dav_reg/43-LUK.usfm

1610 lines
134 KiB
Plaintext

\id LUK
\ide UTF-8
\h Luka
\toc1 Luka
\toc2 Luka
\toc3 luk
\mt Luka
\c 1
\cl Sura 1
\p
\v 1 Wengi wakitahidi kuwika katika mpangilio simulizi kuhusu masuala ambago gatimizwa kati yedu,
\v 2 Ngelo andu wapatia isi, ambao tangu kiambiri ni mashahidi wa meso na watumishi wa ujumbe.
\v 3 Huwo na nyi pia, baada ya kuchunguza kwa uangalifu chanzo cha malago aga gose tokea mwanzo - nawonie ni nicha kwapwa pia kukuandikia katika mpangilio gwake - mheshimiwa nanganyi Theofilo.
\v 4 Ili kwamba udime kumanya loli ya malago ufundishiwe.
\p
\v 5 Katika maruwa gha Herode, mgimbikwa wa Yudea, kurikogo na kuhani fulani wawangiwe Zakaria, wa mbari ya Abiya. Mkake wafumie kwa waira Hruni, na irina jake wawangiwe Elizabeti.
\v 6 Wose wakogo wandu wekona hachi imbiri ya Mlungu; wagendie bila lawama katika amri rose na malagizo ga Mzuri.
\v 7 Ela ndawaridaege mwana, kwa sababu Elizabeti wakogo asavaa, na kwa makati aga wose wawi wakogo wagosi nanganyi.
\p
\v 8 Idana yafumirie kwamba Zakaria wakogo katika uwepo gwa Mlungu, akiendelea na wajibu gwa kikuhani katika utaratibu gwa zamu yake.
\v 9 Kukatana na desturi ya kusaghua ni kuhani uyaombae dimawatawara, wakogo wasagulwa kwa kura kungia katika ihekalu ja Mzuri na huwo kumachawafukiza uvumba.
\v 10 Kundi jose ja wandu jikogo jikitasa shigadi makati ga kufukizwa uvumba.
\v 11 Idana malaika wa Mzuri wamfumirie na wakakimsi luwande lwa kujo lwa madhabahu ya kufukizia.
\v 12 Zakaria watishika achawona; hofu ikamgwia.
\v 13 Ela malaika akamgoria, "Usaboe Zakaria, kwa sababu malombi gako gasikika. Mkako Elizabeti dimawakuvaga mvalwa. Irina jake dimawamwanga Yohana.
\v 14 Imawaka na furaha na kushagala, na wengi imawaka kuboiwa kuvalwa kwake.
\v 15 Kwa wuja dimawaka mbaha imbiri ya meso ga Mzuri. Ndanywaga divai angu kinywaji chibirie, na dimawaka wachurigwa ni Ngolo wa kuela tangu kifunyi kwa mae.
\v 16 Na wandu wengi wa Israeli dimawaaghusigwa kwa Mzuri Mlungu wawe.
\v 17 Dim, awagenda imbiri ya wushu gwa Mzuri katika ngolo na ndigi ya Eliya. Dimawabonya huwu ili kuwuja mioyo ya Aba kwa wana, ili kwamba wasatii dimawagenda katika hekima ya weni hachi. Dimawabonya huwu kuwika tayari kwa Mzuri wandu ambawo waandaliwa kwa ajili yake."
\p
\v 18 Zakaria akamgoria malaika, "Ndimawada kumanya iji? kwa sababu nyi ni mgosi na mka wapwa miaka yake yaka mingi nanganyi."
\p
\v 19 Malaika wajibie na kumgoria, "Nyi ni Gabrieli, ambae hukakimsi imbiri ya Mlungu. Nadumiwe kukugoria, kukuredia habari ihi iboie.
\v 20 Na guwa, ndudedaa, dimawaka kimumure, ndudimaga yachafumiria. Ihi ni kwa sababu walemiwe kuamini madedo gapwa ambago dimagatimizigwa kwa makati mwafaka."
\p
\v 21 Idana wandu wakogo wakimwesera Zakaria. Washangazigwa kwamba wakogo adatumia muda mwingi hekelunyi.
\v 22 Ela achafuma shigadi; ndadimie kuaria nawo. Wakamanya kwamba wakogo wapata maono andu wakogo hekelunyi. Waendelee kubonyeria ishara na wabakie kimumure.
\p
\v 23 Ikafumiria kwamba maruwa ga huduma yake ga chasia wainge kuwuya nyumbenyi kwake.
\p
\v 24 Baada ya Zakaria kuwuya nyumbenyi kufuma hudumenyi kwake hekalunyi, mkake akaka mjamzito. Na ye ndafumie nyumbenyi kwake kwa muda wa mieri asanu. Akadeda,
\v 25 Iji nijo ambajo Mzuri wabonya kwapwa achaniguwa kwa upendeleo ili kuinja waya gwapwa imbiri ya wandu."
\p
\v 26 Idana, katika mweri gwa sita gwa inda ya Elizabeti, Mlungu wamgoria malaika Gabbrieli kugenda mzinyi gwa Galilaya uwangwaga Nzareti,
\v 27 Kwa mwai wakogo washushugwa ni mundu mumi ambae irina jake jirikogo Yusufu. Ye wakogo wambari ya Daudi, na irina ja mwai uyo jirikogo Mariamu.
\v 28 Akacha kwake na akadeda, "Salaamu, we uwokerie neema mbaha! Mzuri waboiwa ni we."
\v 29 Ela madedo ga malaika gamchanganyie na ndaelewe kwa indoi malaika wadedie salaam ihi ya ajabu kwake.
\v 30 Malaika akamgoria, "Usaboe, Mariamu, maana wapata neema kufuma kwa Mlungu.
\v 31 Na guwa, dimawadwa inda katika kifu chako na dimawava mvalwa. Nawe dimawamwanga irina jake "Jesu.'
\v 32 Dimawaka mbaha na dimawawangwa mvalwa wa weko igu nanganyi. Mzuri Mlungu dima wamneka kifumbi cha enzi cha Daudi ndee.
\v 33 Imawatawala igu ya mbari ya Yakobo kala na kala na ugimbikwa gwake ndaukaga na mwisho.
\p
\v 34 Mariamu akamgoria malaika, iji dimajafumiria kwa namna iyao, maana siwahie kutungura na mdumuni wowose?
\v 35 Malaika wajibie na akamgoria, "Ngolo wa kuela dimawachea igu yako, na ndigi ya ako ligu nanganyi dimayacha igu yako. Kwa huwo, mtakatifu ambae dimawavalwa dimawawangwa mvalwa wa Mlungu.
\v 36 Na guwa, mmbari wako Elizabeti akona ujauzito wa mvalwa umrinyi kwake gwa ugosi. Uhu ni mweri gwa sita kwake, ambae wakogo adawangwa mgumba.
\v 37 Maana ndakudae jisadimikana kwa Mlungu."
\p
\v 38 Mariamu akadeda, "Guwa, nyi ni mtumishi wa kiwaka wa Mzuri. Siga ike huwo kwapwa sawa sawa na ujumbe gwako." Kisha malaika akamsiga.
\p
\v 39 Niko katika maruwa ago Mariamu waingie na kwa karuwa ruwa wagendie katika isanga ja duchugongo, mzinyi katika isanga ja Yudea.
\v 40 Wagendie nyumbenyi mwa Zakaria na akamlasa Elizabeti.
\v 41 Idana, yafumirie kwamba Elizabeti achasikira salamu ya Mariamu, mwana kifunyi kwake akaburuka, na Elizabeti akachurigwa ni Ngolo wa kuela.
\v 42 Akafunya mbaha sauti yake na kudeda kwa sauti mbaha, "wambarikiwa we nanganyi miongoni mwa wandu waka, na mwana ako kifunyi kwako wabarikiwa.
\v 43 Na yakawada kwapwa kwamba, mawe wa Mzuri wapwa yapasiwe ache kwapwa?
\v 44 Kwa wuja guwa, ichasikika madunyi kwapwa sauti ya kulamsa kwako, mwana kifunyi kwapwa akaburuka kwa furaha.
\v 45 Na wabarikiwa mndumka uja ambae waamini kwamba kumacha gwafumiria ukamilifu gwa malago gaja wagoriwe kufuma kwa Mzuri."
\p
\v 46 Mariamu akadeda, nafasi yapwa idamsifu Mzuri,
\q
\v 47 Na ngolo yapwa yaboiwa katika Mlungu mtee wapwa.
\q
\v 48 Kwa maana waiguwa hali ya ndonyi ya mtumishi wake wa kiwaka. Guwa, tangu ijiaha katika vizazi vose dimawaniwanga mbarikiwa.
\q
\v 49 Kwa maana ye wamdimie wabonya malago mabaha kwapwa, na irina jake ni takatifu.
\q
\v 50 Wagoma gwake gudadumu toka kivazi hata kivazi kwa waja wamheshimu ye.
\q
\v 51 Waonesha ndigi kwa mkonu gwake; Wawataponya waja ambawo wakivunie igu ya kuririkanya kwa mioyo ya we.
\q
\v 52 Wawasera ndonyi wavalwa wa wagimbikwa fuma katika vifumbi vawe va enzi na kuwanua igu wekona hali ya ndonyi.
\q
\v 53 Wawagudisha wekona njala kwa vilambo viboie, bali matajiri wawabingisa mikonu miduhu.
\q
\v 54 Wafunya msaada kwa Israeli mtumishi wake, ili kukumbuka kubonyera wugoma.
\v 55 (kama andu wadedie kwa waka Aba wedu) kwa Ibrahimu na guvazi gwake kala na kala."
\p
\v 56 Mariamu wakaie na Elizabeti idapata mieri adadu huwu niko akawuya nyumbenyi kwake.
\p
\v 57 Idana makati gakogo gawadia kwa Elizabeti kukifungua mwanake na akakifungua mwana wa kiwomi.
\v 58 Jirani rake na wambari wake wasikire jinsi Mzuri andu waukuza wugoma kwake, na wakaboiwa amweri nae.
\v 59 Idana gafumirie maruwa ga nane kwamba wachee kumchula mwana. Kumachayawapasa kumwonga irina jake, "Zakaria," kwa kumaziria irina ja ndee,
\v 60 Ela mae wajibie na kudeda, "Aa; dimawawangwa Yohana."
\v 61 Wakamgoria, ndakudae hata umweri katika wambari wako awangwaga kwa irina iji."
\v 62 Wakabonyia ishara ndee kuashiria ye wakundie irina awangwe ani.
\v 63 Ndee wahitajie kibao cha kuandikia, na akaandika, "Irina jake ni Yohana." Wose washazigwe na iji.
\v 64 Ghafla momu gwake gukaruguriwa na lumi lwake lukaka huru. Akaaria na kumsifu Mlungu.
\v 65 Hofu yawachee wose wakaie karibu nawo. Malago aga gakanea katika isanga jose ja duchugongo dwa Yudea.
\v 66 Na wose wagasikirie wakayatunza mioyonyi kwawe, wakideda "mwana uyu kuka wa namna iyao? kwa sababu mkonu gwa Mzuri ukogho amweri nae.
\v 67 Ndee Zakaria wachiwe ni Ngolo wa kuela na akafunya gulodi, akideda,
\q
\v 68 "Asifiwe Mzuri, Mlungu wa Israeli, kwa sababu watawaria na washuhulikia utesi kwa wandu wake.
\q
\v 69 Wadinulia mbembe ya utesi katika iwacha jamtumishi wake Daudi, kufuma miongonyi mwa mbari ya mtumishi wake Daudi,
\q
\v 70 Sa andu wadeda kwa momu gwa walodi wake warikogo katika matuku ga kala.
\q
\v 71 Dimawaditesia kufuma kwa walaghe laghe wedu na kufuma mikonunyi mwa wose wadi zamiwaa.
\q
\v 72 Dimawabonya huwu kuonesha wugoma kwa wakaba wedu, na kukumbuka iagano jake takatifu,
\q
\v 73 Kirawo wachidedie kwa Ibrahimu Aba wedu.
\q
\v 74 Walawie kuthibitisha kwamba kumacha yadimikana kumdumikia ye bila hofu, baada ya kutesiwa kufuma katika mikonu ya walage lage wedu.
\q
\v 75 Katika ueli na hadhi imbiri yake maruwa gedu gose.
\p
\v 76 Hee, na we mwana, dimawawangwa mlodi wa ako igu nanganyi kwa wuja dimawagenda imbiri ya wushu gwa Mzuri ili kumwandalia chia, kuwaandaa wandu kwa ajili ya kucha kwake,
\q
\v 77 Kuwamanyisha wandu wake kwamba, dimawatesiwa kwa chia ya kusamehewa zambi rawe.
\q
\v 78 Iji dima jafumiria kwasababu ya mbazi ya Mlungu wedu, sababu ambayo iruwa toka igu dimajadichea,
\q
\v 79 Kuangaza kwawe wakainga kirenyi na katika kijo cha kufwa. Dimawabonya huwu kuilongoza kugu kwedu chienyi ya amani."
\p
\v 80 Idana, uja mwana akazogua na kuka mweni ndigi ngolonyi na wakaie nyikenyi mpaka maruwa ga kukitokeza kwake kwa Israeli.
\c 2
\cl Sura 2
\p
\v 1 Idana katika maruwa ago, ikafumiria kwamba kaisari Agusto wafunyie Agizo akielekeza kwamba iwusigwe sensa ya wandu wose waishii dunienyi.
\v 2 Ihi irikogo ni sensa ya kwanza ibonyekie makati krenio akika gavana wa Siria.
\v 3 Huwo kila umweri akagenda mzinyi kwake kuandikishwa sensa.
\v 4 Naye Yusufu waingiae pia katika mzighwa Nazareti uko Galilaya na wasafirie Yudea katika Mzighwa Bethlehemu, umanjikanagha kama mzighwa Daudi, kwa sababu wafumirie katika mbari ya Daudi.
\v 5 Waghendie uko kukiandikisha andu amweri na Mariamu, ambae wakogho wamshusha na wakogho akiguwiria mwana.
\v 6 Idana yafumirie kwamba, wakika kujamakati ghakegha kukifungaua mwana ghakawadia.
\v 7 Akakifungua mwana wa kiwomi, mvalwawake wa kwanza, akamzungulushia nguwo muwini kumkinga na mbeo mwana. Niko akamwikaandkuko kiholi cha kujisia wanyamandu, kwasababu ndaikogho nafasi nyumbenyirawaghenyi.
\p
\v 8 Katika ieneoijo, warikogho walishawakee mbuwenyi wakilinda makundi gha ng'ondi wawhekio
\v 9 Ghafla, Malaika wa mzuri akawafumiria, na utukufu ghwa mzuri ghukaela kuwazunguluka, na wakee na hofu nangonyi.
\v 10 Niko malaika akawaghoria, "Msaboe, kwasababu nawaredia habari iboie ambayo dimayareda fruraha mbaha kwa wandu wose.
\v 11 Linu mtesi wavalwa kwa ajili yenyu mzinyi mwa Daudi! Ye niekristo mzuri!
\v 12 Iho nio ishara ambayo dimamwanekwa, dimamwandoka mwana wafungwa nguwo na watungura horinyi ja kujisia wanyamandu.
\p
\v 13 Ghafla kwakee na ijeshi baha jambingunyi jikaungana na malaika uyo wakamsifu mlungu, wakideda,
\q1
\v 14 "Utukufu kwa mlungu akoighu nanganyi, na amani ike dunienyi kwa wose ambawo adaboiwa nawo."
\p
\v 15 Ikaka kwamba malaika wachameria kuinga kughenda mbingunyi, walisha wakadedana weni kwa weni, "Dighendenyi idana kuja Bethlehemu, na dikawone iki kilambo ambacho chafumiria, ambacho mzuri wadimanyisha."
\v 16 Wakaharakisha kuja, na wakamdoka Mariamu na Yusufu, na wakamwona mwana watungura horinyi ja kujisia wanyamandu.
\v 17 Na wachawona uwu, wakawamanyisha wandu chija warikogho waghoriwa kumuhusu mwana.
\v 18 Wose wasikiere habari ihi washangazighwa na chija chidediwe ni walisha.
\v 19 Ela Mariamu akandelea kutenganya kuhusu ghose wamerie kughasikira, akighatunza moyonyi mwake.
\v 20 Walisha wakawuya wakimtukuza na kumsifu mlungu kwa ajili ya kila kilambo wamerie sikira na kuwona, ngelo tu irikogho yanenighwa kwawhe.
\p
\v 21 Ghachafika maruwa ghanane na irikogho nimakati gha kumchula mwana, wakamwanga irina Jesu, irina ambajo wanekighwa kala ni uja malaika kabla inda ndajiserendungwa kifunyi.
\p
\v 22 Rawe rikundiwege ra utakaso richaida, kulingana na sheria ya Musa, Yusufu na Mariamu wakamgenja hekelunyi kuja Yerusalemu kumwika imbiri ya Mzuri.
\v 23 Sa andu yaandikigwa katika sheria ya Mzuri, "kilamndumuni afunguaga kifu dimawawangwa wafunyie wakfu kwa Mzuri."
\v 24 Wo woruwo wachee kufunya sadaka kulingana na chija chidedwaa katika sheria ya Mzuri, "Jozi ya njiwa angu makinda awi ga njiwa."
\p
\v 25 Guwa, kurikogo na mundu katika Yerusalemu ambae irina jake warikogo akiwangwa Simoni. Mundu uyu wakogo mweni hachi na amchaga Mlungu. Ye wakigo akiwaseria kwa ajili ya mfariji wa Israeli, na Ngolo wa kuela wakogo igu yake.
\v 26 Irikogo yasia funuliwa kwake kuidia kwa Ngolo wa kuela kwamba ye kumachandafua kabla ya kumwona Kristo wa Mzuri.
\v 27 Iruwa jimweri wachee ndenyi ya ihekelu, akilongozwa ni Ngolo wa kuela. Ambapo wavazi wamreda mwana, Jesu, kumbonyia gaja gapasiwe kawaida ya sheria,
\v 28 niko Simoni wamwokera mikonunyi mwake, na wamsifu Mlungu na kudeda,
\q1
\v 29 "Idana ruhusu mtumishi wako agende kwa amini Mzuri, kulingana na idedo jako.
\q1
\v 30 Kwakuwa meso ghapwa ghauwona utesi wako.
\q1
\v 31 Ambao wawoneka kwa meso gha wandu wose.
\q1
\v 32 Ye ni nuru kw a ajili ya ufunuo kwa wamataifa na utukufu wa wandu Israel."
\p
\v 33 Aba na mawe wa mwana washangazwa kwa malagho ambagho ghadediwe ighu yake.
\v 34 Niko Simeone akawabariki na akadeda kwa Mariamu mae, "Sikira kwa makini! Mwana uyu dimawaka sababu yakulaghaya na kuokoka kwa wandu wengi katika Israel na ni ishara ambayo wandu wengi dimawaipinga.
\v 35 Pia luwamba ambalodimalwakora nafsi yako mweni, ili kwamba kuririkanya kwa mioyo ya wengi kudhihilika."
\p
\v 36 Mlodi wa kiwaka wawangiwe Ana pia warikogho hekalunyi. Ye wakogho mwai wa Fanueli kufuma ikabila ja Asheli. Wakogho na miaka mingi nanganyi. Na ye wakee na mumi wake kwa miaka saba baada ya kulowana.
\v 37 na niko akaka mkolop kwa miaka themanini na ina. Naye nawahie kuinga hekalunyi na walikogho akindelea kumtasa Mlungu amweri na kufunga na kutasa, kio na dime.
\v 38 Na kwa makatiagho, wachee aja anduweko akawoka kumshukuru mlungu. Waarie kumhusu mwana kwa kilamundu ambae warikogho akiweseria ukombozi ghwa yerusalemu.
\p
\v 39 Wachemeria kila kilambo wakundiweghe kabonya kulingana na sheria ya mzuri, wawurie Galilaya, mzinyi kwawhe, Nazareti.
\v 40 Mwana wazoghue, na akaka na ndighi akiongezeka katika hekima, na neema ya mlungu irikogho ighu yake.
\p
\v 41 Wavazi wake kila mwaka waghendie Yerusalemu kwa ajili ya sikukuu ya pasaka.
\v 42 Warikogho naumrighwa miaka kumi na iwi, waghendie sena makati mwafaka kidesturi kwa ajili ya sikukuu.
\v 43 Baada ya kudaa muruwa ghose kwa ajili ya sikukuu, wawoka kuwaya nyumbenyi Ela mdawana Jesu wabakie nyuma mja yerusalemu na wavazi ndawamanyie iji.
\v 44 Wadhanie kwamba weko ikundinyi warikogho wakisafiri najo, huwo wasafirie charo cha siku Niko waanzie kumlola miongonyi mwa mwambari na wamwedu waake.
\v 45 Wachalemwa kumpata, wawurie yerusalemu na waanzie kumlola umo.
\v 46 Ikafumiria kwamba baada ya maruwa adadu, wampatie hekalunyi, akika waketi ghadighadi ya walimu, akiwasikira na kuwakotia maswali.
\v 47 Wose wamsikirieghe washangae na ufahamu ghwake na majibu ghake.
\v 48 Wachamwona, wastaajabu. Mae akamghoria, "Mwanapwa, kwaindoi wadibonyia huwa? sikila ndeo na nyi darikogho dikikulola kwa wasiwasi mbaha."
\v 49 Akamghorika, kwaindoi mrikogho mkinilola? Ndammanyie kwamba lazima nike nyumbeni ya Aba wapwa?
\v 50 Ela ndawaelewi indoi waamaanishie kwa madedo agho.
\v 51 Niko aghaghenda andu amweri nawo mpaka nyumbenyi Nazareti nawarikogho mtii kwawhe. Maye wahifadhie malagho ghose moyoni mwake.
\p
\v 52 Ela Jesu wandolee kuzoghwa katika hekima na kimo, nawazidie kukundwa ni mlungu na wandu.
\c 3
\cl Sura 3
\p
\v 1 Idana, katika mwaka gwa kumi na isanu gwa utawala wa kaisari Tiberia, makati Pontio Pilato warikogo gavana wa uyahudi, na filipo mmbari wake warikogo mbaha wa mkoa gwa Iturea na Traniti, na Lisania warikogo mbaha wa mkoa gwa Abilene,
\v 2 na makati ga ukuhani mbaha gwa Anasi na kayafa, Idedo ja Mlungu jamchee Yohana mvalwa wa Zakaria, ijangwenyi.
\v 3 Wasafirie katika mkoa gwose kuzunguluka mweda Yordani, akihubiri ubatizo gwa kutesiwa zambi kwa ajili ya msamaha gwa zambi.
\v 4 Sa andu iandikigwe katika chuo cha madedo ga Isaya mlodi, "Sauti ya mundu alilaga nyikenyi, iboisenyi tayari chia ya Mzuri, gaboisenyi maidio gako gakokie.
\q1
\v 5 Kila ibonde dimajachurigwa, kila lugongo na dulugongo dimavasawazishwa, bara bara ripindie dimaragagoigwa, chia riparazie dima ralainishwa.
\q1
\v 6 Wandu wose imawauwona utesi gwa Mlungu."
\p
\v 7 Huwo, Yohana akawagoria makutano mabaha ya wandu wamchee wapate kubatizigwa ni ye, "inyo wuvazi gwa choka weni sumu, ani wawonyie kukimbia gadhabu idacha?
\v 8 Veni matunda gaenda noga na kutesiwa zambi, na msawoke kudeda ndoni yenyu, "Dikonae Ibrahimu ambae ni Aba wedu; kwa sababu ndawagoria ya kwamba, Mlungu adimaga kumnulia Ibrahimu wana hata kufumana na magwe aga.
\v 9 Tayari isika jiwikigwa mrinyi gwa midi. Huwo kila mdi usavaga matunda gaboie, hudemwa na kudagwa modonyi.
\p
\v 10 Kisha wandu katika makutano wamkotia wakideda, "Idana dikundigwi dibonyewada?"
\p
\v 11 Wajibie na kuwagoria, "ngelo mundu akona kazu imweri kwa umwi ambae ndadae kabisa, na ambae akona vindo na abonye woruwo uwo."
\p
\v 12 Kisha baadhi ya wawada ushuru wachee pia kubatizigwa, na wakamgoria, "Mwalimu, dikundigwi kubonyai?
\p
\v 13 Akawagoria, "Msawike andu amweri fedha nanganyi kuliko mkundigwi kuwika andu amweri."
\p
\v 14 Baadhi ya maaskari pia wakamkotia wakideda, "Na isi je? Dikundigwi dibonyei? Akawagoria, msawuse fedha kwa mundu wowose kwa ndigi, na msamtuhumu mundu wowose kwa tee. Ridhikenyi na mishahara yenyu."
\v 15 Idana, kwa wuja wandu warikogo na shauku ya kumweseria Kristo achaga, kila umweri wakogo adarikanya moyoni mwake kuhusu Yohana kama ye nie Kristo.
\v 16 Yohana wajibie kwa kuwagoria wose, "Nyi ndawabatiza inyo kwa machi, ela kuko umweri achaga mbae akona ndigi kulikonyi, nasistahili hata kurugua chuga ra vandu vake. Dimawawabatiza inyo kwa Ngolo wa kuela na kwa modo.
\v 17 Ipepeto jake jiko mkonunyi mwake ili kuelesha nicha uwanda gwa kupepetea ngano na kiwika andu amweri ngano kainyi mwake. Ela, dimawagakora makapi kwa modo ambao ndaidimaa kurimika.
\p
\v 18 Kwa maonyo gamwi mengi pia, wahubirie habari riboie kwa wandu.
\v 19 Yohana wamkemia pia Herode mbaha wa mkoa kwa kumlowua Herodia, mka wa mbari wake na kwa maovu gamwi mengi ambago Herode wa kogo wagabonya.
\v 20 Ela baadae Herode wabonyie uovu umwi uzamie nanganyi. Wamrugie Yohana gereszanyi.
\v 21 Kisha yafumirie kwamba, makati wandu wose warikogo wakibatizigwa ni Yohana, na ye Jesu wabatiziwe pia. Makati warikogo akitasa, mbingu rikaruguriwa.
\v 22 Ngolo wa kuela akasea igu yake kwa mafwano gwa kiwili wili sa njiwa, makati ago geni sauti ikacha kufuma mbingunyi ikideda, "We ni mwanapwa mkundwa. Ndaboiwa nanganyi niwe."
\v 23 Idana Jesu mweni, achaanza kufundisha, wakogo na umri upatao miaka thelathini. Wakogo ni mvalwa (sa andu itadhaniwe) wa Yusufu, mvalwa wa Eli,
\v 24 Mvalwa wa Mathati, mvalwa wa Lawi, mvalwa wa Melki, mvalwa wa Yona, mvalwa wa Yusufu,
\v 25 Mvalwa wa matathia, mvalwa wa Amosi, mvalwa wa Nahumu, mvalwa wa Esli, mvalwa wa Nagai,
\v 26 Mvalwa wa Maati, mvalwa wa Matathia, mvalwa wa semeini, mvalwa wa Yusufu, mvalwa wa Yuda,
\v 27 Mvalwa wa Yoanani, mvalwa wa Resa, mvalwa wa Zerubabeli, mvalwa wa shealtieli, mvalwa wa Neri,
\v 28 Mvalwa wa Melki, mvalwa wa Adi, mvalwa wa Kosamu, mvalwa wa Elmadamu, mvalwa wa Eri,
\v 29 Mvalwa wa Yoshua, mvalwa wa Eliezeri, mvalwa wa Yorimu, mvalwa wa Matathi, mvalwa wa Lawi,
\v 30 Mvalwa wa Simeoni, mvalwa wa Yuda, mvalwa wa Yusufu, mvalwa wa Yonamu, mvalwa wa Eliya kimu,
\v 31 Mvalwa wa melea, mvalwa wa mena, mvalwa wa matatha, mwana wa Nathani, mvalwa wa Daudi,
\v 32 mvalwa wa Yese, mvalwa wa obedi, mvalwa wa Boazi, mvalwa wa Salmoni, mvalwa wa Nashoni,
\v 33 mvalwa wa Abinadabu, mvalwa wa Aramu, mvalwa wa Hesroni, mvalwa wa Peresi, mvalwa wa Yuda,
\v 34 mvalwa wa Ykobo, mvalwa wa Isaka, mvalwa wa Ibrahimu, mvalwa wa Tera, mvalwa wa Nahori,
\v 35 mvalwa wa Serugi, mvalwa wa Reu, mvalwa wa Peregi, mvalwa wa Eberi, mvalwa wa Nahori,
\v 36 mvalwa wa Kenani, mvalwa wa Arfaksadi, mvalwa wa shemu, mvalwa wa Nuhu, mvalwa wa Lameki,
\v 37 mvalwa wa Methusela, mvalwa wa Henoko, mvalwa wa Yeredi, mvalwa wa Mahalaleli, mvalwa wa kenani,
\v 38 mvalwa wa Enoshi, mvalwa wa Sethi, mvalwa wa Adamu, mvalwa wa Mlungu.
\c 4
\cl Sura 4
\p
\v 1 Kisaha, Jesu akika wachua Ngolo wa kuela, wawurie kufuma mweda Yordani, na walongozigwe ni Ngolo ijangwenyi.
\v 2 Kwa maruwa arobaini, na uko wageriwe ni ibilisi; makati ago ndajie chochose, na mwisho gwa makati ago wahisie njala.
\v 3 Ibilisi akamgoria, "ngelo we ni mvalwa wa Mlungu, jiamuru igwe iji kuka mkate."
\p
\v 4 Jesu wamjibie, "Yaandikigwa, 'mundu ndaishi kwa mkate pekee."
\p
\v 5 Kisha ibilisi wamlongozie igu kilelenyi cha lugongo, na akambonyeria gimbikwa rose ra dunia kwa muda mfupi.
\v 6 Ibilisi akamgoria, "Dimanakuneka mamlaka ga kutawala gimbikwa iri rose andu amweri na fahari rake. Nadima kubonya huwo kwa sababu vose va kabidhiwa kwapwa ni vita wale, na ndimaga kumneka wowose ndikundii kumneka.
\v 7 Kwa huwo, ngelo dima wanigogomia na kunitasa, vilambo ivi vose dimavaka vako."
\p
\v 8 Ela Jesu wajibie na kumgoria, "Yaandikigwa, lazima umtase Mzuri Mlungu wako, na lazima udumikie ye mweni keri."
\p
\v 9 Baadae ibilisi wamlongozie Jesu hata Yerusalemu na kumwika sehemu ya igu kabisa ya ijengo ja ihekalu na kumgoria, "ngelo we ni mvalwa wa Mlungu, kidage ndonyi kufuma aha.
\v 10 Kwa sababu yaandikigwa, "Dimawawalagiza malaika wake wakutunze na kukulinda,
\v 11 na dimawakanua igu mikonunyi kwawe ili kwamba usavavire magu yako igu ya igwe."
\p
\v 12 Jesu akijibu wamgorie, "yenenigwa, "usamgerie Mzuri Mlungu wako."
\p
\v 13 Ibilisi achameria kumgeria Jesu, wagendie chia rake na kumsiga hata makati gamwi.
\p
\v 14 Kisha Jesu wawurie Galilaya kwa ndigi ra Ngolo, na habari kumhusu ye rikanea na kusambaa katika mikoa jirani yose.
\v 15 Wafundishie katika masinagogi yawe, na kila umweri wamsifie.
\p
\v 16 Iruwa jimweri wagendie Nazareti, mzi ambago walelewe na kukulia. Sa andu yakee desturi yake wangie isinagoginyi maruwa gha sabato, na wakee kimsi kusoma maandiko.
\v 17 Wakabidhiwe igombo ja mlodi Isaya, huwo, wajirughurie igombo na akalolo andu kuandikigwe,
\q1
\v 18 "Ngolo wa Mzuri weko igu yapwa, kwa sababu wanikumbie mavuda kuhubiri habari riboie kwa maskini. Waniduma kutangaza uhuru kwa wafungwa, na kuwabonya huru waja wagandamizwaa,
\q1
\v 19 kuutangaza mwaka ambao Mzuri dimawabonyeria wema gwake."
\p
\v 20 Kisha akajiruga igombo, akamwujia kilongozi wa isinagogi, na akakandonyi. Meso gawanda wose warikogo katika isinagogi gamguwie ye.
\v 21 Wawokie kuaria nawo akideda, "Linu iandiko iji jatimizigwa madunyi kwenyu."
\p
\v 22 Kila umweri aja washuhudie chija wachidedie Jesu, na wengi miongonyi mwao washangazigwa ni madedo ga hekima garikogo gakifuma katika momu gwake. warikogo wakideda, uyu ni mdawana tu wa Yusufu, sio huwo?"
\p
\v 23 Jesu akawagoria, "hakika dimamwadeda methali ihi kwapwa, "tabibu, kiponye mweni. Chochose dasikira ukibonya kapernaumu, chibonye aha pia kijijini kwako."
\v 24 Pia wadedie, "hakika ndawagoria inyo, ndakudae mlodi akubalikaga katika isanga jake."
\v 25 Ela ndawagoria inyo loli kwamba kurikogo na wakolo wengi Israeli katika kipindi cha Eliya, makati mbingu icharugwa kusake na vusa kwa miaka adadu na nusu, makati kurikogo na njala mbaha katika isanga jose.
\v 26 Ela Eliya ndadumiwe kwa wowose umweri wawe, ela kwa mkolo umweri tu wakaie serepta karibu na mzi gwa sidoni.
\v 27 Pia, kurikogo na wakoma wengi israeli katika maruwa ga Elisha Mlodi, ela ndakudae ata umweri wawe wakiriwe isipokuwa Naamini mundu wa siia.
\v 28 Wandu wose ndenyi ya isinagogi wachuiwe ni ghadhabu wachagasikira agagose.
\v 29 Wakeekimsi na kumsukumizia shigadi ya mzi, na kumlongoza mpaka andu kuko ukingo gwa lugongo lwa mzi ambapo mzi gwawe gwaagiwe igu yake, ili wadime kumdagandonyi.
\v 30 Ela waidie salama gadigadi yawe na akagenda chia rake.
\p
\v 31 Kisha wateremkie Kapernaumu, katika mzi gwa Galilaya. Sabato imweri wakogo akifundisha wandu ndenyi ya isinagogi.
\v 32 Washangazigwe ni mafundisho gake, kwa sababu wafundishie kwa mamlaka.
\v 33 Idana maruwa ago ndenyi ya isinagogi, kurikogo na mundu warikogo na ngolo ya ipepo chafu, na walilie kwa sauti ya igu,
\v 34 "Dikona indoi na we, Jesu wa Nazareti? wacha kudikora? Ndaichi we ni ani! we ni mweli wa Mlungu!"
\p
\v 35 Jesu wamkemia ipepo akideda, "Nyama kima, na umfume mundu uyu!" Pepo uja achamdaga mundu uja ndonyi gadigadi yawe, wamfumie uja mundu bila ya kumsababishia maumivu yoyose.
\p
\v 36 Wandu wose washangae, na wandelee kuzungumzia ilago ija kila umweri na mbawe. Wakadeda, "Nimadedo ga aina ki aga?" adawaamuru ngolo wachafu kwa mamlaka na ndigi na wadainga."
\v 37 Huwo, habari igu ya Jesu raenee kila gasi katika maeneo gazunguluka mkoa ugo.
\p
\v 38 Kisha Jesu waingie katika mzi ugo na akangia katika iwacha ja Simon. Idana, mkeka wake na simon wakogo adawawa ihoma jibirie na wakamsihi kwa niaba yake.
\v 39 Huwo, Jesu wamsogelee, akaikemia ija homa na ikamsiga. Gafla wakee kimsi na kawoka kuwatawaria.
\p
\v 40 Iruwa jirikogo jikizama, wandu wamredie Jesu kila umweri wakogo mkongo na maradhi ga aina tofauti. Wawikie mikonu yake igu ya kila mkongo na akawakira wose.
\v 41 Mapepo pia gawafumie wengi wawe gakilila kwa sauti na kudeda, "We ni mvalwa wa Mlungu!" Jesu wawakemia mapepo na ndawaruhusie wadede, kwa sababu wamanyie kwamba ye warikogo ni Kristo.
\p
\v 42 Makati kuchapambazuka, wagendie ieneo jisadae wandu. Makutano ya wandu warikogo wa kimlola na wakacha katika ieneo anduweko. Wajaribie kumzuia asagende kula na wo.
\v 43 Ela akawagoria, "Lazima pia nihubiri habari riboie ra ufalme gwa Mlungu katika mizi imwi mingi, kwa wuja ihi nio sababu nadumiwe aha."
\v 44 Kisha waendelee kuhubiri ndenyi ya masinagogi katika uyahudi gwose.
\c 5
\cl Sura 5
\p
\v 1 Basi yafumirie makati wandu wamkusanyikia na kumzunguluka Jesu na kusikira idedo ja Mlungu, ambapo warikogo wakakimsi mbai ya ziwa Genesareti.
\v 2 Wawonie mashua iwi rakumba nanga mbai ya ziwa wavuvi warikogo wafuma na wakiosha nyavu rawe.
\v 3 Jesu akangia katika mojawapo ya rija mashua, ambayo irikogo ya simon na kumlomba aigenje machinyi kula kidogo na ndoe kavu. Kisha akaka na kufundisha kufuma mashuenyi.
\v 4 Kudeda, akamgoria simon, "Igenje mashua yako mpaka kilindinyi cha machi nakusera nyavu rako ili kurwa samaki."
\p
\v 5 Simoni wajibie na kudeda, Mzuri, dabonyie kazi kio chose, na ndadiwadie chochose, ela kwa idedo jako, dimanarisela nyavu.
\v 6 Wachabonya huwo wawikie andu amweri kiasi kibaha cha samaki na nguvu rawe rawokie kudusuka.
\v 7 Huwo wawashirie washirika wawe mashuenyi imwi aliwache na kuwatawaria. Wachee na kuri chura mashua rose, kiasi kwmba raanzie kuzama.
\v 8 Ela simoni Petro, achawona huwo, wagwie magotinyi pa Jesu akideda, "inga kwapwa, kwa sababu nyini mundu mweni zambi Mzuri."
\v 9 Kwa sababu washangazigwe, na wose wakogo andu amweri nae, kwa guvuvi gwa samaki warikogo waubonya.
\v 10 Iji jawajumuishe Yakobo na Yohana wavalwa Zebedayo, ambawo warikogo washirika wa Simoni. Na Jesu akamgoria simoni, "usaboe, kwa sababu kuwoka iji aha na kundelea dimawaruwa wandu."
\v 11 Wachazireda mashua rawe ndoe kavu, wasigie kila kilambo na kumnuga ye.
\p
\v 12 Yafumirie kwamba warikogo katika mzi mmoja wapo, mundu wakogo wachua ukoma wakogo uko. Makati achamwona Jesu, wagwie akigogomisha wushu kwake mpaka ndonyi na kumlomba, akideda, "Mzuri, ikika udakundi, wadima kunielesha."
\p
\v 13 Kisha Jesu wagagoa mkonu gwake na kumwada akideda, "Nakundi. Elesheka." Na saa ijayeni ukoma ukamsiga.
\v 14 "Wamlagizie asamgorie mundu wowose, ela wamgoria, "genda chia rako, na ukakibonyerie kwa makuhani na ufunye sadaka ya utakaso gwako, sawa sawa na chija Musa wachiamuru, kwa ushuhuda kwawe."
\v 15 Ela habari kumhusu ye rikanea kula nanganyi, na umati mbaha wa wandu ukacha andu amweri kumsikiria akifundisha na kukirwa makogo gawe.
\v 16 Ela mara kwa mara wakitengie faragenyi na kutasa.
\p
\v 17 Yafumirie siku imweri kati ya iro siku wakogo akifundisha, na warikogo mafarisayo na walimu wa sheria waka aho ambawo wachee wakifumiria vijiji vingi tofauti katika mkoa gwa Galilaya na Yudea, na pia kufuma katika mzi gwa Yerusalemu. Ndigi ya Mzuri irikogo andu amweri nae kukira.
\v 18 Wandu kadhaa wachee, wamdwa mkekenyi mundu waolole, na wakalola chia ya kumwingia ndenyi ili kumtungurisha ndonyi imbiri ya Jesu.
\v 19 Ndawapatie chia ya kumwingira ndenyi kwa sababu ya umati, huwo wajokie igu ya ipaa ja iwacha na kumsera uja mundu ndonyi kuidia vigaenyi, igu mkeka gwake gadigadi ya wandu, imbiri kabisa ya Jesu.
\v 20 Akiguwa imani yawe, Jesu wadedie, "Amwedu, zambi rako wasamehewa."
\p
\v 21 Waandishi na mafarisayo wawokie kuhoji ijo, wakideda, "Uyu ni ani adedaa makufuru? Ni ani adima kumsamehe zambi ela Mlungu mwenikeri?"
\p
\v 22 Ela Jesu, akimanya indoi warikogo wakitenganya, wawajibie na kuwagoria, "kwa indoi mdakotiana iji miongonyi mwenu?
\v 23 Chiao ni rahisi kudeda, 'zambi rako rasamehewa' angu kudeda 'kakimsi ugende?'
\v 24 Ela mmanye ya kwamba mvalwa wa Adamu ako nayo mamlaka dunienyi ya kumsamehe zambi, ndakugoria we, 'wukia, wusa mkeka gwako na ugende nyumbenyi kwako."'
\v 25 Makati gaja geni akawukia imbiri yawe na akawusa mkeka gwake warikogo wautunguria kisha akawuya nyumbenyi kwake akimtukuza Mlungu.
\p
\v 26 Kila umweri washangazigwa na wakamtukuza Mlungu. Wachuiwe ni hofu, wakideda, "Dawona malago gaseko ga kawaida linu."
\p
\v 27 Baada ya malago aga kufumiria, Jesu wafumirie uko na akamwona mwada ushuru wawangiwe Lawi waka ieneo ja kuwikia andu amweri kodi. Akamgoria, "Nnuge."
\v 28 Huwo Lawi wanyanyukie na kumnuga, akisiga kila kilambo nyuma.
\p
\v 29 Kisha Lawi waandae nyumbenyi kwake karamu mbaha kwa ajili ya Jesu. Warikogo wawada ushuru wengi kuja na wandu wengi wakee mezenyi wakija andu amweri nawo.
\v 30 Ela mafarisayo na waandishi wawe warikogo wakiwanung'unikia wanafunzi, wakideda, "kwa indoi mdaja na kunywa na wawada ushuru andu amweri na wandu wamwi wekona zambi?"
\p
\v 31 Jesu wawajibie, "Wandu wekoo katika afya iboie ndawahitaji tabibu, ni waja tu wawaga nio wamhitaji umweri.
\v 32 Sichee kuwawanga wandu weni hachi wapate kutesiwa zambi, bali kuwawanga wengi zambi wapate kutesiwa zambi."
\p
\v 33 Wakamgoria, "Wanafunzi wa Yohana mara nyingi hufunga na kutasa, na wanafunzi wa mafarisayo nawo hubonya woruwo. Ela wanafunzi wako huja na kunywa."
\p
\v 34 Jesu akawagoria, "Idadimikana mundu wowose akawabonya wahudhurie arusi ya Mzuri arusi kufunga makati bwana arusi bado weko andu ameri nawo?
\v 35 Ela maruwa dimagacha makati bwana arusi achaingishwa kwawe, kwawe, niko katika maruwa ago dimawafunga."
\p
\v 36 Kisha Jesu waarie pia kwawe kwa mfwano." Ndakudae achanaga kiwande cha nguwo kufuma ivazinyi wishi na kuchidumia kurekebisha ivazi ja kala. ngelo akabonya huwo, dimawairashua nguwo mbishi, na kiwande cha nguwo kufuma ivaziwishi kimacha ndachifaa kudumika na nguwo ya ivazi ja kala.
\v 37 Pia, ndakudae mundu ambae huwika divai mbishi viribenyi vibahabaha. ngelo akabona huwo, divai mbishi kumachayarashua chija chombo, na divai kumachayadika, na viriba kumacha vononeka.
\v 38 Ela divai mbishi lazima iwikwe viribenyi viwishi.
\p
\v 39 Na ndakudae mundu baada ya kunywa divai ya kala, ndukundii mbishi, kwa sababu hudeda, "ya kala ni bora."
\c 6
\cl Sura 6
\p
\v 1 Idana yafumirie sabatonyi kwamba Jesu wakogo akiida gadi gadi ya mbuwa ya nafaka na wanafunzi wake wakogo wakiwaya masuke, waka yasugua kati ya mikonu yawe wakaja nafaka.
\v 2 Ela baadhi ya mafarisayo wakadeda, "kwa indoi mdabonya kilambo ambacho si halali kisheria kuchibonya maruwa ga sabato?"
\p
\v 3 Jesu wawajibie, akideda, "Ndamuwahie kusoma chija Daudi wabonya warikogo na njala, ye nawomi warikogo andu amweri nae?
\v 4 Wagendie katika iwacha ja Mlungu, na akawusa mikate ielie na kuija baadhi, na kuifunyama yakogo halali kwa makuhani kuija."
\v 5 Kisha akawagoria, "mvalwa wa Adamu ni Mzuri wa sababto."
\p
\v 6 Yafumirie katika sabato imwi kwamba wagendie ndenyi ya isinagogi na kuwafundisha wandu uko. kurikogo na mundu ambae mkonu gwake gwa kujo urikogo waolola.
\v 7 Waandishi na mafarisayo warikogo wadamguwa kwa makini kuwona ngelo kumachawamkirakumachamkira mundu maruwa ga sabato, ili wadime kupata sababu ya kumshitaki kwa kubonya ikosa.
\v 8 Ela wamanyie warikogo wadatenganya na akadeda kwa mundu warikogo waolola mkonu, "Wukia, kakimsi aha gadi gadi ya kila umweri." Huwo uyo mundu akawukia na kukakimsi aja.
\v 9 Jesu akadeda kwawe, "Ndawakotia inyo, ni halali maruwa ga sabato kubonya gaboie angu kubonya madhara, kutesia angu kuganona?" Kisha wawaguwie wose na kumgoria uja mundu,
\v 10 "Gagoa mkonu gwako, "Akabonya huwo, na mkonu gwake wakogo wakirwa.
\v 11 Ela wachuiwe ni virea, wakaongeleshana weni kwa weni kuhusu indoi wadapaswa wabonye kwa Jesu.
\p
\v 12 Yafumirie maruwa ago kwamba wagendie lugongonyi kutasa. Wandelee kio kizima kumtasa Mlungu.
\v 13 Ichaka kesho kio, wawangie wanafunzi wake kwake, na akawasagua kumi na iwi kati yawe, ambawo pia wawangie "Walodi."
\v 14 Marina ya waja walodi garikogo simoni (ambae pia wamwangie petro) na Andea mmbari wake, Yakobo, Yohana, Filipo, Bartholomayo,
\v 15 Mathayo, Tomaso na Yakobo mvalwa wa Alfayo, simoni, ambae wawangiwe zelote,
\v 16 Yuda mvalwa wa Yakobo na Yuda Iskariote, ambae wakogo msaliti.
\p
\v 17 Kisha Jesu wasee andu amweri nawo fuma lugongonyi na kukakimsi andu tambarare. Idadi mbaha ya wanafunzi wake warikogo uko, andu amweri na idadi mbaha ya wandu kufuma uyahudi na Yerusalemu, na kufuma pwani ya Tiro na sidoni.
\v 18 Wachee kumsikira na kukirwa makongo gawe. Wandu warikogo wakigaishwa ni Pepo wachafu wakiriwe pia.
\v 19 Kila umweri kwenye ijo ikusanyiko wagerie kumwada kwa sababu ndigi ra ukiraji rakogo rikifumiria ndenyi yake, na wawakirie wose.
\v 20 Kisha wawaguwia wanafunzi wake, na kudeda, "Mwambarikiwa inyo mko maskini, kwa maana ufalme ghwa mlungu ni ghwenyu
\v 21 Mwabarikiwa inyo mko na njala iji aha, kwa maana dimamwa ghudishwa. Mwabarikiwa inyo mlilagaha ijiaha, kwa maana dimamwanyaeka.
\p
\v 22 Mwabarikiwa inyo ambawo wandu wachamiza miwa na kuwatenga na kuwashutumu inyo kwamba mwawa zamie, kwaajili ya mwalwa wa Adamu.
\v 23 Boiwenyi katika maruwa agho na kuburukaburuka kwa furaha, kwa sababu hakikadaimwaka na thawabu mbaha mbingunyi, kwa maana waka aba rawhe wawabonyia waruwo huwao walodi.
\p
\v 24 Ela ole wenyu mko matajili! kwa maana mwameria kupata faraja yenyu.
\v 25 Ole wenyu mko mghudie ijiaha! kwa maana dimamwawona njala baadae. Ole wenyu msekagha ijiaha! kwa maana dimamwalila kubaha kulila baadae.
\v 26 Ole wenyu, mchasifiwa na wandu wose! kwa maana waka abaa rawhe wawabonyia walodi watee woruwo huwo.
\p
\v 27 Ela nadedakwenyu inyo mnisikiragha, wakundenyi walaghelaghe wenyu na kubonyaga boie kwa waja wami zamiwa.
\v 28 Wabarikinyi waja wawalaani inyo na watasienyi waja wawaoneaa.
\v 29 Kwake uja akukabagha idumbu jimweli, muaghukie na ja kawi. Ngelo mundu akakusoka ijoho jako usamzuilie na kazu.
\v 30 Mneke kila akulombagha. Ngelo mundu akakusoka kilambo ambacho ni mali yako, usamlombe akuwajie.
\v 31 Saandu mkundi wandu wawabonyie, na inyo wabonyeeni woruwo.
\p
\v 32 Ngelo mkawakunda wandu wawakundii inyo tu, iyo ni thawabu ki kwenyu? kwa maana ata weni zambi huwakunda waja wawakundii.
\v 33 Ngelo mkawabonyia ghaboie waja wawabonyiagha inyo ghaboie, iyo ni thawabu ki kwenyu? kwamaana hata weni zambi hubonya woruwo.
\v 34 Ngelo mkakopesha vilambo kwa wandu ambawe mdategemea dimawami wujia, iyo ni thawabu ki kwenyu? Ataweni zambi huwakopesha weni zambi, na hutegemea kuwokera kiasi icho cheni sena.
\v 35 Ela wakundenyi walage lage wenyu na wabonyieni gaboie. Wakopesheni na msahofu kuhusu kuwujiriwa, na yhawabu yenyu dima yaka mbaha. Dimamwaka wavalwa wa ako igu, kwa sababu ye mweni waboie kwa wandu wasadae shukrani na wazamie.
\v 36 Iwenyi na mbazi, sa Aba wenyu andu akona mbazi.
\p
\v 37 Msahukumu, na inyo ndamuhukumiwaa. Msalaani, na inyo ndamlaaniwa. Samehenyi wamwi, na inyo dimamwasamehewa.
\v 38 Wanekenyi wamwi, na inyo dimamwanekwa. Kiasi cha ukarimu - dimachadika magotinyi penyu. kwa sababu kwa kipimo chochose mtumiaga kupimia, kipimo icho cheni dimachatumika kuwapimia inyo."
\p
\v 39 Kisha akawagoria mfwano pia, "Je mundu asawonaa adimaga kumlongoza mundu umwi asawonaa? ngelo wabonyie huwo, basi wose kumachawadidimia ishimonyi, je kumachandawadidimia?
\v 40 Mwanafunzi ndaka mbaha kuliko mwalimu wake, ela kila mundu akameria kufundishigwa kwa ukamilifu dimawaka sa mwalimu wake.
\p
\v 41 Na kwa indoi basi udakiguwa kibanzi chiko ndenyi ya iriso ja mmbari wako, na boriti ikoo ndenyi ya iriso jako nduigwaa?
\v 42 Udimawada kumgoria mmbari wako; mmbari, nalomba nichifunye kibanzi chikoo ndenyi ya iriso jako; na we nduguwaa boriti boriti ikoo katika iriso jako mweni? mnafiki we! kwanza ifunye boriti katika iriso jako mweni, niko dimawawona nicha kufanya kibanzi katika iriso ja mmbari wako.
\p
\v 43 Kwa sababu ndakudae mdi uboie uvaga matunda gazamie, wala ndakudae mdi guzamie uvaga matunda gaboie.
\v 44 Kwa sababu kila mdi hutambulika kwa matunda gake. kwa sababu A wandu ndawawaya tini kufuma minjwenyi, wala ndawawaya zabibu kufuma michongomenyi.
\v 45 Mundu aboie katika hazina iboie ya moyo gwake hufanya yaboie, na mundu wazamie katika hazina izamie ya moyo gwake kufunya gazamie. kwa sababu momu gwake hudeda gaja ga uchuraga moyo gwake.
\p
\v 46 Kwa indoi mdaniwanga, 'Mzuri, Mzuri', na bado ndamgabonyaa gaja nidedaga?
\v 47 kila mundu achaga kwapwa na kugasikira madedo gapwa na kugabonyia kazi, dimanamibonyeria andu ako.
\v 48 Adafwana na mundu aagaga. iwacha jake, ambae hutoka ndonyi sena, na kuaga msingi wa iwacha ihu ya lwala imara. Mafuriko ga chacha, maporomoko ga machi gaikaba iwacha, ela ndagadimie kuitikisa, kwa sababu irikogo yaagwa nicha.
\v 49 Ela wowose asikiraga idedo japwa na ndajitiie; mfwano gwake ni mundu aagie iwacha igu ya ndoe kusadae msingi, mweda guchaiseria kwa ndigi, iwacha jija japatie maangamizi mabaha.
\c 7
\cl Sura 7
\p
\v 1 Baada ya Jesu kumeria kila kilambo warikogo adadeda kwa wandu wamsikiriege, akangia kapernaumu.
\v 2 Mtumwa fulani wa akida, warikogo wa thamani nanganyi kwake, warikogo mkongo nanganyi na warikogo karibu ya kufwa.
\v 3 Ela akika wasikira kuhusu Jesu, uja Akida wamdumie kilongozi wa kiyahudi, kumlomba ache kumtesia mtumwa wake ili asafe.
\v 4 Wachafika karibu na Jesu, wamsihie kwa bidii na kudeda, "adastahili kwamba udapaswa kubonya huwu kwa ajili yake,
\v 5 kwa sababu adajikunda itaifa jedu, na nie waagie isinagogi kwa ajili yedu."
\p
\v 6 Jesu akaendelea na charo chake andu nawo. Ela kabla ndagendie kula na iwacha, afisa umweri wawadumie wamwedu wake kuaria nae. "Mzuri, usakichose mweni kwa sababu nyi sistahili we kungia darinyi yapwa.
\v 7 kwa sababu ihi siteganyie ata nyi mweni kuwa ndafaa kucha kwako, ela deda idedo tu na mtumishi wapwa dimawaboa.
\v 8 kwani nyi pia ni mundu niwikiwe mamlakenyi na nikona askari ndonyi yapwa. Hudeda kwa uyu "Genda" na hugenda, na kwa umwi, "cho" naye hucha, na kwa mtumishi wapwa 'bonya iki', na ye hubonya."
\p
\v 9 Jesu wachasikira aga washangae, na kuwaagukia makutano warikogo wadamnuga na kudeda. "Nawagoria, hata katika Israeli, siwahie kuwona mundu mweni imani mbaha sa uyu.
\v 10 kisha waja warikogo wadumwa wawurie nyumbenyi na kumdoka mtumishi akikamlanzi.
\p
\v 11 fulani baada ya aga, yafumirie kuwa Jesu wakogo adasafiri kugenda mzi uwagwaga Na ini. Wanafunzi wake wakagenda andu amweri nae wakiambatana na umati gwa wandu.
\v 12 Achafika avui na Lango ja jiji guwa, mundu wafwie wakogo wanulwa, na ni mwana wa pekee kwa mae. Warikogo mkolo, na umati gwa wawakilishi kufuma jijinyi warikogo andu amweri nae.
\v 13 Achamwona, Mzuri wamsogelea kwa mbazi mbaha nanganyi igu yake na akamgoria, "usalile."
\v 14 kisha wasogea imbiri akajiwada ijeneza ambajo wanulia muwi, na waja wanulie wakakakimsi akadeda "mdawana nagora wakaia"
\v 15 Mfu akanuka na kuka ndonyi na waanzie kudeda. Kisha Jesu akamkabidhi kwa mae.
\p
\v 16 Kisha hofu ikawachua wose. Wakandelea kumtukuza Mlungu wakideda "Mlodi mbaha wanuliwa miongonyi mwedu" na "Mlungu wawaguwa wandu wake"
\v 17 Hiri habari riboie ra Jesu rae nee Yudea yose na kwa mikoa yose ya jirani.
\p
\v 18 Wanafunzi wa Yohana wamgoria malago aga gose.
\v 19 Niko Yohana akawaduma wawi wa wanafunzi wake na kuwaduma kwa Mzuri kudeda "We nie uja achaga, angu kuko mundu umwi dimguwe?
\p
\v 20 Wachafika avui na Jesu awa wakadeda, "Yohana mbbatizaji waduduma kwako kudeda, 'we ni uja achaga angu kuko mundu umwi dimguwe?'
\p
\v 21 Kwa makati ago wawakirie wandu wengi kufuma katika makongo na mateso, kufuma kwa ngolo wachafu, na kwa wandu wasawonaa wawanekie kuwona.
\v 22 Jesu wajibie na kudeda kwawe. "Baada ya kuka mwagenda andu mwafuma dimamwamanyisha Yohana mchiwonie na kuchisikira. Wasawonaa wadawokera kuwona na wasagendaa wadagenda, weni ukoma wadatakasika, wasasikiraga wadasikira, wafwie wadafufuliwa, na kuka hai sena, masikini wadagoriwa habari riboie.
\v 23 Na mundu ambae ndasigaa kunuamini nyi kwa sababu ya matendo gapwa wabarikiwa."
\p
\v 24 Baada ya waja wadumiwe ni Yohana kuwuya andu wafumie, Jesu akawoka kudeda kwa makutano igu ya Yohana, "Mwagendie shigadi kuwona indoi, mwanzi ukika udatikiswa ni upepo?
\v 25 Ela mwagendie shigadi kuwona indoi, mundu warwie nicha? guwa wandu waja warwaga mavazi ga kigimbikwa na kuishi maisha ga starehe weko kweni nafasi ra wagimbikwa.
\v 26 Ela mdagenda shigadi kuwona indoi, Mlodi? Hee, ndadeda kwenyu na zaidi nanganyi kuliko Mlodi.
\v 27 Uyu nie waandikiwa, "Guwa, namduma mjumbe wapwa imbiri ya meso genyu, aandaaga chia kwa ajili yapwa,
\p
\v 28 Nadeda kweyu, kati ya waja wavalwe ni mndumka, ndakudae mbaha sa Yohana, ela mundu asadae umuhimu nanganyi aishii na Mlungu andu akoye, dimawaka mbaha kuliko Yohana."
\p
\v 29 Na wandu wose wachasikira aga andu amweri na wawada ushuru, watangazie kuwa Mlungu ni mweni hachi. Wakogo kati yawe waja wabatiziwe kwa ubatizo gwa Yohana.
\v 30 Ela mafarisayo na wataalamu wa sheria ra Kiyahudi, ambawo ndawabatiziwe na ye walemie hekima ra Mlungu kwa ajili yawe weni.
\p
\v 31 Sena ndadima kuwa linganisha na indoi wandu wa kivazi iki? wakowada hasa?
\v 32 Wadafwana na wana wasarigaga andu kuko ieneo ja chete, wakaga na kuwagana umweri baada ya umwi wakideda, 'Dapulizie filimbi kwa ajili yenyu, na ndamvinie. Dalila kubaha na ndamlilie.'
\v 33 Yohana mbatizaji wachee ndajie mkate walandanywie divai, na mkadeda "Akona ipepo.
\v 34 Mvalwa wa mundu wacha waja na kunywa na mkadeda, "Angali wamlafi na mlevi, amwedu wa wawada ushuru na weni zambi!
\v 35 Ela hekima yatambulika kuwa ikona hachi kwa wana wake wose."
\p
\v 36 Umweri wa Mafarisayo wamlombie Jesu agende kuja andu amweri nae. Baada ya Jesu kungia iwachenyi ja farisayo, waegemee mezenyi ili aje.
\v 37 Guwa kurikogo na mndumka umweri katika jiji ijo warikogo nazambi. Wagundue kuwa wakogo na zambi. Wagundue kuwa wakogo waka kwa farisayo, akareda chupa ya manukato.
\v 38 Wakeekimsi nyuma yake avui na magu gake uku akilila. Sena wawokie kulowanisha magu gake kwa machozi, na kuifuta kwa njwira chongo chake, akiibusu magu gake na kuivia manukato.
\v 39 Na uja Farisayo warikogo wamwalika Jesu achamwona huwo, akaririkanya mweni akideda, "Ngelo uyu mundu kumachawaka mlodi, kumacha waichi uyu ni ani aina ki ya mndumka amwadaga, ya kuwa ni mweni zambi.
\p
\v 40 Jesu wajibie na kumgoria, "Simoni nkona kilambo cha kukugoria. "Akadeda" "Chidede tu mwalimu!"
\v 41 Jesu akadeda "kurikogo na Walawi gwa wawikwa mkopeshaji umweri. Umweri wakogo adalawigwa dinari maga na asanu na wa kawi walawiwege dinari hamsini.
\v 42 Na warikogo ndawadae magome ga kumshana wawasamehe wose. Idana ni ani dimawamkunda nanganyi?
\p
\v 43 Simoni wamjibie na kudeda, "Nadhani uja wasamehewe nanganyi Jesu akamgoria, "Wahukumu kwa usahihi."
\v 44 Jesu akamuagukia mndumka na kudeda kwa simoni, "udawona uyu mndumka. Nangia nyumbenyi kwako. Nduninekie machi kwa ajili ya magu gapwa, ela uyu, kwa machozi gake, walowanishe magu gapwa na kugafuta kwa njwi rake.
\v 45 Ndunibusie, ela ye, tangu wangirie umu ndasigie kunibusu magu gapwa.
\v 46 Ndugavie magu gapwa kwa mavuda, ela wagavia magu gapwa kwa manukato.
\v 47 Kwa ilago iji, ndakugoria kwamba wakogo na zambi nyingi na wasamehewa nanganyi, na pia wakundie nanganyi. Ela wasamehe ki tineri tu."
\v 48 Baadae akamgoria mndumka, "zambi rako rasamehewa"
\p
\v 49 Waja wakee mezenyi andu amweri nae wakawoka kudedezana weni kwa weni, 'Uyu ni ani mpaka adawasamehe zambi?"
\p
\v 50 Na Jesu akamgoria mundumka, "Imani yako yakutesia. Genda kwa amani"
\c 8
\cl Sura 8
\p
\v 1 Yafumirie muda mfupi baadae kwamba Jesu waanzie kusafiri katika mizi na jiji tofauti, akihubiri na kutangaza habari riboie ra ufalme gwa Mlungu na waja kumi na wawi wagendie andu amweri nae,
\v 2 Woruwo wakafulani warikogo wakirwa kufuma kwa ngolo wachafu na makongo tofauti. Warikogo ni Mariamu wawangiwe magdalena ambae warikogo wafungigwa pepo saba.
\v 3 Yohana mka wa kuza na meneja wa Herode, susana, na waka wamwi wengi, wafunyie mali rawe kwa ajili yawe weni.
\p
\v 4 Na baada ya umati gwa wandu kukwana andu amweri, wakiwemo na wandu wachee kwake fuma mzi tofauti, akaaria nawo kwa kudumia mifwano.
\v 5 "mwaji wagendie kwa mbeu, warikogo akiwa, baadhi ya mbeu iro ragwie mbai ya chia rikawadigwa ndonyi ya magu, na wanyonyi wa angenyi wakarija.
\v 6 Mbeu rimwi ragwie igu ya ndoe ya lwala na richa buka na kuka miche richavunda kwa sababu ndakurikogo na unyevu nyevu.
\v 7 Mbeu rimwi ragwie midinyi ya minjwa, nayo iyo midi ya minjwa ikazogua andu amweri na rija mbeu na rikasongwa.
\v 8 Ela mbeu rimwi ragwie ndoenyi ifaaga na rawae mazao mara igana nanganyi. "Baada ya Jesu kudeda malago aga, wafunyie mbaha sauti, "Wowose akona madu ga kusikira na asikire."
\p
\v 9 Sena wanafunzi wake wakamkotia maana ya mfwano ugo,
\v 10 Jesu akawagoria, 'mwanekigwa upendeleo gwa kumanya kiviso cha ufalme gwa Mlungu, ela wandu wamwi dimawafundishigwa tu kwa mifwano, ili kwamba 'wakiwona wasawone na wakisikira wasaelewe.'
\p
\v 11 Na ihi nio maana ya mfwano ugu. mMbeu ni idedo ja Mlungu.
\v 12 Mbeu rija rigwie mbai mbai ya chia nio waja wandu wajisikiraga idedo, na baadae mwovu shetani hujiwusa kula kufuma moyonyi, ili kwamba wasaamini na kutesiwa.
\v 13 Kisha na rija rigwie lwalenyi ni wandu waja wasikiraga idedo na kujiwokera kwa furaha ela ndawadae miri yoyose, wadaamini tu kwa muda mvui, na makati ga kugeriwa hugwa.
\v 14 Na mbeu rija rigwie injwenyi ni wandu wasikiraga idedo, ela wakiendelea kuzogua husongwa na huduma na utajiri na ubora gwa maisha aga na ndawaa matunda.
\v 15 Ela rija mbeu rigwie ndoenyi iboie ni waja wandu, ambawo ni wanyenyekevu na mioyo iboie, baada ya kujisikira idedo hujiwadiria na jikaka salama na kuva matunda ga kuririmira.
\p
\v 16 Idana, ndakudae hata umweri, awashagataa na kifunuka kwa ibakuli angu kuiwika ndonyi ya kitanda. Badala ya kuwika kina renyi cha taa ili kwamba kila umweri angiagha apate kuiwona.
\v 17 Kwa wuja ndakudae chijivisaa ambacho chisamanyikane, angu chochose chikoo kivisoni ambacho chisamanykane kikika mwangenyi.
\v 18 Kwa huwo kuwa makini andu ukaka udasikira kwa sababu ako nacho, kwake dimawachurigwa nanganyi, ela asadae nacho hata chija kitini akoo nacho dima chawusigwa."
\p
\v 19 Baadae mae Jesu na wambari wake wakacha kwake ndawakaribie kwa sababu ya umati wa wandu.
\v 20 Na wataarifiwe, "Moyo na wambari wako weko aja shigadi wadahitaji kukuwona na we.
\p
\v 21 Ela Jesu wajibie akideda, "mawe wapwa na wambari wapwa ni waja wajisikiraga idedo ja Mlungu na kujitii."
\p
\v 22 Yafumirie siku iumweri katika siku rija Jesu na wanafunzi wake wajokie mtumbwinyi, na akawagoria, "Na duluwuke kimonu cha kawi cha ziwa." Wakandaa mashua yawe.
\v 23 Ela wachawoka kuinga, Jesu akatungura dilo, na dhoruba mbaha yeni upepo, na mashua ya we ikawoka kuchua machi na warikogo hatarinyi mbaha nanganyi.
\p
\v 24 Baadae wanafunzi wake wakacha kwake na kumwusira, wakideda, "Mzuri mbaha! Mzuri mbaha! diko avui kufwa! 'Akawukia na akagukemia upepo na mawimbi ga machi vikatulia na kukaka na utulivu.
\p
\v 25 Sena akawagoria, 'Imani yenyu iko hao? 'wakaboa, washangae, wakadedezana kila umweri na mbawe, "Uyu ni ani, kiasi kwamba adaamuru hata upepo, na machi na hutii?"
\p
\v 26 Wafikie mzinyi gwa Gerasini ikoo luwande lwa nyuma ya Galilaya.
\v 27 Jesu wachasea na kuwadia ndoenyi, mundu fulani kufuma mzinyi, akakwana nae, na uyu mundu warikogo na ndigi ra kira. na wakogo ndaishi nyumbenyi, ela waishie makaburinyi.
\p
\v 28 Wachamwona Jesu akalila kwa sauti, na akagwa ndonyi imbiri yake. Kwa sauti mbaha akideda, Nabonyaa indoi kwako, Jesu mvalwa wa Mlungu akoo igu? Nakusihi, usani adhibu nyi"
\v 29 Jesu waamuru ngolo chafu imu inge mundu uja, kwa wuja maranyingi wampagaa. Hata kama wakogo wafungwa minyororo na kubanwa na kuwikigwa ndonyi ya ulinzi, wachukanyie vifungo na kuendeshigwa ni mapepo hata ijangwenyi.
\p
\v 30 Jesu akamkotia, "Irina jako ni ani?" wajibie akadeda, "Legioni" kwa maana mapepo wengi gangia kwake.
\v 31 Wakandelea kukimsihi usadiamuru digende ishimonyi.
\v 32 Ikundi ja nguwe jirikogo jikilishigwa igu ya duchugongo, wakamsihi awaruhusu wangie kwa awo nguiwe. Na akawaruhusu kubonya huwo.
\v 33 Kwa huwo waja mapepo wakamfuma mundu uja na kungia kwa waja nguwe, na jija ikundi jikakimbia mwinukonyi gwa lugongo hata ziwenyi na wadidimie uko.
\p
\v 34 Waja wandu warikogo wadalissha waja nguwe wachawona chifumirie, wakakimbia na wakafunya taarifa aja mzinyi na shigadi katika mizi iwa zungulukie.
\v 35 Wandu wachasikira ago wagendie kuwona chifumirie, na wakacha kwa Jesu na wakamwona mundu ambae mapepo garikogo gamuinga. Wakogo warwa nicha na mweni akili timamu, waka magunyi kwa Jesu, na waboa.
\v 36 niko umweri wawe wawonie chifumirie wawokie kuwasimulia wamwi jinsi uyu mundu warikogo adalongozigwa ni mapepo andu wakirwa.
\v 37 Wandu wose wa mkoa gwa Wagerasi na maeneo gazungulukie wamlombie Jesu ainge kwawe kwa sababu wakogo na hofu mbaha. Na wangirie mtumbwinyi ili awuye.
\v 38 Mundu uja wafumiwe ni ipepo wamsihie Jesu kugenda nae, ela Jesu akamgoria agende na kudeda,
\v 39 "Wuya nyumbenyi kwako na utale gaja gose ambago Mlungu wakubonyia" Uyu mundu waingie, akitangaza kose katika mzi gwa gwose gaja gose ambago Jesu ahabonyie kwa ajili yake.
\p
\v 40 Na Jesu wawurie, makutano wamkaribishie, kwa sababu wose wakogo wakimweseria.
\v 41 Guwa akcha mundu umweri adawangwa Yairo ni umweri kati ya vilongozi katika isinagogi. Yairo akagwa magunyi kwa Jesu na kumsihi agende nyumbenyi kwake,
\v 42 Kwa sababu wakogo na mwana mwai umweri tu, mweni umri wa miaka kumi na iwi, na wakogo ya kufwa. Na warikogo akigenda, makutano warikogo wakisongana dhidi yake.
\v 43 Mndumka mweni kufuma baga kwa mirongo kumi na iwi wakogo aja na wadumia pesa rose kwa waganga, ela ndakudae wamkire hata umweri,
\v 44 Wachee nyuma ya Jesu na kuwada ipindo ja ivazi jake, na gafla kufumwa baga kukasiga.
\v 45 Jesu akadeda, "Aniambae waniwada?" Wachalega wose, Petro akadeda, Mzuri mbaha, umati gwa wandu wadakusukuma na wadakusonga."
\p
\v 46 Ela Jesu akadeda," mundu umweri waniwadie, maana namanyie ndigi rafuma kwapwa."
\v 47 Mndumka wachawona ya kuwa ndadimaa kavisa wachibonyie, wawokie kutetemeka, akagwa ndonyi imbiri ya Jesu watangazie imbiri ya wandu wose sababu riboyie amwade na wuja andu wakirwa gafla.
\v 48 kisha wadedie kwake, "mwai, imani yako yakubonya uke banana. Genda kwa amani."
\p
\v 49 Warikogo akiendelea kudeda, mundu umweri akacha kufuma nyumbenyi ya kilongozi wa isinagogi, akideda, "Mwai wako wafwa. Usamgaishe mwalimu."
\p
\v 50 Ela Jesu achasikira huwo, wamjibie, "Usaboe Amini tu, na dimawatesiwa."
\v 51 Kisha achangia kweni ijo iwacha, ndaruhusie mundu wowose kungia andu amweri nae, isipokuwa Petro, Yohana na Yakobo, ndee wa mwai, na mae.
\v 52 Idana wandu wose warikogo wadalila kubaha na kufunya sauti kwa ajili yake, ela akadeda, "msakabe jogo, ndafwie, ela watungura tu."
\v 53 Ela wakamseka kwa dharau, wakimanya kwa wafwa.
\v 54 Ela ye, akamwada mwai mkonu, akawanga kwa sauti, akideda, "mwanaa, wukia."
\v 55 ngolo yake ikamchea, na akawukia makati ago geni. Akaamrisha kwamba, anekwe kilambo fulani ili aje.
\v 56 Wavazi wake washangae, ela wawaamuru wasamgorie mundu chirikogo chafumiria.
\c 9
\cl Sura 9
\p
\v 1 Akawawanga waja kumi na iwi andu amweri, akawaneka uwezo na mamlaka igu ya mapepo gose na kukira makongo.
\v 2 Akawaduma wagende kuhubiri ufalme gwa Mlungu na kukira wakongo.
\v 3 Akawagoria, "Msawawuse chochose kwa ajili ya charo chenyu wala fimbo, wala mkoba, walaa mkate, wala magome wala msawuse kazu iwi.
\v 4 Iwacha jojose mjingiaga, kenyi umo mpaka mchainga andu aho.
\v 5 Na kwa waja wasawokera, mchainga mzi uo, kikung'utenyi luvumbi katika magu genyu kwa ushuhuda igu yawe.
\v 6 Wakainga na kugenda kuidia vijijinyi, wakitangaza habari iboie na kukira wandu kila andu.
\p
\v 7 Idana Herode, mtawala, wasikire gose garikogo gakifumiria wataabikie nanganyi, kwa sababu yadedikana na baadhi kwamba Yohana mbatizaji wafufuka kufuma kwa wafwie,
\v 8 na baadhi kwamba Eliya wameria kufumiria, na kwa wamwi kwamba umweri wa walodi wa kala wafufuka katika wafwie sena.
\v 9 Herode wadedie, "Namchinjie Yohana, ela uyu ni ani nisikiraga habari rake? Na Herode walolie chia ya kumwona Jesu.
\p
\v 10 Makati wachawuya waja wadumiwe, wakamgoria kila kilambo wachibonyie. Akawawusa andu amweri nae, akagenda mwenikeri katika mzi uwangwaga Bethsaida.
\v 11 Ela makutano wakasikira kuhusu iji wakamnuga, na wawakaribishie, na akaaria nawo kuhusu ufalme gwa Mlungu, na wawakira waja wahitajie ukiraji.
\p
\v 12 Maruwa gha kawoka kusia, na waja kumi na iwi wakagenda kwake na kudeda, "Watapanye makutano kwamba wagende katika vijiji va avui na mzinyi wakalole mapumziko na vindo, kwa sababu diko ieneo ja nyikenyi."
\p
\v 13 Ela akawagoria, "Inyo wanekenyi kilambo cha kuja." Wakadeda" Ndadedie zaidi ya viwande visanu va mikate na samamki wawi, isipokuwa kumachadagenda na kugula vindo kwa ajili ya ikusanyiko iji ja wandu."
\p
\v 14 Kurikogo na womi wapataga elfu isanu aja. Akawagoria wanafunzi wake. "Wakalishenyi ndonyi katika makundi ga wandu wapataga hamsini kwa kila ikundi.
\v 15 kwa huwo wakabonya huwo na wandu wakaka ndonyi.
\v 16 Akawusa mikate asanu na samaki wawi na akaguwa mbingunyi, akavibariki, na kivibega katika viwande, akawaneka wanafunzi wake ili wawike imbiri ya makutano.
\v 17 Wose wakaja na wakamguda, na viwande va vindo visangalikie vosho igwe na kuchura ngau kumi na iwi.
\p
\v 18 Nayo ikaka kwamba, warikogo akitasa mwenikeri, Wanafunzi wake wakogo andu amweri nae, na akawakotia akideda, "Wandu hudeda nyi ni ani?"
\p
\v 19 Wajibie, wakadeda, "Yohana mbatizaji, ela wamwi hudeda Eliya, na wamwi hudeda umweri wa walodi wa matuku ga kala wafufuka sena."
\p
\v 20 Akawaghalia, "Ela imyo mwadeda nyiniani?" Wajibie Petro akadeda, "Kristo kufuma kwa mlungu."
\p
\v 21 Ela kwa kuwakasha, Jesu akawaela keza kutomghoria wowose ighuya iji.
\v 22 akadeda kwamba mvalwa wa Adamu lazima ateseke kwa mlagho mengi na kuleghwa niwa ghosi na Makuhani wabaha na waandishi, na dimawabwagha, na maruwa gha kadadu dimawafufuka.
\p
\v 23 Akawaghoria wose, "ngelo mundu wowose akakunda kuninugha, lazima akikane mweni, awase msalaba ghwake kila siku na aninughe.
\v 24 Wowose agheriagha kughatesi maisha ghake ima waghalaghasha, ela wowose alaghashagha mai shaghake kwa faida yapwa, imawaghasha tesi.
\v 25 Je dimjamfaidia indoi mdamu, ngelo akaupata urumwengu ghwose, ela akalaghasha anguakapata hasara ya nafsi yake?
\v 26 Wowose achaniwonia whaya nyi na mdedo ghapwa, ye mvalwa wa Adamu dimawamwonia whaya achaka katika utukufu ghwake na utukufu ghwa Aba na malaika weli.
\v 27 Ela ndawagholia loli, kuko baathi yenyu wakagha kimsi aha, ndawaonjagha umauti mpaka wauwone ufalme ghwa mlungu."
\p
\v 28 Ikafumiria idapata maruwa nane baada ya Jesu kudeda madedo agha kwamba akawawusaandu amweri nae Petro, Yohana, na Yakobo, wakajoka lughongonyi kutosa.'
\v 29 Na warikogho katika kutasa mwonekano ghwa washu ghwake ghwabadilikiwe, na mavazi ghake ghakaka gha chokwa na gha kuela.
\v 30 Na guwa, warikogho womi wawi wakiarianae! wakogho Musa na Eliya.
\v 31 wawonekanie katika utukufu. Waarie kuhusu kuighwa kwake, ilagho ambajo wakaribie kujitimiza Yerusalemu.
\v 32 Idana Petro nawaja warikogho andu amweri nae warikogho katika dilo nzito. Ela wachawakia wauwonie utukufu ghwake na womi wawi wari kogho wakakimsi andu amweri nae.
\v 33 Ika fumiria kwamba warikogho wakiinga kwa Jesu, Petro "Mzuri, ni chakwedu kuka aha na idadipasa dibonye makazigha wandu wadadu. Dibonye jimweli kwa ajiliyako jimweli kwa ajili yaMusa, na jimweli kwa ajili ya Eliya.' Ndaloelewa arikogho akichiaria.
\v 34 Warikogho akideda agho, jikachaidulu na jikawafunika; na waboa wachawona wazungulukwa ani idulu.
\p
\v 35 Sauti ikafuma idulunyi ikadeda, "Uyu ni mwanapwa mteule. Msikienyi ye."
\v 36 Sauti ichanyama kima, Jesu wakogo mwenikeri. Wakee kimumure, na katika maruwa ago ndawamgorie wowose jojose miongonyi mwa wagawonie.
\p
\v 37 Iruwa jifumirie, baada ya kuinga lugongonyi, kusanyiko baha ja wandu jakwana nae.
\v 38 Guwa, mndumumi kufuma ikusanyikonyi wa lilie kwa sauti, akideda, "mwalimu ndakulomba umguwe mwanapwa wa pekee.
\v 39 Udawona ngolo chafu humwada, na mara hukaba jogo, na pia hubonya achanganyikiwe na kufuma ipovu momunyi. Nayo humfuma kwa shida, ikimsababishia maumivu makali.
\v 40 Nawasihie wanafunzi wako kuikemia iinge. Ela ndawadimie."
\p
\v 41 Jesu wajibie akadeda, "Inyo kivazi chisaamini na chipotekie, mpaka lidimanaka na inyo na kuwusiana na inyo? mrede mwanako aho."
\v 42 mdawona warikogo adacha, ngolo chafu ikamgwisha ndonyi na kumtikisa kwa fujo. Ela Jesu waikemia ija ngolo chafu, wamkira mdawana, na wamkabidhi kwa ndee.
\v 43 Wose washngazigwa na ubaha gwa Mlungu. Ela warikogo wakistaajabu wose kwa malago gose gafumirie, akadeda kwa wanafunzi wake,
\v 44 "Madedo gamikee madunyi kwenyu, kwa wuja mvalwa wa adamu dimawafunywa mikonunyi mwa wadamu."
\v 45 Ela ndawaelewe maana ya madedo ago, na gavisigwe mesonyi kwawe, ili wasache wakajielewa. Waboa kumkotia kuhusu idedo ijo.
\p
\v 46 Kisha mgogoro gwawokie kuibuka miongonyi mwao igu ya ani kumacha aka mbaha.
\v 47 Ela Jesu achamanya warikogo wakihojiana mioyoni, kwawe, wamusie mwana mtini, na kumwika luwande lwake,
\v 48 Na akadeda, "Ngelo mundu wowose akamwokera mwana mtini kama uyu kwa irina japwa, aniwokera nyi pia, na wowose akaniwokera nyi, amwokera pia wanidumie, kwa wuja akoo mtini kati yenyu wose nie ako mbaha."
\p
\v 49 Yohana wajibie akadeda, "Mzuri, damwonie mundu akibingisa ipepo kwa irina jako na dikamzuia, kwa sababu ndaapatana na isi."
\p
\v 50 Ela Jesu akamgoria, "Usamzuie, kwa wuja asadae kinyume na inyo ni wa kwenyu."
\p
\v 51 Ikafumiria kwamba, kulingana na maruwa andu geko gakikaribia maruwa gake ga kugenda mbvingunyi, kwa uimara waelekeza wushu gwake Yerusalemu.
\v 52 Akaduma wajumbe imbiri yake, nawo wakagenda na kungia katika kijiji cha wasamaria ili watayarishe mahali.
\v 53 Ela wandu uko ndawamwokerie, kwa sababu wakogo waelekeza wushu gwake Yerusalemu.
\v 54 Wanafunzi wake Yakobo na Yohana wachajiwona iji, wakadeda, "Mzuri ukundi diamuru modo usee ndonyi kufuma mbingunyi uwateketeze?"
\v 55 Ela wawagukie akawakemia.
\v 56 Kisha wagendie kijiji chimwi.
\p
\v 57 Warikogo wakigenda katika chia yawe, mundu umweri akamgoria, "Dimanakunuga kokose ugendaga."
\p
\v 58 Jesu akamgoria, "makoshi ga isakenyi gakona mashimo, wanyonyi waangenyi wakona viota, ela mvalwa wa Adamu ndadae kwa kutungurisha chongo chjake."
\v 59 Niko akamgoria mundu umwi, "Nnuge." Ela ye akadeda, "Mzuri, niruhusu kwanza nigende kumrika Aba wapwa."
\p
\v 60 Ela ye akamgoria, "Wasige wafwie wawarike wafwie wawe, ela we genda ukautengeneze ufalme gwa Mlungu kila andu."
\p
\v 61 Pia mundu umwi akadeda. "Dimanakunuga, Mzuri, ela niruhusu kwanza nikawalage wakoo katika iwacha japwa."
\p
\v 62 Ela Jesu akamgoria ndakudae mundu, akumbaga mkonu gwake kulima na kuguwa nyuma afaaga kwa ufalme gwa Mlungu."
\c 10
\cl Sura 10
\p
\v 1 Baada ya malago ago, Mzuri wasague sabini wamwi, na kuwaduma wawi wamkirie katika kila mzi na ieneo watarajie kugenda.
\v 2 Akawagoria, "Mavuno ni mengi, ela wabonyakazi ni watineri. Huwo basi mlombenyi Mzuri wa mavuno, ili kwamba adume kuruwa ruwa wabonya kazi katika mavuno gake.
\v 3 Gendenyi katika mzi. Guwenyi, ndawaduma sa ng'ondi gadigadi ya makoshi ga isakenyi.
\v 4 Msanue mfuko gwa magome, wala mikoba ya wacharo, wala vadu, wala msalamse wowose chienyi.
\v 5 Katika iwacha jojose mjingiaga, kwanza dedenyi, "Amani ike katika iwacha iji.'
\v 6 Ngelo mundu wa amani ako aja, amani yenyu dimayasangalika igu yake, ela ngelo siko, dimanyawuya kwenyu.
\v 7 Bakinyi katika iwacha ijo jenyi na mnywe wa chakifunya, kwa maana mbonyakazi adastahili mshahara gwake. Msahame kufuma iwacha iji kugenda jimwi.
\v 8 Mzi gwose mmingiaga, na wakawawokera jenyi chochose chimwi kwaga imbiri yenyu,
\v 9 na kirenyi wakongo wakoo umo. Dedenyi kwawe; ufalme gwa Mlungu gwacha avui yenyu'
\v 10 Ela katika mzi gwogwose mchangia, na wasawokere, gendenyi shigadi katika barabara na dedenyi,
\v 11 'Hata luvumbi katika mzi gwenyu lunatie magunyi kwedu didalukung'uta dhidi yenyu! ela manyeni iji, ufalme gwa Mlungu gwakaribia.'
\v 12 Ndawagorienyi kwamba maruwa ga hukumu dimayaka ni ustahimilivu nanganyi kwa sodoma kuliko mzi ugo.
\p
\v 13 Ole kwako korazini, ole kwako Bethsaida! ngelo kazi mbaha ribonyikie ndenyi yako kumacha yabonyika Tiro na sidoni, kumachawatesiwa zambi kala nanganyi, wakika ndenyi ya nguwo ra gunia na maivu.
\v 14 Ela dimayaka ustahimilivu nanganyi maruwa ga hukumu kwa Tiro na Sidoni zaidi yenyu.
\v 15 We kapernaumu, udatenganya dimawanuliwa mpaka mbingunyi? Aa, dimawaserigwa ndonyi mpaka kuzimu
\p
\v 16 Awasikiraga inyo adanisiokira nyi, na wowose achalega adanilega nyi, na wowose anilegaga nyi adamlega wanidumie"
\p
\v 17 Waja sabini wawurie kwa furaha, wakideda, "Mzuri, hata mapepo wadaditii katika irina jako."
\v 18 Jesu akawagoria, "Namwonie shetani akigwa kufuma mbingunyi sa radi.
\v 19 Guwa, nawaneka ga kuwadia choka na nge, na ndigi rose ra mlage lage, na ndakudae chochose kwa chia yoyose chiwadhuru.
\v 20 Hata huwo msaboiwe tu katika iji, kwamba ngolo ridawatii, ela boiwenyi nanganyi kwamba marina genyu gaandikigwa mbingunyi."
\p
\v 21 Katika makati gaja geni waboiwe nanganyi katika Ngolo wa kuela, na kudeda, "Ndakutogola we, Aba, Mzuri wa mbingu na dunia, kwa sababu wagavisa malago aga kufuma kwa weni hekima na akili, na kugafunukula kwa wasafundishwaga, sa wana watini, "Hee, Aba, kwa wuja yapendezie mesonyi kwako."
\v 22 "kila kilambo chakabidhiwa kwapwa na Aba wapwa, na ndakudae amanyaga mvalwa ni ani ela Aba, na ndakudae amanyaga Aba ni ani ela mvalwa, na wowose ambae mvalwa hutamani kukifunukula kwake."
\p
\v 23 Akawaagukia wanafunzi, akadeda faragani, "Wabarikiwa wagaoga aga ambago inyo mdagawona.
\v 24 Ndawagoria inyo, kwamba walodi wengi na wagimbikwa watanmanie kuwona malago mgawonaga, na ndawagawonie, na kusikira mgasikiraga, na ndawagasikire."
\p
\v 25 Guwa, mwalimu fulani wa sheria ya kiyahudi wakeekimsi na kumgeria, akideda, "mwalimu nibonyei niipale banana ya kala na kala?"
\p
\v 26 Jesu akamgoria, "Chaandikigwa indoi katika sheria? udaisoma wada?"
\p
\v 27 Wajibie akadeda, "Dimawamkunda Mzuri Mlungu wako kwa moyo gwako gwose, kwa ngolo yako yose, kwa ndigi rako rose, na kwa akilirako rose, na jirani yako sa nafsi yako mweni."
\p
\v 28 Jesu wadedie, "Wajibu kwa usahihi. Bonya uwu na dimawasihi."
\p
\v 29 Ela mwalimu, akitamani kakitalia hachi mweni, Akamgoria Jesu, "Na jirani wapwa ni ani?"
\p
\v 30 Jesu wajibie akadeda, "Mundu fulani wakogo akisea kufuma Yerusalemu kugenda Yeriko. Akagwia kati ya wanyang'anyi, wamsokie mali yake, na kumkaba na kumsiga avui akika nusu wafwie.
\v 31 Kwa bahati kuhani fulani wakogo akisea katika chia iyo, achamwona waidie luwande lumwi.
\v 32 Woruwo mlawi pia, wachafika andu aja na kumwona, akaida luwande lumwi.
\v 33 Ela msamaria umweri, warikogo akibonya charo, waidie aja warikogo mundu uyo. Achamwona, wasukumiwe kwa mbazi.
\v 34 Wamkaribia na kumruga vonda vake, akivia mavuda na divai igu yake. Wamjosa igu ya mnyamandu wake, na kumgenja katika iwacha ja wagenyi na kumtawaria.
\v 35 Iruwa jinugirie wawusie dinari iwi, na akamneka mmiliki wa iwacha ja wagenyi na kumgoria, "mtawarie na chochose cha ziada utumiaga, dimanakushana nichawuya."
\v 36 Ni yuwao kati ya awa wadadu, uteganyaa, wakogo ni jirani kwake ye wagwie kati ya wanyang'anyi?"
\p
\v 37 Mwalimu wadedie, "Ni uja wabonyerie mbazi kwake." Jesu akamgoria, "Genda na ukabonye woruwo uwo."
\p
\v 38 Idana warikogo wakibonya charo, wangirie katika kijiji fulani, na mndumka umweri irina jake matrha wakamkaribisha nyumbenyi kwake.
\v 39 Wakogo na dada awangwie mariamu, wakee magunyi kwa Mzuri na kusikira idedo jake.
\v 40 Ela martha wakinekie shuguli nyingi ra kuandaa mlo. Wagendie kwa Jesu, na kudeda, "Mzuri, ndujali kwamba dada wapwa wanisiga nitaware mwenikeri? Huwo basi mgorie anitawarie."
\p
\v 41 Ela Mzuri wajibie na kumgoria, "Martha, Martha, udagaya igu ya malago mengi,
\v 42 Ela ni kilambo chimweri tu cha muhimu. Mariamu wasagua chiko chiboie, ambacho ndachiinjigwa kufuma kwake."
\c 11
\cl Sura 11
\p
\v 1 Yafumirie makati Jesu warikogo adatasa andu fulani, umweri wa wanafunzi wake wamgoria, "Mzuri, difundishe isi kutasa sa Yohana wawafundishie wanafunzi wake.'
\p
\v 2 Jesu akawagoria, andu mkisali, dedenyi, 'Aba, irina jako jigimbikwe. Ugimbikwa gwako uche.
\v 3 Udineke mkate gwedu gwa kila siku.
\v 4 Udisamehe makosa gedu, ngelo nasi diwasamehe wose wadikosea. Usadilongoze katika kugeriwa."
\p
\v 5 Jesu akawagoria, "Ni ani kwenyu dimawaka na amwedu, ambae dimawagendia kio, na kumgoria, Amwedu niazime mikate adadu.
\v 6 Kwa sababu amwedu wapwa wanichea iji aha kufuma charonyi, na nyi sidae cha kumuandalia.'
\p
\v 7 Na uja ako ndenyi wamjibie, usanitaabishe, mjango wameria kurugwa, na wana wapwa, andu amweri nanyi dameria kutungura kitandenyi. Sidimaga kuwikia na kukuneka we mikate.
\v 8 Ndawagoria, japokuwa ndawukia na kukuneka mikate sa amwedu wake, kwa sababu ya kuendelea kumweseria bila waya, dimawawukia na kukuneka viwande vingi va mikate kulingana na machitaji yako.
\v 9 Nanyi pia nawagorienyi, tesenyi, na inyo dima mwanekwa; lolenyi, na inyo dimamwapata, kabenyi hodi na inyo dimamwaruguriwa.
\v 10 Kwa wuja kila mundu amlombaga dimawawokera, na kila mundu alolaga dimawapata, na kila mundu akabaga hodi, mjango dimawarugulwa kwake.
\v 11 Ni aba uyao miongonyi mwenu, mwanake akimlomba samaki dimawamneka choka badala yake?
\v 12 Angu akimlomba igi dimawamneka nge badalayake?
\v 13 Kwa huwo, ikika nyi mwawazamie mdaishi kuwaneka wanawenyu zawadi riboie, Je, si zaidi nanganyi Aba wenyu wa mbingunyi kwamba diwaneka Ngolo wa kuela awo wamlombaga?"
\p
\v 14 Baadae, Jesu akaka adakemia ipepo, na mundu mweni ipepo wakogo asadeda. Ikaka ipepo jicha mfuma, mundu uyo wadedie kuaria. Umati wastaajabie sena.
\v 15 Ela wandu wamwi wakadeda, uyu adainja mapepo kwa Beelzabuli, mbaha wa mapepo.
\v 16 Wamwi wamgiria na kumkunda awabonyerie ishara kufuma mbingunyi.
\p
\v 17 Ela Jesu wamanyie kuririkanya kwawe na kuwagoria, "kila ugimbikwa uwaganyikaga dima yaka ukiwa, na iwacha jiwaganyikie dima jagwa.
\v 18 Ngelo shetani dimawaka wawaganyika, ugimbikwa gwake dimawakakimsi wada? kwa sababu mwadeda nafunya mapepo kwa Belzabuli.
\v 19 Ngelo nyi ndafunya mapepo kwa Belzabuli, Je wambenyu wadainja mapepo kwa chia iyao? kwa sababu ihi, wo dimawawahukumu inyo.
\v 20 Ela, ngelo ndafunya mapepoo kwa chala cha Mlungu, basi ufalme gwa Mlungu gwamichea.
\p
\v 21 Mundu mweni ndigi akona silaha akalinda iwacha jake, vilambo vake dimavaka salama.
\v 22 Ela akavamiwa na mundu mweni ndigi nanganyi, uja mundu mweni ndigi dimawamsoka silaha rake, na kuriwusa mali rake rose.
\v 23 Ye aseko andu amweri na nyi ako kinyume na nyi, na ye asawikaa andu amweri na nyi hutapanya.
\p
\v 24 Pepo mchafu amfumaga mundu, hugenda na kulola andu kusadae machi ili akisogoshe. Andu akaka waswa, hudeda, 'dimana wuya andu nifumie.
\v 25 Akiwuya na kudoka iwacha jakwanywa na jakanicha.
\v 26 Huwo hugenda na kulola mapepo saba wako wazamie kuliko ye mweni na kuwareda wache wake andu aja. Na hali ya mundu uyo huka izamie kuliko andu ikogo mara ya kwanza."
\p
\v 27 Yafumirie kwamba warikogo akideda malago agho, mndumka fulani wafunyie mbaha sauti yake zaidi ya wose mkutanonyi wa wandu na kudeda "Chabarikiwa kifu chikuvale na matiti unyonye."
\v 28 Ela ye akadeda, wabarikiwa waja wasikiraga idedo ja Mlungu na kujitunza.
\p
\v 29 Makati umati gwa wandu wadakwana andu amweri na kuchurika, Jesu waanzie kudeda "kivazi ichi ni kivazi chizamie. Hulola ishara, na ndakudae ishara wanekwaga nanganyi ya ija ishara ya Yonaa.
\v 30 Maana sa Yona andu wakogo ishara kwa wandu wa Ninawi, niko na mvalwa wa Adamu anduwaka ishara kwa kivazi ichi.
\v 31 Malkia wa kusinyi dimawakakimsi maruwa ga hukumu na wandu wa kivazi ichi na kuwahukumu wo, kwani ye wafumie katika mwisho gwa isanga ili ache asikire hekima ra Solomoni, aha weko ako mbaha kuliko solomoni.
\v 32 Wandu wa Ninawi dimawakakimsi katika hukumu andu amweri na wandu wa kivazi ichi maruwa ga hukumu dimawakihukumu, kwani wo watesiwege zambi rawe kwa mahubiri ga Yona, na nguwa, aha weko akombaha kuliko Yona.
\p
\v 33 Ndakudae mundu wowose, awashaga taa na kuiwika sehemu ya ndonyi ikona kira isawoekaga angu ndonyi ya ngau, ela huwasha na kuwika igu ya kilambo ili kila mundu angiaga adime kuwona mwangza.
\v 34 Iriso ni taa ya muwi. Iriso jako jikika jiboie basi muwi gwako gwose dimagwaka mwangazenyi. Ela iriso jako jikika jizamie basi muwi gwako gwose dimagwaka kirenyi.
\v 35 Kwa huwo, mkihadhari ili mwangaza ukoo ndenyi yenyu usakumbwe kira.
\v 36 Huwo basi, ngelo muwi gwako gwose guko mwangazenyi, na ndakudae sehemu ikoo katika kira, basi muwi gwako dimawaka sawa na taa iwiakaga na kufunya mwangaza kwenyu."
\p
\v 37 Achameria kuaria, Farisayo wamualikie akaje vindo nyumbenyi kwake, na ye Jesu akangia ndenyi na kuka andu amweri nawo.
\v 38 Na mafarisayo washangaie kwa jinsi ambavo ndanawie kwanza kabla ya vindo va kwenyi.
\v 39 Ela Mzuri akawagoria, "Inyo mafarisayo mdaogesha shigadi ya vikombe na bakuli, ela ndenyi yenyu mwachua tamaa na gagazamie.
\v 40 Inyo wandu msadae teganyi, Je ye aumbie shigadi ndaumbie na ndenyi pia?
\v 41 Wanekenyi masikini ghekoo ndenyi, na malago ghose dimaghaka gaelie kwenyu.
\p
\v 42 Ela ole wenyu mafarisayo, kwani mdafunya zaka ya mnanaa na mchicha na kila aina ya mboga ya bustani. Ela mwasiga malago ga hachi na kumkunda Mlungu. Ni muhimu nanganyi kubonya gakoo ga hachi na kumkunda Mlungu, bila kusiga kubonya na ago gamwi pia.
\v 43 Ole wenyu mafarisayo, kwa wuja ndakundi kuka katika vifumbi va imbiri msinagoginyi na kulamsigwa kwa salamu ra heshima chetenyi.
\v 44 Ole wenyu, kwani mdafwana na makaburi gasadae alama ambayo wandu hugenda igu yake pasipo kumanya."
\p
\v 45 Mwalimu umweri wa sheria ra kiyahudi wamjibie na kumgoria, "mwalimu, uchidedaga chidadiudhi pia isi."
\p
\v 46 Jesu akadeda, "Olewenyu, walimu wa sheria! kwani mdawaneka wandu mizigo mibaha wasadimaa kuidwa, ela inyo ndamwadaa mizigo iyo hata kwa imweri ya vala venyu.
\v 47 Ole wenyu, kwa sababu mdagha na kuwika kumbukumbu makaburinyi ga walodi ambawo wabwagieni waka awu wenyu.
\v 48 Huwo inyo mwashuhudia na kukubaliana na chagu wachibonyie waka awu wenyu, kwa sababu hakika wawabwagie walodi ambawo mdaga kumbukumbu katika makaburi gawe.
\v 49 Kwa sababu iyo pia, hekima ya Mlungu idadeda, "Dimanawatumia walodi na mitume nawo dima wawatesa na kuwabwaga baadhi yawe.
\v 50 Kivazi ichi dima chawajibika kwa baga yawalodi wabwagie tangu kuwoka kwa dunia,
\v 51 Kufuma baga ya Abeli hadi baga ya Zakaria, wawabwagie gadigadi ya madhabahu na patakatifu. Hee, ndawagoria inyo, kivazi ichi dimachawajibika.
\v 52 Ole wenyu wa sheria ra kiyahudi, kwa sababu mwawusa funguo ra tegenyi; inyo weni ndamungiaa, na waja wakundii kungia mdawazuia."
\p
\v 53 Baada ya Jesu kungia aja, Waandishi na mafarisayo wampingie na kubishana na ye igu ya malago mengi.
\v 54 Wakigeria kumnasa kwa madedo gake.
\c 12
\cl Sura 12
\p
\v 1 Kwa makati ago, maelfu mengi ga wandu wakwana andu amweri, kiasi cha kuwona kuwadiana, akawoka kudeda na wanafunzi wake kwanza, "kihadharinyi na adhabu ya mafarisayo ambayo ni unafiki."
\v 2 Na ndakuka na kiviso chikivise ambacho ndachifunukulwaga, wala ilago jivisiwe ambajo ndajimanyikanaga.
\v 3 Na jojose mjidedie katika kira, dimajasikirwa katika mwangaza. Na gogose mgadedie kudunyi ndenyi ya vumba venyu va ndenyi virugiwe ndenyi ya vumba venyu va ndenyi virugiwe dimagatangazigwa igu ya paa ja iwacha.
\p
\v 4 Nawagorienyi amwedu wapwa, msaboe waja waubwagaga muwi na kisha ndawadee kilambo chimwi cha kubonya,
\v 5 Ela dimanamionya ambae dimamwamboa. Mboenyi uja ambae baada ya kuka wabwaga, ako na mamlaka ga kudaga jehanamu. Hee, ndawagoria inyo, mboenyi uyo.
\v 6 Je shamoro wasanu ndawadagwaa kwa sarafu iwi? hata huwo ndakudae hata umweri wawe aliwagwa imbiri ra Mlingu.
\v 7 Ela mmanye kuwa, njwi ra vongo venyu vataligwa. Msaboe. Inyo ni wathamani mbaha kuliko shomoro wengi.
\p
\v 8 Ndawagoria, wowose anikiri nyi ra wandu, mvalwa wa Adamu dimawamkiri imbiri ra malaika wa Mlungu.
\v 9 Ela wowose anikanaga imbiri ra wandu na ye dimawkwana imbiri ya malaika wa Mlungu.
\v 10 Wowose adedaga idedo jizamie igu ya mvalwa wa Adamu, dimawasamehewa, ela wowose amkufuru Ngolo wa kuela, ndasamehewa.
\v 11 Wachawagenja imbiri ra wabaha wa masinagogi, watawala, na weni mamlaka, msaboe igu ya ago na namna ya kudeda katika kukitetea au indoi dimamwachideda,
\v 12 kwa wuja ngolo wa kuela dimawanifundisha namna mdedaga kwa makati ago."
\p
\v 13 Mundu umweri katika ikusanyiko ukamgoria, "mwalimu, mgorie mmbari wapwa aniwagie sehemu ya upalo gwapwa."
\p
\v 14 Jesu wamjibie, ni ani waniwika kuka mwamuzi na mpatanishi kati yenyu?
\v 15 Niko akawagoria, kihadharinyi na kila namna ya tamaa, kwa sababu binana ya mundu ndaiko katika wingi gwa vilambo akonavo."
\p
\v 16 Jesu akawagoria mfwano, akideda, mbuwa ya mundu umweri tajiri javae nanganyi,
\v 17 na akakikotia ndenyi yake, akideda, dimanabonya wada kwani sidae andu kwa kuhifadhi mazao gapwa?
\v 18 Akadeda, dimanabonya huwu. Dimanachukanya kai rapwa ndini na kuga ikoo mbaha, na kugaifadhi mazao gapwa gose na vilambo vimwi.
\v 19 Dimanaigoria nafsi yapwa, "Nafsi, wakiwikia akiba ya vilambo vingi kwa mirongo mingi. Sogoka, uje, unywe na kustarehe."
\p
\v 20 Ela Mlungu akamgoria, ewe mundu mkelu, kio cha linu wadakundi ngolo kufuma kwako, na vilambo vose aviandalie dimavaka indoi?
\p
\v 21 Niko dimayaka kwa kila mundu akiwikiaga mali na si kukitajirisha kwa ajili ya Mzuri.
\p
\v 22 Jesu akawagoria wanafunzi wake, kwa huwo na wagoria msahofu igu ya maisha genyu -- ya kuwa dimamwaja indoi angu ya miwi yenyu - ya kuwa dimamwarwa indoi.
\v 23 Kwa wuja maisha ni zaidi ya vindo, na muwi ni zaidi ya mavazi.
\v 24 Guwenyi wanyonyi wa angenyi, ndawalimaa wala ndawakwashaa. Ndawadae chumba wala kaiya kuhifadhia, ela Aba wenyu huwajisa. Inyo si bora zaidi kuliko wanyonyi!
\v 25 Ni uyao kati yenyu ambae akakigaisha adimaga kuchuria dhiraa imweri katika maisha gake?
\v 26 Ikika basi ndamdimaga kubonya icho kilambo kitini chiko rahisi kwa indoi basi kugaga iya ago gamwi?
\v 27 Guwenyi maruwa -andugamea. Mdagabonyaa kazi wala ndagasokotaa. Ela ndawagoria, hata sulemani katika ugimbikwa gwake gwose ndarwie kama mojawapo ya aga,
\v 28 Ngtelo Mlungu hugarwisha nicha manyasi ga kondenyi, ambago linu geko, na ikesho hudagwa modonyi. Je si zaidi dimawamirwisha inyo? inyo wa imani haba!
\v 29 Msagaye dimamwaja indoi angu dimamwanywa indoi, wala msake na hofu.
\v 30 Kwa wuja mataifa gose ga dunia hugagaiya malago ago. Na Aba wenyu adamanya ya kuwa mdahitaji ago.
\v 31 Ela lolenyi ufalme gwake kwanza, na ago gamwi dimamwazidishwa,
\p
\v 32 Msaboe, inyo ikundi tini, kwa sababu Aba wenyu adaboiwa kuwaneka inyo ugo ufalme.
\v 33 Dangenyi mali renyu mkawaneke masikini, mkibonyie mifuko isishiwaa__hazina ya mbingunyi isakoma, andu ambako wating'a ndawakaribiaga wala nondo ndaidimaga kunona.
\v 34 Kwa wuja andu kuko hazina yako, niko na ngolo yako ichaka.
\p
\v 35 Nguwo renyu ndacharike rafungwe kwa mkanda, na taa renyu rikakikishwe kuwa ridaendelea kuwaka,
\v 36 na mke sa wandu wamguwaga Mzuri wawe kufuma gondenyi ya arusi, ili kwamba akacha na kukaba hodi, dimawamruguria mjango kwa karuwa ruwa.
\v 37 Wabarikiwa waja watumishi, ambawo Mzuri dimawawadoka weko meso. Hakika dimawafunga nguwo yake ndacha kwa mkanda, kisha dimawawaketisha ndonyi kwa vindo, na kisha kuwa tawaria.
\v 38 Ngelo Mzuri imawacha kwa zamu ya kawi uagulinzi, na kuwadoka wakika tayari, dima yaka heri kwa awo watumishi.
\v 39 Zaidi ya ago, mmanye iji, ngelo mzuri mweni iwacha kumachawaichi saa ambayo mting'a adacha, kumachandaruhusu iwacha jake jichukawe.
\v 40 Kenyi tayari pia kwani ndamuichi ni makati ki mvalwa wa Adamu dimawawuya.
\p
\v 41 Petro akadeda, 'Mzuri, udadigoria isi weni ihi mifwano, angu udamgoria kila mundu?
\p
\v 42 Mzuri akawagoria, "Ni ani mtumwa mwaminifu angu mweni hekima ambae Mzuri wake dimawamwika igu ya watumishi wamwi ili awaneke vindo vawe kwa makati mwafaka?
\v 43 Wabarikiwa mtumishi uja, ambae Mzuri wake akicha dimawamdoka akibonya gaja walagizwa.
\v 44 Hakika ndawagoria inyo ya kuwa dimawamwika igu ya mali yake yose.
\v 45 Ela mtumishi uja akideda moyoni mwake, "Mzuri wapwa adachelewa kuwuya; huwo akawoka kuwakaba waja watumishi wa kiwomi na wakiwaka, kisha akawoka kuja, kunywa na kulewa,
\v 46 Mzuri wake uja mytumwa dimawacha katika maruwa asategemea na saa asaimanyaga, na yedimawachamdema viwande na kumwika andu amweri na wasako waaminifu'
\v 47 Mtumishi, amanyaga mapenzi ga Mzuri wake, na ye ndakiandalie wala ndabonyie sawa sawa na mapenzi gake, dimawakabwa viboko vingi.
\v 48 Ela mtumishi asamanyaga mapenzi ga Mzuri wake, ela akabonya gasastahilii adhabu, dimawakabwa viboko vitineri. Kwa wuja ye wanekiwe vingi, hulawiwa kufuma kwake, na ye waaminiwe kwa vingi, kwake dimavaliwiwa vingi nanganyi.
\p
\v 49 Nacha kuwasha modo dunienyi, na ndamtamani uke wawaka kala,
\v 50 Ela nkona ubatizo ambago ndakubazigwa, na nkona mbazi mpaka ukaka gwakamilika!
\v 51 Je mtenganyaa kuwa nacha kureda amani dunienyi? Aa, ndawagorienyi, badala yake naredie mwaganyiko.
\v 52 Tangu ijiaha na kuendelea dima kwaka na wandu wasanu katika iwacha jimweri wawaganyika, na wadadu dimawaka kinyume na wawi, na wawi dima waka kinyume na wadadu.
\v 53 Dimawawaganyika, aba dimawaka kinyume na mwanake, na mwanake dimawaka kinyume na ndee, mawe dimawaka kinyume na mae, mkeke, na mwai dimawaka kinyume na mkeku wake na ye mkeku dimawaka kinyume na mkeku wapwa wake.
\p
\v 54 Jesu akaka adawagoria makutano pia, "Mara mwanaga wadulu gakifumiria magaribi, mdadeda matuku ga vua gawadia, na niko andu iko,
\v 55 Na upepo gwa kusinyi gukavuma, mdadeda, ndima kwaka na kiruke chibirie, na niko andu iko.
\v 56 Inyo wanafiki, mdadima kutafsiri mwonekano gwa isanga na anga, ela ikakawada ndamdimaga kutafsiri makati ambago geko?
\p
\v 57 Ni kwa indoi kila umweri wenyu asapambanue jiko sahihi kwake kujibonya makati ambapo angalia na nafasi ya kubonya huwo?
\v 58 Maana mkagenda na mkisa wako imbiri ya hakimu, kitahidi kukatana na mkisawako mungali bado mko chienyi asache kugenja kwa hakimu, na hakimu akakugenja kwa ofisa, na ofisa akakudaga gerezanyi.
\v 59 Ndakugoria, ndufumaga uko hadi washana mpaka senti ya mwisho.
\c 13
\cl Sura 13
\p
\v 1 Kwa makati agho gheni, kurikogho na baadji ya wandu wamtaarifie ighu ya wagalilaya ambawo Pilato wawabwaghie na kuchanganya bagha yawhe na sadaka rawhe
\v 2 Jesu wajibie na kuwaghoria, "je mdadhani kuwa wagalilaya awa akogho na zambi kuliko wagalilaya wamwi wose nio maana wapatwa ni mabaya agho
\v 3 Aa, ndawaghoria, ela ngelo ndamkundi kutesiwa zambi renyu, na inyo dimamwaangamia waruwo huwo.
\v 4 Angu waja wandu kumi na nane katika siloamu ambawo mnara wagwie na kuwabwagha, mdateganya wo wakogho weni zambi nanganyi kuliko wandu wamwi katika Yerusalemu?
\v 5 Aa, nyi nadeda, elaengo ndamkundi kutesiwa zambirenyu, inyo wose pia dimamwaangamia.
\p
\v 6 Jesu wawaghoria mfwano ughu, "Mundu umweri wako na mtinyi wawalwa katika mbuwa yake na waghendie kuloka matunda ighu ytake elanda patie.
\v 7 Akamghoria mtunzabustani, Guwa, kwa mirango adadu nacha na kugheria kuloka matunda kweni mtinyi ughu ela sipatie. Uudeme kwani urede unonefu wa ndoe?
\p
\v 8 Mtunza bustani wajibie na kudeda, 'usighe mrogho ughu ili nighupalilie na kuwika mbolea ighu yake
\v 9 Ngelo ukiva matunda mrongo uchagha, ni vema; ela ngelo ndauvae, ughudeme!"
\p
\v 10 Idana Jesu wakogho akifundisha katika mojawapo ya msinagogi makati gha sabato.
\v 11 Guwo, warikogho mawe umweri ambae kwa mirongo kumi na nane wakogho na ngolo mchafu wa ghudhaifu, na ye wakogho wapinda na ndadae uwezo kabisa ghwa kuka kimsi.
\v 12 Jesu achamwona, wamwangie, "Mawe, wawikwa hurukufuma udhaifunyi wako."
\v 13 Akawika mikono yake ighu yake, mara muwi ghwake ghuka kighaghoa na akamtogola mlungu.
\p
\v 14 Elambaha wa isinagogi wawonie virea kwa sababu Jesu wakogho wamkira maruwa gha sabato. Hawo mtawala wajibie akawagharia makutano 'kuko maruwa sita ambagho ni lazima kubonya kazi. Chonyi kukirwa basi, sikatika maruwa gha sabato.
\p
\v 15 Mzuri wamjibie na akadeda, 'Wanafiki! Ndakudae kila umweri wenyu kurughua punda wako angu ng'ombe kufuma zizinyi na kuwalongoza kumghenja kunywa maruwa gha sabato?
\v 16 Huwo pia mwai wa Abrahamu, ambao shetani wamfunga kwa mirongo kumi na nane, je ndaimpasie kifungo chake chisarughuriwe maruwa gha sabato.
\v 17 Warikogho akideda madedo agho, waja wase wampigie wawonie whaya, bali makutano wase wa wamwi washagilia kwa ajili ya malagho gha ajabu aghabonyie.
\p
\v 18 Jesu akodeda, 'ufalme ghwa mlungu u dafwanana indoi, na nadimagha kuulinganisha na indoi?
\v 19 Ni sambeu ya haradali aiwusie mundu umweri na kuiwa mbuwenyi kwake, na ikamea ikaka mdi mbaha, na wanyonyi wa mbingunyi wakaa gha viota vawhe katika marembwe ghake.
\p
\v 20 Sena akadeda, 'Niufwananishe na indoi ufalme ghwa mlungu?
\v 21 Ni sa chachu ambayo mndumka waiwasie na kuchanganya kwenye vipimo vidadu va mufu hata ghakaumaka."
\p
\v 22 Jesu watembee kila mzi na kijiji chienyi akielekea yerusalemu nakuwafundisha.
\v 23 Mundu umweri akakotia, 'Mzuri, ni wandu wa tineri tu, watesiwagha?" Huwo akawagoria,
\v 24 'Kitahidi kungia kwa kuidia mjango mfinya, kwa sababu wengi dimawagheria na ndawa dima gha kungia.
\v 25 Mara baada ya mmiliki wa iwacha kukakimsi na kurugha mjango, basi dimamwakakimsi shighadi na kukaba hodi mjangonyi na kudeda, Mzuri, Mzuri, dirughurie ye dimawajibu na kuwaghorie, siwaichi inyo wala andu mfumaa,'
\p
\v 26 Niko dimamwadeda, Dajie na kunywa imbiri yako na we wafundishie katika mitaa yedu."
\p
\v 27 Ela ye dimawamjibu, "nawagoria, siwaichi andu mfumaa, ingenyi kwapwa, inyo wabonya gazamie!'
\v 28 Dima kwaka na kifwa na kusaga magego makati mchawawona Abrahamu, Isaka, Yakobo na walodi wose katika ufalme gwa Mlungu, ela inyo weni mwadagwa shigadi.
\v 29 Dimawafika kufuma mashariki, magaribi, kaskazini na kusinyi, na kusogoka katika meza ya vindo va wenyi katika ufalme gwa Mlungu.
\v 30 Na manya iji, wamwisho ni wa kilindiri na wakilindiri dimawaka wa mwisho."
\p
\v 31 Muda mvui baadae, baadhi ya Mafarisayo wa chee na kumgoria, "Genda na fuma aha kwa sababu Herode adakundi kukubwaga."
\p
\v 32 Jesu akadeda, "Gendenyi mkagorie uja koshi wa isakenyi, guwa, ndawabingisa pepo na kubonya ukiraji linu na ikesho, na maruwa ga kadadu dimanatimiza ilengo japwa.
\v 33 Katika hali yoyose, ni muhimu kwa ajili yapwa kuendelea linu, ikesho, na maruwa ganugiriaga, kwa wuja ndaikubaliaga kubwaga mlodi kula na Yerusalemu.
\p
\v 34 Yerusalemu, Yerusalemu, ani adawabwaga walodi na kuwakaba magwe waja wadumiwe kwenyu. Mara ilaga nakundige kuwawika andu amweri vifaranga vake ndonyi ya mbawa rake, ela ndamjikundie iji.
\v 35 Guwa, iwacha jako jatelekezwa. Na nyi ndawagoria, ndamdimaga kuniwona hata mkadachadeda "Wabarikiwa uyo achaga kwa irina ja Mzuri."
\c 14
\cl Sura 14
\p
\v 1 Yafumirie maruwa ga sabato, warikogo akigenda nyumbenyi kwa umweri wa vilongozi wa Mafarisayo kuja mkate, na wo wakogo wakimchunguza kwa avui.
\v 2 Guwa, aja imbiri yake wakogo mundu ambae adagaishwa ni uvimbe.
\v 3 Jesu wawakotia wataalamu katika sheria ya wayahudi na mafarisayo, "Je, ni halali kumkira maruwa gha sababto, angu siko?"
\v 4 Ela wo wakogo kimumure, kwa huwo Jesu akamwada, akamkira na kumruhusu agende chia rake.
\v 5 Na ye akawagoria, "Ni ani kati yenyu ambae akona mwana angu ng'ombe adadimia kisimenyi maruwa ga sabato ndamrudaa shigadi mara imweri?"
\v 6 Wo ndawaridaege uwezo gwa kufunya ijibu kwa malago aga.
\p
\v 7 Makati Jesu wachagundua jinsi waja wakiliwe kwamba wasagua vifumbi va heshima, akawagoria mfwano, akiwagoria,
\v 8 "Makati mkaalikwa na mundu arusinyi, usake katika nafasi ra heshima, kwa sababu idadi mikana waalikigwa mundu ambae ni wakuheshimiwa nanganyi kuliko we.
\v 9 Makati mundu wawaalika inyo wawi akafika, dimawakugoria we, "mbarie mundu uyu nafasi yako," na kisha kwa waya dimawawoka kuwusa nafasi ya mwisho.
\v 10 Ela we ukaalikwa, genda ukake andu kwa mwisho, ili makati uja akualikie akicha, adime kukugoria we, "Amwedu, genda imbiri nanganyi." Niko dimawaka waheshimika imbiri ya wose wakee andu amweri na we mezenyi.
\v 11 Kwa maana kila akiwezaga dimawaserigwa, na ye akiseraga dimawakwezwa.'
\p
\v 12 Jesu pia wamgoria mundu wamua likie, 'andu ufunyaga vindo va dime angu kwenyi, usawaalike amwedu wako angu wambari wako angu jamaa rako angu majirani wako matajiri, ili kwamba wo wasache wakakualika we ukapata malipoi.
\v 13 Badala yake, ukabonya genda, waalike maskini, vilema, wasagendaa na wasawonaa,
\v 14 na we dimawabarikiwa, kwasababu ndawadimaga kukushana. Kwa maana dimawasha nigwa katika ufufuo wa weni hachi."
\p
\v 15 Makati amweri wa waja wakee mezenyi andu amweri na Jesu wachasikira agho, na ye akamgoria, "Wabarikiwa uja ajaga mkate katika ufalme gwa Mlungu!"
\p
\v 16 Ela Jesu akamgoria, "Mundu amweri waandalie gonda mbaha, akaalika wandu wengi.
\v 17 Makati gonda ichaka tayari, wadumie mtumishi wake kuwagoria waja waalikiwe, "chonyi, kwa sababu vilambo vose vasia kuwikwa kala. k'
\p
\v 18 Wose, wawokie kulomba radhi. Wa kilindiri akamgoria mtumishi, 'Nagua mbuwa, lazima nigende kuiwona. Tafadhali unisamehe.'
\p
\v 19 Na umwi akadeda, "Naguwa jozi isanu ra ng'oombe, na nyi ndagenda kuwageria. Tafadhali uniwie radhi.'
\p
\v 20 Na mundu umwi akadeda, "Nalowua mka, kwa huwo sidimaa kucha.'
\p
\v 21 Mtumishi akawuya na kumgoria Mzuri wake malago ago. Uja mweni iwacha wawonie virea akamgoria mtumishi wake; genda karuwa ruwa mitaenyi na katika duchochoro dwa mzi ukawarede aha maskini, vilema, wasawonaa na walemavu."
\p
\v 22 Mtumishi akadeda, 'Mzuri ago ulagizie gabonyeka, na hata ijiaha kuko nafasi.'
\p
\v 23 Mzuri akawagoria mtumishi, 'Genda katika chia mbaha na duchochoro na uwashurutishe wandu wangie, ili iwacha japwa jichue.
\v 24 Kwa maana ndawagoria, katika waja waalikwe wa kilindiri ndakudae atoagha gonda yapwa.'
\p
\v 25 Idana umati mbaha wakogo wadagenda andu amweri nae, na ye akaaguka na akawagoria,
\v 26 Ngelo mundu akicha kwapwa na ye ndamzamiwaga ndee, mae, mkake, wanawake, wambari wake wami na wanduwaka- Hee, na hata maisha gake pia -ndadimaa kuka mwanafunzi wapwa.
\v 27 Mundu asawusaa msalaba gwake na kucha nyuma yapwa ndadimaa kuka mwanafunzi wapwa.
\v 28 Maana ni ani kati yenyu, ambae adatamani kuaga mnara ndaka kwanza akadirie garama kwa mitalo kama akona chijajii ili kukamilisha ijo?
\v 29 Vinginevyo, baada ya kuwika misingi na kulemwa kumeria, wose wawonie dimawawoka kumdhihaki,
\v 30 Wakideda, mundu uyu wawokie kuaga, akaka ndadae ndigi ra kumeria.'
\p
\v 31 Angu mgimbikwa uyao, akakunda kugenda kukabana na mgimbikwa umwi katika kondo, ambae ndakaga ndonyi kwanza na kuwusa ushauri kuhusu ngelo adimaa, andu amweri na wandu elfu ikumi kukabana mgimbikwa umwi achaga igu yake na wandu elfu ishirini?
\v 32 Na ngelo siko, makati ijeshi ja wamwi bado jiko kula, huduma balozi kukunda masharti amani.
\v 33 Kwa huwo basi, wowose kati yenyu ambae ndasigaa vose akoo navo, ndadimaa kuka mwanafunzi wapwa.
\p
\v 34 Mungu gwaboie, ela ukaka munyu gwa lagasha ladha yake, jinsi iyao idimaa kuka munyu sena?
\v 35 Ndagudae matumizi kwa ndoe angu hata kwa mboplea. hudagwa kula. Ye akona madu ga kusikira, na asikire."
\c 15
\cl Sura 15
\p
\v 1 Basi wawada ushuru wose na wamwi weni zambi wachee kwa Jesu na kumsikira.
\v 2 Mafarisayo wose na waandishi wanung'unikie wakideda, "mundu uyu huwakaribisha weni zambi na hata huja nawo."
\p
\v 3 Jesu akadeda mfwano ugu kwakwe, akideda
\v 4 "Ani kwenyu, ngelo akona ng'ondi mia imweri na akilagashigwa na umweri wawe, ndawasigaa waja tisini na kenda nyikenyi, na agende akamlole uja alagarie hata amwone
\v 5 Naye akampata humwika mabegenyi kwake na kuboiwa.
\v 6 Akafika nyumbenyi, huwawanga amwedu wake na jirani rake akawagoria boiweni andu amweri nanyi, kwa wuja ndampata ng'ondi wapwa alagharie.'
\v 7 nawagoria woruwo huwo dimakwaka na fuyraha mbingunyi kwa ajili ya mweni zambi umweri atesigwa zambi rake, zambi ya weni hachi tisini na kenda ambawo ndawadae haja ya kutesiwa zambi.
\p
\v 8 Angu kuko mndumka ani mweni sarafu kumi ra fedha, akalagariwa na sarafu imweri, ndawashaga taa na kukwanya iwacha na kulola kwa bidii hata achaipata?
\v 9 Na akiwona huwanga amwedu wake na jirani rake akawagoria boiwenyi andu amweri na nyi, kwa wuja naipata sena sarafu yapwa nirikogo nailagasha.
\v 10 Hata huwo nawagoria kukona furaha imbiri ya malaika wa Mlungu kwa ajili ya mweni zambi umweri atesigwa zambi umweri atubuye."
\p
\v 11 Na Jesu akadeda, "mundu umweri wakogo na wana wawi.
\v 12 Uja mtini akawagoria ndee, aba nneke sehemu ya mali ini stahilii kuipata. Huwo akawagia mali rake kati yawe.
\v 13 Maruwa si mengi ujamtini akawika andu amweri vose amilikii akagenda isanga ja kula, na uko watapanyie magome gake, kwa gula vilambo asavihitaji, na kutapanya fedha rake kwa anasa.
\v 14 Na yewarikogo wameria kudumia vose njala mbaha yangie isanga jija na ye akawoka kuka katika uhitaji.
\v 15 Akagenda na kukiajiri mweni wa raia wa isanga jija, na ye wamgenjie mbuwenyi kwake kujisia nguwe.
\v 16 Na akaka akitamani kukidisha kwa makanda wajie nguwe kwa sababu ndakudae mundu wamnekie kilambo chochose apate kuja.
\v 17 ela uja mwamtiini wachamaziria moyonyi kwake, wadedie "ni watumishi alinga wa aba nyi niko aha, ndafwa na njala!
\v 18 Dimanainga na kugenda kwa Aba wapwa, na kumgoria, "Aba nawowa igu ya mbingu na imbiri ya meso gako.
\v 19 Sistahili kuwangwa mwanakwo sena; nibonye kama umweri wa watumishi wako."
\v 20 Niko akainga akagenda kwa ndee. Warikogo angali kula ndee wamwonie akamwonia mbazi akakaba isenge na kumkumbatia na kumbusu.
\v 21 Uja mwana akamgoria, "Aba nawosa igu ya mbingu na imbiri ya meso gako sistahili kuwangwa mwanako.'
\p
\v 22 Uja Aba wawagoria watumishi wake, 'jiredenyi kuruwa ruwa ivazi jikoo bora, mkamrwishe mkumbenyi na pete cha lanyi na vadu magunyi.
\v 23 Kisha mredenyi ndama uja anonie mkamchienje dije na kuboiwa.
\v 24 Kwa wuja mwanapwa wakogo wafwa na ye ako hai. Wakogo walagaya nae wawonekaa wakoka kushangilia.
\p
\v 25 Basi uja mwanake mbaha wakogo mbuwenyi. Warikogo akicha na kuikaribia nyumba wasikire sauti ya chumbo na misarigo.
\v 26 Akawanga mtumishi umweri akamkotia malago aga maana yake ni indoi?
\v 27 Mtumishi akamgoria mtini wako wacha ndeo wamchinjia ndama anonie kwa sababu wawuya salama.'
\p
\v 28 Mvalwa mbaha akawona virea akalega kungia ndenyi na ndee wafumie shigadi kumsihi.
\v 29 Ela wamjibie ndee akideda, 'Guwa, nyi nakudumikia kwa mirongo mingi, wala sisowie amri yako, ela nduninekie mwana mburi, ili ili nidime kusherekea na amwedu wapwa.
\v 30 Ela achacha uyu mwanako watapanyie mali yako yose andu amweri na makahaba wamchinjia ndama wawonie.
\p
\v 31 Aba akamgoria, "mwanapwa, we uko andu amweri nanyi maruwa gose na vose niko navo ni vako.
\v 32 Ela yakogo vena kwedu kubonya gonda na kuboiwa, uyu mmbari wako wakogo wafwa, na ijiaha ako hai; wakogo walagaya na ye wawonekaa."
\c 16
\cl Sura 16
\p
\v 1 Jesu wawagoria sena wanafunzi wake, "Kurikogo na mundu umweri tajiri warikogo na meneja, na wataarifiwe ya kwamba meneja uyu adatapanya mali rake.
\v 2 Huwo tajiri akamwanga, akamgoria, "Ni indoi ihi niisikiraga igu yako? funya mitalo ya umeneja gwako, kwa wuja ndudimaa kuka meneja sena.'
\p
\v 3 Uja meneja akadeda moyonyi kwake, Nibonye indoi, maana Mzuri wapwa adanijia chagu chapwa cha umeneja? sidae ndigi ra kulima, na kulomba ndawona waya.
\v 4 Ndaichi ambajo dimanabonya ili nichainjigwa katika chagu chapwa cha uwakili wandu wanikaribishe nyumbenyi kwawe.
\v 5 Huwo wakili akawanga wasile wa Mzuri wake kila umweri akamgoria wa kilindiri; udalawiwa kiasi ki na Mzuri wapwa?
\p
\v 6 Akadeda vipimo mia imweri va mavuda akamgoria 'wusa hati yako ka karuwa ruwa andika hamsini.'
\p
\v 7 Kisha akamgoria umwi na we udalawiwa kiasi ki?' akadeda' vipimo mia imweri va mufu va ngano.' Akamgoria 'wusa hati yako andika themanini.'
\v 8 Uja Mzuri akimsifu meneja dhalimu kwa wuja abonyie kwa werevu. Kwa wuja wana wa urumwengu uhu ni werevu nyingi na hushuhulika kwa gujanja na wandu wa luwande lwake kuliko wakoo wana wa nuru.
\v 9 Na nyi nawagoria kibonyieni amwedu kwa mali ya udhalimu ili ikasowekana wawakaribishe katika makao ga kala na kala.
\v 10 Akoo mwaminifu katika jikoo tinyi nanganyi huka mwaminifu katika jikoo baha pia. na akoo dhalimu katika jikoo tinyi huka dhalimu katika jikoo ibaha pia.
\v 11 Ngelo inyo ndamkogo waaminifu katika maliya udhalimu ni ani achwaamini katika mali ya loli?
\v 12 Na ngelo ndamkogo waaminifu katika kudumia mali ya mundu umwi ni ani awanekaa ikoo yenyu weni?
\v 13 Ndakudae mtumishi adimaga kudumikia wazuri wawi, kwa maana dimawamzamiwa umweri na kukmkunda umwi, ama dimawawadana na uyu na kumzarau uyu. Ndamdimaga kumdumikia Mlungu na mali."
\p
\v 14 Basi Mafarisayo, ambao wakogho wadakunda fedha waghasikira agha ghose na wamdhihakie.
\v 15 Na akawaghoria, "Inyo nio mkidaii hachi imbiri ya wadamu huka ichukizo imbiri ra mlungu.
\p
\v 16 Sheria na walodi varikogho mpaka Yohana achacha. Tangu makati agho, habari riboie ra ufalme ghwa Mlungu hutangazwa, na kila mundu hugheria kukikumba kwa ndighi.
\v 17 Ela ni rahisi kwa mbingu na isanga vitoweke kuliko hata herufu imweri ya sheria isowekane.
\p
\v 18 Kila msighagha mkake na kumlowua mka umwiazini, naye amlowaaa ye wasighiwe ni mumiwake azini.
\p
\v 19 Kurikogho na mundu umweri tajiri warwie nguwo ra rangi ya zambarau na kitani chielie na wakogho akifurahia kila muruwa utajiri ghwake mbaha.
\v 20 Na maskini umweri irini jake Lazaro wawikiwe igetinyi kwake, na akona vonda.
\v 21 Naye wakogho akitamani kughudishwa kwa makombo ghagwie katika meza ya uja tajiri hata makoshi wakacha wakamlonda vonda vake.
\v 22 Ikaka uja masikini wafwie na akawasighwa ni Malaika mpaka kifuenyi kwa Ibrahimu. Uja tajiri nae akafwa akarikwa.
\v 23 Na kuja kuzimunyi akika katika mateso wagha nua meso ghake akamwona Ibrahimu kwa kula na Lazaro kifuenyi mwake.
\v 24 Akalila akadeda, 'Aba Ibrahimu, niwonie mbazi umdume Lazaro achove ncha ya chala chake machinyi, auburudishe lumi lwapwa; kwa sababu ndatesighwa katika modo ughu.
\p
\v 25 Ela Ibrahimu akadeda, "Mwanapwa kumbuka ya kwamba katika maisha ghako waghawokera malagho ghako ghaboie, Lazaro vivyo wapatie ghazamie. Ela idana weko aha adafarajiwa na we udaumizwa.
\v 26 Na zaidi ya agho, kwawikighwa ishimo ibaha na ndacha kati yedu, ili waja wakundii kufuma uku kughenda kwenyu wasadime wala wa wandu wa kwenyu wasaluwuke kucha kwendu.
\p
\v 27 Uja tajiri akadeda, "Ndakulomba Aba Ibrahimu, kwamba umdume nyumbenyi kwa abawapwa.
\v 28 kwa wuja nkonawo wambari wasanu ili awakashe, kwa hofu kwamba wo pia dimawacha andu aha pa mateso.
\p
\v 29 Ela Ibrahimu akadeda, "Wanako Musa na walodi. Wasighe wawasikire wo.
\p
\v 30 Uja tajiri akadeda; "Aa, Aba Ibrahimu, elangelo akawaghendia mundu afumagha kwa wafwie dimawatesiwa zambi.
\p
\v 31 Ela Ibrahimu akamghoria, "wasachawesikira Musa ni walodi ndawashawishiwagha hata mundu akifufuka katika wafu
\c 17
\cl Sura 17
\p
\v 1 Jesu akawagoria wanafunzi wake, "Malago ga sababishaga wandu wabonye zambi ndagadae budi kufumiria, ela olewake mundu agasababishaga!
\v 2 Kumacha yaka heri ngelo mundu uyo akarugiwa igwe izito ja kusagia singoni na kudagwa baharinyi, kuliko kumbonya umweri wa awawatinyi abonye zambi.
\v 3 Kilindenyi. Ngelo mmbari wako akakusea mkashe, na ye akatubu msamehe.
\v 4 Ngelo akakusea mara saba kwa iruwa jimweri na mara saba kwa iruwa jimweri akacha kwako akideda, ndatubu, "msamehe!"
\p
\v 5 Mitume wake wakamgoria Mzuri, "Dichurie imani yedu."
\p
\v 6 Mzuri akadeda, "Ngelo kumacha imani sa mbunje ya haradali, kumacha mwadima kuugoria mdi ugu gwa mkuyu, ng'oka na ukabuke baharinyi,' nao kumacha wamtii.
\p
\v 7 Ela ani miongonyi kwenyu ambae akona mtumishi aliamaga mbuwa angu ajisaga ng'ondi, dimawagoria akawuya mbuwenyi, cho karuwa ruwa na ka uje vindo?
\v 8 Je ndamgoriaga, "Niandalie vindo nije, na kifunge mkanda na unidumikie mpaka nichameria kuja na kunywa. Baada ya aho dimawaja na kunywa?
\v 9 Ndamshukuru mtumishi uyo kwa sababu watimiraga gaamriwe?
\v 10 Woruwo huwo nainyo mkameria kubonya mulagiziwe dedenyi "Isi da watumishi distahili. Dabonya tu gaja dapasiwe kubonya.'
\p
\v 11 Yafumirie kwamba warikogo akibonya charo kugenda Yerusalemu, waidie mwanonyi kwa samaria na Galilaya.
\v 12 Warikogo akingia katika kijiji chimweri, uko wakwane na wandu ikumi wakogo na ukoma. Wakakimsi kula.
\v 13 Wakafunya sauti wakadeda "Jesu, Mzuri diwonie mbazi."
\p
\v 14 Achawawona akagoria, "Gendenyi mkakibonyirie kwa makuhani." nawo warikogo wakigenda wakaelewesha.
\v 15 Umweri wawe wacha wona kwamba waboa, akawuja kwa sauti mbaha akimsifu Mlungu.
\v 16 Akaba magoti magunyi kwa Jesu akamshukuru. Ye wakogo msamaria.
\v 17 Jesu wajibie, akadeda, 'Je ndawaeleshike wose ikumi? wako hao waja wamwi kenda?
\v 18 Ndakudae hata umweri wawonekanie kuwuya ili kumtukuza Mlungu, isipokuwa uyu mgenyi?"
\v 19 Akamgoria, "Wukia na ugende chia rako imani yako yakurira."
\p
\v 20 Wachakotiwa ni mafarisayo ufalme gwa Mlungu dimagwacha li, Jesu wawajibie akideda, "Ufalme gwa Mlungu sio kilambo ambacho chadimaga kuwonekaa.
\v 21 Wala wandu ndawachadeda, "Angalia aha! 'angu, 'Angali kuja!' kwa maana ufalme gwa Mlungu uko ndenyi yenyu."
\p
\v 22 Jesu akawagoria wanafunzi wake, "Makati dimagafika ambapo dimamwatamani kuiwona imweri ya maruwa ga mvalwa wa Adamu, ela ndamuiwonaga.
\v 23 Dimawawagoria, 'Guwa, kuja! guwa, aha! ela msagende kuguwa, wala kuwanuga,
\v 24 Sa umeme gwa radi umulikaga katika anga kuwoka luwande lumweri hata lumwi. Huwo ata mvalwa wa Adamu dimawaka huwo katika maruwa gake.
\v 25 Ela kwanza dimayampasa kuteseka katika malago mengi na kulegwa na kivazi ichi.
\v 26 Ngelo irikogo maruwa ga Nuhu, niko dimayaka katika iruwa ja mvalwa wa Adamu.
\v 27 Wajee, wanywee, wakilowua na kulowulwa mpaka iruwa jija ambajo Nuhu wachangia katika safina na igarika jikacha na kuwaangamiza wose.
\v 28 Ndivyo ikogo maruwa ga Lutu, wajie, wanywie, wakiguwa na kudaga, kulima na waagie.
\v 29 Ela iruwa jija Lutu wachainga sodoma, ikanya vua ya modo na kibiriti kufuma mbingunyi ikawaangamiza wose.
\v 30 Huwo niko dimayaka iruwa jija ja mvalwa wa Adamu achafunukulwa.
\v 31 Iruwa ijo, usamruhusu akoo idarinyi ja iwacha asee kuwusa bidhaa rake ndenyi ya iwacha. Na usamruhusu akoombuwenyi kuwuya mzinyi.
\v 32 Mkumbuke mka wa Lutu.
\v 33 WOwose ageriaga kugatesia maisha gake dimawagalagasha, ela wowose agalagashaga maisha gake dimawagatesia.
\v 34 Ndakugoria, kio icho dimakwaka na wandu wawi katika kitanda chimweri. Umweri dimawawusigwa, na umwi dimawasigwa.
\v 35 Dimakwaka na wandu waka wawi wadasaga na faka andu amweri, umweri dimawawusigwa na umwi dimawasigwa."
\p
\v 37 Wakamkotia, ''weko hao, Mlungu?'' Akawagoria, ''aja gukomzoga Niko tai, wakusanyikana kwa Andu kumweri.''
\c 18
\cl Sura 18
\p
\v 1 Kisha akawagoria mfwano gwa namna wapaswaa kutasa daima, na wasakate tamaa.
\v 2 Akadeda, 'Kurikogo na hakimu katika mzi fulani, ambae ndakogo akimboa Mlungu na ndaweshimie wandu.
\v 3 Kurikogo na mkolo katika ijiji ijo, na ye wamgendia mara nyingi, akideda. Ntawarie kupata hachi dhidi ya mpinzani wapwa.'
\p
\v 4 kwa muda mlacha ndakogo tayari kumtawaria, ela baada ya muda akadeda mayonyi kwake,' Ingawa nyi siboaga Mlungu angu kuheshimu mundu,
\v 5 ela kwa wuja uyu mkolo adanigaisha dimanamtawaria kupata hachi yake, ili asache kunikojesha kwa kuni chea mara kwa mara."
\v 6 Kisha Mzuri akadeda, 'sikira andu wadedie uyo hakimu dhalimu.
\v 7 Je Mlungu pia ndachareda hachi kwa wateule wake ambawo wadamlilia dime na kio? Je, ye ndakaga mririmiri kwawe?
\v 8 Nawagoria kwamba dimawareda hachi karuwa ruwa Ela makati mvalwa wa Adamu achacha, Je, dimawadoka amani dunienyi?
\p
\v 9 Niko akawagoria mfwano ugu kwa baadhi ya wandu ambawo wadakiwona weni kuwa weni hachi na kuwamenya wandu wamwi,
\v 10 "Wandu wawi wajokie kugenda hekalunyi kusali: Umweri mfarisayo umwi wada ushuru.
\v 11 Farisayo akakimsi katasa malago aga igu yake mweni, 'Mlungu, ndakushukuru kwa wuja nyi si kama wandu wamwi ambawo ni wanyang'anyi, wandu waseko wadilifu, wazanzi, angu kama uyu mwada ushuru.
\v 12 Ndafunga mara iwi kwa wiki. Ndafunya zaka katika mapato gose nipataga.
\p
\v 13 Ela uja mwada ushuru, wakeekimsi kula, bila ndadimie hata kunua meso gake mbingunyi, akagonga kifua chake akideda, 'Mlungu, nirehemu nyi mweni zambi."
\v 14 Nawagoria, mundu uyu wawurie nyumbenyi akika wataligwa hachi kuliko uja umwi, kwa sababu kila akikwezaga dimawaserigwa, ela kila mundu akinyenyekezaga dimawanuliwa.'
\p
\v 15 Wandu wamredia wanawawe wakoho, ili adime kuwawada, ela wanafunzi wake wachawona ago, wakawazuia.
\v 16 Ela Jesu akawawanga kwake akideda, "Wasigenyi wana watini wache kwapwa, wala msawazuie. Maana ufalme gwa Mlungunyi ni wa wandu sa awo.
\v 17 Amini, nawagoria, mundu wowose asawokeraga ufalme gwa Mlungu sa mwana ni dhairi nda ungiaga.'
\p
\v 18 Mtawala umweri akamkotia, akideda, 'mwalimu uboie, nibonyei ili niipale banana ya kala na kala?'
\p
\v 19 Jesu akamgoria," kwa indoi udaniwanga niboie? Ndakudae mundu ako aboie, ela Mlungu mwenikeri.
\p
\v 20 Udariichi amri- Usazini, usabwage, usauwe, usashuhudie tee, waheshimu ndeo na mayo.
\p
\v 21 Uja mtawala akadeda,' malago aga gose nagawada tangu nikika ndawana.'
\p
\v 22 Jesu achagasikira ago akamgoria, "Wapungukiwa ilago jimweri. Lazima udege vose ukoo navo na uwawage maskini, nawe dimawaka nahazina mbingunyi -kisha cho, uninuge.'
\v 23 Ela tajiri achasikira ago, wahuzunika nanganyi, kwa sababu wakogo tajiri nanganyi.
\v 24 Kisha Jesu, akamwona andu wahuzunika nanganyi akadeda, Jinsi ki dimavaka vikurie kwa matajiri kungia katika ufalme gwa Mlungu!
\v 25 Maana ni rahisi nanganyi kwa ngamila kuida katika itundu ja sindano, kuliko kwa tajiri kungia katika ufalme gwa Mlungu.'
\p
\v 26 Waja wasikirege ago, wakadeda, 'Ani basi, adimaga kutesiwa?
\p
\v 27 Jesu wajibie, 'malago gasadimikana kwa wadamu kwa Mlungu gadadimikana."
\p
\v 28 Petro akadeda, 'Naam, isi dasiga kila kilambo na dakunuga we.
\p
\v 29 Kisha Jesu akawagoria, Amini, nawagoria kwamba ndakudae mundu wasigie iwacha, angu mka, angu wambari, angu wavazi angu wana, kwa ajili ya ufalme gwa Mlungu.
\v 30 Ambae ndawawokeraga mengi nanganyi katika urumwengu uhu, na katika urumwengu uchaga, banana ya kala na kala.'
\p
\v 31 Baada ya kuwawika andu amweri waja kumi na iwi, akawagoria, 'Guwa, didajoka kugenda yerusalemu, na malago gose ambago gaandikigwa na walodi kuhusu mvalwa wa Adamu dimagakamilishwa.
\v 32 Kwa maana dimawakumbwa mikonunyi mwa wandu wa mataifa na dimawabonyiwa dhihaka na jeuri, na kuchuiwa mada.
\v 33 Baada ya kumbuka viboko dimawabwaga na maruwa ga kadadu dimawafufuka.'
\v 34 Ndawaelewe malago aga, na idedo ijijirikogo javisigwa kwawe, nda ndawaelewe malago gadediwe.
\p
\v 35 Ikaka Jesu achakaribia yeriko, mundu umweri asawonaa wakogo waka mbai ya bara bara akilomba msaada,
\v 36 achasiira umati gwa wandu ukiida wakotie indoi chida fumiria.
\p
\v 37 Wakawagoria kwamba Jesu wa Nazareti adaida.
\p
\v 38 Huwo uja asawonaa akalila kwa sauti, akideda, "Jesu, mvalwa wa Daudi, unirehemu.'
\v 39 Waja wakogo wakisela wamkemia uja asawonaa, wakamgoria anyame kima. Ela ye wazidie kulila kwasauti, "mvalwa wa Daudi, unirehemu.
\p
\v 40 Jesu akakimsi akaamuru mundu uja uredwe kwake. Kisha uja asawonaa wachamkaribia, Jesu akamkotia,
\v 41 'Ukundi ni kubonyei?' akadeda, 'Mzuri, ni kundi kuwona.'
\p
\v 42 Jesu akamgoria, 'upate kuwona. Imani yako yakakira.'
\v 43 Mara hiyo akapata kuwona, akamnuga Jesu akimtukuza Mlungu. Wachawona iji, wandu wose wakamsifu Mlungu.
\c 19
\cl Sura 19
\p
\v 1 Jesu na kuidia ya Yeriko.
\v 2 Na aho kurikogo na mundu umweri awawaga zakayo. Ambae wakogo mbaha wa wawada ushuru sena ni mundu tajiri.
\v 3 Wakogo adageria kumwona Jesu ni mundu wa namna ki, ela ndadimie kuwona kwa sababu ya umati wa wandu, kwa wuja wakogo mvui wa kima.
\v 4 Huwo, wakirie isenge imbiri ya wandu, akajoka igu ya mkuyu ili adime kumwona, kwa sababu Jesu wakaribia kuidia chia iyo.
\v 5 Makati Jesu wachafika andu aja, waguwie igu akamgoria, 'zakayo, sea karuwa ruwa, maana linu ni lazima nisinde nyumbenyi kwako.'
\v 6 Akabonya karuwa ruwa, akasea na kumkaribisha kwa furaha.
\v 7 Wandu wose wachawona ago, wakalalamika, wakideda, 'wagende kumtembelea mundu mweni zambi.'
\p
\v 8 Zakayo akakimsi akamgoria Mzuri, Guwa Mzuri nusu ya mali yapwa nawaneka maskini, na ikaka namsoka mundu wowose kilambo, dimanamwujia mara ina.'
\p
\v 9 Jesu akamgoria, 'Linu wokovu gwafika katika iwacha iji, kwa sababu ye pia ni mvalwa wa Ibrahimu.
\v 10 Kwa maana mvalwa wa mundu wacha kulola na kutesia wandu walagarie.
\p
\v 11 Wachasikira ago, waendelee kuaria na wafunyie mfwano, kwa sababu wakogo avui na Yerusalemu, na wo wadhanie ya kuwa ufalme gwa Nlungu gwakogo avui kuwoneka mara imweeri.
\v 12 Huwo akawagoria, 'afisa umweri wagendie isanga ja kula ili awokere ugimbikwa na kisha awuye.
\v 13 Wawangie watumishi wake ikumi, akawaneka mafungu kumi akawagoria, 'bonyeni zogori npaka nchawuya.'
\p
\v 14 Ela wanachi wake wamzamiwe na huwo wakaduma wajumbe wagende kumnuga na kudeda, 'Ndadikundi mundu uyu aditawale.'
\v 15 Ikaka achawuya nyumbenyi baada ya kubonywa mgimbikwa, akaamuru waja watumishi wakogo wawasigia fedha wawangwe kwake, apate kumanya faida ki waipatie kwa kubonya zogori.
\p
\v 16 Wa kwanza akacha, akadeda, 'Mzuri, ifungu jako jabonya mafungu ikumi nanganyi.'
\p
\v 17 Uyo afisa akamgoria, vema, mtumishi uboie; kwa sababu wakogo mwaminifu katika ilago tinyi, dimawaka na madaraka igu ya mizi ikumi.'
\p
\v 18 Wa kawi akacha, akadeda, 'Mzuri, ifungu jako jabonya mafungu asanu.'
\p
\v 19 Uyo afisa akamgoria, 'Wusa mamlaka igu ya mizi misanu.'
\p
\v 20 Na umwi akacha, akadeda, 'Mzuri ihi fedha yako, ambayo naichi fadhie salama katika kitambaa,
\v 21 Kwa maana naboa kwa sababu we wa mundu ubirie. Udainja chija usakiwika na kukwasha usachiwa.'
\p
\v 22 Uyo ofisa akamgoria, 'kwa madedo yako mweni, dima nakuhukumu, we mtumishi uzamie. Wamanyie kwamba nyi na mundu nibirie, ndawusa nisakiwikaa na kukwasha ambacho siwae.
\v 23 Basi, mbona nduwikie fedha yapwa katika benki, ili nikawuya niwuse andu amweri na faida?
\v 24 Ofisa akawagoria wandu wakogo wakakimsi aho, 'msokenyi ijo ifungu na kumneka uja akona mafungu kumi.'
\p
\v 25 Wakamgoria, 'Mzuri, ye akona mafungu ikumi.'
\p
\v 26 Nawagoria, kila mundu ambaye akonacho dimawanekigwa nanganyi, ela ambae ndadae, hata chija ako nacho dimachawusigwa.
\v 27 Ela awawalagelage wapwa, ambawo ndakundie nike mgimbikwa wawe, waredenyi aha na kuwabwaga imbiri yapwa."
\p
\v 28 Baada ya kudeda ago, waendelee imbiri akijoka kugenda Yerusalemu.
\v 29 Ikaka wachakaribia Bethfage na Bethania, avui na lugongo lwa mizeituni, wawadumie wanafunzi wake wawi,
\v 30 akideda; 'Guendenyi katika kijiji cha jirani. Mkangia dimamwamdoka mwana-punda ndajokiwe bado. Mfunguenyi, mkamrede kwapwa.
\v 31 Ngelo mundu akiwakotia, 'mbona mdamrugua?' dedenyi, "Mzuri adamhitaji."
\v 32 Waja wadumiwe wakagenda wakamwona mwana-punda sa Jesu andu wakogo wawagoria.
\p
\v 33 Warikogo wadamrugua mwana punda wamiliki wakamgoria, 'kwa indoi mdamrugua mwana punda uyu?'
\p
\v 34 Wakadeda, 'Mzuri adamhitaji.'
\v 35 Basi, wakamgenjeria Jesu, wakatandika nguwo rawe igu ya mwana punda na wakamjosa Jesu igu yake.
\v 36 Warikogo akigenda wandu wakatandaza mavazi gawe barabarenyi.
\p
\v 37 Warikogo adasea lugongo lwa mizeituni, jumuiya yose ya wanafunzi waanzie kushangilia na kumtukuza Mlungu kwa sauti mbaha, kwa sababu ya malago mabaha wagawonie,
\v 38 Wakideda, 'Niye mbarikiwa achaga kwa irina ja Mzuri! Amani mbingunyi, na utukufu lugu!'
\p
\v 39 Baadhi ya mafarisayo katika mkutano wakamgoria, mwalimu, wanyama kimishe wanafunzi wako.'
\p
\v 40 Jesu wajibie, akadeda, 'Nawagorienyi, ngelo awawakanyama kima, magwe dimagapaza sauti.'
\p
\v 41 Jesu achagukaribia mzi wagulilie,
\v 42 akideda, laiti kumachawaichi hata we, katika maruwa aga malago ambago gakurediaga amani! ela ijiaha gavisika mesonyi kwako.
\v 43 Kwa wuja maruwa gadacha ambapo walage lage wako dimawaaga iboma avui ni we, nakuzunguluka na kukandamiza kufuma kila luwande.
\v 44 Dimawakugwisha ndonyi we na wana wako. Ndawakusigia hata igwe jimweri igu ya jimwi, kwa sababu ndutambue makati Mlungu warikogo adageria kukutesia.'
\p
\v 45 Jesu wangie Hekalunyi, wawokie kuwabingisa waja wakogo wakidaga,
\v 46 akiwagoria, 'yaandikigwa, 'Iwacha japwa dima jaka iwacha ja sala; ela inyo mwaibonya kuka ipango ja wanyang'anyi."
\p
\v 47 Kwa huwo, Jesu wakogo akifundisha kila siku hekalunyi. Makuhani wabaha na walimu wa sheria na vilongozi wa wandu wakundiege kumbwaga,
\v 48 ela ndawadimie kupata chia ya kubonya huwo, kwa sababu wandu wose wakogo wakimsikira kwa makini.
\c 20
\cl Sura 20
\p
\v 1 Ikaka iruwa jimweri, Jesu warikogo akiwafundisha wandu Hekalunyi na kuhubiri injili, makuhani wabaha na walimu wa sheria wamgendia andu amweri na wagosi.
\v 2 Wazungumzie, wakiomgoria, 'Digorie ni kwa mamlaka ki udabonya malago aga? Angu ni ani uyo ambae wakuneka mamlaka aga?"
\p
\v 3 Naye wajibie, akawagoria, 'Na nyi pia dimanamikotia iswali. Nigorieni
\v 4 Ubatzo gwa Yohana. Je, gwafumie mbingunyi ama kwa wandu?'
\p
\v 5 Ela wakajadiliana wo kwa wo, wakideda, 'Dikadeda gwafumie mbingunyi, dimawadi kotia, basi mbana ndammwaminie?
\p
\v 6 Na dikideda; gwafumie kwa wadamu,' wandu wose aha dimawadikaba magwe, maana wose wadaamini kwamba Yohana wakogo mlodi.'
\v 7 Basi, wamjibie ya kwamba ndawamanyie andu gwafuma.
\p
\v 8 Jesu akawagoria, "Wala nyi siwagoriaga inyo ni kwa mamlaka ki ndabonya malago aga."
\p
\v 9 Wawagoria wandu mfwano ugu, "Mundu umweri wawae mbuwa ya mizabibu, akajikodisha kwa wakulima wa mizabibu, na akagenda isanga jimwi kwa muda mlacha.
\v 10 Kwa muda gupangiwe, wamdumie mtumishi kwa wakulima wa mizabibu, kwamba wamneke sehemu ya matunda ga mbuwa ya mizabibu. Ela wakulima wa mizabibu wakamkaba, wakamwuja mikonu- miduhu.
\v 11 Kisha akamduma sena mtumishi umwi nawo wakamkaba, kubonyia gazamie, na wakamwuja mikonu miduhu.
\v 12 Wamduma sena wa kadadu nawo wakamjeruhi na kumdaga shigadi.
\v 13 Huwo Mzuri wa mbuwa akadeda, 'dimadabonya indoi? dimanamduma mwanapwa mkundwa. Labda dimawamheshimu.'
\p
\v 14 Ela wakulima wa mizabibu wachamwona, wajadilie wo kwa wo wakideda, 'uyu nie mpali. Dimbwagie, ili mpalo gwake guko gwedu.'
\v 15 Wakafunya shigadi ya mbuwa ya mizabibu na kumbwaga. Je Mzuri wambuwa dimawawabonyai?
\v 16 Dimawacha kuwaangamiza wakulima wa mizabibu, na dimawawaneka mbuwa iyo wamwi." 'Nawo wachasikira ago, wakadeda, 'Mlungu wa lega'
\p
\v 17 Ela Jesu akawaguwa, akadeda, "Je iandiko iji jikona maana ki? 'igwe wajilegie wajenzi, jaka igwe ja pembenyi.
\p
\v 18 Kila mundu agwaga igu ya igwe ijo, dimawachukanyika viwande. Ela uja ambae dima jamgwia, dima jambonda.'
\p
\v 19 Huwo waandishi na wabaha wa makuhani walolie chia ya kumwada makati ago geni, wamanyie kwamba wakogo wadeda mfwano ugo dhidi yawe. Ela wadeboa wandu.
\v 20 Wamgwie kwa makini, wakaduma wapelelezi wakibonyie kuka wandu wa hachi, ili wadime kupata ikosa kwa hotuba yake, ili kumgenja kwa watawala na weni mamlaka.
\v 21 Nawo wakamkotia, wakideda, "mwalimu, didaichi kwamba adadeda na kufundisha malago ga loli na si kushawishiwa na mundu wowose, ela we hufundisha loli kuhusu chia ya Mlungu.
\v 22 Je, ni halali kwedu kushana kodi kwa kaisari, angu la?"
\p
\v 23 Ela Jesu watambua mtego wawe, akawagoria,
\v 24 "Nibonyerieni dinari. Sura na chapa ya ani iko igu yake?" Wadedie, ya kaisari."
\p
\v 25 Naye akawagoria, 'Basi mnekenyi kaisari geko gake kaisari, na Mlungu geko gake Mlungu.'
\v 26 Waandishi na wabaha wa makuhani ndawaridaege uwezo gwa kukosoa chija wadedie imbiri ya wandu. Wakastaajabu gake na ndawadedie chochose.
\p
\v 27 Baadhi ya masadukayo wakamgendia, waja ambawo wadedaga kwamba ndakudaew ufufuo,
\v 28 Wakamkotia, wakideda, "mwalimu, Musa wadiandikie kwamba ngelo mundu akafiwa na mmbari mweni mka ambae mwana basi adapaswa kumwusa mka wambari wake na kuva nae kwa ajili ya kaka ake.
\v 29 Kurikogo na wambari saba wa kwanza walowaa, akafwa bila kusiga mwana,
\v 30 na wa kawi pia.
\v 31 Wakadadu akamwusa woruwo, woruwo huwo wasaba ndasigie wana wa akafwa.
\v 32 Baadae uja mndumka pia akafwa.
\v 33 Katika ufufuo dimawaka mka wa ani? maana wose saba wakogo wamlowua.'
\p
\v 34 Jesu akawagoria, "Wavalwa wa urumwengu ughu kulowua na kulowolwa.
\v 35 Ela waja wastahili kuwokera ufufuo gwa wafwie na kungia banana ya kala na kala ndawa lowaa wala ndawalowolwa.
\v 36 Wala mdawadimaga kufwa sena, kwa sababu huka sawa sawa na malaika nani wana wa Mlungu, wavalwa wa ufufuo.
\v 37 Ela hiyo wafwie wadafufuliwa, hata, hata Musa wabonyerie mahali katika habari ra kichaka, aja wamwangie Mzuri sa Mlungu wa Ibrahimu na Mlungu wa Isaka na Mlungu wa Yakobo.
\v 38 Idana, ye si Mlungu wa wafwie, bali wa weko hai, kwa sababu wose huishi kwake."
\p
\v 39 Baadhi ya walimu wa sheria wamjibie, 'mwalimu, wajibu vema.'
\v 40 Ndawathubutu kumkotia maswali gamwi nangnayi.
\p
\v 41 Jesu akawagoria, "kiwada wandu wadadeda kwamba Kristo wa mvalwa wa Daudi?
\v 42 Maana Daudi mweni adadeda katika zaburi: Mzuri wamgoria Mzuri wapwa: ka mkonu gwa kujo,
\q
\v 43 Mpaka niwawike walage lage wako ndonyi ya magu gako.'
\p
\v 44 Daudi adamwanga Kristo 'Mzuri', basi akakawada mvalwa wa Daudi?"
\p
\v 45 Wandu wose warikogo wakimsikira akawagoria wanafunzi wake,
\v 46 Kihadharinyi na waandishi, wakundii kusela warwa mavazi malacha, na wakundi salamu maali=umu chetenyi na vifumbi va heshima katika masinagogi, na maeneo ga heshima karamunyi.
\v 47 Wo pia huja nyumba ra wakolo, na wadakibonya wadasali sala ndacha. Awa dima wawokera hukumu mbaha nanganyi.'
\c 21
\cl Sura 21
\p
\v 1 Jesu waguwie akawawona weni matajiri warikogo wadawika zawadi rawe hamzinenyi.
\v 2 Akamwona mkolo umweri maskini akiwika senti rake iwi.
\v 3 Huwo akadeda, "Loli nawagorienyi, uyu mkolo masikini wawika nyingi kuliko wamwi wose.
\v 4 Hawa wose wafunya iri zawadi kufuma katika vingi wakonavo. Ela uyu mkolo, katika umaskini gwake, wafunya fedha rose wakogo naro kwa ajili ya kuishi kwake."
\p
\v 5 Makati gamwi warikogo wakideda igu ya ihekalu, namna andu jakogo japambigwa na magwe gaboie na matoleo, wadedie,
\v 6 "Kwa habari ya malago aga mgawonaga, maruwa dimagacha ambago ndakudae igwe mweri ambajo ndajibomolewa."
\p
\v 7 Huwo wakamkotia, wakadeda, "mwalimu, malago aga dimagafuma li? Na indoi dimayaka ishara kwamba aga malago geko avui kufumiria?"
\p
\v 8 Jesu wajibie, "Mke waangalifu kwamba msaembiwe kwa sababu wengi dimawacha kwa irina japwa, wakideda, 'Nyi nie; na muda gwakaribi.' Msawanuge.
\v 9 Mkasikira kondo na vurugu vurugu msaboe, kwa sababu aga malago lazima gafumirie kwanza, ela mwisho ndagufumiria karuwa ruwa."
\p
\v 10 Kisha akawagoria, "{Itaifa dimajanuka kukabana na itaifa jimwi, na ufalme igu ya ufalme umwi.
\v 11 Dimakwaka na matetemeko mabaha, na njala natauni katika gasi tofauti. Dimakwaka na matukio ga kutisha na ishara ra kutisha kufuma mbingunyi.
\v 12 Ela kabla ya malago aga gose, dimawawika mikonu yawe igu yenyu na kuwatesa, kuwagenja masinagoginyi na magereza, kuwareda imbiri ra wagimbikwa na weni mamlaka kwa sababu ya irina japwa.
\v 13 Ihi dimayawaruguria fursa kwa ushuhuda gwenyu.
\v 14 Kwa huwo amuenyi miongonyi kwenyu kutaondaa kutandanya kwenyu mapema,
\v 15 kwa sababu dimanawaneka madedo na hekima, ambayo walage lage wenyu wose ndawadimaa kuipanga angu kuiokana.
\v 16 Ela dimamwalegwa pia na wavazi wenyu, wambari wenyu, jamaa renyu na amwedu renyu, na dimawawabwaga baadhi yenyu.
\v 17 Dimamwazamiwa na kila umweri kwa sababu ya irina japwa.
\v 18 Ela ndakudae hata unjwi umweri wa vongo venyu ulagayaga.
\v 19 katika kuririmira dimamwarikira nafsi renyu.
\p
\v 20 Mchawona Yerusalemu yazunguluka kwa majeshi, basi manyeni kwamba unonefu gwake gwa karibia.
\v 21 Aho waja wakoo Yudea wakimbirie lugangonyi, na waja wakoo gadi gadi ya jiji wainge, na msawasige wakoo vijiji kungia.
\v 22 Maana aga ni maruwa ga kiasi, ili kwamba malago gose gaandikiwe gapate kutimilika.
\v 23 Ole ni kwa waja wakoo na inda na kwa waja wanyonyeshaga katika maruwa ago! kwa maana dimakwaka na adhambaha igu ya isanga, na gadhabu kwa wandu awa.
\v 24 Na dimawaangwa kwa ncha ya luwamba na dimawawusigwa mateka kwa mataifa gose, na Yerusalemu dima yawadigwa na wandu wa mataifa, mpaka makati ga wandu wa mataifa uchakamilika.
\p
\v 25 Dimakwaka na ishara katika iruwa, mweri na nyenyeri. Na katika isanga dimakwaka na dhiki ya mataifa, katika ukata tamaa kufuma na mlilo gwa bahari na mawimbi.
\v 26 Dimakwaka na wandu wakizimia kwa hofu na katika kutarajia malago ga fumaga kufuma igu ya dunia. Kwa maana ndigi ra mbingu dimaratikiswa.
\v 27 Kisha dimawamwona mvalwa wa Adamu akicha madulunyi katika ndigi na utukufu mbaha.
\v 28 Ela malago aga gachawoka kufumiria, kenyi kimsi, nuenyi vongo venyu, kwa sababu ukombozi gwenyu gwasogea avui."
\p
\v 29 Jesu akawagoria kwa mfwano, "uguwenyi mtini, na midi yose.
\v 30 Ikafunya machipukizi, mdakiwonia weni na kumanya kwamba kiangazi tayari chiko avui.
\v 31 Woruwo huwo, mchawona malago aga gadafumiria, inyo manyeni ya kwamba ufalme gwa Mlungu gwakaribia.
\v 32 Loli, nawagorienyi, kivazi ichi ndachiidaga, mpaka malago aga gose gachafumiria.
\v 33 Mbingu na isanga dimaraida, ela madedo gapwa ndagaidaga kamwe.
\p
\v 34 Ela kiguwenyi weni, ili kwamba mioyo yenyu isache lemewa na ufisadi, wulevi, na magaisho ga maisha aga. Kwa sababu jija iruwa dima jawachea gafla
\v 35 sa mtego. kwa sababu dimayaka igu ya kila umweri akaga katika wushu gwa dunia ndazi.
\v 36 Ela mke tayari makati gose, mtase kwamba dima mwaka imara va kutosha kugaepuka aga gose gachafumiria, na kukakimsi imbiri ra mvalwa wa Adamu."
\p
\v 37 Huwo makati ga dime wakogo akifundisha hekalunyi na kio wafumie shigadi, na kugenda kuka meso katika lugongo luwangwaga lwa mzeituni.
\v 38 Wandu wose wamchea keshokio mapema ili kumsikirandenyi ya ihekalu.
\c 22
\cl Sura 22
\p
\v 1 Basi sikukuu ya mkate usakumbagwa chachu yakogo yakaribia, ambayo idawangwa pasaka.
\v 2 Makuhani wabaha na waandishi wakajadiliana namna ya kumbwaga Jesu, kwa sababu wawaboa wandu.
\p
\v 3 Shetani akangia ndenyi ya Yuda Iskariote, umweri wa waja wanafunzi kumi na iwi.
\v 4 Yuda akagenda kujadiliana na wabaha wa makuhani na wagosi namna ambavyo dimawamkabidhi Jesu wawe.
\v 5 Waboiwe, na kukatana kumneka fedha.
\v 6 Ye waridhie, na walolie fursa ya kumkabidhi Jesu kwawe kula na ikundi ja wandu.
\p
\v 7 Maruwa ga mikate isakumbigwa chachu gakafika, ambapo ng'ondi wa pasaka lazima afunyigwe.
\v 8 Jesu akawaduma Petro na Yohana, akadeda, "Gendenyi mkadiandalie vindo va pasaka ili dichedije."
\p
\v 9 Wakamkotia, "Hao udakundi digabonye ago maandalizi?"
\p
\v 10 Akawajibu, 'sikirenyi, mchaka mwangia mzinyi, mndu mumi ambae wadwa mtungi gwa machi dimawakwona inyo. Mnugenyi nyumbenyi ambayo dimawangia.
\v 11 Kisha mgorienyi Mzuri wa iwacha, "mwalimu adakugoria, "chiko hao chumba cha wagenyi, andu ambako dimanaja pasaka na wanafunzi wapwa?"
\v 12 Dimawamibonyeria chumba cha gorofenyi ambacho cheko tayari. Bonyeni maandalizi umo."
\v 13 Huwo wakagenda, na wakadoka kila kilambo sa andu wawagoria. Kisha wakaandaa vindo va pasaka.
\p
\v 14 Taimu richafika wakee na waja mitume.
\v 15 Kisha akawagoria, "Nkona shauku mbaha ya kuja sikukuu ihi ya pasaka na inyo kabla ya kuteswa kwapwa."
\v 16 kwa maana nawagorienyi, sijaga sena mpaka ichatimizigwa katika ufalme gwa Mlungu."
\v 17 Kisha Jesu akawusa kikombe, na achameria kushukuru, akadeda, "Wushenyi iki, na mwagiane inyo kwa inyo.
\v 18 Kwa maana ndawagoria, sinywaga sena mvalogwa mzabibu, mpaka ufalme gwa Mlungu uchacha."
\v 19 Kisha akawusa mkate, na achashukuru, akaubega, na kuwaneka, akideda, "uhu ni muwi gwapwa ambago gwafunyigwa kwa ajili yenyu. Bonyeni uwu kwa kunikumbuka nyi."
\v 20 Akwusa kikombe woruwo uwo baada ya vindo va kio ukideda, "kikombe iki ni iagano wishi katika baga yapwa, ambayo yadika kwa ajili yenyu.
\v 21 Ela guwenyi. Uja anisaliti ako andu amweri nanyi mezenyi.
\v 22 Kwa maana mvalwa wa Adamu kwa loli agenda chia rake sa andu yaamuliwa. Ela ole kwa mundu uja ambae kuidia ye mvalwa wa Adamu asalitiwa!"
\p
\v 23 Wakawoka kukotiana wo kwa wo, ani miongonyi mwao ambae kumachawabonya ilago iji.
\p
\v 24 Kisha gakafumiria mabishano gadigadi yawe kwamba ni ani adhaniwaa kuka mbaha kuliko wose.
\p
\v 25 Akawagoria, "Wagimbikwa wa wandu wa mataifa wako na ubwana igu yawe, na waja wekona mamlaka igu yawe wadawangwa waheshimiuwa watawala.
\v 26 Ela ndaikundigwi kabisa kuka huwu kwenyu inyo. Badala yake, siga uja ambae ni mbaha kati yenyu ake sa mtinyi. Na uja ambae ni wa muhimu nanganyi ake sa adumikaga.
\v 27 Kwa sababu uyao wa mbaha? Je si uja akaga mezenyi? Na nyi bado ni kati yenyu sa adumikaga.
\p
\v 28 Ela inyo nio ambawo mwaendelea kuka nanyi katika kugeriwa kwapwa.
\v 29 Ndawanek inyo ugimbikwa, kama wuja Aba andu wanieka nyi ugimbikwa,
\v 30 kwamba mpate kuja na kunywa mezenyi kwapwa ugimbikwenyi kwapwa. Na dimwawaka vifumbinyi va enzi mkizihukumu kabila kumi na iwi ra israeli.
\p
\v 31 Simoni, simoni, manya kwamba shetani walomba awapate ili awapepete sa ngano.
\v 32 Ela nakutesia, kwamba imani yako isalemwe. Baada ya kuka wawuya sena, waiwarishe wambari wako."
\p
\v 33 Petro akamgoria, "Mzuri, neko tayari kugenda na we gerezanyi na hata katika mauti."
\p
\v 34 Jesu wajibie, "Ndakugoria Petro jogolo ndalilaga linu, kabla ndakunukanie mara adadu kwamba udanimanya."
\p
\v 35 Kisha Jesu akawagoria, "Nichagenja inyo bila mfuko, ngau ya vindo, iruwa vadu, Je mwagoduiwa ni kilambo?" Wajibie "Aa."
\p
\v 36 Kisha akawagoria, "Ela ijiaha, kila mweni mfuko, na auwuse andu amweri na ngau ya vindo. Uja ambae ndadae luwamba yampasa adage ijoho jake agule umweri.
\v 37 Kwa sababu nawagoria, gose ambago gaandikigwa kwa ajili yapwa lazima gatimilie; Na wawusigwa kama mundu ambae adachukanya torati." kwa sababu chija tabiriwe kwa ajili yapwa chidatimizigwa."
\p
\v 38 Kisha wakadeda, "Mzuri guwa! iri aha luwamba iwi." Na akawagoria "idatesha."
\p
\v 39 Baada ya vindo va kio, Jesu waingie, sa ambavyo wakogo akibonya mara kwa mara, akagenda lugongo lwa mizeituni, na wanafunzi wakamnuga.
\v 40 Wachafika wawagoria "tasenyi kwamba msangie katika kugeriwa."
\v 41 Akagenda kala na wo sa mdaga gwa igwe, akakaba magoti akatasa,
\v 42 akideda, Aba, ngelo udakundi, niinjie kikombe ichi. Ela si kama ndikundii nyi, ela mapenzi gako gabonyeke."
\v 43 Kisha malaika kufuma mbingunyi akamfumiria, akamkumba ndigi.
\v 44 Akika katika kuuguwa, akatasa kwa dhati nanganyi, na ijasho jake jikaka sa matone mabaha ga baga gakidondoka ndonyi.
\v 45 Makati wachawukia kufuma katika malombi gake, wachee kwa wanafunzi, na akawadoka watungura kwa sababu ya huzuni yawe,
\v 46 na akawakotia,' kwa indoi mdatungura? wukienyi mtase, kwamba msangie katika kugeriwa."
\p
\v 47 Makati warikogo bado akiaria, guwa ikundi baha ja wandu jikafumiria, na Yuda umweri wa mitume kumi na iwi akiwalongoza. Akacha avui na Jesu akambusu,
\v 48 ela Jesu akamgoria, "Yuda Je adamsaliti mvalwa wa Adamu kwa busu?"
\p
\v 49 Makati waja warikogo avui na Jesu wachawona ago gadafumiria, wakadeda, "Mzuri, Je diwakabe kwa luwamba?"
\v 50 Kisha umweri wawe akamkaba mtumishi wa kuhani mbaha, akamdema kudu kwake kwa kujo.
\p
\v 51 Jesu akadeda, "ihi idatosha. Na akawada kudu kwake, akamkira.
\v 52 Jesu akadeda kwa kuhani mbaha, na kwa wabaha waihekalu, na kwa wagosi wachee kinyume chake, "Je mdacha kana kwamba mdacha kupambana na mnyang'anyi, na marungu na malwamba?
\v 53 Nirikogo andu amweri na inyo maruwa gose hekalunyi, ndamwikie mikonu yenyu igu yapwa. Ela ihi ni saa yako, na mamlaka ga kira."
\p
\v 54 Wakamwada ya kuka wawasha modo katika uja uwanda gwa ndenyi na wachameria kuka ndonyi andu amweri, Petro akamnuga kwa kala.
\v 55 Baada ya kuka wawasha modo katika uja uwandagwa ndenyi na wachameria kuka ndonyi andu amweri, Petro akaka gadi gadi yawe.
\v 56 Mtumishi umweri wa kiwaka akamwona Petro warikogo waka katika mwanga ufumanaga na modo, akamguwa akamgoria, "Uyu mundu pia wakogo andu amweri nae."
\p
\v 57 Ela Petro wakanie, akadeda, "mndumka, nyi simmanyaa."
\p
\v 58 Baada ya muda kidogo, mundu umwi akamwona akadeda "We pia ni umweri wawe." Ela petro wajibie, "Mndumumi, nyi sie."
\p
\v 59 Baada ya kama isaa jimweri huwu, mndumuni umweri wasisitizie akadeda, "Loli kabisa uyu mundu pia wakogo andu amweri nae, maana wa mgalilaya."
\p
\v 60 Ela Petro akadeda, "mndumumi, sijiichi udedaa." Na mara, makati akiaria, jogolo akalila.
\p
\v 61 Akaaguka, Mzuri akamguwa petro. Na petro akajikumbuka idedo ja Mzuri, aja achamgoria, "kabla ya jogolo kulila linu, dimawanikana nyi mara adadu."
\v 62 Akigenda shigadi, petro akalila kwa uchungu mwingi.
\p
\v 63 Kisha waja womi warikogo wakimlinda Jesu, wakamdhihaki na kumkaba.
\v 64 Baada ya kumfunika meso, wakamkotia, wakideda, "Tabiri! ani wakukaba?"
\v 65 Wakaaria malago gamwi mengi kinyume cha Jesu na kumkufuru ye.
\p
\v 66 Mara ichaka keshokio, wagosi wa wandu wakwa na andu amweri, wabaha wa wa makuhani na waandishi. Wakamgenja barazenyi,
\v 67 Wakideda, "Ngelo we ni Kristo, digorie." Ela ye akawagoria, "ngelo ni kuwagoria, ndamniamini,
\v 68 na ngelo ni kamikotia ndamnijibu."
\v 69 Ela kuwoka ijiaha na kuendelea, mvalwa wa Adamu dimawaka waka mkonu gwa kujo gwa ndigi ya Mlungu.
\p
\v 70 Wose wakadeda, "kwa huwo we wa mvalwa wa Mlungu?" Na Jesu akawagoria, "Inyo mwadeda nyi nie."
\v 71 Wakadeda, "kwa indoi bado didahitaji sena ushahidi? kwa sababu isi weni dasikira kufuma katika momu gwake mweni."
\c 23
\cl Sura 23
\p
\v 1 Mkutano gwose wakakimsi, wakamgenja Jesu imbiri ya pilato.
\v 2 Wakawoka kumshutumu, wakideda, "Damdoka mundu uyu akipotosha itaifa jedu, kwa kukataza disafunye kodi kwa kaisari, na akideda kwamba ye mweni ni Kristo, mgimbikwa."
\p
\v 3 Pilato akamkotia, akideda, "Je we wa mgimbikwa wa wayahudi?" Na Jesu wamjibie akideda, "We wadeda huwo."
\p
\v 4 Pilato akamgoria kuhani mbaha na makutano, "siwonaa ikosa kwa mundu uyu."|
\p
\v 5 Ela wo wasisitizie, wakideda, "waka akiwachochea wandu, akifundisha katika uyahudi yose, kuwoka Galilaya na ijiaha ako aha."
\p
\v 6 Pilato achasikira aga, akakotia ngelo mundu uyo ni wa Galilaya?
\v 7 Wachatambua kuwa wakogo ndonyi ya utawala gwa Herode, akamgenja Jesu kwa Herode, ambae nae wakogo Yerusalemu kwa maruwa ago.
\v 8 Herode achamwona Jesu, waboiwe nanganyi kwa sababu wakundie kumwona kwa mengi. Wasikira habari rake na watamanie kuwona umweri ya miujiza ikibonywa na ye.
\v 9 Herode wamhojie Jesu kwa madedo mengi, ela Jesu ndamjibie chochose.
\v 10 Makuhani wabaha andu amweri na maaskari wake, wamuanyira na kumdhihaki.
\v 11 Herode andu amweri na maaskari wake, wamuanyira na kumdhihaki, na kumrwisha mavazi gaboie, kisha akamwuja Jesu kwa pilato.
\v 12 Herode na Pilato wakaka wa amwedu kuanzia maruwa ago, (kabla ya aho wakogo walage lage).
\p
\v 13 Pilato akawawanga andu amweri makuhani wabaha na watawala na umati gwa wandu,
\v 14 Akawagoria, "mwaniredia mundu uyu sa mundu awalongozaga wandu wabonye gazamie, na siwonie ikosa kwa mundu uyu kuhusu malago gose ambago inyo mdamshitaki ye.
\v 15 Aa, wala Herode, kwa maana wamwuja kwedu, na guwa ndakudae chochose wakibonya kistahiliii adhabu ya kifo.
\v 16 kwa huwo basi dimanamuadhibu na kumsigiria.
\v 17
\f + \ft idana, pilato adawajibika kumsigiria mfungwa umweri kwa wayahudi makati ga iskukuuu. \f*
\p
\v 18 Ela wose wakakaba jogo andu amweri, wakideda, "Muinje uyo, na dirugurie Baraba!"
\v 19 Baraba wakogo ni mundu ambae wawikigwa gerezenyi kwa sababu ya uasi fulani katika jiji na kwa kubwaga.
\v 20 Pilato akawagoria sena, akitamani kumsigira Jesu.
\p
\v 21 Ela wo wakabaga jogo, wakideda, "msulubishe, msulubishe."
\v 22 Akawakotia kwa mara ya kadadu, 'kwa indoi, uyu mundu wabonya maovu ki? sipatie ikosa jistahili adhabu ya kifo kwake. Kwa huwo nichameria kumuadhibu dimanamsigiria."
\v 23 Ela wasisitizie kwa sauti ya igu, wakikundi asulubiwe. Na sauti rawe ramshawishie pilato.
\v 24 Huwo pilato waamua kuwaneka matakwa gawe.
\v 25 Akamsigiria uja wamkundie ambae warugwie kwa kusababisha gasia na kubwaga. Ela akamfunya Jesu kwa matakwa gawe.
\p
\v 26 Warikogo wadamgenja, wamwada mundu umweri awangwaga simoni wa ukirene, akifumiria katika isamga, wakamtwika msalaba ili agunue, akimnuga Jesu.
\v 27 Umati mbaha gwa wandu, na wandu waka ambawo wahuzunikie na kulila kubaha kwa ajili yake, wakogo wakimnugiria.
\v 28 Ela akawagukia, Jesu akawagoria, mwai ra Yerusalemu, msalilie nyi, bali kililienyi inyo wemi na kwa ajili ya wana wenyu.
\v 29 Guwa maruwa gadacha ambago dimawadeda, "Wabariwa wasavaga na vifu visavaga, na matiti ambago ndaganyonyeshie.
\v 30 Niko wachawoka kuigoria lugongo, 'Digwienyi, 'na dachugongo, 'mdifinike.'
\v 31 Maana ngelo wakibonya malagalaga ikika mdimwishi, ikakawada ukika gwaoma?"
\p
\v 32 Womi wamwi, wahalifu wawi, wagenjigwa andu amweri nae ili wabwage.
\v 33 Wachafika andu kuwagwaga ifuvu ja chongo, niko wakamsulubisha andu amweri na waja wahalifu, umweri luwande lwa kujo na imwi luwande lwa kumosho.
\v 34 Jesu, wadedie, "Aba, uwasamehe, kwa wuja ndawaichi jija wabonyaa. "Nawo wakakaba kura, kuwagia mavazi gake.
\v 35 Wandu wakogo wakakimsi wakiguwa uku watawala wakimdhihaki, wakideda, "wawatesia wamwi. Idana akitesie mweni, ngelo wa Kristo Mlungu, mteule."
\p
\v 36 Askari pia wammenya, wamkaribia ye na wakamneka siki,
\v 37 wakideda, "Ngelo we mgimbikwa wa wayahudi kitesie mweni."
\v 38 Kurikogo pia na alama igu yake iandikigwe "UYU NIE MGIMBIKWA WA WAYAHUDI."
\p
\v 39 Umweri wa waalifu wasulubishiwe, wamuanyira akideda, "We si Kristo? kitesie mweni na isi"
\p
\v 40 Ela uja umwi wajibie, akimkemia na akideda, "Je we ndumbonyaga Mlungu, na we weko katika hukumu iyo yeni?
\v 41 Isi diko aha kwa hachi, kwa maana isi didawokera chija distahili kwa matendo gedu. ela mundu uyu ndabonyie chochose chizamie."
\v 42 Na wachurie, "Jesu, nikumbuke uchangia katika ugimbikwa gwako."
\p
\v 43 Jesu akamgoria, "Amin ndakugoria, linu huwu dimawaka andu amweri na nyi paradiso."
\p
\v 44 Aho irikogo avui saa ya sita, kira kikacha igu ya isanga jose hata isaa ja kenda,
\v 45 Mwanga gwa iruwa gwarimikie. Kisha ipazia ja hekalu jikawaganyika gadigadi kuwokia igu.
\v 46 Akilila kwa sauti mbaha, Jesu wadedie, "Aba mikonunyi kwako naiwika ngolo yapwa, "Baada ya kudeda aga, akafwa.
\p
\v 47 Makati akida achawona gabonyekie wamtukuzie Mlungu akideda, "Hakika uyu wakogo mundu mweni hachi."
\v 48 Makati umati gwa wandu wachee andu amweri kushuhudia wachawona malago gabonyekie, wawurie uku wakikaba vifua vawe.
\v 49 Ela waka amwedu wake, na wanduwaka wamnugie kufuma Galilaya, wakeekimsi kwa kula wakigwa ago malago.
\p
\v 50 Guwa, kurikogo na mundu awagwaga Yusufu, ambae ni umweri wa ibaraza, mundu aboie na mweni hachi,
\v 51 (wakogo ndakubaliane na maamuzi angu matendo gawe), kufuma Armathaya, mzi gwa kiyahudi, ambao urikogo ukiweseria ufalme gwa Mlungu.
\v 52 Mundu uyu, wamkaribia pilato, akalomba anekwe muwi gwa Jesu.
\v 53 Wamsera, na akazungulushia sanda, na akawika katika ikaburi jirikogo jachongigwa katika igwe, ambajo ndakudae wawahie kurikwa.
\v 54 Irikogo ni siku ya maandalizi, na sabato idakaribia.
\v 55 Wanduwaka, wachee nawo kufuma Galilaya, wamnugie, na wakawona ikaburi na jinsi muwi gwake andu ulaziwe.
\v 56 Wawurie na kuwoka kuandaa manukato na marashi. Kisha iruwa ja sabato wasogokie kwa mujibu gwa sheria.
\c 24
\cl Sura 24
\p
\v 1 Mapema nanganyi iruwa ja kwanza ja juma, wachee kaburinyi, wakireda manukato ambago wakago wagaandaa.
\v 2 Wakadoka igwe javingirishwa kula na ikaburi.
\v 3 Wakangia ndenyi, ela ndawaudokie muwi gwa Mzuri Jesu.
\v 4 Yafumirie kwamba, makati wachanganyikiwa kuhusu iji, gafla, wandu wawi wakeekimsi gadi gadi yawe warwa mavazi ga kuela.
\v 5 Wandu waka wakika wachua hofu na wakigogomisha wushu rawe ndonyi, wakawagoria wandu waka, "kwa indoi mdalola akoo hai miongonyi mwa wafwie?
\v 6 Ndeko aha, ela wafufuka! kumbukenyi andu wadedie na inyo warikogo angali Galilaya,
\v 7 akideda kwamba mvalwa wa Adamu lazima afunyigwe mikonunyi mw wandu weni zambi na aslibishwe, na iruwa ja kadadu, afufuke sena."
\v 8 Waja wanduwaka wakakumbuka madedo gake,
\v 9 na wakawuya kufuma kaburinyi na wakawagoria malago aga gose waja kumi na umweri na wamwi wose.
\v 10 Basi Maria magdalena, Joana, Maria mawe wa Yakobo, na wandu waka wamwi andu amweri nawo wakafunya taarifa iri kwa walodi.
\v 11 Ela ujumbe uhu ukawaneka sa mzaha tu kwa walodi, na ndawawaminie waja wanduwaka.
\v 12 Hata huwo Petro wawukie, na kakimbia kugenda kaburinyi, na wachungulie na kuguwa ndenyi, wawonie sanda yeni keri. Petro kisha akaingia akagenda nyumbenyi kwake, akistaajabu indoi ambacho cha fumiria.
\p
\v 13 Na guwa, wawi miongonyi kwawe warikogo wakigenda iruwa ijo jeni katika kijiji chimweri chiwangwaga Emmau, ambacho chakogo maili sitini kufuma Yerusalemu.
\v 14 Wakajadiliana wo kwa wo kuhusu malago gose gafumirie.
\v 15 Ikafumiria kwamba, makati warikogo wakijadiliana na kukotiana maswali, Jesu akaseguda avui akaambatana nawo.
\v 16 Ela meso gawe gazuiliwa katika kummanya ye.
\v 17 Jesu akawagoria, "Indoi ambacho inyo wawi mdachiaria makati mdatembea?" Wakeekimsi J wakiwonekana na huzuni.
\p
\v 18 Umweri wawe, irina jake cleopa, wamjibie, "Je we wa mundu pekee aha Yerusalemu ambae ndamanyaga malago gafumirie uko maruwa aga?"
\p
\v 19 Jesu akawagoria, "malago ki?" wakamjibu," malago kuhusu Jesu mnazareti, ambae wakogo mlodi, muweza katika matendo na madedo imbiri ra Mlungu na wandu wose.
\v 20 Na kwa jinsi ambayo wabaha wa makuhani na vilongozi wedu andu wafunya kuhukumiwa kifo na kumsulubisha.
\v 21 Ela daaminie kwamba ye nie awawikaga huru Israeli. Hee, kula na aga gose, ijiaha ni iruwa ja kadadu tangu malago aga gafumirie.
\v 22 Ela pia, baadhi ya wanduwaka kufuma katika ikundi jedu wadishangazie, baada ya kuwapo kaburinyi keshokio mapema.
\v 23 Wachausowa muwi gwake, wakacha, wakideda kwamba wawonie pia maono ga malaika wadedie kwamba ako hai.
\v 24 Baadhi ya womi ambawo wakogo andu amweri na isi wagendie kaburinyi, na kunuga ni kama wuya wanduwaka andu wadedie. Ela ndawamwonie ye."
\p
\v 25 Jesu akawagoria, "Inyo wandu wakelie na weni mioyo mizito ya kuamini yose ambayo walodi wadeda!
\v 26 Je ndaikogo lazima Jesu kuteseka kwa malago aga, na kungia katika utukufu gwake?"
\v 27 Kisha kuwoka kufuma kwa Musa na walodi wose, JAesu akawafsiria malago gamhusu ye katika maaandiko gose.
\p
\v 28 Wachakaribia chija kijiji, uko warikogo wakigenda, Jesu akabonya kana kwamba adaendelea imbiri.
\v 29 Ela wamlazimisha, wakideda, "ka andu amweri na isi, maana idaelekea kwenyi na siku ni kama yadua." Huwo Jesu akangia kugenda kuka andu amweri nawo.
\v 30 Yafumirie kwamba, makati waka nawo kuja, wowusie mkate, akagubariki, na kuguchukanya, akawaneka.
\v 31 kisha meso gawe gakaruguriwa, wakamuichi, na akainga gafla imbiri ya meso gawe.
\v 32 Wakadedeshana weni kwa weni, "Huwo mioyo uedu ndaiwakie ndenyi yedu, makati wachaaria naisi chienyi, makati wachadifungulia maandiko?"
\v 33 Wakanyanyuka saa iyo yeni, na kuwuya Yerusalemu; Wakawadoka waja kumi na umweri na umweri waka andu amweri, na waja wakogo andu amweri nawo,
\p
\v 34 wakideda, "Mzuri wafufuka loliloli, na wamfumiria simoni."
\v 35 Huwo wawagoria malago gafumirie chienyi, na namna Jesu wadhihirishwa kwawe katika kuubega mkate.
\p
\v 36 Makati wa kiaria malago ago, Jesu mweni wakeekimsi gadigadi yawe, na akawagoria, "Amani ike kwenyu."
\v 37 Ela waboa na kuchuiwa na hofu, na wakatenganya kwamba wawonie ngolo.
\v 38 Jesu akawagoria, kwa indoi mdafadhaika? kwa indoi maswali gaadanuka mioyoni kwenyu?
\v 39 Guwenyi mikonu yapwa na magu gapwa, kwamba ninyi mweni. Niwadenyi na mwone. Kwa maana ngolo ndaidae nyama na maindi, sa andu mniwonaga nyi kuka navo."
\v 40 Achameria kudeda uwu, akawabonyeria mikonu yake na magu gake.
\v 41 Warikogo bado na furaha ichanganyiokane na kuto kuamini, na kustaajabu, Jesu akawagoria, "Je mkona kilambo chochose cha kuja?"
\v 42 Wakamneka kiwande cha samaki wakoriwe.
\v 43 Jesu akakiwusa, na kukija imbiri yawe.
\p
\v 44 Akawagoria, "Andu nirikogo na inyo, nawagoria kwamba gose gaandikiwe sherienyi ya Musa na walodi na zaburi lazima gatimilike."
\v 45 Kisha akarugua akili rawe, kwamba wadime kugaelewa maandiko.
\v 46 Akawagoria, "kwamba yaandikigwa, Kristo lazima ateseke, na kufufuka sena kufuma katika wafwie maruwa ga kadadu.
\v 47 Na kutesiwa zambi na msamaha gw zambi lazima kuhubiriwe kwa irina jake kwa mataifa gose, kuwokia kufumiria Yerusalemu.
\v 48 Ninyo mwamashahidi wa malago aga.
\v 49 Guwa, ndawagenjeria ahadi ya Aba wapwa igu yenyu. Ela weserienyi aha jijinyi, mpaka mcharwiswa ndigi kufuma igu.
\p
\v 50 Kisha Jesu akawalongoza shigadi mpaka wachakaribia Bethania. Akanua mikonu yake igu, na akawabariki.
\v 51 Ikafumiria kwamba, makati warikogo akiwabariki, wawasigie na akanuliwa igu kuelekea mbingunyi.
\v 52 Basi wakamtasa, na kuwuya Yerusalemu nafuraha mbaha.
\v 53 Waendelee kuka hekalunyi, wakimbariki Mlungu.