dav_reg/67-REV.usfm

550 lines
61 KiB
Plaintext

\id REV
\ide UTF-8
\h Ufunuo
\toc1 Ufunuo
\toc2 Ufunuo
\toc3 rev
\mt Ufunuo
\c 1
\cl Sura 1
\p
\v 1 Ughu ni ufunuo gwa Jesu Kristo ambagho Mlungu wamnekie ili kuwabonyiria watumishi wake malagho ambagho lazima ghafumirie kavui. Aghamanyikana kwa huduma malaika wake kwa mtumishi wake Yohana.
\v 2 Yohana wafunyie ushuhuda gwa kila kilambo adiwonie kuhusiana na ilagho ja Mlungu na kwa ushuhuda guwafunyie kuhusu Jesu Kristo.
\v 3 Wabarikiwa ye asomagh kwa sauti na waja wose wasikiragha madedo ga ulodi ugu na kutii cha andikwa aho kwa sababu matuku gha karia avui.
\p
\v 4 Yohana kwa makanisa saba gheko Asia: neema ike kwenyu na amani kufuma kwake weko, warikogo, na kufuma kwa ngolo saba weko imbiri ya kifumbi chake cha enzi.
\v 5 na kufuma kwa Jesu Kristo ambaye ni shahidi mwaminifu, mvalwa wa kwanza wafwie, na Mzuri wa waflme wa dunia ihi. Kwake ye adikundagha na wadiwika huru kufuma katika zambi redu kwa mbaga yake.
\v 6 Wadibonya kuka wa zari, makuhani wa Mlungu na Aba wake. Kwake kuka utukufu na ndighi milele daima Amina.
\p
\v 7 Nguwa, adacha na madulu, kila jimwonaga, pamoja na wose wamdungie. Na mbari rose ra dunia wabonyezagha kwake. Ndio Amina.
\v 8 "Nyi ni Alfa na omega" adeda Mzuri Mlungu, "Ye weko, na warikogho, na ambaye adacha, wekona ndigi."
\p
\v 9 Nyi Yohana - mbari yenyu na umweri anayeshiriki andukumweri na inyo katika mateso na wuzuri na uvumilivu thabiti gako katika Jesu, Na rikogo katika kisiwa chiwangwega patimo kwa sababu ye idedo ja Mlungu na ushuhuda kuhusu Jesu.
\v 10 Narikogho katika ngolo iruwa ja Mzuri. Nikasikira nyuma yapwa sauti ya ighu kama ya tarumbeta.
\v 11 Ikideda, "andika katika kitabu ugawonaga, na ugadume kwa makanisa saba, kugenda Efeso, kugenda Smirna, kugenda pergamo, kugenda Thiatra, kugenda sardi, kugenda Philadelphia, na kugenda Laodikia."
\v 12 Nikaguka kuwona ni sauti yani arikogo akideda nanyi na kuaguka nikawona kinara cha dhahabu cha taa saba.
\v 13 Galigadi ya kinara cha taa warikogo umweri kama mwana wa Adamu, warwa kanzu ndacha ya sea ndonyi ya magu gake, na mkanda gwa dhahabu kuzuluka laga yake.
\v 14 Chogo chake na jiwi rake ririkogo rwa chokwa kama sufu rachokwa kama theluji, na meso gake garikogo kama mwali gwa modo.
\v 15 Mwadio gake garikogho kama shaba ya suguliwa sana. Kama shaba ambayo yameria kuidishigwa katika modo, na sauti yake yarikogo kama sauti ya machimengi gatiririkaga kwa kasi.
\v 16 Warikogho wawadiria nyeri nyeri sabab katika mkonu gwake gwa kujo, na kufuma momunyi kwake kwarikogho na luamba gubirie gokona kubia kawi. Wushu gwake gwarikogo galiela kama mwanga gwa iruwa.
\v 17 Nikamwona, mkangwa mganyi kwake kama mndu wafwa Akawika mkonu gwake gwa kujo igu yapwa na kudeda, usaboe, "Usaboe? Nyi ni wa imbiri na mwisho,
\v 18 na ambaye nidaishi. Narikogo nafwa, ela nguwa, nidaishi milele! Na nekonaro funguo ra mauti na kuzimu.
\v 19 Kwa huwo, gaandike, geko indana, na gaja gafumiriaga baada ya aga.
\v 20 Kwa maana gakimbisa kuhusu nyerinyeri saba wariwona katika mkonu gwapwa gwa kujo, na chija kinara cha dhahabu cha saba: nyerinyeri saba ni malaika waja makanisa saba, na kianara cha saba ni gaja makanisa saba.
\c 2
\cl Sura 2
\p
\v 1 Kwa malaika wa kanisa la Efeso andika: Aga ni madedo ga uja awadaga rija nyenyeri saba katika mkonu gwakegwa kujo. Ye agendaga kati ya vinara va dhahabu va taa saba adeda huwu,"
\v 2 Naichi ambacho wabonya na bidii yako ya chagu na uvumilivu, na wawageria wose wakiwangaga kuwa mlodi na kumbe siwo, na wawonekanaga kuwa ni watee.
\v 3 Naichi okona subira na uvumilivu, na waidia mengi kwa sababu ya irina japwa, na ndokolie bado.
\v 4 Ela iji nijo rikogho dhidi yako, wagusiga lukundo lwake lwa kwanza.
\v 5 Kwa huwo kumbuka wanguia ukatubu na kubonya mabonyo wagabonya tangu imbiri, ukatubu nichaga kwako na kukiija kinara chako kufuma andu kwake.
\v 6 Ela we ukona iji, urea gaja ambago wanikolai wagabonya, ambago hata nyi nageria.
\v 7 Kama akona kudu, sikiria gaja ambago ngolo adedagoria makanisa. Na kwa ye ashindae nimnekaga kibali cha kuja kufuma katika mdi gwa mbanana gwako katika paradiso ya Mlungu.'
\p
\v 8 "Kwa malaika wa kanisa ja smirna andika: 'Aga ni madeddo ga uja ambaye ni mwanzo na mwisho ambae wafie na kwa mbanana:
\v 9 "'Namanya mateso gako na umasikini gwako (ela we ni tajiri), na tee ra waja wakiwangaga ni wayahudi (ela sio-awo ni sinagogi ja shetani).
\v 10 Usaboe mateso ga kupataga. Nguwa ibilisi wakundi kuwadaga baadhi yenyu gerezanyi ili mpate kugeriwa, na mtesekaga kwa maruwa ikumi. Kanyi waaminifu hadi kufwa, na niwaneliaga taji ya banana.
\v 11 Kama okona kudu, sikiria ngolo awagoriaga makanisa. Ye ashindaga apataga madhara ga mauti ya kweli.'
\p
\v 12 "Kwa malaika wa kanisa ja pergamo andika: 'Aga nigo adedaga ye eko nawo ugo luamba hubirie, gokona kubia kawi.
\v 13 "'Namanya andu uishi -andu kuko kifumbi cha enzi cha shetani. Hata huwo we wawada sana irina japwa na ndui kamie imani yako iko kwapwa, hata iruwa jija ja Antipasi shahidi wapwa, mwaminifu wapwa abogiwe miongonyi mwenyu aho niko shetani adaishi.
\v 14 Ela neko na malago matini dhidi yako: akonago uko wandu wawadaga mafundisho ga Baalamu, ye wamfundisha Balaki kuwika vikwazo imbiri ya wana wa Israeli, ili waje vindo vyafumiriagwa sadaka kwa Milungu na kuzini.
\v 15 Katika hali iyo iyo, hata we okonago baadhi yawe wawadaga mafundisho ga Wanikolai.
\v 16 Basi tubu! Na ukasebonya huwo, nacha upesi, na nibonyaga wuda dhidi yawe kwa luemba lufumaga katika lwaka lwaka.
\v 17 Kama okona kudu, sikiria Ngolo awagoriaga makanisa. Ye ashindaye, mneleaga baadhi ya ija mana yambisigwa, pia nimnekaga igwe ja chokwa jaandikwa irina ipya igu ya igwe, irina ambajo ndakundae ajimanyaga isipokuwa ye wajiwokera.'
\p
\v 18 "Kwa malaika wa kanisa ja Thiatira andika: "Aga nigo madedo ga mwana wa Mlungu, ye eko na meso gake kama mwali gwa modo, na mawadio kama shaba yasuguliwa sana:
\v 19 "'Namanya ambacho wabonya - lukundo lwake na imani na huduma na uvumilivu gwake thabiti, na kwamba chija wakibonya huwu kavui ni zaidi ya chija wachibonya imbiri.
\v 20 Ela nekonajo iji dhidi yako: udavumilia mka Yezebeli akiwangaga mweni mlodi mka. Kwa mafundisho gake, adawapotosha watumishi wapwa kuzini na kuja vindo va funyigwa sadaka kwa sanamu.
\v 21 Namneka taimu gwa kutubu, ela ndeko tayari kuubia uovu gwake.
\v 22 Nguwa! nimnekaga kuko kitanda cha maradhi, na waja wabonyaga uasherati na ye kuko mateso gabirie, vingine vyo watubu kwa wachibonya.
\v 23 Niwakabaga wana wake wafwa na makanisa gose wamanyaga kwamba nyi niye achunguzaye mawazo na tamaa. Nimnekaga kila umweri wangu kadiri ya matendo gake.
\v 24 Ela kwa baadhi yenyu mwabakia katika Thiatira, kwa waja wose msawadaga fundisho iji, na msaichi chija ambacho baadhi kuwanga mafundisho ga shetani, na deda kwenyu, siwikaga igu yenyu mzingo gogose.'
\v 25 Kwa ilago jojose, lazima mke imara mpaka andu nichaga.
\v 26 Yeyose ashindaga na kubonya chija nachibonya hadi mwisho, kwake ye nimnekaga mamlaka igu ya mataifa.
\v 27 Wadima watawala kwa chagu cha chuma, kama mabakuliga ndoe, wadima wa wachukanya vipande vipande.
\v 28 Kama andunawokera kufuma kwa Aba wapwa, nimnekaga pia nyeri nyeri ra asubuhi.
\v 29 Ukaka na kudu, sikira chija ambacho Ngolo adagoria makanisa.
\c 3
\cl Sura 3
\p
\v 1 Kwa malaika wa kanisa la sardi andika: madedo ga uja asikiraga rija Ngolo sabab ra Mlungu na nyeri nyeri saba Namanya ambacho wabonya. Okona sifa ra kuka mbanana, ela u-mfu.
\v 2 Wukia na kuimarisha gabakia, ela geko kavui kufwa kwa sababu sigawonie mabonyo gake gakamilika mesonyi kwa Mlungu wapwa.
\v 3 Kwa huwo, kumbuka, gaja wagawokera na kusikira. Gatii na kutubu, ela ukasawekia, nichaga kama muvi, na ndumanyaga saa ijayo ni chaga igu yako.
\v 4 Ela koko marina matini ga wandu katika sardi ambago ndawachafuye nguwo rawe. Wasalega anduku amweri nanyi, warwa nguwo rachokwa, kwa sababu wastahili.
\v 5 Ye ashindaga arushigwaga mavazi gachokwa, na kamwe sjifutaga irina jake kufuma katika kitabu chambanana, na mijitajaga irina jake imbiri ya Aba wapwa, na imbiri malaika.
\v 6 Ukaka na kudu, sikiria Ngolo agoriaga makanisa.
\p
\v 7 "Kwa malaika wa kanisa la Philadefia andika: madedo ga eko matakatifu na loli - eko na funguo ra Daudi, wafunguaga na ndamkundaa afunguaga, wafungaga na ndamkondaye adimaga kufungua.
\v 8 Namanya ambacho wabonya. Nguwe na kuwikia imbiri yako mlango gwafunguliwa ambao ndakundae adimaga kugufanya. Namanya okonaro ndigi kidogo, ela watii madedo gapwa na ndujilegie irina japwa.
\v 9 Nguwa wose weko wa sinagogi ja shetani, waja wadedaga wo ni wayahudi na kumbe siwo, badala yake wadaembia. Niwabonyaga wache na kusujudu imbiri ya magu gako, na wamanyaga ya kuwa nakukunda.
\p
\v 10 Kwa kuwa watunza amri yapwa kwa uvumilivu gwa uthabiti, nadima nakulinda pia katika saa ya kugeriwa ambayo idacha katika urimwengu gose, kuwageria waja wose wakaiga katika isanga.
\v 11 Nacha upesi. Wadiria sana chija wekonacho ili asake mndu wa kuiwusa taji yako.
\v 12 Nimbonyaga ye ashindaga kuka nguzo katika hekalu ja Mlungu wapwa, na ndafumaga shigadi kamwe. Nijiandikaga kwake irina ja Mlungu wapwa, irina ja mzi wa Mlungu wapwa (Yerusalemu mpya, guseaga ndonyi kufuma mbingunyi kwa Mlungu wapwa) na irina japwa ipya.
\v 13 Ye eko na kudu, na asikire ambacho Ngolo adadeda kwa makanisa.'
\p
\v 14 "Kwa malaika wa kanisa ja laodikia andika: madedo gake eko Amina, wakutegemewa na shahidi mwaminifu Mzuri igu ya uumbaji gwa Mlungu.
\v 15 Namanya ambacho wabonya, na kwamba we si baridi wala modo, natamani kwamba wakaga wabaridi au modo!
\v 16 Huwo kwa sababu we ni vuguvugu, sio modo wala baridi nikudaikaga ufume lwakenyi kwapwa.
\v 17 Kwa kuwa wadeda, "Nyi ni tajiri, naka na mali nyingi na sihitaji chochose." Ela nduichikwamba we ni duni sana, wakuhuzunikiwa, maskini, kipofu na utu.
\v 18 Sikiria ushauri kwapwa: Nguwa kwapwa dhahabu yasifisigwa kwa modo ili upatekuka tajiri, na nguwo rachokwa ra kumetameta ili ukirushe mweni na usabonyere waya gwa utu gwako, na mavuda ga kuvia katika meso gako upate kuwona.
\v 19 Kila ni mkundaga, namuelekeza na kuwafundisha namna iwapasavyo kuishi; kwa huwo, kuka mloli na kutubu.
\v 20 Nguwa nasimama katika malengo na kubisha. Yoyose asikanaga sauti yapwa na kufungua malago, nichaga na kungia nyumbenyi kwake, na kuja vindo naye na ye pamojananyi.
\v 21 Ye ashidaga, nimnekaga haki ya kukaia ndonyi pamoja nanyi igu ya kifumbi chapwa chaenzi, kama waja nyi nashindana kukaia ndonyi andu amweri na Aba wapwa igu ya kifumbi chake caha enzi.
\v 22 Ye eko na kudu, na asikirie ambacho Ngolo agorie makanisa.
\c 4
\cl Sura 4
\p
\v 1 Baada ya malago ni kanguwa, nikawona kuwa malago gwafunguliwa mlungunyi. ija sauti imbiri, ikadeda nanyi kama tarumbeta, ikideda, "choo aha, nikubonyereaga gafamiriaga baada ya malago aga."
\v 2 Mara imweri narikogo katika ngolo, nikawona kwarikogo na kifumbi cha enzi chawikigwa mlungunyi, na mndu wa chikaria.
\v 3 Umweri warikogo waachikaria wawonekane kama igwe yaspi na akiki. Kwarikogo na upinde gwa mvua gwa chizunguluka kifumbi cha enzi. Upinde gwa mvua gwawonekana kama zamaradi.
\v 4 Kukizunguluka kifumbi cha enzi kwarikogo na vifumbi va enzi vimwi ishirini na vinna, na wakaia kwenye vifumbi va enzi warikogo wazee ishirini na vinne, warwa nguwo rachoka na taji ra dhahabu vingonyimwawe.
\v 5 Kufuma katika kifumbi cha enzi kwafumie miali yaradi mungurumo na radi. Taa saba rarikogo rikiwaka imbiri ya kifumbi, taaambaro ni ngolo saba ra Mlungu.
\v 6 Sena imbiri ya kifumbi cha enzi warikogho na bahari, irikogo mwari kama kiloowose kuzunguluka kifumbi cha kwarikogo na wekona mbanana banana, wachua meso imbiri na nyuma.
\v 7 Kiumbe wa kwanza wekona mbanana warikogo kama shimba, kiumbe wa kawi okona mbanan hokona kama ndama kiumbe wa kadadu okona mbanana okona na wushu kama gwa mwanadamu, na uja okona mbanan wa kana okona tai amburukaga.
\v 8 Viumbe wekona mbanana bana kila amweri warikogo na mawawa sita, wachua meso igu na ndonyi yake. Kiona dime ndawasigaga kudeda. "Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu ni Mzuri Mlungu, mtawala igu na ya wose, warikogo na weko na wadime wacha."
\p
\v 9 Kila wakati viumbe wekona mbanana wakifunya utukufu, heshima, na kushukuru imbiri ra weko wakaria andu icho kifumbi cha enzi, ya aishie milele na daima.
\v 10 Wazee ishirini na bana wakisujudu weni imbiri yake wachikaria kifumbi cha enzi, wakigogoma ndonyi kwake aishiye milele na daima na kudega ndonyi taji rawo imbiri ya kifumbi cha enzi wakideda,
\q1
\v 11 Wastahili we Mzuri wedu na Mlungu wedu, kuwokera Utukufu na heshima na ndigi, kwa kuka waviumba vilambo vose, na kwa mapenzi gako, varikogo na vaumbigwa."
\c 5
\cl Sura 5
\p
\v 1 Kisha nikawona katika mkonu gwa kujo gwa uja weko waka katika kifumbi cha enzi, gombo jaandikwa imbiri na nyuma, na jarikogo ja kuumbwa mihuri saba
\v 2 Nikawona malaika wekona ndigi akihubiri kwa sauti mbaha "Nami astahiliye kujifungua gombo na kuchikunya mihuri yake?"
\v 3 Ndakudae mndu mlungunyi au dunienyi au ndonyi ya dunia wadima kujifungua gombo au kujisoma.
\v 4 Nikalila kwa virea kwa kuka ndakupatikana yeyose wastahili kujifungua gombo au kujisoma.
\v 5 Ela umweri wa wazee akamgoria "Usalile. Kuwashimba wa mbari ya Yuda, shina ja Daudi washindana wadima kujifungua gombo na mihuri yake saba."
\v 6 Kati ya kifumbi cha enzi na wekona mbanana bana na miongonyi mwa wazee, ni kawona mwana ng'ondi wasimama, akiwonekana kama wa bwaga. Warikogo na chuembe saba na meso saba - iri ni ngolo saba ra Mlungu radumwa dunienyi kose.
\v 7 Akagenda akajiwusa gombo kufuma katika mkonu gwa kujo gwa uja eko waka katika kifumbi cha enzi.
\v 8 Akijiwusa gombo, wekona mbanan bana wazee ishirini na bana wakigogoma hadi ndonyi imbiri ya, mwanang'ondi. Kila umweri wekona na kinubi na ibakuli ja dhahabu jachua uvumba ambago ni malombi ga waamini.
\v 9 Wakibora chumbo mpya: "Unastahili kulitwaa gombo na kunifungua muhuri rake, kwa kuwa ulichinjwa, na kwa mbaga yako ukamnugulia Mlungu wedu wa kila mbari, lugha, jamaa na isanga.
\q1
\v 10 Ukawabonya wazuri na makuhani kwa ajili ya kumtumikia Mlungu wedu, awo watawalaga igu ya isanga."
\p
\v 11 Kisha nikaguwa na mkasikira sauti ya malaika wengi kuzunguluka kifumbi cha enzi - idadi yawe 200,000,000 na wekona mbanana na wazee.
\v 12 Wadeda kwa sauti mbaha, "Astahili mwana ng'ondi ambae wachinjwa kuwokera uwezo, utajiri, hekima, ndigi, heshima, utukufu, na sifa.
\p
\v 13 Nikasikira kila chaumbigwa cheko mlungunyi na dunienyi na ndonyi ya isanga na igu ya bahari. Kilambo ndenyi yake kikideda, "Kwake sifa, heshima, utukufu, na ndigi ya kutawala milele."
\p
\v 14 Wekona mbanana bana wakadeda, "Amina!" na wazee wakagogoma ndonyi na kuabudu.
\c 6
\cl Sura 6
\p
\v 1 Nikanguwa wakati mwana ng'ondi akifungua moja ya rija muhuri saba, ni kasikira umweri wa waja wekona mbanana bana akadeda kwa sauti ikifwanana na radi, "choo!"
\v 2 Nikanguwa na kwarikogo na farasi wachokwa! wajokwa wekona bakuli, na akanekewa taji. Akafuma kama mshindi ashindae ili ashinde.
\v 3 Wakati mwana ng'ondi akafungua mhuri gwa kawi, nikasikira wekona mbanana wa kawi akideda, "choo!"
\v 4 Kisha farasi umwi akafumiria - atinikie kama modo. Wamjoka wanekwa ruhusa ya kufunya amani dunienyi, ili kwamba wadu wachinjane. Uyu wa mjoka wanekwa luamba mbaha.
\v 5 Wakati mwana ng'ondi akifungua guja muhuri gwa kadadu, mkasikira wekona mbanana wa dadu akideda, "Choo!" Nikawona farasi wa chilu, nawamjoka akona mizani mkonunyi kwake.
\v 6 Nikasikira sauti ikiwonekana kuka ya umweri wa waja wekona mbanana ikideda, "Kibaba cha ngano kwa dinari imweri na vibaba vidadu va shajiri kwa dinari imweri. Ela asagadhuru mavuda na divai."
\v 7 Wakati mwana ng'ondi akifungua muhuri gwa kana, ni nikasikira sauti ya wekona mbanana wa kana akideda, "Choo!"
\v 8 Kisha nikawona farasi wa kijivu. Wamjoka wawangwaga irina jake mauti, na kuzimu kwarikogo kukimnuga. wanekwa mamlaka igu ya robo ya isanga, kubwaga kwa luamba kwa jala na wakongo, na kwa wanyamandu wa mwitu katika isanga.
\p
\v 9 Wakati mwana ng'ondi akifungua muhuri gwa kasanu, nikawona ndonyi ya madhabahu ngolo ra waja wakogo wabwagwa kwa sababu idedo ja Mlungu na kutokana na ushuhuda waguwada kwa uthabiti.
\v 10 Wakalila kwa sauti mbaha, "Mpakali, mtawala wa vose, mtakatifu na mloli, wadima wahukumu wakaga ugu ya isanga na kulipiza kisasi mbaga yedu?"
\v 11 Kisha kila umweri akanekwa kanzu ya chokwa na wakagoriwa kuwa wadapaswa kuweseria kidogo hata anduitimiaga kiwaka hesabu kamili ya watumishi wambawe na mbari rawe ra kiwaka nara kiwomi andu itimiaga ambawo wabwagaga, kama wuja ambavyo awo wabwaga.
\p
\v 12 Wakati mwana ng'ondi akifungua muhuri gwa sita, nikaguwa na kwarikogo na tetemeko ibaha. Iruwa jikaka ja chilu kama ingunia ja singa, na mweri mlazi gukaka kama mbaga.
\v 13 Nyeri nyeri ra mlungunyi rikagwa katika isanga, kama mtinyi upukutishavyo matunda gake ga wakati gwa mbeo, gukitikiswa na kimbunga.
\v 14 Anga jikafuma kama gombo iliyovirngishwa. Kila lugongo na kisiwa vikahamishwa andu kwake.
\v 15 Kisha wazuri wa isanga na wandu maarufu na majemedari, wekona ndigi, na kila umweri weko mtumwa na huru, wake kimbisa katika mapango na katika miamba ya chugongo.
\v 16 Wakidedia chugungo na miamba, "Dinguiyenyi! Dimbisenyi dhidi ya wushu gwake akaga andu kifumbi cha enzi na kufuma kirea cha mwana ng'ondi.
\v 17 Kwa kuka iruwa ja siku ya ghadhabu yawe yawechia, na ni uyao adimaga kusimama?
\c 7
\cl Sura 7
\p
\v 1 Baada ya ga nikawona malaika bana wasimama koko kona ina ra dunia, wazuia mbeo inara isanga kwa ndigi ili kwamba kusake na mbeo ivumaga katika isanga, igu ya bahari au dhidi ya mdi gogose.
\v 2 Nikawona malaika umwi akicha kufuma mashariki, arikogo na muhuri gwa Mlungu eko mbanana. Akalila kwa sauti mbaha kwa malaika bana ambawo wanekiwe ruhusa ya kudhuru isanga na bahari:
\v 3 "Msadhuru isanga, bahari au mdi mpaka anduikaga dameria kuwika muhuri katika paji ra vingo va watumishi wa Mlungu wedu."
\v 4 Nikasikira idadi ya waja wakugwa muhuri 144,000, ambawo wakubwa muhuri kufuma kila mbari ya wandu wa Israeli.
\v 5 12,000 kufuma katika mbari ya Yuda wakubwa muhuri 12,000 kufuma katika mbari ya Rubeni, 12,000 kufuma katika mbari ya Gadi.
\v 6 12,000 kufuma katika mbari ya Asheri, 12,000 kufuma katika mbari ya Naftali 12,000 kufuma katika mbari ya manase.
\v 7 12,000 kufuma mbari ya simoni, 12,000 kufuma mbari ya kawi, 12,000 kufuma mbari mbari ya isakari,
\v 8 12,000 kufuma mbari ya Zebuloni, 12,000 kufuma mbari ya Yusufu, na 12,000 kufuma mbari ya Benyamini wakumbwa muhuri.
\p
\v 9 Baada ya malago aga nikanguwa, na kwarikogo na umati mbaha ambago ndakudae mndu wadima katadigwa - kufuma kila isanga, mbari, jamaa, luga - wasimama imbiri ya kifumbi cha enzi na imbiri ja mwana ng'ondi. Warikogo warwa kanzu achokwa na wokona matawi ga mitende mikonunyi kwawe,
\v 10 na warikogo wakiwanga kwa sauti ya igu "Wokovu ni Mlungu ambaye waka katika kifumbi cha enzi, na kwa mwana ng'ondi!"
\v 11 Malaika wose warikogo wasimama kuzunguluka kifumbi cha enzi na kuwazunguluka waja wazee andukuamweri na wekona mbanana bana, wakigogoma ndonyi ndeonyi na wakiwika wushu rawe igu ya ndoe imbiri ya kifumbi cha enzi na wakimwabudu Mlungu,
\v 12 Wakideda, "Amina! utukufu, hekima shukurani, heshima, uwezo na ndigi vike kwa Mlungu wedu milele na milele Amina!
\p
\v 13 Kisha umweri wa waja wazee akanikotia, "awa ni wakani warwa kanzu rachokwa na wafuma hao?
\v 14 Nikamgoria, "Mzuri mbaha, waichi we," na akamgoria, "awa ni waja wafuma katika dhiki mbaha. Warifala kanzu rawe na kuribonya rachokwa kwa mbaga ya mwana ng'ondi.
\v 15 Kwa sababu ihi, weko imbiri ya kifumbi cha enzi cha Mlungu, na wanamwabudu ye kio na dima katika hekalu jake. Ye waka igu ya kifumbi cha enzi asambazaga hema yake igu yawe.
\v 16 Ndawawonaga njala sena, wala kau sena. Iruwa ndijiwakoraga, wala joto ja kukora.
\v 17 Kwa kuwa mwana ng'ondi eko gadigadi ya kifumbi cha enzi akaga mlisha wawe, na adima waongoza katika chem chem ya machi ga mbanana, na Mlungu ainjaha kila mbori katika meso gawe."
\c 8
\cl Sura 8
\p
\v 1 Wakati mwana ng'ondi akifungua muhuri ya saba kuka na ukimya mlungunyi takribani nusu saa.
\v 2 Kisha nikawona malaika saba wasimama imbiri ya Mlungu na wakanekwa tarumbeta saba.
\v 3 Malaika umwi akcha wawadiria bakadu ya dhahabu yekona uvumba, wasimama madhabahunyi. Akanekwa uvumba mwingi ili kwamba agufunye pamoja na malombi ga waamini wose katika madhabahu imbiri ya kifumbi cha enzi.
\v 4 Mosi gwa guja uvumba achukumweri na malombi ga waamini gakajoka igu imbiri ya mlungu kufuma mkonunyi mwa malaika.
\v 5 Malaika akawusa bakuli ja uvumba na akajichura modo kufuma kuko madhabahu. kisha akajidaga ndonyi igu ya isanga, na kukafumiria sauti ra radi, miale ya radi na tetemeko ja isanga.
\p
\v 6 Waja malaika saba ambawo warikogo na tarumbeta saba wakaka tayari kurikaba.
\v 7 Malaika wa kwanza akaikaba tarumbeta yake, na kukafumiria mvua ya magwe na modo gwachanganyikana na mbaga. vikadagwa ndonyi katika isanga ili kwamba theluthi yake iye, theluthi ya midi ikaya na nyasi rose ra kijani rikaya.
\v 8 Malaika wa kawi akakaba tarumbeta yake, na kilambo kama lugongo mbaha gwarikogo gudya kwa modo gukadagwa baharinyi. Theluthi ya bahari ikaka mbaga,
\v 9 Theluthi ya viumbe mbanana katika bahari vikafwa, na theluthi ya mdi rikanoneka.
\v 10 Malaika wa kadadu akaikaba tarumbeta yake, na nyeri nyeri mbaha ikangwa kufuma mlungunyi, ikimulika kama kurunzi, igu ya theluthi ya mieda na chem chem ra machi.
\v 11 Irina ja nyeri nyeri ni pakanga. Theluthi ya machi ikaka pakanga, na wandu wengi wakafwa kutokana na machi garikogo gabirie.
\v 12 Malaika wa kana akakaba tarumbeta yake, na theluthi ya iruwa ikakabwa, anduku amweri na theluthi ya mweri na theluthi ya nyeri nyeri. Kwa huwo theluthi yavose ikaguka kuka kira, theluthi ya dima na theluthi ya kio ndavikea na mwanga.
\p
\v 13 Nikanguwa na nikasikira tai eko kuwa adamburuka katika anga, akiwanga kwasauti mbaha, "Ole, ole, ole kwa waja wakaga katika isanga, kwa sababu ya mlipuko gwa tarumbeta ili ilio saidia ambayo yeko wakikukaba nawika wadadu.
\c 9
\cl Sura 9
\p
\v 1 Kisha malaika wa kasanu akakaba tarumbeta yake. Nikawona nyeri nyeri kufuma mlungunyi irikogo yangwa koko isanga. Nyeri nyeri akanekwa ufunguo gwa ishimo jalekeaga kuko ishimo jaseko na mwisho.
\v 2 Angafungua ishimo jiseko na kikomo, namosi guka joka igu kwa safu kufuma ndenyi ya ishimo kama mosi kufuma katika tanuru mbaha. Iruwa na anga vikabatilika vikaka kira kwa sababu ya mosi gwafuma ishimonyi.
\v 3 Ndonyi ya mosi nzige wakafuma kucha igu yaduma, nawo wanekwa ndigi kama ija ya nge igu dunia.
\v 4 Wakagoriwa kutodhuru manyasi katika isanga au mmea gogose gwa kijani au mdi, isipokuwa tu wandu ambawo ndawakogo na muhuri gwa Mlungu katika paji ra wushu rawe.
\v 5 Ndawanekiwe ruhusa ya kwabwaga awo wandu, bali kuwatesa tu kwa miezi misanu. Uchungu gwawe gwarikogo kama guja gwa kulumwa na nge amlumaga mndu.
\v 6 Katika maruwa ago wandu walolaga kufwa, ela ndawapataga. Wadima watamari kufwa, ela kufwa kwadima kwa wakimbia.
\v 7 Nzige wafwanana na farasi waandaliwa kwa wuda. Kuko vongo vawe kurikogo na kilambo kama taji ya dhahabu na wushu gwawe gwarikogo kama gwa binadamu.
\v 8 Warikogo na nywi kama ra waka na magego gwa garikogo kama shimba.
\v 9 Warikogo na laga kama lag ra chuma na sauti ya mwawa gawe garikogo kama sauti ya mangari mengi ga wuda na farasi wakimbiaga kugenda wudenyi.
\v 10 Warikogo na mierezi ikomaga kama nge katika mirenzi yawe warikogo na ndigi ya kudhuru wandu kwa mieri isanu.
\v 11 Warikogo naye kama Mzuri igu yawe malaika wa ishimo jiseko na mwisho. Irina jake katika kiebrania ni Abadoni, na katika kiyunani au irina Apolioni.
\p
\v 12 Ole ya imbiri yaida. Nguwa! Baada ya iji koku maafa awi gadecha.
\p
\v 13 Malaika wa sita akakba tarumbeta yake, na nikasikira sauti ikifuma katika pembe ya madhabahu ambayo yeko imbiri ya Mlungu.
\v 14 Sauti ikamgoria malaika wa sita akona tarumbeta "Wasigirie malaika bana ambawo wafungwa katika mweda mbaha Efrata."
\v 15 Malaika waja bana warikogo waandaliwa kwa saa iyo maalumu, iruma iyo, na mwaka ugo, wakasigwa wabwagwe theluthi ya wanadamu.
\v 16 Idadi ya maaskari warikogo igu ya farasi yarikogo 200,000,000. Nasikira idadi yawe.
\v 17 Huwu niko niwonie farasi katika maono gapwa na waja wajokie igu yawe. Laga rawe rarikogo ritinikie kama modo, bluu yawirwa na njano isawirunye. Vongo va farasi vifwanana na vongo va shimba na momu gwwe gukafuma modo, mosi na salfa.
\v 18 Theluthi ya wanadamu wabwagiwe na aga mapigo adadu: modo, mosi, na salfa ifumie katika momu yawe.
\v 19 Kwa kuwa ndigi ya farasi yarikogo katika momu yawe na katika mierezi yawe -- kwa kuwa mierezi yawe yarikogo kama choka, na warikogo na vongo ambavyo watumie kuwakumba majeraha wanadamu.
\v 20 Wandu wabaki, waja ambawo warikogo ndawaisire bwagwa na mapigo aga, ndawatubuye matendo gawe warikogo wabonya, wala ndawasigie kuabudu mapepo na Mlungu ya dhahabu, fedha, shaba, magwe na midi -- Vilambo ambavyo ndevidimikanaga kuwona, kusikira au kusela.
\v 21 Wala ndawatubuye kubwaga kwawe, wusuwasi gwawe, uasherati gwawe au chia rawe ra kuiwa.
\c 10
\cl Sura 10
\p
\v 1 Kisha nikawona malaika umwi mbaha akisea ndonyi kufuma mlungunyi. Warikogo wafungwa katika indulu, na kwarikogo na upinde gwa mvua igu ya chongo cheka wushu gwake gwerikogo kama iruwa na magu gake garikogo kama nguro ra modo.
\v 2 Wawadiria gombo itini katika mkonu gwake gwarikogo gwawikwa mwari, naye wawika kugu kwake kwa kujo igu ya bahari na kugu kwake kwa kumosho igu ya isanga jiomie.
\v 3 Kisha akapaza sauti ya igu kama shimba aungurumaga, nawakati akipaza sauti radi saba rikanguruma.
\v 4 Wakati radi saba rikiunguruma, narikogo nako avui kuandika ela nikasikira sauti kufuma mlungunyi ikideda, "Tunza ikesiri chija ambacho radi saba nikideda. Usaandike."
\v 5 Kisha malaika nimwonie wasimama igu ya bahari na isanga jiomie, akawusira mkonu gwake igu mlungunyi.
\v 6 na kuapa kwa ija aishie milele na milele -- waumba mbingu na vose viko, dunienyi na vose viko, na bahari na vose viko: Ndakundae kuchelewa sena.
\v 7 Ela katika iruwa jija, wakati malaika wa saba akaka avui kukaba tarumbeta yake, ndipo siri ya Mlungu ikaja yatimizwa kama andu watangaza kwa watumishi wake walodi."
\p
\v 8 Sauti naisikira kufuma mlungunyi nikigoria sena: "Genda, wusa gombo ndiri jawakwa mwari ambajo jeko katika mkonu gwa malaika wasimama igu ya bahari na igu ya isanga jiomie."
\v 9 Kisha nikaganda kwa malaika na kumgoria anineke gombo ndini. Akamgoria, "wusa gombo na uje. Jikubonyaga kifu chako chike na kubia, ela katika momugwako gukaga kusinga kama asali."
\v 10 Nikawusa gombo ndini kufuma mkonunyi mwa malaika na kulila. Jarikogo kusinga kama asali katika momu gwapwa, ela baada ya kuja, kifu chapwa charikogo na kubia.
\v 11 Kisha baadhi ya sauti rikamigoria, "Udapaswa kudapaswa sena kuhusu wandu wengi mataifa, lugha na wazuri.
\c 11
\cl Sura 11
\p
\v 1 Ninekiwe mweri gwa kutumia kama changu cha kupia. Nikagoriwa, "Inga na ugende pima hekalu ja Mlungu na madhabahu, na waja waabudu ndenyi yake.
\v 2 Ela asapime iyenzo ja ua gwa shigadi ya hekalu, kwakuwa wanekwa wandu wa mataifa. Waguwa digamzi mtakatifu kwa muda gwa mieri orobaini na iwi.
\v 3 Niwanekaga mashahidi wapwa wawi mamlaka ya kutabiri kwa muda gwa maruwa 1,260, wakika warwa mkugumia.
\v 4 Awa mashahidi ni midi iwi ya mizeituni na vinera viwi ambavo va simama imbiri ya wana wa dunia.
\v 5 Kama mndu yeyose akaamua kuwadhuru, modo gufumaga momunyi kwawe na kuwadhuru adui rawe. Yeyose akundi kuwadhuru ela abwagwe kwa chia ihi.
\v 6 Awa mashahidi wekona uwezo gwa kufunga anga ili kwamba mvua isanye wakati wadatasiri. Wekona ndigi ya kubadili machi kuka mbaga na kuikaba isanga kwa ahija aina ya kipigo wakati gogose waka kunda.
\v 7 Wakati wakaka wamaria ushuhuda gwawe, uja mnyamandu afumaga kuko ishimo jiseko na mwisho abonyaga wada dhidi yawe. Awashindaga na kuwabwaga.
\v 8 Miwi yawe ilalaga katika mtaa gwa mzi mbaha (ambago kimfano gwa wangwaga sodoma na Misri) ambapo Mzuri wawe wasulubiwa.
\v 9 Kwa siku idadu na nusu baadhi kufuma katika jama ra wandu, mbari, luga na kila isanga wanguwaga miwi yawe na ndawafunyaga kibali kwikwa katika kaburi.
\v 10 Waja wakaga katika isanga wamboriwagwa kwa ajili ya we na kushangilia, hata kudumuana zawadi kwa sababu awo walodi wawi wawatasa waja wakaga katika isanga.
\v 11 Ela baada ya siku idadu na nusu pumzi ya mbanana kufuma kwa Mlungu ikawangia nawo wakesimama kwa magu gawe. Hofu mbaha ikawanguya waja wawa wonga.
\v 12 Kisha wakasikira sauti mbaha kufuma mlungunyi ikiwagoria, "chonyi kunu" Nawo wakagenda igu mlungunyi katika indulu, wakati adui rawe wakinguwa.
\v 13 Katika saa iyo kukaga na tetemeko ibaha ja ndoe na imweri ya ikumi ya mzi ingwagwa. Wandu elfu saba wabwaga katika tetemeko na wasabakiaga mbanana waboshigwaga na kumneka utukufu Mlungu wa mlungunyi.
\p
\v 14 Ole ya kawi ikaida. Nguwa! ole ya kadadu idacha upesi.
\p
\v 15 Kisha malaika wa saba akakaba tarumbeta yake, na sauti mbaha ikadeda mlungunyi na kugora, "Ufalme gwa dunia gwake ufalme gwa Mzuri wedu na gwa Kristo wake. Atawalaga milele na milele."
\v 16 Kisha wazee ishirini na bana warikogo waka. Kifumbi cha enzi imbiri ya Mlungu wanganye wani ndonyi kuko ndoe, wushu gwawe ragogoma ndonyi, nawo wada mwabudu Mlungu.
\v 17 Wadadeda, warikogo, kwa sababu watwaa ndigi yako mbaha na kwanza kutawala.
\q1
\v 18 Mataifa wakerea, ela gadhabu yako idacha. Wakati gwafika wafu kuhukumiwa na we kuzawadiwa watumishi wako walodi, waamini na waja weko na hofu ya irina. Na wakati gwako gwafika gwa kuwanona waja ambawo waka wakonona dinia."
\p
\v 19 Kisha hekalu ja Mlungu mlungunyi jikawikwa mweri na isanduku ja agano ni miali ya mwanga, jongo, ngurumo ra radi, tetemeko ja ndoe na magwe ga mvua.
\c 12
\cl Sura 12
\p
\v 1 Ishara mbaha ikawonekana mlungunyi: Mka wafanikiwa na iruwa, na akika na mweri ndonyi ya magu gake; na taji ya nyeri nyeri ikumi na iwi rarikogo igu ya chogo chake.
\v 2 Warikogo na inde na warikogo adelila kwa ajili ya maumivu gwa kuva--katikia uchungu gwa kukifungua.
\v 3 Na ishara rimwi rikawonekana mlungunyi: Nguwa! kwarikogo na choka atimikie mbaha ambaye warikogo na vongo saba na chuembe ikumi, na kwerikogo na taji saba kuko vongo vahe.
\v 4 Mrezi gwake gukakokota theluthi imweri ya nyeri nyeri mlungunyi na kuridaga ndonyi dunienyi. Choka akasimama imbiri ya mka akogo kavui kuva, ili kwamba wakati adava, apate kummila mwema wake.
\v 5 Akamva mwana, mwana wa kiwomi ambaye wadima watawala masanga gose kwa changu cha chuma. Mwana wake akanyakuliwa igu kkwka Mlungu na kuko kifumbi chake cha enzi,
\v 6 na mka akikimbia kireti, andu ambapo Mlungu warikogo waandaa iyeneo kwa ajili yake, ili adime kuhudumiwa kwa siku 1,260.
\p
\v 7 Sasa kwarikogo na wuda mlungunyi. Mikaeli na malaika wake wakakabana na uja; naye choka mbaha na malaika wake wakakabana nawo.
\v 8 Ela choka ndakogo na ndigi kutosha kushinda. Kwa huwo ndakurikogo sena nafasi mlungunyi kwa ajili yaake na malaika wake.
\v 9 Choka mbaha, uja choka wa kala awangwaga ibilisi au shetani ambaye waembiaga - dunia yose akadegwa ndonyi pamoja naye.
\v 10 Kisha nikasikira sauti mbaha kufuma mlungunyi. "Sasa wokovu gwacha, ndigi--na ufalme gwa Mlungu wedu, na mamlaka ga Kristo wake. Kwa kuka mshitekiwa mbari redu wadagwa ndonyi--ambaye washiteki imbiri ra Mlungu wedu dime na kio.
\q1
\v 11 Wakamshinda kwa mbaga ya mwanang'ondi na kwa ilago ja ushuhuda gwawe, kwa maana ndawakundie sana maisha gawe, hata kufwa.
\q1
\v 12 Kwa huwo, shangilienyi, inyo mlungunyi, na wose mkaga ndenyi yake. Ela ole wa isanga na bahari kwa sababu mwovu wasea kwenyu. Wachua na kirea chibirie, kwa sababu waichi kwamba okona muda mtini tu.
\p
\v 13 Wakati choka akimanya kuwa wadegwa ndonyi kuko isanga, akamnuga mka ambaye warikogo wava mwana wa kiwomi.
\v 14 Ela mka wanikiwe mawawa awi ga tai mbaha, ili kwamba adime kumburuka hadi kuko eneo jaandaliwa kwa ajili yake kuja jangwenyi, eneo ambajo angedima kutunzwa, kwa wakati, nyakati na nusu wakati-andu asadimaga kukufika uyochoka.
\v 15 Choka akdia machi kufuma momunyi kwake kama mweda, ili abonye gharika ya kumgarikisha.
\v 16 Ela ndoe ikasaidia mka. Ikafuma momu gwake na mweda gukachuya choka kufuma momunyi kwake.
\v 17 Kisha choka akameria mka naye akainga na kubonya wuda na wavalwa wake--waja wekona kutii amri ra Mlungu na kuwadiria ushuhuda kuhusu Jesu.
\v 18 Kisha chaoka akasimama igu ya ndoe ufalme gwa bahari.
\c 13
\cl Sura 13
\p
\v 1 Kisha nikamwona mnyamandu akifuma kuko bahari. Warikogo na chuembe na vongo saba. Katika chuembe rake kwarikogo na taji ikumi, na chongo chake kwerikogo na madedo ga kufuru kwa Mlungu.
\v 2 Uyu mnyamandu nikamwona ni kama chui. Magu gake garikogo kama ga dubu, na momu gwake gwarikogo kama gwa shimba. Uja choka akamneka ndigi, na katika kifumbi chake cha enzi, na mamlaka gekona ndigi sana ya kutawala.
\v 3 Chongo cha mnyamandu mmojawapo kwawonekane koko na jeraha mbaha ambajo jingesababisha mauti gake. Ela ni jeraha jake jikamboa, na dunia yose ikashangazwa na ikamnuga mnyamandu.
\v 4 Pia wakamwabudu choka, maana wanekwa mamlaka uja mnyamandu. Wakamwabudu mnyamandu pia, na wakaendelee kudula, "Nani kama mnyamandu? na nani akabanaga na ye?"
\v 5 Mnyamandu akanekwa momu ili adede madedo ga kukisifu na matusi. Akaruhusiwa kuka na mamlaka kwa mieri orobaini na iwi.
\v 6 Huwo mnyamandu akafungua momu gwake kudeda matusi dhidi ya Mlungu, akajianyira irina jake, eneojirikogo akiishi na waja waishi mlungunyi.
\v 7 Mnyamandu akaruhusiwa kubonya wuda na waamini na kuwashinda. Pia akanekwa mamlaka igu ya kila mbari, wandu, lugha na isanga.
\v 8 Wose wakaga dunienyi wamuabudu ye, kila umweri ambaye irina jake ndajiandikwa, kufuma uumbaji gwa dunia, katika kitabu cha mbanana, ambacho ni cha mwana ng'ondi, ambae wachinjiwa.
\v 9 Ikaka yeyose okona kudu, na asigire.
\v 10 Ikaka umweri wakawusigwa mataka, na kukomateka akagenda. Ikaka umweri wapo akaswaga kwa luamba kwa luamba abwagwaga. Uhu ni mwito gwa utulivu na uvumilivu na imani kwaawo weko watakatifu.
\p
\v 11 Sena nikawona mnyamandu umwi adeda kufuma katika isanga. Warikogo okona luembe iwi kama ng'ondi na akadeda kama choka.
\v 12 Akabonyera mamlaka gose katika mnyamandu uja wa kiambiri katika kukaia kwake, na kubonya katika dunia na waja waishi wakimuabudu uja mnyamandu wa kiambiri uja ambaye ijeraha jake jamboa.
\v 13 Akabonya miujiza yekona ndigi, hata akabonya modo gusee katika dunia kufuma mlungunyi imbiri ya wandu.
\v 14 na kwa ishara akaruhusiwa kubonya, akawaembia awo waleaga katika dunia, akawagoria kubonya sanamu kwa heshima ya mnyamandu ambaye warikogo wajeruliwa kwa luamba, ela bado adaishi.
\v 15 Akaruhusiwa kufunya pumzi katika ija sanamu ya mnyamandu ili sanamu idime kudeda na kusababisha waja wose walega kumwabudu mnyamandu waswegwe.
\v 16 Pia akalazimisha kila umweri mkonu gwa kujo au katika paji ja wushu.
\v 17 Ikaka ndaidimikanaga kwa kila mndu kudaga au kunguwa isipokuwa okona alama ya mnyamandu, na ihi namba yeko kuwakilisha irina jake.
\v 18 Ihi idahitaji busara. Ikika yeyose okona ufahamu, msige adime kubonya hesambu ya namba ya mnyamandu. Maana ni namba ya kibinadamu. Namba yake ni 666.
\c 14
\cl Sura 14
\p
\v 1 Nikanguwa na nikawona mwana ng'ondi wasimama imbiri yapwa igu ya lugongo sayuni. Andukumweri na ye warikogo 144,000 wekona irina jake na irina ja Aba wake jaandikwa katika vipaji va wushu gwake.
\v 2 Nikasikira sauti kufuma mlungunyi ikisikirigwa kama ngurumoo ra machi mengi na sauti mbaha ya radi. Sauti naisikira ni kama wakabaga vinubi wakabaga vinubi vawe.
\v 3 Wakibora chumbo pya imbiri ra kifumbi cha enzi na imbiri ra waja wekona mbanana bana na wazee. Ndakundae hata okona uwezo gwa kukifunza ugo lumbo isipokuwa kwa 144,000 ambawo wakombolewa kufuma dunienyi.
\v 4 Awa ni waja ambawo ndawakichafuye weni kwa waka, maana wakifunza weni dhidi ya matendo ga zinaa. Niawa ambawo wamnuga mwana ng'ondi kokose agendaga. Awa wakombolewagwa kufuma kwa wanadamu wakika matunda ga kwanza kwa Mlungu na kwa mwanan ng'ondi.
\v 5 Ndakudae tee gwapatikana katika lwaka lawendawalaumiwaga.
\p
\v 6 Nikawona malaika umwi akimburuka gadigadi ya mandulu, ambaye okona ujumbe gwa mlungunyi gwa habari njema kwa kuwa tangazia wekona kuishi dunienyi kwa kila isanga, mbari, lugha, na wandu.
\v 7 Akawanga kwa sauti mbaha, "Mboenyi Mlungu na mnekenyi utukufu. kwa maana muda gwa hukumu gwa avui. Mwabudunyi ye, waumba mbingu na dunia, na bahari, na chemchem ra machi."
\v 8 Malaika umwi - malaika wa kawi - akanugiria akideda, "Wangwa, gwangwa Babeli mbaha, ambaye wanyweshiwe masanga divai ya ukahaba, divai ambayo yaredie ghadhabu igu yake."
\v 9 Malaika umwi - malaika wa kadadu - akawanugiria, akadeda kwa sauti mbaha, "Yeyose amwabudu uyo mnyamandu na sanamu yake, na kuwokera alama katika paji jake ja wushu au mkonunyi,
\v 10 ye pia anyweaga divai ya ghadhabu ya Mlungu, divai ambayo yaandaliwa na kudiwa bila kuchanganywa katika kikombe cha kirea chake. Mndu nywangwa atisegwa kwa modo na modo gwa kiberiti imbiri ra malaika wake watakatifu na imbiri ra mwanang'ondi.
\v 11 Na mosi gwa maumivu gawe akagenda milemile na ndawakogo na mapumziko dime au kio - awo wabudio mnyamandu na sanamu yake, na kila mndu wawokera alama ya irina jake.
\v 12 Ugu wito gwa subira na uvumilivu kwa waamini, waja ambawo watii amri ra Mlungu na imani katika Jesu."
\v 13 Nikasikira sauti kufuma mlungunyi ikideda, "Andika aga: Heri wafu wafwaga katika Mzuri." "Ndiyo," adeda Ngolo, "ili wadime kusogoka kufuma koko kazi rawe, maana matendo gawe gawanungiriaga."
\p
\v 14 Nikanguwa na nikawona kwarikogo na indulu cha chokwa, na waka kuko indulu ni umweri akogo na mfano gwa mwana wa mndu. Warikogo na taji ya dhahabu katika chongo chake na luamba gubirie katika mkonu gwake.
\v 15 Malaika umwi sena akacha kufuma kuko hekalu akawanga kwa sauti mbaha kugenda kwa uja waka katika indulu: "Wusa luamba lwako na uanze kuwasha kwa kuwa muda gwa mavuno gwa wadia, maana mavuno geko katika dunia gawawirwa."
\v 16 Sena uja akogo kuko indulu akaidisha luamba lwake igu ya dunia, na dunia ikakwa shigwa.
\v 17 Na bado malaika umwi akacha kufuma kuko hekalu ja mlungunyi, na ye warikogo na luamba lubirie.
\v 18 Na bado malaika umwi akacha kufuma kuko madhabahu, na malaika akogo na malaika igu ya modo. Akamwanga kwa sauti mbaha malaika ambaye warikogo na luamba lubirie, "Wusa luamba lubirie au ugakusanye matawi ga mzabibu kufuma kuko mzabibu gwa isanga, kwa kuwa zabibu saba rawirwa."
\v 19 Malaika akageja luamba lwake katika dunia na akakusanya mavuno ga zabibu ya dunia na akamburusa katika ipipa ibaha ja divai ya ghadhabu ya Mlungu.
\v 20 Chujio ya divai yapondwa pondwa shigadi ya mzi na mbaga ukadika kufuma katika icho kimo cha hatamu ya farasi, kwa stadia 1,600.
\c 15
\cl Sura 15
\p
\v 1 Sena nikawona ishara imwi mlungunyi, mbaha na yekona kushangaza; kwarikogo na malaika saba weko na mapigo saba, ambawo garikogo mapigo ga mwisho (Katika ago kirea cha Mlungu charikogo chatimilika).
\p
\v 2 Nikawona chija chifumiria kuka bahari ya kiburi yachanganywa na modo, na ikasimama mbai ya bahari ambapo waja warikogo washindi dhidi ya mnyamandu na sanamu yake, na igu ya namba idawakilisha irina jake. Warikogo wawadiria vinubi wanekiwe ni Mlungu.
\v 3 Warikogo wakibora chumbo ra Musa, mtumishi wa Mlungu, na lumbo lwa ng'ondi, "Kazirako ni mbaha na reko na kushangaza, Mzuri Mlungu, utawalaye vose. Mwaminifu na chia rako ni loli, Mzuri wa masanga.
\q1
\v 4 Nani ashindwaga kukuhofu we Mzuri na kulitukuza irina jako? kwa kuka we pekee yako ni mtakatifu. masanga gose gachaga na kukuabudu imbiri yako kwasababu umwema na matendo gako gamanyikana."
\p
\v 5 Baada ya malago ago nikanguwa, na sehemu takatifu sana, ambapo kwarikogo na hema ya ushuhuda, yafungukia mlungunyi.
\v 6 Kufuma andu patakatifu sana wakacha saba wekona mapigo saba, warwa mavazi safi, kitani yekona kung'aa na mshipi gwa dhahabu kuzunguluka laga rawe.
\v 7 Umweri wa waja wekona mbanana bana akafunya kwa malika saba mbakuli saba ga dhahabu gachua dhahabu ya Mlungu wekona kuishi milele na milele.
\v 8 Andu patakatifu sana kwachua mosi kufuma kuko utukufu gwa Mlungu na kufuma kuko uwezo gwake. Ndakudae hata umweri wadima kungia mpaka mapigo saba ga malaika saba gakamilika.
\c 16
\cl Sura 16
\p
\v 1 Nikasikira sauti ikiwanga kufunga kuko sehemu ya patakatifu na ikadeda kwa waja malaika saba. "Genda na udie igu ya dunia mabakuli saba ga ghadhabu yaMlungu."
\v 2 Malaika wa kawi akadia ibakuli jake katika dunia; majeraha gazamie na gekona maumivu gabirie gakacha kwawandu wekona alama ya mnyamandu, kwa waja ambawo wariabudu sanamu rake.
\v 3 Malaika wa kawi akadia ibakuli jake katika bahari; ikaka kama mbaga ya mndu wafwa, na kila kiumbe mbanana katika bahari chikafwa.
\v 4 Malaika wa kadadu akedia ibakuli jake katika chemchem ra machi, rikaka mbaga.
\v 5 Nikasikira malaika wa machi akideda, "We ni mwaminifu - umweri akogo na warikogo, mtakatifu - kwa sababu warireda hukumu iri.
\v 6 "Kwa sababu wadia mbaga ra waamini na walodi, wawaneka wo kunywa mbaga, nicho wastahili."
\v 7 Nikasikira madhabahu ikijibu, "Ndiyo Mzuri Mlungu wekona tawala igu ya vose, hukumu rako ni loli na rahaki.
\v 8 Malaika wa kana akadia kufuma koko ibakuli jake igu ya iruwa na jina kanekwa ruhusa kukora wandu kwa modo.
\v 9 Wakakorwa kwa joto jekona kutisha, na wakajikufu idedo ja Mlungu, okona ndigi igu ya mapigo gose. Ndawatubuye wala kumneka ye utukufu.
\p
\v 10 Malaika wa kasanu akalia kufuma kuko ibakuli jake katika kifumbi enzi cha mnyamandu, na kira chikaufunika wuzuri gwake. Wakasaga magego katika maumivu makali.
\v 11 Wakamunyira Mlungu wa mlungunyi kwa sababu ya maumivu gawe na majeraha gawe, na bado wakaendelea kutokuabudu kwa chija wachibonya.
\v 12 Malaika wa sita akadia kufuma kuko ibakuli jake katika mweda mbaha, Frati, na machi gake gakaoma ili kudima kuandaa chia kwa wazuri wachaga kufuma mashariki.
\v 13 Nikawona ngolo idadu chafu niwonekane kama ijula wafunya shigadi ya momu gwa uja choka, uja mnyamandu na uja lodi wa tee.
\v 14 Ni ngolo ra pepo ribonyaa ishara na miujiza. Warkogo wakigenda kwa mzuri wa dunia yose ili kudima kuwakusanya andukuamweri kwa wuda katika sikukuu ya Mlungu, okona kutawala igu ya vose.
\v 15 ("Nguwa! Nidacha kama mwivi! Heri uja adumuye katika kukesha, atunzaye mavazi gake ili asadime kugenda shigadi utu na kuiwona waya gwake.")
\v 16 Waka wareda anduku amweri katika sehgemu iwangiwe katika kiebrania Amagedoni.
\p
\v 17 Malaika wa saba akadia kufuma kuko ibakuli jake katika anga. Kisha sauti mbaha ikasikirigwa kufuma patakatifu na kufuma kuko kifumbi cha enzi, ikideda, "Imekwisha!"
\v 18 Kwarikogo na miale ya mwanga gwa radi ngurumo, vishindo va radi, na tetemeko ja kutisha - tetemeko ibaha ja ndoe ambajo ndajiwahie kufuma dunienyi tangu wanadamu warikogo dunienyi, huwo ni tetemeko ibaha zaidi.
\v 19 Mzi mbaha gukagawanyika katika sehemu idadu, na mzi gwa mataifa ikagwa. Kisha Mlungu akamkumbusha Babeli mbaha, na akagenda mzi ugo kikombe chirikogo chachua divai kufuma kuko ghadhabu yake iko ibirie.
\v 20 Kila kisiwa kikalagaya na chgugongo ndariwonekana sena.
\v 21 Mvua mbaha ra magwe, rikika na uzito gwa talanta, ikasea kufuma mlungunyi igu ya ya wandu, na wakamlaani Mlungu kwa mapigo ya mvua ya magwe kwa sababu jija ipigo jirikogo jizamie sana.
\c 17
\cl Sura 17
\p
\v 1 Umweri wa malaika saba arikogo na vitasa saba akacha na kumgoria, "Choo, ni kubonyeriaga hukumu ya kahaba mbaha igu ya machi mengi,
\v 2 ambae wazuri wa isanga wabonya malago ga uzinzi naye na igu ya mvinyo gwa uzinzi gwake wakaga dunienyi walewagwa."
\p
\v 3 Malaika wakaniwusa katika Ngolo mpaka kireti, na nika mwona mka waka igu ya mnyamandu atikisiye wachua marina ga kuanyira. mnyamandu warikogo na vongo saba na mbembe ikumi.
\v 4 Mka warushigwa nguwo ra zambarau na itinikiye na wapambwa kwa dhahabu, magwe ga thamani, na lulu. Warikogo wawadiria mkonunyi mwake kikombe cha dhahabu cha chua vilambo va machukizo ga uchafu gwa uasherati gwake.
\v 5 Igu ya paji wushu gwake jaandikwa irina ja siri: "BABELI MBAHA, MAWE WA MAKAHABA NA WA VILAMBO VA MACHUKIZO GA ISANGA."
\v 6 Nikawona ya kuwa mka uyo warikogo watungura kwa mbaga ya maumivu na mbaga ya wafwie kwa ajili ya Jesu. Wakati nikimwona, nikaka na mshangao mbaha.
\p
\v 7 Ela malaika akanigoria, "kwaki udashangaa? Nikuriaga maana ya mka na mnyamandu amreiga (mnyamandu uyo okona vongo saba na rija mbembe ikumu).
\v 8 Mnyamandu umwoniye warikogo, ndeko sena ijiaha, ela weko tayari kujoka kufuma katika ishimo jiseko na mwisho. Kisha akendelea na kunona. Waja wakaga igu ya isanga, waja ambawo marina gwawe ndagaandikiwe kuko kitabu cha mbanana tangu kuwikwa misingi ya ulimwengu - washangaaga wakamwona mnyamandu arikogo kwamba ndeko ijiaha, ela weko kavui kucha.
\v 9 Wito ugu ni kwa ajili ya akili riseko na hekima. Vongo saba ni chugongo saba ambapo mka wakaga igu yake.
\v 10 Nayo pia ni wazuri saba. Wazuri wasanu wangwa, umweri weko, na umwi ndachee bado, wakati akacha, akaga kwa muda mvui tu.
\v 11 Mnyamandu akogo, ela ijiaha ndeko, ye pia ni mzuri wa nane, ela ni umweri wa waja wazuri saba, na adagenda kuko kunona.
\v 12 Rija mbembe ikumi wariwona ni wazuri ikumi ambawo ndawawokerie wuzuri, ela wawokeraga mamlaka kama wazuri kwa saa imweri andukumweri na mnyamandu.
\v 13 Awa wekona shauri jimweri, na wamneka ndigi rawe na mamlaka uja mnyamandu.
\v 14 Wakabonya wuda baina yawe na mwana ng'ondi. Ela mwana ng'ondi akawashinda kwa sababu ni Mzuri wa mabwana na mzuri wa wazuri - na katika ye dawangwa, dasagulwe, waaminifu."
\v 15 Malaika akagoria, "Gaja machi wagawona, ago anduwake uja kahaba ni wandu, makutano, masanga na luga.
\v 16 Rija chuembe ikumi wariwona - iro na uja mnyamandu wamreiga uja kahaba. Nawo wabonyaga kuka mpweke na utu, wemjaga muwi gwake, waguteketeza kwa modo.
\v 17 Maana Mlungu wawika ngolonyi kwawe kudwa kusudi jake kwa makubaliano ga kumneka mnyamandu ndigi rawe kumtawala mpaka madedo ga Mlungu andugatimiaga.
\v 18 Uja mka wamwona ni mzi guja mbaha atawalaga igu ya wazuri wa isanga.
\c 18
\cl Sura 18
\p
\v 1 Baada ya vilambo ivi nikamwona malaika umwi akisea ndonyi kufuma mlungunyi. Ye arikogo na mamlaka mbaha, na isanga jikaangazwa kwa utukufu gwake.
\v 2 Akalila kwa sauti mbaha, akideda, "Gwanga, gwangwa, na guja mzi mbaha Babeli! Gwaka sehemu gakega mapepo, na sehemu ikaga kila ngolo chafu, na sehemu akaga kila mchafu na ngonyi achukizaye.
\v 3 Kwa kuwa masanga gose ganywa mvinyo tamaa ya uasherati gwake ambayo yamrediaga ghadhabu. Wauri wa isanga wazini naye. Wafanya biashara wa isanga wake matajiri kwa ndigi na maisha gake ga anasa."
\p
\v 4 Kisha nikasikira sauti imwi kufuma mlungunyi ikideda, fumenyi kwake wandu wapwa, ili mache mkashiriki katika dhambi rake, na ili msache mkamwokera mapigo gake gogose.
\v 5 Zambi rake rarundikana igu kama mbingu, na Mlungu wa gakumba mabonyo gake mauvu.
\p
\v 6 Mlipenyi kama andu wawalipa wamwi, na mumlipe mara kawi kwa jinsi andu wa bonya, katika kikombe wakichanganya, mchangenyi mara kawi kwa ajili yake.
\v 7 Kama anduwakitunza ye mweni, na waishi kwa anasa, mnekenyi mateso mengi na huzuni. Kwa kuwa wadedaga ngolonyi kwake. Na kama malkia wala sio mjane, na wala siwonaga maombolezo.'
\v 8 Kwa huwo ndonyi ya siku imweri mapigo gake gamlemeaga: Maombolezo, na njal. Atatekelezwa kwa modo, kwa kuwa Mzuri Mlungu ni okona ndigi, na ni mhukumu wake."
\p
\v 9 Wazuri wa isanga wazini na kuchanganyikiwa andukumweri naye walilaga na kumwuombolezea wakaguwo na mosi gwa kuya kwake.
\v 10 Wakasima kula naye, kwa hofu ya maumivu gake wakideda, "Ole, ole mzi mbaha, Babeli, mzi gokona ndigi! kwa saa imweri hukumu yako idacha.
\v 11 Wafanya biashara lilenyi, na kuomboleza kwa ajili yake kwa kuwa ndakundae hata umweri anguaga bidhaa rake sana.
\v 12 bidhaa ra dhahabu, fedha, magwe ga thamani, lulu, kitani imboie, zambarau, hariri, itinikie, aina rosera midi ya harufu rimboie, kila chombo cha mbambe ra chovu, kila chombo chamboisigwa kwa midi ga thamani, shaba, chuma, igwe,
\v 13 Mdalasini, viungo, uvumba, manemane, ubani, mvinyo mavuda, mafu gumboie, ngano, ng'ombe na ng'ondi farasi na mangari, na watumwa, na ngolo ra wandu.
\v 14 Matunda wagatamani kwa ndigi rakjo gainga kufuma kwako. Anasa rako rose na mapambo gatoweka. ndagapatikanaga sena.
\v 15 Wafanya biashara wa vilambo ivi wapatie utajiri, kwa mapenzi gake wakasimama kula kufuma kwake kwa sababu ya hofu ya maumivu gake, wakalila na sauti ya maombolezo.
\v 16 Wakideda, "Ole, ole mzi guja mbaha gwarwishigwa kitani imboie zambarau, na itinikie, na kupambwa kwa dhahabu, na vito va thamani na lulu!"
\v 17 Ndenyi ya saa imweri utajiri gose ugo gutoweka. Kilanahodha wa madi, kila baharia, na wose wanamaji na wose wabonyaga kazi baharinyi, wakasimama kula.
\v 18 Wakalila wakiwona mosi gwa kuya kwake wakideda, "Ni mzi gani gulafanana na mzi ugu mbaha?"
\v 19 Wakada chuvumbi igu ya vongo vawe, na wakalilia, wakifuma mbori na kuomboleza, "Ole, ole mzi mbaha andukose wose warikogo na meli rawe baharinyi wakaka matajiri kutokana na mali rawe. Ndenyi ya saa imweri gukaangamizwa."
\p
\v 20 Mbiwenyi igu yake, mlungunyi, inyo waumini, walodi, na walodi, kwa maana Mlungu wareda hukumu yenye igu yake!"
\p
\v 21 Malaika okona ndigi akawusira igwe kama igwe ibaha ja kusagia na akajidaga baharinyi, akideda, "kwa chia ihi, Babeli, guja mbaha, gudagwaga ndonyi kwa ukatili na ndaguwonakanaga sena.
\v 22 Sauti ya vinanda, wanamuziki, wachuzafilimbi, na tarumbeta ndawasikiraga sena kwenyu. Wala fundi wa aina yoyose ndawonekanaga kwenyu. Wala sauti ya kidu ndaisikirikanaga sena kwenyu.
\v 23 Mwanga gwataa ndakuangaza ndenyi yako. Sauti ya Mzuri harusi na bibi harusi nderisikiraga sena ndenyi yako, maana wafanya biashara wako warikogo wabaha wa isanga, na wa isanga, waembiwa kwa wusawi gwako.
\v 24 Ndenyi yako mbaga ya walodi na waamini yawonekane, na mbaga ya wose wabwagiwe igu ya isanga."
\c 19
\cl Sura 19
\p
\v 1 Baada ya malago aga nikasikira sauti kama mlio mbaha gwa ukundi ibaha ja wandu mlungunyi ikideda. Haleluya. Wokovu, utukufu, na ndigi ni ra Mlungu wedu.
\q1
\v 2 Hukumu rake ni loli na ra haki, kwa kuwa wamhukumu kahaba mbaha wajinona isanga kwa uzinzi gwake. Wabonya kiasi kwa mbaga ya watumishi wake, ambao yadikiwe ya mweni.
\v 3 Kwa mara ya kawi wakadeda, "Haleluya! mosi kufuma kwake milele na milele."
\q1
\v 4 Waja wazee ishirini na bana na viumbe hai bana wakasujudu na kumwabudu Mlungu akaga kifumbi cha enzi. Warikogo wakideda," Amina. Haleluya!"
\v 5 Niko sauti ikafuma kuko kifumbi cha enzi, ikideda, "Msifuni Mlungu wedu, enyi watumishi wake wose, inyo mnaomcha ye, wose waseko umuhimu na wekona ndigi."
\v 6 Niko nikasikira sauti kama sauti ya ikundi ibaha ja wandu, kama sauti ya ngurumo ra radi, ikideda, "Haleluya! Mzuri ni Mlungu wedu, mtawala igu ya wose, hutawala.
\q1
\v 7 Na dishangilie na kumboiwa na kumneka utukufu kwa babu harusi na sherehe ya mwana ng'ondi wakcha, na bibi harusi wako tayari."
\q1
\v 8 Akaruhusiwa kumshigwa kitani safi na ye kung'aa (kitani safi ni matendo ya haki ga waamini).
\p
\v 9 Malaika akadeda nanyi. "Yaandika aga: Wamebarikiwa waalikwa kuko sheteri ya harusi ya mwana ng'ondi." Vile vile akamgoria, "Aga ni madedo ga loli ya Mlungu."
\v 10 Nikasujudu imbiri ya magu gake nikamwabudu, ela akamgoria, "Usabonye huwu! Nyi ni mtumishi mbago na wa mbari rako ni kongo kuguwade ushuhuda gwa Jesu mwabudu Mlungu, kwa kuwa ushuhuda gwa Jesu ni Ngolo ya ulodi."
\p
\v 11 Kisha nikawona mlungunyi rafunguka, na nguwa kwerikogo na farasi wachokwa! Na uja akago wamjoka wawangwaga mwaminifu na wa loli. Wahukumu jwa haki na kubonya wuda.
\v 12 Meso gake ni kama mwali gwa modo, na igu ya chongo chake okona taji nyingi. Okona irina jaandikwa igu yake asajichi mndu yeyose isipokuwa ye mweni.
\v 13 Warwa nguwo yachonywa katika mbaga, na irina jake wawangwaga Neno la Mlungu.
\v 14 Majeshi ga mlungunyi garikogo gakimnugira igu ya farasi wachokwa, wawishiwe kitani imboie, gachokwa na safi.
\v 15 Momunyi kwake kwafumaga luamba lubirie ambago gwa angamizaga masanga, na ye awatawalaga kwa changu cha chuma. Na ye wawadiaga vombo va mvinyo kwavirea vibirie va Mlungu, atawalaga igu ya wose.
\v 16 Naye waandikwa igu ya nguwo rake na katika paja jake irina, MFALME WA WAFALME NA MZURI WA WAZURI.
\p
\v 17 Nikawona malaika wasimama katika iruwa. Akawawanga kwa sauti mbaha wose wamburukaga igu. "chonyi, kusanyikeni pamoja kuko vindo vibaha va Mlungu.
\v 18 Chonyi mje nyama ya wafalme, nyama ya majemedari, nyama ya wandu wabaha nyama ya farasi na wajoka farasi, na nyama ya wandu wose, weko huru na watumwa, waseko na umuhimu na wekona ndigi."
\v 19 Nikamwona mnyamandu na wafalme wa isanga pamoja na majeshi gawe. Warikogo wakipanga kwa ajili ya kubonya wuda na umweri wajoka farasi na ijeshi jake.
\v 20 Mnyamandu akawadigwa na mlodi wake watee aribonyie ishara katika uwepo gwake. Kwa ishara iriakawaembia waja waiwokera chapa ya mnyamandu na waisujudia sanamu yake. Wose wawi wakadagwa weko mbanana katika iriwa ja modo jiwakaga kwa kimbiriti.
\v 21 Waja wabaki wakabwagwa kwa luamba gufumie momunyi mwa umweri ajokie igu ya farasi. Nyonyi wose wakaja mizoga ya miwi yawe.
\c 20
\cl Sura 20
\p
\v 1 Kisha nikawona malaika akisea kufuma mlungunyi, akikana ufunguo gwa ishimo jiseko na mwisho na mnyororo mbaha mkonunyi wake.
\v 2 Akamwwada uja choka, choka wa kala, ambae ni ibilisi au shetani, na kumfunga miaka elfu.
\v 3 Akamdaga kuko ishimo jiseko na mwisho, akajifungua na kujikumba mhuri igu yake. Ihi yarikogo huwo ili kwamba asawaambie masanga sena mpaka miaka elfu andu isiaga. Baada ya aho, akasigiriwa huru kwa mda mvui.
\p
\v 4 Kisha nikawona wifumbi va enzi. Warikogo wa vikaria ni waja ambawo warikogo wanekwa mamlaka ga kuhukumu. Vilevile mkawona nafasi ra waja ambawo warikogo wademwa vongo kwa ajili ya ushuhuda kuhusu Jesu na kwa idedo ja Mlungu. Warikogo ndawamwabudu mnyamandu au sanamu yake, na wakalega kuwokera kuko mbanana, na wakatawala andu kumweri na Kristo kwa miaka elfu.
\v 5 Wafu wabakia ndawachee mbananenyi mpakamiaka elfu wakati yasia. Ugu ufufuo gwa kwanza.
\v 6 Mbarikiwa na mtakatifu ni mndu yeyose ambaye awusaga nafasi katika ufufuo gwa kwanza! mauti ya kawi ndaidae ndigi igu ya wandu kama awa. Kuka na makuhani wa Mlungu na Kristo na watawalaga na ye kwa miaka elfu.
\p
\v 7 Wakati miaka elfu ikifikia mwisho, shetani afunguliwaga kufuma gerezanyi mwake.
\v 8 Agendega shigadi kuwaembia masanga katika kona ina ra dunia - Gogu magogu - kuwareda andukumweri kwa ajili ya wuda. Wakaga wengi kama msangaga gwa bahari.
\v 9 Wakagenda igu kuko tambarare ya isanga nawo wakazunguluka kambi ya waumini, mzi gu kundigwaga. Ela modo gwachee kufuma mlungunyi na kuwaangamiza.
\v 10 Shetani, ambaye awaembiaga, akadegwa ndonyi ya iriwa jiwakaga kibiriti, ambamo mnyamandu na mlodi wa tee warikogo wadagwa. Wateswaga dimene kio milele na milele.
\p
\v 11 Kisha nikawona kifumbi cha enzi kibaha chachokwa na uja ambae wake waka igu yake. Dunia na mbingu rikakimbia kula kufuma katika uwepo gwake, ela ndakudage nafasi ya we kugenda.
\v 12 Nikawona wafwie - hodari na waseko wa muhuri wasimama katika kifumbi cha enzi, na vitabu vikafunuliwa. Wafu wahukumiwe kwa chija chiandikiwe ndenyi ya vitabu matokeo ga chija wachibonya.
\v 13 Bahari ikawafunya wafu ambawo warikogo ndenyi yake. kifwa na kuzimu vikawa wafu ambawo warikogo ndenyi yake, na wafu wahukumiwe kulingana na wachibonyie.
\v 14 Kifwa na kuzimu vikadagwa ndonyi ya iruwa ja modo. Ihi ni mkuti ya kawi - iriwa ja modo.
\v 15 Kama irina ja yeyose ndajipatikane jaandikwa ndenyi ya kitabu cha mbanana, akadegwa ndenyi ya iriwa ja modo.
\c 21
\cl Sura 21
\p
\v 1 Kisha nikawona mbingu mpya naisanga ippya, kwa kuwa mbingu ya kwanza na isanga ja kwanza rameria kuida, na bahari ndaiko sena.
\v 2 Nikawona mzi mtakatifu, Yerusalemu mpya, ambago gwachee ndonyi kufuma mlungunyi kwa mlungu, gwendeli wa kama wawa harusi wapambwa kwa ajili ya mumi.
\v 3 Nikasikira sauti mbaha kufuma kuko kifumbi cha enzi ikideda, "Nguwa makao ga Mlungu geko andukumweri na wanadamu, naye adaishi andukuamweri nawo wakaga wandu wake, na Mlungu mweni akaga nawo na akaga Mlungu wawe.
\v 4 Afutaga kila mbori kufuma katika meso gawe, na ndakulaga na kufwa sena, au kuomboleza, au kulila, au maumivu. Malago ga kala gameria kuida.
\p
\v 5 Ye ambaye warikogo waka igu ya kifumbi cha enzi akadeda, "Nguwa! Nabonya malego gose kuwa mpya." Akadeda, "Andika iji kwa sababu madedo aga ni ga hakika na loli."
\v 6 Akamgoria, "Malago aga gamerie kuida! Nyi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho. Kwa yeyose awonaga kau chem chem ra machi ga mbanana.
\v 7 Ye ashindaga adarithi malago aga, na kukaga Mlungu wake, naye akaga mwanapwa.
\v 8 Ela kama iko kwa wekona wawa, wasioamini, wachukizao, wabwagaji, wazinzi, wasawi, waabudu sanamu, na watee wose, sehemu yawe ikaga katika iriwa ja modo gwa kibiriti gukoraga. Iyo niyo mauti ya kawi."
\p
\v 9 Umweri wa malaika saba akacha kwapwa, umweri ambaye wakogo na mabakuli saba gachua mapigo saba ga mwisho na akadeda, "Choaha. Nikubonyere wawa harusi, mka wa mwana ng'ondi."
\p
\v 10 Kisha akaniwusa kula katika Ngolo kuko lugongo mbaha na akanibonyeria mzi mtakatifu, Yerusalemu gukisea ndonyi kufuma mlungunyi kwa Mlungu.
\v 11 Yerusalemu gwarikogo na utukufu gwa Mlungu, na kumboa kwake kwarikogo kama kito cha thamani, kama igwe ja kioo safi cha yaspi.
\v 12 Kwa rikogo na ukuta mbaha, mlacha gokona mijango ikumi na iwi andukumweri na malaika ikumi na wawi mjangonyi. Igu ya mijango kwarikogo kwaandikwa marina ga makabila ikumi na awi ga wana wa Israeli.
\v 13 Upande gwa mashariki kwarikogo na mijango idadu, upande gwa kusini mijango idadu, upande gwa kazikazini mijango idadu na upande gwa magharibi mijango idadu.
\v 14 Kuta ra mzi rarikogo na misingi ikumi na iwi na igu yake kwarikogo na marina ikumi na iwi ga walodi ikumi na iwi na mwona ng'ondi.
\p
\v 15 Umweri akadeda nanyi warikogo na kipimo cha changu yambirisigwa kwa dhahabu kwa ajili ya kupima mzi, mjango yake na kuta rake.
\v 16 Mzi gukawikwa ndenyi ya mraba: Wulacha gwake gwarikogo sawa na upana gwake. Akipima kwa kipimo cha changu, stadia 12,000 kwa mulacha (wulacha gwake, upana, na kipimo wafwanane).
\v 17 Vilevile akapima ukuta gwake, unene gwake gwarikogo dhiraa 144 kwa kipimo va kibinadamu (ambayo pia ni vipimo vya malaika).
\p
\v 18 Ukuta gwarikogo gwaagwa kwa yaspi na mzigoko na dhahabu safi, kama kiloo safi.
\v 19 Msingi ya ukuta yarikogo yapaswa na kila aina ya igwe ja thamani. Ja kwanza jarikogo yaspi jarikogo yakuti samawi, ja kadadu jarikogo kalkedoni, ja kana zamaridi,
\v 20 Ja kasanu sardoniki, ja sita akiki, ja saba krisolitho, ja nane zabarajadi, ja ikumi na imweri hiakintho, ja ikumi na iwi amethisto.
\v 21 Mijango ikumi na iwi yarikogo lulu ikumi na iwi kila mjango gwa mboisiwe kufuma kuko lulu imweri. Mitaa ya mzi gwarikogo dhahabu safi, ikiwonekana kama kiloo safi.
\p
\v 22 Siwonie hekalu jojose ndenyi ya mzi, kwa kuwa Mzuri Mlungu, ambaye adatawala igu ya vose, na mwana ng'ondi ni hekalu jake.
\v 23 Mzi ndaguhitaji iruwa au mweri ili kuangaza igu yake kwa sababu utukufu gwa Mlungu gwaangaza igu yake, na taa rake ni mwana ng'ondi.
\v 24 Masanga wagendaga kwa mwanga gwa mzi ugo. Wazuri wa dunia waredaga fahari rawe ndenyi yake.
\v 25 Mjango yake ndaifungwaga wakati gwa dime, na ndakukaga na kio aja.
\v 26 Waredaga fahari na heshima ya masanga ndenyi yake.
\v 27 na ndakudae kichafu chingiaga ndenyi yake. Wala yeyose ambaye abonyaga ilago jojose ja waja au kuembia ndangiaga, bali ni waja tu ambawo marina gawe gaandikwa kitabu cha mbanana cha mwana ng'ondi.
\c 22
\cl Sura 22
\p
\v 1 Kisha malaika akanibonyeria mweda gwa machi ga mbanana, machi garikogo ga mng'ao kama gwa bilauri. Garikogo gakitiririka kufuma katika kifumbi cha enzi cha Mlungu na cha mwana ng'ondi.
\v 2 Kuidia gadigadi ya mtaa gwa mzi. Katika kila pembe ya mweda kwarikogo na mdi gwa mbanana guvaga aina ikumi na iwi ra matunda na kuwa matunda kila mweri. Nyasi ra mdi ni kwa ajili ya kumboa kwa masanga.
\v 3 Wala ndekudaga na laana yeyose sena. Kifumbi cha enzi cha Mlungu na cha mwana ng'ondi kikaga ndenyi ya machi, na watumishi wake wamtumikiaga.
\v 4 Wabonyaga wushu gwake na irina jake jikaga igu vipaji va wushu gwawe.
\v 5 Ndakukaga na kiool; ndakuga na hitaji ja mwanga gwa taa au iruwa kwa sababu Mzuri Mlungu aangaza igu yawe. Nawo watawalaga milele na milele.
\p
\v 6 Malaika akamgoria, "Madedo aga ni ga kuaminika na loli. Mzuri Mlungu wa ngolo ra walodi akamduma malaika wake kuwabonyeria watumishi wake kifumiriaga aha kavui."
\v 7 "Nguwa! Nidacha upesi! wabarikiwa ye atii madedo ga ulodi gwa kitabu iki."
\p
\v 8 Nyi, Yohana, niye nisikire na kuwona malago aga. Nagasikire na kugawona, nikangwa ndonyi mweni imbiri ya magu ga malaika kumwabudu, malaika anibonyerie malago aga.
\v 9 Akanigoria, "Usabonye huwo! Nyi ni mtumishi mbago, andukumweri na mbari rako walodi, andukumweri na waja watii madedo ga kitabu iki. Mwabudu Mlungu!"
\v 10 Akamgoria, "Usakumbe muhuri madedo ga ulodi gwa kitabu iki, maana wakati gwafikia kavui.
\v 11 Aseko mwenye haki, aendelee kutokuwa mwenye haki. Ambaeni mchafu kimaadili, na aendelee kuka mwene haki. Eko mtakatatifu, na aendelee kuka mtakatifu."
\p
\v 12 "Nguwa! Nacha upesi. Ujira gwapwa gweko andukumweri nanyi, kumlipa kila umweri kulingana na wachibonya.
\v 13 Nyi ni Alfa na omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.
\v 14 Wabarikiwa waja waogeshaga mavazi gawe ili kwamba wapate haki ya kuja kufuma katika mdi gwa mbanan na kungia mzi kuidia mjangonyi.
\v 15 Shigadi koko koshi, wasawi, wazinzi, wabwagaji, waabudu sanamu, na kila akundaga na ashuhudiaye ushahidi gwa tee.
\p
\v 16 Nyi, Jesu namduma malaika wapwa kuwashuhudia kuhusu malago aga kwa makanisa. Nyi ni mzizi wa uzao gwa Daudi, Nyerinyeri ya asubuhi ing'aayo."
\p
\v 17 Ngolo na bibi harusi wadeda, "Choo! Na ye asikiaga adede "Choo! Yeyose eko na kau, na ache, na yeyose anaetamani, na apate machi ya mbanana bure.
\p
\v 18 Namshuhudia kila mndu asikiraga madedo ga ulodi wa kitabu iki: kama yeyose aongezaga katika aga, Mlungu amuongezeaga mapigo gaandikiwa katika kitabu iki.
\v 19 Kama mndu yeyose agaijaga madedo ga kitabu iki cha unabii, Mlungu aijaga sehemu yake katika ndigwa mbanana na katika mzi mtakatifu, ambayo habari rake raandikwa ndonyi ya kitabu iki.
\p
\v 20 Ye ashuhudiaga madedo aga adede, "Ndio nacha upesi!" Amina! choo, Mzuri Jesu!
\p
\v 21 Neema ya Mzuri Jesu ike na kila mndu. Amina.