 40 Sa wuja mlodi Yona wakogho ndenyi ya kifu cha samaki mbaha kwa siku idadu dime na kio, huwo niko mvalwa wa Adamu adima kuka ndenyi ya ngolo ya Isanga kwa maruwa adabu dime na kio.
\v 41 Wandu wa ninawi imawakakimsi imbiri ya hukumu amweri na kivazi cha wandu awa na imawahukumu kwa wuja watesiwe zambi kwa mahubiri gha Yona na guwa, mundu fulani mbaha kuliko Yona ako aha.
\v 42 Malkia wa kusini imawanuka hukumunyi amweri na wandu wa kivazi hichi na kukihukumu. Wachee kufuma miisho ya Dunia kuchakusikira hekima ya suleimani, na guwa, mundu fulani mbaha kuliko suleimani ako aha.
\p
\v 43 Makati pepo machafu amfumaa mundu huidia andu kusadae machi akilola kusoghoka, ela ndakuwonagha.
\v 44 Kisaha hudeda, 'imanawuya nyumbenyi kwapwa nifumie' achawuya hudoka ija nyumba yasafishigwa na yeko tayari.
\v 45 Kisha adaghenda na kuwareda wamwe ngolo wachafu saba weko wazamie zaidi kuliko ye, hucha kuka wose aja. Na hali yake ya mwisho idaka izamie kuliko ya kwanza. Huwo niko idima kuka kwa kivazi hichi kizamie.
\p
\v 46 Makati Jesu warikogho akiaria na umati guwa, mae na wambari wake wakee kimsi shighadi, wakilola kuaria nae.
\v 47 Mundu umweri akamghoria, "Guwa mayo na wambari wako wakakimsi shighadi, wadalola kuaria na we."
\p
\v 48 Ela Jesu wajibie na kumghoria wammanyishie, "Mawe wapwa ni ani? na wambari wapwa ni wa kani?
\v 49 Nae waghaghoa mkonu gwake kwa wanafunzi na kudeda, "Guwa, awa ni mawe na wambari wapwa!
\v 50 Kwa wuja wowose abonyagha mapenzi gha aba wapwa ako mbingunyi, mundu uyo nie mmbari wapwa, dada wapwa na mawe wapwa."
\c 13
\cl Sura 13
\p
\v 1 Katika maruwa agho Jesu wainge nyumbenyi na kuka mbai mbai ya bahari.
\v 2 Umati mbaha wakusanyikie kwa kumzunguluka, wangie ndenyi ya matumbwi na kuka ndenyi yake. Umati gwose gwakeekimsi mbaimbai ya bahari.
\v 3 Kisha Jesu wadedie madedo mengi kwa mifano, wadedie, "Guwa, mpanzi waghendie kuwa.
\v 4 Warikogho akiwa baadhi ya mbeu ragwiembaimbai ya chia na wanyonyi wachee wakaridonoa.
\v 5 Mbeu rimwe ragwie ighu lwalenyi, ambako ndaripatie ndoe ya kutosha. Ghafla dwabukie kwa sababu ndoe ndaidaeghe kina.
\v 6 Ela iruwa andu jachomoza dwakorigwa kwa sababu ndaridaeghe na miri, na raomie.
\v 7 Mbeu rimwe ragwie injwenyi. Midi ikona mirijwa yalachikie ighu ikaisonga.
\v 8 Mbeu rimwe ragwie kuko ndoe iboie na kuwa mbeu, rimwe maraighana jimweri zaidi, rimwe sitini, na rimwe thelasini.
\v 9 Akona madu na asikire.
\p
\v 10 Wanafunzi wachee na kumghoria Jesu, "kwa indoi udaria na makutano kwa mifano.
\p
\v 11 Jesu wajibie akawaghoria, "Mwanekwa upendeleo gwa kumanya viviso va ufalme gwa mbingunyi, bali kwawhe ndawanekiwe.
\v 12 Ela wowose akonacho, kwake ye imawachuriwa karuwaruwa, na imawapata faida mbaha. Ila aseko nacho dimawasokigwa.
\v 13 Huwo nadeda nawo kwa mifanoo kwa sababu inga wa wadawona, wasaiwone ija loli. Na ingawa wadasikira wasasikire wala kumanya.
\v 14 Ulodi gwa Isaya gwatimia kwawhe, uja udedagha, "Msikiragha msikire, ela kwa namna yoyose ndamuelewagha mdime kuwona, ela kwa namna yoyose ija msaichi.
\p
\v 15 Na ngolo ra wandu awayaka igiza, wakurie kusikira, na wabwagha meso gwawhe, ili wasadime kuwona kwa meso gwawhe, angu kusikira kwa madu gwahe, angu kumanya kwa ngolo rawhe, huwo waniaghukiagha sena, na kumachanawakira.
\p
\v 16 Bali meso ghenyu ghabarikiwa, kwa wuja ghada wona, na madu ghenyu kwa wuja ghadasikira.
\v 17 Huwo ndawaghoria wolodi wengi na wadu wako na hachi wakoghop na tunu ya kuwona malagho ghaja mghawonaa, na ndawadimie kuyawona. Watamanie kusikira malagho ghaja mghasikiragha, ndawayasikire.
\p
\v 18 Idana sikirienyi mfano gwa mpanzi.
\v 19 Wakati gwogwose asikiragha idedo ja ufalme na asajimanye, niko wazamie hucha na kukinyakula chija chikogho chavalwa ndenyi ya ngolo yake. Ihi ni mbeu ija yavalwa mbaimbai ya chia.
\v 20 Ye wavalwa lwalenyi ni yuja asikiragha idedo na kujiwokera haraka kwa furaha.
\v 21 Bado ndadae miri ndenyi yake, ila hurumaghia kwa kitambo kifupi. Wakati whasi angu mateso ghafumiriaga kwa sababu ya idedo huki kuwa ghafla.
\v 22 Wavalwa kati ya midi ya minjwa, uyu ni yuja asikiragha idedo ela masumbuko gha urumwengu na utee gwa utajiri hujisonga jija idedo jisacheva matunda.
\v 23 Wavalwa kuko ndoe iboie, uyu ni yuja avagha matunda na kuendelea kuva jimweri zaidi ya maraighana, imwe sitini, imwe thelasini.
\p
\v 24 Jesu wawanekie mfano ghumwi, akideda, "Ufalme gwa mbingunyi udafwananishwa ni mundu wavae mbeu riboie katika mbuwa yake.
\v 25 Ela wandu wachadungumia, mlaghelaghe wake akacha nae akawaa magugu ghadighadi ya ngano nae akaghenda chia rake.
\v 26 Baadae ngano yabukie na kufunya mazao ghake, niko magugu yafumirie pia.
\v 27 Na watumishi wa mweni mbuwa wachee wakamghoria, "Mzuri, nduvaie mbeu riboie katika mbuwa yako? yakakawada idamu iko na magugu.
\p
\v 28 Akawaghoria, mlaghelaghe wabonya iji. Watumishi wakamghoria, "kwa huwo ukundi dighende dikaghakue?"
\p
\v 29 Mweni mbuwa akadeda, 'Aa, makati mdaghakua magugu imwamwakua andu amweri na ngano.
\v 30 Ghasi ghenyi ghave andu amweri mpaka makati gha mavuno. Makati gha mavuno im nadeda kwa wakwashaa, 'kwanza ghakuenyi magugu na ghafungenyi duzumurizumuri na kughakora ela wikeni andu amweri ngano katika kai japwa.
\p
\v 31 Kisha Jesu wawafunyie mfano ghumwi, akadeda, "Ufalme gwa mbingunyi udafwana na mbeu ya haradari ambayo mundu waiwusie na kulwa katika mbuwa yake.
\v 32 Mbeu ihi kwa hakika ni ndini kuliko mbeu rimwi rose. Ela andu imeagha huko mbaha kuliko mimea yose ya bustani, huka mdi, kiasi kwamba wanyonyi wa angenyi hucha na kuagha viota katika marembwe ghake.
\p
\v 33 Akawaghoria mfano ghumwi sena, "Ufalme gwa mbingunyi nisa chachu ija iwusigwe ni mndumka na kuiranganya kwa vipimo vidadu kwa mufu hata viumuke.
\p
\v 34 Agho ghose Jesu waghadedie andu kuko umati kwa mfano. Na pasipo mifano ndadedie chochose kwawhe.
\v 35 Ihi yakogho kwamba chija chikogho chadedigwa kuidia kwa Mlodi chidime kutimia, aja adedie, "Imanafumbua momu wapwa katika mifano. Imna deda malagho ghaja ghakogho ghavisigwa tangu misingi gha urumwengu."
\p
\v 36 Kisha Jesu wawasigfha makutano na kughenda nyumbenyi. Wanafunzi wake waghendia na kudeda, "Difafanulie mfano gwa magugu gha mbuwenyi."
\p
\v 37 Jesu wajibie na kudeda, "Avagha mbeu riboie ni mvalwa wa Adamu.
\v 38 Mbuwa ni urummwengu; na mbeu riboie, awa ni wana wa ufalme. Magugu ni wana wa yuja azamie, na mlaghelaghe warivae ni ibilisi.
\v 39 Na mavuno ni mwisho gwa urumwengu, na wakwashaa ni malaika.
\v 40 Sa wuja magugu ghawikwagha andu amweri na kukorwa modo, huwo niko ikagha mwisho gwa urumwengu.
\v 41 Mvalwa wa Adamu dimawaduma malaika wake, na kuwika andu amweri kufuma katika ufalme gwake malago ghose ghasababishie zambi na waja wabonyagha ghazamie.
\v 42 Dima wawadagha wose katika itanuru ja modo, ambako imkwaka na kifwa na kusaga maghegho.
\v 43 Niko wandu wako na hachi imawaela sa iruwa katika ufalme gwa Aba wawhe. Ye askona madu na asikire.
\p
\v 44 Ufalme gwa mbingunyi ni sahazina yabisiwe mbuenyi. Mundu akaiwona na kuvisa katika furaha yake aakaghenda kudagha vose akogho navo, na kuiguwa mbuwa.
\p
\v 45 Sena, Ufalme gwa mbimgunyi ni sa mundu abonyagha biashara alolagha lulu iko na thamani.
\v 46 Makati wachaiwona ija iko na thamani, waghendie akadagha kila kilambo ako nacho na akaigua.
\p
\v 47 Ufalme gwa mbingunyi ni sa ngavu ikogho ndenyi na bahari, na kwamba huwika andu amweri viumbe na kila aina.
\v 48 Wachachua wavuvi waurudie ufukwenyi kisha wakaka ndonyi ya vombo, ela visadae thamani vadaghiwe kula.
\v 49 Ima yaka namna ihi katika mwisho gwa Dunia. Malaika imawacha na kuwatenga wandu wazamie kufuma imbiri ya wakona hachi.
\v 50 Na kuwadagha ndenyi ya itanuru ja modo, ambako imakwaka na kulila kubaha na kusaga maghegho.
\p
\v 51 Mwamanyie malagho ghose agha? Wanafunzi wamjibie, "Hee."
\p
\v 52 Kisaha Jesu akawaghoria, "kila mwandishi ambae waka mwanafunzi wa ufalme adafwana na mweni iwacha afunyagha katika hazina yake vilambo viwishi na vakala."
\p
\v 53 Ikawa Jesu achameria mifano yose iyo, akainga aho andu.
\v 54 Kisha Jesu wafikie katika mkoa gwake na wawafundishie wandu katika isinagogi. Matokeo ghake ni kuka washangaie na kudeda ni hao mundu uyu wapatie hekima ihi na miujiza ihi?
\v 55 Uyu mundu sio mvalwa wa seremala? Mariamu sio mae? na wambari wake sio Yakobo, Yusufu, Simoni na Yuda?
\v 56 Na dada rake dikonao aha kwedu? basi mundu uyu waghapata hao agha ghose?
\p
\v 57 Wawachukiza. Ela Jesu wawaghorie, "Mlodi ndasowagha kuka na heshima isipokuwa kwawhe na katika isanga jawhe.
\v 58 Na ndadimie kubonya miujiza mingi kwa sababu ndawakogho na imani nae.
\c 14
\cl Sura 14
\p
\v 1 Kwa makati agho, Herode wasikire habari ighu ya Jesu.
\v 2 Akawaghoria watumishi wake, "Uyu ni Yohana mbatizaji wafufuka kufuma kwa wafwie. Kwa huwo ndinyi iri reko ighu yake."
\p
\v 3 Kwa wuja Herode wakogho wamwhadia Yohana akamfunga na kumdagha gerezanyi kwa sababu ya Herodia, mka wa Filipo. Kakie
\v 4 Kwa wuja Yohana waghorie, "Si halali kumwusa ye kaka mkake."
\v 5 Herode kumachawambwagha ela wawaboa wandu kwa sababu wamwonie Yohana ni Mlodi.
\p
\v 6 Ela maruwa gha kuvalwa Herode ghachafika mwaiwa Herodia wavinie ghadighadi ya wandu na kumboia Herode.
\v 7 Katika kujibu chaaidie kwa kirwao kwamba dima wamneka chochose alambaa.
\v 8 Baada ya kushauriwa ni mae, wadedie, "Nneke nyi aha ikombenyi chongo cha Yohana Mbatizaji."
\v 9 Mgimbikwa wakogho na sikitiko kwa malombi gha mwai, ela kwa ajili ya kirawo chake, kwa sababu ya wose wakogho vindonyi amweri nae wawaamuru kwamba idapaswa ibonyeke.
\v 10 Wadfumie Yohana aredigwa kufuma gerezanyi.
\v 11 Ili ademwe chongo chake na chikaredigwa ighu ya isina na akanenigwa mwai na akakighenja kwa mae.
\v 12 Kisha wanafunzi wake wakacha kuwusa uja muwi na kuurika, baada ya iji waghendie kumghoria Jesu.
\v 13 Na ye Jesu wachasikira agha, akakitenga kufuma andu ajajoka ndenyi ya mashua akaghenda sehemu iko mbai na ieneo weko makati umati gwamanyie akogho, wamnughie kwa maghu kufuma mizinyi.
\v 14 Kisha Jesu wachee imbiri yawhe akauwona umati mbaha. Akawawoniambazi na kukira makogho ghawhe.
\p
\v 15 Kwenyi ichatimia wanafunzi wachee kwake na kudeda, "Ihi ni sehemu ya lwangwa, na maruwa yaidakala. Watapanye makutano ili waghende vijijini ili wakaghue vindo kwa ajili yawhe.
\p
\v 16 Ela Jesu akawaghoria, "Ndawadae haja ya kughenda chia rawhe. Wekenyi onyo vindo."
\p
\v 17 Wakamghoria, Aaha dikonayo mikate misanu na samaki wawi tu."
\p
\v 18 Jesu akadeda, "Iredenyi kwapwa."
\v 19 Kisha Jesu akaghuamuru umati kuka ndonyi ya nyasi. Akawukusa mkate misanu na samaki wawi. Akaguwa ighu mbingunyi, akabariki na kubegha mikate akawoneka wanafunzi. Wanafunzi wakauneka umati.
\v 20 Wakaja wose na kughgunda. Kisha wakavikiwa andu amweri viwande vose va vindo na kuchura ngau kumi nan iwi.
\v 21 Waja wajie wakadiriwa kuka womi elfuisanu bila ya kutala waka na wana.
\p
\v 22 Mara imweri wawaamuru wanafunzi wangie ndenyi ya mashua, wakati ugho ye wawalagie umati waghende chia rawhe.
\v 23 Baada ya kuwalaga umati kughenda chia rawhe, akajoka ighu lughongonyi kutasa mweni keri. Wakati ichafika kwenye makogho uko mweni keri.
\v 24 Ela idana mashua ikogho ghadighadi ya baahari ukiyumbayumba kwasababu ya mawimbi, kwani upepo wakogho wakuzunguluka.
\v 25 Katika kio cha kirindiri cha kana Jesu wawakaribia, akighenda ighu ya machi.
\v 26 Wakati wanafunzi wake wachamwona akighenda ighu ya bahari, wakogho na hofu na kudeda, "Ni mzuka," na kufunya mbaha sauti hali ya wawa.
\v 27 Jesu akawaghoria mara imweri, akideda, "kineke ngolo! ni nyi! msaboe."
\p
\v 28 Petro wamjibie kwa kudeda, "Mlodi, ngelo ni we, niamuru niche kwako ighu ya machi."
\p
\v 29 Jesu wadeda, "cho." Huwo Petro wafumie ndenyi ya mashua na akaghenda ighu ya machi kughenda kwa Jesu.
\v 30 Ela Petro wachawona mawimbi, waboa, na kuanza kuridimira, ndonyi, akawanga kwa sauti na kudeda, "Mlodi, nitesie!"
\p
\v 31 Haraka Jesu waghaghoa mkonu gwake akamwusiria Petro, na kumghoria, 'we uko na imani ndini, kwa indoi wakogho na mashaka?"
\v 32 Niko Jesu na Petro wangirie mashuenyi, upepo gwasighie kuvuma.
\p
\v 33 Wanafunzi mashuenyi wamtakasa Jesu na kudeda, "Loli we ni mvalwa wa Mlungu."
\p
\v 34 Na wacha meria kuluwaka, wafikie katika isanga ja Genesareti.
\v 35 Na wandu katika ieneo jija wachammanya Jesu, wadumie ujumbe kila lawande lwa mbaimbai, na kureda kila akogho mkongo.
\p
\v 36 Wamsihi kwamba wadime kuwhada ipindo ja ivazi jake, na wengi wawhadieghe wakiriwe.
\c 15
\cl Sura 15
\p
\v 1 Niko mafarisayo na waandishi wachee kwa Jesu kufuma Yerusalemu. Na kudeda,
\v 2 "Kwa indoi wanafunzi wadaghalifu mapokeo gha waghosi? kwa wuja ndawaoghogha vikoto vawhe andu wakika wadaja vindo."
\p
\v 3 Jesu wawajibie na kumghoria, "Na inyoinyo__kwa indoi mdaihalifu sheria ya Mlodi kwa ajili ya mapokeo ghenyu?
\v 4 Kwa wuja Mlungu wadedie, 'mheshimu mayo na ndeo na aghoragha ghazamie kwa ndee na mae, hakika imawafwa.
\p
\v 5 Ela inyo mwadeda, kila amghoriagha ndee na mae, kila tawara ambajo kumachawapata kufuma kwapwa iji aha ni zawadi kufuma kwa Mlungu,
\v 6 Mundu uyo ndadae haja ya kuheshimu ndee. Katika namna ihi mwajibisha idedo ja Mlungu kwa ajili ya mapokeo ghenyu.
\v 7 Inyo wanafiki, ni nicha sa andu Isaya watabirie ighu yenyu andu wadedie,
\v 8 Wandu awa wadaniheshimu nyi kwa momu yawhe, ela ngolo rawhe reko andu wadedie,
\v 9 Wani tasaa utu, kwa sababu wadafundisha mafundisho ghakogho maagizo gha wadamu.
\p
\v 10 Niko akkawawanga makutano na kuwaghoria, sikirienyi na mmanye__
\v 11 Ndakudae kilambo kiingiagha momunyi kwa mundu na kubonya najisi. Bali, chija chifumagha momunyi, hechi nicho chimbonyagha mundu kuka najisi.
\p
\v 12 Niko wanafunzi wakamghendia na kudeda na Jesu, "Je umanyagha mafarisayo wachasikira jija idedo wakwazika?
\v 13 Jesu wajibie na kudeda, "kila mmea ambgho Aba wapwa wa mbingunyi ndauwae imawakulwa.
\v 14 Wasighenyi wanikeri, wani vilongozi wasawonaa. Ngelo mundu asawonaa dima wamlongozaa asawonaa mbawe, wose wawi dima wagwa ishimoni."
\p
\v 15 Petro wajibie na kumghoria Jesu, "Dighorie mfano ughu kwedu,
\p
\v 16 Jesu wajibie, "Na inyo pia bado ndamuelewagha?
\v 17 Inyo ndamwonagha kwakila kughendaa momunyi huidia kifunyi na kughenda chonyi?
\v 18 Ela vilambo vose vifumagha momunyi hufuma ndenyi ya ngolo. Nivo vilambo vimkumbagha mundu unajisi.
\v 19 Kwa wuja ngolonyi hufuma mawazo ghazamie, kubwagha, uzinzi, uasherati, ghuting'a, ushuhuda gwa tee, na kuanyira."
\v 20 Agha nio malagha ghamkumbagha mundu unajisi. Ela kuja bila kuogha vikoto ndakubonyaa mundu kuka unajisi.
\p
\v 21 Niko Jesu akafuma andu aja na akakitenga kuelekea gasi ra mizi ya Tiro n Sidoni.
\v 22 Guwa akacha mkamkaanani kufuma gasi iro. Akufunya mbaha sauti akideda, "Niwonie mbazi, Mlodi, mvalwa wa Daudi, mwai wapwa adateswa sana ni pepo."
\p
\v 23 Ela Jesu ndamjibie idedo. Wanafunzi wake wakacha wakimsihi, wakideda, "muinje aghende chia rake, maana adadikabia jogho."
\p
\v 24 Jesu wawajibie na kuded, sidumiwe kwa mundu wa wose isipokuwa kwa ng'ondi walagharie wa iwacha ja Israeli.
\p
\v 25 Ela wachee na kughoghoma imbiri yake, akideda, "Muri nitawarie."
\p
\v 26 Wamjibie na kudeda, "sio nicha kuwusa vindo va wana na kuwadaghia makoshi."
\p
\v 27 Akadeda, "Hee, Mzuri, hata huwo makoshi watini huja vindo vigwagha mezenyi mwa wazuri wo."
\p
\v 28 Niko Jesu wajibie na kudeda "mndumka, iwani yako ni mbaha. Na ibonyeke kwako sa andu ukundi." Na mwai wake wakogho wakirwa katika makati agho.
\p
\v 29 Jesu wangie andu aja na kughenda avui na bahari ya Galilaya. Kisha waghendie ighu ya lughongo na kuka uko.
\v 30 Kundi ibaha jikacha kwake, na kumredia wasaghe ndaa, wasawonaa, vilema na wamwi wengi, wakogho wakongo. Wawakie katika mafgu gha Jesu na akawakira.
\v 31 Nawo umati washangaie wachawona wasadedaa wakideda, na vilema wakibonywa banana, wasaghendaa, na wasawonaa wasawona. Wamsifie Mlungu wa Israeli.
\p
\v 32 Jesu akawawanga wanafunzi wake na kudeda, "Nawawonia mbazi umati, kwasababu wakogho ni nyi kwakuwa maruwa adabu bila kuja kilambo chochose. Isida lagha waghende kwawhe bila kuja, wasachezimia chienyi.
\p
\v 33 Wanafunzi wake wakamghoria, "Ni hao dadima kupata mikate ya kutosha aha nyikenyi kughudisha umati mbaha uwu?"
\v 34 Jesu awaghoria, "Mko na mikate ilinga?" wakadeda, saba na samaki watini wachee."
\p
\v 35 Jesu akawaamuru umati uke ndonyi.
\v 36 Wawusie ija mikate saba na samaki, na baada ya kushukuru, akaibegha na kuwaneka wanafunzi. Wanafunzi wakaneka umati.
\v 37 Wandu wosewakaja na kutosheka. Na wakawika andu amweri mabaki gha viwande va vindo vasalie vip viwande viwande vachuie ngau saba.
\v 38 Wose wajee wakogho womi elfu ina bila wakana wana.
\p
\v 39 Kisha Jesu waulagie umati waghende chia rawhe na akangia ndenyi ya mashua na kughenda lwande lwa magadani.
\c 16
\cl Sura 16
\p
\v 1 Mafarisayo na masadukayo wachee na kumgheria Jesu awabonyerie ishara ifumagha angenyi.
\p
\v 2 ElaJesu awajibie na kumghoria kuwa, ikaka ni kwenyi mdaghora hali ya hewa yaboie, kwa wuja angua jitinikie.
\v 3 Na keshokio mwadeda "Hali ya hewa linu ndaiboie kwa wuja angenyi kwa tinikie na madulu ghaifunikia anga jose.
\v 4 Kivazi kizamie na cha uzinzi kidalola ishara, ela ndakudae ishara yoyose kinekwagha, isipokuwa ija ya Yona. Kisha Jesu akawasigha na akaghenda chia rake.
\p
\v 5 Wanafunzi wakacha luwande lwa kawi, ela warikogho waliwa kuvusa mikate.
\v 6 Jesu akawaghoria "Kitahazarinyi na mke makini na chachu ya mafarisayo na masadukayo."
\p
\v 7 Wanafunzi wakahojiana imbiri yawhe na kudeda "Ni kwasababu ndadiwusie mikate."
\p
\v 8 Jesu wamanyie igho na kudeda, "Inyo mkona imani ndini, kwaindoi mwateganya na kudedana imbiri yenyu na kudeda kuwa ni kwa sababu ndamwusie mikate?
\v 9 Je bado ndammanyagha wala ndamkumbukagha ija mikate misanu kwa wandu elfu isanu, na ngau ilinga mwikie andu amwer?
\v 10 Angu mikate saba kwa wandu elfu ina, na ni ngau ilinga mwawusighe?
\v 11 Yakawada idana hata ndamuelewa ya kuwa narikogho siariagha na inyo ighu ya mikate? kitunzeni na kihazari na mafundisho gha mafarisayo na masadukayo.
\v 12 Kisha wakamanya kuwa wakogho ndawaghoria ighu ya kukihazari na mikate yachachuligwa, bali kukihazari na mafundisho gha mafarisayo na masadukayo.
\p
\v 13 Makati Jesu achafika luwande lwa kaisaria ya Filipi, akawakotia wanafunzi wake, akideda, "wandu wadadeda kuwa mvalwa wa mundu ni ani?"
\p
\v 14 Wakadeda, "Wamwi hudeda kuwani Yohana mbatizaji, wamwi Eliya; na wamwi Yeremia, angu mmojawapo wa lodi.
\p
\v 15 Akawaghoria, Inyo mwadeda nyi ni ani?
\p
\v 16 Kwanza wajibie simoni Petro akadeda, "We ni Kristo mvalwa wa Mlungu ako hai"
\p
\v 17 Jesu wamjibie na kumghoria, "Wabarikiwa we simoni Bar Yona, kwa wuja bagha na nyama ndavifunulie iji, bali Aba wapwa ako mbingunyi.
\v 18 Na pia ndakughoria kuwa we ni Petro, na ighgu ya lwala ulo imanagha nyumba ya Mlungu wapwa mijango ya kuzimu ndaidimagha.
\v 19 Imanakuneka we funguo ra ufalme gwa mbingunyi chochose ukirughagha dunuienyi imacharugwa mbingunyi, na chochose ukirughuagha dunienyi imachaghurwa na mbingunyi.
\v 20 Kisha Jesu akawaamuru wanafunzi wasamghorie mundu wowose kuwa ye wakogho ni Kristo.
\p
\v 21 Tangu makati agho Jesu waanzie kuwaghoria wanafunzi kuwa ni lazima waghende Yerusalemu, kuteswa kwa malagho mengi katika mikonu ya waghosi na wabaha wa makuhani na waandishi, kufwa na kufufuka maruwa gha kadadu.
\v 22 Kisha Petro akamwusa Jesu mbai na kumkemia, kwa kudeda, "Ilagho iji na jike kula nawe, Mzuri, iji jisafumirie kwako.
\p
\v 23 Ela Jesu waanghukie na kumghoria Petro, "wuya nyuma yapwa shetani! we ni kizuizi kwapwa, kwa maana ndujali malagho gha Mlungu, bali malagho gha wadamu.
\p
\v 24 Kisha Jesu akawaghoria wanafunzi wake, "Ngelo mundu wowose akakunda kuninugha nyi, ni lazima akileghe ye mweni, auwuse msalaba gwake, na aninughe.
\v 25 Kwa wuja akundii kughatesia maisha ghake dima waya la ghasha na kwa wowose alaghashaa maisha ghake kwa ajili yapwa dimawagha tesia.
\v 26 Je! ni faida ki apatagha dunia yose ela akalaghasha ghake? Je ni kilambo ki afunyaa mundu katika kubadilishana na maisha ghake.
\v 27 Kwa wuja mvalwa wa Adamu dimawacha katika utukufu gwa ndee na malaika wake. Na ye dimawamlipa kila mundu kukatana na matendo ghake.
\v 28 Loli ndawaghoria kuko baadhi yenyu mwakeekimsi aha ambawo ndawatogha mauti hata wachamwona mvalwa wa Adamu akicha katika ufalme gwake.
\c 17
\cl Sura 17
\p
\v 1 Maruwa sita baadae Jesu wawawusie amweri na ye Petro, na Yakobo, na Yohana mbari wake, akawawusa hata ighu ya lughongo luacha woweni.
\v 2 Wabadilishwa imbiri yawhe. Wushu gwake ghukaelasa iruwa, na nguwo rake rawonekie raelie sa nuru.
\v 3 Guwa, aja wafumirie Musa na Eliya wakiaria nae.
\v 4 Petro wajibie na kumghoria Jesu, "Mzuri, ni nicha kwedu isi kuka andu aha. Ngelo udatamani, ima na agha aha viwanda vidadu-kimweri chako, na kimweri kwa ajili ya Musa, na kimweri kwa ajili ya Eliya"
\p
\v 5 Makati adaaria, guwa idulu jochokwa jikawakumba kiju, na ikideda, "Uyu ni mwanapwa mkundwa niboiwagha nae. Msikirienyi ye.
\v 6 Wanafunzi wachasikira agho, wakagwa kifudifudi na wakaboa sana.
\p
\v 7 KIsha Jesu akacha akawawhwda na kudeda, "Wukienyi wala msaboe."
\v 8 Nawo wakawusira wushu rawhe ighu ela ndawamwonie mundu ela Jesu mweni keri.
\p
\v 9 Na warikogho wakisea lughongonyi, Jesu wawalagiza, akadeda "Msafunye habari ya maono agho hata mvalwa wa Adamu andu achafufuka kufuma kwa wafwie.
\p
\v 10 Wanafunzi wake wakamkotia, wakideda, "Ni kwa indoi waandishi wadedagha kuwa Eliya imawacha kiambiri?
\p
\v 11 Jesu wawajibie na kudeda, "Eliya dima wacha loli na dima wawuya malagho ghose.
\v 12 Ela ndawaghoria inyo, Eliya wameria kucha, ela ndawammanyie. Badala yake, wambonyia malagho wakundii wo. Na huwo niko mvalwa wa Adamu andu achateswa katika mikonu yawhe.
\v 13 Niko wanafunzi wakamanya kuwa wakogho akiaria habari ra Yohana mbatizaji.
\p
\v 14 Wachafika katika umati wa wandu, mundu umweri wamgendie, akakaba magoti, imbiri yake na kumghoria,
\v 15 "Mzuri, mwonie mbazi mwanapwa, maana wakogho akigwa chongo na kuteswa sana. Kwa wuja maranyingi hugwa modonyi angu machinyi.
\v 16 Namredie kwa wanafunzi wako wako, ela ndawadimie kumkira.
\p
\v 17 Jesu wajibie akideda, "Inyo kivazi kisaamini na chinonekie, imanaka andu amweri ana inyio mpaka li? imanaririmira na inyo mpakali? mrede aha kwapwa."
\v 18 Jesu wamkemia, na ipepo jikamfuma. Mdawanawakiriwe tangu saa ija.
\p
\v 19 Kisha wanafunzi wamchea Jesu kwa kiviso na kumkotia, "Kwa indoi ndadidimie kumbingisa?
\p
\v 20 Jesu akawaghoria, "Kwa sababu ya imani yenyu ndini. Loli ndawaghoria ngelo mkaka na imani hata ndini sa punje ya mbeu ya haradari, ima mwadima kughoria lughogho ulu, sana na kufuma aha ughende kuja nalo ima lwasama na ndakukagha na kilambo chochose cha kulemekana kwenyu.
\v 21 \f + \ft Maziria: madedo gha mstari gwa 21 "ngelo, aina ihi ya pepo ndaimikana kufunma, ela kwa maombi na kufunga" ndaghawonekaa katika nakala bora ra kala. \f*
\p
\v 22 Makati wakika bado Galilaya Jesu akawaghoria wanafunzi wake, "mvalwa wa Adamu akumbigwa gha mikonunyimwa wandu.
\v 23 Na wambwaghagha, na maruwa gha kadadu dima wafufuka. "Wanafunzi wahuzunikie sana.
\p
\v 24 Nawo wachafika kapernaumu, wandu wawi kagha andu amweri kodi ya nusu shekeli wamghendiagha Petro na kudeda, "Je mwalimu wenyu hushanaa kodi ya nusu shekeli?
\v 25 Akadeda, "Hee" ela Petro wachangia ndenyi nenyi ya iwacha, Jesu akaaria ni Petro kirindiri na kudeda, "Uteganyai simoni? wagimbikwa wa dunia, huwokera kodi angu ushuru kufuma kwa ani? kwa waja wawa tawala kufuma kwa waghenyi?
\p
\v 26 Na makati Petro akideda, "kufuma kwa waghenyi" Jesu akamghoria, huwo watawaliwa wainjigwa katika kushana.
\v 27 Ela disachewabonya wawhada ushuru wakibonya zambi, ghenda baharinyi, dagha ndoano, na mwuse yuja samaki achagha kirindiri. Baada ya kuamasa kwake, imawandoka aja shekeri imweri iwuse na uwaneke wawhada ushuru kwa ajili yapwa na we.
\c 18
\cl Sura 18
\p
\v 1 Makati agho gheni wanafunzi wachee kwa Jesu na kumghoria, niani ako mbaha katika ufalme gwa mbingunyi?
\p
\v 2 Jwsu akamwanga mwana mtini, akamwika ghadi ghadi yawhe,
\v 3 Na kudeda, "Loli ndawaghoria, mkasetesiwa zambi renyu na kuka sa wana watini ndamdimagha kungia katika ufalme gwa Mlungu.
\v 4 Huwo wowose akiseragha mwana mtini, mundu sa uyo ni mbaha katika ufalme gwa mbingunyi.
\v 5 Na wowose amwokeragha mwana wa mtini kwa irina japwa waniwokera nyi.
\p
\v 6 Ela wowose asababishagha umweri kati ya watini awa waniamini kuasi, imayaka nicha kwa mundu uyo igwe ibaha ja kusagia jifungigwe singoni kwake, na kudidimizwa kilindinyi mwa bahari.
\v 7 Ole kwa dunia kwa sababu ya makati gha kukwazwa kwa wuja ndaidae budi kwa matuku agho kucha, ela ole kwake kwa mundu yuja matuku agho imaracha kwa ajili yake!
\v 8 Ngelo mkonu gwako angu kughu kwako kukusababishagha kukwazika, udeme na uudaghe kula na we. Ni nicha nanganyi kwako we kungia kuko banana ukaka ndudae mkonu angu kilema, kuliko kudagwa andu kuko modo gwa kala na kalaukaka na mikonu yose angu maghu ghose.
\v 9 Ngelo iriso jako jikukwazaa, ujikue na ujidaghe kula na we. Ni nicha nanganyi kwako we uingie andu kuko banana na iriso jimweri, kuliko kudagwa andu kuko modo gwa kala na kala ukaka na meso ghose.
\p
\v 10 Guwenyi kwamba msamehe mmenya umweri wa watini awa. Kwa maana ndawaghoria kuwa mbingunyi kuko malaika wo maruwa ghose wakiguguwa wushu gwa Aba wapwa ako mbingunyi.
\v 11 \f + \ft Maziria: madedo ghawonekagha sa gha mstari gwa 11, "kwa wuja mvalwa wa Adamu wachee kutesia chija chikogho chalaghaya" ndawaghawonekie katika nakala bora kala. \f*
\v 12 Mteganyai? ikaka mundu akona ng'ondi ighana jimweri, na umweri wo akalagha, Je ndawasighagha tisini na kenda ya lughoghonyi na kughenda kumlola umweri walagharie.
\v 13 Na akampata, loli ndawaghoria, adamboiwa kuliko waja tisini na kenda wasalagharie.
\v 14 Woruwo huwo, sio mapenzi gha Aba wenyu wa mbingunyi kuwa umweri wa watini awa aangamie.
\p
\v 15 Ngelo mmbari wako akakukosea, ghenda, kambonyerie dosari yeko kati yako na ye akika mweni keri. Ngelo akakusikira, imawaka wamwuja mmbari wako.
\v 16 Ela ngelo ndakusikiragha, mwuse mmbari umweri angu wawi nanganyi amweri na we, kwa wuja kwa momu ya mashahidi wawi angu wadadu kila idedo jidimagha kuthibitishwa.
\v 17 Na ngelo wapuuza kuwasikira, jighorie nyumba ya Mlungu ilagho ijo, ngelo akapuuza woruwo kujiusikira nyumba ya Mlungu, basi na ake sa mundu wa mataifa na mwhada ushuru.
\v 18 Loli ndawaghoria, chochose chija mchifungagha dunienyi na mbingunyi dima wachafungwa na chochose mchifunguagha, ijo Aba wapwa wa mbingunyi dima chafunguliwa.
\v 19 Seda ndawaghoria kwamba ngelo wandu wawi kati yenyu wakikubaliana ighu ya ilagho jojose dunienyi wajilombagha, ijo Aba wapwa wa mbingunyi dima wajibonya.
\v 20 Kwa wuja wawi angu wadadu wakika andu amweri kwa irina japwa, nyi neko ghadighadi yawhe.
\p
\v 21 Sena Petro akacha na kumghoria Jesu, "Mzuri, ni mara ilinga mmbari wapwa akanikosea na nyi nimsamehe? Hata mara saba?"
\p
\v 22 Jesu akamghoria, "sikughoria mara saba, ela hata sabini mara saba.
\v 23 Kwa sababu iyo ufalme gwa mbingunyi ni sawa na mgimbikwa fulani akundieghe kusahihisha hesabu kufuma kwa watumwa wake.
\v 24 Achaanza kusahihisha hesabu, mtumwa umweri akaredigwa kwake ambae wakogho adamlawia talanta elfu ikumi.
\v 25 Kwa wuja ndadaeghe na chia ya kushana, mzuri wake walagiziwe adagwe, mkake amweri na wananwake na kila kilambo akogho nacho, na malipo ghabonyeke.
\v 26 Huwo mtumwa wagwie, akakaba magoti imbiri yake, akideda, 'Mzuri, urumaghie amweri na nyi, na dima nakushana kila kilambo.
\v 27 Huwo mzuri wa yuja mtumwa, kwa wuja wasukumiwe nanganyi ni mbazi, wamsighirie na kumsamehe sile iyo.
\v 28 Ela yuja wafumie na kumpata umweri kati ya watumwa wambawe, akogho adamshana denari ighana. Wamrudie, akamkaba maranginyi, na kumgjhoria, 'Nishane chija nkudaighaga.'
\p
\v 29 Ela mtumwa mbawe, wagwie na kumsihi nanganyi, akideda urumaghie na nyi, dimana kushana.'
\v 30 Ela mtumwa yuja wa kilindiri waleghie. Badala yake, waghendie na kumdagha gerezenyi, mpaka andu wamshanaa chia amlawiagha.
\v 31 Na wachawona watumwa wambawe chija chimfumirie, wasikitishiwe nanganyi wachee na kumghoria Mzuri wawhe kila kilambo chifumirieghe.
\p
\v 32 Niko yuja Mzuri wa mtumwa yuja wamwangie, na kumghoria, 'we mtumwa uzamie, nakusamehe we isileyapwa yose kwa sababu wanisihi nanganyi.
\v 33 Je! ndaukundiwe kuka na mbazi kwa mtumwa mbagho, sa nyi andu nakuwonia mbazi we?
\v 34 Mzuri wake wan wawonie viera na kumkabidhi kwa waja watesaji mpaka andu ashanagha kiasi chose akogho alawiwaa.
\v 35 Huwo niko Aba wa Mbingunyi andu awabonyia, ngelo kila umweri wenyu ndamsamehe mmbari wake kufuma ngolonyi kwenyu."
\c 19
\cl Sura 19
\p
\v 1 Ymfumirie makati Jesu wacheria madedo agho, waingie Galilaya, na waghendie mwanonyi mwa Yedea imbiri ya mweda gwa Yordani.
\v 2 Umati mbaha wamnughie, na akawakira uko.
\p
\v 3 Mafarisayo wamchea, wakamgheria, wakamgheria, "Je ni halali kwa mndu kumsigha mkake kwa sababu yoyose.
\p
\v 4 Jesu wajibie na kudeda, "Ndamsomie, kwamba ye wawaumbie kiambiri wawaumbie mumi namka?
\v 5 Na sena akadeda, 'kwa sababu iyo mndumuni dima wamsigha ndee na mae na kuungana na mkake, nao wawi dimawaka muwi umweri?
\v 6 Huwo sio wawi sena, bali muwi umweri. Basi, chija wakiunganisha Mlungu, mundu wowose asakitenganishe."
\p
\v 7 Wakamghoria, "Idana kwa indoi Musa wadiamuru kufunya hati ya talaka na kumsigha?
\p
\v 8 Akawaghoria, "kwa ugumu gwenyu gwa ngolo Musa wawaruhusu kuwasigha waka wenyu, ela tangu kiambiri ndaikee huwo.
\v 9 Ndawaghoria, kwamba wowose amsighagha mkake, isipokuwa kwa sababu ya uzinzi, na akamlowua umwi, wazini. Na mndumuni achamlowua mka waghiwe wazini."
\p
\v 10 Wanafunzi wakamghoria Jesu, "ngelo niko iko kwa mumi na mkake, sio nicha kulouwa.
\p
\v 11 Ela Jesu akawaghoria, "si kial mundu adimagha kuwokera mafundisho agha, bali ni kwa waja tu waruhusiwe kuwokera.
\v 12 Kwa wuja weko matowashi wavalwe tangu kifunyi mwa waka mae na woruwo kuko matowashi wabonyiwe ni wandu. Na kuko matowashi wa kibonyie matowashi kwa ajili ya ufalme gwa Mbingunyi. Adimagha kuwokera mafundisho agha na aghawokere."
\p
\v 13 Kisha akarediwa baadhi ya wana watini ili awawikie mikonu ighu yawhe na kutasa, ela wanafunzi wake wakakemia.
\v 14 Bali Jesu akadeda, "Waruhusunyi wana watini, wala msawalaghe kucha kwapwa, kwa maana ufalme gwa mbingunyi ni wa wandu sa wo.
\v 15 Na ye akawika mikonu yake ighu yawhe, na kisha akainga aja.
\p
\v 16 Guwa mundu amweri akacha kwa Jesu na kudeda, "Mwalimu, ni kilambo ki chiboie ni kundigwi kuchibonya ili nipate kuka na banana ya kala na kala."
\p
\v 17 Jesu akamghoria, "kwa indoi udanikotia ni kilambo ki chiboie? kuko umweri tu ako aboie, ela ngelo ukakunda kupata banana, whada sheria ra Mlungu."
\p
\v 18 Yuja mundu akamkotia, "Ni sheria riao?" Jesu akadeda, "Usabwaghe, usazini, usaiwe, usashuhudie tee,
\v 19 Waheshimu ndeo na moyo, na umkunde jirani yako sa nafsi yako."
\p
\v 20 Mundu uja akamghoria, "malagho ghose agho naghatii. Bado nahitaji indoi?
\p
\v 21 Jesu akamghoria, "Ngelo ukakunda kuka mkamilifu, ghenda, ukadaghe uko navo, na uwaneke maskini, na dimawaka na hazina mbingunyi. Kishacho uninughe."
\v 22 Ela mdawana uja achasikira ghaja Jesu wamghoria, waingie kwa huzuni, kwa sababu wakogho adamiliki mali nyingi.
\p
\v 23 Jesu akawaghoria wanafunzi wake, "Loli ndawaghoria, vakurie kwa mundu tajiri kungia katika ufalme gwa mbingunyi.
\v 24 Sena nawaghoria, ni rahisi kwa ngamila kuida katika itundu ja sinzano kuliko kwa mundu tajiri kungia katika ufalme gwa Mlungu."
\p
\v 25 Wanafunzi wachasikira huwo, washangae nanganyi na kudeda, "Ni yuao basi adima kuokoka?"
\p
\v 26 Jesu wawatazama na kudeda, "kwa wadumu ijo ndajidimikana, ela kwa Mlungu ghose ghadadimikana."
\p
\v 27 Kisha Petro wamjibu na kumghoria, "GUwa, dasigha vose na kukunugha we. Ni kilambo ki dima dapata?"
\p
\v 28 Jesu akawaghoria, "Loli nawaghorienyi, ye waninughanyi, katika muvazi mwishi makati mvalwa wa Adamu akaka katika kifumbi cha enzi cha utukufu gwake, inyo pia imamwaka ighu ya vifumbi kumi na iwi va enzi, kuwahukumu makabila kumi na iwi gha Israeli.
\v 29 Kila umweri wenyu wasighie iwacha, Kaka, Dada, Aba, mawe, Wana, angu mbuwa kwa ajili ya irina japwa, dimawawokera mara ighana na kupala banana ya kala na kala.
\p
\v 30 Ela wengi wako wa kilindiri iji aha, dimawaka wa mwisho, na wako wa mwisho dimawaka wa kilindiri.
\c 20
\cl Sura 20
\p
\v 1 Kwa maana ufalme gwa mbingunyi udafwana na mmiliki wa mbuwa, wawu kieghe keshokio mapema ili kuajiri wabonyakazi katika mbuwa yake ya mizabaibu.
\v 2 Baada ya kuka wakubaliana ni wabonya kazi dinari imweri kwa kutwa, wawadumie kughenda katika mbuwa yake ya mizabibu.
\v 3 Waghendie sena baada ya masaa adadu uwu na wowonie wabonya kazi wamwi wakika wakamsi bila chaghu katika ieneo ja chete.
\v 4 Akawaghoria, 'inyo pia ghendenyi katika mbuwa ya mizabibu, na chochose chiko halali dima na weneka.' Huwo wakaghenda kubonya kazi.
\v 5 Akawaghoria sena baada ya masaa sita na sena katika saa ya kenda, na wabonyie woruwo uwo.
\v 6 Mara imwi sena mnamo saa kumi na imweri, waghendie na kuwadoka wandu wamwi wakakimsi bila chaghu wawaghoria, 'kwa indoi mwakakimsi bila bila chaghu chochose kwa siku nzima?
\p
\v 7 Wakamghoria, kwa sababu ndakudae mundu wowose wadiajiri. Akawaghoria 'na inyo pia ghendenyi katika mbuwa ya mizabibu.'
\p
\v 8 Makati gha kwenyi ghachafika, mweni mbuwa ya mizabibu wamghoria msimamizi wake, 'wawange wa bonyakazi na uwashane mishahara, kwa kuwoka ni wa mwisho hata kilindiri.'
\v 9 Wachacha waja wajiriwe saa kumi na imweri, kila umweri wo wawokera dinari.
\v 10 Wachacha wabonya kazi wa kilindiri, wateganyie kuwa dimawawokera zaidi, ela wawokera pia kila umweri dinari imweri kila mundu.
\v 11 Baada ya kuwokera malipo ghawhe, wamlalamikie mmiliki wa mbuwa.
\p
\v 12 Wakadeda, 'awa wabonyakazi wa mwisho watumia isaa jimweri tu katika kubonya kazi, ela wawalinganisha na isi, isi dadwa mzigo kwa siku nzima na kuya na kiruke.
\p
\v 13 Ela mweni mbuwa wajibie na kudeda kwa umweri wawhe, amwedu, sibonyie ilagho jizamie. Je ndadipatane na nyi kwa dinari imweri?
\v 14 Wokera chija chiko halali yako na ughenda chia rako. Ni furaha yapwa kuwaneka awa wabonya kazi waajiriwe mwisho sawasawa na we.
\p
\v 15 Je si hachi kwapwa kubonya chija nikundii na mali rapwa? angu iriso jako jazamie kwa sababu nyi nawaboie?
\v 16 Huwo wa mwisho dimawaka wa kiambiri na wakiambiri wa mwisho"
\p
\v 17 Jesu wakogho akijoka kughenda Yerusalemu, wa wawusie wanafunzi wake kumi na iwi mbai, na andu kuko chia akawaghoria,
\v 18 "Guwa didaelekea Yerusalemu, na mvalwa wa Adamu dimawakumbwa katika mikonu ya wabaha wa makuhani na waandishi. Dimawamhukumu kifo
\v 19 Na dimawafunya kwa wandu wa mataifa ili kumdhihaki, kumchapa na kumsulubisha. Ela katika iruwa ja kadadu dimawafufuka."
\p
\v 20 Kisha mawe na wana wa Zebedayo wachee kwa Jesu na wana wake. Wakabie magoti imbiri yake na kumtasa kilambo kufuma kwake.
\v 21 Jesu akamghoria, "ukundi indui?" akamghoria, Amuru kuwa awqa wanapwa wawi wake, umweri mkonu gwako gwa kujo na umweri mkonu gwako gwa kumosho katika ufalme gwako."
\p
\v 22 Ela Jesu wajibie na kudeda, "ndumanyagha chija utasa. Je! wadimagha kuchinywea kikombe ambacho dimanachinywea? wakamghoria, "Didimagha."
\p
\v 23 Akawaghoria, "kikombe chapwa hakika dimawachinywea. Ela kuka mkonu gwapwa gwa kujo na mkonu gapwa gwa kumosho si ijukumu japwa kuwaneka, ela ni kwa waja ambao wameria kuandaliwa ni Aba wapwa.
\p
\v 24 Wanafunzi wamwi kumi wachasikira huwo, wakahuzunishwa nanganyi na waja wambari wawi.
\v 25 Ela Jesu wawawangie mweni na kuwaghoria, "mdamanya ya kuwa ya kuwa watawala wa mataifa huwatiisha, na wabaha wawhe hutekereza mamlaka ighu yawhe.
\v 26 Ela isake huwo kwenyu. Badala yake, wowose akundii kuka mbaha imbiri yenyu lazima ake mtumishi wenyu.
\v 27 Na akagha wa kiambiri imbiri yenyu lazima ake mtumishi wenyu.
\v 28 Sa wuja mvalwa wa Adamu ndachee kudumikiwa, bali kudumika, na kufunya uhai gwake kuka ukombozi kwa wengi."
\p
\v 29 Makati wakifuma Yeriko, umati mbaha wamnughie.
\v 30 Na wawawonie wasawonaa wawi waka mbai ya chia. Wachasikira wuja Jesu wakogho akiida, wafunyie mbaha sauti na kudeda, Mzuri, mvalwa wa Daudi, niwonie mbazi."
\v 31 Ela umati ukawakemia, na kuwaghoria nyama kimenyi. Hata huwo, wo wafunyie mbaha sauti nanganyi na kudeda, "Mzuri, mvalwa wa Daudi, Diwonie mbazi."
\p
\v 32 Kisha Jesu wakeekimsi na wawangie na kuwakotia, "mkundi niwabonyie indoi?"
\v 33 Wakamghoria, Mzuri kwamba meso ghedu ghafumbuliwe.
\v 34 Basi Jesu akaka warudwa ni mbazi, akaghawhada meso ghawhe, mara hiyo, wakawokera uwezo gwa kuwona na wakamnughiria.
\c 21
\cl Sura 21
\p
\v 1 Jesu na wanafunzi wake wafikie avui na Jerusalemu na wamghendie hata Bethfage, katika lughongo lwa mizeituni, kisha Jesu wawadumie wanafunzi wawi,
\v 2 Akiwaghoria, "ghendenyi katika kijiji kinughiria gha, na mara imweri dimamwamdoka punda wafungwa andu aja, na wanapunda amweri naye. Wafunyienyi na kuwareda kwapwa.
\v 3 Ikaka mundu wowose akiwaghoria chochose kuhusu ijo, dimawadeda, 'Mzuri adawakundi,' na mundu uyo mara imweri dimawaruhusu mche amweri nawo.
\p
\v 4 Ilagho iji jifumirie ni jija jiddediwe kuidia kwa mlodi lazima jitimizwe. Akawaghoria,
\v 5 Waghorie mwai waa sayuni, guwa, mgimbikwa ako adacha kwenyu, mnyenyekevu na akika wamjoka punda, na mwanapunda wa kiwoni, mwanapunda mkoho.
\p
\v 6 Kisha wanafunzi waingie na kubonya sa Jesu andu wawalagiza.
\v 7 Wakamreda punda, na kuwika nguwo rawhe ighju yawhe, na ye Jesu akaka aja.
\v 8 Wengi katika mkusanyiko watandazie nguwo rawhe chienyi, na wamwi wademie marembe kufuma andu kuko midi na kutandaza barabarenyi.
\v 9 Umati ghawakiria Jesu na waja wamnughie wafunyie mbaha sauti wakideda, "Hosana kwa mvalwa wa Daudi! Ni mbarikiwa achae kwa irina ja Mlodi. Hosana ighu nanganyi!"
\p
\v 10 Jesu wachafika Yerusalemu, mzi mlanzi gwa shituka na kudeda, "uyu ni ani?
\p
\v 11 "Umati gwajibie, "uyu ni Jesu mlodi, kufuma Nazareti ya Galilaya."
\p
\v 12 Kisha Jesu akania katika ihekalu ja Mlungu. Aakawabingisa shighadi wose wakogho wakigula na kudagha hekalunyi. Pia wapinduie meza ra wabadishaa fedha na vifumbi va wadaghaanjiwa.
\v 13 Akawaghoria, "Yaandikigwa, ighacho ja malombi, ela inyo mwaibonya ipango ja wanyang'anyi.
\p
\v 14 Kisaha wasawonaa na vilema wakamchea hekalunyi, na ye akawakira.
\p
\v 15 Ela makati mabaha wa makuhani na waandishi wachawona maajabu abonyieghe, na wachasikira wana wakifunya mbaha sauti hekalunyi na kudeda, "Hosana kwa mvalwa wa Daudi," wawhadiwe ni virea.
\p
\v 16 Wakamghoria, "wasikira chija chidedwagha ni awa wandu? jESU akawaghoria, "Hee! ela ndamuwahie kusoma, "kufuma kwa momu ya wana na wana wakogho wanyonyaa kuko sifa kamili"
\p
\v 17 Kisha Jesu akawasigha na kughenda shgighadi ya mzi katika Bethania na kutungura uko.
\p
\v 18 Kesho kio warikogho adawuya mzini, wakogho na njala.
\v 19 Wawonie mtini mbaimbai ya barabara. Akaghughendia, ela napatie kilambo ighu yake isipokuwa nyasi. Waghorie, "kusake na matunda kwako daimasena." Na mara iyo mtini ghuja ghukanguka.
\p
\v 20 Wanafunzi wachamwona, wakastaajabu na kudeda, "yakawada mtini gwanyauka mara imweri?
\p
\v 21 Jesu wajibie na kuwaghoria, "loli nawaghorienyi, ndabonyagha chija chibonyekie kwa ugho lighogho, uwusigwe na ukadagwe baharinyi, na dima wabonyeka.
\v 22 Chochose mtasaa kwa sala, uku mkaamini, dimamwawokera."
\p
\v 23 Jesu wachafika hekalunyi, wabaha wa makuhani na waghosi wa wandu wakamchea wakati akogho akifundisha na kumkotia, "Ni kwa mamlaka kiudabonya malagho agha? na ani wakuneka mamlaka agah?"
\p
\v 24 Jesu wajibie na kuwaghoria, "Na nyi sena dimanamikotia iswali jimweri. Ngelo mkanighoria, na nyi woruwo dimanamighoria ni kwa mamlaka ki ndabonya malagho agha.
\v 25 Ubatizo gwa Yohana- gwafumie hao, mbingunyi angu kwa wadamu? "Wakahojiana weni, wakideda, dikideda gwafumie mbingunyi dimawadighoria kwa indoi ndamwaminie?
\v 26 Ela dikideda, gwafumie kwa wadamu, dida waboa makutano, kwa sababu wose wamwonagha Yohana sa Mlodi.
\v 27 Kisha wamjibie Jesu na kudeda, "Ndadimanyaa" Akawaghoria pia, "Wala nyi siwaghoriagha ni kwa mamlaka ki nabonya malagho agha.
\p
\v 28 Ela mteganyai? mundu mweniwana wawi. Akaghenda kwa umweri na kumghoria, 'mwanapwa, ghenda bonya kazi katika mbuwa ya mizabibu
\p
\v 29 linu. 'Mvalwa wajibie na kudeda, 'sighedaa, 'ela baadae wabadilishie mawazo ghake na waghendie.
\p
\v 30 Na mundu uja waghendie kwa mvalwa kawi na kudeda kilambo kija cheni. Mvalwa uyu wajibie na kudeda, 'dimanaghenda, Mzuri,' ela ndagheendie.
\v 31 Yyao kati ya wana wawi wabonyie matakwa ghandee? wakadeda, "mvalwa wa kilindiri, "Jesu akawaghoria, "loli nawaghoria wawikaa andu amweri ushuru na makahaba dimawangia katika Ufalme wa Mlungu kabla yenyu kungia.
\v 32 Kwa maana Yohana wachee kwenyu kwa chia ighaghokie, ela ndamwaminie, makati wawikaa andu amweri ushuru na makahaba wamwaminie. Na inyo, mchwona ijo jikibonyika, ndamdimie kutesiwa zambi ili baadae mumwamini.
\p
\v 33 Sikirenyi mfano ghumwi. Kurikogho na mundu, akakona gasi mbaha ya ardhi. Wawae mizabibu, akaiwikia uzio, akabonya na chombo cha kukamia divai, akaagha na mnara wa walinzi, na wajikodishie kwa watunza zabibu kisha akaghenda katika isanga jimwi.
\v 34 Makati gha mavuno gha mizabibu ghachakaribia, wawadumie baadhi ya watumishi kwa wakulima wa mizabibu kuwusa mizabibu yake.
\v 35 Ela wakulima wa mizabibu wakawawusa watumishi wake, wakamkaba umweri, wakambwagha umwi, na wakamkaba umweri kwa maghwe.
\v 36 Kwa mara imwi, mmiliki wawadumie watumishi wamwi, wengi zaidi ya waja wa kilindiri, ela wakulima wa mizabibu wawabonyie vija veni.
\v 37 Baada ya aho Mzuri uja akamduma kwawhe mvalwa wake, akideda, "Dimawaheshimu mwanapwa."
\p
\v 38 Ela wakulima wa mizabibu wachamwona mdawa na uja, wakaghoriana, uyu ni mpala, chonyi, dimbwaghe na dimiliki urithi.
\v 39 Huwo wakamwusa, wakamdagha shighadi ya mbuwa ya mizabibu na kumbwagha.
\v 40 Je mmiliki wa mbuwa ya mizabibu akacha, dima wawabonyai wakulima wa mizabibu.
\p
\v 41 Wakamghoria, "Dimawawanona awo wandu wazamie katika chia ikurie nanganyi, na kisha dima waikodisha mbuwa ya mizabibu kwa wakulima wamwi wa mizabibu, wandu ambawo dimawashana kwa ajili ya mizabibu ichzwirwa."
\p
\v 42 Jesu akawaghoria, "Ndamsomie katika maandiko, igwe wajileghie waashi jaka igwe ibaha jamsingi. Iji jafumie kwa Mzuri, na idashangaza mesonyi kwedu?
\p
\v 43 Huwo nawaghorienyi, Ufalme gwa Mlungu dima wawusigwa kufuma kwenyu na kunekwa taifa jijalie matunda ghake.
\v 44 Wowose agwagha ighu ya igwe ijo dimawachukanywa viwande viwande. Ela kwa wowose jimgwiaa dima jamsaga."
\p
\v 45 Wabaha wa makuhani na mafarisayo wachasikira mifano yake, wakawona kuwa adawazungumzia wo.
\v 46 Ela kila andu wakundii kughaghoa mikonu ighu yake, waboa makutano, kwa sababu wandu wamguwie sa Mlodi.
\c 22
\cl Sura 22
\p
\v 1 Jesu wadedie nawo sena katika mifano, akideda,
\v 2 "Ufame gwa mbingunyi udafwana na mgimbikwa waandalie gonda ya arusi ya mwanake.
\v 3 Akawaduma watumishi wake kuwakaribisha wakogho walikwa kucha katika gonda ya arusi, ela ndawafikie.
\v 4 Mgimbikwa wawaduma sena watumishi wamwi, akideda, "Waghorienyi wose waalikwe, guwenyi, naandaa vindo. Fahali na ndama wapwa wwanon o wachinjigwa, na malagho ghose gheko tayari, chonyi gondenyi ya arusi."
\v 5 Ela wandu awo ndawazirie kwa dhati mwaliko wake. Baadhi wawurie katika mbuwa rawhe, na wamwi wawurie katika gasi rawhe ra zoghori.
\v 6 Wamwi wawanukia watrumishi wa mgimbikwa na kuwadhalilisha na kuwabwagha.
\v 7 Ela mgimbikwa wawonie viera, wadumie ijeshi jake, akawabwagha waja wabwaghaa na kunona mzigwawhe kwa modo.
\v 8 Kisha wawaghorie watumishi wake, "Arusi yeko tayari ela waalikiwe ndawastahilie.
\v 9 Kwa huwo ghendenyi makutanonyi gha chia mbaha, waalikenyi wandu wengi kadri idimikanagha wache gondenyi ya arusi."
\v 10 Watumishi waghendie chia mbaha na kuwakaribisha wandu wowose wawonie, waboie na wazamie, huwo ukumbi gwa arusi gwachuie waghenyi.
\v 11 Ela mgimbikwa wachangia kuwaguwa waghenyi, wamwonie mundu umweri ambae ndarwie ivazi rasmi ja arusi!
\v 12 Mgimbikwa wamkotia, 'Awedu, wapatie wadakufika aha ndenyi bila ivazi ja arusi! Na mundu uyo ndajibie chochose.
\v 13 Niko mgimbikwa wachawaghoria watumishi wake, "mfunguenyi mundu uyu mikonu na maghu na mdaghenyi shighadi katika kira, uko ambako dimakwaka na kifwa na kusaga maghegho.
\v 14 Kwa wuja wandu wengi wadawangwa, ela washagulienyi ni watineri."
\p
\v 15 Niko mafarisayo waingie na kupanga jisi ya kuwhada Jesu katika madedo ghake mweni.
\v 16 Niko wawaduma wanafunzi wo amweri na maherode. Na waghoria Jesu, mwalimu, didaichi kuwa we ni mundu wa loli, na kwamba udafundisha matakwa gha Mlungu katika loli. Ndujali maoni gha mundu umwi na nduoneshagha upendeleo kwa wandu.
\v 17 Kwa huwo dighorie, uteganyai? Je ni sahihi kisheria kushana kodi kwa kaisari angu aa?"
\p
\v 18 Jesu wamanyie uovu wawhe na akadeda, "kwa indoi mdanigheria in yo wanafiki?
\v 19 Niborienyi pesa itumikaa kushania kodi." Niko wakamredia dinari.
\v 20 Jesu akawakotia, "sura na irina ijio ni va ani?
\p
\v 21 Wamjibie, "va kaisari." Niko Jesu akawaghoria," mnekenyi kaisari vilambo viko vake na va Mlungu mnekenyi Mlungu."
\v 22 Wachasikira huwo washangaie. Kisha wamsighie na kughenda chia rawhe.
\p
\v 23 Maruwa agho baadhi ya masadukayo wachee kwa Jesu, waja wadedagha kuwa ndakudae ufufuo gwa wafwie. Wakamkotia,
\v 24 Wakideda, "mwalimu, Musa wadedie, ikaka mundu wafwa bila kuva wana, mmbari wake na ample uyo mndumka na amneke mwana kwa ajili ya mmbari wake.
\v 25 Wakogho wambari saba. Wakilindiri walowua na kisha akafwa bila kuva wana. Akamsighia mkammbari wake.
\v 26 Kisha mmbari wake wa kawi nae akabonya woruwo, kisha uja wa kadadu, ikaka uwo hata kwa uja wa saba.
\v 27 Baada ya kubonya huwo wose, mundu mka nae wafwie.
\v 28 Idana katika ufufuo uyo mundu mka dimawaka mkawa ani katika wambari awo saba? kwa sababu wose wamlowue."
\p
\v 29 Ela Jesu wawajibie kuwaghoria, "Mdakosea, kwasababu ndamuichi maandiko wala ndighi ra Mlungu.
\v 30 Kwa wuja katika ufufuo, wandu ndawalowuaa wala kulowolwa. Badala yake wandu huka sa malaika huko mbingunyi.
\v 31 Ela kuhusu ufufuo gwa wafwie, ndamuwahie kusoma chija ambacho Mlungu wachideda kwenyu, akideda,
\v 32 Nyi ni Mlungu wa Ibrahimu, Mlungu wa Isaka, na Yakobo? Mlungu si Mlungu wa wafwie bali ni Mlungu wa weko ghake."
\p
\v 33 Makati kusanyiko wachasikira iji, wayashangaie mafundisho ghake.
\p
\v 34 Ela mafarisayo wachasikira kuwa Jesu wawanyamakimisha masadukayo, wawikie andu amweri wo weni andu amweri.
\v 35 Umweri wawhe, akika mwanasheria, wamkotia iswali kwa kumgheria.
\v 36 "Mwalimu, ni amri iao iko mbaha kuliko rose mkatika sheria?"
\p
\v 37 Jesu wamjibie, "Lazima umkunde Mzuri kwa moyo gwako ghose, kwa ngolo yako yose, na kwa akili rako rose.
\v 38 Ihi nio amri iko mbaha na kilindiri.
\v 39 Na ya kawi idafwana na iyo- Ni lazima kumkunda jirani yako sa wuja andu ukikundi mweni.
\v 40 Sheria rose na walodi hutegemea amri ili iwi."
\p
\v 41 Na mafarisayo warikogho bado wakiwikaa andu amweri gasi imweri, Jesu wawakotie iswali.
\v 42 Akideda, "Je! mtenganyai ighu ya Kristo? ye ni mvalwa wa ani?" Nao wamjibie, "Ni mvalwa wa Daudi."
\p
\v 43 Jesu wawajibie, "Ni kwa namna iao Daudui katika ngolo adamwanga Mzuri, akideda,
\v 44 Mzuri wamghoria Mzuri wapwa, "ka mkonu gwapwa gwa kujo, hata niwabonyaa walaghelaghe wako wawikigwe ndonyi ya maghu ghako."?
\v 45 Ngelo Daudi amwangagha Kristo "Mzuri," jinsi iao dimawaka mwanake?"
\v 46 Ndakudae wadimie kumjibu idedo sena, na ndakudae wathubutu sena kumkotia maswali nanganyi tangu maruwa agho na kuendelea.
\c 23
\cl Sura 23
\p
\v 1 Baadae waarie na umati gwa wandu na wanafunzi wake. Akadeda,
\v 2 "Waandishi na mafarisayo wadakaija kifumbi cha Musa.
\v 3 Kwa huwo chochose wawaamuru kubonya, bonyeni uku mkiwachunguza. Ela msache iga matendo ghawhe, kwa sababu wo watamkaa malagho wasaghabonyaa.
\v 4 Loli, wo hurugha mizigo iremere ambayo vakurie kuidwa, na kisha huwadisha wandu waweghenyi kwawhe, ela wo weni ndawaseghuragha hata chala kuidwa.
\v 5 Matendo ghawhe ghose, waghabonya ili waguwhe ni wandu. kwa sababu wo hushanua masanduku ghawhe na huchuria ubaha gwa mapindo gha mavazi ghawhe.
\v 6 Wo hukunda kuka gasi ra kifahari katika gonda na katika vifumbi va heshima ndenyi ya masinagogi,
\v 7 Na kulamswa kwa heshima gasi ra chetenyi, na kuwangwa "Walimu" na wandu.
\v 8 Ela inyo ndampaswaa kuwangwa "Walimu," kwa wuja mko nae mwalimu umweri, na inyo wose ni wambari.
\v 9 Msamwange mundu wowose aha dunienyi kuka aba wenyu, kwa wuja mko nae Aba umweri tu, nae weko mbingunyi.
\v 10 Wala msache kuwangwa "Walimu," kwa wuja mko nae mwalimu umweri tu, yaani Kristo.
\v 11 Bali ako mbaha imbiri yenyu dimawaka mtumishi wenyu.
\v 12 Wowose akiinuagha dimawaserigwa. Na wowose akiuseragha dimawanuliwa.
\p
\v 13 Ela ole wenyu waandishi, na mafarisayo, wanafki! mdawarughia wandu ufalme gwa mbingunyi. Na inyo ndamdimagha kungia na ndamwaruhusu wangiagha kubonya huwo.
\v 14 \f + \ft Mazira: Mstari gwa 14 ndauonekagha katika nakala bora la kala. Baadhi ya nakala huchuria mstari ughu baada ya mstari gwa 12. Mstari gwa 14 "ole wenyu waandishi na mafarisayo wanafiki! kwa wuja mdawamila wakolo." \f*
\p
\v 15 Ole wenyu waandishi na mafarisayo, wanafiki! mdaluwuka kimonu cha bahari na kufika kumbonya mundu umweri aamini ghaja mgha fundishaa, na andu waka sa inyo, mdambonya mara iwi mvalwa wa jehanamu sa inyo weni andu mko.
\p
\v 16 Olewenyu vilongozi msawonaa, inyo mdedagha wowose alawagha kwa ihekalu, si kilambo. Ela alawagfha kwa dhahabu ya ihekalu, wafungigwa nikirawo chake.
\v 17 Inyo msawonaa wapumbavu, chiao ni kibaha kuliko chimwi, dhahabu angu ihekalu ambajo jawikigwa wakfu dhahabu kwa Mlungu?
\v 18 Na wowose alawagha kwa madhabahu, si kilambo. Bali alawagha kwa sadaka iko ighu yake, wafungigwa ni kirawo chake.
\v 19 Inyo wandu msawona, chiao ni kibaha kuliko chimwi, sadaka angu madhabahu ambayo huwika wakfu sadaka rifunyagha kwa Mlungu?
\v 20 Kwa huwo, ye alawagha kwa madhabahu hulawa kwa iyo na kwa vilambo vose vikogho ighu yake.
\v 21 Na ye, alawagha kwa ihekalu, hulawa kwa ijo na kwa uja akagha ndenyi yake.
\v 22 Na ye alawagha kwa Mbingu, hulawa kwa kifumbi cha enzi cha Mlungu na kwa uja akagha ighu yake.
\p
\v 23 Ole wenyu, waandishi na mafarisayo, wanafki! kwa wuja mdashana zaka kwa bizali, mnaanaa na mchicha, ela mdasigha malagho ghakurie gha sheria- hachi, mughoma, na imani. Ela agha mdapaswa kuwa mwaghabonya, na sio kusigha ghamwi bila kughatekeleza.
\v 24 Inyo vilongozi msawonaa, inyo ambawo mdachuja madudu mtini ela mdamila ngamila!
\p
\v 25 Ol ewenyu, waandishi na mafarisayo wanafki! kwa wuja mdaoghesha shighadi ya vikombe na shighadi ya sahani, ela ndenyi kwa chua dhuluma na kulemwa kuka na kiasi.
\v 26 Inyo mafarisayo msawonaa, oghesheni kilindiri ndenyi ya kikombe na ndenyi ya sahani, ili luwande lwa shighadi na lo lake lwaelie.
\p
\v 27 Ole wenyu, waandishi na mafarsayo wanafki! kwa wuja mdafwana na makaburi ghavie choka, ambagho kwa shighadi, huwonekagha ghaboie, ela kwa ndenyi ghachua maindi gha wafwie na kila kilambo chiko kichafu.
\v 28 Woruwo huwwo, na inyo kwa shighadi mwonekagha weko na hachi imbiri ya wandu, ela kwa ndenyi mwachua unafki na udhalimu.
\p
\v 29 Ole wenyu, waandishi na mafarisayo, wanafki! kwa wuja mdagha makaburi gha walodi na kughapamba makaburi gha wekona hachi.
\v 30 Inyo mwadeda, kumacha daishi maruwa gha aba redu, kumacha dairikiogho dashiriki amweri nawo kudia bagha ra walodi.
\v 31 Kwa huwo mwakishuhudia weni kwamba inyo ni wana wa awo wawabwaghie walodi.
\v 32 Pia inyo mwakamilisha kuchura gasi istahili dhambi ya aba renyu.
\v 33 Inyo choka, wana wa vipiribao, kwa maana ki dima mwaikwepa hukumu ya jehanamu?
\v 34 Kwa huwo, guwa, nawaduma kwenyu walodi, wandu wekona na hekima, na waandishi. Baadhi yawhe dima mwawabwagha na kuwasilisha. Na baadhi yawhe dimamwawachapa ndenyi ya msinagogi ghenyu na kuwabinyisa kufuma mzi umweri hata umwi.
\v 35 Matokeo ni kwamba ighu dimawakwafumiria bagha rose ra wekona hachi ridiwe duniuenyi, kuanzia bagha ya Habili mweni hachi hata kwa bagha ya Zakaria mvalwa wa Wa Barakia, mubwaghie kati ya patakatifu na madhabahu.
\v 36 Loli nawaghorienyi, malagho agha ghose dimayakipata kivazi ichi.
\p
\v 37 Yerusalemu, Yerusalemu, we uwabwaghagha walodi na kuwakaba magwe waja ambawo wandumiagwa kwako? mara ilinga nawawika andu amweri wana wako amweri sa wuja nguku awawi kagha anadu amweri vifaranga vake ndonyi ya mbawa rake ela ndaukubalie.
\v 38 Guwa jako jabaki ukiwa.
\v 39 Na nyi ndakughoria, kuanzia ijiaha na kuendelea nduniwonagha, hata uchadeda, 'wabarikiwa ye achagha kwa irina ja Mzuri."'
\c 24
\cl Sura 24
\p
\v 1 Jesu wafumie hekalunyi na kughenda chia rake. Wanafunzi wake wamghendia na kumbonyeria majengo gha ihekalu.
\v 2 Ela wawajibie na kuwaghoria, Je ndamghawonaa malagho agha ghose? loli ndawaghoria, ndakudae igwe jibakii ighu ya jimwi bila kubomolewa."
\p
\v 3 Na wachaka katika lughongo lwa mizeituni, wanafunzi wake wamghendia kwa faragha na kudeda, "Dighorie, malagho agha dimaghafumiria li? kilambo ki dima chaka dalili ya kucha kwako na mwisho gwa urumwengu?"
\p
\v 4 Jesu wawajibie na kuwaghoria, "Kenyi makini kwamba asache mundu akawapotosha.
\v 5 Kwa wuja wengi dimawacha kwa irina japwa. Dima wadeda, 'nyi nie Kristo', na dimawawapotosha wengi.
\v 6 Dimamwawwasikira kondo na taarifa ra kondo. Guwenyi msacheka na wasiwasi, kwa wuja malagho agha ndaghadae budi kufumiria, ela uja mwisho ndauserefika.
\v 7 Kwa wuja taifa dima januka dhidi ya taifa jimwi, na ugimbikwa dhidi ya ugimbikwa. Dima kwaka na njala na matetemeko gha ardhi katika gasi tofauti.
\v 8 Ela malagho agha ghose ni kilindiri tu cha uchungu gwa kukifungua.
\p
\v 9 Niko dimawawafunya kwa ajili ya mateso na kuwa bwagha. Dimamwazamiwa na mataifa ghose kwa sababu ya irina japwa.
\v 10 Niko wengi imawakikuwa na kusalitiana na imawazamiana.
\v 11 Walodi wengi watee dimawafumiria na kuwaembia wengi.
\v 12 Kwa sababu uovu dimagwachurika, lukundo lwa wengi imalwahoa.
\v 13 Ela arumaghiagha mpaka mwisho, dimawatesiwa.
\v 14 Ihi injili ya ugimbikwa imayahubiriwa katika urumwengu mlanzi sa ushuhuda kwa mataifa ghose. Na niko uja mwisho dima gwafika.
\p
\v 15 Kwa huwo, mchamwona chukizo ja unonefu, jidediwe ni mlodi Danieli jakakimsi andu patakatifu [asamagha na amanye],
\v 16 Niko wakogho Yuda wakimbilie lughoghonyi.
\v 17 Na uja akogho ighu ya paa ja iwacha asadimekusea isi kuwusa kilambo chochose kufuma ndenyi ya iwacha jake,
\v 18 Na ye akogho mbuwenyi asawuye kuwusa ivazi jake.
\v 19 Ela ole wawhe ambawo wakona mwana na waja ambawo wanyonyeshagha katika maruwa agho!
\v 20 Tasenyi kwamba kukimbia kwenyu kusake wakati gha mbeo, wala maruwa gha sabato.
\v 21 Kwa wuja dima kwaka na dhiki mbaha, ambayo ndaisere kuka tangu kuumbwa kwa urumwengu hadi ijiaha, na wala ndaidimakuka sena.
\v 22 Ngelo maruwa agho kumachandaghafupishwa, ndakudae ambae kumachatesiwa ela kwa sababu ya wateule, maruwa agho dimaghafupishwa.
\p
\v 23 Kisha ikika mundu wowose dimawawaghoria 'guwa, Kristo ako aha! angu, 'Kristo ako kuja' msaamini malagho agho.
\v 24 Kwa wuja makristo gha tee na walodi wa tee imawacha na kubonyeria ishara mbaha na maajabu, kwa kusudi ja kupotosha, ngelo kumachayadimikana ata na wateule.
\v 25 Guwenyi, na watahadharisha kabla ya malagho agho kufumiria.
\v 26 Kwa huwo, ikika wamighoria, "Kristo ako ijangwenyi," msaghende ako ijangwenyi. Angu, 'guwenyi, wekondenyi ya iwacha," msaamin i malagho agho.
\v 27 Kama wuja radi andu imulikaa kubfuma mashariki na kuangaza hata magharibi, niko ikagha kucha kwa mvalwa wa Adamu.
\v 28 Kokose andu kuko kimba, uko niko tai wakwa na andu amweri.
\p
\v 29 Ela mara baada ya dhiki mbaha ya maruwa ghaja, iruwa dimajakumbigwa kira, mweri ndaghufunyaa mwanga gwake, nyenyeri dimaragwa kufuma angenyi, na ndighi ra mbingunyi dima ra tikisika.
\v 30 Niko ishara ya mvalwa wa Adamu dima yawoneka angenyi, na makabila ghose gha dunia dimawalila kubaha. Dimawamwona mvalwa wa Adamu akicha katika madulu gha angenyi kwa ndighi na utukufu mbaha.
\v 31 Dimawawaduma malaika wake kwa sauti mbaha ya igunda nawo dimawawawika andu amweri wateule wake kufuma pande ina ra dunia, kufuma mwisho umweri wa mbingu hata umwi.
\p
\v 32 Kifdunzeni somo kufumana na mdi mtini. Mara tu irembwe jikabuka na kufunya nyasi, mdaichi kwamba kiangazi kidakaribia.
\v 33 Huwo pia, mchawona malagho agha ghose, mdapaswa kumanya kwamba wakaribia, avui na malango.
\v 34 Loli ndawaghoria, kivazi ichi ndachiidagha, hata malagho ghose agha dimaghaka ghafumiria.
\v 35 Mbingu na isanga dimaraida, ela madedo ghapwa ndaghaidagha kamwe.
\p
\v 36 Ela kuhusu maruwa ghaja na saa ndakudae mundu amanyagha, hata malaika wa mbimgunyi, wala mvalwa, bali Aba mweni keri.
\v 37 Sa wuja andu ikogho katika maruwa gha Nuhu, niko ikagha kucha kwa mvalwa wa Adamu.
\v 38 Kwa wuja katika maruwa agho kabla ya igharika wandu wakogho wakija na kunywa, wakilowua na kulowolwa hata maruwa ghaja ambagho Nuhu wangie katika safina,
\v 39 Na ndawamanyie kilambo chochose hata igharika ichacha na kuwasomba wose - niko ikagha kucha kwa mvalwa waAdamu.
\v 40 Niko wandu wawi dimawaka mbuwenyi - umweri dimawawusigwa, na umweri dimawasigwa nyuma.
\v 41 Waka wawi dimawaka wasaga andu amweri - umweri dimawawusigwa, na umweri dimawabaki.
\v 42 Kwa huwo, mke meso kwa sababu ndamuichi ni maruwa ki ambagho dimawacha Mzuri wenyu.
\v 43 Ela muichi kwamba, ikaka Mzuri mweni iwacha kumachawaichi ni saa iao ambayo mwiwi adacha, kumacha waka meso na kumacha ndaruhusu iwacha jake kuvamiwa.
\v 44 Kwa huwo, pia mdapaswa kuka tayari, kwa wuja mvalwa wa Adamu dimawacha katika saa msaa itarajia.
\p
\v 45 Huwo ni ani akomwaminifu, mtumwa mweni akili, ambae Mzuri wake wamneka madaraka ighu ya wandu weko katika iwacha jake, ili awaneke vindo kwa makati gha faagha?
\v 46 Wabarikiwa mtumishi uyo, ambae Mzuri wake dimwamdoka akibonya huwo makati akicha.
\v 47 Loli ndawaghoria kwamba Mzuri dimawamwika ighu ya kila kilambo chiko chake.
\v 48 Ela ngelo mtumwa wazamie aklideda ngolonyi mwake, Mzuri wapwa adakawia,'
\v 49 Na akawoka kuwakaba watumishi wake, na akaja na kulewa chofi,
\v 50 Mzuri wa mtumwa uyo dimawacha katika maruwa ambagho ndaghatarajiaa, na katika saa ambayo ndaichi.
\v 51 Mzuri wake dimawamdema viwande viwi na kumwika andu kuko nafasi imweri sawa na wanafiki, ambako dimakwaka na kifwa na kusaga maghegho.
\c 25
\cl Sura 25
\p
\v 1 Niko ufalme gwa mbingunyi dimawafananishwa na wai kumi wuwusie taa rawhe na kuinga kughenda kumwokera bwana arusi.
\v 2 Wasanu imbiri yawhe wakogho wapumbavu na wasanu wamwi wakogho werevu.
\v 3 Wai wapumbavu wachawusa taa rawhe, ndawawusie mavuda ghoghose.
\v 4 Bali wai werevu wawusie vombo vikona mavuda andu amweri na taa rawhe.
\v 5 Idana makati Bwana arusi wachelewa kufika, wose wawhadie ni dilo na wakatungura.
\p
\v 6 Ela makati gha kio kibaha kurikogho na yowe, 'guwa, bwana arusi! fumeni shighadi mkamwokere.'
\v 7 Niko awo wai wawukie wose na kuwasha taa rawhe.
\p
\v 8 Waja wapumbavu wawaghoria waja werevu, mdipatie sehemu ya mavuda ghenyu kwa sababu taa redu ridarima.
\v 9 Ela waja werevu wawajibie na kuwaghoria, 'kwa wuja ndaghaditoshss isi ns inyo, badala yake ghendenyi kwa wadaghagha mkiguie kiasi kwa ajili yenyu."
\v 10 Makati waghenda uko kugua, Bwana arusi wafika, na wose warikogho tayari waghendie naegondenyi ya arusi, na mjango gwarugwie.
\p
\v 11 Baadae waja wai wamwi pia wafikie na kudeda, 'Mzuri, mzuri, dirughurie.'
\v 12 Ela wajibie na kudeda, 'loli ndawaghoria, nyi siwaichi.
\p
\v 13 Kwa huwo guwenyi, kwa wuja ndamuichi maruwa angu saa.
\p
\v 14 Kwa wuja ni sawa na mundu akundighe kusafiri kughenda isanga jimwi. Wawawangie watumwa wake na kuwakabidhi utajiri gwake.
\v 15 Umweri wawhe wampatia talanta isanu, umwi wamnekie iwi, na uja umwi wamnekie talanta imweri. Kila umweri wawokera kiasi kulingana na uwezo gwake, na uja mundu wasafirie kughenda chia rake.
\v 16 Mapema uja wawokerie talanta isanu waghendie kuriwekeza, na kuzalisha talanta rimwi isanu.
\v 17 Woruwo uja wawokerie talanta iwi, wazalisha rimwi iwi.
\v 18 Ela mtumwa wawokerie talanta imweri, waghendie chia rake, akakota ishimo ardhinyi, na kuivisa fedha ya Mzuri wake.
\p
\v 19 Na baada ya muda mlacha, Mzuri wa watumwa awo wawurie na kubonyeria mitalo nawo.
\v 20 Uja mtumwa wawokerie talanta isanu wachee na kureda talanta rimwi isanu, akadeda, 'Mzuri, wanineka talanta isanu. Guwa, napata faida ya talanta rimwi isanu.'
\p
\v 21 Mzuri wake wamghoria, 'Hongera, mtumwa uboie na mwaminifu! waka mwaminifu kwa vilambvo vitini. Dimanakuneka madaraka ighu ya vilambo vingi. Ngia katika furaha ya Mzuri wako.'
\p
\v 22 Mtumwa wawokerie talanta iwi wachee na kudeda, 'Mzuri, wanineka talanta iwi. Guwa, napata faida ya talanta rimwi iwi,'
\p
\v 23 Mzuri wake awaghoria, 'Hongera mtumwa uboie na mwaminifu! waka mwaminifu kwa vilambo vitineri. Dimanakuneka madaraka ighu ya vilambo vingi. Ngia katika furaha ya Mzuri wako.'
\p
\v 24 Baadae mtumwa wawokerie talanta imweri wachee na kudeda, 'Mzuri, ndaichi kuwa we ni mundu uorie. Udawhaya andu ambako nduwae na udakwasha andu ambako kuhusia.
\v 25 Nyi naboa, nikaghenda chia rangu na kuvisa talanta yako katika ndoe. Guwa, uko nayo aha ija iko yako.'
\p
\v 26 Ela Mzuri wake wajibie na kjudeda, 'We mtumwa uzamie na mzembe, wamanyie kwamba ndawhaya andu ambako siwae na kuwasha andu ambako sikusia.
\v 27 Kwa hiyo wapasiwe kuwaneka fedha yapwa wandu wa benki, na makati gha kuwuya kwapwa kumacha naiwokera ija yapwa andu amweri na faida.
\v 28 Kwa huwo msokenyi iyo talanta na mnekenyi uja mtumwa ako na talanta kumi.
\v 29 Kila mundu ako nacho, dimawachuriwa na nganyi - ata kwa kuzidishiwa sana. Ela kwa wowose asadae kilambo, ata ako nacho dimawasokwa.
\v 30 Mdaghenyi shighadi kirenyi uyo mtumwa asafaa, ambako dimakwaka na kifwa na kusaga maghegho.
\p
\v 31 Makati mvalwa wa Adamu akacha katika utukufu gwake, malaika wose andu amweri nae, niko dimawaka ighu ya kifumbi chake cha utukufu.
\v 32 Mataifa ghose dimaghaka andu amweri imbiri yake, na ye dimawawatenganisha wandu, kama wuja mlisha awatenganishaa ng'ondi na mburi.
\v 33 Dimawawawika ng'ondi mkonu gwake gwa kujo, bali mburi dimawawawika mkonu gwa kumosho.
\p
\v 34 Kisha mgimbikwa dimawawaghoria waja wako mkonu gwake gw kujo, 'chonyi, inyo mwabarikiwa ni Aba wapwa, palenyi Ufalme gwa andaliwe kwa ajili yenyu tangu kuwikwa msingi gwa urumwengu.
\v 35 Kwa wuja nakogho na njala na mwaninekie vindo,' Narikogho mghenyi na mwanikaribisha.'
\v 36 Narikogho kibigiri na mwanirushie nguwo,' narikogho mkongo na mkanitunza, nakogho kifungonyi na mkanichea.'
\p
\v 37 Niko wenihachi dimawamjibu na kumghoria, 'Mzuri, li dakuwonie ukika na njala, na kukujisa, Angu ukona kau na dikakuneka machi?
\v 38 Na ni li dakuwonie ukika mghenyi, na dikakukaribisha? angu ukika kibigiri na dikakurusha nguwo?
\v 39 Na li dakuwonie ukika mongo, angu katika kifungo, na dikakuchea?
\p
\v 40 Na mgimbikwa dimawamjibu na kuwaghoria, 'loli ndawaghoria, mchibonyie aha kwa umweri wa wambari wapwa watini, mwanibonyia nyi.'
\p
\v 41 Niko imawaghoria awo weko mkonu gwake gwa kumosho, 'ingenyi kwapwa, inyo mlaaniwe, ghendenyi katika modo gwa kala na kala gwaandaliwe kwa ajili ya shetani na malaika rake,
\v 42 Kwa sababu nakogho na njala ela ndamninekie vindo; nakogho nakau ela ndamninekie machi;
\v 43 Narikogho mghenyi ela ndamnikaribishe; nakogho kibigiri ela ndamninekie mavazi; ni kika mkongo na nikika kifungonyi, ela ndamnitunzie.'
\p
\v 44 Niko wo pia dimawamjibu na kudeda, 'Mzuri, li dakuwona ukika na njala, angu ukona kau, angu umghenyi, angu ukika kibigiri, angu ukika mkongo, angu ukika mfunwa, na ndadikutawarie?
\p
\v 45 Kisha imawamjibu na kudeda, 'loli ndawaghoria, chija ambacho ndambonyie kwa umweri wa awa watini, ndamnibonyie nyi.'
\p
\v 46 Awa dimawaghenda katika adhabu ya kala na kala bali wekona hachi katika banana ya kala na kala."
\c 26
\cl Sura 26
\p
\v 1 Makati Jesu achameria kudeda madedo ghose agho, wawaghorie wanafunzi wake,
\v 2 "Mdaichi kwamba baada ya maruwa awi dimakwaka na sikukuu ya pasaka, na mvalwa wa Adamu dimawafunyigwa ili asulubiwe."
\p
\v 3 Baadae wabaha wa makuhani na waghosi wa wandu wakwana andu amweri katika makao gha kuhani mbaha, warikogho akiwangwa koyafa.
\v 4 Kwa andu amweri wapangie njama ya kumwhada Jesu kwa kiviso na kumbwagha.
\v 5 Kwa wuja wadedie, "isabonyeke makati gha sikukuu, kusudiisacxhezuka ghasia imbiri ya wandu."
\p
\v 6 Makati Jesu wakogho Bethania katika iwacha ja simoni mkoma,
\v 7 Warikogho wakighaghoa mzenyi, mndumka umweri wachee kwake akika wadwa mkebe gwa Alabasta irikogho na mavuda yakona thamani mbaha, na waghamimina ighu ya chongo chake.
\v 8 Ela wanafunzi wake wachawona ilagho ijo, wazamiwe na kudeda, "Ni indoi sababua ya hasara ihi?
\v 9 Agha kumacha ghadimikana kudagwa kwa kiasi kibaha na kunekwa maskini."
\p
\v 10 Ela Jesu akika adaichi iji, wawaghorie, "kwa indoi mdamgaisha mndumka uyu? kwa wuja wabonya kilambo chiboie kwapwa.
\v 11 Maskini mkonao maruwa ghose, ela ndamkagha andu amweri na nyi daima.
\v 12 Kwa sababu andu wamimina mavuda agha ighu ya muiwi gwapwa, wabonyi huwo kwa ajili ya mariko ghapwa.
\v 13 Loli nawaghorienyi, kokose injili ihi ikahubiriwa katika urumwengu mlanzi, kitendo wachibonya uyu mndumka, pia dima waka chikidedigwa kwa ajili ya kumkumbuka."
\p
\v 14 Niko umweri wa waja kumi na iwi, wawangiwe Yuda iskariote, waghendie kwa wabaha wa makuhani.
\v 15 Na kudda, "dimamwanineka indoi nikamsaliti? Wakampimia Yuda viwande thelathini va fedha.
\v 16 Tangu mudaugho walolie nafasi ya kumsaliti.
\p
\v 17 Hata maruwa gha kilindiri gha mikate isakumbagwa chachu, wanafunzi wamghendia Jesu na kudeda, "Hao ukundi dikuandalie uje vindo va pasaka?"
\p
\v 18 Akawaghoria, "Ghendenyi mzinyi kwa mundu fulani na mghorienyi, mwalimu adadeda, "mudagwapwa gwakaribia. Dimanaitimira pasaka andu amweri na wanafunzi wapwa katika iwacha jako."
\v 19 Wanafunzi wabonyie sa wuja Jesu andu wawalagiza, na waandalie vindo va pasaka.
\p
\v 20 Ichafika kwenyi, wakee kuja vindo andu amweri na waja wanafunzi kumi na iwi.
\v 21 Warikogho wadaja vindo, wadedie, "loli nawaghoria kwamba umweri wenyu dimawanisaliti."
\p
\v 22 Wawonie mbazi nanganyi, na kila umweri waanzie kumkotia, "Je, hakika sio nyi, Mzuri
\p
\v 23 Wawajibie, "Uja ambae achovyaa mkonu gwake andu amweri nanyi katika ibakuli nie ambae dimawanisaliti.
\v 24 Mvalwa wa Adamu dimawainga kama andu waandikiwa. Ela ole wake mundu ambae dimawamsaliti mvalwa wa Adamu! kumachayakanicha kwa mundu uyo kama kumachandavalwe."
\v 25 Yuda ambae kumachamsaliti wadedie, "Je! Ninyi Rabi?" Jesu akamghoria, "Wadeda ilagho ijo we mweni."
\p
\v 26 Warikogho wakija vindo, Jesu wawusie mkate, akaghubariki na kuubegha. Akawaneka wanafunzi wake akideda, "Wusenyi, mje uhu nimuwi gwapwa."
\v 27 Akawusa kikombe na kushukuru, akawaneka na kudeda, "Nyweni wose katika ichi.
\v 28 Kwa wuja ihi ni bagha ya iagano japwa, idiwa gwa kwaajili ya wengi kwa msamaha gwa zambi.
\v 29 Ela nawaghorienyi, sinywagha sena matunda gha mzabibu ughu, hata maruwa ghaja ninywa gha mwishi amweri na inyo katika Ufalme gwa Aba wapwa."
\p
\v 30 Warikogho wameria kubora lumbo, wafumie kughenda lughongo lwa mizeituni.
\p
\v 31 Kisha JJesu wawaghoria, kio ichi inyo wose dima mwakikuwa kwasababu yapwa, kwa wuja yaandikigwa, dimanamkaba mlisha na ng'ondi wa ikundi dimawawaghanyika.
\v 32 Ela baada ya kufufuka kwapwa, dimanawakiria kughenda Galilaya."
\p
\v 33 Ela Petro wamghoria, Ata kama wose dimawakulegha kwa sababu ya malagho ambagho dimaghakupata, nyi sikuleghagha."
\p
\v 34 Jesu wamjibie, "loli ndakughoria, kio ichi kabla jogholo ndaisire kema, dimawanikana mara idadu."
\p
\v 35 Petro akamghoria, "Ata kama kumacha yanipasa kufwa ni we, sikuksnaa." Na wanafunzi wamwi wose wakadeda woruwo uwo.
\p
\v 36 Baadae Jesu waghendie nawo andu kuwangwaa Gethsemane na wawaghoria wanafunzi wake, "kenyi aha wakati nikighenda uko na kutasa."
\v 37 Akamwusa Peto na wawiu wa zebedayto na waanzie kuhuzunika na kusononeka.
\v 38 Kisha wawaghoria, "Ngolo yapwa ikona huzuni mbaha sana, hata kiasi cha kufwa. Bakinyi aha na mlale meso andu amweri nanyi."
\v 39 Akaghenda imbiri kidogo, akagwa kifudifudi, na kutasa. Akadeda, "Aba wapwa, ngelo idadimikana, kikombe icghi chiniepuke. Isake andu ndikundii nyi, bali sa andu ukundii we."
\v 40 Akawaghendia wanafunzi na akawadoka watungura dilonyi, na akamghoria Petro, "Kwa indoi ndamdimie kulala meso nanyi kwa isaa jimweri?
\v 41 Lalenyi meso na kutasa kusudi msangie majaribuni. Ngolo iradhi, ela muwi ni dhaifu."
\p
\v 42 Akaghenda chia rake mara ya kawi na kutasa, akadeda, "Aba wapwa ngelo ilagho iji ndajidimikana kuepukika na ni lazima nichinywee kikombe ichi, mapenzi ghako ghatimizwe."
\p
\v 43 Akawuya sena kuwadoka watungura dilonyi, kwa wuja meso ghawhe ghakogho ghakurie.
\v 44 Kisha akawasigha sena akaghenda chia rake. Akatasa mara ya kadadu akideda madedo gha ja gheni.
\v 45 Baadae Jesu wawaghendia wanafunzi wake na kuwaghoria, "bado mwamtungura tu na kukisoghosha? guwenyi, saa yakaribia, na mvalwa wa Adamu adasalitiwa mikonunyi mwa weni zambi.
\v 46 Wukienyi, ndiinge. Guwa, uja anisalitiagha wakaribia."
\p
\v 47 Makati wakogho bado akiaria, Yuda umweri wa waja kumi na iwi, wafikie. Kundi ibaha jafikie andu amweri nae jikifumira kwa wabaha wa makuhani na waghosi wa wandu. Wachee na malwamba na marungu.
\v 48 Sena mundu wakusudie kumsaliti Jesu wakogho wawaneka ishara, akideda, "Uja nimbusu, nio ye mwhadenyi."
\v 49 Mara iyo wachee kwa Jesu na kudeda, "Salamu, Mwalimu!" na wambusu.
\p
\v 50 Jesu akamghoria, Amwedu jibonye jija ambajo jakureda. "Niko wakacha, na kumghaghoia mikonu Jesu, na kumwhada.
\v 51 Guwa, mundu umweri warikogho andu amweri na Jesu, waghaghoa mkonu gwake, akafunya luwamba lwake, na akamkaba mtumishi wa kuhani mbaha, na kumdema kudu kwake.
\v 52 Niko Jesu akamghoria, wuja luwamba lwako aja andu walufunya, kwa wuja wose watumiaa lwamba dimawaangamizwa kwa luwamba.
\v 53 Mdadhani kuwa sidimagha kumwanga Aba wapwa, na ye akanidumia majeshi zaidi ya kumi na iwi gha malaika?"
\v 54 Ela basi jinsi ki maandiko ghadima kutimiza gwa, uwu niko idapasa kufumira?"
\p
\v 55 Makati agho Jesu akaughoria umati, "Je! machana na malwamba na marungu kunuwhada sa mnyang'anyi? kila siku nakaiye hekalunyi nikifundisha, na ndamniwhadie!
\v 56 Ela ghose agha ghabonyeka ili maandiko gha walodi ghatimie." Niko wanafunzi wake wakamsigha na kukimbia.
\p
\v 57 Waja wawhadie Jesu wamhadie Jesu wamghenjie kwa kuyafa, kuhani mbaha, andu ambako waandishi na waghosi wakogho waka andu amweri.
\v 58 Ela Petro wamnughie nyuma kwa kala kula hata katika ukumbi gwa kuhani mbaha. Wangie ndenyi na kuka andu amweri na walinzi awonechifumiriagha.
\p
\v 59 Basi wabaha wa makuhani na ibaraza jose warikogho wakilola ushahidi gwa tee dhidi ya Jesu, kusudi wapate kumbwagha.
\v 60 Ingawa wakakitokeza mashahidi wengi, ela ndawapatie sababu yoyose ela baaadae mashahidi wawi wakitokeza imbiri.
\v 61 N kudeda, "Mundu uyu wadedie, "Nadimagha kujichukanya ihekalu ja Mlungu na kujiagha sena kwa maruwa adadu."
\p
\v 62 Kuhani mbaha wakee kimsi na kumkotia, "Ndudi magha kujibu? awa wadakushuhudia indoi dhidi yako?"
\v 63 Ela Jesu wanyamie kima kuhani mbaha akamghoria, "sa Mlungu andu aishivyo, ndakuamuru udighorie, ngelo we ni Kristo, mvalwa wa Mlungu?"
\p
\v 64 Jesu wamjibie, "We mweni wadeda ilagho ijno. Ela ndakughoria, toka ijiaha na kuendelea dimawamwona mvalwa wa Adamu waka mkonu gwa kujo ukona ndighi, na akicha katika madulu gha mbingunyi."
\p
\v 65 Niko kuhani mbaha wararua mavazi ghake na kudeda, "Wakufuru! Je dahitaji sena ushahidi gwa, tayari mwasikira akikufuru.
\v 66 Je! mtenganyai? wajibie na kudeda, "adastahili kifwa."
\v 67 Kisha wamchiye mada wushunyi na kumkaba ngumi, na kumchapa makofi kwa mikonu yawhe,
\v 68 Na kudeda, "Ditabirie, we Kristo. Ni ani wakuchapa?"
\p
\v 69 Wakati ugho Petro warikogho waka shighadi katika ukumbi, na myumishi wa kiwaka wamghendia na kudeda, "We pia wakogho andu amweri na Jesu wa Galilaya."
\p
\v 70 Ela wakanie imbiri yawhe wose, akideda, simanyagha kilambo udedaa."
\p
\v 71 Wachaghenda shighadi ya ilango, mtumishi umwi wa kiwaka wamwonie na kuwaghoria wakongo aho," mundu uyu pia wakogho andu amweri na Jesu wa Nazareti."
\p
\v 72 Wakanie sena kwa kirawo, "Nyi simu ichi mundu uyu.
\p
\v 73 Muda mfupi baadae, waja waja wakogho wakakimsi karibu, wamghendia na kudeda na Petro, "kwa hakika we pia ni umweri wawhe, kwa wuja hata lafudhi yako idaonesha."
\p
\v 74 Niko waanzie kulaani na kulawa, "Nyi simmanya mundu uyu," na mara iyo jogholo akakema.
\p
\v 75 Petro wamkumbukie madedo waghoriweghe ni Jesu, "kabla jogholo ndaisire kema dimawanikana mara idadu."
\c 27
\cl Sura 27
\p
\v 1 Taimu ra keshokio richafika, wabaha wose wa makuhani na waghosi wa wandu wajie njama dhidi ya Jesu wapate kumbwagha.
\v 2 Wamfunga, wamuongoza, na kumfikisha kwa liwali pilato.
\p
\v 3 Kisha makati Yuda, ambae wakogho wamsaliti, wawonie kwamba Jesu wameria kuhusu kumiwa, wajutie na kuwuja viwande thelathini va fedha kwa mbaha wa makuhani na waghosi,
\p
\v 4 Na akadeda, "Nabonya zambi kwa kuisaliti bagha isadae hatia." Ela wajibie, "Idadihusu indoi isi? ghaguwe agho mweni."
\v 5 Kisha wavirusha ndonyi vija viwande va fedha katika ihekalu, na kuinga chia rake na kukinyonga mweni.
\p
\v 6 Mbaha wa makuhani waviwusie vija viwande va fedha na kudeda, na kudeda, "si halali kuiwika fedha katika hazina, kwa sababu ni gharama ya bagha."
\v 7 Wajadiliana andu amweri na fedha ikadumika kugulia mbuwa ya mfinyanzi ja kurika waghenyi.
\v 8 Kwa sababu ihi mbuwa iyo yaka ikiwangwa, "mbuwa ya bagha" hata linu ihi.
\p
\v 9 Kisha jija idedo jirikogho jadedigwa ni Mlodi Yeremia jatimie kudeda, "Wawusie viwande thelathini va fedha, gharama ipangiwegweni wandu wa Israeli kwa ajili yake,
\v 10 Na waitumia kwa mbua ya mfinyanzi, sa Mzuri andu wakogho wanielekeza.
\p
\v 11 Idana Jesu wakeekimsi imbiri ya liwali, na liwali akamkotia, "Je! we ni mgimbikwa wa wayahudi?" Jesu wamjibie, "We wadeda huwo."
\p
\v 12 Ela makati washitakiwa ni wabaha wa makuhani na waghosi, ndajibie chochose.
\p
\v 13 Kisha Pilato waghoria, ndughasikire mashitaka ghose dhidi yako?"
\v 14 Ela ndamjibie hata idedo jimweri, huwo liwali wachuiwe ni mshangao.
\p
\v 15 Idana katika sikukuu irikogho desturi ya liwali kumrughua mfungwa umweri asaghu lwagha ni umati.
\v 16 Makati agho warikogho na mfungwa sugu irina jake Baraba.
\p
\v 17 Huwo makati warikogho wakwana andu amweri, Pilato wawakotia, "Ni ani mkundii dimrughae kwa ajili yenyu? Baraba angu Jesu awangwagha Kristo?
\v 18 Kwa sababu wamanyie kwamba wameria kumwhada kwa sababu ya chuki.
\p
\v 19 Makati warikogho akika kifumbinyi kwake cha hukumu, mkake wamdumie idedo na kudeda, "usabonye ilagho jojose kwa mundu uyo asadae hatia. Kwaani natesigwa nanganyi hata linu katika ndodo kwa sababu yake."
\p
\v 20 Niko wabaha makuhani na waghosi wawashawishie makutano wamlombe Baraba, na Jesu abwagwe.
\v 21 Liwali wawakotia, "Ni uyao kati ya wawi mkundinyi ni msighe kwenyu? wadedie, "Baraba."
\p
\v 22 Pilato akawaghoria, "Nimbonye wada Jesu awangha Kristo?" Wose wajibie, "msulubishe"
\v 23 Na ye akadeda, "kwa indoi, ni kosa ki wabonya? ela wazidie kufunya mbaha sauti hata ighu na nyanyi "msulubishe."
\p
\v 24 Huwo makati Pilato wachawona ndadimaa kubonya jojose, ela badala yake vurugu rakogho raanza, wawusie machi akaogha vala vake imbiri ya umati, na kudeda, "Nyi sida hatia ighu ya bagha ya mundu uyu asadae hatia. Yaguwenyi agha inyo weni."
\p
\v 25 Wandu wose wakadeda, "Bagha yake ike ighu yedu nawana wedu."
\v 26 Kisha wamrughia Baraka kwawhe, ela wamkaba mjijeredi Jesu na kumkabidhi kwawhe kughenda kusulubiwa.
\p
\v 27 Kisha askari wa liwali wakamwusa Jesu hata praitorio na kundi ibaha ja maaskari wose wakamkaia andu amweri.
\v 28 Wakamrua nguwo rake na kumrwisha kazu ya rangi itinikie.
\v 29 Kisha wakabonya taji ya minjwa na kuiwika ighu ya chongo chake, na wawikia mwanzi katika mkonu gwake gwa kujo. Wakabie magoti imbiri yake na kumkejeri, wakideda, salamu, mgimbikwa wa wayahudi?"
\v 30 Na wamchuie mada, na wawusie mwanzi nakumkaba chongonyi.
\v 31 Makati warikogho wakimkejeri, wamrua ijakazu na kumrwisha nguwo rake, na kumlongoza kughenda kumsulubisha.
\p
\v 32 Wachafuma shighadi, wamwonie mundu kufuma krene irina jake simeoni, ambae wamlazimishie kughenda nawo ili apate kuudwa msalaba gwake.
\v 33 Wachafika andu kuwangwagha Goligotha, maana yake, "ieneo ja ifuvu ja chongo."
\v 34 Wachafike siki ichanganyiwe ni nyogo anwe. Ela achatoa ndadimie kunywa.
\v 35 Makati warikogho wamsulubisha, wawaghiane mavazi ghake kwa kukaba kura.
\v 36 Na wakaie na kumguwa.
\v 37 Ighu ya chongo chake wawikie mashitaka dhidi yake ghakisomeka, uyu ni Jesu, mgimbikwa wa wayahudi."
\v 38 Wanyang'anyi wawi wasulubiwa andu amweri nae, umweri luwande lwa kujo kwake na umwi lwa kumosho.
\v 39 Waja warikogho wakiida wamdhihaki, wakiitingisha vongo vawhe.
\v 40 Na kudeda, We urikogho ukikunda kujinona ihekalu na kujiagha katika maruwa gha kadadu, kitesie mweni! ngelo ni mvalwa wa Mlungu, sea ndonyi ufume msalabenyi!"
\p
\v 41 Katika hali ijapeni wabaha wamakuhani warikogho wakimkashifu, aandu amweri na waandishi na waghosi na kudeda,
\v 42 "Watesia wamwi, ela ndadimagha kukitesia mweni. Ye ni mgimbikwa wa wayahudi. Na asee ndonyi kufuma msalabenyi, niko dimuamini.
\v 43 Wamtumaini Mlungu. Sighenyi Mlungu amtasie idana ngelo adakundi, kwa sababu wadedie, "Nyini mvalwa wa Mlungu."
\v 44 Na waja wanyang'anyi warikogho wasulubiwa andu amweri na ye pia wadedie madedo gha kumdhihaki.
\p
\v 45 Idana kufuma saa sita kurikogho na kira katika isanga jose hata saa kenda.
\v 46 Ichafika saa kenda, Jesu akalila kwa sauti mbaha, "Eloi, Eloi, lamathaba kithani?" akimaanisha, "Mlungu wapwa, Mlunguwapwa, kwa indoi wanisigha?"
\v 47 Makati agho baadhi warikogho wakakimsi aja wasikire wakadeda, "Adamwanga Eliya."
\v 48 Mara imweri wawhe wakimbie kuwusa sifongo na kuichura kinywaji kiwawie, akaiwika ighu ya mdi na kumneka apate kunywa.
\p
\v 49 Nawo wasalie wakideda, "mmsighenyi mwenikeri, sighenyi diwone ngelo Eliya dimawacha kumtesia."
\v 50 Kisha Jesu akalila sena kwa sauti mbaha na akaifunya ngolo yake.
\v 51 Guwa, pazia ja ihekalu jarashukie sehemu iwi kufumiria ighu hata ndonyi. Na ardhi ya tetemekie na lwala rikabarika viwande.
\v 52 Makaburi gharughukie, na miwi ya watakatifu wengi warikogho watungura dilo wafufuliwa.
\v 53 Wafumie makaburinyi baada ya ufufuo gwake, waingie mzi mtakatifu, na wakawoneka na wengi.
\p
\v 54 Basi uja akida wa waja ambawo warikogho wakimguwa Jesu wawonie itetemeko na malagho gharikogho ghakifumiria, wachuiwe ni wowa nanganyi na kudeda, "loli uyu wakogho mvlwa wa Mlungu."
\p
\v 55 Waka wengi warikogho wakimnughiria Jesu kufuma Galilaya ili kumtawaria warikogho aja wakiguwa kufuma kula.
\v 56 Miongonyi mwao wakogho Mariamu Magdalena, Mariamu mae Yakobo na Josefu, na wawe wa wana wa Zebedayo
\p
\v 57 Ichafika kwenyi, wachee mundu tajiri kufuma Arimathaya, wawangiwe Yusufu, ambae pia wakogho mwanafunzi wa Jesu.
\v 58 Wamghendia Pilato na kuulomba muwi gwa Jesu. Kisha pilato walagizie apate kunekwa.
\v 59 Yusufu wawusie muwi akaurugha na nguwo ya sufu itakate.
\v 60 Na akautungurisha katika ikaburi wishijake warikogho wajichonga lwalenyi.
\v 61 Mariamu Magdalena na Mariamu umwi wakoghoaja, wakakimsi kuelekea ikaburi.
\p
\v 62 Siku inughiriagha ambayo ikogho siku baada ya maandalio, wabaha wa makuhani na Mafarisayo wakwana andu amweri kwa Pilato.
\v 63 Wakamghoria, "Mzuri, didakumbuka kuwa makati uja mtee andu ako hai, wadedie, "Baada ya maruwa adadu dimawafufuka sena."
\v 64 Kwa huwo, lagiza kwamba kaburi jilindwe salama mpaka maruwa gha kadadu. Vinginevyo, wanafunzi wake wadima kucha kumuiwa na kudeda kwa wandu, wafufuka kufuma kwa wafwie,' Na uteegwa mwisho dimawaka uzamie kuliko uja wa kilindiri."
\p
\v 65 Pilato akawaghoria, "Wusenyi walinzi. Ghendenyi mkabonye hali ya usalama ngelo mdimagha."
\v 66 Huwo waghendie na kubonya ikaburi kuka salama, igwe jagongiwe mhuri na kuwika walinzi.
\c 28
\cl Sura 28
\p
\v 1 Baadae kwenyi maruwa gha sabato, iruwa jirikogho jikichwa kuelekea maruwa gha kilindiri gha juma, Mariamu, Magdalena, na uja Mariamu umwi wachee kujiwona kaburi.
\v 2 Guwa kulikogho na itetemeko baha, kwa sababu malaika wa Mzuri wasee na kujivingirisha jija igwe, kisha akajikaia.
\v 3 Sura yake ikogho sa ya umeme, na mavazi ghake ghakogho gha chokwa sa theluji.
\v 4 Waja walinzi wachuiwe ni hofu na kuka sa wa fwie.
\p
\v 5 Uja malaika akawafafanulia waja wandu waka akideda, "msaboe kwa maana naichi kuwa mdalola Jesu, wasulubiwe.
\v 6 Ndeko aha, ela wafufuka sa andu wawaghoria. Chonyi mwone andu ambako Mzuri watungurie.
\p
\v 7 Ghendenyi haraka mkawaghorie wanafunzi wake, 'Wafufuka kufuma kwa wafwie,' guwa wa wakiria Galilaya. Uko niko dimamwamwona' guwa nyi nawaghoria."
\p
\v 8 Waja wandu waka wangie aja kaburinyi haraka wakika na hofu na furaha mbaha, na wakimbia kuwaghioria wanafunzi wake.
\v 9 Guwa Jesu akakwana na kudeda, "salamu" waja wandu waka wachee na kuwhada maghu ghake, na kisha wakamtasa.
\v 10 Kisha Jesu akawaghoria, "Msaboe ghendenyi mkawaghorie wambari wapwa wakirie Galilaya. Uko dimawawaniwona.
\p
\v 11 Makati waja wandu waka warikogho wakoghenda, guwa baadhi ya walinzi waghendie mzin yi na kuwaghoria wabaha wa makuhani malagho ghose gharikogho ghafumiria.
\v 12 Nawo makuhani warikogho wakwana na waghosi na kujijadili ilagho amweri nawo, wafunyikie kibaha cha pesa wa waja askari.
\v 13 Na kuwaghoria, "waghorienyi wamwi kuwa, Wanafunzi wa Jesu wachee kio wakauiwa muwi gwa Jesu makati isi dakogho datungura.'
\v 14 Ngelo taarifa ihi dimawafikia liwali, isi dimadamshawishi na kuwanjia inyoi mashaka ghose."
\v 15 Kwa huwo waja askari wakaziwusa rija pesa na kubonya sa andu warikogho waelekezwa. Habari ihi ikanea nanganyi kwa wayahudi na yakee huwo hata linu.
\p
\v 16 Ela waja mitume kumi na imweri waghendie Galilaya, andu kuko luja lughongo lukirogho wawaelekeza.
\v 17 Nawo wachamwona, wamtakasie ela baadhi yawhe wawonie shaka.
\v 18 Jesu akacha kwawwhe akawaghoria akideda, "Na nekigwa mamlaka ghose dunienyi na mbingunyi.
\v 19 Kwa huwo ghendenyi mkawabonye mataifa ghose kuka wanafunzi. Wabatizenyi katika irina ja Aba, na ja mvalwa, na ja Roho wa kuela.
\v 20 Wafundishenyi kughatii malagho ghose niwaamuru, hata mpaka mwisho gwa dunia.