dav_reg/45-ACT.usfm

1387 lines
128 KiB
Plaintext

\id ACT
\ide UTF-8
\h Matendo Gha Mitume
\toc1 Matendo Gha Mitume
\toc2 Matendo Gha Mitume
\toc3 act
\mt Matendo Gha Mitume
\c 1
\cl Sura 1
\p
\v 1 Kitabu cha kala nachiandikie, Theofilo, nikideda gose Jesu wawokie kubonya na kufundisha,
\v 2 Mpaka ituku ambajo ye wawpkoeriwe igu. Ihi yerikogo baada ya kufunya amri kuidia Ngolo mtakatifu kwa walodi akogo waisagua.
\v 3 Baada ya mateso gake ye wawonekane kwawo akika banana pia na vithibitisho vingi vikishuhudia. Kwa matuku arobaini wakidhihirishie kwawo, na waarie kuhusu wuzurigwa Mlungu.
\p
\v 4 Arikogo akikwana andu kumweri nawo, wawaamrie wasainge Yerusalemu, ela wawesera kwa ajili ya ahadi ya Aba, ambayo, wadedie, "Mwasikie kufuma kwapwa.
\v 5 Kwamba Yohana wabatizie kwa machi, ela mwadima batizwa kwa Ngolo Mtakatifu katika matuku aga matineri."
\p
\v 6 Na wakati wakutanika andu kumweri wakamkotia, "Mzuri, hiri ugu niyo uwawujiaga israeli wuzuni?"
\v 7 Ye akawagoria, "siyo sawa kwenyu kumanya wakati au majira ambago Aba wakusudia kwa mamlaka gake mweni."
\v 8 Ela mwokeraga ndigi, wakati Ngolo Mtakatifu achga igu yenyu, na inyo mkaia mashahidi wapwa kose katika Yerusalemu na Uyahudi yose na samaria mpaka mwisho gwa isanga."
\v 9 Mzuri Jesu kumeria kugadeda aga, wakika waguwa igu, ye wainuliwe igu ni idulu jikafunika wasamwone kwa meso gawe.
\p
\v 10 Wakati waguwa mbingunyi kwa makini akigenda, gafla, wandu wawi wasimamie gadi gadi yawe warwa nguwo ra chokwa.
\v 11 Wadedie, "Enyi wandu wa Galilaya, kwa indoi mwasimama aha mkiguwa mbingunyi?" Uyu Jesu wapaa igu mbingunyi wadima wawia kwa namna ija kama andu mwamwona akigenda mbingunyi.
\p
\v 12 Niko wakawuya Yerusalemu. Kufuma lugongonyi lwa mizeituni, ambalo luko, avui na Yerusalemu, mwendo gwa ituku ja sabato.
\v 13 Kufika wakaenda ghorofanyi warikogo wakikaia. Nawo ni Petro, Yohana, Yakobo, Andrea, Filipo, Thomaso, Batholomayo, Mathayo, Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni Zelote na Yuda mwana wa Yakobo.
\v 14 Wose waungane kama mundu umweri, kwa juhudi warikogo wakiendelea katika malombi. Andu kumweri na awo warikogo waka, mariamu maye wa Jesu, na wakakakiye.
\p
\v 15 Katika matuku gaja Petro wasimamie gadi gadi ya mbari, kama wandu 120, akadeda,
\v 16 Mbari, Yarikogo ni lazima kwamba maandiko gatimizwe, ambapo kala Ngolo mtakatifu wadedie kwa momu gwa Daudi kuhusiana na Yuda ambaye wawaelekezie waja wambwada Jesu.
\v 17 Kwa kugora ye warikogo umweri wedu na wawekerie ifungu jake ja faida katika ihi huduma."
\p
\v 18 (Idana mundu uyu waguwe ieneo kwa chija achiwokerie kwa uwiwi gwake na aho wagfue akikirisha chongo, muwi gukabarika na vifu vake vose gakakaia mwari gakadika.
\v 19 Wose waishie Yerusalemu wasikire kuhusu iji, huwo ieneo ijo wakajibwaga kwa luga yawe "Akeidama" ijo ni "mbuwa ya baga.")
\p
\v 20 Kitabunyi cha zaburi yaandikwa, "wesera ieneo jake jike igacho na isaruhusiwe hata umweri kuishi aja, na 'Ruhusu mundu umwi awuse nafasi yake ya wulongozi.'
\p
\v 21 Iyo ni muhimu, kwa huwo, umweri wa womi ambawo waambatane naisi wakati Mzuri Jesu akifumana kungia katika yedu,
\v 22 Kuwoka ubatizonyi gwa Yohana mpaka ituku jija awusiwe igu, lazima ake shahidi wa ufufuo andu kumweri na isi.
\p
\v 23 "Wawikwa imbiri womi wawi, Yusufu awamgwawa na Mathia.
\v 24 Wo walombie wakideda, "We Mzuri, umanye ngolo na wandu wose, huwo wika mwari ni uyao kati ya wawi awa ambaye wamsagua
\v 25 Kuwusa nafasi katika huduma na ulodi, ambapo Yuda wabonyie uwiwi na kugenda andu kwake."
\v 26 Wakakaba kura kwa ajili ya we, na kura ikamguwa Mathia ambaye wataliwe andu kumweri na waja walodi ikumi na umweri.
\c 2
\cl Sura 2
\p
\v 1 Kufika ituku ja Pentekoste, wose warikogo andu kumweri sehemu imweri.
\v 2 Gafla ikafumiria muungurumo kufuma mbingunyi kama upepo guboie. Ukaguchura nyumba yose wakogo wakaia.
\v 3 Aho rika wafumiria chumi, kama chumi ra modo ragawanyika, rikakaia igu yawe kila umweri wawo.
\v 4 Wose wakachurwa ni Ngolo mtakatifu na waanza kudeda kwa luga rimwi, kama uja Ngolo kandu wajalia kudeda.
\p
\v 5 Idana warikogo wayahudi warikogo wadaishi Yerusalemu, wacha Mlungu, kufuma kila isanga ndonyi ya mbingu.
\v 6 Ngurumo iri kusikiriwa, ikundi ja wandu jikacha andu kumweri na wakika na wasi wasi kwa sababu kila mundu wasikire wakideda kwa luga yake mweni.
\v 7 Waduae na kushangazwa, wo wadedie, "Loli, awa wose wadadeda siwo wagalinganya?
\v 8 Kwa indoi isi dawasikira, kila umweri katika luga davalwa naro?
\v 9 Waparthia na wamedi na waelamu, na awo waishi mesopotamia, uyahudi, na kapadokia, na katika ponto na Asia,
\v 10 Katioka frigia, pamfilia, katika misri, na sehemu ya libya hata kirene, na wagenyi kufuma rumi,
\v 11 Wayahudi na waongofu, wakrete na waarabu, dawasikira wakiaria katika luga redu kuhusu kazi ra uweza gwa Mlungu."
\v 12 Wose warikogo waduwaa na kutatanishwa; wadedane weni kwa weni, "Ihi ikona maana ki?"
\v 13 Ela wami wadhihakie wakideda, "Awa wachurwa kwa mvinyo mbishi."
\p
\v 14 Ela akakimsi andu kumweri waja ikumi na imweri, akapaza sauti, akawazera wandu wa Yudea na wose waishi aha Yerusalemu, iji jimanyikane kwenyu, sikirenyi kwa makini madedo gapwa.
\v 15 Wandu awa ndewalewiwe kama andu mdhaniaga, sababu saa iri ni asubuhi saa idadu.
\v 16 Ela iji jirikogo jadedwa kuidia kwa Mlodi Yoeli.
\p
\v 17 Ikaga katika matuku ga mwisho, Mlungu wadedie, nidedaga Ngolo wapwa kwa wandu wose. Wana wenyu na wai wenyu wadimafunya ulodi, wadawana wenyu wadimawona mgomo, na wagosi wenyu wadima lola ndodo.
\v 18 Kwa wuja igu ya watumishi wapwa watumishi wapwa wa kinaka katika matuku ago, nidiaga Ngolo wapwa, nawo wadima tabiri.
\v 19 Nibonyeraga maajabu igu angenyi na ishara ndonyi dunienyi baga, modo na mafusho ga mosi.
\v 20 Na iruwa jikaguswa kukaia kira na mweri kuwa baga, kabla ya kucha ituku ja ajabu ja Mzuri.
\v 21 ikaia kwamba kila umweri ambaye ijiwangaga irina ja Mzuri wadimaokoka.'
\p
\v 22 Wandu wa Israeli, sikirenyi madedo aga: Jesu wa Nazareti, mwadamu wathibitishwa ni Mlungu kwenyu kwa matendo ga uweza na maajabu, na ishara ambaro Mlungu kuidia ye gadi gadi yenyu, kama inyo weni kandu mwiichi-
\v 23 kwa sababu ya mpango gwakusudiwa tangu imbiri, na maarifa ga Mlungu, wafunyigwe, na inyo kwa mkonu ya wandu wahalifu, mwamsulubishie na kubwaga,
\v 24 ambaye Mlungu wamwiinue, akainja uchungu gwa mauti gake, kwa sababu ndadimikie kwake kumilikiwa ni ye.
\p
\v 25 Huwo Daudi adadeda kuhusu ye Namwomie Bwana daima imbiri ya wushu gwapwa, ye weko mkonu gwapwa gwa kujo huwo basi sisegurwa
\v 26 Kwa kuwa ngolo yapwa yakogo ma kuboima lumilwapwa gwaboirishiwe. Pia muwi gwapwa gwedi maisha katika ujasiri.
\v 27 Ndwisigaa nafsi yapwa igende kuzimu wala nduruhusu Mtakatifu wako kuwona uozo
\v 28 We wadhihilisha kupwa chiara bina na; wedime nibonya nichue kuboirwa imbiri ye wushu gwako;
\p
\v 29 Mbazi, nadima kudeda kwenyu kwa ujasiri kuhusu aba wendu Daudi: ye wafaye na akarikwa, na ikaburijake jeko andukumweri na isi hata huwu linu.
\v 30 Huwo, werikogo nabii na wamenyie kugora Mlungu wapaie kwa kirawo kwake, kwamba wadimawika umweri katika uzao gwake kifumbimyi cha enzi.
\v 31 Wagiwonie iji mapema, na akadeda kuhusu ufufuo gwa Kristo, 'Wala nderikogo wasigwa kuzimu, walamuwi gwake ndaguvu ndie.'
\p
\v 32 Uyu Jesu- Mlungu wamfufue, ambaye isi wose da mashahidi.
\v 33 Kwa huwo, akika wanuigwa katika mkonu gwa kujo gwa Mlungu, na akiwa. wawakera ahadi ya Roho Mtakatifu kufuma kwa aba, ye wamimina ihi ahadi, ambaye inyo mdawona na kusikira.
\v 34 Kwani Daudi ndapaie kugenda mbingunyi, lakini akadeda, 'BWANA wadedie kwa Bwana wapwa,
\v 35 "Kaia mkonu gwapwa gwa kujo, mpaka nikawabonya adui wako kifumbi kwa ajili ya magu gako.
\p
\v 36 Kwahuwo nyumba yose ya Israeli na imanye kwa hakika kwamba Mlungu wabonya ye kuwa Bwana na kristo, uyu Jesu ambae mwamsulubishie."
\p
\v 37 Idana kusikira huwo, wakakorwa katika ngoro rawe, waka mzera Petro na mitume mizima, "Wambari, dibonye wada?"
\p
\v 38 Na Petro akawazera, "Tubunyi na Mbatizwe, kila umweri wenyu, katika irina ja Jesu Kristo kwa ajili ya msamaha gwa zambi renyu, na muwekeraa zawadi ya Roho mtakatifu.
\v 39 Kwanikwenyu ni ahadi na kwa wana wenyu na kwa waja wose weko kula, wandu wengi kadri Bwana Mlungu wedu kandu awawanga."
\v 40 Kwa madedo mengi washuhudie na kuwasihi; wadedie "Jiokoenyi mfume katika kivaziichi kiwiwi."
\p
\v 41 Niko wakayabokera madedo gake na wakabaatizwa, aho akaongezeka katika ituku ijo kama nafsi elfu idadu.
\v 42 Wakaendelea katika mafundisho ga mitume na ushirikiano, katika kugubega mkate na katika malombi.
\p
\v 43 Hofu ikacha igu ya kila nafsi, na maajabu mengi na ishara rikabonyeka kuidia mitume.
\v 44 Wose waaminie warikogo andukumweri na kuwa vilambo vawe kwa andukumweri,
\v 45 na wauzie vilambo na miliki rawe na kurigawanya kwa wose kulingana na hitaji ja kila umweri.
\v 46 Huwo ituku baada ya ituku waendelee wakiwa na ilengo jimweri katika ihekalu, na wabegie mkate kayenyi, nawashirikie vindo kwa kuboiwa na unyenyekevu gwa ngolo;
\v 47 Wamsifie Mlumgu na wakika na kibali na wandu wose. Bwana wawaomgoze ituku kwa ituku ambawo wakogo wakiokolewa.
\c 3
\cl Sura 3
\p
\v 1 Idana Petro na yohana warikogowanaelekea katika ihekalu wakati gwa malombi saa kenda.
\v 2 Mundu fulani, kiwete tangu kuvalwa, werikogo ikichwalwa kila ituku na wakogo akitungurishigwa katika mjango gwa ihekalu guwagwaga mzuri, ili adime kulomba sadaka kufuma kwa wandu wakogo wakielekea ihekalunyi.
\p
\v 3 Kuwawona Petro na Yohana wadakaribia kuingiaihekalunyi, akawalomba sadaka.
\v 4 Petro, akamkazia meso, andukumweri na Yohana, wadedie, "diguwe isi."
\v 5 Kiwete awaguwa, akitazamia kuwokera kilambo fulani kufuma kwawo.
\v 6 Lakini Petro akadeda, lakini chija nikanacho nifunyaga kwako. Katika irina ja Jesu kristo wanazariti, gendi."
\v 7 Petro akiamwusa kwa mkonu gwake gwa kujo, na akamwusira igu, maraimweri magu gake na vifundo va maindi gake vikapata ndigi.
\v 8 Akaburuka igu, mundu kiwete wasimamamie na akaanza kugenda, akangia ihekalunyi andukumweri na Petro na Yohana, akigenda, akiburuka, na kumtongola Mlungu.
\p
\v 9 Wandu wose wamwonie akigenda na kumtongola Mlungu.
\v 10 Wakamanya kwamba ni muja mundu ambaye warikogo akika akilomba sadaka mjangonyi mzuri gwa ihekalu, wachurigue ni mshangao na kustaajabu kwa sababu ya chija cha fumiria kwake.
\v 11 Namna arikogo wawadiria Petro na Yohana, wandu wose kwa andukumweri wakakimbiria ukumbinyi guwangwaga gwa Sulemani, wakashangaa nanganyi.
\p
\v 12 Petro kujiwoma iji, ye akawajibu wandu, "Enyi wandu waIsraeli, kwa indoi mdashangaa? kwa indoi mdaga elekeza meso genyu kwedu, kana kwamba dambomya uyu agende kwandigi redi weni au uchaji wedu?"
\v 13 Mlungu waIbrahimu, na wa Isaka, na waYakobo, Mlungu wa Aba wedu, wamtukuza mtumishi wake Jesu. Uyu niye ambaye inyo mwamkabidhie na kumlega imbiri ya wushu gwa Pilato, japo ye warikogo waamue kumsigiraia huru.
\v 14 Mwamlegie Mtakatifu na Eko na Haki, nabadala yake mkakunda mbwagaji asigiriwe huru.
\v 15 Inyo mwambagie Mfalume wa binana, ambaye Mlungu wa mfufue kufuma kwa wafu -Isi da mashahidi gwa iji.
\v 16 Idana, kwa imani katika irina jake, mundu uyu ambaye mwambonana kumanya, wabonyiwe kuwa na ndigiimani anbayo idadia kwa Jesu yamnekie ye afya ihi kamilifu imbiri yenyu inyo wose.
\p
\v 17 Idana, mbari, naichi kwamba mwabonyie katika ukelu, nika pia wabonyie vilongozi wenyu.
\v 18 Ela malago ambago Mlungu wawagorie mapema kwa miomu ya walodi wose, kwamba uyu Kristo wadima wateseka, idana wagatimiza.
\v 19 Kwa huwo, tubunyi na mgeuke, ili kwamba zambi renyu ridime kuinjigwa kabisa, kusudi riche nyakati ra kuburudika kufumana na kuwepo kwa Mzuri;
\v 20 na kwamba adime kumduma Kristo ambaye wateuliwa kwa ajili yedu, Jesu.
\v 21 Ye niye ambae lazima mbingu rimbokere vilambo vose, ambavo Mlungu wadedie kala na kala kwa miomu ya walodi watakatifu.
\v 22 Hakika Musa wadedie, 'Mzuri Mlungu wadima inua mlodi kama nyi kufuma katika mbari wenyu mwadima msikira kila kilambo ambacho wadima wagoria inyo.
\v 23 Yadima fumiria kwamba kila mundu ambae ndasikiraga kwa mlodi uyo wadimaangamizwa kabisa afume kati ya wandu.'
\v 24 Niyo, na walodi wose kufuma samweli na waja wanugiria baada yake, wadedie na watangazie matuku aga.
\v 25 Inyo ni wana wa walodi na wa ilagano ambajo Mlungu wajibonyie andu kumweri na wakawawa, kama andu adedie kwa Abrahamu, 'katika mbeu yako familia rose ra dunia ridimabarikiwa.'
\v 26 Baada ya Mlungu kumwinua mtumishi wake, wamdumie kwenyu kwanza, ili awabariki inyo kwa katika uwiwi gwenyu.
\c 4
\cl Sura 4
\p
\v 1 Wakati Petro na Yohana warikogo wakiaria na wandu, makuhani na mlindiri wa ihekelu na masadukayo wakawagendie.
\v 2 Warikogo waudhika nanganyi kwa sababu Petro na Yohana warikogo wawafundisha wandu kuhusu Jesu na kutangaza igu ya kufufuka kwake kufuma kwa wafu.
\v 3 Wawadie na kuwawika igerezanyi hadi asubuhi inugirie, kwani tayari yakogo kwenji.
\v 4 Ela wandu wengi warikogo wasikira ujumbe warikogo waamini, na idadi ya womi wakogo waamini wakadiriwe kuwa elfu isanu.
\p
\v 5 Hata kufika asubuhi ituku jinugurie, kwamba wabaha wawe, wagosi na waandishi, kwa andu kumweri wakubanyikie Yerusalemu.
\v 6 Anasi kuhani mbaha warikogo, na kayafa, na Yohana na Iskanda, na wose warikogo ni mbari wa kuhani mbaha.
\v 7 Warikogo wawawika Petro Yohana gadi yawe, wawakotei?"
\p
\v 8 Kisha Petro, akiwa wachua Ngolo mtakatifu, akawazera, "Inyo wabaha wa wandu, na wagosi,
\v 9 Kama isi ituku ja linu dahojiwa kuhusu itendo jiboie jibonyigwa kwa mundu uyu mkongo - kwa namna ki mundu uyu wabonyiwe mlazi?
\v 10 Hebu jimanyikane ijo kwenyu na kwa wandu wose katika Israeli, kwamba kwa irina ja Jesu Kristo wa Nazareti, ambaye mwasulubishwe, ambaye Mlungu wamfufue kufuma kwa wafu, ni kwa chia yake kwamba mundu uyu wasimamie aha imbiri yedu akika ekona afya.
\p
\v 11 Jesu Kristo ni igwe ambajo inyo wajenzi nawajimenyie, ela ambajo jabonyiwe kuwa igwe ibaha ja pembenyi.
\v 12 Ndekudae wokovu katika mundu uwiwi wowose uja. kwa maana ndakudaye irina jimwi ndonyi ya mbingu wanekiwe wandu, ambajo kwa ijo dadima kuokolewa."
\p
\v 13 Idana kuwona ujasiri gwa Petro na Yohana, na wakagundua kwamba warikogo ni wandu wa kawaida wasadae elimu, washangaie, waka manya kwamba Petro na Yohana wakogo andukumweri na Jesu.
\v 14 Kwa sababu wamwonie uja mundu waboisigwa wasimama andukumweri nawo, ndewakogo na kilambo cha kudeda dhidi ya iji.
\p
\v 15 Ela wakogo wasamaria kuwaamuru walodi iinge imbiri wo kwa wo.
\v 16 Wadedie, diwabonyaga wada wandu awa? Ni loli kwamba wo gumanyikame ni kila umweri aishi Yerusalemu, ndedidimaga kujilega ijo.
\v 17 Ela, ili kwamba ilago iji jisaenee miongonyi mwa wandu, hebu diwabonye wasadede sena kwa mundu wowose kwa irina iji.
\v 18 Wawamanyie Petro na Yohana ndenyi na kuwaamuru kamwe wasadede wala kufundisjha kwa irina ja Jesu.
\p
\v 19 Ela Petro na Yohana wajibie na kuwagoria, "kama ni sahihi mesonyi kwa Mlungu kuwatii inyo kuliko Mlungu kuwatii inyo kuliko Mlungu, hukumunyi inyo wenyi.
\v 20 Maana isi ndedimaga kusiga kugadeda malago ambago daga wona na kugasikira."
\p
\v 21 Baada ya kuwaonya nanganyi Petro na Yohana, wawasigie wagende. Ndewedimie kupata sababu yoyose ya kuwaazibu, kwa sababu wandu wose wakogo wakimgola Mlungu kwa chija chikogo chabonyeka.
\v 22 Mundu akogo wabonyekera muujiza gwa uponyaji wapatie kukaia na umwi gwa zaidi ya miaka arobaini.
\p
\v 23 Baada ya kuwasiga huru, Petro na Yohana wachee kwa wandu wawe na kuwataarifu gose ambago makuhani wabaha na wagosi warikogo wawagoria.
\v 24 Kugasikira, wapaazie sauti rawe kwa andu kumweri kwa Mlungu na kudeda, "Mzuri we uumbie mbingu na dunia na bahari na kila kilambo ndenyi yake,
\v 25 We ambaye, kwa Ngolo mtakatifu, kwa momu gwa aba wedu Daudi, mtumishi wako, ulisema, "kwa indoi wandu wa masanga wabonya gasia, na wandu watafame malago gasafaa?
\q
\v 26 Wazuri wa dunia wakipangie andukumweri na watawala wakusanyika kwa andu kumweri dhidi ya Mzuri na dhidi ya masihi wake."
\p
\v 27 Ni hakika, Herode na Pontio Pillato, andukumweri na wandu wa masanga na wandu wa Israeli, wakusanyikie kwa andu kumweri katika muzi ugu dhidi ya mtumishi wako mtakatifu Jesu, ambaye wamwirie mavuda.
\v 28 Wakusanyikie kwa andu kumweri kubonya gose ambago mkonu gwake na mapenzi gako gagaamuriye tangu mwanzo kabla ndegafumiria.
\p
\v 29 Idana, Mzuri, gaguve matisho gawe, na ugenda wajalia watumishi wako kujideda ilago kwa ujasiri gose.
\v 30 Ili kwamba ukanyoosha mkonu gwako kuboisa, ishara na maajabu vidime kufumiria kuidia irina ja mtumishi wako mtakatifu Jesu."
\p
\v 31 Kumeria kulomba, ieneo ambajo wakusanyikie kwa andu kumweri jikotikiswa, na wose wakachurwa ni Ngolo mtakatifu, na wadedie ilago ja Mlungu kwa ujasiri.
\p
\v 32 Idadi mbaha ya waja waaminie warikogo na ngolo jumweri na ngolo umweri na ndakudaye hata umweri wawe adedie kwamba chochose amilikie chakogo chake mweni, badala yake wakogo na vilambo vose shiriki.
\v 33 Kwa ndigi mbaha walodi warikogo wakutangaza ushuhuda gwawe kuhusu ufufuo gwa Mzuri Jesu, na neema mbaha yakogo igu yawe wose.
\v 34 Ndekukogo na wowose miongonyi mwawo apungukiwe ni mahitaji, kwa sababu wandu wose wakogo na hati ra viwacha au nyumba, wawuzie na kureda magome ga vilambo virikogo vauzwa.
\v 35 na kuviwika ndonyi ya magu ga walodi. Na mgawanyo gwabonyiwe kwa kila muumini, kulingana na kila umweri arikogo na ihitaji.
\p
\v 36 Yusufu, mlawi, mundu kufuma kipro, wanekiwe irina ja Barnabasi na walodi (inyo ikitafsiriwa, ni mwana wa faraja).
\v 37 Akika na mbuwa, wajiuzie na akareda magome, akariwika ndonyi ga magu ga walodi.
\c 5
\cl Sura 5
\p
\v 1 Huwo, mundu umweri ariwangwaga Anania, na Safira mkake, wadagie sehemu ya mali,
\v 2 na wakiwa sehemu ya magome wadagie (mkake, pia wajimanyie ijo, na akareda sehemu ibakie na kuiwika magunyi ga mitume.
\p
\v 3 Lakini Petro akadeda, "Anania, kwa indoi shetani waichura ngolo yako kudeda tee kwa Roho mtakatifu kuwisa sehemu ya mali ya mbuwenyi?
\v 4 Wakati ndeidagiwe, ndaikogo ni maliyako? Na baada ya kudagwa, ndeikogo ndonyi ya uamuzi gwako? yakee wada uelime ilago iji ngolonyi kwako? Nduwa embie wanadamu, bali wamwemba Mlungu.
\v 5 "katika kusikira madedo aga, Anania akangwa ndonyi akadema roho. Na hofu mbaha iwachue wose wajisikire iji.
\v 6 Wadawana wakacha imbiri na kumkumba katika shanda, na kumgenja shigadi nakumrika.
\p
\v 7 Baada ya mmasaa adadu huwu, mkake akangia ndenyi, asamanye ni ndoi cha mfumiria.
\v 8 Petro akamzera, "Nigorie, kama mwadagie mbura kwa samani iyo" Akadeda, "Hee, kwa samani iyo."
\v 9 kisha Petro akamzera, "Yohana wada kwamba mwapatana kwa andukumweri kumgeria Roho wa Bwana? Ngowa, magu ga waja wamrika mago iko mjangoni, na wadima kudwa na kukugenja shigandi."
\v 10 Gafla akagwa magunyi kwa petro, akadema roho, na waja wada wana wakacha ndenyi wakamdoka wafwa. Wakamdwa kumgenja shigandi, na kumrika avui na mumii.
\p
\v 11 Hofu mbaha ikacha igu ya ikanisa ilanzi, na igu ga wose wagasikire malango aga.
\p
\v 12 Ishara nyingi na maajabu warikogovafumiria miongoni mwa wandu kuidia mikonu ya mitume. Warikogo andukumweri katika ukumbi gwa Sulemani.
\v 13 Lakini, ndekundae mundu umwi tofauti akogo na ujasiri gwa kuambatana nae; hata huwo, wanekigwe heshima ya igu ni wamdu.
\v 14 Na pia, waumini wengi warikogo wakiongezeka kwa Bwana, idadi mbaha ya womi nawake.
\v 15 Kiasi kwamba hata wawadwae wakogo mita enyi, na kuwatungurisha vita ndenyi na makochinyi, ili kwamba Petro akika akadeda, kirerende chake chidimeigu yawe.
\v 16 Aho pia, idada mbaha ya wandu wachee kufuma mizi izungulukie yerusalemu, wakiwareda wakongo na wose wapagawa ni Ngolo wachafu, na wose waboiswa.
\p
\v 17 Ela kuhani mbaha wainukie, na wose wakogo andukumweri nae (ambawo ni wa idhehebu ja masadukayo, na wakachurwa ni wivu
\v 18 Wakanyoosha mikonu yawe kuwawada walodi na kuwawika ndenyi ja igereza ja jumla.
\v 19 Na wakati gwa kio malaika wa Mzuri akairugua mijango ja igereza na kuwalongoza shigadi na kudeda,
\v 20 "Gendenyi, simamenyi ihekalunyi na kuwazera wandu madedo gose ga walazi ugu."
\v 21 Kusikira iji, wangirie ihekalunyi wakati gwa mazie zie na kufundisha ela, kuhani mbaha waichee na wose wakogo nae, na kuitisha ibaraza jose kwa andu kumweri, na wagosi wose wa wandu wa Israeli, na kuwaduma igerezanyi ili kuwareda walodi.
\v 22 Ela watumishi wagendie, ndewadokie igerezanyi wawurie na kufunya taarifa,
\v 23 "Dadokie igereza jarugwa nicha kamare, na walinzi wasimama mjangonyi, ela dikogo dikinguwa, ndediwonie mundu ndenyi."
\v 24 Idana wakati jemedari wa ihekalu na makuhani wabaha kusikira madedo aga, wangiriwe ni shaka mbaha kwa ajili yawe wakiwaza jikaiaga wada ilago iji.
\p
\v 25 Kisha umweri akacha na kuwazera "Wandu mwawawika igerezanyi wasimama ihekalunyi na wadafundisha wandu."
\v 26 Huwo jemedari wagendie andukumweri na watumishi, na wakawareda, ela bila ya kubonya vungu, kwa sababu wawaboie wandu wadimga kuwakaba kwa magwe.
\p
\v 27 kumeria kuwareda, wawawikie imbiri ya baraza. Kuhani mbaha akawahoji
\v 28 akideda, "Dawamurie msafundishe kwa irina iji, na bado mwaichwa Yerusalemu kwa ifundisho jenyu, na kutamani kureda baga ya mundu uyu igu yedu."
\v 29 Ela Petro na walodi wakajibu, "Lazima dimtii Mlungu kuliko wandu.
\v 30 Mlungu wa Aba wedu wamfufue Jesu, mumbwagie, kwa kumtundika igu ya mudi.
\v 31 Mlungu wamtukuzie katika mkonu gwake gwa kujo, na kumbonya kuwa nbaha na mwaokozi, kufunya toba kwa Israeli, na msamaha gwa zambi.
\v 32 Isi na mashahidi wa malago aga, na Ngolo wa kuela, ambaye Mlungu wamfunya kwa waja wamtii."
\v 33 Wajumbe wa ibaraza kusikira huwu, wakawadwa ni hasira wakakunda kuwabwaga walodi.
\p
\v 34 Ela farisayo awagiwe Gemalieli, mwalimu wa sheria, aheshimiwe ni wandu wose, wasimamie na kuwaamuru walodi wawusigwe shigadi kwa muda mvui.
\v 35 Kisha akawazera, "wawi wa Israeli, kenyi makini nanganyi na chija mchipendekezaga kuwabonya wandu awa.
\v 36 Kwa sababu, kala ridie, Theuda wawukie na kujidai kuwa mundu mbaha, na idadi ya wandu, wafikia mia ina wakamnuga. Wabwagiwe, na wose warikogo wakimtii watawanyikie na kulagaya.
\v 37 Baada ya mundu uyu, Yuda mgalilaya, wakiusirie matuku gaja ga kuandikwa sensa, akaruda wandu wengi nyuma yake. Na ye pia walagarie na wose wakogo wakimtii watawanyike.
\v 38 Idana nawagoria, kieupusheenyi na wandu awa na muwasige wenu, kwa sababu kama mpango ugu ni kazi ihi ni ya wandu idagwaa.
\v 39 Ela kama ni ya Mlungu, ndemdimaga kuwazeria, mwadima mkakidoka hadi mdashindana na Mlungu." Huwo, washawishikie na modo gake.
\v 40 kisha wawangie walodi ndenyi na kuwapa na kuwaamuru wasanene kwa irina ja Jesu, na wakawasiga wagende rawe.
\p
\v 41 Wangie imbiri ja ibaraza wakiboiwa kwa sababu wataliwa kuwa wastahili kuteseka na kulemwa heshimiwe kwa ajili ya irina iyo.
\v 42 Kwa huwo, kila ituku ndenyi ya ihekalu na kufuma nyumba hadi nyumba waendelee kufundisha na kuhubiri Jesu kuwa ni Masihi.
\c 6
\cl Sura 6
\p
\v 1 Idana katika matuku aga, wakati idadi ya wanafunzi ikikaia idachurika, ilalamika ja wayahudi wa kiyunani ja wakie dhidi ya waebrania, kwa sababu wajane wawe warikogo wadalwika katika mgao wa kila ituku ja vindo.
\p
\v 2 Walodi ikumi na iwi wawangie ikusanyiko jose ja wanafunzi na kudeda, "siyo sahihi kwedu kujisiga idedo ja Mlungu kuhudumia mezenyi.
\v 3 Kwa huwo, mbari, saguenyi, omi saba, kfuma miongonyi mwenyu, wandu wabole, wachua Ngolo na hekima, ambawo dadima kuwakabizi huduma ihi.
\v 4 Na isi dadima endelea kala na kala katika kulomba na katika huduma ya ya idedo."
\p
\v 5 Hotuba yawe ikakupendeza kutano gose. Huwo, wakamsagua Stefano, mundu wachurwa imani na Ngolo wa kuela, na Filipo, Prokoro, Nikanoni, Timoni, Parmera, na Nikolau mwongofu kufuma Antiokia.
\v 6 Waumini wawaredie wandu awa imbinye walodi, walombia na baadae wakawawikia mikonu yawe.
\p
\v 7 Huwo, idedo ja Mlungu jaenee, na idadi ya wanafunzi yazidie kuchurika uko Yerusalemu, na idadi mbaha ya makuhani wakaitii imani.
\p
\v 8 Na Stefano, achie neema ya ndigi, wakogo akibonya maajabu na ishara mbaha miingonyi mwa wandu.
\v 9 Ela aho wakanuka baadhi ya wandu wafuasi wa Isinagogi jiwangwa wa isinagogi ja machuru, na ja wakirene na ja waeskanderia, na baadhi kufuma kilikia na Asia. Wandu awa wakogo wakihojiana na Stefano.
\v 10 Ela, ndewadimie kushindana na hekima na Ngolo ambayo Stefano warikogo akitumia katika kuzungumza.
\p
\v 11 Kisha wawashawishie baadhi ya wandu kwa siri kudeda, "Dasikira Stefano akizungumza madedo ga kufuru dhidi ya Musa na dhidi ya Mlungu.
\v 12 Wawashurutishie wandu, wagosi, na waandishi, na kumgesha Stefano, wakambwada, na kumreda imbiri ya ibaraza.
\v 13 Wawaredie mashahidi wa tee, wadedie, "mundu uyu ndasigaa kudeda madedo gazamie dhidi ya ieneo iji kuela na sheria.
\v 14 kwani damsikira akideda kwamba uyu Jesu wa Nazareti wadimanona andu aha na kurigalusa desturi dakabiziwa ni Musa."
\p
\v 15 Kila umweri arikogo katika ibaraza, akaelekeza meso gake kumguwa Stefano, nawo wakawona wushu gwake gwakogo kama wushu gwa malaika.
\c 7
\cl Sura 7
\p
\v 1 Kuhani mbaha akadeda, "malago aga ni ga loli"?
\p
\v 2 Stefano akadeda, "mbari na wakaaba wapwa, ni sikirienyi nyi: Mlungu wa mtukufu wa mfumirie aba wedu Abrahamu wakati arikogo mesopotamia, kabla nderishie Harani;
\v 3 akamzera; inga katika isanga jako na jamaa wako na ugende katika isanga nikubonyereaga.'
\p
\v 4 Kisha akainga katika isanga ja uka idayo akaishi Harani, kufuma aho, baada ya ndee kufwa, Mlungu akamreda isangenyi iji, waishi ijiaha.
\v 5 Ndamnekie chochose kama irisi gwake, ndekedege na sehemu waahidiwe hata kabla yakupata mwana kuwa wadima nekwa isanga kama milki yaake na uzao gwake.
\v 6 Mlungu wadedie na ye huwu, ya kwamba wazao wake magu waishi katika isanga ja ugenyinyi, na kwamba wenyezi wa uko wadima wabonya kuwa watumwa wao na kuwabonyi lage lage kwa muda gwa miaka mia ina.
\v 7 Na Mlungu akadeda, nadimajihukumu isanga ambajo jimibonyaa mateka, na baada ya aho wadima wafuma na kuniabudu katika sehemu ihi.
\v 8 Na akamneka Abrahamu iagano ja tohara, huwo Abrahamu akawa aba wa isaka akamtahiri Yakobo, na Yakobo akawa aba wa wakawawa wedu ikumi na wawi.
\p
\v 9 Wakawawa wedu wakamwonea wivu Yusufu wakamdaga katika isanga ja Misri, na Mlungu wakogo andukumweri na ye,
\v 10 na akamwokoa katika mateso gake, na akamneka fadhili na hekima imbiri ya Farao mfalme wa Misri. Farao akambonya ake mtawala igu ya Misri na igu ya nyumba yose.
\p
\v 11 Basi kukakaia na njala mbaha na mateso mengi katika isanga ja Misri na kanani na aba wedu ndewapatie vindo.
\v 12 Ela Yakobo kusikira koko nafaka Misri, waudumie aba wedu kwa mara ya kwanza.
\v 13 Katika charo cha kawi Yusufu akakibonyera kwa wambari wake, familia ya Yusufu ikamanyika kwa Farao.
\v 14 Yusufu akawaduma wambari wake kugenda magoria Yakobo aba wawe ache Misri, andukumweri na jamaa wake, jumla ya wandu wose ni sabini na isanu.
\v 15 Huwo Yakobo akasea Misri, kisha akafwa ye andu kumweri na aka aba wedu.
\v 16 Wakawusigwa hata shekemu wakarikwa katika ikaburi ambajo Abrahamu waguliwe kwa vipande vya magome kufuma kwa wana wa Homori uko shekemu.
\p
\v 17 Wakati gwa ija ahadi ambayo Mlungu wamwahidie Abrahamu kufika avui, wandu wakiwa wachurika uko Misri,
\v 18 Wakati ugo wainukie Mzuri umwi igu ya Misri, Mzuri asiichi kuhusu Yusufu.
\v 19 Uyu Mzuri umwi akawaembia wandu wedu na kuwatenda gazamie aba wedu, na kuwadaga wana wawe wakoho ili wasaishi.
\p
\v 20 Katika kipindi icho Musa wavalwe, warikogo aboie imbiri ya Mlungu, akaelewa mieri idadu katika myumba ya aba wake.
\v 21 Wakati akidagwa, binti wa Farao akamwusa akamlela kama mwanake.
\v 22 Musa wafundishiwe mafundisho gose ga kimisri, warikogo na ndigi katika madedo na matendo.
\p
\v 23 Ela baada ya kutimiza miaka arobaini, ikamchea katika ngolo yake kuwaselia wambari wake, wana wa Israeli.
\v 24 Kumwona mwisraeli akibonyiwa gazamie, Musa wamtee na kulipiza kisasi akogo akimwonea kwa kumkaba mmisri:
\v 25 akifikiri kuwa wambari wake wadima manya kugora Mlungu wadima waokoa kwa mikonu gwake, ela ndawamanyie.
\v 26 Ituku janugiria akagenda kwa baazi ya waisraeli wakogo wakigombana, akageria lawapatanisha, akideda, mabwana, Inyo ni wambari, mbona mdakosea inyo kwa inyo?
\v 27 Ela wamkosea jirani wake akasukumia kula, na kudeda, 'Nani wabonya mtawala na muhukumu wedu?
\v 28 We wakundi kunibwaga, kama andu wabwaga mmisri iguo?"
\v 29 Musa akakimbia baada ya kusikira huwo, akaka mgeni katika isanga ja midiani, uko akakaia aba wa wana wawi.
\p
\v 30 Baada ya miaka arobaini kuida, malaika wakamfumiria katika ijangwa ja lugongo lwa sinai, katika mwali gwa modo ndenyi ya kitela.
\v 31 Wakati Musa kuwona modo, washangaiwe na kustaajabu chija wachiwona, na akageria kuchisoogelea ili kuchiguwa, sauti ya Mzuri ikamchea ikideda,
\v 32 Nyi na Mlungu wa aba wenyu, Mlungu wa Abrahamu, na wa Israeli, na wa Yakobo: Musa wakakamie na ndasulubiwe kunguwa.
\v 33 Mzuri akamzera, "Kuwa vandu vaho, andu wa simama ni andu kutakatifu.
\v 34 Nawona mateso ga wandu wapwa weko Misri, Nasikira kuwawa kwawo nanyi nasea ili niwaokowe, idana choo, nadima kuduma we Misri.'
\p
\v 35 Uyu Musa ambae wamlegie, wakati wakideda, nani wakubonya mtawala na mwamuzi wedu? _ werikogo ni ye ambaye Mlungu wamdumie ake mtawala na mkombozi.
\v 36 Musa wawakirishie kufuma misri baada ya kubonya miujiza na ishara uko misri na katika bahari ya sahamu, na katika ijangwa kwa kipindi cha miaka arobaini.
\v 37 Ni Musa uyu niye awagorie wandu wa Israeli kuwa, 'Mlungu wadima wainuliwa nabii kufuma miongonyi mwa wambari wenyu, nabii kama nyi.
\v 38 Uyu ni mundu ambae werikogo katika mkutano ijangwenyi na malaika ambae wadedie na katika lugongo sinai. uyu nie mundu ambae warikogo na waka aba wedu, uyu ni mundu ambae wawokeria idedo jiko banana na kudipatia isi.
\p
\v 39 Uyu ni mundu ambae aba wedu walegie kumtii, wamsukumie kula, na katika ngolo rawe waageukie Misri.
\v 40 Katika kipindi icho wamzerie Haruni, dibonyie Milungu idima kudilongoza. Uyu Musa, akogo akidilongoza kufuma katika isanga ja misri, ndadiamanyie chimokie.'
\v 41 Huwo wakaboisa ndama kwa matuku ago na wakafanya sadaka kwa iyo sanamu na wakaboiwa kwa sababu ya kazi ya mikonu yawe.
\v 42 Lakini Mlungu wawageuzie na kuwa neka waabudu nyenyeri ra enyi, kama andu ya andilewa kitabunyi cha manabii, 'Je mwanifunyia nyi sadaka ra wanyama mwawachinja ijangwenyi kwa muda gwa miaka arobaini nyumba ya israeli?
\v 43 Mwakubali ihema ja kukwania ja Moleki na nyenyeri ya Mlungu refani, na picha mwaiboisa na kuwaabudu wo: na niwagenaga kula nanganyi ya Babeli.'
\p
\v 44 Aba wedu warikogo na ihema ja kukwania ja ushuhuda ija ngwenyi, kama Mlungu andu waamuru akideda na Musa, kwamba waboisaga kwa mfano gwa guja waguwona.
\v 45 Ija ni ihema ambajo aba wedu, kwa wakati wao, waredigwe katika isanga ni Joshua. Ihi ya fumirie wakati wakingia kumiliki isanga ambajo Mlungu wawawingie kabla ya uwapa gwa aba wedu, Ihi yake huwu hadi matuku ga Daudi,
\v 46 ambaye wapatie kibali mesonyi ga Mlungu; na kulomba kulola makao kwa Mlungu wa Yakobo.
\v 47 Lakini Selemani wamwagie nyumba ya Mlungu.
\p
\v 48 Hata huwo Akoigu ndaishi nyumbenyi ra agwa mikonu; ihi ni kama nabii adedie;
\q
\v 49 Mbinguni kifumbi chapwa cha enzi, na dunia ni sehemu ya kuwikia magu gapwa, Nyumba yaaina ki mniagiapa? wadeda Bwana: au ni hawo sehemu yapwa ya kusogekia?
\v 50 Siyo mkonu gapwa gwambonya ivi vilambo vose?'
\p
\v 51 Enyi wandu wokana singo rikurie msatahiliwe ngolo na madu, kila mara mdapinga Roho Mtakatifu; mdatenda kama aba wenyu andu wabonyie.
\v 52 Ni nabii ki katika manabii ambae aba wenyu ndewamtesia? wawabwagie manabii wose wafumirie kabla ya ujio gwa umweri akona Haki; na idana mwawia wasaliti na wabwagaji wake pia;
\v 53 enyi wandu mwawokera sheria ija galagizwa ni Malaika lakini ndewiwodie."
\p
\v 54 Kisha wajumbe wa ibaraza kusikira malago aga, wakoriwe ngolo rawe, waka msagia magego Stefano.
\p
\v 55 Lakini ye, akika wachua Roho Mtakatifu, akangowa mbingunyi kwa makini na akawona utukufu gwa Mlungu; na kumwona Jesu wasimama mkonu gwa kujo gwa Mlungu.
\v 56 Stefano akadeda. "Ngowa naona mbingu rafunguka, na Mwana wa Adamu wa simama mkonu gwa kujo gwa Mlungu.
\p
\v 57 Lakini wajumbe wa ibaraza wakakaba jogo kwa sauti ra igu, wakiziba madu gawe, wakamkimbilria kwa andukumweri,
\v 58 Wakamdaga shigadi ya muzi na wakamkaba magwe! na mashahidi wa kuruwa nguo rawe ra shagadi na kuwika ndonyi au na magu ga kijana awangiwe Sauli.
\v 59 Wakati wadamkaba magwe Stefano, waendelea kumwanga Bwana na kudeda, "Bwana Jesu, wokera roho yapwa"
\p
\v 60 Akakaba magoti na kuwanga kwa sauti mbaha "Bwana, usawatalie zambi ihi." Kumeria kudeda aga akadema roho.
\c 8
\cl Sura 8
\p
\v 1 Sauli warikogo makubalionyina kifwa chake. Ituku ijo niko aanzie kuwatesa kinyume cha ikanisa jiko Yerusalemu, na waaminio wose watawanyikie katika majimbo ya yudea na samaria, isipokua mitume.
\v 2 Wandu wachamlungu wamrikie stephano na kubonya maombolezo mabaha igu yake.
\v 3 Lakini sauli wajidhwne sana ikanisa, Wagendie nyumba kwa nyunba na kuwaburutashigadi waka na womi, na kuwadaga igerezenyi.
\p
\v 4 Waaminio ambawo wakogo watawanyika bado wajihubirie idedo.
\v 5 Filipo akasema katika muzi gwa samaria na akamtangaza kristo uko.
\v 6 Baada ya makutano kusikira na kuwa na ishara alibonyie filipo, wakawika umakini igu ya chija wachideda.
\v 7 Kufuma aho wadu wengi wasikare pepo wachama wawafumie wandu uku wakilila kwa sauti mbaha, na wengi waololie na viwate wabaisiwe.
\v 8 Na kwa rikogo na kuboirwa kubaha katika muzi.
\p
\v 9 Lakini kwerikogo na mundu umweri katika muzi guja riha jake ni simoni ambaye werikogo akibonya usawiambago wagutumae kuwashangaza wandu wa isanga ja samaria, wakati wakudeda kugora ye wi mundu muhimu
\v 10 Wasamaria wose tengu mtini hata mbaha, wakansikiria wakadeda; mundu uyu ni ija naligi ya mlungu ambayo nimbaha."
\v 11 Wakemsikiria, kwa kugura wawashangaziekwa mda mlacha kwa usawi gwake.
\v 12 Lakini wakati kumeria kuamini kuwa filipo wahubirie igu ya uzuri gwa mlungu na igu ya irina sa Jesu kristo, waabatiziwe womi kwa waka.
\v 13 Na simoni mweni waaminie: baada ya kubatizwa, waendelee kukaria na filipo; kuona ishara na mrujiza ikogo ikibonyeka, washangaie.
\p
\v 14 Wakati mitume ya yerusalimu kusikira samaria yabokera idedo ja mlungu, wakawaduma petro na yohana.
\v 15 Wakati wakisea wakawalombia kwanba wabokere Roho mtakatifu.
\v 16 Mpaka muda ugo, Roho mtakatifu werikogo ndawashukie hata wawo warikogo tu wabaatiziwe kwa irina ja Bwana Jesu.
\v 17 Niko petro na yohana wakawawikia mikonu, nawo wakabokera Roho mtakatifu.
\p
\v 18 Wakati simoni kuwona kwamba Roho mtakatifu wafunyigwa kuidia kuwikiwa mikonu ni mitume, akakunda kuwaneka magome.
\v 19 Akadeda "Ninekenyi ihi ndigi, illi kila ni mwii kiga mikonu awokere Roho mtakatifu."
\p
\v 20 Lakini petro akamzera, magome ga kio andu kumweri na we lagaria kila, kwa sababu wadhani kugora karamea ya mlungu yapatikanaga kwa magome.
\v 21 Ndudae eshemu katika itago iji kwa sababu ngolo yako siyo myoofu imbiri ra mlungu.
\v 22 Huwo basi tubu mawiwi gako na kulomba mlungu labda wadima samehewa fikra ra ngolo yako.
\v 23 Kwa kugora nawana uko katika sumu ya uchungu na kifungo cha zambi."
\p
\v 24 Simoni akajibu na kudeda, "Mlombienyi Mzuri kwa ajili yapwa, kwa kugora malago gose mwaria gadima kufumiria.
\p
\v 25 Wakati Petro na Yohana warikogo washuhudia na kuhubiri idedo ja Mzuri, wawie Yerusalemu kwa chia iyo, wahubirie injili katika vijiji vingi wasamaria.
\p
\v 26 Basi malaiaka wa Mzuri akadeda na Filipo na kudeda, "Angaza na ugende kusini katika chia igendaga ndonyi ya Yerusalemu kuelekea Gaza." (Chia ihi iko katika ijangwa).
\v 27 Akaangaza na kugenda. Ngowa, kwarikogo na mundu wa Ethiopia. Awikiwa igu ya hazina yake yose, na ye wakogo wagenda Yerusalemu kuabudu.
\v 28 Warikogo akiwua wakaia igarinyi kwake akisoma chuo cha nabii isaya.
\p
\v 29 Ngolo akadeda na Filipo, "Sogea karibu na igari iji ushikamane najo
\p
\v 30 Huwo Filipo akagenda isege, akamsikira akisoma katika chuo cha nabii isaya, akadeda, Je, waichi uchisomaga?"
\p
\v 31 Muethiopia akadeda, "nidimaga wada mundu akalemwa nilongoza?"
\p
\v 32 Idana ifungu ja maandiko akogo akisoma muethiopia na iji, kuchinjwa, na kama ng'ondi wanyarie kimya, ndafungue momu:
\q
\v 33 kwa kuhuzunishwa kwake hukumu yake yainjigwe: Nani wadimaeleza kivazi chake? maisha gake adaariwa habari rake gainjigwa katika isanga."
\p
\v 34 Huwo towashi akamkotia Filipo, na kudeda, nakulomba, ni nabii uyao ambaye adaariwa habari rake, ni kuhusu ye, au ra mundu mzima"?
\v 35 Filipo akaanza kuaria, waanzie kwa iandiko iji ja isaya kumhubiria habari ra Jesu.
\p
\v 36 Wakika chienyi, wakafika machinyi, towashi akadeda, "Ngowa, kuko na machi aha ni ndoi chizuia nisabatizwe?
\v 37 madedo aga, "Huwo muethiopia akajibu "naamini kwamba Jesu Kristo ni mwana wa Mlungu, ndageko maandikonyi ya kala. Niko muethiopia akaamuru igari jisimame.
\v 38 Wagende ndenyi ya machi, andukumweri Filipo na Towashi, Filipo akawambatiza.
\v 39 Wakati wafuma machinyi, Ngolo wa Mzuri ikamgenja Filipo kula, towashi ndembonie, akagenda chia yake akishangilia.
\p
\v 40 Ela Filipo akafumiria Azoto. Waidie mkoa uja na kuhubiri injili katika mizi yose mpaka mkafika.
\c 9
\cl Sura 9
\p
\v 1 Ela sauti, waendelee kudea vitisho hata kwa kifwa kwa wanafunzi wa Mzuri, wagendie kwa kuhani mbaha
\v 2 na kumlomba barua kwa ajili ya masinagogi uko Dameski, ili kwamba akampata mundu eko katika chia ija, ake mundu wa womi au muka, awafunge na kuwareda Yerusalemu.
\p
\v 3 Hata akidamba, yafumirie kwamba akifika avui na Demeski, gafula ikamwangaza kose kose nuru kufuma mbingunyi;
\v 4 na ye akagwa ndonyi na akasikira sauti ikimzera, "sauli, mbona wamtesa nyi?"
\v 5 Sauli akajibu, waani we Mzuri? Mzuri akadeda, "Nyi na Jesu uniuzi,
\v 6 Ela inuka, ngia mjini, nawe wedima zerigwa gakupasa kutenda
\v 7 Waja wandu wadamba andukumweri na sauli wakamnyama kima, wakisikira sauti, wasawone mundu.
\v 8 Sauli akainuka katika isanga na kufungua meso gake, ndadimie kuona wamwada mkonu wakamreda mpaka Dameski.
\v 9 Kwa matuku adadu ndawonaa, ndajaa wala ndanywaa.
\p
\v 10 Basi kwarikogo na mwanafunzi Dameski irina jake Anania, Mzuri wadedie na ye katika maono, "Anania." Na akadeda, "Ngowa, niko aha Mzuri.
\v 11 "Mzuri akamzera, "wukia ugende chia rako katika mtaa guwangwaa Nyofu, na katika nyumba ya Yuda na ugende kotia mundu kufuma Tarso awangwaa sauli, maana waduaga lomba;
\v 12 na wawonie katika maono mundu irina jake Anania akangia na kuwekea mikonu igu yake ili kwamba apate kuona.
\p
\v 13 Ela Anania akajibu, "Mzuri, nasikira habari ra mundu uyu kwa wandu wengi, kwa kiasi ki andu atendee gazamie watakatifu wa uko Yerusalemu;
\v 14 Aha akona mamlaka kufuma kwa kuhani mbaha kumwada kila umweri ajiwangiga irina jako.
\p
\v 15 Ela Mzuri akamzera, "Genda, kwa maana ye ni chombo teule kwapwa, kuwusie irina japwa imbiri ya masanga na wazuri na wana wa israeli.
\v 16 Maana niwawonyeraga geko mengi gampasaga kuteswa kwa ajili ya irina japwa."
\p
\v 17 Anania akagenda, akangia aja nyumbenyi, Akamwekea mkonu akadeda, mbari sauli, Mzuri Jesu, akufumirie katika chia wakati udacha, waniduma upate kuwona sena na uchurigwe Ngolo wa kuela.
\v 18 Gafula vikagwa mesonyi kwake vilambo kama magamba, akapata kuwona, akasimama, akabatizwa, akaja vindo na kupata ndigi.
\v 19 Akakaia andu kumweri na wanafunzi uko Demeski kwa matuku mengi.
\p
\v 20 Wakati ugo gweni akamtangaza Jesu katika masinagogi, akideda kwamba ye ni mwana wa Mlungu.
\v 21 Na wose wasikira washangaie na kudeda, siyo mundu uyu awanonie wose wajiwanga irina iji uko Yerusalemu? Na aha wachee kwa ikusudi ja kuwafunga na kuwagenja kwa makuhani."
\v 22 Ela sauli wawezeshiwe kuhubiri na kuwabonya wayahudi warikogo wakika Dameski wachanganyikiwe na kuthibitisha ya kugora uyu ni ye Kristo.
\p
\v 23 Baada ya matuku mengi, wayahudi wakabonya ishauri andu kumweri ili wambwage.
\v 24 Ela mpango wawaguka manyikana na sauli, wakamvizi mjangonyi mdime na kio wapate kumbwaga.
\v 25 Ela wanafunzi wake wamwusie na kio wakamzera kuidia ukutenyi, wakamsera ndonyi nguunyi.
\p
\v 26 Na sauli kufika Yerusalemu wajaribie kukiunga na wanafunzi ela werikogo wakimboa. Wasasaidi kuwa ye ni mwanafunzi.
\v 27 Ela Barnaba akamwusa na kumgenja kwa walodi, Na akawaelekeza jinsi sauli kandu ambonie Mzuri chienyi na Mzuri andu adedie na ye, na jinsi sauli ahubirie kwa irina ja Jesu uko Dameski.
\v 28 Wakwane nawo wakingia na kufuma Yerusalemu. Akadeda kwa ujasiri kwa irina, ja Mzuri Jesu,
\p
\v 29 akihosiana na wayahudi wa kiyunani ela wakigeria mara kwa mara kubwaga.
\v 30 Wakati mbari, kumanya ilago ijo wamwusa mpaka kaisaria na wamgenje mpaka Tarso.
\p
\v 31 Basi ikanisa jose katika uyahudi, Galilaya na samaria, jakogo na sere, na jikaagwa, na kusela katika hofu ya Mzuri na faraja ya Ngolo wa Kuela, ikanisa jikazogua kwa kuchurika idadi.
\p
\v 32 Kisha yafumirie Petro akogo akizunguluka uchuwande rose ra mkoa, akawaseria waumini wakaia katika muzi gwa Lida.
\v 33 Akamwona uko mundu umweri irina jake Ainea, mundu uyo wakogo kitandenyi miaka nane, maana wakogo waolola.
\v 34 Petro akamzera, "Ainea, Jesu Kristo akuboise, wikia na ukialie kitanda chako," mara akawikia.
\v 35 Na wandu wose wakogo wakikaia Lida na shoroni kumwona mundu uyo, wakamgeukia Mzuri.
\p
\v 36 Kwarikogo na mwanafunzi Yafa awangwaga Tabitha, ambajo jatafsiriwe kama "Dorcas" Uyu muka wachue kazi riboie na matendo ga rehema agabonyie kwa wakiwa.
\v 37 Yafumirie katika matuku ago akawawa na anafwa, kumsafisha wakamjosa chumba cha igu na kumtungurisha.
\p
\v 38 Kwa kugora Lida yakogo avui na Yafa, na wanafunzi wasikire kwamba Petro warikogo uko, wakaduma wandu wawi kwake, wakamsihi, "choo kwedu bila kusoriwa."
\v 39 Petro akawikia na akaingia andukumweri nawo. kufika, wamridie katika chumba cha igu. Na wajane wose wasimamie avui nae wakilila wakibonyera ikoti na nguwo ambaro Dorcas wawashomee wakati akikaia andukumweri nawo.
\v 40 Petro akawafunya wose shigadi ya chumba, akakaba magoti akalomba, kisha akageukia muwi, akadeda, "Thabitha, wikia." Akafusira meso gake na kumbpona Petro akaka ndonyi.
\v 41 kisha Petro akamneka mkonu gwake ambusira, na kuwawanga waumini na wajane akawakabizi kwawo akika banana.
\v 42 Ilago iji jikamanyikana yafa yose, na wandu wengi wakamwamini Mzuri.
\v 43 Ikafumirie Petro akakaia matuku mengi Yafa andukumweri na mundu awangwaa simoni, mboisa mirongo.
\c 10
\cl Sura 10
\p
\v 1 Kurikogo na mundu fulani katika muzi gwa kaisaria, irina jake awangiwe Kornerio, wakogo mbaha wa kukosi cha kiitalia.
\v 2 Warikogo mcha Mlungu wamwabudue Mlungu na nyumba yake yose, wafunyie magome mengi kwa wayahudi na walombie kwa Mlungu matuku gose.
\p
\v 3 Muda gwa kenda ra dime, akawona maono malaika wa Mlungu adacha kwake. Malaika akamzera. "kornelio!
\p
\v 4 Kornelio akamguwa malaika na wakogo na hofu mbaha nanganyi akadeda "Ihi ni ndoi mgosi?" malaika akamzera "Malombi gako na zawadi rako kwa wakiwa rajoka igu kama kumbukumbu kwa Mlungu."
\v 5 Idana duma wandu kugenda muzi gwa Yafa kumreda mundu umweri awangwaga simoni ambaye pia wawangwaga Petro.
\v 6 Wakaa na mboisa mirongo awangwaga simoni ambaye nyumba yake mbai ya bahari."
\v 7 Baada ya malaika akogo akideda nae kuinga, kornelio akawawanga watumishi wa nyumbenyi kwake wawi, na askari akogo akimwabudu Mlungu kati ya maaskari wakogo wakimtumikia.
\v 8 Kornelio wawagorie gose gafumiria na akawaduma Yafa.
\p
\v 9 Ituku jinugirie muda gwa saa sita akika chienyi na wadakaribia mzinyi, Petro akajoka igu darinyi kulomba.
\v 10 Na pia akaka na njala na wahitajie kilambo cha kuja, ela wakati wandu wadeka vindo, akabonyerwa maono,
\v 11 akawona anga yafunguka na chombo chidasea na kilambo fulani kama nguwo mbaha ikisea ndonyi ardhini katika kona rake rose ina.
\v 12 Ndenyi yake kwarikogo na aina rose ra nyamandu wakona magu ana na watambalaga igu ya ardhi, na nyonyi wa angenyi.
\v 13 Sena sauti ikadeda kwake "wikia, Petro chinja na uje."
\p
\v 14 Ela Petro akadeda "siyo huwo, Mzuri kwa sababu siligisire wahi kuja kilambo chochose najisi na kichafu.
\p
\v 15 Ela sauti ikacha kwake sena kwa mara yaa kawi "Achitakasie Mlungu usawange najisi wadakichafu."
\v 16 Ihi yafumirie mara kadadu, na chija chombo chikaka chawusigwa sena angenyi.
\p
\v 17 Na wakati Petro akiwa katika hali ya kuchanganyikiwa igu ya ago maono gamaanisha ga indoi, Ngowa, wandu wakogo wadumwa ni kornelio wakasimama imbiri ya ilango, wakikotia chia kugenda nyumbenyi.
\v 18 Na wakawanga na kukotia kama simoni ambaye pia wawangiwe petro wakogo waka aja.
\p
\v 19 Wakati ugo petro akogo akiwaza igu ya ago maono, Ngolo akadeda nae, "Ngowa wandu wadadu wadakulola.
\v 20 Wukia na usee ndonyi na ugende nawo. Usaboe kugenda nawo, kwa sababu nawaduma."
\p
\v 21 Petro akasea ndonyi kwawo kudeda, Nyi ni uja mumlola. Kwa indoi mwacha?"
\p
\v 22 Wakadeda, "Akida umweri irina jake kornelio, mundu wa haki na wakundaa kumwabudu Mlungu, na wandu wamdedaa nicha katika isanga jose ja kiyahudi, wagoriwa ni malaika wa Mlungu kukuduma ili kugenda nyumbenyi kwake, ili asikire ujumbe kufuma kwako."
\v 23 Petro akawakaribisha kungia ndenyi na kukaia andu kumweri nae. Asubuhi ye yanugiria akawukia akagenda andukumweri nae, na wambari watineri kufuma Yafa waka ambatana nae.
\p
\v 24 Ituku jinugirie wakacha kaisaria. Na kornelio werikogo akiwasera, na wakogo wawanga andu kumweri wambari wake na marafiki wake avui.
\v 25 Wakati Petro akingia ndenyi, kornelio akamlaki na kuigogoma hadi ndonyi magunyi kwake kwa kumheshimu.
\v 26 Ela petro akamusira na kudeda "mama, nyi mweni pia na mwanadamu."
\p
\v 27 Wakati petro akika adadeda nae, akagenda ndenyi akadoka wandu wakusanyika andu kumweri.
\v 28 Akawazera, "Inyo weni mwaichi kugora siyo sheria ya kiyahudi kushirikiana au kuseliana na mundu ambae siyo wa isanga iji. Ela Mlungu wanibonyera nyi kuwa sipaswaa kumbanga mundu wowose ni najisi au mchafu.
\v 29 Na ndio maana nacha bila kubisha, nadumwa kwa ajili iyo. Kwa huwo nimkotie kwa indoi mwadumiwe kwa ajili yapwa."
\p
\v 30 Kornelio akadeda, "matuku ana gaida, wakati kama ugu narikogo nalomba muda wa saa kenda nadime ndenyi ya nyumba yapwa, Nikawona imbiri yapwa mundu wasimama akiwa na mavazi ga chokwa,
\v 31 Akanizera "kornelio malombi gako gasikiriwa ni Mlungu, na zawadi rako kwa wakiwa rakaia ukumbusho imbiri ra Mlungu.
\v 32 kwa huwo duma Yfa na agendembanga mundu umweri awangwawa simoni ache kwako, ambaye pia wawangwawa petro, ambaye waishi kwa mboisa mirongo umweri awangwawa simoni ambaye nyumba yake iko mbai ya bahari.
\v 33 Zingatia: mstari ugu, "Naye akacha wadima deda na inyo," ndaguko katika maandiko ga kala.
\p
\v 34 Niko Petro akafungua momu gwake wa kudeda "loli, naamini kugora Mlungu ndadimaa kukaia ya upendeleo.
\v 35 Badala yake, kila isanga mundu wowose amwabudu na kubonya matendo ga haki adakubalika kwake.
\v 36 Waichi ujumbe agufunyie kwa wandu wa Israeli, akitangaza habari riboie ra sere kuidia Jesu Kristo ambae ni Mzuri wa wose.
\v 37 Inyo weni mwaichi itikio ja fumiria, ambajo jafumirie Yudea yose na jaanzie Galilaya, baada ya ubatizo ambago Yohana watangazie.
\v 38 situkio jamhusu Jesu Kristo jinsi Mlungu andu amkumbie mavuda kwa Ngolo wa kuela na kwa ndigi. wagende akibonya gaboie na kuboisa wose watesekie na ibilisi, kwa kugora Mlungu warikogo andu kumweri nae.
\p
\v 39 Isidamashahidi wa malago gose agabonyie katika masonga ga uyahudi na Yerusalemu - uyu ni Jesu wambwagie na kumtundika mudinyi.
\v 40 Uyu mundu Mlungu wamfufue ituku ja kadadu na kumneka kumanyikana.
\v 41 Si kwa wandu wose, lakini kwa mashahidi wasagulwe kabla ni Mlungu. -isiweni, dijie nae na kunywa nae baada ya kufufuka kufuma kwa wafu.
\v 42 Wadilagiza kuhubiri kwa wandu na kushuhudia kuwa uyu nie ambaye Mlungu wamsagua kuwa mwamuzi wa weko benana na wafu.
\v 43 Katika ye manabii wose washuhudie, ili kwamba kila aaminie katika ye wadime wokera msa, aha gwa zambi kuidia irina jake."
\p
\v 44 Wakati Petro akiendelea kudeda aga, Roho Mtakatifu akawachura wose warikogo wakisikiria ujumbe gwake.
\v 45 Wandu waja wahusikaga na kikundi cha waumini watahariwe- waja wose wachee na Petro-washangaziwe, kwa sababu ya karama ra Roho mtakatifu adiriwe pia kwamasanga.
\v 46 Kwa kugora wasikire awa wa masanga wadaaria kwa luga rimwi na kumwabuduMlungu.
\v 47 "Kuko mundu wowose adima kuzwa machi ili wandu wasbaatizwe, wandu awa wambokerie Roho Mtakatifu kama isi?"
\v 48 Niko akaamuru waabatizwe kwa irina ja Jesu Kristo. Baadaye wakamlomba wake nae kwa matuku kadhaa.
\c 11
\cl Sura 11
\p
\v 1 Mitume na wambari waja wakiogo uko Yudea wasikire kugora wamasanga wajiwokera idedo ja Mlungu.
\v 2 Petro kucha uko Yerusalemu, jija ikundi ja wandu watahiliwe wakaanzakumkosoa, wakideda,
\v 3 "Washikamana na wandu wasatahiriwe na kuja nawo!"
\p
\v 4 Lakini Petro waanzie kueleza itukio kwa kina, akideda,
\v 5 Nakogo nalomba katika muzi gwa Yafa, na nikawona maono ga chombo chikisea kwapwa.
\v 6 Nachiguwie na kufikiri igu yake. Nikawona nyamandu rikana magu ana waishiwo katika isangu na nyamandu ra isakengi watambalaa na nyonyi wa angenyi.
\v 7 Kisha nikasikira sauti ikideda nanyi, "Wukia, Petro, chinja na uje!
\p
\v 8 Nikadeda, "Siyo huwo, Bwana, momunyi kwapwa ndekuligisire kungia kilambo chochose chiseko kitakatifuau kichafu."
\p
\v 9 Lakini sauti ikajibusena kufuma mbingunyi, chija Mlungu wachitangaza kuwa ni safi, usachiwangae najisi,
\v 10 Ihi ya fumirie mera kadadu, na kila kilambo churusiwaga mbingunyi sena.
\p
\v 11 Ngowa, wakati ugo wandu wadadu warikogo wasimama imbiri ya nyumba ijo dikogo; wadamwa kufume kuisaria kucha kwapa.
\v 12 Roho akamgoria kugenda nawo, na nisatofautiane nawo. Awa womi sila wakagenda andukumweri na nyi na dengendie nyumbenyi ya mundu umweri.
\v 13 Wadigoria waja andu amwonia Malaika wasimama ndenyi ya nyumba yake akadeda, "Nideme yafa nigende mreda Simoni ambaye irina jake jimuri ni Petro.
\v 14 Adedaga ujumbe kwako katikaugo wadima okoka we na nyumba yako yose."
\v 15 Nirikogo naanza kudeda nawo, Roho mtakatifu akscha igu yawe kema andu achae kwedu mwanzoni.
\v 16 Nakumbuka anadedo ga Bwana, andu adedie, "Yohana wabatizie kwa machi; lakini mwadime baatizwa kwa Roho mtakatifu."
\v 17 Pia kama Mlungu wafunga zawadi kama iroadinekie isi nikiamini katika Bwana Jesu kristo, nyi nani, kwamba nadima kumpinga Mlungu?
\p
\v 18 Kusikira malago aga, ndewawujie, bali wa mtogolie Mlungu na kudeda, "Mlungu wafunya toba kwa ajili ya wa masanga pia."
\p
\v 19 Basi waamini ambawo mateso gaanzie kifwenyi cha stefano watawanyikie kufuma Yerusalemu: waamini awa wagendie kula, hadi mpaka foinike, Kipro na Antiokia. Wawagorie ujumbe kuhusu Jesu mwenikeri kwa Wayahudi na siyo kwa umwawaye wose.
\v 20 Lakini baanzi yawo ni wandu kufuma Kipro na Krene, wachee Antiokia na kudeda na wayunani na kumhubiria Bwana Jesu.
\v 21 Na mkomu gwa Bwana gwakogo andukumweri newo, na wandu wengi waaminie na kumwangukia Bwana.
\p
\v 22 Habari rawo rikafikia madunyi mwa ikanisa ja Yerusalemu! na wakamduma Barnaba agenda mpaka Antiokia.
\v 23 Kucha kuwona kwama ya Mlungu akaboiwa; na akawakumba ngolo wose kubaki na Bwana katika ngolo rawe.
\v 24 Kwa sababu warikogo mundu mwema na wachuiwa na Roho mtakatifu na imani na wandu wengi wakachurika katika Bwana.
\p
\v 25 Baadaye Barnaba wagendieTerso kumwona Sauli.
\v 26 Kumpata, akamreda Antiokia. Akakai kwa mwaka mlazi wakakusanyika andukumweri na ikanisa na kuwafundisha wandu wengi. Na wanafunzi wakawangwa wakristo kwa mara ya kwanza uko Antiokia.
\p
\v 27 Na katika matuku aga manabii wakasea kufuma Yerusalemu mpaka Antiokia.
\v 28 Umweri wawe ni Agabo nijo irina jake, akasimama akiashiriwa ni Roho kuwa njalaibirie urumwengunyi kose. Ihi yafumirie wakati gwa matuku ga kludio.
\v 29 Kwa huwo, wanafunzi, kila umweri kanduafarikiwe, waamue kugenja misaada kwa wambari wako Uyahudi.
\v 30 Wabonyie huwu; wadumie mengome kwa mkonu gwa Barnaba na Sauli.
\c 12
\cl Sura 12
\p
\v 1 Wakati ugo Mzuri Herode akanyoosha mkonu gwake kwa baadhi ya waja wafuma ikusanyikonyi ili kuwatesa.
\v 2 Akawanga Yakobo mbari wake Yohana kwa upanga.
\v 3 Baada ya kuwona kugora idawapendeza wayahudi, akamwada na petro sena. Ihi yakogo wakati gwa mikate isashashie.
\v 4 kumwada, akamwika igerezanyi na akawika kikosi vina va askari ili alindiriwe, werikogo akitarajia kunganja kwa wandu baada ya pasaka.
\p
\v 5 Petro akawikwa igerezanyi, ela malombi ga kabonywa kwa bidii na ikusanyiko kwa ajili yake kwa Mlungu.
\v 6 Ituku kabla Herode ndagendie kumfunya, kio icho petro arikogo watungura gadi gadi ya maaskari wawi, akikaia wafungwa na minyororo iwi, na walinzi imbiri ya mjango warikogo wakilindia igereza.
\v 7 Gowa, malaika wa Mzuri gafula wakamfumiria nuru ikalangala ndenyi. Akamkaba petro lumwangunyi na kumwusira akideda, "wikiashwashwa." niko minyororo akogo wafungwa ikafunguka kufuma mikonunyi kwake.
\v 8 Malaika akamzera, "Rwaanguwo rako na mwaavadu vako." Petro akabonya huwo. Malaika amzera, "Rwaa ivazi jako na uninuge."
\v 9 Huwo Petro akamnuga malaika na akafuma shigadi. Ndaminie chabonyigwa ni malaika kama ni cha loli. Wadhanie adawona maono.
\v 10 Baada ya kuidia ilindo ja kawi, wakafika igetinyi ja chuma ja kungiria kugenda mjini, jikaruguka jeni kwa ajili yawo. Wakafuma shigadi wakosea mtaenyi, mara malaika akamsiga.
\v 11 Petro akimanya, akadeda, "Idana naamini kugora Mzuri wadumie malaika wake ili kunifunya katika mkonu ya Herode, na kwa matarajio ga wandu wose wa uyahudi."
\p
\v 12 Baada ya kumanya aga, akacha nyumbenyi kwa mariamu maye wa Yohana ambae ni Markoi, wakristo wengi wakusanyikie wakilomba.
\v 13 Kukaba hodi mlangonyi gwa kizuizi, mtumishi umweri mwai awangwaa Roda akacha kurugua.
\v 14 kumanya ni sauti ya petro, kwa kuboiriwa akalemwa kugurugua mjango, badala yake, akakimbia ndenyi ya chumba, kuwajulisha kugora petro wasimama imbiri ya mjango.
\v 15 Huwo, wakadeda kwake, "We wa mwendawazimu" ela wakazie kuwa ni loli ni ye. Wakadeda "Uyo ni malaika wake."
\v 16 Ela petro waendelea kukaba hadi, na kufungua mjango wakamwona, na wakashangaa nanganyi. Petro akawanyamazisha kwa mkonu kimya kimya na akamzera jinsi Mzuri andu amfunyie igerezanyi akadeda,
\v 17 Wajulishe aga malago Yakobo na wambari wake." kisha akainga akagenda sehemu imwi.
\p
\v 18 kufikia na dime, kukaia na huzuni mbaha kati ya asakari kuhusiana na chafumiria kwa petro.
\v 19 Baada ya Herode kulomba na mwonie akawakotia walinzi na akaamuru wabwage. Akagenda kufuma uyahudi mpaka kaisaria na kukai uko.
\p
\v 20 Herode warikogo na hasira igu ja wandu wa Tiro na Sidoni. Wakagenda kwa andu kumweri kwake. Wakawa na umbuya na Blasto msaidizi wa muri, ili awataware. Kisha wakalomba sere, kwa sababu isanga jawe jiwakeriwe vindo kufuma katika isanga ja Mzuri.
\v 21 Ituku jikusadiwe Herode warwae mvazi ga kiwuzuri na kukaia kifumbinyi chake cha wuzuri, na ake wahutubia.
\v 22 Wandu wakakaba jogo, Ihi ni sauti ya Mlungu wala siyo sauti ya mwanadamu!"
\v 23 Mara gafula malaika akamkaba, kwa sababu ndamkie Mlungu utukufu, akajingwa ni ichango na akafwa.
\p
\v 24 Ela idedo ja Mlungu jikazogua na kusambaa.
\p
\v 25 Baada ya Barnaba na sauli kukamilisha huduma yawe wakafuma aja wakawuga Yerusalemu, wakamwusa na Yohana irina ja kuvalwa ni Marko.
\c 13
\cl Sura 13
\p
\v 1 Idana katika ikanisa ja Antiokia, kwarikogo na baazi ya walodi na walimu. Warikogo Barnaba, simoni (awangiwe Nigeri). Lukio wa kirene, Maomi (mbari aseko wa baga wa Herode kilongozi wa mkoa), na sauli.
\v 2 Wakogo wakimwabudu Mzuri na kufunga, Ngolo wa kuela wadedie, "Nitengenyi mbai Barnaba na sauli, waibonye kazi nawawangia."
\v 3 Baada ya ikanisa kufunga, kulomba na kuwika mikonu yawe igu ya wandu awa, wakawasiga wagende.
\p
\v 4 Kwa huwo Barnabas na sauli wamtiie Ngolo wa kuela na wasarie kudekea selekia, kufuma uko usafirie baharinyi kuelekea kisiwa cha kipro.
\v 5 Wakogo katika muzi gwa salami, wajitangazie idedoja Mlungu katika masinagogi ga wayahudi. Pia warikogo andu kumweri na Yohana Marko kama wasaidizi wawe.
\p
\v 6 Kugenda katika kisiwa chopse pafo, wadekie mundu fulani msawi, myahudi nabii wa tee, ambae irina jake jakogo ni Bar Jesu.
\v 7 Msawi uyu washirikiane na liwali sergio Paulus, wakogo mundu akona akili. Mundu uyu wawakongie Barnaba na sauti, kwa sababu wahitajie kusikira idedo ja Mlungu.
\v 8 Ela Elima "Uja msawi" (huwo niko irina jake jikafumiriwe) wawapingie, wajaribie kumgalusa ujaliwali afuma imaninyi.
\v 9 Ela sauli awangiwe Paulo, warikogo wachurigwa ni Ngolo wa kuela, akamkazia meso
\v 10 na akadeda "Ewe mwana wa Ibilisi, wachurigwa ni aina rose ra udanganyifu na uzaifu. We ni adui wa kila aina ya haki. Ndukama kurigalusa chia ra Mzuri, ra nyooka, je udimaga?
\v 11 Idana gowa, mkonu gwa Mzuri guko igu yako, na ukaia kipofu. Ndujiwonaga iruwa kwa muda." mara imweri idulu na kira vikagwa igu ya Elimas; akaanza kuzunguluka aja akilomba wandu wamlongoza kwa kumwada mkonu.
\v 12 Baada ya liwali kuwona chafumiria, akaamini, kwa sababu washangaziwe kwa mafundisho kuhusu Mzuri.
\p
\v 13 Idana Paulo na wakamwawe wadumbie machinyi kufuma pafo na wakafika perge katika pamfilia. Ela Yohana wawasigie na kuuya Yerusalemu.
\v 14 Paulo na amwawe wadambie kufuma perge na wafika Antiokia ya pisidia. Uko wagendie katika isinagogi ituku ja sababto na kuka ndonyi.
\v 15 Baada ya sheria na manabii, vilongozi wa isinagogi wawadumie ujembe wakideda, "Mbari, kama mkana ujunbe gwa kukumba ngolo wandu aha, dedenyi"
\p
\v 16 Kwa huwo Paulo wasimamie na kuwapangie mkonu, wadedie, "Womi wa Israeli na inyo mumtii Mlungu, sikirenyi.
\v 17 Mlungu wa awa wandu wa Israeli wawasague waka aba wedu na kuwabonya wandu wengi wakikaia katika isanga ja Misri na kwa mkonu gwake kuinuliwa walongozie shigadi yake.
\v 18 Kwa miaka arobaini wawammagie katika ijangwa.
\v 19 Baada ya kuganona masanga saba katika isanga ja kaanani, wawanekie wandu wedu isanga ja wa kwa kupala.
\v 20 Matuku aga gose gafumirie zaidi ya miaka mia ina na hamsini, Baada ya vilambo ivi vose, Mlungu wawanekie waamuzi mpaka samweli Nabii.
\v 21 Baada ya ay, wandu walombie Mzuri, huwo Mlungu wanekie sauli mwana wa Kishi, mundu wa ikabila ja Benjamini, kuwa Mzuri kwa miaka arobaini.
\v 22 Kisha baada ya Nlungu kumuinja katika Uzuri, wamwinue Daudi kwamba mzuri wawo. Yerikogo ni kuhusu Daudi kwamba Mlungu wadedie, 'Nampata Daudi mwana wa Yese kuwa mundu apendezwaye ni ngolo yapwa; ambae wadima bonya kila kilambo nichikundi.'
\p
\v 23 Kufuma ukoonyi kwa mundu uyu Mlungu wairedie Israeli mkombozi, Jesu, kama aahidie kubonya.
\v 24 Iji jaanzie kufumiria, kabla ya Jesu kucha, Yohana kwanza watangazie ubatizo gwa toba kwa wandu wose wa Israeli.
\v 25 Naye Yohana arikogo akibwagiria kazi yake, wadedie, "mwanifikiri nyi nani? Nyi siyo uja. Ela sikirienyi, achaga nyuma yapwa, sistahili kulegesha vadu magu gake.'
\p
\v 26 Wambari, wana wa ukoo gwa Abrahamu, na waja ambao kati yenyu mwamuabaudu Mlungu, ni kwa ajili yedui kwamba ujumbe ugu gwa ukombozi gwadumwa.
\v 27 Kwa waja waishiwo Yerusalemu, na watawala wao, ndawamanyie kwa uhalisia, na wala ndawamanyie ujumbe gwa walodi ambawo wasomwaga kila sabato, kwa huwo watimizie ujumbe gwa walodi kwa kumhukumu kufwa Jesu.
\v 28 Japokuwa ndawapatie sababu iboie kwa kifwa ndenyi yake, wamlombie pilato ambwage.
\v 29 Kumeria malago gose gaandikiwe kuhusu ye, wamserie kufuma ndigi na kumtungurisha kaburinyi.
\v 30 Ela Mlungu wamfufue kufuma wafu.
\v 31 Waonekane kwa matuku mengi kwa waja wagendie andu kumweri na ye kufuma Galilaya kuelekea Yerusalemu. Wandu awa idana ni mashahidi wa wandu.
\v 32 Huwo dawaredia habari riboie kuhusu ahadi wanekio wakewawa wedu.
\v 33 Mlungu wawikie ahadi iri kwedu, wana wao, katika ijo wamfufue Jesu na kumwuja sena katika binana. Iji pia jaandikiwe katika zaburi ya kawi, we wamwanapwa, linu na kaia Aba wako'
\p
\v 34 Pia kuhusu uloli ni kwamba wamfufue kufuma wafu ili kwamba muwigwake gusanoneke, wadedie huwu, Ni kupatia utukufu na baraka halisi ra Daudi'
\v 35 Ihi niyo sababu kudeda pia katika zaburi imwi, "Ndairuhusu mtakatifu wako kuwaona uozo.'
\v 36 Kwa kugora baada Daudi kutumikia makundo ga Mlungu katika kivazi chake watungurie, watungurishiwe andu kumweri na aba wake, na wawonie uharibifu,
\v 37 Ela wafufuliwa ni Mlungu ndaguwonie uharibifu.
\p
\v 38 Huwo na imanyikana kwenyu, wambari, kuidia kwa mundu uyu, msamaha gwa zambi gwahubiriwa.
\v 39 Kwa ye kila aaminiye adataliwa haki na malago gose ambago sheria ya Musa ndege wapatie hachi.
\v 40 Huwo basi kenyi waangalifu kwamba kilambo wachiarie walodi chisafumirie kwenyu.
\q
\v 41 Ngowa, inyo mdharau, na mgende shangaa na mgende angamia, kwa uja nabonya kazi katika matuku genyu, kazi ambayo ndemdimaga kuiamini, hata kama mundu wadima waeleza."
\p
\v 42 Wakati paulo na Barnaba kuinga wandu walomba wadede madedo aga ituku ja sabato ichaga.
\v 43 Wakati mkutano gwa isinagogi kusia, wayahudi wengi na waongofu thabiti wamanyie paulo na Barnaba, ambawo wadedie nawo na wawahimizie waendelee katika neema ya Mlungu.
\p
\v 44 Sabato inugirie, karibu mzi mlazi gwa kusanyikie kusikira idedo ja Mlungu.
\v 45 Wayahudi kuwona makutano, wacheweni wivu na kudeda madedo gapingie vilambo vidediwe ni paulo na wamwanyirie.
\v 46 Ela paulo na Barnaba wadedie kwa ujasiri na kudeda, "Yarikogo ni muhimu kwamba idedo ja Mlungu jidediwe kwanza kwenyu. Kwa kugora mwajisukumia kula kufuma kwenyu na kukiwona kuwa ndemstahilie binana ya kala na kala, angalienyi dimigeukiaga masanga.
\v 47 Kama ambavyo Mzuri wadiamuru, akideda, 'Nawawika inyo kama nuru kwa wandu wa masanga, kwamba mrede wokovu kwa chuwande rode ra dunia."
\p
\v 48 Masanga kusikira iji, waboiwe na kujitogola iji idedo ja Mzuri. wengi wasaguliwe kwa binana ya kala na kala waaminie.
\v 49 Idedo ja Mzuri jaienee isanga jose.
\p
\v 50 Ela wayahudi wawasilie wakifunyie na waka muhimu, pia na vilongozi wa mzi. Aga gachochee mateso dhidi ya Paulo na Barnaba na wawadagie shigadi ya miano ya mzi.
\v 51 Ela paulo na Barnaba wakung'utie luvumbi lwa magu gawe. Kisha wakagenda mzi gwa ikonia.
\v 52 Na wanafunzi wachurigwe ni kuboirwa andu kumweri na Ngolo wa kuela.
\c 14
\cl Sura 14
\p
\v 1 Ikafumiria ndenyi ya Ikonia kwamba Paulo na Barnaba wangirie andukumweri ndenyi ya isinagogi ja wayahudi na kudeda namna ambawo ikundi ibaha ja wandu wayahudi na wayunani waaminie.
\v 2 Ela wayahudi wasatii wawachochee akili wamasanga na kuwabonya kuwa wazamie dhidi ya wambari.
\v 3 Kwa huwo wakaie uko kwa muda mlacha, wakideda kwa ujasiri kwa ndigi ya Mzuri, uku akifunya uthibitisho kuhusu ujumbe gwa neema yake. Wabonyie huwu kwa kufunyaa ishara na maajabu vibonywe kwa mikonu ya Paulo na Barnaba.
\p
\v 4 Ela ieneo ibaha ja muzi jagawanyikie baadhi ya wandu warikogo andu kumweri na wayahudi, na baadhi andukumweri na walodi.
\v 5 Wakati wamasanga na wayahudi kugeria kuwashawishi vilongozi wawe kuwabonyia ulage lage kuwaponda magwe paulo na Barnaba,
\v 6 Kujimanya ijo na kukimbiria katika mizi ya likaonia, listra na Derbe, na maeneo gazungulukaga aja,
\v 7 na uko waihubirie injili.
\p
\v 8 Na uko Listra kwarikogo na mundu umweri akogo akikaia, ndakogo na ndigi magunyi gake. Kilema kufuma kifunyi kwa maye, ndawalie kuwadia.
\v 9 Mundu uyu wamsikire Paulo akideda. Paulo wamkazie meso na akawona kwamba wakogo na imani ya kuboiswa.
\v 10 Huwo wadedie kwake kwa sauti ya igu, "Simama kwa magu gako." Na uja mundu akaburuka igu na kuanza kuwadia.
\p
\v 11 Umati kuwona wachibonya paulo, waka inua sauti rawe, wakideda katika lahaja ya kilikaonio, "Mlungu yadishukia kwa namna ya binadamu."
\v 12 Wakamwanga Barnaba "Zeu," na Paulo "Herme" kwa sababu wakogo mdedaji mbaha.
\v 13 Kuhani wa zeu, ambaye ihekalu jake jarikogo shigadi ya muzi, waredie idume ja ng'ombe na ludingo lwa maruwa mpaka ilangonyi ja muzi, ye na umati wakundie kufunya sadaka.
\p
\v 14 Ela walodi, Barnaba na Paulo, kujisikira iji, wakarashua mavazi gawe na kwa shwa shwa wakagenda shigadi umatinyi, wakilila.
\v 15 na kudeda, "Inyo wandu, kwa indoi mdabonya malago aga? Na isi pia dabinadamu diko na hisia kama rakwenyu. Dawaredia habari riboie, kwamba mgeuke kufuma vilambo visafaa na kumwekea Mlungu eko banana, aumbie Mbingu, dunia na bahari na kila kilambo chiko.
\v 16 Katika nyakati raida, wawaruhusie masanga kusela katika chia rawe weni.
\v 17 Ela bado, ndaingie pasipo shahidi, katika iyo wabonyie nicha na akawapatia vua kufuma mbingunyi na nyakati ra mazao, akiwachura ngolo rawe kwa vindo na kuboiwa"
\v 18 Hata kwa madedo aga, Paulo na Barnaba kwa shida wazuie umati kuwafunyia sadaka.
\p
\v 19 Ela baadhi ya wayahudi kufuma Antio kila na Ikonia wachee kushawishi umati. Wakamkaba magwe Paulo na kumburuta hadi shigadi ya muzi, wakidhani wakogo wagwa.
\v 20 Hata huwo wanafunzi wakogo wasimama avui nae, wawikie wakangia muzinyi. ituku ja kawi, wagendie Derbe na Barnaba.
\v 21 Baada ya kufundisha injili katika mzi uja na kuwabonya wanafunzi wengi, wawie Litra, hadi Ikoniamu, na hadi Antiokia.
\v 22 Waendelee kuamirisha nafsi ra wanafunzi na kukumbwa ngolo kuendelea katika imani, akadeda, "Lazima dingie katika uzuri gwa Mlungu kwa kuidia mateso mengi."
\v 23 Wakogo wawateua kwa ajili yawe wagosi wa kila ikusanyiko ja waaminio, na wakiwa walomba na kufunga, wawakaboidhie kwa Mzuri, ambae wawo wamwaminie.
\p
\v 24 Kisha waidie katika Pisidia, wafikie pamfilia.
\v 25 Wakati wakideda madedo katika Parga, waseie kugenda Atalia.
\v 26 Kufuma uho wajokie meli hadi Antiokia ambako warikogo wakifunya kwa neema ya Mlungu kwa ajili ya kazi ambayo idana wakogo waikamilisha.
\v 27 Kufika uko Antiokia, na kujisanya ikusanyiko ja andu kumweri wakafunya taarifa ya malago ambago Mlungu wabonyie kwawo, na jinsi kandu awafungulie mjango gwa imani kwa wandu wa masanga.
\v 28 Wakaie kwa muda mkacha na wanafunzi.
\c 15
\cl Sura 15
\p
\v 1 Wandu fulani waseie kufuma uyahudi na kuwafundisha wambari, wakideda, "mkalemwatahiriwa kama desturi ya Musa, ndamdimaa kuokolewa."
\v 2 Wakati Paulo na Barnaba wakogo na mapambano na mjadala andu kumweri nawo, wambari waamue kwamba Paulo, Barnaba, na wamwi kadhaa wagende Yerusalemu kwa walodi na wagosi kwa ajili ya iswali iji.
\p
\v 3 Kwa huwo, kwa kudumwa kwawo na ikanisa, waidie Foinike na samaria wakitangaza kugewawa kubaha kwa wambari wose,
\v 4 Kucha Yerusalemu, wakaribishwe ni ikanisa walodi na wagosi, na wawasiishie taarifa ya malago gose ambago Mlungu wabonyie andu kumweri nawo.
\p
\v 5 Ela wandu fulani waaminio, wakogo katika ikundi ja mafarisayo, wasiwaaminie na kudeda, "ni muhimu kuwatahiri na kuwaamuru waiwade sheria ya Musa."
\p
\v 6 Huwo walodi na wagosi wasimamie andu kumweri kujifikiria iji iswala.
\v 7 Baada ya majadiliano malacha, Petro wasimamie na kudeda kwawo, "wambari mwaichi kwamba kitambo chiboie chiidie Mlungu wabonyie chaguo kati yenyu, Kwamba kwa momu gwapa masanga wasikire idedo ja injili, na kuamini.
\v 8 Mlungu, aichi ngolo, adashuhudia kwawo, adawoneka Ngolo wa kuela, kama andu wabonya kwedu;
\v 9 na daboisie utofauti kati yedu na wo akiibonya ngolo rawe safi kwa imani.
\v 10 kwa huwo, kwa indoi ndamjaribu Mlungu kwamba muwike nira igu ya singo ra wanafunzi ambawo hata aba wedu wala isi ndadime kustahimili?
\v 11 Ela daamini kwamba dadima okolewa kwa neema ya Mzuri Jesu, kama warikogo."
\p
\v 12 Ikusanyiko jose janyamarie wakogo wakimsikira Barbara na Paulo wakogo wakifunya taarifa ya ishara na maajabu ambago Mlungu wabonyie andukumweri nawo kati ya wandu wa masanga.
\p
\v 13 Kusiga kudeda, Yakobo akajibu akideda, wambari nisikirienyi.
\v 14 Simoni waeleze jinsi kutunza Mlungu kwa neema wawaterie masanga ili kwamba akipatie kufuma kwawo wandu kwa ajili ya irina jake.
\v 15 Madedo ga walodi gakubaliana na iji kama endu jaandikwa.
\q
\v 16 Baada ya malago aga niwia na kuiga sena ihema ja Daudi, jiguie ndonyi, nadima uinua na kuihusisha uharibifu gwake,
\v 17 ili kwamba wandu wabakie wamlole Mzuri, andu kumweri na wandu wa masanga wawawingiwe kwa irina japwa.'
\v 18 Huwu niyo adedaga Mzuri abonyie malago aga gamanyikane tangu enzi ra kala.
\p
\v 19 Huwo basi, ushauri gwapwa ni, disawapatie wasi wandu wa masanga wamgeukia Mlungu;
\v 20 Ela diandike kwawo kwamba wajiepushe kula na uharibifu gwa sanamu, tamaa ra uasherati, na va kunyoirwa, na baga.
\v 21 Kufuma vivazi va wagosi koko wandu katika kila muzi wahubiria na, kumsoma Musa katika masinagogi kila sabato."
\p
\v 22 kwa huwo ikawonekana kugora yawapendeza walodi na wagosi, andu kumweri na ikanisa jose, kumsagua Yuda awangiwe Barnaba, na kuwaduma Antiokia andukumweri na Paulo na Barbara.
\v 23 Waandikie huwu, "Walodi, wagosi na wambari, kwa wambari wa masanga weko Antiokia, shamu na kulikia, salamu.
\v 24 Dasikire kwamba wandu fulani ambawo ndediwapatie amri iyo, wafumie kwedu na wawataabisha kwa mafundisho gareda wasi nafsinyi kwenyu.
\v 25 Kwa huwo yawonekana nicha kwedu wose kusagua wandu wa kuwaduma kwenyu andukumweri na wakundwa wedu Barnaba na Paulo,
\v 26 Wandu weko hatarinyi maisha gawe kwa ajili ya irina ja Mzuri Jesu Kristo.
\v 27 Kwa huwo damduma Yuda na sila, wadima wagoria malago ago.
\v 28 Kwa kugora ya wonekana nichya kwa Ngolo wa kuela na kwedu kulemwa wika igu mzigo mbaha kuliko malago aga geko ga lazima.
\q1
\v 29 Kwamba mgeuke kufuma vilambo vifunyiwaga kwa sanamu, baga, vilambo va kunyorwa, na uasherati. kama mkiwikaga kula na ivi, ikaia nicha kwenyu. kwa herinyi."
\p
\v 30 Huwo basi, kutawanyishwa, waserie Antiokia, baada ya kukusanya ikusanyiko andu kumweri, wawasilishie barua.
\v 31 Wakogo waisoma, waboiwe kwa sababu ya kukumbwa ngolo.
\v 32 Yuda na Sila, na walodi, wawakumbie ngolo wambari kwa madedo mengi na kuwakumba ndigi.
\p
\v 33 Baada ya kukaia muda fulani uko, watawanyishiwe kwa sere kufuma kwa wambari kwa waja wawaduma.
\v 34 [ Ela yawonekane nicha silakubaki uko ]
\v 35 Ela Paulo na wami wakaie Antiokia andu kumweri na wamwi wengi, ambapo wafundishie na kuhubiri idedo ja Mzuri.
\p
\v 36 Baada ya matuku kadhaa Paulo wadedie kwa Barnaba, "nadiwue idana kuwaselia wambari katika kila muzi dahubiri idedo ja Mzuri, na kuwawona andu weko.
\v 37 Barnaba wahitajie pia kumwusa andu kumweri nawo Yohana awangiwe Marko.
\v 38 Ela Paulo wafikirie kuwa ndeikogo nicha kumwusa Marko, awasigie uko Pamfilia na ndaendelee nawo katika kazi.
\v 39 Kisha aho kufumiria mabishano mabaha kwa huwo wakatengana, na Barnaba wamwusie Marko na kudumba kwa meli mpaka Kipro,
\v 40 Ela Paulo wamsague sila na kuinga, baada ya kukabidhiwa ni mbari katika neema ya Mzuri.
\v 41 Na wagendie kuidia shamu na kilikia, akiimarisha makanisa.
\c 16
\cl Sura 16
\p
\v 1 Paulo pia kucha Derbe na Lystra; na ngowa, aja kwarikogo na mwanafunzi awangwaga Timotheo, ni mdawana avalwe ni muka wa kiyahudi ambaye ni muumini na aba wake ni mgiriki.
\v 2 Wandu wa Listra na Ikonia wamshuhudie nicha.
\v 3 Paulo wamkundie ili adambe nae, huwo akamwusa na kumtahiri kwa sababu ya wayahudi wakogo uko kwani wose wamanyie kuwa aba wake ni mgiriki.
\p
\v 4 Wakogo wakigenda waidie mizi na kufunya malagizo kwa makanisa ili kugatii malagizo ago gaandikiwe ni walodi na wagosi uko Yerusalemu.
\p
\v 5 Huwo makanisa gakaimarishwa katika imani na waaminie waongezeka kwa idadi kila ituku.
\p
\v 6 Paulo na mbawe wakagenda Firigia na Galatia, kwani Ngolo wa Mlungu wawalegie kuhubiri idedo uko ijimboji ja Asia.
\v 7 Kukaribia Misia, wagerie kugenda Bithenia, ela Ngolo wa Jesu akawalegeshia.
\v 8 Kwa huwo wakaida Misia wakacha mpaka muzi gwa Troa.
\v 9 Maono gamfumirie Paulo na kio, kwarikogo na mundu wa makedonia wasimama, akimwanga na kudeda "Choonyi mditaware kunu makedonia."
\v 10 Paulo kuwona maono, mara dikajiandaa kugenda makedonia, akimanya kugora Mlungu wadiwangie kugenda kuwahubiria injili.
\p
\v 11 Huwo nikainga kufuma Troa, nikagenda imweri kwa imweri Samothrake, na ituku janugiria likafika muzi gwa Neapoli.
\v 12 kufuma aho nikagenda Filipo ambawo ni umweri gwa muzi wa makedonia, muzi muhimu katika wilaga na utawala gwa kirumi na dikakaia matuku kadhaa.
\p
\v 13 Ituku ja sabato, dagendie shigadi ya ilango kwa chia ya mweda, sehemu ambago dadhanie kukaia na andu kwa kubonyia malombi. Dakee ndonyi na kuoaria na wakamawe wachee andu kumweri.
\v 14 Muka umweri awangwaga Lidia, muuzaji wa zambarau, kufuma katika muzi gwa Tiatira, amwabudu Mlungu, wadisirikie. Mzuri wamfungue ngolo yake na kuwika maana ni madedo gadediwe ni Paulo.
\v 15 Baada ya kubatizwa, ye na nyumba yake yose, wadihie na kudeda, "kama mwaniona kugora nyi na wanafunzi katika Mzuri, basi nawasihi magie na kukaia kwapwa." Akadisihi nanganyi.
\p
\v 16 Ikawa kwamba, dikogo dagenda endu kwalomba, mwai umweri akogo na pepo ra utambuzi akakwana naisi. Wamredie bwana wake faida nyingi kwa kubashiri.
\v 17 Mka uyu wamnugie Paulo andukumweri na isi. Akikaba jogo na kudeda "Awa womi ni watumishi wa Mlungu ambae ni mbaha, amitangazia inyo habari ra wokovu."
\p
\v 18 Wabonye huwo kwa matuku mengi, ela Paulo akikaia wakasirishwa ni itendo ijo akafuma na kumsiga mara imweri.
\v 19 Mabwana wake kuona ya kugora itumaini ja faida yawe jainga, wawadirie Paulo na sila na kuwaburuta chetenyi imbiri ya wekona mamlaka.
\v 20 Kuwafikisha kwa mahakimu, wadedie, "Awa womi ni Wayahudi na wasababisha gasi mbaha katika muzi gwedu.
\v 21 Wadafundisha malago ambago siyo sheria isi kugawokera wala kuganuga kama Warumi."
\v 22 Umati ukawaiukia kinyume Paulo na sila, mahakimu wakarashua nguwo rawe na kuwarua na kuamuru wachapwe viboko.
\v 23 Baada ya kuwachapa viboko vingi, wakawadaga igerezanyi na kumuamuru askari wa igereza kuwalinda nicha.
\v 24 Baada ya kuwokera amri iyo, askari wa igereza wawadage katika chumba chendenyi ya igereza na kuwafunga magu gawe katika sehemu wawahifadhi.
\p
\v 25 Wakati gwa kio cha manane, Paulo na sila wakaka wadalomba na kubora ra kumtogola Mlungu, uku wafungwa wami wakiwasikira,
\v 26 Gafla kukafumiria itetemeko ibaha na misingi ya igereza ikatingishwa, mijango ya igereza ikarunguka, na minyororo ya wafungwa wose ikalegeshwa.
\v 27 Mlindiri wa igereza akawikia kufuma dilonyi na akawona mijango yose ya igereza yarugulwa, huwo akawusa upanga gwake maana wakundie kukibwaga kwa sababu wafikirie wafungwa wose watoroka,
\v 28 Ela, Paulo akakaba jogo kwa sauti mbaha, akideda "usadhuru kwa sababu wose deko andu aha."
\v 29 Mlindiri wa igereza walombie taa riredwe na akangia ndenyi ya igereza kwa shwa shwa, akikakama na kuboa, akawangwea Paulo na sila,
\v 30 na kuwafunya shigadi ya igereza na kudeda, "Waheshimiwa ni bonye indoi ili nipate kuokoka?"
\v 31 Nao wakamzera, "mwamininyi Mzuri Jesu nawe wadima okoka andukumweri na nyumba yako."
\p
\v 32 Wadedie idedo ja Mzuri kwake, andukumweri na wandu wose wa nyumbenyi kwake,
\v 33 Mlindiri wa igereza wawausie na kio chija na kuwagesha sehemu wavarika, andukumweri na wandu wa nyumbenyi kwake wakabatizwa shwa.
\v 34 Akawareda Paulo na Sila nyumbenyi kwake na kuwatengea vindo. Nae akakaia na kuboiwa nanganyi andukumweri na wandu wa nyumbenyi kwake kwa sababu wamwaminie Mlungu.
\p
\v 35 Kufikia na dime, mahakimu wadumie ujumbe kwa uja mlindiri wa igereza wakideda, "Waruhusu kwa uja waja wagende",
\p
\v 36 mlindiri wa igereza akamjulisha Paulo igu ya madedo ago kugora, "mahakimu wadumie ujumbe ni ruhusu mwinge: hiwo fumenyi shigadi na mgende kwa sere."
\p
\v 37 Ela Paulo akawazera, "wadikabie hadharenyi, wandu ambawo ni warumi bila kudihukumu na waamue kudidaga igerezanyi, halafu idana wakundi kudifunya kwa siri? Hapana, ndaidimikaga, wo wache weni kudifunya andu aha."
\v 38 walindiri wakajulisha mahakimu igu ya madedo aga, mahakimu wakaboa nanganyi aja wakimanya kugora Paulo na Sila ni warumi.
\v 39 Mahakimu wakacha na kuwsihi wafume, na kuwafunya shigadi ya igereza, wakawalomba Paulo na sila wafume shigadi ya muzi wawo.
\v 40 Kwa huo Paulo na sila wakafuma shigadi ya igereza wakacha nyumbenyi kwa lidia Paulo na Sila kuwawona mbari, wakawakumba ngolo na kisha wakainga katika muzi ugo.
\c 17
\cl Sura 17
\p
\v 1 Na wakiidia katika mizi ya Amfipoli na Apolonia, wachee mpaka muzi gwa Thesalonike amboko kwarikogo na isinagogi ja wayahudi.
\v 2 Kama andu iko kawaida ya Paulo, wagendie mizawe, na kwa muda wa matuku adadu ga sabato wajadiliane nawo igu ya maandiko.
\v 3 Werikogo akiwarugulia maandiko na kuwaeleza kuwa, yampasie Kristo ateseke na kisha kufufuka sena kufuma kwa wafu.
\v 4 Baadhi ya Wayahudi washawishikie na kuungana na Paulo na Sila, andu kumweri na wagiriki wacha Mlungu, waka wengi waongofu na ikundi ibaha ja wandu.
\p
\v 5 Ela baadhi ya wayahudi wasioamini, wachuriwa ni wivu, wagendie chetenyi na kuwawusa baadhi ya wandu wawiwi wakakusanya umati wa wandu andu kumweri, na kusababisha gasia mjini, kisha wakaivamia nyumba ya Josoni, wakikunda kuwa wada Paulo na sila ili kuwareda imbiri ra wandu.
\v 6 Ela kuwasowa, wakamwada Yason na baadhi wambari wamwi na kuwagenja imbiri ya maofisa wa muzi, wakikaba jogo. "Awa womi wagumbindue urumwengu wafika mpaka uku pia,
\v 7 Womi awa wakaribishwa ni Yasoni wadaihalifu sheria ya kaisari, wadedaa kuko Mzuri umwi awangwaga Jesu"
\v 8 Umati na maofisa wa muzi, kusikira malago ago wangiriwe ni wasi wasi.
\v 9 Baada ya kuwa wameria kuwusa magome ga thamani ya walindiri kufuma kwa Yasoni na wamwi, wawasigie wagende.
\p
\v 10 Kio chija wambari wamdumie Paulo na Sila Beroya. Na kufika kuja wagendie katika isinagogi ja wayahudi.
\v 11 Wandu waja warikogo wakana kukala kubaha kuliko waja wandu wa Thesalonike, kwa sababu warikogo na utajiri wa kujiwokera idedo kwa akili rawo, na kuchunguza maandiko kila ituku ili kuwona kama madedo gadedwa niko geko.
\v 12 Kwa huwoo wengi wao waaminie, wakika waka wekona ushawishi mbaha gwa kigiriki na womi wengi.
\p
\v 13 Ela wayahudi wa Thesalonike kugundua kwamba Paulo adatangaza ja Mlungu uko Beroya, wagendie uko na kuchochea na kisha kuanzisha gasia kwa wandu.
\v 14 Kwa shwa shwa, wambari wakamgenja Paulo kwa chia ya iriwenyi, ela sila na Timotheo wakabaki aja.
\v 15 Waja wambari wamgenjie Paulo wagendie nae hadi Athene, wakamsiga Paulo uko wawokerie malagizo kufuma kwake kuwa, sila na Timotheo wache kwake kwa shwa shwa kadri idimikanaga.
\p
\v 16 Na wakati akiwa wesera uko Athene, ngolo yake yakasirishiwe ndenyi yake kwa jinsi awonie muzi kandu gwachua sanamu nyingi.
\v 17 Huwo akajadiliana katikaisinagogi na wayahudi waja wamchaga Mlungu na kwa waja wose wakwana nawo kila ituku chetenyi.
\p
\v 18 Ela baadhi ya wanafalsafa wa waepikureo na wastoiko wakamkabili. Na wamwi wakadeda, "Ni ndoi achidedaga uyu mdedaji mkoho? wamwi wakadeda, "yawonekana adahubiri bvahari ra Mlungu mgeni," kwa sababu adahubiri habari ra Jesu na ufufuo.
\p
\v 19 Wakamwusa Paulo na kumreda Areopago, wakideda, "Dadima kumanya aga mafundisho mapya ugadedaga?
\v 20 Kwa sababu udareda malago mapya katika madu gedu. Kwa huwo dakundi kumanya aga malago gakana maana ki?"
\v 21 (Na wandu wose wa Athene andukumweri na wagenji weko mizawe, watumiriaga muda wawo aidha katika kudeda na kusikiria igu ya ilago ipya.)
\p
\v 22 Kwa huo Paulo akasimama gadi gadi ya wandu wa Areopago na kudeda, "Inyo wandu wa Athene, nawona kuwa inyo ni wandu wa dini kwa kila namna,
\v 23 Kwani katika kuida kwapwa na kuguwa vilambo vyenyu va kuabudu, nawona madedo gaandikwa mojawapo ya madhabahu genyu, ikideda "KWA MLUNGU ASAMANYIKANE." Huwo basi, uyo mumwabudu pasipo kummanya, ni ye niwajulisha inyo.
\p
\v 24 Mlungu waumbie dunia na kila kilambo chikondenyi, kwa kugora ni Mzuri wa mbingu na isanga, ndadimaga kukaia katika mahekalu gabonyigwa ni mikonu.
\v 25 Na pia ndatumikiwaga ni mikonu ya wanadamu kana kwamba wakundi kilambo kwawo, kwani ye mweni wawanekaga wandu binana na pumzi na vilambo vimwi vose.
\p
\v 26 Kuidia mundu umweri, wabonyie masanga gose ga wandu waishio igu ya wushu gwa dunia, na akawawikia nyakati na miano katika maeneo waishi.
\v 27 Kwa huwo, wakundigwi kumlola Mlungu, na yamkini mwafikie na kumpata, na kwa uhakiki ndeko kula na kila umweri wedu.
\v 28 Kwake daishi, nasela na kuwa na binana yedu, kama uja mtunzi wenyu umweri wa ishairi akideda 'da wavalwa wake.'
\p
\v 29 Kwa huwo, ikiwa wose da wavalwa wa Mlungu ndadipaswaga kufikiri kuwa uumlungu ni kama zahabu, au shaba, au magwe, sanamu yachongwa kwa ustadi na mawazo ga wandu.
\v 30 Kwa huwo, Mlungu wanyamakirie nyakati rija ra ujinga, ela idana adaamuru wandu wose kila andu wapate kutubu.
\v 31 Ihi ni kwa sababu wawika ituku ajikundi kuhukumu dunia kwa haki kwa mundu ambae wamsague. Mlungu wafunyie uhakika gwa mundu uyu kwa kila mundu aja akimfufua kufuma kwa wafu.
\p
\v 32 Na wandu wa Athene kusikira habari ra kufufuliwa kwa wafu, baadhi yawe wakamdhihaki Paulo, ila wamwi wakadeda "Dikusikiria sena kwa habari ra ilago iji"
\v 33 Baada ya aho, Paulo akawasiga.
\v 34 Ela baadhi ya wandu waungane nae wakaamini, akiwemo Dionisio mwareopago, na muka awangwaga Damari na wamwi andu kumweri nawo.
\c 18
\cl Sura 18
\p
\v 1 Baada ya malago ago, Paulo waingie Athena kugenda koritho.
\v 2 Uko akampata Myahudi awagwaga Akwila mundu wa ikabila ja ponto, ge na mkake awangwaga prisila wachee kufuma uko Italia, kwa sababu Klaudia waamuruwe wayahudi wose wainge Roma; Paulo akacha kwao;
\v 3 Paulo akaishi na kubonya kazi nawo kwani ye wabonyaga kazi ifwanane na yawo. Wo warikogo ni waboisa mahe.
\v 4 Paulo akajichiliana nawo katika isinagogi kila ituku ja sabato. Wawashawishie wayahudi andukumweri na wagiriki.
\p
\v 5 Lakini Sila na Timotheo kucha kufuma Makedonia, Paulo wasukumwe ni Roho kuwashuhudia wayahudi kuwaJesu nie kristo.
\v 6 Wakati wayahudi kumpinga na kumdhihaki, huwo paulo akakung'uta ivazi jake imbiri yawo, na kuwazera, "Baga yenyu na ike igu ya vongo vyenyu wenyi; Nyi sidae hatia kufuma ijia na kuendelea, na wagendia masanga."
\v 7 Huwo akaingia kufuma aja akagenda nyumbenyi kwa Tito Yusto, mundu amwabudu Mlungu. Nyumba yake iko avui na isinagogi.
\v 8 Kristo, kilongozi wa isinagogi andukumweri na wandu wa nyumbenyi kwake wakamwamini Bwan. Wandu wengi wakorintho wamsikire Paulo akideda na waamini na kubatizwa.
\p
\v 9 Bwana akamzera Paulo na kio kwa chia ya maono, "usaboe, lakini deda na usanyamakome,
\v 10 Kwani vyoi neko andukumweri nawe na ndakudae ajaribu kukudhuru, maana niko na wandu wengi katika muzi ugu."
\v 11 Paulo akakera uko kwa muda gwa mwaka gumweri na miezi sita akifundisha idedo ja Mlungu miongoni mwawo.
\p
\v 12 Lakini Galio kubonywa mtawala wa Akaya, wayahudi wasimamie andukumweri kinyume na Paulo na kumgenja imbiri ya kifumbi cha hukumu.
\v 13 Wakideda, "mundu uyu wawashawishi wandu wamwabudu Mlungu kinyume cha sheria."
\p
\v 14 Wakati pauloakikunda kudeda, Galio akawazera wayahudi, Inyo wayahudi, kama yakogo ni ikosa au uhalifu, yakaga halali kuwa shughulikia.
\v 15 Lakini kwa sababu ni maswali, gahusuyo madedo na marina, na sheria renyu, basi hukumunyi inyo wenu. Nyi sitamanikuwa hukumu kwa habari ya malago aga."
\v 16 Galio akawaamuru wainge imbiri ya kifumbi cha hukumu.
\v 17 Huwo, wakamwada sosthene, kilongozi wa isinagogi, wakamkaba imbiri ya kifumbi cha hukumu. Lakini Galio ndajalie wachibonya.
\p
\v 18 Paulo, baada ya kukaia aja kwa muda mlacha, wawasifgie wambari na kugenda kwa meli siria andukumweri na prisila na Akwila kabla ya kuinga bandarinyi, waarie mavunga gake kwani wakogo waapa kuwa mnadhiri.
\v 19 Kufika Efeso, Paulo wamsigie Prisila na Akwila aja, lakini ya mweni akangia isinagoginyi na kujadiliana na wayahudi.
\v 20 Kumgoria Paulo ake nawo kwa muda mlacha ya walegie.
\v 21 Lakini akaingia kwawo, akawazera, "Niwuya ga sena kwenyu, ikiwa ni mapenzi ga Mlungu." Baada ya aho, akainga kwa meli kufuma Efeso.
\p
\v 22 Paulo kutua kaisari, akajoka kugenda kuwalamsa Ikanisa ja Yerusalemu, kishaakasea ndonyi kwa ikanisa ja Antiokia
\p
\v 23 Baada ya kukaia kwa muda aja, paulo waingie kuidia maeneo ga Galatia naFrijia na kuwakumba ngolo wanafunzi wose.
\p
\v 24 Myahudi umweri awangwaga Apolo, avalwe ukoAlexandria, wachee Efeso. Wakogo na ufasaha katika kudeda na hodari katika maandiko.
\v 25 Apolo wakogo waelekezwa katika mafundisho ga Bwana. Kwajinsi akogo na nabii katia Roho, waarie na kufundisha kwa usahihi malago gamsu Jesu ila wamanyie tu ubatizo gwa Yohana.
\v 26 Apolo akanza kuaria kwa ujasri katika ihekalu. Lakini prisla na Akwila kumsikira, wankabonya umbuya naye na wakamwelezaa igu ya chia ra Mlungu kwa usahihi.
\p
\v 27 Kutamani kuinga kugenda Akaya, wambari wamkumbie ngolo na kuwaandikia barua wanafunzi weko Akaya ili wapate kumwokara. Kuwasihi, kwa neema wawatawarie nanganyi waja waaminio.
\v 28 Kwa ndigi rake na maarifa, Apolo wawazidie wayahudi hadharenyi akibonyera kuidia maandiko ga kuwa Jesu nie kristo
\c 19
\cl Sura 19
\p
\v 1 Ikakaia kwa mba Apolo warikogo korintho, Paulo akaida nyanda ra igu na kufika katika muzi gwa Efeso, na akadoka wanafunzi kadhaa uko.
\v 2 Paulo awazera, "Je, mwawokere Ngolo wa kuela mkiamini?" wakamzera, "Hapana, ndadimie hata kusikira kuhusu Ngolo wa kuela."
\p
\v 3 Paulo wadedie, "Idana inyo mwabatiziwe wada?" wakadeda, "Katika ubatizo wa Yaohana.
\p
\v 4 Basi Paulo akajibu, "Yohana wabatizie kwa ubatizo gwa toba. Akawazera waja wandu kwamba wapaswa kuwaamini uja ambae wachaga baada yake, yaani, Jesu."
\v 5 Wandu kusikira habari, ihi wabatizwa kwa irina ja Mzuri Jesu.
\v 6 Na ikakai Paulo kuwika mikonu yake igu yawe, Ngolo wa kuela akacha igu yawo na wakaanza kunena kwa luga na kutabiri.
\v 7 Jumla yawo warikogo womi wapataa ikumi na wawi.
\p
\v 8 Paulowagendie katika isinagogi akanena kwa ujasiri kwa muda gwa mieri idadu. Warikogo akilongoza majadiliano na kuwaruda wandu kuhusu malago gahusu wuzuri gwa Mlungu.
\v 9 Ela wayahudi wamwi warikogo wakaidi na wasatii, waanzie kudeda gazamie kuhusu chia ya Kristo imbiri ya umati. Basi Paulo wasigane nawo na akawatenga waaminio kula nawo. Nae waanzie kudeda kila ituku katika ukumbi gwa Tirano.
\v 10 Ihi ya endelee kwa miaka iwi, kwa huwo wose waishi katika Asia wasikire idedo ja Mzuri, wose Wayahudi ma wayunani.
\p
\v 11 Mlungu wakogo akibonya matendo mabaha kwa mikonu ya Paulo,
\v 12 kwamba hata wakogo waboisiwe, na ngolo chafu rawafumie, wakati wawusa leso na nguwo rafuma mwiwinyi kwa Paulo.
\p
\v 13 Ela kwarikogo wayahudi wawungaga pepo wa damba kuidia ieneo ijo, wakijitumia irina ja Jesu kwa ajili ya matumizi gawe wenyi. Wakiwazera waja warikogo na pepo wachafu; wakideda, "Nawaamuru mfume kwa irina ja Jesu ambae Paulo adamhubiri?
\v 14 Wabonye aga warikogo wakana na umbari na kuhani mbaha wa kiyahudi, skewa.
\p
\v 15 Ngolo wachafu wakajibu, "Jesu namwiichi, na Paulo namwiichi, ela inyo mwa wakani?"
\v 16 Yuja ngolo mchafu ndenyi ya mundu akawaburukia wawungaga pepo na akavota ndigi na kuwakaba. Niko wakakimbia kufuma ija nyumba wakikaia kibigiri na kujeruhiwa.
\v 17 Ilago iji jikamanyikana kwa wandu wose, wayahudi na wayunani, ambao uko Efeso. Wakawa na hofu nanganyi, na irina ja Mzuri jikazidi kuheshimiwa.
\p
\v 18 Pia wengi wa waumini wachee na kuungana na wakadhihirisha matendo gazamie wagobonyie.
\v 19 Wengi wakogo wakibonya uganga wakakusanya vitabu nawe, wakavikora imbiri ya kila mundu. Wakati wo kutale thamani ya vilambo ivo, yarikogo vipande hamsini elfu va magome.
\p
\v 20 Huwo idedo ja Mzuri jikaenea kwa upana nanganyi katika ndigi.
\p
\v 21 ya Paulo kukamilisha huduma yake kuja Efeso, Ngolo akamlomgoza kugenda Yerusalemu kuidia Makedonia na Akaya, Akadeda, "Baada ya kukaia uko, yanipasa kuiwona Rumi pia."
\v 22 Paulo akawaduma makedonia wanafunzi wake wawi, Timotheo na Erasto, ambawo wakogo wamtawara. Ela ye mweni akabaki Asia kwa muda.
\p
\v 23 Wakati ugo kwafumirie gasia mbaha uko Efeso kuhusu ija chia.
\v 24 Sonara umweri irina jake Demetrio, ambaye waboisie visanamu va fedha va Mlungu Diana, waredie biashara mbaha kwa mafundi.
\p
\v 25 Huwo akawakusanya mafundi wa kazi iyo na kudeda," Waheshimiwa, mwaichi kwamba katika biashara ihi isi dangira magome mengi.
\v 26 Mwaona na kusikira kwamba, si tu aha Efeso, bali karibia Asia yose, uyu Paulo wawashawishi na kuwageuza wandu wengi. Adadeda kwamba ndakudae Mlungu ambayo yabonyiwe kwa mikonu.
\v 27 Na tu iko hatari kwamba biashara yedu ikaga ndeihitajikaa sena, ela pia na ihekalu ja mlungu muka ambae ni mbaha Diana adima kuwusiwa kuwa ndadae maana. Sena wadimaga na dunia ya mwabudu."
\p
\v 28 Kusikira aga, wachuiwe ni hasira na wakakaba jogo, wakideda, "Diana wa Waefeso ni mbaha."
\v 29 Muzi wose ukachua gasia, na wandu wakakimbia andukumweri ndenyi ya ukumbi gwa michezo. Wakawawada wachero wambawo na Paulo, Gayo na Aristariko, wafumie makedonia.
\v 30 Paulo wakundie kungia katika umati umati wa wandu, ela wanafunzi wamzuie.
\v 31 Pia, baadhi ya maofisa wa mkoa gwa Asia ambawo wakogo wambuja wake wakangenjia ujumbe gwa ndigi kumlomba asangie katika ukumbi gwa michezo.
\p
\v 32 Baadhi ya wandu warikogo wakideda kilambo ichi na wamwi ilago jija, kwa sababu umati gwa wandu gwakogo gwachanganyikiwa. Wengi wawo ndawadimie hata kumanya kwa indoi wachee andukumweri.
\v 33 Wayahudi wakamreda Iskanda shigadi ya umati wa wandu na kumweka igu imbiri ya wandu.
\v 34 Ela kumanya kuwa ye ni myahudi, wose wakakaba jogo kwa sauti imweri kwa muda gwa nasaa awi, "Diana ni mbaha wa waefeso.
\p
\v 35 Baada ya karani wa muzi kunyamarishwa umati, wadedie, Inyo womi waefeso, nani asaichi kwamba muzi ugu wa efeso ni mtunzaji wa ihekalu ja Diana mbaha na ija picha yagwa kufuma mbingunyi?
\v 36 kuwana basi kwamba malago aga ndagadimikaga, dapaswa kuwa na utulivu na msabonye chochose kwa shwa shwa.
\v 37 Kwa maana mwawanga wandu awa aha mahakamenyi ambao sio wating'a wa ihekalu wala siwo wa mkufuru Mlungu wedu muka.
\v 38 Kwa huwo, kama Demetrio na mafundi weko andukumweri nae wekona mashaka dhidi ya mundu wowose, wahakama riko mweri na maliwali weko. Na waredwe imbiri ya ishauri
\v 39 Ela kama we ukalola chochose kuhusu malago gamwi, gadima shugulikiwa katika kikao habari.
\v 40 Kwa loli diko katika hatari ya kutuhumiwa kuhusu gasia ituku iji. Ndakudae sababu ya machafuko aga, na ndedimaga na uwezo wa kugaeleza.
\v 41 Baada ya kudeda aga, akawatawanya makutano.
\c 20
\cl Sura 20
\p
\v 1 Baada ya gasia kudua, Paulo akawawanga wanafunzi na kuwakumba ngolo. Kisha kuwalaga na akainga kugenda Mekodonia.
\v 2 Nae kuida mikoa iyo na wakogo akiwakumba ngolo waamini, akainga uyunani.
\v 3 Baada ya ye kuwa aja kwa muda wa mieri idadu, njama rikakundwa dhidi yake ni wayahudi akogo ako avui kudamba kwa chia ya bahari kuidia makedonia.
\v 4 Waandamane nae hadi Asia wakogo Sopatro, mwana wa Pircho kufuma Berea, Aristariko na sekundo, wose kufuma waamini wa Wathesalonike, Gayo na Derbe, Timotheo, Tikiko na Trofimo kufuma Asia.
\v 5 Ela wandu awa wameria kukiria na wakogo wadiweseria kuja Troa.
\v 6 Kwa chia ya bahari kufuma Filipi ya matuku ga mikate isakumbiwe ngwadu, na katika matuku asanu dikawadoka uko Troa. Dekee uko kwa matuku saba.
\p
\v 7 Hata ituku ja kwanza ja wiki, dikogo dakusanyika andu kumweri ili kugubega mkate, Paulo waarie na waamini. Wakogo akipanga kuinga hadi kio cha manane.
\v 8 Kwarikogo na taa nyingi katika chumba cha igu ambako dakogo dakusanyika andu kumweri.
\v 9 Katika idirisha wakogo wakaia mdawana umweri irina jake utiko, ambae wakogo waelemewa ni dilo nzito. Hata Paulo akogo akihutubu kwa muda mlacha, udawana uyu, akika wadetungura, akagwa ndonyi kufuma gorofa ya kadadu na akashoigwa akika wafwa.
\v 10 Ela Paulo waseie ndonyi, akikinyoosha ye mweni igu yake, akamkumbatia. Kisha akadeda, "Msakate tamaa, kwa kuwa ako banana."
\v 11 Kisha akajoka sena gorofanyi na akagubega mkate, akaja. Baada ya kuaria nawo kwa muda mlacha hadi alfajiri akainga.
\v 12 Wakamreda ujaa kijana akikaia banana wakafarijika nanganyi.
\p
\v 13 Isi weni dakirie imbiri ya Paulo kwa meli na dikaelekea Aso, ambapo isi dapangie kumwusa Paulo uko. Ichi nicho ye mweni wakundie kubonya, kwa sababu wapangie kugendaia nchi kavu.
\v 14 Kudifikia uko Aso, dikampakia melingi dikagenda mitilene.
\v 15 Kisha isi dikatweka kufuma uko na ituku ja kawi dikifika luwende lwa kawi wa kisiwa cha kio. Siku inugirie, dikawasili kisiwa cha samo, na kesho yake dikafika muzi gwa milego.
\v 16 kwa sababu Paulo warikogo waamua kudamba kuidia Efeso, ili kwamba asatumie muda gose katika Asia, kwa maana werikogo na haraka ya kuwahi Yerusalemu kwa ajili ya sikukuu ya Pentekoste, kama yadimikaga ye kubonya huwo.
\p
\v 17 Kufuma milego akaduma wandu hadi Efeso na akawawanga wazzee waikanisa.
\p
\v 18 kufika kwake, akawazera, inyo weni mwaichi tangu ituku ja kwanza nikiwadia aha Asia, jinsi nikogo kwenyu muda wose.
\v 19 Namtumikia Mzuri kwa unyenyekevu wose na kwa mbori na mateso ganipatie nyi kwa hilara wayahudi.
\v 20 mwaichi jinsi ambapo sikizuie kutangaza kwenyu kilambo chochose ambacho chakogo muhimu, na jinsi nawafundisha wazi wazi na pia kugenda nyumba kwa nyumba.
\v 21 mwaichi jinsi nyi niendelee kuwaonya wayahudi na wayunani igu ya toba kwa Mlungu na imani katika Mzuri wedu Jesu.
\p
\v 22 Na idana, gowenyi nyi nikika namtii Ngolo wa kuela kuelekea Yerusalemu, nisagamanye malago ambago adima nifumiria nyi kunu,
\v 23 ila kwa kugora Ngolo wa kuela wanishuhudia nyi katika kila kila muzi na adadeda kwamba minyororo na mateso niyo viniseraga.
\v 24 Ela nyi sifikirie kwamba maisha gapwa ni kwa chia yoyose ya thamani kwapwa, ili nidime kumeria mwendo gwapwa na huduma naiwokera kufuma kwa Mzuri Jesu, kuishuhudia injili ya neema ya Mlungu.
\v 25 Na idana ngowa, naichi kwamba wose, miongoni mwa waja nagenda kuwahubiri wuzuri, ndamniwona wushu sena.
\v 26 Kwa huwo nawashuhudia linu ihi, kwamba sedae hatia kwa baga ya mundu wowose.
\v 27 kwa maana sikuzie kuwatangazie makundo gose ga Mlungu.
\v 28 Kwa huwokenye waangalifu igu yenyu inyo weni, na igu ya ikundi jojose ambajo Ngolo wa kuela wawawika inyo kuwa waangalizi. Kenyi waangalifu kujichunga ikusanyiko ja Mzuri, ambajo wajigue kwa baga yake mweni.
\v 29 Naichi kwamba baada ya kuinga kupwa, makoshi ga kireti gabirie gadima ngia kwenyu, na wasajiwonee mbazi ikundi.
\v 30 Naichi kwamba hata miongonyi mwenu weni baadhi ya wandu wadima cha na kudeda malago mapotovu, ili kuwaruda wanafunzi wawanuge wo.
\v 31 Kwa huwo mke meso. Kumbukenyi kwamba kwa miaka idadu sidime kusiga kuwafundisha kila umweri wenyu kwa mbori kio na dime.
\p
\v 32 Na idana nyi nawakabidhi kwa Mlungu, na kwa idedo ja neema yake ambajo jadima kuwajenga na kuwaneka urithi andu kumweri nawo wose wawikwa wakfu kwa Mlungu, na kwa idedo ja neema yake, ambajo jadima kuwajenga na kuwaneka urithi andu kumweri nawo wose wawikwa wakfu kwa Mlungu.
\p
\v 33 Sitamanie magome, dhahabu au mavazi.
\v 34 mwaichi inyo weni kwamba mikonu ihi yanipatia mahitaji gapwa mweni na mahitaji ga waja warikogo andu kumweri nanyi.
\v 35 katika malago gose niminekie mfano gwa jinsi ipasanga kuwatawaria wanyonge kwa kubonya kazi, na jinsi mpaswaga kukumbuka madedo ga Mzuri Jesu, madedo ambago ye mweni wadedie." Ni heri kufunya kuliko kuwokera."
\p
\v 36 Baada ya kudeda namna ihi, wakabie magoti akalomba andukumweri nawo.
\v 37 Wose wakalila nanganyi na kumguya Paulo singeni na kumbusu.
\v 38 Wahuzunikie zaidi ya gose kwa sababu ya chija ambago wadeda, kwamba kamwendawa wonaga wushu gwake sena. Kisha wakamsindikiza merikebunyi.
\c 21
\cl Sura 21
\p
\v 1 Wakati dikogo dasigana nawo, dadamba baharinyi, dikafika moja kwa moja muzi gwa kosi, na kesho yake dikafika muzi gwa rodo, na kufuma uko dikafika muzi gwa patara.
\v 2 Kupata meli iruwukaa kugenda Foirike, dajokie dikadamba.
\v 3 kufika imbiri ya kisiwa cha kipro, dikaisiga luwande lwa kumosho, dikadamba hadi siria, diwika nanga katika muzi gwa Tiro, kwa sababu uko niko meli yakogo ipakuliwe shehena yake.
\p
\v 4 Baada ya kuwawona wanafunzi, dikakaia uko matuku saba. Wanafunzi awa wakamzera Paulo kuidia kwa Ngolo kwamba ye asawadie Yerusalemu.
\v 5 Hata kutimiza matuku gaja, isi nikainga dikagenda redu. Wose andukumweri, na wakawawe na wana wawe, wadaisindikizie katika chia redu hadi dikafuma shigadi ya muzi. Kisha dikakaba magoti pwani, dikalomba, dikalagana kila umweri.
\v 6 Dikajoka meli, uku nawo waauya mzinyi kwawo sena.
\p
\v 7 Hata kumeria charo chedu kufuma Tiro, dikafika Tolemai. Aja dalamusie wambari, na kukaia nawo kwa ituku jimweri.
\v 8 Kesho yake daingie dikagenda kaisaria. Isi dikangia nyumbenyi kwa Filipo, mhubiri wa injili, akogo umweri wa waja saba, na isi dikaka andukumweri nae.
\v 9 mundu uyu wakogo na wayi bana mabikira ambawo watabirie.
\p
\v 10 Baada ya kukaia uko kwa matuku kadhaa, ambawo watabirie.
\v 11 Ye wachee kwedu na akawusa mkanda gwa Paulo, kwa ugo wakifungie maguu na mikonu yake mweni na kudeda, "Ngolo wa kuela wadedie huwu," wayahudi wa Yerusalemu wadima mfunga mundu amiliki mkanda ugu, nawo wadima mkabidhi mikonunyi kwa wandu wa masanga."
\p
\v 12 kusikira malago aga, isi na wandu wakogo wakiishi andu aja damsihie Paulo asajoke kugenda Yerusalemu.
\p
\v 13 Niko Paulo akajibu, "mbonyaa indoi, mdalila na kunichukanya ngolo yapwa? kwa maana niko tayari, siyo tu kufungwa, ela pia kufungwa uko Yerusalemu kwa ajili ya irina ja Mzuri Jesu."
\p
\v 14 Kwa wuja Paulo ndakundie kushawishiwa, dasigie na kudeda, "Basi makundo ga Mzuri gabonyeke."
\p
\v 15 Baada ya matuku aga, dawusie mifuko yedu na dikajoka Yerusalemu.
\v 16 Baadhi ya wanafunzi kufuma kaisaria pia wanugane na isi. Wakamreda mundu uumweri awangwawa mnasoni, mundu wa kipro, mwanafunzi wakala, ambae dakee nae.
\p
\v 17 kufika Yerusalemu, wambari wadikaribishie kwa kuboirwa.
\v 18 Kesho yake Paulo wagendie andukumweri na isi kwa Yakobo, na wagosi wose wakogo.
\v 19 Baada ya kuwalamsa, wawanekie taarifa imweri baada ya imwi ya malago ambago Mlungu atendie miongonyi kwa masanga kwa kuidia huduma yake.
\v 20 Wakati wasikira ago, wakamtogola Mlungu, na wakamzera, "waona, mbari koko maelfu walinga waamini miongoni mwa wayahudi, wo wose wakona nia ya kuwada sheria.
\v 21 Wagoriwa kuhusu we, kwamba udafundisha wayahudi waishi kati ya masanga kusigana na musa, na kwamba udawagoria wasawatahiri wana wawo, na wasanuge desturi ra kale.
\v 22 Dapaswa dibonye indoi? Bila shaka wadima sikira kwamba we wacha.
\v 23 Huwo bonya chija isi dikuworiaga iji aha: diko na wandu bana ambawo wawika nadhiri.
\v 24 Wawuse wandu awa na ujitakase mweni andukumweri nawo, na uwashanie garama rawe, ili wadime kuara vongo vawe. Huwo kila umweri apate kumanya kwamba malago wagoriwa kuhusu we ni ga tee. Wadima jifunza kwamba we pia wanugaa sheria.
\v 25 Ela kwa habari ra masanga ambawo wakaia waumini, daandikie na kufunya malagizo kwamba wapaswa kujiepusha na vilambo vafunyigwa dhabihu kwa sanamu, na baga, kufumana na chija chanyorwa na wajiepushe na uasherati."
\v 26 Niko, Paulo wawusie womi, na ituku ja kawi, akajitakasa mweni andu kumweri nawo. Akangia ihekalunyi, kutangaza kipindi cha matuku ga kukitakasa, hadi sadaka ikufunyigwe kwa ajili ya kila umweri wawo.
\p
\v 27 Matuku agosaba kujikia avui kudua, baadhi ya wayahudi kufuma Asia wakamwona Paulo Hekalunyi, na makutano wakazamiwa, na wakamnyoshea mikonu.
\v 28 Warikogo wakaba jogo, "Wandu wa israeli, disaidienyi. Uyu ni uja mundu awafundishaga wandu kila andu malago ambawo ni kinyume na wandu, sheria, na andu aha. Pia wawareda wayunani katika ihekalu na kureda najisi andu aha patakatifu."
\v 29 Kwa kugora mwanzoni wakogo wamwona Trofimo muefeso akika andukumweri nae mjini, nawo wadhanie kwamba Paulo wamredie ihekalunyi.
\v 30 Muzi gose gwakogo na taharuki, na wandu wakakimbia andu kumweri na kumwada Paulo. Wakamfunya shigadi ya ihekalu, na mijango mara ikarugwa.
\p
\v 31 Warikogo wakigeria kumwaga, habari ramfikie mbaha wa ijeshi ja walindiri kuwa Yerusalemu yose yachua gasia.
\v 32 Mara iyo akewawusa askari na Jemedari akagukimbiria umati. Wakati wandu kumwona mbaha wa ijeshi na askari, wakasiga kumkaba Paulo.
\p
\v 33 Kisha mbaha wa jeshi wakae avui nae na akamwada Paulo, na akaamuru afungwe minyororo iwi. Akamkotia ye na ni na wabonya indoi.
\v 34 Baadhi ya wandu umati wakogo wapayuka kilambo, ichi na wamwi chimwi. Kwa kugora jemedari ndadimie kuwagoria chochose kwa sababu ya rija jogo, akaamuru Paulo aredwe ndenyi ya ngome.
\v 35 Basi kufika ngazinyi, akawusigwa ni askari kwa sababu ya gasia ra umati.
\v 36 Maana umati wa wandu wamnugie na waendelee kukaba jogo, "mwinjenyi uyu!"
\p
\v 37 Paulo akogo akiredwa ndenyi ya mgome, wamgorie mbaha wa majeshi, "Nadima kukugeria kilambo?" uja mbaha wa majeshi akadeda, "Je udadeda kiyunani?
\v 38 Je, we sie uja mmisri ambae awali walongozie uasi na wawusie magaidi elfu ina kireti?"
\p
\v 39 Paulo akadeda, "Nyi na myahudi, kufuma muzi gwa Tarso ya kilikia. Nyi na raia wa muzi maarufu. Na walomba, mniruhusu niarie na wandu."
\v 40 Wakati jemedari kumneka ruhusa, Paulo akakimsi ngazinyi na akabonya ishara kwa wandu kwa mkonu gwake. Wakati kukogo na ukimya nanganyi, akaaria nawo kwa kihebrania. Akadeda,
\c 22
\cl Sura 22
\p
\v 1 "Wambari na aba wapwa, sikirenyi utetezi gwapwa nigubonyaga kwenyu ijiaha."
\v 2 Makutano kusikira Paulo akideda nawo kwa kiebrania, wakatulia. Akadeda,
\v 3 "Nyi na myahudi, navalwa muzi gwa Tirso ieneo ja kitikia, ila napatie elimu katika muzi ugu, magunyi kwa Gamilieli. Nafundishiwe kulingana chia sahihi ra sheria ra aba wedu. Nyi niko na bidii ya Mlungu, kama inyo wose mko linu.
\v 4 Nawatesia kwa chia ihi hadi kufwa, naka wafunga wami kwa waka na kuwadaga igerezanyi.
\v 5 Hata kuhani mbaha na wagosi wose wadima kufunya ushahidi kwmba nawokerie barua kufuma kwawo kwa ajili ya wambari wakoo Domeski, kupwa nyi kudamba kugenda uko. Marikogo niwarede wandu Yerusalemu kwa chia ili wafungwe na kuadhibiwa.
\p
\v 6 Yafumirie kwamba aja rikogo nikidamba niko avui na Demeski, majira ga dime gafula nuru mbaha ikafumiria mbingunyi ikaanza kumiangamiza.
\v 7 Nikagwa ndonyi na kusikira sauti ikinizera, 'sauli, sauli kwa indoi udaniudhi?'
\p
\v 8 Nikajibu, we nani, Mzuri?' Akanizera, 'nyi na Jesu mnazareti ambae we udaniudhi.'
\p
\v 9 Waja wakogo nanyi waionie nuru, ila ndawasikire sauti ya uja wadeda nanyi.
\v 10 Nikadeda, 'Nibonye indoi, Mzuri? Mzuri akanizera, 'simama na ungie Dameski, uko wadima goriwa kila kilambo upaswaga kubonya.'
\v 11 Sidime kuwona kwa sababu ya mwangaza gwa nuru ija, niko nikagenda Dameski kwa kulongozwa ni mikonu ya waja wakogo nanyi.
\v 12 Uko nika kwana na mundu awangwaga Ananla, wakogo mundu awadie sheria na aheshimikaga imbiri ya wayahudi wose waishi uko.
\v 13 Akacha kwapwa, akasimama imbiri yapwa, na kudeda, "Mbari wapwa sauli, upate kuona. kwa muda uja weni nikamwona.
\v 14 Akadeda, 'Mlungu wa aba wedu wakusagua we upate kumanya makundo gake, kumwona uja akona hachi, na kusikira sauti ifumaa kinywenyi chake.
\v 15 Kwa sababu wedima kaa shahidi kwake kwa wandu wose igu ya wagawona na kusikira.
\v 16 Basi ijiaha kwa indoi udawaseria? Wikia, ubatizwe, ugende ogesha zambi rako, ukijiwanga irina jake,'
\p
\v 17 Baada ya kuwuya Yerusalemu, na nikogo nikisali ndenyi ya ihekalu, ikafumiria kwamba nikanekwa maono
\v 18 Nikamwona akanizera, Hima wa fuma Yerusalemu shwa shwa, kwa sababu ndewa kubali ushuhuda gwako kuhusu nyi.'
\v 19 Nikadeda, 'Mzuri, wo weni waichi nawafungie igerezanyi na kuwakaba waja wakuaminie katika kila isinagogi.
\v 20 Na baga ya Stephano shahidi wako ikidiwa, nyi pia nakogo nasimama avai na kukubali na nakogo nalindia nguwo ra waja wamwaga,
\v 21 Ela wanizerie, Enenda, kwa sababu nyi nikudumaga ugende kula kwa wandu wa masanga."
\p
\v 22 Wandu wakamruhusu adede igu ya idedo iji. Ela baadae wapazie sauti na kudeda, "mwinje mndu uyu katika isanga kwa siyo sahihi aishi."
\p
\v 23 Wakogo wakipaza sauti, na kudaga mavazi gawe na kudaga luvumbi igu.
\v 24 Jemedari mbaha akaamuru Paulo aredwe ngomenyi. Akaamuru akotiwe uku adakabwa mijeredi, ili ye mweni amanye kwa indoi wakogo wamkabia jogo namna ija.
\p
\v 25 Hata wakogo wamfunga kwa luga, Paulo akamzera uja akida wasimama avui nae. Je! ni haki kwenyu kumkaba mundu mrumi na bado ndahukumiwe?"
\p
\v 26 Uja akida kusikira madedo aga, akagenda kwa Jemedari mbaha na kumzera, akideda, "wakundi kubonya indoi? kwa maana mundu uyu ni mrumi."
\p
\v 27 Jemedari mbaha akacha na kumzera, "Nigorie, je we ni raia wa Rumi?" Paulo akadeda, "He."
\p
\v 28 Jemedari akamjibu," Ni kuidia kiasi kibaha cha magome niko nikapata uraia." Ela Paulo akamzera, "Nyi na Mrumi kwa kuvalwa."
\v 29 Basi waja wakotayari kugenda kumkotia wakainga na kumsiga wakati ugo gweni. Na Jemedari nae akaboa, kumanya kuwa Paulo ni mrumi na kwa sababu wafungwa.
\p
\v 30 Ituku jinugirie, jemedari mbaha wakundie kuimanya iloli kuhusu mashtaka ga wayahudi dhidi ya Paulo. Huwo akamfungua vifungo vake akaamuru wabaha wa makuhani na ibaraza jose wakwane. Akamreda Paulo ndonyi, na kumweka gadi gadi yawe.
\c 23
\cl Sura 23
\p
\v 1 Paulo wakawguwa umweri kwa umweri wandu waibaraza na kudeda, Wambni wapwa, naishi imbiri pa Mlungu kwa dhamira iboie hadi iji aha.
\v 2 Kuhani mbaha Ananaia awaamuru waja wasi mama auui nae wamkaba kinywa chake.
\p
\v 3 Niko Paulo akamzera, "Mlungu akukabaga we, ukute gwa viwa chokaa. Waka gukini hukumu kwa sheria, nawe waamuru ni kabwe kinyume cha sheria?"
\p
\v 4 Waja wakogo wasimama avui nae wakadeda, "Huwo niko umwanyiraga kuhani mbaha wa Mlungu?"
\p
\v 5 Paulo akadeda, "Wambari wapwa, nyi simanyiekwamba uyu ni kuhani mbaha. kwa kuwa yaandikwa, nduzungumza vizamie igu ya mtawala wa wandu wako."
\p
\v 6 Paulo kuwona kwamba luwande lumweri la ibaraza ni masadukayo na wamwi mafarisayo, akaapaza sauti na kudeda," Waambari wapwa, nyi na mafarisayo, mwana wa mafarisayo. Ni kwa sababu ihi namtegemea kwa ujasiri ufufuo gwa wafu nihukumiwaga nawo."
\v 7 Kudeda aga, malumbano mabaha gakufumiria baina ya mafarisayo na masadukayo, na mkutano kugawanyika.
\v 8 Kwani Masadukayo wadedaga ndakudae ufufuo, malaika wala ndakudae ngolo, ila mafarisayo wadedaga aga gose geko.
\p
\v 9 Gasra mbaha ikafumiria na baadhi ya waandishi wakogo luwande lwa mafarisayo wakakimsi kujadili, wakideda, "ndadiwonie chochose chizamie dhidi ya mundu uyu. Ni wada kama ngolo au malaika wadeda nae?"
\v 10 Wakati kwafumirie hoja mbaha, mbaha wa majeshi waboie kwamba Paulo warashurwaga vipande ra wo, huwo akaamuru wanajeshi wasee ndonyi na kumwusa kwa ndigi kufuma kwa wajumbe wa ibaraza, na mreda ngomenyi.
\p
\v 11 Kio chanugiria Mzuri wasimamie avui nae na kudeda, "usaboe, kwa kugora wanishuhudia pia katika Roma."
\p
\v 12 Kuela, baadhi ya wayahudi wabonyie agano na kuwanga laana igu yawe weni: wadedie ya kwamba ndewajaga wala kunywa chochose mpaka wakamnuga Paulo.
\v 13 Kwakogo na wandu zaidi ya arobaini ambawo wabonyie njama ihi.
\v 14 Wakagenda kwa wabaha wa makuhani na wagosi na kudeda, "Dakiwika isiweni laanenyi mbaha, disaje chochose hadi dikamwaga Paulo.
\v 15 Huwo idana ibaraza jimzere jemedari mbaha amrede kwenyu, kama kwamba mdaamua kesi yake kwa usahihi. Kwedu isi diko tayari kumwanga kabla ndechee aha."
\p
\v 16 Ela mwana wa dadie Paulo akasikira kwamba kwarikogo na njama, akagenda akangia ndenyi ya ngome na kumgoria Paulo.
\v 17 Paulo akamwanga akida umweri akadeda, "muwuse ndawana uyu kwa jemedari, maana akanaidedo ja kumwogeria."
\v 18 Basi akida akamwusa uja mdawana akamgenja kwa jemedari mbaha akamzera, Paulo uja mfungwa waniwangie akakunda nikuredie mdawana uyu kwako. Akona idedo ja kukugoria."
\v 19 Uja jemedari mbaha akumwada kwa mkonu akakitenga naye mbai, na akamkotia, "Ni kitambo ki ukundi unigerie?"
\v 20 Mdawana uja akadeda, "wayahudi waja tana kukulomba umrede Paulo kesho ibarazenyi kana kwamba wakundi kupata habari rake kwa usahihi nanganyi.
\v 21 Basi we usakubali kwa maana wandu zaidi ya arobaini wadamvizia. Wakifunga kwa laana, wasaje wala wasanywe mpaka wambwage. Hata ijiaha wako tayari, wakiwesera kibali kufuma kwako."
\v 22 Basi uja jemedari mbaha akamsiga mndawana agende chia rake, baada ya kumlagiza "Usamgorie mundu wowose ya kugora waniarifu aga."
\p
\v 23 Akawawanga maakida wawi akadeda watayarishenyi askari mia iwi kugenda kaisaria na askari wajoka farasi sabini, na wakama mikuki mia iwi, mwingaga zamu ya kadadu ya kio.
\v 24 Akawazera kuwika wanyama tayari ambae Paulo wadima mtumia na kumwus salama kwa Feliki Gavana.
\v 25 Akaandika barua kwa namna ihi,
\v 26 Klaudio Lisia kwa liwali mtukufu feliki, salamu.
\v 27 mundu uyu wawadiwe ni wayahudi wakafikia avui kumwaga, niko nikagenda andukumweri na kikosi cha askari nikamwokoa, kupata habari ya kugora ye ni raia wa kirumi.
\v 28 Nakundie kumanya kwa indoi wamshitakie, huwo nikamgenja ibarazenyi.
\v 29 Nikawona kwamba wakogo washitakiwa kwa ajili ya maswali ga sheria yawe, walandashitakiwe ilago jojose ja kustahili kubwagwa wala kufungwa.
\v 30 Kisha ikamanyikana kwapwa kwamba kokonjama dhidi yake, huwo kwa shwa shwa nikamduma kwako, na kuwalagiza wamshitakiaga pia warede mashitaka dhidi yake imbiri yako. Wakalagana."
\p
\v 31 Basi waja askari wakatii amri: wakamwusa Paulo wakamgenja Anti patri nakio.
\v 32 Ituku januguria, maaskari wengi wakawasiga woja wajoka farasi wagende andukumweri nae, nawo wakawuja chia rawe ngomenyi yawe.
\v 33 Na wajoka farasi kufika kaisaria, na kumneka liwali ija barua, wakamwika Paulo imbiri yake.
\p
\v 34 Nae liwali kusoma barua, akamkotia Paulo wafumie ijimbo ki, kumanya ni mundu wa kilikia,
\p
\v 35 akadeda," Nikusikiriaga we wakacha waja wakushitaki," akaamuru awikkwe katika ikulu ya Herode.
\c 24
\cl Sura 24
\p
\v 1 Baada ya matuku asanu. Anania kuhani mbaha, baadhi ya wagosi na mdedaji umweri awangwaga Tertulo, wakagenda aja. Wandu awareda mashitaka dhidi ya Paulo kwa Gavana.
\v 2 Paulo kukimsi imbiri ya Gavana, Tertulo akaanza kumshitaki na kudeda kwa Gavana, "kwa sababu yako nikona sere mbaha, na kwa maono gako nikona sere mbaha, na kwa maono gako gareda mageuzi gaboie katika isanga jedu;
\v 3 basi kwa shukrani yose dawokera kila kilambo achibonyaga, wasalam mheshimiwa Feliki
\v 4 Lakini nisakukojese nanganyi, nakusihi unisikiriemadedo matineri kwa fadhili rako.
\v 5 Kwa maana dapata mundu uyu mkorofi, na adasababisha Wayahudi wose kuasi dunienyi. Tena nikilongozi wa madhabahu ga wanazorayo. \f + \ft zingatia: sehemu ya madedo ga mshololo ugu 24:6
\v 6 Na sena wajaribie kujikumba ihekalu unajisi huwa dikamwada; ndakuko katika nakala bora ra maandiko ga kala. \f*
\v 7 \f + \ft zingatia: mshololo uguLisiasi, afisa, wachee na amvusa kwa ndigi mikonunyi kwendu, ndaguko katika nakala bora ra maandiko ga kala. \f*
\v 8 Ukamkotia paulo kuhusu malago aga, hata wadima kukifunza ni kilambo ki damshitakia."
\v 9 Wayahudi nawo wakamshitaki paulo, wakadeda kwamba aga malago gakogo loli.
\p
\v 10 Liwali kumpungia mkonu ili Paulo adede, Paulo akajibu "Naichi ya kugora kwa miaka mingi wakogo mwamuzi wa isanga iji, na niko na boirwa kukieleza nyimweni kwako.
\v 11 Na daima kuhakiksha kugora ndagaidie matuku zaidi ya ikumi na iwi tangu nijokie kugenda kuabudu Yerusalemu.
\v 12 Na kunidoka ihekalunyi sibiahame na mundu wowose, na sibonyie fujo katika makutano, wala katika masinagogi wala ndenyi ya muzi,
\v 13 na wala ndawadimage kuhakikisha kwa mashtaka wagashtakiaga dhidi yapwa.
\v 14 Ila nakiri ihi kwako, ya kugora kwa chia ija waiwangaga idhehebu, kwa chia iyo namtumikia Mlungu na aba wedu. Nyi na mwaminifu kwa gose geko sherienyi na maandiko ga walodi.
\v 15 Niko na ujasiri guja gweni kwa Mlungu ambawo hata nawo wadeguweseria, kucha ufufuo gwa wafu, kwa wose wekona hachi na wasadae haki pia,
\v 16 na kwa iji, nidabonya kazi ili nike na dhamira isadae hatia imbiri ya Mlungu na imbiri ya wandu kuidia malago gose.
\v 17 Idana baada ya miaka mingi nacha kureda msaada kwa isanga japwa na zawadi ya magome.
\v 18 Kubonya huwu, wayahudi fulani wa Asia wakanidoka ndenyi ya sherehe ya utakaso utakaso ndenyi ya ihekalu, bila ikundi ja wandu wala gasia.
\v 19 Wandu awa ambawo yawapasie kukaia imbiri yako iji aha na idede chija weko nacho igu yapwa kama wakona idedo jojose.
\v 20 Au wandu awa weni na wadede ni ikosa ki wajiwona kwapwa nikisimama imbiri ya ibaraza ja kiyahudi,
\v 21 isipokuwa kwa ajili ya kilambo chimweri na chideda kwa sauti nikisimama gadi gadi yawe, ni kwa sababu ya ufufuo gwa wafu inyo mdani hukumu."
\p
\v 22 Feliki wakogo wataarifiwa nicha kuhusu chia, na akagualisha mkutano. Akadeda," Lisia jemedari akacha kunu isi kufuma Yerusalemu nifunyaga maamuzi dhidi ya mashitaka genyu."
\v 23 Niko akamwamuru akida amlindie Paulo, ila ake na nafasi na hata asakaie mundu wakuwalegeshea wambuya wake wasamtaware wala wasamselie.
\p
\v 24 Baada ya matuku kadhaa, Feliki akawuya na Drusila mkakawakogo myahudi, akaduma kumwanga Paulo na akasikira kufuma kwake habari ra imani ndenyi ya Kristo Jesu.
\v 25 Ila Paulo akogo akijadiliana nae kuhusu haki, kukaia na kiasi na hukumu ichaga, Feliki akapata hofu akajibu," genda kula kwa ijiaha, ila nikapata muda sena, nikuwangaga."
\v 26 Muda ugo gweni, wategemee kugora, Paulo wadima mneka magome kwa huwo wambangie mara nyingi akaaria nae.
\p
\v 27 Ila miaka iwi kuida, Porkio Festo akakaia liwali baada ya Faeliki, ila Feliki wakundie kukipendekeza kwa wayahudi, huwo akamsiga Paulo ndonyi ya uangalizi.
\c 25
\cl Sura 25
\p
\v 1 Niko Festo akangia katika ijimbo ijo na baada ya matuku adadu akagenda kufuma kaisaria hadi Yerusalemu.
\v 2 Kuhani mbaha na Wayahudi mashuhuri wakareda shutuma dhidi ya Paulo kwa Festo, na wakadeda kwa ndigi kwa Festo.
\v 3 Na wakamlomba Festo fadhili igu ya habari ra Paulo apate kumwaga Yerusalemu ili wadime kumwaga chienyi.
\v 4 Ela Festo akajibu kugora Paulo warikogo mfungwa katika kaisaria, na kwamba ye mweni awiaga uko shwa shwa.
\v 5 Wadedie "kwa huwo, waja ambawo wadima, kugenda uko na isi kama kilambo chizamie kwa mundu uyu wapaswa kumstaki."
\p
\v 6 Baada ya kukaia matuku nane au ikumi na zaidi, akawia kaisaria. Na ituku jinugirie akakaia katika kifumbi cha hukumu na kuamuru Paulo aredwe kwake.
\v 7 Kufika, Wayahudi kufuma Yerusalemu wakasimama avui, wakafunya mashtaka mengi mazito ambawo ndawadimie kugathibitisha.
\p
\v 8 Paulo wakitetee na kudeda, 'si dhidi ya irina ja wayahudi, siyo igu ya ihekalu, na siyo igu ya kaisaria, nabonya gazamie.
\p
\v 9 Ela Festo wakundie kukipendekeza kwa waya hadi, na huwo akamjibu Paulo kwa kudeda, 'Je, wakundi kwenda Yerusalemu na kuhukumiwa nanyi kuhusu malago aga uko?'
\p
\v 10 Paulo wadedie,' nasimama imbiri ya kifumbi cha hukumu cha kaisaria ambapo napaswa kuhukumiwa. Siwakosee wayahudi, kama we andu uichi nicha.
\v 11 Ikiwa nakosa na kama nabonya chistahili kifo, silegaa kufwa. Ela kama shutuma rawe si kilambo, ndakudae mundu adimaga kunikabidhi kwawo. Namlomba kaisari.'
\p
\v 12 Baada ya Festo kudeda na ibaraza akajibu, "udamlomba kaisari, ugendaga kwa kaisari,"
\p
\v 13 Baada ya matuku kadhaa, Mzuri Agripa na Bernike wafikie kaisaria kubonya ziara rasmi kwa Festo.
\v 14 Baada ya kukaia aho kwa matuku mengi, Festo wawasilishie kesi ya Paulo kwa Mzuri, Akadeda, mundu umweri wasigiwe aha ni Feliki kama mfungwa.
\v 15 Nikogo Yerusalemu makuhani wabaha na wagosi wa wayahudi waredie mashtaka igu ya mundu uyu kwapwa, nawo wakotie igu ya hukumu dhidi yake.
\v 16 kwa iji nyi nawajibie kwamba siyo desturi ya waroma kufunya kumfunya mundu kwa upendeleo baada yake, mtuhumiwa apaswa kuwa na nafasi ya kuwakabili wastaki wake na kukitetea dhidi ya tuhuma iro.
\v 17 Kwa huwo, kucha andukumweri aha, sidimie kuwesera, ela ituku janugiria nakee katika kifumbi cha hukumu na kuamuru mundu uyo aredwe ndenyi.
\v 18 Wakati wastaki wasimama na kumshtaki, najifikirie kwamba ndakudae mashtaka mabaha garedwa dhidi yake.
\v 19 Baada yake, wakogo na mabishano fulani andukumweri nae kuhusu dini yawe na kuhusu Jesu ambaye wakogo wafwa, ela Paulo adai kugora kuwa weko banana.
\v 20 Nakogo nafumbwa jinsi ya kuchunguza isuala iji, na nikamkotia kama wagendaga Yerusalemu kuhukumiwa kuhusu malago aga.
\v 21 Ela Paulo kuwangwa awikwe ndonyi ya ulindiri kwa ajili ya uamuzi gwa Mzuri, niamurie awikwe hata nichamgenja kwa kaisari.'
\v 22 Agripa warie wa Festo, "Nakundi pia kumsikiria mundu uyu." Festo, akadeda, "kesho wadima msikira."
\p
\v 23 Huwo kesho yake Agripa na Bernike wafikie na sherehe nyingi, wafikie katika ukumbi na maafisa wa kijeshi, na wandu mashuhuri wa muzi. Na Festo kufunya amri, Paulo akamredwa kwawo.
\v 24 Festo akadeda," Mzuri Agripa, na wandu wose ambawo mko aha andukumweri na isi, mwawona mundu uyu, jumuiya yose ya wayahudi uko Yerusalemu na aha pia wakunda niwashauri, na wo wakakaba jogo kwapwa kwamba asaishi.
\v 25 Nawonie kwamba ndabonyie jojose jistahili kifo, ela kwa sababu wamwanga Mzuri, naamue kumgenja kwake.
\v 26 Ela sidae kilambo dhahiri cha kuandika kwa Mzuri. Kwa sababu ihi, namreda kwako, hasa kwako we, Mzuri Agripa, ili nipatie kuwa kilambo cha kuandika kuhusu kesi.
\v 27 Kwa kugora nawona ndaidae maana kumgenja mfungwa na bila kubonyera mashtaka gamkabili.
\c 26
\cl Sura 26
\p
\v 1 Huwo Agripa akamzera Paulo, waruhusiwa kujitetea." Niko akanyoosha mikonu gwake akajitetea huwu.
\v 2 "Nakiwona niko na furaha, Mzuri Agripa, ili kubonya kesi yapwa imbiri yako linu dhidi mashtaka gose ga wayahudi.
\v 3 Hasa, kwa sababu we wa mtaalamu wa desturi ra wayahudi na wastahili. Huwo nakulomba unisikirie kwa uvumilivu.
\p
\v 4 Loli, wayahudi wose waichi jinsi nikogo nikiishi tangu udawana gwapwa katika isanga japwa uko Yerusalemu.
\v 5 Waniichi tangu mwanzo na wapaswa kukubali kwamba naishie kama mfarisayo, idhehebu jikana msimame gubirie dininyi yedu.
\p
\v 6 Idana nasimama aha nihukumiwe kwa sababu nyi nagowie ahadi ambayo Mlungu wabonyie na aba wedu.
\v 7 Ihi ni ahadi ambayo makabila gedu ikumi na awi gatumaini kuwokera kama wakamwabudu Mlungu kwa bidii kio na dime. Nikwa ajili ya itumaini iji, Mzuri Agripa, kwamba wayahudi wadanishtaki.
\v 8 Kwa indoi wowose kati yenyu adafikiri ni ajabu kwamba Mlungu wafufua wandu?
\p
\v 9 Wakati gumweri nafikirie nyi mweni kwamba nabonyaga malago mengi dhidi ya irina ja Jesu wa Nazareti.
\v 10 Nabonyie aga katika Yerusalemu, Nawafungie waamini wengi igerezanyi, na nakogo na mamlaka kufuma kwa wabaha wa makuhani kubonya huwo, na wakati wadabwagwa, nakabie kura dhidi yawe.
\v 11 Mara nyingi nawaadhibie katika masinagogi gose na nagerie kuwabonya waikane imani yawe. Narikogo na hasira nanganyi igu yawe na nawawingisie hata katika mizi ya ugenyinyi.
\p
\v 12 Wakati nikogo nikibonya aga, nagendie Dameski, nikika na mamlaka na malagizo kufuma kwa makuhani wabaha;
\v 13 nikogo chienyi wakati gwa dime, Mzuri, nawonie mwanga kufuma igu mbingunyi gukogo gubirie kuliko iruwa na gwa meremeta kudizunguluka nyi na wandu wakogo wakidamba andu kumweri nanyi.
\v 14 Isi wose kugwa ndonyi, nikasikra sauti ikideda nanyi ikideda katika luga kiebrania, sauli, sauli! kwa indoi udanitesa? Ni vigumu kwako kugubaka iteke mchokoo.
\p
\v 15 Niko nikadeda, we wami, Mzuri? Mzuri akajibu, Nyi na Jesu ambae udanitesa.
\v 16 Idana inuka usimame kwa magu gako, kwa sababu kwa ikusudi iji nyi nawona kwako, na kuteuliwa kuwa mtumishi na shahidi igu ya malago ambago waichi kuhusu nyi idana na malago nikubonyeraga baadae.
\v 17 na nikuokoaga kufuma kwa wandu na wandu wa masanga ambapo nakuduma,
\v 18 kuwusira meso gawe na kuwafunya kirenyi kugenda mwangenyi na kufuma ndigi nyi ra shetani wamgeukia Mlungu, ili wapate kuwokera kufuma kwa Mlungu msamaha gwa zambi na urithi ambawo nawaneka wose nawatenga kwa imani iko kwapwa.
\p
\v 19 Huwo, Mzuri Agripa, sidimie kuasi maono ga mbingunyi,
\v 20 Ela kwa waja weko katika Dameski kwanza, na kisha Yerusalemu na isanga jose ja Yudea, na pia kwa wandu wa masanga ga mwi, nahubirie kugora watubu na kumgeukia Mlungu, wabonye matendo gastahili toba.
\p
\v 21 Kwa sababu iyo wayahudi yaniwadie ihekalunyi wakageria kunibwaga.
\v 22 Mlungu wanitawarie mpaka ijiaha. huwo nasimama na kushuhudia kwa wandu wakawadia na kwa waja wabaha igu ya waja ambawo walodi na Musa wadedie gafumiriaga na siyo vimwi,
\v 23 kwamba Kristo lazima wadima teseka na wadima kaia wa kwanza kufufuka kufuma kwa wafu na kutangaza kwa wayahudi na wandu wa masanga.
\p
\v 24 Paulo kumweria kukitetea, Festo wadedie kwa sauti mbaha. Paulo, we wamwenda waamini! masomo geko gakubonya ukaie mwenda wazimu.
\v 25 Ela Paulo akadeda, nyi siyo mwenda wazimu, mheshimiwa Festo, ela kwa ujasiri nadeda madedo ga uloli mduhu.
\v 26 kwa kugora Mzuri waichi kuhusu malago aga, na huwo mdeda kwa uhuru kwake, kwa maana na niko na uhakika kwamba ndakudae jojose jawisigwa kwake, kwa kugora iji ndajibonyie mbai.
\v 27 Je, waamini walodi, Mzuri Agripa? Naichi kwamba waamini.'
\v 28 Agripa akamzera Paulo, kwa muda mvui wadima kunishawishi nyi na kunibonya mkristo?
\p
\v 29 Paulo akadeda, "Namlomba Mlungu kwamba, kwa muda mvui au mlacha, siyo we tu bali pia wose wanisikiraga linu, wake kama nyi ela bila ihi minyororo ya igereza."
\v 30 Niko Mzuri akasimama, na liwali, na Bernike pia, na waja wakogo wakaia andu kumweri nawo,
\v 31 Kuinga ukumbinyi wadede wo kwa wo na kuideda, mundu uyu ndastahilie kifo wala kifungo.'
\p
\v 32 Agripa akamzera Festo, "mundu uyu wadimaga kuwikwa huru kama ndademaga rufani kwa kaisari.
\c 27
\cl Sura 27
\p
\v 1 Kuamuliwa kwamba dakundigie didawmbe kwa machi kugenda Italia, wakamkabidhi Paulo na wafungwa wamwi kwa afisa umweri wa ijeshi ja kiroma awangiwe julio, wa kikosi cha Agustani.
\v 2 Dikajoka meli kufuma Adra nitamu, ambayo yakogo idambe mbai mbai ya pwani ya Asia.
\v 3 Ituku jinugirie dikadua nanga katika muzi gwa sidoni, ambapo Julio wamtendee paulo kwa ukarimu na akamshukuru wawo.
\v 4 kufuma aho dikagenda baharinyi dikadamba kuzunguluka kisiwa cha kipro, kwa sababu upepo gwakogo gukidikabili.
\v 5 Baada ya kuwa damba katika machi gako avui na kulikia na Pamfilia, dikacha mira, muzi gwa lisia.
\v 6 Aja uja ofisa wa jeshi ja kiroma, akaidoka meli kufuma Alexandria ambayo ye kogo idambe kuelekea Italia. Akadijosa ndenyi yake.
\v 7 Baada ya kukaia dadamba mbeeri kwa matuku mengi na hatimaye dikaka dafika kwa wasi avui na kinidas, upepo ndagudinihusie sena kuelekea chia iyo, huwo dikadamba mbai mbai ya kiju cha krete dikigukinga upepo, mkabala na salmone.
\v 8 Dikadamba mbai mbai ya pwani kwa ugumu, mpaka dikafika andu kuwangwaga Fari Haveni ambayo iko avui na muzi gwa lasi.
\p
\v 9 Dakogo dawusa muda mungi nanganyi, na muda gwa mfungo gwa kiyahudi gwakogo gwaida pia na idana yakogo ni hatari kuendelea kudamba. Huwo Paulo akadionya,
\v 10 na kudeda, "womi, nawona charo ambacho dakundi dichuwuse chikaga na madhara na hasara nyingi, siyo tu ya mzigo na meli, ela pia ya maisha gedu."
\v 11 Ela ofisa wa jeshi ja kiroma akamsikira zaidi bwana wake na mmiliki wa meli, kuliko malago gaja ambago gazungumziwe ni Paulo.
\v 12 kwa sababu bandari ndaikogo sehemu rahisi kukaia wakati gwa mbeo, mabaharia wakashauri didambe kufuma aja, ili kwa namna yoyose dikadima kugufika muzi gwa foinike, dike aja wakati gwa mbeo. Feinike ni bandari uko krete, na yaguwa kaskazini ni mashariki na kusini mashariki.
\v 13 Upepo gwa kusini kuanza kuvuma mboeri, mabaharia wakafikiri wapata chija ammbacho wakogo wakichihitaji. Wakakua nanga na kudamba mbai mbai ya krete avui na pwani.
\v 14 Ela baada ya muda mvui upepo, mkali guwangwa gwa kaskazini mashariki, gukaanza kudikaba kufuma kimomu ya kisiwa.
\v 15 Wakati meli kulemewa na kulemwa kugukabili upepo, dikakubaliana na hali iyo, dikakdeda mbishwa nigo.
\v 16 Dikakimbia kuidia kuja luwande gukogo gukiwukinga upepo gwa kisiwa chiwangwaga kauda, na kwa taabu nanganyi dafanikiwe kuguokoa mtumbwi.
\v 17 Baada ya kuwa wairuda, watumie luga kufunga meli. Waboie kugora dadimaga kugenda ieneo ja msanga mungi ja syiti, huwo wakasera nanga na wakaendeshwa mbai mbai.
\v 18 Dakabiwe kwa ndigi nanganyi na dhoruba, huwo ituku jinugirie mabaharia wakanza kudaga mizigo kufuma melinyi.
\v 19 Ituku ja kadadu, mabaharia wakaanza kugafunya machi kwa mikonu yawe weni.
\v 20 Wakati ambapo iruwa na nyenyeri ndandiangazie kwa matuku mengi, bado dhoruba mbaha yadikabie, na matumaini kwamba daokolewaga gaingie.
\p
\v 21 Baada ya kugora wagenda muda mlacha bila vindo, aho Paulo akasimama gadi gadi ya mabaharia akadeda, "womi, mwapaswa mnisikirie, na ndadakuga nanga kufuma krette, ili kupata aga madhara na hasira.
\v 22 Na idana nawafariji mnikumbe ngolo, kwa sababu ndakukaia upotevu maisha gadi yenyu, isipokuwa hasara ya meli tu.
\v 23 Kwa sababu kio cha ida malaika wa Mlungu, ambae uyu Mlungu nyi na wake, na ambae na mwabudu pia, malaika wake wasimamie mbai yapwa.
\v 24 na kudeda, "usaboe Paulo. Lazima usimame imbiri ya kaisari, na ngowa, Mlungu katika wema gwake wakuneka awa wose ambawo wadadamba andukumweri nawe.
\v 25 Huwo, womi, kinekenyi ngolo, kwa sababu namwamini Mlungu, kwamba ikaie kama nagoriwa.
\v 26 Lakini lazima divavike kwa kukabwa katika baadhi ya visiwa."
\p
\v 27 Kufika ituku ja kumi na nane, dikogo dikiendeshwa uko na uko bahari ya Adratik, kama kio cha manane huwu, mbaharia wafikirie kwamba wakaribia isanga jiomie.
\v 28 Watumie milio kupima kina cha machi na wakapata mita thelathini na sita, baada ya muda mvui wakapima sena wakapata mita ishirini na saba.
\v 29 Waboie kwanza dadima kugonga miamba, hguwo wakasera nanga ina kufuma katika sehemu ya kuwekea nanga na wakalomba asubuhi magu yacha mapema.
\v 30 Waja mabaharia warikogo walola namna ya kuitelekeza ija meli na wariserie machinyi boti ndini ra kuokolea maisha, na wakajifunya kwamba wadaga nanga kufuma sehemu ya imbiri ya boti.
\v 31 Ela uja Paulo akawazera uja askari wa jeshi ja kiroma na waja askari," Ndamdimaga kuokoka isipokuwa awa wandu wadabaki melinyi."
\v 32 kisha waja askari wakadema luga ra ija boti na ikasigwa iwusiwe ni machi.
\p
\v 33 Wakati mwanga gwa asubuhi gukogo gwafumiria, Paulo akawasihi wose angalau waje kotineri. Akadeda "Iji ni ituku ja ikumi na nane mdawesera bila kuja, ndamjie kilambo chochose.
\v 34 Huwo nawasihi muwuse vindo vitineri, kwa sababu ihi ni kwa ajili ya kuishi kwenyu, na ndakudae hata unywele gumweri gwa vongo venyu gulagaa.
\v 35 kumeria kudeda ago, akawusa mkate akamshukuru Mlungu imbiri ya meso ga kila mundu. kisha akagubega mkate akaanza kuja.
\v 36 kisha wose wakakumbwa ngolo na wo wakawusa vindo.
\v 37 Dakogo wandu 2766 ndenyi ya meli.
\v 38 kumeria kuja na kutosha, wakibonya meli kuka nyepesi kwa kudaga ngano ndenyi ya bahari.
\p
\v 39 kufika na dime, ndawaimanyie isanga jiomie, ela wakaona sehemu ya isanga jiomie yangia machinyi ikogo na msangaga mungi. wakajadiliana wadima kuiendesha meli kuelekea aho.
\v 40 Huwo wakarilegesha nanga wakarisiga baharinyi. Katika muda ugo gweni wakarilegeza chuga ra itanga na wakainua sehemu ya imbiri kuelekea kuja kuko upepo, huwo wakaelekea uko msanga mungi.
\v 41 Ela wakacha andu ambako mikondo iwi ya machi ikwanga, na meli ikaelekea msangagenyi. Na ija sehemu ya imbiri ya meli ikakwama aja na ndadimie kufuma, ela sehemu ya imbiri ya meli ikaanza kuchukanyika kwa sababu ya kubia kwa mawimbi.
\p
\v 42 mpango wa waja askari gwakogo ni kuwabwaga wafungwa, ili kwamba ndakudae ambae waogeleaga na kutoroka.
\v 43 Ela uja askari wa ijeshi ja kiroma wakogo wakundi kumwokoa Paulo, huwo akagusimamisha mpango gwawe, na akawaamuru waja ambawo wadima kuogerera, waburuke kufuma melinyi kwanza na wagende isangenyi jiomie.
\v 44 kisha womi wamwi waduma nugiria, wamwi igu ya vipande va mbao na wamwi igu ya vilambo vimwi kufuma melinyi. Kwa chia ihi ikafumiria kwamba wose dadimafika salama isanga jiomie.
\c 28
\cl Sura 28
\p
\v 1 Kufikishwa salama, nikamanya kwamba kisiwa cha wangwaa malta.
\v 2 Wandu wenyezi wa aja si tu kwamba wadinekie ukarimu gwa kawada, bali wawashie modo na kudikaribisha wose, kwa sababu ya vua na mbeo ikogo ikiendelea.
\v 3 Ela Paulo akogo wakusanya mzigo gwa ngwi na kugukumba modonyi, choka mtini akona sumu akafuma aja ngwinyi kwa sababu ya guja mruke, na akalizungulusha mkonunyi kwake.
\v 4 Wandu wenyezi wa aja kuwona mnyamandu adaning'inia kufuma mkonunyi gwake, wakadedanya weni kwa weni, "mundu uyu hakika ni mbwagaji ambae watoroka baharinyi ela haki ndaimruhusu kuishi."
\v 5 Ela ye akamdagia uyo mnyamandu katika modo na ndapatie madhara gogose.
\v 6 Wo wambeserie afure kwa homa au agwe gafula na kufwa. Ela baada ya kuguwa kwa muda mlacha kawaida kwake, wagalusie mawazo gawe na kudeda warikogo Mlungu.
\p
\v 7 Basi andu aja avui kwarikogo na ardhi ambayo yakogo mali ya mbaha wa kisiwa, mundu awangiwe Pablio. Wadikaribishie na kudikarimu kwa matuku adadu.
\v 8 Yafumirie kwamba ndee wa pablio wawadiwe ni homa na ukongo gwa kuhara. Na Paulo kumgendia, akalomba, akawika mikonu igu yake, na kumboisa.
\v 9 Baada ya iji kufumiria, wandu wamwi aja kisiwenyi wakogo wadawawa pia wagendie na wakaboisiwa.
\v 10 Wandu wakadiheshimu kwa heshima nyingi. Dikogo dawandaa kudamba kudamba, wadinekie vija divikundie.
\p
\v 11 Baada ya mieri idadu, dadambie ndenyi ya meli ya iskanda ambayo yakogo yakabwa ni mbeo aha kisiwenyi, ambawo vilongozi wake warikogo wambari wawi mapacha.
\v 12 Baada ya kuwa datua katika muzi gwa sirakusa, dakaie aja matuku adadu.
\v 13 kufuma aja dadambie dikafika katika muzi gwa Regio. Baada ya ituku jimweri upepo gwa kusini gwafumirie gafula, na baada ya matuku awidikafika katika muzi gwa putoli.
\v 14 Uko dawadokie baadhi ya wambari na dakaribishiwe ihi dikacha rumi.
\p
\v 15 kufuma uko waja wambari, baada ya kuwa wasikira habari redu, wachee kudiwokera chete cha Apias na Hotel idadu. Paulo kuwawona waja wambari wamshukurue Mlungu akakikumba ujasiri.
\v 16 kungia Roma, Paulo waruhusiwa kuishi mwenikeri andu kumweri na uja askari akogo akimlindia.
\p
\v 17 Basi yakogo baada ya matuku adadu Paulo wangie andukumweri waja womi wakogop vilongozi kati ya wayahudi kucha andukumweri wadedie kwawo, "Wambari andukumweri na kwamba sibonyie ikosa jojose kwa wandu awa au kubonya kinyume na taratibu ra maaba wedu wadikirie, nafunyigwe kama mfungwa kufuma Yerusalemu hadi mikonunyi ya Warumi.
\v 18 Baada ya kunihoji, watamanie kunisiga huru kwa sababu kwakogo ndakudae sababu kwapwa nyi ya kustahili adhabu ya kifo.
\v 19 Ela waja wayahudi kudeda kinyume cha shauku yawe, nalazimie kudema rufaa kwa kaisaria, japokuwa ndaikogo kana kwamba nareda mashtaka igu ya isanga japwa.
\v 20 kwa sababu ya kudema kwapwa rufaa, huwo nalombie kuwona na kudeda na inyo. Ni kwa sababu ya chija ambacho israeli akona ujasiri kwa icho, nafunyigwe na kifungo ichi.
\p
\v 21 Kisha wakamzera, "Ndedilingisire kuwokera barua kufuma Yudea kuhusu we, wala ndakudae mbari wacha na kufunya taarifa au kudeda idedo jojose jizamie kuhusu we.
\v 22 Ela dakundi kusikira kufuma kwako udafikiri indoi kuhusu iji ikundi ja wandu awa, kwa sababu yamanyikane kwedu kwamba jadeda kinyume kila andu."
\p
\v 23 Wakogo watenga ituku kwa ajili yake, wandu wengi zaidi wamchee andu akogo akiishi. Wadedie jija ilago kwawo na kushuhudia kuhusu wuzuri gwa Mlungu. Wagerie kuwashawishi kuhusu Jesu, kwa namna rose iwi kufuma katika sheria ra Musa na kufuma kwa walodi, kuanzia asubuhi hadi kwenyi.
\v 24 Baadhi yawe washawishikie kuhusu malagoo gaja gadedigwe, wakati wami ndawaaminie.
\v 25 Kushindwa kukubaliana wo kwa wo, wangie baada ya paulo kujideda ilago iji jimweri, "Ngolo wa kuela wadedie nicha kuidia isaya mlodi kwa waka aba wedu.
\q
\v 26 Wadedie, "genda kwa wandu awa udede," kwa madu genyu mwadimasikira, ela ndamwelewaga, Na kwa meso genyu wadima wona ela ndammanyaga.
\v 27 kwa ajili ya ngolo ra wandu awa yakaia dhaifu, madu gawe gasikira kwa taabu, wabonya meso gawe, ili kwamba wasache manya kwa meso gawe, na kusikira kwa madu gawe na kuelewa kwa ngolo rawe na kugeuka sena, na nawaboisaga."
\p
\v 28 kwa huwo, mdapaswa kumanya kwamba ugu wokovu gwa Mlungu gwagenjwa kwa wandu wa masanga, na wadimasikira." \f + \ft Zingatia: mshololo ugu
\v 29 "Wakati akogo wadeda malago aga, wayahudi wangie, wakika na mashindano mabaha kati yawe, "ndaguko katika nakala bora ra kala. \f*
\p
\v 30 Paulo wakaie katika nyumba yake ya kupanga kwa miaka yose iwi, nawawakaribishie wose wachee kwake.
\v 31 Wakogo akihubiri wuzuri gwa Mlungu na wakogo akifundisha malago igu ya Mzuri Jesu Kristo kwa ujasiri gose. Ndakudae amzuie.