swc_gal_text_reg/02/20.txt

1 line
356 B
Plaintext

\v 20 Nili tundikwa pamoja na Yesu. Haiko mingo haishi tena lakini Kristo njo anaishi ndani yangu, ivi ningali mu mwili kwa leo, niko na ishikwa imani ndani ya Mwana wa Mungu mwenyi alinipendaka, akajitoa ye pake ju ya yangu. \v 21 Si wezi tupitia neema ya Mungu kwa sababu kama haki engekua mu masheria, halafukifo ya Yesu ku musalaba hainge kwa na maana.